Quantcast
Channel: UDAKU SPECIAL
Viewing all 104785 articles
Browse latest View live

Marando: Tuna Mengi ya Lowassa Lakini Kwa Sasa Tunakaa Kimya

$
0
0
Lowassa
Mjumbe wa kamati kuu ya chadema na mwanasheria guli nchini tanzania mabere nyaucho marandu ,amesema ukawa wana mambo mengi sana ya kuzunguza kuhusu lowasa lkn kwa sasa wameamua kukaa kimya kwa kuwa wamekaa kimya kimkakati.

Pili amesema wao wameamua kukaa kimya kuhusu lowasa kwa kuwa nape,po makonda,na makokongora nyerere kwa sasa wao wanafanya kazi ambazo zilitakiwa kufanya na Ukawa

KIM Kardashian Amuaibsha Mumewe Kanye West..Atoka Out Bila Kuvaa Sidiria..Paparazi Wamchungulia na Kufanya yao

$
0
0
Papararazi walimpiga picha Kim akionekana kutovaa sidiria huku mtaani wakijiuliza kulikoni mume wake hamuoni au ni mtu asiyejali na kumpachika jina la ‘Mastermind’.

“Kivazi hiki kimekuwa kikiwatega watu kwani sehemu kubwa ya kifua chake kiko wazi, si vizuri kwa mama mwenye mtoto kuvaa nguo kama hii, kweli anamhaibisha mumewe”, alisema Shabiki mmoja

Meek Mill na Nicki Minaj wamshambulia Joe Budden baada ya kukosoa uhusiano wao

$
0
0
Meek Mill na Joe Budden wameingia kwenye ugomvi wa maneno baada la Budden kukosoa uhusiano wa rapper huyo na Nicki Minaj.

Kwenye podcast yake “I’ll Name This Podcast Later,” Joe Budden amemchana Meek kwa kubadilika kuwa rapper mlaini baada ya kuanzisha uhusiano na Nicki.

“Meek’s music is too hard for me to look at him with this fucking sappy fuck-shit,” alisema. “Be the hardcore guy that I’m sure she was attracted to at some point. It’s nasty. I hate everything about it.”

Meek alijibu madongo hayo kwa mfululizo wa tweets:

“And I brung joe buddens out on my sold out show in NYC….. It was a funeral when you got the mic! Stop it old hating noodle,” alitweet Meek.

I just get money…Remain trill…Stay fly & b puttin my day 1’s on … You’s type of guys can’t deal with me on no levels! Lol I’m out. Yall guys talk about other men too much..Don’t let my album do good..Ima change all dat and that and expose how lame yall dudes really are! joking but it ain’t dat boy level to b commenting on they way I handle my lady! Yall gotta have a chill button when you speaking on da trill.”

Joe alijibu tweets hizo: @MeekMill #1. I think you’ve taken some things outta context. I didn’t diss u. #2. U don’t rap well enough to go this route w me.”

Nicki naye aliamua kujibu: Why would you be bothered by another man showing love to his girl? Let’s celebrate black love. All the best w/ur podcast. All jokes aside.”

Diamond Afanyiwa Kufuru na Msanii wa Nigeria..

$
0
0
Staa grade one kwenye Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ amefanyiwa kufuru ya bonge la pati na msanii mwenzake kutoka nchini Nigeria, Kingsley Chinweike Okonkwo ‘KCEE’.

Kwa mujibu wa chanzo cha karibu kilichosafiri na staa huyo ambaye yupo nchini humo kwa ziara yake inayofahamika kama ‘Nana Tour’, tangu Diamond alipofika siku ya kwanza akiwa na mameneja wake, Salam, Babu Tale, DJ wake aitwaye Romy Jones na wengine, mastaa kibao wakubwa walikuwa wakihitaji kuwa wenyeji wake.


  • “Jamaa ana uhusiano mzuri sana na mastaa wa Nigeria. Kuna ambao ameshafanya nao kazi kama Yemi Alade, Tiwa Savage, Bracket, Iyanya, KCEE na P Square (bado haijatoka).

 

  •  “Pia wapo wengine kibao wanaotaka kufanya naye kazi hivyo wanamuwinda.Waliposikia anakuja kufanya ziara ya wimbo wake mpya kila mmoja alitaka kuwa mwenyeji wake.


“Simu zilikuwa nyingi lakini mwisho wa siku KCEE alikuwa ameshafika uwanja wa ndege kutupokea na hiyo ilikuwa rahisi kwake kwa kuwa naye hivi karibuni alimshirikisha katika wimbo wake wa Love Boat,” kilisema chanzo hicho.

Chanzo kinaendelea kumwaga ubuyu kuwa baada ya kufika nyumbani kwa KCEE, staa huyo mwenye mikoko na majumba ya kutosha nchini humo kupitia muziki, aliwafanyia bonge la ‘sapraiz’ kwa kufungua makabati yake ya rangi ya dhahabu na kuwaonesha tuzo kibao alizozipata kisha wakajimwaga sebuleni ambapo waliandaliwa pati ya madikodiko ya Kinigeria.


  • “KCEE ni kati ya wasanii wenye mafanikio na mali kibao. Jumba tu aliokaribishwa ndani yake lilijengwa kwa kuchanganya nakshinakshi za dhahabu.”


Diamond alitafutwa na  mwandishi kupitia Mtandao wa WhatsApp kuhusiana na mapokezi yake ambapo alifunguka:


  • “Nashukuru kwa Nigeria kunipokea vizuri najihisi kama niko nyumbani, nasema asante sana kwa watu hawa kwani wameonesha sapoti ya nguvu hata katika kunipigia kura katika Tuzo za MTV MAMA,” alisema Diamond na kuongeza.


“Kwa sasa akili yangu yote nimeielekeza kimataifa zaidi baada ya kufanya kolabo za kutosha Afrika.”

Hivi karibuni Meneja wa Diamond, Babu Tale alikaririwa akisema kuwa mashabiki wategemee kolabo ya kimataifa na msanii mkubwa na kudokeza kuwa msanii huyo anaweza kuwa Usher Rymond, Chris Brown, Ne-YO au yeyote mkubwa kutoka Marekani.

Kimenuka Tena Kwa ROSE MHANDO..Akamatwa Dodoma na Kupigwa Pingu Kusafirishwa Kwenda Dar es Salaam

$
0
0
Kufuatia skendo ya utapeli inayoendelea kumwandama mwimbaji wa nyimbo za Injili Bongo, Rose Muhando anadaiwa kupigwa pingu mkoani Dodoma, baadaye akasafirishwa hadi Dar kwa msimamizi wa kazi zake, Alex Msama, kwa lengo la kumlipia deni alilokuwa akidaiwa.


Habari kutoka kwa chanzo zimeeleza kwamba, hivi karibuni, Rose alilipwa Sh. milioni 3 kwa ajili ya shoo huko Makambako mkoani Njombe na matangazo yakafanyika lakini hakutokea.


Ikadaiwa kuwa, wakati matangazo ya shoo yakiendelea, mtu mwingine aliyekuwa akimdai Sh. milioni 3.5 (pia alichukua fedha kwa shoo siku za nyuma) alikwenda Makambako kwa lengo la kumsubiri Rose ili amnase, lakini hakutokea.


Chanzo hicho kiliendelea kumwaga ‘unyunyuzi’ kuwa, wawili hao waliripoti ishu ya Rose, Kituo cha Polisi Makambako ambapo polisi walifunga safari kumfuata Dodoma.


Sosi huyo alisema kuwa, Rose alikamatwa Juni 27, mwaka huu na kuswekwa rumande Kituo Kikuu cha Polisi, Dodoma tayari kwa kupelekwa mahakamani.
 
Imedaiwa kuwa, kigogo mmoja wa serikali mkoani humo (jina lipo) aliwaambia polisi wampigie simu Msama na kumweleza kisanga hicho ili ikibidi yeye amlipie deni hilo kwa sababu anamsimamia kazi zake.


“Msama alikubali kwa sharti kwamba, kwa sababu ana kazi ya kufanya na Rose hivyo asafirishwe hadi Dar amlimpie, yeye na Rose watakatana kwenye kazi.


“Rose alisafirishwa Juni 29, mwaka huu akiwa chini ya ulinzi wa askari wawili. Mmoja wa kike ambaye alilala naye chumba kimoja hotelini. Kesho yake wakaenda ofisini kwa Msama, Block 41, Kinondoni, akalipa milioni sita na laki tano keshi,” kilisema chanzo.

Habari Zilizopo Katika Magazeti ya Leo Jumatatu ya July 6

$
0
0
























Habari  Zilizopo  Katika  Magazeti  ya  Leo  Jumatatu  ya  July 6

Utafiti Urais 2015: Lowassa Aongoza Mbio za Urais.........Dr Slaa Ashika Nafasi ya Pili

$
0
0
Zikiwa zimebakia siku sita kwa Chama Cha Mapinduzi (CCM) kumpata mgombea wake wa urais katika uchaguzi mkuu wa Oktoba 25, mwaka huu, kura ya maoni iliyoendeshwa na Mpango wa Utafiti na Elimu ya Demokrasia (REDET) ya Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, inamweka kileleni Waziri Mkuu wa zamani, Edward Lowassa, kuwa changuo la kwanza la wengi kwa kujipatia asilimia 27.0 ndani ya chama hicho.
Wakati Lowassa akiwafunika watia nia wenzake ndani ya CCM, Katibu Mkuu wa Chadema, Dk. Wilbroad Slaa, anawafunika wenzake kwenye Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) akiwa changuo la wengi kwa asilimia 23.1.

REDET wamesema kuwa matokeo ya utafiti huo yanaweza kuchukuliwa kwa ujumla wake kama maoni ya Watanzania endapo masuala yaliyoulizwa uchaguzi ungefanyika katika kipindi cha utafiti.
“Sampuli iliyotumika katika utafiti huu kwa kiwango cha kutosha ni wakilishi na ina akisi hali halisi ya Watanzania,”  imesisitiza ripoti hiyo iliyojatwa kuwa ni maoni ya wananchi kuhusu Uchaguzi Mkuu ujao wa Oktoba 2015, mwaka huu.
Katika utitiri wa watia nia ndani ya CCM, kati ya wahojiwa 1,250 waliohojiwa, Lowassa alipigiwa kura na watu 338, wakati Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Bernard Membe, akipata asilimia 8.2 akichaguliwa na watu 103.
Utafiti wa REDET ulifanyika katika wilaya moja moja kwenye mikoa 25 ya Tanzania Bara baada ya wahojaji kukataliwa ruhusa ya kufanya utafiti wao katika mikoa mitano ya Zanzibar.
Utafiti huo uliokuwa umedhaminiwa na kampuni ya Business Times Limited, ulifanyika kati ya Juni 23-26, mwaka huu na kila wilaya ilikuwa na wahojiwa 50.
Kwa upande wa CCM watia nia wengine ni Mizengo Pinda nafasi ya tatu akiwa na asilimia 7.2 akichaguliwa na watu 90; John Magufuli nafasi ya nne akipata asilimia 6.6 akipigiwa kura na watu 83 na Charles Makongoro Nyerere nafasi ya tano akipigiwa kura na watu 54.
Wengine ni Mark Mwandosya nafasi ya sita akipata asilimia 3.1 akichaguliwa na watu 39; Dk. Harrison Mwakyembe nafasi ya saba akiwa na asilimia 1.4 akichanguliwa na watu 18; Frederick Sumaye nafasi ya nane akipata asilimia 1.4 akichaguliwa na watu 17; nafasi ya tisa imekamatwa na Jaji Augustino Ramadhani akiwa na asilimia 1.2 akichaguliwa na watu 15 na nafasi ya 10 amekamata Mwigulu Nchemba akiwa na asilimia 1.0 akichaguliwa na watu 13.
Wengine na idadi ya waliowachagua na asilimia zao kwenye mabano ni January Makamba nafasi ya 11 (asilimia 0.8, watu 10); Dk. Asha-Rose Migiro nafasi ya 12 (asilimia 0.7, watu tisa); Samuel Sitta nafasi 13 (asilimia 0.6. watu wanane); Lazaro Nyalandu nafasi ya 14 (asilimia 0.4, watu watano).
Pia wamo Prof. Sospeter Muhongo nafasi ya 15 (asilimia 0.4, watu watano); Balozi Amina Salum Ali nafasi ya 16 (asilimia 0.2, watu wawili); Dk. Mohammed Gharib Bilal nafasi ya 17 (asilimia 0.2, watu watatu); Stephen Wasira nafasi ya 18 (asilimia 0.2, watu 3) na William Ngeleja nafasi ya 19 (asilimia 0.2, watu wawili).
Wengine ni Balozi Ally Karume nafasi ya 20 (asilimia 0.1, mtu mmoja); Amos Siyantemi nafasi ya 21 (asilimia 0.1, mtu mmoja); Joseph Chagama nafasi ya 22 (asilimia 0.1, mtu mmoja); na Mwele Malecela nafasi ya 23 (asilimia 0.1, mtu mmoja).
Katika kura hiyo, watia nia 14 ambao wamejitosa kwenye urais kupitia CCM hawakutajwa kabisa na watoa maoni ambao ni Balozi Augustine Mahiga; Boniphace Ndengo; Eldophonce Bihelo; Godwin Mwaipopo; Dk. Hamis Kigwangalla; Dk. Hans Kitine; Joseph Chagana; Leons Mulenda; Luaga Mpina; Maliki Marupu; Mathias Chikawe; Monica Mbega; Titus Kamani na Balozi Patrick Chokala.
Kwenye kundi la Ukawa, namba mbili amechukua Prof. Ibrahim Lipumba akiwa na asilimia 13.6 akichaguliwa na watu 170; Freeman Mbowe ameshika nafasi ya tatu akiwa na asilimia 7.2 akichaguliwa na watu 90; James Mbatia amekamata nafasi ya nne akiwa na asilimia 3.2 akichaguliwa na watu 40; Emmanuel Makaidi akishikilia nafasi ya tano kwa asilimia 0.6 akichaguliwa na watu 8, huku George Kahangwa akishika nafasi ya sita kwa asilimia 0.2 akichaguliwa na watu wawili.
SWALI LA MSINGI
Swali la msingi lililokuwa linaulizwa lilisema: “Kama wewe leo ungeshirikishwa katika mchakato wa uteuzi wa mgombea urais kwa tiketi ya CCM, kati ya wanachama wake 37 waliokwishajitokeza, ungemchagua nani apeperushe bendera ya chama hicho katika uchaguzi mkuu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Oktoba 2015?”
Pia swali kwa Ukawa lilikuwa: “Kama wewe leo ungeshirikishwa katika mchakato wa uteuzi wa mgombea urais kwa tiketi ya vyama vinavyounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), kati ya wanachama wake waliokwishakutangaza nia na wanaotarajia kutangaza nia ungemchagua nani apeperushe bendera ya Ukawa katika uchaguzi mkuu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Oktoba 2015?”
Ripoti ya REDET imesema kuwa kwa maswali yote, mhoji alitakiwa kutomtajia majina mhojiwa, bali mhojiwa aliombwa ataje jina alilonalo kichwani mwake.
REDET imesema kuwa katika utafiti wake ilikusudia kupata maoni ya wananchi katika maeneo matatu; mosi, kupata maoni ya wahojiwa kuhusu wanachama wa CCM wanaoomba kuteuliwa kuwania nafasi ya urais kwa tiketi ya chama hicho; mbili, kupata maoni ya wananchi kuhusu wanachama wa vyama vinavyounda Ukawa ambao wamejitokeza au wanafikiriwa kuwania nafasi ya urais chini ya mwavuli wa Ukawa na tatu, kupata maoni ya wahojiwa kuhusu wanachama wa vyama vingine vya upinzani vilivyo nje ya Ukawa wanaofikiriwa kwania nafasi ya urais.
Katika kundi la vyama ambavyo havipo Ukawa, Zitto Kabwe ameongoza kwa asilimia 8.5 akichaguliwa na watu 106, Chama cha Demokrasia Makini kimepata asilimia moja kilichaguliwa na watu 13, John Cheyo ameibuka nafasi ya tatu akiwa na asilimia 0.9 akichaguliwa na watu 12 na Augustine Mrema nafasi ya nne akiwa na asilimia 0.7 akichaguliwa na watu wanane.
Wengine ni Chama cha ADC nafasi ya tano kikiwa na asilimia 0.5 kikichaguliwa na watu sita na nafasi ya sita yupo Christopher Mtikila akiwa na asilimia 0.5 akichaguliwa na watu sita pia.
WILAYA ZA KURA YA MAONI
Wilaya ambazo kura ya maoni iliendeshwa ni Longido, Temeke, Dodoma Manispaa, Mbogwe, Kilolo, Muleba, Mlele, Ujiji Kigoma, Moshi Manispaa, Lindi, Hanang, Bunda, Rungwe, Morogoro Manispaa, na Msasi.
Nyingine ni Ilemela Manispaa, Ludewa, Kisarawe, Kalambo, Namtumbo, Kahama, Itilima, Singida, Tabora Manispaa na Muheza.
Ambako ruhusa haikupatikana ni Micheweni, Kaskazini B, Mkoani, Kusini na Mjini A.
VIJANA ZAIDI WAJITOKEZA
Katika utafiti huo ambao ulitumia mfumo wa sampuli nasibu (random sampling), vijana wengi zaidi walitoa maoni yao. Wahojiwa 334 sawa na asilimia 26.7 walikuwa kati ya umri wa miaka 36 – 45 na wengine 201 kati ya miaka 18 – 25 wakiwa ni asilimia 16.1. Wahojiwa wachache yaani zaidi miaka 66 walikuwa ni 70 sawa na asilimia 5.6.
Wanawake katika wahojiwa walikuwa 626 sawa na asilimia 501, huku wanaume wakiwa ni 624 sawa na asilimia 49.9.
Asilimia 30 ya wahojiwa wote walitoka mijini, huku asilimia 70 wakitoka maeneo ya vijijini.
VIPAUMBE SERIKALI AWAMU YA TANO
REDET wanasema kuwa wahojiwa walitakiwa kutaja kipaumbele kimoja tu na mlolongo uliopatikana ni elimu asilimia 23.8 iliyotajwa na watu 298; kilimo asilimia 14 watu 175, ajira asilimia 12 watu 150, afya asilimia 9.9 watu 124, kupambana na rushwa asilimia 6.4 watu 80 na maji asilimia 5.4 watu 68.
Nyingine ni barabara iliyoshika nafasi ya saba iliyopata asilimia 3.4 ikitajwa na watu 43, viwanda asilimia 3.3 ikitajwa na watu 41 na mikopo na mitaji asilimia 2.6 ikitajwa na watu 33.
Vipaumbelea vingine na asilimia na idadi ya waliotaja kwenye mabano ni umeme (asilimia 2.2, watu 28), kukomesha migogoro ya ardhi (asilimia 1.5, watu 19), ujenzi wa makazi/ nyumba bora (asilimia 0.6, watu 7), demokrasia (asilimia 0.6, watu 8), katiba inayopendekezwa (asilimia 0.3, watu watu 4) na muungano (asilimia 0.1, mtu mmoja).

These Are The Finest A$SES In Kenya Every Man Wants To Taste … Pick One

$
0
0
 Huddah Monroe

 Risper Faith
 Miss Mselema

 Judy Onyango
Corazon Kwamboka
Vera Sidika

These Are The Finest A$SES In Kenya Every Man Wants To Taste … Pick One

Shock as Drunk Girl is Raped and Dumped in a Ditch.. Alcohol Abuse is Now Out of Hand in Kenya

$
0
0
Not only Men even ladies are abusing alcohol in Kenya....Shock as Drunk Girl is Raped and Dumped in a Ditch.. Alcohol Abuse  is Now Out of Hand in Kenya..God Help Them

How I Infected 200 Men with AIDS ”, Girl Confesses!

$
0
0
I know many will condemn me, i would have easily do it remain silent about it but i feel like confessing. During Last years tournament in MASAKU7s u came with my girls by then was still in campus. We had fun and in the mix ended up being raped by a group of 4 men.

In the month of September, 2 months after the fateful night i tested positive to HIV, my heart sunk, i died several deaths in my heart, u knew where i got it from since i know myself. I contemplated suicide but something told me not to. I vowed to hit back and spread it the same way, same place i was Infected.

I planned myself to revenge back by infecting as many as u wanted, this was the only way my heart would be at peace and get closure. Non of my friends know of my status, I’m on medication so my body is amazingly perfect. I’m going public partially to let those who were there go for test.i arrived there on Friday, that’s when the fun began i booked into an hotel can’t mention for direct linking. I stayed through to Sunday. Everyday slept with about 6 different men daily. Since most of the times they were drunk i agreed to raw i mean all men love doing it raw so it was easy mission though i remember only 2 men insisted on condoms and just like that is how i managed to infect the idiots.
oh dear i have no single regret I’m actually happy and relieved i accomplished my mission and if anything i regret not having Infected many, i wanted to reach 50 in that day but all is not lost i will continue haunting and make sure i attend all the rugby tournament and infect 200+ by end of the year, they also have to go the same agony i have been going through the past one year .As long as rugby tournaments are filled with hyenas and my devils are still alive i will continue dying with people I’ll deal with God’s wrath later. If you were in MASAKU7s and slept with a random light skin lady then i propose you go for test and do necessary.

JAKAYA Amweka Pabaya Lowassa...Awakemea Wanaotumia Fedha ili Kupata Madaraka

$
0
0
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt, Jakaya Mrisho Kikwete amewataka viongozi wa dini kuwaelimisha na kuwakemea waumini wao juu ya maadili mabovu yaliyoanza kujitokeza hivi karibuni katika jamii zetu na Nchi kwa ujumla.

Rais Kikwete ameyasema hayo wakati wa jubilee ya miaka 125 ya Dayosisi ya kaskazini Mashariki yaliyofanyika jijini Tanga ambapo amesema viongozi wa dini wana jukumu zito la kuwaelimisha, kuwakemea na kuwarudisha kwenye maadili mema wanakondoo wao waliopewa kuwachunga.
Aidha ameongeza kuwa kwa upande wa serikali huwa iko tayari kutekeleza ipasavyo wajibu wa kisheria katika makosa mbalimbali ambayo wananchi wanaweza kuyafanya tofauti na upande wa madhehebu ya dini hutumia lugha ya kuwaelimisha kwa kuwataka waumini watii amri za Mungu.
Sambamba na hayo pia amewaomba viongozi wa dini kuiombea nchi katika mwaka huu wa uchaguzi pamoja na kuwakemea wagombea watakaotumia pesa ili kununua ushindi wa madaraka na kufanya ubaguzi wa rangi, kabila na dini ili kuwajenga kisiasa.

Kwa upande wake Askofu Mkuu wa Dayosisi ya Kaskazini Mashariki Steven Munga amesema kuwa eneo hilo lilitumika kipindi hicho tangu wamisionari walipofika kwa mara ya kwanza kwaajili ya kueneza dini na kukomboa maisha ya watu waliokuwa watumwa ambao walichukuliwa na kutunzwa.

Ustaa na Umaarufu wa Ghafla Wamfanya Mwanamuziki Ruby Kubadili Mpenzi...wa Mwanzo Amwagwa

$
0
0

Ruby star wa muziki ambaye ujio wake umekuwa ni wa kishindo kikubwa katika tasnia ya muziki wa Bongo Flava, ametufungulia moyo wake na kuweka wazi namna ambavyo safari yake katika usupa star imebadilisha kabisa mahusiano yake ya kimapenzi.

Kwa taarifa ambayo eNewz inakupa wewe kwa mara ya kwanza kabisa, The Beautiful Ruby ambaye offcourse maisha yake yamebadilika na yanaendelea kubadilika kwa kasi, amelazimika pia kubadili mahusiano yake ya kimapenzi ambapo kwa sasa anatoka na mtu mpya na wanaelewana na kwenda sawa bila kumuweka wazi hasa ni nani huyo.
Ruby ameeleza kuwa, mahusiano yake haya mapya yamemfunza kujishusha na kuwa mfano bora kama kioo cha jamii, huku akifurahia zaidi umaarufu wake kutia nakshi zaidi mahaba katika mahusiano hayo mapya.

Mwanamuziki JIDE Ala Bata China Huku Nyumba Yake Akipigwa Mnada Bongo

$
0
0
Deogratius Mongela na Chande Abdallah
GOOD time! Ndivyo unavyoweza kusema ambapo wakati habari ya mjini ikiwa ni kuhusiana na nyumba yake kupigwa mnada, staa wa Bongo Fleva, Judith Wambura ‘Lady Jaydee’ au ‘Jide’ yupo bize jijini Hong Kong, China akila bata, Ijumaa Wikienda linakupa mchapo.

Mwishoni mwa wiki iliyopita, Kampuni ya Udalali ya MEM Auctioneers and General Brokers ilipewa jukumu la kupiga mnada nyumba ya mwanamuziki huyo iliyopo Mivumoni, Kinondoni jijini Dar baada ya Jide kushindwa kulipa deni alilokopa kutoka taasisi ya fedha ya EFC Tanzania Limited.

Wanahabari wetu waliokuwa na kibarua cha kumtafuta Jide ili kujua anazungumziaje kuhusu nyumba hiyo kupigwa mnada, walizunguka kwenye viunga lukuki vya Dar ambavyo mwanamuziki huyo huwa anapatikana lakini jitihada hazikuzaa matunda, achilia mbali simu yake ya mkononi kutopatikana.

Wakati gazeti hili likielekea mitamboni, chanzo kimoja kilipenyeza habari kuwa staa huyo wa Wimbo wa Yahaya yupo nchini China ‘anakula ujana’.“Kwa taarifa yenu Jide hayupo Bongo, ametimka zake China kula raha kama vipi fuatilieni kwa mbinu zenu mtabaini hiki ninachowaeleza,” kilinyetisha chanzo chetu, Jumamosi iliyopita.

Kabla ya kuwadadisi wadau wengine wa karibu wa Jide, Ijumaa Wikienda liliingia kwenye ‘peji’ ya Instagram ya mwanamuziki huyo na kukutana na posti iliyoonesha kuwa yupo Dubai akielekea nchini China kuinjoi maisha.
“Dubai-Hong Kong leo nimetoa ushamba sikujua mpaka ndege ikipaa kuna WiFi (huduma ya intaneti) tembea ujionee,” aliandika Jide.

Alipotafutwa Gardner G. Habash ambaye alikuwa mume wa Jide alisema kwa kifupi kuwa hana taarifa zozote kuhusiana na nyumba hiyo kupigwa mnada.
GPL

ALI KIBA Akana Vibaya Kuwa Ana Bifu na Diamond..Adai Alistahili Kushinda Tuzo Alizoshinda KILL Awards na Kumbwaga Diamond

$
0
0
Msanii kutoka Tanzania Ali Kiba ambaye amejitokeza tena katika ulingo wa muziki baada ya kupumzika kwa miaka mitatu amepuuzilia mbali madai kwamba alipendelewa katika tamasha la tuzo za Kilimanjaro.
Ali kiba ambaye alipata tuzo sita na kumshinda msanii wa kimataifa Diamond Platinum amesema kamwe hakupendelewa na kwamba ni muziki wake unaopendwa na wengi.
Akizungumza katika mahojiano na runinga ya Citizen siku ya ijumaa usiku nchini Kenya,Kiba amesema kuwa anahisi yeye ndio bora na kwamba ilikuwa haki yake kushinda tuzo hizo.
''Nahisi kwamba mimi ndio bora na nilifaa kushinda tuzo hizi.''Mashabiki wangu waliukosa mziki wangu na ndio maana walinipigia kura na ndio maana nilishinda tuzo sita kati ya saba nilizoteuliwa'',alisema.
Na alipoulizwa kuhusu uhusiano wake na Diamond,Kiba alikana madai kwamba wawili hao hawana uhusiano mwema.
''Sina uadui wowote kati yangu na Diamond na haujakuwa''. Naweza kukuhakikishia kuwa mimi na Diamond hatujapigania kuhusu chochote''.
Hatahivyo amesema kuwa inamkera wakati watu wanapomlinganisha na mwimbaji huyo wa Mbagala.
Alisema:Mimi ni mimi na Diamond ni Diamond

Offer Kutoka BEAUTY KESSY PRODUCTS-Je Unataka Kuwa Mrembo Mwenye Makalio Makubwa na Ngozi Nyororo Bila Kusahau Nywele Ndefu? Soma Hapa

$
0
0
OFFER/ PUNGUZO LA BEI KWA MWEZI HUU...PENDEZA NA KESSY PRODUCTS (BEFORE & AFTER) KWANZA NIDAWA ZA ASILI ZISIZO NA MADHARA WALA KEMIKALI, NAMATOKEO BAADA YA WEEK 2 HADI 4.

1.Kutoa Mvi sugu 70000/
2.Refusha nywele nakuzuiy kukatika 50000/
3.Tengeneza Shepu (hips NA Kalio)kwa
@kupaka 50000/
@daw yamaj 80000/
@vidonge 1,00,000/
4.Punguza kitambi kwa
@kupaka 55000/
@mkanda was Daw 80000/
@daw ya kunywaa 80000/
5.Engeza Nguvu zakiume NA kukurudisha kama zaman kwa,
@jeli yakupak 50000/
@vidonge 70000/
6.Engeza Mguu nakuutengeneza Kuwa kama chupa ya bia 50000/
7.Toa makov,madoa,makonyanz,chunusi 45000/=
8.Toa michirizi yoyote(srechmak)45000/=
Engeza maumbile yakiume kwa
@kupaka 1,00,000/
@kifaa(tends up)1,70000/=
9.Tengeza mwili mzima na hamu ya kula 80000/=
10.Punguza mwili NA manyama uzembe na kilo
80000/=
11.Rudisha usichana na Kutoa fangasi sehemu za siri 60,000/=
12.Rudisha hamu LA tendo landoa kwa mume NA make 55,000/=
13.Punguza maziwa (matiti)nakuyasimamisha 45,000/=
14.Ongeza maziwa(Matti)saizi unayoitaka 50,000/=
15.Kuwa Mweupe NA softi mwili mzima bila kuchubuliwa 70,000/=
16.Toa ngiri zaaina zote 60,000/=
17.Toa michubuko kweny kikwapa,sehemu ya sir,kwenye mapaja 55,000/= NA HUDUMA NYINGINE NYINGI.

TUNAPATIKANA DAR ES SALAAM NA WATU WAMIKOWAN TUNAWATUMA KWA NJIA YA MABASI BILA MZIGO KUPOTEA, KWA WATU WA ZANZIBAR TUNAWATUMIA KWANJIA YA BOTI ZA AZAM, KWAHAPA DAR TUPO K KOO POSTA, NA SINZA MAPAMBANO, NA UTALETEWA POPOTE ULIPO. TUPIGIE KWA HIZI NAMBA ZETU - 0719955528/ 0756259180/ 0785371237
Read more at http://websta.me/n/udaku_special#smDZVl0VgqeRtMtW.99

Breaking News:UKAWA Wajitoa Rasmi Bungeni, Waondoka Dodoma Leo..Taarifa Kamili Ipo Hapa

$
0
0
Umoja wa vyama vinavyounda Umoja wa Katiba ya wananchi UKAWA leo umetangaza rasmi kususia vikao vya bunge vilivyobaki kwa madai ya kukiukwa kwa kanuni za bunge.

Umoja wa vyama vinavyounda Umoja wa Katiba ya wananchi UKAWA leo umetangaza rasmi kususia vikao vya bunge vilivyobaki kwa madai ya kukiukwa kwa kanuni za bunge.
Akitangaza msimamo huo mjini Dodoma katika mkutano na waandishi wa habari, kiongozi wa kambi rasmi ya upinzani bungeni Mh. Freeman Mbowe amesema wabunge wote kutoka katika vyama vinavyounda umoja huo hawataingia tena bungeni licha ya baadhi yao kuwa hawajaadhibiwa.
Umoja huo pia umemtaka Rais Kikwete kutotia saini muswada hiyo kwa kuwa imepitishwa kinyume cha taratibu.

Mbowe amesema kuwa endapo Rais Kikwete atalazimisha kuisaini miswada hiyo, umoja huo utaishitaki serikali kwa wananchi.
Wabunge wote kutoka UKAWA wameazimia kuondoka kabisa leo kutoka mjini Dodoma, na wanataraji kukutana jijini Dar es salaam siku ya Jumatano kwa hatua zaidi.
Wakati huo huo bunge limepitisha muswada wa usimamizi wa mapato yatokanayo na mafuta na gesi, na muswada mwingine wa uwazi na uwajibikaji katika uchimbaji wa madini, gesi na mafuta, hiyo ikiwa ni miswada miwli kati ya mitatu ambayo imekuwa ikipingwa na wabunge kutoka UKAWA.
Muswada mwingine ni ule wa sheria ya Petroli ambao ulipitishwa jana bila ya ushiriki wa wabunge hao.

Baada ya Ngassa Huyu Ndiye Nyota Mwingine wa Tanzania Aliye saini Free States Kwa Dau la Mil160

$
0
0
AZAM FC imekubali kumuuza mshambuliaji wake John Raphael Bocco ‘Adebayor’ kwa dola za Kimarekani 80,000 zaidi ya Sh. Milioni 160,000 za Tanzania kwa klabu ya Free State Stars ya Afrika Kusini.
Na sasa kinachosubiriwa na FS ni kumalizana na mchezaji juu ya maslahi binafsi- ili mshambuliaji huyo wa kimataifa wa Tanzania ahamie Ligi Kuu ya ABSA.

Mrisho Khalfan Ngassa aliyesajiliwa na Free State Mei mwaka huu kutoka Yanga SC, ndiye aliyemuunganishia Bocco dili la kujiunga na timu hiyo na akawapa viongozi wa timu hiyo namba za Bocco.
Mazungumzo ya awali baina ya FS na Bocco yamefanyika, lakini hawajakubaliana kwenye baadhi ya vipengele, ingawa inatarajiwa klabu hiyo itamrudia tena mchezaji huyo baada ya kufikia makubaliano na Azam.

FS imempa mshahara mzuri Bocco, mara mbili ya ule anaopata Azam FC kwa sasa, lakini mchezaji huyo anataka apewe na nyumba pia na baadhi ya vipengele virekebishwe.

Azam FC sasa iko radhi kabisa kumuacha Bocco aende kupata changamoto nyingine baada ya kuitumikia timu kwa zaidi ya miaka saba tangu haijapanda Ligi Kuu.
Awali, Azam FC ilikataa kumuuza Bocco Israel, Afrika Kusini na Algeria licha ya kufuzu majaribio huko- lakini sasa amepata zali la kuchukuliwa bila majaribio.
Bocco aliyezaliwa Agosti 5, mwaka 1989

alifanya majaribio kwa wiki kadhaa katika klabu ya Ligi Kuu Israel mwaka 2010 na baadaye Afrika Kusini katika klabu ya Supersport United.
John Bocco amewahi kufuzu Super Sport United ya Afrika Kusini, Azam FC ikakataa kumuuza

Bocco alifuzu Supersport baada ya wiki mbili, lakini Azam FC ikagoma kumuuza kwa sababu ya dau dogo.
Mapema mwaka huu, klabu ya CRB Ain Fakroun ilitaka pia kumnunua Bocco ahamie Ligi Kuu ya Algeria ijulikanayo kama Professionnelle, lakini Azam FC wakakataa.

Juhudi za kumpata Bocco mwenyewe kuzungumzia ofa hiyo ya Afrika Kusini hazikufanikiwa kwa sababu yuko Uganda na timu ya taifa, Taifa Stars, ambayo inarejea leo.

Breaking news: Mramba, Yona Kwenda Jela Miaka Mitatu

$
0
0
Mahakama ya hakimu mkazi kisutu jijini Dar es Salaam imewahukumu kwenda jela miaka mitatu aliyekuwa waziri wa zamani wa fedha Basil Mramba,na aliyekuwa Waziri wa zamani wa Nishati na Madini,Daniel Yona baada ya kukutwa na hatia ya uhujumu uchumi, matumizi mabaya ya ofisi na kuisababishia serikali hasara ya sh bilioni 11.7.Endelea kufuatilia taarifa zetu kufahamu zaidi.
Chanzo:ITV

Mapenzi Sikuhizi Nipe, Nikupe..Money On The Table, Funguo ya Chumba Mkononi..Kinachofuata....

$
0
0
Wasichana wengi wa kizazi cha leo hutoa mahaba ikiwa tu kuna bingo. Vijana wa kiume nao siku hizi wameshtuka, hawatoi mkwanja mpaka wamekula mzigo kwanza. Njia panda ni pale, ambapo nani aanze kutoa chake. Kufanya mapenzi siku hizi ni kama unaingia mkataba wa kibiashara. Money on the table, funguo ya chumba mkononi ndio papuchi iliwe.

Yako wapi mapenzi?

Tunaenda wapi kizazi hiki?

Karibuni kwa mjadala

Snura Ampiga Vijembe Wema Sepetu

$
0
0
Aliyewahi kuwa swahiba  wa mbunge  mtarajiwa  Wema Sepetu, Snura Mushi ametoa kauli zenye mlengo  wa kumpiga vijembe Wema.

“ Naepukana na unafiki  tena naweza kusema ni  roho mbaya chuki kwa baadhi ya wasanii kuunda makundi ambayo yanatumia muda  mwingi  kuwadis wengine, mfano hivi sasa wakata Diamond anawania  tuzo za kimataifa  eti kuna watu wanaungana na watu wan je kufanya kampeni ashindwe,” alisema Snura.

Snura anadai kuwa  siku hizi makundi  ambayo  yanaundwa na wasanii au wapenzi wenyewe ambayo yanatumika vibaya  katika kutengeneza ugomvi au kushabikia wasanii wakigombana kwa kutumia mitandao ya kijamii kuwatusi na kuwakatisha tamaa hata kama wanafanya kazi zinazotangaza Taifa.

Wema Sepetu ni miongozni mwawasanii ambao wanadaiwa kuhamasisha kundi lake “team Wema” kumpigia chepuo msanii wa Nigeria Davido ambaye anachuana na Diamond wa hapa nyumbani katika tuzo za MTV Africa MAMA.
Viewing all 104785 articles
Browse latest View live




Latest Images