Quantcast
Channel: UDAKU SPECIAL
Viewing all 104417 articles
Browse latest View live

Breaking News: Ajali ya Daladala yaua watu 19 Leo jijini Mbeya

0
0
Ajali ya Daladala imeua watu 19 eneo maarufu kama Uwanja wa ndege, Kiwila, Mkoani Mbeya baada ya daladala hiyo kutumbukia kwenye Mto.
 
Habari  toka  eneo la tukio zinaarifu kuwa watu wawili tu ndio wamepona akiwemo kondakta. 
 
Ajali hii imetokea baada  ya Coaster zinazofanya safari zake kati ya Mbeya na Kyela kugoma hivyo baadhi ya daladala za mjini kuamua kubeba abiria.






VIJIMAMBO: Kwa Kauli Hii, Uwoja Ana Ujauzito?

0
0
Staa mrembo wa Bongo, Irene Uwoya amewaacha njia panda mashabiki wake baada ya kubandika picha mtandaoni akionekana yupo bafuni  akiwa amejishika tumbo na kuiandikia maneno akiwatata mashabiki wamtajiae majina mazuri ya kike.

“Ntajie majina mazuri yakike unayoyapenda.....”- Uwoya aliandika.

Kauli hii ilizua maswali mengi kutoka kwa mashabiki wakioji kama mrembo ambae ni mama wa mtoto mmoja kama anaujamzito au la, wengine walienda mbali zaidi wakisema kuwa inawezekana akawa ni mjauzito na anatarajia kujifungua mtoto wa kike.

Mbali komenti nyingi kumtaka atoe maelezo zaidi juu ya hili, Uwoya hakujitokeza kusema lolote hivyo hadi sasa mashabiki wake wapo njia panda wakijiuliza, …ana ujauzito au hana?

Swaga kama hizi ya mtandaoni huwa mara nyingi zina maaanisha picha picha za tumbo zimekuwa nyingi sana kutoka kwa mrembo huyo. ngoja tuendelee kusubiri kwani hili ni jambo la kheri.

Updates Kuhusu Kilichotokea leo Nyumbani Kwa Askofu Gwajima Sala Sala

0
0
Polisi wamefika nyumbani kwa askofu Gwajima mnamo majira ya saa kumi usiku, na walikua wakijaribu kuruka ukuta, lakini walionekana kushindwa na mmoja wao alisikika akitoa taarifa ya kuwa wameshindwa kuruka kwasababu ya electric fance..alisikika jirani mmoja akiongea..

Mnamo alfajiri kulikua na mvua kidogo ambapo watoto wa askofu huyo walionekana wakitoka kwenda shule kwenye gari aina ya wish. Na majira ya saa kumi na mbili na nusu mvua ilipokatika gari ilirudi ndani na mara, Polisi walipovamia na kuanza kugonga mlango kwa nguvu wakitaka kufunguliwa.

Polisi hao mwanzoni walikua wamevalia kiraia kabisa hivyo hawakufahamika kama ni polisi kweli au La.

Kuna vijana watatu waliokua wakipita eneo hilo. Walikamatwa na kupigwa makofi na kuhojiwa kama ni wa kwa Gwajima.

Tofauti na taarifa zilizosambazwa na Mitandaoni kuwa askofu huyo alikataa kuwafungulia baada ya wao kujitambulisha SI ZA KWELI, maana taarifa za uhakika kutoka kwa majirani polisi hawakufunguliwa mlango kabisa.

Polisi walikuja na magari mengi huku wakitaka kuingia ndani kinyume na sheria. Ambapo waliwaza kuruka na kushindwa kutokana na fance iliyopo.

Taarifa za jeshi la polisi kwa waandishi si za kweli.

Askofu Gwajima ameelekea central polisi kwa sasa bila escort ya polisi, akienda kusikiliza walichomjia asubuhi kwa magari na silaha za moto.
Updates will flow...

Gwajima apandishwa Mahakamani Kisutu; kesi yake haina mahusiano na Pengo!

0
0
Habari ndio hiyo, Gwajima ameburuzwa mahakamani muda huu na polisi.

Kwa taarifa niliyoipata inasema hivyo. 

Updates......

Kwa mujibu wa taarifa kutoka jeshi la polisi ni kwamba, Mashtaka yanayompeleka Gwajima Mahakamani hayana mahusiano na kashfa zake kwa Kardinali Pengo.

Source: ITV

Lulu afuta akaunti yake ya Instagram kufuatia kifo cha mtu aliyedaiwa kuwa mpenzi wake

0
0
Muigizaji wa filamu, Elizabeth ‘Lulu’ Michael mwenye wafuasi wengi kwenye Instagram, ameamua kujiondoa baada ya kushambuliwa kwa matusi na baadhi ya watu kufuatia kifo cha mtu aliyewahi kuwa mpenzi wake.

Kufuatia kifo cha kutatanisha cha Lusekelo Samson Mwandenga ‘Secky’, watu wengi walianza kumtukana Lulu wakimhusisha pia na kifo hicho huku pia wakipost picha zinazomuonesha alipokuwa na marehemu.

Hata hivyo mujibu wa Global Publishers, familia ya Secky imeweka wazi chanzo halisi cha kifo chake.

Familia hiyo imeeleza kuwa marehemu aliumizwa na kiti cha kioo akiwa kambeba mtoto wake nyumbani kwake kisha akapelekwa hospitali na baadaye kufariki dunia akiwa huko.

Katika hatua nyingine msanii mkongwe wa filamu, William Mtitu amefunguka na kuwataka watu kuacha kumshambulia Lulu kwa kitu ambacho hahusiki nacho.

“Lulu ni msanii mdogo sana kiumri na amepitia mitihani mikubwa sana katika maisha ambayo mimi na wewe kabda tusingeiweza kuikabili plz nawaomba tumuache kwa sasa inatosha jamani kumbukeni huyu ni binadamu na moyo kama nilivyokuwa mimi na wewe hivi utajisikiaje km utasikia lulu amejizulu kwa namna yeyote ile kutokana na maneno yako ya kumshambulia mitandaoni,” ameandika kwenye Instagram.

“Kumbukeni sisi ni banadamu atuijui leo yetu itaishaje wala kesho yetu itakuwaje? Plz inatosha sasa watanzania wenzangu. MTAARIFU NA MWINGINE.”

Miaka miwili iliyopita Lulu aliwahi kukaa jela kutokana na kushtakiwa kwa kumuua bila kukusudia Steven Kanumba aliyekuwa mpenzi wake.

NEC: Hatutaahirisha Uchaguzi Mkuu Oktoba, wala Kuiongezea Muda Serikali iliyopo Madarakani

0
0
Tume ya uchaguzi nchini (NEC)imesema tarehe ya Uchaguzi mkuu Mwaka huu iko pale pale  ambapo ni siku ya terehe 25 mwezi octoba mwaka huu.

Kauli ya NEC inakuja ikiwa ni siku moja kupita baada ya Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo Chadema Freeman Mbowe kuitangazi serikali kiama endapo itasogeza mbele tarehe ya uchaguzi mkuu

Akifanunua Kauli hiyo ya Mbowe leo Jijini Dar es Salaam,Mwenyekiti wa NEC Jaji mstaafu Damian Lubuva wakati wa Mkutano na Waandishi wa Habari amesema taarifa zinazosemwa na wanasiasa kwamba tume hiyo itasogeza mbele uchaguzi Mkuu  si za kweli na  zinalengo la kuwachanganya wananchi kwani tume hiyo inakwenda vizuri na uandikishaji wa Mfumo mpya wa BVR.

Jaji Damian ameongeza kuwa kwa sasa Uandikishaji wa Wapiga kura kwenye Mkoa wa mdogo wa Njombe unatarajia kumalizika kesho na kuanza rasmi uandikishaji kwenye mikoa mingine ya Mtwara,Lindi na Iringa ambapo amasema kwa sasa watafanya kwa kasi zaidi.

Amebainisha kuwa tatizo lililokuwa linawakabili kwa kuwa na mashine chache za uandikishaji wamelitatua kwakuwa sahivi tayari mashine nyingine 1600 zinatarajiwa kuwasili  kesho, jambo ambalo anadai litafanikishwa kasi ya uandikishaji.

Aidha,amesema shehena nyingine ya mashine inatarajiwa kuja tarehe 25 mwezi huu na mpaka ifikapo mwezi wa Sita mwaka huu watakuwa wameshapata mashine zote elfu nane walizokuwa wakizihitaji , jambo ambalo amesema litawafanya wamalize kuwaandisha wananchi nchi nzima  mwezi wa saba mwaka huu.

Picha Zikionyesha Hali Ilivyokuwa Nyumbani Kwa Gwajima Leo Baada Ya Kuzingirwa Na Jeshi La Polis

0
0
Askari wakiwa nyumbani kwa Gwajima.
  
Makamanda wa polisi wakiwa tayari kwa lolote.
  
Gari lililombeba Gwajima likitoka ndani ya nyumba yake kuelekea kituo kikuu cha polisi kwa ajili ya mahojiano.

Mawakili wa Gwajima wakisalimiana na mmoja wa maofisa wa polisi mara baada ya kufika eneo la tukio.
  
Waandishi wa habari wakiwa eneo la tukio.

Waumini wa Gwajima wakiwa wamezunguka nyumba wa askofu wao.
  
Kundi la wafuasi wa Gwajima wakifika nyumbani kwake mara baada ya polisi kuondoka eneo la tukio.
  
Baadhi ya watu waliokuwemo ndani ya nyumba ya Gwajima wakichungulia dirishani.
 
****
Wakati  taarifa zikisambaa kwa kasi kwenye mitandao ya jamii kuwa nyumba ya Askofu wa Kanisa la Ufufuo na Uzima, Josephat Gwajima, imezingirwa na polisi, habari kamili ni kwamba zoezi la kumkamata askofu huyo lilishindikana baada ya kugoma kufungua geti lake.
 
Polisi hao waliokuwa na silaha walifika nyumbani kwa askofu huyo maeneo ya Salasala jijini Dar wakiwa kwenye magari zaidi ya manne ambapo walipiga kambi katika eneo hilo kwa saa sita huku njia hiyo ikiwa imefungwa kwa saa kadhaa kabla ya waandishi wa habari na baadhi ya waumini wa askofu huyo kuruhusiwa kupita.
 
Hata hivyo baada ya polisi hao kuzungumza na mawakili wa Gwajima na viongozi kadhaa wa kanisa hilo, waliamua kuondoka huku wakitoa amri kiongozi huyo afike kituo kikuu cha polisi  kwa ajili ya mahojiano zaidi ambapo alifika na baadaye kufikishwa katika Mahakama ya Kisutu ambapo alisomewa  mashitaka  mawili  ya  kutoa lugha ya matusi na kushindwa kutunza silaha.
  
Askofu  huyo  ameachiwa  kwa  dhamana  na  kesi  yake  itaendelea  Mei 4  mwaka  huu.

Mtazame Hussein Machozi Kwa Mara ya Kwanza Akiongelea Tetesi za Yeye Kuwa Amefariki Dunia Jana kwa Ajali ya Gari-BONGO FUSE

0
0
Jana Kila Kona kwenye mitandao kulizuka habari kuwa Hussein Machozi Amefariki Dunia kitu ambacho kumbe hakikua Kweli ..Msikilize Hussein Machozi Kwa Mara ya Kwanza akiongelea Tukio hilo na Pia habari ya yeye kukimbia Kenya Baada ya Kufumaniwa na Mke wa Mwanasiasa wa Kenya Hotelini Wakibanjuka.......

Bongo Fuse TV Inakuletea Uhondo Huo Hapa Chini: 
Bonyeza Play



Wema Sepetu 'Mimi SINA Kinyongo na DIAMOND ila Yeye Ndio Anakinyongo na MIMI, Nilimwandikia Message Kumpa Pole ila Hakunijibu'

0
0
Akizungumza kwenye kipindi cha Ubaoni cha EFM leo, Wema alisema kuna siku alimtumia ujumbe wa simu Diamond kumpa pole kwa kumuuguza mama yake lakini alimchunia.

“Tumeshaachana kwanini tuwekeane grudges,?”alihoji Wema kwenye kipindi hicho. “Tulikuwa pamoja lakini tumeachana kwanini tuwekeane bif, kinyongo? Mimi leo na kesho nikutana na mtu kama Jumbe siwezi kumpita nikasema nisimsalimie! Nikutana na mtu kama Chaz Baba, Chaz Baba mara ya mwisho juzi kaja nyumbani kaja kaniona alikuwa kaniletea kambwa tuongea kishkaji! Kwahiyo kama ulikuwa na mtu halafu mkaachana hamtakiwi kuwekeana kinyongo,” alisisitiza.

Mimi siwezi kuwa na kinyongo na Diamond hata siku moja lakini imekuwa iko tofauti kwa sababu mwenzangu hayuko hivyo anataka ile no! No! sijui ni kwa nini lakini labda kila mmoja ana jinsi anavyofikiri.”

Sijawai kumpigia simu ila nilishawakumtext, nilisikia kwamba mama yake anaumwa baada ya kusikia mama yake anaumwa nilim-text kama pole kwa sababu sina kinyongo naYe nikampa pole lakini kama nilivyoowambia mwenzangu yupo tofauti, nilifanya kibinadamu yule mama mimi hajanikosea.

Aliyekuwa Mume wa SHAMSA FORD Alipiza Kisasi, Amwagia Sifa Siwema Aliyekuwa Mchumba wa NAY WA MITEGO Kumuumiza Shamsha

0
0
Mume wa Shamsa Ford, Dicky ametumia ukurasa wake wa Instagram kumwagia sifa aliyekuwa mpenzi wa Nay Wa Mitego, Siwema.

Hatua hiyo imekuja siku chache baada ya aliyekuwa mke wa Dicky, muigizaji Shamsa Ford kuonekana kwenye picha zilizosambaa mtandaoni akimbusu Nay wa Mitego!


Hivyo anachokifanya Dicky kwa sasa ni kulipiza kisasi kwa Nay aliyemchukulia mke wake!

Hizi ni picha alizoweka kwenye Instagram na kumwagia sifa Siwema.


PICHA: Zitto Ana nini Mpaka Umati Kama Huu Unaenda Kumsikiliza?

0
0
Wadau ni Nini siri ya umati huu katika mikutano ya ACT...yani mpaka watu wananyeshewa mvua wakimsikiliza Zitto kabwe...ndo kusema kuna kitu watu wanakihtaji na ni zitto pekee anayeweza kuwapatia????????

Dr. MENGI Ashtushwa na Taarifa za yeye Kutaka Kuiangusha Serikali ya Kikwete

0
0
Akizungumza na waandishi wa habari leo, Dr Mengi amesema ameshtushwa na taarifa zinazomshutumu kuiangusha serikali ya Rais Kikwete.

Habari hizo zilichapishwa na gazeti la 'TAIFA IMARA' likieleza mipango ya Mengi kumwadabisha Rais JK hata baada ya kumaliza muda wake.

Mengi amesema Rais alipewa taarifa hizo na Zitto Kabwe (kwa mujibu wa gazeti hilo) na anashangaa kuona mpaka sasa Kurugenzi ya mawasiliano ikulu haijakanusha.

Mengi ameendelea kusema kuwa Rais ni Amiri Jeshi Mkuu wa Majeshi yote kwa hiyo kutokanushwa kwa tuhuma hizo kunampa hofu ya maisha yake kwa sasa.

WEMA SEPETU afunguka 'Ninammiss sana Diamond, sema IQ yake ndogo'

0
0
Wema anaojiwa sasa hivi na Gardner G Habash, anasema ni namna gani anammiss Diamond.

"Unajuwa diamond ni mtu tuliyekaa nae miaka mingi sana hivyo kama binadam uwa natokea kummmiss sana".
Anaendelea... "Sometimes uwa naweka nyimbo zake kwenye gari langu sababu pamoja na yaliyo tokea mi ni shabiki na nimefall sana kwake... Najua kuna watu wataichukulia vibaya kwamba oooh oooh amemmiss amemmiss ila mimi nimeamua kuwa honest. Kuna kipindi inanitokea tu nammiss sana unajua kuna vitu tulishea na yale mazoea kwa kweli nammiss ata yeye najua ananimiss ila anajifanya tu.

Nilishawai kumtext lakini hakunijibu, lakini namjua mwenzangu mkishakaa mbali ana zile kupoteza moja kwa moja, unajua mimi sio mswahili na haya mambo kila mtu na IQ yake mimi ata tukiachana tutabaki marafiki ila mwingine unakuta tatizo sijui malezi au IQ sijui.

Source : EFM na Gardner & Bikirawakisukuma

Husein Machozi' Mimi Sijaoa Bado Mwanamke wa Kimombasa Aliyetangaza Kafunga Ndoa na Mimi Anatafuta Kiki Mjini

0
0
Baada ya Mwanamke wa Kimombasa kuitangazania Dunia kuwa amefunga ndoa ya Kiislam na Mwanamuziki Hussein Machozi Huko Mombasa na Baadae Hussein Machozi kuikimbia Ndoa  , Hussein Machozi Amefunguka ukweli wote kwenye hii Video hapa chini:
Video:



Wema Sepetu: Niliwahi Kutoa Mimba Moja tu ya Kanumba Kwa Vile Nilikuwa Mdogo Sana, Wanao Sema Nimetoa Mimba Nyingi ni Waongo

0
0
Anazungumzia ishu ya kupata mtoto ndani ya EFM Radio Jana... Anasema watu wanaomsema hapati mimba kwa kuwa ametoa sana mimba, ni uongo kwa kuwa ameshatoa mimba moja tu tena ya Kanumba na kwa kuwa alikuwa mdogo.

Anasema ndoto yake ilikuwa kuzaa na Diamond ila hakuwahi kupata ujauzito ila ameangaika sana kupata na Diamond na wamehustle together kumpata mtoto ila haikuwezekana.

Anasema tangu hapate hiyo mimba ya Kanumba hakuna mwanaume ambaye ameshawai kumpa ujauzito. Anachukia sana watu wanapomkashifu kwa kuwa ata yeye ili swala lina muumiza sana.

Source:EFM
Miss Wema Sepetu


Kundi lingine la watoto limekutwa kwenye misikiti ya mji wa Dodoma

0
0
Kuna tetesi kuwa kuna kundi la watoto zaidi ya mia, wengine wakiwa na miaka mitatu tu,wamekutwa kwenye misikiti mbali mbali ya mji wa dodoma. Wengi wakitokea mikoa mbalimbali ya Tanzania.

Mkuu wa wilaya ya Dodoma Mjini, ambaye ni mwenyekiti wa Kamati ya Ulinzi na Usalama, Betty Mkwasa alisema jana kuwa aliyoyaona katika kituo hicho hayakubaliki.

“Kwanza watoto wanalala wengi, hakuna hewa ya kutosha, wanajipikia wenyewe chakula na hawana uangalizi wa watu wazima,” alisema Mkwasa.

Alisema serikali haikatai dini yoyote kufundishwa kwa watoto bali taratibu, kanuni, sheria pamoja na haki za mtoto lazima zifuatwe.

“Siwezi kujua walikuwa wanafundishwa nini lakini baada ya upembuzi yakinifu utakaofanywa na wataalam ambao nimekuja nao, tutaweza kuzungumza kama walifuata kanuni na utaratibu,” alisema.

Mwananchi ilipofika katika moja ya kituo hicho, jana asubuhi lilikuta watoto hao wakicheza kwenye eneo hilo lililokuwa chini ya ulinzi wa polisi waliokuwa na silaha za moto.

Watoto wengi walikuwa hawajavaa viatu na baadhi yao walisema kuwa viatu walivyokuja navyo kutoka makwao vimeshakwisha.

Bakwata

Sheikh mkuu wa Mkoa wa Dodoma, Mustafa Shaaban Rajabu alisema wanakitambua kituo hicho kama ilivyo kwa vituo vingine vinavyofundisha dini ya Kiislamu.

Sheikh huyo alipinga suala la watoto kukosa elimu, akisema wazazi wao wamehiyari vijana wao kusoma dini tu.

“Naomba ifahamike kuwa, wapo wazazi ambao wanapenda watoto wao wasome dini tu na hata mimi nilisoma hivyo kabla ya kwenda nje kwa masomo zaidi na kurudi,” alisema.

Alipinga suala la kusajiliwa kwa kituo akisema viko vituo vingi havijasajiliwa hata katika dini nyingine, lakini havisumbuliwi na kushangazwa kuona utaratibu wao unakuwa na shida.

Kwa upande mwingine alishauri Bunge kutunga sheria kali kwa ajili ya kuvilazimisha vituo vyote kuwa na usajili ili viweze kufuatiliwa kulingana na matakwa ya serikali.

Kwa upande wake, katibu wa Bakwata mkoani hapa, Hassan Kuzungu, aliyeongozana na kamati hiyo, alieleza kusikitishwa na kitendo cha mazingira waliyokuwapo watoto hao.

Mwenyekiti wa Mtaa wa Nkhungu, Kasian Mponela alisema kuwa amekuwa akiwaona watoto hao, lakini hajui wanachojifunza hapo.

Alisema suala la kuangalia kama wanajifunza dini au mambo mengine sio jukumu lake, kwani yeye anajua kila mtu anapanga mwenyewe matumizi ya nyumba yake.

Nahisi Rafiki Yangu Anataka Nimsaidie Kumtia Mimba Mke Wake

0
0
Kuna jamaa yangu yupo kwenye ndoa kwa miaka saba na hajafanikiwa kupata mtoto..hivi karibuni analikuwa ananipigisha stori fulani hivi ambazo nilikuwa sizielewielewi.

Juzi amekuja kutoka Morogoro amekuja nyumbani kwangu Dar anasisitiza anataka nimsaidie kutafuta dawa ili mkewe apate ujauzito eti wamekubaliana na mkewe wanishirikishe mimi kwa sababu ni msiri na mstaarabu.

Ili mke wake apate ujauzito kumbuka mimi siyo daktari. Alivyoona nakuwa mkali akaniambia atanipigia simu akifika Morogoro ili tujadiliane vizuri. 

Ameondoka leo asubuhi kimsingi mimi sijaoa na sijaona sababu ya kufanya ujinga huo. Wanajukwaa mimi msimamo wangu ni hapana. 

Ushauri tafadhali

K-Lyn Decides to Change Her Name Right After Her Wedding with Tycoon Reginald Mengi

0
0

The mother of two changed her name from Jacqueline Ntuyabaliwe to Jacqueline N Mengi.......

"Life isn't happening to you; life is responding to you."-this is her new tagline on Instagram

South Africa King Replies to The Looting Issues - We Won't Apologise, Foreigners Are Not Welcome

0
0
King Goodwill Zwelithini stands by his view that foreigners should go back to their home countries.
        
KING Goodwill Zwelithini meant each and every word when he said foreigners must pack their bags and get out of South Africa.

So said Zwelithini’s spokesman, Prince Thulani Zulu, who told Daily Sun yesterday the king has nothing to be sorry for.

The Zulu king’s outburst came on Saturday during his speech at a moral regeneration event in Pongola, northern KZN.

In the presence of both Police Minister Nathi Nhleko and provincial MEC Willies Mchunu, the king was reported to have told the gathering that it was time foreigners were told to return to their countries.

The king accused them of messing up the country’s towns by hanging their fake clothing brands on the streets.

Now when you walk down the street you can’t recognise a shop you used to know because it has been taken over by foreigners who mess it up by hanging up rags,” the king said.


His remarks were widely condemned as encouraging hatred towards foreigners, which may result in more violent behaviour towards them.

But Prince Thulani said the king won’t apologise because he stood by what he said.

I think the people who’re complaining are misinterpreting his speech.

“He didn’t say foreigners must be attacked or harassed.

“The king was talking about foreigners who are here illegally.

“Some are involved in serious crimes like drug and human trafficking.

“We don’t need such people in our country so the king is right,” said Zulu.

The king’s speech has been strongly criticised for fuelling hatred against foreigners by the Somali Association of South Africa and the Congolese Solidarity Campaign.

The provincial government distanced itself from the king’s speech. It said it was guided by the Constitution, which guarantees human rights for all in SA.

Diamond's Sister Esma Shows Off Her Baby Bump see Photos

Viewing all 104417 articles
Browse latest View live




Latest Images