Quantcast
Channel: UDAKU SPECIAL
Viewing all 104414 articles
Browse latest View live

Nay wa Mitego Atangaza Mali zake, Yamo Majengo na Magari..Adai kwa Sasa Yupo Single

0
0
STAA wa Bongo Fleva nchini, Emmanuel Elibariki ‘Nay wa Mitego’ amefunguka kuhusu mali zake anazomiliki.

Nay ameyafunguka hayo wakati akihojiwa katika Kipindi cha Sporah kinachoruka kupitia Runinga ya Clouds TV kila Jumanne usiku.

Staa huyo amesema anamiliki nyumba tatu, magari matatu ambayo ni Toyota Prado, Nissani Murano na Toyota Passo.

Mbali ya vitu hivyo pamoja na muziki, pia staa huyo anavitega uchumi ambavyo vinamuingizia kipato ikiwemo bajaj, saluni na vinginevyo.

Kwa upande wa mahusiano, Nay amesema kwa sasa yupo ‘single’ akiwalea watoto wake wawili baada ya kutofautiana na mpenzi wake wa tatu Siwema na kuamua kumchukua mtoto wake mchanga anayedai alikuwa hapati malezi bora kutokana na mama yake huyo kuwa bize na biashara zake.

Nay ameeleza historia ya mahusiano yake akiweka wazi wapenzi wake watatu ambao amezaa nao watoto akianza na wa kwanza ambaye alikuwa Mhindi huku wa pili akiwa msanii wa sinema za Kibongo, Skyner Ally ‘Skaina’ kabla ya kumaliza na Siwema ambaye wametofautiana hivi karibuni.

Nay amesema kwa sasa ana watoto watatu ambao aliwapata na wapenzi wake hao watatu wa zamani na kati ya hao wawili anaishi nao.

Lakini mbali na kusema kwa sasa yupo single, staa huyo hivi karibuni amekuwa na uhusiano wa karibu sana na mwigizaji wa filamu za Kibongo Shamsa Ford huku wakipiga picha kadhaa za kimahaba na kuziachia mitandaoni.

Kuhusu muziki, Nay amefunguka kuwa yeye anafanya muziki biashara akiangalia soko la muziki linataka nini ili aweze kuendelea kuwa juu.

Mipango yake katika miziki ni pamoja na kufanya kolabo mbalimbali na mastaa wa nje akiwemo Wizkid na D’banj na wengineo ambapo baadhi yao tayari amenza kufanya nao kazi.

Kwa upande wa hapa Bongo, Nay amesema anatarajia kutoa ngoma nyingine ambayo amefanya na mkali wa Bongo Fleva, Diamond Platnumz huku akiongeza kuwa atafanya pia kolabo na wasanii wa kike ili kuboresha muziki wake na kuwapa raha mashabiki wake
GPL

Aunty Ezekiel Awachafua Mashabiki Wake Kwa Picha Hizi za Kitumbo Wazi

0
0
Staa wa bongo movies, Aunt Ezekiel amepondwa na baadhi ya mashabiki wake kwa kupiga picha hizi akionyesha tumbo lake ukigingatia yeye ni mjamzito.

Picha hizi zimekuwa zikisambaa kwa kwenye mitandao ya kijamii na wengi wameonyesha kuchukizwa na tabia iliyozuka ya mastaa wa Bongo kufanya hivi kwa kuwaiga mastaa wa nchi za ughaibuni.

Wewe je, unamaoni gani juu ya hizi

Shilole Asalimu Amri Kwa Mapenzi ya Nuhu Mziwanda..Mwenyewe Akiri Hakuna Mwanaume Katika Maisha yake Aliyewahi Kumjali Kama Nuhu

0
0
Staa wa Bongo Movies na Bongo Fleva, Shilole leo mtandaoni ameibuka na mtandaona na kuweka wazi kuwa mchumba wake Nuh Mziwanda ndio mwanaume wa maisha yake.

“Huyu nilienae pembeni yangu ndo baba yangu rafiki yangu faraja yangu ya moyo na anajua umuhimu wangu kuliko mtu yeyote yupo na mimi bega kwa bega ninapokuwa na furaha nahata ninapokuwa na majonzi mimi naweza sema ndo mwanaume wa maisha yangu naomba Mungu asije badilika nitaumia sana.Nampenda sana huyu mtu nyinyi mnamuta Nuh mimi namuita Jackson”-Shilole ameeleza.

Hili ni jambo jema,kila la kheri Shilole na Mziwanda kwenye maisha yanu ya mapenzi

Vijembe Vya Kisiasa Vyatawala Bungeni......Lusinde Asema Dr Slaa Hafai Kuwa Rais Maana Ikulu Sio Wodi Ya Wagonjwa

0
0
VIJEMBE vya kisiasa jana vilichukua sehemu kubwa ya mjadala wa Bajeti ya Ofisi ya Waziri Mkuu unaoendelea, ambapo mvutano mkubwa ulikuwa kati ya Serikali na vyama vya upinzani nani amechoka.

Akizungumza bungeni kwa vijembe, Mbunge wa Mtera, Livingstone Lusinde (CCM), alisema hoja ya kambi rasmi ya upinzani kuwa Serikali imechoka, inawezekana ni kweli ila haikuwekwa vizuri.

Alifafanua kuwa Serikali imefanya kazi kubwa ya kukopesha wanafunzi, kutoa huduma ya afya, kujenga barabara kusambaza umeme bila kusahau hata majanga yakitokea, inayofanya kazi ni Serikali na hivyo katika miaka mitano inastahili kuchoka.

Alisema kwa upande wa kambi ya rasmi ya upinzani, hawawezi kuchoka kwa kuwa kazi yao kila mara ni kusema neno lenye tarakimu sita la ‘Hapana’, hata katika masuala ya maendeleo.

Alitoa mfano wa suala la ujenzi wa barabara ya kwenda Jimbo la Hai, ambalo mbunge wake ni Kiongozi wa Kambi ya Upinzani Bungeni, Freeman Mbowe (Chadema), kuwa badala ya kusaidia ujenzi, kazi yao ilikuwa kusema ‘Hapana’.

Alifananisha uchovu wa Serikali na gari la Mbowe alilosema kuwa likitembea kilometa nyingi, siku zote atalipeleka kwa mafundi lipate huduma ya marekebisho na kuendelea na safari, na hivyo hivyo baada ya miaka mitano, kutafanyika uchaguzi na CCM itaendelea kuongoza.

Lusinde aliitaka Kambi Rasmi ya Upinzani, kuzungumzia suala la uchovu kwa nidhamu kwa kuwa ikitafsiriwa vingine itawahusu baadhi ya viongozi wao wanaoendesha vyama hivyo wakati wamechoka.

“Mzee Mtei (Edwin, ambaye ni muasisi wa Chadema) kachoka lakini ndiye anayeongoza chama… Dk Slaa (Willibrod, Katibu Mkuu wa Chadema) naye kachoka mbona mnamtegemea kwa urais huku mkimkataa Profesa (Ibrahim Lipumba)…? Ikulu si wodi ya wagonjwa,” alisema Lusinde.

Lusinde alifananisha Serikali na timu ya mpira iliyoshinda, ambayo alisema lazima ichoke kwa kazi kubwa, tofauti na timu iliyopata sifuri.

Kuhusu madai ya Kambi Rasmi ya Upinzani kuwa Uchaguzi Mkuu ukisogezwa mbele moto utalipuka, Lusinde alisema Serikali itaweka tarehe yake ya uchaguzi lakini na Mungu pia anayo tarehe yake.

“Hamkumbuki 2005 uchaguzi ulisogezwa mbele baada ya mgombea mwenza wa Chadema kufariki? Ipo tarehe yetu na ya Mungu pia ipo msitishe wananchi,” alisema Lusinde.

Kisa cha Mfalme
Akizungumzia msuguano wa maneno kati ya Kambi Rasmi ya Upinzani na wabunge wa CCM, Lusinde alitoa mfano wa nchi moja ya kifalme, ambayo Mfalme alimuita Waziri Mkuu na Kiongozi wa Upinzani, baada ya kuona wanalumbana sana.

Katika mazungumzo yao, Lusinde alisema Mfalme alimwambia Kiongozi wa Upinzani aombe suala moja apewe na mwenzako atapewa viwili.

Kwa mujibu wa Lusinde, Kiongozi wa Upinzani aliomba wiki nzima ya kutafakari na muda wote badala ya kutafakari anachotaka kupewa na Mfalme, alitafakari kwa nini mwenzake apewe viwili na yeye kimoja.

Baada ya kumalizika kwa wiki hiyo, Kiongozi huyo wa Upinzani kwa mujibu wa Lusinde, alikwenda kwa Mfalme na kumuomba amng’oe jicho ili Waziri Mkuu, ang’olewe macho yote mawili, kwa jinsi mpinzani huyo alivyokuwa na roho mbaya.

Kutokana na kisa hicho, Lusinde aliwasihi Watanzania wasijaribu kuonja sumu katika Uchaguzi Mkuu ujao na kufafanua kuwa mara zote CCM imekuwa ikishindana na wagombea wa vyama Chadema na vingine, lakini leo kuna chama hata hakijasajiliwa kinaitwa ‘ukawa’ (Ukawa, Umoja wa Katiba ya Wananchi).

Naye Mbunge wa Sikonge, Said Mkumba (CCM), alisema ukiona watu wanaungana katika vita, ujue ni dhaifu na hilo ndilo linaloonekana katika Kambi Rasmi ya Upinzani, ambayo inajaribu kuunganisha nguvu ili kushindana na CCM.

Alisema Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) hauwezi kwenda Ikulu wakati viongozi wake hawajui mafanikio yaliyopatikana tangu Uhuru.

“Huwezi kushinda kwenda Ikulu, bila kushinda katika serikali za mitaa,” alisema na kuongeza kuwa wanasiasa wa upinzani wanatoa kejeli lakini wakikua wataacha hayo maneno.
 
Mbio za makatibu wakuu: “Mchukue Katibu Mkuu wa Chadema, CUF na CCM wape wakimbie kilometa tano, nani atakuwa amechoka, mnazungumza huku mkijitukana wenyewe,” alisema.

Baada ya tamko hilo, Spika wa Bunge, Anne Makinda, aliongeza “Kama mngeendelea kuwepo, tungeanzisha mbio za vigogo tuone nani mchovu.”
 
Wakijibu hoja hizo, Mbunge wa Iringa Mjini, Mchungaji Peter Msigwa, alisema uchovu unaozungumzwa si wa mwili bali wa akili na wa kufikiri.

Alisema dalili za kuchoka ni hatua ya Taifa katika mwaka mmoja kufanya mambo makubwa kuliko uwezo wake, vikiwemo Uchaguzi Mkuu, Katiba Mpya na utoaji wa Vitambulisho vya Taifa.

Naye Mbunge wa Viti Maalumu, Conchesta Rwamlaza (Chadema) alisema wakati mwaka uliopita Serikali ilitenga bajeti ya maendeleo Sh bilioni 660, mpaka leo ni bilioni 160 tu zilizotolewa.

“Tukisema Serikali imechoka, usikate tama badala yake ipelekeni ikafanyiwe ‘massage’ ili uchovu utoke,” alisema Rwamlaza.

Naye Mbunge wa Viti Maalumu, Pauline Gekul, alifafanua kuwa uchovu wa Serikali si sawa na wa afya, kwa kuwa mtu anaweza kukosa afya lakini akawa na busara nzuri au akawa mlemavu lakini ana upeo mzuri.

“Uchovu wa Serikali ni namna inavyokosa vipaumbele na namna mnavyoshindwa kutekeleza mipango. Kwa hiyo wanaosema tufanye riadha hawaelewi kwa nini tunasema Serikali imechoka,” alisema.

Aliwataka wabunge wa CCM wasibeze Ukawa, kwa kuwa Watanzania wanahitaji mabadiliko ya kweli na wanajua Ukawa ndio suluhisho la matatizo yao.

Rais Wa Burundu "Apinduliwa"......Ndege Yake Jana Ilishindwa Kutua Burundi na Kuamua Kurudi Tanzania

0
0
Nchini Burundi, aliyekua mkuu wa majeshi Jenerali Godefroid Niyombare ametangaza Jumatano Mei 13 kuwa rais wa nchi hiyo Pierre Nkurunziza amepinduliwa madarakani.


Meja Generali Niyombareh alisema wamechukua hatua hiyo baada ya watu wa Burundi kukataa kwa kinywa kipana awamu ya tatu ya urais wa Nkurunziza.
 
Jenerali huyo aliyetimuliwa na Nkurunziza mwezi februari alisema kuwa Nkurunziza alishindwa kuheshimu mwafaka wa amani mbali na sheria za kimataifa.
 
Wakati  Mapinduzi  hayo  yakitangazwa, Rais Nkurunziza alikuwa  nchini Tanzania kujumuika na viongozi wa kanda  ya Afrika Mashariki kutafuta suluhu ya mgogoro wa Burundi tangu Nkurunzinza atangaze nia yake ya kuwania awamu ya tatu.

Baada  ya  tangazo  la  kupindulikwa  kwake, Rais  huyo  alipanda  ndege  kurejea  nchini  kwake  licha  ya  tangazo  la  kufungwa  kwa  mipaka  yote  na  viwanja  vya  ndege.

Kwa  mujibu  wa  taarifa  ya  BBC  asubuhi  hii  ya  mei  14, Ndege  ya  Rais  huyo  haikuweza  kutua  nchini  Burundi  na  badala  yake  ilirudi  tena  Tanzania  ambapo  mpaka  sasa  Rais  Nkurunzinza  yupo  jijini  Dar  es  Salaam- Tanzania

Rais kikwete alipohutubia waandishi wa habari Dar es Salaam akiandamana na Rais Nkurunzinza
Maafisa wa jeshi la Burundi wakisheherekea Barabarani Bujumbura
Raia wakisheherekea ''Mapinduzi''
Manuari za kijeshi zingali barabarani mjini Bujumbura

Serukamba Awasha "MOTO" Bungeni Kuhusu Sakata la Escrow na Opareshi Tokomeza.......Ashangazwa Na Kitendo Cha Ikulu Kuwasafisha Baadhi Ya Watuhumiwa

0
0
MBUNGE wa Kigoma Mjini, Peter Serukamba (CCM), ametonesha vidonda vya ufisadi baada ya kuzungumzia ripoti ya Katibu Mkuu Kiongozi, Ombeni Sefue iliyowasafisha baadhi ya watendaji serikalini waliohusika katika kashfa ya Escrow.


Serukamba ambaye pia ni Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Miundombinu, alishangazwa na taarifa hiyo kuwasafisha baadhi ya watu waliohusishwa katika kashfa hiyo na kuwaacha wengine, jambo ambalo alisema ni ubaguzi.

Kauli hiyo aliitoa  bungeni mjini Dodoma jana alipokuwa akichangia Hoja ya Bajeti ya Ofisi ya Waziri Mkuu, Mizengo Pinda aliyoiwasilisha bungeni juzi akiomba  Sh trilioni 5 kwa mwaka wa fedha wa 2015/2016.

Katika mchango wake, Serukamba alisema ni vizuri Bunge likaitaka Serikali itangaze kuwa wote waliohusishwa katika kashfa hiyo nao ni wasafi.

Alisema haoni mantiki kwa Serikali kumsafisha Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati na Madini, Eliackim Maswi na Waziri  Profesa Sospeter Muhongo na kuwaacha wengine waliowajibika pamoja.

Serukamba alisema kwa kuwa Serikali imewasafisha viongozi hao ni wazi kuwa muamala uliofanyika wa uchotwaji wa zaidi ya Sh bilioni 200 katika akaunti ya Tegeta Escrow ni halali.

Mbunge huyo alisema ili kutenda haki kwa watu wote ni vema wanasiasa wengine waliojiuzulu nyadhifa zao na kuwajibishwa kwa Azimio la Bunge warejeshwe katika nyadhifa zao.

Waliopoteza nyadhifa zao kutokana na kashfa ya Escrow ni pamoja na aliyekuwa Waziri wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo na Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Profesa Anna Tibaijuka.

Wengine ni Mwanasheria Mkuu wa Serikali (AG), Jaji Frederick Werema, Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Bajeti, Andrew Chenge na Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Sheria na Katiba, William Ngeleja.

“Kuhusu suala la Escrow, juzi Katibu Mkuu Kiongozi alitoa ripoti baada ya uchunguzi kufanyika ripoti ikasema katibu mkuu wake na waziri wake ni safi maana yake mwamala ule ni safi.

“Kama mwamala ule ni safi, katibu ni safi waziri ni safi, Chenge anakuwaje mchafu? Tibaijuka anakuwaje mchafu? Ngeleja anakuwaje mchafu?  Mliowapeleka mahakamani wanakuwaje wachafu?  Haiwezekani tuache hizi ni style za zamani.

“Bunge lako linadhalilishwa watu walidanganya watu walileta document (nyaraka) feki wanatetewa, Tibaijuka tulimhukumu kwa nini?  Ina maana kwa Serikali hii kuna watu ni wazuri na wengine ni wabaya tuambieni. Nataka waziri mkuu aje atuambie usafi wa hawa watu ni nini.

“Jingine mheshimiwa spika ni suala la Tokomeza, mmefanya vizuri sana, mheshimiwa spika tuliomba ripoti ya Tokomeza hawakuleta na kama Serikali mmesema mawaziri wale ni safi naomba muwarudishe katika wizara zao.

“Kule Kenya kipindi fulani Waziri wa Fedha alituhumiwa kwamba amekula rushwa akajiuzulu, Mwai Kibaki (rais mstaafu) akaunda tume ya judicial (tume ya kimahakama) kama mlivyounda kwenye Tokomeza, ripoti ilipotoka ilionyesha kuwa Waziri wa Fedha, Amos Kimunya hana kosa lolote, rais alimteua kuwa Waziri wa Viwanda na Biashara.

“Mnapoamua kuchukua hizi njia za juu za good governance (utawala bora) msiishie nusu, haiwezekani muishie kwenye nusu, tukiamua kuchunguza na tukabaini kuwa hawakukosea tunawarudisha kwenye nafasi zao, ndiyo matakwa ya good governance (utawala bora). Tuache usanii hapa kwenye hili jambo.

“Kuna watu hapa Maige alituhumiwa kuwa alisafirisha wale wanyama twiga kwenda nje, muundieni tume ili  tuone kweli kama ni yeye ndiye alikwenda kwenye ndege kuwaingiza pundamilia ili na yeye mumsafishe mbona mnasafisha watu nusu, hii ni nini?

“Akina Ngeleja hapa akina Mkulo waundieni tume wote tujue kama walikosea. Haiwezekani muumize wachache mimi katika hili hapana kama kuna jambo linaniumiza ni injustice, haiwezikani tuwe na Serikali ya double standard (ndumilakuwili).

“Walijiuzulu akina Karamagi (aliyekuwa Waziri wa Nishati na Madini) hapa akina Msabaha (aliyekuwa Waziri wa Afrika Mashariki), waziri mkuu (Edward Lowassa). Kwa nini hamkuunda judicial inquiry (tume)?” alisema na kuhoji Serukamba.

Mbunge huyo alisema inaweza kuwa ndiyo njia nzuri za utawala bora kwa mtu aliyejiuzulu kuundiwa tume  kujua kama kweli alikosea arudishwe katika nafasi yake.

“Suala hili la Escrow mheshimiwa spika lazima akina Chenge nao wasafishwe, vinginevyo mniambie na hawa mliowasafisha ni wachafu. Mnatumia nguvu nyingi kuwasafisha lakini mnafanyaje nusu? Au wengine mna ajenda nao?

“Hebu tuambieni kama kuna ajenda, hapa akina Mwambalaswa walivuliwa uenyekiti wa kamati na wenyewe semeni kwamba hawakukosea kwa nini muishie nusu?

“Hatuwezi kunyamaza tuache uonevu kwa watu haiwezekani, kuna watu ni wema na wengine ni wabaya haiwezekani. Hiki si chama tunachokijua wote. Werema (aliyekuwa Mwanasheria Mkuu wa Serikali) aliondoka kwa sababu gani, maana kama mnasema mwamala ni safi waliosimamia wote ni safi wengine ni wachafu.

"Kuna watu Ikulu nao walituhumiwa lakini bado wapo ofisini sasa Werema mlimuondolea nini uanasheria wake?” alisema.

Baada ya kumaliza kuchangia, Mbunge wa Simanjiro, Christopher ole Sendeka (CCM) alinyanyuka katika kiti chake na kwenda kumpa mkono Serukamba na baadaye alitoka ndani.

Kwa upande wake Mbunge wa Lupa, Victor Mwambalasawa (CCM), alipingana na Serukamba katika dhana ya watu kusafishwa.

Mwambalaswa ambaye alikuwa Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Nishati na Madini ambaye alijiuzulu kutokana na kashfa hiyo, alisema hapingani na uamuzi wa Bunge.

“Kimsingi mimi sipingani na azimio la Bunge sihitaji kujitetea wala kusafishwa. Mimi nilikuwa mjumbe wa bodi ya Tanesco niliwajibika katika siasa kwa hivyo sihitaji kusafishwa kwa kuwa si mchafu na wala sina matope,” alisema.

Mwenyekiti wa CCM Marampaka Akutwa na Fuvu la Albino Pamoja na Viungo vya Mikono na Miguu

0
0
Jeshi la polisi Mkoani Simiyu linamshikilia Chigila Gilala mkazi wa kijiji cha Bukigi kata ya Malampaka wilayani Maswa (45) kwa kosa la kukutwa na viungo zinavyodhaniwa kuwa vya binadamu likiwemo fuvu la kichwa.

Mtuhumiwa huyo ambaye pia ni Mwenyekiti wa CCM katika kijiji hicho na Mganga wa tiba asili alikamatwa nyumbani kwake, baada ya kuwepo kwa taarifa kuwa- alikuwa amewahifadhi majambazi kwa ajili kugangwa (kuzindikwa).

-Akitoa taarifa kwa waandishi wa kamanda wa -jeshi la polisi Mkoani Simiyu Gemini Mushy alieleza kuwa tukio hilo la kukamatwa kwa mwenyekiti huyo lilitokea Mei 9 mwaka huu -majira ya saa 11 jioni katika kijiji hicho.

Kamanda Mushy alisema kuwa askari wakiongozwa na mkuu wa upelelezi katika wilaya ya Maswa walipata taarifa kutoka kwa raia wema kuwepo kwa majambazi nyumbani kwa mganga huyo, kuwa alikuwa amewahifadhi kwa ajili ya kuwazindika.

Alisema baada ya kupata taarifa hizo walifanya msako nyumbani kwa mwenyekiti huyo, ambapo- alibainisha kuwa walianza kufanya upekuzi ndani na nje ya nyumba.

“Wakati wakifanya upekuzi huo walikutana na mfuko wa sandarusi ukiwa chini ya lundo la kuni nje ya nyumba- ya mwenyekiti huyo..na katika mfuko huo kulipatikana fuvu la kichwa pamoja na mifupa ya mikono au miguu vinavyodhaniwa kuwa ni viungo vya binadamu” Alisema Mushy.

Kamanda alieleza kuwa jeshi hilo linaendelea kufanya uchunguzi kama kweli viungo hivyo ni vya binadamu na kama anahusika na uwepo wa viungo hivyo kutokana na -kukutwa nje ya nyumba yake.


Wakati huo huo kamanda Mushy alibainisha kuwa jeshi hilo linamshikilia- Gandula Mashimo mkazi wa kijiji cha Longalombogo kata ya Migato wilaya ya Itilima Mkoani hapa kwa kukutwa na Bunduki ya kivita SMG na risasi 273.

Alisema kuwa mtuhumiwa huyo alikamatwa juzi majira ya saa 3:30 usiku kijijini hapo, akiwa embeba siraha hiyo pamoja na risasi katika mfuko wa sandarusi.

Alisema mtuhumiwa alikamatwa baada ya wananchi kutoa taarifa kwa jeshi la polisi wilayani humo, ambapo alikamatwa akiwa njiani kuelekea kusikojulikana.

-
Mushy alieleza kuwa uchunguzi unaendelea ili kubaini washirika wake, ikiwemo na matumizi ya silaha hiyo, huku akitoa wito kwa wananchi mkoani hapa kutoa taarifa za watu wanaowahisi kuwa siyo wema katika maeneo yao.

Aidha alitoa onyo kwa ambaye anamiliki silaha bila kibali rasmi, kuwa ajisalimishe pamoja na silaha yake mara moja kabla ya msako mkali kuanza.

Video: Diamond Nusura Achelewe Ndege ya Kwenda London Kwa Ajili ya Foleni..Ashuka Kwenye Gari na Kudandia Bado Bado

0
0
Damn this traffic jam...i had to take a motorbike so that i can get my LONDON Flight!!... UK can you guys see how much i love you...
(LONDON! Huu ni mfano Mzuri wa kuwa Mapenzi yananguvu kuliko Pesa, yaani kwa jinsi ninavyowapenda LONDON imenibidi nichkue bodaboda ili nsiachwe na ndege...)

Wema Sepetu Gets High And Fails To Host Mabeste's Charity Show

0
0
Last Sunday actress Kajala Masanja was hit by a bottle of beer by unknown guy. Kajala was at Maisha Club for Mabeste's charity show for his wife. She was outside the club leaving after the end of the event but suddenly came that unknown dude and hit Kajala on face, she fell down but friends rushed her to Mwananyamala hospital for treatment. The guy was then taken to police for legal steps, however Kajala is doing well.

On the other side, Wema Sepetu was expected to be MC for the Charity show but she got drunk and failed to host. When Wema asked by the Paparazzi about getting drunk while she was expected to be MC of the event she told paparazzi to leave her alone.

Man busted having S£X with his “Mpango Wa Kando” in the bush in KISII. +21 VIDEO only

0
0

The world is becoming really crazy and some of the things happening leave one wondering where we are headed to as a society.

Not long ago, a man from Kisii was busted having s3x in the bush with a “Mpango Wa Kando” in broad-daylight. (This is thought to be a place called Erera)

Surprisingly, the men who busted the two ordered them to continue with the “game” in their presence and the level of madness portrayed in this video will just blow your mind away.

Just click play and watch the madness.


Mgahawa Wauza Nyama ya Binaadamu Nigeria..Wamiliki Wakamatwa

0
0
Mgahawa mmoja nchini Nigeria katika jimbo la Anambra umefungwa kufuatia viongozi wenye mamlaka nchini humo kung’amua kwamba moja ya vyakula vinavyouzwa mgahawani humo ni nyama ya binaadamu.

Polisi walipoitwa mgahawani hapo waliona vichwa viwili vya binaadamu vipya vyenye kuchuruza damu wakati walipokuwa wakiwakamata watu kumi na mmoja kutoka mgahawani hapo akiwemo mmiliki wa mgahawa huo,pia walikamatwa wanawake sita na wanaume wane, baada ya wasamaria wema kutoa taarifa hizo za kustaajabisha!
Damu zilizokuwa zikivuja kwenye vichwa hivyo vya wanaadamu,vilikuwa vimefungwa kwenye mifuko ya Rambo.

Polisi pia wamekamata bunduki aina ya AK-47 na silaha nyinginezo,seti ya magurunedi na simu kadhaa za kila aina wakati walipokuwa wakiwakamata watu hao.
Kila wakati nilipokuwa nikienda sokoni,na sababu kubwa hasa hoteli hiyo iko karibu na sokoni,nimekuwa nikishuhudia harakati za ajabu za watu kuingia na kutoka hotelini humo,watu wachafu na uchafu wao mwilini ni ule usioeleweka,hivyo sikushangazwa polisi walipogundua biashara hiyo haramu mapema wiki hii, anasema mkaazi wa eneo hilo.
Mchungaji mmoja akiwa katika mshtuko mkubwa baada ya kugundua kuwa alikuwa amekula nyama ya binaadamu,aliamua kwenda polisi kupeleka malalamiko yake .
Aliwaambia kuwa alikwenda kwenye mgahawa wa hoteli hiyo asubuhi na mapema,baada ya kupata staftahi,akaambiwa kwamba pande la nyama alilokula gharama yake ni naira 700 sawa na paundi mbili unusu alistaajabu mno.sikufahamu kuwa nimeuziwa nyama ya binaadamu nikaila na kwamba ilikuwa ghali sana.
Taarifa za watu nchini Nigeria kula nyama za watu zimekuwa ni uvumi wa muda mreefu, lakini hii ni mara ya kwanza mgahawa kuamua kuuza nyama za binaadamu tu.

H-Baba Afunguka Kuhusu Kumwekea Bleach Kichwani Mtoto Wake, Adai Lazima Aishii Kistaa Kama Wazazi Wake

0
0
H-Baba asema lazima mwanaye aishi kisanii kama wazazi wake,afunguka kuhusu kumuweka 'bleach'
Msanii wa bongo Fleva,H: Baba amewafungukia mashabiki wake waliomjia juu baada ya kumuweka dawa ya nywele'bleach' mtoto wake,Tanzanite mwenye umri wa mwaka mmoja.
Mashabiki walimwambia msanii huyo kuwa bleach siyo nzuri kiafya kwa mtoto huyo,H: Baba akijibu tuhuma hizo alisema kuwa lazima mwanaye aishi kisanii kama wazazi wake na kwamba yeye kama mzazi hawezi kumuharibu mtoto wake.
'Watu wanashindwa kuelewa mimi sijampaka mwanangu bleach hiyo ni hina pia hina ni suna kwa dini yetu ya Kiislam sioni tatizo hapo,'alisema H: Baba.

Waziri na Nyalandu na Askari wa Kike wa Wanyamapori Kunani?

0
0

Mh.Lazaro Nyalandu akimpongeza Askari wa kike wa wanyama pori kwa kazi nzuri na ya kijasiri ya kuzuia majangiri

Bora Mwanaume wa Kibongo Kuliko Mwanaume Mkenya Kwenye Mapenzi

0
0
Mpenzi wangu huyu Mkenya na mie ni Mbondei wa muheza, dear wangu huyu tumepishana km mwenzi mmoja hiv umepita, na tatizo lenyewe anataka kupeleka posa nyumbani na mimi nimemkatalia kutokana na matatizo yafuatayo:-
1. TUkiwa chumbani yeye ni amri amri tu hadi kuna kucha
2. Kuanzia sebuleni kwake, chumbani hadi bafuni katundika bendera ya Kenya
3. Anapenda sana kuniona nimekasirika
4. Ukimwomba ushauri juu ya jambo fulani atakwambia fanya unaloona linafaa
5. Hana muda wa kukaa tushauriane mambo ya maisha na kupiga story za hapa na pale yy
mkikutana ni kucheza segere mwanzo mwisho
6. Ukiwa na matatizo c mtu wa kuonesha ushirikiano au kuguswa na tatizo ulilo nalo
8. Ni mbinafsi anapenda kufanyiwa yeye tu vitu vizuri

Bandugu ni kweli niolewe na mtu wa aina hii wakati kwenye uchumba tu kuna kero km hizo! Binafsi naonelea bora niolewe na mbongo kuliko huyu Mkenya nyie mwanishaurije

Nimelamba Mchepuko wa Dingi, Kanipa Mambo Matamu Sijawahi Pewa toka Nianze Mapenzi..Hautaki Tuachane...

0
0
Nimekamatwa katikati ya penzi zito la mchepuko wa dingi yangu, Ipo hivi mimi nimeoa kwa miaka miwili sasa naishi Mwanza
wazazi wangu pia wanaishi hapa hapa Mwanza kwa takribani mwaka na kitu. Wamekua kwenye mgogoro mzito sana kuhusu huo mchepuko ambapo mzee kwa sasa anarudi home once in a week, siku zilizobaki zote analala kwa huo mchepuko ambao ameupangisha nyumba ya gharama kubwa na thamani za ndani pia.

Kwa kweli kachanganyikiwa vibaya juu ya huo mchepuko yaani ingekua bado tuna mhitaji kifedha labda bado tupo shule na kadhalika sieleewi ingekuaje. Cha kushukuru mungu wote tunafamilia zetu sasa hivi juzi kati kama miezi mitatu hivi dingi aliniuliza hivi ni lini utamfahamu mama yako mdogo maana wewe ndio mtoto wangu pekee wa kiume, nikamwambia mzee ni wewe tu, ukiwa tayari nipeleke dada zangu wote waligombana na mzee hivyo hawaongei kisa ni ugomvi wa wazazi kuhusu huo mchepuko hadi mama alipata ugonjwa wa hypertension juu ya huo mchepuko.

Nikapelekwa kuuona huo mchepuko, ila yy mwenyewe anatumia jina mama mdogo, kufika pale mtoto ni mkali sijaona, ni mweupeee utadhani Mwarabu, kiuno chembamba halafu wowowo hilo, kapiga kigauni hicho paja zote nje nikaambiwa mwamkie mamdogo huku umri anaonekana kulingana na mdogo wetu wa mwisho ambae pia ameolewa. Akamwambia binti hili ndo jembe langu peaneni namba za simu maana ikitokea nimeanguka huku huyu ndo unampigia simu kumtaarifu maana mzee ana medical condition flani hivi anaishi kwa masharti.

Mara kwa mara tumekua na mawasiliano na yule binti kwa mambo mbali mbali nimezoea kwenda pale hata kama Mzee hayupo kumsalimia, maana binti hulaumu mbona huji hata kunitembelea n.k. One day Mmee alikua nje ya Mwanza akanitumia list ya vitu nivinunue nimpelekee yule binti huwa hataki kabisa atoke. Nilipofika akatoa pombe kali akanipa yeye akawa anakunywa Dompo sikuwahi kunywa pombe kabla. Muda ulivyozidi kwenda tukaanza michezo ya kilevi, mara kuvutana na kadhalika kuja kustuka tupo dunia nyingine.

Nilishangaa ananivua nguo kama ugomvi vile mwisho tukawa tumeoana kwenye kochi pale.Nikiri tu wazi tangu kufahamu mapenzi mazito kama yale, kiuno kinazungushwa huwezi kama pana mfupa pale. Tuliendelea kufanya mchezo huo mara kwa mara, wakati mwingine natoroka kazini mchana naenda.Kwa kweli hata mke wangu anaachwa mbali sana na huyu binti kwa mambo hayo. Hata kabaang ambayo sikuwahi kufanya ndo nilipata for first time ni tamu mno nililia kama mtoto mdogo.

Hivi sasa nataka kujinasua nimeona naelekea kubaya, maana wife ameona mwenendo wangu umebadilika kwa hiii miezi mitatu ingawa mzee hana habari. Ila binti ndo amekua msumbufu hataki tufike mwisho. Mimi conscious ndo inanishtaki hasa kwa wife.Hata kwenda kwenye ibada nimeacha kwenda ikifika jumapili natafuta kisingizio chochote ili nisiende kwa sababu naona nafanya kazi bure kwa dhambi ya uzinzi na pombe ambavyo vyote nilikua sivifanyi kabla. Nimekuja kwenu mnisaidie nawezaje kuacha. Maana hata mzee akijua itakua balaa maana alishasema anataka kumuoa bomani

Help please

Basata Yalaani Tabia Chafu na Isiyo na Maadili Iliyoonyeshwa na Shilole Akiwa Jukwaani Nchini Ubelgiji

0
0
Baraza la Sanaa la Taifa (BASATA) ambalo ni msimamizi wa sekta ya Sanaa na burudani nchini limeona picha chafu na zisizo na maadili za Msanii Zuwena Mohamed maarufu kama Shilole alipokuwa akifanya onesho lake nchini Ubeligiji hivi karibuni.

Katika picha hizo ambazo zimelaaniwa na watanzania wengi nchini kupitia njia mbalimbali ikiwemo mitandao ya kijamii, Shilole anaonekana akiwa Jukwaani huku viungo vyake vya sehemu za siri vikiwa hadharani na zaidi akionesha tabia ambazo kwa kiasi kikubwa zimefedhehesha na kuidhalilisha sekta ya Sanaa na Taifa kwa ujumla.  

Aidha, BASATA limepokea malalamiko kwa njia ya simu na mawasiliano ya internet kutoka kwa watanzania waishio ughaibuni wakilaani tukio la Msanii huyo. Katika mawasiliano yao wameeleza kwamba wamefedheheshwa na kudhalilika na tabia hiyo chafu iliyooneshwa na msanii huyu.

Ikumbukwe kwamba, Shilole ni msanii aliyesajiliwa na Baraza la Sanaa la Taifa, hivyo anapokwenda nje ya nchi kabla hajapata visa anapewa barua ya utambulisho kama msanii wa Tanzania, hivyo anapokuwa nje ya nchi anatambuliwa kama msanii Mtanzania, anapofanya kinyume na misingi ya kazi ya Sanaa, anajifedhehesha yeye mwenyewe, kazi ya Sanaa na nchi yetu pia.

Aidha, ikumbukwe kwamba BASATA limeshapata kumwita na kumuonya msanii huyu kutokana na tabia yake ya kutokujiheshimu pale awapo jukwaani na yeye aliahidi kubadilika na kuachana na tabia hiyo chafu. Kwa hiyo kuendelea kwake kufanya matukio hayo na kwa sasa katika ardhi ya nchi nyingine ni uthibitisho kwamba hajabadilika na kwa maana hiyo ameendelea kuidhalilisha Sanaa na wasanii wa kitanzania wenye kujitambua na kuiheshimu Sanaa kama kazi nyingine.

BASATA linapenda kueleza kwamba;

Litamuita kwa mara nyingine tena kumtaka ajieleze kwa nini alifanya onesho hilo la kujidhalilisha na kudhalilisha hadhi ya mwanamke, msanii na Sanaa kwa ujumla
Kama maelezo yake hayataridhisha hatua kali za kinidhamu zitachukuliwa dhidi yake maana tayari ameshadhihirisha kwamba akifanyacho si Sanaa na hakina uhusiano na kazi ya Sanaa ambayo ina heshima yake na inahitaji ubunifu, weledi na kujitambua
BASATA linawakumbusha wasanii wote nchini kuwa Sanaa ni kazi kama kazi zingine lakini siku za hivi karibuni wasanii wengi wamekuwa wakikiuka suala zima la maadili kwa kutengeneza kazi chafu zisizofaa mbele ya jamii ya watanzania wanaoipenda na kuiheshimu kazi ya Sanaa yenye staha. Tuungane kwa pamoja kukemea kazi chafu zinazozalishwa na wasanii wasiojitambua kwani suala la maadili ni suala mtambuka na linaanzia katika ngazi ya familia.

Aidha, BASATA linawataka Wasanii wote nchini kufuata sheria, kanuni na taratibu mara wanapopata mialiko ya kikazi kwenda nje ya nchi. Linawakumbusha kwamba haiwezekani msanii kutumia picha chafu na mavazi dhalili na kuonyesha utupu katika kuvuta mashabiki.

Sanaa ni kazi, tuipende na kuithamini

Godfrey Mngereza

KATIBU MTENDAJI

Ili Aweze Kuzaa, Wema Sepetu ni Lazima Alale Juu ya Kaburi au Arithiwe na Ndugu Yake Steven Kanumba

0
0
Baba mzazi wa aliyekuwa mwigizaji mkubwa Bongo, marehemu Steven Kanumba ‘The Great’, Charles Kusekwa Kanumba amefunguka kuwa ili azae, staa wa sinema za Kibongo, Wema Isaac Sepetu anatakiwa alale juu ya kaburi.

Hayo yanakuja siku chache baada ya Wema aliyewahi kuwa mchumba wa Kanumba kudai kusumbuliwa na tatizo la kukosa uwezo wa kuzaa hivyo mzee huyo kujiongeza na kusema ni kwa sababu alitoa mimba ya mwanaye huyo.

Akizungumza na waandishi wetu, baba huyo alisema kama kweli Wema alitoa mimba ya Kanumba basi atakuwa alijilaani kwa sababu ukoo wao ukitoa mimba unaweza kufa au kujilaani (kutokupata mtoto) hivyo anatakiwa kutambika kwa kulala juu ya kaburi la mama mkubwa wa Kanumba ambaye ni bibi wa babu wa mzee Kanumba.

Alisema sambamba na hilo, Wema atatakiwa kurithiwa na ndugu wa Kanumba (kati ya kaka au mdogo wake).
 
“Kwenye ukoo wetu ukitoa mimba kuna mambo mawili, moja ni kufariki dunia au ‘kujikila’ (kujilaani) kwa kutokuzaa, pengine ndicho kilichomtokea Wema,’’ alisema baba Kanumba.

Mzee huyo alisema kuwa mama mkubwa huyo alishafariki dunia kwa hiyo yeye na marehemu Kanumba walipaswa kwenda kaburini kwake kufanya tambiko zito, wakiwa wamevaa mavazi maalumu ya kiasili na mikononi wameshika vibuyu, jambo ambalo lingempasa Wema kukaza moyo.

Alisema kuwa wakiwa kaburini hapo, Wema alitakiwa achotewe mchanga na kushikishwa kisha kusemewa maneno ya kuomba msamaha kwa kilichotokea.

Alisema walitakiwa waende na maziwa, unga wa mtama na hayo mavazi maalumu kwa ajili ya tambiko hilo.

Aliendelea kudadavua kwamba, kwa sasa Kanumba hayupo duniani hivyo Wema anapaswa kuchukuliwa na kaka au mdogo wake wa damu kwenda kutambika, ikiwa ni pamoja na kuzaa naye ili kufungua mlango wa kizazi, hata kama ataachika basi ataendelea kupata watoto.

Baba Kanumba alisema mama mkubwa huyo ni bibi yake mzee Charles Kanumba ambaye katika ukoo wao alikuwa mganga wa wanawake walioshindwa kupata watoto au wenye tatizo la kizazi.

Hata hivyo, baba Kanumba alimalizia kwa kusema kuwa, ingekuwa zamani ilikuwa ni kurithiwa tu lakini kwa sasa mila hizo zinapingwa vikali.

Linah: Chozi Langu Hili Haliendi Bure!! U Will Pay it Back Maana Nimechoka na Masimango yenu

0
0
Muimbaji wa ‘Ole Themba’ Linah Sanga amewafungukia followers wake wa Instagram baada ya kuchoshwa na masimango ambayo amedai yamemtoa machozi.

Kupitia ukurasa wake wa Instagram wenye followers 254,256 Linah ameandika ujumbe huu mrefu:

“Jamanii nimechoka Na kufuru zenu, hivi naomba niulize ufupi wangu, kukomaa kwangu, mkorogo wangu vinawahusu nini? Ni naomba mfatilie kazi zangu tu vingi be ni vitu vya kawaida kila binadamu kuambiwa kasoro zake! Hvi wale ambao Hawana mikono Na miguu Na wao walie vipi kwa Mungu? Namshukuru hivi nilivyo. Mbona mnapenda kutoa hukumu kama nyie ndyo Israeli?! Ifike kipindi tukumbuke kila mtu anamaisha yake! Naona mnaandamana sana Na maisha yangu. Kuna ambae hata alimsaidia mama yangu wakati anapush hospitali? Hivi kumbukeni mnawazazi pia Na nyinyi mlizaliwa pia,kama nyie Mungu basi nibadilisheni mniumbe mtakavyo, nyie ni kina baba Na kina mama wa badae kumbukeni mtazaa Na nyinyi then tuone! Chozi langu hili haliendi bure!! U will pay it back maana nimechoka Na masimango yenu. “

Huku Mapigano Makali Yakiendelea Huko Burundi, Rais Nkurunzinza Aingia Nchini Humo Kwa Kutumia Helkopta Baada ya Jana Kushindwa

0
0
BREAKING NEWZ
Mapigano makali yakivita yanaendelea mjini Bujumbura kati ya wanajeshi. Mapigano hayo yameanza saa tisa alfajiri na tayari zaidi ya watu mia mbili wanahofiwa kupoteza maisha!
........Vile vile inasemekana Nkurunzinza amerejea Burundi kwa usafiri wa helikopta leo alfajiri akitokea DSM, na kushuka ktk kijiji kilichoko mpakani mwa Tanzania na Burundi. Haieleweki ameelekea wapi baada ya kutoka ktk kijiji hicho! Ila mashuhuda wamesema msafara wa magari yapatayo kama sita ulikuja kumchukua kutokea katika kijiji hicho!!
.............Source. Reuters& France 24 english - ...................HUYU MTU NI MBISHI SANA I HOPE KUNA VIONGOZI WETU HAPA BONGO WANAOTAKIWA KUJIFUNZA WEWE HAUJAZALIWA NA MADARAKA UMEYAKUTA NA UMEYAPATA KWA SABABU KUNA WALIOKUBALI KUKUACHIA BILA VITA WALA UGOMVI SASA KWA NINI NA WEWE HUTAKI KUACHIA WENGINE KAMA ULIVYOACHIWA? ...MIAKA 10 KWENYE POWER UMESAHAU NINI HASA AMBACHO SASA NDIO UMEKIKUMBUKA BAADA YA MIAKA 10 gademiti ONDOKA BANA WAACHIE NA WENGINE KAMA ULIVYOACHIWA KWA AMANI! - le Mutuz

Mapinduzi ya Burundi: Rais Pierre Nkurunziza Ahojiwa na Kituo cha habari cha Burundi RTBN.......Asema Yupo Tayari Kumsamehe Mwanajeshi Atakayesalimu Amri

0
0
Kituo cha habari cha Burundi RTBN kimemhoji rais Pierre Nkurunziza kwa simu mwendo wa saa sita.

Katika  mahojiano  hayo  ambayo  Shirika la habari la Reuters lilifanikiwa  kuyanukuu, Rais Nkurunziza amesema  yupo  tayari  kumsamehe  mwanajeshi  yeyote  atakayekubali  kusalimu  amri.

''Ninalishtumu kundi lililopanga mapinduzi, nawashkuru wanajeshi wanaorudisha hali ya kawaida na namsamehe mwanajeshi yoyote ambaye yuko tayari kusalimu amri''.Alinukuliwa akisema.

Muda  mfupi  baada  ya  mahojiano  hayo,  vita kali  ya  majibizano  ya  risasi  iliibuka  karibu na kituo hicho cha habari baina  ya  wanajeshi  watiifu  kwa  rais  huyo  na  wale  waliotangaza  kumpindua.

Hali  hiyo ilikilazimu  kituo  hicho  kuzimwa  na  kisha  kufunguliwa  tena  baada  ya  mapigano  kuisha

Jenerali anayeunga mkono jaribio hilo la mapinduzi amekiambia chombo cha habari cha AFP kwamba wanajipanga kukiteka kituo hicho cha habari cha RTNB  kilicho  chini  ya  udhibiti  wa  wanajeshi  watiifu  kwa  Rais
Viewing all 104414 articles
Browse latest View live




Latest Images