Quantcast
Channel: UDAKU SPECIAL
Viewing all 104709 articles
Browse latest View live

Sickening VIDEO! How Kenyan Men are Converted into S*X Slaves by White Women in Mombasa

$
0
0
Below is a 6 minute documentary that shows the sad life of some Kenyan men who have been turned themselves into s*x slaves for white women in Mombasa. The documentary makes Kenyan men look like desperate creatures with diseases;

Watch it below:

After Losing Her Son and Her Long Time Lover, JULIANA KANYOMOZI is Now Dating This Celeb

$
0
0
There is a rumour going round Uganda’s showbiz circles that former TPF judge, Juliana Kanyomozi, has finally found love just a few months after losing her son and after ending her relationship with her long time lover.
                       
Juliana is dating Jordan Evora, a Ugandan kick boxing champ. Meet the lucky man who has swept her off her feet;

Top Tena ya Mastaa wa Bongo Ambao Kuvaa Nusu Utupu Sio Ishu Kwao

$
0
0
Ukifuatilia sana kwenye nchi za wenzetu kama vile Marekani na kwingineko, mastaa hawako makini na suala la uvaaji. Yaani si ajabu kuona staa mkubwa akikatiza mtaani akiwa amevaa nguo ya ndani na ukishangaa utaonekana mshamba.

Wanaovaa hivyo hawajakosa nguo za heshima za kuvaa bali ni ule ulimbukeni wa kutaka wawe gumzo na kuendelea kuwa maarufu.Kutokana na athari ya utandawazi, hapa Bongo wapo mastaa ambao nao wameiga kiasi cha kutoona aibu kuvaa nguo zinazoacha wazi maungo yao.Najua wapo wengi lakini leo nimeona nikupe kumi bora ya mastaa hao.

Baby Joseph Madaha
Huyu ni mwanamuziki na muigizaji. Wengi wanamfahamu kwa kupenda kuyaacha wazi matiti yake sambamba na kupenda kuvaa visketi na vigauni vinavyoacha wazi sehemu kubwa ya mapaja.
Stejini ndiyo kabisa hadi kufuli lake kama siku hiyo amelivaa haoni aibu kulifanya lionekane kwa mashabiki wanaofuatilia shoo yake.

Miriam Jolwa ‘Jini Kabula’
Ni muigizaji aliyejaribu kuingia kwenye muziki lakini akashindwa. Naye ni kati ya mastaa wasiothamini miili yao. Ni mrefu kwa umbo lakini cha ajabu hupendelea kuvaa vipensi na visketi vifupi huku naye akiona poa watu kuona nido zake.

Tamrina Poshi ‘Amanda’
Kwa umbile wengi tunamjua kuwa ni kati ya mastaa waliofungashia ile mbaya. Hata hivyo, anatajwa kuwa miongoni mwa mastaa wa kike ambao hupenda kuwarusha roho wanaume akatizapo mtaani.
Kutokana na hilo, yeye ni muumini wa kutoanika nido zake lakini hupendelea kuvaa vigauni vifupi sana ambavyo wakati mwingine hata akitakiwa kuinama kuokota kitu hawezi, akiinama lazina kalio lake lote litabaki nje.

Isabella Mpanda ‘Bella’
Huyu ni kati ya mastaa mcharuko ambaye ni mama wa mtoto mmoja lakini linapokuja suala la kuvaa, mara nyingi hupenda kuvaa vinguo vifupi licha ya kwamba kimwili chake ni kidogo.

Jokate Mwegelo
Huyu havumi lakini yumo! Ni mwanamitindo ambaye ukimkuta kwenye sherehe za heshima huwezi kuamini kama ndiyo yule ambaye maeneo mengi yenye mkusanyiko wa watu huvaa vinguo vya kimitego.Kuona mapaja yake wala siyo ishu kwani kuna wakati huvaa vigauni vifupi sana au mashati makubwa bila suruali wala pensi. Hata hivyo, kuona nido zake ni shughuli.

Lulu Semagongo ‘Anti Lulu’
Nani asiyemjua huyu kwa vurugu zake? Naye ana wowowo kama Amanda. Ingekuwa ni mtu anayejiheshimu angekuwa ni wa kuvaa madira na magauni makubwa lakini kwa mcharuko wake, yeye ni mwendo wa nguo fupi tu. Hata linapokuja suala la sehemu ya kifua, mara nyingi haoni hatari kuyaanika matiti yake.

Vanessa Mdee ‘V- Money’
Huyu ni Mtangazaji wa Radio Choice FM ya jijini Dar anayefanya vizuri kwenye muziki. Ukimfuatilia sana utagundua ni binti anayependa sana kuvaa vipensi na wakati mwingine fulana tu ambazo hufunika sehemu ndogo ya mapaja. Awapo stejini ndiyo usiseme. Huwa anapendelea kuvaa sidiria na visketi ambavyo akionesha manjonjo yake, kama kavaa kufuli lazima lionekane.


Aunt Ezekiel
Kwa sasa ni mjamzito lakini kutokana na kasumba yake bado utamkuta kavaa kipensi. Kwenye mitoko yake mara chache sana utamkuta kavaa kiheshima. Kwa wale wanaojua katalogi zake akiwa viwanja watakubalinana na mimi kwamba, ni binti ambaye haoni hatari wanaume ‘kumchungulia’.

Zuena Mohammed ‘Shilole’
Naye kajaaliwa kuwa na kijungu flani hivi. Ni staa wa muziki na filamu ambaye inavyoonekana kuvaa nguo za heshima kwake ni mwiko, labda awe amealikwa kwenye ‘minuso’ ya watu wenye heshima zao.

Lungi Maulanga
Huyu ni msanii wa filamu ambaye linapokuja suala la kuvaa kiheshima huenda mkagombana. Akiwa viwanja utamjua kuwa ni binti wa mjini asiyependa kujibanabana.
 Kwa kifupi anapenda kuvaa nguo za kihasara.

President Kagame’s Doctor Mysteriously Killed in Police Cell

$
0
0
Another ”mysterious” death in Rwanda. WHO? Dr. Gasakure (Kagame’s personal doctor)

WHAT happened? 
The Medical Doctor is said to have been in police custody for ” a series of crimes” including malicious destruction of property and illegal arrest and detention of some Rwandans!!!

HOW was he killed? 

While in police custody Kagame’s personal doctor asked for, and was given, permission to go to the bathroom ( toilet). While going to the toilet, the Medical Doctor wanted to grab a gun from the police officer ( on duty in the toilet?). The police officer shot and killed Dr. Gasakure, RIP. That’s Kagame junta official narrative.

What isn’t the junta telling us? 
Kagame suspects that there is a Tutsi inner circle conspiracy to assassinate him using poison or a bullet. It’s alleged that Dr. Gasakure ( and the Rwandan artist – Kizito – who is in prison was part of the ” poison” conspiracy!!! Every ” suspect” must be killed for the protection of the Hitler of Africa.

Wimbi la Kumshawishi Edward Lowassa Kugombea Urais Lazidi Kupamba Moto.

$
0
0
Wimbi la watu kumuunga mkono na kumshawishi Mbunge wa Monduli, Edward Lowassa, kugombea nafasi ya urais wakati utakapofika, limezidi kupamba moto na safari hii, ujumbe mzito kutoka Pemba unajiandaa kufanya hivyo.

Taarifa za maandalizi kwa wananchi na wanachama wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) kutoka Pemba kwenda Monduli kumshawishi Lowassa kugombea urais, zimekuja siku chache baada ya baadhi ya wananchi na wanachama wa CCM Kanda ya Ziwa, kufanya hivyo wiki iliyopita.

Wananchi hao katika kutimiza dhamira yao, walimtuma Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya chama hicho taifa, Dk. Raphael Chegeni, kwenda kumshawishi Lowassa ili awanie nafasi hiyo.

Akizungumza na waandishi wa habari Monduli jana,  Mjumbe wa Halmashauri ya chama hicho taifa, (NEC) kutoka Wilaya ya Chake Chake Pemba, Daud Ismali, alisema amekwenda Monduli kumshawishi Lowassa kugombea nafasi ya urais muda utakapofika.

Ismail ambaye ni mdogo wa Makamu wa Rais, marehemu, Dk. Omar Ally Juma, alisema kwenda kwake Monduli ni kufanya maandalizi ya ujumbe mzito utakao toka Pemba kwenda kumshawishi agombee urais.

“Watakuja kumwomba mheshimiwa Lowassa kugombea urais, uamuzi wa kugombea au kutogombea ni wake."

Akieleza kwanini waje kumshawishi Lowassa badala ya mtu mwingine, alisema ni kutokana na utendaji na uadilifu wake.

Pia alisema, “jina la mheshimiwa ni kubwa na siyo Pemba tu hata ukienda Marekani ukiuliza ni jina gani linazungumzwa kuhusu urais utaambiwa ni Lowassa.

“Ukienda mtaani kukusanya data za aina yoyote ile, jina linalotajwa kuwa linafaa kuwania nafasi hiyo ni la Lowassa,” alisema.
Mpekuzi blog

Diamond Platnumz Banned From Mombasa Events!

$
0
0
This just in: according to Grace Kerongo, Diamond Platnumz has been declared persona non-grata at Mombasa events.

The decision was allegedly reached after the Tanzanian sexy flexxy singer reportedly infuriated one of the county staff during some recent showbiz shindig.

Talking about matters ego related, the pair clashed after Tanzania’s superstar Diamond snubbed the county staffer.

Feeling affronted, the county staffer even cancelled a deal they had been working on extending to Diamond.


IGP: Jina la Mchinjaji wa ISIS Jihadi John Halikuwepo Kwenye Database ya Polisi Tanzania Kama Inavyoripotiwa

$
0
0
Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini, Kamanda Ernest Mangu, ameliambia gazeti la The Citizen kuwa jina la Mohammed Emwazi maarufu kama Jihadi John halikuwepo kwenye database ya watuhumiwa wa kigeni waliokamatwa na kuondolewa nchini mwaka 2009. Kanusho hilo limeripotowa pia na BBC News.

Hata hivyo, Kamanda Mangu alisema kuwa hawezi kusema kwa uhakika kama Jihadi John alishikiliwa na maafisa wa usalama nchini kwa sababu watuhumiwa wa aina yake ni mabingwa wa kudanganya na wanaficha identity zao na hufoji pasi za kusafiria. Gazeti hilo lilijaribu kumtafuta Waziri wa Mambo ya Ndani, Mathias Chikawe na Kaimu Mkurugenzi wa Upelelezi wa Makosa ya Jinai, DCP Diwani Athumani, lakini hawakupatikana.

Vyombo vya habari vya kimataifa vimeripoti kuwa Jihadi John alitaka kuingia Tanzania mwaka 2009 kwa kutumia jina la Muhammad ibn Muazzam. Alikuwa anasafiri na Mwingereza mwingine kwa jina Abu Talib na Mjerumani aliyeitwa Omar. Hata hivyo, alizuiliwa kuingia nchini mara tuu baada ya kutua katika uwanja wa ndege wa kimataifa wa Julius Nyerere.

Taarifa zinadai kuwa maafisa wa usalama wa Tanzania walimkamata, wakamhoji, wakamweka ndani na kesho yake wakampakia kwenye ndege na kumrudisha kwao Uingereza kupitia Holland. Gazeti la The Independent la Uingereza linadai kuwa Jihadi John alikamatwa nchini kwa amri ya MI5 ya Uingereza.

Sio Kila Mhaya ana Dharau Jamani, Aliye Sema Milioni Kumi ni ya Mboga ni yeye Wengine Hatuko Hivyo

$
0
0
Naandika hivi nikiwa na masikitiko makubwa sana juu ya ukabila unaoota mizizi hasa katika kipindi cha hvi karibuni ndani ya nchi yetu! Hivi karibuni aliyekuwa Waziri wa nyumba na makazi mama Tibaijuika alikaririwa akisema MILIONI KUMI NI KWA AJILI YA MBOGA!

Kwa kweli hii ni dharau kubwa sana; lakini hoja yangu ni kuhusu maneno yanayoendelea kwenye mitandao mbalimbali ikiwahusisha wahaya wote na huyu MTU! Kimsingi hili jambo linanikera sana maana ni kuendekeza ukabila na ubaguzi kwani mtu mmoja hawezi kuwa KIGEZO cha kuwaamulika watu wote wa jamii husika!

Bila shaka ninyi ni mashahidi juu ya kauli nyingi zilizowahi kutolewa na watu wa aina mbalimbali hasa viongozi lakini hazikuhusishwa na ukabila! Tafadhali epukeni ukabila kwani ulileta madhara makubwa Rwanda & Burundi pamoja na Kenya! Ni hayo tu kwa Leo..

T.I.D Auponda Vibaya Wimbo Mpya Wa Ali kiba CHEKECHA CHEKETUA

$
0
0


Haya ndiyo maoni ya mwanamuziki TID kuhusu wimbo mpya ya Ali Kiba ya chekecha chekatua kuwa hii nyimbo haina ubora wowote na hadhani kama itadumu hata miezi 3 sokoni.
Ameandika Hivi Kwenye Ukurasa wake wa Instagram:
This song is not all That..But u guys are making it a big shi**t, its gonna last 3 months #nose Singing

What is your take on this ?

Hawa Ndio Mastaa Watano wa Bongo Ambao Wametoka Familia za Kishua

$
0
0
Hakuna mtu asiyejua maana ya watoto wa kishua basi kama yupo basi maana halisi ya neno hili ni wale watoto waliozaliwa kwenye familia zinazojiweza au unaweza kuita familia Bora. Mara nyingi wasanii wengi huwa wanatokea maisha duni na kupigana na maisha hadi kufikia walipo sasa. Kipindi Diamond akiacha shule kwa kukosa pesa ya kumsomesha nana elimu yake kuishia A’level , Hawa wengine walikua wapo shule wakisoma na kuishi vizuri. Vibe Tanzania inawaorodhesha baadhi ya watoto wakishua ambao kwasasa ni celebrities…


Vanessa Mdee
Vanessa Hau Mdee au unaweza kumuita Vee au Vee Money alizaliwa mjini Arusha mwaka 1988. Vanessa mdee alikuzwa na baba yake Sammy Mdee (kwasasa ni marehemu )ambaye alikua ni mtu mzito kwenye nchi hii na mama yake sophia. Akiwa na umri mdogo Vanessa aliweza kusafiri nchi mbalimbali duniani. Vanessa Mdee alikulia miji ya New York , Paris , Nairobi na Arusha.


Nisher
Nisher ni mtoto wa Mtumishi wa Mungu Mh Nabii GeorDavie anayeongoza huduma ya Ngurumo ya Upako yenye makao yake jijini Arusha. Nisher amekulia katika maisha mazuri na hadi ni wakishua bado. Baba yake aliweza kumsaidia Nisher kufungua studio yenye thamani kama ya milioni 15 ili mtoto wake aendeleze kipaji alichonacho.




Jokate Mwengelo
Huyu unaweza kumuita mtoto wa Oysterbay kwani ndio alipokulia huku baba yake akifanya kazi serikalini. Kumbuka Jokate alizaliwa washington DC nchini Marekani ambapo wazazi wake walikua wakifanya kazi huko. Alipomaliza high school katika shule ya Loyola ndipo alipogombania Miss Tanzania mwaka 2006 na kushika nafasi ya 2.



Lucci
Jina lake halisi anaitwa Luciano Tsere au unaweza kumuita Lucci ambaye ni producer maarufu nchini. lucci amezaliwa tarehe 30 September mwaka 1985 Lusaka Zambia, akiwa ni mzaliwa wa nne, wa mwisho kuzaliwa na akiwa mtoto wa kiume pekee kwenye familia yao. Lucci naye kama jokate amekulia Obey kwenye familia bora ambapo kwasasa mzee wake ni balozi wa Tanzania.



Wema Sepetu
Wema Sepetu ni msichana anayetoka kwenye Familia ya kibalozi akiwa ni mtoto wa mwisho katika familia ya wasichana wanne wa Balozi Isaack Sepetu Ibrahimu (marehemu).Wema sepetu alizaliwa mnamo mwaka 1988 katika hospitali ya ST. Andrew’s jijini Dar es Salaam na ni mtoto wa mwisho kuzaliwa huku akisoma elimu yake ya primary na sekondari katika shule ya ACADEMIC INTERNATIONAL iliyopo jijini Dar es Salaam kabla ya kwenda Nchini Malaysia kusomea mambo ya biashara za kimataifa katka chuo cha Limkokwing University.

Wema mshaona sana picha zake ndio maana hapa sijaiweka

Uchawi Wamkimbiza Zari Bongo ..Hofu ya Mimba yake Kufanyiwa Uchawi Yatawala..Amtaka Diamond Wakaishi Sauz

$
0
0
ISHU ya uchawi kwa wanawake wajawazito ndilo suala kubwa linaloingia kwenye hisia za baadhi ya watu hasa mimba inapokuwa changa, hofu hiyo sasa imemwingia mwandani wa Mbongo-Fleva anayeuza zaidi kwa sasa, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’,  Zarinah Hassan ‘Zari’ au ‘The Boss Lady’ ambaye anadaiwa kuikimbia Bongo kwa muda ili mimba yake isije kuchoropoka kama ilivyokuwa kwa akina Wema Sepetu na Penniel Mungilwa ‘Penny’.

TUJIUNGE NA CHANZO
Kwa mujibu wa chanzo makini ambacho ni mtu wa karibu wa familia ya Diamond, hivi karibuni Zari aliondoka Bongo mara tu baada ya kurejea kutoka Zanzibar walikokuwa wameenda kula bata katika Msimu wa Valentine.
Chanzo hicho kilidai kwamba, wakati staa huyo mwenye maskani yake Afrika Kusini na Uganda akiwa Bongo maneno mengi yalisemwa na wengine kudiriki kuwapigia simu watu wa familia hiyo wakimtaka Zari aache tabia ya kujionesha na ujauzito wake kwani hawajui Wabongo vizuri.

NYUMBANI KWA MAMA D
Ilidaiwa kwamba mmoja wa watu waliokuwa wakiambiwa ishu hiyo alimfikishia moja kwa moja Zari aliyekuwa akipika na kupakua nyumbani kwa mama Diamond ‘D’, Sanura Kassim ‘Sandra’ maeneo ya Sinza-Mori, Dar.
Habari zilidai kwamba, Zari aliposikia maneno hayo aliamua kuondoka huku Diamond akisapoti uamuzi wa mpenzi wake kwa asilimia mia.

HOFU YATANDA
“Alipomwambia Diamond kwamba anaondoka kwa hofu ya mambo ya ushirikina, jamaa alimuunga mkono na kumsisitiza kutulia kabisa maana majanga kama hayo Bongo huwa ni ya kawaida na yalishawahi kumtokea kwa Wema na Penny ambao walishika ujauzito na ulitoka bila kujua sababu za msingi.

“Kweli Zari amekimbia Bongo, baada ya kuona watu wanamfuatafuata kila kukicha, si unajua Wabongo huwa hawaishiwi maneno? Zari amemtaka Diamond wakaishi Sauz.
“Watu wamekuwa wakisema vibaya juu ya uhusiano wake na Diamond, hasa kipindi alipokuwa Zanzibar, hivyo baada ya kurudi tu aliamua kwenda zake South (Afrika Kusini) ili akajipumzikie wasije wakampagawisha mimba yake ikatoka bure.
“Nafikiri mwenyewe unajua namna Zari alivyokuwa maarufu Bongo tangu awe na Diamond hivyo siku hizi kila anachokifanya utaona wanavyomtolea macho na wengi wao hawaishi kuudisi ujauzito wake.

YASIJE YAKAWA YA WEMA NA PENNY
“Maana wanasema eti hawezi kuzaa na Diamond, kuepuka maneno kaamua kujiondokea zake wasije wakamloga bure akashindwa kweli kuzaa na ndugu yetu kama ilivyoshindikanika kwa Wema na Penny,” kilisema chanzo chetu.

TUJIUNGE NA DIAMOND
Baada ya kujazwa ‘ubuyu’ huo, mwanahabari wetu alimsaka Diamond ili athibitishe kama kweli kilichochangia Zari kuondoka harakaharaka Bongo ni kwa sababu ya kuogopa ushirikina ili mimba yake isichoropoke kama inavyosemwa, jambo ambalo Diamond aliishia kuguna huku mdogomdogo akifafanua.
“Ujue Wabongo wana maneno sana na mara nyingine huwa wanalazimisha uongee hata vitu ambavyo havipo.
“Mimi sina mtoto na natamani sana siku moja niwe naye hivyo ninapokuwa na mtu naye anaonesha hali ya kunisapoti na nia moja ya kunipa mtoto, sina budi pia kumheshimu kwa uamuzi wake.
“Kweli Zari aliondoka siku chache tu baada ya kurudi kutoka Zanzibar, hayupo Bongo, si unajua Bongo mambo mengi inafikia hatua hata kumkatalia anapotaka kuondoka inakuwa ngumu maana Wabongo wanaongea sana na mara nyingine wanamfanya mtu kukosa imani na ndiyo maana inafikia wakati nashindwa kujibizana nao.
“Ninachoamini mimi ni katika Mungu tu, yote wanayosema ipo siku yatapata majibu maana Zari Kiswahili hajui vizuri hivyo tunaepuka sana watu kumtumia umbeya na kumtafsiria vitu vingi ambavyo si sahihi,” alisema Diamond.

Dada 'Ake Afande Sele Afariki Guest House, Mwanaume Aliyekuwa Naye Amnyonga

$
0
0
Dada wa msanii mkongwe wa muziki wa Bongo Fleva, Seleman Msindi ‘Afande Sele’ Zaria
DADA wa msanii mkongwe wa muziki wa Bongo Fleva, Seleman Msindi ‘Afande Sele’ Zaria Kambi (30) ambaye alikuwa ni mhudumu wa baa, amekutwa ameuawa kikatili katika Gesti ya Stavi (Gesti ya Marafiki) iliyopo Kichangani, mjini Morogoro.
Tukio hilo la kinyama lilitokea usiku wa Jumapili iliyopita baada ya marehemu kuwa amekubaliana kulala pamoja na mteja aliyekuwa akimhudumia kinywaji, ambaye pia alikuwa amechukua chumba katika nyumba hiyo hiyo iliyokuwa na baa.

Kwa mujibu wa rafiki wa marehemu, ambaye pia alikuwa ni mhudumu wa gesti hiyo, Rehema Saleh, alisema mtu mmoja asiyefahamika, alifika kazini kwao na kupanga chumba namba 8A na baadaye alienda upande wa baa kunywa pombe akihudumiwa na Zaria.
“Mimi na Zaria (pichani) tunaishi jirani, sasa baada ya kumhudumia na yeye kununuliwa pombe, wakakubaliana walale pamoja, tunaishi jirani hivyo kila siku baa ikifungwa tunaongozana na jana tuliongozana njiani aliniambia amepata kichwa hivyo anakwenda nyumbani kuaga na baadaye arejee kwa bwa’nake huyo ambaye ni mara ya kwanza anaonana naye,” alisema Rehema na kuongeza.“Cha ajabu saa 8 usiku napigiwa simu na mlinzi akidai Zaria amenyongwa na mteja wake, sikuwa na jinsi, kulipokucha nilifika hapa gesti na kukuta mwili wa marehemu ukiwa kitandani,” alisema na kuangua kilio.

Mlinzi wa gesti hiyo, John Emmanuel akizungumzia tukio hilo, alisema majira ya saa 6 usiku Zaria aliingia katika chumba namba 8A na saa moja baadaye, akasikia kelele zikitoka chumbani humo, ambazo alihisi ni za kimapenzi.

“Sijakaa vizuri saa 8 usiku jamaa alitoka na begi lake akitaka nimfungulie aondoke huku mkononi akiwa na tiketi ya basi kuelekea Mbeya, nikamwambia kwanza twende chumbani kwake nikachunguze ndipo nimruhusu atoke, awali aligoma na mimi nikagoma kumfungulia geti, tukaganda kama dakika mbili akakubali kwenda chumbani tulipofika tukamkuta Zaria amekufa huku akiwa mtupu, nikamjulisha bosi Pascal Mafikiri ambaye aliita polisi wakamchukua mtuhumiwa na mwili wa Zaria,” alisema.
Mama mzazi wa marehemu, Mwajuma Hassani Kambi ambaye ni Mjumbe wa Serikali ya Mtaa wa Mwande Kata ya Kichangani kwa tiketi ya Chadema alipokea taarifa za kifo cha mwanaye Jumapili usiku.

Alisema mwanaye ameacha mtoto anayeitwa Rashid lsmail Kaliembe ambaye anasumbuliwa na uvimbe tumboni na kwamba kila mwezi alikuwa akipelekwa Muhimbili kwa matibabu.

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Morogoro, Leonard Paulo alithibitisha kutokea kwa tukio hilo na kwamba mtuhumiwa, Erick Bruno, ambaye ni mkazi wa Manzese Tip Top Dar es Salaam, anashikiliwa. Marehemu huyo alizikwa Jumanne iliyopita mjini Morogoro

Ndoa ya Mwanamuziki Temba Hoi, Madai ya Usaliti Yawatesa..Temba Atishia Kuuwa kwa Anayemtuhumu Kutoka na Mkewe

$
0
0
NDOA ya msanii nyota wa muziki wa kizazi kipya nchini, Amani James ‘Temba’ inadaiwa kupumulia mashine kutokana na madai ya kuwepo kwa usaliti baina yao.

Habari kutoka kwa chanzo kilicho karibu na wanandoa hao wanaoishi wilayani Temeke, kinasema kumekuwa na mgogoro wa muda mrefu baina ya watu hao, kila mmoja akimtuhumu mwenzake kusaliti, jambo linaloonyesha wakati wowote ndoa yao inaweza kusambaratika.

“Jamaa hayuko ‘peace’ kabisa na ndoa yake, yaani kila siku ni mgogoro, wife wake anamshutumu mshkaji kuwa msaliti kwa wanawake wengine na mke naye anatuhumiwa hivyohivyo ili mradi hakuna amani kabisa.

Inaonekana kuna tatizo kubwa,” kilisema chanzo hicho kilichoomba hifadhi ya jina lake.
Gazeti hili halikuweza kuwapata wanandoa hao kutokana na simu zao kutopatikana, lakini wakati linakwenda mitamboni, lilipata taarifa za kufikishwa mahakamani kwa Mheshimiwa Temba, ambaye anashtakiwa kwa kosa la kutishia kuua, kitendo alichokifanya kwa Godfrey Deogratius anayemtuhumu kuwa na uhusiano wa kimapenzi na mkewe.

Huddah Monroe Blasts A Newspaper For Calling Her A 'Man-Eater'

$
0
0
Huddah Monroe is one very disappointed socialite after an entertainment and gossip newspaper referred to her as a man eater in an article published a few days ago.

This comes after Huddah and comedian Eric Omondi publicly exchanged saliva, something that left tongues wagging over whether the two were a pair.

The story went viral and got even international media talking about it, with a Ugandan blog claiming she had dumped King Lawrence who had flown her to South Africa for pleasure.

However, Huddah is a disappointed lady after Pulse referred to her as a man-eater.

In an article which Pulse did, they called Huddah a man-eater and went ahead to describe how she flosses with different men.

Huddah has blasted the paper for the newest name it has given her and called it 'fuckery'.

She has gone ahead to explain the kiss and said that it was just a peck. A peck indeed. Seems pecks have changed meaning these days.

Huddah is currently in Malaysia, eating men, probably.

Hers is what Huddah posted:

huddahthebosschick:I am a well known Man- Eater??? LMFAOOOOOOO!!!!! What fuckery is this on a national newspaper???? That was a damn PECK! ............ Anyways , tonight we on @HQ_Club here in Malaysia , come let me eat you

Ili Ndio Gari la Mkaa lililotumwa na El Merreikh Kuwapokea Azam fc Uko Sudani

$
0
0
Hili ndilo basi ambalo El Merreikh wamewapatia Azam FC baada ya kuwasili Khartoum.

WAWAKILISHI wa Tanzania katika michuano ya Ligi ya Mabingwa Afrika, Azam FC wamepata mapokezi ya ‘kigaidi’ mjini Khartoum, Sudan baada ya kuwasili usiku wa kuamkia leo kwa ajili ya mchezo na wenyeji, El Merreikh.

Mpenzi Wangu Ananitaka Kinyume na Maumbile Nikiwa Katika Siku zangu

$
0
0
Dunia hii imejaa vituko jamani, kila ukisema kuwa umeona jambo la kituko unachodhania ni kikali zaidi, basi siku ijayo kinaibuka kingine kikubwa zaidi. Hebu soma mkasa wa dada Grace hapa chini halafu tusaidiane kumshauri

Dear Admin,
Nawapongeza kwa kazi nzuri mnayofanya ya kuendesha website hii, na umahiri wenu ndio umenisukuma leo hii nijitokeze hapa nikiomba ushauri kwa wasomaji wenu mahiri na wenye kustaarabika, maana huwa hakuandikwi mambo ya ajabu ajabu hapo.
Mimi ni binti mwenye umri wa miaka 24, nina mpenzi wangu ambaye hivi sasa tuna miezi takriban minne toka tuanze mahusiano yetu. Ni kijana mtanashati na mwenye kujimudu kwa upande wa kipato na kwakweli amekuwa msaada mkubwa sana kwangu na kwa familia yangu pale ambapo nimekuwa nikimshirikisha, ingawa sio sana kwasababu nami namiliki biashara zangu na zinanitosheleza kimahitaji ya lazima kwa ujumla.
Tatizo langu sasa kwa huyu mpenzi ni kuwa, yeye anapenda sana kushiriki tendo la ndoa. Yaani karibu kila siku yeye anataka tufanye hicho kitu na ikitokea siku hiyo anataka na niko kwenye mzunguko wa zile siku za wanawake, basi hunilazimisha tufanye hata kwa kutumia mpira. Tabia hii kwakweli imekuwa ikinikera sana, maana ni kama vile anataka kunitumia tu kama chombo chake cha starehe na wala sio kama mwenza wake na ninayehitaji pia kujaliwa.
Kilichonisukuma kuibuka kuomba ushauri leo hii ni kwamba, wiki jana nilikuwa kwenye siku zangu, na kama ilivyokuwa ada ya jamaa, akanijia siku hiyo akitaka tufanye mapenzi, mie nikamkatalia katakata maana nishaona namuendekeza sana, unajua alinijibu nini, eti “kama unaona unaumia kufanya hivyo ukiwa kwenye siku zako, basi uwe unanipa penzi kinyume cha maumbile” kha!!

Yaani niliishiwa nguvu, nikajiondokea zangu kwake na kwenda kwa rafiki yangu ambako niko hadi leo. Sasa najiuliza, huyu mwenzangu ana akili timamu kweli? Je, ananipenda au anataka kunitumia tu? Au ana ugonjwa fulani labda wataalamu wa tiba waniambie.
Natanguliza shukrani, naamini nitashauriwa juu ya hili.

EXLUSIVE:Mbwana Samatta.. 'Sina Furaha TP Mazembe, Sitaongeza Mkataba’

$
0
0
Mshambulizi wa kimataifa wa Tanzania, Mbwana Samatta ameweka wazi kuwa ataachana na mabingwa mara nne wa kihistoria wa Afrika, TP Mazembe mara baada ya kumalizika kwa mkataba wake. Akizungumza na mwandishi wa mtandao wa www.shaffihdauda.co.tz muda mfupi uliopita mshambulizi huyo wa Taifa Stars amesema kuwa hana furaha katika timu hiyo ya Congo.

  Samatta ambaye alipata nafasi ya kufanya majaribio katika klabu ya CSKA Moscow ya Urusi mwezi uliopita amepewa ofa nyingi barani ulaya na kama ataendelea kuchezea TP basi atakuwa ni mchezaji anayelipwa pesa nyingi zaidi barani Afrika. Hivi karibuni kuna vyombo vya habari ambavyo viliripoti kuwa mchezaji huyo ana furaha kuendelea kuichezea TP lakini amesema huo ni uzushi mkubwa.

 ” Sina furaha hapa ( TP Mazembe) nitaondoka wakati wa majira ya usajili katikati ya mwaka na sitaongeza mkataba” anasema Samatta. Ni wapi anakwenda, nini kinachomuondoa TP Mazembe, tafadhaLi endelea kufuatilia mtandao huu wa www.shaffihdauda.co.tz... Utapata kujua wapi mchezaji huyo anakwenda. Je, tayari ameruhusiwa na Katumbi Moies mmliki wa TP?…..

PHOTOs of the Lady who was Sacked by Membe of Parliament (Mbunge) for denying him S£X - He Wanted to "Eat" Her

$
0
0
Randy Juja MP, Francis Waititu, recently sacked a lady working in his office after she refused to have s3x with him.

The married lady told the s3x hungry MP that it's better for her to lose the job than destroy her marriage.

And for those who have been wondering who the brave lady who denied the randy MP s3xual favoursis, below are her photos.

Her name is Susan Wambui

Msiba Wa Komba: Wema Atoboa Kuwa Yeye ni Mwana CCM

$
0
0
Watu mbali mbali wakiwemo  waigizaji wa filamu hapa nchni wanaendelea kuonyesha  jinsi  walivyoguswa na kifo cha Mh. Captain John Komba kupita kurasa zao za mitandaoni usasani mtandao wa Instagram, wamekuwa kuweka picha  yake na kuandika maneno ya kumtakia kheri huko aendako.

Mwigizaji  Wema Sepetu nae ni mojawapo alieguswa na msiba huu na kuandika mameno kuonyesha majonzi alionayo  na kutoa kuwa  yeye ni mwanachama wa chama cha mapinduzi  (CCM)kama alivyokuwa marehemu.

“Dah ni pigo kubwa sana.... RIP Mwana CCM mwenzangu..... RIP Baba angu... RIP Captain.... Mbele yako nyuma yetu... Taifa this tym linahuzunika kwako aisee... Kwaheri Baba...”-Wema aliandika.

Baadhi ya waigizaji nao waliandika kwenye kurasa zao mtandaoni kama ifuatayo;

“Pumzika kwa amani kaka yangudaima tutakukumbuka”-JB

“R. I. P. Mh komba kifo nimlango wote tutapita ktk mlango huo na hakuna wakukwepa mlango pole kwa familia tulimpenda ila mungu kampenda zaidi mbele yake nyuma yetu amin mungu tunakuomba umpokee ndugu yetu umueke panapo stahili amin  tutakukumbuka  tumezoeakusikianyimbo za maombolezo toka kwako dah nakosa jibu swali ninalojiuliza je ninani atakae imba kwa kukuenzi na kukusindikiza ktk safari yako hakika nipengo pole kwa familia
pole kwa kila alieguswa na msiba huu tuwe pole wa tanzania wote”-Riyama

“MAY God rest his soul in peace”-Shamsa

“Rest in Peace Captain John Komba…..”-Lulu

Shamsa: Sipendi Wanaolalamika Kutendwa!

$
0
0
Mrembo na mwigizaji wa filamu mwenye mvuto wa aina yake, Shamsa Ford leo mtandaoni ametoa mtazamo wake kuhusu swala la watu kulalamika muda wote kuwa  wametendwa kwenye maswala la mahusiano ya kimapenzi.

“Huwa sipendi watu wanaolalamika kutwa kwamba wametendwa bila kuangalia nyuma yeye kawaumiza wangapi ambao waliamua tu kumnyamazia na kumpuuza”.

Wengi walionyesha kumuunga mkono kwa kubonyeza kitufe cha kupenda na wengine kushusha komenti zao, Je wewe kwa upande wako swala hili unaichukuliaje?.
Viewing all 104709 articles
Browse latest View live




Latest Images