Quantcast
Channel: UDAKU SPECIAL
Viewing all 104709 articles
Browse latest View live

DR LWAITAMA ASHUSHWA KWENYE NDEGE YA PRECISION AIR ALIPOHOJI KWANINI ASIPEWE MAELEKEZO KWA LUGHA YA KISWAHILI

$
0
0
Ifuatayo ni nukuu ya taarifa aliyoiandika Ndimara Tegambwage jana Jumapili, Januari 26, 2013...
Dk. Lwaitama atolewa kwenye ndege, akamatwa na polisi Mwanza

Niliongea na Dk. Azaveli Lwaitama akiwa Mwanza baada ya kuandika maelezo yake kwenye kituo cha polisi cha uwanja wa ndege Mwanza na kuachiwa kwa kilichoitwa "dhamana ya polisi." Anatakiwa kuripoti polisi uwanjani hapo kesho asubuhi kuona iwapo polisi wameamua kumfikisha mahakamani. Nasimulia alivyonisimulia.

Dk. Lwaitama alitoka Dar es Salaam leo asubuhi. Akatua Mwanza. Alikuwa anakwenda Bukoba. Alipanda ndege ya kampuni ileile iliyomtoa Dar es Salaam leo hii - PrecisionAir. Hii ya kwenda Bukoba ilikuwa Na. PW 0492. Alikwenda hadi kwenye kiti chake Na. 2B. Hapa ndipo kuna milango ya dharura kwa pande zote mbili za ndege - kulia na kushoto.

Ndipo akaja mfanyakazi wa ndege. Akamuuliza iwapo anajua Kiingereza. Baada ya mzaha wa kawaida katika kuuliza iwapo 
ni lazima kujua Kiingereza, ndipo mfanyakazi akamwambia kuwa kama hajui lugha hiyo basi ahame kiti na kukaa kwingine kwani kuna maelezo rasmi ambayo yanatolewa kwa "lugha ya anga" - Aviation Language.

Ilikuwa katika kujibizana kwa nini lugha ya anga isiwe lugha ambayo abiria wengi wanaelewa - huku Dk. Lwaitama akisema katika ndege nyingi alizosafiri kote duniani alikokwenda, lugha za anga huwa zile za wasafiri wengi wa eneo husika na lugha nyingine za kimataifa; huku akishauri kuwa maelezo yangekuwa kwa Kiswahili na Kiingereza - ndipo mhudumu alikimbilia mwenzake ambaye naye hakutaka kumsikiliza Lwaitama na wote wawili wakakimbilia kwa chumba cha rubani kushitaki kuwa kuna mtu "anafanya fujo." Tayari Dk. Lwaitama akawa abiria "hatari."

Rubani hakutaka kusikiliza abiria wake anasema nini; hakumuuliza hata mwenzake waliokaa pamoja juu ya fujo alizoripotiwa; alimwambia hawezi kusafiri. Akaita polisi ambao pia hawakuuliza lolote juu ya fujo zake bali walifanya kazi moja ya kumtoa nje mkukuku.

Ni rafiki yake aliyemwita Diallo na mwanaharakati Sungusia ambao anasema aliwapigia simu wampelekee mawakili ili aweze kuandika maelezo yake mbele yao. Mawakili walifika na yeye kuadika maelezo. Mizigo yake imepelekwa Bukoba. Yeye amebaki Mwanza na kompyuta yake ndogo ya mkononi.

Dk. Lwaitama anasema, "Sina mgogoro na kampuni ya PrescisionAir, bali wahudumu ambao hawataki hata kupata maoni ya abiria. Kwanza, walipata bahati ya kuona mtu anahiari maoni moja kwa moja. Pili, kama wanafanya kazi kwenye ndege watakuwa wamesafiri katika ndege za wengine ambako niliyokuwa nayasema ni maneno na vitendo vya kawaida. Sasa fujo ni nini katika hili?

Mwalimu huyo mstaafu wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam anasema, "Hata polisi ni wa kushangaza. Mtu anakwambia huyu kafanya fujo, wewe huulizi ni fujo gani. Unambeba tu mzegamzege. Sidhani kama huu nao ni utendaji bora katika nchi iliyohuru; ambako polisi wanapaswa kuwa na utulivu wa akili na kufanya kazi kwa kufikiri kuliko kwa kuambiwa tu."

Dk. Lwaitana anaamkia kituo cha polisi uwanja wa ndege kesho asubuhi kuambiwa "uamuzi wa polisi."

Haikufahamika iwapo mhudumu wa ndege mswahili, aliyekuwa anaongea Kiswahili, hakuwa na tafsiri ya maneno ya Kiingereza ambayo alitaka kumwambia abiria wake.

FREEMASON WALITIKISA KANISA LA MZEE WA UPAKO

$
0
0
Stori: Jelard Lucas
ULE uvumi kwamba baadhi ya wachungaji na maaskofu wa makanisa ya kiroho  nchini wanajihusisha na imani ya Freemason unazidi kushika kasi huku awamu hii ‘rungu’ likimwangukia Mchungaji wa Kanisa la Maombezi (GRC) la Ubungo jijini Dar, Lusekelo Antony ‘Mzee wa Upako’ na kutikisika, Uwazi lina cha kusema.

MINONG’ONO ILIVYOANZA
Madai ya mtumishi huyo kujihusisha na imani ya Freemason yalianza kuenea kwa kasi mithili ya moto nyikani huku baadhi ya watu, wakiwemo watumishi wa makanisa ya Kikristo, wakionesha shaka juu ya uponyaji wa mtumishi huyo kufuatia miujiza ya ajabu ambayo amekuwa akiionesha kwa watu wenye uhitaji wa kiimani.

MATENDO YA SHAKA
Baadhi ya matendo ambayo yamekuwa yakiwatia shaka baadhi ya watu ni pamoja na kitendo cha mchungaji huyo kuwaombea watu wakiwa hawana kitu kabisa lakini baada ya miezi michache hurudi kanisani hapo wakiwa na magari ya kifahari na wakionesha kila dalili ya ukwasi (utajiri).
“Eti unakuta mtu amekwenda kuombewa akiwa hana kitu kabisa (fukara) lakini bada ya miezi michache anarudi akiwa na gari la kifahari, kweli?

“Tena anaonesha kila dalili ya ukwasi, huenda ni kweli kuna nguvu za ziada zaidi ya ile ya kiroho,” walisema baadhi ya waumini wa makanisa mbalimbali ya Kikristo walipozungumza na gazeti hili hivi karibuni.

ALAMA NA VIASHIRIA  TATA
Wakifafanua kwa kina zaidi juu ya wasiwasi wao kwa Mzee wa Upako na miujiza yake, waumini hao walitolea mfano wa baadhi ya dalili na viashiria tata vinavyoshukiwa kuwa ni moja ya utambulisho wa Taasisi ya Freemason.

Wakitaja baadhi ya alama hizo, waumini hao walisema mara nyingi mtumishi huyo akiwa madhabahuni amekuwa akitumia kitambaa kikubwa.
“Kila akiwa  jukwaani au madhabahuni hutumia kitambaa kikubwa kujifutia na kuwagusia anaowaombea hali ambayo huwafanya kuanguka na kupiga kelele hovyo,” walisema.

Mbali na kitambaa, pia walisema Mzee wa Upako amekuwa akionekana na pete zenye picha za ajabu akiwa anahubiri au kutenda miujiza.

MADAI ZAIDI
Baadhi ya waumini hao walisema viashiria vingine ni kitendo cha mchungaji huyo kutotaja neno Mbinguni katika mahubiri yake zaidi ya kusema, ‘Mungu wangu awabariki sana’.

“Mapete yake yana  mapicha ya ajabu sana, yale maalama ya Freemason yapo, pia huwa hawezi kusema Mungu wa Mbinguni, badala yake husema ‘Mungu wangu awatangulie’ au ‘kwa uwezo wa Mungu ninaye mwabudu’ jambo ambalo hututia shaka sana,” walisema Wakristo hao.

WAUMINI WAMBANA
Katika kufuatilia kwa kina sakata hilo, habari zikadai kuwa baada ya mambo kupamba moto waumini wa kanisa lake walianza kumbana mtumishi wao huyo kuhusu uvumi huo huku baadhi yao wakianza kutimkia kwingine.

“Ni kweli zahama hiyo iliwahi kutokea, lakini mambo yalikaa sawa baada ya baba (Lusekelo) kutufafanulia zaidi juu ya madai hayo,” alisema mmoja wa waumini wa kanisa hilo kwa sharti la kutotajwa jina lake gazetini.

LUSEKELO KIZIMBANI
Baada ya ‘viranja’ wetu kupata taarifa hizo nzito, hivi karibuni  waliamua ‘kukanyaga  lami’ hadi kanisani kwa mchungaji huyo, Ubungo -Kibangu  ambapo licha ya kukumbana na vikwazo mbalimbali walibahatika kukutana naye na kumbana kwa maswali juu ya tuhuma hizo ambapo kwa ‘jasho jembamba’ aliweza kueleza kwa kina:

“Hizo tuhuma zilianza kusikika zamani sana, watu walianza kunituhumu kwenye matumizi ya bendera ya taifa kanisani, nikatoa, wakahamia kwenye kitambaa.
“Jamani natumia muda mwingi sana kusimama madhabahuni. Sasa nikitumia kitambaa (hendkachifu) cha shilingi mia tano itawezekana kweli, natumia kitaulo kidogo kujifutia jasho, sasa inaonekana nongwa.

“Baadaye wakahamia kwenye pete! Mimi ni mtu smart sana (msafi) nimezaliwa mjini (born town) sasa kuvaa pete ni sehemu ya maisha ya mjini sioni tabu, lakini baada ya manenomaneno nilivua na sasa sina,” alisema Mzee wa Upako.

KUHUSU WAUMINI KUTIMKA
“Ni kweli, baadhi waliniuliza nikawajibu, wengine wakaamua kutimka. Unajua mimi nimeanza kumtumikia Mungu kwa miaka thelathini sasa, muumini kuhama kanisa na kwenda kwingine sishangai.
“Lakini wajue kwamba hapa kwangu ni moto mkubwa, super charge, cartapillar, siteteleki, nitazidi kuwaombea na kuwaponya wenye taabu na magonjwa,” aliongeza.

KUHUSU FREEMASON?
“Sijawahi kufikiria hata siku moja kuwa Freemason, kwanza sifahamu hata wanavyopatikana, nimeanza kumtumikia Mungu nikiwa kijana mdogo, mimi si muumini wa dini wala imani yoyote ya kishetani.

“Shetani mwenyewe ananiogopa, sasa hao wanaosema kuwa huwa sisemi Mungu wa Mbinguni, nashangaa, ni lazima kuweka neno Mbinguni? Jamani hao Freemason siwajui, wala siwazuii watu kuniita hivyo, naendelea kulihuburi Neno la Mungu aliye hai,” alisema Lusekelo na kufunga ‘faili’ la mazungumzo na waandishi wetu.
GPL

GADDAFI ALIKUWA NA CHUMBA MAALUM CHA WAFUNGWA WA NGONO

$
0
0
Kanali Gaddafi alikuwa na vyumba maalum kwa wafungwa wa ngono kwenye majumba yake

.Mamia ya vijana wasichana kwa wavulana walikuwa watumwa wa ngono kwake

.Dikteta huyo alitembelea shule na kuchagua vigoli ‘bikira’ wa kufanya nao ngono

.Aliuawa mwezi Oktoba 2011 baada ya miaka 42 ya udikteta

Na Damas Makangale, MOblog Kwa Msaada wa Mtandao

IMETIMIA zaidi ya miaka miwili tangu kukamatwa na baadaye kifo cha Muammar Gaddafi, dikteta wa Libya ambaye utawala wake wa miongo kadhaa ulikabiliwa na umasikini mkubwa vitisho, mauaji ya kikatili kwa raia wasio na hatia na ugaidi.

Wakati kiongozi huyo wa zamani anatolewa nje baada ya kuanguka kwenye mtaro wa maji machafu baada ya kupigwa risasi kati kati Oktoba 2011, kifo chake na damu yake kilimaliza vita ya NATO ya wenyewe kwa wenyewe na alikuwa amevuruga nchi tangu mwanzo wa mwaka huo.

Maisha yake ya kikatili yamekuwa kama sehemu ya Walibya wengi na pole pole baadhi ya watu kutoka kwenye kabila lake wana visasi na wanaendelea kufanya mashambulizi ya kushtukiza mara kwa mara kwenye baadhi ya maeneo ya nchi hiyo.
Udhalilishaji: Hii ni kifaa kikamilifu maalum kama aina ya kitanda chenye uwezo wa kuangalia magonjwa ya zinaa kwa wasichana wadogo kabla ya kupelekwa kwa Dikteta Gaddafi kwa sughuli ya ngono.

Lakini sasa kwa upande mwingine baadhi ya wasichana na wavulana waliofanyiwa unyama na unyanyasi wa kijinsia wana uchungu na waliofanyiwa ndani ya miaka 42 ya utawala wake kwa sababu walipigwa, kubakwa na kulazimishwa kuwa watumwa wa ngono kwa kwake.

Taarifa zinasema wengi walikuwa na wasichana waliotekwa nyara kutoka shule za sekondari na vyuo vikuu kama Chuo Kikuu cha Tripoli na walikuwa wanapokea maagizo kutoka kwa wasaidizi wa karibu wa Kanali Gaddafi kuwapeleka katika moja ya vyumba maalumu vya ngono.

Wengi wa wasichana waliobakwa na Kanali Gaddafi walikuwa na mabikira na wanafunzi wa vyuo vikuu walipimwa kwanza magonjwa ya zinaa (STD) na kisha kupelekwa katika moja ya vyumba maalum kwa kazi ya ngono.

Katika kipindi cha miezi 26 tangu aondolewe madarakani, sehemu za ngono au mapango ya Gaddafi ambayo yeye mara kwa mara kubaka wasichana wadogo wenye umri wa miaka 14 ilibakia imefungwa. Lakini leo mambo ya ndani ya sehemu za ngono za dikteta huyo katili inaweza kuonekana kwa mara ya kwanza katika picha za mtandao wa BBC4 documentary.

MAGIGE AONJA MACHUNGU YA MAADUI WA ZITTO

$
0
0
KUNDI la watu ambao inadaiwa kwamba wamekula yamini ya kumchafua Mbunge wa Kigoma Kaskazini (Chadema), Zitto Kabwe kwa namna yoyote ile, wamemuonjesha machungu Mbunge wa Viti Maalum (CCM) Mkoa wa Arusha, Catherine Magige.

Zitto, baada ya msululu wa tuhuma ambazo nyingi zilibainika kupikwa makusudi ili kuichafua taswira yake mbele ya jamii, sasa hivi anahusishwa kutoka kimapenzi na Magige, ikidaiwa kuwa walisafiri pamoja kwenda Dubai kwa ajili ya kufanya mambo yasiyofaa.

Hata hivyo, uchunguzi uliofanywa na gazeti hili umebaini kuwa tuhuma hiyo ya Zitto na Magige ni nyingine kati ya zile zilizopikwa, kwani ukweli wake ni wa kufikirika.

Imebainika kuwa safari ya Dubai ambayo inasemwa kuwa Zitto na Magige walisafiri, inapotoshwa kwa sababu ukweli ni kwamba wabunge hao walisafiri pamoja na timu nzima ya Kamati ya Hesabu za Serikali Bungeni (PAC) kwa shughuli za kikazi na hakukuwa na suala la mapenzi kati yao.

Mbunge wa Ludewa (CCM), Deo Filikunjombe, aliye makamu mwenyekiti wa PAC, akiizungumzia skendo hiyo ya Zitto na Magige alisema: “Nimeona ujumbe ambao unasambazwa kuhusu Zitto na Catherine (Magige), ni uongo mkubwa, hakuna kitu kama hicho.

“Nimeona wanazungumzia zaidi tiketi, ni kweli tulisafiri kamati nzima kwenda Dubai. Wajumbe wote wa PAC tulikwenda Dubai baadaye Uingereza. Zitto ndiye hakwenda Uingereza, yeye aliishia Dubai na kurudi nchini.

“Katika hili namsikitikia zaidi Magige kwa sababu anaingizwa kwenye vita ambayo haijui, siyo mzoefu wa kashfa hizi za kuzushiwa, Zitto angalau naweza kusema amezoea. Nitasimama kokote kumtetea Catherine na hata Zitto. Hili limeandaliwa makusudi kumchafua Zitto na hii ni vita ndani ya Chadema wao kwa wao.”

Mjumbe wa PAC, Esther Matiko, ambaye ni Mbunge wa Viti Maalum (Chadema) Mkoa wa Mara, alisema: “Hilo suala ni la uongo kabisa, walioanzisha hiyo tuhuma  pengine wanataka kumchafua Catherine. Tulifikia hoteli moja na chumba changu na kile cha Catherine, vilikuwa karibukaribu, hakuna kitu kama hicho kinachosemwa.

“ Catherine alisafiri na mwanaye wa kike anayesoma kidato cha kwanza, na alikuwa akilala naye chumba kimoja, sasa hayo mambo yangewezekanaje? Hizi ni siasa tu. Kwanza Catherine hii siyo safari yake ya kwanza, kila tunaposafiri kwenda nje, huwa analala chumba kimoja na dada Lucy (Owenya, Mbunge wa Viti Maalum Chadema).

“Kitendo cha kupendelea kulala chumba kimoja na dada Lucy maana yake hapendi hayo mambo, tena ni kuonesha anaogopa manenomaneno kama haya. Safari zote huwa analala na dada Lucy, kasoro hiyo tu ndiyo alilala na mwanaye wa kike. Zaidi ya hayo, namsemea Zitto, yeye ni mwenyekiti wetu, amekuwa akitaka tuwe na maadili ndiyo maana hajawahi kuwa na uhusiano na mjumbe yeyote.”

Zitto hakupatikana kuzungumzia tuhuma hiyo lakini Catherine alipopatikana alisema kuwa hana maneno kwa sababu anajua kinachosemwa ni uongo, akaongeza: “Wanatishia wana video, waiweke wazi kama ni kweli. Hizi siasa za kuchafuana kwa vitu vya uongo hazifai hata kidogo, haziisaidii nchi.”
GPL

BAADHI YA WADAU WAPONDA DIAMOND PLUTNUM KUONEKANA NA MAMA YAKE KILA MAHALI ANAKOKWENDA

$
0
0
Nasibu Abdul  Almaarufu kama  Diamond Plutnum ni kati ya wasanii hapa nchini ambao wamekuwa wakionyesha upendo wao wa dhati kwa mama yake  mzazi   kiasi cha kuamua kuwa naye katika maeneo mengi hata anapopata nafasi ya  kupiga show  ndani  na nje ya nchi  kitu ambacho kimeonekana  kukera baadhi ya mashabiki zake na kuhoji kuhusiana na hilo .

 Alisikika  mdau mmoja ambaye ni shabiki mkubwa sana wa msanii huyo diamond plutnum akihoji juu ya hali hiyo  nakuonekana kukereka .

“unajua wasanii wengi sana wana mama zao na kila mmoja anampenda sana mama yake mzazi kwa namna moja ama nyingine lakini kwa upande wangu mimi nahisi kama nakwazika kwa hili la Diamond , maana kila mahali anaenda na mama yake hata katika shows anazoenda kupiga za usiku  yupo na mama yake, sasa ndo kumpenda sana au ???” alihoji  shabiki huyo

mbali na huyo yupo pia mwingine aliyejitambulisha kwa jina la  Subira  Chacha  wakati akizungumza na blog hii , ambaye yupo katika manispaa ya musoma  naye alisema kitu kinachoboa zaidi ni tabia ya msanii huyo kuambatana na mama yake mzazi kila mahali.

“Diamond Plutnum ni msanii mzuri sana  maana mi mwenyewe ni shabiki wake ila ananiboa kitu kimoja tu ,tabia ya kuambatana na mama yake mzazi kila mahali, duh, inaniboa kiukweli hata kama ni upendo huo wake umepitiliza.”alisema 

Naye Blogger  Wa Blog Ya Jicho La Mdadisi na ambaye pia ni mtangazaji  wa Kituo Cha Radio Victoria  Fm 90.6 Kilichopo Musoma Mara  ,Bwana Ahmad Nandonde  katika hilo yeye alisema haina tatizo isipokuwa sio utamaduni ambao umezoeleka sana kwa hapa nyumbani ndio maana wengi wanaboreka.

“sijaona kama ni tatizo kwa  msanii huyu kuambatana na mama yake mzazi kila mahali ,lakini pia  inabidi yeye mwenyewe awe anaangalia kama ni sahihi kwa upande wake au la , na pia unajua hili wengi linawaboa lakini ni kwaajili tu haijazoeleka kwa hapa kwetu msanii kuambatana  hivyo na mama yake mzazi kila mahali na hasa katika shows zake.”alisema  Ahmadi

Diamond Plutnum  alipotafutwa kuhusianaa na hili hakuweza kupatikana  kwasababu ambazo zilielezwa kuwa ndio alikuwa anarudi hapa nchini leo hii baada ya kupiga show yake huko nchini Kenya .

ALIYE KUWA MEYA WA BUKOBA AAMUA KUANIKA UFISADI MKUBWA

$
0
0
HATIMAYE Meya wa Bukoba, Dk. Anatory Amani (CCM), ameamua kufunguka na kuweka wazi ufisadi unaofanyika ndani ya Halmashauri ya Bukoba. Mbali ya ufisadi huo, ameainisha udhaifu na upendeleo wa Mdhibiti na Mkaguzi wa Hesabu za Serikali (CAG), alioufanya wakati wa ukaguzi ndani ya halmashauri hiyo kwa lengo la kumuondoa katika nafasi yake ya umeya. (HM) 

Kwa mujibu wa gazeti la Mtanzania Dk. Amani alisema ameamua kuweka wazi mambo yaliyopo Bukoba jamii ifahamu kinachoendelea na kuchukua hatua.
Alisema kikao kilichofanyika Januari 17, mwaka huu kwa ajili ya ukamilishaji wa ukaguzi maalumu wa CAG katika Ofisi ya mkuu wa mkoa, ndicho kilichokuwa na ajenda ya kumchafua na kumng'oa nafasi ya umeya.
Alisema alishangazwa na taarifa nzima iliyosomwa na CAG, ikimlenga na kumdhalilisha huku ikikwepa kuwachukulia hatua watu wengine walioonekana kuhusika na ufisadi, ubadhirifu na udanganyifu na badala yake kumkaba koo yeye.
Aliainisha ufisadi uliogundulika katika ukaguzi wa CAG na kuonyesha udhaifu mkubwa wa kutochukua hatua dhidi ya wahusika.
Alisema kuna ufisadi uligundulika katika ukaguzi wa CAG wa Naibu Meya wa Bukoba, Alexander Ngalinda, kusaini mkataba wa mradi wa viwanja 5,000 kati ya Halmashauri hiyo na UTT bila ridhaa ya baraza la madiwani.
"Ni kosa kubwa mtu kusaini mradi mkubwa wa aina hiyo bila baraza la madiwani kuridhia au kujulishwa, lakini CAG hakusema ni hatua gani zichukuliwe juu ya ufisadi huo, pia kuna viwanja vingine 800 ambavyo wananchi walichangishwa fedha na halmashauri na kupatikana shilingi milioni 45.
"Katika ugawaji wananchi waliopata ni 313 na 487 hawakupewa licha ya kuchanga, sasa katika ukaguzi wa CAG haikuonekana fedha hizo zilivyotumika na hakukuwapo na nyaraka yoyote ya fedha hizo.
"Pia haikujulikana viwanja hivyo vililipiwa mwaka gani hilo ni kosa, ambapo hakupendekeza hatua zichukuliwe kwa aliyekuwa Mwenyekiti wa Halmashauri hiyo kabla haijawa Manispaa, Samweli Luangisha," alisema Dk. Amani.
Alizidi kuanisha ufisadi ulipo na kusema taarifa ya CAG ilibaini kuwapo na gari yenye namba za Serikali za Mitaa (SM) aina ya min bus, ambayo imeegeshwa kwa muda mrefu katika jengo la Kasibante FM radio, inayomilikiwa na Mbunge wa Bukoba Mjini (CCM), Balozi Hamis Kagasheki.
Alisema ilipohojiwa gari hilo ni mali ya nani Mkurugenzi wa manispaa hiyo alikana si mali yao, lakini nyaraka za Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) zinaonyesha ni mali ya manispaa hiyo.
Alisema kwa mujibu wa taarifa za CAG, baada ya kumhoji, Kagasheki alikiri kuwa gari hilo alilinunua kwa fedha zake lakini hajalibadilisha namba za usajili.
Alisema anashangazwa na kitendo cha CAG kwa kupendelea na kutochukua hatua ya kumtaka, Kagasheki kutoa uthibitisho kama kweli alilinunua kwa ajili ya kujiridhisha na kuongeza kumekuwapo na watu kujimilikisha mali za umma.
Alisema ufisadi mwingine uliobainika katika halmashauri hiyo, ni baadhi ya madiwani kuchukua posho za safari ya kwenda ziara ya mafunzo mkoani Morogoro katika Shirika la Mizinga, lakini baadhi yao hawakwenda.
Alisema ilibainika madiwani wawili kati ya 19 hawakwenda ziara hiyo na mmoja wao ambaye ni Murungi Kichwabuta alichukua posho ya Sh 480,000 lakini hakwenda ambapo CAG hakupendekeza hatua zozote.
Alisema katika ukaguzi wa CAG, ulibaini kuwapo na uteuzi batili wa mjumbe wa bodi ya Mamlaka ya Majisafi na Majitaka Bukoba (BUWASA), uliofanywa na Waziri wa Maji, Profesa Jumanne Maghembe kwa kumteua Kichwabuta.
Alisema CAG alibainisha uteuzi wa mjumbe huyo ulivunja sheria na hautambuliki, lakini hakupendekeza ni hatua gani zichukuliwe.
Alisema akiwa kama meya walipendekeza vibanda vitozwe Sh 30,000 na kodi ya pango iwe Sh 15,000 lakini baadhi ya madiwani waligundulika kuwa madalali na kupangisha kwa Sh 45,000 hadi 90,000 lakini CAG hakuainisha hatua za kuchukuliwa.
Kuhusu tuhuma zake, alisema tuhuma anazotuhumiwa na kulazimishwa kujiuzulu kwa mujibu wa taarifa za CAG ni kupewa kituo cha kuoshea magari ambacho bodi ya zabuni ilishindanishwa na kampuni nyingine na kuonekana kutokuwapo na uhalali, huku akionekana kusaini mkataba huo.
Alisema anatuhumiwa kusaini mkataba wa UTT na nyongeza ya tathmini ya awali ya viwanja 5,000 ambavyo kwa mujibu wa CAG alidai kuwa tathimini hiyo haikuwa ya kisayansi kwa kuwa watendaji walialikwa ofisini na kukadiria fidia ya Sh bilioni 1.3.
"Tamko lililotolewa na Naibu Waziri wa Tamisemi, Agrey Mwanri ya madiwani na waandishi wa habari lililenga kunidhalilisha, tamko hilo lilitokana na amri ya baraza la madiwani kupiga kura ya kutokuwa na imani na mimi.
"Nasema hadi sasa mimi ni diwani kwa mujibu wa sheria, si kwamba nang'ang'ania umeya, la hasha bali napenda kutunza heshima yangu kama raia wa nchi hii, ninazo haki za kikatiba.
"Kama wanataka nijiuzulu kwa tuhuma zinazoelekezwa kwangu, twendeni katika vyombo vya sheria na ikibainika ndio nijiuzulu na kuchukuliwa hatua, lakini kwanza CAG atoe mapendekezo ya wale waliokutwa na makosa katika ripoti yake ya ukaguzi," alisema Dk. Amani. 
Chanzo: mtanzania

MAMA AWAFUNGIA WATOTO KWENYE GARI, WAFA KWA JOTO HUKU YEYE AKIFANYA MAPENZI NA BOY WAKE KWENYE GARI INGINE

$
0
0
The mother of the two boys who died of hyperthermia has been arrested. Authorities say they found out she was having sex with her boyfriend while the kids were left alone for two hours with the heat on in the car. (The boys and their father pictured above) The story below...
A mother whose children died after she locked them in the car with a heater running, while she had sex in another vehicle, is on trial for homicide.
Prosecutors say Heather Jensen, 25, carried out a "death sentence" against her two young sons when she locked then in the hot car, Fox 31 Denver reports.
The charges against Ms Jensen include criminally negligent homicide, child abuse resulting in death and false reporting. Continue...

"Ms Jensen created the situation that caused her children to die," prosecutor Danielle Lewis said in opening statements.

Her defence says her actions should be assessed with regard to her low IQ, her youth and the fact her husband died six weeks earlier in a car accident.

"It was a tragedy, but it was an accident. It was not a crime," said public defender Elsa Archambault.
Ms Jensen sobbed loudly as her trial opened last week in Mesa County District Court, Colorado.

Ms Jensen’s sons, William, 2, and 4-year-old Tyler, died on November 27, 2012. She told her new live-in boyfriend she was taking the boys to play in the snow and drove them to a snow park, where she met up with a male friend to have sex in the car park.

At first, she left the two boys in the car with the heat on and the doors unlocked.

After about 30 minutes, Tyler opened the door and Ms Jensen returned him to her car, gave him a mobile phone to play with and secured the child locks before returning to her friend.

The children are said to have spent 90 minutes in the car, where an investigation revealed temperatures could have reached 60 degrees Celsius. Both boys died from hyperthermia.

Ms Jensen’s defence attributes her poor decision making to her low IQ of 76, which makes her borderline developmentally disabled.

A boyfriend also told investigating police that Ms Jensen had smoked marijuana the day before the children died.

In the three months leading up to the deaths, she had failed court-ordered drug tests three times, the Daily Sentinel reports. The testing was tied to a March 2012 arrest for domestic violence. Her husband Eric had told police Ms Jensen became violent after he confronted her about spending time with friends who supplied her with painkillers Vicodin and Percocet.

Following the deaths of her sons, Ms Jensen also violated the terms of her probation and left Colorado for Florida, to be with her family.
"I believe it would be a great opportunity for me to start my life over again in Florida, and being surrounded by all my family who loves me to help me get through the losses I’ve had in this past month," Ms Jensen wrote in the letter to a Mesa County judge. "And I would greatly appreciate it if you will let me move on with my life in Florida."

Ms Jensen's request was denied and she was arrested at her mother's home in North Fort Myers, Florida on January 16, 2013.

The jury deciding the case was made up of 10 women and five men, but a judge removed one of the jurors from the trial when he found out she added a witness from the trial as a friend on Facebook, CBS Denver reports. The trial is expected to run for nine days.

Source: News.com 

ZILE GUVU ZA SODA ZA MTANASHATI ENTERTAIMENT ZIKO WAPI...WASANII WAKE HAWAJIELEWI

$
0
0
Leo katika blog moja maarufu hapa Tz Msanii wa Mtanashati Entertaiment anaejulikana kama PNC amehojiwa na kusema kuwa kwa sasa hajielewi kama bado yupo Mtanashati kwani hakuna kinachoendelea kwani Boss wa kundi hilo yupo busy na mambo mengine ...PNC amelalamika na kusema kuwa mziki wake kwa sasa umesimama as hakuna wa kumsimamia japo inajulikana yupo Mtanashati...

Hiyo habari imenifanya nijiulize maswali mengi sana ......Mtanashati walianza kwa nguvu sana kwa kuwachukua wasanii kwa mikwala mingi kama mnakumbuka issue ya Dogo janja alipotoka Tip top Watanashati walimsafirisha kwa ndege Dogo janja kutoka Arusha pamoja na kumpa ahadi kibao ...Lakini Nahisi kwa sasa Dogo Janja Anaimiss Tip top ....Maana nae nikama Yupo yupo tu .....Sina uhakika na hao members wengine sijapata muda wa kuwafatilia kazi zao

Ostaz Juma Vipi ...Mbona ile mikwara yako hatuisikii tena ? ama umebadili Biashara?



NAFASI ZA KAZI MPYA SERIKALINI: MAMLAKA YA MAWASILIANO TANZANIA TCRA, OMBA HAPA SASA.

$
0
0
THE UNITED REPUBLIC OF TANZANIA

TANZANIA COMMUNICATIONS REGULATORY AUTHORITY
VACANCIES
The Tanzania Communications Regulatory Authority (TCRA) hereby invites applications from
suitably qualified Tanzanians to fill the following vacant posts in its establishment
PRINCIPAL ECONOMIST III- (ONE POST)
(i) Job Purpose:
To provide economic analysis services to the Authority to aid interpretation of
economic relationships in the regulatory process.
(ii) Person Specifications
A: Essential:
Qualifications:
A Masters Degree in Economics
Experience:
A minimum of six (6) years post qualification experience in a related field. Having
worked in a regulatory or a communications environment will be an added advantage
Skills/Abilities:
 Excellent command of English and Kiswahili languages
 Computer skills/ PC knowledge such as micro soft packages, peach tree,
multimedia packages i.e Adobe Premier Pro etc
 Interpersonal skills
 Organizational skills
 Analytical skills
 Multi –tasking
 Communication skills
 Feedback capabilities
 Knowledge of ICT industry
 Demonstrated ability to work both independently and in a team
 Ability to plan, organize and manage complex and delicate tasks
 Results and performance driven with commitment to realization of the Authority’s
Strategic objectives
 Readiness to work beyond official office hours
 Proactive, attention to detail and ability to work under pressure
B: Desirable:
 Good knowledge of the Industry
 Experience in research related activities
 Experience in ICT’s Regulations
(iii) Duties and Responsibilities:
 Analyses tariffs, rates, commissions and other charges for the postal and
telecommunication
 Undertake economic/ financial analysis of projects and programmes submitted by
operators
 Evaluates economic/financial impact of the Authority’s regulatory policies on
sector stakeholders
 Carries out economic/financial studies and research on the postal,
telecommunication and broadcasting systems;
 Maintains
a
system
for
continuously
providing
the
Authority
with
economic/financial data for formulation of regulatory policies and guidelines;
 Performs any other duties pertaining to economic/financial analysis as may be
assigned by your supervisors
PRINCIPAL CONSUMER AFFAIRS OFFICER III- (ONE POST)
(i) Job Purpose:
To provide effective resolution of complaints and disputes from consumers of
regulated communications services and products.
(ii)
Person Specifications
A: Essential:
Qualifications:
A Masters Degree in Business Administration(Marketing)
Experience:
A minimum of six (6) years post qualification experience in a related field. Having
worked in a regulatory or a communications environment will be an added advantage
Skills/Abilities:
 Excellent command of English and Kiswahili languages
 Computer skills/ PC knowledge such as micro soft packages
 Interpersonal skills
 Organizational skills
 Analytical skills
 Multi –tasking
 Communication skills
 Feedback capabilities
 Knowledge of ICT industry
 Demonstrated ability to work both independently and in a team
 Ability to plan, organize and manage complex and delicate tasks
 Results and performance driven with commitment to realization of the Authority’s
Strategic objectives
 Readiness to work beyond official office hours
 Proactive, attention to detail and ability to work under pressure
B: Desirable:
 Good knowledge of the Industry
 Experience in research related activities
 Experience in ICT’s Regulations
(iii) Duties and Responsibilities:
 Provides expert guidance in investigations and dispute resolutions for consumers
of the regulated communications services and products.
 Provides evidence based with quality assurance in decision making in the
resolutions.
 Handles consumer complaints per the TCRA consumer complaints handling
mechanism
 Conducts investigation on complaints lodged to the Authority
 Trains employees on investigation techniques, decision making within Authority’s
jurisdiction.
 Handles research and analysis within area of expertise reflecting organizational
objectives;
 Participate sin periodic researches and surveys on relevant consumer issues
 Participates in the Management of the TCRA manned consumer call centre
 Performs any other duties pertaining to consumer affairs issues as may be
assigned by supervisors
SENIOR CONSUMER AFFAIRS OFFICER II- (ONE POST)
(i) Job Purpose:
To provide effective resolution of complaints and disputes from consumers of
regulated communications services and products.
(ii)Person Specifications
A: Essential:
Qualifications:
A Masters Degree in Business Administration(Marketing); and Commercial Law
Experience:
A minimum of four (4) years post qualification experience in a related field. Having
worked in a regulatory or a communications environment will be an added advantage
Skills/Abilities:
 Excellent command of English and Kiswahili languages
 Computer skills/ PC knowledge such as micro soft packages
 Interpersonal skills
 Organizational skills
 Analytical skills
 Multi –tasking
 Communication skills
 Feedback capabilities
 Knowledge of ICT industry
 Demonstrated ability to work both independently and in a team
 Ability to plan, organize and manage complex and delicate tasks
 Results and performance driven with commitment to realization of the Authority’s
Strategic objectives
 Readiness to work beyond official office hours
 Proactive, attention to detail and ability to work under pressure
B: Desirable:
 Good knowledge of the Industry
 Experience in research related activities
 Experience in ICT’s Regulations
(iii) Duties and Responsibilities:
 Processes consumer complaints
 Conducts investigations over complaints lodged to the Authority
 Provides evidence based with quality assurance in decision making in the
resolutions.
 Supervises TCRA manned consumer call centre staff
 Handles research and analysis within the area of expertise reflecting
organizational objectives
 Performs any other duties pertaining to consumer affairs issues as may be
assigned by your supervisors
POSTAL AFFAIRS OFFICER-GIS (ONE POST)
(i) Job Purpose:
To administer the National Addressing and Postcode GIS database.
(ii)Person Specifications
A: Essential:
Qualifications:
A bachelors degree in GIS, or Geometrics, or Geo-informatics or Geography
Experience:
A minimum of three (3) years post qualification experience in a similar job. Having
worked in a regulatory or a communications environment will be an added advantage
Skills/Abilities:
 Excellent command of English and Kiswahili languages
 Computer skills/ PC knowledge such as micro soft packages
 Interpersonal skills
 Organizational skills
 Analytical skills
 Multi –tasking
 Trainable and fast to learn
 Communication skills
 Feedback capabilities
 Knowledge of ICT industry
 Demonstrated ability to work both independently and in a team
 Readiness to work beyond official office hours
 Proactive, attention to detail and ability to work under pressure
B: Desirable:
 Good knowledge of the Industry
 Good command of both Swahili and English
(iii) Duties and Responsibilities:
 Performs daily processes as per checklist and procedure to ensure that GIS
system is timely available to users and stakeholders
 Prepares and produces reports, maps, charts and information to users and
management to ensure they have up to date data and information
 Performs monitoring troubleshooting and problem solving, performance tuning of
the National Addressing Database systems
 Gathers, verifies and analyzes spatial data from the postcode key stakeholders
and determines how best information can be stored into the National
Addressing and Postcode Database system and retrieved accordingly
 Carries out maintenance of the National Addressing Database to include backup
and restore to ensure data availability and business continuity plans
 Performs any other duties related to the above as may be assigned by the
supervisors
CONSUMER AFFAIRS ASSISTANT (TWO POST)
(iii)
Job Purpose:
To create interactivity with consumers and general public through an accessible, real
time, retrievable and cost free means of receiving complaints from consumers of
regulated communications services and products.
(iv)
Person Specifications
A: Essential:
Qualifications:
Certificate in Business Management, Sales, Marketing or Business related field
Experience:
Experience of at least three (3) years in a similar job. Having worked in a regulatory
or a communications environment will be an added advantage
Skills/Abilities:
 Excellent command of English and Kiswahili languages
 Computer skills/ PC knowledge such as micro soft packages
 Customer service skills
 Problem solving skills
 Analytical skills
 Listening skills
 Multi –tasking
 Trainable and fast to learn
 Communication skills
 Feedback capabilities
 Knowledge of ICT industry
 Demonstrated ability to work both independently and in a team
 Readiness to work beyond official office hours
 Proactive, attention to detail and ability to work under pressure
B: Desirable:
 Good knowledge of the Industry
 Good command of both Swahili and English
(iii) Duties and Responsibilities:
 Receives, responds and records all voice calls to the Call Centre
 Receives, responds and records all text messages sent through official sms and
email platform
 Attends and records all complaints from walk-in complainants
 Provides guidance to complainants on the laid-down complaint procedure
 Follows up and closes all lodged complaints
 Prepares individual daily, weekly and monthly reports indicating the status of
each complaint
 Performs any other duties related to the above as may be assigned by the
supervisors
General Terms and Conditions of Service
1.
Term of Office: all posts carry a competitive remuneration package as per the approved
salary structure of the TCRA;
2.
Other terms and conditions of service are as promulgated in Staff Circulars; and the Staff
and Financial Regulations of the Authority;
3.
Legal Requirement: All officers of the Authority are required to observe the Code of
Conduct made under Section 10. – (1) of the TCRA Act 2003; observe provisions of
Sections 11 of the Act relating to Conflict of interest; and Section 12. – (2) of the Act
relating to employment and/or financial interest with any of the regulated service
providers.
All applications including copies of relevant certificates and latest CVs should be
addressed to the undersigned so as to reach him not later than 14th February, 2014. The
CV should include addresses of two referees one of them being the current or latest
employer. The post applied for should be clearly marked on top of the envelope.
TCRA is an equal opportunity employer
Director General,
Tanzania Communications Regulatory Authority,
P.O. Box 474,
DAR ES SALAAM

MAVAZI KATIKA OFISI ZA UMMA-UTUMISHI WATOA MWONGOZO

$
0
0
Wizara ya utumishi wa umma imetuma waraka unaotoa mwongozo wa mavazi kwa watumishi wote wa ofisi za umma na wananchi wote wanaohitaji huduma ktk ofs hizo.
Waraka huo namba 3 wa mwongozo wa mavazi wa mwaka 2007 unawatka wafanyakazi wote wa ofisi za umma na wananchi wote kutokuvaa mavazi yafuatayo:-
-Jeans
-Nguo zenye maandishi yoyote
-Nguo zinazobana mwili wako
-Nguo zilizo juu ya magoti (sketi/gauni)
-Kaptula
-Pedo
-Jezi za timu za mpira
-Nguo za chama chochote cha siasa
-Suruali ambazo hazijapindwa
-Blauz zinazoacha kifua/mgongo wazi
-Kuvaa mlegezo
Waraka huo ulikuwepo ila uekelezaji haukufanyika,hivyo kwanzia mwaka huu utaanza kutumika nchi nzima.
Wananchi usiende ofisi za umma ukiwa umevaa mavazi tajwa hapo juu,utaishia kufukuzwa bila kuhudumiwa...

NINI MAONI YAKO?

LADIEZ YOU MUST READ THIS ! TABIA ZA WAVULANA PLAYERS!

$
0
0

1. SMAT
Hataki kupatikana akiwa kawaida hata kama ni midnight, Yaani ni msafi hadi anachana nywele akienda kulala then anapiga
blanketi pasi.

2. SECURITY CODE KWA SIMU,
Huwezi access any detail from simu yake because hata akikuonesha pasword kesho yake anabadili ingine

3. AKIPIGIWA SIM MKIWA NAYE
Replies zake zinakuaga short because hataki usikie Story zake viburudisho Vyake.

Majibu yake yanakuaga tu, eeehh, sawa, okay,nimeskia, bye, donge?,

4. UNAMTUMIA MESSAGE BUT ANAREPLY 1HOUR LATER,,,

Then excuse zake ni ati, ooh swty Iwoz vry bizy, oooh nlikua nimeseti silent mode, ooh nilikuwa ndani gari.

5. ANAKUAGA CLOSE NA MADEM WENGI,,,,
Then anazuga eti oooh,,, she'z just a friend,,,,ooh,,, niligrow/nilisoma naye,,, blah blah.

MWANAWANEE UWONGO UWONGO ?WADADA CHUNGUZENI KABLA YA KUJIBU PLS

AGNESS MASOGANGE AMPAGAWISHA NA KUMCHANGANYA BABA MWENYE NYUMBA WAKE

$
0
0
Agness Masogange ameingia kwenye headline tena,hii imetokea  kwa baba mwenye nyumba,kwenye nyumba mpya aliyohamia baada ya kuharibika kwa bomba la maji hiki ndicho kilichotokea sikiliza kupitia 104.4 Clouds Fm Dodoma.
Bonyeza play kusikiliza. Source:Millardayo

WIMBO MPYA WA OMMY DIMPOZ HUU HAPA -NAJARIBU KUUSIKILIZA MARA NYINGI NYINGI ILI NIPATE CHA KUONGEA

$
0
0
Nimekutana na huu wimbo mpya wa Ommy Dimpoz unaoitwa Miss Koi Koi...Nijaribu kuusikilizaa mara nyingi labda utaniingia ..ila kwa haraka naona kama wakaiwada ukilinganisha na nyimbo zake zilizopita..Embu na wewe sikiliza uone..alafu utoe maoni yako:

MSIKILIZI CHIEF KIUMBE AKIELEZEA KWANINI ALIMPA DIAMOND PRADO YA MIL 245

$
0
0
Kwa muda mrefu Tanzania jina la mfanya biashara maarufu, Chifu Kiumbe limekuwa intro ama outro kwenye nyimbo nyingi za wasanii wa bongo flava na muziki wa dansi nchini kutokana na misaada mbalimbali anayoitoa kwa wasanii hao.

 Maswali mengi yamekuwa yakiulizwa kwa muda mrefu bila majibu sahihi kutoka kwa mhusika mwenyewe ‘kwa nini hutoa misaada hiyo na yeye anafaidika na nini?

Chief Kiumbe ambaye jina lake halisi ni Muhammed Abdallah Kiumbe, amefunguka exclusively kupitia kipindi cha Sun Rise cha 100.5 Times Fm katika ‘Exclusive Friday’ ikiwa ni kwa mara ya kwanza kwake kufanya mahojiano na kituo cha radio hapa nchini.

Akifanya mahojiano na Samira, Fadhili Haule na Erick, Chifu Kiumbe aliweka wazi kuwa yeye ndiye aliyemnunulia Diamond Platinumz gari aina ya Toyota Land Cruiser V8. Na kwamba alilinunua kwa $100,000 na ushuru alilipia takribani Million 85 za Tanzania.

“Kuna rafiki yangu hapa mmoja magazeti yanamuandika andika yanasema ‘mzee wa kuloga, japokuwa…rafiki yangu Diamond. Naseeb ni rafiki yangu, swaiba wangu na kipenzi changu. Kuna gari moja kubwa sana analitembelea sasa hivi, zuri sana…najua mnajua lakini mnataka tu nizungumze.” Chief Kiumbe amefunguka kwenye kipindi cha Sun Rise cha 100.5 Times Fm.

“Ni gari ya thamani, kwa sababu nafikiri…nililinunua $100,000 na ushuru wake kama million 85 (za Tanzania), ukijumlisha inakuja kama ‘two forty five’, ni kama million 245.” Ameeleza.

Akielezea sababu za kumnunulia Diamond gari hilo, amesisitiza kuwa ni rafiki yake wa karibu na kwamba kuna mambo ya ndani wanayafahamu wao wawili kama marafiki, “aah..ni mshikaji wangu Diamond, tumeongea naye kiundaniundani mimi na yeye.”

Alipoulizwa kama kuna mkataba wowote kati yake na Diamond, Chief Kiumbe alifunguka, “hakuna mkataba…nimekwambia ni rafiki yangu na swaiba wangu kwa hiyo tunayajua wenyewe chini ya kapeti.”

Hata hivyo, amekiri kuwa Diamond ni msanii mwenye pesa nyingi kwa kiwango chake na kwamba anafanya vizuri kwenye muziki wake, na pia akawashauri wasanii wengine waige mfano wake ili waweze kufanikiwa pia zaidi katika kazi zao za muziki kama alivyofanya Diamond Platinumz.

Akizungumzia kuhusu kile anachokipata kwa wasanii kufuatia misaada mbalimbali mikubwa anayowapa, amesema kuwa yeye hutoa bure na hategemei kurudishiwa. Ametoa mfano kuwa kwa kipato cha wasanii wa Tanzania hakuna ambacho watampa.

“Nadhani dada unaweza ukaelewa maana ya… (akataja neno la kiarab lenye maana ya kutoa msaada) kutoa msaada bure. Sasa ngoja nikuulize swali sawa, mfano mimi sawa, Diamond akipiga show yake ama Tunda akipiga show yake sawa…sasa atanipa nini?” ameeleza.

Lakini hakuna kitu cha bure ‘there is no free lunch in America’, Chief Kiumbe ama The Big Boss kama wanavyomuita waasanii ameeleza kidogo anachokipata kutoka kwa wasanii hao.

“Yeye anakuja kwangu, shukurani kwangu kwamba labda ‘swaiba wangu wewe una party’, nina birthday ya mtoto wangu Halima, au mke wangu birthday yake mama Rajab. Kwa hiyo njoo Diamond unipigie birthday yangu ya watoto wangu tufurahi hapa nyumbani. Basi Tunda njoo ukamue hapa, Shetta njoo ukamue hapa.”

Mfanyabiashara huyo ambaye ameeleza kuwa ni mmiliki wa bendi ya Extra Bongo lakini mafao yote anayachukua swaiba wake Ally Choki ambaye amemtaja kama mtu aliyelitangaza kwa mara ya kwanza jina lake Tanzania, amesema amewapa mkataba wasanii wote wanaohusika na bendi ya Extra Bongo ambao unampa msanii nyumba na gari ambavyo anavitumikia katika kipindi cha miaka mitano katika bendi hiyo.

Ameongeza kuwa, mbali na kuwasaidia wasanii hujihusisha pia na kuisaidia jamii na kupitia huko hapendi kujitangaza. Ametoa mfano kuwa aliisapoti kwa kiasi kikubwa ziara ya Diamond alipotembelea vituo vya watoto yatima.

Kipindi cha Sun Rise cha 100.5 Times Fm huendeshwa na Samira, Fredwaa, Fadhili Haule na Eric kila siku za wiki kuanzia saa kumi na mbili asubuhi hadi saa tatu kamili. Unaweza kusikiliza online kupitia tovuti hii. Bofya sehemu iliyoandikwa ‘Listen’.

Sikiliza hapa kipande cha mahojiano hayo, na endelea kutembelea www.timesfm.co.tz utamfahamu vizuri Chief Kiumbe na biashara anazofanya na uhusiano wake na Raila Odinga wa Kenya.

JESHI LA POLISI LASAKA JAMBAZI LILILOUA WATU WANANE HUKO RORYA, TARIME

$
0
0
Ndugu zangu waandishi wa habari, nimewaiteni hapa kwa dharura, ili kuweza kuwafahamisha hali halisi ya mauaji yaliyotokea katika siku za hivi karibuni katika mkoa wa Kipolisi wa Tarime Rorya. Mnamo tarehe 26
Januari, 2014 majira ya saa 12.00 asubuhi huko katika kijiji cha Mogabiri
katika mkoa wa kipolisi Tarime Rorya, jambazi asiyefahamika kwa jina aliwaua kwa risasi Zakaria Mwita Marwa miaka 28 na Erick Lucas Maranya miaka 24 baada ya kukutana nao njiani. Siku hiyohiyo, majira
ya saa 4:00 usiku, katika kijiji hichohicho cha Mogabiri, jambazi huyo alimuua Robert Kisiri miaka 45 baada ya kuvamia Grocery inayomilikiwa na Chacha Ryoba na kumjeruhi mtu mwingine mmoja. Tarehe 27 Januari, 2014 majira ya 11:30 alfajiri katika kijiji cha Mugabiri, jambazi huyo alifanya mauaji tena kwa kumpiga risasi David Mwasi Matiko miaka 39 na kumpora simu yake aina ya Nokia. Katika tukio hilo, pia, alimjeruhi Machungu Nyamahemba miaka 19 ambaye bado amelazwa katika hospitali ya Tarime kwa Matibabu. 
Siku hiyohiyo ya tarehe 27 Januari, 2014 majira ya saa 2:00 usiku katika kijiji cha Nkende, jambazi huyo alimuua kwa kumpiga risasi Juma Marwa Nyaitara miaka 30. Baada ya kufanya mauaji hayo, jambazi huyo aliwapora simu zao za mkononi Chacha Magige na Masero Marigiri wote wa kijiji cha Nkende. Usiku wa kuamkia tarehe 28 Januari, 2014, jambazi huyo aliendelea kuua watu wengine watatu ambao bado majina yao hayajafahamika. Mtu mmoja alipigwa risasi wakati akiendesha pikipiki
katika kijiji cha Nkende na wengine wawili waliuawa baada ya kukutwa na jambazi huyo wakiwa wanatengeneza gari lililokuwa limewaharibikia katika kijiji cha Mogabiri.

Hadi sasa juhudi kubwa za kumsaka jambazi huyo zinaendelea kufanyika na Jeshi la Polisi kwa kushirikiana na vyombo vingine vya ulinzi na usalama pamoja na wananchi.  Aidha, mkuu wa Jeshi la Polisi nchini, IGP Ernesti Mangu, ametuma timu maalum kutoka makao makuu ya jeshi la Polisi inayohusisha kamisheni ya Oparesheni, Upelelezi na Intelijensia kwenda kuongeza nguvu katika juhudi zinazofanyika na ngazi ya mkoa kuhakikisha kwamba, jambazi huyo anakamatwa upesi ili kuondoa hofu kwa
wananchi.

Jeshi la Polisi nchini, linatoa wito kwa wananchi wote kutoa ushirikiano ili jambazi huyo aweze kukamatwa na kufikishwa kwenye vyombo vya sheria haraka. Mwananchi mwenye taarifa za mhalifu huyo anaweza kutumia namba ya simu ifuatayo 0754 785557.

Mkuu wa Oparesheni wa Jeshi la Polisi,
 Kamishna Paul Chagonja

RWANDA YAZIDI KUMCHOKAZA JAKAYA KIKWETE

$
0
0
BUSARA ya Rais Jakaya Kikwete juu ya kuitaka Serikali ya Rwanda kukaa kwenye meza ya mazungumzo na waasi wa FDLR, imeendelea kutafsiriwa vibaya na baadhi ya wakubwa wa nchi hiyo, ambapo sasa wameanza kumchokonoa kwenye baadhi ya vyombo vya habari, kwa kudai kuwa amekutana kwa siri jijini Dar es Salaam na waasi hao. 

Gazeti la News of Rwanda ambalo linatajwa kuwa mshirika mkubwa wa Serikali ya nchi hiyo, katika toleo lake la Jumapili iliyopita, liliandika kuwa Rais Kikwete amekutana na waanzilishi wa chama cha upinzani nchini humo cha Rwanda National Congress (RNC) na makamanda waandamizi wa waasi wa FDLR.

Habari iliyoandikwa na gazeti hilo, imebainisha kuwa kikao hicho cha Rais Kikwete na watu hao kilifanyika kwenye makazi binafsi ya Rais Kikwete.

Gazeti hilo lilidai kuwa limepata taarifa hizo kutoka kwenye vyanzo vyake vya habari vilivyopo nchini Tanzania, ambapo viliwaeleza kuwa ujumbe huo uliwasili, jijini Dar es Salaam Alhamisi ya wiki iliyopita.

Wameandika kuwa viongozi wa RNC waliokutana na Rais Kikwete ni Mratibu wa chama hicho, Dk. Theogene Rudasingwa na mshauri wake, Condo Gervais.

Katika kikao hicho, News of Rwanda lilidai kuwa kundi la waasi wa FDLR, liliwakilishwa na Katibu Mtendaji wake, Luteni Kanali Wilson Irategeka na Kanali Hamadi ambaye ni kamanda wa operesheni.

Luteni Kanali Irategeka kwa sasa anatajwa kuwa ndiye nembo ya waasi wa Rwanda wa kundi la FDLR na mara kwa mara amekuwa akionekana kwenye mahojiano na vyombo vya habari. 

News of Rwanda liliendelea kuandika kuwa, majina hayo anayotumia Luteni Kanali Irategeka si yake na kwamba jina lake kamili ni Ndagijimana.

Viongozi hao wa FDLR wote wanaishi Washington, nchini Marekani na kwamba wanasafiri kwa kutumia hati za kusafiria za Tanzania.

Hata hivyo, News of Rwanda wameshindwa kuthibitisha madai yao ya pasi za kusafiria za waasi hao kama zimetolewa na Serikali ya Tanzania, au zilipatikana kwa mlango wa nyuma.

Aidha gazeti hili lilikwenda mbali zaidi kwa kudai kuwa Januari 19, mwaka huu, Waziri Mkuu wa zamani wa nchi hiyo, Faustin Twagiramungu alikuwa Tanzania kwa shughuli kama iliyofanywa na waasi wa FDLR.

Walidai kuwa hata hivyo aliondoka Tanzania Alhamisi ya wiki iliyopita, kuelekea Lyon, nchini Ufaransa ambako alikuwa aongoze kikao cha kundi lake la kisiasa la RDI na Rwanda RWIZA.

Limedai, Twagiramungu aliondoka kabla ya timu ya RNC haijawasili Dar es Salaam, ingawa Twagiramungu pia alipaswa kuwa pamoja na RNC na FDLR.

News of Rwanda halikuweza kubainisha kilichopelekea Twagiramungu kuamua kukaa mbali na wenzake hao, ingawa walidai kwamba Waziri Mkuu huyo wa zamani hataki kuingia tena katika ndoa ya kisiasa na kundi linalohusisha waanzilishi wanne wa RNC.

Twagiramungu ndiye Waziri Mkuu wa kwanza kushika wadhifa huo mara baada ya kumalizika kwa mauaji ya kimbari, ambapo alishika wadhifa huo kwa kipindi cha mwaka mmoja na baadaye kujiuzulu.

Limebainisha kuwa, Twagiramungu amekuwa na uhusiano mbovu na Dk. Rudasingwa na Kayumba Nyamwasa kutokana na kuwa sababu ya yeye kushindwa kutekeleza majukumu yake na kuamua kuachia ngazi.

Wawili hao wamedaiwa kuwa walikuwa maofisa waandamizi katika nyadhifa kubwa kisiasa na kijeshi nchini Rwanda.

News of Rwanda limebainisha kuwa, Twagiramungu na makundi mengine ya waasi ya Rwanda, yameapa kutoingia katika ushirika wa kisiasa na watu waliokuwa karibu na Serikali, baada ya kutofautiana na utawala wa Rais Kagame. 

Kwa mujibu wa vyanzo vya habari, si mara ya kwanza kwa wawakilishi wa RNC wanaomwakilisha Kayumba Nyamwasa, kukutana na waasi wa FDLR. 

Gazeti hili limezidisha chokochoko kwa kudai kuwa Desemba 20, 2013, Luteni Kanali Wilson Irategeka na Kanali Hamadi walisafiri wakitumia hati ya kusafiria za Tanzania kwenda Msumbiji kwa mazungumzo na wajumbe wa RNC, na kwamba Tanzania imekuwa ikitoa hifadhi kwa waasi wa FDLR. 

Katikati ya mwaka jana, Naibu Kamanda wa FDLR, Jenerali Stanislas Nzeyimana, maarufu kama Izabayo Bigaruka, alitangazwa kuwa yupo Tanzania. Lakini wiki kadhaa baadaye, taarifa ziliibuka kuwa ametoweka na kuzua maswali ya sababu za uwepo wake Tanzania.

Katika kuhitimisha chokochoko zao, News of Rwanda liliandika kuwa nchini Tanzania, upinzani haufurahishwi na mwelekeo wa Rais Jakaya Kikwete kuwabeba FDLR, na kwamba Agosti mwaka jana, CHADEMA, ambacho ni chama kikuu cha upinzani Tanzania, kilimtuhumu Rais Kikwete kwa kutokuwa tayari kukutana na wapinzani nyumbani na kuingilia mambo ya ndani ya Rwanda.

“Hakuna dhati yoyote ndani ya taarifa ya Rais Kikwete kuwa Rwanda inapaswa kuzungumza na kundi la wanamgambo wa FDLR, ambalo limekuwapo katika misitu ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo tangu 1994,” walimnukuu Dk. Willbrod Slaa, ambaye ni Katibu Mkuu wa CHADEMA

Katika kuhalalisha kile walichokiandika, News of Rwanda liliendelea kumnukuu Dk. Slaa kuwa: “Iweje Rais Kikwete hayuko tayari kujadiliana na upinzani nyumbani na kwamba, Rais Kikwete hajachukua hatua zozote kuhusu wauaji wa mwandishi, Daudi Mwangosi, na kwamba alimshauri (Kikwete) kuchukua hatua za kumwajibisha Kamanda wa Polisi Mkoa Iringa, Michael Kamuhanda badala yake alimpandisha cheo,” walihitimisha nukuu yao.
-Mtanzania

HII KALI:MAFURIKO YA MOROGORO YASOMBA MPAKA MAJADALA YA KESI MAHAKAMANI

$
0
0
Magole. Wakati Hakimu Mkazi Mfawidhi Mahakama ya Mwanzo Magole, Fredy Mbogela akisema kesi zote zilizokuwa zikisikilizwa katika mahakama hiyo ambayo imesombwa na maji pamoja na mafaili yote, zitaanza upya, Mkuu wa Wilaya na Mkoa wa Morogoro wanahaha kukusanya takwimu za waathirika wa mafuriko.

Mafuriko makubwa yalitokea katikati ya wiki iliyopita Kijiji cha Magole, huku yakisababisha uharibifu mkubwa wa mali na miundombinu. Pia, mafuriko hayo yalisomba majalada ya kesi mbalimbali mahakamani hapo.

Akizungumza jana, Hakimu Mbogela alisema hivi sasa kesi zote za jinai zilizokuwa zikisikilizwa mahakamani hapo zitafunguliwa na kusomwa na kusikilizwa upya.

“Polisi ndiyo watakaofungua na kuzipeleka kesi hizo katika mahakama hiyo, kwa sababu wao wanazo kumbukumbu za kesi hizo kupitia kwa waendesha mashtaka na wapelelezi,” alisema Hakimu Mbogela na kuongeza:

“Hakuna kesi itakayofutwa kutokana kuharibiwa majalada hayo, kama nilivyosema polisi watazileta kesi mahakamani, hata kama kulikuwa na kesi iliyokuwa imekaribia hukumu itaanza upya.” alisema.

Alisema: mahakama itaanza kufanya kazi baada ya kufanyiwa usafi na kuweka samani.

Alisema hatua ya awali ambayo inaendelea kufanywa, ni kusafisha jengo la mahakama hiyo ndani na nje kwa kutoa matope, magogo ya miti na taka nyingine ambazo zilikwama eneo hilo na kwamba, utaratibu wa utendaji unaendelea kufanywa.

Naye Mtendaji Mkuu wa Mahakama ya Hakimu Mkazi Mkoa wa Morogoro, Nestory Munjunangoma alisema Idara ya Mahakama kwa kushirikina na Wakala wa Majengo Tanzania (TBA) wapo kwenye mchakato wa ukaguzi na tathmini ya uharibifu wa jengo la mahakama hiyo.

Munjunangoma alisema hivi sasa jitihada za kufanya ukaguzi na upembuzi yakinifu zinafanyika kabla ya TBA kutoa ushauri kulingana na uharibifu uliotokea kamajengo hilo linaweza kukarabatiwa ama kujengwa upya.

Alisema hivi sasa shughuli za mahakama hiyo zimesimama, kuruhusu usafi wa mazingira.
Mwananchi

JK AIPONDA RIPOTI YA MAAFA YA MAFURIKO DUMILA

$
0
0
Morogoro. Rais Jakaya Kikwete ameikataa taarifa ya Mkuu wa Mkoa wa Morogoro, Joel Bendera kuhusu waathirika wa mafuriko na waliokosa makazi na kumpa siku moja kukaa na timu yake kuandaa nyingine inayoendana na hali halisi ya janga hilo.

Eneo la Dumila, Morogoro lilikumbwa na mafuriko makubwa na kusababisha wakazi wake kupoteza makazi na mali huku mamia ya magari yakiwamo mabasi yanayosafirisha abiria kukwama baada ya kubomoka kwa Daraja la Magole linalounganisha Barabara ya Dar es Salaam na Dodoma.

Mvua hizo zilizonyesha kwenye Wilaya ya Kilosa, ndizo zilisababisha kufurika kwa Mto Mkundi unaopita kwenye eneo hilo.

Taarifa ya Bendera

Bendera alitoa taarifa ya mafuriko kwa Rais Kikwete kwa niaba ya viongozi wa mkoa, wakiwamo wakuu wa wilaya, wakurugenzi na wakuu wa taasisi mbalimbali akisema wananchi 12,472 wamepoteza makazi. Alisema pia kuwa nyumba 1,141 zilibomoka na 2,551 ziliingiliwa na maji huku kaya 2,759 zikiathiriwa na mafuriko. Bendera alisema misaada ya mahema na vyakula imeanza kutolewa pamoja na dawa za kukabiliana milipuko ya magonjwa endapo itatokea.

Alisema pia kuwa tayari baadhi ya miundombinu imeanza kurejea kama kawaida huku huduma za majisafi zikitolewa na magari ya Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ), Kikosi cha Zimamoto Morogoro na Kampuni ya China ya High Quality Consulting and Development Solutions. Bendera alisema pia kuwa jumla ya Sh53.7milioni zinahitajika kwa ajili ya ujenzi wa makazi ya muda ya waathirika hao.

JK aikataa taarifa

Rais Kikwete aliyekuwa akikatizakatiza taarifa hiyo ya Bendera kwa maswali na ufafanuzi, alizikataa takwimu hizo akisema hazionyeshi uhalisia. Akizungumza na wananchi wa eneo hilo wakiwamo waliokuwa kwenye kambi iliyoko Sekondari ya Magole, Rais Kikwete aliwahakikishia upatikanaji wa vyakula, dawa na majisafi na salama.

Pia aliviagiza viwanda vya magodoro kuzisaidia haraka iwezekanavyo, familia zilizoathirika na kuahidi kuwa Serikali italipa baadaye ili kuwaepusha wakazi hao na hasa watoto na athari za kiafya.

Alisema kazi ya ujenzi wa makazi ya muda itafanywa JWTZ na si makandarasi kuepusha baadhi ya viongozi kujinufaisha kwa mafuriko hayo. Rais Kikwete aliwataka Wakala wa Barabara Tanzania (Tanroads), kuangalia uwezekano wa kutoa magogo yaliyoziba katika makaravati na kuzibua mifereji ili kuruhusu maji kupita kwa urahisi.

Akizungumzia ripoti hiyo Rais Kikwete alisema: “Mmeshindwa kufafanua watu walioathiriwa na mafuriko hayo ni wangapi na wanasaidiwa vipi hasa katika mahitaji mbalimbali na muhimu ya kimsingi kama chakula.

“Taarifa yenu inanitia shaka. Sasa ninawataka viongozi wa mkoa pamoja na Mkuu wa Mkoa, wakuu wa wilaya na wakurugenzi wote wa halmashauri kurudia upya kumbukumbu zenu na kupata idadi kamili ya waathirika ili kujua namna ya kuwasaidia. “Ninyi kama viongozi na mnashughulikia maisha ya watu, mnatakiwa kuwa na kumbukumbu zenye usahihi wa majina na kama hamna uhakika wa majina mnaomba vyakula kwa ajili ya nani? Misaada mingine kwa wahisani ya nini?

“Tunataka tujue wanasaidiwaje, kina mama ni wangapi na kina baba, watoto, tutoe misaada kadri inavyostahiki. Sasa kwa takwimu hizi mnafahamu hawa watu wako wapi? Tutawasaidiaje? Wameathirika kwa kiasi gani?.” Rais Kikwete alisema kiongozi mzuri hupimwa wakati wa kipindi cha matukio na matatizo au majanga yanapotokea. Aliwataka viongozi hao kujipanga kwa kuwatambua watu walioathiriwa na mafuriko kwa kuwa na majina sahihi na idadi yao.

Miundombinu

Meneja wa Tanroads Mkoa wa Morogoro, Injinia Doroth Mtenga alisema ofisi yake itatumia kiasi cha Sh400 milioni kukamilisha matengenezo ya eneo la tuta la Daraja la Magole katika Mto Mkundi lililozolewa na maji na kusababisha mafuriko makubwa.

Fedha hizo zitatumika kurekebishia makaravati na madaraja mengine madogo katika eneo hilo kutoka Wami Dakawa hadi Daraja la Mkundi, Magole ambayo huathiriwa mara kwa mara pindi mto huo unapojaa. Mtenga alisema kuwa ujenzi huo unakusudiwa kukamilika ndani ya wiki ya kwanza ya Februari na kama hali ya hewa itaendelea kuwa nzuri, ukarabati huo unatarajiwa kuendelea na kukamilika taratibu na magari yataweza kupishana kama ilivyokuwa awali.

Wakati hayo yakifanyika, mafundi wa Shirika la Umeme Tanzania (Tanesco), wameanza kazi ya kurudishia nguzo na nyaya za umeme zilizoharibiwa na mafuriko hayo huku wataalamu wa Kampuni ya Matrac Telecom, wakirekebisha Mkongo wa Taifa wa Mawasiliano kwenda Mkoa wa Dodoma ambao pia uliharibiwa.

Kaimu Mkurugenzi wa Bohari Kuu ya Dawa (MSD), Cosmas Mwaifwani amekabidhi kwa uongozi wa Mkoa wa Morogoro vifaa tiba, magodoro 100 na dawa mbalimbali zenye thamani ya zaidi ya Sh80 milioni.

ZITTO"DENI LA TAIFA WANAFAIDI WEZI WACHACHE LAKINI TUNALIPA WOTE"

$
0
0
Deni la Taifa: wafaidi wachache, twalipa wote.
Leo nimeandika kuhusu Deni la Taifa kukua kwa kasi na kufikia tshs 27 trilioni mpaka Desemba 2013 kutoka tshs 10 trilioni mwaka 2005. Baadhi ya Watalaamu wanajenga hoja kuwa kukopa sio shida, bali kukopa kwa ajili ya nini. Nikakumbuka mzigo wa madeni ambao Taifa lilibeba miaka ya sabini na themanini kiasi cha Tanzania kukoswa koswa kuwa nchi ya Kwanza duniani kushindwa kuhudumia madeni yake. ‘heshima’ hiyo ilikwenda kwa nchi ya Nicaragua mwaka 1982. Mikopo ya nini?
Mwishoni mwa miaka ya sabini Tanzania ilikopa dola za kimarekani milioni sitini (USD 60m) kwa ajili ya mradi wa Kiwanda cha viatu Morogoro. Lengo la kiwanda kiwanda kile ilikuwa ni kuuza viatu nchini Italia. Mwaka mmoja baada ya kiwanda kuzinduliwa kilikuwa na uwezo wa kuzalisha kwa ufanisi wa asilimia 4 tu ya uwezo wake na hakikuweza kuuza hata jozi moja ya kiatu nje ya nchi. Miaka ya tisini kiwanda kile kiliuzwa katika mpango wa ubinafsishaji na hivi sasa kimegeuzwa kuwa ghala. Hata hivyo Deni hili lilipwa na kila Mtanzania kupitia kodi.
Kesho Jumanne tarehe 28 Januari, 2014 Kamati ya Bunge ninayoongoza ya Hesabu za Serikali (PAC) inapokea taarifa ya ukaguzi maalumu uliofanywa kuhusu Mfumo na Mchakato wa kusambaza pembejeo za ruzuku kwa wakulima. Ukaguzi huu umefanywa na Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Mahesabu ya Serikali (CAG). Nimeipitia Taarifa hii na kukumbuka habari ya ‘Morogoro Shoe Factory’.
Bajeti ya pembejeo za ruzuku ya mwaka 2011/12 ilikuwa tshs 122.4 bilioni, kati ya hizo tshs 88.9 bilioni ni mkopo kutoka Benki ya Dunia. Taarifa ya CAG inaonyesha uvundo wa ufisadi katika mfumo mzima wa pembejeo za ruzuku. Katika kijiji cha Lunyala wilayani Nkasi mkoa wa Rukwa asilimia 70 ya wananchi waliorodheshwa kupata mbolea walikuwa bandia, hata hao waliopata mbolea walidai mbolea ilikuwa haina ubora stahili na matokeo yake uzalishaji wa mazao ulikuwa mdogo. Hata hivyo wasambaji wa mbolea walilipwa fedha zao zote. Afisa mmoja mwandamizi wa Benki ya Dunia alipata nukuliwa kusema kuwa asilimia 60 ya Bajeti ya pembejeo za ruzuku iliporwa na wajanja wachache. 
Deni hili nalo litalipwa na Watanzania wote japo waliofadika ni wezi wachache. Kinachosikitisha ni kwamba masuala haya yanayohusu wananchi hayapati msukumo kwenye mijadala ya kitaifa. Tusipobadilika tutajikuta tuna madeni mpaka kwenye kope za macho yetu. 
“...mikopo haisaidii, hata tukiitumia kujenga shule au hospitali au viwanda lazima ilipwe. Mlipaji ni mkulima wa vijijini...” Azimio la Arusha, 1967.

TOP 5 YA WABUNGE WAREMBO WENYE MVUTO BUNGE LA TANZANIA

$
0
0
Kwa kipindi hiki hii ndiyo top 5 ya Wabunge Warembo kabisa katika bunge letu tukufu.

1.CATHERINE MAGIGE (CCM)
2.VICK KAMATA (CCM)
3.JOYCE MUKYA (CHADEMA)
4.MARRY MWANJELWA (CCM)
ESTER MATIKO (CHADEMA)
Nani Anabishaaa?

Viewing all 104709 articles
Browse latest View live


Latest Images