Quantcast
Channel: UDAKU SPECIAL
Viewing all 104709 articles
Browse latest View live

Askofu aonya wagombea kuwatoa wenzao kafara 2015

$
0
0
Jimbo Kuu Katoliki la Dar es Salaam, limeoyesha wasiwasi wake kuhusu uchaguzi mkuu unaotarajiwa kufanyika Oktoba mwaka huu, kuibuka kwa matukio ya kishirikina  kwa ajili ya kupata uongozi.

Askofu msaidizi wa jimbo hilo, Eusebius Nzigilwa, alisema kitendo hicho ni cha kipagani na kamwe Watanzania wanapaswa kuwaepuka kama ukoma wagombea wa namna hiyo na wale watakatumia fedha kama ushawishi wa kuwachagua.

Askofu Nzigilwa alitoa kauli hiyo jana wakati akihubiri katika sherehe ya upadrisho wa  Padri Tito Rwegoshora na  mafrateli watatu kupewa daraja la ushemasi.

Alisema ni jukumu la Watanzania kuliombea taifa liepukane na roho ya kipagani kwa wagombea dhidi ya  Watanzania wengine wakati wa mchakato wa uchaguzi Mkuu.

“Mwaka huu tunaingia katika uchaguzi mkuu, wa kumchagua  rais, wabunge na madiwani, hivyo Watanzania tunapaswa kuwa makini n kwa kuliombea Taifa,” alisema. 

“Sitabiri vifo, jitokezeni kwenda kugombea, ila msiende huko kufanya upinzani  wa ‘makafara’ wagombea wenzenu kama Herode alivyowaua wazaliwa wa kwanza wa kiume,” alisema.

Alisisitiza kuwa viongozi watoa rushwa na wale wanaoangamiza wagombea wenzao wasichaguliwe kwa kuwa maangamizi na rushwa vinakiuka maadili ya uangozi bora.

Aidha, Askofu Nzigilwa  alisema kuwa Herode alishukuru kuzawili kwa Yesu Kristo kisiasa, moyoni mwake alihofia kuzaliwa kwa mfalme wa wayahudi kungeleta mapinduzi katika uongozi wake.

“Roho ya Herode ya kuua watu tunaziona hadi leo, sisi tunaomtafuta Yesu sasa tujiulize tunakwenda kwa Yesu kumsujudia au kumwangamiza,” alisema.
Aliwaonya waliopata upadirisho na ushemasi kutotumikia mabwana wawili, anasa na Mungu, bali wanapaswa kutumikia wito wao wa kichungaji.


CHANZO: NIPASHE

Mchezaji Winga Mrisho Ngasa Ameshuka Kiwango cha Mpira

$
0
0
Kocha wa Yanga, Hans van der Pluijm amesema winga Mrisho Ngasa ameshuka kiwango lakini atarejea katika makali yake muda si mrefu kwa sababu winga huyo ni "mchezaji mwenye akili nyingi".

Akizungumza na NIPASHE jana visiwani hapa jana, Pluijm alisema tangu arejee nchini Desemba kuinoa timu hiyo ya Jangwani baada ya kutimuliwa kwa Mbrazil Marcio Maximo, amekuwa akimwacha benchi mchezaji huyo wa zamani wa Kagera Sugar, Toto African, Simba na Azam FC kutokana na kushuka kiwango.

"Ni kweli Ngasa ameshuka kiwango ndiyo maana akacheza dakika saba tu katika mechi yetu dhidi ya Azam na hapa Zanzibar anacheza dakika chache pia. Azam ni timu nzuri ambayo unapaswa kuwa na mbinu za uhakika kabla ya kuingia uwanjani kuikabili.

"Ninaamini muda si mrefu atarejea katika kiwango chake. Ngasa ni mchezaji mwenye akili nyingi," alisema raia huyo wa Uholanzi.

Akiwa chini ya Pluijm na msaidizi wake Boniface Mkwasa, Ngasa alifunga mabao 13 na kutoa pasi za mwisho 17 katika Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara (VPL) msimu uliopita akiibuka mfungaji bora wa Yanga huku akifunga mabao sita na kutwaa tuzo ya mfungaji bora wa michuano ya Klabu Bingwa Afrika.

Hata hivyo, msimu huu haukuanza vyema kwa nyota huyo ambaye kwa miaka kadhaa amekuwa akiibeba timu ya taifa akiifungia magoli 22 katika mechi 82 alizoichezea.

Tizama Waandishi wa Uganda Wanavyomuandika Diamond Kwa Kumkejeli

$
0
0
Tanzanian singer Diamond Platinum’s singing career is in jeopardy following his intimacy with Kampala’s top socialite, desert queen, bed hopper and man snatcher Zari Hassan.
The singer is currently Zari’s potter, since he is always the one carrying her bags.The couple has been on a visit in Rwanda recently, but Diamond could not get a grip of excitement since he was always carrying Zari’s bags.

Diamond managed to stage a successful concert in Kigali after an enormous crowd showed up for the show.
While in Rwanda, Zari managed to release some drops of water though it was through her eyes.

This was when they visited the Kigali genocide memorial centre where they saw disturbing pictures of the massacre.

Diamond fell in love with Zari after he had a complicated relationship with his former girlfriend Wema Sepetu who is currently on the hunt for a bonkmate.

His new catch, Zari has sampled all sorts of men, from businessmen, to basketball players and wannabes

Wema Sepetu blesses Platnumz and Zari-No Hard Feelings

$
0
0
Diamond Platnumz' ex lover, Wema Sepetu, has said she has no problem with Diamond dating Zari.

"It didn't work out between us and I wish him all the best in his new relationship. They look good together," Wema said during a radio interview in Dar-es-Salaam.

Wema and Diamond had dated for over three years only to break up a couple of months back. Last September, the Bongo star bought Wema a brand new BMW as a birthday gift.

In the just concluded AFRIMA awards, Diamond Platnumz and Vanessa Mdee won the Best Male and Female Artistes in East Africa respectively, but Wema only congratulated Vanessa.

In her new year's message, she reveals that the year 2014 was quite an experience for her. 

"Happy New Year my beautiful people, 2014 was quite an experience, went through a lot of things, had my ups and downs. I know I have learnt and for sure can't make the same mistakes I made earlier. God I pray for 2015 to be my year and I'm gonna make it my walk to remember."

Zari is right now in Kampala and will be heading to South Africa tomorrow while her boo, Diamond Platnumz is in Lagos for a performance at the GLO-CAF awards.

Zari has found the love of her life in Diamond Platnumz at least from her latest post; "No man on earth is perfect but when he shows effort in keeping you happy, acknowledge that."

Yanga Yatangaza Rasmi Kumtema Kipa Juma Kaseja

$
0
0
YANGA SC imetangaza rasmi kuachana na mlinda mlango Juma Kaseja, iliyemsajili kwa Sh. Milioni 40 Novemba 8, mwaka juzi.

Mkuu wa Idara ya Habari na Mawasiliano ya Yanga SC, Jerry Muro amewaambia Waandishi wa Habari leo katika hoteli ya Zanzibar Ocean View visiwani hapa kwamba, hatua hiyo imefikiwa baada ya mchezaji huyo kuanza kujiengua katika timu.

“Tumefikia uamuzi wa kuachana na Kaseja, baada ya yeye mwenyewe kuanza kujiengua katika timu,”amesema Muro.

Mwishoni mwa mwaka jana, Kaseja aliwasilisha barua kwa mwajiri wake, Yanga SC kutoa taarifa ya kuvunja makataba wake, uliokuwa umebakiza mwaka mmoja.
Katika barua yake, Kaseja alisema sababu ya kuvunjwa Mkataba huo ni kukiukwa kwa masharti yaliyokubaliwa wakati wa kusainiwa Novemba 8, mwaka jana.

Barua ya Kaseja iliyotumwa kupitia wakili wake, Mbamba & Co Advocates, Kaseja imesema wakati wa kusainiwa Mkataba huo ilikubaliwa malipo ya Sh. Milioni 40 yafanyike kwa awamu mbili.

Alisema awamu ya kwanza, alilipwa Sh. Milioni 20 baada ya kusaini Mkataba huo, na ikakubaliwa fungu lililobaki apatiwe Janauri 15, mwaka jana na kwa sababu malipo ya fedha ndio msingi wa Mkataba wenyewe, kushindwa kulipa fedha hizo kunaondoa uhalali wake.hivyo, Yanga SC baadaye ilikuja kusema imekwishamlipa fedha zake zote Kaseja na hana anachodai, ingawa kipa huyo alifungua madai mapya, akidai anachukiwa na kocha wa makipa, Juma Pondamali hivyo hana amani ya kufanya kazi.

Tajiri wa Dunia Bill Gates anywa maji yaliyotengenezwa kwa Kinyesi cha Binadamu

$
0
0
Mmiliki wa kampuni ya Microsoft Bill Gates amekunywa maji yaliotengenezwa kutokana na kinyesi cha binaadamu kama maonyesho ya teknolojia mpya itakayoweza kutoa maji safi katika mataifa yanayoendelea.

Mwanzilishi huyo wa Microsoft amesema kuwa ataisambaza mitambo ya teknolojia hiyo mpya kote duniani baada ya kuifanyia majaribio mwishoni mwa mwaka huu.

Teknolojia hiyo imeungwa mkono na shirika la WaterAid ambalo limesema kuwa itasaidia sana katika maeneo ya miji.

Kulingana na shirika hilo la hisani takriban watu millioni 748 hawana maji safi ya kunywa.

Katika kanda ya video iliyowekwa katika blogu yake, Bwana Bill Gates alishuhudia kinyesi cha Binaadamu kikiingizwa katika mtambo huo kabla ya kunywa maji yaliokuwa yakitoka kutoka kwa kikombe.

''Maji hayo ni mazuri sana ikilinganishwa na maji yoyote yale niliokunywa, na baada ya kusomea teknolojia hii nitayanywa kila siku''.

Maji haya ni salama kabisa'', aliandika katika blogu yake. Kulingana na mtengenezaji wa mtambo huo Peter Janicki, maji taka hayo huchemshwa kabla ya mvuke wa maji hayo kutengwa na taka ngumu.

Taka hizo ngumu baadaye huwekwa katika moto na kutoa mvuke unaoendesha mashine zinazotoa nguvu za umeme kwa mtambo huo na pia kwa wakazi wa eneo hilo.

Maji hayo baadaye hutiwa ndani ya mtambo wa kusafisha maji ili kutoa maji safi ya kunywa.

''lakini kwa nini mtu awe na wazo la kubadilisha uchafu kuwa maji ya kunywa na umeme'', aliuliza Gates.

Jibu aliloandika ni kwamba kwa sababu magonjwa yanayosababishwa na mazingira machafu huwaua watoto 700,000 kila mwaka na huwakinga wengine wengi dhidi ya kuathirika kiakili na kimwili.

Chanzo: BBC

Anti Lulu Aamua Kupima Ukimwi na Haya Ndo Majibu Yake

$
0
0

Na Gladness Mallya
ZIKIWA zimepita siku chache tangu mwaka wa 2015 uanze, mwanadada mwenye umbo matata Bongo, Lulu Semagongo ‘Anti Lulu’ amekiri kuuanza vizuri baada ya kupima ngoma.Akipiga  stori na gazeti hili, Anti Lulu alisema anafurahi kwa kuwa ameuanza mwaka vizuri baada ya kwenda kupima Ukimwi akiongozana na mama yake na kujikuta yupo salama.

“Yaani nina furaha ya ajabu baada ya kukutwa niko mzima kwani nilikuwa na wasiwasi sana kutokana na njia nilizopitia kutokuwa salama, mama yangu ndiye aliyenishauri na kunisindikiza hospitali, nawasihi wasanii wenzangu nao wakapime ili wagundue afya zao na waweze kuishi bila wasiwasi,” alisema Anti Lulu.
Credits:Global Publishers

Mwigizaji Salma Jabu ‘Nisha’ na Mpenzi Wake Wamwagana

$
0
0
Mwigizaji wa kike  anaeonyesha uwezo mkubwa  kwenye tansia ya  filamu hapa Bongo, Salma Jabu ‘Nisha’  na mpenzi wake aliyejulikana kwa jina la Farhad wanadaiwa kumwagana baada ya kuwa kwenye uhusiano kwa muda mrefu.

Chanzo makini cha GPL,kilisema kwamba Nisha na mpenzi wake huyo ambaye walikuwa na mipango ya kuoana mwaka jana lakini ndoa ikayeyuka waliachana kutokana na sababu zisizojulikana na sasa kila mmoja  yupo bize na maisha yake.

Baada ya kuzinyaka habari hizo paparazi GPL alimtafuta Nisha ili kuzungumzia habari hizo ambapo alikiri kwamba ni kweli wamemwagana.“Sababu za kuachana siwezi kuziweka wazi kwa sasa, niko kikazi zaidi mambo ya mapenzi nimeyaweka pembeni nataka nitimize malengo yangu ambayo hayakutimia mwaka jana,” alisema Nisha.

Nisha alifunga mwaka 2014 kwakuingiza sokoni filamu yake ya HAKUNA MATATA ambayo inafanya vyema sokoni hivi sasa.

Angalia Madhara Yaliyompata Huyu Dada Baada ya Kufanyiwa Upasuaji wa Kurekebisha Shape

$
0
0
Picha ya kulia kabla ya majanga.. Mwanamitindo ambae alichukua nafasi ya pili ya pili katika Shindano La Miss BumBum huko Brazil, mwanadada huyo ameweka wazi madhara yaliyomkuta baada ya kufanyiwa upasuaji na kutengenezwa shepu yake ili aweze
kuwa na muonekano mzuri.

Andressa Urach mwenye miaka 27, alitumia muda wa mwezi mmoja katika chumba cha watu
mahututi na aliogopa kupoteza mguu wake baada ya sehemu alizofanyiw upasuaji na
kuwekea vitu kuanza kuozesha misuli na vitu hivyo vilivyojazwa vilitakiwa viondolewe katika
mwili wake, ili kuondoa sehemu hizo zilizokuwa zimedhurika na kutishia maisha yake.
Picha zinazoonekana zikionesha jinsi Urach alivyoathirika kutokana na upasuaji huo wa kutengeneza umbo lake kwa kuongeza mapaja na makalio, Brazil imeipita U.S. kwa kufanya masala haya ya urembo wa kufanyiwa upasuaji.

Miss Urach anasema ameshwahi kufanya mapenzi na Cristiano Ronaldo, na amsema
ameshashawahi kufanya upasuaji kama mara nane katika miaka minane iliyopita. Upasuaji huo unahusisha pua, uso kurekebishwa taya na kuongezwa matiti, lips na hata kupunguza mashavu ya uke.

Chanzo:Usipojipanga

Afande Sele: Daz Baba havuti unga, anakunywa pombe kupita kiasi

$
0
0
Afande Sele amedai kuwa Daz Baba havuti unga kama watu wengi wanavyodhani bali amekuwa akinywa pombe bila kuzingatia kula hali inayomfanya akonde.

Akiongea na Bongo5, Afande amesema huu ni wakati wa wasanii na wadau wa muziki nchini kuonyesha juhudi za kumuokoa katika hali hiyo ili kunusuru maisha yake.

“Tatizo sisi wabongo tunapenda kusema vitu vya unafiki hasa hasa sisi wasanii,” amesema Afande. “Tunashindwa kusema vitu vya ukweli mwisho wake tunaathirika zaidi. Mbona wasanii wengine wa nje wakifilisika wanasema wamefilisika ili waweze kuishi maisha ya kawaida?” amehoji Afande.

“Tatizo watu wanajikweza wakati hawana kitu. Kusema kweli hali halisi ya Daz Baba ni mtu ambaye kama kachanganikiwa hivi. Daz Baba havuti unga. Wasanii acheni kuongea huu ndio wakati wa kumsaidia. Daz Baba akinywa pombe hata bia mbili tu anabadilika kabisa na tatizo lake Daz akinywa pombe hawezi kula, kwahiyo mara nyingi anakesha anakunywa pombe, hachagui pombe. Kusema kweli Daz Baba ni mtu ambaye kachakaa.

Mimi naapa Daz havuti unga ila ni mlevi kupita kiasi. Hana muda wa kulala. Ukikutana naye sehemu unamwomba msamaha wewe kwa sababu bila hivyo atakusumbua na haelewi anachoongea, kama vile chizi tu. Wapo wadau ambao wanajua Daz katoka wapi. Mimi mwenyewe binafsi nimeshahangaika na Daz na kwa namna ya pekee lakini watu wengine hawafikirii kama hili jambo ni la serious.”

“Toka naanza kubadilika mimi najaribu kumweka sawa. Kwasababu kama hali ngumu hata sisi hali ngumu tunahangaika tu. Watu wengi wanasubiria mtu amekufa halafu waanze kutoa magari na michango. Kwanini kama mnaweza kufanya juhudi hizo msifanye sasa hivi? Kwenye mazishi watu wanajifanya kukodi magari kwenda kuzika, mtu kama Daz kipindi hiki ndio cha kumsaidia. Wapo marafiki wa Daz, wasanii wadau wanaweza kumsaidia sasa hivi.”

Ray C akanusha kuurudia unga, asema watu wanataka kumharibia kwa JK

$
0
0
Rehema Chalamila aka Ray C amekanusha taarifa zilizoandikWa na gazeti moja la udaku nchini kuwa ameacha kuendelea na matibabu ya methadone na kurejea kutumia madawa ya kulevya.

Amedai kuwa watu hao wana nia ya kumwaibisha yeye pamoja na Rais Jakaya Kikwete aliyemsaidia. Akizungumza na Bongo5 leo, Ray C amesema hawezi kuacha matibabu au kurudia matumizi ya madawa ya kulevya kwani amebakiza miezi mitano ili kumaliza matibabu hayo.

“Hata unishikie bastola siwezi kurudi kule nilikotoka,” ameiambia Bongo5. “Hakuna mtu anapenda maisha yale, ni matatizo tu ya dunia. Mtu akitoka ametoka, mtu utarudiaje matapishi?” amehoji Ray C ambaye hivi karibuni aliachia wimbo mpya.

“Amini haya magazeti yanatumia majina ya watu kutafuta pesa. Haya magazeti ya Global Publisher yanauza kila siku kwa kumwandika Diamond, yanauza kila siku kwa kumwandika Wema Sepetu. Hizo pesa wanazouza hawatupi hata shilingi. Ni wao tu wanazidi kuwa matajiri. Anajifanya ameokoka, wanajua wananiumiza kiasi gani? Wanajua mheshimiwa itamuumiza kiasi gani? Unaacha mazingira gani? Mheshimiwa akisikia hivyo, daktari gani anaweza kutoa siri za mgonjwa ni daktari yupi? Anataka nigombane na madaktari wangu ambao wananitibu? Huu ni uonevu.”

“Kila siku naenda kula dozi asubuhi na huwezi kukosa hata siku moja na ukikosa siku mbili tu maumivu unayoyapata ni zaidi ya alosto. Nimebakisha kitu kama miezi mitano nimalize.”
Chanzo:Bongo5

Dereva wa Watoto wa Zari Atafuta Umaarufu kwa Nguvu Kupitia Zari na Diamond

$
0
0
Toka Juzi Jamaa mmoja anayejiita Kinglawrenc ambaye inasemekana ni Dereva wa watoto wa Zari huko kwa mume wake amekuwa akiongea mambo mengi ya kumzalilisha Zari kiwemo kusema kuwa ameshalala nae kimapenzi...
Haha yaani huyu dereva aisee hata hajielewi kwa vyovyote kashajua kua Zari ndio habari yanmujini na anajua kua sisi watz tunapenda sana ma umbea akaona aje na style hii ili nae apate followers na kweli kapata maana wabongo na insta kama tumeianzisha sisi yaaani maana waganda wenyewe wala hawashoboki sisi bwana duuh .. Sasa huyu kama ni kaka wa lvan au ndio cuzin iweje saa akalale na shemeji yake kama sio uongo huo nini kwa hiyo yeye ndio anahasira sana kushinda lvan au ?! Kama wewe una uchungu sams mbona na wewe umemzunguka lvan basi!! Alafu cha ajabu Zari hata hawafatilii hao watu kabisa wao ndio choko choko zimewajaaa waacheni Zari na dangote kivyao zari homa Ya jiji kwa kweli daah

Kenge 140 wanaswa JNIA wakitoroshwa nje ya nchi

$
0
0

Jeshi la Polisi la   Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNIA)linamshikilia raia wa Kuwait kwa tuhuma za kukutwa na viumbe hai aina ya Kenge 149 wenye thamani ya Sh 6.3 milioni.

Kamanda wa Polisi wa JNIA, Khamis Suleiman alimtaja mtuhumiwa huyo kuwa ni Hussain Ahmed Ally Mansour(34), raia wa Kuwait ambaye alikamatwa uwanjani hapo jana  majira ya saa 5 usiku wakati akijiandaa  na safari ya  kuelekea nchini Kuwait  kupitia Dubai  na Shirika la Ndege la Emirates  .

Kamanda  Selemani alisema Mansour alikamatwa na wanyama hao ambao aliwahifadhi  kwenye mifuko midogo midogo ilivyowekwa katika begi kubwa lenye rangi nyeusi.

“Kenge waliwekwa kwenye mifuko midogo midogo 15 na kila mmoja kuna kenge 15 na mifuko mingine walikaa wawili,”alisema kamanda Selemani.

Alisema kati ya Kenge hao, 15 walikufa na walio hai walikuwa 134 ambao  walikuwa wamefichwa kwenye mifuko hiyo.

Seleman alisema wakati wanafanyiwa upekuzi ndipo  walipogundua kuna vitu ambavyo vinafanana na nyoka  na kuamua  kuwashirikisha wataalamu wa maliasili ambao walibaini kuwa begi hilo lilikuwa na Kenge.

Mume hanifikishi kisawasawa, Akimaliza yeye mimi nabaki bado na hamu

$
0
0
Mimi ni msichana wa miaka 27 nimeolewa miaka minne iliyopita na nina watoto wawili wote wa kike. Mwanzoni mwa mahusiano yetu na mume wangu (wakati tukiwa wachumba) na hata kama mwaka mmoja na nusu hivi kwenye ndoa yetu, baba watoto alikuwa ananiweza kweli....yaani nikikutana nae...aaah, allahmdullillah, nilikuwa naiona anga kwa uhalisia kabisa....na akiwa amechoka sana, basi hata mbili nitapata na kweli nilikuwa najisikia nime.....! Na kwa wiki nilikuwa napata kama siku nne hivi, yale mapigo ya sawa sawa.

Sasa kwa kipindi kama cha mwaka mmoja hivi...da, baba watoto kwa kweli ana underperform kabisa....wakati mwingine inapita wiki nzima, sionji na mimi mwanamke huwa nahitaji...nikimwambia anasema nimechoka sana kazini. Kwa heshima niliyo nayo kwa mume wangu, huwa namwambia sawa, lakini moyoni huwa nabaki na maswali mengi kuliko majibu. Huwa nahisi moja kati ya mambno haya:

1. Huenda mume wangu ameanza mambo ya nyumba ndogo, so akitoka kazini huenda anamalizia huko huko then akirudi nyumbani anakuwa hoi

2. Labda umbile langu limemchosha, coz kabla hatujaoana nilikuwa na bambataa ya wastani na kiuno chembamba, lakini now sio utani, nyonga imebaki vile vile lakini makalio yameongezeka mara-dufu, so huwa hafikii pale "Dar es Salaam" kisawasawa 

Haya yoye ni mawazo yangu ambayo ninayo moyoni. Sasa sijajua kama nimuulize au na mimi nianze kupiga show za nje kwani wanaonitongoza nikiwapanga kuanzia Dar, basi watafika hadi Morogoro......tatizo nampenda baba watoto na nimempa muda wa kama miezi 6 hivi, kama hatobadilika, basi nita-confirm namba moja ya hapo juu....So na mimi nitaanzia  kutafuta wa kurusha nae roho.

Naomba mnisaidie what to do at the moment.

Baada ya Kupiga Show ya Nguvu Nigeria, Diamond Afunguka na Kusema Haamini Macho yake

$
0
0
STAA Afrika Mashariki, Nasibu Abdul ‘Diamond’, amefunguka kwamba haamini kama kweli amepata nafasi ya kutumbuiza kwenye sherehe za utoaji tuzo za wanamichezo bora zilizoandaliwa na Shirikisho la Soka Afrika (CAF) ambazo zimefanyika usiku wa kuamkia leo jijini, Lagos, Nigeria.

Akizungumza na Showbiz, Diamond alisema amefurahi kupata nafasi ya pekee ambayo mara nyingi hutolewa kwa wasanii wakubwa Marekani na kuamini kwamba muziki wa Tanzania unathaminika kila kona.

“Nimefurahi maana hii inaonyesha jinsi gani muziki wetu umekuwa hadi kufikia Afrika kuwa moja ya kionjo hasa kwenye tamasha kubwa kama hilo, kiukweli sikuwahi kufikiria hapo mwanzo,” alisema Diamond.

Mwaka jana, Diamond aliweka rekodi ya aina yake kwa kupokea tuzo nyingi hapa nchini, ikiwemo tuzo ya Ijumaa Sexiest Bachelor ambayo ilikuwa imedhaminiwa na Kampuni ya Kijumoz Intertraders CO. LTD, ambao pia walitoa ofa ya mshindi huyo mara tu atakaporejea nchini akitokea Nigeria kwenda kwenye maduka yao yaliyopo Kinondoni kwa Manyanya, Kinondoni Mkwajuni na Sinza kufanya shopping ya mavazi kuanzia juu hadi chini.

Penzi la Kinyume na Maumbile Lamtesa Lungi

$
0
0
Stori:Laurent Samatta
MSANII wa filamu za Kibongo, Lungi Maulanga, amesema kuwa mpenzi wake amekuwa akimsaliti kila kukicha huku akihisi kuwa, huenda wanawake anaowafuata huko nje wanampa mapenzi kinyume na maumbile.
Akizungumza na Ijumaa hivi karibuni Lungi alisema kuwa siku chache zilizopita alilia sana kutokana na usaliti aliofanyiwa na mpenzi wake aliyemhifadhi kwa jina, akasema aliamua kumsamehe kwa kuwa anampenda.

“Naumia sana na nalia kila ninapokumbuka namna mpenzi wangu anavyonisaliti, sielewi ni kwa nini wakati mimi ni mrembo na nina umbo zuri ambalo kila mwanaume akiniona lazima anitamani.
“Nashangaa mwenzangu anavyochepuka, sijui huko nje anawafuata wale wanaotoa ‘mtandao’?” alihoji Lungi na kuongeza: “Mimi siwezi kumsaliti hata iweje, najua huko nje magonjwa ni mengi.”
Source:Globalpublishers

Yanga Aibu Tupu, Yachezea Kichapo na Kupandishwa Boti Kurudi Dar es Salaam Usiku wa Jana

$
0
0
YANGA SC imetupwa nje ya kombe la Mapinduzi 2015 kufuatia kutandikwa bao 1-0 dhidi ya JKU katika mechi ya mwisho ya robo fainali iliyomalizika uwanja wa Amaan usiku huu.

Bao pekee la Amour Omar ‘Janja’ lililofungwa katika dakika ya 72 limetosha kuwatumbukiza Wanajeshi hao katika hatua ya nusu fainali.

Kipindi cha kwanza timu zote ziliuanza mchezo kwa makani na kupata nafasi kadhaa za kufunga, lakini washambuliaji wa timu zote hawakuwa makini.

Yanga walianza kwa kutawala mchezo huo wakipigiana pasi za uhakika kuanzia katikati, lakini hesabu zao hazikuwa nzuri kila walipofika eneo la hatari la wapinzani wao.

Dakika ya 24 kipindi cha kwanza, Amiss Tambwe aliendeleza maajabu yake ya kukosa mabao ya wazi katika michuano ya kombe la mapinduzi kwani alipata nafasi nzuri ya kufunga kufuatia mabeki wa JKU kuchanganyana na kipa wao Mohammed Abdallah, lakini Mrundi huyo alipiga mpira nje.

Dakika ya 35 kwa mara nyingine tena Tambwe alishindwa kuifungia goli Yanga kufuatia kupata mpira wa kona, lakini alipaisha juu.

Katika dakika ya 42, Saimon Msuva aliingiza krosi murua kutoka winga ya kushoto, Tambwe alipiga kichwa cha kudundisha mpira chini akimchanganya kipa, lakini gozi hilo la Ng’ombe likapaa juu ya lango.

 Mpaka dakika 45 za kipindi cha kwanza zinamalizika hakuna timu iliyoona lango la mwenzake.

Licha ya Yanga kushambulia muda mwingi, JKU walionesha ukomavu hasa katika ukabaji wa nafasi na mtu kwa mtu, hivyo kuwafanya Yanga washindwe kuliona lango lao kirahisi.

Wakati Yanga wakitafuta bao la kuongoza, katika dakika ya 72, Amour Omar ‘Janja’ aliachia shuti kali lililomshinda kipa wa Yanga, Ally Mustafa ‘Barthez’ na kuzama nyavuni akiiandika JKU bao la kuongoza.

Kufungwa kwa bao hilo kuliwaamsha hasira Yanga na kushambulia kama nyuki, lakini uwezo wa golikipa wa JKU na nidhamu ya ukabaji ya mabeki iliwasaidia kuzuia ‘presha’ ya Yanga.

Mpaka dakika 90 zinamalizika Yanga walikuwa nyuma kwa bao 1-0.

Hata hivyo, kamati ya mashindano ya kombe la Mapinduzi wamemtangaza Ismail Khamis wa JKU kuwa mchezaji bora wa mechi.

JKU ambao ni vinara wa ligi kuu ya Zanzibar wamefuzu kucheza hatua ya nusu fainali ambapo watachuana na vinara wa ligi kuu Tanzania bara Mtibwa Sugar.

Hatua ya nusu fainali ya michuano hiyo itatimua vumbi januari 10 mwaka huu uwanja wa Amaan Zanzibar.

Huyu Ndio Mwanasoka Bora wa Mwaka Afrika, Aweka Record ya Kuchukua Taji Hilo Mara Nne Mfululizo

$
0
0
Bertha Lumala na mitandao
Kiungo wa Ivory Coast na Manchester City, Yaya Toure ametawazwa kuwa mwanasoka bora wa mwaka wa Afrika wa Shirikisho l;a Soka barani Afrika (CAF) kwa mwaka wa nne mfululizo.

Kiungo huyo ametwaa tena taji huilo baada ya kumbwaga  Mnigeria Vincent Enyeama, ambaye alionekana kuwa tishio kwake mwaka huu.

Hata hivyo, taifa lililong’ara zaidi usiku huu wakati wa kutunuku tuzo hizo, ni la Ukanda wa Kaskazini mwa Afrika, Algeria.

Timu ya Taifa hilo imetangazwa kuwa Timu Bora ya Mwaka, Klabu ya ES Setif Algeria imetangazwa kuwa Klabu Bora ya Mwaka na kocha swao mkuu, Kheireddine Madoui ametawazwa Kocha Bora wa Mwaka.

Katika kung’arisha zaidi tuzo hizo, Kinda wa Algeria, Yacine Brahimi ametangazwa kuwa ndiye Kinda Mwenye Kipaji Zaidi wa Mwaka Anayechipikia.

Wanawake wa Nigeria nao hawakuachwa nyuma wakati Falcons hao wakitangazwa Timu Bora ya Taifa ya Wanawake ya Mwaka na Asisat Oshoala akaongeza tuzo nyingine kwa kuibuka Mchezaji Bora Kinda wa Mwaka na Mwanasoka Borav wa Kike wa Mwaka barani.

Tuzo ya Refa Bora wa Mwaka imekwenda kwa Papa Bakary Gassama, wakati Tuzo Mwanasoka Bora wa Mwaka anayecheza ndani ya Afrika imekwenda kwa Firmin Ndombe Makala

Maskini Hii ni Habari Mbaya Kuhusu Wale Mapacha Walio Zaliwa Wameungana Kifuani

$
0
0
Watoto mapacha wa kike waliozaliwa katika hospitali ya rufaa ya mkoa wa Mara iliyopo mjini Musoma wakiwa wameungana sehemu ya kifua na tumbo wamefariki dunia jana majira ya saa 9.10 Alasiri.

Watoto mapacha wa kike waliozaliwa katika hospitali ya rufaa ya mkoa wa Mara iliyopo mjini Musoma wakiwa wameungana sehemu ya kifua na tumbo wamefariki dunia jana majira ya saa 9.10 Alasiri wakiwa katika hospitali ya rufaa ya Bugando jijini Mwanza kabla ya kufanyiwa upasuaji.
Watoto hao pacha walizaliwa Januari 4 mwaka huu na mama mmoja mkazi wa manispaa ya Musoma Helena Paulo wakiwa na uzito wa kilo 4.6 na kisha kusafirishwa hadi katika hospitali ya rufaa Bugando kwa ajili ya uchunguzi zaidi ikiwa ni pamoja na kuangalia uwezekano wa kufanyiwa upasuaji wa kuwatenganisha.

Dk. Shukuru Kibwana ambaye ni daktari katika wodi ya watoto ya hospitali ya rufaa Bugando, amesema timu ya madaktari wa upasuaji na wataalamu wengine wamefanya kila lililowezekana kuokoa maisha ya pacha hao walioungana lakini haikuwezekana.
Ameongeza kuwa kabla ya upasuaji, mapacha hao walitakiwa kupitia tomografia ( CT ) na kufanya kipimo cha Ultra Sound ili kujua kama watoto hao wameungana baadhi ya maeneo na viungo muhimu.

Dkt. Kibwana amesema watoto hao licha ya kuungana, madaktari bingwa wa hospitali hiyo wamegundua kuwa viungo vyao vingi vya mwili vilikuwa vikijitegemea, kila mmoja alikuwa na figo yake, ini na moyo wake.
Muuguzi wa zamu katika wodi ya watoto Sembosah Hiza akieleza kuwa hali ya pacha hao ilianza kubadilika jana mchana jambo lililokwamisha rufaa yao ya kwenda hospitali ya taifa Muhimbili kwa ajili ya vipimo zaidi na uchunguzi.

Agosti 6 mwaka jana mkazi wa Katoro wilayani Geita Neema Luswetura alijifungua watoto wakiwa wameungana sehemu ya kifua na tumbo wakiwa na uzito wa kilo 5.1 hata hivyo walifariki muda mfupi baadaye.
Mwishoni mwa mwaka jana hospitali ya Apollo nchini India ilitangaza kufanikiwa kutenganisha mapacha waliokuwa wameungana kutoka Tanzania katika upasuaji uliochukua saa 11 na wataalamu 50.

Diamond Aitwa Shoga Kisa Mapenzi yake na Zari the Lady Boss

$
0
0
Diamond na Zari Wakidendeka
Stori: Erick Evarist
HII ni ‘bad news’ kwa staa namba moja wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’. Mfanyabiashara maarufu nchini Uganda anayefahamika kwa jina la King Lawrence, ameibuka na kumuita nyota huyo shoga, Ijumaa linakupa habari hii.

ISHU ILIPOIBUKIA
King ambaye ana makazi yake pia nchini Afrika Kusini, amedaiwa kutoa kauli hiyo juzi, Jumatano kupitia mtandao wa Facebook akionesha kukerwa na kitendo cha staa wa muziki Uganda, Zarinah Hassan ‘Zari’ kuangukia katika penzi la Diamond.

ATUMIA GIA YA WATOTO
Awali, King ambaye imeelezwa alikuwa na urafiki na dereva wa aliyekuwa mume wa Zari, Ivan Semwanga, alianza kwa kumchokonoa Diamond kwa gia ya kujifanya anawatetea watoto wa Zari ambapo alitupia picha ya Zari akiwa na Diamond mtandaoni ikiwa na ujumbe wenye kejeli na jeuri ya fedha.

UJUMBE ULIVYOSOMEKA
“As a concerned uncle, Im offering Zari’s tomboy Diamond Dola 40,000 so as to leave the old mom of three to take care of her kids. The young boys miss their mom. Please Diamond do it for the kids.”
(Nikiwa kama mjomba, ninampa jikedume wa Zari, Diamond, Dola 40, 000 (Sh. Mil 66) ili amuache mama wa watoto watatu (Zari) awalee vizuri watoto wake. Watoto wanammisi mama yao.”

ABADILISHA GIA
Kuonesha ana mpango mchafu wa kumchafua Diamond ambaye anaipeperusha vyema bendera ya Afrika kimuziki, badala ya ishu ya watoto, alibadili upepo na kujinadi eti yeye ndiye wa kwanza kutembea na Zari.
Pasipo kueleweka kusudi lake, alimpiga dongo Diamond ambaye usiku wa kuamkia leo alipewa heshima ya kipekee kutumbuiza kwenye Tuzo za Wanamichezo Bora zilizoandaliwa na Shirikisho la Afrika (Caf) nchini Nigeria.

HEBU MSIKIE
“Kwa nini utembee na Diamond shoga? Sijui kama anajua kwamba mimi ndiyo wa kwanza kutembea na wewe (Zari),” aliandika katika mtandao wa Facebook.

AZIDI KUTAPATAPA
Kama hiyo haitoshi, kupitia mtandao wa Facebook, King alitupia mawasiliano yake ya zamani na Zari akidai alikuwa akimuomba fedha.

DIAMOND ANASEMAJE?
Hadi tunakwenda mitamboni, jitihada za kumpata Diamond ili aweze kujibu tuhuma hizo hazikuzaa matunda huenda ni kutokana na ubize aliokuwa nao katika maandalizi ya shoo hiyo kubwa Afrika, simu yake iliita bila kupokelewa na hata alipotumiwa ujumbe mfupi, hakujibu.


ZARI AMSAFISHA DIAMOND
Kupitia mtandao huo, Zari naye aliibuka na kumtetea Diamond akimwambia King ana chuki binafsi kwani hapendi kumuona akiwa na furaha.

“Hatuna muda wa kukujadili, unafikiri Diamond anaweza kuwa shoga? Unafikiri anaweza kubishana na wewe? Kweli nimeamini, watu wakikuona una furaha, wanaanza kukuchukia,” alijibu Zari maneno hayo ambayo pia ameyaweka katika akaunti yake ya mtandao wa Instagram.

DIAMOND NI SHOGA?
Kutokana na madai hayo ya King, baadhi ya wadau wakubwa wa muziki Bongo walikanusha vikali madai hayo kwa kudai jamaa huyo ana lengo la kumchafua Diamond kwa kuwa kwa sasa anafanya vizuri Afrika nzima.
“Hana lolote huyo King, anatafuta kiki za kipuuzi, atamuitaje Diamond shoga? Amewahi kumuona akifanya vitendo hivyo? Wivu tu wa maendeleo, aache Diamond na Zari wafanye yao, apeperushe muziki wetu nje ya Afrika,” alisema mdau mmoja ambaye hakupenda jina lake liandikwe gazetini.

KING ANATESWA NA WIVU?
Licha ya awali King kutoonesha kwamba aliwahi kutembea na Zari, katika maelezo yake ya pili yameonesha dhahiri kwamba anasumbuliwa na wivu wa mapenzi kutokana na kujinadi kuwa yeye alikuwa wa kwanza kutembea na Zari.
“We huoni ameanza kwa kujifanya anawatetea watoto, mara akajifanya rafiki wa dereva wa Ivan mara tena amegeuka anadai alikuwa wa kwanza kutembea na Zari hana lolote wivu tu unamsumbua atakuwa alimtaka mtoto mzuri akamchomolea,” aliandika mdau mmoja katika mtandao wa Instagram.

KING NI NANI?
Kwa mujibu wa vyanzo mbalimbali, jamaa huyo ni mfanyabiashara maarufu nchini Uganda na Afrika Kusini na amekuwa akijinasibu kuwa na uhusiano na mastaa mbalimbali wa Uganda akiwemo mwanamuziki Julia Kanyomozi.

Chanzo:Globalpublishers
Viewing all 104709 articles
Browse latest View live




Latest Images