Quantcast
Channel: UDAKU SPECIAL
Viewing all 104712 articles
Browse latest View live

Habari Zilizopo Katika Magazeti ya Leo Jumapili ya Agosti 19

$
0
0

Habari Zilizopo Katika Magazeti ya Leo Jumapili ya Agosti 19

Pata Tiba ya Tatizo la Nguvu Za Kiume, Inasaidia Kukufanya Urudie Mara 5 na kuchelewa kwa Dakika 20

$
0
0



TATIZO LA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME NA MAUMBILE MADOGO LINATIBIKA.Baada ya utafiti wa mda mrefu juu ya matatizo ya upungufu wa nguvu za kiume na ukosaji wa hamu ya tendo la ndoa ama kushindwa kurudia tendo kwa haraka DR Magise imekuletea tiba ya matatizo hayo kwa kutumia dawa za:


FUUl POWER:Ni dawa asili ya vidonge inayotibu tatizo la upungufu au ukosefu wa nguvu za kiume,dawa hii inamchanganyiko wakutosha wenyekuzalisha vichocheo vingi vya Hemone za Gestrogen vikiwemo vitamin B6&B1,vitamini E,pamoja na madini aina ya zinc vitakufanya kuwa na nguvu na mzunguko mzuri wa damu na kuongeza hamu na uwezo wa kufanya tendo la ndoa zaidi ya hatua nne au zaidi,na kuchelewa kufika kileleni zaidi dakka 20-30.


NYAMVA:Inarutubisha maumbile ya uume yani kurefusha na kunenepesha nchi 4-7 upana cm3-4 standard kiafya haijalishi umri wako hata kwa wazee ukiitumia maumbile yako yatabaki kuwa hivyo siku zote,Pia tunatibu Presha,kisukari siku7,ngiri,chango la tumbo tumbo kujaa gesi,kutopata choo vizuri

 TUPO TZ DAR ES SALAAM   MBAGALA RANGI TATU.HUDUMA HII UTALETEWA POPOTE ULIPO .WASILIANA NAMI 0783741788,0715741788 -DR MAGISE

Spika Job Ndugai amjulia hali Dkt. Kigwangallah

$
0
0
Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Job Ndugai ameambatana na Katibu wa Bunge, Ndugu Stephen Kagaigai na baadhi wa Waheshimiwa Wabunge wamemtembelea Waziri wa Maliasili na Utalii, Dkt. Khamis Kigwangalla kwa lengo la kumjulia hali katika Hospitali ya Taifa ya Muhumbili alikolazwa kwa ajili ya kupatiwa matibabu baada ya kupata ajali ya gari.

Waziri Mkuu Aagiza Mhasibu Aliyehamishwa Arudishwe

$
0
0

Na Tiganya Vincent
Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Kassim Majaliwa ameuagiza uongozi wa Manispaa ya Tabora kumrejesha kwenye nafasi yake ya Uhasibu Halima Temihaga ambaye alihamishiwa Ofisi ya masoko baada ya kuwalalmikia  viongozi wa Idara yake.

Mhe. Majaliwa ametoa agizo hilo leo mjini hapa wakati akizungumza na watumishi wa Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, wa Manispaa , Madiwani na viongozi mbalimbali ikiwa ni siku ya mwisho ya ziara yake mkoani Tabora.

Aliutaka uongozi wa Manispaa ya Tabora kumrejesha kwenye nafasi yake na  kutombugudhi mtumishi huyo.

Katika kuhakikisha agizo hilo linatekelezwa amemuagiza Katibu Tawala wa Mkoa huo Msalika Makungu kufuatilia kwa karibu Ofisi ya Idara ya Fedha ya Manispaa hiyo kuona utendaji kazi wake.

Waziri Mkuu alisema kuwa Halima alipewa uhamisho na Mkuu wake wa Idara baada ya kulalamikia kitendo cha kutumia namba yake ya siri kuidhinisha malipo bila ya kumshirikisha yeye mwenyewe kama Mhasibu.

Mhe. Majaliwa aliongeza kuwa katika tukio hilo hati ya malipo namba hati iliyotumika kutoa kiasi cha zaidi ya shilingi milioni tano ambazo ilidaiwa ni malipo ya kazi za ziada kwa ajili ya Wahasibu wa Manispaa hiyo ( PV  namba 2018 002321 ) ya tarehe 13 Aprili mwaka huu.

Aliongeza kuwa fedha nyingine kiasi cha shilingi  milioni 8.4 zilizotolewa kwa PV namba 2018 0001492 haijulikana matumizi yake.

Kutokana na kasoro hizo Waziri Mkuu alimtaka Mkurugenzi Mtendaji wa Manispa hiyo kuwa makini na kazi yake huku akiwaagiza Mkuu wa Wilaya na Mkuu wa Mkoa kuisimamia kwa karibu Ofisi hiyo.

Wanakijiji 68 Watiwa Mbaroni kwa Kuharibu Miundo Mbinu, Ni Wale Ambao RC Mbeya Aliagiza Wakamatwe

$
0
0


Jeshi la Polisi Mkoa wa Mbeya linawashikilia watu 68 kati yao 62 ni wanaume na 06 ni wanawake kwa tuhuma za kufanya uharibifu wa miundombinu ya maji huko katika Kijiji cha Ngole kilichopo Kata ya Ilungu, Tarafa ya Tembela, Wilaya ya Mbeya Vijijini.

Katika msako mkali uliofanywa mnamo tarehe 17.08.2018 kuanzia majira ya saa 10:00 asubuhi hadi saa 18:00 jioni huko katika Kijiji cha Ngole jumla ya watuhumiwa 68 walikamatwa.

Awali mnamo tarehe 14.08.2018 kuanzia majira ya saa 10:00 asubuhi huko katika Kijiji cha Ngole, Kata ya Ilungu, Tarafa ya Tembela watuhumiwa hao kwa makusudi na bila halali waliharibu mabomba na vyanzo vya maji kwa kutumia silaha za jadi na kusababisha hasara ya takribani Shilingi Milioni 14 mali ya Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ikiwa ni michango ya baadhi ya wanakijiji na wafadhili.

Watuhumiwa hao watafikishwa Mahakamani mara baada ya upelelezi kukamilika.

Aidha Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mbeya Kamishina Msaidizi Mwanadamizi wa Polisi ULRICH MATEI anatoa msisitizo kwa watanzania na wana Mbeya wote kuhakikisha wanalinda rasilimali zetu zikiwemo miundombinu ya afya, elimu, barabara, maji na nishati ili kufikia malengo tarajiwa ya uchumi wa viwanda.

Pia Kamanda MATEI anatoa rai yeyote atakayeharibu miundombinu hiyo Polisi tutamkamata na kumfungulia shitaka la kuhujumu uchumi [Sabotage] na kuhakikisha wanafikishwa Mahakamani.

Aidha Jeshi la Polisi Mkoa wa Mbeya linaendelea na Operesheni mbalimbali, doria katika maeneo mbalimbali ili kuhakikisha hali ya Mkoa inakuwa shwari ikiwa ni pamoja na kufanya ukaguzi wa magari, kuwapima kilevi madereva pamoja na kuendelea kutoa elimu ya matumizi salama ya barabara kwa makundi mbalimbali ili kuepuka ajali zinazoweza kuepukika.

               Imetolewa na:             
 [ULRICH O. MATEI – SACP]
KAMANDA WA POLISI MKOA WA MBEYA

NMB Waziundua Huduma ya Kufungua Akaunti Kupitia Simu yako Mkononi

$
0
0
Benki ya NMB mapema wiki hii walifanya uzinduzi wa huduma tatu mpya za Benki hiyo uliofanyika Hotel ya Hyatt na kuhudhuriwa na wadau mbalimbali wa sekta ya fedha, teknolojia na baadhi ya wateja wa NMB.

Huduma zilizozinduliwa ni uwezo wa mwananchi kufungua akaunti kupitia simu yake ya mkononi, App yenye huduma zote ambazo mteja anaweza kufanya mwenyewe badala ya kwenda kwenye tawi na Scan to Pay huduma ya kufanya malipo kwa kutumia QR code na hivyo kuwawezesha kulishikishwa kifedha.

App ya NMB KLiK inapatikana katika Playstore https://goo.gl/Fr9fZf na kupitia AppStore https://goo.gl/wQXZV6


Mgeni rasmi katika uzinduzi huo alikuwa ni Naibu Gavana Usimamizi wa Fedha Benki Kuu ya Tanzania (BoT) Dk.Benard Kibese ambaye alisema kwamba ubunifu huo utarahisha Watanzania wengi kufungua akaunti za benki hiyo kupitia simu zao za mikononi na kwamba hivi sasa watumiaji wa simu za mkononi ni wengi na hivyo huduma hiyo ya NMB imekuja wakati sahihi.

 “Tunaipongeza NMB kwa ubunifu huu ambao wamekuja nao wa kuhakikisha wanatumia teknolojia iliyopo kuanzisha huduma za kufungua akaunti kupitia simu ya mkononi na kizuri zaidi hata wenye simu za tochi bado wanaweza kufungua akaunti kupitia huduma hiyo,” alisema


Huduma hii imepokelewa vizuri na watumiaji wa mtandao wa Twitter ambao wamesema kwamba uzinduzi huo ni muhimu sana hususani katika mchakato wa kuipeleka Tanzania katika Uchumi wa kati. <blockquote class="twitter-tweet" data-lang="en"><p lang="en" dir="ltr">Been through that NMB TL and that <a href="https://twitter.com/hashtag/NMBJourney?src=hash&amp;ref_src=twsrc%5Etfw">#NMBJourn ey</a> imefungua memories mob and sone good throwback vibe too! Good to see how this bank (formerly MuAlizeti) have come along! Can’t wait to use their new app!</p>&mdash; PATRICE (@PatNanyaro) <a href="https://twitter.com/PatNanyaro/status/1029317002589024258?ref_src=twsrc%5Etfw">Augus t 14, 2018</a></blockquote> <script async src="https://platform.twitter.com/widgets.js" charset="utf-8"></script> <blockquote class="twitter-tweet" data-lang="en"><p lang="en" dir="ltr">Life made easy! NMB KLiK ���� Tried it, and it worked magic! Beautiful app <a href="https://twitter.com/NMBTanzania?ref_src=twsrc%5Etfw">@NMBTanzania</a> <a href="https://t.co/iMoiGzikIb">pic.twitter.com/iMoiGzikIb</a></p>&mdash; Mafuru (@MafuruJ) <a href="https://twitter.com/MafuruJ/status/1029629050837499905?ref_src=twsrc%5Etfw">August 15, 2018</a></blockquote> <script async src="https://platform.twitter.com/widgets.js" charset="utf-8"></script> <blockquote class="twitter-tweet" data-lang="en"><p lang="en" dir="ltr"><a href="https://twitter.com/NMBTanzania?ref_src=twsrc%5Etfw">@NMBTanzania</a> hii app yenu nimeirate 4.9 out of 5. Ipo designed proffesionally<br> Great job<a href="https://twitter.com/hashtag/changeTanzania?src=hash&amp;ref_src=twsrc%5Etfw">#change Tanzania</a><br>I am banking at my comfort with NMB KLiK app. Download here <a href="https://t.co/PWaIFLiPrg">https://t.co/PWaIFLiPrg</a></p>&mdash; Senior Citizen™ (@heliufoo) <a href="https://twitter.com/heliufoo/status/1029819330094096384?ref_src=twsrc%5Etfw">August 15, 2018</a></blockquote> <script async src="https://platform.twitter.com/widgets.js" charset="utf-8"></script> <blockquote class="twitter-tweet" data-lang="en"><p lang="en" dir="ltr">The new NMB KLiK App is revolutionizing the mobile banking in Tanzania like never before �������� congrats <a href="https://twitter.com/NMBTanzania?ref_src=twsrc%5Etfw">@NMBTanzania</a> for major milestone</p>&mdash; Julius J. Mbungo (@007juelz) <a href="https://twitter.com/007juelz/status/1029692395091308544?ref_src=twsrc%5Etfw">August 15, 2018</a></blockquote> <script async src="https://platform.twitter.com/widgets.js" charset="utf-8"></script>

Kimenuka..Yabainika Kuwa Diamond Alitafuta Kiki Kupitia Safari ya South Africa

$
0
0
Msanii wa filamu Shamsa Ford, amedai kuwa msanii wa muziki Bongo, Diamond Platnumz alikuwa anafanya kiki kwa kudai watu watasafirishwa kwenda nchini Afrika Kusini kwenye sherehe ya birthday ya mtoto wake Tiffah.

 VIDEO:

Irene Uwoya 'Dogo Janja Alikurupuka tu Kutoa Wimbo wa Banana Hakuniomba Ushauri ila Sawa tu'

$
0
0
Muigizaji wa filamu Bongo, Irene Uwoya amesema kuwa hakuombwa ushauri na mumewe ambaye ni msanii wa muziki Bongo, Dogo janja kuhusu wimbo wake wa Banana.

"Ila kwa upande mmoja au mwingine naona sawa tu kwa vile ni ujumbe amefikisha ila sijui kama aliniimba mimi au Msichana mwingine, Ningeshiriki kwenye Video ile ya Banana ingebidi anilipe hela nyingi tu kwa vile na mimi nina Managment yangu na yeye ana yake" Irene

Rayvany Apingana na Boss Wake Diamond 'Sio Issue Kutoka Kimapenzi na Kila Mwanamke Staa'

$
0
0

Mwanamuziki Rayvany ameulizwa kwanini yeye ametulia na hajawahi kusikika katika skendo mbali mbali za kutoka kimapenzi na warembo mastaa wa Bongo kama ilivyo kwa wasanii Wengine ikiwemo boss wake Diamond ambae amehusishwa katika Skendo nyingi za kutoka na Warembo Mastaa Mbali mbali, Ray Vanny Amejibu haya
"Mimi naishi maisha yangu, Najichukulia kama mtu wa kawaida niko sawa na watu wote, nataka nisiishi kama mtu ambae niko dunia nyingine nikajistress, sio ujanja kuwa na Wanawake maarufu mara huyu mara huyu, sitaki kuja kujuta baadae" Rayvany

Mpendwa Msomaji Tumefanya Marekebisha Katika Application ya UDAKU SPECIALl ili Kuiboresha, Bonyeza Hapa Ku Update

$
0
0
Tumeiboresha zaidi Application yako Pendwa ya UDAKU SPECIAL iliyopo Google Play Store ili uweze kupata Habari zetu Vizuri

Bonyeza HAPA Ku Update au 
Download Upya HAPA

Muone na Wasiliana na Dr Kanengo Bingwa wa Tiba Asili, Hutibu Magonjwa Haya

$
0
0
NKURURU:-ni dawa inayotibu miguu kuwaka moto, kiuno tumbo     kupooza/kuparalazi  kupoteza  fahamu  MALABALA  hutibu  kisukari , uti  wa  mgogo,  Change, pumu, busha, kaswende, kifua  kikuu, muwasho  sehemu  ya siri

POWER :-ni dawa ya kuongeza nguvu za kiume ni vidonge  20

MPERAMPERA:- ni dawa ya kurudisha Mke, mme, mpenzi,mchumba aliyekuacha /kuteseka, ni kwa mda wa siku 2 tu kusafisha, pia kunakuna dawa za kupunguza vitambi(nyama uzembe),  maziwa makubwa,michirizi, mikovu makubwa, chunusi sugu.

SIX POWER:-inatibu upungufu wa nguvu za kiume kwa wasio weza kumudu tendo la ndoa itakufanya uwe na hamu ya kurudia tendo la ndoa zaidi ya Mara 4 bila hamu Keisha, inaboresha maumbile madogo na inaimarisha misuri iliyo regea na kusinyaa una pona kabisa, ndani ya siku 4 tu

GASELA:-ni dawa ya maajabu (9) yaliyoshindikana.    (1)-Kisukari, vidonda vya tumbo, tezi dume,walioshindikanika kupata watoto(ugumba),busha bila oparesheni, (2)zindiko Kali Katika biashara yako (chuma ulete)  ndo kiboko yao kumkamata mwizi aliye kuibia vitu vyako pikipiki, gari, n, k( 2)zindiko la nyumba, mashamba, viwanja,. ( 3 ) kurudisha mtu aliye kufa kiutatanishi (msukule) (4)kukutolea sumu uliyo ikanyaga (Mtego) (5)ujiamini kutumia dawa ya maajabu Saba (6)kutoa mikafara mfano ugomvi ndani ya nyumba kufukuzwa kazini bila sababu (7)kutabiri nyota na kung'arisha (8)kurudisha Mali iliyo potea mazingira ya kutatanisha, kushinda kesi uliyo sumbuka nayo mda mrefu. (9)kufukuza majini wa  chafu ndani ya mji,.Haya yote yana wezekana kwa DR KANENGO popote ulipo ukiniitaji nafika napatikana buguruni chama, mbagala zakhiem karibia na uwanja wa mkutano, na wilaya ya bunda musoma : mawasiliano  ni simu namba :-0767-17-17-73 na  0716-60-89-59

NI  KWA  WALIO  TUMIA  DAWA  ZA MATATIZO  MBALIMBLI  BILA  MAFANIKIO   uwezo  WA  kurudisha  mali  iliyopotea  au  kudhulumiwa    muda  mfupi  tu,  Na natoa  dawa  ya  utajiri  kwa  wafanya  biashara     wachimbaji  madini, wafaryakazi,  wakulima, wafugaji na  kwa yeyote  anayetaka  kuwa  na  pesa   nyingi  katika   maisha  yake,  Na  pia  anaunganisha  utajiri    kwa muda  mfupi  sana  pamoja  na  kuboresha  akili  kwa  wanafunzi  na  kumfanya  afaulu  mitihani  yote  au  intaview  yeyote  na  ana  uwezo  mkubwa  wa  kutibu  ugonjwa  wa  Uvimbe tumboni .  pia anarudisha  Mke, mme, mchumba,    hawara, kwa  muda  wa  saa  3  na  anatimiza mahitaji  yote  hata  kama  upo  mbali   kiasi  gani,  ahadi  zote  atatimiza  kwa  muda  mfupi  tu  Na  kumfunga  asiwe  na mtu  mwingine  kwa  nini  unaumiza  kichwa ?

Muone  ( DR  )KANENGO,anatibu  nguvu  za  kiume  anarefusha  na  kunenepesha  uume  kwa  saizi  uipendayo  kwa  muda  mfupi   sana, pamoja  na  kuwa  na  hamu  ya  kurudia  tendo  la  ndoa  mara  4  bila  hamu  kuisha   Na  utachelewa   kufika  kileleni  kwa  muda  wa  dakika   40  bila  kuchoka  hata  kama  una umri  mkubwa  kiasi  gani   Gerentii  miaka /=60    ukisha  pona  bila tatizo   kurudia  pia ana  uwezo  mkubwa  wa  kuongeza  hips na  makalio,  pia   anatibu  magonjwa  sugu  ya  zinaa  tumbo  kujaa  gesi,  kuuma  chini  ya  kitovu,vidonda vya tumbo,   kiuno,  miguu    kuwaka  moto  miguu,  kuvimba..Nk..Angalizo usitume meseji wala kubipu..
You can get it in   all East African countries, our service is fast and easy...

Contact Whatsapp 0767171773.Dar es salaam Tanzania. ..Dr. KANENGO 0716608959...You are welcome.

Dokii Akanusha Kuhusika Kumtafutia Managment Mpya Rich Mavoko Baada ya Kugombana na WCB

$
0
0
Kumekuwa na Sintofahamu Baada ya Dokii Kutangaza kuwa WCB Wanamnyonya sana Rich Mavoko na baada ya siku kadhaa Mavoko kutoa wimbo mpya kwenye Channel ya Youtube iliyoandikwa BilioneaKid, Sasa Dokii ameibuka na kusema haya:

'Watu wanaongea sana ila hakuna kitu kama hicho cha mimi kumtafutia Rich Mavoko Lebo mpya baada ya kutoka WCB, Hana lebo mpya bado tupo tu kifamilia, Watu waache kuongea ongea vitu wasivyovijua vizuri' Dokii

VIDEO: Roma afunguka kuandamwa na adhabu za BASATA / Kuhusu kufungiwa kwa Parapanda

$
0
0
Msanii wa muziki wa Bongo Fleva, Roma, ametoa sababu za BASATA kumfungia mwenyewe kwenye badala ya Stamina ambao wote kwa pamoja wametengeneza umoja 'ROSTAM'. Pia msanii huyo amefunguka kwa mara ya kwanza kuwa wimbo wao wa Parapanda haujafungiwa ni ruhusua kwa vyombo vyote vya habari kuucheza.

TAZAMA FULL VIDEO HAPA CHINI


Wajue Watu Ambao Hupaswi Kuwapa Msaada Wako

$
0
0
Kati ya jambo ambalo unatakiwa kuwa nalo makini sana ni pale unapotaka kutoa msaada. Inaweza ikawa ni ukweli unaouma, lakini iko hivi si kila mtu anahitaji msaada wako, wapo watu ambao msaada wako hawataki ila wewe unajipendekeza tu kwao.

Si kwambii usitoe msaada, toa msaada ila kwanza anza na kuchunguza, hutakiwi kutoa msaada wowote hovyo hovyo kama unagawa karanga. Hebu waangalie matajiri misaada yao wanatoa hovyo kwani? ni watu makini sana katika kutoa misaada yao.

Hata wewe unatakiwa kuwa hivyo, pamoja na kwamba wewe unaweza ukawa ni mtu mkarimu, lakini ukarimu wako usipitilize na kuwa matatizo kwako kwa kutoa msaada ambayo itakuumiza wewe na kukufanya ujute, kwa nini ulitoa msaada.

Pengine naomba nikuulize, hujawahi kuona watu wakilalamika au wakisononeka kwa sababu ya kutoa misaada yao ambayo baade iliwageukia? Wapo watu wa namna hiyo ambayo misaada yao iliwatokea puani na kuwa maumivu makubwa.

Kama hujanielewa vizuri naomba nikwambie hivi, si watu wote wanahitaji msaada wako, chagua wale ambao wanahitaji msaada wako kweli na wape. Utajuaje hilo, naomba nikwambie watu ambao hutakiwi kuwapa msaada wako hata iweje.


1. Usitoe msaada kwa watu ambao hawastahili kupata msaada wako.

Naamini kabla hujatoa msaada wowote, kuna watu ambao unaona kabisa kutokana na vigezo ulivyoweka unasema watu hawa wanastahili msaada wangu. Kama unaona watu hawa hawajatimiza vigezo, usitoe msaada huo.

Kwa mfano, tuchukulie umeanzisha huduma ya aina fulani iwe semina au kitu chochote na unataka wartu walipie ndio wapate huduma hiyo. Inapotokea baadhi ya watu wameshindwa kulipia usitoe huduma hiyo kwao hata kidogo.

Hata inapotokea wamekujia na maombi ya uwape huduma bure kataa, maana hao hawastahili msaada wako. Tatizo la watu wengi wanapenda sana kuwanyonya watu wengine, na hawataki kuingia gharama yoyote ile wanataka vya bure tu.

Kwa hiyo unapoona watu hawako tayari kufata vigezo, basi ujue watu hawa hawataki kulipa gharama na kama watu hawako tayari kulipa gharama na msaada wako pia wanauona si kitu na ndio maana hata gharama unazoweka hawalipi.

Usiwe rahisi kutoa msaada, na kama umeamua kutoa msaada wa bure hakikisha kuna namna unayofaidika kwenye msaada hupo pasipo watu hao kujua au hata kwa kujua. Kikubwa usikubali kunyonywa na ukabakizwa mweupe kwa sababu ya msaada.

2. Usitoe msaada kwa watu ambao hawako tayari kupokea msaada wako

Kuna wakati unaweza ukawa una nia nzuri tu ya kutoa msaada, kwa mfano,  kuwashauri rafiki zako au ndugu zako juu ya kufanya mradi wa aina fulani ambao ni mzuri na utawatoa kiuchumi toka sehemu moja na kwenda nyingine.

Lakini nikwambie hivi, watu hao ambao unakuwa umepanga kuwapa msaada huo kama hawako tayari kuupokea na wala hawana hamasa na shauku ya kuupokea msaada huo, inakuwa ni sawa na kazi bure na tena watakuwa adui zako wakubwa

Hapa kitu unachotakiwa kuwa nacho makini ni kuangalia usitoe masada wowote ule kwa kujipendekeza ili uonekane ni mwema. Dunia  na watu wake hawana shukrani, unaweza ukajuta sana kwa nini ulimsaidia sana mtu huyu au watu wale.

Ni jambo la kusikitisha na kupoteza muda wako sana kama unawasaidia watu ambao hawasaidiki. Hapa ndipo umuhimu wa kuchunguza mazingira watu unawaotaka kuwasadia wanataka msaada wako au hawaututaki hata kuusikia kwenye masikio yao.

Kikubwa kwako hapo kaa kimya, kama kuna watu wanahitaji msaada wako kweli wa hali na mali najua watakuja kwako lakini si kutoa msaada kwa watu ambao hawako tayari kuupokea na wala hawana shukrani, achana na hiyo baishara mara moja.

Kwa kuhitimisha makala hii ieleweke hivi, hao ndio watu ambao hutakiwi kuwapa msaada, lakini hata hivyo na wewe usitoe msaada kama huna uhakika msaada huo utaufanikisha kwa asilimia kubwa kama inavyotakiwa iwe.

Mazingira yoyote yatakayopelekea wewe ukashindwa kufanikisha msaada utajenga uadui mkubwa sana kati yako wewe na yule ambae ulikuwa umeamua kumpa msaada tena kwa nia iliyo njema, kuwa makini katika hilo.

Fanyia kazi haya na chukua hatua kuhakikisha ndoto zako zinatimia.

Lugola Aonya Polisi Kutumiwa Na Mafisadi Kupora Ardhi Za Wananchi

$
0
0

Na Felix Mwagara, MOHA
WAZIRI wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Kangi Lugola amewaonya Polisi nchini ambao wanatumiwa na mafisadi kuwanyanyasa wananchi maskini kwa kupora ardhi zao na kukimbilia kufungua kesi vituoni wakilazimisha ardhi hiyo iwe mali yao.

Akizungumza na mamia ya wananchi katika mkutano wa hadhara uliofanyika Kijiji cha Ragati, Kata ya Kasuguti, Jimbo la Mwibara, wilayani Bunda, Mkoa wa Mara, Lugola alisema amepata malalamiko mengi kutoka sehemu mbalimbali nchini, kuwa mafisadi uonea wananchi maskini  kwa kupora kwa nguvu ardhi wakidai wanamiliki wao na wanatumia badhi ya polisi wasiokua waaminifu ili kuwakandamiza wananchi hao.

Kutokana na hatua hiyo, Lugola amepiga marufuku kwa mwananchi yeyote ambaye anakurupuka kukimbilia kituo cha polisi kufungua kesi za ardhi ambazo hazina uthibitisho wa jinai yoyote, badala yake kesi au malalamiko yake kwanza ayapeleke katika mabaraza ya ardhi katika eneo husika ili ziweze kutatuliwa.

Lugola ameongeza kuwa, mafisadi hao ambao wanafedha baada ya kuona mmiliki halali wa ardhi hiyo anagoma kuondoka katika sehemu husika, basi utumia fedha zake kwa kukimbilia polisi kufungua kesi bila ya kuwa na uthitisho wowote huku baadhi ya polisi wasiokua waaminifu wakitumiwa katika kufanikisha ardhi hiyo ananyang’anywa mwananchi huyo.

“Kuanzia leo mwananchi yeyote atakaeenda kufungua kesi kituo cha polisi inayohusu masuala ya ardhi na endapo kiwanja hicho kimepimwa lazima awe na hati inayoonyesha yeye ni mmiliki halali, ili iwasaidie polisi wajue wewe ndio mmiliki halali, na kwa upande wa ardhi ambayo haijapimwa lazima mwananchi huyo aende polisi akiwa na uthibitisho kutoka kijijini au katika mtaa  unaosema kwamba eneo hilo ni la kwako na polisi wathibitishe hilo,” alisema Lugola.

Lugola aliongeza kuwa, na endapo kesi ya mlalamikaji yeyote ipo mahakamani anapaswa kuheshimu makahama na si kuendeleza kufanya usumbufu katika jamii pamoja na kwenda polisi na kuanza kutafuta njia ya kumsumbua mwananchi ambaye ni maskini katika eneo hilo.

Katika hilo, Lugola alifafanua kuwa, endapo mwananchi ana hukumu ya mahakamani inayoonyesha ameshinda kesi hiyo, mwananchi huyo anapaswa kwenda polisi na nakala ya hukumu yake ili polisi waweze kushuhudia kwamba pande zote mbili ziliwahi kugombana kuhusu ardhi na kufikishana mahakamani lakini mmojawapo alishinda.

“Rais Magufuli alianzisha Mahakama ya mafisadi hapa nchini, kwa taarifa niliokua nayo, mahakama hii ina uhaba wa mafisadi, sasa mimi nitaitafutia wateja kwa kuhakikisha wale mafisadi ambao uonea wananchi, utesa wananchi, uiba fedha za serikali au taasisi yoyote nitawafikisha katika mahakama hiyo, hatutakubaliana na manyanyaso ya aina yoyote katika Serikali hii ya awamu ya tano” alisema Lugola.

Lugola aliongeza kua, hataki kusikia  mwananchi anaonewa, na pia aliapa hatacheka na mafisadi, atapambana nao sehemu yoyote nchini na pia yupo tayari kwalolote na  ameanza kupambana na mafisadi ndani ya wizara yake na tayari wameanza kurudisha fedha za Serikali.

Aidha, Lugola katika hotuba yake alipiga marufuku kwa waendesha bodaboda wenye tabia ya kubeba abiria zaidi ya mmoja kuiacha tabia hiyo ili kuepusha ajali, lakini aliwataka polisi kutorudi nyuma, wahakikishe wanawakamata waendesha bodaboda wasiofuata sheria za usalama barabarani.

Waziri Lugola yupo katika ziara jimboni kwake kwa kutembelea miradi mbalimbali ya maendeleo pamoja na kuwaunganisha wananchi kupitia Bonanza lake la michezo ya mpira wa miguu ambalo linashirikisha kila kata wakitoa washindi mbalimbali ambao anawapa zawadi pamoja na kuingia moja kwa moja katika mashindano ya kugombea Kombe la Kangi.

Amber Lulu Afunguka kwa Sasa Ameacha Umalaya, Ameamua Kufanya Muziki

$
0
0
Msanii wa muziki, Amber Lulu amefunguka kwa kudai kwamba kuna wakati anaamua kufanya umalaya lakini kwa sasa ameachana na mambo hayo.

Muimbaji huyo ambaye alikuwa ni mmoja kati ya wasanii waliopamba tamasha la Komaa Concert la EFM, amedai kwa sasa ameamua kufanya muziki na kuacha mambo mengine.

"....Nafanya muziki kwa sasa, sifanyi mambo mengine na nikiamua kufanya umala nafanya kweli". Anakaririwa Amber Lulu

RC Makonda afunguka kuhusu Harusi ya Lulu Michael na Majizo, Wasipo Oana Nawafunga

$
0
0
Kwa kipindi kirefu kumekuwa na stori za hapa na pale kuwa muigizaji wa filamu Bongo, Elizabeth Machael 'Lulu' anaolewa na Majey.

Sasa basi, Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda jana  August  18, 2018 akiongea na waandishi wa habari alipohudhuria Komaa Concert aliulizwa kuhusu uwepo wa harusi hiyo.

RC Makonda amesema Harusi ya Lulu na Majey ni miongoni mwa harusi tatu ambazo ni lazima azisimamie.

"Majizo tayari yupo kwenye mipango na binti yangu Lulu na wameshakuja nyumbani na wameshafanya vikao vingi vya kupanga kwa ajili ya Harusi," alisema RC Makonda.

RC Makonda ametaja harusi nyingine mbili ambazo lazima azisimamie ni ile ya Meya wa Kinondoni, na ya Lemutuz, Amedai kuwa wasipooana anawafunga

Msikilize hapo chini

Soma Nafasi za Ajira Zilizotangazwa Week end Hii

$
0
0

Kwanini Baadhi ya Wanaume Wana Maumbile Mafupi na Upungufu wa Nguvu za Kiume? Suluhisho Hili Hapa

$
0
0

KWANINI BAADHI YA WANAUME WANA MAUMBILE MAFUPI NA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME DR SITTA NDO SULULISHO LAKO tatiza, hili limekuwa likiwaasili watu wengi,sana kisaikolojia hasa baadhi yao kujiona wako tofauti na wanaume wengine, kwa kawaida, mwanaume anatakiwa awe na uume, usiopungua nchi 6-7au-8 ,vinginevyo mtu huyo anamatatizo zipo , sababu nyingi zinazosababisha, tatizo hilo baadhi ni (i) upungufu wa vichocheo vya HORMONES ZA CETROGEN ambazo mwanaume, anapobarehe vichocheo hivi, HORMONES hizo, husaidia ukuaji wa uume

SUPER MIZIZI, ni dawa inayozalisha HORMONES ZA CETROGEN,na kufanya, uume kukuwa na kuongzeka sazi utakayo na kuzibua mlija iliysinyaa,

NSHOLA ni dawa bora, ya kurudisha nguvu, za, kiume bari inatibu ,kabisa kutoa tatizo hilo, na kukupa , hamu ya , kurudia tendo, la ndoa zaidi, ya mala nne 4 ,bila kuchoka atakama unaumli ,wa mika 80,! pia ana ,dawa za ,kutibu, presha ya kupanda ,na kushuka, kisukari kuondoa, mafuta , mwilini ,na maumivu ya, mgogo kiuno, dawa zipo, matazo, ya hedhi, kwa ,wanawake hedhi, zisizokuwa na, mpangilio, na kasonono, pia , vidonda ,vya, tumbo ,(STOMACHI UCLENS) IHUSHI ndoji lako.

NKANYA ni dwa ya mvuto wa kimapenzi ,mchumba mpenzi ariyekuacha, mke mme, atakuludia kwa, mda, wa msaa3 tu , ukishaitumia atarudi ,mwenyewe bila ,ugovi tena, NKOMA ni dawa kuongeza HIPS na mguu wa bia kwa wadada .

HERBON, ni, dawa, ya kuongeza, CD4, NGAKAMA ,ni dawa ya kutibu ,miguu, kufaganzi, na ,kuwaka moto, huduma zetu ,zipo ,vizuri, popote pale dawa utaletewa! DR SITTA, amebobea, kwa tiba asilia

DAR ANAPATIKANA MBAGALA, ZAKHEM, SONGEA BOMBAMBILI SHINYANGA, KAHAMA MJINI, KWA MAELEZO ZAIDI , PIGA SIMU 0763172670 au 0715172670

WOTE MNAKALIBISHWA, KAMA, UTAKUWA NA TATIZOUTAHUDUMIWA

Wanawake Wengi wa Siku Hizi Hawajui Kupika..Urembo Umechukua Nafasi

$
0
0
Tofauti na miaka ya zamani wakati tunakua,wazazi wetu walikuwa wakipika chakula watoto mnafurahia chakula kutokana na mapishi mazuri.

Kwa mfano, wa mama na wa dada wa zamani(waliozaliwa miaka ya 60 kurudi nyuma) wengi wao walikuwa wapishi wazuri kwenye familia zao kiasi kwamba wakipika chakula mfano pilau, wali, samaki,chapati,maandazi,n.k, wanafamilia chakula mnakifurahia tofauti na siku hizi.

Hivi sasa unaweza kuta mwanamke mrembo ila akipika chakula,unaweza kula tu kwa kumuonea aibu na hali hii ni hata kwa ma-house girl wa siku hizi ambae ukimleta kwako inabidi umpe darasa la kupika chakula chenye ladha.


Kwenye migahawa na wa mama ntilie na kwenye nako hali ni hio hio.Mtu unaagiza chakula kula unashindwa na bado ukibadili mgahawa hakuna guarantee kwamba unakohamia kuna unafuu (afadhali).

Inawezeka mfumo wa maisha ya kisasa ndio unachangia hali hii kwa kiasi kikubwa na hasa kwa waloizaliwa kuanzia ya miaka ya 80 mwishoni na kuendelea.

Wanachojua wanawake wa siku hizi ni kupaka make up na wapi yanauzwa mawigi
Viewing all 104712 articles
Browse latest View live


Latest Images