Quantcast
Channel: UDAKU SPECIAL
Viewing all 104709 articles
Browse latest View live

Wema Sepetu Atoa Sababu ya Yeye Kutaka Mtoto wa Kiume!

$
0
0
Kupitia ukurasa wake  mtandaoni  Wema Sepetu ambae hivi karibuni aliweka wazi tatizo lake la kutoweza kushika ujauzito, jana usiku ameibua tena hisia za mashabiki wake baada ya kuweka picha akiwa na mtoto wakike,Sasha aliedai kuwa huyo ndiye kipenzi chake cha maisha na kusisitiza  kuwa hiyo ndio sababu ya yeye  kutaka mtoto wakiume kwani tayari anaye mtoto  wa kike.

Day well spent.... With the Love of my Life.... Reason y I want a baby boy.... Cause I already have my girl... Love her too much.... My flesh and blood....” –Wema aliandika hayo mara baada ya kuweke picha hiyo hapo juu.

Kitendo ambacho wengi walikiona bado lile tatizo lake la kutokuwa na uwezo wa kushika mimba linamsumbua kisaikologia mwanadada huyu na hivyo wengi walimpa moyo na kumshauri aendelee kutafuta wa taalamu zaidi na Mungu atamsaidia.

Ray C: Nimenenepa Lakini Kiuno Bila Mfupa Kiko Pale Pale, “Sina tofauti na Ray C wa zamani”

$
0
0
Rehema Chalamila aka Ray C amewatoa hofu mashabiki wa muziki wake, kuwa unene wake haujakiathiri kiuno chake bila mfupa bali kimemwongezea uwezo wa kukatika kuliko zamani!

Ray C ambaye alitamba na nyimbo kama ‘Sikuhitaji’ na ‘Umeniacha’, ameiambia Global TV kuwa anahisi uwezo wake wa kukatika umeongezeka zadii kutokana na unene.

Sina tofauti na Ray C wa zamani,” alisema. Ray C ni yule yule, kiuno cha zamani ni kile kile. Sema sasa hivi kina nyama kidogo kwahiyo sasa hivi nikifanya kidogo tu yaani ni rahisi zaidi kwangu.

Vanessa Mdee: Japo Nina Boyfriend (Jux) ila Sasa Hivi Siwezi Kuwa na Mtoto…Ifahamu Sababu

$
0
0
Muimbaji wa ‘Nobody But Me’ Vanessa Mdee a.k.a Vee Money ambaye hivi sasa ameweka wazi uhusiano wake na Jux ambaye ni boyfriend wake, ameweka wazi ni kipindi gani angependa kupata mtoto.

Vanessa (26) ambaye muziki wake umeanza kupata njia kwenye soko la kimataifa, amesema kuwa licha ya kuwa anapenda kupata mtoto lakini kwa sasa hayuko tayari kutokana na kuwa busy kupita kiasi.

“Sasa hivi sehemu ambayo nilipo katika maisha yangu niko very busy na kazi yaani, na nataka nikipata mtoto wangu au nikiwa tayari kupata mtoto niwe na uwezo wa kumlea sio kifedha tu lakini kuwepo katika maisha yake malezi ya mama yake ya karibu, akienda kulala nipo akiamka nipo kumchukua kutoka shuleni nipo, sasa hivi siwezi kufanya hivyo na siwezi kusema ndani ya miaka mitatu au minne mitano” Vee Money aliiambia Amplifaya ya Clouds Fm.

Alipoulizwa kama anampenda sana Jux alijibu, “Sana, he is a great guy…he is my boyfriend”

CHADEMA Wakamatwa na Vifaa vya Kijeshi

$
0
0
Mnamo tarehe 24/4/2015 huko maeneo ya Sogea Tunduma Wilaya ya Momba Mkoa wa Mbeya, METHEUS ANGANILE MWAFONGO, Mndali, 37yrs, Mkuu wa Ulinzi CDM Wilaya Momba, pamoja SALEHE TABLEI@SICHALWE, 22yrs, mkazi wa Majengo Tunduma walikamatwa kutokana na taarifa za kiintelijensia.
 
Watu  hawa walikamatwa wakiwa na buti pair 2 za kijeshi, kofia pair 2 za kijeshi, kamba kurukia ya mazoezi, vyuma kwa ajili ya mazoezi ya pushup, visu pair 2 kimoja spring knife na kingine kisu kikubwa, miwani ya FFU(ya kwenye misafara), manati pair 2 na mawe yake 40 pamoja na nati 4 zilizotarajiwa kutumiwa kama mawe, shenguard kwa ajili ya mikono na miguu pair 4, Bendera 2 za CDM, Tshirt 1 ya CDM, Kilemba 1, koti 1, Pamoja na barua 3 za CDM za kata ya MSANGANO, SHITETE, na KAMSAMBA (W) MOMBA zenye kichwa cha habari "UTOAJI WA VIONGOZI WA RED BRIGED KATIKA KATA YENU KWA MAFUNZO YA RED BRIGED".
 
Barua inasomeka hivi
Husika na kichwacha barua hapo juu chajifafanua vema.

Napenda kukujulisha kuwa kutakuwa na ziara ya kimafunzo ya RB (Red Briged) katika kata yenu kwa ajili ya maandalizi ya uchaguzi utakaofanyika mwezi wa kumi mwaka huu.

Na kwa barua hii naomba uwapokee na uwape ushilikiano wa kutosha kwa ajili ya maendeleo ya chama chetu.

Ni matumaini yangu kuwa utawapokea na kuwatunza pamoja na usalama wao.

Wako katibu wa chama Wilaya.
 
Katika mahojiano vijana hawa walikuwa wakienda kutoa mafunzo ya kijeshi katika kata tajwa na mpango wao ni kufundisha vijana 300 katika wilaya ya Momba na mpango huu ni wa mkoa na Nchi nzima chini ya Mkurugenzi wa Usalama Taifa CDM bwana LWAKATARE.

Professor Jay asema siasa haiwezi kumtenganisha na muziki, aizungumzia project mpya ya muziki ‘The Icon’

$
0
0
Rapper mkongwe Joseph Haule aka Professor Jay amesema siasa haiwezi kumtenganisha na muziki, na pia amejipanga kuja na project mpya ya muziki iitwayo ‘The Icon’.

Professor ameiambia Mpekuzi kuwa, hata kama akipata nafasi ya ubunge atahakikisha mashabiki wake wanapata muziki kama kawaida.

“Nitaendelea kuwatumikia mashabiki wa muziki wangu kama kawaida, najua sasa hivi nadeni kubwa kwenye muziki, lakini hivi karibuni nitaachia kazi mpya kwa sababu hata huku nilikoingia nimeingia kutokana na muziki, kwahiyo hata nikiingia bungeni bado kazi nitaendelea kufanya, najua mashabiki wangu wanategemea muziki wetu kama chakula cha ubongo kwahiyo mimi bado nipo kwajili ya mashiki wangu,” alisema Professor.

Pia Professor Jay amejipanga kuachia project yake mpya ya muziki ‘The I Con’ ambayo itazungumzia maisha ya muziki wake ambayo itawashirikisha wasanii wengine.

Hii project itamuonyesha Professor Jay alikotoka mpaka alipofikia, kwa sababu naamini Professor Jay ni role model wa wasanii wengi na vijana wengi wa Tanzania, pia nimekuwa mfano bora kwa wasanii wenzangu na vijana wengi wa Tanzinia, nimesabisha vijana wengi kuingia kwenye muziki kutokana na harakati zangu, hata vijana wengi ukiwauliza nani amekufanya ukaingia kwenye muziki utaambiwa ni Professor Jay, especial wanaofanya Hip Hop na vitu kama hivyo.

Pia mafanikio yangu yamewafanya vijana wengi kuingia kwenye muziki hata wasanii wa kuimba, pia wazazi wengi nimejaribu kuwaaminisha kwamba muziki siyo uhuni na kuamua kuupenda, kwaiyo hizo harakati zangu zote kwa umoja wake utaziona kwenye The Icon, ndani ya project hiyo utakuta documentary yangu, albam na mambo mengi sana, kwahiyo hii yote inakuja ndani ya mwaka huu wadau na mashabiki wa muziki wangu wakae mkao wa kula,” alimalizia Professor Jay.

Habari Zilizopo Katika Magazeti ya Leo Jumapili ya Tarehe 26 April 2015

$
0
0
















Habari  Zilizopo  Katika  Magazeti  ya  Leo  Jumapili  ya  Tarehe  16  April 2015

Kusimamishwa Kwa Shindano la Miss Tanzania Kwa Misimu Miwili Kuko Palepale- BASATA

$
0
0
Katika siku za hivi karibuni kumekuwa na taarifa kwenye vyombo vya habari na mitandao mbalimbali ya kijamii kwamba shindano la urembo nchini maarufu kwa jina la Miss Tanzania limefunguliwa na Baraza la Sanaa la Taifa (BASATA) na kwamba Kampuni ya Lino International Agency LTD ambayo ni waendeshaji wa shindano hilo imewataka mawakala wake kuanza maandalizi ya shindano hilo.

Taarifa hizo za kufunguliwa shindano hilo zilienda mbali kwa kueleza kwamba mawakala wametumiwa kalenda ya mashindano hayo kwa mwaka huu.

Baraza linapenda kutoa ufafanuzi kama ifuatavyo:

1. Wananchi wapuuze taarifa hizo kwani kusimamishwa kwa shindano la Miss Tanzania bado kuko palepale kama ilivyoelezwa katika barua ya BASATA ya tarehe 22/12/2014 waliyoandikiwa Lino International Agency LTD ambayo pamoja na mambo mengine iliwataka warekebishe kasoro kadhaa zilizojitokeza. Walisimamishwa kwa misimu miwili ya mwaka 2015 na 2016 ili kujipanga upya na kurekebisha kasoro husika.

2. BASATA kama msimamizi na mratibu mkuu wa sekta ya Sanaa nchini ndilo lililolisimamisha shindano hilo baada ya kubaini mapungufu mengi. Kusimamishwa kwa shindano hili ilikuwa ni kwa njia ya kuufahamisha umma na kwa maana hiyo kama shindano litafunguliwa njia hiyo-hiyo ya  kutoa taarifa kwa umma itatumika na si vinginevyo.

3. BASATA linatoa wito kwa Lino International Agency LTD kutumia muda wake mwingi kufanyia marekebisho mapungufu yaliyojitokeza ili mashindano haya yatakaporejea yawe na mikakati na hadhi kuliko ilivyo sasa.

4. Aidha, Baraza linawataka wasanii na wadau wote kuzingatia sheria, kanuni na taratibu zilizopo katika kuendesha shughuli za Sanaa sambamba na kufuata mifumo sahihi ya mawasiliano.

Sanaa ni kazi, tuipende na kuithamini

Godfrey Mngereza
KATIBU MTENDAJI

Watanzania 26 Waliokuwa Afrika Kusini Warejea Nyumbani.......20 Wengine Kuhakikiwa na Kurejeshwa

$
0
0
Kundi la Watanzania 25 limerejea nyumbani kutoka Afrika Kusini jana tarehe 26 Aprili, 2015 kufuatia mashambulizi ya wazawa dhidi ya wageni. Kundi hilo la kwanza kurejea nyumbani liliwasili katika Uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Mwalimu Julius Nyerere saa 11 alfajiri na Ndege ya Fast Jet.

Watanzania hao walikuwa wanaishi katika kambi za dharura za Isipingo na Phoenix zilizopo jijini Durban. Walisindikizwa kurudi nyumbani na Afisa wa Ubalozi wa Tanzania nchini Afrika Kusini, Bw. Elibahati Lowassa. Zoezi la kuwarejesha wananchi hao lilisimamiwa na kuratibiwa na Ubalozi wa Tanzania nchini Afrika Kusini.

Wakati huo huo, Ubalozi wa Tanzania nchini Afrika Kusini umepata taarifa kuwa kuna Watanzania wengine wapatao 20 wanaishi kwenye Kambi ya Hillbrough jijini Johannesburg.
 
Ubalozi umetuma Afisa kwenda katika kambi hiyo ili kufanya uhakiki wa taarifa hizo kwa madhumuni ya kuwarejesha nyumbani Tanzania haraka iwezekanavyo.

Imetolewa na:
Kitengo cha Mawasiliano ya Serikali kwa Umma,
Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa,
25 Aprili 2015

Somalia Wabadili Uwanja wa Soka Kuwa Kambi ya Jeshi

$
0
0
Uongozi wa Chama cha soka nchini Somalia SFA, umerejea kutoa tamko la kuyataka majeshi la kulinda amani nchini humo kuondoka kwenye uwanja wa taifa wa michezo wa nchi hiyo uliopo mjini Mogadishu.

Uwanja huo wenye uwezo wa kuchukua mashabiki 70,000, kwa zaidi ya miaka 10 umekua ukitumiwa na jeshi la kulinda amani nchini Somalia hali ambayo inazuia shughuli za kimichezo kuendelea uwanjani hapo.

Raisi wa chama cha soka nchini Somalia Abdiqani Said Arab, ameliambia shirika la utangazaji la Uingereza BBC, tayari wameshafanya mazungumzo na wakuu wa jeshi la kulinda amani nchini humo tangu mwaka 2013 na sasa wamerejea tena kufanya hivyo.

Said Arab amesema umefika wakati kwa majeshi hayo kutafuta mahala pengine pa kuweka kambi nasi uwanjani hapo, kutokana nan chi ya Somalia kuhitaji kujiendelea kimichezo, hasa kwa vijana ambao wamekua na kitu ya kushirikishwa kikamilifu katika sekta hiyo.

Kiongozi huyo ameendelea kutanabaisha kwamba, kwa muda wa miaka mingin, Somalia imekua inashindwa kushiriki katika michuano ya awali ya fainali za mataifa ya Afrika, kutokana na kukosa sifa ya kuwa na uwanja wa nyumbani.

Wakati SFA kupitia kwa raisi wao wakisisitiza jambo hilo, uwanja wa taifa wa Somalia una viwanja vya michezo mingine kama mpira wa kikapu(basketball), mpira wa wavu (Volleyball) pamoja na mabwawa ya kuogelea.

Kwa mara ya mwisho uwanja huo uliacha kutumika kama sehemu ya michezo nchini Somalia mwanzoni mwa miaka ya 1990, baada ya jeshi la Marekani kuweka ngome katika uwanja huo ambao pia ulitumika katika filamu inayoonyesha vita kati ya majeshi hayo dhidi ya wasomali iitwayo Black Hawk Down.

Ulanguzi Tiketi za Mayweather na Manny Pacquiao Waanza, Sasa ni Sh. Milioni 240 Kwa Tiketi Moja Badala ya Sh. Milioni 130,000

$
0
0
Wajanja wa mjini waliobahatika kununua tiketi za awali za mpambano wa masumbwi unaosubiriwa kwa hamu kubwa duniani kote kati ya Floyd Mayweather na Manny Pacquiao, wameanza kutumia nafasi hiyo kwa kuwauzia wengine ambao walichelewa kufanya manunu ya tiketi hizo.

Tiketi za mpambano huo zilianza kuuzwa majira ya jana jioni kwa saa za mjini Las Vegas nchini Marekani na iliwachukua wajanja hao kuzinunua kwa dakika chache.

Tiketi moja ilitangazwa kuuzwa kwa dola za Kimarekani 70,790 (sawa na Sh. Milioni 130,000), lakini baada ya dakika chache tu ziliisha katika mitandaoni.

Nafasi hiyo iliwapa fursa wajanja hao kuanza kuziuza tiketi walizo zinunua kwa dola 128,705 (Sh. Milioni 240) kwa tiketi moja.
Baada ya majuma kadhaa yaliyochukua nafasi kwa washindani wawili wa mpambano huo wa May 2 mwaka huu, kiasi cha tiketi 500 na 1,000 ziliingizwa sokoni jana kwa ajili ya pambano la utajiri mkubwa.

Mashabiki waliokua wamejiandaa kuushuhudia mpambano huo wakiwa ukumbini, walikuwa tayari kununua tiketi za ‘bei poa’ kupitia mgmgrand.com na ticketmaster.com.

Tiketi za bei ya chini ambazo zilitangazwa mwanzo gharama zake ni kuanzia dola 1,500 (Sh. Milioni 2.7), lakini na huko zimepanda hadi dola 7,500 (Sh. Milioni 13.8) kwa siti.

Wajanja (Walanguzi) wa awali walidhibitiwa kutonunua zaidi ya tiketi nne kwa mtu mmoja.
Hata hivyo tiketi za dola 10,000 (Sh. Milioni 18.5) hazikuingizwa sokoni na zinatarajiwa kupanda hadi dola 200,000 (karibu Sh. Milioni 400).

Sitti Mtemvu kuzindua Kitabu cha 'Chozi la Sitti' Akielezea Faida na Hasara za Mitandao ya Kijamii

$
0
0
Taarifa ya aliyekuwa Miss Tanzania 2014, Sitti Mtemvu, kwa vyombo vya habari leo imeeleza kuwa, Sitti atazindua kitabu kinachoelezea faida na hasara ya mitandao ya kijamii.

Amesema pamoja na kwamba mitandao ya kijamii ikitumiwa vizuri, huleta mapinduzi ya kimaendeleo ya kihabari kwa haraka.

Amesema maudhui yaliyopo katika kitabu hicho ni yanamlenga yeye moja kwa moja kama mhusika na kwamba pamoja na maumivu na athari azipatazo mhusika kitaelezea ni kwa jinsi gani ataweza kujifunza na kunyanyuka upya.

Mei 2, 2015 mwaka huu pia uzinduzi wa kitabu hicho utaenda sambamba na uzinduzi wa 'Taasisi ya Sitti Tanzania' yenye lengo la kusaidia watu wenye shida na kuweza kuendeleza gurudumu la maendeleo Tanzania.

Itakumbukwa sakata la Sitti kudaiwa kuwa ameghushi cheti cha kuzaliwa liliibuka kwenye kwa kasi mwaka jana kwenye mitandao ya kijamii, hali iliyozifanya mamlaka husika kuanza kufuatilia uhalali wa cheti chake cha kuzaliwa....hadi pale alipojivua taji alilokuwa amevishwa baada ya kushinikizwa na watu mbalimbali kuwa aachie taji hilo kwa kile kilichoitwa ni kukosa uaminifu na kukosa sifa ya kushikilia nafasi hiyo.

Wajue Mastaa Wakubwa Duniani Walio Team Pacuiao vs Team Mayweather, na Maajabu Yake

$
0
0
Zikiwa zimebakia siku chache tu Pambano la karne kutokea, baadhi ya mastaa wameendelea kutupa karata zao.

Upande wa Manny Pacuaiao.

Kuna.
- Sylivester Stallone "Rambo"
- Mike Tyson
- Mohammed Ali
- Ronda Rousey (mwanadada huyu mwenye dani nne za judo, pia mcheza boxing)
- Mark Walhberg (kacheza movie za action, na pia ame bet na P didy kiasi cha Tsh 487 kwamba Pacuiano atashinda)

Upande wa Team Mayweather

Kuna.
- Justin Beiber
- Maria Carey
- P didy
- Rick Ross
- 50 Cent

Hapo nadhani mwenye akili amegundua kitu flani, na ameeona maajabu yaliyopo, haihitaji degree wala masters.

Meet Naima The Girl who Captured the Heart of Simba's Goalkeeper Manyika JR.....She is real Hot...Just see photos

$
0
0
  Meet Naima The Girl who Captured the Heart of Simba's Goalkeeper Manyika JR.....She is real Hot...Just see photos



Money is Money Whether you Sell P#$$Y or Mandazi……HUDDAH MONROE

$
0
0
Huddah Monroe has indirectly responded to rumours that she sells her body for money through a post on social media where she  says that money is money no matter how you get it.

Read it below;

“I think one of the biggest misconception of the human race is that we have to struggle in order to be successful…… Money is money , whether you made it selling Mandazi , selling clothes , selling p()$$y , selling boiled eggs, selling sugar cane , working in a bank , working in a mjengo, or selling cars! Whatever you are selling, make that money! It’s not written where it was made! Enjoy life! Those who matter don’t mind! Those who mind, don’t matter!

Ray C Gets Negative Response From Fans After Sharing These New Photos

$
0
0
Ray C, a talented Tanzanian singer once had a tag of sexiest female celeb in east Africa but the tag went away after she gained too much weight, even her Kiuno Bila Mfupa nickname is no more. Today she shared these new pics from her photo shoot with Kenyan magazine true love, Ray C covered the mag for it's April issue and she talks about her drug addiction, recovery and back to business.
But these photos of hers got negative response for her fans telling her she isn't sexy for her overweight so she should get back to her previous shape and sexy figure.


Diamond Azidi Kuonyesha ni Kiasa Gani Anampenda Mama Kijacho wake Zari, Aenda Nae Zanzibar Kwa Mara ya Pili..Picha Hizi Hapa

$
0
0
Zari and Diamond are romantic everywhere they go together and these pics taken on their way to Zanzibar prove it. They even caused a stir to their fans in Zanzibar as seen in photos below..................






Hapa Nimekuwekea Picha za Jinsi Diamond Alivyowapagawisha Wazanzibari Kwa Show Kali Sana Pale Ngome Kongwe

$
0
0
 Jana Usiku ilikuwa ni zamu ya Zanzibar Kupata Utamu wa Diamond baada ya kuwapagawisha kwa show kali sana pale Ngome Kongwe ..Nimekuwekea Picha Hapa chini :






Taharuki: Mwalimu Mkuu wa Shule ya Msingi Lindi, Awekewa Jeneza na watu Wasiofahamika Mlangoni Kwake

$
0
0
Kuna tukio limetokea katika Mkoa wa Lindi ambapo Mwalimu Mkuu wa shule moja ya msingi mkoani humo (Haikufahamika mara moja) ameamka asubuhi ya leo na kukuta jeneza limewekwa mbele ya mlango wa nyumba yake.

Wananchi wa eneo hilo nao wamepigwa na butwaa kwa tukio hilo. Taarifa zaidi zinasema Mwalimu huyo amedhamiria kuomba uhamisho wa haraka sana kutoka katika eneo hilo kwa sababu inaonekana wenyeji hawamtaki kutokana na yeye kushirikiana na serikali ya Kijiji kuwakamata wazazi wote ambao wanawaachisha shule watoto wao ili kuolewa.

Baadhi ya Waandishi waliopo mkoani humo wamesema wanafuatilia tukio hilo ingawa hadi sasa Polisi mkoani humo bado hawajathibitisha tukio hilo.


Nimetembea Kimapenzi na Dada Yangu wa Damu Nikampa Mimba na Kuzaa Mapacha..Muda wa Kuoa Mimi Umefika Dada Hataki Nioe

$
0
0
Marafiki habari za kuhaingaika
Kwetu tumezaliwa wawili tu mapacha , Mimi na Dada yangu, baba yetu alikua mkali na mkoloni sana hatukuruhusiwa kutoka nje kabisa labda shule tu na tulienda na Gari la nyumbani
Tulikua tukiishi mkoani na ilikua ni mwishoni mwa miaka ya tisini

Tukiwa form six, nadhan tulikua tumefunga shule tukiwa home, Dada yangu aliletewa mkanda Wa kikubwa na Rafiki yake baada ya Rafiki kuondoka tukawa tunauangalia sielewi ni nini kilitupata tukajikuta tumezini, mm kwangu ilikua ni Mara ya kwanza ila nadhan mwenzangu alikua tayari keshafanya huko nyuma

Ikawa kila siku tunafanya wazazi wakiondoka
Kuja kustuka haoni siku zake akamwambia mama naye akamwambia baba
Sijui niwaeleza lugha gani muweze kuelewa kilichotokea
Ilikua ni mtiti akaambiwa aeleze ni nani aliempa mimba akawa anasingizia wanafunzi wenzie shuleni, wakifika shule anababaika anashindwa kutaja basi akafukuzwa shule hata mtihani Wa mwisho hakufanya

Wakati hilo halijaisha biashara za Mzee zikaanza kuyumba vibaya vibaya na alikua na deni kubwa sana benki wakaja kuuza nyumba tunayokaa bado haikutosha
Nyumba tuliyohamia ikapigwa mnada pia
Mzee akapata stroke, tukaanza kuhangaika nae kila hospital,
Mtihani Wa mwisho ulipofika sikuweza kufanya kitu nilikua naangalia tu makaratasi maana tulitoka maisha ya juu ghafla tukaporomoka hadi chini ndani ya miezi 9-12
Mzee akawa amefariki tukaenda kuzika kijijini
Hakukua na chochote kilichobaki mjini si nyumba nini
Tumezika kama Leo wiki moja mbele Dada akajifungua mapacha Wa kiume kama sisi tulivyo mapacha

Baada ya ndugu kutawanyika na miezi minne kupita tukiwa bado kijijni maana tulipanga tuishi huko huko mjini hatukua na chochote mama aliniita akaniambia niende mjini nikaangalie matokeo yangu ndipo tunaweza kupanga tufanye nn
Matokeo yalikua mabaya

Usiku mmoja mama na babu wakaniita babu akaniambia chukua hawa ngombe ukauze wote utuachie watano tu
Hii ndio mali pekee Mzee wako alioacha, walikua ngombe 200
Nikapewa baba zangu wadogo tukaenda mnadani tukauza nikapata pesa nyingi mno

Nikaja dar kutafuta maisha na kiasi hicho cha pesa
Nikawa nanunua ngombe mkoani naleta dar hadi mtaji ukaongezeka mara tatu

Nikafungua biashara zingine na nikanunua kiwanja boko na nikajenga
Nikarudi kijijini nikamchukua Dada yangu na watoto had I mkoani wakiwa na miaka mitano nikampangia nyumba na kumfungulia biashara lengo ni watoto waanze la kwanza hivyo walitakiwa maandalizi ya nursery
Mama tulimwacha kijijini alikataa kabisa kuja mjini
Siku moja tuliagiza pombe walau tusherehekee mafanikio maana hatukumini kama tungefika hapo
Baada ya kunywa sana nikaona nikalale akanifuata chumbani na kuanza romance nikamzuia nikamwambia hatupaswi kurudia kosa hili, tushukuru huenda ni mpango Wa mungu Mzee kufariki kabla hajajua mm ndio nilikupa mimba
Na bado hatujui siku mama akijua itakuaje
Akaniambia yeye hataki mwanaume mwingine zadi yangu na kwamba ananipenda mm tu
Nakuja kustuka hivi na boxer na vest ameshavitoa huku akiendelea na zoezi moyo wangu ulishakataa ila mwili ukawa dhaif tukawa tumezini

Tangu hapo huwa anakuja dar tunafanya nashindwa kuresist ile pressure
Nikapata msichana mmoja dar alipokuja dar akatukuta nae kwangu alifanya fujo na kumpiga vibaya yule binti hadi majirani wakaniambia kumbe ulishaoa husemi, mi nashindwa kuwajibu
Nikapata demu mwingine Dada yangu alipokuja akakagua simu akaona SMS za mapenzi akampigia akamtukana sana akamwambia yule demu eti nimeoa na nna watoto wawili demu akakimbia kimoja

Nimepata Dada mmoja Wa benki tunapendana sana na tumepanga kuishi pamoja lakini kikwazo ni Dada yangu
Akigundua tu ni balaa
Sijui nimwambie huyu banker in advance kuhusu ili tatizo?

Marafiki naombeni ushauri
Maana mama mwenyewe anataka nioe nitulie

Dada anasema nisijidanganye kuoa ni kazi bure
Nikimwambia tafuta mtu wako na wewe uolewe hanielewi

Nifanye nini?
Naogopa laana

Mtoto wa Miaka 13 Akutwa Akiwa UCHI Akiwanga

$
0
0
Mtoto mwenye umri wa miaka 13 amekamatwa usiku akiwa uchi kwa madai kuwa alikuwa akiwanga katika duka moja lililopo kijiji cha mpunguti Mkoa wa Mbeya.

Mashuhuda wa tukio hilo walidai kuwa mtoto huyo ni mzoefu kwa kuwa wafanyabiashara wamekuwa wakipotelewa na fedha katika amzingira ya utata ambapo walitega mtego ili kubaini upotevu huo na kumbaini akiingia kwenye duka moja ambalo linadaiwa kuzindikwa.

Taarifa za awali kutoka kwa wakazi wa eneo hilo zilidai kuwa mtoto huyo  alikuwa anaishi na bibi yake ambaye alimfukuza kutokana na tuhuma za ushirikiana na kukimbilia msituni kutokana na kukosa pa kuishi.

Inasemekana mototo huyo aliishi misituni kwa zaidi ya miezi mitano ndipo aliporejea na kuolewa lakini ndoa yake haikudumu kutokana na maisha kuwa magumu na akaamua kuanza mbinu za kichawi kwa kuibia watu.

Alianza kufungua kufuli za maduka kwa kutumia kidole gumba huku akiwa uchi na alinaswa na kupelekwa kwenye ofisi za kata ambapo anashikiliwa hadi sasa.
Viewing all 104709 articles
Browse latest View live




Latest Images