Quantcast
Channel: UDAKU SPECIAL
Viewing all 104709 articles
Browse latest View live

CUF: Bora Mtatiro Ameondoka..Sasa Tutapumua

$
0
0

Mkurugenzi wa habari, uenezi na uhusiano wa umma wa Chama cha Wananchi (CUF), Abdul Kambaya amesema zaidi ya asilimia 70 ya migogoro ndani ya chama hicho imechangiwa na aliyekuwa mwenyekiti wa baraza la uongozi chama hicho, Julius Mtatiro.


Kambaya amesema hayo  ikiwa ni siku moja baada ya Mtatiro kujiengua CUF na kutangaza kuhamia Chama cha Mapinduzi (CCM).


Mtatiro ambaye alikuwa upande unaomuunga mkono Katibu Mkuu wa chama hicho, Maalim Seif Sharif Hamad, alitangaza kuachana na chama hicho na kujiunga na CCM  Agosti 11, 2018.


Kambaya amesema Mtatiro alipokuwa mwenyekiti wa mkutano mkuu alisababisha chama hicho kugawanyika kwa kutosikiliza maoni ya wajumbe wa mkutano huo na kuamua kuuendesha kibabe.


Ameongeza kuwa Mtatiro alipokuwa Naibu Katibu mkuu alikiingiza chama hicho katika mgogoro uliosababisha Hamad Rashid kufukuzwa uanachama baada ya kuhoji ubadhirifu wa fedha kiasi cha Sh300milioni katika uchaguzi mdogo wa ubunge Igunga.


“Hakuna kitu ambacho Mtatiro amekifanya kwenye chama hiki, kubwa zaidi amesababisha migogoro. Wanasiasa wapambanaji hawakimbii  migogoro ndani ya vyama vyao bali wanakaa humo humo mpaka migogoro itakapokwisha” amedai Kambaya.


Kambaya ambaye  yupo upande unaomuunga mkono mwenyekiti wa chama hicho, Profesa Ibrahim Lipumba, amesema kuwa; “Tazama Sophia Simba hakukimbia CCM sambamba na Nape Nnauye (mbunge wa Mtama-CCM). Hata Mnyika (John-Mbunge wa Kibamba-Chadema) hakukimbia chama hicho.”

Muone na Wasiliana na Dr Kanengo Bingwa wa Tiba Asili, Hutibu Magonjwa Haya

$
0
0
NKURURU:-ni dawa inayotibu miguu kuwaka moto, kiuno tumbo     kupooza/kuparalazi  kupoteza  fahamu  MALABALA  hutibu  kisukari , uti  wa  mgogo,  Change, pumu, busha, kaswende, kifua  kikuu, muwasho  sehemu  ya siri

POWER :-ni dawa ya kuongeza nguvu za kiume ni vidonge  20

MPERAMPERA:- ni dawa ya kurudisha Mke, mme, mpenzi,mchumba aliyekuacha /kuteseka, ni kwa mda wa siku 2 tu kusafisha, pia kunakuna dawa za kupunguza vitambi(nyama uzembe),  maziwa makubwa,michirizi, mikovu makubwa, chunusi sugu.

SIX POWER:-inatibu upungufu wa nguvu za kiume kwa wasio weza kumudu tendo la ndoa itakufanya uwe na hamu ya kurudia tendo la ndoa zaidi ya Mara 4 bila hamu Keisha, inaboresha maumbile madogo na inaimarisha misuri iliyo regea na kusinyaa una pona kabisa, ndani ya siku 4 tu

GASELA:-ni dawa ya maajabu (9) yaliyoshindikana.    (1)-Kisukari, vidonda vya tumbo, tezi dume,walioshindikanika kupata watoto(ugumba),busha bila oparesheni, (2)zindiko Kali Katika biashara yako (chuma ulete)  ndo kiboko yao kumkamata mwizi aliye kuibia vitu vyako pikipiki, gari, n, k( 2)zindiko la nyumba, mashamba, viwanja,. ( 3 ) kurudisha mtu aliye kufa kiutatanishi (msukule) (4)kukutolea sumu uliyo ikanyaga (Mtego) (5)ujiamini kutumia dawa ya maajabu Saba (6)kutoa mikafara mfano ugomvi ndani ya nyumba kufukuzwa kazini bila sababu (7)kutabiri nyota na kung'arisha (8)kurudisha Mali iliyo potea mazingira ya kutatanisha, kushinda kesi uliyo sumbuka nayo mda mrefu. (9)kufukuza majini wa  chafu ndani ya mji,.Haya yote yana wezekana kwa DR KANENGO popote ulipo ukiniitaji nafika napatikana buguruni chama, mbagala zakhiem karibia na uwanja wa mkutano, na wilaya ya bunda musoma : mawasiliano  ni simu namba :-0767-17-17-73 na  0716-60-89-59

NI  KWA  WALIO  TUMIA  DAWA  ZA MATATIZO  MBALIMBLI  BILA  MAFANIKIO   uwezo  WA  kurudisha  mali  iliyopotea  au  kudhulumiwa    muda  mfupi  tu,  Na natoa  dawa  ya  utajiri  kwa  wafanya  biashara     wachimbaji  madini, wafaryakazi,  wakulima, wafugaji na  kwa yeyote  anayetaka  kuwa  na  pesa   nyingi  katika   maisha  yake,  Na  pia  anaunganisha  utajiri    kwa muda  mfupi  sana  pamoja  na  kuboresha  akili  kwa  wanafunzi  na  kumfanya  afaulu  mitihani  yote  au  intaview  yeyote  na  ana  uwezo  mkubwa  wa  kutibu  ugonjwa  wa  Uvimbe tumboni .  pia anarudisha  Mke, mme, mchumba,    hawara, kwa  muda  wa  saa  3  na  anatimiza mahitaji  yote  hata  kama  upo  mbali   kiasi  gani,  ahadi  zote  atatimiza  kwa  muda  mfupi  tu  Na  kumfunga  asiwe  na mtu  mwingine  kwa  nini  unaumiza  kichwa ?

Muone  ( DR  )KANENGO,anatibu  nguvu  za  kiume  anarefusha  na  kunenepesha  uume  kwa  saizi  uipendayo  kwa  muda  mfupi   sana, pamoja  na  kuwa  na  hamu  ya  kurudia  tendo  la  ndoa  mara  4  bila  hamu  kuisha   Na  utachelewa   kufika  kileleni  kwa  muda  wa  dakika   40  bila  kuchoka  hata  kama  una umri  mkubwa  kiasi  gani   Gerentii  miaka /=60    ukisha  pona  bila tatizo   kurudia  pia ana  uwezo  mkubwa  wa  kuongeza  hips na  makalio,  pia   anatibu  magonjwa  sugu  ya  zinaa  tumbo  kujaa  gesi,  kuuma  chini  ya  kitovu,vidonda vya tumbo,   kiuno,  miguu    kuwaka  moto  miguu,  kuvimba..Nk..Angalizo usitume meseji wala kubipu..
You can get it in   all East African countries, our service is fast and easy...

Contact Whatsapp 0767171773.Dar es salaam Tanzania. ..Dr. KANENGO 0716608959...You are welcome.

Mbunge Mteule wa Jimbo la Buyungu Akabidhiwa Hati ya Ushindi

$
0
0
Mbunge  Mteule wa Jimbo la Buyungu Akabidhiwa Hati ya Ushindi
MBUNGE mteule wa Jimbo la Buyungu, Kakonko mkoani Kigoma kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Prof. Christopher Chiza Kajoro aamepokea hati ya ushindi huo baada ya kutangazwa mshindi kwa kupata kura 24,578 huku Elia Michael wa Chadema akipata kura 16,910 katika uchaguzi mdogo uliyofanyika jimboni humo jana Jumapili, Agosti 12, 2018.

Rais Magufuli Apongeza Jimbo La Mbulu Kupata Askofu Mpya

$
0
0
RAIS John Magufuli amewapongeza wananchi wa wilaya za Mbulu, Babati na Hanang’ mkoani Manyara na Karatu mkoani Arusha zinazounda Jimbo la Mbulu kwa kumpata askofu wa tano wa Jimbo hilo Anthony Lagwen.

Waziri wa Katiba na Sheria Profesa Palamagamba Kabudi ambaye alimwakilisha Rais Magufuli aliyasema hayo jana mjini Mbulu Mkoani Manyara, kwenye tukio la kusimikwa kwa askofu Lagwen.

Waziri kabudi alisema pamoja na kuwapongeza, kanisa katoliki limekuwa msaada mkubwa kwa serikali kwa kutoa huduma ya elimu, afya na maji hasa kwa watu wa kawaida.

Alisema jimbo la Mbulu linaloundwa tangu mwaka 1953 limekuwa mfano wa kuigwa katika kuhakikisha jamii ya eneo hilo inapata huduma za kiroho na kimwili.

“Tunapongeza kanisa katoliki jimbo la Mbulu kwa kutoa huduma za afya ikiwemo hospitali za misheni za Dareda na Bashnet wilayani Babati,” alisema.

Alipongeza jimbo hilo kumiliki kituo cha redio Habari Njema ambacho kwa namna moja au nyingine kinatoa huduma ya uinjilishaji na kuhabarisha jamii.

“Kituo hicho cha redio kiendelee kusisitiza amani kwani bila uwepo wa amani hakutawezekana kufanyika chochote,” alisema.

Alisema taasisi za dini kwa kiasi kikubwa zimechangia maendeleo mengi na ustawi wa jamii hivyo serikali itaendelea kushirikiana kwa pamoja ili kuhakikisha jamii inasonga mbele.

Askofu mkuu wa Jimbo kuu la Dar es salaam, mwadhama Policarp Kardinali Pengo alisema japokuwa askofu Lagweni ni mzaliwa wa jimbo la Mbulu lakini atakumbana na changamoto zile zile wanazokumbana nazo maaskofu ambao wanaongoza majimbo ambayo hawajazaliwa.

“Mimi siwezi kuona Sumbawanga ndiyo bora zaidi kuliko sehemu ninayoongoza waumini hivyo nawe waongoze waamini kama inavyopaswa kuwaongoza,” alisema Kardinali Pengo.

Rais wa baraza kuu la maaskofu wakatoliki nchini (TEC) askofu wa jimbo la Mpanda, Gervas  Nyaisonga alisema askofu Lagwen ameteuliwa na Baba mtakatifu papa Francisco wakati huu ambapo wanasherehekea jubilee ya miaka 150 ya uinjilishaji.

Askofu Nyaisonga alisema askofu Lagwen baada ya kupata nafasi hiyo anapaswa kuwaangalia usoni waumini ili kuzidi kuwajenga kiroho.

Mkuu wa mkoa wa Manyara, Alexander Mnyeti alisema serikali ya mkoa huo itashirikiana na jimbo hilo katika kufanikisha ustawi wa wananchi wa eneo hilo.

Mnyeti alisema askofu Lagweni amepata daraja hilo la uaskofu ambapo ni heshima kwa wananchi wa Mbulu, Manyara na Tanzania kwa ujumla.

“Japokuwa wewe umezaliwa katika jamii ya wairaqw hata ungekuwa mmeru au msukuma lakini kwa kuwa umeteuliwa kuwa askofu wa Mbulu, umepakwa mafuta kwa uwezo wa roho mtakatifu,” alisema Mnyeti.

Akizungumza baada ya kusimikwa askofu Lagwen alisema anamuomba Mungu amsaidie kutimiza wajibu wake mpya wa kiroho katika kuwahudumia waamini wa eneo hilo.

Askofu Lagwen alisema wanashirikiana na serikali katika kufanikisha huduma mbalimbali na miradi ya elimu, afya, maji, mazingira, habari na nyingine.

Aliwashukuru wote walifanikisha tukio hilo na akawaahidi kuwa atatoa ushirikiano unaostahili kupitia nafasi yake kwa upendo na umoja watumikie.

Askofu Anthony Lagwen alizaliwa  Julai 5 mwaka 1967 kwenye Kijiji cha Tlawi, wilayani Mbulu mkoani Manyara na kuanza masomo ya elimu ya msingi na masomo ya sekondari katika seminari ndogo ya Sanu, Jimbo Katoliki la Mbulu.

Mapato ya Shirika la ATCL Yaongezeka

$
0
0
Mapato ya Shirika la ATCL Yaongezeka
Shirika la Ndege Tanzania (ATCL) limeongeza mapato yake ya kila mwezi hadi kufikia Sh4.5bilioni kuanzia mwaka 2017, ikiwa ni tofauti na mwaka 2016 ambako ilikuwa ikikusanya Sh700milioni kwa kila mwezi.

Kiwango cha hasara katika shirika hilo ambalo lilianza kufufuliwa mwishoni mwa mwaka 2016, nacho kimepungua kutoka Sh14.2 billioni mwaka 2016 hadi Sh4.3 bilioni mwaka 2017 huku ukubwa wao wa soko katika usafirishaji wa anga nchini ukiwa ni asilimia 24.

Hayo yameelezwa leo Jumatatu Agosti 13, 2018 na kaimu meneja wa mauzo na usambazaji wa shirika hilo, Edward Nkwabi katika mkutano na mawakala wa tiketi za ndege uliofanyika jijini hapa.

Kampuni hiyo iliwaeleza mawakala mpango wake wa kuimarisha kituo cha huduma kwa wateja na kuongeza safari zake katika maeneo tofauti ndani na nje ya nchi ikiwemo safari mpya ya Entebe-Uganda, Bujumbura- Burundi, Mumbai-India na Guangzhuo- China.

Hata hivyo Mkurugenzi Mtendaji wa kampuni ya udalali ya ABC Travel and Tours Limited, Saleh Pamba amehoji kwanini ATCL haianzishi safari kati ya Ulaya na Amerika ambako asilimia 70 ya watalii wote wanaokuja nchini wanatokea huko.

Akijibu swali hilo, mkurugenzi mtendaji  wa ATCL, Ladislaus Matindi amesema kwa sasa wanajiimarisha kwanza kuweza kuwa washindani katika maeneo hayo, kwamba uwezo wao sasa ni kwenda India na China ambako kuna abiria wengi lakini ushindani ni mdogo.

"Mpango wetu wa biashara unaonyesha kuwa baada ya ujio wa Dreamliner nyingine tutakuwa na Safari ya London. Soko la Amerika na Ulaya ni kubwa kwa kuwa na idadi kubwa ya abiria lakini kuwapata si rahisi kutokana na ushindani uliopo lakini tukishajiimarisha zaidi tutaweza kwenda huko," amesema Matindi.

THRDC Yalaani Polisi Kuwapiga Waandishi wa Habari

$
0
0
THRDC Yalaani Polisi Kuwapiga Waandishi wa Habari
Mtandao wa Watetezi wa Haki za Binadamu (THRDC), umesema matukio ya kupigwa na kuteswa kwa raia wakiwa mikononi mwa polisi yanaongezeka siku hadi siku na kuongeza hofu kwa jamii juu ya uwapo wa utawala wa sheria.

Akizungumza na waandishi wa habari jana jijini Dar es Salaam, Mratibu wa THRDC, Onesmo Olengurumwa, alisema matukio hayo yanaongezeka huku baadhi ya watu wakitishwa na kuambiwa siyo raia na wengine kunyang'anywa pasi za kusafiria.

Alisema wanalaani vikali vitendo vya karibuni vya ukiukwaji wa sheria na haki za waandishi wa habari na watetezi wa haki za binadamu kunakofanywa na Jeshi la Polisi lenye wajibu wa ulinzi wa raia na mali zao.

"Tunashuhudia waandishi wakipigwa na kukamatwa na polisi wakati wakitekeleza majukumu yao ya kazi kwa mujibu wa sheria za nchi," alisema.

Alisema kuwa Agosti 8, mwaka huu, mwandishi wa habari wa Wapo Radio, Silas Mbise, alishambuliwa na kukamatwa na polisi akiwa kazini na alipigwa waziwazi na polisi wenye silaha huku akiwa amelala chini na hana silaha yoyote.

Alisema kuwa tukio lingine la hivi karibuni ni la mwandishi wa gazeti la Tanzania Daima, Sitta Tuma, aliyepigwa na kukamatwa na maofisa wa polisi wakati akichukua habari katika mkutao wa kampeni za uchaguzi wa diwani wilayani Tarime mkoani Mara.

"THRDC ilitoa msaada wa kisheria ili kumwezesha kupata dhamana na wakili wake Ernest Muhagama alisema alipofika polisi alielezwa kwa mtuhumiwa huyo kakamatwa kwa kosa la kuandamana kinyume cha sheria. Aliachiwa kwa dhamana Agosti 9," alisema.

Aliyataja matukio mengine ni ya miezi miwili iliyopita dhidi ya wa waandishi wa habari kuwa ni yaliyofanywa dhidi ya George Ramadhani na Christopher Gamaina, waliokamatwa na polisi mkoani Mwanza wakati wakiwa wanatekeleza majukumu yao na walifunguliwa mashtaka mahakamani.

Alisema mwandishi mwingine ni Emmanuel Kibiki aliyekamatwa na polisi mkoani Iringa na kulazimishwa kulala polisi kwa siku kadhaa kabla ya kufikishwa mahakamani.

"Kwa ujumla, hali ya uhuru wa wanahabari na vyombo vya kawaida na vya mitandaoni umezidi kutoweka na kupelekea kuzuia Watanzania kupata habari sahihi na kwa wakati kwa mujibu wa Katiba," alisema.

'Kwa sasa, wanahabari wamejawa na hofu kubwa kutoa taarifa zozote watakazohisi hazitawafurahisha baadhi ya watawala," alisema.

"Tunasikitishwa na kuongezeka kwa matukio ya kupigwa na kukamatwa kwa wanahabari bila sababu za msingi na za kisheria. Wanafanya kazi katika mazingira magumu kutokana na vitendo vya unyanyasaji vinavyofanywa na polisi," alisema.

Kwa mujibu wa Olengurumwa, polisi ni chombo muhimu kinachotakiwa kusimamia uhuru na usalama wa waandishi wa habari na siyo kuwashambulia kama ilivyotokea mara kadhaa kwa baadhi ya maofisa wa polisi kutumia nguvu kubwa kuwashambulia na kuwajeruhi wanahabari wakiwa kazini.

"Ni lazima ikumbukwe kuwa kila mtu anayo haki ya ulinzi kwa mujibu wa sheria za nchi, vyombo vya dola vina wajibu wa kuwalinda raia na mali zao ikiwemo waandishi wa habari na watetezi wa haki za binadamu Tanzania," alisema.

Aliongeza kuwa matukio ya watu kuhojiwa uraia wao yanazidi kuongezeka na sasa wamefika viongozi na raia saba wanaodaiwa siyo raia licha ya kuzaliwa na kuishi Tanzania kwa maisha yao yote.

Aliwataja viongozi hao kuwa ni pamoja na Askofu wa Jimbo la Ngara, Severine Niwemugizi, Olengurumwa, Mwenyekiti wa Mtandao wa Wanafunzi Tanzania, Abdul Nondo, Mkurugenzi wa Twaweza na Aidan Eyakuze.

Wengine ni Mkurugenzi Mtendaji wa Baraza la Wanawake Wafugaji (PWC), Maanda Ngoitiko na Askofu wa Kanisa la Full Gospel Bible Fellowship, Zacharia Kakobe.

"Matukio kama haya yakiendelea kutokea hasa dhidi ya watetezi wa haki za binadamu, yataendelea kusababisha hofu na kupoteza uhuru wa watetezi wa kufanya kazi zao kwa mujibu wa katiba na sheria za nchi," alisema na kuongeza:

"Matumizi ya nguvu kupita kiasi na kutojali utawala wa sheria pia vimezidi kuchangia kuzorota kwa hali ya watetezi wa haki za binadamu nchini.

"Baadhi ya vyombo vya dola vinatumia nguvu kubwa kuingilia uhuru wa asasi za kiraia na watetezi wanapotaka kufanya mikutano ya ndani na kudai kuwa lazima wawe na vibali au hali ya usalama hairuhusu mikutano hadi ya ndani."

Waziri Mkuu Awataka Viongozi Wabadilike Kimtazamo

$
0
0
Waziri Mkuu Awataka Viongozi Wabadilike Kimtazamo
WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amewataka viongozi wanaoshiriki kozi fupi ya tano ya viongozi wahakikishe watakaporudi kwenye maeneo yao ya utendaji wawe wamebadilika kimtazamo, kihoja, kiushauri pamoja na utoaji maamuzi.

Ameyasema hayo leo (Jumatatu, Agosti 13, 2018) wakati akifungua kozi ya tano ya muda mfupi ya viongozi inayofanyika katika Chuo cha Taifa cha Ulinzi, Kunduchi jijini Dar es Salaam.

Waziri Mkuu amesema chuo hicho kilianzishwa kwa lengo la kulisaidia Taifa kujenga uwezo wa viongozi ili wanaohitimu mafunzo hayo wawe na uchambuzi wa kina na wa kimkakati ili kuweza kutatua mambo mbalimbali ya usalama wa Taifa na matatizo yanayotakiwa kushughulikiwa kimkakati.

“Chuo hiki kilianzishwa ili kuwaleta washiriki kutoka taasisi zote za Serikali na sekta binafsi waweze kujadili mambo mbalimbali ya kimkakati ili wanapokuwa wanatekeleza wajibu wao watambue kuwa ni kwa kiasi gani matokeo ya maamuzi yao yataathiri mambo ya kijamii, kiuchumi, uhusiano wa kidiplomasia na siasa za ndani kwa ujumla wake”.

Amesema ushirikiano kuhusu kutatua matatizo uanze wakati wa mafunzo hayo na uendelee hata hapo baadaye watakaporejea kwenye maeneo yao ya kazi. “Sisi viongozi wenu tunatarajia kuona kuwa mtakapohitimu mafunzo haya mtakuwa mmebadilika kimtizamo na kwamba taasisi zenu zitakuwa kwenye nafasi nzuri ya kuzungumza lugha moja”.

Waziri Mkuu amesema suala hilo ni muhimu sana katika kusukuma maendeleo ya nchi kwa haraka hususan wakati huu ambao Serikali inalenga kukuza uchumi wa viwanda, ambapo amewataka viongozi hao watambue kwamba changamoto za sasa ni mtambuka na hivyo, si rahisi kutatuliwa na taasisi moja moja.

“Changamoto hizi zimebadili hali ya nchi yetu ikiwa ni pamoja na uharibifu wa mazingira, ongezeko la watu, uhaba wa ajira, makosa ya kimtandao, ugaidi, na mengine mengi ambayo yote zinahitaji mikakati ya pamoja ili kuweza kukabiliana nayo”.

Awali, Mkuu wa chuo hicho Luteni Jenerali, Paul amesema mafunzo hayo yanayoanza leo Agosti 13 yanatarajia kuisha Agosti 17, ambapo mafunzo hayo yamelenga kuwanoa na kuwawezesha washiriki kujua mambo ya Usalama wa Taifa na uzalendo kwa nchi.

Pia watajifunza namna ya kuendesha Serikali kwa kutumia mikakati mbalimbali pasipo kuathiri usalama pamoja na kupata uzoefu katika mambo mbalimbali na kuwafanya wawe na uwezo wa kutengeneza, kuendeleza na kusimamia utekelezaji wa mikakati inayolenga kujenga na kuimarisha Usalama wa Taifa.

Dk Bashiru: Hadi Sasa CCM Imetekeleza Nusu ya Ahadi Zake

$
0
0
Dk Bashiru: Hadi Sasa CCM Imetekeleza Nusu ya Ahadi Zake
Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Dk Bashiru Ali amesema tangu Serikali ya Awamu ya Tano iingie madarakani, imefanikiwa kutekeleza nusu ya Ilani ya Uchaguzi ya mwaka 2015/20.

Ametoa kauli hiyo leo Jumatatu Agosti 13, 2018 jijini Dar es Salaam muda mfupi kabla ya kumtambulisha aliyekuwa mbunge wa Liwale (CUF), Zuberi Kuchauka, ambaye leo amejiunga na CCM.

“Chama chetu kimeendelea kujisahihisha pale yanapotokea makosa, lengo kuu ni kuhakikisha misingi ya Azimio la Arusha na Mapinduzi ya Zanzibar yanaimarishwa,” amesema.



“Katika kipindi hiki chini ya Rais John Magufuli tuko nusu ya utekelezaji wa Ilani yetu na bado tuna nusu nyingine, na katika ilani hiyo tunazo shabaha kubwa nne.”



Amezitaja shahaba hizo kuwa ni kupambana na umaskini wa wanyonge, kutengeneza nafasi nyingi za ajira hususani katika sekta ya kilimo, uvuvi, mifugo na viwanda, kupambana na rushwa na ufisadi na kuimarisha vyombo vya ulinzi na usalama ili Taifa liendelee kuwa na amani.

Amesema maeneo hayo yanatumiwa na wananchi kuwapima, kuwahoji na kuwaunga mkono. 

Amesema kazi inayoendelea kufanywa na Serikali kwa kusogeza zaidi huduma kwa wanyonge na wavuja jasho,  imesaidia kurejesha imani ya wananchi kwa chama hicho, kutolea mfano ushindi uliopata CCM katika uchaguzi mdogo wa ubunge na madiwani uliofanyika jana.

Siri Yafichuka Kifo cha Mzee Majuto Kilivyomuangusha Tausi Mdegela

$
0
0
Siri Yafichuka Kifo cha Mzee Majuto Kilivyomuangusha Tausi Mdegela
SIRI ya muigizaji Tausi Mdegela, kuangua kilio kupita kiasi kwenye msiba wa nguli wa vichekesho Bongo, Amri Athuman ‘King Majuto’ wiki iliyopita imebainika kuwa msanii huyo alikuwa ni baba yake wa hiari aliyemfundisha sanaa ambayo sasa inamweka mjini.

Akizungumza na Ijumaa wa Wikienda, Tausi alisema kuwa, Majuto alikuwa baba yake aliyemlea katika maadili mema na aliyetamani sana kumuona anafika mbali kisanaa kwani ndio aliyemfundisha na alikaa naye nyumbani kwake Tanga kwa muda mrefu kama mwanaye wa kumzaa.

“Mimi hapa nalia kwa uchungu mkubwa naumia mno kumpoteza baba yangu aliyenilea katika kazi kwa sababu ni mtu ambaye alikuwa anataka kujua hali yangu kila mara na alipenda mno kuona maendeleo yangu kila siku kama mwanaye,” alisema Tausi.

Akiendelea kuzungumza na gazeti hili kwa uchungu, Tausi alisema kuwa Mzee Majuto hata wakati anakaribia kufariki yeye alikuwa ametoka nje kidogo ya Jiji la Dar lakini alipigiwa simu na dairekta Leah Mwendamseke ‘Lamata’ na kumueleza kwamba anaitwa na Majuto na kweli akawahi kumuona kabla hajakata roho.

“Kama baba angefariki bila mimi kumuona kwa kweli ningeumia sana sana lakini nakumbuka alimwambia dada Lamata, Tausi yuko wapi ndipo aliponipigia simu na kuniambia popote nilipo nirudi nije kumuona baba na kwa bahati mbaya baada ya kumuona pale hospitali kesho yake akafariki,” alisema Tausi huku machozi yakimtoka.

Msanii huyo aliendelea kusema kuwa pamoja na kumpoteza baba yake huyo wa hiari lakini anamshukuru Mungu amemtimizia ndoto yake na ameweza kumtengenezea jina ambalo mpaka sasa anapata kazi mbalimbali za kucheza filamu.

Jacqueline Mengi Ashinda Tuzo ya Mjasiliamali wa Mwaka

$
0
0
Jacqueline Mengi Ashinda Tuzo ya Mjasiliamali wa Mwaka

Mfanyabiashara wa Samani anayeinukia kwa kasi nchini Jacqueline Mengi amenyakua tuzo za biashara za Stevie ya Mjasiriamali wa mwaka kategori ya uzalishaji kupitia kampuni yake ya Amorette Ltd.

Katika tuzo hizo sehemu ya uzalishaji (Manufacturing), tuzo ya dhahabu ya mjasiriamali ilienda kwa watengenezaji wa lishe Hauppauge, New York Marekani na ilienda kwa Jason Provenzano, ambaye ni mwasisi na ofisa mtendaji mkuu wake.

Jacqueline Mengi atakabidhiwa tuzo hiyo Oktoba 20 mwaka huu mjini London, Uingereza.
Tuzo za dhahabu, fedha na shaba zinatolewa baada ya ushindani mkali miongoni mwa washiriki 3,900 kutoka taasisi na watu binafsi wa mataifa zaidi ya 74.

Hizi ni tuzo za kimataifa zinazotolewa katika madaraja mbalimbali ya menejimenti, kampuni, masoko, mahusiano, huduma za kijamii, ujasiriamali, utoaji wa bidhaa mpya, bidhaa mpya za tehama, tuzo kwa tovuti na zaidi.

Zaidi ya watendaji 270 duniani kote walishiriki katika kuwania tuzo hizi wakifanyiwa tathmini na majaji 12.

Jacqueline Mengi ambaye ndiye Mkurugenzi mtendaji wa kampuni ya Amorette akizungumzia ushindi wake alisema amefurahishwa na ushindi huo ikionesha kwamba mchango wake duniani unatambuliwa.
Amorette ni kampuni ya kutengeneza samani zinazotokana na mbao zinazopatikani nchini Tanzania ikiwemo miti migumu.

Samani zinazotengenezwa huangaliwa kwa undani ili kukamilisha umaridadi wa samani. Yeye pamoja na kuwa balozi wa WildAid na akiwa ndani ya bodi kadhaa; mama wa watoto pacha wavulana; mke kwa mfanyabiashara mwenye mafanikio makubwa na akiendesha taasisi ya hisani ya elimu), Jacqueline huhakikisha anakagua kila samani inayozalishwa kiwandani kwake kabla ya kuuzwa au kusafirishwa.

Jacqueline, mzaliwa wa Tanzania, aliyefunzwa kubuni uzuri wa ndani, ni mwanzilishi na mbunifu mkuu wa Molocaho by Amorette, kampuni ya Tanzania inayojishughulisha na utengenezaji wa samani bora kwa namna mteja anavyohitaji, samani, nyuzi, taa, urembaji, samani za nje na kwenye bustani.
Molocaho, moja ya makampuni ya Afrika Mashariki ya samani yanayokua kwa kasi, imejipatia nafasi kubwa ya heshima kwa kuhakikisha kwamba inatumia mali ghafi na mbao njema pekee za Tanzania kutengeneza samani zenye kwenda kimataifa.

Jacqueline Mengi ni mojawapo ya watu wanaotambulika kirahisi kabisa nchini Tanzania. Mwaka 2000 alishinda taji la urembo la Miss Tanzania na kuiwakilisha Tanzania katika shindano la urimbwende la dunia (Miss World). Baada ya muda alipata heshima ya kuwa mmoja wa wanamuziki mahiri na kuweza kutoa nyimbo kadhaa zilizoshika chati Afrika Mashariki.

Pamoja na kuwa mrimbwende na mwanamuziki anasema mapenzi yake makubwa ni ubunifu wa uzuri wa ndani wa nyumba.

Kwa tuzo hiyo inadhihirisha kwamba Amorette ni chata ya kuaminika yenye mafanikio makubwa miongoni mwa watu wa daraja la juu nchini Tanzania.

Amorette, kampuni inayoshughulika na ubunifu wa masuala ya ndani ilianzisha programu ya kusimamia mafunzo kwa mafundi wa hapa Tanzania kuwafanya mafundi wa Tanzania kufikia uwezo wa kubuni na kutengeneza bidhaa zenye hadhi ya kimataifa.

Video Mpya ya Fid Q Featuring Rosa Ree Nimekuwekea Hapa..Itazame

$
0
0
Baada ya Rosa Ree Kukosekana Kwenye Wimbo wa Fresh wa Fid Q, Sasa Fid Ameamua Kutoa Wimbo Mwingine ambao amemshirikisha Rapper wa Kike Rosa Ree, Fid Amekuwa Akimfagilia Mwanadada Huyu Kiasi cha Kumpandisha Kwenye Jukwaa Mwaka Jana Kwenye Fiesta ya Dar ili waimbe nyimbo ya Fresh Pamoja...Tazama Wimbo Alioutoa Leo Akiwa Kamshirikisha:

Kwanini Baadhi ya Wanaume Wana Maumbile Mafupi na Upungufu wa Nguvu za Kiume? Suluhisho Hili Hapa

$
0
0
KWANINI BAADHI YA WANAUME WANA MAUMBILE MAFUPI NA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME DR SITTA NDO SULULISHO LAKO tatiza, hili limekuwa likiwaasili watu wengi,sana kisaikolojia hasa baadhi yao kujiona wako tofauti na wanaume wengine, kwa kawaida, mwanaume anatakiwa awe na uume, usiopungua nchi 6-7au-8 ,vinginevyo mtu huyo anamatatizo zipo , sababu nyingi zinazosababisha, tatizo hilo baadhi ni (i) upungufu wa vichocheo vya HORMONES ZA CETROGEN ambazo mwanaume, anapobarehe vichocheo hivi, HORMONES hizo, husaidia ukuaji wa uume

SUPER MIZIZI, ni dawa inayozalisha HORMONES ZA CETROGEN,na kufanya, uume kukuwa na kuongzeka sazi utakayo na kuzibua mlija iliysinyaa,

NSHOLA ni dawa bora, ya kurudisha nguvu, za, kiume bari inatibu ,kabisa kutoa tatizo hilo, na kukupa , hamu ya , kurudia tendo, la ndoa zaidi, ya mala nne 4 ,bila kuchoka atakama unaumli ,wa mika 80,! pia ana ,dawa za ,kutibu, presha ya kupanda ,na kushuka, kisukari kuondoa, mafuta , mwilini ,na maumivu ya, mgogo kiuno, dawa zipo, matazo, ya hedhi, kwa ,wanawake hedhi, zisizokuwa na, mpangilio, na kasonono, pia , vidonda ,vya, tumbo ,(STOMACHI UCLENS) IHUSHI ndoji lako.

NKANYA ni dwa ya mvuto wa kimapenzi ,mchumba mpenzi ariyekuacha, mke mme, atakuludia kwa, mda, wa msaa3 tu , ukishaitumia atarudi ,mwenyewe bila ,ugovi tena, NKOMA ni dawa kuongeza HIPS na mguu wa bia kwa wadada .

HERBON, ni, dawa, ya kuongeza, CD4, NGAKAMA ,ni dawa ya kutibu ,miguu, kufaganzi, na ,kuwaka moto, huduma zetu ,zipo ,vizuri, popote pale dawa utaletewa! DR SITTA, amebobea, kwa tiba asilia

DAR ANAPATIKANA MBAGALA, ZAKHEM, SONGEA BOMBAMBILI SHINYANGA, KAHAMA MJINI, KWA MAELEZO ZAIDI , PIGA SIMU 0763172670 au 0715172670

WOTE MNAKALIBISHWA, KAMA, UTAKUWA NA TATIZOUTAHUDUMIWA

Simba Yakimbilia Arusha Kwaajili ya Maandalizi ya Msimu Ujao

$
0
0
Simba Yakimbilia Arusha Kwaajili ya Maandalizi ya Msimu Ujao
Kikosi cha klabu ya soka ya Simba ambacho kimefika jana jijini Dar es salaam kikitokea mkoani Lindi ambako kilicheza mchezo wa kirafiki dhidi ya Namungo FC, leo kinaelekea mkoani Arusha kuendelea na kambi ya maandalizi ya msimu ujao.

Idara ya mawasiliano ya klabu hiyo imeweka wazi hilo kwa kueleza kuwa kikosi hicho kimefanya mazoezi ya leo asubuhi Agosti 13, 2018, kwenye viwanja vya Gymkhana ikiwa ni sehemu ya kujiandaa na mchezo wa Ngao ya Jamii pamoja na kuanza kwa ligi kuu Tanzania Bara.

''Baada ya mazoezi ya leo kikosi cha Simba leo kinatarajia kusafiri kuelekea mkoani Arusha ambapo kinatarajia kucheza mchezo mmoja wa kirafiki na timu ambayo tutaiweka wazi kabla ya kuelekea jijini Mwanza kwaajili ya mchezo wa Ngao ya jamii Agosti 18'', imeeleza taarifa hiyo.

Hata hivyo Simba bado haijaweka wazi juu ya hali ya nahodha wao John Bocco ambaye amekosa mechi zao zote za kirafiki kutokana na kusumbuliwa na majeruhi. Katika msimu wa 2018/19 Simba itashiriki kwenye michuano mitatu tofauti ambayo ni Ligi kuu, kombe la shirikisho nchini na klabu bingwa Afrika.

Steve Nyerere Amshukuru Faiza Alli Baada ya Kumtetea "Wewe ni Original Ulembi"

$
0
0
Steve Nyerere Amshukuru Faiza Alli Baada ya Kumtetea "Wewe ni Original Ulembi"
Kumekuwa na tetesi kwenye mitandao ya kijamii kuhusiana na Steve Nyerere ambapo wengi wamedai kuwa amekuwa mtu wa kuhudhuria misiba na kuchukua michango inayotolewa kwenye misiba anayohudhuria kutokana na kujivika bendera ya uongozi.

Kupitia mitandao ya kijamii baadhi ya waigizaji wameonekana kuguswa na maneno yanayoendelea kumuandamana Steve Nyerere kwenye mitandao ya kijamii kwa tuhuma mbalimbali,  Muigizaji Faiza Ally aliamua kufunguka na kumtetea Steve Nyerere kwa kile anachoamini anavunjiwa heshima.

 “Nimefikiria jambo hili kwa muda na nimeona nilazima nijiridhishe kwa kusema haya @stevenyerere2 amekua akichekwa na kudharaulika halafu wasanii wamekaa kimya ni kama vile hawajui umuhimu wa uwepo wake , kiukweli sijaona mwanaume bongo movie mwenye uwezo wa kusimamia chochote kama anavyo simamia Steve pindi linapotokea jambo la wito na si msiba peke yake !“

“Ni nani anaweza kusimama na si kusimama tu na kutafuta hela na michongo ?????? Na of course bongo movie ni kitu kikubwa kinahitaji mtu kama Steve ni muhimu na nafasi yake ni kipekee inatakiwa iheshimike na zaidi anahitajika …sasa anapopata kashfa na mnakaa kimya zaidi mnamcheka ni sawa hivyo? Wangapi amewasaidia kupata dili za kampeni ? Wangapi amewaombea michango ya matibabu ? Wangapi amewapa connection za hela?”

“Misiba mingapi amesimama nani angefanya ?????? na mpaka sasa anachekwa anatengenezea vikatuni vya dharau wote mko kimya …kwa nini msisimame na kukanusha shutuma anazopata ??? Hali yakuwa mnajua wengi wenu maskini na mnamuhitaji ??? Ndio atakua bora pale msaada wake unapo hitajika?”



Baada ya post hiyo Steve Nyerere alimshukuru Faiza Ally kupitia ukurasa wake wa instagram kwa kugundua kile ambacho kinaendelea kwenye mitandao ya kijamii

“Nimeangalia ulicho andika nikagundua upo tofauti na viumbe wengine yani wewe ni original ulembi hahahaha asante shemeji yangu na tupo pamoja sana kwenye shida na raha”

Kampuni ya Uber Kuanzisha Usafiri wa Boti Nchini

$
0
0
Kampuni ya Uber kuanzisha usafiri wa boti nchini
Kampuni ya huduma za usafiri inayotumia programu tumishi Uber imetangaza mpango wa kuanzisha huduma za boti Tanzania.

Kampuni hiyo kufikia sasa imekuwa ikitoa huduma za usafiri kupitia magari na bajaji.

Meneja masoko wa Uber Kanda ya Afrika Mashariki, Elizaberth Njeri amenukuliwa na gazeti la Mwananchi akisema huduma zilizopo za Uber zimefanikiwa vyema na ndio maana wakaamua kuanzisha pia huduma ya boti.

Kadhalika, Dar es Salaam ni mji wa pwani pamoja na visiwa vya Zanzibar na hivyo usafiri wa boti utafaa sana.

"Dar es Salaam imezungukwa na fukwe nzuri na visiwa vidogo vidogo lakini watu hawapati ladha halisi ya mandhari hayo kwa kuwa hawajui wanawezaje kufika huko. Huduma ya Uberboat ambayo inakaribia kuanza hivi karibuni itasaidia hilo," amesema Bi Njeri.

wiki mbili zijazo au mwezi mmoja lakini ndo hivi tumekwisha zindua. Hatutaishia Dar es Salaam na Zanzibar tu, tunatarajia kwenda na maeneo mengine kulingana na uhitaji wa soko."

Kampuni hiyo iliandaa tamasha kwa jina UberBOAT Party Jumamosi ambapo waliohudhuriwa walikuwa ni kwa mwaliko.

Kwenye app ya kampuni hiyo, kulikuwa na bango la kiungo cha UberBoat ambapo waliotaka kuhudhuria tamasha hiyo walitakiwa kukitumia kujiandikisha.

Uber imekuwa ikiendesha biashara barani Afrika kwa takriban miaka mitano sasa.

Kando na usafiri, kampuni hiyo imekuwa ikijihusisha katika biashara ya kusafirisha chakula kwa wakazi wa mijini ambapo wana huduma kama vile UberZenjiPizza ambayo ni huduma ya pizza ya Zanzibar na UberChoma ambayo ya nyama choma ikiwalenga wakazi wa Dar es Salaam.

Kampuni hiyo tayari ina huduma ya UberBoat katika maeneo mbalimbali duniani yakiwemo Croatia, Boston, Miami and Istanbul.

Vigogo Chadema Wawasilisha Maombi ya Kusimamisha Kesi Mpaka Rufaa Yao Isikilizwe

$
0
0
VIGOGO  tisa wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) akiwemo Mwenyekiti wake, Freeman Mbowe wamewasilisha maombi  ya kutaka kesi hiyo iahirishwe mpaka rufaa yao itakaposikilizwa na kutolewa maamuzi.





Maombi hayo yamewasilishwa leo Agosti 13, mwaka huu katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu na wakili wa utetezi, Jeremiah Mtobesya mbele ya Hakimu Mkazi Mkuu Wilbard Mashauri.





Katika maombi yao, upande wa utetezi unaomba mahakama ya Kisutu kuahirisha kesi hiyo mpaka hapo rufaa yao waliyofungua mahakama ya Rufani itakaposikilizwa na kutolewa maamuzi.





Washtakiwa hao walikata rufaa kupiga maamuzi ya Mahakama kuu yaliyotolewa mwezi uliopita ambayo yalitupilia mbali maombi yao ya kutaka kesi hiyo ifanyiwe marejeo juu ya uamuzi mdogo uliotolewa na mahakama ya Kisutu.





Wakili wa Serikali Mkuu, Zainabu Mango amesema wamepokea hati ya maombi hayo namba 10.2018 na kwamba wapo tayari kuwasilisha majibu kinzani kesho Agosti 14.



Wakili wa utetezi, Mtobesya ameomba wapewe muda wa siku mbili hadi Agosti 16 ili waweze kufaili majibu ya nyongeza kama watakuwa nayo.



Baada ya kusikiliza pande zote mbili, Hakimu Mashauri ameamuru upande wa mashtaka kuwasilisha majibu kinzani Agosti 14.mwaka huu na kama upande wa utetezi watakuwa na majibu ya nyongeza wayawasilishe Agosti 21, mwaka huu.



Maombi hayo yatasikilizwa Agosti 21, mwaka huu na kesi ya msingi nayo pia itatajwa Agosti 21 mwaka huu.



Washitakiwa  wengine kwenye kesi hiyo ni Katibu Mkuu wa chama hicho, Dk. Vincent Mashinji, Mbunge wa Iringa Mjini Msigwa, Naibu Katibu Mkuu Zanzibar, Salum Mwalimu na Naibu katibu Mkuu bara na Mbunge wa Kibamba, John Mnyika na wengine wanne.



Wote kwa pamoja wanakabiliwa  na kesi ya uchochezi.

Kabla ya Kunitolea Povu Nipinge kwa Data Kama Huna Wahi Ukapuuuu- Haji Manara

$
0
0
Kabla ya Kunitolea Povu Nipinge kwa Data Kama Huna Wahi Ukapuuuu- Haji Manara
Bado imekuwa ngumu moja kwa moja Tanzania kufahamu kwa data kamili kati ya Yanga SC na Simba SC ni timu gani ina mashabiki wengi zaidi ya mwenzake, upande wa mashabiki wa Yanga wanaamini wao ndio wana mashabiki wengi zaidi ya Simba na Simba wanaamini hivyo hivyo wao wana mashabiki wengi zaidi ya Yanga.

Club za Simba na Yanga zimepishana mwaka mmoja tu kuanzishwa kwake, Yanga ikianzishwa mwaka 1935 na mwaka mmoja baadae ikaanzishwa Simba SC, hivi ndio vilabu vikongwe zaidi Tanzania, msemaji wa Simba Haji Manara kama kawaida yake leo amepost picha ya kuwakosoa wanaosema Yanga ndio club yenye mashabiki wengi zaidi.



“Siku hz sisikii zile lugha za walevi eti Yanga ndio team ya Serekali au kujiita team ya Wananchi!!
Nchi yetu Serekali haina team na Wananchi ni Watanzania wote!!
Taasisi zote rasmi na kwa vigezo vyovyote vile zimethibitisha pasi na roho mbaya kuwa Simba ndio klabu inayoongoza kwa kuwa na mashabiki wengi zaidi Tanzania.anzia kwa kujaza viwanja kote nchini na hata dunia ya social media tumewacha maili milioni Gongowazi..
Kiufupi haipo na haijaundwa any footboll club inayoweza kujaza umma huo kwenye friend match Afrika nzima
Kabla ya kuntolea povu nipinge kwa data kama huna wahi kwenye lindi ukapuuuu

Kama Ulikuwa Unajiuliza Wanawake wa Mjini Wanaishije Bila Kazi na Huku Wanamaisha Mazuri Soma Hii

$
0
0

Msichana akitaka PERUVIAN HAIR mpya wala
hahangaiki sana...Anaingia kwenye PHONEBOOK yake
anachagua Madanga yake 20 anayoyaamini kwamba
hayawezi kumuangusha...AnaCOMPOSE Meseji
Tamuuu ambayo kila danga likipokea linahisi hiyo ni
Meseji yake peke yake. "Babe Mambo,Nimekumiss leo hadi nimekuota yaani
nimeamka So Wet I really miss my Pompolimpo,pole
na kazi mme wangu I wish I was there nikumassage
na Ulimi hadi usinzie..Leo Niko zangu tu home sijatoka
nlikuwa naangalia Muvi mara LUKU imekata hapa na
sina hata Salio.Una Sh 30,000 unitumie ninunue Luku babe wangu?Please maana kutoka mpaka ATM saa hizi usiku.Love you xoxoxo"


Akimaliza Anatengeneza BROADCAST LIST
anawaweka yale Madanga humo halafu anatafuta
Option inaitwa SEND TO MANY,anafowadi lile meseji
TWAAAAP!!Anauchuna kama dakika 5 hivi,meseji za Muamala zinaanza kutiririka kutoka Ukonga mpaka Tegeta, Sinza mpaka Makongo Juu

"Imethibitishwa umepokea 30,000 kutoka kwa Rajabu
Kistuli"

"Imethibitishwa umepokea 32,000 kutoka kwa Justine
Kipipa" Nusu saa tu kashakusanya LAKI 6 kesho yake
anaamka anaenda dukani kwa @heavenhairtz
anaagiza Peruvian yake ya Inchi 6 jioni unamkuta
NEWS CAFE anawaka huku anakunywa Milkshake ya
Vanilla.

We unabaki kujiuliza Demu wa 1st year ana iPhone 7
kaipata wapi na Bodi ya Mikopo haijaingiza
BOOM, wenzio wana MABOOM BINAFSI wanaCLICK tu
hela kibwena.

Demu akiamua Kupauka ni Maamuzi binafsi tu,Wana Mbinu hawa Viumbe Balaa, kufa njaa labda awe Mgoloko wa Tandahimba amekuja juzijuzi na Fuso la Mafenesi ila watoto wa mjini hawaishiwi!

Je Unajua nini Maana ya Shanga Kiunoni Mwa Mwanamke? Soma Hapa Mwanzo Mwisho

$
0
0
Kwa wale wanaopenda kuvaa shanga najuwa wengi mtakuwa mnafahamu rangi na maana zake lakini kwa wale wasiojuwa je ama wanaopenda kuvaa lakini wanajinunulia rangi yeyote na kwa wanaume wanaopenda wanawake zao wavae shanga ni kusisimuana tu je mnafahamu zinamaanisha nini haya sasa..

katika swala la mahaba shanga hutumika kusisimuana haswa pale utakapompata mwanaume anayejuwa kuzitumia vizuri na unaweza kuvaa hata kumi ukitaka kuna wengine wanananunua rangi kama pink, blue, gold hizi rangi hazina maana kwenye sita kwa sita ni urembo tu kupendezesha kiuno.

Kiuno cha mwanamke hupendeza zaidi na kuvutia kama kikipambwa kwa kukivalisha shanga,Nami nakupa maana na kazi ya shanga hizo....

1: UNAWEZA UKAZIVAA KAMA UREMBO..

Kuna baadhi ya wanawake siku hizi wanapenda kuvaa shanga kama urembo,na kusema kweli kiuno cha mwanamke kikivalishwa shanga kinapendeza na kuongezeka mvuto,Sio tu kwa wanaume bali hata kwa wanawake pia,ukivaa shanga kiuno chako kitapendeza .
Kama unatamani kujaribu,ondoa uoga,kanunue kisha na wewe uvae pia.

2: HUONGEZA HAMU NA MZUKA WA KUKATA KIUNO WAKATI WA KUPEANA RAHA..

Hushawahi kuwaona baadhi ya wanawake wanapokuwa wanacheza ngoma,kiunoni huvaa kitu kinachoitwa kibwebwe ambacho huwafanya wajifeel wepesi wa kukata miuno,baadhi ya wanawake pia huvaa shanga kwa ajili ya kufanya iwe rahisi kwao kukatika na viuno vionekane kweli vinakatika.Na pia wanasema sio tu zinawasaidia kukata kiuno vizuri lakini pia zinaongeza mvuto mwanaume akiangalia kiuno kilichovalishwa shanga kikikatika.



3: UNAWEZA UKAZIVAA KWA AJILI YA KUMPA HAMU YA KUPATA RAHA MWANAUME..

Asilimia kubwa ya wanaume wakiona kiuno kimevalishwa shanga,haijalishi kama ni barabarani au ndani ya basi,Lazima mashine zao zipate shida ya kujizuia kusimama bila kupenda.Ki ukweli ukiziona shanga zipo kiunoni lazima upate hamu kama wewe ni mwanaume wa ukweli,kwahiyo kama huna mazoea ya kuzivaa,na ulikuwa unapenda kufanya au kuongeza kitu kipya kwenye uwanja wenu wa kupeana raha na utamu,basi nenda kanunue shanga,kisha uzivae ukiwa peke yako kwa ajili ya kumsuprise mpenzi wako.
Utajua kama anazipenda kwa jinsi atakavyokuwa bize kuzishikashika na kuzitomasa muda wote mkiwa mnapeana raha.

4: UNAWEZA UKAZIVAA UKIWA UNAMAANISHA KITU.

Kuna baadhi ya wanawake wanazivaa shanga kwa kutumia rangi ambazo zitaleta maana au ujumbe ambao anataka umfikie yule aliyemvalia,mara nyingi huwa inaleta maana au ujumbe utafika kama mwanaume husika atakuwa anaelewa maana ya hizo rangi za shanga.
Zifuatazo ni rangi za shanga na maana yake..

NYEKUNDU....

Kama ukikuta mwanamke amevaa shanga za rangi nyekundu,basi ujue yupo kwenye siku zake ( Hedhi ). Kwa hiyo unaweza kumuuliza ili upate uhakika zaidi usije ukaingiza mashine ukaishia kujichafua.

NYEUPE..

Ukikuta mwanamke amevaa shanga za rangi nyeupe basi ujue kuwa kwa muda huo,Hana tatizo lolote litakalomzuia kukupa wewe raha,kwahiyo upo free kufanya chochote kwenye mwili wake.

NYEUSI..

Ukikuta mwanamke amevaa shanga za rangi nyeusi,basi ujue kuwa yupo tayari kukupa raha,lakini tatizo bado hajanyoa nywele zake za sehemu za siri kwa hiyo waweza kumnyoa kama kweli upo romantic au ukaacha siku hiyo ipite ili anyoe baadaye au kama hamu imekuzidia sana unaweza ukaendelea kama kawaida.

5: UNAWEZA UKAZIVAA ILI UJIONGEZEE RAHA WEWE MWENYEWE WAKATI WA KUPEANA RAHA..

Kiuno cha mwanamke kimeumbwa na hisia za kimahaba,na ndio maana ukikitomasa au ukikipapasa,lazima mwanamke apate raha.Ukiwa unapewa raha na mwanamke aliyevaa shanga,Wakati wa kupashana joto,usisahau kuzichezea shanga zake kiunoni.Kama style mnayotumia kwa wakati huo inaweza kuruhusu mikono yako ifike kiunoni pake basi peleka mikono yako,Chezea shanga kwa kuzipapasa kutoka juu kwenda chini au kutoka chini kwenda juu,au vyovyote unavyoweza.ukifanya hivyo hizo shanga zake zitakuwa kama zinamtekenya,na atapata raha na utamu wa kipekee sana.Utaenjoy makelele na miguno ya kimahaba atakayokuwa anazidisha ili uendelee kufanya mwanzo mpaka mwisho.

N:B

KAMA UKIONA MPENZIO HAFURAHII SHANGA,UNAWEZA KUVAA CHENI,IWE YA GOLD AU SILVER...sababu ni kuwa ni raha sana kukipamba kiuno cha mwanamke.

Msichana Wangu Kanipa Kisonono, Nimuache au Niendelee Naye?

$
0
0
Nina msichana wangu nimedumu naye miezi miwili sasa.

Ni mzuri balaa na kwa muonekano wa nje anaonekana ni binti anayejisheshimu haswa, nilipata shida sana mpaka kumpata.

Lakini cha ajabu ndo amenipa kisonono. Nimepata hasira sana, natamani kumuacha lakini roho inasita, naona kama sitopata mzuri kama yeye.

Nifanyaje sasa wakuu?

Mnanisaidiaje kwa hili?
Viewing all 104709 articles
Browse latest View live




Latest Images