Quantcast
Channel: UDAKU SPECIAL
Viewing all 104768 articles
Browse latest View live

Sikiliza na Download Wimbo wa Mpya Avril Aliyemshirikisha Ommy Dimpoz

$
0
0
Huu ndio wimbo mpya wa Avril Kutoka Kenya Ambao Amemshirikisha Ommy Dimpoz , Wimbo Umetayarishwa na Producer Man Walter kwa Kushirikiana na Ogopa DJZ Wimbo Huu Hapa Chini:

Come October 2015, here’s a list of qualities of the President we need

$
0
0
It is an election year. Tanzania will mark 20 years of peaceful power transfers since the return of multiparty politics, albeit in all those years there has been no change of the party in power. That as well, might explain in part, the continued stability during power transfers something which has eluded so many countries on the continent.

Considerable political noise has been generated from different sections of the population with regard to the kind of president the country needs to take it forward. There are those who say that the country needs “young” blood at the helm, one who will be capable of finding his/her way and keep a firm foot on the ground in these troubled times. There is no shortage of those who have countered this argument, saying age matters less, and that there are still “old” bloods out there that have an astute grasp of how to move us forward.

The “youth” card has always been part of the mix. Only retired President Mwinyi assumed office at the age of 60. His predecessor, Mwalimu and his successors were below that age when they ascended to the highest political office in the land. And few will forget just how much that card of “youthfulness” was used to great success during election campaigns which propelled President Kikwete to the presidency.

But look at the state of things today.

There are many who are disillusioned and long lost faith in the leaders they elected to office, promising them “better lives for everyone”.

So, is the panacea to all the ills afflicting us today as a country lie in the hands of a “young” president? True, youthfulness has its appeal, and young people are bold and can easily try new things. But such mindset alone doesn’t provide us with all the answers and solutions to the challenges we face today, some of which are as old as the Republic itself.

The issue to be considered here has to be the vision an aspiring President has for the future of this country. This vision has to be accompanied with policies and political slogans grounded in a particular philosophy.

One of the many reasons for the spectacular failure and early paling of the famous “Ari mpya, Nguvu mpya, Kasi mpya” is the fact that there was no philosophy to support it. It was merely an empty, political catch-phrase.

As the geniuses of political campaigns are busy planning what to come up with next, it will be better for all of us if they remembered to add substance, not only style and flare into the slogans.

The person who better qualifies to lead this country come October, should be one who understands the dangers staring us in the face, the things which could tear this country apart, and there are many.

Natural resources. Perhaps only Democratic Republic of the Congo can lay a better claim than Tanzania when it comes to be endowed with natural riches on the continent. But despite more than a decade of economic liberalization, the tangible benefits of these riches have not “trickled” down to those who live amongst them. Our political leaders have been quick to give outrageous responses when asked about their management of these resources, when asked to tell the people through their parliamentarians, what exactly is our share of the riches.

With our current handling of things, we are walking through a precipice, and depending on how we handle this, it could bring out the very best in us or the very worst.

We need a President who has the vision to improve the lot of the voters although not at the expense of investors.

For now, it is us who are owed.

National debates about the future direction of the country needs a President who will not use the sheer numbers of their MPs to make big decisions even though such decisions affect every one of us. In the end, those who are excluded in these decisions can and will not feel as part of the envisioned future, and that will leave a country bitterly polarized.

We need a President who will guide us, show us the way, but from time to time, who should accept being shown where the way is. It happens; a President is just human as well. He or she cannot claim monopoly on all knowledge and wisdom.

Above all, we need our brains when it comes to voting in October.

Mr Mwakibete is a socio-economic and political commentator and analyst based in Dar es Salaam

375,000 Students Pass Form II Exams, Matokea Haya Hapa

$
0
0
The National Examinations Council of Tanzania (Necta) yesterday released the Form Two National Examination results for 2014 which shows a 3.32 per cent increase in the passing rate.

The results showed that 375,434 out of 405,204 candidates (92.66 per cent) who sat for the exams passed compared to 422,446 candidates out of 472.833 (89.34 per cent) who had passed in the previous year. Among those who passed in the examination conducted between November 24 and December 5 last year include 195,328 girls and 180,106 boys.

Necta executive secretary Charles Msonde told journalists in the city that despite such improvement, mathematics, pure science subjects, agriculture and business continued to be the least passed subjects with many candidates scoring an average of below 50 per cent. He named subjects in which most candidates achieved best performance as Civics, History, Kiswahili and English Language where more than 84 per cent of the total candidates passed.

“The highest performed subject is History in which 90.71 per cent of students passed, while Mathematics remained the least performed one with only 18.15 students attaining the passing grades, meaning that continuous effective measures are required to improve performance in it,” he said.

Dr Msonde added that the results denoted improvement when compared to the previous year’s in the number of those who failed. While in 2013 some 10 per cent of those who did the exams failed, only seven per cent or 29,770 candidates failed last year.

He added that 453,191 candidates were registered to sit for the exams, but 47,987 (10.60 per cent) students did not write them for various reasons. The passing grade on point shows that 44.66 per cent of the candidates got good passing grades on distinction, merit and credit, while the rest (55.66) will proceed to the next stage with a pass.

The results have also showed that, although the majority of candidates passed in History with various scoring grades, English Language has the highest number of students scoring 100 per cent, with girls beating boys in performance. A total of 26 girls scored 100 in the subject, while boys who attained that mark were only 15.

A total of 11 candidates (6 boys and 4 girls) scored 100 in Mathematics. Candidates also scored 100 per cent in Book keeping (one student), Biology (one student) and Civics (one student).

BOFYA LINK IFUATAYO KUSOMA MATOKEO>>>MATOKEO

Wanamgambo wa Kiislam wa ISIS Wafanya Unyama Mwingine, Waua Watu kwa Kuwarusha Ghorofani na Kuwasulibisha Msalabani

$
0
0
Wanamgambo wa Kiislam wa ISIS Wametoa Picha Mbali mbali na Video zikionyesha jinsi wanavyouwa watu kwa njia mbali mbali za kutisha ikiwemo ya kurusha watu kutoka katika ghorofa refu na kuwatundika msalabani na kuwasulubu mpaka kufa...
Hapa chini nakuletea baadi ya picha za Matukio mbali mbali ya kutisha...
In the series of brutal executions, another two men, who are accused on banditry, are shown being crucified in Raqqa
Pictures show the large crowd gathered at the bottom of the tower to watch the brutal killing
The image released by ISIS shows a woman accused of adultery being brutally stoned to death

Lulu: Mmoja Kati ya Hawa Akinichukia Ndio Nitapata Pressure, Lakini Wengine…..

$
0
0
Mrembo na mwigizaji wa filamu za kibongo, Elizabeth Michael “Lulu” akiwa na familia yake, Mama na mdogo wake wanapata  ‘Lunch’  Aliweka picha hii mtandaoni na kuandika kuwa, kama ikitokea mmoja kati ya  wanafamilia hao, akimchukia ndio anaweza akapata ‘pressure’ lakini wengine wote hata wamchukie hawezi kujali na atatafuta njia ya kushughurika nao.

“Lunch thngz wth Family, Ikitokea mmoja kati ya hawa akanichukia ndo ntaweza kupata pressure....but the rest, I'll search 4 a Fck to give” Lulu aliandika.

Nadhani ujumbe umefika!!!
---------------------------
Ujumbe wa Leo:
Old friends pass away, new friends appear. It is just like the days. An old day passes, a new day arrives. The important thing is to make it meaningful: a meaningful friend - or a meaningful day.

UCHOKOZI: Kitu Gani Mnapenda Kwenye Mwili Wanguuu? Uwoya Anauliza

$
0
0
Mrembo na mwigizaji  Irene Uwoya, hivi juzi kati aliwauliza swali followers wake kwenye mtandao wa INSTAGRAM, kuwa kitu gani wanapenda kwenye mwili wake, mara baada ya kuweka picha yake hiyo hapo juu. Swali ambalo liliibua COMMENTS nyingi na LIKES za kutosha huku kila mtu akisema lake na wengine wakisema hili swali ni tata kidogo na wengine wakisema huu ni uchokozi....

Sasa na mimi ni kaona sio mbaya ni share na wewe swali hili kwa kulileta hapa, nikiamini hapa kuana wadu na wapenzi wengi wa mwanadada huyu ili nao wafunguke;

Uwoya aliuliza;

Kitu gani mnapenda kwenye mwili wanguuu ?????

Kazi ni kwako!!!
------------------

Ujumbe wa Leo:
Old friends pass away, new friends appear. It is just like the days. An old day passes, a new day arrives. The important thing is to make it meaningful: a meaningful friend - or a meaningful day.

Kina Kaka Acheni Ujinga, Hakuna Mwanamke Asiyetaka Kuhongwa! Shauri Lako

$
0
0
Wakaka acheni ujinga, ukitaka dem wa peke yako basi jua kugharamia. Nakwambia wanawake asilimia kubwa hukumbuka fadhila za mtu anayemgharamikia kuliko wanaume wa ai lavii yuu maneno.

Usidanganyike hakuna mwanamke asiyependa kuhongwa, kuna wanawake natural hawawezi kuomba,ila anakua anataka ujiongeze, sasa kama wewe ni wale ambao akikwambia "baby kifurushi kimekata" unajibu "basi mumy pls ukiweka nicheki" umekwishaaaa!!!

Anakueleza shida zake unasema "mpenz vumilia nakuombea upate kazi" kaka umeishaaa kabisaaaa aiseeee!!! Huna chako!!!
Ujue ulivyokata simu umefatiwa na bonge la msonyoooo ka sio tusi la nguoni basi la mwilini. Yani wewe kama ni wale wa baby mwezi huu mambo yangu hayako sawa, nakuapia unagongewa weeeeeeeeee . . . . mpaka ujute!!

Unamuona dem wako kasuka, kapendeza na hana kazi, we umekazana tu "beibi umependeza" . . . . . . Yaani wee boya ujue!! Mume mwenzio kaweka nguvu, so anapokua anatoa calendar za kukuona tulizana, service inakua kwa anayehudumia.
Hakuna dem wa siku hizi anayetaka kuambiwa nakupenda jumapili mpaka jumapili we mhonge tu uone heshima.
____________
Ujumbe wa Leo:
Old friends pass away, new friends appear. It is just like the days. An old day passes, a new day arrives. The important thing is to make it meaningful: a meaningful friend - or a meaningful day.

'My Husband Is Too Big Down There, Takes Too Long To Finish' - Wife Complains On Facebook

$
0
0
According to a popular adage; One man's meat is another man's poison. What some ladies are crazy about, others are complaining. A woman posted this on Facebook complaining about how big her husband's d'1ck is, yet on top of that it takes 'forever' for him to finish, and so she is just not enjoying her s*x life anymore. She wants to see a divorce lawyer or report him to the police.

See the Facebook post below:



Lulu Awavaa Wanaosifia Uzuri wa Mtu Kwa Kumponda Mwingine

$
0
0
“Niongee kidogo kuhusu hili kwa wanawake na wanaume....hivi kuna baadhi ya Watu mnashindwa kabisa kumsifia mtu bila kuponda wengine....!?? Au kupenda mtu bila kuchukia wengine...!?Kwa ufupi tu iko hivi....Kila mwanamke duniani ana uzuri wake na a ana kitu ambacho mwanamke mwingine hana,hata wanaume pia...!
Sasa kuna watu fulani hawawezi kabisa kumsifia mtu bila kumponda mwingine, inafurahisha sana kutaka kulazimisha kuwa Mungu.....hivi unafikiri Mungu alikuwa hayuko sawa kufanya wanawake wawe wengi tena wengi zaidi ya wanaume, we fikiria tu na utulize akili yako ya kipuuzi.....!!!Hapa ni duniani ukiona unataka kuwa pekeyako pekeyako au kusifia mtu kwa kuponda wengine ni bora ufanye maombi  Mungu akupeleke/au ampeleke mtu wako sayari ya tofauti na dunia kama Jupiter huko auu Pluto mana duniani ndo tumeshajazwa hvyo.
Maneno yamekuwa mengi Lakini maana yangu ni hii hakuna Haja ya kumsifia mtu kwa kuponda wengine au kumpenda mtu kwa kuchukia wengine”.-Lulu alimaliza

Tafakari chukua hatua!!!

Juma Nature kumng'oa Mtemvu Temeke

$
0
0
Msanii nguli wa kizazi juma kasim kiloboto, atangaza rasmi nia ya kugombea ubunge jimbo la temeke.lakn alishindwa kuweka bayana ni chama gan atatumia kutimiza lengo hilo, la kuwaondolea kelo wakaz wa temeke.lakn tetesi zinanyetisha kuwa awali ilikuwa atangaze nia kupitia chama cha kafu,lakn mh,sugu amemshaur, kugombea kupitia cdm jambo ambalo bado analifikiria.

Mwili wa dereva wakutwa umenyongwa ndani ya gari

$
0
0
Mwili wa aliyekuwa dereva wa gari la mizigo Bw Ally Athumani Ally ambaye alikuwa akitafutwa na jeshi la Polisi kufuatia wizi wa milango umekutwa ndani ya gari alilokuwa anaendesha baada ya siku 4 ukiwa umenyongwa na kamba za kubebea mizigo mikubwa huku gari hilo likiwa limeegeshwa kituoni hapo.
Kamanda wa polisi mkoa wa Ilala SACP Mary Nzuki amekili kutokea kwa tukio hilo ambapo baada ya watu hao kufanya mauaji hayo waliuweka mwili huo katika kitanda kilichopo katika gari hilo na kuiba mzigo wa milango uliokuwepo katika gari hilo ambao ulikuwa ukitokea bandarini kwenda katika ghala la mizigo la kampuni ya J Fogh Logistics.
Aidha katika hatua nyingine kamanda Nzuki amesema baadhi ya milango imekwisha patikana na jumla ya watu saba wamekamatwa kuhusiana na tukio hilo ambapo watu hao watafikishwa mahakamani pindi uchunguzi utakapo kamilika.
Akizungumzia tukio hilo dereva mwezake na marehemu Bw Sultani Salum ambaye alifika kituoni hapo kwa ajili ya kuchukua gari hilo amesema kuwa yeye ndiye aliye gundua kuwepo kwa mwili huo baada ya kuona damu ikitokea kitandani na hivyo kulazimika kutoa taarifa ya kuwepo kwa tukio hilo.

' Wema Sepetu Niachie Bob Junior Wangu Tafadhali ' Bozi

$
0
0
Mwigizaji chipukizi katika tasnia ya filamu Bongo, 'Bozi' akihuzunika.
Jambo limezua jambo! Siku chache baada ya kuripotiwa kwa tukio la staa wa sinema za Kibongo, Wema Isaac Sepetu kunaswa kimalovee na Rais wa Masharobaro, Raheem Rummy Nanji ‘Bob Junior’, mwigizaji chipukizi, Bozi ameibuka na kudai ‘Wema niachie Bob Junior wangu’.

Kwa mujibu wa chanzo chetu, mara baada ya habari hiyo kuruka hewani kupitia gazeti tumbo moja na hili, Amani la wiki iliyopita, mrembo huyo alipoziona picha za wawili hao alipoteza fahamu.
Akizungumza na Ijumaa Wikienda huku akiangua kilio, Bozi alisema kuwa katika siku alizowahi kuumia ni siku hiyo alipoona Wema ametoka kwenye gazeti na mpenzi wake huyo.

Staa wa sinema za Kibongo, Wema Isaac Sepetu akiwa mapajani mwa 'Bob Junior'.

Bozi alifunguka kwamba, alimbana Bob Junior kwa maswali lakini jamaa huyo hakutaka kumweka wazi kama yeye na Wema wanatoka.

Jini Kabula 'Najuta Kuingia Mapenzini na Kumpenda Mwanamuziki Bushoke'

$
0
0
Msanii wa filamu Bongo, Miriam Jolwa ‘Jini Kabula’ akipozi.
Stori: Gladness Mallya/Ijumaa Wikienda
BAADA ya hivi karibuni kumwagana na aliyekuwa mpenzi wake wa muda mrefu, Maximilian Bushoke, msanii wa filamu Bongo, Miriam Jolwa ‘Jini Kabula’ amefunguka kwamba hahitaji tena mwanaume kwa sasa.

Akipiga stori na paparazi wetu, Jini Kabula alisema kutokana na kwamba alikaa kwenye uhusiano wa kimapenzi muda mrefu na Bushoke na hakuona faida yoyote, anaujutia muda wake na sasa ameamua kuachana na masuala ya mapenzi na amejikita kwenye kazi zaidi.

“Nimegundua kwamba wanaume ni watu wanaonipotezea muda tu maana nilimsubiri Bushoke muda wote huo lakini alivyokuja Bongo akanipotezea hivyo nimeamua kujikita kwenye kazi zaidi,” alisema Jini Kabula.

Chameleone: Diamond hajaoa, Zari hajaolewa kwani tatizo liko wapi wakiwa wapenzi?

$
0
0
Muimbaji wa Uganda, Jose Chameleone ameuzungumzia uhusiano kati ya Zari Ttale na Diamond Platnumz ambao kwa sasa umekuwa maarufu mno Afrika Mashariki.

Akizungumza na mtandao wa Kenya, Ghafla, Chameleone alisema haoni kama kuna tatizo kwa mastaa hao kuwa wapenzi. “Kama wanapenda, hakuna tatizo,” alisema muimbaji huyo wa Valu Valu.

“Diamond hajaoa na Zari pia hajaolewa. Kuwa na uhusiano wa zamani hakumzuii (Zari) kuwa na uhusiano mwingine.”

Kauli hiyo ya Diamond imekuja siku chache tu baada ya Diamond kutangaza kuwa yeye na Zari wanatarajia kupata mtoto wao wa kwanza.

Kwa upande mwingine alipoulizwa kuhusu Diamond kama msanii, Chameleone alisema: Ni msanii mzuri pia. Namba ya wasanii wazuri Afrika Mashariki inazidi kukua. Ndio maana muziki wetu umeanza kuchezwa Nigeria sababu nguvu ni kubwa kutoka Afrika Mashariki.”

Nollywood Actor, Muna Obiekwe Confirmed Dead

$
0
0
The actor died on Sunday, January 18, 2015. He collapsed at his house and was rushed to a hospital in Lagos, where doctors confirmed him dead on arrival.

According to reliable sources, the actor has been battling with prolonged kidney failure but he decided to keep it a secret and raise money for his treatment rather than solicit from the public.
Until his death, the Enugu based actor was one of the controversial actors in the Nigerian movie industry.

Muna, who had a knack for acting romantic scenes, once came under attack for grabbing actress, Biola Ige's breasts, in the movie, Pregnant Hawker.

However, the actress later denied the story, claiming that the picture which went viral was fake and that there was no such scene in the movie.

Muna on his own part was quoted to have said, "I don't remember the movie. I also don't remember sucking Biola's breasts. If the movie exists, that scene never took place.

"I don't recall the movie. I do a lot of movies and I can't remember what happens in all of them. The fact that I don't recall means that the movie was shot a long time ago. Probably three or more years back. When love scene was in vogue with producers. I'm still searching for the movie to acquaint myself with the story.

"There has never been anything between myself and any actress that I've made a movie with. My romantic relationships have always been outside the movie industry. I don't take my work home."


Tasnia ya Filamu Bongo imeingiliwa na Pepo Kali-Wastara

$
0
0
MSANII anayefanya vizuri kunako kiwanda cha filamu Bongo, Wastara Juma amefunguka kwamba tasnia ya filamu kwa sasa inaonekana kama imeingiliwa na pepo mbaya kutokana na mambo kwenda ndivyo sivyo kila kukicha.

Akizungumza na gazeti hili, Wastara alisema tasnia ya filamu imekuwa ni ya migogoro, chuki huku bei ikishuka  jambo ambalo siyo sahihi kwani litawarudisha nyuma wasanii wakati hata kazi hiyo hailipi kihivyo.

“Mimi sitengenezi filamu mpaka nielewane na bosi bei kabisa lakini vinginevyo ndiyo maana nimeamua kujikita kwenye biashara ili niweze kuendeleza maisha ya kila siku maana tasnia haieleweki sasa hivi, naona kama pepo mbaya ametuvamia inatakiwa tumuombe Mungu sana,” alisema Wastara.

Lema, Nassari Wadai watamtoa Muhongo Bungeni kwa Mabavu

$
0
0
Mbunge wa Arusha mjini (Chadema) Godbless Lema amesema atamtoa kwa mabavu bungeni Waziri wa nishati na madini,Profesa Sospetre Muhongo katika kikao kijacho cha Bunge endapo atakuwa hajaondolewa kwenye nafasi hiyo.

Mkakati huo wa Lema umeungwa mkono na Mbunge wa Arumeru Mashariki (Chadema), Joshua Nassari ambaye pia amepanga kumtoa bungeni kwa nguvu, Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Bajeti, Andrew Chenge.

“Keshokutwa nakwenda bungeni kufanya kazi moja tu, nikimkuta Muhongo bungeni ndipo nitafukuzwa ubunge moja kwa moja,” alisema Lema huku akishangiliwa wananchi na kuongeza; “Nikimkuta Muhongo bungeni na Chenge bado ni viongozi mimi nitakwenda kumshika Muhongo nimtoe bungeni kwa sababu Katiba inaruhusu kila raia kukemea uovu.”

Profesa Muhongo na Chenge ni miongoni mwa viongozi ambao Bunge liliazimia wawajibishwe na mamlaka zao kutokana na kashfa ya uchotwaji mamilioni ya fedha katika Akaunti ya Tegeta Escrow.

Hata hivyo, wakati Rais Jakaya Kikwete akilihutubia Taifa, Desemba 22 mwaka jana kupitia wazee wa Dar es Salaam, alitangaza kumweka kiporo Profesa Muhongo kwa siku mbili au tatu, ahadi ambayo haijatekelezwa.

Tayari Mwanasheria Mkuu wa Serikali (AG), Jaji Frederick Werema anayehusishwa na sakata hilo alishatangaza kujiuzulu na Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Profesa Anna Tibaijuka akifutwa kazi.

Siri ya Wizi Mafuta ya Transfoma za Umeme yabainika, Kumbe Hayapikiwi Chips

$
0
0
Udaku Specially. 
Ile dhana ya kuwa mafuta ya kupoza transfoma yanaibwa na wauza chipsi, imebainika siyo ya kweli baada ya uchunguzi kuonyesha kuwa yanatumiwa viwandani kuendesha mitambo, kuchanganywa katika vipodozi na mengine yakisafirishwa nchi za nje.

Taarifa zilizolifikia gazeti hili zimeeleza kuwa wanaoiba mafuta hayo ya Shirika la Umeme Tanzania (Tanesco) pia huchukua nyaya za shaba katika transfoma hizo kwa ajili ya kutengeneza mapambo mbalimbali kama herini, mkufu na bangili.

Kutokana na wizi huo, mwaka jana pekee transfoma 34 zenye ukubwa mbalimbali ziliibiwa mafuta na shaba, hivyo kuisababishia Tanesco hasara ya Sh306 milioni.

Meneja Mwandamizi, Masoko na Mauzo wa Tanesco, Injinia Nicholaus Kamuleka alisema utafiti uliofanywa na wahandisi wa shirika hilo unaonyesha kuwa mafuta ya transfoma yanaibwa kwa ajili shughuli mbalimbali.

“Kazi ya mafuta ya transfoma ni kupoza nguvu ya umeme mkubwa,” alisema Injinia Kamuleka na kuongeza kuwa mafuta hayo pia huchanganywa na ya gari.

Transfoma kubwa moja inaweza kuwa na lita 200 za mafuta wakati dogo kabisa lina ujazo wa lita 40.

Kamuleka alisema pia hutumiwa na mafundi wa kienyeji kuchomelea vyuma ambao huyanunua kwa Sh5,000 kwa lita.

Mmiliki wa kiwanda cha chuma kilichopo Mikocheni ambaye hakutaka jina lake litajwe alisema: “Sisi hatuwezi kuharibu transfoma na kuchukua mafuta, sisi tunaletewa hapa hapa.”

 Dhana ya chipsi

Injinia Kamuleka alikanusha kuwa mafuta ya transfoma hutumiwa na wafanyabiashara kukaanga chipsi na kusema kuwa harufu kali ya mafuta hayo isingefaa kwa matumizi ya kula.

Baadhi ya wafanyabiashara wa chipsi walisema ni vigumu kutumia mafuta hayo kwa kuwa yanauzwa bei ghali.

Mh. January Makamba, Urais Sio Sawa na Kucheza Filamu

$
0
0

Wanajamvini,Nawasalimu.
Nimelazimika kuanza na hiyo kauli hapo juu kutokana na unyeti wa habari yenyewe.
Nitakuwa namwendelezo wa kutoa ufafanuzi wa mambo mbalimbali yanayoikabili Tanzaniakwa kutumia mifano hai na kumbukumbu rasmi zilizopo Tanzania.

“Ni bora Simba wakali mia moja walioko Nje kuliko nyoka mdogo mmoja aliye ndani [“Godbless JonathanLema]. Haya maneno aliwahi kuyatoa Mbunge Lema, nayafananisha na kijitabualichokitoa Mh. January Makamba. Namheshimu sana [ Hata yeye anajua hilo!]lakini sina budi kusimamia ukweli na kukemea pale inapobidi!. Tanzania hii iliwahi kupata viongozi vijana wengi tu lakini historia inaonyesha waliwahi kuligarimu Taifa kutokana na ufinyu wa kufikiri na uharaka usiokuwa na tija!.Mfano Mh Raisi Kikwete, ndiye anaonekana kuwa Raisi kijana kuliko wote waliopata nafasi hiyo kwa siku za usoni lakini makubwa aliyoifanyia taifa hakuna ? aliwahi kuwa Waziri akiwa na miaka 38 tu?. Hivyo Umri sio kigezo cha kutushawishi kukupa uongozi. Uraisi sio sawa na kucheza filamu?.

Pili, Vijana tulio wengi hatuitaki ccm, yaani tunayavumilia sana majani hata hiyo rangi tungeiteketeza kabisa!!!!. Ukiona kijana yupo ccm jua lazima anapata mnofu? Vinginevyo hakuna au Baba yake aliwahi kuhudumiwa naccm hivyo na yeye anatega mpira?. Kutokana na sababu hii makini kabisa tunakuomba sana tena sana [Nakuheshimu sana Mkuu, hata wewe unajua hilo]usituharibie sifa ya ujana wetu kwa kutaka Makuu wakati bado unastahili kuwa nasubra baadae kama wataka nafasi hiyo ukaipata [ila kupitia chama kingine Mkuu].Kutunga kitabu kinachoelezea kuhusu Tanzania mpya ni maneno tu ambayo kwamtazamo wangu hayana uhalisia wowote ule.

Tatu,Nimewahi kuona watu wengi sana hasa walioko ndani yaccm wakikana maandiko yao yaliowahi kuwapa PHD, mfano DR. Harrison Mwakembe aliwahi kuzungumzia muungano wa serikali tatu kwenye kitabu chake lakini baadaye kupata tu ubunge hatimaye uwaziri kwenye uhalisia akaja kukana maandiko yake mwenyewe hivyo na hii Tanzania mpya ulioitazamia pindi utakapo pata nafasi basi itakuwa hivyo hivyo Mkuu , nakushauri egemea kwenye nini umewahi kuwafanyiaWatanzania na imebaki kama historia nasio utawafanyia nini tukikupa nafasi [uzoefu ni lulu Mkuu popote pale Duniani].Mh Nasari aliwahi kusema nanukuu ‘’CCMNI KAMA UKOO WA PANYA,BABA MWIZI MTOTO MWIZI’’ [Ukikasirika niombee].
Mwisho, Tanzania inahitaji kikongozi mwenye hofu ya Mungu [yaani mwenye hata kahistoria ka kuwa shehe,padre au hata mchungaji jamani] kutokana na sababu kuu moja kuwa Tanzania ni nchi pekee Duniani ambayo haina ‘’NationalPolicy’’ mtu akipata nafasi ya uwaziri tu anaweza kusema futa somo lahesabu kwa shule za msingi watasoma wakiwa sekondari kisa mwanae halipendi au kwasababu tu ya uswahiba na rafiki yako unaamua tu kuanzia kesho wewe utakuwa Mkuu wa wilaya [ kwa mfano tu wadau huyo jamaa alikuwa muuza chipsi leo anapata zali la kuwa mkuu wa wilaya]. Tunataka kiongozi mwenye hofu ya Mungu ili tutengeneze hizo policy kwanza maana nchi ipo pabaya.
Ila kiukweli nakupongeza kwa kutangaza nia na sio kwa kutoa kitabu, tuachie tukupime nini aulichowahi kuifanyi taifa hili Mkuu. Niombee kwa aliyekasirika. Nawatakia sikunjema
By 
Elineema J Mosi
CPA[T]-Arusha,Tanzania.

Kundi la majambazi, Wateka Mabasi Saba ya Abiria Arusha na Kupora Mali na Fedha

$
0
0
Kundi la watu wanaosadikiwa kuwa majambazi, wameteka mabasi saba ya abiria yanayofanya safari zake kati ya Jiji la Arusha na Nairobi, Kenya na kupora mali na fedha ambavyo thamani yake haijafahamika.

Tukio hilo ambalo limethibitishwa na Jeshi la polisi, mkoani Arusha llitokea usiku wa kuamkia jana katika eneo la Mbuga Nyeupe, wilayani Longido Mkoa wa Arusha baada ya watu hao kuweka mawe barabarani na kuwamuru abiria wote kutemka mmoja baada ya mwingine, kulala chini na kuwapekua kila kitu walichokuwa nacho.
DEREVA ALIYETEKWA ASIMULIA
Akisimulia mkasa huo, dereva wa basi la Perfect Trans, Joseph John, alisema kuwa watu hao waliokuwa na silaha za jadi yakiwamo mashoka, mapanga na sime, waliteka mabasi hayo majira ya saa 8 usiku.
“Hao jamaa walikuwa kama 50 hivi kwani waliteka magari yetu ambayo yalikuwa yamefuatana, wametuvua hadi viatu, saa yaani walipekua hadi wanawake waliamriwa kuvua nguo na kuporwa urembo wenye nakshi ya madini ya vito,” alisema John.
Alisema yeye alikuwa dereva wa kwanza kufika na basi katika eneo hilo na kuwa alipoona mawe yamepangwa kati kati ya barabara, aliamua kusimama na alipokuwa akijaribu kuyakwepa, alipigwa jiwe usoni hali iliyomfanya ashindwe kukimbia.
“Hata wengine walikuwa hawajafunika nyuso zao, tukio lilidumu kwa dakika zaidi ya shirini, kila walipomaliza kupekua watu wa basi moja waliwaamuru warudi ndani ya gari,” alisimulia.
Dereva mwingine aliyejitambulisha kwa jina la Jabir Athumani, alisema baadhi ya majambazi hayo yalikuwa yakiita majina ya baadhi ya watu na kuwaamuru kutoa fedha walizokuwa nazo.
“Tunaomba vyombo ulinzi na usalama vifuatilie tukio hili kwa umakini wa hali ya juu ili kuwanasa wahusika wa tukio hili,” alisema Jabir.
Aidha, alililitaka Jeshi la Polisi lirudishe magari ya doria katika barabara ya Arusha–Namanga ambayo yaliondolewa Aprili mwaka jana.
POLISI: TUTAZUNGUMZA LEO
Kamanda wa Polisi mkoa wa Arusha, Liberatus Sabas, alithibitisha kutokea kwa tukio hilo na kuahidi kulitolea ufafanuzi leo.
“Hapa nipo katika majukumu mengine, sipo ofisini nitawapa taarifa za tukio lote Jumatatu (leo) mchana, naomba subiri nitafanya mkutano na vyombo vya habari na nitawapa maelezo ya tukio lote,” alisema Sabas.
Viewing all 104768 articles
Browse latest View live




Latest Images