Quantcast
Channel: UDAKU SPECIAL
Viewing all 104684 articles
Browse latest View live

VIDEO:CHEKI YALIYOMTOKEA DEREVA MBISHI WA LORRY HUKO MOROGORO DARAJA LILILOSOMBWA NA MAJI

$
0
0
Huyu Dereva alionywa asipite yeye akajifanya comando John akawasha gari na kujaribu kupita ...kifika katikati lorry lote likazama ...hata sijui kama alipona huyu...angalia hii video ujionee

NADIRIKI KUSEMA VIDEO YA NJE YA KUMI NA NANE YA JOHN MAKINI FEAT NICK WA PILI NI LEVEL ZA MAMTONI-NICE VIDEO

$
0
0
Hii video ni noma jamani tuseme ukweli embu iangalie alafu uniambie na wewe....Imetengenezwa na Jamaa anaitwa Nisher

TETESI:DIAMOND PLATINUMZ NA HAMISA MOBETO WANADAIWA KUWA WAPENZI WA MUDA SASA.

$
0
0
Hamisa Hassan Mobeto ambaye ni model na actress anayesusua katika tasnia ya filamu nchini anadaiwa kuwa mapenzini na Diamond Platinumz a.k.a Sukari ya warembo huku uhusiano wao ukidaiwa kuwa wa muda mrefu tu ila wamefanya kuwa siri. Chanzo kimoja kilichodai kuwa karibu na Hamisa ambaye alishawahi kushiriki Miss Tanzania kiliuambia mtandao huu "Hivi mnajua kuwa Diamond anawachanganya kwa wakati mmoja Wema na Hamisa Mobeto?, Hamisa na Diamond ni wapenzi muda sasa but wanafanya siri, Hamisa anamwangalia tu Wema akiwewesekea penzi la Diamond huku yeye akijilia vyake"

Hamisa alipotafutwa na mtandao huu ili kutolea ufafanuzi madai hayo hakuweza kupatikana lakini habari za uhakika ambazo Swahiliworldplanet imezipata ni kuwa kwasasa Hamisa yupo nchini Nigeria lakini haijajulikana kama yupo nchini humo kwa issue gani.

Chanzo:Swahiliworldplanet

MSANII WA BONGO MOVIE ASIMULIA ALIVYO HONGWA TSH MILION 5 ILI AFANYE MAPENZI KINYUME NA MAUMBILE

$
0
0
Msanii anayeuza nyago kwenye filamu za
Kibongo, Coletha Raymond ‘Koleta’
amefunguka kuwa analaani mastaa
wanaokubali kutumiwa kimapenzi kinyume na
maumbile akidai kuwa wapo ambao
wamekuwa wakifanya kitendo hicho kwa tamaa
ya pesa.
Akiongea  na gazeti la Ijumaa, Koleta alisema
anachukizwa na tabia hiyo kwani ni uchafu na
kujidhalilisha kulikopitiliza.
“Wanaume siku hizi ni matapeli sana, wengi
wanataka kuwatumia wanawake kinyume na
maumbile hivyo wasanii wa kike tuwe macho.
Alishawahi kunitokea mwanaume mwenye
heshima zake, alinipigia simu na kuniambia
licha ya kuwa na mke kuna vitu anavikosa.
“Nilipomuuliza ni vitu gani akaniambia anataka
anitumie kinyume na maumbile na nichague
zawadi isiyopungua milioni tano aniletee,
nikakataa na kumwambia sifanyi biashara
hiyo, ukweli mimi nakemea na ninawachukia
sana wanaofanya mchezo huo,” alisema
Koleta.

MGOGORO MZITO MIRATHI YA MAREHEMU MOSES KULOLA

$
0
0
Stori: Waandishi Wetu
HALI ni tete! Familia ya aliyekuwa muasisi wa imani ya kilokole nchini na Askofu wa Kanisa la Evangelist Assembles of God Tanzania (EAGT), marehemu Dk. Moses Samuel Kulola (83), inadaiwa kuingia kwenye mgogoro mzito wa usimamizi wa mirathi ya mali alizoziacha kiongozi huyo.

CHANZO?
Ilidaiwa kuwa gogoro hilo limekuja baada ya mtu mmoja kuibuka na kudai yeye ndiye msimamizi halali.
Kwa mujibu wa chanzo makini, baada ya mazishi ya marehemu Kulola miezi mitano iliyopita, familia ilikaa kikao na kufuata taratibu za mirathi kwa kuzingatia wosia wa marehemu  ambapo mjane wa marehemu, Elizabeth Kulola ndiye aliyetakiwa kuwa msimamizi.

KATUNZI
Habari zinapasha kwamba wakati familia hiyo ikiwa katika msimamo huo ghafla aliibuka mtu aitwaye Florian Katunzi ambaye ni Mchungaji wa Kanisa la EAGT City Center, Temeke jijini Dar na kudai kuwa ndiye mrithi wa mali kisheria kwani marehemu Kulola alimweka kuwa msimamizi. 
Ilidaiwa kuwa, Katunzi alisema ana maandishi halali ya tamko na wosia wa marehemu mzee Kulola.

TAHARUKI
Chanzo chetu kiliendelea kutiririka kuwa, wanafamilia walijikuta wakitaharuki na kupigwa butwaa kuhusu jambo hilo ambapo walimuomba Katunzi awaoneshe wosia huo lakini alikataa katakata na kuamua kuufikisha mahakama moja ya mwanzo ya jijini hapa.
Ilibidi familia ilivalie njuga suala hilo hasa wakitaka kuuona wosia huo mpya jambo ambalo walifanikiwa.

PINGAMIZI
Habari kutoka ndani ya familia ya marehemu Kulola zinasema kuwa baada ya kuuona wosia huo, Septemba 29, mwaka jana, wanafamilia hao waliweka rasmi pingamizi kwa kile kilichodaiwa kuwa, ulikuwa na makosa mengi, ikiwemo tofauti ya ukubwa wa mihuri iliyopigwa kwenye ukurasa wa kwanza na wa pili kutoka mwisho


Pia familia ilibaini tofauti ya saini za marehemu Kulola katika kurasa mbili, uwepo wa mashahidi wakati wosia huo ukisainiwa, uwepo wa watu ambao hawahusiki na mirathi hiyo kama vile Msimamizi Mkuu wa Huduma ya Ushauri Kibiblia na Maombezi (BCIC), Askofu Sylvester Gamanywa.

Kubwa zaidi, ilielezwa kuwa familia ilibaini kesi hiyo ilipangwa kusikilizwa katika mahakama ya mwanzo kinyume na sheria ya mirathi ya mwaka 1984 inayotoa mamlaka kwa  mahakama ya hakimu mkazi pekee.


MZEE WA UPAKO
Hata hivyo, kabla patashika hilo kuchukua sura katika familia hiyo, Mchungaji Katunzi na Mchungaji wa Kanisa la Maombezi, Lusekelo Anthon ‘Mzee wa Upako’ nusu washikane mashati baada ya Katunzi kumfuata mwenzake akitaka rambirambi aliyoahidi kuitoa wakati wa kifo cha mzee Kulola.
Siku hiyo Mzee wa Upako aliahidi kutoa rambirambi ya shilingi milioni 15 akimzidi mwenzake, Mchungaji Joseph Gwajima aliyetoa shilingi milioni 10. 
Inaelezwa kuwa,  Mzee wa Upako alikuja juu akimuuliza Katunzi kwamba anadai kama nani katika familia ya marehemu.

MJANE WA KULOLA
Akizungumza na waandishi wetu kwa majonzi huku akiangua kilio mara kwa mara nyumbani kwake, Capripoint jijini hapa, mke wa marehemu, Elizabeth alisema amemwachia Mungu mambo yote na kuongeza kuwa jambo hilo linamuumiza na kumfanya akumbuke enzi za uhai wa mume wake.
Alisema kuwa mumewe alimwambia akifa watu wengi waliokuwa karibu yake watamkimbia na marafiki kugeuka maadui hivyo hashangai kinachotokea sasa.

Akizungumzia uhusiano kati ya Katunzi na marehemu Kulola, mama Kulola alisema marehemu hakuwa na uhusiano na Katunzi kiasi cha kufikia kumwamini katika suala nyeti la familia kama mirathi.
Mbali na hilo, mjane huyo alisema siku zote alikuwa akimfahamu Katunzi kama ndugu katika Injili na si vinginevyo.
 Katika kuchimba zaidi, ilibainika kuwa hata uongozi wa Kanisa la EAGT ulimpa Katunzi sharti la kuachana na jambo hilo mara moja au kama angeendelea alipaswa kuacha vyeo na uumini wake wake katika kanisa hilo.
Ilisemekana pia kwamba, Katunzi aliahidi kutekeleza lakini mwishowe aliapa mbele ya familia hiyo kuwa angeendelea na kesi hiyo hadi kieleweke. 

KATUNZI ANASEMAJE?
Baada ya kulinyaka sakata zima, Risasi Jumamosi lilimbana Mchungaji Katunzi ambaye alijitetea kama ifuatavyo: 
“Wewe njoo uchukue ‘document’ uandike, nilishatangaza hadi kwenye magazeti, njoo uchukue sasa sitaki kuongelea suala hilo.” 

NINI HATIMA?
Hadi gazeti hili linakwenda mitamboni haikujulikana nini hatima ya suala hilo.

TUJIKUMBUSHE
Askofu Kulola alifariki dunia Agosti 29, 2013 katika Hospitali ya African Medical Investments (AMI) iliyopo Slipway jijini Dar es Salaam baada ya kusumbuliwa na maradhi kwa muda mrefu na kuzikwa jijini mwanza.

Imeandaliwa na Chande Abdallah, Denis Mtima na Jerald Lucas wa Global Publishers

DIAMOND PLATNUMZ JANA ALITEKA JIJI LA NAIROBI, AHOJIWA NA VYOMBO VYA HABARI KARIBIA VYOTE

$
0
0
 Hii ni sehemu ya pili,ya mahojiano na media mbali mbali
Hapa Nairobi,baada ya kufanya mahojiano na
 Tuva wa Mambo mseto..nilifanya mahojiano na

Kiss Tv kisha nikafanya na waandishi kutoka vyombo vingine  vya habari
waliokuwa wakinisubiri nje...
kama ilivyokuwa kwenye mambo mseto...kikubwa
 walitaka kufahamu kuhusu mipango yangu ya baadae
kimziki,collabos,na maisha yangu..
 Director wa kipindi,Kiss Tv akiniwekea Mike
 Mahojiano na Kiss Tv yakaanza






 Waandishi kutoka vyombo vingine vya habari wakinisubiri




 Mahojiano yakaanza na wwaandishi wamajarida  na magazeti



AJABU:KUTANA NA MWANAMKE MFUPI KULIKO WOTE DUNIA...AVUNJA RECORDS

$
0
0



Meet The World's Shortest Woman, Jyoti Amge
When Ranjana Amge was in the final months of her fifth pregnancy, she feared that she’d never hold that baby in her arms.

The doctor’s exams didn’t go well. Experts didn’t know what to make of her sonograms. Something was wrong.

Now, 20 years later, Amge has reason to be proud. Her youngest daughter is happy, healthy and world famous.

“All the bad feelings are erased, replaced by good ones,” Amge tells The Huffington Post. “We are lucky.”

At just under 25 inches tall, Jyoti Amge of Nagpur, India, is the world’s shortest woman. She’s a college-bound student, with dreams of making it as an actress. Still, she weighs just 12 pounds — only nine pounds more than she did at birth.

Even among dwarfs, Amge is tiny. “Game Of Thrones” star Peter Dinklage is more than twice her height. But Amge remains an optimist.

“It’s hard for me to reach things,” Amge says. “It’s good I have brothers and sisters to help.”

On her first trip to New York, Amge visited the Statue of Liberty, before a media tour to launch the Guinness World Records 2014 edition, which would include a profile in the Daily News, a visit to the ladies of “The View” and a press conference at the top of the Empire State Building.

WASTARA ASHINDWA KUVUMILIA AWEKA PICHA AKIWA AMEKUMBATIWA NA MWANAUME NA KUANDIKA MANENO TATA

$
0
0

Leo majira ya asubuhi msanii wa Bongo movie aliweka picha huku akiwa amekumbatiwa na mwanaume na kusema kuwa "nimemisi kumbatio la huba" kutokana na kauli hiyo wadau wameweka maswali mengi na kuuliza je huyu ndiye mume mtarajiwa wa Wastara au la. swahiliTz tunatafuta ukweli wa swala hili kisha tutalifikisha kwenu wadau wa Tovuti yetu.

HATIMAYE BABY MADAHA AFICHUA SIRI"BOSI WANGU JOE NI ZAIDI YA MANEJA"

$
0
0
For the past few weeks, there have been widespread rumours that sexy Tanzanian actress and singer, Baby Joseph Madaha, may in fact be bangin’ her manager at Candy n Candy, Joe Kariuki. This is after Tanzanian blogs were awash with gossip of the same.

Recently, however, in an interview with Spice Magazine, Baby Madaha who is currently in Kenya admitted that she loves Joe and is ready to settle down.

“My relationship with Joe mmmh…Joe has been more than my manager. I spend most of my time with him. First and foremost, I don’t care what people say. I find him adorable and charming. Secondly, I am happy. And if my relationship with Joe doesn’t affect me, why should I bother anyone else? Last, if he is single, what is wrong with us dating?”

Meanwhile, the Candy n Candy Records through its subsidiary, Candy n Candy Films, is set to premiere its debut movie, ‘Gal Bladder’ in which Baby Madaha is the main actor, in Mombasa this Sunday.

Over 500 locals have been invited to the movie’s premiere at the place where it all began; Kangol in Mombasa.

If you’re in Mombasa, you don’t want to miss this.

MAUNGO YANGU YA MWILI YANANIPA TABU,NATONGOZWA KILA KUKICHA

$
0
0
Ninakutana na vishawishi vingi kila siku, yani sina amani kila mwanaume anatamani anione nilivyo nikiwa mtupu, tena wanakuja kwa njia za pesa na magari lakini namuheshimu mume wangu. Wanawake wenzangu tujiheshimu hata kama unajijua wewe ni mzuri kama malaika muheshimu mpenzi wako usitumie kigezo cha uzuri wako kumdharau mpenzi wako na kumletea nyodo. Mmenipataaa.

"PRADO MPYA DIAMOND ALIYOPIGA NAYO PICHA NI YANGU SI YEKE"CHIEF KIUMBE

$
0
0
Pedeshee Maarufu ajulikanae kwa jina la Chief kiumbe ameibuka na kuzua jambo kuwa lile Prado Diamond alilopiga nalo picha week kadhaa zilizopita na kusema ni gari yake mpya kuwa si ya Diamond bali ni Gari lake yeye..

Chief kiumbe Amesema haya hapa chini:

Unajua mimi huwa sio mtu wa kuzungumza sana ila ukweli ni kwamba wasanii wengi wa hapa bongo wanatembelea magari yangu, na wala hawatoi hela yoyote,kwa mfano Diamond anamiliki gari yangu mpya ambalo nilinunua zaidi ya shilingi milioni 245 kipindi niko nje kiziara, nafanya hivi kwasababu ya upendo na pia wapo wasanii wengi tu, kuna wengine wanajitamba kwamba wamenunua ila sio kweli mimi ndio ninawapa bureee watembele hizo habari za kwamba wananunua hakuna kitu kama hicho,mimi napenda watu wafuate nyayo za Diamond naamini watafanikisha ndoto zao” – Kiumbe.

HATARI:WANAFUNZI WA KIKE SHULE MOJA BAGAMOYO WANASHIRIKI MAPENZI YA JINSIA MOJA

$
0
0
Shule moja ya sekondari ya wasichana iliyopo wilayani Bagamoyo mkoani Pwani, imelalamikiwa na wanafunzi pamoja na wazazi kuwa mabinti wanajihusisha na vitendo vya ngono vya jinsia moja (usagaji).

Akizungumza na NIPASHE mmoja wa wazazi (jina linahifadhiwa) alisema shule hiyo imepoteza sifa kwa kuwa kuna wimbi kubwa la wanafunzi wanaojihusisha na vitendo hivyo vya usagaji.

Alisema mtoto wake alikuwa ameanza kidato cha kwanza mwaka jana na baada ya kumuandikisha ndipo baadhi ya watu walipomueleza kuwa shule hiyo kwa sasa ina sifa mbaya ya mchezo ‘huo mchafu.’

"Baada ya kuelezwa nikasema nitalifanyia kazi jambo hilo hivi karibuni katika kupekua madaftari ya mwanangu nakutana na kibarua cha mapenzi alichoandikiwa na msichana mwenzake niliumia sana na nilitumia nguvu kumbana bila hivyo asingeniambia," alisema

Alisema ilimbidi amhamishe binti yake na kujiunga na shule moja ya sekondari iliyopo mkoani Tanga kwa ajili ya kuendelea na masomo ya kidato cha pili mwaka huu.

Mzazi huyo alisema anashangazwa ni kwa nini hatua hazichukuliwi wakati suala hilo ni la hatari kwani watoto wao wataharibika kiakili pamoja na kimwili na wanaweza kuambukizana VVU na Ukimwi..

Alisema wakati mwanaye akisoma katika shule hiyo alikuwa akihudhuria vikao vya wazazi mara kwa mara na kwamba kila kikao walikuwa wakifukuzwa wanafunzi kutokana na mwenendo huo.

"Hili tatizo ni kubwa na kufukuzwa kwa mwanafunzi sidhani kuwa wanatatua tatizo nadhani hakuna usimamizi mzuri kwani wangeweza kudhibiti kwa haraka tatizo hilo kabla ya kuwa kubwa," alisema

Pia alisema ndugu yake imembidi amhamishe mwanae na kumtafutia shule nyingine kwa kuhofia binti yake kurubuniwa kwani wanakuwa ni wadogo na hawaelewi chochote, hivyo inaweza kuwa rahisi kudanganywa na kuingia kwenye vitendo hivyo viovu.

Alisema kuwa hata kiwango cha ufaulu kwa sasa shule hiyo imeshuka kutokana na tatizo hilo kwa wanafunzi .

Hata hivyo, NIPASHE ilizungumza na mwanafunzi mmoja ambaye anasoma katika shule hiyo kuhusiana na suala hilo ambapo alikiri kuwepo kwa jambo hilo na kueleza kuwa wanaofanya mchezo huo ni wa kidato cha tano na cha sita.

"Mimi hawajanifanyia ila najua wanaofanya mchezo huo ni wale walioko kidato cha tano na cha sita," alisema Pia kuna baadhi ya wazazi wengine wamekuwa wakilalamikia jambo hilo na kueleza kuwa ndugu zao imewalazimu kuwahamisha watoto wao kutokana na vitendo hivyo vinavyofanyika shuleni hapo

USHAURI KUTOKA KWA KING ZILLA KWENDA KWA WAPENZI AMA WANANDOA

$
0
0
USHAURI kutoka kwa King Zilla wa Salasala

Unapogombana au anapokukosea girlfriend wako au boyfriend (mpenzi,mwenza) ,usimshtakie kwa wazazi wako sababu baadae mnaweza mkasamehana kwa misamaha ila wazazi wako hawawezi kumsamehe.

Jifunze kutatua matatizo we mwenyewe.

DIAMOND AFUNIKA KENYA...DIAMOND IMEKUWA DIAMOND KWELI.

$
0
0
 Hatuna Jinsi lazima tumuandika coz ndio msanii pekee mwenye headlines nyingi kutokana na mafanikio yake..hapa alikuwa Kenya jana ..cheki picha alivyopagawisha kwenye show iliyoandaliwa na kampuni ya safaricom ya Kenya.....Mwacheni Diamond aitwe Diamond..Aka Domo







TANZANIA YAKATAA MPANGO WA VIZA MOJA YA UTALII AFRICA MASHARIKI

$
0
0
Samuel Sitta (right), Tanzania’s minister for East African Affairs and Zamaradi Kawawa, deputy director of Information Services. Mr Sitta said a single visa system will compromise Tanzania’s security because the country will be forced to surrender its control of who enters the country. Photo/Venance Nestory 

SUMMARY

Beginning January 1, 2014, Uganda, Kenya and Rwanda, dubbed the Coalition of the Willing (CoW), effected a single tourist visa for visitors to their destinations.
Samuel Sitta, Tanzania’s minister for East African Affairs said the country is unlikely to join the single visa territory any time soon.
Mr Sitta said so far there is no devised mechanism as to how the revenue will be shared, and hence there is no benefit for Tanzania in this arrangement.



Tanzania has finally ruled out joining the proposed 'East African single tourist visa', arguing that it is a threat to its security and economy, sparking fears about its commitment to joint projects under the trade bloc.
Beginning January 1, 2014, Uganda, Kenya and Rwanda, dubbed the Coalition of the Willing (CoW), effected a single tourist visa for visitors to their destinations.

A similar plan is jointly being pursued by the five EAC countries. EAC Secretary General Richard Sezibera last year cited the introduction of a single tourist visa to the region, and the revival of an East African passport across the member states, as among the priorities for the trading bloc, alongside the removal of non-tariff barriers in the aviation and tourism sectors.

It is understood that Kenya, Uganda and Rwanda decided to implement the project against Tanzania’s apparent opposition to it.

Tanzanian officials have repeatedly said that they have no objection to other EAC member states holding bilateral discussions as long as they do not take decisions that are binding to the community. Tanzania has recently been accused of being slow in implementing regional agreements, informing the formation of the CoW.

According to experts, the visa is expected to increase the number of tourists visiting the region because they will now pay $100 for a 90-day multiple entry visa that takes them to all the three countries instead of $150 that was required by each country.

However, Samuel Sitta, Tanzania’s minister for East African Affairs said the country is unlikely to join the single visa territory any time soon. 

“Tanzania has the largest number of tourist attractions in the region, and as of last year it had the largest number of tourists than any other East African country; under circumstance like this, how will the revenue from visa charges be shared,” said Mr Sitta on Friday.

He said Kenya has the best air transport with Jomo Kenyatta International Airport receiving four times the number of international flights compared with Dar es Salaam’s Julius Nyerere International Airport, meaning the largest number of tourists will enter the region through Nairobi.

He said the scenarios mean that Kenya will collect all revenue from visa charges while tourists under the single visa system will enter Tanzania free of charge denying the latter a substantial amount of income.

Mr Sitta said so far there is no devised mechanism as to how the revenue will be shared, and hence there is no benefit for Tanzania in this arrangement.

statistics :

Tourist arrivals
Tanzania received 6.7 million tourists between 2001 and 2012 earning the country Tsh614.38 billion ($380.3 million).


Source : Tanzania rejects EAC single tourist visa plan - News - www.theeastafrican.co.ke

CHADEMA WAFUNIKA MBEYA.ILA STAILI YAO MPYA YA KUBEBA MAJENEZA YAACHA WATU MIDOMO WAZI

$
0
0

Hii Staili ya kubeba majeneza sijui wameitoa wapi....kwa upande wangu naona si sahihi na inatisha sana....mweee je wewe unasemaje ...Siasa na majeneza wapi na wapi?

HATIMAYE DJ CHOKA NAYE AAMUA KUONYESHA BASTOLA HADHARANI

$
0
0
Kila mtu na bastola yake siku hizi kasoro mimi tu ..Hivi ni fasheni ama? Mbona mimi Sina maadui wa kuwanunulia mguu wa kuku ....

MWANAMAMA WA MIAKA 48 ASHIKILIWA NAPOLISI KWA TUHUMA YA KUFANYA NGONO NA WATOTO WA UMRI KATI YA MIAKA 9 -14 KWA ZAMU

$
0
0
Mwanamke mmoja aliyefahamika kwa jina la Aretas Joseph, (48), mkazi wa kijiji cha Lesoroma tarafa ya Useri, wilaya ya Rombo mkoani Kilimanjaro, amehojiwa na polisi mkoani hapa kwa tuhuma za kufanya mapenzi na watoto wadogo wa kiume, wenye umri kati ya miaka 9 na miaka 14, jambo linaloelezwa kuwa ni shambulizi la aibu. 

Akidhibitisha taarifa hiyo, kamanda wa polisi mkoani Kilimanjaro Robert Boaz, alisema mwanamke huyo alikamatwa Januari 8, kufuatia ushirikiano ulioonyeshwa na majirani zake baada ya kupata taarifa ya tabia yake hiyo ambayo inaelezwa amekuwa akiifanya kwa muda mrefu.

“Kufuatia taarifa walizokuwa nazo majirani hao, waliweka mtego hadi walipofanikiwa kumkuta chumbani kwake akiwa na watoto watatu wa kiume akifanya nao mapenzi,” alisema.

Kwa mujibu wa kamanda Boaz, zilikuwepo tetesi mtaani kuwa, mama huyo hufanya mapenzi na watoto wadogo, ndipo siku hiyo ya tukio majirani hao waliamua kuingia ndani kwake ili kujua ukweli wa tabia yake hiyo na kumkuta chumbani kwake akifanya mapenzi na watoto watatu.

Alisema mara baada ya majirani hao kumvizia na kumfuma mama huyo, walitoa taarifa polisi na mama huyo kukamatwa na kufikishwa katika kituo cha polisi cha Rombo.

Kulingana na taarifa ya kamanda huyo wa Polisi, watoto hao baada ya kuojiwa walisema kuwa wapo Wanne na siku hiyo mwenzao hakuwepo na kwamba mama huyo amekuwa akiwachezea sehemu zao za siri huku akiwapaka mafuta katika sehemu zao hizo.

Aidha watoto hao walidai kuwa mara baada ya kuwachezea sehemu zao za siri, huwa anawashawishi kufanya nao mapenzi kwa zamu huku wengine wakiendelea kumshikashika sehemu mbalimbali za mwili wake yakiwemo matiti yake.

“Watoto hao walidai kuwa, mara baada ya mama huyo kuwachezea, humtaka mmoja wao kufanya nae mapenzi na hao wengine kumshikashika sehemu mbalimbali za mwili wake na kwenye maziwa,na baada ya kutimiza haja zake, huwataka kuondoka mara moja”alisema.

Kamanda Boaz aliendelea kusema kuwa uchunguzi wa awali wa polisi unaonyesha ya kuwa mwanamke huyo amewahi kuwa na mahusiano ya kimapenzi na kijana mmoja aliekuwa amemaliza darasa la saba miaka mitano iliyopita na kujaliwa kuzaa nae mtoto mmoja.

Hata hivyo kamanda huyo alisema kuwa baada ya idara ya utswi wa jamii,kupata taarifa ya mahusiano hayo, idara hiyo ililifuatilia suala hilo, na hatimae kukatisha mahusiano yao hayo.

MAFURIKO DUMILA YAMUUMBUA MKE WA MTU AKISALITI NDOA GESTI

$
0
0
Jambo limezua jambo! Mvua zilizonyesha na kusababisha mafuriko maeneo ya Dumila mkoani hapa, zimemuumbua mke wa mtu ambaye jina lake halikupatikana, akiwa anasaliti ndoa gesti.
Mafuriko hayo yalisababishwa na mvua kubwa zilizoanza kunyesha Jumatano iliyopita na kusababisha maafa makubwa yakiwamo kuharibiwa kwa makazi ya watu, majengo ya serikali zikiwamo shule, vyuo na mahakama.

Shuhuda wa tukio hilo, Lugendo Seleman, mkazi wa Kijiji cha Magole Tarafa ya Dumila Wilaya ya Kilosa mkoani hapa alimuonyesha mwandishi wetu gesti ambayo jamaa aliyefahamika kwa jina moja la Kashinde, mkazi wa kijiji hicho ambaye alikurupuka kuokoa maisha yake akiwa na mke wa mtu.

“Za mwizi kweli 40, Kashinde katoka gesti uchi wa mnyama na kupiga mbizi akiwa na mke wa mtu ambaye mumewe amesafiri muda mrefu yuko mjini akisaka maisha na ana kama miezi 6, huwa anakuja na kuondoa hivyo mkewe amekuwa na uhuru,” alisema Seleman na kuongeza:

“Umechelewa kidogo tu ungepata picha zao yeye na mke huyo wa mtu wakipiga mbizi uchi wa mnyama wakitokea gesti, sijui jana usiku walilewa sana mpaka wamechelewa kuamka na kukutwa na mafuriko, muda huu wa saa nne asubuhi!”

Aidha, juzi Alhamisi, Waziri Mkuu, Mizengo Pinda na Waziri wa Ujenzi, John Magufuli walifika eneo  hilo la tukio na kujionea hali halisi.

Akizungumza na wananachi wa Kijiji cha Magole, Pinda aliwaambia serikali imetoa chakula kwa waathirika wa tukio hilo na kuwataka wanachi kuwa wavumilivu katika kipindi hicho kigumu walichopitia.

DIAMONDI APEWA MAKAVU NA BONGE LA NYAU KISA KIKIWA NI MAISHA YA ALIKIBA

$
0
0
Huu ndio ujumbe aliouandika msanii bonge la nyau kupitia page yake ya facebook    DIAMOND TAKE CARE WACHA KASHFA.

Guys hivi huyu domo Diamond anamtaka kitu gani msanii Alikiba? Tokea juzi amekua akimzungumzia katika Media kwa mliofatilia Interview yake baada ya kusamehewa na kituo cha Channel Ten jana usiku aliropoka maneno haya kuhusu Ali Kiba

Diamond: "Unajua kuna watu hawataki kukubali kama mimi ni zaidi yao kuanzia muziki wangu mpaka maisha yangu, mtu anaulizwa Twitter hivi mkiamua kufanya nyimbo moja na Diamond hamuoni kama itapendeza sana et, anajibu never ever haiwezi kutokea mimi kuimba na Diamond. Badala angekubali apate Kick nimrudishe katika muziki analeta dharau wakati hanipati kimuziki mpaka kipesa. Muziki wake hauna tena soko istoshe nasikia asahivi amejiunga na mfuko mpya wa kutoa mikopo PRIDE unaitwa FAIDIKA NA PRIDE kakopeshwa kajenga nyumba. Sitaki kua mnafiki namuweka wazi ni Ali kiba"

Duh asa Diamond kwani mtu kujiunga PRIDE akakopeshwa ndio tatizo? Kuna matajiri kibao mjini humu wanamaisha mazuri kwa ajili ya mikopo. Zote chuki @Diamond kama nawewe unataka mkopo si ukajiunge? Sio kumpiga majungu mwenzako, watu kibao tumejiunga na mikopo tumepata ndo inayotusaidia, kama nawewe unataka jiunge na PRIDE tena usisumbuke bofya hapa: http://pride-tanzania.wapka.mobi ukajiunge utapatiwa mkopo sio kumpiga vita mwenzako.
Viewing all 104684 articles
Browse latest View live




Latest Images