Quantcast
Channel: UDAKU SPECIAL
Viewing all 104785 articles
Browse latest View live

Baada ya Kusambaa kwa Stori ya Kutoka na Aliekuwa Bwana wa Wolper , Wastara Amesema Haya

$
0
0
Kupitia ukurasa wake wa ‘fesibuku’ Wastara amendika;

“Kalamu ya muandishi imegeuka kuwa fimbo ya wanyonge tofauti na miaka ya nyuma,wanaandishi wanakula mishahara mara mbili wa kituoa anachofanyia kazi na wamtu anaempa habari,hivyo kuandika anachoambiwa sio anachokiona

Pesa inatumika kupotosha ukweli na ukweli ndio uongo waleo,nimeamini maneno yangekuwa sumu ningeshakufa zamani sana lakini kwakua mdomo nyumba ya maneno bado niko hai

Tupendane tushikamane na tuishi kwa usawa usipende kuonea unachoambiwa ongea unachokijua,sio pesa ikufanye kuharibu image nzima ya mtu kwanza kwa pesa gani?

Allah ndio amenitengeneza na ndio atakaenichukua akiamu na ndio mwenye uwezo wa kunishusha na kunipandisha lakini sio wewe tuliokutana duniani”.- wastara alimaliza.

Hivi juzi kati Watara alidaiwa kutoka na alikuwa bwana wa Jaqline Wolper anaefahamika kwa jina la  Mark Edi ambae ni mfanya biashara wa mavazi.

Mgogoro Ndani ya Chama Kipya Cha ACT-Tanzania Wanukia Tena.....Mwenyekiti Aliyetimuliwa Amtupia Lawama Zitto Kabwe

$
0
0
SAKATA la uongozi ndani ya Chama cha Mabadiliko na Uwazi (ACT-Tanzania), limeendelea kuchukua sura mpya baada ya uongozi uliodaiwa kuvuliwa madaraka, kudai Bw. Zitto Kabwe ndiye aliyesababisha mgogoro katika chama chao.
Akizungumza na waandishi wa habari Dar es Salaam jana, aliyekuwa Mwenyekiti wa Chama hicho Kadawi Limbu alisema chanzo cha mgogoro unaoendelea katika chama hicho ni Bw. Kabwe ambaye awali hakuwa mwanachama halali; lakini alipanga mikakati yote nje ya chama.
Alisema mikakati mingi ya chama hicho ilipangwa nyumbani kwa Bw. Kabwe na watu watatu akiwemo Profesa Kitila Mkumbo na Katibu Mkuu wa chama hicho, Bw. Samson Mwigamba bila yeye kama kiongozi (Limbu) kujulishwa.
"Nipo tayari kufa hadi haki ipatikane, mimi ndiye kiongozi wa ACT-Tanzania, mara ya mwisho kuwasiliana na Bw. Kabwe ni Desemba 10, 2014, barua kutoka kwa Msajili Siasa ya Februari 27, 2015 kwenda kwa Katibu Mkuu wa chama, alisema yeye ametoa ushauri si maelekezo.
"Ushauri wake tunaweza kuufanyia kazi kwenye vikao, lakini imechukuliwa tofauti na kuonekana Msajili amebariki kufanya walichofanya...haiwezekani uchaguzi wa mikoani ufanyike na watu watatu, mimi ni mti mkavu ndani ya ACT, lakini Kabwe na Selemani Msindi (Afande Sele) ni miti mibichi," alisema.
Bw. Limbu aliongeza kuwa, kadi yake ni namba moja ndani ya ACT, hivyo ndiye mwanzilishi wa chama hicho ambapo Bw. Kabwe ameingia siku chache zilizopita na Katiba ya chama hairuhusu mwanachama kugombea uongozi hadi afikishe miezi sita ndio apate uongozi.
Alisema kwa sasa wamefungua kesi namba 17 ya mwaka 2015; hivyo kama ACT-Tanzania wataendelea na taratibu za
kuchagua viongozi ndani ya chama wataishia njiani hadi kesi ya msingi itakaposikilizwa na kutolewa uamuzi.
"Kabwe hawezi kuhamia kwenye chama ambacho hakina Mwenyekiti na Makamu...yupo Katibu peke yake, tunamwonya aingie kwenye chama; lakini hatutaki migogoro," alisema.
Aliongeza kuwa, hivi sasa wako mbioni kuhamisha ofisi za chama hicho kwani zipo nyumbani kwa mtu ili waendelee na kazi ndio maana mgogoro ulivyotokea waliamua kutokwenda ofisini ili kuepusha madhara ambayo yangeweza kutokea.
"Licha ya Kabwe kudai ni mzalendo, lazima ajipime kwanza na wenzake kwani anachokifanya si sahihi, sifa ya mzalendo
ni mtu kuogopa kitu cha watu wengine, haiwezekani mtu afanye maamuzi nje ya chama," alisema Bw. Limbu.
Akijibu tuhuma hizo,  Bw. Mwigamba alisema Msajili wa Vyama vya Siasa alitoa ushauri kwao ili kumaliza mgogoro uliopo kwa njia ya amani si vinginevyo.
Akizungumzia kesi iliyopo mahakamani, alisema si kwamba Bw. Limbu na wenzake wamemshtaki Katibu Mkuu, bali walioshtakiwa ni wengine ndani ya chama.
"Tunamtambua Limbu kama mwanachama wetu halali lakini si kiongozi wala Mwenyekiti wa chama, tunamkaribisha aweze  kugombea nafasi mbalimbali za uongozi.
"Kuhusu Kabwe, sisi hatuwakatai wanachama bali tunamshukuru kwa kuja na kutuongezea wanachama wapya 12 waliojiunga kwa siku moja," alisema.
Bw. Mwigamba alisema Bw. Limbu na wenzake walikuwa hawataki uchaguzi ufanyike ndani ya chama jambo ambalo
haliwezekani kwani chama kinaweza kikafutwa na hayo anayosema ni yake; lakini kila kitu kipo wazi.

Shilole Alewa Chakari Ashuswa Kwenye Boti

$
0
0
Shilole
Staa wa Bongo Movies na Bongo Fleva, Zuwena Mohamed ‘Shilole’, juzikati alijikuta akilewa chakali kiasi cha kushindwa kupanda boti iliyokuwa imeandaliwa maalum kwa ajili ya kwenda kusherehekea tukio la kukatwa keki katika kumbukumbu ya siku ya kuzaliwa ya msanii mwenzake, Estelina Sanga ‘Linah’, iliyofanyika Slipway, Masaki jijini Dar.

Shilole alikuwa amealikwa kwenye sherehe hiyo iliyoanza kurindima jioni ya saa 10 ndani ya Ukumbi wa Paparazi, ambapo waalikwa walianza kupata mapochopocho zikiwemo pombe na baadaye kutakiwa kupanda boti ili kwenda kumalizia sherehe katikati ya maji kwa kukata keki.

Kutokana na kubugia kiburudisho kupita kiasi, Shilole alishindwa kupanda boti iliyokuwa imeegeshwa pembeni mwa bahari na hivyo kumpa kazi ya ziada mchumba wake Nuh Mziwanda aliyelazimika kumrudisha garini ili warejee nyumbani.

“Kusema kweli mimi hata sielewi nilishindwaje kupanda boti, network ilikata, nilishangaa tu kujikuta nipo kwenye bethidei ya Menina Mikocheni, nafikiri kilichotokea muulize baby wangu Nuh Mziwanda,” alisema Shilole baada ya kuulizwa kuhusu ‘kuzimika’ kwake.

Nuh Mziwanda alikiri kuwa mpenzi wake alipoteza fahamu, kiasi cha kumlazimisha yeye kumbeba na kumrudisha tena klabu ya Paparazi ambako alipatiwa maji baridi kwa wingi huku akipigwa na kiyoyozi cha nguvu kabla ya kwenda kwenye shughuli ya Menina.

GPL

Mwanamuziki TID Azidi Kukumbwa na Pepo la Kupiga watu Ovyo, Sasa Amgeukia Meneja Wake na Kumpa Kichapo

$
0
0
TID
Wiki iliyopita taarifa za Mwanamuziki TID kumpiga mtu migumi kwa kosa la mtu huyo kupaki gari sehemu ambayo yeye huwa anapaki gari kusambaa mitandaoni leo limekuja jipya la Mwanamuziki huyo kumpiga Meneja wake Anaitwa Tall Myama...

Hajajulikana nini Sababu ya kichapo hicho ila walio shuhudia wanasema TID alimkuta Meneja wake huyo akistarehe pale Element Club na kuanza kumchapa Vibao....Baada ya tukio meneja huyo alikimbulia polisi na kumshitaki ....

Je una maoni gani kuhusu TID ?

NIMR Yatengeneza Dawa ya Asili ya Ukimwi..Kuingizwa Sokoni Hivi Karibuni

$
0
0
TAASISI ya Taifa ya Utafiti wa Magonjwa ya Binadamu (NIMR), imetengeneza dawa za asili zilizoboreshwa kwa ajili ya tiba kwa magonjwa mbalimbali, ikiwemo Ukimwi baada ya kuzifanyia utafiti kubaini uwezo na usalama wake.

Mkurugenzi Mkuu wa Taasisi hiyo, Dk Mwele Malecela amesema iko katika hatua za mwisho za kukamilisha usajili wa dawa asilia 11 ziingizwe sokoni.

Magonjwa mengine ambayo dawa hizo zilizoboreshwa zitatumika kwa ajili ya tiba ni kisukari na kupunguza mafuta (lehemu) mwilini, uvimbe wa tezi dume kwa wanaume na dawa inayoongeza nguvu za kijinsia kwa wanaume.

Dk Mwele alisema hayo jijini Dar es Salaam jana, wakati akizungumza na waandishi wa habari kuhusu miaka 35 ya utafiti na maendeleo ya afya na kusema tafiti katika tiba asilia zilifanyika kubaini uwezo na usalama wa dawa hizo zinazotumiwa na jamii mbalimbali hapa nchini.

“Aidha taasisi imefanya utafiti kwa kuzingatia uwezo na usalama kwa watumiaji na kufanikiwa kutengeneza dawa asili zilizoboreshwa kwa ajili ya tiba kwa magonjwa ya malaria, Ukimwi na magonjwa nyemelezi, ugonjwa wa ini, shinikizo la damu…,” alisema.

Alisisitiza, “taasisi iko katika hatua za mwisho za kukamilisha usajili wa dawa asilia 11 ili ziweze kuingizwa sokoni.”

Akizungumzia tatizo la kupungua kwa nguvu za kiume, alisema linaonekana ni kubwa na hata katika maonesho wanayofanya, dawa inayoimarisha nguvu hizo hununuliwa zaidi.

Aidha alisema iko haja kwa wadau na serikali kuwekeza nguvu zaidi katika taasisi hiyo kufanya tafiti zitakazosaidia kugundua chanzo na tiba ya tatizo la uvimbe kwa matumbo ya uzazi ya wanawake wengi wenye asili ya kiafrika.

Kuhusu ugonjwa wa malaria, Dk Mwele alisema matokeo ya tafiti yanaonesha kupungua maeneo ya Kaskazini, Kaskazini-Mashariki, Kanda ya Kati na Kanda ya Ziwa Victoria kutokana na kuongezeka kwa matumizi ya vyandarua na uelewa wa wananchi juu ya utunzaji wa mazingira.

Alisema utafiti wa chanjo ya malaria uliofanywa katika wilaya za Bagamoyo na Korogwe umeonesha uwezo mkubwa wa kinga kwa watoto.

Alisema taasisi inaendelea kushirikiana na Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii, Kupitia Mpango wa Taifa wa Kudhibiti Malaria kufuatilia na kutathmini usugu wa mbu dhidi ya viuatilifu vinavyotumika katika vyandarua na katika kunyunyizia ukoko kwenye nyumba.

Alisema taasisi imeendelea kuishauri Serikali katika kuainisha mbinu sahihi za kupambana na usugu huo ambapo pia matokeo ya tathmini za ubora wa dawa za tiba ya malaria yameonesha kuwa dawa mseto ya ALU bado inao uwezo mkubwa wa kutibu ugonjwa wa malaria.

Bunge Lapitisha Rasmi Adhabu Kwa Wanaojihusisha na Madawa ya Kulevya..Adhabu ya Kifo Yaondolewa

$
0
0
BUNGE limepitisha rasmi Muswada wa Sheria ya Udhibiti wa Dawa za Kulevya wa mwaka 2014, huku adhabu ya kifo kwa watakaokutwa na dawa hizo, ikishindikana kuingizwa kwenye muswada huo, isipokuwa mapapa na vigogo wa biashara hiyo, wameongezewa adhabu ya faini ya Sh bilioni moja na kifungo cha maisha.

Hata hivyo, baadhi ya wabunge bado wameendelea kung’ang’ania kuwa sheria hiyo ijumuishe adhabu hiyo kali ya kifo kwa wafanyabiashara, mapapa au vigogo wanofadhili biashara hiyo, kwa kuwa madhara ya dawa hizo ni makubwa na yanaathiri zaidi vijana ambao ni nguvukazi ya nchi.

Akitoa majumuisho ya michango ya wabunge kuhusu hoja ya muswada huo, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Sera, Uratibu na Bunge, Jenista Mhagama, alisema adhabu ya kifo haiwezekani kuingizwa kwenye sheria hiyo, kwa kuwa adhabu hiyo nchini iko kwenye makosa mawili pekee.

“Ni kweli Tanzania ni miongoni mwa nchi ambazo bado zinatoa adhabu ya kifo, lakini kwa mujibu wa sera iliyopo, adhabu ya kifo imeingizwa na kubainishwa kwenye makosa ya uhaini na mauaji pekee,” alisema Mhagama.

Ugumba Wamtesa Wema Sepetu, Mamiss Wenzake Wote Wana Watoto

$
0
0
Wema Sepetu na Aunty Ezekiel
Na Imelda Mtema

POLE sana! Tatizo la kutoshika mimba (infertility) au kushindwa kupata mimba (conceive) limekuwa likimtesa staa wa Bongo Movies, Beautiful Onyinye, Wema Isaac Sepetu na limehusishwa na ugumba.

Akizungumza na Amani juu ya ishu hiyo hivi karibuni jijini Dar es Salaam, Wema alisema suala la kutopata mtoto limekuwa likimkosesha amani katika maisha yake ya ukubwani.

ASHINDA AKILIA
Alisema kwamba, amekuwa akishinda akilia kila anapokutana na shosti wake wa sasa, Aunt Ezekiel ambaye ni mjamzito.Wema alitiririka kwamba, kila wakati amekuwa akimwambia Aunt kuwa na yeye anatamani kupata mimba lakini Mungu hajamjalia. Kwa kusema hivyo, huwa wanajikuta wakikumbatiana na kuangua vilio wote kwa pamoja.

TATIZO UMRI UMEENDA
Kwa mujibu wa mtu wa karibu wa mkali huyo wa sinema za Kibongo ambaye pia ni Miss Tanzania 2006, mwanadada huyo anaona umri umeenda sana kwani tayari ana miaka 26 sasa.

“Unajua Wema alishajaribu kupata mtoto mara kadhaa ikashindikana na umri nao unakwenda hivyo lazima akose amani. Hebu fikiria aliwahi kuwa na Kanumba (marehemu Steven), Jumbe (Yusuf), Chaz Baba (Charles Mbwana) na Diamond (Nasibu Abdul) lakini kote huko alitoka kapa.

YAMKUTA YA JIDE
“Mbaya zaidi ni maneno yanayosemwa na watu yanamuumiza sana, wanasema ni mgumba kama ilivyokuwa kwa Jide (mwanamuziki Judith Wambura ‘Jaydee’).“Kwa kweli hali hiyo inamtesa sana ila watu hawajui bora wakafunga vinywa vyao na kuacha kuandika kwenye mitandao ya kijamii,” alifunguka mtu huyo wa karibu.

AKIWAONA MA-MISS TZ WENZAKE WANA WATOTO KILIO
Chanzo hicho kiliendelea kufunguka kwamba, Wema amekuwa akilia kila anapowaona ma-Miss Tanzania wenzake wakiwa na watoto wao.

Ilisemekana kwamba warembo ambao wanamliza ni Wema Nancy Sumary (Miss Tanzania 2005), Faraja Kota (2004), Hoyce Temu (1999), Jacqueline Ntuyabaliwe ‘K-lynn’ (2000) na Miriam Gerald (2009).
Ilisemekana kwamba wengine aliokuwa nao kwenye shindano hilo mwaka 2006 ambao wana watoto ni Lisa Jensen, Aunt Ezekiel na wengine ambao kwa pamoja wamekuwa wakimfanya naye atamani kupata mtoto.

DAKTARI AELEZA TATIZO KWA KINA
Akielezea tatizo hilo kwa kina, Dk. Fadhili Emily wa Kitengo cha Tiba ya Sayansi cha The Fadhaget Sanitarium Clinic kilichopo Mbezi-Africana jijini Dar alisema:“Kwa mujibu wa tafiti mbalimbali, wanandoa asilimia 50 wanapata mimba ikiwa watajamiiana bila kutumia kinga, wakifanya tendo hilo ndani ya miezi mitatu, asilimia 75 baada ya miezi sita na asilimia 95 baada ya mwaka mmoja lazima kuwe na matokeo kama hakuna kuna tatizo.

NINI SABABU?
“Sababu za tatizo la kutopata mimba ni nyingi sana na baadhi yake ni hizi zifuatazo:
“Matatizo ya mbegu za kiume (sperm disorders).

“Asilimia 35 ya wanaume wana tatizo hili na lingine ni kutopevuka kwa mayai kwa wanawake kitaalam huitwa ovalatory dysfunction.

“Matatizo mengine ni yale yasiyo ya kawaida ya ute wa shingo ya uzazi ambapo ni asilimia 5 tu.
“Wengine huwa na matatizo ya homoni na wapo wanawake ambao hawapati mimba na sababu zao hazijulikani, hawa ni asilimia 10.”

MSONGO NA WASIWASI
“Wengine ni kutokana na kuwa na msongo na wasiwasi. Tatizo lingine la mwanamke kutoshika mimba husababishwa na hitilafu katika mirija ya uzazi (tubal dysfunction), hawa huwa asilimia 30. Wanawake wenye tatizo hili wanashauriwa kuhudhuria kliniki za akina mama ili waonane na madaktari.

“Lakini pia wanashauriwa kufuatilia siku zao za mzunguko wa hedhi na tendo la ndoa mara kwa mara hasa baada ya siku 10 kutoka siku anapomaliza hedhi na aanzie siku ya kwanza ya kupata hedhi.

“Pia wanawake wanashauriwa wawe wanapima joto la mwili asubuhi na jioni kipindi cha kushika mimba na kama litaongezeka kwa nyuzi joto 0.5 wanashauriwa kipindi hicho kufanya tendo la ndoa.”

KWA ULAYA NA MAREKANI
“Kwa nchi za Ulaya na Marekani wana kipimo cha kuonesha siku ambayo yai litapevuka, hivyo mtu kuwa na uhakika na siku ya kupata mimba akiamua. Kipimo hicho kinaitwa luteinizing hormone prediction test kits.
“Pia wanawake wanaotaka kupata mimba wanashauriwa kuepuka ulevi na uvutaji wa sigara kupindukia. Lakini hata wale wenye mimba wanashauriwa kuepuka vitu hivyo.”

UGUMBA NA UTASA
Dokta huyo aliendelea mbele na kusema ugumba ni tatizo linaloweza kuondoka kwa mtu siku moja. Na mgumba ni mwanamke au mwanaume na ni yule mtu ambaye umri wake wa kuzaa umefikia lakini hawezi kutunga mimba (kwa mwanaume) au kutungwa mimba (kwa mwanamke).Alisema tasa ni viumbe wote, hata wanyama wanaweza kuwa tasa lakini wanyama hawawezi kuwa wagumba.

Written By Globalpublishers

Lowassa 'Mimi ni Vigumu Kuzuia Mafuriko kwa Mikono, Hawa Watu Sijawaita Mimi Wanakuja Wenyewe Kwa Kufuata Kauli ya Rais Kikwete'

$
0
0
SIKU moja baada ya Chama cha Mapinduzi (CCM), kumuonya aliyekuwa Waziri Mkuu Edward Lowassa, kwa tuhuma za kukiuka Katiba na kuanza kampeni za Urais kabla ya muda, kiongozi huyo ameibuka na kudai kuwa hana njia ya kuwazuia watu wasimuombe agombee Urais.

Pia Lowassa ametumia nafasi hiyo na kuwaomba wale wote ambao bado wana nia ya kumshawishi agombee nafasi hiyo ya urais, wasubiri kwanza hadi pale chama chake hicho kitakapotoa maelekezo.

Akizungumza na vijana 60 wa bodaboda kutoka wilaya ya Mbarali, Mbeya waliokwenda pia kumshawishi agombee nafasi hiyo, mjini Dodoma jana, alisema si vyema kwa maofisa wa chama kuzungumzia masuala ya wanachama wao kwenye vyombo vya habari wakati kuna vikao vya chama.

Alisema watu waliojitokeza na kumshawishi kuchukua fomu za kuwania nafasi hiyo ya Urais, hajawaita wala kuwalipa chochote kama inavyodaiwa na kwamba walikuwa wakifuata maneno ya Rais Jakaya Kikwete aliyoyatoa mkoani Ruvuma katika sherehe za maadhimisho ya miaka 38 ya Uhuru.

Alisema katika siku hiyo, Rais Kikwete aliwataka watanzania wawashawishi viongozi wanaoona wanafaa ili wajitokeze kugombea nafasi hiyo ya Urais.

“Mimi ni vigumu kuzuia mafuriko kwa mikono. Nazuia mafuriko kwa mikono, yanakuja mimi nayazuia kwa mikono, nitaweza kweli? Hawa watu sina hoja nao, sina cha kuwaambia,” alisema Lowasa.

Alisema tangu makundi hayo yaanze kujitokeza kumshawishi kuchukua fomu mambo mengi ya ajabu yamesemwa jambo ambalo linamsikitisha na kumshangaza kwa kuwa endapo kuna mtu wa chama mwenye hoja, ni vyema kuwasilisha kwenye vikao vya chama badala ya kuzungumza hadharani na kwenye vyombo vya habari.



Sababu sita za kwanini wabongo tunapenda Instagram!

$
0
0
Miaka ya hivi karibuni mtandao wa Instagram umeendelea kuwa maarufu zaidi katika ulimwengu wa mitandao ya kijamii. Kwa sasa mtandao huo una watumiaji ‘active’ zaidi ya milioni 300 ambapo zaidi ya milioni 75 huitumia kila siku.

Tayari Instagram imeuzidi mtandao wa Twitter kwa ukuaji wake na miaka sio mingi unaweza kuwa hata zaidi ya Facebook. Good news ni kwamba Instagram ipo chini ya Facebook!

Kwa Afrika Mashariki, Tanzania inaweza ikawa ndio nchi yenye watumiaji wengi zaidi wa Instagram kuliko zingine. Mastaa wa Tanzania pia ndio wanaoongoza kwa kuwa na followers wengi kwenye mtandao huo kuliko wenzao wa Kenya na Uganda.

Kuna sababu nyingi za kwanini Wabongo wametokea kuipenda Instagram na hizi ndio sababu za kufurahisha zinazowafanya waipende zaidi:

1. Kushuhudia vita na matusi ya kati ya Team Nanihii Vs Team Nanihiino

Kwa Tanzania, Instagram kwa sasa ndio mtandao ambao mastaa wanachuma matusi ya kila aina. Na kwakuwa waswahili wanasema akutukanae hakuchagulii tusi, maceleb wetu wanakiona cha mtema kuni. Huko kuna kila aina ya watu ambao wametofautiana malezi na jinsi walivyokuzwa, si ajabu kuona comments nyingi zenye matusi mazito na ya aibu hata kuyasoma kimya kimya.

Matusi mengi yanatokana na upinzani kati ya makundi mbalimbali ya mastaa yenye ushawishi mkubwa nchini. Makundi maarufu yaliyopo kwenye vita vya kila siku ni kati ya Team Wema vs Team Zari na Team Diamond vs Team Alikiba. Ongea kitu kibaya kumhusu Diamond na utaliona joto lake, Team Diamond watakukaba koo. Utatukanwa hadi utamani kuifuta akaunti yako.

Mwandike vibaya Wema Sepetu, Team Wema watakuweka kikaangoni na kukukaanga kwa petrol hadi ujute kuzaliwa.

Muulize TID jinsi Team Alikiba walivyomweka msalabani pale aliposema kuwa ‘Chekecha’ ni wimbo wa kawaida. Usimess kabisa na hizi timu zitakufanya uione dunia chungu.

Kwahiyo wengine tunaipenda Instagram kwa sababu hii tu. Kusoma jinsi mashabiki hawa wanavyoraruana wao kwao wao kwenye post za mastaa wao – kama vile ni ajira waliyopewa.

Haijalishi staa ameweka kitu kibaya ama kizuri, kinachotokea ni kuwa team pinzani huponda tu. Staa mara nyingi hukaa kimya na kuwaacha mashabiki wake wamjibie – hapo ndipo utamu wa Instagram unapokuja. Watabishana, watachambana, watatukanana, wataitana kwa makundi na kutetea upande wao na kumwacha staa akiwa ameweka mguu juu na juice embe pembeni yake, akiangalia TV na huku akicheka tu kusoma ligi hiyo inavyooendelea.

Kwa wengine ligi hiyo ambayo unaweza kuhisi watu hawa wanalipwa, imekuwa ni burudani tu ya kuwepo Instagram. Tunasoma comments, tunalike, tunacheka, siku imepita!

2. Selfies na Fahari ya Macho!

Baadhi ya dada zetu wako mstari wa mbele kupost picha za kuvutia japo zina utata kama nini! Picha za mapaja wazi, picha zinazoonesha figure zao na jinsi ‘walivyo na bright future’ nyuma yao au picha za nazi zao za vifuani. Wasichana wenye desturi ya kupost picha za aina hiyo wana wafuasi wengi.

3. Kuona jinsi Kiingereza kilivyo lugha ngumu kwa wabongo

Kiingereza ni lugha ngumu sana kwa wengi wetu. Wengine tumelikubali hilo na kuamua kutojidhalilisha hadharani kwa kuandika Kiingereza mbofu mbofu. Lakini wengine huamua kuwa wabishi tu na kukiandika kwa uwezo walionao. Hapo ndipo utakutana na sentensi kama ‘You are entering me in the bush’, ‘I am on stage yesterday’, ‘Zanzibar Highland’ na zingine nyingi. Raha sana!

4. Watajuaje kuwa umenunua nguo mpya?

Instagram ni sehemu nzuri ya kushow off kiroho safi. Ni sehemu muhimu ya kutafuta heshima mjini. Hata Mwana FA alisema ‘usiponiheshimu mimi utaheshimu hela zangu’ – ndipo kilichopo Instagram. Ukinunua nguo, cheni, kiatu au gari mpya Instagram ndio sehemu nzuri ya kuumiza roho watu – kama vile Diamond alivyoumiza watu na ‘state house’ yake. Ndio maana wengi tunaipenda. Angalizo: Wakati mwingine maisha ya Instagram si maisha halisi nyuma ya pazia!

5. Kusoma misuto

Le Mutuz, Alberto Msando, Bikira wa Kisukuma na Mr Problem Solved ni mabingwa wa misuto chanya. Hiyo imewasaidia kuvuta followers wengi kwenye akaunti zao.

Le Mutuz amekuwa mstari wa mbele kuwashushua masistaa tu na mabishoo wa mjini ambao ni mabingwa wa maisha ya kifahari kwenye Instagram wakati maisha yao halisi yanatia huruma. Msando ambaye ni mwanasheria maarufu anafahamika kwa ujumbe wake kuhusu kazi, utajiri na ushauri kwa vijana kujituma katika katika kazi zao.

Mr Problem Solved ni bingwa wa kuandika ujumbe unaomsha hasira za kutafuta na kuutafuta ubilionea. Bikira wa Kisukuma kama alivyo Msando naye amebobea katika ‘ushushuzi’. Hao ni baadhi tu ya washushuaji hodari wanaotufanya tuipende Instagram.

6. Kila mtu anaweza kuwa mfanyabiashara

Siku hizi ofisi ya mtu si pale aliposimama peke yake, bali ofisi inaweza kuwa kwenye akaunti ya Instagram. Kuna vijana kibao ambapo wengine hawana hata maduka wala ofisi lakini wanaweza kukufikishia bidhaa mbalimbali nyumbani kwako. Wateja wao ni followers wao. Followers wengi, faida zaidi.

So Instagram ni sehemu ambayo unaweza kuitumia kuondoa stress zako kwa kushuhudia ligi mbalimbali lakini pia inaweza kukuongezea zaidi stress kama ukiamua ‘kustick your nose where it doesn’t belong!

Unangoja nini kuingia Instagram?

Siri ya Diamond Kuhamia Kwenye Nyumba Yake Mpya Fasta Fasta Yangundulika

$
0
0
HATIMAYE siri ya nyota wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond’ kuhamia kwenye mjengo wake wa kisasa uliyopo Tegeta -Madale jijini Dar imevuja huku ikitajwa kuwepo na vionjo vya ushirikina.

Chanzo makini kimeliambia Amani kuwa, licha ya kumalizika kwa mjengo huo, lakini Diamond alikuwa akikataa kuhamia kutokana na umbali kutoka huko hadi mitaa aliyoizoea lakini shinikizo lilikuja kutoka kwa mpenzi wake wa sasa, Zarina Hassan ‘Zari’  ambaye tangu aliponasa ujauzito amekuwa akitamani kuwa karibu na mpenzi wake huyo ila ilikuwa ikishindikana kufuatia mazingira aliyokuwa akiishi mwanzo Diamond, Sinza-Mori, D

“Ndugu yangu kama unataka kufahamu undani zaidi wa hiki ninachokueleza muulize Diamond mwenyewe atakwambia, Zari siku zote alikuwa akitaka kuwa karibu na Diamond, hasa baada ya ujauzito lakini ndugu zake walikuwa wakimkatalia kufanya hivyo kwa kuhofia mimba yake kuchoropoka kutokana na vijicho vya watu.

Jumamosi iliyopita, Diamond alikata shauri na kuhamia kwenye makazi yake mwenyewe baada ya ujenzi wa miaka karibia mitatu. Kwa mujibu wa mkandarasi mmoja, nyumba hiyo mpaka kukamilika kwake, imetafuna karibu shilingi milioni mia nne (400,000,000).
GPL

Irene Uwoya Alia na Wasichana Wanaotoa Mimba

$
0
0
Irene Uwoya
Staa mrembo kutoka Bongo Movies,amewaasa wanawake  kuacha kutoa mimba hata kama  watakumbana na mtatizo,kwani mtoto ndio kila kitu katika maisha.

Msanii huyu alitoa wito huo hivi juzi kati akiwataka  wajawazito wote waliokataliwa  na wapenzi wao kuonyesha kuwa  wao  ni wanawake majasiri  kwa kutothubutu kutoa mimba hizo.

Mtoto  ni zawadi  kutoka kwa  Mungu, siku ya leo  nawashauri wanawake  wanaokataliwa  mimba na wapenzi wao wasitoe wala kufanya  chochote muonyeshe kama wewe ni mwanamke jasiri na unaweza, mtoto ndio kila kitu, ‘plzzzz’ usitoe mimbaaa’. Alisema.

Kufuatia ujumbe huo baadhi ya mashabiki wake  walionekana  kumuunga mkono  mrembo huyu ambae ni mama wa mtoto mmoja.

Dr Kessy Anakuletea Dawa za Kutengeneza Hips, Makalio, Nywele na Nguvu za Kiume Kwa Kutumia Dawa za Asili zisizo na Kemikali

$
0
0
Kifaa cha Kurefusha uume Kinachouzwa 160,000


Pendeza na Dr Kessy Products 
Ni dawa za Asili zisizo na Kemikali wala madhara yoyote kwa Binadamu, zimetengenezwa kwa kutumia mimea na matunda mbali mbali kukupa matokeo ya Haraka

1.Refusha Nywele na zisikatike  45,000/
2.Ondoa Mvi Sugu kichwani  45,000/
3.Toa Michirizi Mapajani, Chunusi na Madoa mwilini 40,000/
4.Punguza tumbo na Manyama uzembe 45,000/
5.Mkanda wa Kufunga Kupunguza tumbo 70,000/
6.Tengeneza Shepu Hips na Makalio  45,000/ ,Vidonge 80,000/
7.Ongeza Nguvu za Kiume  Jelly 45,000/ , Vidonge 60,000/
8.Ongeza Ukubwa wa Maumbile ya kiume Jelly 80,000/ , Mashine 160,000/
9.Kuongeza Mwili Mzima 40,000/
10.Kupunguza Mwili 45,000/
11.Kupunguza Maziwa na Kuyasimamisha 40,000/
12.Ongeza Mguu uwe wa Kupendeza 45,000/
13.Rudisha usichana ama Bikira 55,000/
14.Ongeza Hamu ya Kula 40,000/
15.Ongeza Hamu ya Kufanya Mapenzi 55,000/
16. Fanya mwili Kuwa Soft 60,000/

TUNAPATIKANA DAR NA MIKOA YOTE, HUDUMA ZINAFIKA POPOTE ULIPO , 
DAR TUPO KARIAKOO MSIMBAZI NA POSTA  MPYA

PIGA SIMU: 0719955528, 0756259180 au 0785371237

Baada ya Kujifungua nje ya Ndoa, Mashabiki Wamvaa Zamaradi

$
0
0
Baada ya mtangazaji maarufu nchini, zamaradi mketema, kujifungua mtoto wa mwingine ,mashabiki wake wamemjia juu mtangazaji huyo na kudai kuwa kitendo cha kuzaa nje ya ndoa ni kosa kwa mtoto wa kiislam kama yeye, kwani kinaonyesha kuwa hakulelewa kwenye maadili mazuri kama dini yake inavyotaka.

Mashabiki hao wamelaani kitendo cha mtangazaji huyo kuendelea kuzaa bila kufunga ndoa, kitendo ambacho watu wamekitafsiri kama uzinifu na uhuni.

Zari the bosslady vs Chaggabarbie Muke ya Mganda....Hali si Shwari , Warushiana Vijembe Hatari

$
0
0
Kumekucha instagram ni vijembe kwa kwenda mbele wanawake wenye mivuto ya kipekee zari na chagga bebe wapo ulingoni kila mmoja akijitapa kivyake sijui ndo kumgombania Ivan,mie sijui nani mchokozi ila nijuavyo tu boss lady huwa haongei ongei hadi achokozwe, ila hii ya Chagga Barbie Kujinadi Mitandaoni Anatoka na Ivan Baba Watoto wa Zari Imemuingia Kunako :

Soma Vijembe walivyokuwa wanajibishana hapa Chini:
Mukeyamganda ni Chagga barbie yule aliyewahi kuwa Girlfriend wa Prezzo na Kuachana kwa Aibu




Vijana Wengi Bongo Wana Tatizo la Nguvu za Kiume

$
0
0


TAASISI ya Taifa ya Utafiti wa Magonjwa ya Binadamu(NIMR),imesema vijana wenye umri wa kuanzia miaka 30 na kuendelea, wanaongoza kwa kutumia dawa za kuongeza nguvu za kiume.

 

Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam jana,Mkurugenzi wa NIMR,Dk.Mwele Malecela alisema kwa sasa tatizo hilo ni kubwa ambalo linawakumba vijana wengi hususan barani Afrika.

 

Alisema hali hiyo,imesababisha vijana hao kutafuta dawa za kuongeza nguvu za kiume aina ya Mundex,ili waweze kupunguza ukubwa wa tatizo hilo.

 

“Vijana wengi wenye umri wa kuanzia miaka 30 na kuendelea wana matatizo ya upungufu wa nguvu za kiume, jambo ambalo limewafanya kutafuta dawa za kuongeza nguvu ili waweze kuzitumia na kupunguza ukubwa wa tatizo.

 

“Tangu tugundue dawa hii, idadi kubwa ya wanaokuja kununua ni vijana hasa wenye umri wa miaka 30,hali ambayo inaonesha wazi kuwa tatizo hili linakua kwa kasi,”alisema Dk Mwele.


Tamko la Wanafunzi wa Vyuo Vikuu Dodoma Kulaani Kuhusishwa Kwao Kumshawishi Lowassa Kuchukua Form ya Uraisi

$
0
0

TAMKO LA UONGOZI WA SERIKALI ZA WANAFUNZI WA VYUO VIKUU DODOMA KULAANI KUHUSISHWA KWA WANAFUNZI WA VYUO VIKUU VYA DODOMA NA KUMUOMBA MH.  LOWASA KUGOMBEA URAIS.
Ndugu Waandishi wa habari, Tunapenda kutanguliza shukrani za dhati kwenu kwa kufika katika eneo hili kutusikiliza.Mbele yenu ni viongozi wa serikali za wanafunzi kutoka Vyuo vikuu mbalimbali vilivyopo mkoani Dodoma.Ndugu waandishi wa habari,si kawaida na wala mazoea kwa marais na viongozi wa serikali za wanafunzi kutoka vyuo tofauti kukutana kwa pamoja na kuzungumza na nyie wanahabari kama inavyotokea hii leo.
Ndugu wanahabari,siku ya Jumapili ya tarehe 22 mwezi huu wa 3,kundi la watu waliojitambulisha kama ni wanafunzi wa vyuo vikuu vya Dodoma walijikusanya nyumbani kwa mh; Lowasa na kutoa matamko mbalimbali ikiwa pamoja na kuutangazia uma wa watanzania kuwa sisi wanafunzi wa vyuo vikuu vya Dodoma tunamuunga mkono na tunahitaji Lowasa awe rais wetu sambamba kumchangia pesa.
Ndugu wanahabari,Tunapenda kukanusha kuwa wanafunzi wa vyuo vikuu vya Dodoma kwa ujumla wetu hatukuhusika na jambo lile na kama viongozi wa serikali za wanafunzi kutoka vyuo vikuu vya mkoa huu wa Dodoma,Tunapinga na kulaani kitendo cha watu wachache kwenda kutuingiza sisi wanafunzi wa vyuo vikuu vya Dodoma katika jambo ambalo halituhusu na wala si lililotuleta hapa Dodoma.Sisi kama wasomi ambao jamii inatutegemea kama kioo hatuwezi kuandamana na kujikusanya kwenye nyumba ya kiongozi na kumuomba agambee urais, wakati tunajua fika sisi hatuhusiki na uteuzi wa wagombea ndani ya taasisi yao.Kilichofanyika ni kuudanganya uma wa watanzania na taasiasi yake kupitia kivuli cha vijana wachache kutoka vyuo vya hapa Dodoma,waliolipwa pesa ili waweze kuwa kava la tukio lile.
Ndugu wanahabari,Mkoa wa Dodoma unavyuo vikuu visivyopungua 8,Na jumla ya wanafunzi wote tunaosoma katika vyuo vya Dodoma ni zaidi ya wanafunzi  35,000.Chuo kikuu cha Dodoma (UDOM) pekee yake kinawanafunzi wasiopungua 22,000.Idadi ya watu waliojikusanya nyumbani kwa Mh: Lowasa siku ya tarehe 22-03-2015 haizidi watu 230 wakiwemo Wamachinga na Wenyeviti wa Jumuiya za wazazi, kama vyombo vya habari vilivyoripoti. Ukiwatoa Wamachinga na Wenyeviti wa Jumuiya za wazazi waliotoka mikoa mbalimbali,idadi ya wanafunzi waliokuwepo kwenye tukio lile hawazidi 150.Idadi hii ni sawa na asilimia 0.4 ya wanafunzi wote wanaosoma vyuo vikuu vya Dodoma.Ndugu wanahabari,kwa akili ya kawaida kabisa asilimia 0.4 ya wanafunzi wa vyuo vikuu ndio waliokuwa pale.Tunashangazwa na dhambi tusiyoitenda tunayobebeshwa wanafunzi wa vyuo vikuu vya Dodoma ambao kwa sasa tupo bize na msimu mpya ya masomo wenye changamoto mbalimbali.
Ndugu wanahabari,sisi kama vijana wasomi na watu tunaotegemewa na jamii zetu tutakusanyika katika kujadili na kuchambua changamoto mbalimbali zinazoikabili jamii yetu na sio kukusanyika kwa ajili ya mwanasiasa ambaye sifa zake na uhadilifu wake unatiliwa shaka katika jamii.Tunaomba mlijulishe Taifa, kuwa wanafunzi wa vyuo vikuu vya Dodoma hatujahusika na tukio lile isipokuwa wanafunzi wachache walitumika kwa kupewa pesa na wahusika wa tukio lile.Tunataka Taifa lijue hatupo tayari kutumia elimu zetu kulitia upofu taifa letu.Waambieni mama zetu na baba zetu huku vijijini kwetu kuwa tumekuja kutafuta elimu ili ituwezeshe kuwakomboa wao na sio kutumika na Wanasiasa kwa malengo yao.Tunatambua haki ya mwanafunzi kuamua na kufanya shughuli za kisiasa nje ya maeneo ya vyuo, lakini hatukubaliani na wanafunzi wachache kuchafua na kuwapaka matope maelfu ya wanafunzi wa vyuo vikuu vya Dodoma ambao hawajahusika na tukio lile.Hii sio haki na haikubaliki.
Vilevile tungependa kutumia fursa hii kuwaasa wanafunzi wenzetu popote pale nchini, makundi mbalimbali ya kijamii (wakulima, wafugaji, wavuvi, wamachinga, wasanii, n.k), zikiwemo taasisi za dini kwamba watu wachache kuzungumza kwa niaba ya makundi juu ya mambo yanayogusa maamuzi ya mtu binafsi.
Mwisho tunatoa wito kwa wanafunzi wenzetu wote kujitambua na kutumie muda wetu kwa mambo ya msingi na muhimu kwa ustawi wa Nchi yetu. Na kuonesha jinsi wanafunzi wa Vyuo Vikuu vya Dodoma walivyokasilishwa na jambo hili, Tamko hili limesainiwa na wanafunzi 7821 toka vyuo mbali mbali vya Dodoma.Majina ya sahihi za wanafunzi zimeambatanishwa. Tusikubali kutumika na wanasiasa wa aina hii..
Asanteni
Mungu ibariki Tanzania,Mungu vibariki vyuo vikuu vya Dodoma.
Kwa niaba ya wawakilishi wa serikali za Wanafunzi Chuo cha Mipango,Chuo cha Madini, Chuo cha Hombolo,Chuo kikuu cha Dodoma(UDOM) na CBE.

DANIEL DANIEL -Rais wa Saint Jonh’s University
26/03/2015

9 Reasons Why Curvy Women Are Best In Bed (Sababu Tisa Kwanini Wanawake Wanene ni Wazuri Kitandani)

$
0
0
Now women with natural curves can rest easy in the knowledge they are better in bed than their size-zero counterparts. And that's a fact. Curvy women have been making a comeback on the catwalk and new research reveals that having more meat on your bones doesn't just look great, it actually makes you better in bed.

A female editor Katy Horwood from Metro.co.uk made a list of reasons why curvy women are great in bed:

1. It's a scientific fact  

Scientific research proves that men are genetically wired to be sxually attracted to a woman with curves. Men rate the sxiest women as those who have a waist which is 60% of their hip size. Guys love our hourglass figure  – not least of all in the bedroom.

2. Confidence

Having bØØbs and a backside, a bit of cellulite or something to grab hold of is not exclusively what makes a curvy woman sxy – it's knowing how to rock it that matters. Beauty has nothing to do with size and everything to do with confidence. And confidence has everything to do with amazing sx.

3. A healthy appetite

Nothing is sxier than a woman who knows how to indulge – she wants the cake she eats it, she wants the wine she drinks it, she wants the orgasm, prepare yourself, no one’s leaving this room until …

4. Life's too short to go gluten-free
Or you could date the girl who refuses to swallow (extra calories), won't eat dessert and spends the post-sx cuddle trying to convert you to a diet.

5. BØØbs

Well, not all curvy girls are blessed with big bØØbs, but the chances do sway slightly more in their favour.

6. Búms

According to a study by Oxford University, big bútts result in healthy children because of the high amount of Omega 3 fatty acids they store – so if you thought it was the PVC dress stretched over Kim Kardashian's booty getting you hot, think again. It's your subconscious evolutionary way of ensuring healthy kids.

7. Let's focus on the important things…

They don't care about fitting into a pair of skinny jeans and instead spend their time on fun things like the reverse cow girl and multiple orgasms.

8. Fewer bruises

Their soft womanly curves are the perfect place to rest your weary, post-shagging head.

9. Curvy girls were the original supermodels

Take a walk through an art gallery and you'll see that curvy girls have long been associated with beauty and sx appeal. Thousands of years of history can't be wrong.

Meet ZARI's Three Cute Children, Soon We Gonna have Our Own Bongo Chata From Her

$
0
0
 Meet ZARI's Three Cute Children, Soon We Gonna have Our Own Bongo Chata From Her as she is now Pregnant for Diamond Platnumz....
See Below:



Utata wa Picha za utupu za Msichana Huyu Kwenye Mitandao

$
0
0
Kama ni mpenzi wa Hekaheka nakusogezea hii iliyosikika leo mtu wangu, inatoka Shinyanga ambapo kuna story ya msichana ambaye ana wana tabia ya kujipiga picha za utupu na kuzisambaza Whatsapp na Facebook.
Marafiki wa karibu wanasema kwamba amekuwa akijipiga picha hizo na kuwatumia marafiki zake pamoja na wanaume, huku akijisifia uzuri wake, ambapo wao wanaona kitendo hicho ni udhalilishaji hata kwao pia.
Kijana mmoja ambae alitumiwa picha na msichana huyo amesema alishangaa kurushiwa picha hizo japo hakujua lengo la msichana huyo.
Msichana ambaye ametajwa kurusha picha hizo amesema kwamba alipiga picha hizo na rafiki yake lakini baadae akashangaa kuona picha hizo zimeenea.
Kusikiliza story yote bonyeza play hapa chini…

Ushahidi wa Kuwa Zari ana Ujauzito wa Diamond Huu Hapa..No Doubt Tena..Ukibisha we Mbishi

$
0
0
Haya Hii Nadhani itakiwa ni Kata Ngebe Baada ya Watu mbali mbali mitandaoni kuwa na wasi wasi kuwa Zari si Mjamzito ..Picha inajieleza yenyewe hapo juu..Ama ni Photoshop Jamani?
Hongera Zari na Dai..
Viewing all 104785 articles
Browse latest View live




Latest Images