Quantcast
Channel: UDAKU SPECIAL
Viewing all 104712 articles
Browse latest View live

Mkurugenzi Mkuu Vodacom aliyejiuzulu Aula Qatar ......Mitandao Yahusisha Kujiuzulu Kwake na Kashfa ya Upotevu wa Bilioni 700 za Kitanzania

$
0
0
Aliyekuwa  Mkurugenzi  mkuu  wa  Vodacom  aliyejiuzulu hivi  karibuni  Rene Meza amepata shavu katika kampuni nyingine ya mawasiliano  nchini Qatar ijulikayo kama Ooredoo Mynmar kuwa Mwenyekiti  mtendaji  wa tawi la Mynmar.

Aidha, taarifa iliyotolewa kwa vyombo vya habari jana  na kampuni hiyo imesema kwamba Rene Meza atachukua nafasi ya  Ross Cormack ambaye anatarajiwa kuachia nafasi hiyo mwaka huu.

Kwa mujibu wa mtandao wa Afrika Kusini umebanisha kwamba Mkurugenzi Mkuu wa Vodacom amejiuzulu  ili kufanya kazi nyingine.

Hata hivyo mitandao ya kijamii  mbalimbali  nchini Tanzania imehusisha  kuondoka kwake  na kashfa ya upotevu wa takribani  bilioni 700 fedha za kitanzania ambazo ni sawa dola za Kimarekani  milioni 350.

Taarifa  hizo  zinaarifu  kuwa  bwana Meza alikuwa kwenye  ‘kitimoto’ cha maofisa wa juu wa Kampuni hiyo akihusishwa na kashfa ya kupokea dola milioni 5 kutoka kwa Mmiliki wa Shivacom,Tanil Somaiya ambaye  alimpa  ili  kumziba mdomo   kutokana  na  kashfa   ya  uzalishaji, usambazaji na uuzaji  wa  vocha  bandia  zilizokuwa  zinajulikana  kwa  jina  la  "Jero jero".

Rene Meza alijiunga na Kampuni ya Mawasiliano ya Vodacom mwaka 2011 akitokea kampuni ya Bhati Airtel Ltd ya nchini Kenya.

Ifuatayo  ni taarifa iliyotolewa na kampuni ya Ooredoo Mynmar ya nchini Qatar.


Kitila abainisha madhaifu mawili ya Zitto Kabwe Katika Uongozi

$
0
0
Prof anachambua pamoja na mambo mengine , madhaifu ya Zitto Kabwe na kushauri apatiwe mda wa kujirekebisha aweze kuwa kiongozi wa kitaifa, mapungufu hayo kwa maneno yake mwenyewe Proffessor:
Pengine udhaifu mkubwa wa Zitto kama kiongozi upo katika maeneo makubwa mawili.

Kwanza, ni kushindwa kupima maana na matokeo mapana ya kauli zake kabla hajazitoa. Mara kadhaa Zitto amekuwa akitoa kauli ambazo huacha ukakasi mkubwa katika jamii.

Kwa mfano, akiwa katika kampeni za ubunge mwaka 2010 alitangaza kwamba katika awamu ijayo angerudi kugombea urais na siyo ubunge tena.

Zitto alitoa tangazo hili huku akijua kwamba chama chake kilikuwa na mgombea urais na kwamba kauli kama ile ingeweza kupunguza imani ya wapiga kura kwa mgombea wa chama chake kwa kuonyesha kwamba asingeshinda na pengine alikuwa hafai.

Pili, baadhi ya kauli za Zitto huonyesha kwamba ni kiongozi anayechokozeka kirahisi.

Kwa mfano, alipomwagiwa ‘upupu’ na Tundu Lissu mapema mwaka huu kwamba alikuwa amehongwa magari na Nimrod Mkono, Zitto alitoa kauli ya haraka tata kwamba, yeye asingekufa kama alivyokufa Chacha Wangwe (“Chacha died, I won’t”).

Hii ni kauli tata kwa sababu inatoa taswira kwamba pengine Chacha Wangwe hakufa kwa ajali kama inavyojulikana bali aliuawa na watu ndani ya chama chake.

Pili, kwamba yeye asingekufa kama Wangwe inaweza kutoa taswira kwamba Zitto ana nguvu za ziada za kumkinga na kifo.

Eneo la pili la udhaifu wa Zitto lipo katika mahusiano ya kimapenzi yasiyoeleweka kwa mtu mwenye dhamana ya uongozi. Zitto amekuwa akihusishwa na wasichana kadhaa maarufu hapa nchini ambao maadili yao kindoa yanatia shaka katika mazingira ya Kitanzania.

Inapokuja katika mahusiano ya kimapenzi, Zitto hujisahau kabisa kwamba yeye ni kiongozi mkubwa katika jamii pamoja na kwamba ana haki zake kama binadamu.

Pengine hili ndilo eneo ambalo Zitto ameshindwa kujitofautisha na wanasiasa wenzake hapa nchini, ambao wengi wao nao uadilifu wao katika eneo hili ni wa mashaka.

Siri yafichuka Kumbe ni Ali Kiba Ndio Anaye Mnyima Usingizi Mrembo JOKATE

$
0
0
Lile fumbo tuliokuwa tumefumbiwa na Mwanadada Mrembo na Mjasiria Mali Jokate la mtu kumyima usingizi sababu ya Penzi lake limefumbuliwa na imebainika kuwa mtu huyu ni Mwanamuziki Ali Kiba...

Ila Wadakuz wa Ubuyu wanasema huenda watu hawa ni wapenzi wa siri wa muda mrefu kwani wamekuwa wakionekana pamoja mara kwa mara sehemu za Starehe na Jokate mara kwa mara huenda nyumbani kwa Ali Kiba bila Sababu yoyote....

Baada ya Jipu kupasuka Jokate alihojiwa lakini akashindwa kusema chochote na kuishia kujichekesha tu ,,,,

Lol...Diamond Platnumz Replies Nay Wa Mitego By Dissing His Ex Girlfriend Siwema.

$
0
0
Lol...Diamond Platnumz Replies Nay Wa Mitego By Dissing His Ex Girlfriend Siwema.
Then his best friend Diamond Platnumz replied him by dissing Nay's ex girlfriend and baby mama Siwema. Diamond told Nay he think everything is about money that is why he spent a lot to Siwema but she had no real love to him and eventually she was taken by another guy who has no money but he has skills in bed....Lol

And I bet this is a promo for their new collabo which is about their exes, namely Wema Sepetu and Siwema.

What do you think...?

Ngassa asaini miaka 4 FREE STATE, Alamba $80,000,Mshahara $5,600, Nyumba Gari Bure

$
0
0
Ni baada Yanga kumshusha thamani.Sasa awa lulu bondeni.
Gari atakayopewa ni mpya kabisa BMW made ya S.AFRICA.
Kila la kheri NGASSA.
My take:
Yanga wamuuze na Msuva,otherwise nae ataondoka free mwezi jan.

Mchezaji wa Kiungo PSG Akiri Kuwa Mwanamke..Acheza Mpaka Kombe la Dunia Bila Kujulikana

$
0
0
UKISTAAJABU Musa, utayaona ya Filauni! Ndivyo unavyoweza kusema baada ya kiungo wa kimataifa wa Italia, anayekipiga Paris Saint-Germain (PSG), Marco Verratti kukiri kuwa yeye ni mwanamke.

Hiyo ni kafsha mpya ambayo italisumbua soka la Ufaransa. Kwa mujibu wa mkutano wa waandishi wa habari uliofanyika jijini hapa hivi karibuni kwenye kambi ya des Loges, Marco Verratti aliweka wazi kuwa yeye ni mwanamke.

Jina lake kamili ni Marta, alitaka kuendelea kuificha siri hiyo akiwa na dhumuni la kutotaka kuhukumiwa kutokana na uwezo wake uwanjani ukilinganisha na jinsi yake:

“Nilitaka kuifisha kwa muda mrefu zaidi kwasababu ni vigumu kwa mwanamke kujihusisha na mambo kiume kama mpira. Ingawaje sikutaka nionekane kituko, zaidi kucheza mashindano ya wanawake, pasipo kumheshimu mtu yeyote. Nina matumaini mashabiki wangu wataendelea kuniona ni Marco na sio Marta,”.

“Kwa sasa ninaondoka, si kazi rahisi kwangu, niaminini. Kunyoa nywele na kutojipamba huondoa uhalisia kwa mwanamke. Hivyo si vitu vya kawaida kwa mwanamke kwani wengi hupenda kutamaniwa. ”

PSG wamuunga mkono Verratti

Wachezaji walionywa kwa ufupi kabla ya mkutano huo. Kwa upande wa Zlatan Ibrahimovic, alisema ni mapinduzi ambayo hakuyatarajia:

“Tangu amekuja PSG, Marco hakuwahi kuoga kama wengine wanavyofanya. Nilifikiri labda anaogopa kwakuwa ana uume mdogo. Kisha anakuja kuweka wazi ni mwanamke licha ya mapambano yote mchezoni, nilifikiria tena labda atakuwa amejibadilisha.

Lakini huyo ni mmoja wa wachezaji katika kundi hilo hutokea mara moja, ni kitu kisichowezekana. Pamoja na hayo, Marco Marco ataendelea kubaki nasi.Labda atakuwa mwanamke wa kwanza kutwaa mpira wa dhahabu. ”

Verratti ametokea wapi?

Amezaliwa Novemba 5, 1992 mjini Pescara, Italia akijaaliwa kipaji cha kucheza soka hasa kiungo mchezaji. Anasifika zaidi kwa uwezo wake wa kukokota mpira na kutoa pasi za mwisho.

Pia ni kiungo mwenye jicho la mwewe na uwezo wa kupiga mipira mirefu.Kutokana na uchezaji wake huo, amekuwa akifananisha na mkongwe, Andrea Pirlo kutokana na kiwango alichokionesha wakati wa fainali za Kombe la Dunia 2006 kwa kupewa nafasi licha ya umri wake kuwa mdogo.

Maisha ya awali

Alizaliwa mjini Pescara, lakini amekulia L’Aquila, Italia. Akiwa mtoto, alikuwa shabiki wa Juventus na alikuwa akimpenda zaidi Alessandro Del Piero.

Kipaji cha Verratti kilianza kuonekana akwa mdogo, amekuwa akipata ofa kutoka kwa vituo mbalimbali vya michezo Atalanta na Inter Milan, lakini aliamua kujiunga na timu ya Pescara kwa pauni 5,000.

Baada ya kuonesha kiwango cha juu akiwa na timu hiyo hasa ile ya U-16 iliyokuwa ikicheza dhidi ya AC Milan, timu ya Lombardy ilimsajili kwa pauni 300,000.

Wasifu wake

Jina Kamini: Marco Verratti
Kuzaliwa: Novemba 5, 1992 (age 23)
Mahali: Pescara, Italia
Urefu: Meta 1.6
Timu ya sasa: PSG
Timu ya Vijana
2000–2008- Pescara
Timu ya Wakubwa
2008–2012- Pescara
2012– hadi sasa PSG
Timu ya Taifa
2010–2011- Italia U-19
2011–2012- Italia U-20
2012–2013- Italia U-21
2012– hadi sasa Italia

Aunt Ezekiel: Sitaki na Sina Tatizo na Mtu Kama Watu Wanavyodai...We Ongea Majungu tu

$
0
0
Kutoka Mitandaoni: Staa wa bongo movies, Aunt Ezekiel ameamua kuvunya ukimya fufuatia comment mablimbali za mashabiki juu ya kile kinacho daiwa kuwa urafiki wake na staa mwenzake Wema Sepetu umeyumba.

Madai ya kuyumba kwa  ufafiki baina ya mastaa hao yameibuka kwa kasi baada ya hivi juzi kati kufanyika kwa baby shower ya Aunt na Wema kutokuwepo kwenye pati hiyo, kitu ambacho mashabiki na wapenzi wa mastaa hao wamekuwa wakihoji ina wezekana vipi Wema kukosa kwenye pati hiyo.

Kifuatia minong’ono hiyo kuzidi na watu kumshambulia kwa maneno mtandaoni kwa kila nachokiweka kwenye ukurasa wake, hatimaye Aunt ameibuka na kusema wazi kuwa hana na wala hataki tatizo na mtu na kuwa yeye kwasasa ana mambo yake.

“Wakati wewe unaongea majungu mimi naangalia hatma yangu sitaki tatizo na mtu sina tatizo na mtu kama kuna tatizo sema na mtu wako sio mimi lisitoke kwa mjambaji likaja kwa mtema mate” Aunt aliandika.

Nadhani ameeleweka.

Mzee wa Ubuyu

Afande Selle: Picha niliyopigwa nikiwa na boxer haitonikosesha ubunge wa Morogoro Mjini

$
0
0
Seleman Msindi aka Afande Selle anawania kuwa mbunge mtarajiwa wa jimbo la Morogoro Mjini kwa tiketi cha chama cha ACT Tanzania, na haogopi maneno ya ‘haters’ wanaotaka kukiwekea mchanga kitumbua chake kwa mambo yaliyopita.

Bila shaka unakumbuka ile picha ambayo Afande alipigwa akiwa amevua nguo na kubakia na boxer tu jukwaani wakati akitumbuiza!

Mfalme huyo wa Rhymes anaamini kuwa picha haiwezi kumchafulia CV yake mbele ya waajiri wake watarajiwa aka wananchi wa Morogoro Mjini.

“Hainiumizi, inanifurahisha,” Afande aliiambia 255 ya XXL, Clouds FM.

“Inanifanya nione kama namuenzi ipasavyo mfalme Daudi baba yake Suleiman. Inanifanya niamini kwamba ufalme wangu haukuwa wa kubebwa. Kwahiyo mpaka hapo inaashiria utashi wangu, hadhi yangu na ufalme wangu ambao leo hii unaenda kuwa ubunge wa Morogoro.”

Unadhani Afande anaweza kuwa mbunge mzuri wa Morogoro Mjini?

Kushiriki tendo la ndoa mara nyingi hakukufanyi uwe na furaha – Utafiti

$
0
0
Unaweza kudhani kuwa kufanya mapenzi mara nyingi kutakufanya uwe na furaha zaidi, lakini utafiti mpya umedai kuwa mambo yanaweza kuwa tofauti.

Watafiti wa Marekani wamebaini kuwa kufanya ngono mara nyingi kunaweza kupoteza uhalisia, mahaba na hamu. Wanadai kuwa mapenzi ni ‘ubora’ zaidi kuliko ‘wingi’ na kwamba kufanya zaidi kunaweza kuwafanya wapenzi kuyachoka.

Watafiti kwenye chuo kikuu cha Carnegie Mellon walibaini mwanzo kuwa ngono na furaha si vitu vya moja kwa moja kama inavyofikiriwa. Kuwa na furaha kwa mfano kunaweza kumfanya mtu kufanya mapenzi zaidi au kuwa na afya kunaweza kusababisha mtu kuwa na furaha na kutaka kufanya mapenzi zaidi.

Kama sehemu ya utafiti huo, wanasayansi waliwafanyia majaribio baadhi ya wapenzi kufanya mapenzi zaidi. Waliripoti kuwa kufanya mapenzi zaidi hakukuwafanya wawe na furaha zaidi kwasababu kuongezeka kwa kufanya kulipunguza hamu na raha ya mapenzi.

Watu 128 waliokuwa na umri wa kati 35-65 waliopo kwenye ndoa (wanawake na wanaume) walishriki utafiti huo.

Wema: Kumiliki Au Kutomiliki Bastola ni Siri Yangu

$
0
0
Staa wa Bongo Movie, Wema Sepetu, amedai kwamba itabaki kuwa siri yake kama ni kweli anamiliki bastola ama la kwa kuwa si sifa kutangaza umiliki wa silaha.

“Hii ni siri yangu kama namiliki bastola au la, lakini mimi sioni ajabu kumiliki bastola, mtu kama mimi mwenye maadui wengi inasaidia katika ulinzi wa maisha yangu,” alieleza Wema.
Wema aliendelea kuwataka wanaojiuliza kama anamiliki bastola ama la waendelee na mambo yao mengine kwa kuwa hawatajua jambo hilo ambalo ni siri katika kuimarisha ulinzi wake.

Gazeti la Mtanzania

Nay Wa Mitego Sheds Diamond Platnumz Saying Zari Wouldn't Be With Him Without Money.

$
0
0
Today Diamond Platnumz dissed Nay Wa Mitego's ex girlfriend and baby mama Siwema (read here). And Nay decided to respond by dissing Diamond, Nay posted the below photo of Diamond and Zari and saying that if not money Zari would never date Diamond because he isn't good looking...


SwahiliPlanet

OGM! .....Irene Uwoya Releases Sexy Photos while Taking a Shower in a Bathtub

$
0
0
Through instagram actress Irene Uwoya shared these hot pics of herself being in a bathtub with no piece of cloth to cover her hot chest............

Dr Kessy Anakuletea Dawa za Kutengeneza Hips, Makalio, Nywele na Nguvu za Kiume Kwa Kutumia Dawa za Asili zisizo na Kemikali

$
0
0


Kifaa cha Kurefusha uume Kinachouzwa 160,000
Pendeza na Dr Kessy Products 
Ni dawa za Asili zisizo na Kemikali wala madhara yoyote kwa Binadamu, zimetengenezwa kwa kutumia mimea na matunda mbali mbali kukupa matokeo ya Haraka

1.Refusha Nywele na zisikatike  45,000/
2.Ondoa Mvi Sugu kichwani  45,000/
3.Toa Michirizi Mapajani, Chunusi na Madoa mwilini 40,000/
4.Punguza tumbo na Manyama uzembe 45,000/
5.Mkanda wa Kufunga Kupunguza tumbo 70,000/
6.Tengeneza Shepu Hips na Makalio  45,000/ ,Vidonge 80,000/
7.Ongeza Nguvu za Kiume  Jelly 45,000/ , Vidonge 60,000/
8.Ongeza Ukubwa wa Maumbile ya kiume Jelly 80,000/ , Mashine 160,000/
9.Kuongeza Mwili Mzima 40,000/
10.Kupunguza Mwili 45,000/
11.Kupunguza Maziwa na Kuyasimamisha 40,000/
12.Ongeza Mguu uwe wa Kupendeza 45,000/
13.Rudisha usichana ama Bikira 55,000/
14.Ongeza Hamu ya Kula 40,000/
15.Ongeza Hamu ya Kufanya Mapenzi 55,000/
16. Fanya mwili Kuwa Soft 60,000/
17. Dawa ya kutoa Michububuko kwenye mapaja 45,000/
18. Dawa ya kutoa maji maji sehemu ya siri na kukuacha mkavu 55,000/

TUNAPATIKANA DAR NA MIKOA YOTE, HUDUMA ZINAFIKA POPOTE ULIPO , 
DAR TUPO KARIAKOO MSIMBAZI NA POSTA  MPYA

PIGA SIMU: 0719955528, 0756259180 au 0785371237

MARKSON BEAUTY PRODUCTS Inakuletea Dawa za Kurefusha Nywele, Kukuza Makalio, Kupunguza Tumbo, Kung'arisha Ngozi na Zingine Nyingi

$
0
0


Je, unapenda kuwa mrembo na mwenye mvuto kwa haraka? MARKSON BEAUTY PRODUCTS inakuletea bidhaa zenye ubora na matokeo ya haraka zisizo na kemikali wala madhara kwa mtumiaji. Tuna uzoefu wa miaka 15 na bidhaa zetu zote zimethibitishwa.                

TUNAZO ZA:-
1.Kurefusha nywele na kuzuia kukatika ovyo @80,000/=
2.Kutengeneza shepu (hips na makalio) @90,000/=. 
3.Kuwa mweupe na softi mwili mzima @80,000/=. 
4.Kuondoa mvi milele zisirudi @90,000/=. 
5.Kuongeza maumbile na nguvu za kiume kwa:-(1)Gely ya kupaka @70,000/=  (11)Vidonge maalum@90,000/=      (111)Mashine original ya Handsome up@200,000@/=     
6.Kupunguza unene na uzito wa mwili mzima @80,000/=.  
7.Kushepu maziwa na kuyasimamisha @70,000/=   
8.Kuongeza unene na uzito wa mwili mzima @80,000/=  
9.Kupunguza tumbo na nyama za pembeni kwa:- (1)Dawa @80,000/=  (11)Mkanda wa kawaida @80,000/= (111)Mkanda wa umeme (Micro computer belt) @200,000/=   
10.Kushepu miguu na kuwa minene (Chupa ya bia) @70,000/=    
11.Kuondoa mipasuko (Michirizi) mwilini @70,000/=                                
12.Kubana Uke na Kuongeza Hamu ya Tendo la Ndoa kwa Mwanamke @80,000/=

NB. Hakikisha unapewa risiti yenye muhuri halisi wa MARKSON BEAUTY PRODUCTS pamoja na garantii ili kukuhakikishia kufanikiwa kwako.      

Wasiliana nasi kwa no (+255 ) 0767-447444 na 0714335378.

Mkenya Aliyehukumiwa Kunyongwa China Kwa Kusafirisha Madawa ya Kulevya

$
0
0

Mwanadada mwenye umri wa miaka 26 huenda akanyongwa baada ya kupatikana na hatia ya kusafirisha dawa ya kulevya nchini china ambapo Mkenya huyu Floviance Owino, aliyehudumu kama msaidizi wa nyumbani alitiwa nguvuni May 2013 akisafiri kuelekea Beijing kutokea hapa Nairobi.

Afisi ya ubalozi wa kenya nchini Uchina umethibitisha kwamba huenda Floviance akanyongwa mwaka huu baada ya kifungo chake cha miaka miwili kukamilika na haya maneno ni kwa mujibu wa dada yake ambaye ni Judith Owino. Judith anasema hakufahamu kuwa dada yake alikuwa amesafiri kwenda China hadi alipopata habari kutoka kutoka ubalozi wa kenya nchini humo.


Nilifahamu kwa mara ya kwanza kuwa alikuwa China nilipopata simu kutoka kwa ofisi za ubalozi, nlifahamu pia kwamba yuko kizuizini akisubiri kunyongwa, ofisi ya Mashauri ya nchi za kigeni ilinipa habari kuhusu hukumu ya kunyongwa kwa dada na kunipa kibali cha haraka kusafiri kwenda China’

Serikali ya uchina hata hivyo ilimwarifu Judith kwamba alikuwa na muda mfupi kugeuza hukumu hiyo na kuzuia dada yake asinyongwe, walinishauri nitafute wakili hivyo kwa sasa nahitaji visa kwenda china maana mda unazidi kupotea.

Mpaka sasa Judith hajapata fursa ya kuzungumza na Floviance kwani serikali ya china haikukubali hilo lifanyike  ‘nilitamani sana kuongea nae lakini walinikatalia, Floviane ana mtoto wa miaka minne aliyemuacha Kenya baada ya kusafiri kwenda China’

Je unaweza kununua maisha kwa gharama yoyote?? Nawaomba watanzania wenzangu msifinye biashara haramu ya madawa ya kulevya, mkikamatwa mnaweza kupoteza maisha!


Kenyan Socialite Corazon Kwamboka Gets an Expensive Gift...Check it Out!!

$
0
0

It seems like ‘business’ is good for Corazon Kwamboka. The young lawyer has a new rich boyfriend who is showerng her with very expensive goody goodies. Check out her new watch and prada handbag;

Pple R mad? Rolex baby! Your house lease on my wrist! Not on the same level #gold Bebe. Time for Wine with my old friends #12000$



Wolper: Anayetoka na Nay wa Mitego Ameshajulikana..Nay Akuwahi Kuwa Mpenzi Wangu

$
0
0
Staa wa Bongo Movies, Jacqueline Wolper, amewaweka njia panda mashabiki wake kwa kauli yake kwamba msichana aliyekwenye uhusiano wa kimapenzi na msanii wa Bongo Fleva, Emmanuel Elibariki ‘Nay wa Mitego’ ameshafahamika, tofauti na alivyokuwa akihisiwa yeye.


“Watu hawana dogo, ukiwa karibu na mtu basi utaambiwa mpenzi wako, Nay hakuwahi kuwa mpenzi wangu kwa kuwa ni zaidi ya rafiki kwangu, ila watu wasio waelewa ndiyo walikuwa wakivumisha kwamba tuna uhusiano kwa maslahi yao, lakini sasa ukweli umejulikana kama mnavyoona na mnavyosikia Nay ni wa nani,” alieleza Jacqueline bia kumtaja anayetoka na mwana hip hop huyo.


Wolper aliongeza kwamba taarifa hizo ziliposambaa alipata tabu ambapo alikuwa akitumia muda mwingi kujieleza kwa watu wake wa karibu kutokana na tuhuma hizo.

Gazeti la Mtanzania

Mkuu wa jeshi wa Burundi atangaza kumpindua rais Pierre Nkurunziza

$
0
0
Mkuu wa jeshi la Burundi amedai kuwa rais Pierre Nkurunziza amepinduliwa kufuatia kuwepo kwa fujo zilizotokana na mpango wake wa kugombea muhula wa tatu.

Meja Jenerali Godefroid Niyombareh amesema kamati ya uokozi imetengenezwa japo kiwango chake cha kuungwa mkono hakijulikani, BBC imeripoti.

Maelfu ya watu waliokuwa wakiandamana kwenye mji mkuu wa Burundi, Bujumbura wameripotiwa kuwa wanasherehekea kwa sasa.

Rais Nkurunziza kwa sasa yupo hapa nchini Tanzania.

Akaunti ya Twitter ya ikulu imesema mapinduzi hayo ya kijeshi yameshindwa.

Nkurunziza amekuwa akikutana na viongozi wengine wa Afrika Mashariki kujadili mgogoro huo. Msaidizi wake amekanusha kufanyika kwa mapinduzi hayo

Dkt. Hamisi Kigwangala acharuka, ataka wagombea urais wanaotumia fedha majina yao yakatwe

$
0
0
MBUNGE wa Jimbo la Nzega mkoani Tabora, Dkt. Khamis Kigwangala amekitahadharisha Chama cha Mapinduzi (CCM) kihakikishe hakiteui mgombea urais katika uchaguzi mkuu wa mwaka huu atakayebainika kuusaka uongozi kwa kutumia fedha vinginevyo kitaanguka vibaya kwenye uchaguzi huo.

Dkt. Kigwangala ambaye ni mmoja wa wana CCM walioonesha nia ya kugombea urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia CCM alitoa tahadhari hiyo alipokuwa akihutubia maelfu ya wakazi wa mji wa Nzega na vitongoji vyake katika mkutano wa hadhara uliofanyika kwenye viwanja vya Parking mjini humo.


Alisema wakati Taifa likijipanga kuelekea kwenye uchaguzi mkuu ni muhimu kwa CCM ikajipanga vizuri katika kupanga safu ya wagombea wake kuanzia ngazi zote za udiwani, ubunge na urais kwa kuhakikisha haisimamishi wale wote walioanza kusaka uongozi huo kwa kutumia fedha.

Alisema baadhi ya walioonesha nia ya kutaka kuteuliwa kugombea nafasi ya urais hivi sasa wanapitapita maeneo mbalimbali wakigawa fedha kwa wajumbe watakaohusika na vikao vya uteuzi ili waweze kuteuliwa hali ambayo alisema inapingana na tararibu na kanuni za CCM.

“Ndugu zangu binafsi naendelea kuwathibitishia kwamba nia yangu ya kutaka kugombea urais wa nchi ipo pale pale, na niwaeleze wazi kwamba sijatoa uamuzi kuhusu kugombea kwangu tena ubunge katika jimbo hili la Nzega, kwanza nimejikita kwenye urais, iwapo nitashindwa huko ndipo nitatoa uamuzi kama nitagombea ubunge au laa,”

“Hata hivyo napenda nitumie nafasi hii kukitahadharisha Chama changu cha CCM kiwe makini katika uteuzi wa mgombea wake katika nafasi hii nyeti ya urais wa Jamhuri ya Muungano, isifanye kosa hata kidogo kwa kumteua mtu ye yote ambaye tayari ameonesha dhahiri kuusaka urais kwa kutumia fedha,”

“Tunataka CCM isimamishe mgombea aliye safi asiye na doa lolote au kashifa yoyote ya ufisadi katika nchi hii, bali izingatie mtu mwenye agenda na anayeeleza iwapo atachaguliwa kuwa rais atawatendea kitu gani watanzania, siyo sifa ya kuwa na fedha nyingi, nyingine tunajua zimeibwa kutoka serikalini, hii hatukubali,” alieleza Dkt. Kigwangala.

Alisema yeye binafsi anaamini CCM itahakikisha hakuna mgombea ye yote ambaye amebainika tayari anakwenda kinyume cha kanuni na maadili ya chama na ambao hivi sasa wanapitapita kwa wajumbe wa vikao vya uteuzi wakimwaga fedha atakayeteuliwa bali majina yao yote yatakatwa mapema.

Akifafanua Dkt. Kigwangala alisema iwapo CCM itamsimamisha mgombea ye yote mwenye dosari na aliyebainika kutumia fedha katika kuusaka uongozi ni wazi watanzania watahoji maana wengi sasa ni wajanja na wana akili, ni vigezo vipi vilivyotumika kumteua maana CCM daima inaimba rushwa ni adui wa haki, sasa lazima ioneshe kwa vitendo jinsi inavyoichukia rushwa.

“Hawa wanaotumia fedha mpaka hivi sasa hawajaweza kuwaeleza wananchi iwapo watachaguliwa watawafanyia nini, binafsi mimi nina agenda na hoja ya kwa nini nataka kugombea urais, na nimeandikika kitabu kueleza nitakayoyafanya, naamini wengine walioonesha nia ni dhaifu sana, hawana agenda yoyote ya maana mbali ya kuegemea kwenye uwezo wao wa kifedha,”

“Hata chama changu cha CCM hakiamini katika watu wanaotumia fedha, kanuni zetu zikiheshimiwa katika vikao vya awali, majina ya wengi wao yatakatwa hata kabla ya kufikishwa kwenye vikao vya Kamati Kuu (CC) na Halmashauri kuu ya Taifa (NEC), na wengi mtashangaa maana majina yatakayojitokeza ni ya wagombea vijana,” alieleza Dkt. Kigwangala.

Aidha mbunge huyo alisema itakuwa ni ajabu kwa vikao vya uteuzi ndani ya CCM kuteua mgombea ambaye atasababisha wananchi kuwa na maswali mengi juu yake wakati wa kipindi cha kampeni mfano wa wale ambao awali walitakiwa kuvuliwa magamba lakini baadae yaliishia mabegani na wakasafishwa kwa kusamehewa.

“Wapo waliotakiwa kuvuliwa magamba, wanafahamika, leo hii itokee CCM iwasimamishe kama wagombea itakuwa ajabu kubwa, sijui mtu atasimamaje jukwaani kuwanadi, lazima wananchi watahoji hawa wamekuwa wasafi lini? baadhi yao fedha walizonazo walizipata kupitia madaraka waliyokuwa nayo serikalini, leo tena waletwe kwenu eti ndiyo wagombea urais wa CCM, hapana litakuwa ni jambo la kushangaza sana,” alieleza.

Wema, Kajala Tena, Wakutana Laivu Club Wakiwa Bwiii..Wakwepeshwa Wasizichape

$
0
0
MAJANGA! Wasanii wawili mahasimu katika tasnia ya filamu, Kajala Masanja na Wema Sepetu ‘Madam’ wametengeneza tena vichwa vya habari baada ya kukutana ndani ya klabu ya usiku ya Maisha iliyopo Masaki jijini Dar es Salaam mwishoni mwa wiki iliyopita na kuzua minong’ono miongoni mwa wadau wengi wa burudani, Risasi Mchanganyiko linakupa hatua kwa hatua.
Msanii wa filamu Bongo,Kajala Masanja akifurahia jambo.
Matukio hayo tofauti kwa wasanii hayo yalitokea ndani na nje ya ukumbi huo katika shoo maalum ya kumchangia mke wa msanii Mabeste  Venus, Lisa Karl Fickenscher  iliyowakutanisha mastaa wengi wa ‘category’ mbalimbali.
SHUNGULI YAANZA VIZURI
Shughuli nzima ilionekana kwenda vizuri, isipokuwa mara chache ambako kulitokea vituo vya hapa na pale, ingawa vingi kati ya hivyo vilisababishwa na baadhi ya wahudhuriaji kuzidiwa na kilevi.
Kajala Masanja akiwa na bandeji kichwani baada ya kupigwa chupa.
WATENGANISHWA
Wakati flani ‘usiku mnene’, Kajala alijongea kwenye jukwaa maalum la waalikwa (V.I.P) kutoka kujichanganya kwa wadau, ambako pia alikuwa amekaa Madam aliyeonekana kuzidiwa na ‘kiburudisho’.
Akitambua wazi kuwa lolote lingeweza kutokea, Petit Man, mtu wa karibu wa Wema, alimshika mkono na kumtoa eneo hilo, lakini muigizaji huyo alipohoji sababu za kuondolewa ‘V.I.P’, aliambiwa kuwa hapakuwa sehemu salama kwa wakati huo. 
Wema Sepetu akiwa kwenye gari.
KAJALA NDANI YA NYUMBA
Kajala alionekana akijiachia kwa mapozi na ‘mihangaiko’ ya hapa na pale ikiwemo kucheza na kubadili vinywaji akiwa sanjari na marafiki zake.Wakati wote, msanii huyo alionekana mwenye furaha iliyoambatana  na tabasamu na vicheko vya mara kwa mara jambo lililotafsiriwa kama tayari alikuwa amepata kiburudisho cha kutosha.
Wema akiongea na mashabiki wake ndani ya klabu ya usiku ya Maisha iliyopo Masaki jijini Dar.
AKUTWA NA MKASA
Mapambazuko yalipoanza kulivamia anga, Kajala na ‘kampani’ yake walitawanyika lakini wakati wakiwa nje ghafla jamaa mmoja ambaye hakufahamika ‘aliwa-join’ na kuwachangamkia kusiko kwa kawaida huku wao wakionekana kutompa ushirikiano aliouhitaji.
AMSHIKA MAKALIO
Hata hivyo, jamaa huyo ‘alifika mbele’ zaidi kwa kumshika makalio Kajala ambaye alimnasa kibao. Katika kujibu mapigo, jamaa huyo alimpiga na chupa ya bia kichwani na kusababisha jeraha usoni.
Baada ya tukio hilo, marafiki wa pande zote mbili walijitahidi kutuliza hali ya hewa iliyochafuka na kila mmoja akaendelea na hamsini zake.
Akiwa katika pozi nje ya klabu Maisha.
WEMA SASA
Kwa upande wake, Wema ambaye alipaswa kuwa Msema Chochote (MC) wa hafla hiyo, alipanda jukwaani kwa kusaidiwa na watu kutokana na kuzidiwa na kinywaji kisichojulikana.Baada ya kupanda, muigizaji huyo nyota alishindwa kumudu kuendelea na ratiba, kwani alizungumza maneno yasiyoeleweka na hatimaye kuishia kuwasalimu mashabiki, kitu kilichoharibu shughuli hiyo kwa jumla.
Kajala akiwa Maisha Club kabla ya kujeruhiwa kwa chupa. 
ATOKA UKUMBINI NA GLASI
Baada ya kushuka jukwaani, mmoja wa wapambe wake wa muda mrefu, Petty Man alimshika mkono na kumsindikiza hadi nje, ambako akiwa ameshikilia glasi yake ya kinywaji, Wema aliingia nayo kwenye gari, kabla ya kumwaga kilichokuwemo ndani na kumpa mtu mmoja glasi hiyo ili airudishe ndani.
Wema akiondoka.
Mwandishi wetu alipotaka kujua sababu ya Wema kulewa na kushindwa kufanikisha jambo muhimu, alimtaka kumuacha kwani hakuwa na muda wa mahojiano.“Tafadhali sana (akilitaja jina la mwandishi), sihitaji mahojiano, hapa nimekuja kwenye starehe, naomba uniache,” alisema Wema huku akibamiza mlango wa gari kwa nguvu na kumtaka dereva wake (Petty Man) kuondoa gari.
KUTOKA KWA WADAU
Baadhi ya watu walioshuhudia matukio ya Wema na Kajala kwa nyakati tofauti, walisikika wakisema kuwa ni kama mkosi uliowakumba wawili hao marafiki wa zamani.“Hawa bwana wana matatizo sana, wote wamekutwa na majanga kwenye eneo moja, lakini nadhani hata matatizo yao yanachangiwa sana na bifu lisilokuwa na kichwa wala miguu, wajishushe na wasameheane,” alisikika akisema mdau mmoja.
GPL
Viewing all 104712 articles
Browse latest View live




Latest Images