Quantcast
Channel: UDAKU SPECIAL
Viewing all 104789 articles
Browse latest View live

Samweli Sita Aja na Mpya..Atoa Sifa Zinazomfanya Bora Kuliko Wote na Zitakazomfanya kuwa Rais 2015

$
0
0
Waziri wa Uchukuzi, Samuel Sitta amesema anasubiri kukamilika kwa utaratibu wa CCM wa kugombea urais ili aingie rasmi kwenye mbio hizo kwa kuwa anaridhika na mambo matatu ambayo anasema yanamfanya ashawishike kugombea nafasi hiyo.

Msome mwenyewe mambo anayojivunia nayo...

“Niliendesha Bunge la Katiba kwa mafanikio na hata kupatikana kwa Katiba Inayopendekezwa,Watanzania wataangalia wenyewe historia yangu kwani mimi ndiye mwenyekiti niliyefanikisha kutimiza ndoto za Watanzania kupata Katiba mpya kupitia Bunge Maalumu la Katiba, haikuwa rahisi katika tukio hilo,” alisema.

“Mimi ndiye niliyebadilisha Bunge baada ya kubadilisha kanuni za Bunge mwaka 2007, ambazo zilitoa uhuru, haki na usawa kwa wabunge wote bila kujali wapinzani,” alijigamba.

“Bunge langu ndilo liliibua umaarufu wa wapinzani na ndipo wakaibuka akina Zitto Kabwe na Dk Wilbroad Slaa kwani walipata nafasi ya kuibua hoja na kuhoji udhaifu wowote wa Serikali.”

“Nilipingwa sana lakini nikasema hapana, kuna Tunu za Taifa zilizokuwa zimeharibiwa na lazima tuzirejeshe na matokeo yake kwa sasa yameanza kuonekana,” “Hata katibu mkuu wetu wa CCM, Abdurahman Kinana ambaye anakosoa Serikali na kuagiza uwajibikaji, siyo kuwaachia wapinzani tu, anayaona na anasema kwa kuwa wanaofanya hayo yanayoonekana ni watu wetu ndani ya CCM,”

“Nimefanya kazi na marais wa awamu zote, wananikubali kwa kuwa mimi ni mchapakazi. Wasingekuwa wananichukua kama si mchapa kazi,” “Katika kipindi hiki, lazima Watanzania wachuje na waangalie ni kiongozi gani atakayewafaa katika uongozi ujao na si kukurupuka na kudanganywa,” alisema.

Haya kama Mh. Samuel Sitta atapitishwa na chama chake ndo agombee uraisi unamkubali???

Stanbic Bank Yakwama Kutaja Majina ya Waliochota Pesa za Escrow Kwa Malumbesa na Rambo, Yatimua Wafanyakazi Kadhaa

$
0
0
Taarifa za ndani ya Stanbic zinadai kuwa benki hiyo imeshindwa kutaja majina ya waliochota mabilioni ya Escrow kwa Malumbesa na Rambo. Taarifa hizo zinadai kuwa, pamoja na kuwepo kwa nia hiyo, benki hiyo ilikumbana na vikwazo vya ndani na nje ya benki hiyo hadi kukubali kukaa kimya. Ilipangwa kuwa,majina ya waliochota mabilioni ya Escrow kupitia miamala ya Stanbic yangewekwa hadharani hadi kufikia Aprili 1,2015.

Hatahivyo, Stanbic inadaiwa kuwatimua kazi wafanyakazi mbalimbali waliohusishwa na miamala hiyo iliyokuwa na harufu na tuhuma za ufisadi. Wafanyakazi hao ni wa ngazi na kada mbalimbali ndani ya Stanbic. Huu ndiyo mwisho wa filamu ya kujulikana kwa waliochota mabilioni ya Escrow kwa lumbesa na rambo? Tujipe moyo!

By Mzee Tupatupa wa Lumumba,Dar es Salaam

Huyu Ndio Mfalme wa Wazulu Aliyeagiza Waafrika Ambao Sio Wasauz Wapigwe

$
0
0
Huyu jamaa Mfalme wa Wazulu nchini Afrika ya Kusini,ndiye aliyeagiza waafrika toka nje ya Afrika Kusini wauawe.
Ati kisingizio watu wa Afrika Kusini hawana kazi na kazi zao zinachukuliwa na wageni.
Kwa wanaoikumbuka vizuri historia ya mapambano Afrika Kusini, Kabila la wazulu hawakushiriki kikamilifu katika vita ya ukombozi.

Chief wao maarufu anayejulikana Chief Mangosuthu Buthelezi alikuwa anajikomba sana kwa utawala wa makaburu, na baada ya uhuru ni kama amesahaulika kabisa.
Chief huyu alianzisha chama kinaitwa Inkatha Freedom Party, lakini hakikupata umaarufu wowote maana kilikuwa cha kikabila sana.
Watanzania tuwe macho.

Nasema Nawe: Hakuna Msanii Anayeweza Kuimba Mduara Kama Mimi Mjipange Upya– AT

$
0
0
Msanii wa Bongo Flava na muziki wa Mduara kutoka visiwani Zanzibar, AT anaamini hakuna msanii Tanzania anayeweza kufanya mduara kama yeye!

Kupitia Instagram, AT amesema, “Nasema hivi hakuna Msanii atatokea kupita njia nnayopita kakika kuimba Mduara wala Hakuna video Ya Mduara itakayofunika Sijazoea kwa ubora wa Pc na Muonekano wa uzuri hii wiki ndio ntaifyatua Hewani Mjipange upya.

Unahisi AT ‘Anasema’ na Diamond?

Wanigeria Wacharuka Wasema Mauji ya Wageni Yakiendelea South Africa Mashirika ya Sauzi Yaliyopo Nigeria Kama DSTV, MTN na Shoprite Yatafungwa

$
0
0
The Nigeria Govement Handed  memorandum to the South African Embassy in Lagos.
If the demands in the memorandum are not met, Tolu said, South African businesses in Nigeria will be shut down.

“We actually handed a letter to the South African embassy yesterday, making them aware that we are not happy with what is going on in South Africa. Should there be any more attacks, we are going to shut down South African businesses in Nigeria. That is MTN, Multi Choice, DSTV ,Shoprite etc,” he said.

Breaking News: Majambazi Yatiwa Mbaroni jijini Dar Yakiwa na Bunduki 2

$
0
0
Watuhumiwa wa Ujambazi wakiwa wamewekwa chini ya Ulinzi mara baada ya kutiwa mbaroni kwenye mataa ya Red cross katikati ya jiji Dar es salaam mchana huu.
 
Inaelezwa kuwa Majambazo hao walimvamia na kumpora raia mmoja wa kigeni (Mzungu) maeneo ya Kinondoni na kufanikiwa kukimbia, lakini kumbe wakati wanafanya tukio hilo kuna raia aliwaona na alijitolea kuwakimbiza kwa gari na kufawanikiwa kuwablock maeneo hayo ya Red Cross ambapo huwa na askari wengi wa doria, wamekamatwa na bunduki mbili.



Tusiwachukue Wanaijeria, Tutoe Ngoma kali Tutaenda nao Sawa – Diamond

$
0
0
Diamond Platnumz amewasihi wasanii wa Tanzania kuacha kulalamika kutawaliwa na muziki wa Nigeria bali wanatakiwa kutoa ngoma kali kuwapa ushindani.

Diamond alitoa kauli hiyo kwenye 255 ya XXL kupitia kituo cha redio cha Clouds FM.

Unajua huwezi kuwalaumu tu Wanigeria, wao walitumia taaluma yao na technique zao ili kuteka soko, sasa ukionekana unamind utaonekana pia hauna akili ya kibiashara,” alisema.

Cha muhimu nikuhahakikisha unatoa nyimbo kali ambayo itasikika yako na kuifunika hizo za Nigeria.

Tunatakiwa wasanii wa bongo kutoa ngoma kali ili mashabiki wapende maana huwezi kumzuia Dj asipige nyimbo za Nigeria maana mashabiki wanaomba inabidi na sisi tufanye hivyo ili uombwe muziki wetu zaidi. Mfano zamani zilikuwa zinafanya vizuri nyimbo za Kongo lakini baada ya kuanza kutoa ngoma kali sasa hivi huzisikii tena kama zamani.

"Inabidi pia sasa hivi tufanye hivyo tusilalamikie ma Dj tu, naamini sasa hivi muziki wa Tanzania umeshakua. Kinachotakiwa ni kuzuia soko la nje lisiteke muziki wa Bongo kwa kutoa kazi nzuri zaidi,” alisisitiza.

Dada wa Diamond Esma Platnumz Awacharukia Team Wema Wanaomkataza Asisapoti Show ya Diamond na Zari Mlimani City

$
0
0
Baada ya Kupost Picha akisapoti Show ya kaka yake Diamond na Zari Mlimani City Baadhi ya Mashabiki hasa wale Ambao wako Team Wema Walianza Kumtukana Esma na Wengine kuuliza Maswali kwanini anapost na wakati mume wake Petitman ni Maneja wa wema ..

Esma aliingia mtandaoni na Kuwajibu kama hivi:

'Naomba nieleweke mi hivi kwanini mnapenda kukuza mambooo... na kwanini mnapenda kunipangia vitu vya kupost ktk sim yangu mwenyewe alafu kabla hamjaongea fikilieni mara mbilimbili mnachoongea sio mnakurupuka mnatukana watu bila sababu so mlitaka nipost niwaambie watu wasiende #mlimanicity wat...?😳 nitakuwa mwanga bac mkataaa kwao mtumwa kitu kinachomuhusu naseeb nitapost mwanzo mwisho sasa nyinyi kwaakili zenu zilizokuwa fupi mlizani nikiwa na petty ndio naweza ikataa familia yangu niingie familia nyingine haitotokea sina akili za kushikiwa kiasi hicho.. tukaneni mnavyojiskia na mnaotaka kujua km siko na petty soon mtajua km niko nae au siko nae... nimemaliza haya chambeni mtanikuta leba ' Esma

Picha Feki ya Nyoka Mkubwa Anayesemekana Kukutwa kwa Diamond

$
0
0
Ukisikia mitandao wakati mwingine mibaya, kuna watu wenye nia mbaya wametengeneza picha ya nyumba ya Diamondi ikionyesha kuwa anafuga nyoka mkubwa. Picha hii kwa sisi wataalamu wa uchoraji inaonekana kuwa ni ya kutengeneza kwani kuna vielelezo macho vinavyoashira kuwa ni ya kuchonga

Huyu mtu ameshindwa ujanja mdogo wa kutengeneza kivuli, kwa sababu nyumba inaonyesha kivuli, mtengenezaji amembanananisha sana na ground floor wakati nyoka huwa ni wa mviringo , kuna mambo wengi tu yakuonyesha kuwa amefeli.

Ni hayo wasimwonee wivu mtoto wa wenzie, kapata kiharali.

Afande Sele: Nikipata Ubunge nitanyoa Rasta

$
0
0
Hii ni kauli ya Msanii na Mkongwe wa muziki wa kizazi kipya nchini, ndugu Afande Sele (MB. Mtarajiwa). Afande ametoa kauli hiyo na kuongeza kwamba hatokuwa na budi kunyoa rasta na kubadili mwonekano wake endapo atalazimika kufanya hivy

Sababu 5 Zinazosababisha Uume Kuwa Mdogo (Kibamia)...Soma Hapa Kidume Ufahamu

$
0
0
Mwanamke Akishangaa Maungo ya Mpenzi wake
Kundi kubwa la wanaume ambao wanashindwa kufurahia tendo la ndoa kutokana na kuwa na uume mdogo kupita kawaida...
Wanaume walio na tatizo hili wengi wao huwa hawana confidence ya kuingia katika mahusiano na wasichana ama wanawake wanao fahamiana nao kutokana na kuogopa " siri" zao kujulikana hususani pale uhusiano wao unapofika mwisho..Ikitokea mwanaume akiwa katika uhusiano na mwanamke "mcharuko" ( asiye mstaarabu ) mwanamke huyo anaweza kuanza kumvua nguo hadharani kwa kumtangazia kwa watu kuwa na uume mdogo . " Mwanaume utakuwa wewe!" na lugha za namna hiyo hutawala midomoni mwa wanawake hawo....


Matokeo yake sasa wanaume walio na tatizo hili huamua kutokuwa na uhusiano wa kimapenzi na wanawake wanao fahamiana nao, na badala yake huamua kuanzisha tabia ya kuwa wanajamiiana na wanawake wanaouza miili yao amakujihusisha na upigaji punyeto n.k.

NINI CHANZO CHA UUME KUWA MDOGO.

1. Kupiga Punyeto kwa muda mrefu..
Hali hii husababisha kusinyaa kwa uume na hatimaye uume kurudi ndani.
2. Kuugua chango la uzazi.
3. Magonjwa ya utotoni.
4. Kutahiriwa mapema 
5. Kurithi kutoka kwa wazazi :

Wanaume wengine wana maumbile madogo kwa sababu wamerithi maumbilehayo kutoka kwa wazazi wao.
~JamiiForums

Nitaachaje kupenda makalio ya wanawake? Napitiliza Hadi Kituo Kisa Nimeona Mwanamke Mwenye Kalio Kubwa Ndani ya Dalala..Ushauri

$
0
0
Mwenzenu karibia naumbuka yaani nikiona mwanamke mwenye makalio makubwa nachanganyikiwa kabisa nakupoteza network, yaani inafikia mahali hata kama niko kwenye daladala naenda mahali akipanda mwanamke aliyejaliwa maeneo ya nyumba basi nihakikisha nashuka kituo atakachoshuka hata kama nikupitiliza napoenda naona sawa tu ili mradi nimpe maneno mawili matatu huyo mwanamke . 

Hii Tabia imenifanya nipoteza muda na mambo mengi ya msingi katika maisha yangu , moja kubwa nakumbuka mwaka jana niliitwa kwenye interview shiriki moja maeno ya Kijitonyama sayansi, nikiwa kwenye daladala kutokea mwenge kwenda posta nilijikuta nimefika posta kwa kumfuata mdada mmoja, baada ya hapo nikajikuta nimechelewa hiyo Interview na mbaya zaidi huyo dada hakutaka hata kuongea na mimi baada ya kushuka kwenye dalala.

Waungwana Naombeni ushauri nifanye nini niache hichi kitabia?

Lulu: Kuharibu ni Rahisi Kuliko Kujenga 'Habari za Ubaya Zinasambaa Sana Kuliko za Kujenga'

$
0
0
Staa wa Bongo Movies,  Elizabeth Michael ‘Lulu’ anasema baadhi ya watanzania wanapoteza muda wao katika mitandao ya kijamii kwa ajili ya kuwaumiza wengine na kuwatusi bila sababu, huku wakiwa makini kusikiliza mabaya na kuyavumisha tofauti na taarifa njema zenye faraja kwa jamii.

Ukiwa kama Binadamu kila jambo ukitaka kulisambaza kwanza tafakari katika nafsi yako, je huyo unayemtenda hana maumivu kama mwanadamu, tumekuwa mabingwa wa kuwaumiza wengine kupitia mitandao ya kijamii bila huruma,”

Sijui kuna mtu anayeombea maumivu kila mara kwani iwe Lulu kila jambo baya, na asiwe mtu mwingine hiyo inaonyesha hata wanaojiita marafiki zangu waweza kuwa maadui zangu,”anasema Lulu.

Lulu anasema kuwa kuharibu ni rahisi sana kuliko kujenga kwani mara nyingi habari za kujenga ubaya zinasambaa sana kuliko wema, lakini anaamini kuwa Mungu ndio kila kitu na ajua ukweli wa kila jambo na hawezi kumhukumu mtu yoyote.

Mama Lulu Michael Afunguka Kwa Uchungu 'Mwanangu Yupo Katika Wakati Mgumu Sana Mwacheni Mwanangu Apumzike'

$
0
0
Na Imelda Mtema
Kufuatia kuandamwa na skendo za wanaume na kuchafuliwa kila siku, mama mzazi wa staa wa sinema za Kibongo, Elizabeth Michael Kimemeta ‘Lulu’, Lucresia Karugila ‘Mama Lulu’ ametoa kauli nzito yenye kushtua kwamba anatamani mwanaye huyo afe tu ili watu wanyamaze kumsemasema. Imemuuma sana!

YOTE HAYA KISA MITANDAO
Mama Lulu amefunguka hayo siku kadhaa baada ya mitandao ya kijamii kuchafuka kwa habari za binti yake na wanaume hasa wa watu huku mwenyewe (Lulu) akiwa nyumbani kwake Mbezi-Beach jijini Dar akiwa hana hili wala lile.

TUJIUNGE NA MAMA LULU
Akizungumza na gazeti hili, mama Lulu alisema mambo mazito kuwa, hakuna mzazi ambaye hata siku moja anaweza kuvumilia kuona mtoto wake akiandamwa na kashfa ambazo si za kweli.

MANENO KUNTU
“Mimi ndiye nimemzaa Lulu, najua uchungu wa mtoto kama mzazi.
“Wanaomsema Lulu vibaya wakumbuke hata mimi nina moyo kama wao, si chuma hivyo hata mimi naumia kama ambavyo mwanamke yeyote mwenye kujua uchungu wa mwana ni nini anaweza kuumia.“Ni mzazi gani mwenye moyo wa chuma wa kuona mwanaye anabebeshwa shutuma nzito kama hizo kila kukicha halafu akanyamaza au kufurahia?
“Watu wanamfuatilia na kumsakama sana mwanangu. Hawamwachi apumue,” alisema mama Lulu kwa uchungu huku machozi yakimtoka.

Mzazi huyo aliendelea kusema kuwa, anaamini kwamba mambo mengine yanayotokea katika maisha ya mwanaye ni mipango ya Mwenyezi Mungu hivyo haoni sababu ya Lulu kubebeshwa lawama za ajabu.
Mama huyo alisema kuwa watu hao wanataka mwanaye afe kwa sababu kuna wakati anakosa raha ya dunia hivyo naye anatamani afe tu ili watu wamwache apumzike.

KIPINDI KIGUMU CHA MITIHANI
Mama Lulu aliendelea kueleza kuwa, Lulu kwa sasa yupo kwenye kipindi kigumu cha mitihani (anasoma Chuo cha Utumishi wa Umma Tanzania (TPSC), Magogoni-Posta jijini Dar) lakini anawezaje kufanya vizuri huku kuna baadhi ya watu wakimsemea maneno yasiyofaa?!“Atawezaje kufanya vizuri wakati watu wanamwandama kila kukicha? Huko kote ni kumkatisha tamaa hivyo nimemwambia mwanangu amwachie Mungu na kusali sana,” alimalizia mama Lulu.

HUYU  HAPA LULU
Baada ya kuzungumza na mama huyo, mwandishi wetu alimtafuta Lulu ili kumsikia na yeye ana mtazamo gani kuhusu shutuma hizo ambapo alisema kila kitu anamuachia Mungu pekee na si mwingine hivyo kwa sasa aachwe asome.“Kila kitu changu nimemuachia Mungu maana hakuna mtetezi wangu zaidi yake, ndiyo maana ninasali sana ili Mungu anisaidie,” alisema Lulu.

Habari Zilizopo Katika Magazeti ya Leo Jumatano ya Tarehe 22 April 2015

$
0
0
Habari Zilizopo Katika Magazeti ya Leo Jumatano ya Tarehe 22 April 2015






















Habari  Zilizopo  Katika  Magazeti  ya  Leo  Jumatano  ya  Tarehe  22  April  2015

Kesi ya Mtoto Nasra Mvungi ( Mtoto wa Boksi) Yahamishiwa Mahakama Kuu Kanda Ya Dar Es Salaam........Baba Yake Mzazi Afutiwa Shitaka La Mauaji

$
0
0
Rashidi Mvungi baba wa Marehemu Nasra Mvungi ameondolewa katika shtaka la mauaji baada ya upande wa ushahidi kutomtia hatiani na hivyo shitaka kubaki kwa washatakiwa wawili.

Mahakama ya hakimu mkazi mkoa wa Morogoro imeondoa  shitaka hilo kwa Mvungi baada ya kuridhishwa  na ushahidi uliotolewa dhidi yake kuwa hana hatia.

Shitaka la mauaji kwa sasa limebaki kwa Mariam Saidi ambaye ni mama mkubwa wa Nasra Mvungi na Omary Mtonga mume wa Mariam Saidi ambao walikuwa wakiishi na mtoto Nasra kwa kumfungia katika boksi kwa muda wa miaka mitatu.


Mtuhumiwa Omari Mtonga akiwa chini ya ulinzi baada ya kugoma kutoka kwenye chumba cha mahakama ya hakimu mkazi wakati akirudishwa katika chumba cha mahabasu mara baada ya kusikiliza kesi inamkabiri ya mauaji ambapo kesi hiyo sasa itasikilizwa katika mahakama kuu kanda ya Dar es Salaam. Picha Juma Mtanda.

Mwendesha mashtaka wa serikali mkaguzi msaidizi wa polisi Aminatha Mazengo akisoma shitaka la mauaji mbele ya hakimu mkazi wa mahakama ya hiyo Irvan Msacky,kwa washitakiwa hao wawili alidai mahakamani hapo kuwa mahakama ya hakimu mkazi mkoa wa Morogoro haina mamlaka ya kusikiliza kesi ya mauaji.

Mazengo alidai kuwa kesi hiyo kwa sasa tayari imefunguliwa katika mahakama kuu  kanda ya Dar es salaam na kwamba inasubiri vikao vya mahakama kuu ili iweze kusikilizwa.

Akitoa maelezo ya kuondolewa kwa Rashidi Mvungi katika kesi hiyo,hakimu mkazi Irvan Msacky alisema kuwa ameondolewa katika shitaka la mauaji kutokana na ushahidi kutotoshereza na kumtia hatiani moja kwa moja na hivyo kuondolewa katika kesi ya mauaji.

Wakati kesi hiyo ikiwa imemalizika kusikilizwa,mshtakiwa Omary Mtonga alianzisha zogo kwa kutaka apatiwe mwendeno wa kesi ya awali kabla ya kupelekwa ngazi ya mahakama kuu kanda ya Dar es salaamu.

Aidha kutokana na kuonyesha hali hilo mwendesha mashataka Mazengo alimweleza Mtonga kuwa hiyo ni haki yake ya msingi kupatiwa mwenendo wa kesi yake hivyo atapatiwa hati hiyo kabla ya kurudishwa magerezni kwa kuwa ilikuwa katika hatua ya uchapishaji.

Hata hivyo Mtonga  baada ya kujibiwa hivyo hakuridhika na kuendelea kugoma kutoka ndani ya mahakama hali iliyomlazimi hakimu mkazi Msacky kuwaamuru askari kumuondoa kwa nguvu mahakamani hapo ili aweze kusikiliza kesi nyingine.

This is extremely sad news and sad to see how Black kill their fellow blacks in a broad day light with all Cameras

$
0
0
This is extremely sad news and sad to see how Black kill their fellow blacks in a broad day light with all Cameras. I can understand in war torn areas its war, its Dark in dense bush thickets and forest, all those in war use fire arms but this its a complete disgrace and something that cant be forgotten or forgiven. Even if S.A Government takes 500 people to courts to answer for such murder the end game is the attitude inside the BLACK SOUTH AFRICANS that cant be changed for now. SHAME ON YOU SOUTH AFRICA.












Chuo Kikuu cha Dar es Salaam UDSM Chazidi Kujipatia Sifa Chaingia Kumi Bora ya Vyuo Bora Africa

$
0
0
Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM), kimeshika nafasi ya kumi miongoni mwa vyuo vikuu 50 bora na vyenye umaarufu Afrika.

Kadhalika UDSM kimetajwa kuwa miongoni mwa chuo vikuu chenye idadi kubwa ya wanafunzi na walimu na wingi wa programu za masomo.

Makamu Mkuu wa chuo hicho, Profesa Rwekaza Mukandala alisema chuo hicho kina haki ya kushika nafasi hiyo kutokana na jitihada zinazofanywa na uongozi.

“Tulifanya jitihada kuhakikisha tuna walimu wazuri wenye shahada za uzamili na uzamivu, maabara nzuri na miundombinu rafiki ya kufundishia,” alisema Mukandala.

Alisema UDSM ina mitaala bora inayoendana na wakati na inazalisha wataalamu wengi kwa mwaka.

“UDSM inachaguliwa na wanafunzi wengi na pia ina wanafunzi wa kimataifa,”alisema.

Katika matokeo ya utafiti huo uliofanywa na Taasisi ya Kimataifa ya Vyuo Vikuu na vya Kati (4ICU) ya Uingereza, chuo hicho kilishika nafasi ya 10 kati ya vyuo 50 vilivyopimwa kulingana na vigezo vya taasisi hiyo.

Hata hivyo, taasisi hiyo ilieleza kuwa hawapimi ubora wa vyuo kwa kuangalia kiwango cha elimu inayotolewa au huduma bali wanaangalia umaarufu wa chuo kimataifa.

“Huu mtandao si kwa ajili ya taaluma wala usichukuliwe kama kipimo cha kuchagua programu au nafasi ya masomo, huu ni kwa ajili ya kuwasaidia wanafunzi wa kimataifa kufahamu jinsi taasisi ya elimu ilivyo maarufu katika nchi nyingine,” ilisema taarifa ya 4ICU.

Katika taarifa hiyo, Chuo Kikuu cha Cape Town cha Afrika Kusini kilishika nafasi ya kwanza huku vingine vilivyoshika tano bora vikitoka nchini humo.

Nafasi ya pili ilishikwa na Chuo Kikuu cha Pretoria, ya tatu Chuo Kikuu cha Stellenbosch na nne ilikwenda kwa Chuo Kikuu cha Witwatersand na tano ikishikwa na Chuo Kikuu cha Afrika Kusini.

Ikieleza namna walivyoweza kupata vyuo bora, tovuti ya 4ICU iliangalia jinsi mitandao mingine inavyozungumza na kutoa taarifa za chuo husika, nafasi yake katika kurasa za mtandao ya kijamii kutafuta taarifa kwa google, chuo kinavyotumiwa kama rejea katika taarifa mbalimbali na ni kwa kiasi gani watu wanaitumia tovuti ya chuo husika

Mwanaume Akutwa na Makubwa Nyeti Zake za Mbele Zahamia Mapajani Baada ya Kutembea na Mke wa Mtu

$
0
0
Picha za Jamaa mmoja zinasambaa mitandaoni  inasemekana amejikuta sehemu za siri pamoja na makalio zimehamia mapajani baada ya kutembea na mke wa mtu..nimeshindwa kuzionyesha hapa kutokana na maadili ila kwenye hiyo picha sehemu za siri zipo hapo pajani kwenye mguu wa kulia kwa chini kabla ya goti.. Michepuko noma.

Parents Think Their Children are in School Studying But They are in Clubs Twerking For Married Men...

$
0
0
Below is a video of a s3xy lady from one of the local Universities who decided to tempt men with her killer figure and s3ductive dance moves.

 Just watch the video below; you need some privacy

Viewing all 104789 articles
Browse latest View live




Latest Images