Quantcast
Channel: UDAKU SPECIAL
Viewing all 104712 articles
Browse latest View live

Udhaifu wa Wanaume wa Kibongo Wawapo Kitandani na Mwanamke

$
0
0
Hapa chini ni baadhi tu ya udhaifu wa wanaume wa kibongowawapo kitandani.

1. Kudandia haraka haraka bila kumuandaa mwanamke

2. Hakuna lugha ya mwili kutwanga na kumaliza kisha kugeukia ututani nakukoroka.

3. Harufu mbaya ya kwapa au kinywa, yaweza kuwa ya pombe, sigara au kinywakichafu.

4. Kumlazimisha mwanamke kulamba koni bila ridhaa yake

5. Kujisafisha na shuka baada ya kumaliza

6. Kutupa kondom kwenye sakafu baada ya kumaliza

7. Kupiga makelele na kuuliza maswali mengi yasiyo na maana

8. Kutohakikisha kama mpenzi wake amefika kileleni au ameridhika.

9. Kuomba tendo kama vile anaomba kibarua cha kulima hakuna lugha ya kubembeleza

10. Kutosema ahsante baada ya tendo, anamalizana kukimbilia kuvaa

PICHA: Mvua Yaliharibu Jiji La Dar es Salaam...Polisi Watoa Tahadhari

$
0
0

Jeshi la Polisi jijini Dar es Salaam, limetoa tahadhari kwa watumiaji wa barabara kutoka maofisini mapema kufuatia baadhi ya barabara kujaa maji.





Vodacom Tanzania MD Rene Meza resigns over $350 million scandal

$
0
0

.Tenders resignation letter this morning
.Feared he may flee the country to avoid prosecution
.Sources reveal how Vodacom Tanzania MD met more than 10 times with Tanil Somaiya, Rostam .Aziz to negotiate $5 million kickback
.Vodacom corporate affairs chief issues cover-up statement that back-fires

VODACOM Tanzania’s Managing Director, Rene Meza, has resigned over the $350 million (over 675 billion shillings) scandal involving the sale of pirate mobile phone vouchers to Tanzanians.

Sources inside Vodacom South Africa headquarters in Johannesburg and Vodacom Tanzania in Dar es Salaam confirmed that Meza tendered his resignation earlier today.

“I can confirm that Mr. Rene Meza resigned as Vodacom Tanzania MD effectively from this morning,” an official close to the mobile phone company confirmed.

“Vodacom executives are currently holding crisis meetings to issue a public statement on Meza’s exit.”

Insiders say Meza has been under fire from the company’s top executives for his role in the scandal where he is known to have received a $5 million bribe from the owner of Shivacom Group, Tanil Somaiya, to keep quiet about the fraud.

It has now been revealed that Meza secretly met at least 10 times with Somaiya and Rostam Aziz, a Vodacom Tanzania shareholder, to negotiate the bribe.

“It is feared that Mr Meza could flee the country after his resignation to avoid criminal prosecution over the matter,” said another insider.

“Rostam and Tanil would also favour Meza’s exit from the country because they can use him as a scapegoat and thwart any criminal investigation against them.”


VODACOM’S COVER-UP ATTEMPT BACK-FIRES

As noted by a section of the Tanzanian media, Vodacom Tanzania issued a carefully-worded statement on 30 April 2015 denying the scandal.

However, the statement signed by Vodacom Tanzania’s chief corporate affairs officer, Georgia Mutagahya, has spectacularly back-fired after the company unsuccessfully tried to play down the massive scandal.

In her statement, Ms. Mutagahya claimed the allegations of fraud and bribery against the company were “grossly inflated.”

She also claimed that there was neither fraud nor a “multi-million dollar loss” suffered as a result of the scandal.

However, a Vodacom Tanzania letter dated 11 July 2012 to Shivacom Group terminating the contract (see below) clearly states that there was massive fraud in the printing, distribution and sale of pirate recharge vouchers by Shivacom.

The letter signed by Vodacom Tanzania’s chief legal officer to Mr Tanil Somaiya, owner of Shivacom Group, also said Vodacom suffered huge financial losses from the fraud.

“It has been established that you have been fraudulently, and in total breach of the contract, producing duplicate pirate electronic recharge vouchers using pin numbers provided by Vodacom,” Vodacom Tanzania’s chief legal officer, Walarick Nittu, said in the letter to Tanil.

He added that Shivacom’s acts of breach have caused “enormous business losses” to Vodacom Tanzania.

Meza and Ms. Mutagahya’s cover-up attempt (pictured together above) has since failed to defuse the situation.

The Parliamentary Finance and Economic Affairs Committee has already ordered the Tanzania Revenue Authority (TRA) to submit a comprehensive report on how much taxes were evaded from the scandal.

There are also reports that the Tanzania Police Force and the Prevention and Combating of Corruption Bureau (PCCB) could soon launch parallel investigations.

UPDATES: Mafuriko yanayoendelea sehemu mbalimbali za jiji la Dar es as Salaam

$
0
0
Wakazi wa jiji la Dar es Salaam wamejikuta tena kwenye sintofahamu kubwa kutokana na mvua kubwa inayoendelea kunyesha tangia jana.

Maeneo mengi hali ni mbaya kutokana na mvua kunyesha kwa wastani wa saa 14 mfululizo!

Nimetokea maeneo ya Tegeta hali ni mbaya. Nyumba zimejaa maji. Maeneo ya Mbezi kutokea Goba kuna magari yametelekezwa njiani kutokana na maji mengi. Kuna gari dogo ya Toyota (jamii ya saloon kama sikosei) Imetelekezwa hapa Mbezi tangi bovu na imefunikwa na maji yanayotokea huku ukanda wa juu! Pia nyumba nyingi maeneo haya ya Mbezi beach zimezingirwa na maji na zimetelekezwa!

Nimepita Sinza hali ni mbaya sana. Maji yapo kila kona, njia hazipitiki!

Stendi ya Makumbusho asubuhi ya leo ilikuwa na daladala chache sana.

Barabara nyingi zinaongozwa na mataa badala ya askari wa trafic. Mfano mataa ya Chang'ombe kitu ambacho ni nadra sana na ni kutokana na magari kuwa machache sana!

Nasikia pia huko Mbagala hali ni tete kutokana na mvua kubwa inayoendelea kunyesha.

Emb tujuzane na kwa wale ambao mnaweza kuweka picha pia itasaidia.

Bundi atua tena CHADEMA: Kiongozi Mwingine ang'olewa madarakani kwa tuhuma za usaliti

$
0
0
Bundi atua tena Chadema.

Wamtimua tena Mwenyekiti wa Chadema Mkoa wa Kigoma Bw.Ally Kisala.

Sasa ni wazi kuwa Chadema ni Bomba bovu.

Kila kilizibwa upande huu linafumuka upande ule.

Mbowe ndiye aliyeagiza Kisala aondolewe kwa tuhuma za usaliti kwa Chama.

Bila Shaka kila Mwana chadema ni Msaliti isipo Kuwa Wenye Chama.
Na bado.

Aunt Ezekiel Awapa Makavu Watu Hawa Mtandaoni

$
0
0
Hivi naomba kuuliza kuna mtu nilimuomba humu kwenye page yangu anifollow???au nilishatangazwa kuomba followers mimi!!!Sasa ni mm ni mswahili mjue alafu habari za kukaa kutishiana maisha sipendi mana naona kila mtu mfundaji humu ndani kila mtu nyakanga vyote mnajua nyinyi!!

Mungu haombwi insta wala asalitiwi insta kila mtu na dini na kanuni zake kulingana na bando lake mimi nikiingia labour leo lolote lile litakalokuwa ndio matokeo na ndio mwenyezi Mungu alichopanga, hata nikajifiche wapi akisema Yes hakuna wakusema No .

So please jaman naomba kila mtu aishi maisha yake usinilazimishe mimi kuwa kama fulani huyo ni fulani tayari na mimi ni Aunty na hata siku moja uwa sijishow off wala kuishi maisha ambayo sio yangu yaani hayo yalishanishinda fake life sina Unanipenda mimi kaa humo huwezi kula haya ndio maisha yangu unataka hapa nipost picha niko flat huku nina tumbo!!!aaaah hebuni bana Mungu wang ndio kila kitu nawapenda wote …

Aunt Ezekel amendika haya kwenye ukurasa wake wa instagram baada ya baadhi ya watu ambao wanamfuata kumshabulia kwa maneno kwa  kile anachokiweka kwenye ukursa huo.

Nadhani ujumbe umefika

Andiko Hili la Wema Kuhusu Sheria ya Makosa ya Mtandao 2015, Laungwa Mkono na Wengi

$
0
0
Naomba mimi kama Wema Sepetu, nitoe tamko langu rasmi kuhusu hii Sheria mpya iliyopitishwa bungeni. Naongelea Sheria ya cybercrime au cyberbulling. Ukweli ni Kwamba watanzania tunatumia vibaya mitandao ya kijamii. Matusi yamekuwa ni mengi na sometimes hawavumiliki. Kwa kweli kunahitahija Kuwa na laws in place za kupunguza unyanyasaji kupititia mitandao ya kijamii. That said, yes nai support hii bill ya cyber crime to an extend.

Kama jinsi ambavyo watanzania tunatumia vibaya mitandao kwa kuumizana kwa njia ya matusi na kuchafuana, wana siasa wetu waliopitisha hii Sheria ya cybercrime pia wameitumia vibaya hii Sheria na kuitumia kama silaha ya kumfunga mdomo mtanzania.

Kusema ukweli mimi kama Wema Sepetu nimechoka kutukanwa, mpaka mama yangu mzazi anadhalilishwa humu Kwenye mitandao. Kuna kipindi nilifikia hatua ya kuwaza bora nife tu ili kuepukana na matusi na kuandikwa na magazeti kwa habari za uongo.

 Lakini as much as ningependa Kuwe kuna Sheria kama hii ya kunisaidia mimi Wema niepukane na matusi Naona ni bora niendelee kutukanwa mpaka Siku nitakayokufa kuliko kuona fans wangu mimi, fans wa Wolper, fans wa Jokate, fans wa Ali Kiba, fans wa Diamond Platinumz na Wengine wengi wakinyang'anywa haki yao ya msingi kabisa ambayo ni haki ya kuweza kufungua mdomo na kuongea hata yale ambayo sisi mastar na wanasiasi hatukubaliano.....Je mimi kama Wema nitasemaje nawadhamini fans wangu ambao wao ndo wamenipa umaarufu huu na kunifikisha hapa nilipo kama hapo hapo nitawanyanyasa kwa kuwapokonya haki yao ya freedom of speech.

Mimi Wema sijakamilika , wote mnajua ninamapungufu yangu , je mimi Wema nitawezaje kujua makosa yangu ili niweze kubadilika na kufanyA vizuri kama sitokubali kusikiliza maoni ya watu wote yawe mabaya au mazuri?Nafikir wore mnajua hakuna page ya Mtanzania hapa instagram yenye matusi na malumbano kama page yangu mimi ....

Nimeshauriwa sana Kuwa nianze kublock wote wanaoniwekea comment za matusi na kufuta comments zao kama wanavyofanya mastaa wengine lakini nimegoma. Je mnadhani mimi nafurahia hizo comment za matusi? Tena Kwenye page yangu mwenyewe? Hapana zinaniumiza ila pia nakumbuka Kuwa mimi ni kioo cha Jamii nakumbuka Kuwa kabla ya Wema sepetu first comes nchi yangu .....

Niko tayari nitukanwe lakini haki za fans wangu, haters wangu na watanzania wote kwa ujumla ziwe po pale pale. Watanzania naomba tuungane katika kumsupport my dada Kwenye hili @iworeadress @iworeadress. Mimi nimemwelewa sana anachokisema. Tunaelekea pabaya Sasa....Tupiganie haki zetu za uhuru wa kuongea. Tusipojipigania hakuna wa kutupigania. Naamini Chama changu nachokipenda cha CCM kitatusikukiza wananchi wake na kufanyia hilo kazi.Tafadhali follow hii page ili tuweze kuchangia na kabadilishana mawazo . @ccmchangeorquit

By Wema Sepetu on Instagram

What’s Wrong with Diamond’s Sister, Halima Kimwana.. Look What She Tried to show off at Zari all White party

$
0
0
 What’s Wrong with Diamond’s Sister, Halima Kimwana…Kust Look What She Tried to show off at Zari all White party...See Photos Below:



Kama Alivyosema, Irene Uwoya Ameanza Hivi Kuyanika Maisha Yake A to Z

$
0
0
Kutoka kwenye ukursa wake mtandaoni,staa mrembo Irene Uwoya ameanza hivi;

Naitwa Irene pankras uwoya...ni mtoto wakwanza katika familia ya mzeee uwoya yenye watoto 2 na mdogo wangu wakuite aitwae babu!!!nimezaliwa dodoma hospital nimeishi dodoma nikasoma shule ya msimgi mlimwa la kwanza mpaka la tatu...Wazaz wangu wakaa mishiwa Dar kikazI mama yangu akiwa ofisi ya waziri mkuu huku baba yangu akiwa pilot na pia ofisi ya nishat na madini nikaamia shule ya msingi bunge na kumaliza la saba!nikaenda kidato cha kwanza St.Thomas Gongolamboto mpaka kidato cha pili badae nikaenda Uganda nikasoma mpaka kidato cha 3 nikarudi bongo kuchukua pass mpya coz ya kwanza ilikuwa imesha isha.....Ilikuwa ijumaaa nikiwa nimeenda kwajili ya pass mpya nirudi shule!!!ndipo nilikutana na kaka mmoja mrefu,mweusi akaniita malaika"nikashangaa mhh mbona sio jina langu ?akanisogelea a kanambia kwa lugha ya kingereza naitwa Patrick ponce monzanga!nikawa na nashangaaa coz sikuwa namjua'nikamwambia naitwa Irene akanambia naomba nikwite malaika coz ur sooo beautiful huku akinipa mkono...nilipo mpa mkono tuuu basiii kumbe nilikuwa nimejitengenezea bomu bila kujua.....ITAENDELEAAAaaaaaaaaa

Dr Kessy Anakuletea Dawa za Kutengeneza Hips, Makalio, Nywele na Nguvu za Kiume Kwa Kutumia Dawa za Asili zisizo na Kemikali

$
0
0


Kifaa cha Kurefusha uume Kinachouzwa 160,000
Pendeza na Dr Kessy Products 
Ni dawa za Asili zisizo na Kemikali wala madhara yoyote kwa Binadamu, zimetengenezwa kwa kutumia mimea na matunda mbali mbali kukupa matokeo ya Haraka

1.Refusha Nywele na zisikatike  45,000/
2.Ondoa Mvi Sugu kichwani  45,000/
3.Toa Michirizi Mapajani, Chunusi na Madoa mwilini 40,000/
4.Punguza tumbo na Manyama uzembe 45,000/
5.Mkanda wa Kufunga Kupunguza tumbo 70,000/
6.Tengeneza Shepu Hips na Makalio  45,000/ ,Vidonge 80,000/
7.Ongeza Nguvu za Kiume  Jelly 45,000/ , Vidonge 60,000/
8.Ongeza Ukubwa wa Maumbile ya kiume Jelly 80,000/ , Mashine 160,000/
9.Kuongeza Mwili Mzima 40,000/
10.Kupunguza Mwili 45,000/
11.Kupunguza Maziwa na Kuyasimamisha 40,000/
12.Ongeza Mguu uwe wa Kupendeza 45,000/
13.Rudisha usichana ama Bikira 55,000/
14.Ongeza Hamu ya Kula 40,000/
15.Ongeza Hamu ya Kufanya Mapenzi 55,000/
16. Fanya mwili Kuwa Soft 60,000/
17. Dawa ya kutoa Michububuko kwenye mapaja 45,000/
18. Dawa ya kutoa maji maji sehemu ya siri na kukuacha mkavu 55,000/

TUNAPATIKANA DAR NA MIKOA YOTE, HUDUMA ZINAFIKA POPOTE ULIPO , 
DAR TUPO KARIAKOO MSIMBAZI NA POSTA  MPYA

PIGA SIMU: 0719955528, 0756259180 au 0785371237

Ommy Dimpoz: Sikualikwa ‘Zari All White Party ila sina tatizo na Diamond

$
0
0
Kwa mujibu wa hitmaker huyo wa ‘Wanjera’, kunyimwa mwaliko wa kuhudhuria party hiyo hakumaanishi kuwa ana tatizo na Diamond.

Ommy alikuwa akihojiwa na kituo cha Radio 5 cha jijini Arusha weekend hii alipoulizwa kama amealikwa kwenye party hiyo.

I am not invited,” alisema. “Lakini sina tatizo na Diamond, hajawahi kunikosea. Kikubwa ni kwamba amekuwa ni mfano kwa wasanii upcoming kwasababu hata mimi nimemkuta kwenye muziki na ni mmoja wa wanamuziki ambao walikuwa wananivuta hata mimi kuwa achana na mambo ya bendi na kuwa solo artist.

Tunampenda TID, Tumsaidie Kumtoa Kwenye Matumizi ya Unga – Q-Chief

$
0
0
Q-Chief amedai kuwa ni muhimu jitihada zikafanyika na wadau mbalimbali ili kumuokoa TID kutoka kwenye dimbwi la matumizi ya madawa ya kulevya.

TID amekuwa akihusishwa kutumia dawa kwa kipindi kirefu lakini ameendelea kukanusha.

Akiongea kwenye kipindi cha Harakati cha Clouds TV kinachoendeshwa na Kalapina, Chief alisema TID ni msanii mwenye uwezo mkubwa hivyo ni muhimu kwa watu kumshawishi kuachana na matumizi ya dawa hizo kama yeye alivyofanikiwa kuacha.

TID ni Q-Chief waliwahi kuwa maswahiba wa muda mrefu na walikuwa pamoja kwenye Top Band japo walikuja kukosana. Hadi sasa hawaelewani na kauli hii ya Q-Chief inaweza ikawa ni mwiba kwa Top in Dar!

Madansa Wanne wa Diamond Wamejenga Nyumba Kupitia Muziki Wake

$
0
0
Si Diamond pekee anayenufaika na muziki wake – hata madensa wake pia.
Diamond amesema madansa wake wanne tayari wamefanikiwa kujenga nyumba zao kutokana na kipato wanachopata.

Akiongea na gazeti la Mwanaspoti, staa huyo amesema amekuwa akiwashauri madansa wake mambo mazuri ya kimaisha ili kuwajenga.

“Ni kama kaka zangu na ninawapenda sana kwani tumetoka nao mbali na wanajua kuwa tunafanya kazi pamoja kutengeneza maisha hivyo ni kama ndugu zangu na tunasaidiana kwenye kila jambo ukizingatia kuwa kile tunachokipata tunagawana,” alisema Diamond.

“Kwa kweli najitahidi sana kuwaambia hasa kuhusiana na masuala ya kimaisha, nahusika katika maisha yao ya kila siku na nijuavyo mimi nikikosea tu mmoja akapotea kundi langu litakuwa limeharibikiwa maana kila mtu namtegemea kwa upande wake. Kwa sasa wamejenga nyumba zao na wanaendelea vizuri kimaisha hilo ndilo sharti langu lazima wafanye mambo ya maendeleo kwa kile tunachokipata.”

Bongo5

Huku Diamond Akitangaza Ndoa na Kusubiri Mtoto, Zari Na Pedeshee Katunzi Laivu

$
0
0
KABAAANG! Wakati supastaa Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ akitembea kifua mbele huku akijinasibu kuwa anasubiri kwa hamu kupata mtoto kutoka kwa mchumba wake, Zarinah Hassan ‘Zari’, imevuja picha inayomuonesha laivu mwandani wake huyo akiwa na pedeshee maarufu Bongo, Muzamili Issa Katunzi ikidaiwa kuwa ni mtu wake wa nguvu, Ijumaa lina stori kamili.

TUJIUNGE NA CHANZO
Kwa mujibu wa chanzo makini, Katunzi ni mtu wake Zari kitambo kabla hata Diamond hajaanzisha naye uhusiano wa kimapenzi mwishoni mwa mwaka jana na walikuwa wakikutana mara kwa mara.“Katunzi na Zari walijuana kitambo sana. Yaani suala la Zari kuibuka Bongo na kufanya mambo yao haikuwa ishu na hata Katunzi alikuwa akiibuka Sauz (Afrika Kusini anakoishi Zari) na kuwa pamoja,” kilisema chanzo hicho.

KATUNZI ALIWAKUTANISHA ZARI NA DIAMOND
Kuonesha kwamba kina ubuyu kamili, chanzo hicho kilizidi kufunguka kuwa, hata safari ambayo iliwakutanisha Zari na Diamond kwa mara ya kwanza, mrembo huyo alikuja Dar, kumfuata pedeshee Katunzi, ndipo ‘dodo lilipomdondokea’ Diamond kama kumsukuma mlevi vile.

“Kweli Diamond ana zari kama lilivyo jina la mrembo huyo mwenye asili ya Kiganda. Siku hiyo ya kwanza kabisa walipokutana, Zari alikuwa anaibuka Bongo kuitikia wito wa mtu’we Katunzi.

NDANI YA NDEGE SASA
”Diamond alichangamkia fursa, alipoona ‘dhahabu’ inaelea ndani ya ndege katika daraja la  juu (business class), akaomba namba, akakubaliwa na ndipo wakaanza kupiga mapichapicha ya selfie ambayo yalivuja na Wabongo wakaanza kujiongeza kwani wakati huo tayari Diamond alikuwa ameshaachana na Wema Sepetu ‘Madam,” kilitiririka chanzo hicho.

PICHA ZAMSHTUA KATUNZI
Kwenye mazungumzo yake, chanzo hicho hakikusita kufunguka kuwa baada ya picha za Diamond na Zari kuanza kuvuja kwa mara ya kwanza, ilidaiwa kuwa zilimshtua Katunzi kiasi cha kumtumia ujumbe mfupi wa simu Zari kumuuliza ni kitu gani kilikuwa kikiendelea kati yake na mwanamuziki huyo.“Katunzi ilibidi amuulize Zari kuhusu picha hizo, Zari akamwambia hakuna kitu chochote ni urafiki wa kawaida, hata hivyo jamaa hakujali.

DIAMOND UPOOO!!
“Diamond kama aliingia katika himaya ya Zari pasipo kujua kuna watu wanamjua kitambo atakuwa amechelewa. Pedeshee Katunzi alimjua kitambo sana Zari,” kilimalizia chanzo hicho.

PICHA TOFAUTI ZANASWA
Mbali na kumwaga ubuyu huo, chanzo hicho kilivujisha picha tofauti katika dawati la Ijumaa zinazomuonesha Katunzi akiwa kwenye pozi la pamoja na Zari kuthibitisha kwamba wawili hao ni watu wanaofahamiana.

KWA NINI URAFIKI WA SIRI?
Ijumaa lilifanya uchunguzi wa kwa nini urafiki wa Zari na Katunzi ulikuwa wa siri na kubaini kuwa wawili hao hawakutaka watu wajue kwa sababu ambazo wenyewe wanazijua lakini kitu walichokuwa wanazingatia ni mpango wa ‘kula bata’.
Timu yetu ya uchunguzi imebaini pia kuwa, wawili hao wamekuwa wakiwasiliana mara kwa mara kupitia simu zao za mikononi, mawasiliano ambayo bado yanafanyiwa kazi ili baadaye yapakuliwe yakiwa yameiva.

KATUNZI ANASEMAJE?
Baada ya kumsaka Zari bila mafanikio, mwanahabari wetu alimvutia waya Katunzi ili kumsikia anazungumziaje ukaribu wake na Zari, alipopatikana alijibu kwa kifupi.“Zari namfahamu, kuna nini kwani?” Alihoji  Katunzi. Alipoambiwa kuwa kuna picha na habari zake kuhusu Zari alikata simu na hata alipopigiwa tena hakupokea.

KUTOKA DAWATI LA IJUMAA
Kufuatia kuwepo kwa minong’ono mingi kuhusiana na ukaribu wa Zari na Katunzi, dawati la Ijumaa linaendelea kuchimba undani wa habari hii kwa kumtafuta Katunzi, Zari na Diamond ili wote wafunguke kwa kirefu

Source: GPL

CCM Kumtosa Lowassa Urais 2015 , Kumzawadia Uwaziri Mkuu Kumpoza

$
0
0
Tetesi:
Habari kutoka duru za siasa za CCM zinadai kwamba CCM wamepanga kumtosa rasmi Lowasa kwenye mbio za urais ila watampoza kwa kumuahidi cheo cha uwaziri mkuu. Habari za kuaminika kutoka kada maarufu wa CCM anayehudumu katika ofisi ndogo ya Lumumba zinabainisha kwamba vikao vya "usuluhishi" kati ya kundi linalomuunga mkono Lowasa na wasuluhishi hao vimekuwa vikifanyika Dodoma na Dar ili kuweka mambo sawa.

"Tunataka tuingie kwenye uchaguzi tukiwa wamoja ndipo tutaweza kukabiliana na nguvu kubwa ya UKAWA. Wananchi wa sasa sio kama wa enzi hizo...hawadanganyiki! Ndio maana hata uamuzi wa adhabu dhidi ya makada waliofungiwa na chama kwa kuanza kampeni mapema tumeuahirisha kwa muda ili kujipanga vizuri.", Alisema.

Kufuatia uwoga wa kushindwa uchaguzi uliotanda ndani ya CCM, hadi sasa wameogopa kupuliza kipenga kwa makada kuanza kuchukua fomu kwa kuhofia kuibuka kwa makundi yanayoweza kukiangamiza chama.

MAONI YANGU
CCM msijidanganye kumpoza Lowasa huku mkijua kwamba mnampaka mafuta kwa mgongo wa chupa.

By Tpaul

Nimempa Mimba House Girl Hataki Kuitoa Wala Kuondoka Hataki

$
0
0
Miezi kadhaa iliyopita wife alileta house girl mzuri ajabu na mwenye wowowo la kufa mtu. Binti huyu hushinda na kanga moja tu na nyonyo zimechongoka kama bolibo na akiinama kupiga deki shanga zote nje.

Kwa hali hiyo uvumilivu ukanishinda nikajikuta nimetembea nae mara kadhaa. Juzi ananiambia haoni siku zake, nimemwambia nimpe pesa akatoe amekataa anaogopa kufa.

Tumeongozana hospitali nikathibitisha ni kweli mjamzito. Nikamuomba kwa usalama wa ndoa yangu aondoke, hataki.
Nimemuahidi nitampa mtaji aondoke, hataki anataka nimpangishie sehemu awe mpango wa kando jambo ambalo silitaki.

Kuna mwenye jawabu hapa nifanye nini?

Mafuriko Yaua Watu Jijini Dar, Nyumba Kibao Zafunikwa......Katapila latumika Kuokoa Watu

$
0
0
Mvua kubwa iliyonyesha kwa siku mbili mfululizo tangu juzi imesababisha vifo vya watu watano huku mamia wakikosa makazi baada ya nyumba zao kubomolewa.
 
Mvua hiyo iliyofikia kipimo cha milimita 132.5 kwa mujibu wa vipimo vilivyofanywa katika kituo cha Shule ya Msingi ya Maktaba, ilisababisha barabara kujaa maji na nyingine kuharibika na madaraja kadhaa kukatika.

Mkurugenzi Mkuu wa Hali ya Hewa, Dk Agnes Kijazi alisema jana kwamba kipimo hicho cha mvua ni cha juu mno kulinganisha na kile cha wastani ambacho ni kati ya milimita 16 na 30.

“Kwa takwimu za mwezi Mei, kiwango hiki hakijawahi kufikiwa kwa miaka 10 iliyopita.” Alipotakiwa kufafanua miezi mingine, Dk Kijazi alisema hakuwa na takwimu kwa kuwa alikuwa nje ya ofisi.

Awali, Dk Kijazi alitoa taarifa ikisema mifumo ya hali ya hewa inaonyesha kuwa “hali ya mvua inatarajiwa kuendelea katika baadhi ya siku hadi Mei 20, mwaka huu”.

“Mamlaka inaendelea kushauri wakazi wa maeneo hatarishi pamoja na watumiaji wa bahari kuchukua tahadhari,” alisema Dk Kijazi.

Watano wafa
Kutokana na mafuriko hayo, watu watano wakiwamo watoto wawili, walipoteza maisha baada ya kusombwa na maji.

Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Said Meck Sadick alisema waliopoteza maisha ni watoto wawili na mzee mmoja ambao majina yao hayajafahamika.

“Mtoto mmoja (2) alisombwa na mafuriko katika eneo Machimbo ya Makangarawe na mzee mmoja alifariki jana baada ya mvua kunyesha na kujaa ndani ya nyumba yake. Mtoto mwingine ambaye bado hajapatikana alisombwa na mafuriko pia,” alisema Sadick.

Hata hivyo, habari zilizopatikana baadaye zilisema kuwa waliopoteza maisha ni watu watano.

Kamanda wa Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, Suleiman Kova alimtaja mtu aliyefariki dunia kuwa ni Shabani Idd (73) mkazi wa Manzese.


Katika eneo la Mbezi Luis, Mto Mbezi ulifurika, hali iliyosababisha nyumba zilizojengwa kandokando ya daraja hilo kufunikwa na maji.

Mkazi wa eneo hilo, John David alisema hali ilikuwa mbaya zaidi jana asubuhi kwani maji yalifurika na kujaa barabarani na kusababisha usumbufu mkubwa kwa watumiaji.

Alisema wakazi walio karibu na mto huo walichukua tahadhari tangu juzi na kuhama makazi yao.

“Haikuwa rahisi kwa wao kuendelea kukaa hapa wakati wanafahamu hali kama hii ingetokea. Tangu jana jioni familia zinazoishi huko ziliondoka, lakini vitu vyao vimesombwa na maji na nyumba moja imesombwa pia,” alisema David.

Breaking News! Jerry Muro Apigwa Faini Milioni 5,kwa Kosa Lipi ?, Soma Hapa…..

$
0
0
Kamati ya Nidhamu ya Shirikisho la Mpira wa Miguu nchini TFF iliyoketi jumanne tarehe 5 Mei, 2015 imempiga faini ya sh. 5,000,00 (milioni tano), Afisa Habari wa klabu ya Yanga SC Jerry Muro kwa kutoa kauli za chuki, kisirani na uchochezi dhidi ya uongozi wa Bodi ya Ligi (TPLB) nchini na TFF.

Akitoa utetezi wake mbele ya Kamati ya Nidhamu, Jerry Muro alikiri na kujutia kufanya kosa hilo na kudai ilitokana na ugeni wake katika uongozi wa michezo, kwa kuzingatia hilo kamati ilimuepusha na adhabu ya kufungiwa..

Kwa mujibu wa Ibara ya 53 (2)ya Kanuni za Nidhamu za TFF toleo la 2012, kwa kuidhalilisha TFF na Bodi yake ya Ligi mbele ya umma, kamati imemtoza faini ya sh. 5,000,000 (millioni tano), Jerry Muro na kuwaonya viongozi wengine wa familia ya mpira wa miguu kutojihusisha na vitendo vya matamshi ya aina hiyo.

Shitaka linalomhusisha mchezaji wa Yanga, Amissi Tambwe kumshika kwa kumdhalilisha mchezaji wa Simba SC Juuko Mursheed, na kiongozi wa Friend Rangers Hery Chibakasa wa Friends Rangers kuhamasisha vurugu katika mchezo wa timu yake na dhidi ya Majimaji ya Songea Januari 29, 2015, kamati imeahirisha mashitaka hayo mpaka tarehe nyingine itakapopangwa.

Kamati iliahirisha malalamiko dhidi ya Mohamed Hussein, Muhibu Kanu, Manfred Luambano, Venance Joseph, Mussa Senyange, Saleh Ali, Shafii Maganga na Ismail Salim baada ya kupokea taarifa za udhuru zilizosbabishwa na mgomo wa madereva wa mabasi ya abiria ya mikoani.

Rais Kikwete Amesaini Rasmi Sheria Yenye Utata ya Makosa Mitandaoni, Kuanzia Sasa Itaanza Kutumika..

$
0
0
Rais Jakaya Kikwete tayari ameshasaini sheria yenye utata ya makosa ya mtandao na muda wowote kuanzia sasa itaanza kutumika rasmi

Hivi ni baadhi ya vipengele vilivyozua utata katika sheria hiyo

1. Kifungu 7 (2b): Mpokeaji wa ujumbe (receiver) anaweza kushtakiwa kwa kosa la kupokea ujumbe ambao sheria imeufanya kuwa wa jinai. (Mfano: Mtu akikuforwadia ujumbe, ukiupokea na wewe umefanya kosa la jinai).

2. Kifungu 8: Itakuwa ni kosa la jinai kama mtu ataweka wazi nyaraka za siri za serikali hata kama ni nyaraka ya kusaidia nchi kwa ujumla (Mfano: Matumizi mabaya ya mali ya umma).

3. Kifungu 14: Picha yoyote yenye mwelekeo unaoweza kuonekana kama ‘mchafu kingono’ inaweza kupelekea mtu kufungwa hadi miaka 10 au kulipa milioni 30; Sasa kama mtu kaposti picha yake ambayo sio ya ponografia lakini ‘ikatafsiriwa’ hivyo. Sheria haijatafsiri ponografia!

4. Kifungu 23: Je, ulijua kuwa ‘kusababisha maudhi ya hisia’ kwa mtu mwingine ni unyanyasaji na unaweza kufungwa kifungo kisichopungua mwaka mmoja?

5. Rejea adhabu ya ibara mbalimbali: Sheria hii kila kosa linaweza fanya mtu afungwe kifungo hadi cha maisha na kulipa pesa hadi zisizohesabika kwani hakijawekwa kikomo cha juu cha adhabu bali kikomo cha chini tu kwa Kiingereza “not less than”

6. Sheria haijaeleza vizuri suala la kutumia jina lisilo lako kwenye mtandao na hivyo mtu anaweza kushitakiwa kama kuna mtu mwingine mwenye jina kama hilo katika maisha halisi.

7. Serikali kupitia waziri husika ndio ina mamlaka ya kusema jambo lililowekwa kwenye mtandao ni la kweli, uongo au la kupotosha. Kumbuka hata ESCROW, EPA walisema ni uwongo; ni wangapi katika mtandao wangeshtakiwa kiuonevu kwa hili?

8. Kifungu 22: Ukiweka ujumbe katika mtandao na ukaufuta au kuuboresha, kama ukishtakiwa kwa kuweka ujumbe huo unaweza kuhukumiwa pia kwa adhabu ya kuuboresha au kuufuta. Ni mara ngapi unafuta ‘status’ zako za WhatsApp? Unaweza shtakiwa kwa kuchelewesha ushahidi kisa tu ulifuta na hamna mtu anayeweza kujua ulifuta kwa kusudi au la.

9. Mkuu wa kituo cha Polisi chochote kile nchini anaweza kuagiza wewe umpatie simu/laptop yako au taarifa zako zote (kwenye email, chats) au hata vifaa vyako au ofisi yako kwa ajili ya upelelezi bila oda ya Mahakama.

HOW three Women KIDNAPPED, RAPED and stole SPERMS from a man at Gunpoint

$
0
0

A man was kidnapped and raped at gunpoint by three women who wanted to harvest his semen.

The trio stopped in a black BMW in South Africa to ask for directions then bundled him into a car before driving him 300 miles.

They fondled the 33-year-old but when he didn’t become aroused they forced him to drink something from a bottle.

After that they raped him and put the semen in plastic bags in a cooler box before driving off, leaving him 500km from the township where they picked him up in Port Elizabeth.

Constable Mncedi Mbombo told Sowetan Live: ‘They then forced him to drink an unknown substance from a bottle. This got him aroused quickly even though he was still scared and didn’t want to have sex.
Viewing all 104712 articles
Browse latest View live




Latest Images