Quantcast
Channel: UDAKU SPECIAL
Viewing all 104709 articles
Browse latest View live

Diamond Platnumz And P-Square's Collabo Is Ready, To Be Dropped Soon

$
0
0
Hopefully you all remember we previously posted about two posts informing you about Diamond Platnumz and Nigerian P-Square's collabo. Now, good news is that the collabo is ready and soon it will be out.
Diamond posted the photo above and captioned " please let me know when you guys are ready so that i can drop it... DIAMOND ft P-SQUARE)

P-Square posted the photo and captioned "my African people, you asked for it and it is coming to you soon"

Can't wait to........

Swahili Planet

Ray And Steve Nyerere Are Big Hypocrites, How Can They Betray Me For Zari ? : Wema Sepetu

$
0
0
Wema Sepetu has come for Ray Vicent Kigosi and Steve Nyerere after the two agreed and promised to attended Wema's Instagram party in Mwanza last Sartuday but they didn't show up. Ray and Steve promised Wema they will not attend her arch rival Zari's All White Party at Mlimani City in Dare es salaam but they ended up attending it on Friday and neglecting Wema's Party in Mwanza.


An angry Wema Sepetu speaking with Globalpublishers she called Ray and Steve hypocrites by betraying her for Zari's party. " I don't want to hear anyone telling me about Ray and Steve Nyerere because they are big hypocrites, they promised me they won't go to Zari's All White Party but they did go and they didn't come to Mwanza as the promised me" said Wema

Paparazzi tried to contact Ray but in vain, but when Steve contacted he had this to say " it is true me and Ray promised to join Wema at her show in Mwanza but the last day had money problem of flight ticket to Mwanza so we entirely failed to go and we could not fully depend on her to pay everything for us, so we decided to go to Diamond's party who also invited us"

Anyhow, Steve's reasons aren't strong enough to be accepted although not attending Wema's party and attending Zar's might be noraml, but do you think Ray and Steve truly hadn't money for flight ticket to Mwanza ...?

Swahili Word Platet

Hot Jacqueline Wolper Stylishly Dazzles In New Photos

$
0
0
 Hot Jacqueline Wolper Stylishly Dazzles In New Photos
You simply look hot Jacqueline Wolper...


Pedeshee Jack Pemba Azua Tafrani Dar..Afanya Vurugu Airport, Ajigamba Amerudi Bongo Adai Kina Wema na Aunty Ezekiel Hawana Jipya

$
0
0
Kijana Jack Pemba amezua kizaazaa uwanja wa ndege Dar. Hii ni baada yakuanza kuvamia meza za watu na kujitangaza kuwa amerudi Dar.

Huku akiongea kwa sauti kubwa hadi bar yote ya Flamingo ikisikia, Jack alitoa lugha za matusi kwa wageni wote walikuwa katika bar hiyo. Jack alijigamba pia kuwa kina Wema na Aunt Ezekiel hawana jipya kwake na ndio amesharudi Dar kusumbua mji.

Maaskari wamekuja na kutaka kumsweka ndani ila Jack akaomba msamaha na watu wengine wamemuombea msamaha.
Ndipo jack kaamua Flamingo nzima wapewe vinywaji na yeye analipa. Kabla ya bili kuja jack kamwaga madolari mezani.

Inaonekana Jack ana stress za maisha.

Le Mutuz, Alberto Msando Sasa Damu Damu..Baada ya Bifu Kubwa Wakutana Laivu Uso Kwa Uso na Kuamua Hili

$
0
0
Wale mafahari wawili waliowahi kutengeneza uzi mrefu humu mwanzoni mwa miezi February, Mjasiriamali William Malechela Le Mutuz na Mwanasheria Alberto Msando, kufuatia promoshen iliyotamba ya kampuni ya Coka cola yenye jina "share a coke" ya kuandika majina katika makopo, hatimaye wamepatana.
Katika kurasa zao za insta wametupia picha wakiwa pamoja huku wamefunga mikono style anayoipenda sana mkuu Le Big Show AKA Akili kubwa, huku kila mmoja akitupia ujumbe kuonesha yameisha.
Ikumbukwe kuwa wakati wa tifu hilo hata wachangiaji wengi humu walijikuta wakiwa makundi tofauti kila mmoja akiwa upande wa aliyeona ana hoja ya msingi katika suala lile.
Binafsi mimi nimewapongeza sana hawa jamaa kwa kuonesha ukomavu wa busara na wito wangu wooote mliokwaruzana kipindi kile tafadhali rejeaneni.

Alberto Msando Ameandika hivi:

"In life there is only one thing that is permanent. Interests. Live at the Stars Meeting Millennium Tower. We met! We spoke!! We are so done!! We are brothers!"

Diamond Platinumz Katika Hili Umekosea,Umekosa Busara ni vyema Ukajifunza Kuweka Akiba ya Maneno

$
0
0
Nime yaandika haya baada ya kuona post ya
Diamond akikosoa vikali tunzo za kill hadi amepitiliza na kuandika yasiyo tarajiwa pengine alikuwa na hasira sana lakini tusisahau kuwa hasira haijengi!
Kwangu mimi naona amekosea sana!

Hakuna busara iliyo kuu kama ku kaa kimya! Hapa ndio naamini wasanii wana hitaji washauri wa karibu kabla ya kuandika au kusema chochote!

Diamond umekosea sana tena sana..ulikuwa na nafasi ya kukaa kimya kuonesha busara kuu!Kuna mtu alisema ukitaka kutambua mtu mwenye busara subiri akiwa na furaha sana au akiwa na hasira sana!

Naanimi Diamond hukufikiri mara mbili kabla ya kupost uliyo yapost! Kila mtu anajua wazi kuwa hizi tunzo hazijakamilika na haziwezi kukamilika kamwe na hata kama kuna mtu atapewa kuziendesha kamwe haziwezi kuwa satisfy watu wote na wakati wote!

Pengine ni kweli anayo jaribu kutuambia Diamond lakini ninacho jiuliza hii ndio busara yako ya mwisho?
Kila mdau wa muziki anajua fika kuwa hakuna mwaka ambao umekuwa na hit song nyingi kama mwaka jana na mimi nilijua utaleta malalamiko mengi sana lakini niliamini kuwa busara ndio itatumika zaidi kuliko hasira au meneno ya kuwa vunja moyo waandaji waonekane hawajafanya lolote kwa kuwa tulio wategemea hawapo!

Diamond una sahau kuwa wakati unapewa tunzo wewe kuna watu wali lalamika kuwa umependelewa na wengine wakajitoa na wengine wakatumia busara na kukaa kimya!

Jamani kama maneno ya namna hii yangekuwa yana andikwa basi yangetoka kwa Bell 9 ambaye watu walikuwa wanaamini kuwa ana stahili tunzo kila leo..lakini kijana wa watu amekuwa ni mwwnye hekima sana na nina mpongeza kwa hilo!

Diamond kusema kuwa hata usipopewa tunzo huwezi kushuka ni kuwakosea heshima Kill na Basata kwani hizi ni tuhumu zisizo na msingi kutoka kwa msanii mkubwa kama wewe ...ni kweli wana lengo la kukushusha?
Diamond umekosa busara kabisa kabisa ulipaswa kukaa kimya maana ni wachache wataamini una watetea hao ulio wataja!

Diamond jifunze kuvumilia na si kila kitu cha kukifanya public..Diamond ina maana kusema kwako hukuhangaika kuwambia watu jinsi ya kupiga kura maana hukupendezwa ina maana umegomea tunzo? Ni kweli Kill na Basata wamekuwa wabaya kiasi hiki hadi una diriki kuuliza kama wanau au kukuza muziki?

Diamond umenishangaza sana tena sana lakini na kukumbusha ujifunze kuweka akiba ya maneno na ndio busara iliyo kuu kuliko kuongea!

Diamond umeshindwa kujiuliza kwanini wengine wame nyamaza?

Mimi naamini hizi tunzo ni nzuri na ni msaada kwa wasanii pia si tunzo zilizo kamilika na hakuna tunzo zilizo kamilika duniani!

Uzuri wasanii huwa mnapewa semina kwa hiyo mnaweza kusema huko huko malalamiko yenu lakini kuongea kwenye media tena kwa njia uliyo tumia itachukuliwa ni kutaka watu wagomee tunzo hizi!

Wasanii ni vyema mkawa mnaweka akiba ya maneno ili msiwa katishe tamaa walio jitoa kuikwamua tasnia hii kwani nao hawaja kamilika!

Karibuni wana jamvi!8

MTOTO Wa Mwalimu J.K Nyerere Amefariki Dunia

$
0
0
MTOTO wa nne wa Mwalimu J.K Nyerere, John Nyerere amefariki dunia jana akiwa katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili jijini Dar es Salaam alipokuwa amelazwa.
Marehemu John alizaliwa mwaka 1957 jijini Dar es Salaam na enzi za uhai wake alikuwa kapteni wa Jeshi la Wananchi Tanzania (JWTZ) akiwa rubani wa kurusha ndege za kivita.
Kwa mujibu wa mmoja wa wanafamilia ni kwamba marehemu amefariki baada ya kusumbuliwa na maradhi ya mapafu na kisukari kwa muda mrefu.
Enzi za uhai wake John alishiriki vita ya kumng’oa Nduli Idd Amini nchini Uganda.
Mungu ailaze roho ya marehemu John mahali pema peponi. AMENI

Maandamano Burundi yachukua Sura Mpya

$
0
0
Serikali ya Burundi imewataka  waandamanaji katika mji mkuu wa Burundi Bujumbura kusitisha maandamano yao dhidi ya hatua ya rais wa taifa hilo Pierre Nkurunziza kuwania muhula wa tatu katika uchaguzi wa mwezi ujao.

Serikali  imewapatia waandamanaji hao saa 48 kuondoa vizuizi walivyoweka katika barabara za mji huo,lakini hata hivyo inadaiwa maandamano yataendelea leo  siku ya jumapili.

Wanasiasa  wanasema kuwa bwana Nkurunziza anakiuka katiba kwa kuwania muhula wa tatu,lakini mapema wiki hii mahakama ya kikatiba nchini Burundi iliamua kuwa rais Nkurunziza ana haki ya kuwania muhula wa tatu.

Hadi sasa takriban watu 18 wameuawa tangu maandamano hayo yaanze wiki mbili zilizopita.

Mganga wa Kienyeji Akutwa Akiroga Mahakamani

$
0
0
MGANGA mmoja wa kienyeji amekamatwa akifanya ushirikina katika Mahakama ya wilaya ya Bunda mkoani Mara kwa kutumia tunguli ili kuwezesha kushinda kesi.

Mganga huyo ni moja kati ya waganga sita, ambao walikamatwa kwa kosa la kupiga ramli chonganishi na kufunguliwa kesi katika mahakama hiyo ya wilaya.

Mtuhumiwa huyo pamoja na wenzake hao, walikamatwa Machi 11 mwaka huu saa 6:00 mchana katika kijiji cha Kabasa wilayani hapa, wakipiga ramli chonganishi ya kuchonganisha wananchi kinyume cha sheria.

Mtuhumiwa huyo aliyeshikwa juzi akifanya ushirikina huo katika mahakama hiyo ni Riku Wasaga Yahaya (50), mkazi wa kijiji cha Kabasa wilayani hapa.

Mtuhumiwa huyo pamoja na wenzake hao, walipokamatwa wakipiga ramli chonganishi, walifunguliwa kesi namba 86 ya mwaka huu katika mahakama hiyo.

Mwendesha mashitaka wa Polisi, Athumani Salum, alidai kuwa juzi wakati watuhumiwa hao wakiwa mahakamani hapo, wakisubiri kesi yao kutajwa, mbele ya hakimu wa mahakama hiyo, Said Hamad Kasonso, mtuhumiwa Yahaya alionekana akifanya ushirikina kwa kutumia tunguli.

Ilidaiwa baada ya mtuhumiwa huyo kupekuliwa na polisi, walimkuta akiwa na vibuyu viwili vya tunguli na dawa ya ungaunga na mchanga mfukoni mwake, alivyokuwa anavitumia kufanyia ushirikina katika mahakama hiyo.

Hakimu Kasonso alisema mtuhumiwa huyo na wenzake watano, walikamatwa wakijaribu kufanya ushirikina wa kuroga mahakama hiyo, jambo ambalo ni la ajabu mno, kwani Mahakama ni chombo ambacho kazi yake ni kutoa haki na kutafsiri sheria kikamilifu na kwa kina zaidi ili haki iweze kutendeka.

Hakimu Kasonso alisema kuwa kitendo hicho cha ushirikina ndani ya chombo cha haki, kamwe hakiwezi kuvumiliwa na hivyo mahakama hiyo inawapeleka mahabusu watuhumiwa wote sita kwa muda wa siku 14 hadi Mei 22, mwaka huu, kesi yao itakapotajwa tena mahakamani hapo.

"Mahakama ni chombo cha kisheria ambacho kinatoa haki baada ya kuitafsiri sheria kwa kina zaidi na kisha kutoa maamuzi, sasa kitendo cha kuja kufanya ushirikina katika chombo ambacho kazi yake ni kutenda na kutoa haki, kamwe hakiwezi kuvumiliwa, hivyo watuhumiwa wote waende mahabusu siku 14," alisema.

Mwendesha mashitaka wa mahakama hiyo, Athuman Salum, aliwataja watuhumiwa wengine katika ile kesi yao ya awali ya kupiga ramli chonganishi kuwa ni Komoga Wasaga Msiba, Thomas Nyakojaribu, Oro Odewa Kalidoshi, Mariamu Thomas na Daud Thomas, wote ni wakazi wa kijiji cha Kabasa wilayani Bunda.

Picha ya Aunty na Kajala Kwenye ‘Baby Shower Party’ Yazua Minong’ono Mtandaoni

$
0
0
Picha ya mastaa wa Bongo Movies, Aunt Ezekiel na Kajala Masanja wakiwa wamekumbatian kwenye sherehe ya Aunt Ezekiel ‘Baby Shower Party’ikiwa nikumpa zawadi mzazi mtarajiwa iliyofanyika usiku wa jana yazua minong’ono ya hapa na pale miongoni mwa walioandika komenti kwenye picha hiyo iliwekwa mtandaoni kuhusiana na mahusiano ya sasa ya kati ya Aunt na Wema Sepetu.

Aunt Ezekiel na Wema Sepetu  nimarafiki wa karibu sana japokuwa hivi juzi kati kuliripotiwa  na vyombo mablimbali vya ukudaku kuwa urafiki wao umeyumba baada ya kusemekana Aunt aliipigia promo show ya Zari All White Party iliyofanyka siku ya mei mosi.

Kitendo cha Kajala kuhudhulia kwenye Baby Shower ya Aunt   kamezidisha minong’ono ya chini kwa chini kuwa inawezekan ikawa kweli kuwa hausinao ya Aunt  na Wema yameyumba kwani Kajala na Wema kwa muda sasa wamekuwa hawapo sawa.

Hongera sana Kajala na Aunty kwa kuonyesha upendo.

Mzee wa Ubuyu

Photos From Actress Aunty Ezekiel's Baby Shower..Wema Sepetu Was Not There...

$
0
0
Yesterday was actress Aunty Ezekiel's baby shower, it was attended by few people especially her close friends including Kajala Masanja, film director Lamata leah Mwendamseke, Husna Iddy Sajent, Nice Chande, Junaitha, Maimatha Jesse, and her baby baba to be Moze Iyobo was there too. Look some pics as captured by Millard Ayo.





Wema Sepetu na Aliyekuwa Mume wa Zarii Kunanii? Wapanga Kuwaumiza Diamond na Zari Kwa Kumsapoti Ali Kiba Kill Music Awards

$
0
0
Week end hii iliyopita Wema Sepetu na Aliyekuwa Mume wa Zari Ivan wamekuwa busy sana kumspoti Ali Kiba na Kumpromote kwenye page zao za Instagram kitu ambacho si cha kawaida na kimechukuliwa kuwa wawili hao wamepanga kufanya hivyo kumuumiza Diamond na Zari ...Wengi wamehoji iweje Mganda Huyo aliyekuwa mume wa Zari ghafla tu aanze kushabikia Bongo Flava na huku Wema nae Akiwa Busy kuposti Promotion za Kuwaambia watu wampigie kura Ali Kiba asimu wa Diamond?...Je Wameambizana? Je nini Kina endelea Kati yao Kwa Siri??

Angalia Picha Hizi kutoka katika Page zao za Instagram :
Posts za Mume wa Zari 
Post za Wema Sepetu

Dr Kessy Anakuletea Dawa za Kutengeneza Hips, Makalio, Nywele na Nguvu za Kiume Kwa Kutumia Dawa za Asili zisizo na Kemikali

$
0
0


Kifaa cha Kurefusha uume Kinachouzwa 160,000
Pendeza na Dr Kessy Products 
Ni dawa za Asili zisizo na Kemikali wala madhara yoyote kwa Binadamu, zimetengenezwa kwa kutumia mimea na matunda mbali mbali kukupa matokeo ya Haraka

1.Refusha Nywele na zisikatike  45,000/
2.Ondoa Mvi Sugu kichwani  45,000/
3.Toa Michirizi Mapajani, Chunusi na Madoa mwilini 40,000/
4.Punguza tumbo na Manyama uzembe 45,000/
5.Mkanda wa Kufunga Kupunguza tumbo 70,000/
6.Tengeneza Shepu Hips na Makalio  45,000/ ,Vidonge 80,000/
7.Ongeza Nguvu za Kiume  Jelly 45,000/ , Vidonge 60,000/
8.Ongeza Ukubwa wa Maumbile ya kiume Jelly 80,000/ , Mashine 160,000/
9.Kuongeza Mwili Mzima 40,000/
10.Kupunguza Mwili 45,000/
11.Kupunguza Maziwa na Kuyasimamisha 40,000/
12.Ongeza Mguu uwe wa Kupendeza 45,000/
13.Rudisha usichana ama Bikira 55,000/
14.Ongeza Hamu ya Kula 40,000/
15.Ongeza Hamu ya Kufanya Mapenzi 55,000/
16. Fanya mwili Kuwa Soft 60,000/
17. Dawa ya kutoa Michububuko kwenye mapaja 45,000/
18. Dawa ya kutoa maji maji sehemu ya siri na kukuacha mkavu 55,000/

TUNAPATIKANA DAR NA MIKOA YOTE, HUDUMA ZINAFIKA POPOTE ULIPO , 
DAR TUPO KARIAKOO MSIMBAZI NA POSTA  MPYA

PIGA SIMU: 0719955528, 0756259180 au 0785371237

Ukistaajabu Ile Tattoo ‘Shishi baby’ kwa Mziwanda Jionee Hii ya ‘Irene Uwoya’ kwa Vjaymapenzi!

$
0
0
Katika hali ya kuonyesha hisia zake kwa staa wa bongo movies, Irene Uwoya kijana anayejiita Vjaymapenzi amejichora tattoo yenye jina la staa huyo  mkononi na kufunguka haya mtandaoni.

Itatokea kwa iman yenye uvumilivu wa wazi maana unaeza jizuia kwenda haja lakini sio kujizuia kumpenda mtu alitunukiwa ndani ya moyo wako na nafsi ikamkubali...ni rahisi sana kuwa tayara kwa lolote sababu chaguo la moyo ni chaguo la furaha na faraja ya maisha...kumpenda Irene Uwoya ni ugonjwa wangu na sijui kama nitapona sababu sina mpango wa kutafuta matibabu ni mie na yeye na yeye na mimi".

Uwoya naekupitia ukurasa mtandaoni alimjibu kwa “Asante sana kwa kunipenda Vjaymapenzi" mara baada ya kuweka picha ya Vjaymapenzi yenye tattoo na maelezo yake.

Hakika watu wanapenda jamani.

Mzee wa Ubuyu

Taarifa kuwa Rais Kikwete ameshasaini Sheria ya Makosa ya Mtandao ili ianze kutumika yazidi kuibua mjadala

$
0
0
Taarifa kuwa Rais Kikwete ameshasaini Sheria ya Makosa ya Mtandao ili ianze kutumika yazidi kuibua mjadala , Dr. Mengi asisitiza wadau hawakupewa fursa kushiriki kuandaa sheria hii ..Je Una Kubaliana na DR Mengi?


Meck Sadick aipongeza Mvua na Kuishukuru Kwa Kuwahamisha Wakazi wa Mabondeni!

$
0
0
Pamoja na mvua hizi kulaumiwa na kulaaniwa kila kona kwa kuleta madhara pamoja na kupoteza maisha ya watu, mvua hizi sio balaa kwa kila mtu bali kwa wengine ni neema na simestahili pongezi!.

Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Bw. Said Meck Sadick, amezipongeza mvua zinazoendelea kunyesha katika jiji la dar es salaam, kwa mvua hizo kuisaidia serikali katika utekelezaji wa hukumu ya mahakama kuu, kuwaamuru wakazi wa mabondeni kuhama kwa lazima, ambapo waligoma kata kata kuhama, na serikali ilimkuwa bado inajishauri namna ya kuwahamisha watu kwa nguvu bila kuleta madhara, haswa kwa kuzingatia huu ni mwaka wa uchaguzi!, mvua hizi zinazoendelea kunyesha zimeisaidia serikali kuwahamisha wananchi hao, hivyo Meck Sadik amezishukuru sana!.

Mkuu huyo wa Mkoa, ametoa shukrani hizo, katika mahojiano ya moja kwa moja katika kipindi cha Kumepambazika, kinachorushwa na Redio One Stereo asubuhi hii.

Amesema ametokea taarifa za kupoteza maisha kwa watu wengine wawili, mmoja amesombwa alipotaka kuvuka mto Ng'ombe maji yakamzidi nguvu na kumsomba, na mwingine ni mtoto mdogo wa miaka miwili, alikuwa akicheza nje ya nyumba yao mafuriko yakapita mbele ya nyumba na kumsomba!.

Kuhusu wakazi wa mabondeni, Mkuu wa Mkoa alisema baada ya mafuriko ya 2011, waliwahamisha na kuwapatia viwanja Mbweni, baadhi yao walihama na wengine waligoma na kwenda mahakamani ambapo serikali ilizuiliwa kuwahamisha kwa nguvu.

Hoja za wakazi hao kupingwa kuhamishwa ni kwa sababu wametumia gharama kubwa kwa ujenzi na kuwekewa huduma muhimu za maji na umeme, hivyo hawawezi kuhama bila kufidiwa!. Lakini sasa mahakama imeishatoa uamuzi lazima wahame, na serikali ilijipanga kutumia nguvu kuwahamisha, tena this time bila kuwapatia maeneo mbadala, lakini kabla ya utekelezaji wa zoezi hilo, Mungu akaleta mvua saidizi ambazo zimekuwa msaada mkubwa kwa kuwahamisha, hivyo kuipunguzia serikali kazi ya kuwahamisha kwa nguvu.

Mkuu wa Mkoa amesema baada ya usaidizi huu wa mvua kwenye kuwahamisha watu hao, sasa serikali imebakiwa na kazi ndogo tuu, kuhakikisha watu hao hawarudi katika maeneo hayo, na kuwasisitiza wale wote walohama na kubakiza baadhi ya vifaa vyao, mvua zikisimama wataruhusiwa kivichukua kabla ya kupitisha tingatinga na kulisawazisha eneo lote kubaki tambarare kama walivyofanya kwa eneo la Kipawa!.

Pia Meck Sadiki aliviomba vyombo vya habari kutoa ushirikiano katika zoezi hili kuhakikisha wakazi wa mabondeni wanahama kwa ridhaa yao kutekeleza amri ya mahakama na wale wote watakao kaidi, watahamishwa kwa nguvu.

Pasco.

Wachaga Wamegawanyika Kama ifuatavyo, Sio Wote ni Wajanja!

$
0
0
Wachaga wamegawanyika kama ifuatavyo, sio wote wajanja. Kuna:-
1. Warombo wajanja sana kibiashara/wezi pia, wameajiri Wamarangu mjini ni walevi sana hupeleka wake zao vijijini wakileta kiburi mjini. Wanawake zao ni mama Huruma, wanaachia tu.. Ukioa mrombo ujue umeolea kijiji.

2. Kuna Wamarangu wazuri sana wa sura na umbo wanawachuna Warombo. Wanawake wana dharau sana na wanaume ni waoga kuliko wanawake. Mwanaume wa Marangu kupigwa na mkewe si jambo la ajabu.

3. Kuna Wakibosho wanafanana na Warombo lakini ni wavumilivu zaidi. Biashara kubwa wanayofanya ni ya kuchinja... wengi wanamiliki mabucha. Wana hasira sana na ni wakatili.. Akikuchoma kisu, siku ya mazishi anakuja kudai kisu chake.

4. Kuna Wamachame hawa ni wezi sana, ukifanya nae dili umeliwa, niwasiri sana, anaweza kukuua huku akitabasamu, sio waaminifu sana lakini huenda kanisani mara nyingi zaidi kuliko Wachaga wote. Wanawake wa machame wanaitwa 'Wapalestina'.. Mume ukitajirika mkeo anakuua ili arithi mali.

5. Kuna Wauru, hawa hupenda kusoma sana lakini hawapendi maendeleo kabisa, wanawake wakifikisha umri wa miaka 40 hua wehu na wanaume huwa vichaa mapema zaidi. Wanaume ni wavivu, wanawake ni wachapakazi hodari. Wanazurura mjini na mabeseni wakiuza ndizi mbivu.. Ukioa Uru jiandae kulea kichaa.

6. Kuna Wakirua, wanapenda sifa kama Wahaya. Wanawake wa Kirua ni wachawi kupindukia.. Wanaloga hata jiwe ili tu alikomoe.. Wanaume wao hawaoi kwao.. Hawapendi kuishi mjini maana wanaogopa gharama.. lakini siku wakija mjini watatu tu utadhani wako mia.

7. Kuna Wa-old Moshi. Hawa ni mafundi stadi wa ujenzi wa nyumba, japo hawajengi kwao. Mpaka leo hamna daladala ya kwenda Old-Moshi kuanzia Moshi mjini, maana ni wabishi kulipa nauli na pesa inaishia kwenye mbege njiani. Wanaume wamezoea kutoka nyumbani saa kumi na moja alfajiri na kurudi saa sita ya usiku kwa miguu.!

Kilaza

Msuva Mambo Safi Afrika Kusini, Yanga Waletewa Ofa Rasmi ya Kumuuza

$
0
0
MFUNGAJI bora wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara, Simon Msuva anarejea jioni ya leo Dar es Salaam na tabasamu ‘kuubwa’ baada ya kufaulu majaribio ya kucheza soka ya kulipwa Afrika Kusini.

Winga huyo wa mabingwa wa Tanzania Bara, Yanga SC jana amekamilisha majaribio yake ya siku tatu Bidvest Wits ya Ligi Kuu nchini humo na matokeo ni ‘safi’.

BIN ZUBEIRY inafahamu Bidvest Wits wameridhika na uwezo Msuva na sasa wanafungua majadiliano na klabu yake, Yanga SC.

Msuva amebakiza mwaka mmoja katika Mkataba wake Yanga SC na Wits iko tayari kutumia si zaidi ya dola za Kimarekani 100,000 (Sh. Milioni 200) kukamilisha dili zima la mchezaji huyo- kwa maana ya malipo ya mchezaji kusaini na ada ya uhamisho kwa klabu yake.

Msuva aliondoka Dar es Salaam Jumatano wiki hii akiwa tayari ameipa Yanga SC ubingwa wa Ligi Kuu msimu huu, huku pia akiwa anaongoza kwa mabao, 17 akifuatiwa na mchezaji mwenzake wa timu hiyo, Amissi Tambwe mabao 14. - Amekosa mechi mbili za mwisho dhidi ya Azam FC Yanga ikilala 2-1 na leo dhidi ya Ndanda ya Mtwara.

Tangu ajiunge na Yanga SC mwaka 2012 akitokea Moro United, Msuva ameifungia timu hiyo mabao 35 jumla katika mechi 102 za mashindano yote.

Chanzo: BinZubeiry Blog

Habari Zilizopo Katika Magazeti ya Leo Jumatatu ya Tarehe 11 May 2015

$
0
0




















Habari  Zilizopo  Katika  Magazeti  ya  Leo  Jumatatu  ya  Tarehe 11  May 2015

Lucy Komba: Tuna Zamu ya Kupika na Mume Wangu

$
0
0
Mkongwe wa sinema za Kibongo ambaye amekita makazi yake nchini Denmark , Lucy Komba ameweka bayana kuwa katika suala la mapishi anapokuwa nyumbani, huwa wanawekeana zamu ya kupika na mumewe.
Lucy Komba akiwa katika pozi na mumewe .
Lucy alivujisha taarifa hiyo baada ya mwanahabari wetu kumuuliza juu ya ratiba zake za mapishi anapokuwa nyumbani ndipo alifunguka :
“Huwa tunawekeana zamu ya kupika na mume wangu, mfano kama leo , mimi nipo nyumbani lakini sipiki namsubiri atoke kwenye mihangaiko yake aje apike , huku ndivyo mambo yanavyokwenda tofauti kidogo na huko nyumbani (Bongo ) kwamba mwanamke pekee ndiye mwenye jukumu la kupika.”
Viewing all 104709 articles
Browse latest View live




Latest Images