Quantcast
Channel: UDAKU SPECIAL
Viewing all 104684 articles
Browse latest View live

Wanafunzi wa chuo kikuu cha UDSM wagoma kuingia darasani kwa madai ya kutopewa fedha za kujikimu.

$
0
0
Maelfu ya wanafunzi wa chuo kikuu cha Dar es Salaam sehemu ya Mlimani wameanza mgomo kuingia darasani kwa madai ya kutopewa fedha za kujikimu kwa zaidi ya wiki 11 huku wakitaja gharama za maisha zikiwa zimepanda mara dufu.

Wakiongea katika viwanja vya chuo kikuu jijini Dar es Salaam kwa kile walichokiainisha kuwa ni njaa kali pamoja na kueleza kuendelea na mgomo hadi fedha zitakpoingia kwenye akaunti zao wametaja serikali kuchelewesha fedha hizo kupitia bodi ya mikopo kuwa ni kuwadhoofisha kimasomo.

Kwa upande wake makamu mkuu wa chuo kikuu cha Dar es Salaam Prof. Rwekaza Mukandara pamoja na kukiri madai ya wanafunzi elfu saba kati ya zaidi ya elfu kumi wanaofadhiliwa na serikali kupitia bodi ya mikopo kucheleweshewa fedha zao kuwa ya msingi,amesema tayari amezungumza na bodi ya mikopo ambao wamemwahidi kuleta fedha zao haraka iwezekanavyo na kuwaomba wanafunzi kurejea madarasani kuendelea na masomo.

Wakati huohuo takribani wanafunzi 400 wa chuo kikuu cha Mt. Josephu cha Mbezi jijini Dar es Salaam mwaka wa kwanza wamesimamishwa masomo kwa muda usiojulikana baada ya kugoma kuingia madarasani wakidai fedha za kujikim kutoka bodi ya mikopo tangu mwezi Desemba mwaka jana hadi sasa wakieleza kuishindwa kuendesha maisha yao ya shule na kuhimili mazingira ya kupanga nyumba mitaani.

Katika taarifa ya kusimamishWa wanafunzi hao iliyotolewa na makamu mkuu wa chuo cha Mt.Josephu Bw.Loyola Proteep aliyeambatana na mkuu wa wanafunzi maarufu kama Dean anakiri madai ya wanafunzi hao kuwa ya msingi na kuongeza kuwa waliwaomba utulivu na kuingia Madarasani wakati wakifuatilia madai yao bodi ya mikopo bila ya mafanikio na uongozi kuchukua uamuzi wa kuwasimamisha wanafunzi wote wa mwaka wa kwanza hadi vikao vya bodi vitakapoamua vinginevyo.

Vifo vya Watoto Kanisani kwa Gwajima Bado ni Utata.

$
0
0
MKAZI wa Mbezi Juu David Oturo, amesema yupo katika maandalizi ya kuwasafirisha watoto wake wawili  waliopoteza maisha  Mei 17 mwaka huu  baada ya kupigwa shoti ya Umeme   katika Kanisa la Ufufuo na Uzima lililopo katika Viwanja vya Tanganyika Peakas Jijini Dar es Salaam.

Akizungumza na jana baba mzazi wa watoto hao Oturo alisema kuwa anatarajia kuwasafirisha watoto wake ambao ni Sarah David(10) na Goodluck David(04) leo au kesho kuelekea Mkoani Musoma kwa ajili ya mazishi.

Alisema kifo cha watoto wake ni cha utata kutokana na kwamba watoto walikuwa ni wengi katika eneo hilo lakini ameshangaa watoto wake wote wawili kupigwa  na shoti ya umeme na wote baada ya hapo walipelekwa katika Hospitali ya TMJ na kuhamishiwa katika Hospitali ya Mwananyamala lakini wote walipoteza maisha.

Akizungumzia suala la ushiriki wa kanisa katika msiba huo alisema kuwa Askofu Gwajima pamoja na waumini wake wanafika nyumbani kwake lakini hawajashiriki kitu chochote.

“Kwa sasa nipo katika maandalizi ya kuwasafirisha watoto wangu kwenda Musoma kwa ajili ya mazishi, ingawaje katika maandalizi yangu  Askofu Gwajima na waumini wake hawajatoa kitu chochote kwa ajili yamaandalizi ya safari hii.

Mimi ninachong’ang’ana  ni kuhakikisha kuwa wanangu ninawasafirisha kwenda kuwapumnzisha nyumbani kwetu nilipozaliwa ambako ni Musoma na si vinginevyo,” alisema  Oturo.

Kwa upande wake Askofu wa Kanisa la Ufufuo na Uzima Josephat Gwajima alipotafutwa kuzungumzia swala hilo simu yake iliita bila kupokelewa na wakati mwingine ilikuwa ilikuwa haipatikani kabisa.

Pamoja na jitihada za kupiga simu kwa askofu huyo kugongwa mwamba, lakini ilisikika  miito ya nyimbo pamoja na mahubiri  mbalimbali katika simu yake.

Moja ya muito huo ulisikika ukisema  “Biblia ni njia kwa waliopotea, Biblia ni njia kwa waliokata tama, Biblia ni uponyaji kwa wagonjwa, Bibilia ni faraja kwa walio na dhiki,” yalisikika maneno hayo.

Aunty Ezekiel na Wema Sepetu Vilio Tupu, Wakutanishwa Laivu na Kuamua yafuatayo

$
0
0
Imelda Mtema
Baada ya kula viapo vya kutozikana, wasanii wawili wa filamu Bongo, Wema Isaac Sepetu ‘Madam’ na Aunt Ezekiel Grayson wamejikuta wakiangua vilio wakati wakipatanishwa na rafiki yao mkubwa ambaye ni pedeshee anayejulikana kwa jina la Daudi Mambya.

Habari kutoka kwa shuhuda wetu zilieleza kwamba, tukio hilo lilijiri wikiendi iliyopita kwenye Ufukwe wa Coco jijini Dar ambapo Daudi aliwaita kwa mwaliko wa mishikaki bila wenyewe kujua kinachoendelea.

Habari zilieleza kuwa, Daudi ambaye kwake huwa hawafurukuti, amekuwa akiumizwa mno na tofauti ya wasanii hao kwa sababu ni watu walikuwa wakipendana hivyo kugombana kwao kulikuwa kunaleta shida kwa marafiki zao wengine.
Imefahamika kwamba, Daudi alitumia ujanja wa kuzungumza na kila mmoja kwa wakati wake ambapo alibaini kuwa hakuna aliyekuwa tayari kupatana na mwenzake.

Ilisemekana kuwa, Daudi alitumia ujanja wa kitaalamu ili kila mmoja kumuweka sawa bila kujijua.
Unajua Daudi ni rafiki yao sana, sasa hakuwa anapendezwa na tatizo ambalo limejitokeza hivyo alitumia njia tofauti ili kuweza kuwakutanisha pamoja tena waweze kupatana,” alieleza mtoa habari huyo.

Ilielezwa kwamba Daudi alianza kwa kumtafuta Wema na kumpeleka Coco Beach akimuambia kuwa anataka akamnunulie mishikaki huku wakati huohuo akimwambia Aunt naye wakutane ufukweni hapo.Shushushu wetu alizidi kufunguka kuwa Daudi alitangulia Coco na Wema, huku akifanya mawasiliano na Aunt na baada ya muda, Aunt naye aliwasili huku kila mmoja akibaki katika mshangao usioelezeka baada ya kukutana uso kwa uso.

Sosi huyo alisema kuwa Wema na Aunt walipoonana kila mmoja alikuwa kimya lakini Daudi aliamua kuwasomea risala ndefu iliyomwingia kila mmoja.Mambo yakipokaa vizuri, wawili hao walishuhudiwa wakiwa wamekumbatiana huku kila mmoja akiangua kilio kilichochukua takribani nusu saa hivyo kufanya eneo hilo kuwa kama kuna msiba.

“Yaani mpaka Daudi mwenyewe alidondosha machozi baada ya Wema na Aunt kukumbatiana na kuanza kulia.
Yaani ilikuwa simanzi kubwa sana,” alimalizia shuhuda huyo.Akizungumza na gazeti hili, Daudi alisema kuwa aliamua kuwapatanisha wawili hao kwa kuwa alikuwa hapendezwi na tatizo hilo na kwamba wote ni rafiki zake.
Kwa upande wake, Aunt alifunguka ya moyoni:
Tulipokutana kila mtu alijua tatizo lake na tukaona ni mambo ya kijinga, ikabidi tuweke tofauti pembeni maisha yaendelee.”

Wema alisema: “Mambo ya kugombanagombana hayana msingi na kwa vile ni mtu mzima (Daudi) aliwakutanisha, nikaona yaishe.”Wema na Aunt ambao walikuwa marafiki wakubwa waliingia kwenye mgogoro hivi karibuni baada ya Wema kumtuhumu Aunt kuunga mkono shoo ya Zari All White Party ya mwanadada Zari Hassan ‘Zari The Boss Lady’ ambaye ni mpenzi wa aliyekuwa mpenzi wa Wema, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’.

GPL

Huddah asema kamwe hawezi kumpost boyfriend wake Instagram kuhofia wajanja wasije kumpora

$
0
0
Huddah The boss chick amesema kuwa kamwe hatakuja kumuanika mpenzi wake kwenye mtandao wa kushare picha wa Instagram, kwa kuhofia kinadada wajanja wasije kumrubuni na kumnkurunziza kumpindua.

Mrembo huyo kutoka Kenya licha ya kuwa amewahi kushare picha za mwili wake ukiwa mtupu kabisa, amesema kuwa miongoni mwa vitu ambavyo hawezi kushare na followers wake zaidi ya laki 2, ni mpenzi wake, nyumbani kwake, kitanda chake pamoja na ndugu zake kwasababu huo ni upande wa maisha yake binafsi.

“Never! That is my private. Nyumba yangu, boyfriend wangu, mahali naweka kichwa nalala, utaona tu hotel niko vacation and all that, lakini mahali naweka kichwa changu nalala, na mtu aliyeuteka moyo wangu ni vitu ambavyo kamwe siwezi kuweka Instagram, hata familia yangu siwezi kuwaweka Instagram.” Alisema Huddah kupitia Amplifaya ya Clouds Fm.


Ameongeza kuwa picha nyingi ambazo huwa anaweka huwa ni za hotelini pamoja na zake mwenyewe, na haweki picha za mpenzi wake kuhofia wasichana wa mjini wasije kumrubuni na kumpora.

Huwa naweka zangu tu, watu wanaona mimi mbinafsi kwasababu huwa siweka picha za watu wengine, kwasababu Instagram ina watu wengine wana matusi sana, wakati mwingine unaweza kuweka picha na rafiki yako wanamtusi rafiki yako, sasa imagine uweke mtu kama boyfriend wako halafu tena wasichana wana competition, wakiona ooh huyu ndio boyfriend wa Huddah, wanataka kumfatilia yule jamaa wanam Dm Dm huko ndani picha uchi zingine halafu bado wanakuja kunitusi, I don’t put my private life out there”.

Picha za Stan Bakora Akibanjuka Garini Zaleta Balaa, Kitale Aingilia Kati!

$
0
0
Picha za Msanii wa vichekesho anaeibukia, Stan Bakora akiwa anabanjuka na mwanamke ndani ya gari zimesambaa kwa kasi mtandaoni  na kupelekea msanii mwenzake, Kitale “Mkude Simba”  ambaye ndiye aliemtoa kisanii kuingilia kati na kumshukia Mateja Musa ambaye anadaiwa kuziweka picha hizo mtandaoni.

@matejamusa wewe ni Ndugu yangu lakini leo umenikosea kwa ulichokiandika kwenye acount yko ya insta kuhusu @stanbakora umenikosea plz! naomba ufute zile picha haraka nakupigia cm yng upokei sio poa haya maisha laiti ungekuwa unaona cm anazopigiwa dogo na watu tofautitofauti ungemuonea hata huruma huyu bado dogo ajakomaa na hivyo vitu mnamchanganya mpaka tunashindwa kufanya kazi zingine tokea asubuhi dogo anaumwa presha kwa mipicha yako hiyo unayoipost na aliyekupa hizo picha namjua mwambie ajifiche atakavyojificha leo au kesho namtia mikononi waulize wenzio wanakijua hiki kichwa dakika moja mbele....mpaka saa 4 ujafuta hizo picha @matejamusa basi we jiandae na ugeni kutoka mwananyamala”. Kitale ameandika hayo mtandaoni.

Kwa upande wake Stan Bakora ameandika haya kwa mwandishi huyo

"Katika maisha sina kumbukumbu kama nilishawahi kukukosea @matejamusa ila ninachokumbuka mimi huwa nakuheshimu kama kaka yangu, sasa sijui kwann umeamua kunichafua hvo ,kwan lipi baya nlilokufanyia mpk unanizalilisha kwa jamiii au lengo lako nini kwan mbona unafanya kma sina wazazi jaman ,na aliekutumia hizo pcha lengo lake mimi nalijua na hata hvyo @matejamusa wewe una no zangu za simu ulipaswa kuniuliza kabla ya kufanya chochote ,jua umenikosea sana na kma .Daaaah umenifanya nmekushusha thaman sana Mussa. Ndugu zangu ambao mnafatilia page yangu anaenichafuaga siku zote ni huyu @matejamusa @matejamusa @matejamusa @matejamusa @matejamusa labla mwambieni nyinyi mimi nisije kupishana nae kauli sipendi ugomvi na mtu. Samahan kwa yoyote ambae nmemkwaza kwa lolote".

Millen Magese Kuwa Mtanzania wa Kwanza Kupata Tuzo ya BET, Ugonjwa Wake Wamfanya Ajulikane Dunia Nzima

$
0
0
WaTanzania wenzangu nomba kuchukua nafasi hii kumpongeza dada yetu @ladivamillen ambaye amechanguliwa kwenda kuchukua BET Global Good Award kwenye tuzo za Mwaka huu za BET Awards Marekani. Ni category mpya ambayo haina mipaka na haina nominees kachaguliwa yeye kuwa anastahili kukabidhiwa tuzo hiyo. Lakini pia ni tuzo ya kwanza ya BET kwa Mtanzania. Ni jambo la kujivunia. Mimi nimefurahi mnooooo alivyoanza kuzungumzia ugonjwa wake kama elimu kwa wengine watu walimbeza, wako walitaka kumkatisha tamaa ila sasa ona Mungu kamwinua katambuliwa kimataifa kwa kazi zake na dunia nzima tutam-salute pia. It's always about you and your God first. God bless you my sister @ladivamillen kwanza mzuri, una moyo mzuri, moyo wa dhahabu huna shida na mtu. You are a true Tanzanian Icon. More power to you. Mungu azidi kukuinua. Nakupenda. Naomba tumpogeze dada @ladivamillen kwa heshima hii kubwa aliyopewa. Usengwile wanachama. ❤️❤️❤️ #MwanamkeWaNguvu

Mapenzi au Pesa: This is What Wema Sepetu Reply......You Cant Believe what She Said...

$
0
0

Mapenzi au Pesa: This is What Wema Sepetu Reply......You Cant Believe what She Said...

CHADEMA Yapigilia Msumari wa Moto Ufisadi wa Trilioni 1.151

$
0
0
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI KUHUSU TAARIFA YA UKAGUZI WA FEDHA ZA SERIKALI 2013/2014


· Upotevu wa shilingi trilioni 1.151 Serikali kuu pekee hauvumiliki.

· Makusanyo yote yaliyotokana na kuongezeka kwa kodi 2013/14 yameyeyuka

Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kimepokea kwa masikitiko makubwa taarifa za ufisadi wa kutisha uliofanyika kwenye matumizi ya fedha za umma kama ilivyobainishwa kwenye ripoti za ukaguzi wa fedha kwa mwaka 2013/2014 zilizotolewa na Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG)
Wakati chama kinaendelea kuzifanyia uchambuzi wa kina ripoti zote tano ili kuweka hadharani ubadhirifu mkubwa ambao mwingi hujificha kwenye maelezo ya kitaalam, tunapenda kutoa taarifa ya awali kama ifuatavyo;

· Wizara tatu , Trilioni 1.151 zimepotea 
Katika uchambuzi wetu wa awali tumebaini kuwa kwa upande wa serikali kuu pekee zaidi ya shilingi trilioni 1.151 zimepotea au kuliwa na wajanja walioko serikalini , kiwangio hiki ni sawa na asilimia 5.231 ya bajeti yote ya serikali kwa mwaka ujao wa fedha 2015/16 inayoendelea kujadiliwa huko Bungeni Dodoma
Ripoti ya CAG iliyotolewa jana inaonyesha kuwa katika Serikali Kuu, Wizara tatu tu ambazo tumezifanyia Uchambuzi mpaka sasa zimepotea kiasi cha shilingi 1.151 Trilioni , wizara hizo ni;

i. Wizara ya Fedha (TRA) , Fedha zilizopotea kutokana na bidhaa ambazo zilipaswa kuuzwa nje ya Nchi ila kutokana na uzembe zikauzwa ndani ya nchi bila kulipiwa kodi zilikuwa jumla ya shilingi 836 Bilioni.

ii. Ofisi ya Waziri Mkuu , kitengo kimoja cha maafa zilipotea jumla ya shilingi 163 Bilioni.

iii. Wizara ya Ujenzi , ziliibwa jumla ya shilingi 252 Bilioni.

· Bajeti ya mwaka 2013/14 Mapato yote ya ongezeko la kodi yameyeyuka:

Mwaka 2013/14 yalifanyika maboresho ya sheria mbalimbali za kodi wakati wa Bunge la bajeti kodi ambazo kimsingi zilimwongezea mwananchi mzigo mzito wa kulipia kodi hizo kwa ajili ya kuongeza mapato ya Serikali na ili kuiwezesha serikali kuwahudumia wananchi wake .

Pamoja na ongezeko hilo la kodi ,ukweli mchungu ni kuwa fedha yote iliyokusanywa kutokana na ongezeko la kodi mbalimbali katika mwaka wa fedha 2013/14 imepotea yote katika wizara tatu tu za serikali kutokana na vitendo vya kifisadi, na hii ni kwa mujibu wa taarifa CAG .

Kodi zilizorekebishwa na mapato yake ni kama ifuatavyo;

a. Sheria ya Kodi ya Ongezeko la Thamani, SURA 148; kilipatikana kiasi cha sh.48.977bilioni

b. Sheria ya Kodi ya Mapato, SURA 332;kilipatikana kiasi shilingi 131.686 bilioni

c. Sheria ya Ushuru wa Bidhaa, SURA 147; kilipatikana kiasi cha shilingi 510.017 bilioni

d. Sheria ya Ushuru wa Mafuta, SURA, 220; kilipatikana kiasi cha shilingi 155.893bilioni

e. Sheria ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi, SURA 82 ;kilipatikana kiasi cha shilingi 28.213 bilioni

f. Sheria ya Usalama Barabarani, SURA, 168; kilipatikana kiasi cha shilingi 19.710 bilioni

g. Sheria ya Petroli (Petroleum Act) SURA, 392;kilipatikana kiasi cha shilingi 123.725 bilioni

Hali hiyo ilifanya marekebisho yote ya sheria za Kodi zilizofanywa katika mwaka huo wa fedha kuiwezesha serikali kukusanya jumla ya shilingi 1.018 Trilioni katika mwaka wa Fedha 2013/2014 na hii ni kwa mujibu wa taarifa ya Hansard ya Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania .

Hali hii haikubaliki na haivumiliki hata kidogo. Hapa tumezungumzia Wizara tatu tu za serikali kuu bado wizara 30 na idara mbalimbali za Serikali ikiwa ni pamoja na Halmashauri na Taasisi na Mashirika ya Umma.
Ripoti hizi zimezidi kudhihirisha kwa mara nyingine kuwa matatizo yanayowakabili Watanzania ikiwa ni pamoja na umaskini, maradhi, ujinga yanaendelea kudumu kwa sababu watawala wa Serikali ya CCM wameamua yaendelee kuwepo kwa kukumbatia adui wa nne ambaye ni ufisadi.

Ripoti hizo za CAG ambazo zimeanika ufisadi katika maeneo yaliyokaguliwa ikiwemo Serikali Kuu, Serikali za Mitaa, mashirika ya umma na miradi ya maendeleo, kwa mara nyingine zimedhihirisha wazi kile ambacho CHADEMA kimekuwa kikisema kwa muda mrefu kwamba ufisadi huu unaoendelea kulitafuna taifa na kuwafanya Watanzania wazidi kuwa maskini ni matokeo ya kushindwa kwa sera, mikakati na mipango ya CCM.

Wakati kasi ya ufisadi inaongezeka kutoka mwaka hadi mwaka kwenye Serikali ya Rais Jakaya Kikwete chini ya usimamizi wa CCM, ndivyo serikali hiyo hiyo inaongeza kasi ya kushindwa kusimamia UWAJIBIKAJI ambayo ndiyo moja ya nguzo muhimu katika kuhakikisha matumizi ya fedha za umma yanaonekana katika kuboresha maisha ya wananchi hususan kuweka fursa za kujitafutia maendeleo ya mtu mmoja mmoja na hatimaye ustawi wa jamii nzima.

Ufisadi huu hauvumiliki tena. Watanzania wasikubali kuendelea kubeba mizigo ya watawala walioshindwa kutekeleza wajibu wao. Hali ya siasa inazingirwa na sintofahamu kubwa. Uchumi unazidi kuyumba. Kijamii, maisha yazidi kuwa magumu na walioko madarakani wamelewa madaraka. Msamiati wa UWAJIBIKAJI haumo vichwani mwao tena.

Ni mwaka wa Watanzania kuamua kuachana na ufisadi huu.

Imetolewa leo Jumatano, 20 Mei, 2015;

Tumaini Makene

Mkuu wa Idara ya Habari na Mawasiliano- CHADEMA

Rais Kikwete Apiga Mkwala Asema Hatakubali Misaada Yenye Masharti Kuyumbisha Nchi

$
0
0
Rais Jakaya Kikwete amesema nchi yake haitakubali kuyumbishwa na wahisani ambao kila mara wamekuwa wakitishia kusitisha misaada yao kama mambo wanayoyataka yafanywe na serikal hayatafanywa na kuwataka wahisani wenye tabia hiyo kuacha kutumia misaada yao kama fimbo ya kuichapa Tanzania na kama wataendelea kufanya hivyio ipo siku itaikataa hiyo misaada.

Mh Kikwete ameyasema hayo alipokuwa akifungua mkutano wa mpango wa uendeshaji wa shughuli za serikali kwa uwazi yaania Open Govermnent Partineship –OGP ambapo amesema serikali nayo inahadhi yake na siyo kila jambo kuburuzwa.

Kuhusu uendeshaji wa serikali Mh Kikwete amesema wananchi wanapaswa kujua namna shughuli zinavyokwenda ili waweze kuhoji pale mambo yanapokuwa kinyume na matarajio yao.

Kwa upande wake waziri wa nchi ofisi ya rais utawala bora Mh George Mkuchika amesema tangu Tanzania ingiye katika mpango huo wa OGP mambo mengi ya serikali yamekuwa hadharani na hivyo kuwafanya wananchi wengi kujua namna serikali inavyofanya mambo yake.

Naye mkurugenzi wa Twaweza Aidan Eyakuze amesema jambo muhimu ambalo viongozi wa Afrika wanapaswa kujua ni kwamba wanapaswa kuheshimu utawala wa sheria nakuruhusu uhuru wa mawazo huku akiomba serikali ya Tanzania kuangalia upya sheria yake
ya takwimu na mtandao ili kuweza kutoa fursa kwa watu wengi kutoa mawazo yao.



Chanzo: ITV habari

I Am In love With my Brother..Sina Raha Nikimuona na Mwanamke Mwingine..Natamani Anioe

$
0
0
It is just me and my bro in my family. We grew up together went through the same schools ingawa amenizidi 2 years. Alivyomaliza 0-level akaniacha kwenye hiyo shule.

Akawa anataka kwenda another school A-Level nilihitaji aendelee in the same school but haikuwa hivyo. I developed feelings for him since na sijawahi kumwambia na baada ya mimi kumaliza chuo ndio feeling nae zikazidi.

He is so cute yaani nampenda more than a bro, kuna mda nipo kwenye relationship I don’t even feel it, cha ajabu yeye anafurahia na GF wake na hajui kiasi gani naumia. Sina raha nikimuona na mwanamke mwingine.

Najua hawezi kunioa mimi, lakini kwanini dunia haipo fair? Mbona watoto wa Adam and Eve walioana, hata Isack alimuoa Rebecca ndugu yake, sasa anataka kuoa ndio ananimaliza kabisa.

Jamani naombeni mnishauri kuhusu hili tatizo

Mdogo wa Ali Kiba Abdul Kiba Atoa Nyimbo Mpya Akimshirikisha Rubby..Usikilize Ama Kuudownload Hapa

$
0
0
Mdogo wa Ali Kiba Abdul Kiba Atoa Nyimbo Mpya Akimshirikisha Rubby..Usikilize Ama Kuudownload Hapa >>Rubega.com

Adebayor Family Drama (Part 3)… How His Brothers Held a Knife to His Throat

$
0
0
Tottenham Hotspurs striker Emmanuel Adebayor has released part 3 of his continuing family issues expose.

Writing on Facebook yesterday, Adebayor recounted how his brothers once held a knife to his throat, as they demanded he give them money. At that time he was playing for Monaco.

He also reveals that he has contemplated suicide many times, and it is his sister who often convinces him not to kill himself.

Here’s the full transcript from Facebook.

SEA, if I decide to bring out the Part 3 today, it is because my brother @Kola Adebayor and my other siblings have decided to talk about our family issues on social medias, through letters to my club, radios…I could write an autobiography and sell it but I decided to share with you here.

25 years ago, my big older brother Kola went to Germany and he became the hope of our family. We all thought he could change the way we were living. Years after he left Togo, we still had no electricity and no phones. If he wanted to talk to us, he would call the Atlantic Hotel that was very close to our house. We would then run to the hotel reception and talk to him.

When I got the opportunity to go play football in France for the first time, we needed money to for the flight tickets and other expenses. My brother was nowhere to be found. Only God knows what he was doing in Germany.
When I arrived in France, I did all the paperwork with my team and they allowed me to stay in the academy. A few months later, my brother wanted to come visit me. I was running out of money and I was living at the academy. Therefore, I had to borrow money so I could pay for his hotel. At that time, my teammate Sega N’diaye from Cameroon was kind enough to lend me some money. I also had to borrow some more money because I had to give my brother some money for his trip back to Germany. Keep in mind he is my older brother.

A couple years later, things started to get better. Thank God, I signed a contract with Metz. Since then, my brother would contact me whenever it was time to pay his bills. Sometimes, he would say his son is sick… I had to get used to all this.

Again, I was lucky enough to get an offer from Monaco and I signed for the football club. One day, Kola and the late Peter Adebayor came to visit me in Monaco. My two brothers did not let me know they were coming. Someone said “blood is thicker than water” so I took them in. They arrived early in the morning and I was on my way to training. When I came back home, we had a discussion and they wanted to start a car business. Obviously, it involves a lot of money. I told them that I could help them out as soon as I get paid next. At that time, Thierry Mangwa was staying in my apartment because he was struggling with some personal issues and needed a place to stay. One day, I came back from training and he was crying. He never told me why. My brothers could also not explain. Another day, one of my friends Padjoe came to visit me and as he was leaving the house, I believe I offered him about €500. My brother Kola noticed that and was very upset. He was trying to understand why I gave my friend some money right away but not him. My reason was very simple; the money he (Kola) needed was a huge amount of money that I did not carry in my house. We went on and had an argument about it.

Another day, after training…I was very tired and decided to go take a nap. I woke up and a knife was held to my throat. As I opened my eyes, both of my brothers were there. They were shouting and they claimed that I was wasting their time. Peter was going mad and Kola was supporting. I asked them: “Is this the only way to solve this issue? I yes, then kill me and take the money”. It’s only at that moment that he put the knife down. After all this, I found a way out of my own apartment and I called my parents. My mom suggested that I call the police. That was the only way for me to get back into my house safely… I had training the next day, by the way. So I did what my mom said. Police came and they settled down. Again, “blood is thicker than water”, so I let it go. A few days after, Peter went to visit one of Kola’s friends in Paris. That means I was left in the house with Kola; for my own safety, I found a way to get him the money as soon as I could. Only God knows how much I gave him that day.

A few months after all this, I went back to Togo and I was surprised when my mom started to ask me why I called the police on my brothers, she continued and said I am the bad person in the family. That is another story I will leave for later…

Every time I went back home, everyone kept asking me why my brother never visited after all these years. Immediately, I organized a flight for him and he came back to visit the family, at my own expenses.

On April 22nd 2005, we received some bad news. I received a call and they announced that my father passed away. I was devastated. I called my big brother and told him that we all have to be there. Again I made sure there was a flight ticket ready for him. We all went back home and I took care of everything. A long time before my dad died, he was in the hospital one day and he asked me to make sure his funeral is not a moment of sadness. He wanted us to celebrate his life. I leave it to God to decide if the funeral I organized for my dad was what he wanted. The man who calls himself the “big man” in the family did not contribute to anything. But he still has the boldness to say I do not take care of this family.

In 2006, I had another big opportunity to go play for Arsenal. Since then, my brother has started to come up with series of false accusations against me.

On July 22nd, 2013 sad news hit us in the family. My brother Peter Adebayor passed away. His death was sad and I was affected by it. One thing I find difficult to swallow today is that Kola was accusing me of Peter’s death. He is saying that the shop I opened for Peter was not good enough. He kept texting saying that my career would be destroyed. I did everything for Peter when he was alive, I brought him to Metz, and Monaco with me. What can Kola say that he has done for Peter? Nothing. The man did not even show up at the funeral even after all the money I sent for the trip back home.

He is saying that I also made my mom suffer, but he forgot that when he was in Germany, at some point I was the one always by my mom’s side. As soon as I started to make a living with football, I did everything you could imagine for our mom. That is normal. But my brother is never satisfied. He said I bought a shitty car for my mom. Why can’t he buy a better one? All I want from him is to take his responsibilities. Since I am not doing it right, he should show the example as a big brother. He has been in Germany for more than 20 years, but he never brought our mother there to visit. Even to go back home for a visit is another struggle. All he keeps saying is that my father said I should build a house for each one of them. I don’t think my father said that. Does that even make sense for him or anyone? As a big brother, he is supposed to be doing all that I am doing for the family. He should stop hiding and take his responsibilities. When he came to Europe, he was young enough to become a football player too. Anyways, some people are drivers here but they are able to take care of their families. They even bring their parents and other family members. Why has he not done anything like that but he keeps talking? As a matter fact, he should at least bring Rotimi, Bidemi or his own son Aziz here before talking about “taking care of the family”. Actions are louder than speeches.

A lot of people are saying that I never went to school, but they forget that it is because we could not afford it. I never blamed my parents for that. But thank God, today I am able to speak more than 3 languages and I can send my daughter to school. I am proud of that. People can accuse me for not going to school, but in the end it is all about who you become and what you teach yourself. It is also about what life teaches you and what you learn from it.
Many times I wanted to give up. Ask my sister Iyabo Adebayor how many times I have called and was ready to commit suicide? I kept these stories for years… But If I die, no one would know my story, no one would learn from it… Some people say I should keep these stories private, but someone has to sacrifice himself; someone has to talk about it. I know people would relate to my story and others would learn from it. For every one who knows me, I’d do anything for my country and my people.
Final message from the younger brother to the older brother: Quit Smoking and Quit Drinking. That was my story.

Breaking News: Walemavu wafunga barabara makutano ya Uhuru na Kawawa wakipinga kuvunjiwa vibanda vya biashara

$
0
0
Umati wa Walemavu wamefunga makutano ya barabara katika mataa ya Ilala na kusababisha magari kutokupita...Walemavu hao wanadai vibanda vyao vya kufanyia biashara vimevunjwa na jiji usiku na kuchukua baadhi ya bidhaa zao ...

Madai yao makuu ni kwa serikali kwamba haiwajali, Bora iwaue tu kuliko kuachwa wakiishi kwa tabu huku vibanda vyao vilivyopo sokoni Karume vikibomolewa.

Naripoti toka eneo la tukio.

Here's what Diamond's Lover, ZARI did in Her Room to Tempt Men

$
0
0
Haters may call her all manner of names from a grandmother to a sug@r-mummy but Diamond's lover, Zari Hassan, knows how to tempt men.

Despite her pregnancy, she is still got her game like no one's business. Below is the latest video of the controversial socialite doing it in a room while her husband's massive hit, Nasema Nawe, plays.

SODDOM and GOMMORAH, This Happened At a Club in Mombasa. +18 VIDEO Only

$
0
0
Forget the partying in Nairobi, Mombasa residents have decided to take things to another level. Most clubs in the Coastal City are full of exotic dancers who display their  s3ductive dance moves to s3x hungry tourists and local men  just to earn a living.

Below is a video taken in one of the clubs at the Coast that shows the madness that happens there.

Click play and watch the action.



Wema Sepetu: Hata mimi Ningekuwa Aunty Ezekiel Ningegombana na Wewe

$
0
0
Oscar ndauka
LICHA ya kupatana, habari ya mjini kwa sasa ni ugomvi mkali, wenye visa  vya kushangaza kati ya mastaa wawili wa sinema za Bongo, Wema Sepetu na Aunt Ezekiel.Hii ‘kapo’ siku za karibuni, ilikuwa nzuri kwa maana ya urafiki wao mkubwa.Urafiki wa Wema na Aunt ulianza pale Wema alipoutengua urafiki wake na staa mwingine wa fani hiyo, Kajala Masanja.

Kuna visa lukuki kuhusu chanzo cha ugomvi wa Wema na Kajala, lakini ‘kuchukuliana’ bwana ndiyo kulitajwa sana!
Ikumbukwe kuwa, Kajala naye alirithi kijiti cha urafiki kwa Wema kutoka kwa msanii wa filamu na Mbongo Fleva, Snura Mushi.

TUREJEE KWA AUNT
Katika urafiki ambao ulionekana ungedumu zaidi ni kati ya Wema na Aunt kwa vile, Aunt alionekana kama mkomavu wa mambo ya ukaribu kuliko wengine, Snura na Kajala.Sasa siku za hivi karibuni, Magazeti Pendwa ya Global Publishers (ambayo huwa ya kwanza kufichua mambo ya siri ya mastaa), yaliandika kuhusu uhasama ulioibuka kati ya wawili hao chanzo kikiwa ni mwanamuziki wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond’.

Mpenzi wa sasa wa Diamond, Zarinah Hassan ‘Zari’ aliandaa shoo aliyoiita Zari All White Party iliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mlimani City, Dar.

UGOMVI ULIANZA KWENYE PROMO
Inajulikana kwamba, mtu anapoandaa shoo, kikubwa ni kuipigia ‘debe’ kwa maana ya kwamba, watu wajue kuna shoo kubwa ili waweze kuhudhuria kwa wingi na ndiyo mafanikio ya mwenye kuandaa! Wakati shoo hiyo ikipigiwa debe na vyombo mbalimbali vya habari sambamba na wadhamini, Aunt aliandika ujumbe wa kuisifia, kwamba itakuwa ya nguvu na si ya kukosa, akaitupia kwenye mtandao wake wa Instagram.

AUNT MNAFIKI?
Habari zilimfikia Wema kwamba, Aunt ametupia kwenye ukurasa wake akiisifia shoo ya Zari All White. Hapo ndipo pakawa pabaya kwa Wema akitafsiri kwamba, kitendo hicho kwake ni kibaya kwa sababu Zari yupo na Diamond ambaye yeye alikuwa mpenzi wake zamani, akammwaga! Tena hapa ieleweke sawa, Wema ndiye aliyemmwaga Diamond.

Kumbe Wema anaishi na kinyongo cha Zari kwa sababu amemchukua ‘wa zamani’ wake, Diamond. Kwa hiyo ana bifu! Akitokea mtu akampa 5 Zari, kwa Wema mtu huyo anakuwa adui kama ilivyokuwa kwa Aunt Ezekiel ambaye ameonekana ni mnafiki! Anachekaje na Zari wakati Zari na yeye ni maadui?! (eti).

KWA NINI AUNT ALIFANYA VILE LAKINI?
Aunt alikuwa na kila sababu ya kuifagilia shoo ile kwa sababu moja kubwa sana! Ameshamwanika mpenzi wake wa sasa kwamba anaitwa Moses Iyobo! Huyu dogo ni dansa kwenye kundi la Diamond. Kwa hiyo shoo za Zari ilitegemea sana madansa wa Diamond.

Hivyo, Aunt alitumia nafasi hiyo kuwataka watu wafike kwa wingi, ukumbi ujae kutokana na kiingilio na waonesha shoo, akiwemo Iyobo walipwe vizuri, ili maisha yake na Aunt ambaye kwa sasa ni mjamzito, yaendelee. Sasa Wema alitakaje? Aunt aseme; ‘msiende shoo ya Zari, itakuwa mbaya sana’! Halafu ‘mzee’ (Iyobo) aende kula za uso? Ni akili kweli?

HUU NI UTOTO!
Mimi nauona huu ni utoto uliopitiliza! Katika hilo la Wema kumwona Aunt ni msaliti au mnafiki, hata mimi kama ningekuwa Aunt ningegombana na Wema na wala moyoni nisingeona nimepoteza chochote!

AUNT NA IYOBO
Naamini Aunt na Iyobo bado wapo sana kimaisha kuliko Aunt na Wema. Mbaya zaidi ukizingatia Wema mwenyewe kila rafiki anayempata anampoteza kwa uadui! Maana yake nini sasa!

Mimi namshauri (Wema) akae chini na kutafakari kwa mapana mwenyewe, na si kwa kushauriwa na akina Petit Man au Martin Kadinda, ajiulize ni kwa nini yeye! Na si kujiuliza ni kwa nini marafiki zake wengi humaliza nao vibaya!
Anaweza kuamini ana nuksi kumbe si nuksi bali ni maisha ya ubinafsi! Cha kwake anataka akiendeshe yeye na cha wenzake pia anataka akiendeshe yeye, hayo si maisha Wema bwana! Chenji!

Source:Global Publishers

Dude, Mtitu Nitakufa kwa Mipango ya Mungu Lakini si Kwa Kutaka Ninyi-Steve Nyerere

$
0
0
Naomba kumshukulu mungu kwa kila jambo yehova wewe ndio kimbilio langu. Pili kwa masikitiko makubwa nasema watashindana ila awata shinda .niongee kidogo kwa kifupi mara kwa mara nimekuwa nazalilishwa na najiuliza tatizo nini nagundua nyota .

Maishani kila binadamu mungu kampa fulsa yake so ukubali ukatae ndio hivo. Nilipigiwa simu na Mrs Adam kuambiana yani mke wa marehemu kama rafiki ndugu na msanii mwenzake kuwa anajenga kaburi la marehemu Kuambiana.

Nikajiuliza, kwa nini ajenge yeye sisi tupo wapi tuliokuwa nae karibu tunacheka nae tunakunywa nae nikamuomba mke wa marehemu Adam tuchangie kama wasanii wenzie  akakubali baada ya apo nilibeba jukumu hilo . Nikampigia JB, JB akasema anachangia laki tatu.

Nikampigia Mh makonda akachangia laki saba jumla tukapata milioni moja na kumkabizi mke wa kuambiana. So mpaka siku ya misa mke wa marehemu Adam alinishukuru kwa msaaada huo tatizo kwangu lipo wapi.

Akatokea Dude na kusambaza Dude na wenzako mnazijua naomba kukwambia na kuwambia  watanzania wenzangu. Kuna kundi la watu 5 tena wasaniii wanatamani Steve Mengere afe leo wanaangaika uku na kule Dude nitakufa kwa mapenzi ya mungu Mtitu nitakufa kwa mapenzi ya Mungu . Mnatoa hela kwa waandishi wanichafue kwenye mtandao hahahaha.

Kauli yangu wabaya watu wazuri watu simba awezi toka serengeti akaja mjini kukualibia. Mti wenye matunda ndio unaopigwa mawe .

Wasaniii hamuwezi kuwa wamoja ata siku mmoja kwa roho mbaya mlio nayo bora kumfadhili mbwa msanii tena wa move ana shukulani ata kidogo . Ipo siku umuimu wangu mtaujua tuuuu.Mungu ni mwema kwa kila jambo .
NITAANDIKA KITU BADAE

By: Steve Nyerere on Istagram

Mtitu Amjibu Steve Nyerere "Ukifa Mimi Napata Faida Gani ? Kanumba Amekufa Akiwa na Bifu na wewe Chanzo ni Hayo Maneno yako"

$
0
0
Mtitu ameandika haya mara baada ya kuona alichokiandika Steve Nyerere

"Da ! Naomba ndugu zangu
mnisamehe kwa kuandika hili humu instagram ...maana lilitakiwa liongelewe nje ya hapa ...
kiukweli steve NIMESHTUKA SANA baada ya kuona post yako tena umenihuzunisha sana kwa kunitaja kwa jina katika ugomvi wako na dude nimejaribu kukupigia cm sana aupokei cm zangu aukupokea na
Umesema.

kuwa natamani ufe...hv tujiulize kwa nini nitamani ufe ndugu yangu ?? So ukifa mimi napata faida gani ? Kwani mimi nna ugomvi gani na wewe?? kwanza tunafanya vitu tofauti na mimi producer na msambazaji wewe mchekeshaji kwa nini nigombane na wewe ?? kwani nn steve utaki kujifunza mdogo wangu maneno haya haya yamesababisha Kanumba amekufa huku akiwa awaongei na Ray wakati walikuwa marafiki kwa zaidi ya miaka kumi na Kanumba amekufa huku ukiwa na bifu kubwa sana na wewe nae wewe hadi anakufa mlikuwa amuongei chanzo ni haya haya maneno yako ...

Kuwa na amani steve wewe ni mhehe kama mimi kwetu kumoja miongoni na mwa watu ambao sitawasahau katika maisha yangu wewe ni mmoja wa wao, umenisaidia vitu vingi sana nakushukulu mangere ..na pamoja uliapa ukiwa na matatizo nisije mimi ntakuja tu labda unifukuze wewe kama unahisi mimi mbaya wako umekosea mimi sina ubaya na wewe kabisa na sioni sehemu pa kutugombanisha maana atuna tunapokutana"Mtitu

Happiness Magese aielezea tuzo ya BET, ‘This is too much for me’

$
0
0
Happiness Millen Magese ameipokea kwa mshtuko mkubwa heshima aliyopewa na kituo cha BET kilichomtunuku tuzo ya ‘BET Global Good Award.


Tuzo hiyo ni ya kwanza kutolewa kwenye BET Awards na ataipokea rasmi kwenye kilele chake June 30 nchini Marekani.

This is all you God,” ameandika Millen kwenye Instagram.

Mungu Wangu! Am not sure what to say to BET so please excuse my moment. This too Much for me . Asante sana.”

BET wamepost picha ya Millen na kuandika:

We would like to take this opportunity to give a huge CONGRATS! to the recipient of the 1st ever “BET Global Good Award”, @ladivamillen!! We honor you for your many Humanitarian efforts including your recent work in Africa for Endometriosis awareness. Global Good is a BET International initiative highlighting the humanitarian efforts of global personalities and celebrities in communities around the world. “One heart-One love” #BETAwards #2015 #MillenMagese #GlobalGood.”

Story ya wanawake wa Rombo kukodi wanaume Kenya kuwaridhisha kimapenzi yatinga bungeni, wanaume wataka waombwe radhi

$
0
0
Habari iliyoandikwa kwenye gazeti la Mwananchi juzi yenye kichwa cha habari ‘Wanawake wa Rombo wakodi wanaume kutoka Kenya’ imeibukia bungeni leo.

Habari hiyo iliandikwa kutokana na kauli aliyoitoa mkuu wa wilaya ya Rombo, Lembris Kipuyo, aliyedai kuwa kutokana na wanaume wa wilaya hiyo kuwa walevi wa kutupa, wake zao wamekuwa wakikodi wanaume kutoka Kenya ili kuwaridhisha kimapenzi.

Tatizo la ulevi wilayani Rombo na matumizi ya pombe zisizokuwa na viwango ni kubwa sana na linahitaji nguvu kulikabili,” alisema mkuu huyo wa wilaya. “Imefikia wakati wanaume wengi wanashindwa kumudu kufanya tendo la ndoa na kuwalazimu kukodi wanaume kutoka nchi jirani ya Kenya kwaajili ya tendo hilo.”

Akiuliza swali kwa Waziri Mkuu, Mizengo Pinda, mbunge wa Rombo, Joseph Selasini (CHADEMA), amesema habari hiyo imesababisha madhara makubwa katika jimbo lake.

Selesani amesema habari hiyo imewadhalilisha wanaume wa Rombo na wanaiomba serikali iwaombe radhi kwa kilichoandikwa.

Amesema kutokana na habari hiyo wanaume wengi wameanza kuwatilia mashaka wake zao kuwa huenda ‘wamekuwa wakichepuka’ na wakenya na hivyo kusababisha maelewano hafifu ndani ya ndoa.

Akijibu swali hilo, mheshimiwa Pinda alisema binafsi hajaisikia taarifa hiyo kwahiyo hatoweza kuomba radhi hadi pale atakapolifuatilia.
Viewing all 104684 articles
Browse latest View live


Latest Images