Quantcast
Channel: UDAKU SPECIAL
Viewing all 104415 articles
Browse latest View live

Utamgunduaje Msichana Mwenye Tabia ya Kufanya Mapenzi Kinyume na Maumbile?

0
0
Hapo vip!!
Kiukweli kwa nyakati hizi wanaume ambao tunania Ya kuoa tunawakati mgumu na changamoto kubwa sana.

Naamini kwa mwanaume mwenye maadali na mwenye hofu Ya Mungu, akimuoa mwanamke mwenye tabia ya kutoa kinyumeitakuwa ni fedheha kubwa na laana hata katika watoto mtakao wazaa

Kwa siku hizi, hii tabia inaonekana ni kwenda na wakati au ujanja fulani Kwa msichana au mwanaume kufanya hivyo..

Hii tabia haitaacha, hii new generation salama,kwasababu inaenea kwa kasi kama Moto wa petroli.

Inasikitisha sana, tena sana... Imaging umemuoa mtu mwenye tabia kama hizi..nawanasema kama alishazoeshwa lazima atamtafuta mwanaume mwenye kutumia kule ili awezekuridhika,sasa hii ndoa itakuwa salama kweli ,anyway kwa baadhi Ya wanaume mnaependa kutumia kule kwenu sawa tu..

Sasa ilikuepuka kuingia kwenye ndoa na mwanamke mwenye tabia kama hizi utafanyaje uweze kugundua mapema..?

By Tajiri Tanzanite

Mkuu wa Mkoa wa Simiyu Awapiga Marufuku Wakuu wa Wilaya Kuweka Watumishi wa Umma Mahabusu

0
0
Mkuu wa Mkoa wa Simiyu Anthony Mtaka amesema hataki kusikia wakuu wa wilaya zilizopo katika Mkoa wake wakiwaweka ndani watumishi wa umma.

Mtaka ametoa kauli hiyo  Ijumaa Agosti 17, 2018 wakati akifunga kikao cha madaktari wa mikoa na wilaya zote nchi nzima uliofanyika mjini Dodoma.

“Sisi viongozi tuwalinde watumishi wetu, mimi nilipoenda kuwa mkuu wa mkoa wa Simiyu niliwaambia wakuu wangu wa wilaya kuwa sitaki kusikia mtumishi wa umma kuwekwa mahabusu,” amesema Mtaka.

“Wakati mwingine ukiona matamko ya wanasiasa kwenye maeneo ya kazi unajiuliza hivi RM0 (mganga mkuu wa mkoa) anakaa kwenye kikao kushauri haya yatokee? Kwenye mkoa wangu hutaona huu upuuzi.”

Agosti 14, 2018 Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (Tamisemi), Selemani Jafo alikemea tabia ya baadhi ya wakuu wa wilaya kutumia vibaya mamlaka waliyonayo kuwaweka watu ndani.

Aliwataka wakuu hao kuhakikisha wanasoma na kuzielewa sheria zinazowaongoza ili kufanya kazi kwa weledi.

Katika siku za hivi karibuni, wakuu wa wilaya wamekuwa wakitumia ‘sheria ya saa 48’ kutoa adhabu kwa kuwaweka baadhi ya watu mahabusu.

Mamlaka hiyo wamepewa kupitia Sheria ya Tawala za Mikoa ya mwaka 1997 na hutakiwa kutumia amri ya kumweka ndani-kwa muda usiozidi saa 48-mtu au kundi la watu ambao kubaki kwao nje kunaweza kusababisha madhara  makubwa katika jamii.

Baadhi ya viongozi hao wamekuwa wakitumia sheria hiyo kama adhabu au hukumu, badala ya malengo yaliyowekwa ya kulinda usalama wa watu wengine.

Wanaume Wakimya Hawatabiriki Wanaposalitiwa Kimapenzi..Soma Hapa Jamaa Alichomfanyia Huyu Msichana

0
0
Nilikutana na rafiki yangu Frank jijini Dar baada ya kua tumepoteana tangia tulipomaliza sekondari O Level na kila mmoja wetu akapangiwa mkoa tofauti kwa masomo ya A Level. Sasa hivi yeye ni muajiriwa wa taasisi moja nyeti ya fedha na huku akiwa na biashara zake kadhaa

Tukawa na kawaida ya kuonana tunapopata nafasi na alipokua anakujua mitaa ninayokaa siku moja macho yake ya kaangukia kwa dada mmoja anaitwa Victoria. Kwa mwanaume uliyekamilika mara ya kwanza unapomuona Vicky huwezi kumuanagalia kwa mara moja lazima utamuangalia tena na tena! Itoshe kukwamambia Vicky alikua mzuri hasaa

Nilifanya juhudi hafifu(minimum efforts) kumzuia Frank asianzishe mahusiano na Vicky maana namjua Vicky nae akinijua japo tulikua hatujazoeana na sababu kubwa ni kwamaba mambo ya kumkataza mtu asiingea kwenye mahusiano yalishawahi kunitokea puani na kuna uzi nilileta humu

Mahusiano yao yalikolea haswaa na kwa muda mfupi Vicky akahamishwa na kupangishiwa nyumba sehemu nyingine, kukawa na safari za Nairobi, Bankok na Dubai ambapo alinunuliwa ka Vitz ili imsaidie kum shuttle mjini. Kiwanja cha nyumba nilikitafuta mimi baada ya kuombwa na Frank na bibie akawa anajengewa nyumba ambayo japo ilikua ndogo tu lakini ilikua nzuri na ikawa inapauliwa huku maandalizi ya finishing yanafanyika

Ikapita miezi kadhaa siku hiyo majira ya saa tatu asubuhi Frank ananipigia simu akitaka tuonane. Tulipoonana alikua mkimya na mtulivu na hakuweza kunywa hata breakfast aliyoagiza, kisha akatoa simu yake akanionyesha kitu amabacho kwakweli nikajifanyisha kushangaa lakini kwa ndani hata sikushangaa maana nilikitarajia kutokea siku moja, na baada ya hapo akanieleza kilichotokea

Yeye alikua ameoa na hakua na kawaida ya kulala nje ya kwake, na hata siku moja hakuwahi kupitisha usiku mzima nyumbani kwa Vicky. Hua anakaa tu hata ikiwa saa sita usiku anarudi kwa mkewe. Siku huyo mkewe alikua kasafiri akataka am surprise Vicky. Alipotoka kazini jioni alipitia kwa Vicky na ilipofika saa mbili usiku akaondoka. Na akiondoka hua harudi tena. Lakini siku hiyo ilipofika saa tano usiku akarudi tena nyumbani kwa sweetie wake asimkute

Kupiga simu mwanamke akawa kama yupo usingizini au ana fake kalala na akawa anasema yupo nyumbani na jamaa wala hakumshtua. Alikua na funguo zaake za nyumba hiyo akaingia ndani akakaa. Akawa anampigia kila baada ya nusu saa wanongea kawaida tu mwanamke anasema anatamani jamaa angekuwepo walale wote kwani amemmiss! Jamaa akalala hapo hadi asubuhi bila Vicky!

Kama Mungu tu, alipokua anaondoka asubuhi akawa amepaki gari yake opposite na ile nyumba anayokaa Vicky. ile Vitz ikawa inakuja inaendeshwa na mwanaume, Vicky yuko pembeni. Hawakujua kama kuna mtu na gari ile gari iliyopaki pembeni ya nyumba ya Vicky na wala hakuijua maana ni ya mke wa Frank. Ile Vitz haikua tinted sasa waliposimama tu wakaanza kunyonyana ulimi! Frank akapata ujasiri, mahali alipokua akaweza kuwapiga picha ya video kwenye simu na waliposhuka kufungua geti walikua wamekumbatiana na akaipata picha vizuuri!

Alichofanya Frank kesho yake akampigia simu Vicky aende akaangalie gari RAV4 kwenye yard flani ya kuuzia magari ya jamaa yake ili amnunulie aachane na ka Vitz(Nilikuja gundua Frank ndie mmiliki wa nyuma ya pazia wa yard hii) Alipofika akaambiwa ile RAV inauzwa 16mil na ishalipiwa na Frank 12mil kwa hiyo Vicky alipowasiliana na Frank akaambiwa kama amependa ni vizuri kwa hiyo atafute mteja faster wa vitz hata kwa milionne ili apate RAV ambayo Frank kashailipia 12 kwa akjili ya yeyeVicky! Kwa msaada wa madalali ndani ya muda mfupi akawa kashaiuza gari yake na akamtaarifu Frank

Frank akamwambia wala asisumbuke kulipa zile hela pale yard. kuna hela yeye Frank atapata kesho yake na watalipia gari. Akamwambia ajiandae wanasafari ya Nairobi kuna nyumba kali sana waliwahi kuiona huko sasa wakachukue ramani yake aje amjengee hiyo nyumba ya ramani watakayoifuata Nairobi aachane na kale kanyumba kadogo
Kwahiyo katika milioni nne alizouzia gari achukue milioni moja afanye shoping ya vyakula na nguo, milioni mbili aende kwenye kampuni flani ya ujenzi wakafanye demolition ya "kile kinyumba" alichokua anamjengea ili kutoa nafasi kwa nyumba ya ramani kali! Vicky ndio alichokifanya. Yaani ndani ya masaa nane katika siku moja akawa kauza gari na kabomoa nyumba kwa mshangao wa wengi mpaka mafundi walokua site, tena kabomoa yeye mwenyewe bila uwepo wa Frank around

Zoezi lote la uuzaji gari na ubomoaji nyumba lilipokamilika Frank akamtumia zile picha alizokua amenionyesha mimi na meseji ya kwamba kuanzia siku hiyo asahau kama aliwahi kua na mpenzi anaitwa Frank, wala hakutaka suluhu ya aina yoyote!
Kama Vicky angekua anapajua nyumbani kwa Frank angemfuata bahati (sijui nzuri au mbaya) alikua hapajui. Alikwenda kwenye ile yard ya magari akaambiwa Frank kaja kuchukua hela zake gari halitaki tena! Alijaribu kumfuata mara kadhaa ofiini kwake lakini bahati nzuri taratibu za kuingia pale ni ngumu. Alikuja kwangu na akaniachia kizaazaa na wife kua nimetokana nae wapi maana anajulikana mambo yake! Kwa ufupi alichanganyikiwa akapagawa yule binti aisee

Ni muda mrefu toka yatokee hayo na jana nimekutana na Victoria. Yeye ndie alienikumbuka. Mimi ningemsahau! Amebadilika, amechoka, amezeeka! Sijui nini kimesibu shemeji yangu. Nilimpatia hela kidogo ya soda akashukuru sana na nikachukua namba yake baade niliongea na Frank(Yupo Mwanza sikuhizi) akanambia nimpe hiyo namba atamtumia chochote kimsaidie kidogo. Sija check nae kujua kama alishafanya hivyo

By Sesten Zakazaka

Serikali Kupeleka Umeme Hadi Kwenye Nyumba za Tembe

0
0
WAZIRI wa Nishati, Dk. Medard Kalemani, amewataka wakandarasi wote nchini wanaotekeleza mradi wa Umeme Vijijini Awamu ya Tatu (REA III), kuhakikisha wanaweka umeme katika nyumba zote zikiwamo za tembe huku akipiga marufuku kurukwa.

Akizungumza wakati akiwasha umeme katika vijiji vya Lukungu, Nyakaboja na Bukabile vilivyoko Wilaya ya Busega, Simiyu, alisema wamekuwa wakipata taarifa za wakandarasi waliopewa kazi ya kutekeleza mradi huo kuwa wamekuwa wakiziruka nyumba hizo kwa madai hazifai kupata huduma hiyo.

Aliwataka wakandarasi hao kuhakikisha wanapeleka umeme katika kila kijiji na kila kitongoji ili wananchi waweze kuondokana na adha kubwa wanayokumbana nayo ya kukosa nishati ya umeme.

“Nimepata taarifa kuwa wananchi wenye nyumba za tembe wanarukwa, maagizo yangu ni marufuku kuruka nyumba ya tembe, tena nyumba hizo zipewe kipaumbele cha kwanza kupata umeme na hakuna kuruka kijiji, kitongoji au nyumba yoyote,” alisema Kalemani.

Alisema Serikali haitaongeza muda, siku wala saa kwa mkandarasi yeyote atakayeshindwa kutekeleza mradi huo kwa muda mwafaka waliopewa na Tanesco na aliwataka kutekeleza mradi huo hadi kukamilika kwake kwa muda mwafaka.

Alisema mkandarasi White City anayetekeleza mradi huo Simiyu kasi yake ni ndogo na alimtaka kuongeza kasi zaidi ili kuhakikisha vijiji 152 mkoani humo vinapata umeme.

Alisema katika Wilaya ya Busega kupitia mradi huo vijiji vyote 54 vilivyoko wilayani humo vitapata umeme na aliwataka wananchi kuhakikisha wanalipia gharama ya Sh 27,000 ili kupatiwa huduma hiyo.

Pia alizitaka halmashauri zote nchini kuhakikisha wanafunga mfumo wa umeme katika taasisi za umma zikiwemo shule na vituo vya kutolea huduma za afya.

“Wakati sisi tukihangaika kuleta umeme kwa kila mwananchi, niwatake wakurugenzi wa halmashauri pamoja na madiwani kupitia vikao vyao, watenge bajeti kuhakikisha taasisi zote za umma zinafungiwa mfumo mzima wa umeme kwa ndani,” alisema Kalemani.

Awali, Mbunge wa Busega, Dk. Rafel Chegeni, alisema bado kuna baadhi ya vitongoji na vijiji vimerukwa na mkandarasi anayetekeleza mradi huo.

Dk. Chegeni alisema kilio kikubwa cha wananchi wa jimbo hilo ni ukosefu wa umeme na alimwomba Kalemani kutatua changamoto hiyo iliyodumu kwa muda mrefu.

BREAKING News: Malori Sita Yateketea kwa Moto Mpakani Mwa Tanzania, Rwanda

0
0
Moto mkubwa umezuka katika boda ya Rusumo iliyopo mpakani mwa Tanzania na Rwanda baada ya gari la Lake Oil kufeli breki kisha kugonga magari mengine na hivyo kusababisha ajali ya moto huo.

Kwa mujibu wa shuhuda ambaye yupo eneo la tukio hilo anasema takribani gari sita zikiwa za kampuni ya Azam zimeungua na moto huo, huku ikielezwa kuwa dereva wa gari la Lake Oil anahisiwa kupoteza maisha.

Kamanda wa Polisi Wilaya ya Ngara amethibitisha kutokea kwa tukio hilo na kusema bado wako kwenye uokoaji na taarifa kamili watazitoa baadae.

Habari Njema: Tunatibu Busha, Korodani Kuvimba,Ngiri, Miguu Kufa Ganzi Pamoja na Matatizo ya Nguvu za Kiume

0
0
Ni dawa ya nguvu za kiume inayorefusha na kunenepesha uume saizi uipendayo (Inch 1-7) kwa muda wa siku 6 tu.Dozi hii itakufanya uchelewe kufika kileleni kwa muda wa dakika 30, utarudia tendo la ndoa zaidi ya mara 4 bila hamu kuisha bila kujali umri na garantee ni miaka 60 baada ya kutibu tatizo.

Pia tunatibu Busha bila kufanyiwa Oparesheni, korodani moja kuvimba, ngiri, tumbo kujaa gesi na kuunguruma, kutopata choo vizuri, miguu kuwaka moto na kufa ganzi, chango la wanawake, kisukari na kutokwa na kinyama sehemu ya haja kubwa.

MIHAYO:
Inarudisha mke, mchumba, hawara na atakutimizia kila kitu unachotaka kutoka kwake ndani ya  saa 2 tu hata kama yupo mbali. atarudi na kumfunga asiwe na mwingine zaidi yako.

Umefukuzwa kazini? unataka kupandishwa cheo? Umepoteza pesa zako kwenye biashara bila kujua umepandikizwa chuma ulete? Njoo urudishe pesa zako. Unauza mali yako haiendi? Wasiliana na mtaalam Challo kwa; 0714006521

Theresa Shayo: Miss Tanzania Mwafrika wa Kwanza 1967 Katika Historia ya Tanzania

0
0
Mwaka 1960 ndipo Mashindano ya urembo nchini yalipoanza na hayatakuwa na muonekano wa kimataifa kwa sababu yalifanyika kwenye maeneo machache.

Kwani kumbukumbu zilizopo zinaonyesha kwamba mrembo wa kwanza kunyakua taji hilo la Miss Tanzania, si mwingine bali alikuwa Theresa Shayo.

Kutokana na maadali na utamaduni ya mtanzania serikali ililazimika kuyapiga marufuku mashindano hayo ilipofika tu mwaka 1967, kabla ya Rais wa awamu ya pili Alhaj Ali Hassan Mwinyi kuyaruhusu kuendelea kutokana na utandawazi kuanza kushika kasi ya ajabu.

Tangu kipindi hicho nchi yetu ya tanzania iliweza kufanikiwa kutoa warembo kadhaa walioshiriki mashindano ya kumtafuta mrembo wa dunia, wakiwemo Emil Adolf, Nancy Sumary, Saida Kessy, Basila Mwanukuzi, Hoyce Temu, Jacqueline Ntuyabaliwe na wengineo.

Mshindi huyo wa kwanza kushiriki mashindano hayo ya urembo ya Miss Tanzania Theresa Shayo, alifariki dunia huko Augburg Munich Ujerumani na kuzikwa uko uko alikokuwa akiishi miaka yote hiyo.

Mwaka 1967 ndipo hayati Theresa alitwaa taji hilo kwenye shindano lilofanyika hoteli ya Kilimanjaro, alifariki dunia january 26 mwaka 2007 na maradhi ya kansa ya tumbo huku akiwa na umri wa miaka 61.

Theresa hakubahatika kupata mtoto na alikuwa akiishi mjini Augsburg ambako aliolewa na mjerumani aitwaye Chrstian Rieger ambaye waliachana na hadi anakufa alikuwa akiishi na boy friend aitwaye Tonny.

Kabla ya hapo Theresa alikuwa akiishi peke yake mtaa wa Schmiedberg namba 9 katikati ya mji wa Augsburg na alimwachia nyumba hiyo mtanzania aitwaye Othman Lukindo.

Kwani alikuwa ni mtu mwenye huruma sana pamoja na kwamba alijiengemeza zaidi kwa ndugu zetu wa Kenya, alikuwa na upendo na kila mmoja uko alikokuwa akiishi alimpenda.

missy39-jpg.348689 
Miss Zanzibar wa kwanza Hediye Khamis Mussa (kati) akiwa na washindi wa pili na wa tatu January 13, 1968.

Mashindano haya yamekuwa yakitia fora na kujizolea umaarufu mkubwa ndani ya jamii ya watanzania, hasa baada ya kuwa chini ya uratibu wa Hashim Lundega, ambaye alianza kuyaendesha tangu mwaka 1994.

Kwani kupitia Lundega, kampuni mbalimbali zimekuwa zikijitokeza kudhamini mashindano hayo na kutoa zawadi zikiwemo za magari ya kisasa kwa washindi, hali iliyoyafanya yawe na ushindani mkali.

Ukuaji wa Mashindano haya ulikuwa ni wa kasi kubwa kwani watu wengi kama ilivyo kwa mchezo wa soka ama muziki, hasa baada ya muziki wa kitanzania kuingiliwa na vionjo vya kutoka nchi jirani ya Jamhuri ya Kidemokrasi ya Congo)

Katibu Mkuu CCM Azitahadharisha Nchi zinazoingilia Siasa za ndani

0
0
KATIBU Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi(CCM), Dk.Bashiru Ally amezitadharisha baadhi ya nchi za kigeni kuacha tabia ya kuingilia siasa za ndani ya nchi.

Amesema lazima nchi hizo hasa zenye balozi Tanzania ziheshimu Katiba na miongozo ya kisheria ya nchi, vinginevyo Tanzania itashindwa kuvumilia uchochezi unaofanywa na baadhi ya balozi nazowakilisha nchi hizo Tanzania.

Hayo ameyasema leo wakati akizungumza na wananchi na wanachama wa CCM katika viwanja vya Afisi kuu ya CCM Kisiwandui Zanzibar makuu, Dk. Bashiru amesisitiza kuwa Tanzania ni taifa huru linalojitawala lenyewe na hakuna nchi yoyote itakayoweza kuyumbisha demokrasia ya nchi hiyo.

Amesema kumejitokeza baadhi ya mataifa yanayojifanya viranja wa demokrasia ambayo yamekuwa na tabia ya kutoa matamko ya kuhusu ushindi wa CCM wakati haijasajiliwa kufanya kazi za kisiasa. Katibu Mkuu huyo ameeleza kuwa katika siku za hivi karibuni kumetokea taifa moja la kibeberu linatuma matamko kwenye mitandao ya kubeza ushindi wa CCM hivyo wanatakiwa waheshimu utawala na demokrasia ilioko nchini.

Dk.Bashiru amefafanua kuwa hakuna taifa lenye haki ya kubeza ushindi wa CCM inaoupata katika chaguzi ndogo zinazofanyika nchni, kwani kufanya hivyo ni kuingilia siasa za ndani za taifa hili. Katika maelezo yake amebainisha kwamba kinachotakiwa kitambulike ni kuwa CCM haitishwi na matamko ya aina hiyo ya kuibeza na kwamba hawache kuidharau.


Joh Makini Awatolea Mapovu Wanaosema Wamemmiss Joh Makini wa Zamani

0
0
NA ISMAEL MOHAMED
Rapa kutoka Weusi anayetamba kwa sasa na 'hit song' ya 'Simwachii Mungu', Joh Makini amefunguka na kudai sababu kubwa ya yeye kubadilisha aina ya uimbaji katika muziki ni kutaka kukimbizana na kizazi cha sasa jinsi kilivyo nasio kubakia pale pale alivyokuwa awali.


Joh Makini ameeleza hayo wakati alipokuwa anazungumza kwenye kipindi cha FRIDAY NIGHT LIVE 'FNL' kinayorushwa na tinga namba moja kwa vijana EATV, baada ya watu wengi kumlalamika juu ya uimbaji wake wa sasa hawauelewi na badala wanautaka ule wa awali alioanza nao, licha ya wengine kuwa wanaupenda.

"Huwa nafurahi sana mimi mtu akiniambia ame-miss Joh Makini wa zamani licha ya kuwa nashindwa namna ya kumsaidia kwasababu najiona mimi ni yule yule. Kinachobadilika ni maisha ya watu, floo ya wimbo, mashairi na midundo", amesema Joh Makini.

Aidha, Joh Makini amedai suala la kubadilika ni jambo la kawaida kwa madai anachofanya yeye ni kutaka kukimbizana na nyakati zilizopo nasio vinginevyo.

"Watu waliokuwa wanasikiliza muziki mwaka 2005, vijana kipindi hicho katika mwaka huu wengi wao sio vijana kwa hiyo ili kusudi uendane na generation na wakati uliopo lazima ubadilike, maana huwezi kuzuia mabadiliko, namba zenyewe zinabadilika, watu wenyewe wanakuwa na kubadilika, maisha yanabadilika 'why not me", amehoji Joh Makini. 

Kwa upande mwingine, Joh Makini amedai marapa wasasa wanaochipukia wamekuwa wenye bahati nzuri kutokana na uwepo wa mitandao, jambo ambalo linawasaidia katika kutangaza kazi zao bila ya kusuburia 'media' mbalimbali.

Waziri Lugola Atoa Onya Polisi

0
0
WAZIRI wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Kangi Lugola amewaonya Polisi nchini ambao wanatumiwa na mafisadi kuwanyanyasa wananchi maskini kwa kupora ardhi zao na kukimbilia kufungua kesi vituoni wakilazimisha ardhi hiyo iwe mali yao.

Akizungumza na mamia ya wananchi katika mkutano wa hadhara uliofanyika Kijiji cha Ragati, Kata ya Kasuguti, Jimbo la Mwibara, wilayani Bunda, Mkoa wa Mara, Lugola alisema amepata malalamiko mengi kutoka sehemu mbalimbali nchini, kuwa mafisadi uonea wananchi maskini  kwa kupora kwa nguvu ardhi wakidai wanamiliki wao na wanatumia badhi ya polisi wasiokua waaminifu ili kuwakandamiza wananchi hao.

Kutokana na hatua hiyo, Lugola amepiga marufuku kwa mwananchi yeyote ambaye anakurupuka kukimbilia kituo cha polisi kufungua kesi za ardhi ambazo hazina uthibitisho wa jinai yoyote, badala yake kesi au malalamiko yake kwanza ayapeleke katika mabaraza ya ardhi katika eneo husika ili ziweze kutatuliwa.

Lugola ameongeza kuwa, mafisadi hao ambao wanafedha baada ya kuona mmiliki halali wa ardhi hiyo anagoma kuondoka katika sehemu husika, basi utumia fedha zake kwa kukimbilia polisi kufungua kesi bila ya kuwa na uthitisho wowote huku baadhi ya polisi wasiokua waaminifu wakitumiwa katika kufanikisha ardhi hiyo ananyang’anywa mwananchi huyo.

“Kuanzia leo mwananchi yeyote atakaeenda kufungua kesi kituo cha polisi inayohusu masuala ya ardhi na endapo kiwanja hicho kimepimwa lazima awe na hati inayoonyesha yeye ni mmiliki halali, ili iwasaidie polisi wajue wewe ndio mmiliki halali, na kwa upande wa ardhi ambayo haijapimwa lazima mwananchi huyo aende polisi akiwa na uthibitisho kutoka kijijini au katika mtaa  unaosema kwamba eneo hilo ni la kwako na polisi wathibitishe hilo,” alisema Lugola.

Lugola aliongeza kuwa, na endapo kesi ya mlalamikaji yeyote ipo mahakamani anapaswa kuheshimu makahama na si kuendeleza kufanya usumbufu katika jamii pamoja na kwenda polisi na kuanza kutafuta njia ya kumsumbua mwananchi ambaye ni maskini katika eneo hilo.

Katika hilo, Lugola alifafanua kuwa, endapo mwananchi ana hukumu ya mahakamani inayoonyesha ameshinda kesi hiyo, mwananchi huyo anapaswa kwenda polisi na nakala ya hukumu yake ili polisi waweze kushuhudia kwamba pande zote mbili ziliwahi kugombana kuhusu ardhi na kufikishana mahakamani lakini mmojawapo alishinda.

“Rais Magufuli alianzisha Mahakama ya mafisadi hapa nchini, kwa taarifa niliokua nayo, mahakama hii ina uhaba wa mafisadi, sasa mimi nitaitafutia wateja kwa kuhakikisha wale mafisadi ambao uonea wananchi, utesa wananchi, uiba fedha za serikali au taasisi yoyote nitawafikisha katika mahakama hiyo, hatutakubaliana na manyanyaso ya aina yoyote katika Serikali hii ya awamu ya tano” alisema Lugola.

Lugola aliongeza kua, hataki kusikia  mwananchi anaonewa, na pia aliapa hatacheka na mafisadi, atapambana nao sehemu yoyote nchini na pia yupo tayari kwalolote na  ameanza kupambana na mafisadi ndani ya wizara yake na tayari wameanza kurudisha fedha za Serikali.

Aidha, Lugola katika hotuba yake alipiga marufuku kwa waendesha bodaboda wenye tabia ya kubeba abiria zaidi ya mmoja kuiacha tabia hiyo ili kuepusha ajali, lakini aliwataka polisi kutorudi nyuma, wahakikishe wanawakamata waendesha bodaboda wasiofuata sheria za usalama barabarani.

Waziri Lugola yupo katika ziara jimboni kwake kwa kutembelea miradi mbalimbali ya maendeleo pamoja na kuwaunganisha wananchi kupitia Bonanza lake la michezo ya mpira wa miguu ambalo linashirikisha kila kata wakitoa washindi mbalimbali ambao anawapa zawadi pamoja na kuingia moja kwa moja katika mashindano ya kugombea Kombe la Kangi.

Manji Kujumuika Kula Chakula Cha Usiku na Wachezaji Yanga

0
0
Mwanachama na aliyekuwa Mwenyekiti wa klabu ya Yanga, Yusuph Manji, ameshindwa kuungana na wachezaji wa klabu hiyo kwa ajili ya kujumuika nao kula mlo wa usiku baada ya kufikia kwenye hoteli ya Protea iliyopo maeneo ya Posta, jijini Dar es Salaam.

Yanga iliwasili hotelini hapo ikitokea Morogoro ambako ilikwenda kuweka kambi ya wiki mbili kwa ajili ya kujiandaa na mchezo wa Kombe la Shirikisho Afrika dhidi ya USM Alger kutoka Algeria.

Awali uongozi ulieleza angeweza kufika hotelini hapo kwa ajili ya kujumuika nao lakini imekuwa sivyo na haijajulikana sababu za kushindwa kuwasili kwa Manji ni zipi.

Mbali na kushindwa kuwasili hotelini hapo, Manji anategemewa kuhudhuria mchezo wa Kombe la Shirikisho Afrika ambapo Yanga itacheza dhidi ya USM Alger majira ya saa 1 jioni leo kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.

Yanga itashuka dimbani kukipiga na Alger ukiwa ni mchezo wa mkondo wa pili baada ya kukubali kipigo cha mabao 4-0 huko Algiers, Algeria May 7 2018.

Yanga ambayo mpaka sasa ina alama moja pekee mkiani katika Kundi D huku Gor Mahia wakiwa kileleni na alama 8 wakiwaacha USM Alger walio wa pili kwa tofauti ya mabao ya kufungwa na kufunga wakati Rayon Sports ikishika nafasi ya 3 ikiwa na alama 2

Hii Hapa Dawa Bora ya Nguvu za Kiume na Maumbile Madogo ya Uume

0
0
Tatizo hili limekuwa likiwaadhiri watu wengi sana kisaikolojia hasa baada ya kujiona wapo tofauti sana na wengine kwa kawaida mwanaume anatakiwa awe na uume kuanzia nchi 6-8 kwanza upungufu wa vichocheo hivi huchochea ukuaji wa uume chongo ambalo hushambulia nerve ambayo uharibu kabisa ukuaji wa uume, ngiri, punyeto, ambayo huathili misuli ya uume, ngiri huleta maumivu, tumbo kuunguruma na kujaa gesi, korodani moja kuvimba, kutopata choo vizuri, sababu hizi hufanya uume kulegea na kusinyaa na kuwa mfupi na mwembamba na mara nyingi hata nguvu za kiume ( hamu ya tendo la ndoa) hupungua na kwisha kabisa

GEMBE :Ni dawa inayozalisha na kukufanya uume kukua na kuongezeka
NGEMO : Ni dawa bora ya kuongeza nguvu za kiume

Hukutia hamu ya kuludia tendo la ndoa zaidi mara4 nne bila kukinai au kuchoka pia itakufanya uchelewe kufika kileleni zaidi ya dk30-45 kwa mtumiaji pia tunatibu kisukari, bp, ngiri, miguu kuwaka moto KAMA HUNAMDA WA KUFIKA OFISINI KWETU UTALETEWA POPOTE TUPO MBAGALA RANGI TATU

 0753471612/ 0715249530
0623 386 305

DR KUZENZA

Historia iliyoachwa na Kofi Annan

0
0
Aliyewahi kuwa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa (UN), Kofi Annan amefariki dunia leo nchini Uswisi baada ya kuugua kwa muda mfupi.

Katibu huyo mkuu wa zamani wa UN ndiye kiongozi wa mwafrika kushika wadhifa wa juu zaidi wa kidiplomasia duniani, alihudumu miaka 10 katika nafasi hiyo na kutunukiwa tuzo ya Nobel mwaka 2001 kutokana Kushughulikia haki za kibinadamu.

Aidha  Annan alihudumu kama mjumbe maalum wa Umoja wa Mataifa katika kutafuta Amani na suluhu8 ya kudumu katika kutatua mgogoro unaendelea nchini Syria.

Historia ya maisha yake

Kofi Annan alizaliwa, 8 April, 1938 katika mji wa Kumasi nchini Ghana na kusoma elimu yake katika vyuo mbalimbali kikiwemo chuo cha sayansi na teknolojia cha mjini Kumasi ambacho sasa kinajulikana kama chuo cha sayansi na teknolojia cha Kwame Nkurumah, mwaka 1958 .

Alijiunga na Umoja wa Mataifa mwaka 1962, ambapo alifanya kazi katika shirika la afya duniani (WHO) na baadaye kuhamia katika shirika la wakimbizi duniani (UNHCR) . Mwishoni mwa miaka ya 1980, Annan aliteuliwa kuwa Kaimu Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa katika nafasi tatu mfululizo, rasilimali watu, ulinzi na usalama pamoja na mipango ya bajeti na masuala ya fedha.

Mwaka 1996, Kofi Annan alichaguliwa kuwa katibu mkuu wa Umoja wa Mataifa UN kuchukua nafasi ya Boutros Boutros-Ghali ambaye alisimamishwa katika uchaguzi huo licha ya kushinda kwa kura 14 kati ya 15 za baraza la usalama la UN.

Alistaafu nafasi ya ukatibu mkuu wa Umoja wa Mataifa mwaka 2006 na baadaye mwaka 2007 alianzisha shirika lake lililojulikana kama ‘ Kofi Annan Foundation’ lililojikita katika utawala bora na kuimarisha amani ya nchi mbalimbali na dunia kwa ujumla.

Ameacha watoto wawili, Ama ambaye ni wa kike na mtoto wa kiume, Kojo ambao wote alizaa na mkewe raia wa Nigeria, Titi Alakija kabla ya kutengana mwaka 1983.

Dkt. Bashiru Awashika Koo Wanaotaka Urais

0
0
Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Taifa, Dkt. Bashiru Ali amewataka wanachama na viongozi wa chama hicho, kufuta ndoto walizokuwa nazo za kutaka kushika madaraka ya urais wa Zanzibar licha ya kuwa muhusika yupo na muda wake haujakwisha kwa mujibu wa sheria.

Dkt. Dkt. Bashiru ametoa kauli hiyo wakati alipokuwa anazungumza kwenye mkutano wa hadhara wa CCM huko visiwani Zanzibar katika ziara yake ya kazi baada ya kusikia tetesi, kuwa kuna baadhi ya viongozi wa CCM wameanza kuunda makundi yenye lengo la kutaka kumtoa Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk Ali Mohamed Shein.

"Wapo watu nasikia wengine wana vyeo na wengine hawana, wana ndoto ya kushika madaraka ya urais wa Zanzibar hiyo nafasi haijatangazwa kuwa wazi bado ina mwenyewe. CCM sio chama cha kusaka vyeo ni chama cha mapinduzi, wafuata vyeo 'wakome'. Tutaendelea kuwafuatilia wengine tunawajua na siku zenu zinahesabiwa. Muacheni Rais Shein amalize kipindi chake kwa heshima. Wakazi ukifika tutasema na kuweka utaratibu", amesema Dkt. Bashiru.

Pamoja na hayo, Dkt. Bashiru ameendelea kwa kusema "kiongozi mzuri haundi makundi kutafuta cheo, bali anasubiri kuombwa na watu kwasababu wanaomuomba ndio wanaomjua. "Wewe hujijui na wapo wengine ukiangalia orodha hata ukimpa ukuu wa wilaya hauwezi halafu anataka kuutafauta urais".

Aidha, Dkt. Bashiru amebainisha kwamba endapo nafasi hiyo ya urais itakuwa wazi basi wataitangaza kwa mujibu wa sheria kufuatana na chama chao kinavyosema na sio kupitia makundi ya watu yanayoendelea mahotelini.

Dkt. Bashiru Ally Kakurwa tokea alipoteuliwa mnamo Mei 29, 2018, hii ndio ziara yake ya kwanza kufika visiwani Zanzibar na kutoa kauli kama hizo kwa watu wenye lengo la kutaka kushika nyadhfa za urais bila ya kufuata sheria isemavyo.

Rais Magufuli Apiga Marufuku Kuhusu Wamachinga

0
0

Rais Dkt. John Magufuli amewapiga marufuku viongozi wa halmashauri ya wilaya ya Sengerema mkoani Mwanza kuwanyang'anya bidhaa wafanyabiashara wadogo na badala yake amewaagiza viongozi wote nchini kujielekeza katika kutatua kero zinazowakabili wananchi.

Dkt. Magufuli ametoa kauli hiyo leo Agosti 18, 2018 alipokuwa anasalimiana na wananchi waliokusanyika mjini Sengerema akiwa njiani kuelekea Chato Mkoani Geita kwa mapumziko, ambapo wananchi hao walidai halmashauri ya Wilaya hiyo imekuwa ikiwanyang’anya matunda aina ya nanasi wakulima na wafanyabiashara wanaouza matunda yao mjini hapo.

"Nilishasema viongozi wote niliowateua mimi msisherehekee uteuzi, mtasherehekea siku mkimaliza uongozi, nataka mchape kazi, tatueni kero za wananchi na waleteeni maendeleo", amesema Dkt. Magufuli.

Aidha, Dkt. Magufuli amemuagiza Mkuu wa Mkoa wa Mwanza, John Mongella kufuatilia na kutatua kero hiyo.

Mbali na hilo, Dkt. Magufuli amewahakikishia watanzania kuwa juhudi za kujenga Tanzania mpya zinakwenda vizuri kutokana na mafanikio makubwa yaliyoanza kupatikana katika utekelezaji wa miradi mbalimbali ya maendeleo na utatuzi wa kero za wananchi.

"Nataka kuwahakikishia ndugu zangu tunakwenda vizuri, juhudi zetu za kujenga Tanzania mpya zinapata mafanikio makubwa, tumejenga viwanda vingi, nataka tuirudishe Tanzania ya Nyerere ambapo hapa Mwanza kulikuwa na viwanda vingi na vijana wengi walipata ajira", amesema Rais Magufuli.

Hii si mara ya kwanza Rais Dkt. John Magufuli kuwatetea wafanyabiashara wadogo wadogo, itakumbukwa mnamo Julai 16, 2018 aliwaruhusu wafanyabiashara wadogo wadogo wa eneo la Mbezi jijini Dar es Salaam kuendelea kufanya biashara zao pembezoni mwa barabara, huku akizitaka mamlaka husika zisiwanyanyase wafanyabiashara hao wanaotafuta riziki.

Maskini Mwigizaji Wastara Juma Akata Tamaa

0
0
MWANAMAMA wa filamu za Kibongo, Wastara Juma ametinga jijini Dodoma kuongea na Waziri wa Habari, Sanaa na Michezo, Dk Harrison Mwakyembe ambaye ameahidi kumsaidia kufuatilia mkataba wake na Wachina anaodai pesa taslimu shilingi milioni 80 za Kitanzania ingawa anaonekana kukata tamaa.

 Akizungumza na Risasi Jumamosi, Wastara alisema hivi karibuni alifanya mazungumzo na waziri huyo, lakini kwa upande wake amekata tamaa ya kupata pesa hizo kwani mkataba wake na Wachina hao wa Kampuni ya KZG aliokuwa akiwatangazia simu zao ambao umebakiza siku chache umalizike.

 “Unajua ni siku kama 30 tu zimebaki, naona nimezikatia tamaa, ni Mungu tu atende miujiza nipate pesa hizo. Kwa sasa ninafanya biashara zangu ndogondogo hasa za losheni ambapo nawauzia sana akina mama ili kujikwamua kimaisha kwani kupambania pesa hizo naona nimekwama kabisa,” alisema Wastara ambaye amekuwa akipambana pamoja na kuwa na ulemavu.

STORI: Shamuma Awadhi, Dar

Ongeza Uume, Nguvu na Hamu ya Tendo la Ndoa Hata Kwa Wenye Kisukari na Pressure

0
0

Tatizo la upungufu wa nguvu za kiume au ukosefu wa hamu ya tendo la ndoa limezidi kuongezeka kwa kasi duniani kote na limekuwa chanzo kikubwa cha ndoa nyingi na mahusiano kukosa uaminifu kutokana na wengi kutoka nje ya ndoa ili kupata mtu atakayemtosheleza na kumfikisha kileleni. Pia udogo wa maumbile ni tatizo kubwa na limekuwa likiwakosesha wanaume wengi uwezo wa kujiamini katika tendo na kusababisha tendo hilo kutokufanyika kwa usahihi. Hili pia huchangia kwa kiasi kikubwa wanawake wengi kwenda nje ya ndoa ( MAHUSIANO) kutafuta mbadala wake.
BAADHI YA DALILI ZA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME NI KAMA:-
☆Kukosa hamu ya tendo la ndoa
☆Uume kusimama kwa ulegevu
☆Kuwahi kufika kileleni
☆Uume kusinyaa katikati ya tendo
☆Kushindwa kurudia tendo kwa wakati
☆Kuchoka sana baada ya round ya kwanza na hata kukinai kabisa.

Kwa kutumia mimea tiba na matunda bila kemikali sasa
@markson_beauty_pr Tunakuletea suluhisho la matatizo hayo hata kwa wenye "KISUKARI NA PRESSURE" kwa:-
1.HANDSOME UP ORIGINAL:- kifaa chenye uwezo wa 99% kuongeza uume kwa size uipendayo na kuimarisha misuli ya uume iliyolegea @250,000/=
2.SHARK POWER ni gely ya kupaka inayoongeza uume kwa wastani wa inch 5.5 hadi 6 @150,000/=
3.VigRX CREAM:- ni gely iliyoboreshwa mahususi kwa ajili ya kuongeza maumbile kwa wastani wa inch 6.5 hadi 8 na kuimarisha misuli ya uume iliyolegea @200,000/=
4.Vidonge maalum kwa ajili ya kuongeza nguvu na hamu ya tendo la ndoa hata kwa wenye kisukari @150,000/=
5.Spray ya kuchelewesha kufika kileleni na kuweza kurudia tendo ×3. @150,000/=
BIDHAA HIZI HAZINA MADHARA KIAFYA NA ZIMETHIBITISHWA
NA SHIRIKA LA AFYA DUNIANI (WHO).
KWA BIDHAA HIZI NA NYINGINE NYINGI TEMBELEA UKURASA WETU WA INSTAGRAM :-
@markson_beauty_pr
@markson_beauty_pr
@markson_beauty_pr
WEB:www.markbeauty.org
Wasiliana nasi Popote
ulipo duniani kwa (+255)
0767447444 na
0714335378
UTAPATA HUDUMA
NB:Matokeo ni uhakika na garantii na hakikisha unapata risiti yenye muhuri halisi wa MARKSON CO pamoja na garantii ili kukuhakikishia kufanikiwa kwako.
#OngezaUume
#NguvuZaKiume
#HandsomeUpOg
#BidhaaTz

Diamond na Zari Wamerudiana? Muda Huu Wapo Pamoja Wanakula Life

0
0

Diamond Ameonekana akipost picha akiwa nchini South Afrika na Watoto wake ila kilichowastua watu wengi ni baada ya kupost picha akiwa na Zari na nyuso za furaha kitu ambacho kinaonyesha wako vizuri kwa sasa..

Waziri wa Ujenzi aiagiza Tanroads kumchunguza mkandarasi wa kichina

0
0

Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Isack Kamwelwe amemuagiza Wakala wa Barabara Tanzania (Tanroads) Mkoa wa Njombe, kumchunguza mkandarasi wa Kampuni ya China Henan International Cooperation (CHICO), anayejenga barabara ya Njombe-Moronga, kama ana wataalamu wa kutosha. 

Kamwelwe alitoa agizo hilo katika Wilaya ya Wanging’ombe baada ya kukagua hatua zilizofikiwa katika mradi huo na kutoridhishwa na kasi ya ujenzi wake, ambao mpaka sasa umefikiwa kwa asilimia 14. 

Barabara hiyo ina urefu wa kilometa 53.9 na inajengwa kwa kiwango cha lami. Amesema hana uhakika na kampuni hiyo kama ni wenyewe Chico waliozoeleka katika uendeshaji wa miradi mingi nchini hasa ya barabara. 

“Sijaridhishwa na kasi ya huu ujenzi, Meneja wa Tanroads hakikisha unafuatilia kwa makini mradi huu na kubaini sababu zilizopelekea kusuasua kwa mradi na kuondoa wataalamu ambao wataonekana wanaudhaifu na kukwamisha mradi huu,” amesema Kamwelwe. 

Amesema hakuna sababu ya mkandarasi huyo kuchelewesha mradi huo kwani vifaa na mitambo yote ipo katika eneo la kazi na tayari serikali imeshamlipa fedha alizozidai kwa asilimia 95. 

Amemweleza mkandarasi wa Kampuni ya Chico kuwa serikali haitamuongezea muda wa kuikamilisha barabara hiyo na wananchi wanaiongojea kwa hamu kubwa, kwani serikali imewaahidi wananchi hao ambao tangu Uhuru hawajawahi kuiona lami. 

Kamwelwe pia amekagua ujenzi wa mradi wa barabara ya Moronga-Makete yenye urefu wa kilometa 53.5, inayojengwa na mkandarasi Kampuni ya China Railway Seventh Group na kuridhishwa na kasi yake. 

 Akitoa taarifa Meneja wa Tanroads Mkoa wa Njombe, Yusuph Mazana, alimweleza waziri kuwa changamoto ya miradi hiyo kubwa ni kazi za ujenzi kuanza katika msimu wa mvua nyingi na hivyo kupunguza kasi ya ujenzi wake. 

Mbunge wa Jimbo la Wanging’ombe, Gerson Lwenge, ameishukuru serikali kwa hatua ya ujenzi wa barabara ya Njombe-Moronga kwani ni muhimu katika usafirishaji wa mazao ya misitu na viazi. 
Mradi wa ujenzi wa barabara ya Njombe- Makete yenye jumla ya urefu wa kilometa 107.4 unafadhiliwa na Serikali ya Tanzania kwa asilimia 100 na unatarajiwa kukamilika

Nandy Afunguka Jinsi Familia Yake Itavyokuwa Pindi Akiamua Kuolewa

0
0

Msanii wa Bongo Fleva, Faustina Charles ‘Nandy’, amesema anatamani kuja kuwa na familia ya mfano wa kuigwa huku akitaja vigezo vitatu atakavyovizingatia.


Nandy anasema miongoni mwa sifa kubwa anazotamani ndani ya familia yake ni pamoja na ile ya kumcha Mungu, kutafuta pesa pamoja na kuwa na watoto wasiopungua watatu.


“Kila mmoja anatamani familia jinsi alivyojipanga mwenyewe, kwa upande wangu natamani sana familia iliyo bora, yenye hofu ya Mungu na ikipendeza nipate watoto wengi,” anasema Nady


Alisema anaamini wakati wake ukifika naye ataingia kwenye maisha ya ndoa na kutimiza malengo yake.
Viewing all 104415 articles
Browse latest View live




Latest Images