Quantcast
Channel: UDAKU SPECIAL
Viewing all 104417 articles
Browse latest View live

Prof Lipumba na Wafuasi Wake Wakamatwa na Polisi, Mawakili wa Chadema Waelekea Police Central Kuwatoa

0
0
Baada ya Prof. Lipumba na wafuasi wake kukamatwa na Polisi, Mawakili wa CHADEMA wameelekea Police Central kumtoa Lipumba (muda si mrefu uliopita

Chama cha Demokrasia na Maendeleo kimeshtushwa na kupigwa vibaya na kukamatwa Mwenyekiti Mwenza wa UKAWA Prof Ibrahim Lipumba

Tayari Uongozi wa juu wa CHADEMA pamoja na mawakili wa chama wameelekea Police Central Station kwa ajili ya tukio la kijahili walilofanyiwa viongozi wa CUF, Profesa Lipumba na wengine.

Lengo la mawakili wa Chadema ni kuhakikisha wanamtoa kwa gharama yoyote Prof Lipumba na wanachama wote wa CUF waliokamatwa.

Tutaendelea kuwapa taarifa za tukio hili kwa kila hatua..

Hivi Inakuaje Kijana Ajisifu kwa Kupiga Mabao Mengi Wakati mawili tu Msichana Anaridhika na Kesho Tena Anakutafuta?

0
0
Yani nimekuwa nikishangazwa na kauli za vijana wenzangu ambao miongoni mwao ni rafiki zangu. Utasikia mtu anakwambia “dah jana shemeji yako nimempiga nane”, ukimuuliza ulizipiga kwa 24hrs? Anakujibu “ homie jus 4 one night”.

So mi najiulizaga, inakuaje kijana mzima adhibitiwe na msichana kuanzia la kwanza hadi nane afu aje mtaani ajisifu wakati mi nkipiga cha kwanza ujue cha pili lazima msichana aombe poo, na siku inayofatia lazima aanze kunitafuta utasikia “baby jana ulinimaliza nye.ge zote na leo nakuomba tena unipe ulichonipa last night.

Huu ndo uwanaume, unapiga mbili tu unatafutwa kuliko anaepiga nane anajichosha alafu kesho hapati any result kutoka kwa msichana au wenzangu wa humu Udakuni mnasemaje.

Raia Afrika Kusini Waanza Kuua na Kupora Maduka ya Wageni

0
0
South African police said Friday they had arrested more than 150 people after days of anti-foreigner rioting in the sprawling township of Soweto.Police Lt. Gen.

Lesetja Mothiba said officers spread out across Soweto overnight on Thursday to quell rioting and looting. The shooting death of a young man, who was accused of robbing a shop owned by foreigners, sparked the violent backlash.


“In the hours of the night there were quite large-scale lootings,” he said, adding that some suspects were also charged with murder and attempted murder. “The whole of Soweto was affected.”

South African television aired images of people carrying refrigerators and other goods out of some of the many shops here run by immigrants from Ethiopia, Somalia and other countries.

In a statement, President Jacob Zuma , who was in Davos, Switzerland, attending the World Economic Forum, said he had instructed his cabinet’s security officials to work with local authorities “to bring the situation under control and work toward restoring normalcy.”

Animosity between foreign merchants and South African citizens—where youth unemployment is higher than 50%—flares frequently. In 2008, riots and attacks against foreigners that began in Johannesburg spread across the country. Dozens of shop owners and migrants from impoverished neighboring nations like Malawi and Mozambique were killed.

The current spasm of violence began on Monday when a Soweto merchant shot dead a 17-year-old boy trying to rob his shop, police said. Dozens of stores have been looted in the days since. At least one police officer was caught on camera ransacking a shop in Soweto.

“We are going to take strong action against that particular member,” Mr. Mothiba said, adding that he had admonished his officers “that they must resist from being criminals themselves.”

Many South Africans have little faith in their police services, who are often slow to respond to incidents from traffic accidents to shootings. Still, Mr. Mothiba urged people not to take up arms on their own to protect themselves from criminals.

“We urge people to resist taking matters into their own hands,” Mr. Mothiba

Penzi la Diamond kwa Zari Linawaumiza Wengi..Ona Huyu Mganda Anavyohaha Kuwachafua

0
0
Nimejaribu kukaa na kutafakari matusi anayopewa Diamond na team Wema, kisha katika pitapita zangu nikakutana na hili jamaa linajiita King Lawrence (Lawrence Muyanga). Huyu jamaa nadhani amekuwa mtumwa wa kufuatilia mienendo ya Diamond na Zari, kwani karibu kila tukio analirusha huko instagram kwake.

Kwa namna anavyoaandika maneno ya kejeli hakuna shaka kwamba huyu jamaa penzi la Chibu na Madam Zari limempiga za chemba vibaya mno. Jamaa kama kapanic hivi hadi kakosa direction. Anataka kutengeneza kaushindani ka kijinga na Chibu halafu Chibu mwenyewe kampotezea. Pamoja na kuwa jamaa anaonekana change zipo ila hili la Chibu na Dangote pesa imeshindwa kufanya kazi.




Maskini :Mtoto Mchanga Apigwa na Mchi Kichwani Dodoma

0
0
Mtoto mchanga mwenye umri wa mwezi mmoja, Yadiko Chigoda amelazwa katika Hospital ya Benjamini Mkapa Wilayani Mpwapwa Mkoani Dodoma baada ya kupigwa na mchi kichwani na baba yake mzazi na kumsababishia maumivu makali.

Akizungumza mama mzazi wa mtoto huyo, Carolina Mnyawami ambaye ni mkazi wa kijiji cha Mingui kata ya Lumuma Wilayani Mpwapwa amesema tukio hilo limetokea leo majira ya saa 4 asubuhi ambapo mume wake aliyefahamika kwa jina la Fabian Chigoda alikuwa anapigana na kaka yake hivyo aliamua kuwaamulia ugomvi wao.

Amesema katika ugomvi huo walikuwa wanapigana na fimbo, hivyo alipowanyang’anya fimbo hiyo ili wasiendelee kupigana ndipo (Chigoda) alipoamua kuchukua mchi ili ampige nao mkewe kichwani lakini alikwepa na alipourusha ndipo ulipompata mtoto huyo kichwani.
“Nilipowanyang’anya fimbo ili wasiendelee kupigana, mume wangu aliokota mchi na kunirushia kichwani.. kwa bahati nzuri niliuona mchi huo na kukwepa ili usinipige ndipo ulipompiga kichwani mwanangu niliyekuwa nimembeba mgongoni,” amesema Carolina.
Ameongeza kuwa, “Baada ya kuona kuwa amempiga mtoto alikimbia na hajulikani alipo mpaka sasa.”
Mganga Mkuu wa Wilaya ya Mpwapwa, Said Mawji amethibitisha kumpokea mtoto huyo na kwamba hivi sasa mtoto huyo anaendelea kupata tiba na uchunguzi zaidi wa afya yake.
“Ameumia sana kichwani lakini bado tunampatia tiba na uchunguzi zaidi kwenye fuvu la kichwa, kwani inaonekana kama vile limepasuka,” amesema Dk, Mawaji.
Hata hivyo amesema kuwa wanafanya mpango wa kumpa rufaa mtoto huyo ili aweze kwenda kutibiwa katika hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Dodoma.
Ofisa Mtendaji wa Kijiji cha Mingui, Mwingwa Udoba amesema chanzo cha tukio hilo ni ugomvi wa kifamilia na kwamba bado wanamtafuta baba mzazi wa mtoto huyo kwa kuwa alikimbia baada ya tukio hilo.

Kamanda wa polisi Mkoa wa Dodoma, David Misime alipotafutwa kuzungumzia tukio hilo simu yake ilipokelewa na mtu aliyesema kuwa Kamanda alikuwa kwenye kikao cha kazi.

Diamond, Ali Kiba Uchawi Watawala, Hirizi zaokotwa Uwanjani Moja Yakutwa Ikipumua

0
0
HALI inazidi kuwa mbaya kwa mastaa wawili wa muziki wa Bongo Fleva wanaogombea unyota kimuziki, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ na Ali Saleh Kiba, safari hii yameibuka mapya kwa kila msanii kuogopa kumshika mkono mwenzake kutokana na imani za kishirikina.

TUJIUNGE LEADERS
Matukio hayo ya kusisimua yaliwatia hofu kubwa mashabiki na wadau wa muziki Bongo muda mfupi kabla ya nyota hao kukaribishwa stejini kwenye Viwanja vya Leaders Club, Kinondoni jijini Dar, mwishoni mwa wiki iliyopita.

HIRIZI ZAKUTWA UWANJANI
Kwa mujibu wa wanahabari wetu, katika Viwanja vya Leaders, Kinondoni, kulikutwa hirizi zilizozagaa, zilizodaiwa kudondoshwa  na vijana waliokamatwa wakiwa wamevalia sare zenye majina ya mastaa hao wawili.


Katika hali ya kushangaza, mmoja wa mashabiki waliohudhuria onyesho hilo ambaye aliziona hirizi hizo, aliwashangaza mashabiki wenzake alipodai kuwa anaiona mojawapo ikitweta mithili ya inayopumua!
“Oneni wadau, hii hirizi si inapumua, iangalieni vizuri,” alisikika shabiki huyo na kuwaacha watu wakiwa wamepigwa na butwaa kuona vitendo hivyo vya kishirikina katika eneo la burudani.

Wakati matukio hayo ya kukutwa kwa hirizi hizo yakiendelea, Diamond, baada ya kupanda jukwaani kabla ya kuanza kuimba, akajikuta akiteleza na kuanguka jukwaani na kusimama mwenyewe huku vijana wanaodaiwa kuwa ni wa Timu Kiba wakipiga kelele kwa nguvu kuashiria kuwa walipendezewa na kitendo hicho kutokea.

Pamoja na Diamond kula mwereka hadi chini, hali ilizidi kuwa mbaya kwake baada ya muziki kuanza kusikika vibaya huku ukiwa unakatakata, kitendo kilichoamsha hisia kuwa kulikuwa na ushirikina unaoendelea ili kumshusha kisanii kwa kuonekana amefanya vibaya katika shoo hiyo

CHUPA ZARUSHWA
Baada ya kuona hali inazidi kuwa mbaya huku chupa za maji zikirushwa jukwaani hapo na baadhi zikimpiga na nyingine akizikwepa wakati akiendelea kupiga shoo, Diamond aliamua kutumia akili ili kuzima kelele hizo kwa kuanza kumwaga noti.

Ishu hiyo iliwafanya mashabiki na Timu Kiba kuachana na zoezi hilo na kuanza kusukumana kugombea noti hizo za elfu mbilimbili ambapo alimwaga kwa awamu tatu.

SADAKA?
Wakati akizidi kuwatupia noti mashabiki, Diamond alisikika akisema kuwa pesa hizo ni maalum kwa mashabiki kwani ni sadaka kwao kutokana na sapoti kubwa wanayompa ingawa hataweza kumpa kila mmoja.

DIAMOND KAMA MICHAEL JACKSON
Hata hivyo, baadhi ya mashabiki waliokuwa wakisukumana na kuokota noti hizo walisikika wakisema:
“Huu mchezo alikuwa akiufanya Michael Jackson (Mwanamuziki marehemu wa Marekani) tena alikuwa akitumia ushirikina na Freemasons.
“Michael alikuwa anadaiwa kumwaga fedha hizo zilizokuwa na nguvu ili kuwafanya wale waliokuwa wakimzomea kukaa kimya,” alisikika shabiki mmoja akisema.

MSHANGAO
Katika hali ya kushangaza zaidi,  Diamond alivua tisheti na vesti ya ndani na kujifuta jasho kisha kuwarushia mashabiki huku akijua wazi kuwa amefutia jasho lililokuwa likimiminika mwilini mwake kama maji.


KIBA HAKUTAKIWA KUZUNGUMZA?
Wakati matukio ya kushangaza aliyokuwa akiyafanya Diamond na yale ya kurushiwa chupa za maji machafu na yenye mikojo yakiendelea, ilidaiwa kuwa Kiba alipoingia kwenye chumba cha wasanii hakutaka kuzungumza na mtu yeyote huku ikidaiwa kuwa hiyo ni ishara kubwa kuwa hakutakiwa kuzungumza na mtu kwani angeweza kupoteza nguvu za kufanya shoo.

POLISI MZIGONI
Wakati mashabiki wakizidi kuwa na wasiwasi juu ya wasanii hao, jeshi la polisi lililokuwa na zana zote za kukamatia wahalifu, walianza doria ya kukamata vijana ambao wanadaiwa kuwa ni Timu Kiba waliokuwa wakibishana na kutupa chupa zenye mikojo na maji  huku wakipokea kipigo kama cha mbwa mwizi.

KIBA ARUKA UKUTA
Awali kabla ya shoo hizo kuanza matukio ya kishirikina yalijidhihirisha zaidi baada ya Ali Kiba kuingia uwanjani hapo kwa njia ya kuruka ukuta na hata alipozama kwenye chumba maalum walichokuwa wametengewa wasanii hakuweza kushikana mikono na wenzake.Wasanii ambao Ali Kiba aliwachunia ni AY, MwanaFA, Shaa, Shilole, Vanessa Mdee na Jux, ambao wote aliwakuta ndani ya chumba hicho.

Imeandaliwa na Gladness Mallya, Musa Mateja, Chande Abdallah, Mayasa Mariwata, Shani Ramadhani, Denis Mtima na Laurent Samatta


Serikali yapiga Marufuku Shule Binafsi Nchini Kuwafukuza Wanafunzi Wanaoshindwa Kufikia Wastani

0
0
Serikali imezipiga marufuku shule binafsi nchini kuwafukuza ama kuwasitishia masomo wanafunzi wanaoshindwa kufikia wastani na kwamba shule zote zitakazokiuka agizo hilo zitachukuliwa hatua kali ikiwa ni pamoja na kufutiwa usajili.

Serikali pia imesema kuwa kuanzia mwaka 2016 itaanza kutoa elimu bure kuanzia shule ya msingi hadi kidato cha Nne.

Onyo hilo la serikali kwa wamiliki wa shule binafsi za serikali limetolewa na waziri wa elimu na mafunzo ya ufundi bungeni mjini Dodoma katika kikao cha kwanza cha mkutano wa 18 ulianza Dodoma katika kipindi cha maswali na majibu kutokana na swali la msingi la Mh Conchesta Rwamlaza.

Waziri huyo amesema ni marufuku kwa mameneja na wamiliki wa shule binafsi za sekondari kukaririsha, kuhamisha ama kuwafukuza shule wanafunzi wanaoshindwa kufikia wastani wa shule husika kwa kuwa kiwango cha ufaulu kilichowekwa na serikali ni wastani wa asilimia 30.

Aidha mbunge wa handeni Dr Henry Shekifu ameitaka serikali kutoa tamko la lini itaanza kutoa elimu bure ya kuanzia elimu ya msingi hadi kidato cha nne ili kuwawezesha watoto wote wa Tanzania kupata elimu ambapo serikali imesema utekelezaji wake utaanza mwakani.

Awali kabla ya kuanza kwa shughuli za bunge spika wa bunge hilo Mh Anne Makinda amemwapisha mwanasheria mkuu mpya wa serikali George Mcheche Masaju.

Mara baada ya kuapishwa nje ya bunge akijibu swali la waandishi wa habari kuhusu muswaada wa sheria ya mahakama ya kadhi ambao umeanza kuibua mawazo kinzani kwa baadhi ya viongozi wa dini hasa wa kikristo ndugu Masaju amesema wamepitia kwa umakini mswaada huo na kwamba hauna athari zozote kwa mtu, vikundi vya dini na taifa kwa ujumla na hautaingilia mambo yanayosimamiwa na serikali ikiwemo makosa ya jinai na taifa litaendeleaa kuwa wamoja.

Mabomu Yatawala Mbagala katika Maandamano ya CUF.....Profesa Lipumba na Wafuasi wake Watiwa Mbaroni

0
0
 
Jeshi la Polisi Kanda Maalum Dar es Salaam limewakamata wananchama wa Chama cha Wananchi CUF 32 akiwemo Mwenyekiti Taifa wa chama hicho,Profesa Ibrahim Lipumba kwa kufanya maandamano ambayo si halali.


Awali polisi ilizuia  maandamano yaliyokuwa yamepangwa na chama hicho ya  kuadhimisha kukumbuka ya miaka 14 tangu kufanyika kwa mauaji na mateso ya wananchi wa Zanzibar na Bara yalifanywa na vyombo vya usalama.


Akizungumza leo Naibu Kamishna wa Polisi Kanda ya Dar es Salaam,Simon Siro alisema wanachama waliokamatwa walikuwa 32 kati ya hao wawili ni wanawake na 30 ni wanaume ambao wote kwa pamoja wanashikiliwa na jeshi hilo kwa ajili ya mahojiano.

“Wanachama 32 akiwemo Profesa Lipumba tunawashikilia katika kituo cha Polisi Kati kwa kufanya maandamano ambayo hayana kibali, wote wapo hapa tunaendelea kuwahoji,”alisema Siro.

Siro alisema walipewa taarifa ya maandamano hayo na viongozi wa chama hicho hivyo jeshi hilo liliwaandikia barua ya kuzuia maandamano hayo kwa kuhofia fujo kutokea.

Siro alisema sababu kubwa ya kuzuia maandamano hayo yasifanyike kwa kuwa mwaka 2001 yalifanyika maandamano batili yaliyosababisha baadhi ya polisi na wananchi kufa.

“Jeshi la polisi likiruhusu hayo maandamano kuna uwezekano wa kutokea fujo na hayo maandamano ya mwaka 2001 yalikuwa si halali na kwenye maandamano hayo walikufa askari polisi,”alisema Siro.

Alisema sababu nyingine ya kuzuia maandamano hayo ni kuwa hivi karibuni walikamatwa watu wanaojihusisha na mambo ya ugaidi hivyo kutokana na mazingira hayo jeshi la polisi linazuia mikusanyiko mikubwa kwa kuhofia kutokea mambo mabaya.


Maskini Wastara, Akiri Kushuka Kisanii Toka Mumewe Afariki Dunia

0
0
STAA wa filamu nchini, Wastara Juma amesema anajihisi kupoteza mwelekeo unaomfanya kushuka kisanaa tokea kufariki kwa mumewe, Juma Kilowoko ‘Sajuki’ kwani ari yake ya kufanya kazi imepotea.

Akipiga stori na paparazi wetu hivi karibuni, alisema Sajuki alikuwa ni msaada mkubwa sana kwake kisanaa mbali na maisha ya kawaida, kwani anashindwa kupita njia alizokuwa anapitishwa na mumewe huyo kiasi cha kujikuta akitoa filamu kati ya mbili hadi tatu kwa mwaka.

“Nikiri tu kwamba nimeshuka kisanaa, kasi ya kipindi kile imepungua, mume wangu alikuwa akijituma kuhakikisha mikakati yetu inaenda, kwa mwaka mzima nilitoa filamu hata tatu lakini toka asa naambulia moja tu mwaka mzima,” alisema.

Janga:Club ya Olympia Iliyopo Sinza Mori Yaungua Moto (Picha)

0
0


CLUB  Olympia iliyoko Sinza-Mori jijini Dar es Salaam, imeungua na kuteketea kwa moto majira ya saa kumi na nusu usiku wa kuamkia leo ambapo chanzo cha moto huo hakikuweza kufahamika mapema.

 Mlinzi wa club hiyo inayomilikiwa na Samuel  Mwaisumbe, na ambaye hakuweza kujitambulisha jina lake, alisema moto huo ulianza mishale ya saa kumi usiku ambapo waliweza kutoa taarifa kwa vyombo vya zima moto.

Aliongeza kwamba zima moto  hawakufika kwa muda mwafaka na badala yake walifika kunako  saa 12 asubuhi wakiwa na maji  kidogo ambayo yaliisha wakati moto ukiendelea.

Nimetembea Kimapenzi na Binti Zangu Wawili kwa Mpigo Usiku Mmoja Kwenye Kitanda Kimoja

0
0
Ndugu Wadau,Nianze hivi,ninafanya kazi mbali na mke wangu, sasa niko kwa wife wiki ya pili kwa vile niko likizo. Wife anaishi na mabinti 2 moja akiwa dada wa nyumbani house girl, na mwingine ni binti aliyemaliza chuo hivi karibuni.

Jumapili wife amesafiri kikazi kwa siku 5 na nimebaki na hawa mabinti tu, kwani watoto wetu wapo shule boarding.
Sasa jana ikatokea hivi: Nilirudi home yapata saa 5.30 usiku nikitoka kupata, nilikuwa tungi.

Huyu bint wa chuo ndo alikuja nifungulia mlango, kama utani nilimshika mkono na kuuchezea, nikaona kimya. Nilishika bega nikamvuta kwangu ajabu aka respond naye akanikumbatia.

Nikaweka mkono wangu tumboni pake, chini ya kitovu kimya, chini zaidi kimya. Kwakweli maswali mengi yalipita kichwani kwangu kwa vile sikuwahi kuzoeana wala kuonesha kuwazoea hawa binti.

Tamaa ikanipanda but nikiwa na woga, niliweza kuacha nilichokuwa nakifanya nikafunga milango kama kawa na kwenda kulala.

Sijui kitu gani kilinipitia but niliamka na kwenda room wanakolala, huwa wanalala wote kitanda kimoja. Nikakuta mlango umerudishwa tu, haukufungwa, nikatinga ndani.

Walikuwa wameshalala na kujifunika blanket moja huku kuna baridi kali sana. Nilijichomeka kando ya huyu wa chuo taratibu na kwa polepole sana nilianza kumpapasa.

Kama alijua, kwani alirespond positively kwa kila nilichofanya. Hatimaye tukaanza gemu. Ni mtundu sana bro.
Kwa hekaheka zile nilijua tu house girl aliye kando atakuwa amezinduka.

Niliact kama naweka mkono tumboni, kisha chini hadi ikulu, akatoa nafasi, nilijaribu kuondoa kufuli, akajiadjust kusaidia. Nikaona goli lingine hilooo! Wadau nilihamisha majeshi huko nikaendelea, ajabu wote 2 walikuwa free. Nilihama huku na kule sijui mara ngapi hadi alfajiri.

Sasa kumekucha, kwa ratiba ilibidi nisafiri, nimeshaondoka kwenda kijijini, kama km 90. Nitalala huko na kurudi kesho. Sasa najiuliza.

1.Nitawakabili vipi hawa binti nikirudi, chukulia kuwa sikuwahi kucheka wala kutaniana nao

2. Nitajuaje baina yao watareact vp kwa ishu hii Je watatoa siri.

3. Kama vipi nitawa-organise vipi ili watunze siri.

4. Wife akijua itakuwaje.

Naombeni wadau mnipe mawazo, nifanye nini What should be the way forward.

Mojawao kanitumia massege sasa hivi “Beby umefika salama Mungu akuongoze” house girl huyo.

By Njo Vile

Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi Amsuta Kamanda KOVA kuhusu PANYA ROAD.....Ataka Jeshi la Polisi Lijitathmini Upya na Litoe Majibu

0
0
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mathias Chikawe amesema Watanzania wamepoteza imani na Jeshi la Polisi na ameliagiza kujitathmini na kutoa majibu kuhusu kukamatwa kwa vijana 1,200 wa kikundi cha uhalifu maarufu Panya Road.

Waziri Chikawe aliyekuwa akifungua mkutano mkuu wa mwaka kwa maofisa waandamizi wa Jeshi la Polisi nchini, amelitaka jeshi hilo kujiuliza na kutoa majibu kutokana na madai kwamba baadhi ya vijana hao  wamekamatwa kwa matakwa tu ya polisi.

Alisema kuwa anazo taarifa kuwa polisi wamejikita zaidi katika makusanyo, badala ya kuangalia usalama wa watu na ndiyo maana wamekuwa si watu wa kuzuia tena uhalifu kama inavyotakiwa lakini wanasubiri matukio yafanyike.

Alitaka polisi pia watoe sababu za kwa nini  wananchi wanasema kuwa kumeibuka kitengo cha dhuluma, ambacho wamekibatiza kuwa ‘kuingia bure na kutoka kwa hela’, jambo linalotia doa chombo hicho.

Kwa upande wake Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini, Inspekta Jenerali (IGP) Ernest Mangu, alisema jeshi hilo linakabiliwa na changamoto kubwa ikiwemo uhaba wa vifaa na mafunzo katika kipindi hiki ambacho wizi wa mitandao unaonekana kupamba moto.

IGP Mangu alikiri kuwepo baadhi ya polisi ambao wanatumia vibaya viapo vyao na kusababisha shutuma kwa jeshi zima.

Hivi karibuni, Kamanda wa Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, Suleiman Kova alitangaza kuwakamata zaidi ya vijana 1,500 kuwa madai ni Panya Road.

Mwanamke Kama Unataka Kumnasa Mwanaume Mwenye Sifa Fanya Hivi

0
0
Kama wewe ni mwanamke ambaye umeshafikisha umri wa kuolewa lakini wanaume wenye sifa uzitakazowanakupitia kushoto basi soma hapa kwa makini

Kumpata mwanaume mwenyesifa uzitakazo na kumshawishi akuoe si jambo rahisi siku hizi, ni kama vilekumchinja kobe wallah. Baada ya kufanya kautafiti kangu kadogo nimepata majibumuafaka kwa wale wanawake wenzangu wenye kuhemkwa na ndoa.

Ngojeni niwashushieni material ya kuwanasa wanaume wenye sifa maridhawa.

1.Kuwa mtu wa Mungu yaani muumini haswa siyo wa kubabaisha, siyo wale kina vilongwa mbalivitendwa mbali, wamejisemea Wazaramo yaani unasema mengine unafanya mengine,kama ni muumini hakikisha unashiriki vume kwenye ibada na matendo yako yawe nimanyoofu. Shiriki kwenye matamasha ya kidini, vikao vya jumuiya, toa zaka nasadaka, saidia wasiojiweza siyo kifedha, hata kwa ushauri nasaha, lakini piajiunge na kamati mbalimbali katika nyumba yako ya ibada iwe ni msikitini aukanisani au jamatini. Kwa kufanyahivyo utakuwa umejiweka kwenye nafasi nzuri ya kumvutia mwanaume wa wa ndotozako.


2.Kama wewe ni mwanamke mwenye misimamo , mwenzangu jishushe. Nakusihisana ujishushe mwanamke mwenzangu, lasivyo utadoda. Wanaume wenye muafaka nidhaifu sana na wana aibu na wasiopenda kuzodolewa, kama wewe una tabia zakupenda ligi za kubishana mwenzangu humpati mwanaume mwenye muafaka, utawaonakwa mashoga zako, utaishia kuzalishwa na kuachwa au utaishia kupata gume gumelisilojia mawio au machweo, linachojali ni tendo la ndoa na kukuzasha, kwaniwenyewe husema mwanamke jeuri piga mimba jeuri yote kwisha. Ni vyema ukauweka ufeminist wako pembeni uvae umwanamke na uwe halisi, kelele zako ziwe ni zamajukwaani ukifika kwa mumeo piga kimya na uwe na heshima ya kianakike kwa mwenziwako.


3.Swala la kukutana kimwili mara baada ya kufahamiana kwa wanaume linapewa kipaumbele. Hapozamani wanaume walikuwa na uwezo wa kupigwa tarehe hata miezi sita hadi mwakawakamudu kuvumilia, lakini wanaume wa siku hizi, thubutuuu. kwa ushauri wabure, unaweza kupiga change mara mbili lakini isizidi mara tatu kama umempendahuyo mwanaume, ukijifanya unauvutia kasi kwa kuuweka usiku, atakuponyoka wallah, wanaume wa siku hizi hawajazoea mapozi. Hakikisha umezingatia vigezo vyote kumvutia akuoe ndipo ujitose mzima mzima lakini kama uko na maudhaifu yako utaishia kuchezewa.


4.Wanaume wanapenda sana kupewa nafasi, siyo kumbana na kumnyima pumzi, mwanaume anatakiwaaachwe kama mwanaume na kupewa nafasi ya kuonyesha uanaume wake siyo mambo yakufuatana fuatana nyuma kila wakati, mara mbona umechelewa kurudi kutokakazini, ulikuwa wapi, au mbona unanukia manukato ambayo siyajui, ulikuwa na nani, au kuchuguza chunguza simu yake. Kama simu yake inaita na yeye anaoga au kaisahau chumbani usiangalie display kama ni nani anapiga simu, igeuze kifudiudi na kumpelekea mwenyewe pale alipo na kama ana chati kwenye WOZAP usipige chabo kutaka kujua ana chati na nani. kwanza unatakiwa ufurahi kwamba mumeo ana mvuto na kiasi cha kuwavutiawanawake wengine, cha muhimu kwako ni kuhakikisha unamtengenezea mazingirampaka akubali mfunge ndoa, ukianza ghubu kungali mapema atakuona kimeo nakukubwaga.


5.La mwisho, nihuduma muhimu kwa mume. Mwanaume ni tendo la ndoa, chakula na usafi wa ndani nawa nguo zake, kamwe usije ukamuacha mwanaume akaondoka nyumbani na njaa, walaakaondoka na nguo chafu au zisizopigwa pasi. Kama ana mazoea ya kukutaka muwemnakula kwenye mighahawa piga marufuku hiyo tabia, tumia hizo fedha kumpikianyumbani kwake au kwako na ikibaki chenji mrudishie yote siyo unaanza kubaniabania chenji mapema atakuona huaminiki, lakini pia siku moja moja unatakiwa uchangie hela ya mtoko au shopping siyo kumuomba omba hela, ni vyema kumshagaza na vijizwadi kama vie boxer, soks za viatu au leso, waume ni wavivu kununua vitu hivyo, kama umeona shati zuri au zile fulana za ndani ni vyema pia kumnunulia. Ni muhimu sana kuhakikisha mwanaume anakuta kila kitu kiko tayari kinamsubiri na nyumba inakuwa safi wakati wote hata akija na wageni hana haja ya kushikwa na kigugumizi kwamba sijui charminglady kafanya usafi wa nyumbani au atakutana na nyumba chafu na nzi kila kona.

Huenda Ulipata Tatizo Jana Kwenye Account yako ya FACEBOOK, INSTAGRAM? Hiki ndicho Kilichotokea

0
0
Siku ya jana asubuhi kulikuwa na ishu ya mitandao ya Facebook na Instagram kupata matatizo, ikatia hofu kwa baadhi ya watumiaji wakiwa wanahisi kwamba labda tayari account zao zimevamiwa na hackers kama ambavyo imekuwa ikitokea mara nyingi.
Wapo waliodhani kwamba sababu huenda ni ishu ya network ambayo tumekuwa tukiiona mara nyingi, taarifa rasmi iliyoripotiwa jana January 27 na wataalamu wanaoendesha mitandao hiyo ni kwamba lilijitokeza tatizo lililofanya mitandao hiyo kukaa offline kwa kama dakika 40 hivi.
Tatizo hilo lilitokana na ishu ya wataalamu hao kufanya mabadiliko katika mpangilio wa system za mitandao hiyo, kukatokea matatizo ambayo walishughulikia ndani ya muda mfupi na kila kitu kikarudi sawasawa.

Earlier this evening many people had trouble accessing Facebook and Instagram… This was not the result of a third-party attack but instead occurred after we introduced a change that affected our configuration systems. We moved quickly to fix the problem, and both services are back to 100% for everyone”—alinukuliwa msemaji wa Kampuni inayosimamia mitandao hiyo.
Kama ulipata tatizo lolote kwenye account zako kwenye Instagram na Facebook hii ni taarifa rasmi kutoka kwa wamiliki wa mitandao hiyo.

Yaliyojiri Bungeni: Vurugu Zaibuka BUNGENI Kuhusu LIPUMBA Kupigwa na Polisi Jana

0
0

Mbatia alisimama na kutoa hoja ya dharura ijadiliwe Bungeni kuhusu Polisi Dar es Salaam kutumia nguvu dhidi ya wanachama wa CUF na kuwapiga.

Mbatia: "Nimesikitishwa sana, Lipumba amepigwa, watoto wamepigwa, waandishi wa habari wamepigwa, na Polisi wakasema wamepewa maagizo"

Mbatia: "Prof Lipumba ni Mwenyekiti wa chama chenye wabunge zaidi ya 30 na Mwenyekiti wa chama kinachoshiriki serikali ya Zanzibar, sasa kama yeye anafanyiwa hivi itakuwaje Wananchi wa kawaida?"

Mbatia: "Naomba kutoa hoja Bunge liahirishe shughuli zake ili tujadili tatizo hili lililotokea"
Lakini Spika Anna Makinda aliipinga hoja yake na kusema,

Spika Makinda: "Naiagiza serikali iandae taarifa kamili, kesho ilete humu Bungeni, ndipo nitaruhusu hoja hii ijadiliwe, Sasa Hapana".

Spika Makinda: "Someni kanuni vizuri, zinaniruhusu kuamua kama kadri ninavyoona, hoja za namna hii haziungwi mkono"

Hilo likazua tatizo baada ya Baadhi ya wabunge wengi wa upinzani kugoma kuendelea na ratiba, wanataka ijadiliwe sasa, wanapiga kelele, kuna hali ya taharuki.
Spika Makinda akaamua kusitisha shughuli za Bunge hadi saa 10:00 jioni kutoa nafasi ya makubaliano kuhusiana na suala hilo

Profesa Lipumba Akimbizwa Hospitali, Presha Yamshuka Ghafla Akiwa Mahakani

0
0
Mwenyekiti wa CUF, Prof Ibrahim Lipumba amekimbizwa leo Hospitali ya  UN Clinic ya Kinondoni, Dar,  baada ya presha kushuka akiwa makao makuu ya polisi kujibu shutuma za kuandamana jana.
Lipumba  alikamatwa  jana  na  jeshi  la  polisi  kanda  maalumu  ya  Dar  es  salaam  wakati alipokuwa akielekea eneo la Zakhem, Mbagala, kulikokuwa kumeandaliwa mkutano wa hadhara, kutoa taarifa kwa wafuasi waliokuwa wamekusanyika, kuwa mkutano na maandamano yamezuiliwa na Polisi.

Ujumbe Mtamu wa Mapenzi Toka Kwa Samantha Kwenda Kwa Idris Sultan Mshindi wa BIG BROTHER AFRIKA

0
0
Leo ni birthday ya mshindi wa Big Brother Africa 2014, Idris Sultan.

Kupitia pongezi alizopewa na swahiba yake wa Afrika Kusini, Samantha Jay, tumegundua kitu – isingekuwa tofauti ya kidini kati yao, Idris angefikiria kumfanya mrembo huyo mke wake.

Soma pongezi hizo ndefu za Samantha hapo chini:

After the stunt you pulled on my birthday . I now feel like I need to write a poem and have it co written by the likes of Maya Angelo and post it on a Billboard .May her soul rest in peace . But since she’s not around I figured I only have my ‘talents’ and honesty to depend on . Happy Birthday !!! The day we met properly was the day you asked me if I’ll marry a Muslim and I said no while laughing deep down cause I knew you were Muslim you then walked away and said kill yourself . I knew then even though we in a show nothing about you was scripted.

You are one of the most sincere, genuine, kind hearted , funniest ,humbled sinners I know and even though you can be a douche sometimes I appreciate that. You’ve become a part of my life and I can’t go a day without talking to you, most of the time one telling the other ‘Kill yourself” You make me laugh even if I don’t want to. You have my back even when i don’t expect it or feel I deserve it. You show me right from wrong.

You understand me which I don’t know how. Cause I sometimes don’t understand myself . The truth of the matter is you still keep me sane So I really don’t have a choice but to wish you a Happy Birthday and many more. Cause quite frankly who else is gona do all of that for one person so I kinda need you around . And in turn you can trust that I’ll always have your back no matter what . I’ll always be here when the world looks tough Always try my best to keep that stupid smile . And give up a couple of shillings just to hear you laugh. Love you for all the things you never knew you were doing God Bless. Happy Birthday Idris.”

Huyu Ndio Mrembo Kutoka Kenya Ambae Analilia Penzi la Mwanamuziki Diamond Platnumz Kutwa Kucha

0
0


Anaitwa Tiara Mrembo Kutoka Kenya Ambae Ameshindwa Kujizuia na Kuonyesha Penzi Lake wazi wazi kwa Diamond  Kwa Kumtumia Video Mbali mbali akiwa Nusu utupu...

Jana, Tiara ameupload video ya picha za utata akiwa kwenye Jacuzzi na kuziandikia ujumbe maalum kwa staa huyo.

And this is my story, and forget about Wema and Zari focus on this,” ameandika Tiara.

“I want you, join me to play with me to tap this a*s, to scratch my back and I am ready to start a project with you, let the bitches talk, I don’t mind.”

“Wish I was doing this with you, hold this smiling like a queen; and here seated as a bawse striking a pawss. I sleep waiting to hear from you to tap this ass.”

Kwa muonekano wa nje anaonekana ni mrembo hasa kiasi cha kumtishia amani Zari the Lady Boss

Je Ataweza Kumpiku Zari?

Shilole Aomba Radhi kwa Kumdunda Nuh Mziwanda Asema 'Naamini Nuhu ni Mwanaume Sahihi Kwangu Hawezi Hata Kurusha Ngumi'

0
0
Baada ya kuzuka tetesi kuwa alimdunda vibao mchumba wake Nuh Mziwanda, Shilole amelazimika kuomba radhi.

Shilole amewaomba radhi mashabiki wake kwenye mtandao wa Instagram kwa kupost picha akiwa na mpenzi wake huyo na kuandika:

“Huyu hapa mjanja wangu mimi, daah nimekamatika hapa, na naamini ni mwanaume sahihi kwangu maana hawezagi kurusha hata ngumi japo namchokozaga mie mjeuri tu, mnao muhandama mme wangu mmeshindwa, kugombana ni kawaida sana kwenye mapenzi na kama nliwaudhi mashabiki wangu mnisamehe mie nampenda mme wangu.”

Naye Nuh Mziwanda aliandika:

Mwanaume lijali aliekamilika ampigi mpenzi wake wala kurudishia kibao au kofi alilopigwa na mpenzi wake.naamini kwenye mapenzi ya kweli wivu lazima na kugombana kwenye mapenzi ni kama kwenda chooni ni swala la kawaida sana.aaaaaaaya mke wangu nimekup rukhsa nipige mpaka nikome.ila all i know its love dats it.Nawapenda Mashabiki wangu pamoja sana .#zimaTaa sie tayar

Graduate With Plan B in Mind (New Book Available on The Market Place)

0
0
GRADUATE WITH PLAN B IN MIND (New book available on the market place)
Tukiwa chuo kikuu cha dar es salaam tayari kwa uzinduzi wa kitabu changu kipya kijulikanacho kama "Graduate with PlanB in Mind".....Sasa kipo sokoni na unaweza jipatia nakala yako kwa Tsh.15,000Tu....Ukipata kitabu pia utapata bonus ya VIDEO's nne ambazo zinakazia zaidi yale yaliyoongelewa ndani ya kitabu...

Kitabu hiki kinamfaa kila kijana mtanzania,aliye chuoni,aliyehitimu hivi karibuni,aliyehitimu yapata miaka 10iliyopita,kwani stori za watanzania zilizo ndani yake zinaweza kuwa daraja la wewe kwenda hatua nyingine.

Piga:+255 713 498593 , Location UDSM stationary ya karibu na library

Karibu sana tushirikiane kuijenga Tanzania tunayoitaka.
Inaanza na sisi
Viewing all 104417 articles
Browse latest View live




Latest Images