Quantcast
Channel: UDAKU SPECIAL
Viewing all 104417 articles
Browse latest View live

Picha ya Mpenzi wa Diamond , Zari Akioga Bafuni yazua Gumzo Mtandaoni

0
0

Picha ya mpenzi wa Staa wa Bongo Fleva,Diamond Platinum,Zari aliyoipost kwenye Account yake ya Instagram akiwa kwenye bafu akioga imezua gumzo kwenye mitandao huku wengine wakisema kuwa hakupaswa kuweka picha ile na kwamba amejianika na haina maadil

Haya ni baadhi ya maoni ya mashabiki wakizungumzia picha hiyo:

faridahfakhi :Noo kinachotia kinyaa ni kwamba haikupaswa ajianike apo ili iweje istoshe kamera zinawastili watu

santamolly1234: ajui kulea bhana amewaacha watoto ug anakuja kula bhata na dogo still mnasema anajua kulea labda kumlea mond hapo sawa....by de way nahis alivuka stage coz kasoma sana so bata ndo anazianza so cwez mlaum sanaaaaaaa muache ale maisha tuuuu.

faridahfakhi :Sasa nashindwa kuelewa ivi we wewe ndo unajianika ivyo alafu ndo uwe mke labda wa fission show

ladymodal :Simama tukuoneee....bad!

Una maoni Gani Kuhusu Hiyo Picha Hapo Juu?

--------
I can still love an ex as a person, regardless if the breakup was bad. I would never wish anything negative on them. It takes more energy to hate them than to wish them well.
Ashley Greene





Watu 3 Wateketea Kwa Moto Baada ya Lori La Mafuta Kupinduka na Kuwaka Moto

0
0
Watu watatu wamefariki dunia kwa kuungua moto hadi kuteketea kabisa akiwemo dereva na utingo wake baada ya lori la mafuta kuacha njia na kupinduka na kuungua moto katika eneo la Maseyu barabara ya Morogoro Dar es Salaam.

Mwandishi wetu  alishuhudia kikosi cha zimamoto ambao walichukua muda kuuzima moto huo kutokana na kusambaa ambapo hata hivyo hakukua na matukio ya watu kujitokeza kuiba mafuta kama ilivyozoeleka.
 
Baada ya kumaliza kuuzima moto huo kikosi cha zimamoto na uokoaji wakafanya juhudi nyingine za kuvuta kwa craine na kukata kwa kutumia mashoka mabaki ya lori hilo baada ya walioshuhudia tukio hilo kueleza kuwa watu wote waliokuwemo katika gari hawakutoka ambapo baada ya muda miili mitatu iliokolewa ikiwa imeungua kabisa.
 
Kwa mujibu wa mashuhuda wa tukio hilo wakiwemo madereva wa malori ambapo walikuwa wakisafirisha mafuta katika kampuni moja Farhan Yusufu amesema lori hilo lilikua limesheheni mafuta ya Dezel mali ya kampuni ya Petrol Africa ilikua ikitokea Dar es salaam kwenda jijini Mwanza ambapo ilipoteza uelekeo na kupinduka kisha kuwaka moto.
 
Waliofariki dunia ni Ahmed Dilie dereva na utingo wake aliyefahamika kwa majina ya Emela na mtu mmoja ambaye bado hajaweza kufahamika mara moja.
 
Nao wananchi walioshuhudia tukio hilo wameeleza jinsi tukio lilivyotokea ambapo wananchi wamelalamikia eneo hilo kuwa limekuwa na matukio mengi ya ajali na hivyo kuomba serikali kuona umuhimu wa kuweka vituo vya zimamoto katika eneo hilo kwani magari ya zimamoto yalichukua muda mrefu kufika kwenye eneo la tukio kutokana na umbali mrefu.
 
Nae afisa mkaguzi msaidizi wa kikosi cha zima moto Hamadi Dadi ameeleza walivyopata taraari za ajali wametumia muda mrefu kufika katika eneo la tukio ingawa wametumia muda mrefu kuzima moto huo kutokana na mafuta yaliyokuwa yakivuja.
 
Jeshi la polisi limethibitisha kutokea kwa tukio hilo na askari walionekana muda wote kwenye eneo la tukio.

----------
If you love somebody, let them go, for if they return, they were always yours. And if they don't, they never were.
Khalil Gibran


Profesa Anna Tibaijuka Ahojiwa Na Baraza la Maadili ya Viongozi wa Umma.....Mashitaka yanayomkabili na Utetezi wake Vyote Viko Hapa

0
0
BARAZA la Maadili ya Viongozi wa Umma, limemsomea rasmi mashitaka aliyekuwa Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Profesa Anna Tibaijuka (pichani), na kubainisha kuwa kiongozi huyo anastahili kujibu mashitaka kwa kosa la kuomba na kujipatia fedha kinyume na Sheria ya Maadili ya Viongozi wa Umma.

Hata hivyo, Profesa Tibaijuka alikana mashitaka hayo, na kusisitiza kuwa hakukiuka maadili hayo ya viongozi wa umma, kwa kuwa fedha hizo hakuziomba kwa maslahi yake binafsi, bali kwa ajili ya kuendeleza na kuboresha taasisi yake inayotoa huduma ya elimu kwa watoto wa kike wasio na uwezo lakini wenye vipaji.

Akimsomea mashitaka hayo mbele ya baraza hilo, Mwanasheria wa Sekretarieti ya Maadili ya Viongozi wa Umma, Wemaeli Mtei alisema Profesa Tibaijuka ambaye ni kiongozi wa umma, alishawishi na kuomba fedha na baadaye kupokea Sh bilioni 1.6 kutoka kwa James Rugemalira na mkewe.

Aidha, Sekretarieti hiyo kupitia shahidi wake ambaye ni Katibu Msaidizi wa Idara ya Viongozi wa Siasa kutoka Sekretarieti hiyo, Waziri Kipacha, alisema kupitia Kamati ya Uchunguzi iliyoundwa na sekretarieti kufuatilia sakata hilo, ilibaini kiongozi huyo aliomba na kupokea fedha hizo kupitia barua aliyoandika Februari 4, mwaka 2012.

“Tulibaini kuwa fedha alizoomba mlalamikiwa zilitumwa kwake kupitia akaunti yake namba 00120102640201 ya Benki ya Mkombozi iliyopo St Joseph jijini Dar es Salaam,” alisema huku akikabidhi baraza hilo barua hiyo ya Tibaijuka ya kuomba fedha na taarifa za kibenki kama ushahidi.
 

Alisema pamoja na hayo, kamati hiyo pia katika uchunguzi wake ilibaini mlalamikiwa ni mmoja wa wadhamini katika Bodi ya Wadhamini ya Taasisi ya Barbro Johansson Girls Education Trust, ambapo barua kutoka Wakala wa Usajili, Ufilisi na Udhamini (RITA), ilithibitisha suala hilo. Na kwamba wamiliki wa shule hiyo ndiyo wadhamini.

“Tumebaini kuwa mlalamikiwa alipokea kiasi hicho cha fedha na wadhifa aliokuwa nao kama Waziri, jambo lililomwingiza katika mgongano wa kimaslahi,” alisema.

Alisema kitendo cha mlalamikiwa kupokea fedha hizo na kuingizwa katika akaunti yake binafsi, ni kosa kwa mujibu wa masharti ya maadili ya viongozi wa umma kwa kuwa viongozi wa umma hawaruhusiwi kuomba fedha au msaada au kujipatia maslahi ya kiuchumi au kumpatia mtu mwingine maslahi hayo ya kiuchumi.

Wakili wa Tibaijuka, Dk Rugemeleza Nshara, alidai mbele ya Baraza mteja wake hakuna kosa alilofanya, bali alitumia wadhifa alionao kama viongozi wengine akiwemo Waziri Mkuu, Mizengo Pinda, kuomba na kuchangisha fedha kwa ajili ya maendeleo ya wananchi na si binafsi.
 

“Nataka kuuliza Baraza hili, ina maana juzi Waziri Mkuu, alivyoongoza uchangishaji fedha kwa ajili ya maendeleo alikwenda kinyume na maadili ya uongozi?,” alihoji.
 
Profesa Tibaijuka, alikiri kuomba fedha hizo kwa ajili ya kuendeleza taasisi hiyo yenye lengo la kujenga shule za mfano za wasichana wenyewe vipaji kila kanda ili kukuza na kuimarisha elimu ya mtoto wa kike nchini.

“Huu si msaada wa kwanza, tumekuwa tukifadhiliwa na Serikali ya Sweden kupitia msaada tuliopatiwa na Rais mstaafu, Benjamin Mkapa, ambaye alitambua juhudi zetu na kutuunga mkono, tumechangiwa na taasisi za ndani na nje na watu binafsi, kiasi kinachohitajika kuboresha shule hizi ni dola za Marekani milioni 14 sawa na takribani Shilingi bilioni 25.2,” alisema.

Alisema pamoja na Rugemalira aliyetoa Sh bilioni 1.6, pia mfanyabiashara maarufu nchini, Reginald Mengi alichangia taasisi hiyo Sh milioni 278, ikiwemo Serikali ya Sweden iliyomaliza mkataba wake iliyochangia Sh bilioni 8.1.

“Sisi tuliopo kwenye taasisi hii, tunaaminiana na ni waadilifu ndiyo maana fedha nilizoomba ziliingizwa kweli kwenye akaunti yangu lakini niliziwasilisha, zilizobaki ni deni nililokuwa naidai taasisi, lakini pia nimekopa Benki M Sh bilioni mbili kwa ajili ya kuboresha taasisi hii na kuweka dhamana nyumba yangu iliyopo Oysterbay. Mbona hili hamlioni?,” alihoji.

Wakati akijitetea, Tibaijuka aliomba akabidhi andiko lake mbele ya baraza hilo. “Nina andiko langu na naomba nilikabidhi, kabla hujafa hujaumbika, nasimama hapa leo kwa sababu tayari nimeshahukumiwa bila kusikilizwa, niliomba hata bungeni nipewe nafasi lakini nilihukumiwa kama Waziri nikavuliwa madaraka, nashangaa leo nimesimamishwa hapa kama mbunge,” alisema.

Alisema “mimi mpaka sasa nasema sijakiuka maadili labda wanasheria wanieleweshe kwa sababu nilisimama kama mimi wakati wa kuomba fedha na si kama waziri au mbunge, hivyo sasa naona lengo ni kunivunja moyo, kunidhalilisha, kunifanya kama mwanamke mhuni na tapeli.” Aliendelea kujitetea
 
"Nimekuja kujieleza ila.. Mimi siyo mwanasheria ila ukweli sina kosa na ndiyo maana nyaraka zote ambazo zipo hapa, mimi ndo nimewapa, nimekuja hapa kwa nia njema na naamini kwamba Baraza hili litanisikiliza kwa sababu ukweli ndiyo mwanzo wa maadili, lazima tupiganie haki na tupiganie ukweli.

“Kama mimi nimefanya kosa kusimama kuwasaidia watoto wenye vipaji ni kosa, naomba mwanasheria anieleweshe na naomba ukweli usimame maana tukienda na fitina peke yake, hatutafika. Mimi ni profesa na mchumi na ni mstaafu wa muda mrefu na nina pensheni, sina makuu, maisha yangu ni ‘simple’ (ya kawaida) huwezi kunikuta Dubai... Ila nipo tunafanya maendeleo na wananchi wangu,” alisema.

Hata hivyo alisema fedha anazodaiwa kuhamisha baada ya kupokea na kukatwa za kulipa deni la Benki M, zilizobaki zilikuwa ni halali yake kwa kuwa alikuwa akidai shule hivyo fedha hizo zilizobaki ni kwa ajili ya matumizi yake binafsi.
 
“Mimi ni mchakarikaji, mtafuta fedha na kiongozi anayeshindwa kutafuta fedha kwa ajili ya watu wake hafai.

"Hivyo nilipolipwa milioni 117 (Shilingi), nilitoa milioni mbili nikachangia Kanisa la Makongo na nikatoa laki nne nikapeleka kanisani na milioni 10 niliitoa kwa ajili ya matumizi yangu ya kununulia mboga, “ alisema.

 Shahidi wa Profesa Tibaijuka ambaye ni Mjumbe wa Bodi ya Wadhamini wa Taasisi hiyo, Balozi Paul Rupia katika ushahidi wake mbele ya Baraza, alisema fedha hizo zimetafutwa na Profesa Tibaijuka.

Alisema aliitaarifu bodi kwamba zipo fedha zimeingia katika akaunti yake na zinatakiwa kulipa madeni wanayodaiwa. Alisema katika kikao hicho cha kutoa uamuzi wa kugawanywa kwa fedha hizo kilichofanyika Luguruni , hakuhudhuria, ingawa alikuwa na taarifa zote za kinachoendelea.

Rupia alisema bodi hiyo haikumpa masharti yoyote Profesa Tibaijuka ya kumaliza kulipa madeni hayo kwa sababu hawakuona sababu ya kumfuatilia kwa kuwa walimwamini, kutokana na juhudi zake binafsi za kupata fedha hizo. Shauri hilo lilianza saa 3 na baadaye kuahirishwa kwa muda hadi saa 6.30 mchana, lilipoanza kusikilizwa tena na kumalizika saa 11.45 jioni.

Katika shauri hilo, Profesa Tibaijuka alitoa ushahidi kwa zaidi ya saa tatu, akilalamika kuonewa na kuhukumiwa bila kusikilizwa. Shauri hilo liliahirishwa hadi Machi 13 mwaka huu, kutokana na muda kutotosha. Wakili aliomba udhuru wa kwenda Marekani kwa siku 10 na Jaji Msumi alikubali.

Jaji Msumi alisema wajumbe watapitia shauri hilo na siku hiyo itaamuliwa, endapo hukumu itatolewa wazi au kwa uamuzi wa ndani

----------------
The art of war is simple enough. Find out where your enemy is. Get at him as soon as you can. Strike him as hard as you can, and keep moving on.
Ulysses S. Grant

Zitto Kabwe Kutangaza Maamuzi Magumu ya Kujitoa Chadema Mwezi wa Tatu

0
0
MBUNGE wa Kigoma Kaskazini, Zitto Kabwe, amesema hatma yake kisiasa ndani ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) itajulikana katika kipindi cha mwezi mmoja kutoka sasa.
Raia Mwema linafahamu kwamba tangazo hilo la kisiasa linahusu mustakabali wake wa kisiasa ndani ya Chadema, chama ambacho amekitumikia katika maisha yake yote ya kisiasa tangu akiwa mtoto wa umri wa miaka 16.
Katika mahojiano aliyofanya kwa njia ya mtandao na gazeti maarufu la Guardian la Uingereza wiki iliyopita, Zitto alisema kuna kitu kikubwa atakifanya mwishoni mwa mwezi Machi huu.
“Sijawahi kufanya kampeni yoyote kubwa ya kisiasa kupitia mtandao wa twitter katika maisha yangu ya kisiasa, lakini nataraji kuwa nitafanya hivyo katika muda wa mwezi mmoja kutoka sasa. Fuatilieni tu twitter na mtaona,” alisema Zitto pasipo kwenda kwa undani.

Gazeti hilo la Uingereza limeanzisha utaratibu mpya wa kuhoji watu maarufu kwa kutumia mtandao wa twitter (twit interview) na Zitto alikuwa mwanasiasa wa kwanza kuhojiwa baada ya kubainika kuwa ndiye anayeongoza kwa kuwa na wafuasi wengi kwenye mtandao huo hapa nchini.
Akizungumza na gazeti hili kuhusu nini hasa anataraji kukifanya mwishoni mwa mwezi Machi kama alivyozungumza na gazeti hilo, Zitto alisema ni mapema kwa sasa kuweka kila kitu hadharani lakini wakati ukifika kila kitu kitakuwa wazi.
“Niseme kwamba kwenye mahojiano yale nilisema hivyo kweli na nakuhakikishia kuwa kuna tukio litatokea mwishoni mwa mwezi Machi. Ni tukio gani na linahusu nini bado mapema kusema.
“Ila naomba kuahidi Watanzania kuwa watafahamu kila kitu kuhusu tukio hilo wakati ukifika. Hiyo kampeni ambayo itaendeshwa kupitia mtandao wa twitter na mingineyo, itakuwa ya kisasa na ya uhakika kuliko yoyote ambayo imewahi kuendeshwa katika historia ya Tanzania, “ alisema.
Zitto alikataa kusema lolote kama tangazo hilo litahusiana moja kwa moja na kuhama kwake kutoka Chadema kwenda ACT au chama chochote kingine cha siasa hapa nchini zaidi ya kusema; “subirini”.
Kwa sasa, Zitto ni Mbunge na mwanachama wa Chadema kwa sababu tu ya zuio ambalo Mahakama Kuu kupitia Jaji John Utamwa liliweka katikati ya mwaka jana la kufukuzwa kwake ndani ya chama hicho kutokana na kikao cha Kamati Kuu ya chama hicho.
Zitto na wenzake, Profesa Kitila Mkumbo na Samson Mwigamba, walifukuzwa na Chadema kwa madai ya kupanga mapinduzi ya kumng’oa madarakani Mwenyekiti wa chama hicho, Freeman Mbowe.
Mwigamba na Kitila wamehamia katika chama kipya cha siasa cha ACT; Mwigamba akiwa Katibu Mkuu wa muda na mwenzake mshauri na Zitto mwenyewe amekuwa akihusishwa na chama hicho.
Akizungumzia mahojiano hayo ya Zitto na Guardian, Dk. Kitila Mkumbo alisema aliyasoma mahojiano hayo lakini akasema anayejua nini kitatokea mwishoni mwa Machi ni Zitto mwenyewe.
“Mimi kama mshauri wa ACT nasema Zitto kama mwanasiasa makini ana mawazo yake na mipango yake. Mimi nasisitiza tu kwamba kama ataamua kuja ACT basi tunamkaribisha kwa mikono yote miwili.
“Tunaamini kwamba yeye ni muumini wa dhana ya Unyerere (Nyerereism) ambayo ndiyo msingi mkuu wa sera za ACT. Kama ataamua vinginevyo, sisi pia tutamuunga mkono kwa sababu tunajua itakuwa kwa nia njema,” alisema.
Katika mahojiano hayo na Guardian, Zitto aliulizwa kuhusu masuala mbalimbali yanayohusu siasa na Tanzania, ikiwamo changamoto za kisiasa, hifadhi za jamii na nguvu ya mitandao ya kijamii katika siasa za hapa nchini.
Zitto alisema silaha kubwa ya maendeleo ambayo Tanzania inayo kwa sasa ni wingi wa vijana ambao alisema kama watawekewa mipango mizuri na kuwezeshwa kutumika kwa kadri ya uwezo wao, Taifa litapiga hatua kubwa.
Alisema fursa hiyo ina hatari yake nyingine kwamba chini ya asilimia 20 ya Watanzania hawana ulinzi wowote wa Mifuko ya Hifadhi za Jamii, jambo alilosema ni hatari kwa mustakabali wa Taifa.
Alisema pia kwamba kwa sasa Watanzania wengi wana ufahamu wa masuala ya mitandao ya kijamii, lakini akasema idadi ya wanaoitumia ni ndogo; huku akibainisha kuwa baadhi ya viongozi wa juu wa serikali hawako hata kwenye mitandao kama twitter.
Zitto ana wafuasi zaidi ya 200,000 katika mtandao wa twitter akiwa anaongoza kwa wafuasi; huku katika nchi nyingine barani Afrika wanaoongoza wakiwa marais, wanamichezo na wanamuziki maarufu kama Didier Drogba wa Ivory Coast na Wiz Kid wa Nigeria.

See what Chris Brown says about Rihanna’s relationship with Leonardo DiCaprio

0
0
Chris Brown has revealed that he would not mind if his ex-girlfriend Rihanna ends up dating Hollywood superstar actor and producer, Leonardo DiCaprio.

Speaking in a recent chat with Hot 97, Chris stated that: ‘I didn’t send Rihanna a birthday text, but I would give her a high-five if she gets with Leonardo DiCaprio.

I’m not a hater, I’m not envious. I can’t have it all.’ The singer was spotted rocking matching furs with his recent ex, Karrueche Tran at the New York Fashion Week laws week, and when asked about it he said: ‘We’re great. We never really got a chance to step out as a fly couple so being able to do that during Fashion Week at Michael Costello show. We just got a chance to go to the show and have some fun. She’s on the tour with me now.

I love that girl.’ Chris Brown and Tyga have been doing lots of interviews to promote their new joint album Fan Of A Fan 2

Ray C Achafukwa Awafungukia Team Wema 'Waende zao Wasituletee Shobo Hapa Team Ushuzi Team Njegere'

0
0
Kitendo cha Ray C Kumshauri Diamond Amuoe Zari the Boss Lady Kupitia Mtandao wa Instagram Watu mbali mbali ambao ni mashabiki wa Wema Walianza Mtukana Ray C kwa Vijimaneno vya Hapa na pale  Kitu Ambacho Ray C hakukipenda na Kuamua Kuwashukia na Kuwapa Soma kama ifuatavyo :

'Waende zao Wasituletee Shobo Hapa Team Ushuzi Team Njegere, I dont give Fuc.kin Care!mi mwenyewe nimetoka lutindi! wanajifanya vichaa simu zetu vidole vyetu vocha tunanunua wenyewe halafu eti tuogope kucomment kwa msanii mwenzetu eti kisa wao hawapendi kwani wameninunulia simu au siwezi nyimwa Uhuru wa simu yangu kwa sababu ya wajinga wasiosoma! MTU mwenye kukaa insta masaa 24 huyo hana kazi ! wafanya insta kama kariakoo....Mnaojifanya mnajua kutukana wekeni sura zenu tuwaone.......'Ray C
--------
In three words I can sum up everything I've learned about life: it goes on.
Read more at 

Team Wema Wamlipua Zari The Lady Boss kwa Kurudia Nguo Moja Kila Wakati Katika Mitoko Tofauti

0
0
Page moja huko instagram inayojiita Wemaselfies Wamemlipua Zari kwa Kusema Anarudia nguo moja kila wakati katika mitoko tofauti ....Jisomee hapa:

'Hivi hiyi tyt hayibadilishwi? Khaaa jamani sasa Bosslady gani anavaa the same thing kila siku? Wewe mama uliingiana gia ya 5 sasa utatoka without no gia hivi nyiye Domo mnamuelewe kweli? 
Mie mnisaidie nikwanini akiwa na mwanamke lazima huo mwanamke ajisahau Zari stop your stupidity nakuona unavyo comment kwa lemapumbuz ww jobless don't try os oooh abeg and nyiye team zari soon mtaanza kampeni ya bring back zari if not ohoooo mamkubwa kapotea yanii zari kwisha no big big money no job no nothing ww acha kufatilia team wema plzzz ooooh. May Allah bless my @wemasepetu katika kila kituu ufanyacho fanya asante munguu kuona kakuamsha mapema kwenye usingizi najua wengine hivi walipo wanapanga tufanye nini ili tumuharibie wema but nothing to worry mungu yupo na ww @wemasepetu wanguu we love u and wish u all the best na sikuu utaachiya hiyo kazi kunawatuu watachukuwa likizo instaa we keep praying for u @wemasepetu'

Je na wewe Unamwambiaje Zari Kuhusu Kuvaa Nguo moja Kila Wakati?

Team Zari Walipa Mapigo Haya Sasa Picha za Wema Sepetu za Kurudia Nguo Zawekwa Hadharani

0
0

Baada ya Team Wema Sepetu Kuweka Picha Mtandaoni zikionyesha Zari kuwa huwa anarudia nguo moja mara kwa mara na kumponda na Kusema ni Lady boss wa Aina Gani ..Team Zari na wenyewe wameibua Picha mbali mbali za Wema Sepetu Zikionyesha Amerudia Nguo Kadhaa Katika Matukio Tofauti Umbu Jionee .....

Una Maoni Gani Kuhusu Hili na hizi Team Mbili ?

Kenyan Member of Parliament Fires His LADY Employee After she Refused to Have S£X with him – See The Messages!

0
0
It seems like Jubilee Alliance MPs and Senators are addicted to s*x like their CORD Coalition counterparts.

A case in point is Juja MP, Francis Munyua Waititu, who fired his CDF chair lady for refusing to have s*x with him.

Susan Wambui, who is blessed with a curvaceous and sexy body, was fired in October last year after she refused to offer the randy MP, her ‘juicy honey pot’,

This is a conversation (messages) between Francis Waititu and Susan Wambui.

Waititu to Susan: “Ulikataa nikule hizo vitu na vile nazimezea mate. Now i am employing another person on your behalf. Hii dunia kila kitu ni nipe nikupe. Ken will give you the other details on how to clear from the office. Goodbye” sent on 23/10/2014.

I can see even you are supporting Kabogo’s brother on that nonsense he posted on Kilimani group. I thought of paying you through CDF because I removed you from PSC through anger even CDF you will not get. Nowadays it is unipe nikupe my friend. Dont think Kangethe will take you anywhere. Try and see” sent on 31/10/2014.

 Susan to Waititu: “I like that sir, As you can see I have not replied to your messages since the first one. I would rather be jobless than leave my husband and be a mistress. You own Juja but you don’t own Kenya. The same God who made you an MP without sleeping with anyone is the same God who will bless me. Do me a favor and leave me alone. Employ the ones who will sleep with you all you want mimi apana. And on Facebook I have the right to comment to whomever I want.

The Kenyan DAILY POST


Skendo ! Lulu na Wolper Waonyeshana JEURI ya Mabwana

0
0
Sakata la kupangishiwa nyumba za kifahari na wanaume linazidi kuchukua sura mpya kwa mastaa wa kike ndani ya tasnia ya sinema za Kibongo ambapo safari hii mastaa wawili, Elizabeth Michael ‘Lulu’ na Jacqueline Walper ‘ Wolper’ Massawe wanadaiwa kuoneshana jeuri ya mabwana wakipima ni yupi mwenye mshiko zaidi huku akina Wema Isaac Sepetu na Kajala Masanja ambao awali walikuwa juu wakipotezwa.

TAMBO ZA NANI ZAIDI?
Uchunguzi wa Ijumaa umebaini kwamba, kumekuwa na kasumba ya baadhi ya mastaa hao kutambiana kuwa ni nani zaidi anayemiliki bwana mwenye mawe au mshiko kuliko wengine.

Ilidaiwa kwamba, baada ya Lulu kuripotiwa kupangishiwa bonge la jumba la kifahari na milionea maarufu wa jijini Arusha lililopo maeneo ya Mbezi-Beach jijini Dar, Wolper naye anadaiwa kujibu mapigo kwa kupangishiwa mjengo wa maana na bwana’ke uliopo maeneo hayohayo.
Kwa mujibu wa vyanzo vyetu ambavyo ni watu wa karibu wa mastaa hao, kwa sasa wawili hao ni moto wa kuotea mbali kwani kila mmoja amepata bwana mwenye ‘mpunga’ mrefu.

WOTE WANALIPA SH. MIL. 30
Ilidaiwa kwamba, kama ilivyokuwa kwa Lulu, Wolper naye analipiwa nyumba hiyo kiasi cha dola za Kimarekani 1,500 kwa mwezi (zaidi ya Sh. milioni 2.4) karibia Sh. milioni 30 kwa mwaka.

CHUMBA KAMA BOUTIQUE
Habari zilidai kwamba, kama ilivyo ya Lulu, nyumba hiyo aliyopangishiwa Wolper ina vyumba kibao vya kulala, ukumbi wa wageni, sehemu ya kulia chakula, mabafu, majiko n.k.
Pia nje ya nyumba hiyo kuna eneo kubwa la bustani iliyopambwa kwa maua mazuri na eneo la kutosha la maegesho ya magari.

Pamoja na kupangishiwa mijengo hiyo ya kifahari ushuani, Lulu na Wolper wamekuwa wakioneshana jeuri ya magari waliyonunuliwa na mabilionea hao.

MAGARI
Uchunguzi unaonesha kuwa Lulu ana mkoko aina ya Toyota Rav4 New Model wenye thamani ya zaidi ya Sh. milioni 30.Kwa upande wake Wolper anasukuma ndinga aina ya Toyota Prado, nalo lina thamani ya zaidi ya Sh. milioni 30.

WATOFAUTIANA VITU VICHACHE
Habari za ‘kiubuyu’ zinadai kwamba wawili hao wanapishana vitu vichache mno kama vile aina ya mawigi na aina ya maisha (life style) ambapo bwana wa Wolper amempiga ‘stop’ kuigiza lakini bado Lulu anapiga mzigo.

“Lulu na Wolper wamelamba bingo za nguvu na bahati nzuri wanaonekana wote kupata mabwana wasiokuwa na sifa.“Kwa mfano, Lulu pamoja na kuishi katika maisha mazuri bado anasomeshwa na tayari ameshakamilishiwa ujenzi wa nyumba yake ambayo juzikati alimkabidhi mama yake kama zawadi.

WOLPER AKOSWA, MAJIRANI WAFUNGUKA
Ijumaa lilimtafuta Wolper kupitia simu yake ya mkononi lakini iliita bila kupokelewa. Mwandishi wetu alifika mtaa anaoishi Wolper, akagonga sana geti lakini halikufunguliwa.Hata hivyo, majirani wa staa huyo wamedai kuwa amekuwa akionekana akiingia na kutoka akiwa ndani ya gari hilo aina ya Toyota Prado. Jitihada za kumtafuta zinaendelea.

Chris Brown & Rihanna Are Back Together? Thought She was Pregnant for Leo? See This

0
0
This MediaTakeOut will not kill somebody with their reports. Lol. First they swore that Rihanna is pregnant for Leonardo DiCaprio, now they swear -100% facts - that she's back with Chris Brown..lol. Yeah right!
Read their report below...

"Last week Chris Brown gave multiple interviews - where he shaded Drake and talked about how he loved Rihanna and how he wished things would go differently. Well they're going to get a second chance. MediaTakeout.com exclusively learned that Chris Brown and Rihanna have began communicating again. One of Chris closest friends told us, "Chris is really going through it - with his legal trouble, tour issues, and now all this bad press - he reached out o the only one that really understands him - Robyn."

The insider told us that Chris and Rihanna were "on FACETIME" last night for nearly two hours - and they ended the call with "I Love You".
What does this mean for Karrueche . . . or Leonardo Di Caprio? No idea - but what we can say OFFICIALLY is that Chri Brown and Rihanna are back together.
This is 100% FACTS - no rumor here. Shout out to BREEZY, RiH and their TEAMS for the scoop!!

Muziki wa Tanzania upo Mahali Pazuri kwa Sasa. AY, Diamond Platnumz Washika Number Moja Trace International na Soundcity

0
0
Muziki wa Tanzania upo mahali pazuri kwa sasa. AY, Diamond Platnumz na wasanii wengine wanaiwakilisha vyema nchi yetu kimataifa.

Wasanii hao wamekamata nafasi za kwanza wiki hii kwenye top ten za chart za muziki wa Afrika katika vituo vikubwa viwili vya runinga.

Diamond Platnumz amekamata nafasi ya kwanza kwenye African Top 10 ya Trace International na wimbo wake Ntampata Wapi.

Naye AY amekamata nafasi ya kwanza kwenye chart ya Africa Rox Countdown ya Soundcity kwa wimbo wa ‘Touch Me’ aliowashirikisha Sean Kingston na Ms Triniti.

Wasanii wengine wa Tanzania waliopo kwenye chart hiyo ni pamoja na Shaa na Navy Kenzo.

Mwanamke Auawa na Mumewe Kwa Kipigo na kisha Mwili wake Kufukiwa katika Zizi la Ng'ombe

0
0
Mwanamke mmoja mkazi wa Kijiji cha Ubetu Wilaya ya Rombo mkoani Kilimanjaro, amefariki dunia baada ya kupigwa na mume wake sehemu mbalimbali za mwili na kisha kuzika mwili wake kwenye boma la ng'ombe.

Kamanda wa Polisi mkoani Kilimanjaro, Geofrey Kamwela, alisema tukio hilo lilitokea Februari 25 mwaka huu saa 11:45 jioni.
 
Akieleza mazingira ya tukio hilo, Kamanda Kamwela, alisema siku ya tukio jirani na familia hiyo alipigiwa simu na mume wa marehemu na kumwambia ameuwa mkewe na kumtelekeza ndani ya bomala ng’ombe.

Kwa mujibu wa kamanda, mwanamke huyo aliyeuawa ametajwa kuwa ni Jenipher Peter (45). Alisema alikuwa akiishi na mume wake, Peter Mrosso (43) pamoja na watoto wao watatu. Alisema mwili wake ulifukiwa ndani ya boma la ng'ombe.

Kamanda alisema taarifa za mauaji ya mwanamke huyo ilitolewa baada ya jirani yake kupigiwa simu na mume wa marehemu, akimtaarifu kuwa amemuua mkewe na maiti ameifukia ndani ya boma la mifugo.

Ndege ya Jeshi yaanguka na Kuwaka moto Uwanja wa Ndege Mwanza...Rubani Aruka

0
0
Taarifa kutoka Mwanza Airport ni kuwa kuna ndege ya Jeshi imelipuka na kuteketea.

Rubani wa ndege hii, ndg Peter Augustino kafanikiwa kuruka kwa parachuti na kunusurika ingawa inadaiwa kavunjika mguu na kukimbizwa hospitali.

Ni jet fighter, ilikua kwenye routine exercise za kila wiki. Zilikuwa zinaruka mbili kwa formation. Wakati zina take-off moja ikaanza kuwaka moto nyuma. Rubani alitoka kwa ejector seat, amepona. Ndege imeharibika vibaya.

Is DIAMOND This insecure? Look at What He Was Doing to His Lover

0
0
Is DIAMOND this insecure? Look at what he was doing to his LOVER

Sikiliza na Download Wimbo Mpya uliotoka leo wa Ali Kiba-Chekecha Chekechua

0
0
Baada ya kutamba na wimbo wake wa “Mwana Dar Es Salaam” Msanii Mkali Wa Bongo Flaiva Alikiba Ameachia Wimbo Wake Mpya Leo Unaitwa "Chekecha Chekechua".

Kiukweli Wanigeria Hawatuwezi Kimuziki-Ben Pol

0
0
Msanii Ben Pol ambae kwa sasa anafanya poa na kazi yake mpya ya Sophia amefunguka na kusema kuwa wasanii wa Nigeria hawawawezi wasanii wa bongo kwa kipaji na kutengeneza ngoma kali na hilo amelithibitisha msanii Diamond Platnum ambae kwa sasa anafanya poa na wimbo wake wa Nitampata wapi ambao unaoneka kufanya vizuri zaidi kuliko hata ngoma za wasanii wa Nigeria katika baadhi ya vituo vya habari ndani na nje ya Tanzania.

Ben Pol amesema hayo kupitia Account yake ya Twitter ambapo amesema msanii Diamond kishamfunga paka kengele na kilichobaki ni kuongeza nguvu na kuona ni jinsi gani wanaweza kupenya zaidi na kuzidi kutanua mipaka ya Bongo fleva ulimwenguni.
"Kiukweli Wanigeria Hawatuwezi Kimuziki,Na kuhusu Nani Atamfunga Paka kengele, Tayari Diamond Ameshamfunga Paka kengele"
Ben Pol amekuwa msaniii wa pili kuonyesha kuwa muziki wa Bongo fleva ni muziki mzuri kuliko muziki wa Nigeria kwani hata msanii Mwanafalsafa alishasema kuwa haupendi na haukubali kabisaa muziki wa Nigeria.Licha ya baadhi ya wasanii kuusujudu na kuamini ndiyo muziki mzuri na ambao wanahisi unapendwa sana kwa sasa lakini kwa Mwana Fa imekuwa tofauti kwani alisema "Katika Habari nyingine,nimeamua kuwa hater wa mziki wa Nigeria".
Kwa upande wake Diamond amezidi kushukuru Mungu kuona wimbo wake huo wa Nitampata wapi unazdi kuchana mawimbi na kupokelewa vizuri hata nje ya Afrika Mashariki kitu ambacho kinamfanya kujiona ni balozi mzuri zaidi wa Afrika Mashariki.
"Asante Sana Mwenyez Mungu kwa Baraka zako zinazonifanya nizidi kuiwakilisha vyema Nchi yangu na Afrika Mashariki yangu..."

Maimartha Amtolea Uvivu Manamuziki Chege, Amwita Mwanamuziki Uchwara na Mpuuzi

0
0
Baada ya Chege kumbwatukia Maimartha aliposema amevaa hirizi kule dodoma kwenye shoo maimartha aamua kumtolea uvivu vhege na kufunguka instagram kama ifuatavyo

"Chegechigunda this is too much embu koma kunitukana mpuuzi ni we we usiyejua kusoma SMS vizuri..niliandika kwa wema Tu naona mwenzangu umatake advantage huna angle ya promo eh..nyie wanamziki uchwara embu mjiheshimu msipende kugombana Na watu Chegechigunda mpuuzi ni we we... Na kama we we mwanaume Mimi mwanamke!"kaogee..chezea vyeusi hiki chekundu ntakutia DOA...take ur time usione nilinyamazaa weee ....ehee"

I Took off My Undderwear, Then I… (Must Read A True Story)

0
0
A True Life Story, Written by a COLLEGE GIRL before she gave up the Ghost. I Took Off My UNDE RWEAR….. I used to be that innocent girl who had the world at her feet.

I was beautiful and I had eyes and HIPS that could make men sway, and to top it all up, I was a Christian, a very good Christian with a heart burning for God.

When I entered the university, I met a guy, his name was DERRICK. I couldn’t believe my luck the first time I bumped into him on my way to class, he had such a kind smile and a tender look that weakened my knees when he spoke. Because I was late for class we couldn’t talk much but barely three weeks later, I met him at the fresher’s night party and I was overwhelmed.

We got talking and I found out that he was in his second year and from that night, we became an inseparable pair. At first, we were friends and as months passed by, we got closer and closer and the chemistry between us was undeniable.

About a year after I entered the university, Derrick and I started dating. He was everything a girl could ever want and desire save the fact that he wasn’t so much of a Christian. Derrick had magical hands that made him hard to resist and most times I fell for it.

At first, I felt bad but when I couldn’t help falling into the same pit I killed the guilt on my inside. And then one day, one of my friends said I was getting fatter and that got me thinking and in the process I began to link the dots…first I had a vomiting spree every morning which I thought was due to a flu and then I had this morning sickness which I felt was due to stress and then my missing period…oh no it can’t be possible I said to myself, I couldn’t be pregnant!!! After a series of test outside school, I realized the deadliest truth, I was indeed pregnant. I was only nineteen, I still had a whole life ahead of me, what was I going to do.

I couldn’t tell my parents, they wouldn’t hear of it. Ihad to go to Derrick to tell him what I had found out. On telling him, I saw him fly into a temper I had never seen in my life. He was so hysterical, calling me all sorts of names and I didn’t even know when I started crying heart drenching tears of hurt and betrayal. When he looked into my eyes he must have realized how scared and hurt I was and so he pulled me close and ran his hands through my hair until I had calmed down and then he said to me in the most subtle voice ever ”why don’t you have an abortion”.

I pulled back instantly, I couldn’t have an abortion! But when he talked about my parents and the sanctioning of the school and the fellowship which I belonged to, I knew I had no other choice.

Derrick had made all the arrangements and so on the supposed day we went to the room- like clinic. I shivered all through my way there but Derrick kept telling me that it would be okay and that he was proud that I made such a brave decision.

When I entered into the room where the abortion was supposed to take place I laid down on the table trying to dissociate my mind from what I was about to do and then a young man told me sternly, ” you know I can’t perform this procedure with your UNDE RWEAR on” and then I began to pull it off.
As I did this a sense of guilt overwhelmed me, first I had pulled off my UNDE RWEAR of pleasure and now I was pulling it off to get rid of the stigma the pleasure had brought what a shame, I felt so exposed.

All through the times that I felt instruments coming in and out of me, I kept thinking of the lady I had become and the hypocrite I had transformed into.

I let out a sigh, only if I can get through this I muttered… only if…and then I felt a sharp pain pierce through the whole of my body, I screamed but then the doctor told me to be quiet. I felt another pain but this time I bit my lip and then the pain began to come in successions.

I instinctively knew that something was wrong but I was too weak totally or to move and then I heard the voices of Derrick and the doctor talking about the fact that I was bleeding excessively. The pain was so unbearable and I could feel myself getting weaker and weaker.

With the last strength in me, I pleaded with God”Oh Lord I’m so sorry for taking my under wears off, please forgive me.” and I drifted into a world where the pain seemed less hurtful and the voices seemed more distant. Friends, our bodies are the temple of the Lord. Do not take off your UNDE RWEAR when the time is not right.

Lots of girls who gained admission into the university as virgins eventually lost it so cheaply to guys who have nothing to do with their destinies. In a bid to get a certificate, they sold out a destiny that certificate cannot guarantee….she died long time ago..

Shilole Awafungukia Marafiki Wanaotaka Kumgombanisha Na Nuh Mziwanda!

0
0
MSANII wa muziki na mwigizaji wa filamu za Bongo, Zuwena Mohamed ‘Shilole’, ameamua kuweka wazi chanzo cha migogoro yake na mumewe mtarajiwa, Nuh Mziwanda kuwa ni marafiki.

Shilole alidai kuwa mara nyingi wamekuwa wakigombana, lakini chanzo kikiwa ni maneno ya uchonganishi kutoka kwa marafiki zao wa karibu ambao wana lengo la kuwatenganisha. Mwanadada huyo alidai kutokana na hali hiyo, hivi sasa ameamua kutowahusisha suala lolote linalohusu maisha yake ili kupunguza migogoro ya mara kwa mara baina yao.
Alisema wale walio karibu yao ndio wanaochangia kwa kiasi kikubwa kutokea kwa migogoro kwenye mahusiano yao, ukizingatia hivi sasa wapo kwenye harakati za kufunga ndoa baada ya wazazi wa pande zote kukubali uhusiano wao.

Tumegundua kuwa mashoga ndio wanaotugombanisha, kwani kila mara mchumba wangu anapewa taarifa zinazonihusu mimi huku hao hao wakiniletea habari zake, jambo hili limesabababisha nisihitaji tena marafiki wengi wao ni wanafiki,”alisema.

Viewing all 104417 articles
Browse latest View live




Latest Images