Quantcast
Channel: UDAKU SPECIAL
Viewing all 104415 articles
Browse latest View live

Mtoto wa Whitney Houston Akutwa Amezimia Bafuni Kama Mama yake

0
0
Whitney Houston's daughter found unresponsive in the tub.
ATLANTA (AP) — The daughter of late singer and entertainer Whitney Houston was found unresponsive in a bathtub Saturday and taken to a hospital in the north Atlanta suburbs, police said.




Bobbi Kristina Brown was found by her husband and friend and given CPR, said Officer Lisa Holland, a spokeswoman for the Roswell Police Department. When police arrived, they gave Brown additional care until she was taken alive to North Fulton Hospital.

The incident remains under investigation, police said.


A spokesman for Brown did not immediately return messages seeking comment.


Brown's mother, Whitney, was found unresponsive in a tub and died nearly three years ago in California. Brown is the daughter of Houston and R&B singer Bobby Brown.

Mfanyakazi wa Kutunza Maiti Motuari Akiri Kufanya Mapenzi na Maiti za Wanawake

0
0
Ukistaajabu ya Musa Utayaona ya Firauni , Mwanaume mmoja mfanyakazi wa Chumba cha kutunza maiti Nchini Ghana Ameojiwa na Kituo cha TV cha Adom   Nchini humo na Kufunguka Makubwa.....



Sharkur Lukas  Amefunguka na Kusema kwa Kuwa imekuwa ngumu sana kwake kupata wanawake wazuri kutokana na kazi anayoifanya ilimbidi atafute njia nyingine ya kujiridhisha kimapenzi kwa kuwaingilia maiti wanawake ambao bado hawajaharibika wanao letwa kuhifadhiwa katika Motuari anayofanyia kazi.




Mateka Mwingine wa kijapani auawa kwa Kuchinjwa Shingo na Kundi la Kiislam la ISI Baada ya Japan Kukataa Kutoa Hela

0
0
Taarifa za hivi punde zinabainisha kuwa mwandishi wa habari raia wa Japan aliyekuwa akishikiliwa na kundi linalojiita Islamic state of Iraq and the levant ameuawa kwa .....


kuchinjwa Shingo na kundi hilo..
Awali ISIL ilihitaji dola million Mia mbili kama kikombozi (ransom) ili kumwachia huru madai yaliyopingwa na Japana
Kenji goto anakuwa mjapani wa pili kuuawa katika kipindi cha mwezi mmoja na kundi hilo

Picha: Baada ya Wolper kuzingua, Manaiki Arusha Ndoano kwa Uwoya?

0
0
Baada ya ishu yake yakutaka kumposa Wolper kugonga mwamba  hii ni kwa mujibu wa magazeti ya udaku hapa bongo, mwigizaji machachali Manaiki Sanga ‘The Don’ usiku wa jana......



 alitupia picha mtandaoni akiwa na mwanadada Irene Uwoya (Hiyo hapo juu) na kuwa “tag” mastaa kibao wa filamu wa hapa Bongo.

Hali hii ilisababisha watu wengi kuhoji kama Manaiki ameamua kumchumbia Irene baada ya Wolper kuzingua au nini?, maswali hayo hayakupata majibu lakini wapo baadhi walidai kuwa Manaiki kwasasa ana project mpya ya kutengeneza filamu ambayo itawashirikisha mastaa zaidi ya 30 wa hapa bongo, na hivyo basi Uwoya anaweza kuwa ni moja kati ya mastaa amabo watashiriki.

Tuendelee kusubiri, muda utaongea!!!.

Diamond Ampeleka Mpenzi Wake Zari Songea..Watua na Ndege ya Kukodi

0
0
Kama ni Kufika basi kwa Zari Diamond Amefika Mwisho wa Reli Kigoma, Toka mapenzi yaanza Diamond na Huyu Mrembo imekuwa tofauti kidogo na wapenzi wake wa nyuma..ambao alikuwa haongozani nao.....



 kwenye Show zake ila huyu wa sasa ni mguu kwa mguu....

Hapa kwenye picha wakiwa uwanja wa ndege wa Songea ....

Diamond Ameandika Hivi:

SONGEA!!!! SONGEA!!! SONGEA!!! niko mjini kwenu hapa Leo!.. tukutane uwanja wa #Majimaji... Mchana huu, kwenye Hafla ya CCM... Tena, Kiinglio ni Bureeee 

Demu wa Kenya Tiara Baada ya Kumtumia Video Kwa Diamond Sasa Aje na Picha Mpya kwa Ajili ya Diamond tu

0
0
 Tiara Kutoka Kenya Ametutumia Udaku Specially Picha kadhaa akionyesha jinsi alivyomrembo na Kusema ni Special kwa The one only Diamond Platnumz popote alipo week end hii ....Angali picha hizo hapo chini ......

Kisha utoa maoni yako kama ni kifaa ama laaa:



Uchaguzi Mkuu 2015: Umuhimu wa LOWASSA na Uzalendo wa Watanzania

0
0
Kwa  sasa  nazungumza  kama  mtanzania  mzalendo, sababu  itikadi  ya  uzalendo  ni  moja  tu  nayo  ni  mapenzi  kwa  kile  unachokiamini  kuwa  ni  cha  kweli.........




Uzalendo  wa  nchi  haupaswi   kutawaliwa  na  itikadi  wala  ushabiki  wa  kundi  moja  dhidi  ya kundi  jingine  la  wananchi.

Kilichomuhimu  katika  uzalendo  wa  kweli  kwa  nchi  ni  upendo  wa  kilichobora  katika  kuijenga  na  kuiimarisha  nchi...

Mwaka  huu  nchi  yetu  inafanya  uchaguzi  mkuu  kwa  ajili  ya  kupata  viongozi  wapya  wa  awamu  ya  tano tangu  ianze  kujitawala.

Pamoja  na  uchaguzi  huo  kuhusisha  wabunge  na  madiwani, anayelengwa  zaidi  ni  kiongozi  mkuu  wa  nchi, Rais.Huyo  ndiye  niliyedhamilia  kumjadili  hapa.

Kwa  vile  watanzania  kiitikadi  tumegawanyika  katika  vyama  vingi  vya  siasa,ni  lazima  anayefaa  kuwa  kiongozi  wetu  mkuu  atoke  kwenye  chama  kimojawapo, au  pengine  hata  bila  chama  kulingana  na  mfumo  utakaokubalika  kuendesha  uchaguzi  huo  ifikapo  mwishoni  mwa  mwaka  huu.

Lakini  kwa  vile  watanzania  tuko  wengi, zaidi  ya  watu  milioni 45,kitu  ambacho  ni  wazi kinaleta  ugumu  wa  kutambuana  harakaharaka  na  kumjua  ni  yupi  anayefaa  kuwa  kiongozi  wetu  mkuu  kati  yetu, inatuwia  rahisi  kumwangalia  mtu  huyo  kati  ya  wale  walioonyesha  nia  ya  kuitaka  nafasi  hiyo.

Mpaka  sasa  walioonyesha  nia  au  kutangaza  nia  ya  wazi  ya  kuutaka  ukuu  wa  nchi  yetu  ni  makada  wa  chama  tawala,CCM.

Kwa  maana  hiyo  nisieleweke  vibaya  kwa  kuwaangalia  hao  walioonyesha  nia.Ntakuwa  sitendi  haki  kuwasemea  ambao  hawajawa  tayari  kuonysha  nia  za  kutaka  kuubeba  mzigo  huo, urais  ni  mzigo  mzito.

Kati  ya  makada  hao  wa  CCM  walioonyesha  nia,tukiziweka  itikadi  zetu  pembeni, tunaweza  kumpata  aliyebora  zaidi  ya  wengine  wote, vigezo  vya  kumpata  viko  wazi  kama  ntakavyoonyesha  hapo  chini.

Kwanza  jambo  lililorahisisha  kazi  ya  kumweka  wazi  na  kumtambua  aliye  bora  zaidi  ya  wengine  ni  mbinu  zinazofanyika  za  kumshamulia  mmoja  kati  ya  wote  waliotangaza  nia  ya  kuutaka  urais  wa  nchi  yetu.

Kwa  maana  hiyo  wanaofanya  mbinu  hizo  wanatuonyesha  ni  nani  wanayemuogopa  zaidi, pengine  kwa  uwezo  alionao  uliozidi  wengine, na  hivyo  kutufanya  tumtambue  anayefaa  kuichukua  nafasi  hiyo  kuu  katika  nchi  yetu.Naye  si mwingine, bali  ni Edward Ngoyai  Lowassa.

Hilo  linaletwa  na  ukweli  wa  asili  kwamba  kati  ya  miti  yote, mti  wenye  matunda  hupata  misukosuko  mingi  kama  kurushiwa  mawe  kila  wakati,kupandwapandwa  mara  kwa  mara, kutikiswatikiswa  mara  nyingi  na  kadhalika.

Lakini  jingine  ni  kwamba, kawaida  ni  vigumu  kuujua  ubaya  au  uzuri  wa  kitu  kabla  ya  kukilinganisha  kitu  hicho  na  vingine.

Mfano, wakati  Lowassa  alipolazimika  kujiuzulu  uwaziri mkuu, wapo  waliolichukulia  hilo  kwamba  ni  kuyakubali  yaliyotendeka  kuwa  ni  makosa  yake.

Lakini  baada  ya  kashfa  iliyokubwa  zaidi  ya  mara  mbili  ya  kashfa  iliyomuondoa  Lowassa  kutokea  na  karibu  kwa  mtindo  uleule, lakini  bila  kutokea  kitu  chochote  kwa  nafasi  kama  aliyokuwa  nayo Lowassa, ndipo  imejidhihirisha  kuwa  alichokifanya Lowassa  ni  kitendo  cha  uwajibikaji  wa  kijasiri.

Hicho  ni kitendo  kinachodhihirisha  ubora  wake  ambao  haukuonekana  kwa  wakati  huo  kwa  vile  haukuwa  na  mahali  pa  kuulinganisha  wala  kuufananisha.

Kitendo  cha  uwajibikaji  wa  aina  hiyo  kiliwahi  kuonyeshwa  na  mzee  Ali  Hassan  Mwinyi  wakati  huo  akiwa  waziri  wa  mambo  ya  ndani, ambaye  baadae  alikubaliwa  na  wananchi  kuwa  Rais.

Ikumbukwe  kwamba  kuwa  na  kiongozi  wa  nchi  asiyekubali  kuwajibika  ni  kitu  hatari  sana.

Hii  ni  kwa  sababu  anaweza  kufanya  lolote  kwa  kuwa  kimamlaka  hakuna  wa  kumfanya  lolote

Lakini  tukimpa  aliyewahi  kuonyesha  uwajibikaji  walau  tunakuwa  na  imani  ya  kuepukana  na  hatari  hiyo.Huo  ndio  ubora  mwingine  wa  Lowaasa

Mwanamuziki Diamond na Mrembo Zari Ndoa Yanukia , Diamond Amuonyesha Zari Mali zake Zote

0
0

Na Musa Mateja/Ijumaa Wikienda
WAKATI mama mzazi wa staa wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’, Sanura Kasim ‘Sandra’ akiwa nchini India kwa matibabu ya tatizo la kiafya linalodaiwa kuwa ni kupooza, hapa Bongo dalili za Diamond na mpenzi wake wa sasa, Zarinah Hassan ‘Zari’ au The Boss Lady kufunga ndoa zinanukia.......




Chanzo makini kimeliambia Ijumaa Wikienda kwamba, licha ya mama Diamond kupelekwa India Januari 27, mwaka huu na msafara wa watu wawili, nyuma, Zari alitua Bongo tangu Januari 30, mwaka huu lengo kubwa likiwa kumuuguza mama mkwe wake huyo.

ATUA DAR, AENDA SINZA-MORI
Chanzo kikazidi kuweka wazi kuwa mara baada ya kuwasili kwenye Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNIA), Diamond alimpokea na kwenda naye nyumbani kwake, Sinza-Mori jijini Dar bila kumwambia kama mama yake amepelekwa India kwa matibabu.


“Diamond alikwenda kumpokea Zari lakini hakumwambia kama mama yake amekimbizwa India kwa matibabu na yeye (Zari) alikuja kwa lengo la kumuuguza mama mkwe wake,” kilisema chanzo.

BAADA YA KUMKOSA MAMA MKWE
Habari zaidi zilisema kuwa, walipofika nyumbani na Zari kuambiwa mama Diamond amepelekwa India, aliumia sana na kumlaumu mpenzi wake huyo kwa nini hakumwambia kuhusu safari ya mama tangu walipokutana uwanja wa  ndege.


YAISHA, DIAMOND AMPELEKA ZARI KWENYE UJENZI
Baada ya kuwekana sawa kuhusu usiri wa safari ya mama’ke, Diamond alimchukua Zari na kumpeleka kwenye nyumba yake anayoijenga Mbezi-Beach, Dar kwa lengo la kumuonesha sehemu ya mali zake ambapo ilisemekana nyota huyo wa Uganda aliipenda ramani ya nyumba  hiyo.

ZARI AGOMA TENA KULALA HOTELINI
Katika siku za hivi karibuni, tuliwahi kuandika kuwa Zari alilala kwa mama Diamond, akapika na kupakua ambapo mawifi zake walimsifia.
Hata katika ujio wake wa Juni 30, mwaka huu, mrembo huyo mwenye utajiri mkubwa aligoma kwenda kulala hotelini na kumwambia Diamond atalala naye nyumbani kwao, Sinza-Mori.

ZARI AANZA KUBADILI DINI?
Zari ni Mkristo wa Kanisa la Born Again ambalo ni la kiroho nchini Uganda. Aliingia kwenye imani hiyo baada kuokoka na kubatizwa kwa maji mengi kama Biblia inavyotaka lakini kwa kuwa na Diamond kuna dalili za kuanza kubadili imani ili kutimiza mipango ya ndoa.
“Ukiachia kwenda kwenye nyumba hiyo ya Mbezi pia Diamond ameshaanza kumfundisha Zari baadhi ya mambo ya kidini,” kilisema chanzo.

IJUMAA ATINGA BAIBUI
Ijumaa iliyopita ambayo kiimani, Diamond hupenda kuvaa mavazi ya Kiarabu ambayo hutafsirika ni ya Kiislam, Zari naye alitupia vazi la baibui ili kwenda sawasawa na mwandani wake huyo.


WAENDA SONGEA WOTE
Wakati Ijumaa Wikienda likijiandaa kwenda mitamboni, habari za moto ni safari ya Diamond kwenda mjini Songea ambapo ni makao makuu ya Mkoa wa Ruvuma.
Diamond alikwenda kwa ajili ya shoo ya sherehe za Chama cha Mapinduzi (CCM) kutimiza miaka 38 tangu kuasisiwa kwake. Sherehe hizo zilifanyika kwenye Uwanja wa Majimaji jana.

ZARI KWAPANI
Habari za uhakika ni kwamba, katika safari hiyo, Diamond alimuweka Zari kwapani na kwenda naye kwa lengo la kumpa kampani.

DIAMOND: KILA KITU KINA WAKATI WAKE
Ijumaa Wikienda lilimtafuta Diamond kwa njia ya simu ambapo awali alikiri mama yake kupelekwa India kwa matibabu. Kuhusu Zari kubadili dini, kuvaa hijabu na kufunga ndoa, alisema: “Mbona mna maswali sana jamani, kila kitu kina wakati wake.”

JOTI wa Orijino Komedi Amwisha Pete Ya Uchumba Mpenzi Wake Wa Siku Nyingi!

0
0
Kwa mujibuwa mtandao wa  JF, Mwigizaji  wa vichekesho Lucas Mhuvile, almaarufu kama Joti, anayepiga kazi kwenye kampuni ya Orijino Komedi, amemvisha pete mpenzi wake wa ......



siku nyingi, ikiwa ni ishara na dalili njema kwamba safari ya kuelekea kwenye taasisi muhimu zaidi duniani ya NDOA imewadia..

Akiwa na swahiba wake wa siku nyingi, Mr. Mjuni Sylvatory a.k.a Mpoki, Joti alionekana mwenye furaha muda wote kwa kutimiza tendo hilo huku akiwa amealika watu wachache sana kuhudhuria tukio hilo.

Bongomovies.com bado haijazithibitisha taarifa hizi.

Kama ni kweli, tunampongeza sana na kumtakia kila la kheri yeye pamoja na mwenza wake

Bondia Francis Cheka Ahukumiwa Miaka Mitatu Jela..Kisa Hichi Hapa

0
0
Bondia maarufu nchini wa ngumi za kulipwa Francis Cheka amehukumiwa kifungo cha miaka 3 jela na kutakiwa kulipa fidia ya shilingi millioni 1 kwa kosa la .....



kumpiga na kumjeruhi meneja wa baa yake iliyopo huko Morogoro

Meneja huyo ajulikanaye kwa jina la Bahati inaelezwa alienda kudai fedha zake alizokuwa hajalipwa na bondia huyo wakati akifanya kazi ya umeneja katika baa yake hiyo ndipo Bondia huyo alikataa kumlipa na kumshushia kipigo

Mahabusu Afia Kituo cha Polisi Ubungo- Urafiki baada ya Kujitundika na Kunyinyonga

0
0
Picha si ya Tukio hilo
Mahabusu mmoja Shabani Ramadhani (28), amekutwa amejinyonga katika choo cha Kituo cha Polisi Ubungo- Urafiki, jijini Dar es Salaam.



Tukio hilo lilitokea jana baada ya mahabusu huyo kufikishwa katika kituo hicho juzi akituhumiwa kufanya tukio la unyang’anyi.

Kaimu Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kinondoni, Augustino Senga, alithibitisha kutokea kwa tukio hilo na kueleza kuwa marehemu alijinyonga kwa kutumia kamba ya kaptura aliyovaa.

Kamanda Senga alisema marehemu alijinyonga alfajiri katika choo wanachokitumia mahabusu hao na mwili wake kugundulika nusu saa baadaye.

“Alikwenda chooni kati ya majira ya saa tisa na saa kumi alfajiri wakati wenzake wakiwa wamelala na ndiko alikojinyongea kwa kutumia kamba ya kaptura yake, lakini uchunguzi unaendelea,” alisema Senga.

Mama mdogo wa marehemu ambaye hakutaka jina lake liandikwe, alisema kuwa  Ramadhani alikamatwa na Polisi Ijumaa iliyopita na kufikishwa katika kituo hicho akiwa salama.

Alisema jana walifika katika kituo hicho kwa ajili ya taratibu za kumwekea dhamana, ndipo walipoelezwa kuwa ndugu yao amefariki dunia kwa kujinyonga na kamba.

“Sisi wenyewe tunashangaa iweje kajinyonga wakati tunavyofahamu mtuhumiwa anapofikishwa polisi anatolewa vitu vyote alivyonavyo na kuingizwa mahabusu?,” alihoji mama huyo.

RUSHWA: Magufuli Awafukuza Kazi Wafanyakazi 400 wa Mizani, Asema huo ni mwanzo tu

0
0
Waziri wa Ujenzi Dk John Magufuli amevitaka vyombo vya dola kuingilia kati suala la rushwa kwenye vituo vya mizani za kupimia uzito wa magari yanayosafirisha mizigo, akisema rushwa hiyo imekithiri.



Magufuli alitoa agizo hilo alipotembelea na kukagua kituo cha mizani cha Mpemba wilayani Momba, ambapo alipita kituoni hapo kwa kushtukiza, alipokuwa katika ziara yake ya kukagua barabara akielekea wilayani Ileje.

Kupita kwa Magufuli kwenye mizani hiyo, kulitokana na yeye kujionea namna barabara ya kati ya Mbeya na Tunduma ilivyoharibiwa, kutokana na malori yanayosafirisha mizigo inayozidi uzito unaotakiwa kutoka Bandari ya Dar es Salaam kwenda mpaka wa Tunduma kabla ya kuvushwa kuelekea nchi jirani.

Baada ya kufika kituoni hapo, alihoji maofisa waliokuwa zamu ni kwa nini barabara ionekane kuharibika upande mmoja wa magari yanayotoka Mbeya kwenda Tunduma badala ya pande zote mbili.

Maofisa hao walimweleza kuwa kuharibika kwa upande huo wa barabara, kunatokana na malori kutoka Mbeya kwenda Tunduma, kutopimwa uzito kwakuwa hakuna mizani nyingine kabla ya kufika kituoni hapo.

Hata hivyo, majibu ya maofisa hayo hayakumridhisha waziri huyo na ndipo akatupia lawama utendaji kazi wa maofisa wa vituo vya mizani, akisema umekithiri kwa kupokea rushwa.

Alisema licha ya serikali kuwafukuza kazi watumishi 400 wa idara hiyo mwaka jana na kuajiri upya, bado tatizo la upokeaji rushwa kwa watumishi waliopo ni kubwa mno.

“Mwaka jana tuliamua kuwafukuza kazi watumishi 400 waliokuwepo kwa kuwa tuliona wamejikita katika rushwa badala ya kutimiza majukumu yao. Hapo tukaajiri watu walio na elimu nzuri tukijua tumetibu tatizo. Lakini bado rushwa inaendelea. Matokeo yake barabara zetu zinaendelea kuharibika,” alisema.

“Watumishi wa vituo vya mizani ni mabilionea wakubwa. Hii yote ni kwa kuwa wanapokea rushwa kutoka kwa watu wanaosafirisha mizigo iliyozidi uzito na kuharibu barabara zetu,” alisisitiza.

Alisema ni wakati sasa kwa vyombo vya dola, ikiwemo Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa nchini (TAKUKURU) na Idara ya Upelelezi ndani ya Jeshi la Polisi, kufanya uchunguzi kwa maofisa wa vituo vya mizani nchini.

Alisema iwapo vyombo hivyo vitalifanyia kazi suala hilo, visisite kuchukua hatua stahiki kwa watumishi watakaobainika na kuzitaka pia ofisi za makatibu tawala wa mikoa, kufuatilia suala hilo.

Zitto Awa Mbogo Amtaka Waziri Nyalandu Kujiuzulu Akishindwa Kutoa Tangazo Gazetini Leo Jioni

0
0
MBUNGE wa Kigoma Kaskazini, Zitto Kabwe amemtaka Waziri wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu ifikapo leo jioni awe ametoa tangazo katika gazeti la serikali ili kuruhusu tozo mpya za mahoteli kwenye hifadhi la sivyo ajiuzulu cheo chake.



Zitto ameyasema hayo leo wakati akichangia kwenye majadiliano ya hoja za kamati bungeni.

Zitto amesema kuwa serikali inapoteza shilingi bilioni 2 kila mwezi kwa kitendo cha Waziri wa Utalii kutotoa tangazo katika gazeti la Serikali ili kuruhusu tozo mpya za mahoteli katika Hifadhi.

Tangu mwaka 2011 mpaka 2014, Serikali imepoteza tshs 80 bilioni.

Rais Jakaya Kikwete Amsifia Diamond Songea Kwenye Sherehe za CCM

0
0
Tukiwa tunaendelea na shamra shamra za kuadhimishwa miaka 38 ya CCM yanayofanyika kitaifa mkoani Songea ktk uwanja wa Majimaji na mgeni rasmi akiwa prof. Jakaya Mrisho Kikwete, Umati wa watu uliofurika uwanjani hapo maelfu ya watu yameibuka na shangwe na miruzi pale JK alipo sema "hakuna mwanamziki mkubwa AFRIKA kama DIAMOND PLATNUMZ".

Je Unakubaliana na Kauli ya Prof Kikwete ?

Kweli Bongo Flava Inalipa Ona Jumba la Kifaari la Mwanamuziki JUX

0
0

Msani mahiri wa Bongo Flava Jux leo amepost Mjengo kwenye Account yake ya instagram na kuandika amekamilisha ndogo yake kubwa ya utoto, hii inamaanisha sanaa ya muziki inafaidisha sana wasanii wanaojituma.
Karibu Tuchangie Maoni.

Mbunge wa CCM Awasha Moto Bungeni.....Awataka Wananchi Wasiichague CCM

0
0
MBUNGE wa Mwibara, Kangi Lugola (CCM), amewasha moto bungeni akifunguka kuwa atawaambia wananchi wake wasiipigie kura CCM pamoja na yeye mwenyewe kama maji ...

hayatapatikana jimboni mwake wakati akichangia katika majiadiliano ya hoja za kamati bungeni leo.

Pia Lugola amehoji kwa nini nguvu zinazotumika kuwapiga watu kama akina Profesa Lipumba zisitumike kupambana na wawekezaji wanaokiuka masharti ya uwekezaji na kuwanyanyasa wananchi huku akimtaka Waziri mpya wa Ardhi, Nyumba na Makazi Mhe. William Lukuvi kushughulikia vilivyo kero za ardhi.

Steve Nyerere Amtumia Kajala Salamu za Pole kwa Kuugua

0
0
Leo kupitia mtandaoni, mwigizaji na mwenyetiki wa Bongo Movies aliejiuzulu, Steve Nyerere amempa pole  na kumtakia afya njema mwigizaji Kajala Masanja ambae anaumwa tokea majuzi.



"Napenda kukupa pole kwa kuumwa Kajala tupo pamoja naimani mungu atakusaidia na utapona na kuendelea na majukumu kama mama pole kajala pole masanjaaaaa pole sana" .
Steve aliandika mara baada ya kuweka picha ya kajala.

Nasi pia tunaungana na wadau wote pamoja na mashabiki wote kukupa pole na kukuombea upone haraka.

Picha za Kwanza za Bondia Maarufu Akipanda Gari Kuelekea Kuanza Kifungo Chake Leo Ona Hapa Live!

0
0
 Bondia maarufu nchini Fransic Cheka baada ya kuhukumiwa kifungo cha miaka 3 leo mchana baada ya kumpiga mangumi mfanyakazi wake mmoja....






Post ya Zari Huko Instagram Yazua Jambo, ni Baada ya Kumtakia Heri ya Siku ya Kuzaliwa Wifi yake

0
0
MPENZI wa staa wa Bongo Fleva nchini, Nasibu Abdul 'Diamond Platnumz' Zarinah Hassan 'The Boss Lady' amemtakia heri ya kuzaliwa wifi yake Esma kupitia akaunti yake ya Instagram huku post yake ikizua jambo kwa mashabiki.


Zari ambaye bado yupo Bongo, katika post yake hiyo awali aliandika 'Happy bday to my lovely shemeji wifi' ila baadaye aliamua kubadilisha baada ya baadhi ya mashabiki wake kumkosoa huku wengine wakidai anatafuta kiki na baadhi wakimtolea maneno ya kuudhi. Usahihi alitakiwa kutumia neno WIFI na siyo SHEMEJI ambalo huwa linatumika kwa mvulana!

Esma ni dada wa Diamond ambaye ameolewa na Petiti Man.


Mzazi Awatishia Mabinti zake Wasipo Olewa Hadi Machi Wajiandae Kugegedwa na yeye

0
0
Wadau nimeombwa kwenda kusuluhisha mgogoro wa familia ya jirani kesho asubuhi. Katika hali isiyo ya kawaida mabinti watatu wa familia wamenijia usiku huu,kwamba baba yao amewatishia kwamba ifikapo machi wawe wameolewa wote vinginevyo....



 atawagegeda wote watatu kila mmoja kwa muda wake.

Mabinti hao mmoja ana miaka 30 , wa pili 27 na wa mwisho 24 . Maelezo ya mabinti hao wanasema kweli mzazi wao huyo kadhamiria kwani mara nyingi mama yao anapokuwa hayupo wakipita karibu naye huwa anawapiga kofi kwenye makalio .

Hao mabinti wameeleza matukio mbalimbali ambayo yanaonyesha dhahiri kwamba baba yao amedhamiria kweli kuwagegeda kama atapata nafasi .

Huyu binti wa kati ameeleza kwamba mara kwa mara babake huwa anamsifia kwamba ana makalio makubwa yanayopendeza na kuna siku alimwita chumbani ampelekee maji akamshika mkono bahati nzuri akakimbia.

kila binti ameshawahi kukutana na maswahibu hayo. Kinacho onekana kumponza mzee huyo ni tamaa zake tu za kishetani wazee wa kidigitali ni shida.

Sasa nimeona kabla sijafanya lolote niwashirikishe wadau.
Viewing all 104415 articles
Browse latest View live




Latest Images