Quantcast
Channel: UDAKU SPECIAL
Viewing all 104417 articles
Browse latest View live

Kimenuka...Mbosso wa WCB Amtaka Rich Mavoko Atoe Ushahidi wa Kunyonywa WCB

0
0

Msanii kutoka WCB mbosso amefunguka kwa waandishiwa habari na kusema kuwa msanii rich  mavoko ambae amekuwa akitangaza kuwa WCB wanafanya kazi ya unyonyaji kwa wasanii wao ni uongo na kama kweli basi aje na kitu cha kuthibitisha maneno yake kama ni kweli.

Mbosso anasema kuwa kwa muda wote aliokuwa akifanya kazi wasafi mpaka sasa anaona kabisa kuwa hajarudisha hata robo ya kile alitakiwa kukirudisha kwa mambo ambayo amefanyiwa na WCB kwa muda wote.

mimi tangu nianze kuingiza kaz wasafi, sinaona kama nimerudisha mema niliyofanyiwa na WCB,  ile ela waliyowekeza kwangu bado sijarudisha hivyo nikiambiwa kuwa nina nyinya kwakweli binafsi nitakata kwa sababu naona mimi ndio ninawanyinya wao.

kwaio unaponiambia kuwa Mboso unanyinywa WCB basi uje na ushaidi kuwa nina nyonywaje.

Wasafi ina wasanii wengi sana ambao wamekuwa wakifanya kazi chini ya lebo hiyo lakini, Rich ni msanii wa kwanza kutoka WCB huku akisema kuwa sababu kubwa ni unyonyaji unaofanya na wasafi katika kufanya kazi na malipo lwa wasanii wao.

Sababu ya wanawake kutotumia uzazi wa mpango yatajwa

0
0

Wataalamu wa afya wamesema jitihada za kutoa elimu ya uzazi wa mpango zinakabiliwa na changamoto ya kibajeti baada ya serikali kutenga bajeti ya zaidi ya shilingi bilioni 14 na kutoa shilingi bilioni mbili tu hali iliyongia upungufu mkubwa wa watoa huduma wenye uwezo na kusababisha asilimia 62 ya wanawake kutotumia uzazi wa mpango hapa nchni. 

Wakizungumza na vyombo vya habari,meneja wa  utetezi wa mradi wa uzazi wa mpango kutoka shirika la kimataifa la uzazi wa Mpango-AFP- Bwana James Mlali asema asilimia sita ya wanawake kote nchini wanatumia njia za asili na asilimia 32 wanatumia Njia za kisasa za uzazi mpango na kuitaka serikali kuweka nguvu za kutosha ili iweze kufikia azma ya kufikia asilimia 45 ya Wanawake watumie uzazi wa mpango ifikapo mwaka 2020. 

Akielezea kuhusu umuhimu wa uzazi wa mpango katika kukuza uchumi wa viwanda, afisa utetezi na tathimini wa mradi wa huduma yauzazi wa mpango amesema idadi kubwa ya wanawake hapa nchni hawashiriki katika shughuli za kiuchumi hasa katika kipindi hiki cha kuelekea uchumi wa viwanda kutokana na kuelemewa ulezi wa familia kubwa hali inayowababishia kukosa fursa za kujiendeleza kielimu na kiuchumi.

DC Muro kuanza kuwashughulikia wanaume waliotelekeza watoto

0
0

Mkuu wa Wilaya ya Arumeru  Jerry Muro ametoa mwezi mmoja kwa wanaume waliotelekeza watoto wilayani humo  kuhakikisha wanaanza kutafuta watoto wao  na kuanza kuwahudumia . 

Dc Muro Alisema baada ya muda aliotoa kuisha ataanza kuwakaribisha Wanawake wote wanaoishi wilayani humo  waliotelekezewa watoto kupeleka Malalamiko yap ofisini kwake. 

Muro alitoa  maagizo hayo juzi wakati Akizungumza na waandishi wa habari juu ya hali ya utelekezji wa watoto wilayani humor, Alisema lengo la zoezi hilo ni kupunguza idadi ya watoto wanaoishi katika mazingira magumu ,hatarishi na wanaojihusisha na uhalifu na wale wanaozurura na kuzagaa mitaani kwa kukosa malezi ya Wazazi wawili. 

" Nichukue fursa hii kuwataarifu akinamama na akinadada waliozalishwa na kutelekezewa watoto na kuachwa wabebe Mzigo wa kuwahudumia watoto WAP, Natoa mwezi mmoja kwa kila mwanaume anayejua huko Arumeru aanze kutafuta mtoto aliyemtelekeza"Alisema Muro 

Aidha Dc Muro Alisema licha ya serikali kutangaza Elimu bure kwa wanafunzi wako baadhi ya wanafunzi ambao wanakwenda  Shule bila sare  ya Shule madaftari au viatu huku moja ya sababu inayochangia hali hiyo ikiwa  ni kutelekezwa na baba zako. 

" Nitoe rai tu najua wako watu watakaokaidi naomba wajifunze kupitia zoezi lililofanyika Dar es salaam likiongozwa na Mkuu wa Mkoa huo Paul Makonda zoezi la Arumeru nitakuwa Kali zaidi kuliko la Dar, wajue zoezi limeisha huko na limetua Arumeru Alisema.

Habari Zilizopo Katika Magazeti ya Leo Alhamisi ya Agosti 16

0
0

Habari Zilizopo Katika Magazeti ya Leo Alhamisi ya Agosti 16

Tunatibu Na Kuponesha Kabisa Upugufu wa Nguvu za Kiume, Busha, Kisukari na Vidonda vya Tumbo

0
0
TUNATIBU NA KUPONESHA KABISA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME UUME MDOGO? BUSHA BILA KUPASUA KISUKALI NA VIDONDA VYA TUMBO? asilimia kubwa ya wanaume wanaupungufu wa nguvu za kiume NA maumbile madogo

NI NINI KINACHOSABABISHA UUME KUZIDI KUWA MDOGO NA WEMBAMBA 1 kuugua chango LA uzazi 2 unene kupita kiasi 3 kuvaa nguo au chupi za kubana 4 kupiga punyeto kwa mda mrfu ,NI NINI TIBA YAKE MAKAKANUA MIX nidawa ya mitishamba iliyochanganywa NA mizizi kumi NA mbili urfusha NA kunenepesha UUME saizi upendayo ich 5,6,7, NA 8 kwa urfu NA sentimita 3,4, na 5 ipo dawa ya kunywa na kupaka NI NINI KINASABABISHA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME 1 kupungukiwa kwa homoni ya testerone 2 kuhudhurika kwa Neva au uti wa mgongo 3 utumiaji holela wa madawa ya kizungu 4 usongo wa mawazo na asira 5 utumiaji wa vyakula vya mafuta mengi NI NINI TIBA YAKE MAPRO POWER NO 2 NDIO tiba tosha kwa sasa kwani utibu matatizo matatu kwa pamoja 1 itakufanya uchelewe kufika kileleni dk 15 adi 20 ,2 itakufanya urudie tendo zaidi Mara tatu 3 uhimalisha uume uliolegea na kusinyaa OKOA NDOA YAKO SASA ujihepusha na lawama ndani ya ndoa yako au pale ukutanapo na mpezi dawa hii itamfanya mpenzi wako hakueshimu na hasitoke nnje ya ndoa na ata wazee wenye umri mkubwa wanapona zipo dawa za kupunguza kitambi,minyama uzembe, presha ,kisukar mvuto wa mpezi au biashara

FIKA OFISINI KWETU MBAGALA ZAKHEMU na wateja wa kanda ya ziwa yupo wakala wetu mwanza mjini au piga simu 0752348593

DR MABULA na utaletewa popote ulipo uduma hizi

Profesa Kabudi Atema Cheche Dodoma, Akerwa na maamuzi kufanyika bila Ofisi ya Mwanasheria Mkuu kuarifiwa

0
0
WAZIRI wa Katiba na Sheria, Prof. Palamagamba Kabudi amesema kuanzia sasa mawakili walioko kwenye Ofisi ya Mwanasheria Mkuu na wanasheria wote katika Wizara, Mamlaka za Serikali za Mitaa na taasisi za Serikali watakuwa ni Mawakili wa Serikali.

Ametoa kauli hiyo jana mchana (Jumatano, Agosti 15, 2018) kabla hajamkaribisha Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa ahutubie wageni waliohudhuria uzinduzi wa Ofisi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Ofisi ya Taifa ya Mashtaka na Ofisi ya Wakili Mkuu wa Serikali jijini Dodoma.

“Kwa miaka mingi kumekuwa na ombwe la usimamizi wa wanasheria walio kwenye utumishi wa umma. Maamuzi mengi yamekuwa yakifanyika pasipo Ofisi ya Mwanasheria Mkuu kuwa na taarifa. Mambo yanapoharibika ndio Ofisi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali inataarifiwa ili kuokoa jahazi,” alisema.

Alisema hali hiyo kwa miaka mingi imekuwa ikiisababishia Serikali kuingia kwenye migogoro na kuingia hasara. “Baada ya mabadiliko haya, wanasheria wote walioajiriwa katika utumishi wa umma wanakuwa wanafanya kazi na kutumia mamlaka ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali ndani ya wizara zao, taasisi zinazojitegemea na Mamlaka za Serikali za Mitaa,” alisema.

“Vilevile wanasheria hao watakuwa chini ya uangalizi wa Mwanasheria Mkuu wa Serikali. Nia ya mabadiliko haya ni kumuwezesha Mwanasheria Mkuu wa Serikali awe na usimamizi juu yao na kuwazuia kufanya kazi bila kufuata maelekezo ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali.”

Prof. Kabudi alisema mashirika yote ya kimkakati kama vile Bandari, TANESCO nayo pia yataletwa chini ya Ofisi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali ili kuepuka kuitia Serikali hasara. “Serikali imewekeza fedha nyingi kwenye mashirika haya, lakini kuna maamuzi yanafanyika wakati Ofisi ya Mwanasheria Mkuu haina taarifa,” amesema.

“Kutokana na  marekebisho hayo, Ofisi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali itaratibu na kusimamia Mawakili wa Serikali walio katika Ofisi hiyo na wanasheria wote katika Wizara, mamlaka za serikali za mitaa na taasisi za Serikali ambao sasa watakuwa ni Mawakili wa Serikali. Aidha, Mawakili wa Serikali walio katika Ofisi ya Taifa ya Mashtaka na Ofisi ya Wakili Mkuu wa Serikali watakuwa chini ya uratibu na usimamizi wa Mkurugenzi wa Mashtaka na Wakili Mkuu wa Serikali,” amesema.

Amesema marekebisho hayo yanatokana na marekebisho ya muundo wa Ofisi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali kupitia matangazo ya Serikali Na. 48, 49 na 50 ya tarehe 13 Februari, 2018.

“Leo tunamshukuru sana Mheshimiwa Rais kwa kufanya marekebisho hayo. Rais alianzisha Ofisi huru ya Taifa ya Mashtaka kuchukua nafasi ya iliyokuwa Divisheni ya Mashtaka chini ya Ofisi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali. Vilevile, Rais alianzisha Ofisi ya Wakili Mkuu wa Serikali kwa ajili ya kutekeleza majukumu ya usimamizi na uendeshaji wa mashauri ya madai yakiwemo ya kikatiba ambayo Serikali ni mdaawa ambayo awali yalikuwa yakishughulikiwa na Ofisi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali,” amesema.

Amesema marekebisho hayo yanakusudia kuongeza ufanisi katika uendeshaji wa mashtaka ya jinai nchini hususani utekelezaji wa azma ya Serikali ya kutenganisha shughuli za upelelezi na uendeshaji wa mashtaka. “Kuanzishwa kwa Ofisi ya Wakili Mkuu wa Serikali kunalenga kuimarisha usimamizi na uendeshaji wa mashauri ya madai na pia kuiwezesha Ofisi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali kuimarika katika weledi na ubobezi wa kitaalamu katika kuishauri Serikali na kuandika Miswada ya Sheria kwa kuzingatia mabadiliko makubwa katika tasnia ya sheria kitaifa, kikanda na kimataifa,” ameongeza.

Hata hivyo, Prof. Kabudi alionya kwamba mabadiliko yoyote hayawezi kuleta matokeo yaliyokusudiwa kama watendaji hawatabadili mtizamo wao. Ni kweli muundo uliobadilishwa ulikaa kwa miaka mingi na inawezekana mambo mengi yalikuwa yanafanyika kwa mazoea. “Kutokana na mabadiliko haya, tunakiri kuwa mitizamo yetu na ya watumishi wenzetu lazima ibadilike. Tumejipanga kuhakikisha kuwa watumishi hawafanyi kazi kwa mazoea ili wasiwe na tashwishwi wala ajizi katika kutekeleza majukumu ya umma.”

“In public service, learn to swallow your pride. In public service, learn to learn your limits. In public service, learn to obey the authority above you, and if you don’t, resign and quit,” alisisitiza.

“Tumejipanga kufanya kazi kwa weledi na katika hili tutaweka mikakati ya kuwaongezea watumishi wa ofisi hizi ujuzi katika maeneo mahususi, na katika hilo tutaweka mipango ya kuwafanyia placement ndani na nje ya nchi ili wapate ujuzi mahususi na kuhakikisha wanapata mafunzo ya muda mfupi na mrefu katika maeneo mbalimbali.

Alisema wameanza mkakati wa kuanzisha umoja wa wanasheria walio katika utumishi wa umma ili kuwawezesha kukutana mara kwa mara na kwamba Agosti 30-31 mwaka huu, wanatarajia kufanya mkutano huo ili kuwaunganisha wanasheria wote wajione wanafanya kazi moja na katika Serikali moja.

IMETOLEWA NA:
OFISI YA WAZIRI MKUU

Mwanamitindo Calisah Apata Zali la Mentali Mr Africa 2018

0
0
Mwana-mitindo anayezidi kuja kwa kasi Bongo, Calisah Abdulhamiid, amepata zali la kwenda nchini Nigeria kwa ajili ya kushiriki Shindano la Mr Africa International, ambalo linachukua mtu mmoja toka Afrika na kumpeleka nchini humo.  Akizungumza na Star Showbiz, Mwanamitindo huyo alisema kwamba, imekuwa ni furaha kubwa sana kwake kualikwa kwenda nchini humo kwa ajili ya kushiriki Mr Afrika, hivyo anaimani kubwa kuwa atafanya vizuri na Tanzania itakuwa namba moja na ndiyo maana sasa hivi anafanya sana mazoezi.

“Nilitumiwa barua mwaka jana ya kwenda kushiriki Mr Africa International, lakini nilishindwa kwenda kwa sababu kwanza nilichelewa kupata barua yao halafu pia nilitakiwa kujilipia tiketi ya ndege mwenyewe kwenda na kujilipia hoteli kwa siku kadhaa ambazo ningekuwepo huko.

“Lakini kwa bahati nzuri tena mwaka huu wamenitumia tena mwaliko, kwa hiyo natakiwa kwenda Nigeria mwezi wa 10 kwa ajili ya hayo mashindano na mimi ndiyo Mtanzania pekee ambaye nimechaguliwa kwenda na ninajua kabisa nitashinda,” alisema Calisah

Tume Ya Uchaguzi Yaujibu Ubalozi wa Marekani Sakata la Uchaguzi wa Marudio Kuwa na Dosari

0
0

Tume ya Taifa ya Uchaguzi imekiri kuona tamko lililotolewa na Ubalozi wa Marekani Tanzania kupitia tovuti yake  linalohusu uchaguzi mdogo uliofanyika  Agosti 12 mwaka huu.

Taarifa hiyo ya Ubalozi ilionesha masikitiko makubwa kuhusu namna mchakato wa uchaguzi katika Kata 36 na Jimbo la Buyungu ulivyofanyika.

NEC imeutaka Ubalozi wa Marekani nchini uthibitishe madai yao kuhusu uchaguzi mdogo wa jimbo la Buyungu na kata 36.

==>>Hili ni tamko la NEC


Fred Lowassa Ajiondoa Kuwania Ubunge Monduli

0
0
Kada wa Chadema, Fred Lowassa leo Agosti 15 amejiondoa kwenye kinyang’anyiro cha wanaowania kuteuliwa na chama hicho kugombea ubunge jimbo la Monduli.

Baada ya kujiondoa, Chadema kimempitisha diwani wa kata ya Lepurko, Yonas Masiaya Laizer kuwania ubunge wa jimbo hilo.

Fred, ambaye ni mtoto wa Waziri Mkuu Mstaafu, Edward Lowassa alichukua fomu ya kuwania ubunge jimbo hilo wiki iliyopita.

 Aliyekuwa mbunge wa jimbo hilo, Julius Kalanga, alijiuzulu uanachama wa Chadema na ubunge na kuhamia CCM. Kalanga ameshateuliwa na CCM kugombea ubunge jimbo hilo.

Akizungumzia uamuzi wa Fred, katibu wa Chadema mkoa wa Arusha, Amani Golugwa alisema baada ya kushauriana, vikao vya uteuzi vilikubali kuondoa jina lake.

"Ni kweli nathibitisha kuwa ameomba kwa sasa si wakati muafaka licha ya kuwa alionesha nia awali na wananchi wengi walimuunga mkono, hivyo chama kimekubali maombi yake na kimempitisha mgombea mwingine,"amesema Golugwa.

Steve Nyerere Afunguka Skendo ya Kuchikichia na Rambi Rambi...Adai Hata Acha Kusimamia Misiba

0
0
MCHEKESHAJI maarufu Bongo, Steven Mengere ‘Steve Nyerere’, ameibuka na kufungukia skendo ya kuandaa misiba kisha kuchafuka kwa madai kuwa amechikichia rambirambi.

Akizungumza na Amani juzikati mara baada ya kujitoa kuratibu msiba wa mchekeshaji Amri Athuman ‘King Majuto’, Steve alisema suala hilo halimuumizi kichwa kwa sababu kutoka ndani ya nafsi yake anaamini kwamba hachakachui fedha, na anamshukuru Mungu kwamba hivi karibuni wasanii wenzake wamemtia moyo kwamba asiache.

“Angalia wasanii wenzangu wengi sasa hivi wameonesha kuniunga mkono hivyo sitaacha kusaidia pindi misiba inapotokea kwani wamenitia moyo kwamba ninastahili kuwaunganisha katika matatizo,” alisema Steve.

Stori: Memorise Richard

Weka Vizuri Muonekano Wako Kwa Kutumia Products za Dr Kessy

0
0
Dr_kessy_product_pendeza WEKA POUWA MUONEKANO WAKO NA WAKUPENDEZE TUMIA BIDHAA NA UREMBO NA TIBA ASILI ZISIZO NA MADHARA KWA MATUMIZI YA KIAFYA ZIMETENGENEZWA KWA MIMEA ASALI NA MATUNDA MATOKEO NIMAZURI KUANZIA WEEK 1$3$4🍒🌾🍊


1- KUTOA MVI SUGU @130,000/=
2-KUZA NYWELE NA KUZIJAZA@120,000/=
3-TENGENEZA NA KUONGEZA UMBO LAKO HIPS NA KALIO MAPAJ
(A)kupaka@100,000/
(B)vidonge $kunywa @130,000/=
4-ONDOA NYAMA UZEMBA ZAAINA YOYOTE @100,0000/=
5-TOA KITAMBI NA KUKIMALIZA KABISA
(A)kupaka@100,000/(B)sliming$vidonge @130,000/
6-PUNGUZA MWILI MZIMA NA KUKATA KILO ANZIA Kg15_20
(A)sliming$vidonge 130,000/=
7-KUPUNGUZA KIFUA NA KUSIMAMISHA MAZIWA(braa cream)@100,000/
8-ONGEZA KIFUA (maziwa)@100,000/=
9-ONGEZA UNENE WA MWILI MZIMA KWA MTU YEYOTE@100,000/
10-ONDOA MICHIRIZI (strech mark)90,000/=
11-KUTOA(makovi mipasuku,Chunus Madoa@80,000/=
13-KUWA MWEUPE WAKUPENDEZA KWA
(A(sunshine cream) mafuta@120,000/
(B)vidonge@130,000/
14-KUTOA VINYWELO MWILINI NA NDEVU @100,000/
15-ONGEZA NGUVU ZA KIUME NA KURUDISHA HAM LA TENDO
(A)jeli@100,000/
(B)vidonge aina zite vipo@120,000/
16-KUONGEZA MAUMBILE YA KIUME NA KUNENEPESHA ANZIA NCHI 6$12
(A)handsome up Mashine @200,000/
(B)kupaka$vidonge @130,000/=
17-ONGEZA MGUU (Chupa yabia)100,000
18-RUDISHA USICHAN (bikra)@100,000/=
19-RUDISHA HAMU YAKULA NA HAMU YA TENDO@100,000/
20-ONDOA MIKUNJO USONI(makonyanzi)@70,000/=
21-MIKANDA YA KUPUNGUZA TUMBO
(A)kawida@100,000/
(B)mcro computer@ 200,000/=
22-ONDOA NGIRI YAKUPANDA NA KUVIMBA@100,000/=
23-RUDISHA NYWELE KICHWANI(kipara)150,000/=NA HUDUM ZINGINE🍒🌾🍊


TUNAPATIKANA DAR ESALAAM NA NCHI NZIMA NA NNJE YA NCHI PIA UTALETEWA POPOTE ULIPO NA(garantii ipo piga cim namba hizi👇👇 (+255)0719955528
0785371237
0756259180 @dr_kessy_product_pendeza @dr_kessy_product_pendeza
@dr_kessy_product_pendeza
Delivery POPOTE ULIPO

Umri Sio Tatizo Katika Kufanya Kazi- Mwasiti

0
0
Umri Sio Tatizo Katika Kufanya Kazi- Mwasiti
Msanii wa Bongo Fleva Mwasiti Almasi, amefunguka na kudai umri wake hauwezi kuwa tatizo la yeye kutokuendelea kujihusisha na masuala ya muziki kwa kuwa ana imani bado ana uwezo mkubwa wa kuitendea haki sanaa.

Mwasiti ametoa kauli hiyo kwenye kipindi cha Planet Bongo kinachorushwa na East Africa Radio leo Agosti 15, muda mchache alipomaliza kutambulisha wimbo wake mpya wa 'Mapene' ulioandikwa na Marioo kwa kushirikiana na yeye mwenyewe huku ukitayarishwa na Kimambo.

"Sijawahi kukata tamaa na muziki, bado nina uwezo wa kuufanya. Toka nimeanza muziki naweza kusema nimeweza kutimiza zaidi ya asilimia 60 ya malengo yangu. Umri sio tatizo katika kufanya kazi maana hata ukimuangalia Joseph Haule 'Prof. Jay' ni Mbunge lakini 'still' anaendelea kufanya muziki", amesema Mwasiti.

Pamoja na hayo, Mwasiti ameendelea kwa kusema "hata nje ya nchi kuna wasanii wenye umri mkubwa lakini huwasikii wameacha kufanya kazi, licha ya kuwa kuna umri ukifika huwezi kuendelea kuonekana juu ya majukwaa kufanya show".

Kauli hizo za Mwasiti zimekuja baada ya wadau wengi kuamini vichwani mwao, kuwa wasanii wa zamani hawana uwezo wa kuendelea kimuziki katika nyakati za sasa, kutokana na kuwepo wimbi kubwa la wasanii chipukizi na kubadilika soko la kibiashara.

Baraka Atangaza Kuachana na Naj , Asema Yuko Single

0
0
Baraka Atangaza Kuachana na Naj , Asema Yuko Single
Msanii wa  bongo fleva kutoka katika lebel ya bana music , Baraka the prince amethibitisha kuachana na mpenzi wake wa siku nyingi Naj  Datan ambae muda mwingi amekuwa akiihsi nje ya nchini.

Katika ukurasa wake wa instagram, Baraka aliweka ujumbe wenye maana kuwa sasa hivi yuko single na hakuna mahusiano kati ayke na mwanamke yoyote kitu kinachofanya kupigia mstari kuwa hayuko katika mapenzi tena na naj.

Ikumbukwe kuwa hivi karibuni kulitokea teesi kuwa msanii huyo Baraka the prince alibadilisha dini ili kufuata dini ya mwanadada Naj, hivyo kama wameachana bado haijajulikana kama msanii huyo atabaki katika dini aliyobadilisha au atarudi katika dini yake

Mimi Sina Ugomvi na Zari -Sallam K

0
0
Mimi  Sina Ugomvi na Zari  -Sallam K
Moja yamabosi wa msanii Diamond Platinumz,  Sallam k amefunguka na kusema kuwa pamoja na kwamba hakuna mahusiano mazuri kati ya msani wake diamond na mama  wa watoto wake  lakini kwa upande wake na mwanamama huyo mahusiano yao ni mazuri na hakuna ugomvi wowowte.

Sallam anasema kuwa pamoja na yote lakini Zari na yeye wamekuwa wakiwasliana hata kuambiana maswala ya kibiashara na kama kuna ushauri wamekuwa wakipeana hivyo kwa upande wao hakuna shida yoyote.

Loading...
mimi na zari hatuna tofauti yoyote, mpaka tunawasiliana na kupeana madili ya kibiashara na kama kuna ushauri anataka ninampatia.

Ikumbukwe kuwa Zari na Diamond wameachana kwa muda mrefu lakini wau wa karibu na msanii huyo wamekuwa wakiendelea kuwa na mahusiano nae pamoja na migogoro yote iliyopo kati ya wazazi hao.

Donald Trump Aondolewa Ulinzi Mkuu wa Zamani wa CIA

0
0
Mkuu wa Zamani wa CIA Aondolewa Ulinzi
Rais Donald Trump ameagiza kuondolewa ulinzi wa aliyekuwa mkuu wa shirika la ujasusi la Marekani CIA John Brennan,akidai kwamba ni mtu asiyetabirika katika uadilifu na asiyefuata misingi.


Kupitia ukurasa wake wa Twitter Brennan amesema kuwa hatua hiyo ni mwendelezo wa jitihada za Rais Trump kudidimiza uhuru wa kujieleza na kuwandama wakosoaji wa utawala wake.

Amesisitiza kuwa hili jambo linalopaswa kutiliwa mashaka na raia wote wa Marekani kuhusiana na mwenendo huu wa rais,na kuwatahadharisha pia wataalamu na wana usalama kuwa makini na hatua hizi za Trump

Brennan mapema alikaririwa akikosoa mkutano wa Trump wa mwezi July na rais wa Urusi Vladimir Putin in Helsinki uliofanyika mjini Helsinki kwamba hakuwa na maana yoyote.

Mwakajana Bw Brennan alisifu uchunguzi wa ushiriki wa Urusi katika uchaguzi mkuu wa mwaka 2016 kwamba ulikuwa umepangiliwa vizuri.

Hata hivyo Trump kwa upande amekuwa akipuuza madai hayo na kusema kuwa ni jambo linalozushwa tu kwa maslahi ya kisiasa.

Marefa Watakayechezesha Mpambano wa Simba na Mtibwa Sugar Ngao ya Jamii Hawa Hapa

0
0
Marefa Watakayechezesha Mpambano wa Simba na Mtibwa Sugar Ngao ya Jamii Hawa Hapa
Shirikisho la soka Tanzania (TFF) limetangaza marefa watakaochezesha mchezo wa Ngao ya Jamii kati ya Simba dhidi ya Mtibwa Sugar.

Waamuzi hao ni Refa wa kati ambaye ni Elly Sasi wa Dar es Salaam, Msaidizi namba 1 ni Ferdinand Chacha wa Mwanza huku wa pili ni Helen Mduma wa Dar es Salaam, Fouth Official ni Jonesia Rukya kutoka Bukoba.

Match Assessor ni Alfred Rwiza wa Mwanza na Match Commissioner ni Said Sudi wa Tanga.

Mchezo huo ambao utachezwa siku ya Jumamosi ya Agosti 18 katika dimba la CCM Kirumba, Mwanza viingilio vyake tayari vimeshatajwa ambavyo ni 10000 kwa VIP, 5000 kwa Mzunguko na Watoto ni 1000.

Simba watashuka dimbani wakiwa mabingwa wa Ligi Kuu Bara huku Mtibwa wakiwa mabingwa wa Kombe la Shirikisho.

Wasanii 5 Kutoka Tanzania Watajwa Katika Tuzo za Afrima 2018

0
0
Wasanii 5 Kutoka Tanzania Watajwa Katika Tuzo za Afrima 2018
Wasanii wa Tanzania wameshindwa kufanya vizuri safari hii kwenye tuzo za Afrima 2018.

Wasanii waliochaguliwa ni staa wa Bongo Fleva, Diamond Platnumz Diamond, Raynanny pamoja na Harmonize wote wapo katika kipengele cha Best Male Artiste in Eastern Africa.

Kwa upande wa wasanii wa kike, Maua Sama amechaguliwa kipengele cha Best Female Artiste in Eastern Africa.

Alikiba na Vanessa Mdee ni kati ya wasanii ambao wamekuwa wakitajwa mara kwa mara lakini mwaka huu wameshindwa kufurukuta kabisa.

Video: Zamaradi Yamfika Hapa Afunguka A-Z Bifu Lake na Hamisa Mobetto

0
0
Video: Zamaradi Yamfika Hapa Afunguka A-Z Bifu Lake na Hamisa Mobetto
Mtangazaji wa TV maarufu nchini Tanzania, Zamaradi Mketema amefunguka ishu ya tofauti zake na Hamisa Mobetto kuhusu tuhuma za kuchangisha watu kwenye arobaini ya mtoto wake King Salah na kuzungumzia pia ujio wa kipindi chake Wasafi TV.

Nafasi za Ajira Zilizotangazwa Leo

0
0

Hii Hapa Dawa Bora ya Nguvu za Kiume na Maumbile Madogo ya Uume

0
0

Tatizo hili limekuwa likiwaadhiri watu wengi sana kisaikolojia hasa baada ya kujiona wapo tofauti sana na wengine kwa kawaida mwanaume anatakiwa awe na uume kuanzia nchi 6-8 kwanza upungufu wa vichocheo hivi huchochea ukuaji wa uume chongo ambalo hushambulia nerve ambayo uharibu kabisa ukuaji wa uume, ngiri, punyeto, ambayo huathili misuli ya uume, ngiri huleta maumivu, tumbo kuunguruma na kujaa gesi, korodani moja kuvimba, kutopata choo vizuri, sababu hizi hufanya uume kulegea na kusinyaa na kuwa mfupi na mwembamba na mara nyingi hata nguvu za kiume ( hamu ya tendo la ndoa) hupungua na kwisha kabisa 

GEMBE :Ni dawa inayozalisha na kukufanya uume kukua na kuongezeka 
NGEMO : Ni dawa bora ya kuongeza nguvu za kiume 

Hukutia hamu ya kuludia tendo la ndoa zaidi mara4 nne bila kukinai au kuchoka pia itakufanya uchelewe kufika kileleni zaidi ya dk30-45 kwa mtumiaji pia tunatibu kisukari, bp, ngiri, miguu kuwaka moto KAMA HUNAMDA WA KUFIKA OFISINI KWETU UTALETEWA POPOTE TUPO MBAGALA RANGI TATU 

 0753471612/ 0715249530 
0623 386 305 

DR KUZENZA
Viewing all 104417 articles
Browse latest View live




Latest Images