Quantcast
Channel: UDAKU SPECIAL
Viewing all 104755 articles
Browse latest View live

Ne-Yo: Caityln Jenne Gave me the Strength to Admit I am Gay

$
0
0
'Bruce Jenner really gave me the inner strength to admit to my kids, my family, my friends, my fans and ultimately to myself that I am gay.I’ve known I was gay since I was a young boy that I was attracted to the other boys. As a black man, we fear gayness instead of embracing it.

Watching Bruce, well Caitlyn, sit down with Dianne Sawyer on ABC really inspired me. Bruce [sic] is very brave and beautiful. As soon as he came outas transgendered . she freed herself and thats the freedom I want.;' Neyo

Wanaume Kenya Waamua Kuuza wake zao kwa Wazungu ili Kupata pesa za Kukidhi Maisha

$
0
0
Nchini Kenya, kumetokea kioja ambapo wanaume wengi wameamua kuanza kujihusisha na shughuli ya kuuza WAKE zao kwa watalii wanaotoka mataifa mbalimbali ili kujipatia PESA za kukidhi haja za Kimaisha.

Ikiripotiwa kupitia Luninga ya Citizen TV.

Imesemekana kwamba wanaume hao hulazimisha wake zao kuchukuliwa na watalii ambao wengi wao ni jamii ya wazungu, wachina na wahindi ili tu kuingizia familia kipato.

Watalii hao hupenda sana kuulizia wanawake ambao ni rahisi kudanganyika kwamba wataolewa.

From The Source:
Diani being a tourist hub receives numerous foreign tourists from Western countries who visit the beach that was recently voted the best beach in Africa.

However, some of the male tourists who visit the place do not want to go back home empty handed but also with African women.

This is where money and wives change hands between the male tourists and the local beach attendants.

The tourist would request a beach trader to find him a Kenyan woman whom he would wish to marry.

Greed for money compels the beach trader to ask his wife to be married by the tourist but connives with her that they would later divorce after getting rich then they would be a couple again.

Mwinyi Almasi, who now does the house chores after selling his wife, met a German tourist who wanted a Kenyan wife and after agreeing on searching for one for him, he returned home and made a deal with his wife.

The wife now became his ‘sister’ and they concurred that she gets married to the German tourist and after flying abroad and getting the German citizenship, she would find a German woman for him who would marry him and after a while divorce and get back together with her in Germany.
Bad morals affecting tourism sector

Mwinyi was given Ksh 60,000 as payment for his services. This perhaps being the price he sold his wife at.

Mwinyi mentioned that he thought his wife would honor their agreement but his efforts proved futile.

A few meters, we meet Sande Peti who also ‘sold’ his wife at 350 sterling pounds (Ksh 53,000).

He also plotted with his wife with the hope of getting back together.

The business of wife selling is due to unemployment, poverty and high levels of illiteracy.

The Kwale County CEC in charge of Tourism Mr Adan sheikh stated that parents and religious leaders have failed to tame the youth resulting in bad morals in the Tourism sector in the area.

He added that the government has set aside a trade revolving fund to help the beach traders flourish in their businesses.

Kenya Muslims National Advisory Council (KEMNAC) Secretary General Hamisi Mwachirumu says that those who sell their wives should reveal their religions so that the leaders can know how they can be assisted.

Source: Citizen Tv

Nimemtafutia Kazi Mdogo Wangu Sasa Anakataa Kutoa Penzi kwa Bosi, Mimi Nimfanyeje?

$
0
0
Nina mdogo wangu wa kike, ni wa mwisho kwetu kuzaliwa, amemaliza chuo miaka 2 iliyopita hakua amepata kazi, amekua nyumbani tu muda wote huo. Kwa kweli for the past two years nimetembea sana kwenye mashirika mbali mbali kumtafutia kazi bila mafanikio. Hadi ilipofika December mwaka Jana nilipomlilia hali bosi mmoja ambae tuna muingiliano wa kikazi katika mashirika yetu.

Mimi huenda kwenye shirika hilo kila mwisho wa mwezi kwa mambo yahusuyo hesabu za shirika za mzee huyu mwenye roho nzuri, akaongea na HR manager wa hapo na hatimae mdogo wangu akaingia kazini baada ya mchujo wa karibu watu 1500 katika mtihani wewe kuandika baadae oral kwa kweli ilikua muujiza.

Sasa amebakiza wiki moja amalize probation, miezi miwili iliyopita bosi wake alimwomba uhusiano na mdogo wangu akamkataa akamwambia yeye ana mtu wake, yule bwana hajakata tamaa ameendelea kumkumbushia jambo hilo binti hadi sasa yule bwana kuona hali imeshindikana akamuita na kumwambia wazi kwamba kama unakataa ombi langu basi sitalipeleka jina lako kwa ajili ya confirmation, akasema anayo sababu nyingine ya kisheria ya kutom confirm.

Hivyo kazi yake ipo hatarini, sasa amelileta rasmi kwangu kuona tunafanyaje kuokoa hii hali, mimi nikamwambia akubali tu kuwa nae haitampunguzia chochote, nikamshauri wazi tu kwamba maisha wakati mwingine ni lazima ujitoe sadaka mwenyewe, watu wote waliofanikiwa wamepita njia ngumu sana na hata wakikueleza huwezi amini ni siri ya mtu moyoni.

Nimejaribu kumpa mifano mingi ya wanawake waliofanikiwa na anaowaona wamekalia viti vikubwa asilimia tisini ni pichu
Lakini binti kasema yeye hawezi kufanya hivyo acha akose tu kazi kwamba ana mtu wake. Kwa kweli nimekasirika sana kwa kitendo hicho, yule mzee alienisaidia pia anaungana nami kwa hili, sasa basi nimemwambia binti kama akipoteza hiyo kazi kwa ujinga wake sitaki kumuona hata kwangu, arudi kijijini kabisa kwa wazazi, maana amewapigia simu kama vile kunisemea vibaya kwa ndugu mbali mbali.

Huyu mtu wake mwenyewe ni fake balaa, huwa tunakutana sana mjini humu akiwa na magumashi kibao sema tu namna gani vipi mambo ya kiume, ana faulo kibao tu. Yaani kwa kweli nimekasirika sana, mimi mwenyewe kazini kwangu nakimbilia hadi begi la bosi wangu kwenye gari asubuhi akifika kama mtoto, yote hiyo ni kujipendekeza ili mambo yaende. Mwaka juzi kuna bosi wangu mwanamke mbaya wa sura kama nini, mumewe alikua na kisukari, kila watu wakiondoka tunajifungia ofisini, lakini nilivumilia hadi alipohamishwa na sasa hivi naishi poa kazini, yote ni kulinda kazi.

Sasa najua wazi huyo bosi wake atatekeleza hicho kitisho anachotoa, hr siku zote wanapokea mapendekezo kutoka kwa line manager, akisema staff huyu ameshindwa probation HR hawezi kufosi, na hii mbinu inatumika sana hasa kwa new comers, huwezi kuruka, labda Mungu akusaidie usitongozwe na bosi yoyote.

Source:JF

Habari zinavuma Mayai ya Kwale yanatibu Magonjwa yote Sugu Kama Kisukari, Moyo, Nguvu za Kiume, Kiarusi, Magonjwa ya Uzee na UKIMWI

$
0
0
Miaka ya hivi karibuni kulikuwa na gumzo kubwa hapa nchini na hata nje ya nchi juu ya tiba ya kimaajabu maarufu kama ‘kikombe cha babu.’

Tiba hiyo ya kikombe ilikuwa ikitolewa na Mchungaji Ambilikile Mwasapile kijijini Samunge Wilaya ya Loliondo. Taarifa za tiba hii zilienea kwa haraka nchi nzima hali iliyowafanya wananchi wengi kila kona kuelekeza macho, masikio na mioyo yao kwenye tiba hii.

Kutokana na uvumi wa maajabu ya kikombe cha Babu, baadhi ya watu walidiriki hata kuwatorosha wagonjwa wao hospitalini.

Wengine wakaacha matibabu na dozi walizopangiwa hospitali kwa magonjwa mbalimbali, yakiwemo yale sugu na kuamua kukimbilia kikombe cha babu kwa imani, kina uwezo zaidi.

Pia, ikumbukwe kwamba kikombe hakikuwa na tiba sahihi kwani hata Serikali kupitia Wizara ya Afya na taasisi zake zilishindwa kutoa uthibitisho wa kisayansi juu ya ukweli wa tiba ile. Hivi sasa kumeibuka tiba ya ‘mayai ya kwale’ ambayo inavuma kila kona na imekuwa gumzo kila mahali. Tiba hii ni ya kimaajabu kwani uvumi uliopo ni kwamba mayai ya kwale yana uwezo wa kutibu magonjwa yote sugu.

Kasi ya kushauri wagonjwa na hata wasio wagonjwa kutumia mayai haya badala ya kwenda hospitali kwa uchunguzi wa afya zao inaongezeka na maelekezo yanayopatikana mitaani juu ya kutumia tiba hii ni ya ajabu na yanatofautiana kutoka mtu mmoja hadi mwingine. Nilishuhudia mtu mmoja akimwelekeza mgonjwa kuwa alipaswa kuyapasua mayai na kuyapondaponda pamoja na magamba yake na kisha ayanywe katika hali ya ubichi. Mwingine aliambiwa ayapasue na kisha ayakoroge pamoja na asali au maziwa kisha anywe, wengine wanaelekezwa kuyachemsha kama mayai ya kawaida na kisha kula kiini cha ndani. Uvumi huu unaenea kwa kasi mitaani.

Kutokana na kuvuma kwa tiba hii, mayai haya hivi sasa yanaonekana kusakwa kila mahali na yanauzwa kati ya Sh15,000 hadi 20,000 kwa trei.

Uvumi wa tiba hii hauna tofauti na ule uliozuka nchini juu tiba maarufu kama ‘kikombe cha Babu’. Watu wengi walikatisha matibabu kwenye hospitali mbalimbali na kuamua kwenda Kijiji cha Samunge kwenda kupata kikombe cha babu na kufanya kuwe na misururu mirefu ya watu waliokesha usiku na mchana. Hii ilizusha adha kubwa hasa kutokana na kutokuwepo na maandalizi ya vyoo hivyo watu kujisaidia ovyo vichakani.

Adha ya safari ndefu na kukaa kwenye foleni kwa zaidi ya siku tatu, kulifanya wenye afya mbaya kushindwa kuhimili na hata kupoteza maisha.

Katika mazingira haya ya kuibuka tiba za ajabuajabu ambazo hazijathibitishwa kitaalamu, ni vyema Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii ikatoa ufafanuzi.

Isisubiri hadi watu wapoteze maisha halafu ndiyo ianze kuja na maelekezo tena yanayopingana na yale ambayo jamii inaamini. Kuchelewa kunafanya wengi wapoteze fedha na hata kuacha tiba sahihi na kukimbilia kitu ambacho kinavumishwa tu.

Serikali haipaswi kukaa kimya wakati watu wakiendelea kutibiana kwa vitu ambavyo havijathibitishwa kitaalamu.

Kama Serikali ingechukua hatua mapema, watu wasingepoteza maisha kupitia kikombe cha babu.

Uvumi huu wa tiba ya mayai ya kwale hauna tofauti na Kikombe cha Babu.

Katika ulimwengu huu wa utandawazi na soko huria, ni kawaida kusikia mambo mapya yakiibuka kila kukicha, lakini kama mambo hayo yanagusa afya zetu, hatuna budi kuwa makini na waangalifu zaidi.


Johari: Nina Mtoto Sawa, Mnataka Kumjua Baba yake ili iweje?

$
0
0
Johari
Staa wa Bongo Movies, Blandina Chagula  ‘Johari’ amedai kushangazwa na watu wanaoshindwa kufanya mambo yao binafsi na kuanza kufuatilia maisha yake pamoja na mtoto wake.


ohari ameiambia Bongo5 kuwa anaishi kwa furaha na mwanae licha baadhi ya watu kumfuatilia na kutaka kujua mtoto wake amezaa na nani kitu ambacho hapendi kukiweka wazi kwa sasa.
“Sidhani kama kuna mtoto ambae anakosa baba,” amesema muigizaji huyo.


“Siku nitapokuwa tayari nitamweka wazi baba yake ili waridhike. Kwa sababu nashangaa watu wanaingilia vitu vyangu private. Katika maisha yangu mimi sio mtu wa matangazo, nianze kutangaza nina mimba! Nimejifungua sina hizo, mimi ninachotaka watu waache kufuatilia privacy yangu, yaani waendelee kufuatia kazi zangu na sio vitu vinavyoandikwa na magazeti ya udaku. Mimi ninachoshukuru Mungu nipo happy pamoja na mwanangu,” ameongeza.


Katika hatua nyingine Johari amesema filamu yake ijayo inaitwa ‘Mapenzi ya kweli hayafi.


“Kuna movie mpya ambayo natarajia kutoa hivi karibuni inaitwa Mapenzi ya kweli hayafi, yaani ‘True love never die’ ambayo nimecheza mimi Irene Uwoya na Single Mtambalike Rich. Hii ni idea ambayo nilipata mimi mwenyewe kichwani kwangu na nikaamua kuifanyia kazi.”

Bongo5

Diva Loveness Awachana Mbaya Trace TV na MTV Africa..Ukiona Video Zimechezwa Huku Ujue Ushikaji Au Umefanya Ngoma na Mnigeria Or Msouth Africa

$
0
0

Mtangazaji wa Clouds FM Radio Amefunguka Haya Kuhusu Channel za Kubwa Mbili Africa za Music..Amendika Haya kwenye Ukurasa wake wa Instagram:

Yaan Trace is full Of Bullshit ... kiufupi it sucks.. Nyimbo Za Tanzania Ukiona Zimepigwa. Ujue Ushkaji labda either umefanya kazi nao or mshkaji wako anajuana nao , nomination zenu pia za awards same trend .. Mpaka Mtu awe featured na wasanii wenu ndio atakuwa nominated for MTV africa or hizo awards zingine .. Bongo mbona wasanii wetu wakali kuliko nyie ... wabinafsi nyie sana ... yaan ili uwe kwao with the trend ni Uwe Umefanya track na M south Africa or Mnigeria .. you guys praise all of this Bs yaan.. wonder if Nyimbo zetu Kwao zinapigwa katika clubs yaan itakuwa hivyohivyo.. umeshirikiana nao or ushkaji or mshkaji wao mshkaji wako .. hamna zaidi.

Sioni Ajabu hata wimbo wa Mtu ukichezwa huko naona kawaida tu. not even Proud kusema ukweli... ukiangalia Trace Siku Nzima List ya wanamuziki wa Nigeria ndio usiseme .. na wanarudi hatari same playlist .. hizo mnazorudia kama kweli mnakuza muziki wa africa mngeweka za amataifa mengine esp Tanzania ambao Muziki wetu una viwango hasa .. well Improved kwa video hata zetu wenyewe
.... video zao zenyewe ubora wao siooo hivyooo.. zinafanana maudhui ndo usiseme labda wizkid wangu ndo he is too local for days .... ila Mbona Bongo kuna Kazi Nzuri tu nyie trace .. tena video kali kweli ...

hamna msichana mwaka huu kafanya video kali kama Ruby na Yule ila sababu hana ushkaji wimbo wake hautaonekana ... or sababu hajashirikisha brand zenu za nigeria mixer south africa basi video haitachezwa hata kama imetumwa kwenu.. wabinafsi sana nyie .. mtu akiwa katika playlist yenu ni lazima awe kafanya kazi na nyinyi or else you want them to Kiss yo ass or something.
Annoying Channel.

Mbona sisi Creative sana tu .. au ndo mpaka tuje ku shoot video South Africa or nigeria na directors wenu ?! mbona video Director'z Bongo wakali zaidi yenu? location mbona tunazo nyie trace?! Yo Music Video Playlist is on the same trend Mwezi mzima like what the heck . badilikeni bwana
Mbona shilole mkali kuliko Yemi alade video zake hamchezi? hata kama katuma mtabana? sometimes am always like .. what am i even watching? same playlist .. creativity on za same spot .. Quality ka zetu tu .. and I'm like Oi. sucks

Kilio cha Ray C chazusha mjadala kama kweli Methadone ni tiba inayomfaa!

$
0
0
Rehema Chalamila aka Ray C aliyesifika kwa sauti tamu ya kuimba na kiuno chake bila mfupa, bado anakabiliwa na vikwazo vingi katika vita yake ya kurejea kwenye hali yake ya kawaida baada ya kuwa mwathirika wa madawa ya kulevya.

Kwa wengi ukiangalia na mahala alipokuwa amefika kabla ya kuanza kupewa tiba, Ray C alipata ‘second chance’ ya kuyarejesha maisha yake kama zamani. Baada ya kuzunguka kwenye hospitali kibao na vituo kadhaa vya rehab hapa nchini, hatimaye Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Jakaya Kikwete aliamua kumsaidia.

Baada ya muda, Ray C akaanza kurejea kwenye hali yake. Alianza kupata matibabu ya dawa maarufu ya Methadone, inayowasaidia watumiaji wa madawa ya kulevya kuachana na uraibu na kurejea katika hali ya kawaida.

Baada ya kutumia dawa hiyo, Ray C alianza kurejea kwenye afya yake ya zamani japo alinenepa sana. Kwa wengi tuliamini kuwa muimbaji huyo amepona na tayari kurejea kwenye muziki. Ni kweli aliingia studio na kurekodi nyimbo kadhaa na kutoa mmoja uitwao ‘Mshum Mshum’ ambao hata hivyo haujafanya vyema – pengine mashabiki walishindwa kumpata yule Ray C waliyekuwa wamemzoea!

Lakini ikiwa imepita takriban miaka miwili tangu Ray C aanze kutumia Methadone na huku wote tukiamini kuwa huenda akawa amepona kabisa, muimbaji huyo amekuja kutushtua kwa video zake zinazomuonesha akilia kwa uchungu baada ya kunyimwa dawa hizo kwenye hospitali anayotibiwa.

Video hizo ameziweka kwenye akaunti yake ya Instagram.


Ray C anasema kwenye video hizo kuwa kitendo cha yeye kukosa dawa hizo, hugeuka kuwa adhabu kubwa anayoshindwa kuistahimili.

“Nashindwa kuvumilia,” anasikika Ray C akisema. “Mpaka sasa nipo hapa kitengo cha madawa na sijapewa dawa, kwa sababu nilipost ile post nyingine wamenifanyia makusudi. Sasa mimi nikikosa madawa wanataka nirudi kwenye kuvuta unga,” amehoji muimbaji huyo.

Video hiyo imewahuzunisha wengi na pengine kuwashtua zaidi kuwa pamoja na miaka miwili kupita bado muimbaji huyo anaitegemea dawa hiyo. Na hivyo ni muhimu kuhoji iwapo Methadone ni tiba sahihi kwake!

Ni ngumu sana kujua ni maumivu gani anayopitia, lakini nahisi dawa hiyo ilipaswa iwe imemsaidia kiasi cha kumrejesha kwenye hali yake ya kawaida na kutotogemea dawa aina yoyote ile na aishi kama watu wengine. Bila Methadone aliyoitumia kwa miaka miwili sasa, Ray C anaishi maisha magumu yenye maumivu makali.

Kuna njia nyingine mbadala ya kumsaidia? Je! Ataendelea kutumia Methadone katika maisha yake yote? Dawa hiyo ina madhara gani kwenye afya yake hasa akiitumia kwa muda mrefu? Hayo ni baadhi ya maswali ambayo wengi wanajiuliza.

Lakini Methadone kwa mujibu wa Ray C, ni dawa anayoiheshimu sana.

“Namshukuru Mungu kwamba chozi langu limesikika na jioni hii nimepewa dawa,” aliandika Ray C kwenye video nyingine aliyoiweka kwenye akaunti yake ambayo anaonekana akinywa dawa hiyo.
“Naiheshimu hii dawa kuliko kitu kingine chochote katika dunia hii,” ameongeza.

“Dawa hii imeniokoa kutoka kule nilikotoka,dawa hii imenifanya nirudi katika hali yangu ya kawaida. Nitafanya lolote niwezalo kuipata dawa hii kwani ndio mwokozi wangu. Bila dawa hii leo nisingekuwa hapa nilipo! Dawa hii ni haki yangu. Namuomba Mungu anilindie hii dawa kila ninapoiweka mdomoni isinidhuru. Nawashukuru wote kwa sapoti na upendo mlionionyesha leo.”

Kauli yake inaonesha wazi kuwa ataendelea kuitegemea Methadone kwa muda mrefu. Vipi kama akiendelea kuitegemea katika maisha yake yote?
Dawa hiyo si maji. Ukinywa hali kama ya kizunguzungu, usingizi, kichefuchefu, kutapika au kuvuja jasho kwa wingi humtokea mtumiaji. Hali hizi Ray C hukabiliana nazo kila anywapo dawa hii.

Japo si rahisi kama wengi wanavyodhani, ushauri umetolewa kwa muimbaji huyo kujaribu kutumia njia zingine badala ya kutumia dawa hiyo kwa kipindi kirefu.

“Mbona ni yale yale tu, hiyo dawa inakufanya unakuwa mtumwa u can do shit without it…tofauti ni kwamba it has a positive outcome but ur still a slave to drugs. I will be more happy if u stood on ur own,” ameandika director_fiddz.

Naye Dida Mumu ameshauri: Achana na methadone njoo Kigamboni kwa Pilly Misana kuna suluhisho la kudumu vingine mateso hayatakuisha, pls pls ww mwenyewe uliwahi kuja ukajionea jinsi vijana wanavyopambana kuacha na wanafanikiwa wengi tunao mtaani tunawaona hizo methadone zinakudanganya coz zina side effect kubwa pale unapozikosa.Jaribu kuwa muelewa na baadaye usije kurudia kuvuta unga kwa kisingizio cha kukosa hizo dawa wakati suluhisho la kudumu lipo.”
Je anaweza kuacha kutumia dawa hiyo na kuvumilia maumivu hayo kama nicshawz anavyoshauri: Fanya kukubali maumivu, ndokana na methodone, achana na hii dawa pia. Siku ukikosa kabisa utavuta unga @rayc1982 try to live bila hii dawa, am telling u dis koz kuna mtu namfahamu aliweza kuacha kabisa kwa kuvimilia maumiv then nau hatumii kabisa drugs.”

Lakini Amour Mabrouk ana ushahidi kuwa Methadone haina madhara.

“Hizo methadone zinatumika kwa kipindi fulani hadi mtu anapokuwa mbali na hatari ya kutumia madawa,” ameandika. “Msimislead watu waache professional clinic waende mitaani, hiyo ni dose na ina mwisho.Tafadhali ni jambo lililothibitishwa kitaalamu na haina hizo side effects mnazosema, nimeshuhudia ikimponya mama yangu mdogo.”

Blessing Annettee naye ana mawazo kama hayo.

“Stop misleading her,hiyo dawa imethibitishwa na haina side effect na anatumia kwa muda kipimo kikipungua hadi atakapoweza kuishi bila dawa kabisa. Msiwadanganye watu waache clinic maana hawataweza kuhandle arosto watarudi kwenye dawa,methadone ndo suluhisho let them use it,kama hujui kitu dont mislead wengine.”

Swali ni kama Methadone haina madhara na kwamba inaweza kutumika kwa muda na mgonjwa akaweza kurudi kwenye hali yake ya kawaida, ni muda upi huo mtu huyu ataendelea kuitegemea?

Orega ameyahoji maelezo ya Blessing Annettee na Amour Mabrouk,” tuambieni hii dosage ya methadone inachukuwa muda gani? Ili mtu awe huru (methadone-free) we need to be real here. This is neither joke nor a game of chasing a wild goose. Maelfu ya watu wanaumia huko mitaani. Ikiwezekana mtuhabarishe kwanini nchi nyingi zimeipiga marufuku hii Methadone?”

Mange Kimambi naye anashauri kuwa ni muda wa Ray C kuachana na dawa hiyo. “Ray C bado ni mtumwa wa madawa ya kulevya. She has to be strong sasa aachane na hii methadone,” ameandika.

“Ukiona mtu mzima analia hivi ndo ujue hiyo methadone na yenyewe ni majanga. Na serikali inajua ila ni mambo ya budget. Nimesoma sehemu kuwa inaicost serikali ya UK pound 3,000 kumtibia teja kwa kutumia methadone na inawacost more than pound 10,000 kuwatibia kwa kuweka rehab. So wanaona bora wawape tu hiyo dawa wa save pesa. Kwa nchi maskini kama Tanzania ndo kabisaaaaaa. Hakuna pesa waanze kujenga marehab centre etc si bora wawatulize na hiyo methadone.”

Ni kweli kumekuwepo na mijadala mingi kuhusiana na kama methadone ni dawa sahihi kwa watu wenye uraibu wa madawa ya kulevya. Katika baadhi ya nchi kwa mfano Urusi, methadone ilipigwa marufuku.

Ray C ni mmoja tu ya watu wengi wanaokumbana na mateso haya. Ni muhimu kuwepo mjadala wa kuangalia namna gani nyingine inaweza kuwasaidia waathirika wa madawa ya kulevya kuachana kabisa na kuishi maisha ya kawaida bila kutegemea dawa nyingine. Pia vita dhidi ya madawa ya kulevya inapaswa kuongezewa nguvu zaidi.

Source:Bongo5

Faiza Ally Atoa Mpya Usiku Huu wa KTMA...Vazi lake Latia Aibu ..Wengi Hawajalipenda Wampa Vidonge Laivu

$
0
0
Baada ya Lile vazi alilovaa Siku ya All White Party ya Zari Kuleta Ngumzo Mitandaoni ..Leo Tena Mwanadada Faiza Ally Amekuja na Mpya Kwenye Tuzo za KTMA...

Baadhi ya Watu Wamekerwa na Vazi Hilo na Kusema Yafuatayo:

Angelayubu Loooh shoga ata kama umaarufu umezidi iyo sasa shombo

Jestina George Sina kawaida hii lakini leo wacha niseme Faiza jamani why?? Not on the red carpet my love Noti Raiti kabisa mamii ake!!! I appreciate ubunifu wako but this is a NO! NO! Juu na mbele sawa kidogo huko nyuma hapana, hapana!!!

Mwakipesilejeremiah Kwakweli mheshimiwa Mbilinyi alikosea njia.

Pendomackay_mobileshop Iko kimstar cha matakon angekiweka sawa km vilivokaa vnge angalau ingevumilika,asa nako kakabinulia kwa chini ili tako lionekane mweeh alitegemea kusifiwa ila kwa coment hz unaweza jiona takataka

RathhawaPumbavu kabisa mwanamke hana haya huyu. Mara avae pempers,mara avae shati tupo. Bora aende uchi tu


Missbutter_beiby Yaani hata wakati anahojiwa hakuwa na amani kabisa anahemea juu juu tu 😂😂😂akakataa kugeuka lol aibu hata km ni umaarufu sio kihvy angefunika tu hilo tako na am sure hata huko alipokaa hayupo confotable kabisa

sophy_soffy Sifa za kjinga hizo! Mtu mwenyew ana umarufu gani! Eboo...' hata filamu 5 hajaact! Kisa tu kazaa na mweshimiwa na kaonekana ktk interview ya take one! Bas tabu tupuu' ovyoooo! Yan kaharibu..'mtto wake cjui anamfunza nn!@zamaradimketema@mrekebishatabia


gwantwamwangoka Mmmh too much aiseee....huyu akapimwe akili lol...duu mnaweza kuona mwenzenu mzima kumbe anautindio Wa ubongo .kichaa sio lazima aokote makopo .hata havutii


Je wewe una Maoni Gani Kwa Vazi Hilo la Faiza Ally?

What’s Wrong with this Jux and Vanessa’s Photo at the KTMA last Night

$
0
0
To me this Photo says something must have been going on between Jux and his chick Vanessa and their Neighbors…
What do you think? Feel free to drop your comments  below…

Revealed: This is why Diamond missed the KTMA show

$
0
0
Well, I think Diamond decided to miss the show because he knew that Ali Kiba was not going to be there too, so he did not want to get embarrassed seeing most of the Awards taken by #KingKiba who was not around.

Imebainika Kuwa Idadi Kubwa ya Watangaza nia ya URAIS 2015 Yaipunguzia Kazi CCM

$
0
0
IDADI kubwa ya wanachama wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), waliojitokeza kuchukua fomu ya kuomba kuwania nafasi ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, imetajwa kutoa ahueni kubwa kwa vikao vya uamuzi na hasa Kamati Kuu, katika kufanya mchujo wake.

Wakizungumza na gazeti hili kuhusu kuibuka kwa zaidi ya wanachama 30 wa CCM kuwania nafasi hiyo kubwa nchini, wasomi wa fani ya Siasa na Utawala wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, wameelezea namna ambavyo hatua hiyo itakavyorahisisha kazi ya kumpata mgombea.

Mmoja wa wahadhiri wa fani ya siasa chuoni hapo, Dk Jingu John, amesema kujitokeza kwa wagombea wengi, kunatoa fursa nzuri kwa kuwa wangejitokeza wachache, Kamati ya Maadili na Usalama na Kamati Kuu ya CCM ingekuwa katika wakati mgumu kufanya mchujo.

“Katika mazingira ya sasa tunaweza kusema kwa kufuata vigezo na kanuni zao, wanaweza kupata wagombea wazuri kuliko wangejitokeza wagombea kama wawili au watatu, ni kama wamepunguziwa kazi,” alisema Dk Jingu.

Msimamo wa JK Mhadhiri mwingine, Dk Benson Bana, alisema msimamo wa Mwenyekiti wa CCM, Rais Jakaya Kikwete wa kutokuwa na mgombea, umetoa matumaini zaidi ya kutoonesha upendeleo wakati wa kufanya mchujo.

“Chama sasa kinapaswa kudhihirisha kuwa kina uongozi imara, Mwenyekiti anatakiwa ahakikishe kanuni na taratibu zinazingatiwa… kama alivyowahi kusema urais hauna ubia, tunatarajia hata uenyekiti wake hauna ubia,” alisema Dk Bana.

Dk Bana alisema hatua ya Kikwete kutokuwa na upande wowote, imeonesha namna alivyokomaa kisiasa ndio maana mpaka sasa hajaonesha upande alioko na hata wagombea wanatarajia haki itatendeka.

Mwanzoni mwa wiki hii Rais Kikwete alipozungumza na Watanzania wanaoishi nchini Uholanzi, alikiri kuwa baadhi ya watangaza nia wamekuwa wakiomba ridhaa yake, ambapo yeye hakuna aliyemkatisha tamaa badala yake amemtakia kila la heri aliyejiona ana ubavu wa kutaka kumrithi baada ya Uchaguzi Mkuu wa Oktoba mwaka huu.

Rais Kikwete katika hilo, alisema ana imani na chama anachokiongoza, kuwa kitafanya chaguo sahihi la mgombea wa urais atakayepeperusha vyema bendera ya CCM katika mchakato wa kumpata Rais wa Awamu ya Tano wa Tanzania baadaye mwaka huu.

” Huu ni mwaka wa uchaguzi, kuna mengi yanayoendelea, hasa mchakato wa kuwania urais… huko CCM mpaka leo (Jumatatu iliyopita) watu 15 walishachukua fomu, na wengine zaidi ya 15 ama wametangaza nia au wanakusudia kufanya hivyo.

“Ndiyo demokrasia ndani ya CCM, lakini niwahakikishie acheni waumane, lakini mimi binafsi sina chaguo langu. Chama ndicho kitakachoamua na ninaamini kitatupatia kiongozi sahihi kwa saizi na hadhi ya CCM na huyu atatuvusha mpaka Ikulu. “Jana (Jumapili iliyopita), kuna mtu alinitumia ujumbe akisema anakusudia kutia nia hivyo nimpe baraka zangu…nikamwambia `Good luck’ (Kila la heri), sasa kama alitafsiri ndiyo tayari mambo safi, aah…sijui bwana, ila mimi sina mgombea.

“Nasisitiza chama chetu ni makini na kitatupatia mgombea makini. Mwenyezi Mungu atuepushie mbali ili tusipate kiongozi atakayeipeleka nchi pabaya,” alisema na kuwataka Watanzania wanaoishi nchini Uholanzi kutokuwa na hofu juu ya mchakato huo ndani ya CCM. CCM kumeguka?

Akizungumzia hofu ya watu kuwa huenda baadhi ya wagombea watakaokatwa wangeweza kutoka katika chama hicho na kujiunga na vyama vya upinzani, Dk Bana alisema haoni mgombea hata mmoja aliyejitayarisha kuhamia upinzani na ikitokea, haoni namna mgombea huyo atakavyojijenga kisiasa.

Vikao vya mchujo Mchakato wa uchukuaji fomu za kuomba ridhaa ya CCM kuwania urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na ule wa Zanzibar ulioanza Juni 3 mwaka huu, unatarajiwa kukamilika Julai 2 mwaka huu.

Baada ya kuchukua fomu, kila mgombea ametakiwa kuzunguka mikoa 15 nchi nzima, mitatu lazima iwe ya Zanzibar kusaka wadhamini 450, wastani wa wadhamini wasiopungua 30 kila mkoa, hatua ambayo imekuwa ikiendelea na kugonganisha wagombea katika mikoa mbalimbali nchini.

Kwa upande wa nafasi ya urais wa Zanzibar, ambayo mpaka jana hakukuwa na mgombea hata mmoja aliyejitokeza kuwania nafasi hiyo, mwanachama atakayechukua fomu, atatakiwa kutafuta wadhamini 250 kutoka mikoa mitatu ya Unguja na Pemba.

Baada ya kazi ya kupata wadhamini kukamilika, vikao mbalimbali vya uchujaji wa majina ya wagombea vinatarajiwa kuanza, vikitanguliwa na kikao cha Kamati ya Usalama na Maadili, kitakachokutana Julai 8, mwaka huu.

Kikao hicho kinatarajiwa kuandaa mapendekezo, yatakayosomwa na kujadiliwa na kikao cha Kamati Kuu kitakachokutana Julai 9, ambacho ndicho kinachoelezewa na wasomi kuwa kitakuwa na kazi nyepesi ya kuchuja majina ya wagombea, ili wapatikane wasiozidi watano watakaopelekwa kwa mchujo zaidi katika kikao cha Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) ya CCM.

Kikao cha Nec kinachotarajiwa kukutana Julai 10 mwaka huu, kitachuja majina hayo zaidi na kutoka na majina matatu, yatakayopelekwa katika Mkutano Mkuu utakaofanyika kwa siku mbili za Julai 12 na Julai 13 mwaka huu, ambapo pamoja na mambo mengine, mkutano huo ndio utakayemtoa mgombea urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania wa CCM na mgombea urais wa Zanzibar kwa tiketi ya chama hicho.

Wagombea Wanachama na vigogo waliokwisha kuchukua fomu kuwania nafasi hiyo kubwa kitaifa ni pamoja na Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mathias Chikawe, Naibu Waziri wa Mawasiliano Sayansi na Teknolojia, January Makamba, Mbunge wa Sengerema, William Ngeleja, mkazi wa Musoma mkoani Mara, Boniface Ndengo, mkulima kutoka kijiji cha Mjimtala wilaya ya Kasulu mkoani Kigoma, Eldefonce Bilohe na kada wa siku nyingi wa chama hicho, Dk Hassy Kitine.

Wengine ni Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Bernard Membe, Waziri wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu, Mkurugenzi Mkuu wa Taasisi ya Utafiti wa Magonjwa ya Binadamu (Nimri), Dk Mwele Malecela na Mbunge wa Nzega, Dk Hamis Kingwangalla.

Pia yupo Balozi Amina Salum Ally, Waziri Mkuu wa zamani, Edward Lowassa, Naibu Waziri wa Fedha, Mwigulu Nchemba, Waziri wa Kilimo na Chakula, Steven Wassira, Waziri Mkuu wa zamani, Frederick Sumaye, Makamu wa Rais, Dk Mohamed Gharib Bilal na Waziri wa Ujenzi, Dk John Magufuli.

Wengine ni Balozi Ally Karume, Mbunge wa Kisesa, Luhaga Mpina, Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Kazi Maalumu, Profesa Mark Mwandosya, Mtumishi wa CCM Idara ya Siasa na Uhusiano wa Tanzania, Amos Siyantemi na Waziri wa Uchukuzi, Samuel Sitta.

Pia yupo Waziri Mkuu, Mizengo Pinda, Wakili Mwandamizi Mahakama Kuu Tanzania, Godwin Mwapango, na makada wengine wa CCM, Peter Nyalile na Leonce Mulenda.

Wengine aliyekuwa Waziri wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo, Waziri wa Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi, Dk Titus Kamani, Mbunge wa Afrika Mashariki, Makongoro Nyerere, Balozi Agustino Mahiga, Mbunge wa zamani wa Iringa Mjini, Monica Mbega na kada wa CCM kutoka mkoani Tanga, Dk Mzamini Kalokola.

Maskini Timu yatu ya Taifa Yachapwa Bao Tatu Bila na Misri..Kocha Azidi Kujifungulia Milango ya Kutimuliwa

$
0
0
TIMU ya Taifa ya Tanzania, Taifa Stars imeanza vibaya mechi za Kundi G za kufuzu Fainali za Mataifa ya Afrika 2017 baada ya kufungwa mabao 3-0 na Misri usiku huu mjini Alexandria.

Mabao yote ya Misri yamefungwa kipindi cha pili, wafungaji wakiwa Rami Rabia dakika ya 61, Basem Morsi dakika ya 65 na Mohamed Salah dakika ya 70.

Yamoto Band Baada ya Kupata Tuzo ya Kill Music Wameamua Kufuata Njia Alizopitia Diamond PLATNUMZ..Wameamua Kufanya Hili

$
0
0
Kundi la muziki wa bongo flava nchini, Yamoto Band wanatarajia kukwea pipa kwenda Afrika Kusini kwa ajili yakufanya video ya wimbo wao ‘Cheza kwa Madoido’ na muongozaji mahili barani Afrika, Godfather.

Yamoto Band ambao usiku wa kuamkia jana walitwaa tuzo ya Kili katika kipengele cha ‘Kikundi bora cha muziki (Bongo Flava) wameamua kwenda Afrika Kusini kufanya video ikiwa ni hatua za awali za kuingia katika soko la kimataifa.

Aidha Yamoto Band wameachia video ya wimbo wao mpya unaoitwa ‘Nisambazie Raha’ unaofanya vizuri sana katika vituo vya radio iliyofanyika chini ya uongozaji wake Isangi Mental.

Diamond Platnumz Nominated For African Achievers Awards 2015, Recognized By Forbes

$
0
0
Keep flying Tanzanian flag higher Diamond Platnumz as hard work always pays and gets recognition. Read the later below to know more about African achievers awards.


Dr Kessy Anakuletea Dawa za Kutengeneza Hips, Makalio, Nywele na Nguvu za Kiume Kwa Kutumia Dawa za Asili zisizo na Kemikali

$
0
0


Kifaa cha Kurefusha uume Kinachouzwa 160,000
Pendeza na Dr Kessy Products 
Ni dawa za Asili zisizo na Kemikali wala madhara yoyote kwa Binadamu, zimetengenezwa kwa kutumia mimea na matunda mbali mbali kukupa matokeo ya Haraka

1.Refusha Nywele na zisikatike  45,000/
2.Ondoa Mvi Sugu kichwani  45,000/
3.Toa Michirizi Mapajani, Chunusi na Madoa mwilini 40,000/
4.Punguza tumbo na Manyama uzembe 45,000/
5.Mkanda wa Kufunga Kupunguza tumbo 70,000/
6.Tengeneza Shepu Hips na Makalio  45,000/ ,Vidonge 80,000/
7.Ongeza Nguvu za Kiume  Jelly 45,000/ , Vidonge 60,000/
8.Ongeza Ukubwa wa Maumbile ya kiume Jelly 80,000/ , Mashine 160,000/
9.Kuongeza Mwili Mzima 40,000/
10.Kupunguza Mwili 45,000/
11.Kupunguza Maziwa na Kuyasimamisha 40,000/
12.Ongeza Mguu uwe wa Kupendeza 45,000/
13.Rudisha usichana ama Bikira 55,000/
14.Ongeza Hamu ya Kula 40,000/
15.Ongeza Hamu ya Kufanya Mapenzi 55,000/
16. Fanya mwili Kuwa Soft 60,000/
17. Dawa ya kutoa Michububuko kwenye mapaja 45,000/
18. Dawa ya kutoa maji maji sehemu ya siri na kukuacha mkavu 55,000/

TUNAPATIKANA DAR NA MIKOA YOTE, HUDUMA ZINAFIKA POPOTE ULIPO , 
DAR TUPO KARIAKOO MSIMBAZI NA POSTA  MPYA

PIGA SIMU: 0719955528, 0756259180 au 0785371237

LADIES! Meet Diamond in the Kitchen Cooking Ugali for Zari – VIDEO

$
0
0

Whenever he breaks off from his tight performace schedules, Diamond Platnumz loves spending most of his time around his lovely wife, Zari Hassan. Time and again, the Bongo heartthrob has shared videos of himself assisting his pregnant wife to do some of the household chores.

Well, the nasema nawe hit-maker really knows how to treat his woman right. Ladies, meet ‘cheff Diamond’ cooking Ugali for Zari.


Dk Asha-Rose Migiro Ajitosa Kuwania Urais Kupitia CCM......Samuel Sitta Kurudisha Fomu ya Urais Leo

$
0
0
WAZIRI wa Sheria na Katiba, Dk Asha-Rose Migiro leo anatarajia kuchukua fomu ya kuomba ridhaa ya kuteuliwa kuwania nafasi ya urais kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM).

Aidha, taarifa zilizozagaa kwenye mitandao ya kijamii, kuwa Waziri wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar, Dk Ali Mohammed Shein kuwa atachukua fomu si za kweli kwa mujibu wa chanzo cha habari kutoka ndani ya CCM.

Migiro, ambaye atachukua fomu kwenye makao makuu wa CCM mjini Dodoma saa tisa mchana, atakuwa mwanamke wa nne kuchukua fomu za kuwania nafasi hiyo ya juu ya kuiongoza nchi kwa miaka mitano ijayo.

Akiwa ametanguliwa na wanawake wengine Balozi wa Umoja wa Afrika (AU) nchini Marekani, Amina Salum Ally, aliyekuwa Mbunge wa Iringa na pia alishakuwa Naibu Waziri wa Fedha, Monica Mbega, Mkurugenzi Mkuu wa Taasisi ya Utafiti wa Magonjwa ya Binadamu (NIMR), Dk Mwele Malecela.

Migiro aliyewahi kushika wadhifa wa Naibu Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa (UN), atatanguliwa na kada wa CCM, Salum Marupu ambaye anatarajia kuchukuwa fomu za kuwania nafasi ya urais saa nne asubuhi.

Aidha, katika siku ya leo, Waziri wa Uchukuzi na Mbunge wa Jimbo la Urambo Mashariki, Samuel Sitta anatarajia kurudisha fomu yake baada ya kupata wadhamini katika mikoa 15 ya Bara na Zanzibar.

Aliye Kuwa Mchumba wa Chriss Brown Karrueche Amchinjilia Mbali Chriss Brown Ataki Tena Kuwa Naye....Amemchoka na Visa Vyake

$
0
0
@karrueche - First off @chrisbrownofficial you just did an interview w Ryan Seacrest in which you spoke about me. My interview w Access Hollywood was not entirely about you.. they asked a question and as a mature adult I answered. I'm not gonna shy away from something that I lived through. I'm talking about my life and experiences. I'm not speaking on you or bashing you (like I easily could). Don't be mad at me because our relationship is over due to your lack of loyalty. You know what's weak?? You forcing yourself into my car.. my broken window.. blowing up my phone.. trying to shower me w gifts.. Man the fuck up and change the bs in your life like I've told you several times. Since you want to hear about my career - check out @vanityseries every Thursday on StyleHaul.com.. Emmy winning @thebaytheseries this Sept and 3 Headed Shark Attack on SyFy next month. Best of luck to you and beautiful Royalty ️

Chriss Brown Amjibu Karrueche...Akubali Kulikosa PENZI la Mrembo Huyu ..Amtakia Furaha na Amani Huko Alipo ..Soma Hapa

$
0
0
From @chrisbrownofficial - I'm eternally thankful for you being in a part of my life. I've learned so much from you. I wish u nothing but happiness and the best. ️ @karrueche all I was doing was trying to fight for the woman I love. ThanxI learned a lot

Maneno Aliyoyasema Mwanamuziki Barnaba Baada ya Kukosa TUZO ya Mtunzi Bora wa Mwaka iliyoenda kwa ALI KIBA

$
0
0
Hatimae Aliyekuwa Akitegemewa Kupata Tuzo ya Mtunzi Bora wa Mwaka Kill Awards Mwanamuziki Barnaba Ametoa ya Moyoni Baada ya Kuikosa Tuzo Hiyo:

Barnaba - Nawashukuru watu wangu wote na mashabiki Zangu mlionipiga Kura naamini kila kilichotokea Kimestahiri Kutokana Mimi nampenda mungu na naamini kuna Kitu kinaitwa Wakati au muda na napenda Changamoto mana hii Itafanya Nifanye Vyema mara mbili ya pale ninapofanyaga Yes Of coz mimi sinaga Team Bali Team yangu ni wale wote wanaopenda Muziki Mzuri nawapenda wote na nawapa Ongera wenzangu wote mlioshinda Bila kusahau kipenzi Changu #bestfemaleperformer and #bestfemaleartist @Vanessamdee Kushinda kwako ni wazi inaonesha wazi kazi nzuri Aya Tunaendelea na kazi Ya kuangusha Vyuma Juu Ya Vyuma na mwaka Huu natoa #Album Ambayo itafanya Yule asiyemwelewa Barnaba ajue na aelewe mwisho nawakumbusha Umoja ni nguvu utengano............. Tusijenge Matabaka Nndugu zangu

Una Maoni Gani ?
Viewing all 104755 articles
Browse latest View live




Latest Images