Quantcast
Channel: UDAKU SPECIAL
Viewing all 104414 articles
Browse latest View live

Majeraha ya Okwi Yaivuruga Simba

0
0
Majeraha ya Okwi Yaivuruga Simba
MAJERAHA aliyoyapata straika kiwembe wa Simba, Emmanuel Okwi raia wa Uganda katika mchezo wa Ngao ya Jamii dhidi ya Mtibwa, yamemfanya kocha wa timu hiyo, Mbelgiji Patrick Aussems kuingia kiwewe kama ataweza kumtumia straika huyo kwenye mchezo wao wa kwanza wa ligi kuu keshokut­wa Jumatano dhidi ya Tanzania Prisons.
Okwi ambaye ndiye mfungaji bora wa Ligi Kuu Bara msimu uliopita akiwa na mabao 20, alishindwa kuendelea kwenye mchezo wa Ngao ya Jamii kati ya Simba na Mtibwa Sugar uliopigwa juzi Jumamosi kwenye Uwanja wa CCM Kirumba jijini Mwanza, straika huyo alipata majeraha ya enka yaliyosababisha atolewe dakika ya 66 na nafasi yake kupewa John Bocco. Simba walishinda kwa mabao 2-1.
Kocha huyo mwenye mwili mkubwa, amesema kuwa kuumia kwa mshambuliaji wake huyo kumefanya awe na hofu kama ataweza kumtumia kwenye mchezo wao wa kwanza wa ligi kutokana na umuhimu wa nyota huyo kwenye kikosi chake hicho.
“Sijajua Okwi ameumia kwa ukubwa gani baada ya kupata majeraha kwenye mchezo wetu huu dhidi ya Mtibwa Sugar. Un­ajua yeye ni mtu muhimu kwenye timu kutokana na mchango wake ambao amekuwa akiuonyesha kila mara, hivyo ninasikilizia juu ya ripoti ya madaktari kuona ni nini ambacho wao watakisema juu yake.
“Lakini jambo zuri zaidi tumeanza vizuri kwa kuchukua ubingwa na kitu kizuri ni kwamba wachezaji John Bocco na Shomari Kapombe ambao walikuwa nje kutokana na majeraha kwa sasa wamerudi kundini, hivyo inafanya tuwe na timu imara zaidi,” alisema Mbelgiji huyo.
Championi Jumatatu lilichim­ba zaidi na kubaini kuwa straika huyo anaendelea vizuri baada ya kutolewa kwenye mchezo huo lakini atachunguzwa zaidi baada ya timu hiyo kufika Dar ambapo msafara wao ulitarajiwa kutua jana Jumapili. 

Kagera Waichimba Mkwara Yanga

0
0
Kagera Waichimba Mkwara Yanga
BAADA ya juzi Jumamosi Simba kutwaa Ngao ya Jamii kwa kuifunga Mtibwa Sugar mabao 2-1, mshambuliaji wa timu hiyo, Meddie Kagere, amefunguka kuwa, ni mwanzo mzuri kwao na wanaona wana kila sababu ya kubeba mataji mengine yaliyopo mbele yao.

Kauli hiyo ya Kagere ni kama kuitisha Yanga am­bayo hivi sasa inajipanga kuhakikisha inarudisha makali yake na kubeba ubingwa wa ligi kuu au Kombe la FA ili mwakani ishiriki michuano ya kimataifa.

 Katika mchezo huo wa juzi uliochezwa kwenye Uwanja wa CCM Kirumba, Mwanza, Kagere alifunga bao la kwanza kwa Simba huku Hassan Dilunga akifunga la ushindi. Lile la Mtibwa lilifungwa na Kelvin Sabato.

Akizungumza na Championi Jumatatu, Kagere alisema ubingwa wao huo ni kama deni ambalo wanapaswa kulilipa kwa mashabiki katika kuchukua mataji mengine zaidi.

 “Tunashukuru Mungu kwa kuanza msimu vizuri, huu ni mwanzo mzuri kwetu na inatufanya
tuongeze juhudi kabisa kuhakikisha tunatwaa mat­aji mengine yote yaliyopo mbele yetu,” alisema Kagere na kuongeza:

“Kwa takriban mechi mbili sikufunga, lakini leo (juzi) nimefanikiwa kufunga, ni jambo zuri na mara nyingi huwa siingii uwanjani kuangalia nitafunga mabao mangapi, bali naangalia nitaisaidia vipi kwanza timu, ndiyo maana kuna baadhi ya mechi sikufunga lakini hatukupoteza.”

Askari Wanne Kortini Kwa Kuomba Rushwa

0
0
Askari Wanne Kortini Kwa Kuomba Rushwa
Askari  wanne wa Pori la Akiba la Mkungunero, wamefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Wilaya ya Kiteto kwa tuhuma ya kushawishi na kuomba rushwa ya Sh milioni tano kutoka kwa wafugaji ambao mifugo yao ilikamatwa ndani ya pori hilo.

Akisoma hati ya mashtaka ya watuhumiwa hao, Mwendesha mashataka wa Takukuru Mkoa wa Manyara, Isdory Kyando mbele ya Hakimu Mkazi, Hudi Majid, alidai   tukio hilo lilitokea Mei 12 mwaka huu katika Kijiji cha Ilkiushbouir wilayani Kiteto.

Kyando aliwataja watuhumiwa hao kuwa ni Martenus Mahoka, Augustino Sadick, Ephrahim Polepole na Godfrey Matheas wote askari wa Pori la Akiba la Mkungunero.

Alidai fedha hizo waliziomba kutoka kwa wenye mifugo waliokuwa wamekamatwa ndani ya Pori la Akiba la Mkungunero waweze kuiachia mifugo199  wakiwamo ng’ombe, mbuzi, kondoo na punda.

Kyando alidai washtakiwa hao kwa pamoja wanatuhumiwa kutenda kosa kwa mujibu wa Sheria ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa namba 11/2007 kifungu cha 15 (1),

Washtakiwa hao   kwa pamoja walikana mashitaka  na walipata dhamana   hadi Septemba 17 mwaka huu kesi yao itakapotajwa tena.

Ney Wa Mitego Kufilisiwa Na Benki Afunguka A to Z

0
0
Ney Wa Mitego Kufilisiwa Na Benki Afunguka A to Z
Staa wa Bongo Fleva, Emmanuel Elibariki ‘Nay wa Mitego’ ameifungukia ishu ya kufilisiwa na benki inayosemekana inamdai baada ya kukopa na kushindwa kulipa. Nay aliliambia Ijumaa Wikienda kuwa, siyo kweli kwani mali zake zote zipo na hajawahi kuwa na mkopo kwenye benki yoyote.

Ishu ya Nay kufilisiwa ilianza kusambaa mitandaoni baada ya mashabiki kudai msanii huyo kwa sasa hana jipya kwani benki hiyo walik-wenda nyumbani kwake na kutaifisha mali zake zote zikiwemo nyumba na magari anayomiliki baada yakushindwa kulipa deni. Nay alisema hakuna ishu kama hiyo na hakuna mali yake yoyote iliyopigwa mnada kwa sababu mali zake zote zipo na hafikirii kwenda kukopa sehemu yoyote.

“Ni stori tu ambazo watu wameamua kuzungumza na watu kuzungumza siyo dhambi kwa sababu mimi ni staa, kwa hiyo watu wakiwa wanaongea vitu kama hivyo huwa sishtuki, nawaa-ngalia tu,” alisema Nay.

Mama Mobeto Aaapa kusimama Nyuma ya Mwanae

0
0
Mama Mobeto Aaapa kusimama Nyuma ya Mwanae
MAMA wa mwana-mitindo Hamisa Mobetto, Shufaa Rutiginga ameweka wazi kuwa hata kama watu wote watamtenga mwanaye huyo, lakini yeye atasimama nyuma yake siku zote bila kujali watu wanambeza kwani anajua uchungu wake. Mama Mobetto aliliambia Ijumaa Wikienda kuwa, watu wakie-ndelea kumzushia mwanaye mabaya na kumsema kila kukicha kazi yake yeye siku zote ni kumpa moyo na kumsihi asikate tamaa.

“Kazi yangu kubwa kwa mtoto wangu ni kumpa moyo na kumuonesha ni jinsi gani ninampenda maana naamini ni changamoto tu anapitia, lakini zitaisha na zitamfanya kusimama imara,” alisema mama Mobetto.

Dilunga vunja Ufalme wa Chama Cha Simba

0
0
Dilunga vunja Ufalme wa Chama Cha Simba
ACHANA na bao alilofunga, kiungo mpya wa Simba, Hassan Dilunga ni kama amevunja ufalme wa kiungo Mzambia, Clatous Chama, kwani katika mechi mbili tu alizocheza, Dilunga ametengeneza mabao matatu wakati Chama akiwa hajatengeneza bao lolote katika mechi tatu alizocheza.


Hiyo ni ishara tosha kuwa Chama aliyejiunga na Simba akitokea Power Dinamo ya Zambia katika msimu huu wa Ligi Kuu Bara kwa dola 35,000 ambazo ni karibu milioni 80 za Kibongo, ana kibarua kigumu mbele ya Dilunga aliyetua timu hiyo kwa dau la shilingi milioni 50 akitokea Mtibwa Sugar.


Awali, Chama alikuwa gumzo katika timu hiyo, ni baada ya kuonyesha kiwango kikubwa kwenye mechi ya kirafiki dhidi ya Asante Kotoko ya Ghana.

Dilunga hadi anatua kuichezea timu hiyo hakuwa hana nafasi ya kucheza katika kikosi cha kwanza huku Chama akiwa anaanza akicheza nafasi ya kiungo mshambuliaji namba saba.

Chama ufalme wake umevunjwa ni baada ya kuzidiwa na Dilunga ambaye yeye ameanza kucheza katika kikosi cha kwanza kwenye mechi mbili dhidi ya Arusha United ambayo alitengeneza nafasi

 mbili za kufunga mabao ambayo yalifungwa na Emmanuel Okwi.


Hakuishia hapo, Dilunga alitengeneza nafasi nyingine moja kwenye mechi ya Ngao ya Jamii walipokutana na Mtibwa Sugar CCM Kirumba ambapo alimtengenezea Meddie Kagere bao la kwanza kabla ya yeye mwenyewe kufunga kwa shuti kali ndani ya 18.

Hivyo, Kocha Mkuu wa timu hiyo Mbelgiji, Patrick Aussems ana kibarua kigumu cha kuamua nani aanze katika kikosi chake hicho kutokana na viungo hao wote kuwatumia kucheza namba saba tangu aanze kukinoa kikosi hicho.


Wakati Dilunga ambaye alishindwa kuonyesha cheche zake alipokuwa Yanga misimu miwili iliyopita, akifanya vitu vizuri hivyo kwenye mechi mbili, Chama yeye ameanza katika kikosi cha kwanza cha timu hiyo kwa kucheza michezo mitatu ukiwemo na Asante Kotoko na mwingine mmoja aliocheza wakiwa wameweka kambi nchini Uturuki.



Akizungumzia hilo, Dilunga alisema: “Nashukuru kwanza kufanikiwa kupata nafasi ya kucheza katika timu kubwa kama Simba yenye ushindani mkubwa wa namba.

“Nisingependa kuongea sana, nimekuja Simba kufanya kazi, hivyo nitahakikisha natimiza majukumu yangu ya ndani ya uwanja, ikiwemo kutengeneza nafasi na kufunga mabao kwa kila nafasi nitakayoipata, zaidi niseme ninaomba ushirikiano kutoka kwa wachezaji wenzangu.”

Wilbert Molandi, Dar es Salaam.

Shilole Aonyesha Nyumba Anayojenga

0
0
Shilole Aonyesha Nyumba Anayojenga
Kutokea kuuza soda na vitafunwa kwenye stand ya Mabasi mpaka kuwa Msanii na sasa anaelekea kuwa miongoni mwa kina Mama wenye nyumba au wanaomiliki nyumba kwenye ardhi ya Dar es salaam, Msanii Shilole ambae pia kwa sasa ni Mama Ntilie ametuonyesha nyumba yake ilipofikia na kuandika yafuatayo

“Mama Ntilie mie nikiwa ktk harakati za kupambana kumalizia ili na mimi niitwe Mama mwenye Nyumba. Mjini pagumu haijawa rahisi lakini ashukuriwe Mungu Nilisema Ntakomaa ma Jiji Mnyamwezi wa Igunga mimi.”
Shilole Aonyesha Nyumba Anayojenga

Kwanini Baadhi ya Wanaume Wana Maumbile Mafupi na Upungufu wa Nguvu za Kiume? Suluhisho Hili Hapa

0
0
KWANINI BAADHI YA WANAUME WANA MAUMBILE MAFUPI NA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME DR SITTA NDO SULULISHO LAKO tatiza, hili limekuwa likiwaasili watu wengi,sana kisaikolojia hasa baadhi yao kujiona wako tofauti na wanaume wengine, kwa kawaida, mwanaume anatakiwa awe na uume, usiopungua nchi 6-7au-8 ,vinginevyo mtu huyo anamatatizo zipo , sababu nyingi zinazosababisha, tatizo hilo baadhi ni (i) upungufu wa vichocheo vya HORMONES ZA CETROGEN ambazo mwanaume, anapobarehe vichocheo hivi, HORMONES hizo, husaidia ukuaji wa uume

SUPER MIZIZI, ni dawa inayozalisha HORMONES ZA CETROGEN,na kufanya, uume kukuwa na kuongzeka sazi utakayo na kuzibua mlija iliysinyaa,

NSHOLA ni dawa bora, ya kurudisha nguvu, za, kiume bari inatibu ,kabisa kutoa tatizo hilo, na kukupa , hamu ya , kurudia tendo, la ndoa zaidi, ya mala nne 4 ,bila kuchoka atakama unaumli ,wa mika 80,! pia ana ,dawa za ,kutibu, presha ya kupanda ,na kushuka, kisukari kuondoa, mafuta , mwilini ,na maumivu ya, mgogo kiuno, dawa zipo, matazo, ya hedhi, kwa ,wanawake hedhi, zisizokuwa na, mpangilio, na kasonono, pia , vidonda ,vya, tumbo ,(STOMACHI UCLENS) IHUSHI ndoji lako.

NKANYA ni dwa ya mvuto wa kimapenzi ,mchumba mpenzi ariyekuacha, mke mme, atakuludia kwa, mda, wa msaa3 tu , ukishaitumia atarudi ,mwenyewe bila ,ugovi tena, NKOMA ni dawa kuongeza HIPS na mguu wa bia kwa wadada .

HERBON, ni, dawa, ya kuongeza, CD4, NGAKAMA ,ni dawa ya kutibu ,miguu, kufaganzi, na ,kuwaka moto, huduma zetu ,zipo ,vizuri, popote pale dawa utaletewa! DR SITTA, amebobea, kwa tiba asilia

DAR ANAPATIKANA MBAGALA, ZAKHEM, SONGEA BOMBAMBILI SHINYANGA, KAHAMA MJINI, KWA MAELEZO ZAIDI , PIGA SIMU 0763172670 au 0715172670

WOTE MNAKALIBISHWA, KAMA, UTAKUWA NA TATIZOUTAHUDUMIWA


Kunani Mabasi Kuungua Moto....Basi la Saratoga Lateketea kwa Moto

0
0

Basi la kampuni ya Saratoga lililokuwa likitoka mkoani Kigoma kwenda Sumbawanga limeshika moto na kuteketea lote katika eneo la kijiji cha Kazuramimba mkoani Kigoma leo asubuhi. 


Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kigoma, ACP Martin Ottieno amesema kuwa jeshi lake bado linachunguza chanzo cha moto huo, ambapo amebainisha kuwa abiria wote sitini wamepona na baadhi ya mizigo imeokolewa.


“Gari limekaguliwa kabla ya kuondoka katika stendi ya mabasi kama kawaida ya utaratibu wa kikosi cha usalama barabarani na hakuna tatizo lililoonekana, hivyo chanzo cha moto huo bado hakijajulikana tunafanya uchunguzi”, amesema Kamanda Ottieno.


Basi hilo limeungua ikiwa ni siku moja toka mtu mmoja kupoteza maisha katika ajali ya moto ulioteketeza malori katika mpaka wa Tanzania na Rwanda (Rusumo), baada ya gari la mafuta ya petrol kuligonga gari jingine na kupoteza mfumo wa breki.

Jina la Magufuli Labamba Uingereza: Ukumbi Mzima wa Chuo Kikuu cha Coventry Wazizima Baada ya Kusoma Jina la Muhitimu kutoka Tanzania.

0
0

Maprofesa wa Chuo Kikuu cha Coventry nchini Uingereza, wakiongozwa na Mkuu wa Chuo, Irene Glendinning, pamoja na Ukumbi mzima, ulizizima wakati jina la Mtanzania aitwaye Dk. John Pima lilipotajwa wakati wa Mahafali ya wahitimu wa Kozi ya Uzamivu wapatao 11 waliotoka katika Mataifa tisa duniani. 
Dk. Pima ambaye alikuwa shuhuda, alieleza kuwa, baada ya jina lake kusomwa ili aende mbele kutunukiwa shahada ya Uzamivu, walipotaja tu John Pima from Tanzania , shangwe ziliibuka wakitaja Magufuli .... Magufuli ... Magufuli ... Tanzania." 
Dk. Pima alieleza kuwa, baada ya mahafali, maprofesa na wahitimu wenzake walimfuata na kumuulizia habari za Rais Magufuli wanazosikia kwenye vyombo vya habari wakitaka kujua ni mtu wa namna gani? Wengi walipongeza kasi na msimamo wake wa: 
kukusanya mapato,kudhibiti matumizi ya fedha za umma,kushughulikia mafisadi,ununuzi wa ndege,upanuzi wa bandariujenzi wa barabara za juuuanzishwaji wa viwanda.

Walidai Nchi nyingi za kiafrika zina rasilimali nyingi lakini Viongozi wao hawana uthubutu wa kufanya maamuzi magumu na hawana maono kama ya Rais Magufuli, na kwamba hawatambui kuwa kama wanaweza kujiletea maendeleo pasipo kutegemea misaada kutoka mataifa makubwa.

Muone na Wasiliana na Dr Kanengo Bingwa wa Tiba Asili, Hutibu Magonjwa Haya

0
0

NKURURU:-ni dawa inayotibu miguu kuwaka moto, kiuno tumbo     kupooza/kuparalazi  kupoteza  fahamu  MALABALA  hutibu  kisukari , uti  wa  mgogo,  Change, pumu, busha, kaswende, kifua  kikuu, muwasho  sehemu  ya siri

POWER :-ni dawa ya kuongeza nguvu za kiume ni vidonge  20

MPERAMPERA:- ni dawa ya kurudisha Mke, mme, mpenzi,mchumba aliyekuacha /kuteseka, ni kwa mda wa siku 2 tu kusafisha, pia kunakuna dawa za kupunguza vitambi(nyama uzembe),  maziwa makubwa,michirizi, mikovu makubwa, chunusi sugu.

SIX POWER:-inatibu upungufu wa nguvu za kiume kwa wasio weza kumudu tendo la ndoa itakufanya uwe na hamu ya kurudia tendo la ndoa zaidi ya Mara 4 bila hamu Keisha, inaboresha maumbile madogo na inaimarisha misuri iliyo regea na kusinyaa una pona kabisa, ndani ya siku 4 tu

GASELA:-ni dawa ya maajabu (9) yaliyoshindikana.    (1)-Kisukari, vidonda vya tumbo, tezi dume,walioshindikanika kupata watoto(ugumba),busha bila oparesheni, (2)zindiko Kali Katika biashara yako (chuma ulete)  ndo kiboko yao kumkamata mwizi aliye kuibia vitu vyako pikipiki, gari, n, k( 2)zindiko la nyumba, mashamba, viwanja,. ( 3 ) kurudisha mtu aliye kufa kiutatanishi (msukule) (4)kukutolea sumu uliyo ikanyaga (Mtego) (5)ujiamini kutumia dawa ya maajabu Saba (6)kutoa mikafara mfano ugomvi ndani ya nyumba kufukuzwa kazini bila sababu (7)kutabiri nyota na kung'arisha (8)kurudisha Mali iliyo potea mazingira ya kutatanisha, kushinda kesi uliyo sumbuka nayo mda mrefu. (9)kufukuza majini wa  chafu ndani ya mji,.Haya yote yana wezekana kwa DR KANENGO popote ulipo ukiniitaji nafika napatikana buguruni chama, mbagala zakhiem karibia na uwanja wa mkutano, na wilaya ya bunda musoma : mawasiliano  ni simu namba :-0767-17-17-73 na  0716-60-89-59

NI  KWA  WALIO  TUMIA  DAWA  ZA MATATIZO  MBALIMBLI  BILA  MAFANIKIO   uwezo  WA  kurudisha  mali  iliyopotea  au  kudhulumiwa    muda  mfupi  tu,  Na natoa  dawa  ya  utajiri  kwa  wafanya  biashara     wachimbaji  madini, wafaryakazi,  wakulima, wafugaji na  kwa yeyote  anayetaka  kuwa  na  pesa   nyingi  katika   maisha  yake,  Na  pia  anaunganisha  utajiri    kwa muda  mfupi  sana  pamoja  na  kuboresha  akili  kwa  wanafunzi  na  kumfanya  afaulu  mitihani  yote  au  intaview  yeyote  na  ana  uwezo  mkubwa  wa  kutibu  ugonjwa  wa  Uvimbe tumboni .  pia anarudisha  Mke, mme, mchumba,    hawara, kwa  muda  wa  saa  3  na  anatimiza mahitaji  yote  hata  kama  upo  mbali   kiasi  gani,  ahadi  zote  atatimiza  kwa  muda  mfupi  tu  Na  kumfunga  asiwe  na mtu  mwingine  kwa  nini  unaumiza  kichwa ?

Muone  ( DR  )KANENGO,anatibu  nguvu  za  kiume  anarefusha  na  kunenepesha  uume  kwa  saizi  uipendayo  kwa  muda  mfupi   sana, pamoja  na  kuwa  na  hamu  ya  kurudia  tendo  la  ndoa  mara  4  bila  hamu  kuisha   Na  utachelewa   kufika  kileleni  kwa  muda  wa  dakika   40  bila  kuchoka  hata  kama  una umri  mkubwa  kiasi  gani   Gerentii  miaka /=60    ukisha  pona  bila tatizo   kurudia  pia ana  uwezo  mkubwa  wa  kuongeza  hips na  makalio,  pia   anatibu  magonjwa  sugu  ya  zinaa  tumbo  kujaa  gesi,  kuuma  chini  ya  kitovu,vidonda vya tumbo,   kiuno,  miguu    kuwaka  moto  miguu,  kuvimba..Nk..Angalizo usitume meseji wala kubipu..
You can get it in   all East African countries, our service is fast and easy...

Contact Whatsapp 0767171773.Dar es salaam Tanzania. ..Dr. KANENGO 0716608959...You are welcome.

Museveni Akanusha Bobi wine kujeruhiwa

0
0
Museveni Akanusha Bobi wine kujeruhiwa
Rais wa Uganda Yoweri Museveni amekanusha kwamba mbunge wa upinzani Bobi Wine amejeruhiwa. Katika taarifa yake ya kwanza kuhusu afya ya mbunge huyo aliyekamatwa na vikosi vya usalama nchini, Museveni amevishutumu vyombo vya habari kwa kile alichokitaja ni kueneza habari zisizo za kweli kuhusu suala hilo.

Kulingana na ripoti mbalimbali za vyombo vya habari mbunge huyo ambaye pia ni msanii, Robert Kyagulanyi ana matatizo ya figo ambayo yanahitaji kutibiwa ipasavyo na madaktari bingwa waliobobea katika kutiba sehemu nyeti kama hizo za ndani ya mwili.

“Vyombo vya kueneza habari zisizo za kweli vimekuwa vikitangaza kwamba mjukuu wetu, asiye na nidhamu Bobi Wine, ni mgonjwa mahututi, hawezi kuzungumza na mengineyo. Wamekuwa wakisema kuwa huenda maafisa wa usalama wamemjeruhi vibaya Bobi Wine kwa sababu ya namna walivyokabiliana na wabunge wakati wakiwakamata.

“Nimeamua kuwasiliana na madaktari wa jeshi, kwa sababu ya nidhamu ya jeshi, madaktari wa UPDF daima wanachukua tahadhari katika hali kama hizi. Tayari Bobi Wine alionekana na madaktari Arua, Gulu na Kampala. Hakuwa na majeraha ya kichwa, kifua au mifupa kuvunjika, wameniarifu,” ilisema taarifa ya rais.

Kadhalika Museveni alilaumu watu maalum ambao alieleza kuwa ni wa nje wanaotafuta kuingilia siasa za nchi hiyo. Chama cha wafanyakazi wa afya nchini Uganda kinasema mahali wanapohifadhiwa wabunge wa upinzani na vyombo vya usalama akiwemo Bobi Wine ni ya hatari na inaweza kuwasababishia vifo.


Viongozi wa chama hicho wamesema madaktari wa Jeshi la UPDF hawana ujuzi wa kutosha kuwafanyia matibabu wabunge hao wanaodaiwa kujeruhiwa vibaya na maafisa wa usalama. Wameelezea kuwa wako tayari kushirikiana na UPDf kuwashughulikia wabunge hao na washukiwa wengine kufuatia ghasia hizo.

Daktari Edward Ekwaro Ebuku, rais wa chama cha wafanyakazi wa afya Uganda ameeleza, “Ugonjwa wa figo unatakiwa uangalizi wa dharura, jeshi la Uganda limemficha huyu Bobi Wine, isitoshe walimkataza Daktari wa familia kumtibu.”

“Sasa hivi hatujui hali yake ikoje. Lakini tunafikiria wamemficha kwasababu hali yake ni mbaya zaidi.”

Wataalamu wa afya wanafafanua kuwa mtu akiwa na matatizo kwenye figo ni rahisi sana sehemu zingine kama maini na ubongo wake kuathirika iwapo hatua za dharura hazichukuliwi kumtibu. Wameongezea kuwa mbunge Francis Zake ambaye ni miongoni mwa waliokamatwa yuko katika hali mahututi na anahitaji kuhamishwa kutoka hospitali moja hadi nyingine kupata matibabu ya hali ya juu.

Wamejitolea kushirikiana na UPDF kutoa matibabu ili kuyanusuru maisha ya wahanga wote wa ghasia waliojeruhiwa na waliomo katika hali mbaya.


“Hatujapata ruhusa kuingia kambi za jeshi pahali hawa wabunge wa Uganda, tutamuandikia mkuu wa jeshi Rais Yoweri Kaguta Museveni ili atupe ruhusa twende tumsaidie huyu mheshimiwa Robert Kyagulanyi,” amesema Ebuku.

Hapo jana mtu mmoja aliuawa kwa kupigwa risasi na wengine watano kupata majeraha wakati polisi ilipokuwa ikizima maandamano ya wakaazi wa Manispaa ya Mityana magharibi mwa Kampala.

Vurugu hizo ziliibuka baada ya kuwepo kwa taarifa kuwa mbunge wa upinzani Francis Zaake amekufa baada ya kupigwa na maafisa wa usalama anakoshikiliwa yeye na wenzake.Waganda walioko nje wameendelea kutuma ujumbe wa kuishtumu serikali kwa vitendo vyake vya kuwanyanyasa wanasiasa wa upinzani na raia kwenye mitandao ya kijamii. Katika mji wa Toronto nchini Canada maandamano makubwa yalifanyika kwenye barabara za mji huo siku ya Jumamosi huku raia wengine nao walituma kanda binafsi za video kutoka Afrika Kusini na Marekani.

Basi la kampuni ya Saratoga Lateketea kwa Moto Kigoma

0
0
Basi la kampuni ya Saratoga Lateketea kwa Moto Kigoma
Basi la kampuni ya Saratoga lililokuwa likitoka mkoani Kigoma kwenda Sumbawanga limeshika moto na kuteketea lote katika eneo la kijiji cha Kazuramimba mkoani Kigoma leo asubuhi.

Akizungumza na tovuti ya www.eatv.tv Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kigoma, ACP Martin Ottieno amesema kuwa jeshi lake bado linachunguza chanzo cha moto huo, ambapo amebainisha kuwa abiria wote sitini wamepona na baadhi ya mizigo imeokolewa.

“Gari limekaguliwa kabla ya kuondoka katika stendi ya mabasi kama kawaida ya utaratibu wa kikosi cha usalama barabarani na hakuna tatizo lililoonekana, hivyo chanzo cha moto huo bado hakija julikana tunafanya uchunguzi”, amesema Kamanda Ottieno.

Basi hilo limeungua ikiwa ni siku moja toka mtu mmoja kupoteza maisha katika ajali ya moto ulioteketeza malori katika mpaka wa Tanzania na Rwanda (Rusumo), baada ya gari la mafuta ya petrol kuligonga gari jingine na kupoteza mfumo wa breki.

Mbowe Amtumia Salamu za Rambirambi Rais Magufuli

0
0
Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe amemtumia rambirambi Rais John Magufuli kufuatia kifo cha dada yake, Monica.

Monica alifariki jana asubuhi katika Hospitali ya Rufaa ya Bugando jijini Mwanza alikokuwa amelazwa kwa matibabu zaidi.

Mbowe pia ni Kiongozi wa Kambi Rasmi ya Upinzani Bungeni ameandika katika ukusara wake wa Twitter akisema:

“Kwa niaba ya Kambi Rasmi ya Upinzani Bungeni na wana CHADEMA wote, natoa pole na salaam za rambirambi kwa Mh.Rais @MagufuliJPM kwa kufiwa na dada yake Monica Magufuli, Mungu awape faraja, na ailaze roho ya marehemu mahali pema peponi”


Mwanachama wa Chadema, aliyewahi kuwa waziri katika utawala wa Rais mstaafu Jakaya Kikwete, Lazaro Nyalandu ameandika katika twitter yake akisema:“Natoa POLE kwa Mh. Rais @MagufuliJP na familia yake kwa kufiwa na dada yake mpendwa, Monica Magufuli. Hakika, MAISHA yana thamani kubwa. MUNGU awafariji, na ampe dada yetu pumziko la milele mahali pema peponi, AMINA”

Familia za Korea Kaskazini na Kusini zilizotenganishwa na vita zakutana kwa mara ya kwanza

0
0
Familia za Korea Kaskazini na Kusini zilizotenganishwa na vita zakutana kwa mara ya kwanzaKundi la watu wazee kutoka Korea Kusini kwa sasa wako nchini Korea Kaskazini kukutana na jamaa zao wenye hawajawaona tangu vimalizike vita vya mwaka 1950-1953.

Vita hivyo vilisababisha rasi ya Korea kutengana na watu waliokuwa wanaishi upande wa Kaskazini wasikuwe na uwezo wa kuondoka.

Korea hizo mbili ambazo bado ziko kwenye mzozo wa vita, zilikuwa zimepanga shughuli ya kuwakutanisha watu hao awali lakini shughuli hii ndiyo ya kwanza kwa miaka mitatu.

Korea Kaskazini 'inaunda makombora mapya'
Watu kutoka nchini Korea walichaguliwa mwa mfumo wa bahati nasibu huku mtu mzee zaidi katia kundi hilo akiwa wa umri wa miaka 101.

Kuna raia 83 wa Korea Kaskania na 89 wa Korea Kusini wanaoishukia katika shughuli hiyo ya kukutana.

Watu 100 walikuwa wamechaguliwa kutoka kila upande lakini wengine waliondoka baada ya kufahamu kuwa jamaa zao waliokuwa na matumaini ya kuwaona hakuwa hai tena.

Mwanamke mmoja mweny miaka 92 aliwaambia waandishi wa habari kuwa alikuwa anaenda kumuona mtoto wake wa kiume kwa mara ya kwanza tangu vita vimalizike.

Tumeuzika muziki wetu"- Z Anton

0
0
Msanii mkongwe wa bongo fleva, Z Anton amefunguka na kudai sababu kubwa ya muziki nchini Tanzania kutofanya vizuri, ni kutokana na wasanii wakubwa kutengeneza 'kiki' sizizokuwa na msingi na mwisho wa siku wanatoa nyimbo ambazo hazifananii na walichokitengeneza.


Msanii mkongwe wa bongo fleva, Z Anton

Z Anton amebainisha hato wakati alipokuwa anazungumza na www.eatv.tv baada ya kuwepo wimbi kubwa la wasanii wa bongo fleva hata wale wa upande wa pili kupendelea kufanya hivyo, na kupelekea soko la muziki kushuka nchini kutokana na vitendo kama hivyo.

"Msanii ambaye anafanya 'kiki' ni mtu hajiamini kwasababu ukiwa na ngoma kali, utakuwa na sababu gani za kufanya 'kiki'. Tumeuzika muziki wetu kwasababu kama hizi maana utakuta watu wanatengeneza tukio kubwa halafu ukija kusikiliza nyimbo unakuta ya kawaida tu, mwisho wa siku ukifanya jambo lolote watu wanakupuuza", amesema Z Anton.

Pamoja na hayo, Z Anton ameendelea kwa kusema kuwa "umaarufu waliokuwa nao wasanii wa sasa sio wa kutisha sana kutokana na 'kiki' zao ambazo wanazifanya, ila kilichowasaidia ni kutokana na 'game' kuwa limetanuka ndani na nje ya nchi, lakini hakuna star ambaye aseme akae kimya kwa miezi sita au mwaka halafu aendelee kujulikana".

Mbali na hilo Z Anto amesema ukimya wake katika muziki ulitokana na yeye kuwa 'busy' na biashara zake binafsi, pamoja na kusoma mapungufu ya wasanii wa sasa huku akidai kwamba hatashindwa katika mashambulizi ambayo ameyandaa pindi atakaporudi kwa mara nyingine.

"Ukimya wangu katika biashara umetokana na u-busy wa biashara zangu ninazozifanya pamoja na maandalizi yangu ya kurudi kwa mara nyingine, katika 'game' kwa kuwa nilikuwa nataka kila 'audio' iwe na video yake kabisa. Na katika hilo hadi dakika hii nimeshatimiza kwa asilimia 80 kwa baadhi ya plan ambazo nilizokuwa nazo, kwa hiyo najiamini nipo katika mazingira magumu wakati huu", amesisitiza Z Anton.

Kwa mara ya mwisho sauti ya Z Anton iliweza kusikika katika wimbo wake wa 'wake up Tundu Lissu' aliouachia Septemba 11 mwaka 2017, ambao ulikuwa unazungumzia juu ya tukio la mwanasiasa huyo kupigwa risasi na watu wasiojulikana mnamo Septemba 7 mwaka huo huo.

Askari Wanne Kortini Kwa Kuomba Rushwa

0
0
Askari  wanne wa Pori la Akiba la Mkungunero, wamefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Wilaya ya Kiteto kwa tuhuma ya kushawishi na kuomba rushwa ya Sh milioni tano kutoka kwa wafugaji ambao mifugo yao ilikamatwa ndani ya pori hilo.

Akisoma hati ya mashtaka ya watuhumiwa hao, Mwendesha mashataka wa Takukuru Mkoa wa Manyara, Isdory Kyando mbele ya Hakimu Mkazi, Hudi Majid, alidai   tukio hilo lilitokea Mei 12 mwaka huu katika Kijiji cha Ilkiushbouir wilayani Kiteto.

Kyando aliwataja watuhumiwa hao kuwa ni Martenus Mahoka, Augustino Sadick, Ephrahim Polepole na Godfrey Matheas wote askari wa Pori la Akiba la Mkungunero.

Alidai fedha hizo waliziomba kutoka kwa wenye mifugo waliokuwa wamekamatwa ndani ya Pori la Akiba la Mkungunero waweze kuiachia mifugo199  wakiwamo ng’ombe, mbuzi, kondoo na punda.

Kyando alidai washtakiwa hao kwa pamoja wanatuhumiwa kutenda kosa kwa mujibu wa Sheria ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa namba 11/2007 kifungu cha 15 (1),

Washtakiwa hao   kwa pamoja walikana mashitaka  na walipata dhamana   hadi Septemba 17 mwaka huu kesi yao itakapotajwa tena.

Sakata la Ney wa Mitego Kufilisiwa na Bank Hili

0
0

Staa wa Bongo Fleva, Emmanuel Elibariki ‘Nay wa Mitego’ ameifungukia ishu ya kufilisiwa na benki inayosemekana inamdai baada ya kukopa na kushindwa kulipa. Nay aliliambia Ijumaa Wikienda kuwa, siyo kweli kwani mali zake zote zipo na hajawahi kuwa na mkopo kwenye benki yoyote. 

Ishu ya Nay kufilisiwa ilianza kusambaa mitandaoni baada ya mashabiki kudai msanii huyo kwa sasa hana jipya kwani benki hiyo walik-wenda nyumbani kwake na kutaifisha mali zake zote zikiwemo nyumba na magari anayomiliki baada yakushindwa kulipa deni. Nay alisema hakuna ishu kama hiyo na hakuna mali yake yoyote iliyopigwa mnada kwa sababu mali zake zote zipo na hafikirii kwenda kukopa sehemu yoyote. 

“Ni stori tu ambazo watu wameamua kuzungumza na watu kuzungumza siyo dhambi kwa sababu mimi ni staa, kwa hiyo watu wakiwa wanaongea vitu kama hivyo huwa sishtuki, nawaa-ngalia tu,” alisema Nay.

Habibu Mnyaa"Kambi ya Upinzani Tanzania Imesambaratika"

0
0

Ni kauli ya Mbunge wa bunge la Afika Mashariki Habibu Mnyaa ambaye amefunguka kuhusiana na sakati la hali ya kisiasa nchini na kusema kuwa Kinachopaswa kufanyika sasa kambi ya upinzani ni kujipanga kwasababu hivi sasa kinachosikitisha ndani ya nchi upinzani umesambaratika, ugomvi wenyewe kwa wenyewe wa Chadema anaenda CUF wa CUF anaenda ACT, hali hii haileti afya na tunawapa CCM nguvu ya kuendelea kututawala. 

Madam Rita, Salama na Master J walinifukuza BSS wakanambia “NATABASAMU” – Bwana Mjeshi

0
0

Mchekeshaji kutoka kundi la Timamu BwanaMjeshi amefunguka A – Z kuhusu changamoto alizozipitia katika kazi yake ya Sanaa Mpaka kufikia hapa alipo sasa hivi.

Mjeshi amefunguka wakati anapiga stori na Bongo Five na kusema kuwa yeye alipitia changamoto nyingi sana hadi kufikia kusaidiana na mama yake mzazi kuuza Samaki mtaani,na ameahidi kuwa kuna siku atairudia biashara yake ya samaki.

Licha ya kuongelea changamoto hizo Mjeshi amefunguka juu ya mipango walionayo kama Timamu na kusema kuwa wanamipango mingi sana kwani wana Idea nyingi sana za kuzifanyia kazi, ingawa wanaendelea kupambana licha ya kutkuwa na pesa za kutosha za kusaidia kufanikiwa kwa kazi yao.

Mjeshi ameongeza kuwa wakati anaanza kazi ya Sanaa aliwahi kwenda kwenye mashindano ya Bongo Star Serch kwa lengo la kwenda kuonyesha kipaji chake lakini mwisho wa siku alifukuzwa na kuambiwa anaimba huku anatabasamu.

” Huwezi kuwalaumu Majaji wa BSS hao kwani nahisi muda haukufika maana wakati tuko kwenye tukio kuna mshiriki alikuwa anaimba sana hadi mimi damu zilisisimuka lakini alitoka analia licha ya kuimba kwake kote huko kwahiyo mi nikaona muda sio kama huyu anatoka analia mimi nani kwani mi si mtu tu”

Pia tulipiga stori na mchekeshaji mwenzake wa Timuma anayejulikana kama Mmasai na kusema kuwa yeye anakipaji kikubwa sana na anaweza kuigiza zaidi ya staili ya Umasai kwani anajua staili nyingi sana.

Kundi la Uchekeshaji la Timamu linaundwa na wachekeshaji Watatu ambao ni Bwana Mjeshi, Ebitoke pamoja na Mr Benfinchal au Masai licha ya kuwepo wengine hao ndio wachekeshaji wakubwa na wanaojulikana.

By Ally Juma.
Viewing all 104414 articles
Browse latest View live




Latest Images