Quantcast
Channel: UDAKU SPECIAL
Viewing all 104432 articles
Browse latest View live

Diamond Ajibu Ishu ya kuvaa Kikuku ‘Wanavaa Wahuni Waliotoroka Jela, Mtu Hawezi Kunipangia Kuvaa’

0
0
Diamond ajibu ishu ya kuvaa kikuku ‘wanavaa wahuni waliotoroka jela, mtu hawezi kunipangia kuvaa’
Msanii wa Bongo Fleva, Diamond Platnumz kwa mara ya kwanza amejibu sakata la kuvaa cheni za miguuni almaarufu kama Kikuku ambapo amewasanua watu kuwa kitendo hicho kinatafsiri mbali mbali kulingana na nchi husika.

Diamond kupitia Wasafi TV amesema kuwa kwa Marekani au nchini nyingine mtu kuvaa cheni mguuni anaonekana kama shujaa ambaye ametoroka jela.

Pia Diamond amedai kuwa hakuna mtu ambaye anaweza kumbadilisha kwenye mavazi kwa sababu anavaa kile anachokitaka na kama atamfuatilia ataumia tu kwani fasheni kila mtu ana fasheni yake na tayari ana watoto watatu na shughuli yake watu wanamjua.

Young Dee "Amber Lulu Hawezi Kufanya Mziki Mzuri Bila Kunitaja Mimi, Mimi ndio Daraja la kiki"

0
0
Msanii wa Bongo fleva na hitmaker wa Bongo Bahati Mbaya Young Dee ameingia Kwenye bifu zito na aliyekuwa mpenzi wake na msanii mwenzake Lulu Eugenn maarufu kama Amber Lulu.

Bifu la Amber Lulu na Young Dee lilianza Siku za nyuma baada ya Amber kumtuhumu Young Dee kwa kumpa kipigo studio baada ya kumuona akiwa na mwanaume mwingine.

Amber Lulu alimtolea povu zito Young Dee baada ya picha zake za Harusi kusambaa Kwenye mitandao ya kijamii ambapo Amber rapa huyo hawezi kuoa kwa sababu hicho si kitendo rahisi na ukiangalia yeye mwenyewe sasa hivi anatamani kuolewa, hivyo kumtaka afanye muziki bila kutengeneza kiki kama anaweza.

Global Publishers lilimtafuta Young Dee Baada ya povu Amber ambapo Meneja alifunguka:

Young Dee hawezi akabishana na mtoto wa kike halafu hata hivyo huyo Amber Lulu hawezi akafanya muziki mzuri bila kufanya kiki na tena ukiangalia kiki zake nyingi ni lazima amtaje Young Dee, kwa sababu anajua kuwa brand kubwa hivyo anaona akimtumia lazima atoboe”.

Amber Lulu naye alifunguka tena kuhusu Young Dee ambapo aliendelea kumtolea shombo baada ya kusema anahitaji kuolewa kwani hawezi kuoa:

Niliongea vile kwa sababu najua Young Dee hawezi akatoa wimbo bila kufanya kiki, anadanganya watu kuoa wakati yeye mwenyewe anahitaji mtu wa kumuoa, halafu ukiangalia kiki ni kubwa kuliko wimbo anaotaka kuutoa yani kiufupi siku hizi muziki wake ushakufa labda ajipange upya“.

Tumemmsi Sana Ommy Dimpoz Tumuombee Arudi Katika Hali Yake ya Kawaida – Nedy Music

0
0
Tumemmisi sana Ommy Dimpoz Tumuombee arudi katika hali yake ya kawaida – Nedy Music
Msanii wa muziki wa kizazi kipya kutoka visiwani Pemba Said Seif ambaye ni mmoja wa wasanii wanaokuja vizuri katika muziki wa kizazi kipya ambaye jina lake maarufu ni Nedy Music. Huyu ni msanii anayewakilisha kundi la Pose kwa Pose (PKP) linalomilikiwa na mkali wa mapozi, Omary Nyembo ‘Ommy Dimpoz.

Nedy amefunguka mengi kuhusiana na kazi yake ya Muziki wakati ameenda kuutambulisha wimbo wake mpya unaojulikana kwa jina la  “Homa la Jiji” katika kituo cha habari cha Clouds Fm.

Nendy ameseama baada ya kuulizwa kuhusu kupungukiwa na kitu chochote baada ya Boss wake Ommy Dimpoz kuumwa kwa muda kidgo akiwa katika matibabu nchini Afrika Kusini.

Nedy amesema:Kukosekana kwa Ommy Dimpoz kimuziki kiukweli hakuniaffect kivyovyote na ndo mana unakuta leo nimekuja kutambulisha wimbo,lakini Ommy akiwa katika kaka ni mtu ambaye anahitajika sana katika tasnia hii ya muziki wa BongoFleva,minafikiri sio mimi tu ambaye nimemmis bali kila mmoja amemmis sana cha msingi ni kumuombea kwa Mwenyezimungu ili arusi katika hali yake ya kawaida”

Wanafainali wa Sprite B Ball Kings Waogopana

0
0
Wanafainali wa Sprite Bball Kings waogopana
Kuelekea kuanza kwa fainali ya michuano ya Kikapu nchini ya Sprite Bball Kings, timu mbili zilizotinga hatua hiyo Mchenga Bball Stars na Flying Dribblers, zimeonekana kuviziana zikisubiri kutambuana kwa mbinu kwenye game 1.


Kushoto ni nahodha wa Mchenga Mohamed Yusuf na kulia ni nahodha wa Flying Dribblers Habirmana Mayeye.

Wakiongelea 'game 1' kati ya 'best of five' ambayo itapigwa kesho Agosti 18, 2018 kwenye uwanja wa taifa wa ndani manahodha wa timu hizo, Mohamed Yusuf wa Mchenga na Habirmana Mayeye wa Flying Dribblers, wamesema wanachoweza kuahidi ni ushindani tu na mchezo ndio utaamua mshindi.

''Unajua hii ni game iliyojirudia baada ya msimu uliopita Mchenga kututoa katika hatua ya nusu fainali na hiyo ilitokana na wachezaji wetu wengi kuondoka baada ya robo fainali lakini mwaka huu tupo kamili kwahiyo tutatoa ushindani kwa bingwa mtetezi na dakika zenyewe zitaamua'', amesema Mayeye.

Kwa upande wake Mohamed amesema wao kama mabingwa watetezi wanachoweza kuwapa mashabiki ni kuendelea kuwa washindani tu kwani kabla ya ushindi huwa wanawaza namna ya kushindana na wanapoweza matokeo huwa yanakuja yenyewe.

Fainali hizo zitapigwa kwa mtindo wa 'best of five' na mshindi atajinyakulia kombe na shilingi milioni 10 huku mshindi wa pili akijipatia milioni 3 na MVP ataondoka na milioni 2. Usikose kesho kwenye uwanja wa taifa wa ndani kutakuwa na burudani nyingi na vinywaji baridi vya Sprite ambao ndio wadhamini wa michuano hii.

ATCL Kuanza Kupasua Anga la Entebe Uganda na Bujumbura

0
0
Shirika  la Ndege nchini (ATCL) litaanza kufanya safari za kwenda Entebbe, Uganda na Bujumbura, Burundi kuanzia mwishoni mwa mwezi huu. Kuanza kwa safari hizo ni jitihada za shirika hilo kujitanua kibiashara baada ya kuendelea kufanya vyema katika soko la ndani.

Ndege zitakazofanya safari hizo ni Bombardier Dash 8 Q400 zenye uwezo wa kubeba abiria 76 kila moja.

Mkurugenzi Mtendaji na Mtendaji Mkuu wa ATCL, Ladislaus Matindi, amesema kuwa safari ya kwenda Entebbe zitaanza Agosti 26, wakati safari za kwenda Bujumbura zitaanza Agosti 30, mwaka huu.

Akifafanua zaidi kuhusu safari hizo, Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano wa ATCL, Josephat Kagirwa, alisema kuwa safari hizo zitakuwa zikifanyika mara tatu kwa wiki.

Kwa mujibu wa Kagirwa, safari za kutoka Dar es Salaam kupitia Kilimanjaro kwenda Entebbe zitakuwa zikifanyika siku za Jumanne, Ijumaa na Jumapili, wakati safari za kutoka Dar es Salaam kupitia Kigoma kwenda Bujumbura zitakuwa zikifanyika siku za Jumatatu, Jumatano na Jumapili.

“Ndege zote mbili zitakuwa zikianza safari zake kutoka Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere Dar es Salaam saa 3:30 asubuhi, lakini ndege inayoenda Entebbe itakuwa ikirejea Dar es Salaam saa 8:50 mchana na ile inayoenda Bujumbura itakuwa ikirejea Dar es Salaam saa 10 jioni,”alieleza Kagirwa.

Kagirwa aliongeza kuwa kwenye kila ndege kutakuwa na daraja la biashara na daraja la kawaida ambapo kwenye daraja la biashara kutakuwa na viti sita na viti vingine 70 vilivyosalia ni kwa ajili ya daraja la kawaida.

Alisema kuwa ATCL imeweka bei nafuu kwa wateja wao watakaokuwa wakisafiri na ndege hizo kwenda Entebbe na Bujumbura, lakini pia utaratibu wa kupata tiketi ni ule ule wa ama kufika kwenye ofisi za ATCL, kukata kwa njia ya mtandao au kupitia kwa mawakala wao.

Kwa mujibu wa Kagirwa, pamoja na kutoa huduma, lakini lengo za kuanzishwa kwa safari hizo ni kukuza biashara na utalii nchini.

Serikali Yapiga Marufuku Saruji Kuuzwa Nje ya Nchi

0
0
Katika hatua ya kukabiliana na uhaba wa saruji nchini, serikali imezuia usafirishaji wa bidhaa hiyo na makaa ya mawe kwenda nje ya nchi kabla ya kutosheleza kwanza soko la ndani ya nchi.

Hatua hiyo imefikiwa ili kuwezesha saruji inayozalishwa nchini kuwanufaisha kwanza watanzania na kuwezesha utekelezaji wa miradi mikubwa ya ujenzi inayoendelea hivi sasa.

Pia serikali imeahidi kuboresha miundombinu ya kwenda na kutoka kwenye viwanda vya kuzalishia saruji na makaa ya mawe ili bidhaa hizo zisafirishwe kwa haraka na ufanisi kwenda sokoni.

Hatua hiyo inakuja wakati takribani wiki mbili sasa kumekuwa na uhaba wa saruji nchini hatua iliyosababisha ongezeko la juu la bei ya bidhaa hiyo huku maeneo mengine ikikosekana kabisa.

Ili kuweza kupata ufumbuzi wa kudumu wa sakata hilo, juzi Naibu Waziri wa Viwanda, Biashara na Uwekezaji, Stella Manyanya alifanya mkutano na wazalishaji, wasambazaji, wasafirishaji wa saruji na kampuni zinazozalisha makaa ya mawe.

Kikao hicho kilichodumu kwa takribani saa tatu kilianza saa moja jioni na kumalizika saa nne usiku, huku Naibu Waziri Manyanya akianza kwa kuwataka wadau hao kulipatia uzito unaostahili jambo hilo kwa kuwa linagusa maslahi ya kitaifa huku akiwasihi kutofanya nalo mzaha.

Aliwatahadharisha kuwa jambo hilo linaweza kuwa na uamuzi mzito au wa kawaida na baadaye alianza kusikiliza maoni ya wazalishaji wa saruji kabla ya kuja kwa wadau wengine.

Baada ya kikao hicho kumalizika, Waziri Manyanya alisoma makubaliano waliyofikia ambapo alisema kwa kuwa kwenye mazungumzo hayo imebainika kuwa kuna kiwango cha saruji ambacho pia huuzwa nje ya nchi, hivyo wamekubaliana kwanza saruji itosheleze soko la ndani kabla ya kuanza kuuzwa nje, vivyo hivyo kwa makaa ya mawe.

 Alisema: ”Ili kuhakikisha soko la ndani linajitosheleza kwanza wanatakiwa kuuza kiwango kikubwa ndani ya nchi na kinachobakia ndio iwe nje na hii haimaanishi kuwa hatutaki wauze nje, hapana ila tunachotaka ni kwanza soko la ndani watanzania na miradi mingine ya ujenzi inufaike”.

Aliongeza: ”Ubovu wa miundombinu ya barabara kwenda na kutoka kwenye viwanda vya kuzalishia makaa ya mawe kumesababisha magari kuchukua muda mrefu zaidi kubeba bidhaa hizo na hivyo kuleta uhaba kwa wazalishaji na hivyo wamekubaliana na Wakala Barabara Tanzania”.

Alisema, wiki moja kuanzia sasa kutakuwa na kiwango kikubwa cha saruji mitaani na kuwa kila mdau amekubali kutekeleza walichokubaliana huku akiwataka kutambua kuwa saruji ina mchango mkubwa kwa sasa katika kuelekea kwenye Tanzania ya viwanda hasa kutokana na miradi mikubwa inayoendelea kutekelezwa yenye kuhitaji zaidi bidhaa hiyo.

Credit: Habari Leo

Kwanini Baadhi ya Wanaume Wana Maumbile Mafupi na Upungufu wa Nguvu za Kiume? Suluhisho Hili Hapa

0
0
KWANINI BAADHI YA WANAUME WANA MAUMBILE MAFUPI NA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME DR SITTA NDO SULULISHO LAKO tatiza, hili limekuwa likiwaasili watu wengi,sana kisaikolojia hasa baadhi yao kujiona wako tofauti na wanaume wengine, kwa kawaida, mwanaume anatakiwa awe na uume, usiopungua nchi 6-7au-8 ,vinginevyo mtu huyo anamatatizo zipo , sababu nyingi zinazosababisha, tatizo hilo baadhi ni (i) upungufu wa vichocheo vya HORMONES ZA CETROGEN ambazo mwanaume, anapobarehe vichocheo hivi, HORMONES hizo, husaidia ukuaji wa uume

SUPER MIZIZI, ni dawa inayozalisha HORMONES ZA CETROGEN,na kufanya, uume kukuwa na kuongzeka sazi utakayo na kuzibua mlija iliysinyaa,

NSHOLA ni dawa bora, ya kurudisha nguvu, za, kiume bari inatibu ,kabisa kutoa tatizo hilo, na kukupa , hamu ya , kurudia tendo, la ndoa zaidi, ya mala nne 4 ,bila kuchoka atakama unaumli ,wa mika 80,! pia ana ,dawa za ,kutibu, presha ya kupanda ,na kushuka, kisukari kuondoa, mafuta , mwilini ,na maumivu ya, mgogo kiuno, dawa zipo, matazo, ya hedhi, kwa ,wanawake hedhi, zisizokuwa na, mpangilio, na kasonono, pia , vidonda ,vya, tumbo ,(STOMACHI UCLENS) IHUSHI ndoji lako.

NKANYA ni dwa ya mvuto wa kimapenzi ,mchumba mpenzi ariyekuacha, mke mme, atakuludia kwa, mda, wa msaa3 tu , ukishaitumia atarudi ,mwenyewe bila ,ugovi tena, NKOMA ni dawa kuongeza HIPS na mguu wa bia kwa wadada .

HERBON, ni, dawa, ya kuongeza, CD4, NGAKAMA ,ni dawa ya kutibu ,miguu, kufaganzi, na ,kuwaka moto, huduma zetu ,zipo ,vizuri, popote pale dawa utaletewa! DR SITTA, amebobea, kwa tiba asilia

DAR ANAPATIKANA MBAGALA, ZAKHEM, SONGEA BOMBAMBILI SHINYANGA, KAHAMA MJINI, KWA MAELEZO ZAIDI , PIGA SIMU 0763172670 au 0715172670

WOTE MNAKALIBISHWA, KAMA, UTAKUWA NA TATIZOUTAHUDUMIWA

Download Hii Application Kwenye Simu yako Ujifunze Mambo ya Mapenzi na Kusoma Vimbwaga Vyake...Usipitwe

0
0
Jifunze utaalam mbali mbali wa Mapenzi na kusoma vituko mbali mbali vya mapenzi kwa Kudownload Udaku Special ambayo ipo Play Store kwa watumiaji wa Simu za Android

Bonyeza Hapa Chini Kuinstall/Kudownload :



Ushuhuda: Tuache Kutafuta Mahusiano Mitandaoni..Wengi Wameathirika

0
0
Leo ni usiku mida ya saa 6 nilimkumbuka msichana mmoja ambaye nilikutana naye kwa bahati mbaya...Ilikuwa ni bahati mbaya kukutana naye na jana ikawa bahati mbaya kukuta ukurasa wake wa Facebook ukiwa umepambwa na R.I.P nyingi...tena amefariki miaka 2 iliyopita.
nilihudhunika sana kugundua kuwa huyu msichana hivi sasa ni marehemu.

JINSI TULIVYO KUTANA​
siku moja nilikuwa nasoma ujumbe mbali mbali kwenye magroup ya mahusiano huko whatsapp.

Kuna msichana mmoja kiukweli alinivutia sana, alikuwa anazungumza mambo bila kificho. Alikuwa mrembo haswa. Katika kuchangia mada ndani ya lile group mimi na yeye tulitokea kuelewana sana, urafiki wetu wa ghafra uliza kukutana, baada ya siku tatu mtoto huyoo chumbani kwangu nilimvua nguo tukapeana mambo kisawasawa (Mungu amsamehe na anisamehe sana).

Alikuwa anajua mapenzi sana lakini nilivyo mgeuza mgongo staili ile ya Mbuzi kagoma kwenda (dog) mgongo wake ulikuwa na vipele viwili vitatu nikakumbuka kauli ya mwalimu wangu wa biology kuhusu dalili za muathirika wa ukimwi kuwa ukitumbua kipele cha kawaida huwa kinatakiwa kitoe maji maji lakini kipele kikitoa damu hapo shituka, niliendelea kungonoka na huyu manzi lakini nilimtumbua kipere kimoja pale mgongoni kwake kikatoa damu (nyeg.e bwana wala siku shituka ndio kwanza nikaendelea kumsokomeza ududu mtoto wa watu na yeye hakuwa nyuma kwa kilio cha mahaba na mauno)

Tuliendelea kuwa na urafiki wa kawaida kisha mimi na yeye tukapotezana

Tulipotezana hadi jana nilipo ona ujumbe mbali mbali za majonzi kwenye ukrasa wa yule msichana juu ya kifo chake kilichotokea miaka miwili iliyopita.

Nilihudhunika sana, nikaamua kutafuta ndugu wa marehemu mmoja ambaye nilikuwa na mawasiriano naye, ndipo akaniambia kuwa ndugu yake (huyo msichana marehemu) alikuwa Muathirika wa ukimwi, na aliurithi ugonjwa huo kutoka kwa wazazi wake ambao wote wamesha tangulia Mbele haki, akaendelea kuwa kabla ya kifo chake aliumwa sana hadi umauti ukamfika.


Ujumbe huo ulinihudhunisha sana lakini haUku niogopesha Kwani huwa napenda sana kupima afya yangu mara kwa mara.

KILICHO NIFANYA NIANDIKE USHUHUDA HUU.

Nimeona watu mbali mbali wanatafuta wachumba kwenye mitandao ya kijamii haswa hapa Facebook na Instagram...naomba niwakumbushe ndugu zangu ukimpata mchumba hakikisha unapima nae magonjwa ya zinaa.

Ukishindwa tumia kondomu.

Sababu za Kijana wa Miaka 16 Kudukua Mtandao wa Apple

0
0
Leo August 18, 2018 Stori nayokusogezea ni kumhusu Kijana mmoja mwenye umri wa miaka 16 amekiri kuudukua mtandao wa Apple na kuiba baadhi ya taarifa.

Kijana huyo amesema alifanya udukuzi kwasababu yeye ni mpenzi mkubwa wa bidhaa za Kampuni hiyo na alitaka kuwashawishi wafanye naye kazi.

Polisi walifanya upekuzi nyumbani kwa kijana huyo na kupata kompyuta 2 pamoja na vifaa vingine vilivyotumika kwenye udukuzi huo.

Kijana huyo ambaye jina lake limehifadhiwa amejipatia umaarufu katika jamii ya wadukuzi kutokana na umri wake kuchukuliwa kama ni mdogo sana ukilinganisha na udukuzi alioufanya. Baada ya kufikishwa Mahakamani kesi yake inatarajiwa kuendelea mSeptember 20 mwaka huu.

Rais Magufuli ashtukiza aibukia ndani ya Dreamliner asubuhi alichofanya

HIVI Ndivyo Ubongo wa Mwanamke Unavyofanya Kazi kwa Haraka Zaidi Kuliko wa Mwanaume.!!!

0
0

Ubongo wa mwanamke ni mdogo kwa 8% kuliko wa mwanaume, lakini unamuungano wa mawasiliano (interconnections) nzuri sana kuliko wa mwanaume, na ndio mana mwanamke
anaweza kufanya kazi nyingi kwa wakati mmoja bila kukosea (multi-tasking).

Itakua umeshaona: kwa wakati huohuo, mwanamke anapika, anaangalia tamthilia kwenye TV, anasuka nywele n.k. na vyote hufanya kwa ufanisi, lakini mwanaume amalize kimoja kwanza ndio ahamie kingine.

Ubongo wa mwanamke unauwezo wa kufanya mawasiliano ya haraka sana (fast data transfer) kuliko wa mwanaume, hivyo mwanamke anao uwezo mkubwa wa kuwasiliana (communication), kusoma lugha za maumbile (body languages), kufikiri na kutabiri yajayo (situational thinking) kwa urahisi na haraka zaidi, yani mara 10 zaidi ya mwanaume. Ndio mana, mwanamke anauwezo wa kujenga mahusiano ya kijami kirahisi (social thinking and interaction) zaidi ya mwanaume.

Umeshawahi gundua: upo na mwanamke (dating with a lady) labda mpo beach au kwenye gari (private driving), alafu ukataka umbusu (kiss) kwa kumstukiza (obvious no one seeks lady's attention for kissing, it is done in surprise). Sasa kile kitendo cha wewe kuwaza kumbusu, utakuta yeye alishagundua dakika chache zilizopita kabla yako, kupitia mihemko ya mwili wako. Na kama hayupo tayari (ready for kissing), anao uwezo wa kukwepesha mdomo wake haraka zaidi kabla ya wewe kumfikia, bila kujali alikua ktk mazingira gani au akifanya nini.

Ukweli wa Jose Mourinho kuhusu Paul Pogba

0
0
Kocha wa Man United Jose Mourinho baada ya maneno kuwa mengi kuwa hayuko katika mahusiano mazuri na staa wa Ufaransa anayeichezea club hiyo Paul Pogba, leo Mourinho amefunguka na kueleza kuhusiana na ishu hiyo.

Kwa zaidi ya wiki sasa kumekuwa na tetesi kuwa Jose Mourinho haelewani na Paul Pogba, kiasi cha taarifa kuzidi kuwa kiungo huyo amemwambia Mourinho kuwa kama anataka kuongea nae kuhusu masuala ya kuhama aongee na wakala wake Mino Raiola.

Mourinho amethibitisha kuwa ana furaha kuwa na Paul Pogba katika kikosi chake licha ya kuwa, staa huyo ameripotiwa kuwa anataka kuondoka Old Trafford na kurejea Juventus lakini FC Barcelona ndio wana nia ya dhati kutaka kumsajili Pogba

Habari Njema: Tunatibu Busha, Korodani Kuvimba,Ngiri, Miguu Kufa Ganzi Pamoja na Matatizo ya Nguvu za Kiume

0
0
Ni dawa ya nguvu za kiume inayorefusha na kunenepesha uume saizi uipendayo (Inch 1-7) kwa muda wa siku 6 tu.Dozi hii itakufanya uchelewe kufika kileleni kwa muda wa dakika 30, utarudia tendo la ndoa zaidi ya mara 4 bila hamu kuisha bila kujali umri na garantee ni miaka 60 baada ya kutibu tatizo.

Pia tunatibu Busha bila kufanyiwa Oparesheni, korodani moja kuvimba, ngiri, tumbo kujaa gesi na kuunguruma, kutopata choo vizuri, miguu kuwaka moto na kufa ganzi, chango la wanawake, kisukari na kutokwa na kinyama sehemu ya haja kubwa.

MIHAYO:
Inarudisha mke, mchumba, hawara na atakutimizia kila kitu unachotaka kutoka kwake ndani ya  saa 2 tu hata kama yupo mbali. atarudi na kumfunga asiwe na mwingine zaidi yako.

Umefukuzwa kazini? unataka kupandishwa cheo? Umepoteza pesa zako kwenye biashara bila kujua umepandikizwa chuma ulete? Njoo urudishe pesa zako. Unauza mali yako haiendi? Wasiliana na mtaalam Challo kwa; 0714006521

Baba Jokate Afunguka Mazito Kuhusu Wema na Uwoya

0
0
Baba Jokate Afunguka Mazito Kuhusu Wema na Uwoya
Nduguru aliliambia Amani katika mahojiano maalum kwa njia ya simu hivi karibuni kuwa: “Mwanangu, Wema, Uwoya wote wana ndoto za kuwa wanasiasa na viongozi wa umma lakini hawa wawili kuna mambo yanawakosesha fursa.



MAMBO HAYO NI YEPI?

“Mimi Uwoya simfahamu sana, namsikia tu habari zake kwenye magazeti, lakini Wema namfahamu kwa sababu baba yake (marehemu Isack Sepetu) nimefanya naye kazi serikalini. “Matatizo yanayowakosesha nafasi za kufikia ndoto zao hawa watoto yako mengi lakini kubwa kabisa ni kuiacha misingi bora waliyolelewa na wazazi wao.



“Siri kubwa ya kufanikiwa hasa katika kutumikia watu ni kujiheshimu na kufanya mambo kwa siri, siyo kwenda kiholelaholela, unajivunjia heshima mwenyewe,” alisema mzee Ndunguru. Aliongeza kuwashauri Wema na Uwoya kuwa wanapaswa maisha yao yajae ukweli na waepukane kabisa na mienendo ya kuyaonesha mambo yao ya siri hadharani.



AWATAKA WAMUIGE JOKATE

“Nimeona wanampongeza mwanangu kwa kuteuliwa kwake (kuwa DC), na mimi nasema wasiishie kumpongeza tu lakini waige tabia zake. “Jokate ni mwanangu, sisemi ni mkamilifu lakini ni msiri sana, vigumu kumuona kwenye jamii akifanya vitu vya ovyo, tabia hii naomba Wema na Uwoyawaiige itawasaidia kufikia ndoto zao za kuwa viongozi.



MIENENDO YENYE MASHAKA YA WEMA, UWOYA

Mara baada ya Jokate kuchaguliwa katika wadhifa huo wa ukuu wa wilaya, mijadala ilitawala kuwahusu Wema na Uwoya kuambulia patupu licha ya kuonesha uwezo wa kutumikia wananchi ambapo wengi waliwatilia shaka warembo hao kuwa mienendo yao inatia shaka kupewa nafasi za uongozi.



Miongoni mwa mienendo hiyo ni pamoja na kutokuwa wasiri katika mambo yao ya faragha, tabia zinazoashiria vitendo vya kihuni, ulevi hasa kwa Wema ambaye amekuwa hakaukiwi skendo kwenye vyombo vya habari.


WALIKOTOKA JOKATE, WEMA, UWOYA

Ikumbukwe kwamba Jokate, Wema, Uwoya wote waliibukia katika mashindano ya Miss Tanzania 2006 ambapo Wema alinyakua taji, akafuatiwa na Jokate huku Uwoya akishika nafasi ya tano.

Pamoja na kujishughulisha na mambo mengine ikiwemo biashara na sanaa, wasichana hawa kwa nyakati tofauti walijiingiza katika harakati za kisiasa ambapo Uwoya na Wema walijitosa kuwania ubunge kupitia Viti Maalum Chama Cha Mapinduzi (CCM) huku Jokate akijitosa kufanya siasa ndani ya umoja wa vijana wa chama hicho katika kitengo cha chipukizi ambacho hata Mkuu wa Mkoa wa Dar, Paul Makonda aliwahi kutumikia kabla ya kuwa Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni.



NDUGURU AMTABIRIA MEMA MWANAYE

“Namuona (Jokate) atafika mbali kwa sababu ana malengo mazuri na nchi yake na ndiyo maana hata utendaji wake ni mzuri, hajafika kwenye nafasi hiyo kwa bahati, alimuweka Mungu mbele na kusikiliza ushauri wa wazazi wake,” alisema mzee Nduguru Aliongeza kwa kumtaka mwanaye kuchapa kazi kwa bidii na kuachana na fikra za kuuchukulia uongozi kama sehemu ya kujipatia kipato badala yake ajitume kuwatumikia watu usiku na mchana.


TABIA NA MIENENDO YA KIMAADILI NI HIZI

Ili Utumishi wa Umma uwe wenye ufanisi na wa kuheshimika, watumishi wanapaswa kuzifuata Kanuni za Maadili ya Utumishi pamoja na kuwa na tabia na mwenendo unaozingatia mambo yafuatayo:

Kutoa Huduma Bora, 2. Utii kwa Serikali, 3. Bidii ya Kazi, 4. Kutoa Huduma Bila Upendeleo, 5. Kufanya Kazi kwa Uadilifu, 6. Kuwajibika kwa Umma, 7. Kuheshimu Sheria, 8. Matumizi sahihi ya Taarifa
KIONGOZI BORA NI YUPI

Kwa mujibu wa John C Maxwell mkufunzi maarufu wa masuala ya uongozi raia wa Marekani anasema: “A leader is one who knows the way, goes the way, and shows the way.” Kwa tafsiri isiyo rasmi ni kwamba ““Kiongozi ni yule anayejua njia, anakwenda njia hiyo na anaonyesha njia.”

Aidha, sifa nyingine za msingi za mtu kufaa kuwa kiongozi bora ni pamoja na kuwa muwazi, muadilifu, mwenye maono, mjasiri, mwenye subira, mbunifu, muwajibikaji, mwenye kujituma, nidhamu na mfuasi wa mawasilino na walio chini yake.

WEMA, UWOYA WAFANYE NINI?

Pamoja na ushauri ambao wamepewa na mzee Nduguru na baadhi ya mashabiki wao wa kubadilisha mienendo yao ili waweze kutimiza ndoto zao, Amani linawashauri pia kuanza kuyaishi kwa vitendo maisha ya uongozi hata kabla hawajachaguliwa kushika nafasi yoyote, vinginevyo malengo yao hayatafanikiwa.

BASATA Yawatoa Hofu Wasanii

0
0
BASATA Yawatoa Hofu Wasanii
Katibu Mtendaji wa Baraza la Sanaa Tanzania (BASATA), Godfrey Mngereza amefunguka na kuwataka wasanii wa muziki nchini, kufuta fikra zao walizojijengea vichwani mwao kuwa Baraza hilo lipo kwa ajili ya kufungia kazi zao tu.



Mngereza ametoa kauli hiyo wakati alipokuwa anazungumza kwenye kipindi cha eNewz kinachorushwa na tinga namba moja kwa vijana EATV, baada ya kuwepo uvumi kwenye mitandao ya kijamii kwamba endapo msanii ataonekana kwenye ofisi za BASATA basi atakuwa ameitwa kwa ajili ya kuadhibiwa.

"Sio kila msanii atakayekuwa anaitwa BASATA basi anataka kufungiwa kazi zake, hiyo ni dhana tu ambayo imejengeka kwa baadhi ya watu. BASATA ipo kwa ajili ya kuwasaidia wasanii katika masuala mengi tu, maana hata mikataba yao pia tunashughulikia", amesema Mngereza.

Mbali na hilo, Mngereza amefafanua baadhi ya masuala kuwa, wapo wasanii wengine wamekuwa na utamaduni wa kwenda BASATA wenyewe kwa lengo la kujadiliana masuala mbalimbali.

Wanakamati Wengi Hawana Passport , Saizi Wamepanga Foleni NIDA ;-Babu Tale

0
0
Wanakamati Wengi Hawana Passport , Saizi Wamepanga Foleni NIDA ;-Babu Tale
Meneja wa msanii babu tale amefunguka na kusema kuwa pamoja na kwamba walitoa aahadi ya wasanii waliokuwa katika kamato  ya shughuli ya Zamaradi wanatakiwa kwenda afrika ya kusini kwa ajili ya party ya Tiffah lakini wanashindwa kwa sababu wasanii wengi waliokuwa katika mamati hawana passport za kusafiria.

Moja ya wasanii walijihakikishia uhakika wa safari ni pamoja na Shiloleh ambae yeye alisema kuwa tayari alishaombwa passport yake na daiamond na  tayari imekwisha shughulikiwa hivyo anasubiri safari.
Tatizo kinachokwamisha wanakati wengi hawana passport za kusafiria mpaka sasa wanapanga foleni NIDA wapate vitambulisho vya utaifa ili wakapate passport na nina wasiwasi hata Wema Sepetu passport hana.

Hakuna Msiba Wenye Faida ;-Stev Nyerere

0
0
Hakuna Msiba Wenye Faida ;-Stev Nyerere
Msanii wa muziki wa bongo movies stebe nyerere ambae kila siku amekuwa akijitoa kufanya analoweza ili kuwaistiri watu mbalimbali wanaokumbwa na misisna lakini wasanii wanaofariki kuweza kushughulikia mazishi amfunguka  baada  ya kuwepo kwa maneno mengi kuhusu kujihusisha kwake katika misiba.

Akiongea na Clouds media mapema leo, steve nyerere anasema kuwa alikuwa amekaa pembeni kwa muda kuangalia jinsi waliokuwa wakifanya kazi hiyo kama wanaweza na amegundua mapungufu mengi yanavomlazimu kuendelea kujitolea kufanya shughuli hiyo.

Hata hivyo Steve anasema kuwa hawezi kuacha kujitolea kufanya kazi  hiyo kwa sababu ya maneno ya watu.

Mimi sitaacha kusimamamia misiba ya watu kwa  sababu ya maneno ya watu, nilikaa pembeni lakini baadae nikagundua kuwa utendaji kazi hauridhishi, nimeamua nirudi,kuna baadhi ya watu kazi yao kuchuruza maji kama dodoki lakini nataka kuwaambia kuwa hakuna msiba wenye faida.

Steve amekuwa akisemwa kuwa amekuwa akijihushisha katika misiba kwa sababu amekuwa akipata pesa katika misiba hiyo pale zinaapochangishwa pesa kwa ajili ya matatizo hayo.

Mambo Yote Sauzi Leo Daimond na Zari Ndani ya Kitanda Kimoja

0
0
Mambo Yote Sauzi Leo Daimond na Zari Ndani ya Kitanda Kimoja
Kama ulikuwa unajiuliza kwamba itakuwaje siku ‘watalaka’, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ na Zarinah Hassan ‘Zari The Boss Lady’ watakapokutana kwenye bethidei ya mtoto wao wa kike, Latiffah Nasibu ‘Tiffah Dangote’ kwamba watalala chumba kimoja au nyumba tofauti, ondoa shaka, jibu limepatikana.Ijumaa limehakikishiwa kuwa, mastaa hao watalala chumba kimoja. Bethidei ya Tiffah iliyozua gumzo kwenye mitandao ya kijamii kwa takriban mwezi mzima, inatarajia kuanza kuunguruma leo pande za Afrika Kusini ‘Sauz’ na kufikia kikomo siku ya Jumatatu, Agosti 20, mwaka huu.

TAARIFA ZA UHAKIKA

Kwa mujibu wa taarifa za uhakika kutoka ndani ya familia, Diamond ambaye hadhira inamtazama kuwa haziivi na mzazi mwenzake, Zari, nyuma ya ‘kamera’ zinaiva kwani wanawasiliana mara kwa mara na kwamba suala la yeye kwenda na kulala Sauz si jipya tangu wagombane.

“Wewe unafikiri kwamba Diamond na Zari ndiyo hawawezi hata kulala chumba kimoja kwa sababu tu wameachana? Siyo kweli, wale wanaweza kabisa kulala bila wasiwasi na hata kwenye hii bethidei watakapokutana, watalala chumba kimoja bila tatizo,” kilimwaga ubuyu chanzo cha kuaminika.

Chanzo hicho kilikwenda mbele zaidi kwa kueleza kuwa, hivi karibuni, Diamond aliekwenda Sauz na akalala baada ya kutoka kwenye shoo zake nchini Marekani. “Wewe hukuona picha zile Diamond alipiga yupo kitandani na wanaye na aliziposti hata kwenye akaunti yake ya Instagram? Sasa kwa taarifa yenu alikwenda na akalala chumba kimoja na Zari,” kilidai chanzo hicho.

WAMEMALIZA TOFAUTI?

Chanzo h icho kilipoulizwa endapo wawili hao wameshamaliza tofauti zao na kwamba wanaendeleza uhusiano wao kwa usiri mkubwa hakikukubali wala kukataa.

“Mh! Kwa kweli hapo sasa mimi nitaongea nini? Sioni kama ninaweza kuwa na jibu la moja kwa moja, ninachoweza kukuhakikishia tu ni kwamba ishu ya Zari kulala na Diamond ni jambo la kawaida,” kilisema chanzo hicho.

MAMA D FULL VICHEKO

Chanzo hicho kiliongeza kuwa, mama Diamond, Sanura Kassim ‘Sandra’ ambaye ameonekana kuwa upande wa Zari kuliko mwanamke mwingine yeyote aliyezaa na mwanaye, ana furaha isiyoelezeka. “Mama Dangote (mama Diamond) furaha imeongezeka maradufu maana Zari ndiye kipenzi chake na ukizingatia Tiffah ni mjukuu wake kipenzi,” alisema mtu wa karibu wa mama D.

MAANDALIZI KUSUASUA

Kutokana na kuwepo kwa kusuasua kwa shamrashamra kama ilivyokuwa awali kuhusu bethidei ya Tiffah, Ijumaa lilimchimba zaidi sosi huyo ambaye pia ni mwanafamilia ili kujua kama kweli sherehe ipo au haipo.

Ijumaa: Awali tuliona promo ilikuwa kubwa sana mitandaoni, kamati ya 40 ya mtangazaji Zamaradi Mketema ilipewa ofa ya kwenda kisha zengwe likaingia kwamba Zari amewazuia wasiende, watachafua nyumba, vipi safari ya Sauz ipo au haipo?

Chanzo: Ipo palepale, watu wataenda kama ilivyopangwa.

Ijumaa: Mbona zile promo zimepungua sana? Hatujui hata wale watoto 10 waliopewa ofa ya kwenda pamoja na wazazi wataenda?

Chanzo: Wewe subiri siku ya safari kati ya Alhamisi (jana) au Ijumaa (leo), utatuona ndani ya ndege.

DIAMOND ANASEMAJE?

Ijumaa lilimbananisha Diamond mapema wiki hii ili aweze kuzungumzia ishu hiyo, lakini alipopatikana hakutaka kuzungumza kitu kiginine tofauti na maudhui ya ‘presi’ yake aliyokuwa ameiandaa.

TALE ATHIBITISHA

Ijumaa lilizungumza na meneja wa Diamond, Hamis Taletale ‘Babu Tale’ ambaye alithitisha kuwa safari ya Sauz kwa watu wote waliowatajwa iko palepale. “Unajua hii ni pati, bethidei ya Tiffah ilishapita, lakini nikwambie tu, itafanyika na kutakuwa na sapraizi mtaona,” alisema Tale.

Alipoulizwa zaidi kuhusu wanakamati wa sherehe ya 40 ya mtangazajia Zamaradi ambao walipewa ofa na Diamond kwenda kwenye pati hiyo kisha kuibuka kwa utata kufuatia kauli ya Zari, Tale alisema kamati hiyo itaenda licha ya kuwa kuna vitu wanaviweka sawa.

“Kuna vitu vinawekwa sawa lakini pia kuna suala la pasipoti, wengine hawana kwa hiyo inakuwa ni changamoto yao,” alisema Tale. Alipobanwa maswali zaidi juu ya namna itakavyokuwa siku ya bethidei na kama Zari na Diamond watalala chumba kimoja, Tale hakuwa tayari kufafanua kwa undani.

MAMA DIAMOND ANENA

Ijumaa lilimtafuta mama Diamond na kumuuliza juu ya maandalizi ya safari hiyo na endapo wataitumia pia kumaliza tofauti za mwanaye na Zari, lakini alipopatikana hakutaka kuzungumzia suala hilo licha ya kukiri kuwa safari yao ipo kama kawaida.

“Wewe ukitaka kuniuliza kuhusu safari nitakujibu tu ipo palepale, lakini hayo mambo yenu mengine ya kidaku mimi siwezi kuyajibu,” alisema mama Diamond.

TAARIFA ZA KUSOGEZWA MBELE

Wakati Ijumaa lilipokuwa linakwenda mitamboni, ilielezwa kuwa Zari alipata msiba wa ndugu wa aliyekuwa mume wake, marehemu Ivan Ssemwanga hivyo sherehe hiyo kuwa na ‘hatihati’ ya kusogezwa mbele hadi baadaye, mwishoni mwa mwezi huu.

TUJIKUMBUSHE

Kwa kawaida, bethidei ya Tiffah huadhimishwa Agosti 6 kila mwaka, lakini kwa mwaka huu Diamond alishindwa kujumuika pamoja na mwanaye kutokana na shughuli za kimuziki hivyo kulazimika kumuandalia sherehe aliyopanga kuifanya Agosti 17, mwaka huu huko Sau

JPM Asafiri na Boeing 787-8 Dream Liner Kwenda Mwanza

0
0
JPM Asafiri na Boeing 787-8 Dream Liner Kwenda Mwanza
Rais Magufuli akiwasalimia abiria ndani ya ndege Boeing 787-8 Dream Liner ya shirika la ndege la Tanzania (ATCL)alipokuwa akielekea Jijini Mwanza ikiwa ni mara ya kwanza kwa Rais kusafiri kwa kutumia ndege hiyo mpya akiwa na abiria wengine leo


Rais Magufuli akiwa amemshika mtoto Ikrama Mahadi (Miezi-3) alipokuwa akiwasalimia abiria ndani ya ndege Boeing 787-8 Dream Liner ya shirika la ndege la Tanzania (ATCL)alipokuwa akielekea Jijini Mwanza ikiwa ni mara ya kwanza kwa Rais kusafiri kwa kutumia ndege hiyo mpya akiwa na abiria wengine.


Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt.John Pombe Magufuli akiwa ndani ya ndege Boeing 787-8 Dream Liner ya shirika la ndege la Tanzania (ATCL)alipokuwa akielekea Jijini Mwanza ikiwa ni mara ya kwanza kwa Rais kusafiri kwa kutumia ndege hiyo mpya akiwa na abiria wengine.

 

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt.John Pombe Magufuli leo amesafiri na ndege ya Boeing 787-8 Dream Liner ya shirika la ndege la Tanzania (ATCL) alipokuwa akielekea Jijini Mwanza.

Nidhamu ya Ibada Ndio Chanzo cha Mafanikio Yangu- Nandy

0
0
Nidhamu ya Ibada Ndio Chanzo cha Mafanikio Yangu- Nandy
MSANII wa Muziki wa Kizazi Kipya, Faustina Charles ‘Nandy’, ambaye wimbo wake uitwao Kivuruge ni kati ya ‘hit song’ zilizowahi kutokea Bongo, amefunguka kwamba kikubwa kinachomfanya siku hadi siku apate mafanikio ni nidhamu na ibada.

Akichonga na Mikito Nusunusu, Nandy alisema kwamba anapenda sana kufanya ibada kwa sababu anaamini bila Mungu hawezi kufika popote pale na kuwa yeyote yule kwenye kazi yake na hata katika lolote lile.

“Kiukweli mbali na nidhamu na kila kitu napenda sana kufanya ibada na ndiyo kunanifanya nizidi kufanikiwa siku hadi siku katika muziki wangu.

“Unajua Mungu ni kila kitu na bila yeye hatuwezi kufika popote pale au kuwa yeyote yule. Kwa hiyo ibada kwangu ni mbele siku zote aisee,” alisema Nandy.
Viewing all 104432 articles
Browse latest View live




Latest Images