Quantcast
Channel: UDAKU SPECIAL
Viewing all 104417 articles
Browse latest View live

Nai wa Moni Centrozone Kuanza Kuwapaka Lipstick Wasanii Wakiume wa Bongo

0
0
Nai wa Moni Centrozone Kuanza Kuwapaka Lipstick Wasanii Wakiume wa Bongo
Video vixen' maarufu na 'Makeup Artist' ambaye pia ni mpenzi wa rapa Moni Centrozone, Nai, amefunguka na kudai yupo tayari kuwapaka wasanii wa kiume 'lipstick' pamoja na kuwavalisha mawigi ili kusudi wawe na mvuto zaidi katika video zao.

Nai amebainisha hayo wakati alipokuwa anazungumza kwenye kipindi cha eNewz inayorushwa na tinga namba moja kwa vijana EATV, baada ya kusambaa kwa 'video' ambayo inamuonesha rapa Country Boy akiwa amepaka rangi ya mdomo inayofanana na aliyopaka mrembo huyo.

"Sasa hivi nimeona ni bora ni 'deal' sana na wasanii wa kiume kwasababu wengi wao wamekuwa wakitokea katika video zao wakiwa simple yaani yupo natural yeye kama yeye na machunusi. Unajua wakiwa katika muonekano wa makeup wanakuwa wazuri, mwanaume akipakwa wanja chini ya macho inamfanya anapendeza zaidi", amesema Nai.

Pamoja na hayo, Nai ameendelea kwa kusema "kupaka 'lipstick' ni ubunifu. Kiukweli nina mikakati ya kuwabadilisha wasanii wa kiume bongo kwasababu wamekuwa wakitokea kawaida sana".

Wazo hilo la Nai kuwapaka wanaume 'lipstick' pamoja na kuwavalisha mawigi limekuja takribani miezi mitano kupita tokea, msanii Dogo Janja kuonekana amevalia mavazi ya kike pamoja na kujiremba kabisa katika video yake ya 'wayu wayu'.

Mnaniita Bwege, Limbukeni, Mshamba Niiteni tu Majina yote Tunda ndio Parking Yangu Milele- Casto

0
0
Mnaniita Bwege, Limbukeni, Mshamba Niiteni tu Majina yote hii ndio Parking Yangu Milele- Casto
Mtangazaji wa Clouds TV kupitia kipindi cha ‘Sizi kitaa’ Casto Dickson amezidi kuonesha mapenzi yake kwa Tunda kuwa anampenda zaidi na hata hajali yale aliyowai kufanya nyuma na istoshe Tunda ndiye mwanamke mzuri kuliko wote aliowai ku-date nao hapo awali.

Casto ambaye yupo tayari kuitwa jina lolote lile la dharau kuhusu Tunda ameandika haya kwenye ukurasa wake wa Instagram...>>>Mnaniita Bwege, Limbukeni, Mshamba, Sijawahi kuwa na Mwanamke Mkali, Niiteni tu Majina yote hii ndio PARKING YANGU MILELE🤐🤐🤐




“Wakati na kutana nae as ANNA hakuna aliekuwepo zaidi ya mimi na yeye, Yote aliyoyafanya nyuma kwangu si chochote naamini nina ANNA mpya zaidi ya mnavyofikiria 🙏🏻🙏🏻” – Casto Dickson

Hamissa Mobeto Aliamsha Dude "Daimond Ana Wanawake Milioni 5 Wanaomtaka"

0
0
Hamissa Mobeto Aliamsha Dude "Daimond Ana Wanawake Milioni 5 Wanaomtaka"
MWANAMITINDO gumzo Bongo, Hamisa Mobeto ameamua kumwaga mboga kuwa, hata siku moja hawezi kumfanyia mwanamke ubaya katika mitandao ya kijamii kisa kumtaka kimapenzi mzazi mwenziye ambaye ni msanii wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ kwa sababu wapo milioni tano wanaomtamani.

Mobeto aliyafunguka hayo alipoulizwa juu ya ‘kumblock’ msanii wa Bongo Fleva, Suzan Michael ‘Pretty Kind’ kwenye ukurasa wake wa Instagram kisa amehisi anatoka kimapenzi na Diamond na kusema kuwa, ni kweli alimblock lakini si kwa sababu ya msanii huyo bali alikuwa akipenda kumuongelea vibaya na wakati mwingine kumtukana.

“Kwanza kabisa nilikuwa simjui na hata nilimsahau huyo mtu mwenyewe halafu sikumblock kwa sababu ya Diamond sababu kuna wanawake kama milioni tano wote wanamtamani huyohuyo mtu mmoja sasa kama ndiyo hivyo nitablock wanawake wangapi jamani?

“Yeye (Pretty Kind) kuna maneno machafu na mabaya aliyaongea kuhusu mimi alinichafua sana halafu mimi ni brand simjui nikaona huyu naye katokea wapi? Nikamblock maisha yangu yaendelee kwa sababu wa nini mtu ambaye ananipa kero?” Alisema Mobeto.

Mama Kanumba Amtolea Povu Steve Nyerere "Hastahili Kulitumia Jina la Nyerere Analidhalilisha"

0
0
Mama Kanumba Amtolea Povu Steve Nyerere "Hastahili Kulitumia Jina la Nyerere Analidhalilisha"
Mama Kanumba ameibuka na hoja mpya kuwa Mchekeshaji Steve Nyerere ambaye jina lake halisi ni Steven Mengele hastahili kulitumia jina la Nyerere kwani analidhalilisha jina hilo.



Akizungumza na Bongo5, Mama Nyerere amesema kuwa Hayati Mwalimu Nyerere hakuwa mnafiki kama yeye hivyo kujiita jina hilo ni kumkosea Baba wa Taifa huku akiahidi kumuombea kwa Mungu aweze kubadilika.

Mama Knaumba amedai kuwa Steve Nyerere ni Mnafiki kwani yeye ndiye aliyefanya uchochezi hadi marehemu mwanaye Staven Kanumba kuchukiana na Ray.

Waziri Ndugulile Apiga Marufuku Hospitali Kushikilia Maiti

0
0
Ndugalile Apiga Marufuku Hospitali Kushikilia Maiti
Naibu  Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Dk. Faustine Ndugulile, amesema Serikali ipo katika mkakati wa kuanzisha bima ya afya ya kifurushi kumwezesha mwananchi kujihudumia kadiri ya uwezo wake.

Amesema hiyo ni kwa sababu bima ya afya iliyopo sasa si rafiki kwa wananchi wengi, hali inayofanya baadhi yao, hususan familia duni, kushindwa kujiunga na huduma hizo muhimu za matibabu.

Kauli hiyo aliitoa juzi Dar es Salaam, wakati wa mkutano wa hadhara uliofanyika Kata ya Kigamboni, ikiwa siku ya mwisho  ya kuhitimisha ziara yake ya kukagua shughuli za maendeleo jimboni kwake.

Dk. Ngugulile ambaye pa ni Mbunge wa Kigamboni, alisema Serikali ya Awamu ya Tano imetenga bajeti kubwa ya afya kuliko wakati wowote kwa lengo la kuhakikisha kila mwananchi anakuwa na uhakika wa matibabu mazuri na salama.

“Kama ilivyo mitandao ya simu, na katika bima ya afya tutakuja na vifurushi tofauti tofauti na hapa kila mwananchi atajihudumia kulingana na uwezo wake, lengo letu ni kumfikia kila mmoja,” alisema Dk. Ndugulile.

Akizungumzia vifaa vya kujifungulia kwa wajawazito, alisema Serikali imegharamia vifaa vyote kwa wanaokwenda hospitali kujifungua na vitagawiwa bure vikiwa kwenye mabegi maalumu yenye nembo ya MSD.

Akitoa ufafanuzi wa malalamiko ya wananchi kuhusu kuzuiwa kwa miili ya wanaofariki katika hospitali za Serikali, Dk. Ndugulile alipiga marufuku kwa hospitali zote kuzuia miili ya marehemu ambayo ndugu zao wameshindwa kugharamia gharama za kuitunza.

Aliwataka ndugu wenye matatizo kuwasiliana na uongozi wa hospitali ili miili hiyo kuruhusiwa kwa utaratibu mzuri.

“Jukumu la Wizara ya Afya ni kuhakikisha wananchi wanapata matibabu ya uhakika na pale inapotokea ndugu wameshindwa kulipia gharama za maiti, ni vema wakafuata utaratibu wa kusaidiwa na hili lifanyike kwa kufuata utaratibu,” alisema Dk. Ndugulile.

Young Dee Amkana Amber Lulu "Hakuwa Mpenzi Wangu Ila Nilikuwa Naye kwa Ajili ya Kufanya Naye Mapenzi Kila Muda Ninaomtaka"

0
0
Young Dee Amkana Amber Lulu "Hakuwa Mpenzi Wangu Ila  Alikuwa yupo kwa Ajili ya Kufanya Mapenzi Kila Muda Ninaomtaka"
Msanii wa Bongo fleva Young Dee ameibuka na kumtolea maneno shombo aliyekuwa mpenzi wake Amber Lulu na kudai hajawahi kuwa na mahusiano naye ya kimapenzi.

Wawili hao waliingia Kwenye bifu zito siku za hivi karibuni na kurushiana maneno mazito na matusi Kwenye mitandao ya kijamii.

Young Dee ameibuka na kuweka wazi kuwa hajawahi kuwa Kwenye Mahusiano na Amber Lulu yaani hajawahi kuwa girlfriend wake bali alikuwa ni mtu aliyekuwa yupo kwa ajili ya kukutana naye kimwili kila muda anaotaka.

Kwenye mahojiano na Sam Misago Tv, Young Dee amefunguka haya:

Amber hajawahi kuwa girlfriend wangu alikuwa ni bootycall wale watu unawapigia sana kumi usiku tu sasa unamuitaje Ex girlfriend wangu wakati sijawahi hata kukutana naye mchana”.

NIlikuwa nakutana na Amber kipindi kile nakunywa makonyagi tu siku hizi nimeacha pombe sina sehemu za kuktana naye maaana sio level zangu”.

Amber Lulu aliweka wazi kuwa bifu lake na Young Dee lilianza mara baada ya Amber kukataa kuwa kwenye Mahusiano naye.


Muone na Wasiliana na Dr Kanengo Bingwa wa Tiba Asili, Hutibu Magonjwa Haya

0
0
NKURURU:-ni dawa inayotibu miguu kuwaka moto, kiuno tumbo     kupooza/kuparalazi  kupoteza  fahamu  MALABALA  hutibu  kisukari , uti  wa  mgogo,  Change, pumu, busha, kaswende, kifua  kikuu, muwasho  sehemu  ya siri

POWER :-ni dawa ya kuongeza nguvu za kiume ni vidonge  20

MPERAMPERA:- ni dawa ya kurudisha Mke, mme, mpenzi,mchumba aliyekuacha /kuteseka, ni kwa mda wa siku 2 tu kusafisha, pia kunakuna dawa za kupunguza vitambi(nyama uzembe),  maziwa makubwa,michirizi, mikovu makubwa, chunusi sugu.

SIX POWER:-inatibu upungufu wa nguvu za kiume kwa wasio weza kumudu tendo la ndoa itakufanya uwe na hamu ya kurudia tendo la ndoa zaidi ya Mara 4 bila hamu Keisha, inaboresha maumbile madogo na inaimarisha misuri iliyo regea na kusinyaa una pona kabisa, ndani ya siku 4 tu

GASELA:-ni dawa ya maajabu (9) yaliyoshindikana.    (1)-Kisukari, vidonda vya tumbo, tezi dume,walioshindikanika kupata watoto(ugumba),busha bila oparesheni, (2)zindiko Kali Katika biashara yako (chuma ulete)  ndo kiboko yao kumkamata mwizi aliye kuibia vitu vyako pikipiki, gari, n, k( 2)zindiko la nyumba, mashamba, viwanja,. ( 3 ) kurudisha mtu aliye kufa kiutatanishi (msukule) (4)kukutolea sumu uliyo ikanyaga (Mtego) (5)ujiamini kutumia dawa ya maajabu Saba (6)kutoa mikafara mfano ugomvi ndani ya nyumba kufukuzwa kazini bila sababu (7)kutabiri nyota na kung'arisha (8)kurudisha Mali iliyo potea mazingira ya kutatanisha, kushinda kesi uliyo sumbuka nayo mda mrefu. (9)kufukuza majini wa  chafu ndani ya mji,.Haya yote yana wezekana kwa DR KANENGO popote ulipo ukiniitaji nafika napatikana buguruni chama, mbagala zakhiem karibia na uwanja wa mkutano, na wilaya ya bunda musoma : mawasiliano  ni simu namba :-0767-17-17-73 na  0716-60-89-59

NI  KWA  WALIO  TUMIA  DAWA  ZA MATATIZO  MBALIMBLI  BILA  MAFANIKIO   uwezo  WA  kurudisha  mali  iliyopotea  au  kudhulumiwa    muda  mfupi  tu,  Na natoa  dawa  ya  utajiri  kwa  wafanya  biashara     wachimbaji  madini, wafaryakazi,  wakulima, wafugaji na  kwa yeyote  anayetaka  kuwa  na  pesa   nyingi  katika   maisha  yake,  Na  pia  anaunganisha  utajiri    kwa muda  mfupi  sana  pamoja  na  kuboresha  akili  kwa  wanafunzi  na  kumfanya  afaulu  mitihani  yote  au  intaview  yeyote  na  ana  uwezo  mkubwa  wa  kutibu  ugonjwa  wa  Uvimbe tumboni .  pia anarudisha  Mke, mme, mchumba,    hawara, kwa  muda  wa  saa  3  na  anatimiza mahitaji  yote  hata  kama  upo  mbali   kiasi  gani,  ahadi  zote  atatimiza  kwa  muda  mfupi  tu  Na  kumfunga  asiwe  na mtu  mwingine  kwa  nini  unaumiza  kichwa ?

Muone  ( DR  )KANENGO,anatibu  nguvu  za  kiume  anarefusha  na  kunenepesha  uume  kwa  saizi  uipendayo  kwa  muda  mfupi   sana, pamoja  na  kuwa  na  hamu  ya  kurudia  tendo  la  ndoa  mara  4  bila  hamu  kuisha   Na  utachelewa   kufika  kileleni  kwa  muda  wa  dakika   40  bila  kuchoka  hata  kama  una umri  mkubwa  kiasi  gani   Gerentii  miaka /=60    ukisha  pona  bila tatizo   kurudia  pia ana  uwezo  mkubwa  wa  kuongeza  hips na  makalio,  pia   anatibu  magonjwa  sugu  ya  zinaa  tumbo  kujaa  gesi,  kuuma  chini  ya  kitovu,vidonda vya tumbo,   kiuno,  miguu    kuwaka  moto  miguu,  kuvimba..Nk..Angalizo usitume meseji wala kubipu..
You can get it in   all East African countries, our service is fast and easy...

Contact Whatsapp 0767171773.Dar es salaam Tanzania. ..Dr. KANENGO 0716608959...You are welcome.

Je Wafahamu Umuhimu Supu ya Pweza kwa Wanandoa?

0
0

Je Wafahamu Umuhimu Supu ya Pweza kwa Wanandoa?
Hamu ya tendo la ndoa kwa mwanadamu ni moja ya hisia za msingi kwa mtu wa kawaida kama ilivyo njaa au usingizi.

Pweza ni aina ya samaki ambaye anapendwa na baadhi ya watu hasa supu yake ambayo imekuwa na mkombozi kwa watu wengi haswa wanandoa.

Je Wafahamu Umuhimu Supu ya Pweza kwa Wanandoa?
Supu ya Pweza inafaida takribani Tisa mwilini mwa mwanadamu hususani kwa wanandoa na wakinamama wanaonyonyesha ikiwemo virutubisho kuukinga mwili wa mlaji dhidi ya magonjwa kama kansa.

Pweza amejawa virutubishovinavyosaidia kuongeza hamuna kuboresha tendo la ndoa hali inayosaidia mwanamke kuwa katika hali nzuri ya uwanamke wake huku mwanaume kuwa mwanaume wa shoka wakati wa tendo la ndoa


Kwa ajili ya matatizo mbalimbali yaliyo katika jumuiya, pamoja na kwamba tendo la ndoa ni jambo la msingi kwa wale waliooana, kuna wanaume aidha hawana uwezo wa kulifanya tendo hili au wana hisia ndogo na nguvu kidogo za kutekeleza tendo hili.


Ni imani ya wanaume wengi wa pwani na hata kutoka bara ambao huishi ukanda wa pwani siku hizi hupenda supu ya pweza kutokana na wingi wake wa virutubisho ambavyo huamini kuwa vinaongeza nguvu za kiume kwa waliopungukiwa.

Pweza usaidia kusisimua mwili huku wengine wakidai wanatumia kama kiburudisho tu sio kama dawa ya kuongeza nguvu.

Supu hiyo inasaidia sana kwa wanaume kuongeza mbegu na kusukuma hamu ya tendo la ndoa hivyo ufanya wanandoa kuweza kukamilisha jukumu lao la unyumba kwa namna bora zaidi.
 na kuongeza heshima kwa wanandoa hao.


Kinachoendelea Uganda..Vijana Wamgomea Rais Museven, Ufalme wa Bunganda Wazungumza

0
0
Kufuatia maandamano yaliyotokea sehemu mbalimbali nchini Uganda wanajeshi wamewatia nguvuni waandishi wa habari kadhaa akiwemo mpiga picha wa shirika la habari la Reuters James Akena.

Maandamano hayo ni sehemu ya shinikizo la wafuasi wa mbunge Robert Kyagulanyi maarufu Bobi Wine wakitaka aachiliwe huru. Pia waandamanaji kadhaa wamekamatwa na wanajeshi hao.

Wafuasi wa Bob Wine

Wafuasi wa Bobi Wine, walisikika wakiimba “nguvu za watu, nguvu zetu” waliwasha moto katikati ya barabara na kuzuiya magari yasipite na kusimamisha shughuli za kibiashara katika soko la Kiseka, barabara za Namirembe na Kikuubo, kabla ya kusambaa hadi katika mitaa ya Wandegeya, Makindye na Gayaza, yenye shughuli nyingi Zaidi jijini Kampala.

Mwandishi wa idhaa ya Kiswahili VOA anaripoti kuwa maandamano pia yameshuhudiwa katika miji ya Mityana na mkono. Siku ya jumapili, kifo cha mtu mmoja kiliripotiwa mjini Miyana baada ya kupigwa na risasi, polisi walipokuwa wakiwatawanya waandamanaji.

Maandamano Kenya

Maandamano pia yameripotiwa mjini Busia nchini Kenya, vijana wa Kenya wakitatiza usafiri wa mizigo na mafuta kuingia Uganda wakitaka Bobi Wine aachiliwe huru.

Kyagulanyi, ambaye pia ni mwanamziki mashuhuri, anazuiliwa katika kambi ya wanajeshi ya Makindye jiji Kampala, baada ya kukamatwa siku ya jumatatu wiki jana.

Madai ya Museveni

Rais wa Uganda Yoweri Museveni amedai kwamba mbunge Bobi wine na wenzake, walikuwa wamelenga kumuua kwa kumpiga mawe, akigeukia vyombo vya habari akivishitumu kwa kile alichokitaja kama kueneza habari za uongo kwamba wanasaisa wa upinzani walipigwa na kuumia vibaya mikononi mwa maafisa wa polisi walipokuwa wakikamatwa.

“ukitupa mawe kwa mtu aliye karibu nawe, lengo ni kumuua” ameandika Museveni.

kupitia ukurasa wake wa Facebook, Museveni amekasirishwa na wanaosema taarifa iliyotolewa na ikulu ya rais kwamba gari lake lilipigwa mawe ni za uongo, akisisitiza kwamba Bobi Wine na wabunge wenzake 6, watajibu mashtaka ya kujaribu kuipindua serikali na kujaribu kumuua.

Wanaharakati wapaza sauti

Licha ya wanaharakati wa kuteteta haki za kibinadamu, mawakili na familia ya mbunge Robert Kyagulanyi maarufu kama Bobi Wine, kueleza vyombo vya habari kwamba mwanasiasa huyo yumo katika hali mbaya ya kiafya baada ya kupigwa vibaya na walinzi wake museveni SFC, Museveni anasema kwamba Bobi Wine, anayezuiliwa katika kambi ya jeshi ya Makindye jiji Kampala, hana tataizo lolote la afya.

“Nimeamua kuwauliza madaktari wa jeshi kwa sababu wana uwezo wa kushughulikia tatizo lolote la kiafya. Bobi Wine ametibiwa na madaktari akiwa Arua, Gulu, na Kampala. Hana matatizo yoyote” ameandika Museveni kwenye ukurasa wake wa facebook.

Museveni akanusha

lakini katika kile kinachoonekana kama kujikanganya, Museveni katika taarifa yake anasema kwamba mwanasiasa huyo amepokea matibabu ya kutosha, akiwa wilayani Arua baada ya kukamatwa, wilayani Gulu kabla ya kufikishwa katika mahakama ya kijeshi, na katika hospitali ya kijeshi ya Makindye, Kampala,

Maafisa wote waliomtembelea Bobi Wine kizuizini, akiwemo mkewe, ndugu yake, mawakili Asuman Basalirwa na Erias Lukwago, wanasema kwamba hali ya afya ya Bobi Wine si nzuri, na kwamba anahitaji matibabu ya dharura na kwamba hawezi kuzungumza, kuketi wala kusimama bila kusaidiwa. hakuna daktari kutoka nje ya kambi wala waandishi wa habari wamekubaliwa kumfikia.

Museveni pia anadai kwamba mbunge Francis Zaake, anayetibiwa katika hospitali Rubaga jijini Kampala alikopelekwa na maafisa wa jeshi baada ya kupigwa, amehepa kukamatwa na kwamba anatafutwa na maafisa wa polisi. Zaake amekuwa akipumua kwa uwezo wa mashine katika hospitalini.

Vijana wamjibu Museveni

Vijana nchini Uganda hata hivyo wamemjibu Museveni kupitia kwenye mitandao ya kijamii, wengi wao wakimtaka akome kuwaita wajukuu wake na kukema kitendo cha kumzuilia Bobi Wine, wakimtaka aachilie mwanamziki huyo bila masharti.

Ufalme wa Bunganda umtoa taarifa fupi ukionya kwamba matumizi ya nguvu na fujo kumaliza tofauti za kisiasa ni kichocheo cha machafuko zaidi, na kutaka serikali kuwapa fursa wabunge wote wanaozuiliwa kupata matibabu. ufalme wa Buganda umejitaja kama mtetezi wa katiba, ikiwa mara ya kwanza kwa ufalme huo wenye idadi kubwa ya wafuasi kuzungumzia maswala ya kisiasa moja kwa moja.

Sababu zipi Hasa zinazopelekea Kufanya Mapenzi Kwenye Gari?

0
0
Nimepatwa na mshtuko baada ya kusimama barabarani mbele ya gari moja, Mshtuko umekuja baada ya kushangaa hili gari linaunguruma wakati ndani hakuna mtu na kama linatikisika kwa mbali. Ndo kukodoa macho kupitia kioo cha mbele nashangaa kuona jamaa yuko busy anapanda juu na kushuka chini. Mhh nimeshtuka sana aisee maana ni mchana muda wa saa tisa gari limepakiwa tuu chini ya mti.

Nikajiuliza why this? Je wamekosa guest?
Nikapata jibu kuwa wanaofanya huu uchafu ndani ya gari mara nyingi ni wake za watu
Watoto wadogo wa shule Au jinsia moja

Kwa nini nasema hivi kwa sababu haiingii akilini mchana wote huu watu wawe wamejibana kwenye gari wanachoogopa ni nini??? Wamekosa gust bubu hata??

Nyie baadhi ya wanaume wenye mtindo huu muache hayo magari mnapanda na familia zenu, mnaenda nayo makanisani n.k mnayafanya najisi kwa kufanya ngono humo. Ni bora basi mkafanya na wake zenu kwa bahati mbaya.

Kwa upande wangu sijafurahishwa jamani kila mtu ana maono yake au mitizamo yake. Nilichowaza anaweza akawa hata ni mtoto wa jirani yangu au ndugu yangu labda hata anageuzwa humo na libaradhuli aka fataki

By Cajojo/JF

Je, Umesumbuka Kutafuta Shuluhisho la Urembo wa uso na Ngozi yako Bila Mafanikio?

0
0

Je, umesumbuka kutafuta shuluhisho la urembo wa uso na ngozi yako bila mafanikio?
MWISHO WA KUSUMBUKA NI HAPA👇👇👇
MARK BEAUTY CREAM ni mafuta yaliyotengenezwa maalum kwa ajili ya kukufanya kuwa mweupe na soft mwili mzima na bila madhara. Acha kutumia mikorogo ili kulinda ngozi yako na afya yako kwa ujumla. Mafuta haya hayajachanganywa na viambata sumu (kemikali) na ni salama kabisa kwa mtu yoyote.
SIFA ZA CREAM HII :-
1.Kung'arisha ngozi haraka
2.Kuondoa sugu, madoa na makovu
3.Kuzuia ngozi kuchakaa (Ant aging)
4.Huzuia michirizi.
5.Haiunguzi ngozi kama mikorogo inavyofanya
6.Haisababishi chunusi
Mafuta haya yametengenezwa PARIS na yanasambazwa na Markson Beauty Products kote duniani @150,000/=
Kwa bidhaa za tiba na urembo tufuatilie kwenye GOOGLE au instagram @markson_beauty_pr
@Markson_beauty_pr

 Wasiliana nasi kwa (+255) 0767447444 au  0714335378.

Mke wa Mzee Majuto Atimuliwa Kwenye Nyumbani kwa Mumewe

0
0
Mke wa Mzee Majuto Atimuliwa Kwenye Nyumbani kwa Mumewe
Mke wa marehemu Mzee Majuto anaripotiwa kuondoka nyumbani kwa mume wake jijini Tanga na watoto wake huku ikidaiwa kuwa sababu kubwa ya yeye kurudi nyumbani kwao jijin Dar ni kutokana na maneno aliyoambiwa na watoto wake wakubwa kuwa hawana uwezo wa kumlea mpaka arobaini.

Mwanamke huyo ambae alikuwa bega kwa bega na mzee majuto kwa kipindi chote cha uhai wake na ugonjwa wake mpaka anafariki, alikuwa mke wa pili wa mzee majuto na alibahatika kuwa na watoto nae huku mzee majuto akiwa na watoto wengine wakubwa aliozaa kabla ya kumuona mke huyo aliyepo sasa.

Hata hivyo inadaiwa kuwa mama huyo pamoja na kwamba alikuwa na watoto walikuwa wakisoma jijini Tanga, imemlazimu kuondoka na watoto hao na kuwaacha shule.

Baada ya kumtafuta moja ya watoto wa marehemu Mzee majuto alikiri na kusema kuwa ni kweli mama yao hayupo amerudi Dar lakini aliwaaga kuwa anakwenda nyumbani kwao.

ACT W azalendo Wamtumia Barua Museveni..... Wamtaka Amwachilie Bobi Wine

0
0
ACT W azalendo Wamtumia Barua Museveni..... Wamtaka Amwachilie Bobi Wine
Chama cha ACT-Wazalendo kimemuandikia barua ya wazi Rais wa Uganda, Yoweri Museveni kikimtaka amuachie Mbunge Robert Kyagulanyi (Bobi Wine) na wabunge wengine wanaoshikiliwa na Polisi.

Kimemtaka Rais Museveni kuweka mbele haki za binadamu kuliko maslahi yake yanayohusiana na siasa na kuwa yeye kama kiongozi mkongwe anatakiwa kuonesha Demokrasia kubwa.

ACT-Wazalendo kimesema wabunge hao wanatakiwa kuachiwa ili wakapatiwe matibabu kutokana na majeraha waliyoyapata.

Chama hicho pia kimetoa angalizo kuwa Uganda bora haiwezi kupatikana kukiwa na ukiukwaji wa haki za binadamu na sheria nchini humo.

Mke wa Rais Trump Kufanya Ziara Barani Afrika

0
0
Mke wa Rais Trump Kufanya Ziara Barani Afrika
Mke wa rais wa Marekani Melania Trump anatarajiwa kufanya ziara barani Afrika mwaka huu ingawa haijafahamika ni maeneo gani ya bara hilo ataweza kutembelea.

"Hii itakuwa safari yangu ya kwanza barani Afrika na shauku yangu kubwa ni kutoa mafunzo juu ya masuala yanayowahusu watoto na vilevile kujifunza juu ya utajiri wa utamaduni na historia ya bara hilo la Afrika" Melania alielezea.

Bi.Trump anatarajia kufanya ziara barani Afrika bila kuongozana na mume wakeHaki miliki ya

Rais Donald Trump ambaye aliwahi kukosolewa kwa kuzidharau baadhi ya mataifa ya Afrika licha ya kwamba alikana kuwa mbaguzi hatasafiri na mke wake kuja barani Afrika.

Rais Trump hajawahi kufanya safari ya Afrika tangu aingie ofisini mnamo januari 2016.

Mtu Mzima Hakurupuki Ili Kuwaridhisha Watu - Ray

0
0
Mtu mzima hakurupuki Ili Kuwaridhisha Watu - Ray
Msanii mkongwe wa filamu bongo, Vincent Kigosi maarufu kama 'Ray' amesema ukimya wake kwenye sanaa ulitokana na yeye kuwa 'busy' na familia yake pamoja na kusoma mapungufu ya wasanii wa sasa huku akidai kwamba hakuna mtu ambaye anaweza kushinda naye atakaporudi rasmi mwishoni mwa mwaka huu


Ray ametoa kauli hiyo leo Agosti 21, 2018 alipokuwa anazungumza na www.eatv.tv baada ya ukimya wake kwenye sanaa, takribani miaka miwili jambo ambalo likapelekea mashabiki na wadau wa filamu nchini kudai huenda msanii huyo ameishiwa ubunifu katika kufanya kazi zake.

"Siku zote ukimya una kishindo kikubwa, halafu unapokuwa mtu mzima na makini hupaswi kukurupuka kwa kufanya kazi ili mradi tu uwaridhishe watu, soko limeyumba kidogo kwa hiyo ni lazima ukae chini uangalie ni wapi kuna mistake na marekebisho yake jinsi ya kuyafanya. Kuna vitu vingi vilinifanya niwe kimya lakini mwaka huu hauishi watanzania watapata kile wanachostahili, mimi huwa sibahatishi kwenye kazi zangu. Watu hawataki kujifunza vitu na badala yake wanataka kujifanya wanajua kila kitu, mimi nilikuwa na marehemu Steven Kanumba na tulikuwa washindani katika sanaa", amesema Ray.

Pamoja na hayo, Ray ameendelea kwa kusema "yule mtu mmoja aliyekuwa mshindani wangu amefariki dunia sasa nashindana na nani tena ?, hakuna ushindani tena sasa hivi na ndio maana unakuta soko limeyumba nasio kwamba limeondoka na Kanumba tatizo ni ule ushindani uliokuwa awali sasa hivi haupo".

Aidha, Ray amedai wasanii wa sasa ni wazuri kiasi chake ila kinachokosekana ni ushindani ndani ya tasnia hiyo na kupelekea bongo movie kuyumba kwa namna moja ama nyingine.

Ray Kigosi ni miongoni mwa wasanii wa kongwe nchini Tanzania ambao walianza kujihusisha na sanaa kupitia vipindi vya televisheni, na mwisho wake kuhamia rasmi kwenye ulingo wa filamu.

Mkapa, Kikwete, Mwinyi Wawasili Chato Kwenye Mazishi ya Dada wa Rais Magufuli

0
0
Mkapa' Kikwete, Mwinyi Wawasili Chato Kwenye Mazishi ya Dada wa Rais Magufuli
Marais Wastaafu wa Tanzania, Ally Hassan Mwinyi, Benjamin Mkapa na Jakaya Kikwete wamewasili jijini Mwanza leo Agosti 21, 2018 wakielekea Chato mkaoni Geita kuhudhuria mazishi ya Dada wa Rais Dkt. John Magufuli, Monica Magufuli anayetarajiwa kuzikwa baadaye leo.

Bi. Monica alifariki dunia Jumamosi iliyopita, Hospitali ya Bugando alikokuwa amelazwa akipatiwa matuibabu.


Wastaafu hao wamewasili na Ndege ya Air Tanzania katika Uwanja wa Ndege wa Mwanza uliyopo Ilemela na kupokelewa na Mkuu wa Mkoa wa Mwanza, John Mongela kabla ya kuelekea Chato mkoani Geita kujumuika na familia ya Magufli katika mazishi ya ndugu yao.

Mzee Mkapa ameambatana na mkewe Mama Anna Mkapa na mzee Kikwete naye aliambatana na mkewe, Mama Salma Kikwete.

Timu ya Mawakili 24 Waungana Kumtoa Jela Bobi Wine

0
0
Timu ya Mawakili 24 Waungana Kumtoa Jela Bobi Wine
Timu ya mawakili 24 wameungana kumtetea Mbunge wa Kyadondo, Robert Kyagulanyi maarufu kama Bobi Wine, huku wakimtaka Mkuu wa Tume ya Haki za Binadamu nchini Uganda, Med Kaggwa kuhakikisha anatumia vyema haki ya kikatiba ili kuhakikisha haki inatendeka.

Mbunge huyo anatarajiwa kufikishwa katika Mahakama ya Kijeshi siku ya Alhamisi kwa tuhuma za kumiliki silaha kinyume cha sheria, ambapo hadi sasa Bobi Wine anashikiliwa kwenye gereza la Makindye ambalo ni la kijeshi huku akidaiwa kuwa hawezi kutembea wala kuzungumza.

Hata hivyo madai hayo ya Bobi Wine kuwa amepigwa na hali yake ni mbaya yalikanushwa na rais wa Uganda Yoweri Museveni ambaye aliziita kuwa ni habari feki na kusema " Mjukuu wangu Bobi Wine yupo salama na hali yake ni njema."

Kwa mujibu wa ripoti mbalimbali za vyombo vya habari, mbunge huyo ambaye pia ni mwanamuziki ana matatizo ya figo ambayo yanahitaji kutibiwa ipasavyo na madaktari bingwa waliobobea.

Mwanasheria wa mbunge huyo Male Mabirizi amefungua kesi Mahakama Kuu kutaka kuachiwa kwa mbunge huyo na wenzake wakiwamo wanaharakati mbalimbali waliokamatwa kwenye tukio la ghasia zilizoibuka wakati wa kufunga kampeni za ubunge wa Arua.

Mwanasheria huyo amedai kuwa Bobi Wine amechomwa sindano yenye dawa ambayo inamfanya asijitambue na mpaka sasa hajitambui wala uso wake hautambuliki pia pua na masikio vinatoka damu na kudai kuwa taarifa iliyotolewa na madaktari wa jeshi hazikuwa na ukweli.

Wiki iliyopita Bobi Wine na wenzake walishtakiwa baada ya kukamatwa wakiwa katika kampeni za kuelekea uchaguzi mdogo eneo la Arua kaskazini mwa nchi ambapo polisi wanasema walikuwa wamewaongoza wafuasi wao kushambulia msafara wa Rais Yoweri Museveni.

Hapo jana Jeshi la Polisi Uganda liliwashikilia watuhumiwa 45 katika vituo mbalimbali vya polisi kwa kufanya maandamano Jijini Kampala ya kupinga kushikiliwa kwa mbunge Robert Kyagulanyi maarufu kama Bobi Wine na wabunge wenzake wanne.

Ndoa ya Davido na Mpenzi Wake Yanukia ..... Wapelekana Ukweni

0
0
Ndoa ya Davido na Mpenzi Wake Yanukia ..... Wapelekana Ukweni
MWANAMUZIKI maarufu wa Nigeria, Davido, na mchumba wake Chioma, wanaelekea katika  kukamilisha uvumi wa penzi lao — kufunga ndoa hivi karibuni.

Katika kulionyesha wazi penzi leo, wawili hao walifuatana hivi karibuni  — katika ndege binafsi ya bwanaharusi huyo mtarajiwa — alipokwenda kutumbuiza huko Cotonou, Benin.

Kituo kilichofuata ni Oweri, Jimbo la Imo, ambalo ndilo nyumbani kwa bibi harusi huyo mtarajiwa na msomi wa chuo kikuu.
Huu ndiyo mwanzo wa kumalizika kwa mashaka ya utabiri wa kuoana wawili hao, kwani kengele za ndoa zimeanza kusikika “kwa mbali”.

Ray C Azidi Kumkalia Kooni Hamisa Mobetto Amtupia Dogo "Sio Kila Mtu Aimbe Mnaharibu Maana ya Bongo Fleva''

0
0
Ray C Azidi Kumkalia Kooni Hamisa Mobetto Amtupia Dogo "Sio Kila Mtu Aimbe Mnaharibu Maana ya Bongo Fleva''
Msanii mkongwe wa muziki wa Bongo fleva Rehema Chalamila maarufu kama Ray C amejikuta  akianza kumchokonoa  kwa kutoa maneno ya kejeri kwa mwanamitindo Hamisa Mobetto muda mchache baasa ya kuachia wimbo wake.

Hii si mara ya kwanza kwa Ray C Kumtumipia maneno ya shombo Hamisa kwani beef lao lilianzia pale Ray C alipoanza kuzisema nguo aina ya ‘Fendi’ feki ambazo zinauzwa kwenye duka la mwanamitindo huyo.

Leo kupitia instagram Ray C ameanza tena kutoa maneno ya kejeri japo ajamtaja moja kwa moja hamisa mobetto bali yanaonekana moja kwa moja kumlenga yeye kwakuwa ndo msanii pekee aliyeachia wimbo wake leo.

"MNAHARIBU MAAANA NZIMA YA BONGO FLAVA! ACHENI UTANI NA KAZI ZA WATU! SIO KILA MTU AIMBE IT'S BULLSHIT.." Alipost Ray C kwenye akaunti yake ya instagram.




Pata Tiba ya Tatizo la Nguvu Za Kiume, Inasaidia Kukufanya Urudie Mara 5 na kuchelewa kwa Dakika 20

0
0

TATIZO LA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME NA MAUMBILE MADOGO LINATIBIKA.Baada ya utafiti wa mda mrefu juu ya matatizo ya upungufu wa nguvu za kiume na ukosaji wa hamu ya tendo la ndoa ama kushindwa kurudia tendo kwa haraka DR Magise imekuletea tiba ya matatizo hayo kwa kutumia dawa za: 


FUUl POWER:Ni dawa asili ya vidonge inayotibu tatizo la upungufu au ukosefu wa nguvu za kiume,dawa hii inamchanganyiko wakutosha wenyekuzalisha vichocheo vingi vya Hemone za Gestrogen vikiwemo vitamin B6&B1,vitamini E,pamoja na madini aina ya zinc vitakufanya kuwa na nguvu na mzunguko mzuri wa damu na kuongeza hamu na uwezo wa kufanya tendo la ndoa zaidi ya hatua nne au zaidi,na kuchelewa kufika kileleni zaidi dakka 20-30. 


NYAMVA:Inarutubisha maumbile ya uume yani kurefusha na kunenepesha nchi 4-7 upana cm3-4 standard kiafya haijalishi umri wako hata kwa wazee ukiitumia maumbile yako yatabaki kuwa hivyo siku zote,Pia tunatibu Presha,kisukari siku7,ngiri,chango la tumbo tumbo kujaa gesi,kutopata choo vizuri 

 TUPO TZ DAR ES SALAAM   MBAGALA RANGI TATU.HUDUMA HII UTALETEWA POPOTE ULIPO .

WASILIANA NAMI 0783741788,0715741788 -DR MAGISE 
Viewing all 104417 articles
Browse latest View live




Latest Images