Quantcast
Channel: UDAKU SPECIAL
Viewing all 104429 articles
Browse latest View live

Faiza Ally Aongelea Vazi Alilovaa Zari White Party na Wanaomponda "SASA nawataarifu ndio nimeamua na sio shati tu nikijisikia ntavaa hata gunia ni vile ambavyo najisikia"

0
0
faiza_ally
"Hahahaaa unajua nini kuna comment nyingi sana za kuponda vazi langu la shati ambalo binafsi nimelipenda sana na nilikua nafurahia toka nilipo waza tu kulivaa yaani mpaka nikalinunua na siku ikafika nikavaa na nikajisikia vile ambavyo nilivyo taka kujiskia- special #simple #happy ️SASA ajabu inakuja ambavyo mnaponda na ukiangalia asilimia 95 ya wanawake walio kuwepo walivaa nguo fupi wengine zaidi hata ya shati langu mfano mzuri hata mtangazani alie nihoji amavaa nguo fupi yaani tofauti yeye ni gauni mimi shati- vimini vigauni vilikua ufupi wake sawa na shati lkn kwa akili zenu fupi kama mazoe mkaona shati tu na hii yote kwa sababu mmekariri vitu mlivyo zoea kuona na mkiona kitu tofauti hamkubali - oyaa acheni upumbavu angalieni picha za watu walio hizuria nguo zao na shati langu kama lina hiyo tofauti ktk ufupi ambao mpaka una sababisha kunikashfu! SASA nawataarifu ndio nimeamua na sio shati tu nikijisikia ntavaa hata gunia ni vile ambavyo najisikia# na nikiwajibu hivi maana nawafundisha kitu sio kwa sababu mume nikwanza ni kwamba naona tu akili zenu zinatakiwa kubustiwa kwa kuwa pambazua pumbavu zenu "


Picha:Floyd Mayweather amemdunda Manny Pacquiao kwa points baada ya pambano la dunia lililokuwa likisubiriwa kwa hamu kumalizika huko jijini Las Vegas

0
0
Floyd Mayweather amemdunda Manny Pacquiao kwa points baada ya pambano la dunia lililokuwa likisubiriwa kwa hamu kumalizika huko jijini Las Vegas.
28424DD400000578-3065798-image-a-32_1430626555272
Pacquiao kama ilivyokuwa ikitarajiwa alirusha ngumi nyingi zaidi kuliko mpinzani wake lakini Mayweather aliweza kurusha ngumu zenye faida zaidi zilizowafanya majaji wanne wampe ushindi.
Mayweather ameshinda kwa point 118-110, 116-112, 116-112. Kwa ushindi huo, Mayweather ameendelea kushikiliza rekodi yake ya kutowahi kushindwa katika mapambano yake 48 aliyowahi kupigana.
Tazama picha za pambano hilo.
28426A8A00000578-3065798-image-a-57_1430627721244
284249CB00000578-3065798-image-a-30_1430626260529
284250B300000578-3065798-image-a-38_1430626740800
2842629A00000578-3065798-image-a-42_1430627067913
2842656C00000578-3065798-image-m-55_1430627654902
2842445200000578-3065798-image-a-26_1430625977910
2842447200000578-3065798-image-a-24_1430625949663
2842531600000578-3065798-image-a-44_1430627075093
2842550500000578-3065798-image-a-41_1430626810646
2842570200000578-3065798-image-a-37_1430626727944
2842708600000578-3065798-image-a-60_1430628193652

Team Wema Attacks Kajala For Attending Zari's All White Party, Kajala responds Back.

0
0
Kajala is pissed off by Team Wema!.......yesterday the actress attended Zari's All White Party at Mlimani City but as usual Team Wema started attacking her on Instagram and remember today Wema has instagram party in Mwanza and pre-party was yesterday. Wema didn't attend Zari's party.

So it seems Team Wema wants to control Kajala's life just because Wema saved her from jail by paying Tsh.13 million as fine to save her .And we all know Wema and Kajala became best friends but their friendship later on went kaput. So after dissing her , Kajala had to react by posting the below message....

"If someone isn't what others want them to be, the others become angry. everyone seems to have a clear idea on how other people should lead their lives,but none about his or her own, Life Is about Choice... ONLY GOD CAN JUDGE ME......."wrote Kajala and added another one below...........


Wema Sepetu Dress at Instagram Party In Mwanza

0
0
Yesterday Wema Sepetu was in Mwanza for instagram party and here was what she wore, she chossed black color and may be it was the event's theme. See Photos Below.

Uadui Wageuka Kuwa Mapenzi, Nay wa Mitego si Ulidai Mala..ya Wenye Viwango Wapo Bongo Movies?

0
0

Ilianza kama utani lakini siku zilivyosonga ndivyo uhusiano wao ulivyowekwa wazi, hao ni watu wawili waliowahi kuwa maadui wakubwa miaka kadhaa nyuma.

Hapo nawazungumzia staa wa filamu Shamsa Ford na msanii wa Bongo Fleva, Emmanuel Elibariki ‘Nay wa Mitego’ ambao kwa sasa wamezama kwenye mahaba niue.

Awali, wahusika wote walitumia nguvu kubwa kukanusha juu ya uhusiano wao lakini inatajwa kuwa mahaba yao ndiyo gumzo kuliko ya wengine wote katika Bongo Muvi na yanashika nafasi ya pili katika Bongo Fleva nyuma ya Diamond na Zari kwa sasa.

Awali, uadui wao ulitokana na Nay kuwaponda wasanii wa kike wa Bongo Muvi na kudai wengi wao hawana lolote na kazi yao ni kujiuza, Shamsa alikuwa mmoja wa waliopokea kwa hasira kali na kumbwatukia Nay lakini ule usemi kuwa ‘wagombano ndiyo wapatanao’, ulikuwa unawahusu.

Walipoulizwa juu ya mahabati yao baada ya picha kuvunja mitandaoni wakipeana ‘mabusu’ motomoto hivi karibuni, walisema wana ‘project’ maalum ya filamu.
Sasa inavyoonekana filamu yao imekuwa ya ukweli badala ya zile za kuigiz

January Makamba Azomewa Jimboni Kwake

0
0
Mheshimiwa January Makamba, Mbunge wa Bumbuli, leo amekumbwa na kitu ambacho hakukitarajia katika maisha yake baada ya kukutana na hasira za wananchi wake jimboni.

Mbunge huyo ambaye sasa yuko katika ziara jimboni kwake kwa zaidi ya siku tano, amekuwa anatembelea baadhi ya vijiji na maeneo katika kutimiza ahadi zake na ilani ya chama chake.

Ziara ya Mh. January ilianza kwa kasoro ambazo wananchi wengi wamekuwa wanaziita usanii, wengi wanalalamikia utaratibu wa ziara zake jinsi unavyoenda, kwanza amekuwa akiitisha mikutano mapema na yeye kutokea akiwa amechelewa, halafu akifika kwenye mkutano hataki kuulizwa maswali wala kuchukua maoni ya wananchi kwa kisingizio cha muda kuisha, katika mikutano yake amekuwa akiongozana na viongozi wa chama wilaya na wale wa halmashauri ambao pia wamekuwa wakitumia ubabe kuendesha vikao na mikutano, viongozi wote wanalazimishwa kumsifia kila wanapopewa nafasi ya kuongea.

Ziara ya Mh. January imekuja baada ya yeye kutoonekana jimboni kwa muda mrefu na wananchi kuona kama aliwatelekeza, wengi wanadai hawajawahi kumuona mbunge toka achaguliwe na leo amekuja kisa kuna uchaguzi unakuja na ameona upinzani umekuwa mkubwa kwa nafasi yake.

Leo Mh. January wananchi wa kata ya Mgwashi ndio waliamua kumtolea uvivu baada tu kufika kwenye mkutano na kuanza kuzomewa na kurushiwa maneno na wananchi, wananchi hawakumruhusu kuongea na walimuambia aondoke hawataki kumuona kwani katika miaka yote mitano aliyokuwepo madarakani amekuwa mbunge wa mitandao na ameshinda kuwa karibu na wananchi waliomchagua, kulitokea vurugu kubwa sana leo mgwashi na viongozi waliokuwa katika msafara wake wengi walipata wakati mgumu sana kutuliza wananchi hao wenye hasira.

Wananchi walimuambia wazi kwamba hawataki kumuona na hajalifanyia jimbo lao lolote zaidi ya kuleta migogoro jimboni na kuwaletea wananchi maisha magumu, vurugu hizi zilidumu mpaka saa 2 usiku na kulikuwa na zomeazomea mpaka mwisho, wananchi wanasema WANATAKA MABADILIKO.

Kuna dalili kubwa sana kwamba Mh. January ana upinzani mkubwa sana jimboni kwake kupitia UKAWA lakini hata ndani ya CCM kwani mpaka sasa wameshajitokeza wagombea wengi kulitaka jimbo hilo, badhi ya wagombea hao ndani ya ccm ni pamoja na mwandishi wa habari wa raisi PREMI KIBANGA, MNEC wa Wilaya Lushoto NAJIM MSENGI na Bwana Abdul Kanik, upande wa UKAWA wengi wanatajwa na kwa hali inavyoendelea UKAWA unaamini una nafasi kubwa kwani umekuwa unakuwa jimboni humo kwa kasi.

Mh. January analalamikiwa kwa kutokuwa karibu na wananchi, uamuzi wake wa kufunga kiwanda cha chai ambacho ndio tegemeo pekee la wakulima kwa sababu za kutoelewana na mwekezaji na uongozi wa kiwanda, kushindwa kutatua mgogoro wa kidini ulionzishwa na baba yake dhidi ya bakwata.

By busaraza2015/JF

Mtanzania Kulipa Milioni Tatu Kwa ajili ya Starehe ya Siku Moja ni Ujambazi na Kufuru

0
0
Yes, huo ndiyo ukweli na utabaki hivyo. Nchi yetu ni masikini sana! Wanafunzi wanaketi chini hawana madawati!
Maisha ni magumu sana huko vijijini. Wanawake wengi wanateseka na familia (wengi sana ni wajane). Na mambo mengine chungu zima!

Kwa kweli nchi yetu tunaonekana huko nje kuwa sisi ni masikini sana!

Kwa Mtanzania kutumia shilingi za kitanzania milioni tatu kwa ajili ya starehe ya kula kulewa na kujianika uchi hadharani kwa siku moja ni kufuru dhidi ya Mwenyezi Mungu na watanzania masikini!

Haya ndiyo mambo yanayopelekea watu kuiba mali ya umma!

Watu waseme watakavyo lakini ukweli ni kwamba kwa umasikini huu tulio nao, kutumia hicho kiasi cha pesa kwa anasa ya siku moja tena kwa watu wasio na mchango wowote kwa taifa ni kufuru kubwa na matusi!

By  G Sam

Le Mutuz: Zari all white party imeingiza 1.8 Billion jamani kina dada zetu bongo amkeni usingizini jiulize Who is Zari?

0
0
LEMUTUZ LIVE STRAIGHT TALK:- The "Zari White Party" hesabu za haraka haraka matokeo ni 1.8 Billion ndio maana ya AKILI KUBWA mkiwa mmelala usingizi sana na Mungu anawapenda basi atawaletea AKILI KUBWA ya kuwamsha..jamani kina dada zetu bongo amkeni usingizini jiulize Who is Zari? Kama una AKILI KUBWA utagundua ni Super Star made by Social Media especially Instagram

Billionaire Reginald Mengi Reveals Why He Married K-Lyn Jacqueline Ntuyabaliwe.

0
0
Few weeks ago Billionaire Reginald Mengi got married to former Miss Tanzania 2000 and Bongofleva singer K-Lyn Jacqueline Ntuyabaliwe despite their age gap. Their wedding which happened in Mauritius got media and social media attention, and  according to weekly paper, recently Mengi revealed he got married to K-Lyn because she is wife material.
Mengi said Jack loves him so much, she cooks for him, she washes his clothes with her own hands not using machine, she respects him and she knows his position as a man and a husband and she knows her own position as a woman and a wife.

Photos From Wema Sepetu's Instagram Party In Mwanza

0
0
The weekend was very busy and enjoyable to Dar e salaam's entertainment followers as Zari's All White Party took place on Friday at Mlimaniu City. On the other side, Mwanza was almost the same as Wema Sepetu was there for two days to attend Instagram Party. Wema looked hot in a black dress. Other celebs like Idris Sultan, Jihan Dimack joined Wema. Look photos below.............





Aliyekuwa Mpenzi wa Nay wa Mitego Siwema Atupia Picha za Mitego Mtandaoni..Aonyesha Kiuno chake Akijiandaa Kwenda Party

0
0
 Aliyekuwa Mpenzi wa Nay wa Mitego Siwema Atupia Picha za Mitego Mtandaoni..Aonyesha Kiuno chake Akijiandaa Kwenda Party ya Instagram Mwanza...Alitupia picha hizi na Kuandika
" Instagram party loading ...."na nyingine akaandika" Still loading.....70%...#saturday mode# still on bed."

Aliyekuwa Mke wa Mbunge Sugu Aiponda Show ya Zari All White Party, Adai ilipooza Bila ya Wema Sepetu

0
0
Nimekutana na hii Mahali Aliyekuwa Mke wa Sugu Ameandika Jinsi Alivyoona Show ya Zari
Jisomee Mwenyewe Hapo chini:

Faiza_Ally : ilikuwa Kawaida Sana..Sio Kivilee nacho taka kusema bila kuficha kuwa watu ambao nilikuwa karibu nao waliboreka! halafu tukajikuta tuna miss Madamu WEMA hata mimi niliona kwamba angekuwepo WEMA pale huenda ingekuwa tofauti WEMA anapendwa na Watanzania sana nilicho kiona Jana ni Kwamba mizuka maandalizi kawaida sana sikuona hiyo historia au nilicho kifurahia sana au labda nilikuwa nimepania au labda nilikuwa nafikiria kitu tofauti lkn cha msingi ni kwamba WEMA anapendwa bado akifanya chochote Watanzania watasapoti kwa Namna yoyote..Anyway kifupi nilicho enjoy ni nguo zangu na picha lkn the rest mhhhhhhhhhh"

Ujumbe Kwenda Kwa Mashabiki wa Wema Sepetu na Diamond Platnumz..Matusi Hayamjengi Mtu, Yanambomoa!

0
0
Kwa mashabiki wa Wema Sepetu na Diamond Platnumz. Hawa wawili ni wasanii wetu wanaokubalika nchini, kila mmoja kwa namna yake na kila mmoja ana mashabiki wake. Waliwahi kuwa wapenzi lkn mambo hayakwenda kama mashabiki na wao walivyotaka wakaamua kwa amani kuachana. Lakini bado wanaheshimiana na hata familia zao zinaheshimiana. Na Wema Sepetu bado anamsapoti Diamond ni msanii wake wa kwanza nchini anayependa kazi zake.

Mpaka hapo, ukishaelewa hayo huwezi kupata ujasiri wa kuwatukana kivyovyote. Hupendi hawako pamoja? Basi support yule unayempenda au kama unawapenda wote wawili endelea kuwasapoti sio kosa lako hawako pamoja! Ni kwa faida yao nzuri tu yenye nia njema. Heshimu mawazo yao...... Sijui khs nia ya team diamond...ila naomba nieleweke kwa wanaompenda Wema... ana projects nyingi zinakuja pia ana issue kubwa nchini ambayo itahusisha watu maalumu ngazi za juu serikalini vile vile si mnaona pia kuna suala la yeye kupigiwa kura?
Ni kwamba Wema anapendwa na watu wengi, lakini kitendo cha watu wanaotumia jina lake kutukana kitaleta makundi na watu kwa kukomoa watasapoti watu wengine au akiwa na issue hawatamsapoti ambapo si vibaya lkn sababu kubwa ni kwamba watu wanatukana sana.

Kuna wengine wanatumia kivuli cha Wema lkn ukweli hawampendi na kuna wanaotukana watu sana mpaka watu hudhan Wema anawatuma au team Wema wahuni lkn si kweli, Wema ana watu wengi wanaombeba wenye heshima zao....pia yeye Wema hatukani au kujibizana na watu kuweni kama yeye, msimchafulie mwenzenu.

Kwa namna hii watu wanaogopa kusema wanampenda Wema hadharani kwa kuhofia kutukanwa hii inampunguzia Wema marafiki. Ukweli ndo huo, sasa kama kweli unampenda Wema onyesha mapenzi yako kumsapoti na sio mwezi mzima unatukana halafu siku moja tu ndo unamsapoti wewe utakuwa sio mpenzi wa Wema.

Ujumbe wa leo: Matusi Hayamjengi Mtu, Yanambomoa!!!

By Mrekebisha Tabia

Patcho Mwamba: Hamna star wa kike ana nyota kama ya Wema Sepetu, ila dhambi yake ni moja...

0
0
Mwanamuziki wa band ya Fm Academia Patcho Mwamba ambae pia ni muigizaji wa filamu, amejibu swali aliloulizwa kwenye mahojiano maalumu na Bestizzo "Je unahisi Wema halitendei haki jina lake au kuna sehemu anakosea?"

''Kwanza tuseme ukweli wa Mungu hamna star wa kike ana nyota kama ya Wema Sepetu, ni star ni star ni star ni star sana upande wa wanawake wote ndani ya bongo ila dhambi yake moja ni kuanika sana maisha yake... akiwa na mpenzi jamani mpenzi wangu ndio huyu hapa akiachana nae ni rahisi watu kujua...''

Eti Wema Mrembo Kuliko Zari!

0
0
Imebainika kuwa maneno ‘gold digger’ katika ulimwengu wa fursa yanamaanisha kuwa ni mtu anayeona fursa na kuzitumia katika ‘kufaiti’ kupata mafanikio (utajiri) kwenye maisha.

Ndivyo alivyo mwandani wa mwanamuziki Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’, Zarinah Hassan ‘Zari The Boss Lady’ ambaye humwambii kitu linapokuja suala la kuona fursa na kuzifanyia kazi.

Pamoja na sifa hiyo iliyomfanya Zari kuwa mmoja wa mastaa matajiri Afrika Mashariki lakini kwa mujibu wa mashabiki waliomuona ‘laivu’ usiku wa Ijumaa iliyopita kwenye shoo yake ya Zari All White Party katika Ukumbi wa Mlimani City walisema aliyekuwa mpenzi wa Diamond kabla yake, Wema Isaac Sepetu ni mrembo zaidi kuliko yeye.

Gazeti la Ijumaa liliwashuhudia wadau wengi ambao walimuona Zari kwa mara ya kwanza kwenye show yakewakimshangaa na kudai kuwa yupo tofauti na anavyoonekana.

Kwa mujibu wa mashabiki hao, picha ambazo wamekuwa wakiziona kwenye mitandao ya kijamii zinakuwa zimeeditiwa (kuhaririwa) na kwamba ukimuona ‘live’ huwezi kuamini.

“Jamani siamini kama huyu ndiye Zari tunayemuona kila siku kwenye Instagramu maana yupo tofauti sana.

“Kwa waliokuwa wanasema anamzidi Wema wamenoa. Wema ni habari nyingine,” alisema mmoja wa warembo waliokuwa wakisukumana kumuona Zari.

“Mimi nadhani ni kwa sababu labda amezaa watoto watatu na sasa ana ujauzito wa Diamond wa mtoto wa nne so hawezi kumfikia Wema ambaye bado hajazaa,” alisema mrembo mwingine akimtetea Zari.

“Hamna bwana, kinachombeba Zari ni make-up (vipodozi) ambavyo anatumia kwa asilimia mia moja lakini Madam (Wema) hata asipotumia make-up lazima utampenda tu,” alisema mwingine aliyedaiwa ni Team Wema.

Kuhusu make-up, gazeti hilo lilizungumza na mmoja wa watu wa Timu ya Diamond ya Wasafi Classic Baby (WCB) ambaye yupo kitengo cha mapambo ambaye alithibitisha kuwa Zari hufanyiwa make-up kwa muda mrefu hadi mwenyewe akubali kuwa yupo sawa.

Mdau mwingine aliliambia gazeti hilo kuwa Zari ni mjasiriamali na ameona kwa Diamond kuna fursa ndiyo maana akakubali kumbebea ujauzito lakini si kweli kwamba ni mrembo kuliko Wema.

“Ameona fursa kwa Diamond. Kwa mfano shoo kama hii (Zari All White Party) asingeweza kuifanya bila kuwa na ‘koneksheni’ na Diamond,” alidai mdau mwingine.

Habari zinasema kuwa Zari ameona kuna fursa nyingi Bongo ndiyo maana amekubali kufunga ndoa na Diamond bila kujali kigezo cha umri. Ana umri wa miaka 34 wakati Diamond ni 26.

Akijibu swali juu ya uraia wake wa Uganda na Afrika Kusini na kwamba yeye na Diamond wanatarajia kuishi nchi gani mwanamama huyo alifunguka:

“Tutaishi hapahapa (Bongo). Kwa utamaduni wetu (Waafrika) inabidi mwanamke uondoke nyumbani kwenu umfuate mpenzi wako mkaishi wote.

“Watanzania ni watu poa sana, siwezi hata kuwalinganisha ni wakarimu sana.”

Kuna madai mazito kuwa Zari si mtu wa kuanzisha uhusiano wa kimapenzi na mtu ambaye hana fursa ya kimaendeleo kwani historia inaonesha kwamba wanaume wengi aliowahi kuwa nao walikuwa ni watu wenye nazo.

Baadhi ya wanaume waliowahi kuwa naye wanaosemekana kwamba hawakuwa watu hoehae ni pamoja na aliyekuwa mumewe, Ivan Semwanga ambaye alizaa naye watoto watatu akiwa ni mmoja wa mabilionea nchini Uganda.

Wengine ni Isaac Lugudde ambaye ni staa wa mpira wa kikapu nchini Uganda, mtoto wa mjini nchini Uganda, Farouk Sempala, Jenerali Jeje Odong, wasanii wa muziki, Moze Radio na  Weasel, Aziz Azion, Isaiah, Robert Ogwal a.k.a Rasta Rob, Exodus, DJ Shiru, mfanyabiashara mkubwa wa Nigeria na sasa ni zamu ya Diamond.

GPL

Mgomo Wa Daladala Waleta Shida Jijini Dar

0
0
Mgomo wa wafanyakazi wa mabasi yanayotoa huduma jijini Dar es Salaam, leo asubuhi umesababisha mtafaruku mkubwa kwa wakazi wa jiji hili ambapo wengi wao walionekana wakitembea kwa miguu kuelekea kazini na katika shughuli zao mbalimbali.

Mgomo huo ambao unaenda sambamba na usafiri wa mabasi ya abiria nchi nzima, unafuatia ule uliotokea Aprili 11 mwaka huu, ambapo wenye mabasi na wafanyakazi wanataka maridhiano na serikali katika masuala mbalimbali.

Forget about Faiza Ally..Check out This Jimama Who Broke the Record at Zari all white party

0
0
Forget about Faiza Ally..Check out This Jimama at Zari all white party

Floyd Mayweather: “Why Should I Donate Money To Africa”, “What Has Africa Done For Me”?

0
0
Late last year, radio personality Kelly Mac interviewed outspoken and undefeated boxer Floyd Mayweather. The boxer confessed that he has a “good heart,” but that he does not feel obligated to give to charities, specifically in Africa.

“[People] say ‘well, he got all this money, why is he not giving to Africa?’” starts Mayweather. “Well, what has Africa given to us? What has Africa came and gave to my children and to my family? Things work two ways.” He then discussed the threat that he believes giving too much money to charity can cause.

 “Everybody’s always talking about giving, giving, giving. That’s the problem. Everybody’s doing so much giving, at the end of the day, they may not have nothing. Then they’ll say ‘why was he giving this to that person, and giving this to that person when he should have been saving?’” Mayweather goes on to say that he should be able to do whatever he wants with his earnings, such as using it to provide for himself and his family.

 “I never got involved in the sport of boxing to say ‘I’m going to fight and make hundreds of millions of dollars and just give it all away.’ If I’m gonna mess money off in a bad way, I’m going to spend it on myself. I’m going to do what I want to do with my money. You hear people talking about, ‘well, he should…donate to this or donate to that.’ No, I should donate to Floyd Mayweather, donate to Floyd Mayweather’s family. Because that’s what it’s about.” According to Celebrity Net Worth, Mayweather, 37, is worth $170 million. Mayweather also has a charity, The Floyd Mayweather Jr. Foundation, in which the foundation declares to help underprivileged youth in Las Vegas, Nevada. Recently, Mayweather has been in the news for reportedly spending $50,000 for rapper Nicki Minaj to appear at his daughter’s birthday party.

Ester: Jamani Mastaa Acheni Kuiba Waume za Watu!

0
0
Staa wa Bongo Movies mwenye mvuto wa aina yake, Ester Kiama ameibuka na kuwachana mastaa wa kike wanaopenda kuiba waume za watu kwamba waache kwani si tabia nzuri. Akizungumza na GPL Ester alifunguka kuwa mastaa wanaochukua waume za watu, tabia zao siyo nzuri na kibaya zaidi wakishawachukua wanajigamba ili watu wawaone wako juu mjini wakati hawana lolote.

 “Siyo kwamba sijawahi kuwa na mume wa mtu, nilishawahi lakini nimetokea kuwachukia sana kwani hawana faida zaidi ya kuwapotezea wasichana muda wao, nimejifunza mengi na sitarudia tena hivyo nawasihi wenzangu waache kuiba waume za watu kwani watarogwa tu,” alisema Ester

Habari Zilizopo Katika Magazeti ya Leo Jumanne ya Tarehe 5 May 2015

0
0
















Habari  Zilizopo  Katika  Magazeti  ya  Leo  Jumanne  ya  Tarehe 5  May  2015
Viewing all 104429 articles
Browse latest View live




Latest Images