Quantcast
Channel: UDAKU SPECIAL
Viewing all 104663 articles
Browse latest View live

HOW MWAMVITA MAKAMBA AIMS AT MAKING HER MARK ON AFRICA

$
0
0
Ms Mwamvita Makamba, the daughter of  former CCM secretary general Yusuf Makamba, says she is on a serious mission; to leave a legacy that women can for Africa, if they exploit their potential fully. She shared her story with The Citizen Reporter Sylivester Ernest in Johannesburg recently 

Tell me briefly about yourself?

Well, I went to school almost all over Tanzania since my father used to shift from one place to  another because he was a civil servant. I schooled in Handeni, Lushoto and Morogoro where I finished primary school. Then I went to Kifungilo Girls Secondary School for my O-Level and later on Morogoro at Kilakala Girls a little bit for A-Level and then Shaaban Robert in Dar es Salaam.

I was an activist in all those places. At Shaaban Robert, my friends and I started an organisation called OYA (Organised Youth Action), which was a forum to help the youth raise their voice. We wanted to advocate the young people’s freedom, to be trusted and also  have a say in society.

We even had a number of radio talk shows at Times FM with the likes of Taji Liundi. Then I joined the University of Dar es Salaam where I did a degree in Political Science and Public Administration and later on a Master’s degree in Politics and International Relations.

While doing my Master’s degree, I was also working  at TCD (Tanzania Centre for Democracy) where I was mostly engaging with the young people of all political parties for the good of the nation. I advocated the young people’s socioeconomic emancipation. So I was for the voice of the young people. I also got involved in politics working with the CCM Youth Wing, the UVCCM. After that I joined Vodacom in 2008. This was my first proper employment.  I started doing public relations, shaping our company’s work with the public, the government and other partners. My aim and that of my company was to make a contribution…the rest, as they say, is history.

What do you think has been hindering most Tanzanian women from achieving their potential? 

First of all women have to realise that they can succeed, that they can reach where they want to be. They should also understand that they have a role to play…it should start there. Once you have that belief and know that you need to contribute to your country; everything else will happen. Most young women just sit back and think everything will just happen to them.

Second, they should know where best they can contribute to their country. We don’t have to all be politicians. We can contribute to the wellbeing of our nation either through civil society organisations, corporations, civil service or politics. But we have to realise we have a role to play. Unfortunately, most of the young people don’t. I realised that I’m here for a purpose, that my country needs me and so I have a role to make myself of good use. You have to find a place where you are suited most.

Has your surname contributed anything to make you who you are?

Well, I wouldn’t really say my surname has contributed. I would say my father. His attitude and hardworking culture have influenced me to a large extent. I grew up watching my father serve the nation since I was a child. So he has been of a great influence in my life. I grew up knowing that I have to serve others. I exist for the service of others. That’s the biggest lesson and influence my father has given me.

Share your experience in working in Tanzania and now in South Africa and the fulfilment you get.


My job entails how we work with different stakeholders in our countries and how we contribute in societies in which our market is.  So in Tanzania it was one market. It was easier because I come from there and I knew where the issues were, the kind of help our people wanted and I knew how our company could help them.

Our job was not about giving money but shaping common efforts towards social issues and how best you assist; bringing in new partners and finding solutions, and then money coming in. So, being able to be part of this in Tanzania which was very successful like the Fistula Eradication Programme which we raised $20 million for my country was the proudest moment. 

South Africa is the base but I work also in Lesotho, Mozambique, DRC and Tanzania; doing exactly the same thing I was doing in my country. So for me to be able to share the role of our company in these countries and be able to contribute is quite humbling.

What do you think has been your contributions to society since you started working with the Vodacom Foundation in Tanzania apart from the fistula eradication initiative?

When we started in Tanzania, it was a small thing back  in 2008. But it grew to become a huge foundation in our country because our contribution was big…you know giving is the DNA of our organisation whenever we feel that it is our role to contribute. So shaping our foundation to be what it is and the consistency of our foundation as far as giving is concerned was my biggest achievement.

Every month we would do something meaningful and sustainable. So we were always there, that’s why many people know of the foundation because we were doing something.

Do you still keep track of what Vodacom Foundation is doing in Tanzania?

It is still one of my markets. I follow everything as I oversee Tanzania as well. I know exactly what is happening. I still shape the agenda.

When did you know exactly that you want to work in the corporate world?  Do you think you would probably have loved to do something else?

No, as I said, one has to realise that one has a role to play. I always want to give service to others. So naturally I am like that. So when this job came it was exactly the one I wanted. Here you see tangible things more than, say, in politics, for instance. I feel very grateful to be able to do a job that I love. I feel like I am being paid to do what I love.

Who is your role model?

Well, first, my father. He inspires me a lot. He shaped my thinking and my being the woman that I am. You know he is the man of the people and genuinely he has given his entire life to serve the country. I just want to do that in my own way. Secondly, I am inspired by many other successful women around the world.

What do you do to remain relevant in a multinational company?

I still have to work hard. Corporate activity is not so easy. Also I remain genuine to what I do and in my life. If you go out there and do an amazing job, the result will be seen. If you do your job and do it well everyone will see it. That’s the biggest asset.

How do you spend your time?

Well, I work a lot. I travel so much. Having been here for a year, I think I have spent seven months in a plane…I travel a lot. But when I am here I spend most of my time with my daughter, my seven-year-old beautiful daughter. But again, I like reading a lot. It is a quiet life. I believe in adding a lot to my life. I also have friends, I have made a few friends here.

Your brother January has become very famous in Tanzania especially among the youth. What do you think are his presidential chances?

January, not only because he is my brother, is doing very well. He is among few brilliant young men that our country has.  Definitely, he can make a very good president, a president that the country needs now because he’s very sharp.

He has everything that one needs to make our country move forward. I don’t know whether he will run or not, I can’t comment. However, I will fully support him if he does. Not because I am his sister but because I am a concerned Tanzanian.

Coming from a political family, do you also have any political ambitions?

I have always been a politician. My father thought I would be running for political office, but not now. I still have to conquer the continent. But maybe one day, I will go back home and seek a political office.
-Citizen-


LADIES:TRUE LOVE MEANS GIVE AND TAKE ..TUNAWAPENDA SANA ILA MSITUGEUZE GARI LA MSHAHARA

$
0
0
Mimi ni mwanaume wa miaka kadhaa,,Kilichonipelekea kuleta hii mada ni kwamba kila mwanamke ninayeamua kuwa nae,ananipa majukumu mengi,hata kabla sijamtamkia kwamba nimeamua kuwa nitamuoa,sikatai kwamba kumsaidia mpenzi wako ni jukumu ambalo haliepukiki lakini msaada unaotolewa usiwe ndo kigezo cha uwepo wa mapenzi yetu,kwa kipindi kirefu nimevumilia hili toka kwa wanawake kadhaa lakini sasa naona kama naelekea kushindwa,mimi binafsi najihisi kama nina mkosi vile,kwa heshima yako naomba waeleze wasichana/wanawake kwamba wakati mwingine sisi wanaume tunakuwa na nia kabisa ya kuanzisha uhusiano imara wenye uwezo wa kuzaa ndoa,


ila tunakimbizwa na "mizinga" yao ya kila siku.katika mapenzi kuna kusaidiana,ila naona kama wenzetu wanawake wameona msaada pekee wa kupewa ni pesa,au wao pekee ndo wanastahili msaada,Wanawake wengi huwa wanaharibu uhusiano bila kujua,hakuna asiyekubali kwamba kusaidiana katika mahusiano ni jambo jema linalokubalika,lakini sasa visizidi jamani,si kila siku mtu unakuwa na pesa ya kukupa,na pia ikumbukwe kwamba suala la kusaidiana katika mahusiano si la upande mmoja,sote twawajibika kusaidiana,wanawake wengi baada ya kuwa katika mahusiano huamini kupata mtatuzi wa shida zake zote.mwanaume mwenye nia ya kweli na wewe akianza kukuona unaanza kumgeuza kitega uchumi,taratibu huanza kuzua visingizio vya kutoonana na wewe mwishowe anaishia zake.

Kitu kingine ambacho wanawake hawajui,si kila tatizo unampelekea mpenzi wako,mengine peleka kwa ndugu zako,hivi kila siku mnapotuomba pesa mwafikiri twazitoa wapi?sio wote wauza sembe,wanawake wengine wana kipato zaidi ya wanaume lakini bado hata kile kidogo tukipatacho mwataka,jamani na sie wanaume hatupendwi kuumizwa pasipo sababu,wewe kama ni mpenzi wangu najua wajibu wangu kwamba wahitaji hiki na kile ,sie wanaume hatupendwi kuumizwa pasipo sababu,wewe kila kitu pesa,kwani mimi ndo nazitengeneza?hata kama unahisi ninazo nyingi,basi unadhani zote ni kwa ajili yako?hata mimi nina familia ya wazazi,wadogo zangu nk,nahitaji kuwahudumia,Tuhurumiane jamani,True love means give and take,twawapenda sana wake/wapenzi wetu lakini msitugeuze gari la mshahara,najua tabia hii si kwa wanawake wote,lakini asilimia kubwa ndo hao,naomba kupitia blog hii tujaribu kuwekana sawa,kwa wale ambao wana tabia hizi na mnawajua,waelezeni,mnatuumiza, na ndiyo maana hatuishi kusikia vituko vya kina kaka kuwaachia bili wanawake katika sehemu za starehe,kujifanya wanaenda msalani,kumbe anakimbia kukwepa aibu,kwa maana hela ya kulipa hana

FLORA LYMO AMCHANA JACK CIFF"FROM THE WEDDING OF THE YEAR 2011 TO MUUZA SEMBE WA MWAKA 2013"

$
0
0
 HAPA AKIINGIA KWENDA KUFANYA KWELI NA KIPENZI MUME WAKE MTARAJIWA ON THE 06/12/2011' WALIPENDEZA HASWAA'WALIVAA IPASAVYO HASWAA'JE HELA ZILITOKANA NA FAMILIA ,NDUGU NA MARAFIKI AU UNGA /SEMBE MADAWA YA KULEVYA'? JOYCE KIRIA'ALILALAMIKAAAAAA SANAAAA MITANDAONI NA PIA KUTUAMBIA MADHARA YALOMKUTA KWA KUKOPA KWA AJILI YA SHEREHE ZA HARUSI YAKE'' NA NATUMAINI WENGI MLIYASOMA MALALAMISHI YAKE NA PIA UPINGAJI WAKE WA WATU KUCHANGISHA KWENYE MAHARUSI '' SASA HAWA WENZETU ARUSI YAO NI KAMA MNAVYOIONA HAPA'' NA MIMI SIWEZI KUWAAMBIENI HELA ZILITOKA WAPI ''ILA '' KAMA WEWE NI MUELEWA NA UNAETUMIA AKILI BADALA YA WAKILI '' UTAWEZA KUONA ZIMETOKANA NA NINI HASWA'' SASA MWANADADA HUYU MREMBO JUZI JUZI NA MPAKA SASA HIVI AMEKUWA GUMZO LA KUSHANGAZA WENGI KUHUSU KUKAMWATWA KWAKE NA SEMBE HUKO CHINA'' NA MPAKA SASA HIVI BADO HUKUM YAKE HAIJATOLEWA'' YANI TUNAOMBA AU SIJUI NISEME TUNASUBIRI'' MBUTA NANGA'' JE WEWE WAONA BORA NINI HAPA'' MADAWA YA KULEVYA UFANYE HARUSI YAKO YA KUFA HATERS OR UCHANGISHE UFANYE HARUSI YAKO YA KUKANYAGAKANYAGA HATERS'' KAZI KWAKO ''

MR &MRS FUNDIKIRA'' HIVI JAMANI WANA WATOTO ? HEBU TUPENI HABARI ZAIDI ''AU  TANGU AOLEWE ALIKUWA KAZI YAKE NI KUBEBA MIMBA ZA SEMBE'' RUWA MANGI''
WACHENI MAONI YENU HAPA HAPA''
-FLORA LYMO BLOG

BEAT YA PROFESA JAY NIKUSAIDIAJE YAWAUNGANISHA TENA JOSE CHAMELEONE NA MDOGO WAKE WEASEL

$
0
0
Unaikumbuka beat ya wimbo wa Profesa Jay ‘Nikusaidiaje’ aliomshirikisha Ferooz? Ni beat kali iliyopigwa na Godfather wa Bongo Flava, P-Funk Majani aka Kinywele Kimoja. Beat hiyo ilitumiwa tena miaka saba ijayo na ndugu wa Uganda, Jose Chameleone na Weasel katika wimbo wao uliohit, Bomboklat.

Hata hivyo kwa muda mrefu ndugu hao walikuwa hawaelewani wala kuzungumza. Habari njema ni kuwa mwaka mpya 2014 umekuja na baraka zake ambapo mafahari hao waliamua kuweka tofauti zao pembeni kwenye show ya ‘UG Dance Mix End of Year Party’ iliyofanyika kwenye hoteli ya Sheraton jijini Kampala.

Baada ya kundi la Goodlfye linaloundwa na Radio na Weasel kutumbuiza,  Chameleone alipanda jukwaani akiwa amevalia nguo nyeupe. Aliimba huku fataki zikipigwa hewani kuukaribisha mwaka 2014. Kisha alisimama na kuwaambia mashabiki amewaandalia surprise ya mwaka.

Chameleone na Weasel wakatumbuiza kwa pamoja wimbo wao, Bomboklat na kuufanya umati uliokuwa ukishuhudia ukulipuka kwa shangwe. Baadaye Chameleone alimuita Radio na watatu hao wakaahidi kuyaacha yaliyopita ili wagange yajayo.

WANGAPI TUNAWAJALI WAZAZI WETU WAKIWA KATIKA STAGE YA UZEE..? STORY HII NI FUNDISHO KWAKO

$
0
0
Mzee mmoja wamiaka 80 alikuwa kakaa na mwanawe wa kiume msomi mwenye umri wa miaka 45. Wakiwa wanaendela kuongea na mzee akimkumbusha mwanae mambo mazuri ya zamani mara jogoo akawika huko nje.
Mara yule babu akamuuliza mwanae, “ nini hicho kinapiga kelele mwanangu?”
Mtoto akajibu, “ Ni jogoo anawika huyo baba!!”
Mzee akatulia kama dakika kisha akauliza tena baada ya jogoo yule kuwika tena, “ Nini hicho kinapiga kelele mwanangu?”
Mtoto akajibu tena, “ Ni jogoo anawika huyo baba mbona husikii!!”
Wakaendela kuongea kwa dakika chache na kisha babu akauliza tena, “ ni nini hicho kilichokuwa kina piga kelele mwanangu?”
Kwa hasira mtoto akajibu, “ baba mbona unakuwa mgumu kuelewa ni jogoo huyo alikuwa anawika,sasa hujaelewa nini hapo baba????”
Mzee yule akauliza tena baada ya daikia moja, “mwanangu ni kelele za nini zilezilizosikika?”
Safari hii yule mtoto uvumilivu ulimshinda na kujibu kwa kelele na hasira, “ baba sipendi maswali yako ya kijinga, kwani hujui huyo ni jogooo, Au unataka tutafutane ubaya mida hii?????”
Taratibu babu yule alinyanyuka na kwenda ndani na kurudi akiwa kashika kitabu chake kidogo cha kumbukumbu alicho kiandika mika 42 iliyopita na kumpa mwanaye ambaye sasa ana miaka 45 ili akisome.
Mtotoyule aliumia sana baada ya kusoma maneno yaliyoandikwa miaka 42 iliyopita na baba yake wakati huo mtotohuyu alikuwa na miaka 3.Mtoto yule aliskia sauti ya jogoo aliwika na akamuuliza baba yake ile ni sauti ya nini…
Baba yake aliandika katika kumbukumbu zake , “Leo nina furaha sana kwani mwanangu kasikia sauti ya jogoo akiwika na kaniuliza mara 23 kuwa sauti ileni ya nini na wala sijachoka kumjibu na nikamkumbatia na kumwambia kila muda aniulize swali lolote nami nitamjibu kwani yeye ni furaha yangu”
Mtoto aliulizwa mara 4 tuu na baba yake lakini akaona ni kero na wakati baba aliulizwa mara 23 na bado akafurahi na kuona kapata bahati ya kuulizwa swali na mwanae.
Je ni wangapi leo ambao yunaona kero kupokea simu za wazazi wetu au hata kero kuwa nao karibu na hata kuwapa nafasi wao watuulize au kufurahi nasi hata mara moja tu????
Tunahitaji kubadili mienendo yetu na kuwafurahia wazazi wetu na kuona tuna bahati kuwa nao.Fikiri ni wangapi tunakosa bahati ya kuwa na wazazi wote wawili?

Kwanini Umpeleke Baba/mama/babu/bibi yako katika kituo cha kulelea wazeee? Je wewe ulivyokuwa mtoto hujiwezi wangekupeleka kituo cha kulea watoto ungejisikiaje sasa?

SIRI ZAZIDI KUFICHUKA CHADEMA:SOMA MAJIBU YA ZITTO KABWE KWENDA KWA TUNDU LISSU

$
0
0


Ki ukweli kazi ipo chadema..Nomaaa

MTOTO AZALIWA AKIWA NA VIDOLE 34..AVUNJA RECORD YA DUNIA

$
0
0
The Indian boy broke the world record after being born with 34 fingers and toes.

Akshat Saxena had seven fingers on each hand and ten toes on each foot, according to a spokesman for Guinness World Records.

The child, from Uttar Pradesh in northern India, has since had a series of surgeries to amputate the excess digits. Akshat was born in 2010 without thumbs so doctors are working to reconstruct these out of the fingers they have removed.

His mother Amrita Saxena said: "I was so happy to see my baby as it was our first child.

"But later, when I saw his fingers, I was shocked and surprised."

The condition is known as polydactyly, a genetic disorder which can be inherited and gives rise to excess digits.

Most commonly, the extra digits appear on the little finger side of the hand.
Mrs Saxena said it was a family friend who convinced them Akshat was extremely special.

She said: "He read on the internet about the baby born in China with 31 fingers. Then he said that my boy has broken the record of having 34 fingers. At first, I was not convinced at all. It was hard to believe that my son has broken the record.

"But later, he along with my husband and my younger sister registered the data in the Internet."

The record was previously held by a six-year-old boy in China who had 15 fingers and 16 toes.

I'M IN LOVE WITH MY SISTER..PLEASE HELP ME

$
0
0
Dear Admin,

I hope this meets you well and I beg of you to post it.

What I’m about to say is considered a taboo in Africa but to us it’s not. I’m in love with my sister. We are in love with each other. My blood sister .She is 23 and I’m 27.

We have been dating each other for 2 years and people mistake our closeness for brotherly/sisterly love. It started after my ex-girlfriend of 5 years broke my heart in 2010 and left me for my friend.

My sister was my comforter and before we knew it, things became romantic. No one should judge us because it’s real love.

She was a virgin and she gave it to me. It’s a shame we found love in a hopeless place.

The problem is how to break the news to our parents that we want to get married. Our plan is to elope to another country where this is not a taboo and get married.

Please do you and your readers know any country? I heard about China but I need English speaking countries. Please help me.
Jay

BABY MADAHA AULA..APATA DEAL LINGINE KUBWA

$
0
0
Ile record label maarufu ya muziki afrika mashariki - candy n candy imechapa fimbo nyingine baada ya kufanya deal ya mtonyo mrefuu na kampuni maarufu ya  kusambaza filamu afrika mashariki na kati, (Jina kampuni ) kwa ajili ya kusambaza filamu ya “The gal bladder”  ambayo imechezwa na mwigizaji baby madaha akishirikiana na waigizaji wengine toka kenya.
Kama alivyonukuliwa toka mtandao mmoja maarufu wa habari Afrika Mashariki, msemaji wa kampuni hiyo amesema imekua neema kwao kufanya kazi na kampuni kubwa kama candy n candy films ya nchini kenya, na hiyo itapanua wigo wa ukuaji wa tasnia ya filamu afrika mashariki hususani kenya na tanzania..deal hiyo yenye thamani ya shilingi za kitanzania milioni mia mbili ( mil.200 )inakua moja ya mikataba minono zaidi kufanywa east africa kutoka kwa  kampuni kwenda kwa kampuni kwenye upande wa filamu.
Hiyo inachukukuliwa kuwa moja la pigo la kukata na shoka kwa  kampuni pinzani grandpa records nayo ya nchini kenya ambayo kwa muda mrefu imekuwa ndani ya tasnia ya burudani kwa takribani zaidi ya miaka kumi  bila kuleta mabadiliko yoyote katika tasnia nzima ya burudani,jambo ambalo  candy n candy imeweza kufanya ndani ya miezi mitano tu,katika kutengeneza muziki wa kimataifa bila kusahau project yao ya sasa “highly budget movie   the gal bladder”….ni mfano wa kuigwa kutoka kwa candy n candy records label kuzalisha kampuni tanzu ndani yake ya candy n candy films ambayo itakuwa ikidili na filamu.
Mbali na hayo kampuni hii ina plans za kuanzisha kipindi matata cha runinga ambacho kitakua kikirushwa  Afrika Mashariki yote ,ambapo kama kawaida huwa hawachezi mbali host wake atakua first lady wa candy n candy mwanamuziki,mwigizaji,mwanamitindo na mtangazaji baby madaha”the queen of swaggz”,ikumbukwe hivi karibuni alilamba mamilioni ya shilingi kupitia mkataba wake na kampuni hiyo.
kaaazi kweli kweli…….yetu macho wabongo mpoooo?????

NGUMI:MAMLUKI NA WAFUASI WA CHADEMA NA ZITTO WACHAPANA MAKONDE NJE YA MAHAKAMA

$
0
0
Wafuasi wa Chadema wanaomuunga mkono aliyekuwa Naibu Katibu Mkuu wa chama hicho, Zitto Kabwe na wanaounga mkono uongozi wa juu, jana walitwangana tena muda mfupi baada ya kuondoka eneo la Mahakama Kuu, Kanda ya Dar es Salaam. 
Tukio hilo limetokea huku Mahakama hiyo ikiahirisha hadi leo, kutoa uamuzi wa maombi ya Zitto kuzuia kujadiliwa na Kamati Kuu ya Chadema.

Katika maombi hayo namba 1 ya mwaka 2014, Zitto ambaye pia ni Mbunge wa Kigoma Kaskazini, anaiomba Mahakama iizuie Kamati Kuu ya Chadema kumjadili na au kuchukua uamuzi wowote kuhusu uanachama wake hadi kesi yake ya msingi aliyoifungua mahakamani hapo itakaposikilizwa na kutolewa uamuzi.
Uamuzi wa maombi hayo ulipangwa kutolewa jana na Jaji John Utamwa ambaye hata hivyo, alisema alikuwa hajamaliza kuandika uamuzi huo na kuahirisha shauri hilo hadi leo mchana.
Maombi hayo ya Zitto ya zuio la muda la kujadiliwa na kuchukuliwa uamuzi wowote kuhusu uanachama wake yametokana na kesi ya msingi aliyoifungua mahakamani hapo Januari 2, 2014, dhidi ya Bodi ya Wadhamini wa Chadema na Katibu Mkuu wa chama hicho.
Katika kesi hiyo, Zitto pia anaiomba Mahakama Kuu imwamuru Katibu Mkuu wa Chadema ampatie mwenendo na taarifa za kikao cha Kamati Kuu za kumvua nyadhifa zake zote alizokuwa nazo ndani ya chama na iwazuie walalamikiwa kumwingilia katika utekelezaji wa majukumu yake ya ubunge wa Kigoma Kaskazini.
Mapigano
Baada ya kuahirishwa kwa shauri hilo, wanachama wa makundi yote waliondoka eneo la Mahakama wakiendelea kuimba na kushangilia lakini walipofika eneo la Mahakama ya Rufani ghafla walianza kupigana ngumi na mawe. Baadhi yao walikamatwa na askari kutokana na vurugu hizo.
Awali, wafuasi hao walifika mapema asubuhi katika viwanja vya Mahakama tayari kusikiliza uamuzi huo.
Ulinzi ulikuwa umeimarishwa na askari polisi wakiwamo wale wa Kikosi cha Kutuliza Ghasia (FFU), waliokuwa na silaha pamoja na mabomu ya machozi walikuwa wametanda.
Pia kulikuwa na askari wa Kikosi cha Mbwa pamoja na gari la maji ya kuwasha.
Licha ya kuwahi, ni wafuasi wachache walioruhusiwa kuingia ndani ya u`kumbi wa Mahakama tena baada ya kuandikisha majina yao huku wakitambuliwa na viongozi wao waliokuwapo.

HAYA SASA ILE VIDEO YA REMIX YA WIMBO WA NUMBER 1 YA DIAMOND NA DAVIDO NDIO HII HAPA

TUNDU LISSU "ZITTO ALIANZA SIKU NYINGI KUICHAFUA CHADEMA"

$
0
0
LICHA ya Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam kuweka zuio la muda kwa Kamati Kuu (CC) ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kujadili uanachama wa aliyekuwa Naibu Katibu Mkuu wa chama hicho, Kabwe Zitto, Mwanasheria Mkuu wa Chadema na Mjumbe wa CC, Tundu Lissu amedhihirisha wazi kuwa chama kimemvua Zitto uanachama.

Lissu ambaye pia ni Wakili wa Chadema katika shauri hilo la zuio, jana katika mkutano na waandishi wa habari na viongozi wa Chadema kuhusu tamko la hatua iliyochukuliwa dhidi ya wanachama watatu waliovuliwa nyadhifa zao akiwemo Zitto, bila kujali zuio alikiri mbele ya waandishi hao kuwa Zitto ataendelea kuwa Mbunge na mwanachama kwasababu ya Mahakama na si matakwa ya chama hicho.
“Ni wazi kuwa harakati zao hasa Zitto za kukichafua chama hazikuanza leo, ni njama zilizoanza muda mrefu sana, hao ni wahusika wa uhaini na usaliti kwa chama na kwa hakika Zitto ataendelea kuwa Mbunge na mwanachama kwa sababu ya Mahakama tu na si kwa matakwa ya Chadema,” alisema Lissu jana katika mkutano huo na waandishi wa habari uliofanyika katika makao makuu ya Chadema, jijini Dar es Salaam.
Kwa kauli hiyo ya Lissu, ambaye pia ni Mbunge wa Singida Mashariki (Chadema), ni wazi pamoja na Mkurugenzi wa Habari na Uenezi wa Chadema na Mbunge wa Ubungo, John Mnyika kueleza waandishi juzi kuwa CC haikujadili uanachama wa Zitto, kutokana na zuio la Mahakama Kuu, uanachama na uongozi wa Zitto ulijadiliwa hadi kumpa kibali Lissu kutoa kauli hiyo, inayodhihirisha uanachama wa Zitto kwa sasa unashikiliwa na Mahakama tu na Chadema ilishafanya uamuzi.
Kabla ya kauli ya Lissu, Katibu Mkuu wa Chadema, Dk Wilbrod Slaa aliwaeleza waandishi wa habari katika mkutano huo kuwa CC haikujadili wala kuamua kuhusu uanachama wa Zitto kutokana na amri ya Mahakama na kwamba mara baada ya uamuzi wa Mahakama, hatua hiyo itafuata na uamuzi utakaofikiwa kutokana na maazimio ya Kamati Kuu, utatolewa kwa wanachama na wananchi kwa ujumla.
Mbali na Zitto, wengine ambao ni watuhumiwa waliofukuzwa uanachama na CC katika tamko la awali la chama, lililotolewa jana katika mkutano huo na Dk Slaa ni aliyekuwa Mjumbe wa CC, Dk Kitila Mkumbo na aliyekuwa Mwenyekiti wa Chadema Mkoa wa Arusha, Samson Mwigamba.

WEMA SEPETU ANYANG'ANYWA GARI

$
0
0
Gari aina ya Audi Q-7 lenye namba za usajili T 973 BUJ alilokuwa akiendesha Wema.
Kwa mujibu wa vyanzo vilivyoenda shule vya Ijumaa Wikienda, gari hilo lilikamatwa Januari 2, mwaka huu Namanga, Oysterbay jijini Dar likiwa mikononi mwa kijana wa kiume aliyedaiwa kuwa ni mdogo wa Mbongo Fleva, Nasibu Abdul Juma ‘Diamond Platnumz’.

“Alikuwa nalo yule dogo ‘waiti’, mdogo wake huyu msanii Diamond. Alikuwa na wenzake pale Namanga kuna kibarabara cha vumbi, walikuwa wanarekodi video. Jamaa walikuwa wanalifuatilia so lilipopaki ndipo wakalipiga ‘tanchi’ (kulikamata),” kilisema chanzo chetu cha kuaminika.
Ilifahamika kuwa gari hilo lilikamatwa na kampuni kiboko ya madalali wa mahakama nchini (court brokers) ya jijini Dar iitwayo Unyangala Auction Mart Ltd & Court Brokers yenye ofisi zake kwenye Jengo la Harbour View Tower ‘JM-Mall’, Dar.
WEMA ACHANGANYIKIWA
Habari za uhakika zilidai kuwa kabla ya kulipeleka ‘yadi’ dogo huyo aliyekamatwa na gari hilo aliwasiliana na Wema na kumjulisha ambapo ilisemekana kwamba bidada huyo alichanganyikiwa.
Baada ya pale walilipeleka gari hilo kwenye yadi yao hiyo kisha kuwasiliana na mmiliki halali tayari kwa kumkabidhi.
KWA NINI?
Habari za uhakika ziko hivi; Januari 17, 2013, mwanaume aitwaye Clement  (yule kigogo mume wa mtu aliyekuwa mpenzi wa Wema) aliingia kwenye makubaliano ya kulinunua gari hilo kutoka kwa jamaa aliyetajwa kwa jina la George Tesha.
ILIKUWAJE?
Habari zilizochimbuliwa zilieleza kuwa, Clement ana rafiki yake ambaye ana kidosho anayesukuma gari la aina hiyo jijini Dar es Salaam na ‘kuwatesa’ wanawake wenzake.
ETI WEMA AWE NG’ARING’ARI
“Clement naye akasema anataka baby wake (Wema) naye awe anawasumbua na ‘mkoko’ kama huo.
“Tatizo wakati ule magari ya aina ile yalikuwa yanahesabika mjini. Huku na huku Clement akaliona lile gari, akamfuata Tesha na kumbembeleza amuuzie ili akampe Wema naye awe ng’aring’ari mjini.
MAKUBALIANO YANAFANYWA, SHILINGI MILIONI 90
“Jamaa walikubaliana ‘dheni’ Clement akalichukua lile gari kwa makubaliano ya kulipa Sh. milioni 90 za Kibongo.
“Kuna ‘misteki’ aliifanya Tesha kwa kukubali kumpatia gari jamaa bila ‘keshi’ kwa sababu alimwambia amwachie ‘dheni’ akachukue cheki ya mkwanja kesho yake ofisini kwake maeneo ya Magogoni, Dar.
“Kilichotokea ni kwamba kila Tesha alipomfuata ofisini aliambiwa na walinzi kuwa hawezi kuonana na Clement na wakati mwingine aliambiwa hayupo.
NYUMBANI
“Tesha alifanya hivyo mara kwa mara huku miezi ikikatika. Ilifika wakati akaenda hadi nyumbani kwa Clement kule Masaki (Dar) lakini nako aliambiwa hayupo na kama vipi amfuate nyumbani kwa Wema, Kijitonyama.
“Tesha alikuwa hapajui kwa Wema hivyo alianza kupatafuta hadi akapapata nako aliambiwa jamaa huwa anafika na kuondoka zake.
KUMBE SIYO LA TESHA
“Wakati hayo yakiendelea, kumbe lile gari nalo halikuwa la Tesha. Lilikuwa la jamaa mmoja mfanyabiashara (haijulikani ni biashara gani) mwenye mkwanja wake aliyetajwa kwa jina la Shadrack Tweve.
MAHAKAMANI
“Tweve alipoona hivyo vihela (ilisemekana Sh. milioni 90 kwake haimnyimi usingizi) havipati ndipo alipoamua kwenda kufungua kesi ya madai katika Mahakama ya Ilala.
“Mahakama ikaendesha kesi Tweve akimdai Tesha gari lake huku Clement akitafutwa, maana alikuwa hapokei simu wala hajibu meseji zaidi ya kusikika tu mara leo kamfanyia Wema hiki, mara kesho kile.
“Kuna purukushani nyingi zilipita. Hatimaye mahakama ikaamua gari likamatwe akabidhiwe Tweve mzigo wake.
GARI LASAKWA
“Hata kabla ya hukumu ya kesi hiyo, jamaa walikuwa wakilisaka kwa udi na uvumba bila mafanikio.
LAONEKANA MEEDA
“Kuna siku lilionekana maeneo ya Meeda Bar (Sinza-Mori) lakini aliyekuwa nalo akalikimbiza kulificha nyumbani kwa mama Wema, Mariam Sepetu maeneo yaleyale.
LAFICHWA KWA MAMA DIAMOND
“Pia kuna siku nyingine lilionekana Kijitonyama lakini likakimbizwa kwenda kufichwa kwa mama Diamond, Sanura Kassim ‘Sandra’ pale Sinza-Mori.
“Lakini sasa Wema hana tena lile gari na mmiliki halali ni Tweve,” kilitiririka chanzo chetu.
WIKIENDA MZIGONI
Baada ya kujikusanyia data hizo za kiuchunguzi, Ijumaa Wikienda lilifika kwenye ofisi za madalali hao lakini kabla ya kuonana na wahusika lilikutana na gari hilo likiwa ‘yadi’.
Mwanzoni makachero wetu walisita kwa kuwa namba na aina ya gari ni kweli ni lile la Wema lakini rangi ni ‘silva’ badala ya ‘dakibluu’.
KWA NINI ALILIBADILISHA RANGI?
Kuna madai kuwa, Wema alilibadilisha rangi ili lisikamatwe kirahisi kwa kuwa Clement alishaambiwa kuwa linasakwa.
Hata hivyo, walijiridhisha kuwa ni la Wema na kwamba alishalibadili rangi kwa ushahidi wa siku aliyofika nalo Mahakama ya Mwanzo, Kawe wakati wa msala wa Wema kumtandika makofi yule meneja wa hoteli.
Ijumaa Wikienda lilimvaa mmoja wa wakurugenzi wa kampuni hiyo, Patrick Sanga ambapo alikiri kupewa kazi ya kulikamata gari hilo na kulikabidhi kwa Tweve.
KUMBE CLEMENT  ALIKIUKA MAKUBALIANO
“Huyo Clement alikiuka makubaliano hivyo mahakama iliamuru tulikamate hili gari na kulikabidhi kwa Tweve kwani ndiye mmiliki halali,” alisema Sanga.
Haukupita muda mrefu, Tweve na Tesha walifika ambapo walionesha kadi ‘orijino’ ya gari hilo (Global ina nakala) kisha gari hilo likakabidhiwa kwa Tweve.
AKABIDHIWA
Huku Ijumaa Wikienda likishuhudia, Tweve aliingia kwenye gari hilo, akaliwasha huku akilalamika kuwa limetumika mwaka mzima hivyo halifanani na lilivyokuwa awali.
“Anyway, bora nimelipata, tayari limetumika mwaka mzima so halipo kama mwanzo,” alisema Tweve.
UTEKAJI?
Wakati Tweve akitabasamu kwa kupata chake ndipo madai mengine mazito yakashushwa kuwa baada ya gari hilo kukamatwa Namanga likiwa na ndugu wa Diamond, Wema alikwenda Kituo cha Polisi Kijitonyama  ‘Mabatini’ kuripoti kuwa eti ametekwa na kuporwa gari hilo.
Ijumaa Wikienda lilichoma mafuta hadi Polisi Mabatini na kunusa dodoso zozote juu ya kuwepo kwa shitaka hilo ambapo ilibainika kuwa halipo na badala yake ikaelezwa kuwa inawezekana alikimbilia Kituo cha Polisi Oysterbay lakini huko nako halikuonekana shitaka hilo.
Baada ya kupata ishu hiyo, gazeti hili lilimtafuta Wema ambaye anadaiwa kumpiga kibuti Clement lakini akawa hapokei simu.
Hata alipofuatwa nyumbani kwake, Kijitonyama (Makumbusho) ilielezwa kuwa, Madam ambaye kwa sasa anaminya kimalavu na Diamond hayupo. Ijumaa Wikienda lilikwenda hadi ofisini kwake, Mwananyamala ambako palikuwa pamefungwa.
SOURCE-GPL

SIKILIZA AU DOWNLOAD REMIX YA WIMBO WA NUMBER 1 KUTOKA KWA DIAMOND FEAT DAVIDO

$
0
0
Ile remix ya wimbo wa Number 1 kutoka kwa diamond sasa ipo tayari .unaweza kusikiliza ama kudownload kabisa hapa chini:

MAZITO YAIBUKA KESI YA JACK CLIFF CHINA-KESI KUSIKILIZWA 2016

$
0
0
Stori: Waandishi Wetu
HABARI mpya za supastaa modo wa Bongo aliyedaiwa kukamatwa na madawa ya kulevya ‘unga’ Macau, China, Jacqueline Patrick ‘Jack’(pichani) zinazidi kumuumiza mrembo huyo.

Mrembo huyo alikamatwa Desemba 19, mwaka jana katika Uwanja wa Ndege wa Macau akitokea Bangkok, Thailand akiwa na kete 57 (kilo 1.1) za unga aina ya heroin tumboni zikiwa na thamani ya shilingi milioni 300. 

TAARIFA MBICHI
Taarifa mbichi kabisa zinadai kwamba, Jack amepewa mwaka mmoja na nusu (siku 447) ajifunze lugha inayozungumzwa na watu wa Macau (Kireno) ambayo ndiyo itakayotumika mahakamani wakati kesi yake itakapoanza kuunguruma.

Sheria ya kisiwa hicho inasema kuwa mshitakiwa yeyote atakayefikishwa kortini, kesi yake haitasikilizwa mpaka majaji wakubali kwamba anajua lugha hiyo na si kinyume na hapo.
Kwa mujibu wa vyanzo hivyo, mwalimu maalum anayejua Lugha za Kiingereza na Kireno ndiye atakayemfundisha Jack mpaka atakapojua.

AKIJUA MAPEMA ITAMSAIDIA
Habari za ndani kutoka vyanzo vya uhakika nchini humo zinasema kwamba, kama Jack angekuwa anakijua Kireno angepandishwa kizimbani mara baada ya upelelezi kukamilika, Machi mwaka huu.

KIFUNGO CHA CHINI MIAKA 16
Habari nyingine mpya kutoka Macau zinasema kuwa, sheria za eneo hilo kuhusu makosa ya kukutwa na madawa ya kulevya, mtuhumiwa akitiwa hatiani kifungo cha chini ni miaka 16 kulingana na mwenendo wa kesi.

SERIKALI YA TANZANIA YASUBIRI ORODHA…
Juzi, Uwazi liliwasiliana kwa simu ya mkononi na Kamanda wa Kikosi cha Kuzuia na Kupambana na Madawa ya Kulevya Tanzania, Godfrey Nzowa na kumuuliza kuhusu nini kinaendelea kati ya serikali na utawala wa Macau kufuatia Mtanzania, Jack Patrick kunaswa na unga nchini humo.

Nzowa: “Aaah! Sisi tumetuma maswali yetu kule (Macau) kupitia Polisi wa Kimataifa (Interpol), tumetaka kujua kama huyo binti (Jack) amewataja vigogo waliomtuma ni majina gani wanayo.
“Ndiyo tunasubiri majibu yao ili tujue nini kinaendelea kule. Kama aliwataja watu tutaanza kuwafuatilia mara moja maana lazima kuna vigogo nyuma yake.”

KWA NINI MABOSI WA KUBEBA UNGA HUWA HAWATAJWI?
Kinachomshangaza Kamanda Nzowa ni usiri wa watu wanaodaiwa kukamatwa na unga kufunga vinywa vyao kuwataja vigogo waliowatuma.
Inadaiwa moja ya kiapo kikubwa kabla mtu hajaanza kuwa ‘punda’ (kubebeshwa madawa ya kulevya) ni kusema ‘piga, ua, galagaza’ katu hawezi kutaja wahusika wenye mzigo.

“Unajua kwa sababu gani? Wale wanaobeba wanaambiwa mkikamatwa msitutaje hata iweje ili tufanye mipango ya kuwatoa. Sasa mtu anaona nikitaja sintatoka, ndiyo anaamua kuendelea kuishi na siri yake halafu na wao wakubwa wao wanakuwa hawana habari nao,” alisema Nzowa.

KUMBE JACK ALIPEWA MAJI YA MOTO
Habari zaidi zinasema kuwa, siku ya tukio la kukamatwa, Jack alikataa kwamba hajabeba kete za unga tumboni, askari wa uwanjani wakampa maji ya moto ili anywe.
“Kwa mtu aliye na kete tumboni, hawezi kukubali kunywa maji ya moto kwani huyeyusha kete zilizomo ndani na kuweza kusababisha kifo chake.

“Jack alikataa kunywa maji ya moto, hilo likachangia askari kuamini ana kete tumboni, ndiyo maana walimpeleka chooni kuzitoa kitaalam,” kilisema chanzo.

RAY C AWASHANGAZA WENGI
Kufuatia sakata la Jack, hivi karibuni, staa wa muziki wa kizazi kipya Tanzania, Rehema Chalamila ‘Ray C’ aliingiza kwenye mtandao wake wa kijamii akitoa maoni kwamba Jack apewe adhabu kali zaidi ya kifungo (pengine kunyongwa) hali iliyowashangaza wengi waliotembelea mtandao huo.

Baadhi ya watu waliozungumza na Uwazi baada ya staa huyo kuingiza mawazo yake walimshutumu wakisema alitakiwa kutafakari upya.

“Yule dada (Ray C) hakutakiwa kumtakia mwenzake mabaya zaidi, kama yeye aliathirika na madawa na amepona anatakiwa kuwa balozi kwa wengine na si kuwahukumu wenzake,” alisema Joan Mushi, mkazi wa Sinza ‘E’ jijini Dar.

WAZIRI MEMBE VIPI?
Juzi, Uwazi lilimtafuta Waziri wa Mambo ya Nchi za Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Bernard Kamillius Membe ili azungumze lolote kuhusu sakata la Jack Patrick lakini hakupatikana badala  yake naibu wake, Mahadhi Maalim alisema taarifa za Jack kukamatwa amezisikia  kupitia vyombo vya habari na hana habari kiundani ila bosi wake anaweza kuwa na maelezo zaidi.

WOLPER, AUNT EZEKIEL, WEMA, WANAWINDWA KUWA ‘MAPUNDA’
Wakati Jack akiwa katika mazito hayo, habari ambazo zilifika kwenye dawati la Uwazi dakika za mwisho zinasema mastaa wa filamu za Bongo, Jacqueline Massawe Wolper, Aunt Ezekiel Grayson na Wema Isaac Sepetu wamekuwa wakitolewa udenda na vigogo wa unga. 

Vigogo hao wamekuwa wakihaha kutafuta namna ya kuwaingiza mastaa hao kwenye ‘chaneli’ yao ili wawe mapunda wa kubeba kete za unga kupeleka ughaibuni wakiamini kuwa, mastaa hawakamatwi hovyo uwanja wa ndege, hususan wa Dar es Salaam.
GPL

JINSI MBWA 120 WALIVYOMTAFUNA MJOMBA WA KIONGOZI WA KOREA KASKAZINI

$
0
0
Walimvua nguo na kumtupa kwenye ngome ya Mbwa wenye njaa 120

.Rais Kim Jong Un alikataa mjomba wake kunyongwa bali kuliwa na mbwa akiwa uchi wa mnyama

.kiongozi huyo na viongozi wengine 300 walishuhudia ukatili huo wa kutisha

.Adhabu hiyo iitwayo ‘Quan jue’ ilidumu kwa saa moja

.Mjomba wake alishtakiwa kwa hila na rushwa na matumizi mabaya ya madaraka

Na Damas Makangale, kwa Msaada wa Mtandao

Taarifa zilizovuja kutoka mashirika mbalimbali ya habari duniani ni kwamba Kiongozi wa Korea Kaskazini, Kim Jong-Un alishuhudia jinsi mjomba wake Jang Thaek akiliwa na mbwa karibu 120 akiwa uchi wa mnyama kama adhabu mbadala badala ya kunyongwa.

Taarifa zinasema kuwa kiongozi huyo wa Korea Kaskazini aliamuru mjomba wake avuliwe nguo zote na kubaki uchi wa mnyama na kisha mbwa kumtafuna akiwa hai mpaka kifo chake, watetezi wa haki za binadamu wanasema ni adhabu ya kikatili ambayo dunia haijawahi kushuhudia kwa miongo kadhaa.

Watu wa karibu na wanafamilia wanasema Mjomba wake huyo alipelekwa kwenye ngome hiyo na wasaidizi wake watano na kuachiwa kwa mbwa wenye njaa ya siku tatu ili waweze kumshughulikia.

Maelezo ya kutisha yaliojitokeza katika ripoti katika gazeti la Straits Times la Singapore , ambayo lilisema kitendo hicho ni cha  kutisha na kinajulikana kama ‘ Quan jue ‘, au ‘ utekelezaji wa adhabu kwa kutumia mbwa wenye njaa.

Thaek , alivaa suti ya bluu na pingu akisindikizwa katika mahakama ya Desemba 12, aliuawa na mbwa mwitu , kulingana na ripoti kutoka China.

Taarifa zinaongeza kiongozi huyo wa Korea ya Kaskazini Kim Jong- Un alikuwa anatoa ujumbe katika sikukuu ya mwaka mpya kwa wakorea wote nchini humo.

Wachambuzi wanasema kiongozi huyo jeuri alikuwa na ujumbe maalum kwa viongozi walioalikwa kwenye sherehe ya kifo cha mjomba wake kama onyo kwamba wanapaswa kufuata taratibu na endapo kiongozi yeyote atakiuka taratibu adhabu kali itachukuliwa dhidi yake.

MWANAMKE AKAMATWA NA MADAWA YA KULEVYA AIRPORT DAR ES SALAAM.

$
0
0
MWANAMKE Mtanzania, Salama Omari Mzale, amekamatwa jana- katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere Dar es Salaam akisafirisha dawa za kulevya kwenda nchini China.

Hadi leo saa nane mchana amekwishatoa kete 27 kwa njia ya haja kubwa.

Mwanamke huyo mkazi wa Mbagala Kongowe, anaendelea kutoa kete hizo katika vyoo vya Uwanja wa Ndege.

============
UPDATE:
Hadi saa 1 jioni (mida ya Tanzania); mwanamke huyu amekwishashusha kete 63!
============

Rai yangu:
Mwanamke huyu abanwe kisawasawa ataje alikoupata mzigo na huko ulikotoka ufuatiliwe hadi chain nzima iweze kujulikana na umma ujue hatma ya wahusika.


KWANINI UMSEME X WAKO VIBAYA KWA WATU BAADA YA KUACHANA

$
0
0
Nimekua nikiona na kusikia watu wakiwasema vibaya wapenzi wao wa zamani, na hata wakati mwingine kutoa hata siri za ndani ambazo hazipaswi kuelezwa kwa watu wengine.
Unaweza kuta labda ye ndio kaachwa , au kaacha haijalishi!.
Je ni kushindwa kuhimili maumivu?, au ndio siku zote lazima apatikane wa kulaumiwa.

Swali kwako, kwa nini Utoe siri za Mpenzi wako wa zamani.
Kwa nini Umseme kwa Mabaya tuu ?.


Karibuni.

ZITTO ASHINDA PINGAMIZI DHIDI YA CHADEMA-SASA UANACHAMA WAKE KUAMULIWA NA BARAZA

$
0
0

Source Eatv.

Judge kaamua kuwa kamati haitakuwa na mamlaka ya kujadili uanachama wake mpaka atakaposikilizwa na pingamizi lake na baraza ndio litakalo amua uanachama wake.

Kamati kuu ya chadema haitajadili uanachama wake au chombo chochote hadi kesi ya msingi isikilizwe.

SIRI:MIMI HUWA SIANGALII MWANAMKE MARA MBILI

$
0
0
Kitendo cha wanaume kukodolea sana wanawake hasa warembo ndo tatizo linalowaingiza wanaume wengi kwenye matatizo, leo nawapa siri yangu inayonifanya nisianguke kwenye tamaa za mara kwa mara, siangalii mwanamke mara mbili, hata akiwa mzuri namna gani, nikimuona mara ya kwanza sigeuzi tena shingo kwake. Unajua nini, ukigeuza tena utajikuta unaanza kutamani ana figure nzuri, mara macho yake noma na hata wale wapenda mizigo mikubwa utasema lile ---- noma, huo ndo mwanzo wa tamaa na matatizo.
Viewing all 104663 articles
Browse latest View live




Latest Images