Quantcast
Channel: UDAKU SPECIAL
Viewing all 104709 articles
Browse latest View live

I'm Having An Affair With My Sister's Husband

$
0
0
I moved in with my sister and her husband around a year ago due to financial problems and to help her out, the problem is that within a month my brother in law started hitting on me very strongly.

At first I was in shock because the guy hated me from day one but I was extremely depress due to my situation and felt lonely one thing led to another and we started having s*x, I feel used and guilty as hell we never talk about it he doesn't say anything he just does his thing and forgets about me until he is in the mood again.

I know this is wrong I am betraying my own blood but I just can't stop its like an addiction, he is using both of us for his own fun and pleasure I am so desperate I can't move out because I will have to have a very good excuse, if my family finds out I will be in so much trouble I come from a culture where its always the woman's fault, men are considered men and women tramps.

Sometimes I feel like I love him but then I think about the whole deal and realize how stupid I am this relationship has no future it was doom from day one. I feel jealous and angry sometimes but mostly confused I am fairly attractive I know I can get a man that is single and available but I am scared. I feel like I am losing my mind I cry everyday because I don't know what to do.

Please help I need advice

Hawa Ndio Mastaa 10 Wakiume wa Bongo Movies Ambao Shamsa Anawakubali

$
0
0
Staa mrembo wa Bongo Movies, Shamsa Ford ambae ni Binamu Wa Nay Wa Mitego amewataja hawa kua ndio wakali wake.

Mambo vipi Tanzania? Leo ningependa kuwatajia wanaume 10 ambao huwa napenda sana uigizaji wao, haimanishi kwamba wao ndo the best kuliko wengine but napenda tu sanaa yao. (1) Single Mtambalike ‘Richie’ (2) Marehemu Adamu Kuambiana (3) Marehemu Kanumba (4) Muhogo Mchungu (5) Swebe (6)Tino (7) Gabo (8) Vincet Kigosi ‘Ray’ (9) Bishanga Bashaiga (10) Cloud112....nawakubali sanaaaaa kila mtu hapa ana radha yake”- Shamsa alieleza.

Hii ni kwa upande wake yeye.

PICHA Zingine za HAMISA Mobeto Alizozoachia Zikimuonyesha Alivyokuwa Mjamzito wa Miezi TISA

$
0
0

Picha za mwanamitindo  ambaye pia amewahi kucheza filamu kadhaa, Hamisa Mobeto akiwa na ujauzitoo zimewashangaza wengi leo huko kwenye mtandao wa Instagram  kwani sio tu ameonenaka na   ujauzito bali habari zilizotoka na picha hizo ni kwamba mwanadada huyo tayari ameshajifungua mtoto wa kike siku kadhaa zilizopita.

Tofauti na mastaa wengi , ujauzito wa staa huyu ulikuwa siri na wengi hatukujua. Hongera sana Hamisa Mobeto.


KAULI YA WEMA YALIZA WENGI. Aweka wazi kuwa hawezi kupata mtoto.

$
0
0
Kumbukeni na mimi pia ni binaadam... Nina moyo kama nyie... Au mnadhani napenda kuona wenzangu wana watoto au wana ujauzito alafu mimi sina hata wa kusingiziwa... Mnaona nafurahia sio.... Hivi mna nini jamani... Yaani mtu unaweza weka post kwa nia nzuri then people jus come from nowea wanaanza kukuandikia maneno ya kukuumiza kabisa nafsi hadi mtu unakaa unajiuliza umemkosea nini mwenyezi Mungu...

Kwani kuna niliemkosea yoyote mpaka muanze tu kunikashif na kunitolea maneno mazito namna hio... Kisa mtoto... Mnadhani naipenda hii hali... Hata mimi natamani kuitwa mama na hakuna kinachoniuma kama hicho.... So mnadhani sijui kama umri unaenda na maisha yenyewe sikuhizi mafupi anytime we die... Mnafikiria nisingependa kuacha hata ka copy kangu siku ndo Mungu anasema ananichukua...

Hata mimi natamani ningekuwa napiga picha niko na mwanangu... I want dat with all my life but I cant.... Sitokaa nimkufuru Mungu wangu hata siku moja maana sijui ni kitu gani kaniandikia... But just dont rub it in... It hurts... And im jus a human being like each and every one of u...."-Wema 

Corazon Break The Internet with these Hot Photos.....Atupia Picha Akiwa Nusu Utupu

$
0
0

Corazon Break The Internet with these Hot Photos....Corazon Kwamboka is a lawyer who graduated from the University of Nairobi in 2013.The socialite gives new meaning to the word bootylicious and is not afraid to put her famous curves on display. She has been rumoured to be having a love affair with top celebrities from West Africa. Corazon is currently in the UK on vacation with Nigerian Burna Boy.



Mbio za Urais CCM: Benard Membe Ataka Jina la Edward Lowassa Lisikatwe.......Atamani Akutane Naye Tatu Bora Ili Amwonyeshe Uwezo Wake

$
0
0
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Bernard Membe, ambaye jina lake linatajwa kutaka kuwania urais kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) katika Uchaguzi Mkuu wa mwaka huu, anaelezwa kutamani kuingia katika hatua za mwisho za kinyang’anyiro hicho na Waziri Mkuu wa zamani, Edward Lowassa.

Vyanzo vya habari ndani CCM vinasema kwamba Membe amekua akionyesha kutamani kuingia katika hatua ya 'tatu bora' pamoja na Lowassa ili aonyeshe uwezo wake ndani ya chama hicho, tofauti na wapinzani wake wanaodai hana nguvu kisiasa na hawezi kushindana na Lowassa ndani ya chama.

"Membe anatamani sana kama akigombea aingie na Lowassa katika hatua ya mwisho maana anatamani aonyeshe uwezo wake, kama alivyowaonyesha katika uchaguzi wa kuingia NEC (Halmashauri Kuu ya CCM) mwaka 2012, ambao walimpiga vita na kutumia fedha nyingi lakini akapata kura za kutosha bila kampeni ya nguvu na kuwatia aibu," anasema mtoa habari huyo ndani ya CCM.

Katika uchaguzi huo wa mwaka 2012 ambao Lowassa hakugombea katika ngazi ya Taifa na badala yake aligombea kupitia Wilaya ya Monduli, Membe alipata kura 1,455 ikiwa ni asilimia 74 ya wajumbe wa Mkutano Mkuu wa CCM pamoja na kupigwa vita na wanasiasa ili asipite na kuingia NEC.

OBAMA will not meet his cousin, RAILA ODINGA, due to insecurity - US State Department

$
0
0
The US State Department has today told the Kenyan Government that US President, Barrack Obama, who will visit the country in July, will only meet President Uhuru Kenyatta and his officials at State House, Nairobi.

In a letter copied to the US Embassy in Nairobi, the US State Department said due to the Garissa University College terror attack, the US Secret Service and Central Intelligence Agency (CIA) revised their plans and Obama will only be allowed to visit State House Nairobi and the Global Enterpreneurship Summit venue at UN headquarters in Nairobi which is some meters from the US Embassy.

“The only two events that Obama will attend have been confirmed - the Global Entrepreneurship either on July 25 or 26 and a bilateral meeting with President Uhuru Kenyatta,” a senior Embassy official said.

Obama will be in the country under the invitation of President Uhuru Kenyatta who requested him to visit his father’s country of birth during his last visit to the United States.

On whether Opposition Leader Raila Odinga will meet his “distant cousin”, the official said Obama will only meet Kenya’s Head of State and senior Government officials.

Loveness LOVE a.k.a Diva wa CLOUDS FM Abadili Jina, Sasa Anaitwa....

$
0
0
Diva sio Loveness tena kuanzia sasa! Mtangazaji huyo wa Clouds FM amebadilisha jina lake mahakamani na kuwa ‘Diva Gissele D. Malinzi’

Diva ameaimbia Bongo5 kuwa kuanzia Jumatatu ijayo atabadilisha kila kitu kilichokuwa na jina lake la zamani ‘Loveness’ baada ya kula kiapo mahakamani cha kubadilisha jina.

Kwenye kiapo hicho, Diva amedai ameamua kubadilisha jina hilo kwa sababu za kikazi kwakuwa amekuwa akitumia jina ‘Diva’ kwa kipindi kirefu sasa.

“Professional purpose plus hayo ni majina yangu I so wanted ever since nakuwa, so amma grown up in my 20s, living in my own world, it’s Diva World I just live in it,” Diva ameiambia Bongo5 kuhusiana na sababu za kubadilisha jina.

It’s Official I go by the name Diva Gissele Love ongeza surname mbele then we good to go. No More Loveness #abandoned and this deed already registered .. Thanks to My Lawyer Herry Munisi from Crest Attorneys . United Republic of Tanzania #ChangeOfName,” ameandika kwenye Instagram.

Askofu Gwajima ajipalia makaa...Hatua ya MAWAKILI wake Kutengeneza UBISHI wa Kisheria Katika Agizo la Polisi Utamzidishia Matatizo

$
0
0
HATUA ya mawakili wa Askofu wa Kanisa la Ufufuo na Uzima, Josephat Gwajima, kutengeneza ubishi wa kisheria katika agizo la Polisi la kuwasilisha nyaraka za mali za Askofu huyo, imeelezwa kuwa ni ukaidi ambao hautamsaidia kisheria.

Badala yake, kwa hatua hiyo ya mawakili hao, Jeshi la Polisi limewekewa mazingira mazuri ya kuchukua hatua ya pili ya matumizi ya nguvu katika kutekeleza agizo lao, baada ya hatua ya hiyari kushindikana.

Wakizungumza na gazeti hili jana, wanasheria mbalimbali walishangazwa na ubishi wa juzi, uliotokana na barua ya mawakili wa Askofu Gwajima kwenda kwa Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam.

Katika barua hiyo, mawakili hao walitaka Polisi itoe agizo la maandishi la kuwasilisha nyaraka hizo, litakaloeleza vifungu vya sheria vinavyomtaka mteja wao kuwasilisha nyaraka hizo.

Ukaidi wa Gwajima

Barua hiyo iliyosainiwa na Wakili Peter Kibatala, iliwasilishwa juzi mchana katika jeshi hilo ikiwa ni siku moja baada ya Askofu Gwajima kutakiwa kuwasilisha nyaraka 10 zinazohusu umiliki wa mali zake, Aprili 16 mwaka huu watakapoendelea na mahojiano.

Mawakili hao kwa niaba ya mteja wao wameliomba Jeshi la Polisi kumwandikia barua rasmi Gwajima, wakiainisha nyaraka wanazozihitaji, pamoja na vifungu vya sheria vinavyotumiwa na jeshi hilo kutaka nyaraka hizo.

Mawakili hao wanasema watashukuru kupata hati hiyo ambayo wamedai hawaijui jina, lakini wanaamini Jeshi la Polisi litafahamu jina la kisheria la nyaraka husika inayotumika kumtaka Gwajima, awasilishe nyaraka wanazozihitaji.

Aidha wanasema askofu Gwajima atakapopata nyaraka anayoihitaji, atatimiza mwito na kuchukua hatua stahiki za kisheria.

Nyaraka 10

Nyaraka hizo ni Hati ya Usajili wa Kanisa, Namba ya Usajili, majina ya Baraza la Wadhamini (Baraza la Kiroho), idadi ya makanisa (matawi) anayohudumia, nyaraka za helikopta ya Kanisa na muundo wa uongozi wa Kanisa.

Nyingine ni Waraka wa Maaskofu uliosomwa makanisa yote, nyaraka za nyumba na mali za Kanisa na nyaraka zinazoonesha taarifa za hesabu kutoka kwa Msajili wa Vyama vya Hiari. Pia waliagizwa kufuatana na mtu anayepiga picha za video kanisani hapo.

Ushauri

Wakifafanua kuhusu ubishi huo wa kutaka sheria inayotumiwa na Polisi kuagiza nyaraka hizo, wanasheria waliozungumza na gazeti hili walisema hakuna sheria yoyote inayomzuia Polisi kudai umiliki halali wa mali au nyaraka endapo watazihitaji.

Mwanasheria Dk Damas Ndumbaro, alisema kwa mujibu wa Sheria ya Makosa ya Jinai na ya Mwenendo wa Makosa ya Jinai, askari Polisi amepewa fursa ya kufanya ukaguzi wa mali na nyaraka zozote bila ya kuzuiwa na mtu.

‘’Polisi anaweza kufanya ukaguzi nyumbani kwako bila kuwa na hati ya ukaguzi na anaweza kuwa nayo. Lengo lao ni kukamilisha masuala yao ya kipolisi tu,’’ alisema mwanasheria huyo.

USHAURI Kwenda Kwa Dada WEMA SEPETU Baada ya Kusema Anatamani Sana Kupata Mtoto Lakini Hawezi

$
0
0
Dada yangu Wema,
Salamu sana, nyingi na za upendo mkubwa zikufikie. Pole nyingi sana, it is sad to listen to what your heart is speaking about the reality of your life. Kwanza, that is relieving kwako kwa kuusemea moyo wako na hali yako. Inakupa moyo huru na uliopumua pumzi kubwa, ni ujasiri wa pekee na kwa hilo nakupongeza. Nakupongeza pia kwa kuonyesha moyo wako, licha ya kwamba unaumia kwa mengi, moyo wako si uliovunjika na kupondeka, sio uliopoteza matumaini na mapendo ndani mwako. Hilo ni paji la Kimungu ndani mwako na umeonyesha hilo kwa kutomlaumu Mungu bali kwa kumtumainia.
Personally I was touched, and my prayers are with you. Don't give up hope and trust which are in you. Maisha na hali za ubinadamu vina mipaka yake. Tumeumbwa na tupo jinsi tulivyo, na kwa njia ya hali zetu makusudio ya Mungu ni ya kipekee kwa kila mtu, malengo yake Mungu tunaendelea kuyang'amua siku hadi siku na kwa nguvu ya ajabu. 
Mungu azidi kukutia nguvu katika yote, harakati za maisha ya kila siku zipate Baraka zake, na kwa njia hiyo ukitambua what He calls you to do. For surely you will be our dada and mama to many other children who need your love and care as of what God has given you just for the sake of them. 
Kila jema dada yangu, nakutakia moyo mkuu

By Anonymous

STEVE Ajutia Maamuzi Yake ya Kuhamia Kuishabikia AZAM Kutoka YANGA, Asema Maisha Yake Yamekuwa Mabovu..Abembeleza Kazi Azam

$
0
0
Aliyekuwa mshabiki maarufu wa Team ya Yanga Steve Amefunguka na kusema kitendo chake cha kuhamia kuwa mshabiki wa Azam kutoka Yanga kimefanya maisha yake yawe Mabovu kimaslahi na umaarufu kupungua sana

Amesema japo bado anaitamani Yanga lakini hawezi kurudi tena kuishabikia Yanga kwa kutoonekana Msaliti ...Hivyo anachofanya kwa sasa ni kumuomba Bosi wa Azam Ampe kazi ya Kuajiriwa katika Team hiyo kama Mshabiki wa Damu ..


Steve alipata umaarufu mkubwa baada ya Yanga kufungwa Tano na Simba miaka kadhaa iliyopita ambapo Steve alirekodiwa na Vituo mbali mbali vya TV akimwaga Kilio cha nguvu


Umoja wa Wanavyuo Vikuu Iringa Wamuomba EDWARD LOWASSA kugombea URAIS 2015

$
0
0
Wanavyuo hao wapatao 1500 walioungana toka vyuo vikuu na vyuo vya kijamii Iringa wamesema kuwa wanamuomba Lowasa agombee uraisi na wako tayari kumuunga mkono. Wameyasema hayo wakiongea na waandishi wa habari wakati wakijitolea damu na kufanya usafi ktk hospitali ya rufaa ya mkoa wa Iringa.

Source: ITV habari

Mbona Jitihada Anazotifanya Sasa Kiongozi Mkuu Zitto, Hatukuziona Wakati Akiwa CHADEMA

$
0
0
Just thinking loud! 

Sasa anafanya safari juu ya safari, mikutano juu ya mikutano, facebook, twitter, kukutana na waandishi wa habari usiku wa manane, nk. Kiongozi huyu mkuu kwa sasa halali, hatulii, wala hasikii la mkuu. 

Najaribu kuvuta taswira nyuma kidogo, wakati akiwa chama kilichomlea, chama kilichomfikisha hapo alipo sikuziona jitihada hizi. Wakati huo, wenzake wakifanya mkutano Arumeru, yeye alikwenda kula bata Germany. Wakati wakiendelea na M4C, yeye alikuwa Uswizi akisaka kwa udi na uvumba majina ya waliohifadhi fedha huko. Sababu hazikuisha ilimradi tu jina na sura yake isionekane katika timu ya ukombozi.

Ninachojiuliza, kazipata wapinguvu hizi za ziada, ambazo siku chache zilizopita hakuwa nazo. Ukisoma alama za nyakati, low profile ya wakati huo na high profile ya wakati huu utajiuliza maswali na utapata hisia, hisia za usaliti. Deal lilipangwa kitambo kwa siri likabumburuka, akaenda mahakamani. Kwa sasa ni utekelezaji wa deal hilo kwa hisani ya watu wa Marekani, naamini nalo litabumburuka. 

Kama Taifa hili lingekuwa la uwazi na ukweli, na kama ofisi ya mkaguzi wa hesabu za serikali angeweza kutupia jicho, tungetaka kufahamu juu ya mapato na matumizi ya chama hiki kwa miezi mitatu tu iliyopita. Term of reference zingekuwa nini vyanzo vya mapato ya Matangazo ya moja kwa moja, safari ya kusini, na kama mapato haya yanaripiwa kodi *income tax* 

Mtu aweza kujiuliza, pamoja na madeni kwenye asasi za fedha, je ni kweli Milioni 5 zilizotangazwa kama salio la account ndizo zinagharamia mikutano na safari hizi kibao.

Democrasia inapokwa kwa watu kukubali kutumika kwa masilahi yao binafsi!

By Rpg-JF

Diamond Platnumz: Mbunge Halima Mdee ni Mzigo Jimbo la Kawe

$
0
0
Msanii maarufu nchini mwenye mafanikio makubwa katika sanaa ya mziki wa kizazi kipya, Diamond Platnumz, amevunja ukimya wake juu ya ubovu wa barabara iendayo Madale ambayo ipo kwenye jimbo la Kawe chini ya Halima Mdee.

Msanii huyo ameelekeza lawama zake kwa mbunge huyo wa kupitia tiketi ya CHADEMA kwa kuwa Halima Mdee aliahidi wananchi wa jimbo hilo kuwa katika kipindi chake cha ubunge atahakikisha barabara hiyo inajengwa kwa kiwango cha lami, lakini hadi hii leo barabara imejaa tope tu!

Diamond alieleza masikitiko yake huyo kupitia katika kituo cha Clouds TV pale alipoulizwa swali kuhusu makazi yake mapya yaliyopo katika jimbo la Kawe na ndipo hapo akafunguka kuhusu suala hilo la kero ya barabara ambalo lina muda mrefu alijashughulikiwa na mbunge Halima Mdee.

MARKSON BEAUTY PRODUCTS Inakuletea Dawa za Kurefusha Nywele, Kukuza Makalio, Kupunguza Tumbo, Kung'arisha Ngozi na Zingine Nyingi

$
0
0


Je, unapenda kuwa mrembo na mwenye mvuto kwa haraka? MARKSON BEAUTY PRODUCTS inakuletea bidhaa zenye ubora na matokeo ya haraka zisizo na kemikali wala madhara kwa mtumiaji. Tuna uzoefu wa miaka 15 na bidhaa zetu zote zimethibitishwa.                

TUNAZO ZA:-
1.Kurefusha nywele na kuzuia kukatika ovyo @80,000/=
2.Kutengeneza shepu (hips na makalio) @90,000/=. 
3.Kuwa mweupe na softi mwili mzima @80,000/=. 
4.Kuondoa mvi milele zisirudi @90,000/=. 
5.Kuongeza maumbile na nguvu za kiume kwa:-(1)Gely ya kupaka @70,000/=  (11)Vidonge maalum@90,000/=      (111)Mashine original ya Handsome up@200,000@/=     
6.Kupunguza unene na uzito wa mwili mzima @80,000/=.  
7.Kushepu maziwa na kuyasimamisha @70,000/=   
8.Kuongeza unene na uzito wa mwili mzima @80,000/=  
9.Kupunguza tumbo na nyama za pembeni kwa:- (1)Dawa @80,000/=  (11)Mkanda wa kawaida @80,000/= (111)Mkanda wa umeme (Micro computer belt) @200,000/=   
10.Kushepu miguu na kuwa minene (Chupa ya bia) @70,000/=    
11.Kuondoa mipasuko (Michirizi) mwilini @70,000/=                                
12.Kubana Uke na Kuongeza Hamu ya Tendo la Ndoa kwa Mwanamke @80,000/=

NB. Hakikisha unapewa risiti yenye muhuri halisi wa MARKSON BEAUTY PRODUCTS pamoja na garantii ili kukuhakikishia kufanikiwa kwako.      

Wasiliana nasi kwa no (+255 ) 0767-447444 na 0714335378.

Mwanamke Abambwa na Sungusungu Akifanya Mapenzi Kwenye Kichaka na Dereva teksi.

$
0
0
Mwanamke mmoja mwenye umbo la miraba minne ambaye unaweza kumuita Bonge baada ya jina lake kutopatikana mara moja, wikiendi iliyopita alifikwa na msala mkubwa alipo bambwa na sungusungu akifanya mapenzi kwenye kichaka na dereva wa teksi.

Chanzo chetu kilidai kuwa Bonge huyo alikuwa na wenzake wakitoka kwenye kicheni party, walipofika maeneo ya Sinza-Afrika Sana jijini Dar, aliwachenga wenzake  baada ya kumpata dereva huyo ambaye aliahidi kumpa kiasi f’lani cha fedha ili ‘wakalicheze segere’ usiku mnene.
Wakiwa katikati ya mchezo, jirani mmoja alisikia miguno ya kimahaba hivyo alipenyua pazia la dirisha lake na kuwashuhudia laivu kitendo ambacho kilimkera ambapo alitoka nje na kwenda kuwaita sungusungu ambao walifika na kuwatimua wawili hao huku bonge akitimka mbio na kuacha nguo yake ya ndani na kadi ya mwaliko wa kitchen party.

Basi Lagongana Uso Kwa Uso La Lori Na Kisha Kuwaka Moto.....Watu 18 Wafariki Dunia

$
0
0
Watu 18 wamekufa papo hapo kwa kuteketea kwa moto na wengine 11 wamejeruhiwa vibaya kutokana na basi walilokuwa wakisafiria kugongana na lori aina ya Mitsubishi Fuso, katika kijiji cha Msimba tarafa ya Mikumi, barabara kuu ya Morogoro – Mbeya.

Ajali hiyo imehusisha basi la Kampuni ya Nganga linalofanya safari zake kutoka Wilaya ya Kilombero kuelekea mkoani Mbeya na kugongana na lori hilo.

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Morogoro, Leonald Paulo alisema ajali hiyo ilitokea jana saa mbili asubuhi katika eneo hilo huku likihusisha basi aina ya Scania lenye namba za usajili T373 DAH na Fuso lenye namba za usajili T164 BKG.

Alisema chanzo cha ajali hiyo ni dereva wa basi la Nganga ambaye alikuwa katika mwendo kasi na kulipita gari lililokuwa mbele yake bila ya tahadhari na kukutana na lori hilo na kisha kugongana nalo katika eneo hilo.

Alisema baada ya magari hayo kugongana, ndani ya buti ya basi kulikuwa kumepakiwa pikipiki ambayo ilikuwa na mafuta na baada ya kutokea ajali hiyo kulitokea mlipuko wa moto na kusababisha basi hilo pamoja na lori kuwaka moto.

Kamanda huyo alisema kuwa kutokana na moto huo, baadhi ya abiria waliokuwepo katika basi hilo walishindwa kujiokoa na hivyo miili yao kuteketea kabisa na moto huo, wakiwemo madereva wote wa magari hayo.

Alisema majeruhi 11 wa ajali hiyo wamekimbizwa katika Hospitali ya Mtakatifu Kizito iliyopo tarafa ya hiyo Mikumi kupatiwa matibabu huku hali zao akieleza kuwa baadhi yao ni mbaya kutokana na kuungua vibaya kwa moto.

Kamanda huyo alisema miili ya marehemu hao imehifadhiwa katika hospitali hiyo ambapo mpaka sasa haijatambulika majina yake, licha ya madereva wa magari yote kufa.

Hata hivyo, Kamanda huyo alishindwa kutaja majina ya majeruhi kutokana na baadhi yao kuendelea kupatiwa matibabu kwa ajili ya kuokoa maisha yao.

Naye Mganga wa Hospitali ya Mtakatifu Kizito iliyopo Mikumi, Dk Boniventure Buyagabuyaga, alithibitisha kupokea jumla ya miili ya marehemu 18 ambao walikuwa wameteketea vibaya kwa moto kutokana na ajali, ambapo alisema tayari imehifadhiwa katika chumba cha kuhifadhiwa maiti kwa ajili ya kusubiri utambuzi.
  
Alisema mpaka sasa majeruhi wanaotibiwa katika hospitali yake wamebaki saba, lakini hali zao bado ni mbaya kutokana na kuungua moto katika sehemu mbalimbali za miili yao.

Ajali hiyo imekuwa sawa na mwendelezo wa ajali za mabasi nchini, kwani Alhamisi iliyopita watu 12 walikufa katika ajali zilizotokea Tanga na Morogoro, huku wengine wanne waliokuwa wakisafiri kwa basi la Nyehunge wakiaga dunia usiku wa Jumamosi mkoani Dodoma.

Katika ajali iliyotokea mkoani Tanga, katika kijiji cha Mbweni Mkata, majira ya asubuhi, ilihusisha basi la Kampuni ya Ratco ya Tanga liligongana uso kwa uso na basi la kampuni ya Ngorika na gari dogo aina ya Toyota Passo na kusababisha vifo vya watu 10 papo hapo, akiwemo mmiliki wa gari dogo, Musa Lupatu aliyekuwa Mbunge wa zamani wa Korogwe Vijijini.

Katika tukio la Morogoro, watu wawili walikufa na wengine 48 kujeruhiwa katika ajali iliyosababishwa na basi la Happy Nation lililokuwa likitoka Dar es Salaam kwenda Mbeya na kupata ajali eneo la Mikumi.

Aidha, Machi 12, mwaka huu mkoani Iringa, basi la Majinja Express lilikuwa likitokea Mbeya kwenda Dar es Salaam liligongana na lori na kisha likaangukiwa na kontena lililosababisha vifo vya watu 43.

RIYAMA Ampa Neno la Faraja Wema Sepetu Baada ya Kusema Hana Uwezo wa Kuzaa

$
0
0
Baada ya hapo jana Staa mrembo wa Bongo Movies, Wema Sepetu kueleza kuwa anatamani sana kupata mtoto lakini hana uwezo huo,Staa mwenzake ambae ni mama wa mtoto mmoja, Riyama Ally ampa neno hili la faraja na matumani.
Naomba hapa unisikie kwamakini nabii ibrahim alimpata na bii ismail akiwa na umri mkubwa sana utuuzimani wema bado mdogo muda utafika inshallah mola atakupa mume mwenye kheri na wewe uzae jike na dume usiumie mama mungu hukupa akujaalialo na sio umuombalo watoto ni kudra za mola na sio jitihada za wana dama atakupa maa muda ikifika tena utapakata na utanyonyesha inshallah amin nakupenda sanaaaaaaaaaa”- Riyama ameandika kwenye ukurasa wake wa mtandaoni. mara baada ya kubandika picha ya Wema.

WEMA SEPETU Unaikumbuka Hii ? ... JE Kuna Haja ya Wema Sepetu Kumuomba Radhi?

$
0
0
Baada ya Andiko lake la hapo jana akielezea machungu anayoyapata kwa kutokuweza kupata mtoto japokuwa anatamani huku akiwataka watu waache kumsema vibaya kwani yote hayo ni mipango ya Mugu, Mwanadada Wema amekumbushwa  kule alichomfanyia mwanadada Zarinah Hassani kwa kitendo chake cha kushiriki kukejeli ujauzito wa mwanadada huyo.
“Girl so you know that it hurts to say hash words towards another human being I thought you never knew DO YOU REMEMBER THIS WORDS ---PREGNANT MY FOOT that was a very hash word to say to a human who is caring a creature in her womb try to fear God and he will deliver your needs..”mmoja alikomenti kwenye andiko hilo la Wema.
Siku za nyuma kidogo mwanadada Wema alishiriki kukashifu ujauzito wa mwanadada Zari aliopewa na Diamond ambae alikuwa ni mpenzi wa Wema, kwa kubandika picha mtandaoni ya Zari ikiwa na maneno  “Mimba My Foot”  (icheki hapo juu). Maneno ambayo sio ya kiungwana kabisa.
Japo kuwa Zari alitumia busara kubwa kumjibu, je unafikiri ni wakati sasa wa Wema kumtaka radhi Zari kwa kile alichomtendea?
 Mzee wa Ubuyu

Kajala: Nina Kibarua Kikubwa kwa Mwanangu Kwa Umri Aliofikia Anahitaji Uangalizi wa Nguvu

$
0
0
Kazi kwelikweli! Mkali wa sinema za Kibongo, Kajala Masanja ‘K’ amefunguka kuwa kwa umri aliofikia mwanaye, Paula Paul wa miaka 14 ana kibarua kigumu cha kuhakikisha anakuwa salama hasa kwenye suala la wanaume.
Akichezecha taya na Ijumaa Wikienda wikiendi iliyopita, Kajala alisema kuwa kwa umri huo, Paula ambaye alizaa na Prodyuza wa Bongo Records, Paul Matthysse ‘P Funky’ anahitaji uangalizi wa nguvu na kumsimamia kwa kila jamabo ili kuwakwepa ‘mijitu mikware’ ambao wanaweza kumrubuni.
“Dunia ya sasa watu siyo wema kihivyo lakini naamini sitashindwa na Mungu anisimamie,” alisema Kajala.
Viewing all 104709 articles
Browse latest View live




Latest Images