Quantcast
Channel: UDAKU SPECIAL
Viewing all 104705 articles
Browse latest View live

Kamanda wa Al Shabaab Aliyeongoza Mauaji ya Wanafunzi 148 Garissa University Kenya Hajafa Kama Serekali ya Kenya ilivyotangaza

$
0
0
Ni siku moja tu imepita toka Serekali ya Kenya Kutangaza kuwa Gaidi Mohamed Kuno wa Al Shabaab  aliyeongoza mauaji ya wanafuzi 148 Garissa University Ameuwa katika Shambulio lililofanywa na US Drone Huko Somalia..Habari leo zimekuja zingine na kudai kamanda huyo Kamanda bado ni mzima na hajauwawa kama serekali ya Kenya ilivyodai..

Msemaji wa Ndani wa Serekali ya Kenya Mwanda Njoka Ametoa Taarifa kupitia mtandao wa Twitter kuwa shambulio lililofanywa na US huko Somalia Halijafanikiwa Kumuua Mohamed Kuno ambae ndio Gaidi Mkubwa Anayeongoza Katika list ya Magaidi wa Al shabaab Wanaotafutwa kwa udi na Uvumba...

Mwanda Njoka Amewataka wananchi wa Kenya Kuendelea kutoa Taarifa za Gaidi Huyo ili kufanikishwa kukamatwa kwake...

Shamulio lililofanywa na US Drone limeuwa Magaidi 30 huko Samalia.....




WEMA SEPETU Yamshinda Amwangukia KAJALA na Kutaka Wayamalize

$
0
0
Msanii wa filamu nchini na Mkurugenzi wa Endless Fame Production, Wema Sepetu, amedai kuwa yupo tayari kumaliza bifu lake na msanii mwenzake Kajala Masanja, baada ya kutokuwa katika maelewano mazuri kwa muda mrefu.

Bifu hilo lilichukua sura mpya ambapo Wema, alikataa kabisa kumsamehe mwanadada Kajala, na kujiapiza kuwa kamwe hawezi kumsamehe licha ya Kajala kutaka kumaliza tofauti hizo.

Wema amesema kuwa hakuna mwanadamu asiye na mapungufu na kumtaka Kajala  kuonana naye na kumaliza tofauti zao kwani nafsi yake imeshamsamehe na imemuongoza kufanya hivyo.

Amedai kuwa kila jambo lina mwisho wake, hivyo amekaa chini na kufikia uamuzi huo ambao anaamini kabisa hapa duniani hakuna mtu asiyekuwa na moyo wa huruma na kusema kuwa hana budi kuyapuuza yaliyopita.
 

Amesema kuwa hana tatizo na Kajala, na kutaka watu kuamini kuwa amejitolea kumaliza tofauti hizo na kudai kuwa yupo radhi kukutana naye sehemu yoyote kuongea ili wale wasiomuamini wapate kuamini.

Kwa upande wa Kajala, amedai kuwa anashukuru kusikia hivyo na kudai kuwa hana tatizo na mtu na kumshukuru Wema, kwa uamuzi wake kwani alijitahidi kadri ya uwezo wake kuhakikisha kuwa wanamaliza tofauti zao kwa njia mbalimbali lakini alikataa.

“Nimekuwa nikipigania hilo kila kukicha, sasa naamini Mungu atakuwa amesikia kilio changu kwa mara nyingine, napenda kusema sina tatizo lolote katika hilo,” alisema Kajala.

Mtangazaji Maimatha Kuwashitaki Timu Wema...Adai Amechoka na Sasa Anakula Nao Sahani Moja

$
0
0
Mtangazaji maarufu ambaye siku chache zilizopita amejiunga na Azam Tv, Maimartha Jesse amewafikisha wafuasi wa Wema Sepetu wanaojulikana kwa jina la ‘Team (Timu) Wema’  kwa mwanasheria wake kutokana na kuendelea na tabia yao ya kumtukana kwenye mitandao mbalimbali ya kijamii.
 
“Nimechoka na ninaapa kwamba nitakula nao sahani moja kwani mpaka sasa nimeshagundua kuwa kuna mmoja yupo Malaysia na mwingine India huku waliobaki wako hapahapa Dar hivyo mwanasheria wangu anaendelea kulifanyia kazi hilo kwani wanaendelea kunitukana kila kukicha,” amesema Maimartha.

Makundi yanayomuunga mkono Lowassa yamiminika UKAWA.......Wadai wana kura milioni 10

$
0
0
MAKUNDI yanayomuunga mkono Waziri Mkuu Edward Lowassa yametangaza kutokiunga mkono Chama cha Mapinduzi na kuhamishia kampeni zake kwa mgombea urais atakayesimamsihwa na vyama vinavyounda kundi la Umoja wa Katiba ya wananchi (Ukawa).

Wakizungumza na waandishi wa habari jana jijini Dar es salaam, viongozi wa makundi hayo ambayo ni pamoja na Four U Movement, Lowassa for Presidency, Shirikisho la Walimu, Madereva wa bodaboda na Temeke Jogging na Youth Movement walisema wamekasirishwa na ukiukwaji wa kanuni katika vikao vya CCM.

Akizungumzia hatua hiyo, kiongozi wa Four U, Hemed Ali alisema kwa kuwa wameshindwa kupata mabadiliko ndani ya CCM wanakwenda kuyatafuta Ukawa.


  • “Tunatangaza rasmi kama vijana tuliokuwa tunamuunga mkono Lowassa, sasa tunaunga mkono Umoja wa Katiba ya Wananchi yaani Ukawa,” alisema Hemed.


  Wakati mkutano huo ukiendelea vijana wa makundi hayo walikuwa wakishangilia na kuonyesha nembo za Chadema.

Mapema wiki hii vinaja wengine zaidi ya 40 wa kundi la Four U movement, walirudisha kadi za CCM na kuchukua kadi za Chadema katika ofisi za wilaya ya Kinondoni jijini Dar es Salaam

SHAME! Pastor THOMAS WAHOME Accused of Sending Nud3s PHOTOs to Married Women.

$
0
0
Controversial city preacher, Thomas Wahome of Salvation Healing Ministries, has been accused of sending nUd3 photos to married women on  a  WhatsApp  Group meant for his church members only.

Apparently, the scandalous Pastor has been sending photos of his man-hood to married women in his church while bragging about how he is powerful in bed.

Some female members of his church also claim that he has been sending  them explicit text messages as he solicits for s3x.

Others say that Wahome has been demanding for money to perform miracles through the WhatsApp group dubbed, “Helicopter of Christ Ministries.”

“Pastor has been asking us to send him Ksh 10,000 so that he can tell us whether our names are in the Book of Life. He is even sending n()d3 photos to married women” A member of his church said.

When reached for a comment, the notorious pastor claimed that he had exited the group and those saying that he is sending nUd3 photos to women are just tarnishing his name.

In the past, Wahome has been caught in many scandals ranging from sleeping with prostitutes to performing fake miracles.

Diamond Platnumz Akutana Na Mwanamuziki NE-YO..Wapiga Stori ...Navyomjua Diamond ni Mzee wa Fursa...Hapo Tegemea Kitu

$
0
0
Haya sasa! Ne-yo na Diamond washakutana huko... Na kama tunavyomjua Diamond ni mzee wa Fursa... tutegemee kitu kikubwa kuanzia sasa..

Natamani kila Mwanamuziki hapa Tz awe inspired na mafanikio ya Diamond tupate hata wasanii 20 watakaowakilisha Tz ili tuje tuidominate Africa kimuziki maana inawezekana, kama vile 2face na Psquare walivyotengeneza njia ya Muziki wa Nigeria kuiteka Africa basi hata Sisi tutafika huko na hii ni kama tu tutasupport wanamuziki wanaofanya Vizuri nyumbani.

Tuzo ya BEST LIVE MTV Awards Yachukuliwa na Diamiond Toka Tanzania....

$
0
0
Mambo yameanza Vizuri Huko South Africa Kwenye Tuzo za MTV Base...Tuzo ya BEST LIVE MTV Awards Yachukuliwa na Diamiond Toka Tanzania....Hongera

Shilole na Nuhu Mziwanda Waachana Rasmi..Shilole Abwatuka Haya 'Mwanaume Hata Umfanye nini Haridhiki'

$
0
0
Upande wa Pili huko kwa Kina Shilole na Nuhu Mzwanda Mambo si Shwari Jana Usiku wakati wengine tuko busy na Tuzo za MTV ..Mwanana Shilole Alipost Ujumbe Huu Ukiashiria yeye na Nuhu Mziwanda Mapenzi Basi Tena.....

Mwanaume hata umfanyie nini haridhik lol! Pamoja na kukubali shida zake zote lakin mh! Nimejitahid nimehangaika'ila sasa kama gari limewaka'aka babu weeee kanikuta na maisha yangu wacha niendelee na maisha yangu'Mimi na yeye baaaaaaasi #GaNdALaNdiZi

Diamond Platnumz na Davido Ngoma Droo Tuzo za MTV Awards....

$
0
0
Wanamuziki Diamond Platnumz na Davido Wameibuka Videdea Baada ya Wote Kushinda Tuzo Moja Moja Katika Categories Tofauti ....Mashabiki wengi Africa Macho yalikuwa kwa hawa watu wawili kuona yupi atachukua tuzo nyingi zaidi..lakini wote wamepata tuzo moja moja ...Diamond Amepata ya Mtumbuizaji Bora Africa Wakati Davido Amepata ya Mwimbaji Bora wa Kiume Africa...

Hongera Sana Kwao....

Nuhu Mziwanda Avurugwa na Ujumbe wa Shilole..Naye Ajibu Mapigo..Amwita Shilole Asha Ngedere

$
0
0
Baada ya Shilole Kusema Amechoka na Nuhu Mziwanda kwa Kuwa Haridhiki na Kuamua Kuwasha Gari ..Nuhu Mziwanda kaupata ujumbe wa Shilole naye akaamua Kujibu Hivi:

Mwanaume wa kweli ukaa kimya'sibishani na upumbavu'mwanamke asieridhika na kujua kua kathaminiwa mpaka tatoo kachorwa'na kuvumilia mambo yote alionifanyia ya kuniaibisha mbele ya mashabiki zangu'familia na'wasanii wenzangu na wadau'anaanza kunitukana mitandaoni for whaaaat!!! Mxeeeeew'mimi bado kijana na nna time ya kupata maisha yangu na mtu atakae thamini moyo wangu 'nawaachia wanaume wenzangu na nyie mjaribu zari 'mimi nacheka tu 
#AsHaNgeDerE

Washindi wa MTV Mama awards 2015, wako hapa wote 17 akiwemo na Diamond Platnumz

$
0
0
Yako majina mawili yaliyoiwakilisha Tanzania kwenye Category 13 za MTV Africa Music Awards 2015, Diamond Platnumz na Vanessa Mdee ‘Vee Money’… kura zimepigwa na leo ndio ilikuwa fainali yenyewe ndani ya Durban South Africa ukumbi wa Durban International Convention Centre.

Tanzania imetoka kifua mbele pia kwa mara nyingine, Daimond Platnumz kafanikiwa kupata ushindi wa Tuzo ya Best Live Act, ambapo alikuwa katika Category tatu tofauti na Vee Money alikuwa kwenye Category moja.

List ya Washindi wote hii hapa..

Best Female:

Yemi Alade (Nigeria) >>> Mshindi.

Bucie (South Africa)

Busiswa (South Africa)

Seyi Shay (Nigeria)

Vanessa Mdee (Tanzania)

Best Male:

Davido (Nigeria) >>> Mshindi

AKA (South Africa)

Diamond (Tanzania)

Sarkodie (Ghana)

Wizkid (Nigeria)

Best Group:

P Square (Nigeria) >>> Washindi.

B4 (Angola)

Beatenberg (South Africa)

Black Motion (South Africa)

Sauti Sol (Kenya)

Best New Act Transformed by Absolut:

Patoranking (Nigeria) >>> Mshindi.

Anna Joyce (Angola)

Cassper Nyovest (South Africa)

Duncan (South Africa)

Stonebwoy (Ghana)

Best Hip Hop: 

Cassper Nyovest (South Africa) >>> Mshindi.

K.O. (South Africa)

Phyno (Nigeria)

Olamide (Nigeria)

Youssoupha (DRC)

Best Collaboration:

AKA, Burna Boy, Da LES & JR: “All Eyes On Me” (South Africa/ Nigeria) >>> Washindi.

Davido featuring Uhuru & DJ Buckz: “The Sound” (Nigeria/SA)

Diamond & Iyanya: “Bum Bum” (Kenya/Nigeria)

Toofan & DJ Arafat: “Apero Remix” (Togo/Ivory Coast)

Stanley Enow & Sarkodie: “Njama Njama Cow Remix” (Cameroon/Ghana)

Song of the Year:

Mavins: “Dorobucci” (Nigeria)>>> Washindi.

Cassper Nyovest: “Doc Shebeleza” (South Africa)

Euphonik featuring Mpumi: “Busa” (South Africa)

DJ Fisherman & NaakMusiQ featuring DJ Tira, Danger & Dream Team: “Call Out” (South Africa)

K.O featuring Kid X: “Caracara” (South Africa)

Lil Kesh Featuring Olamide & Davido: “Shoki Remix” (Nigeria)

Sauti Sol: “Sura Yako” (Kenya)

Toofan: “Gweta” (Togo)

Wizkid: “Show You The Money” (Nigeria)

Yemi Alade: “Johnny” (Nigeria)

Best Live:

Diamond Platnumz (Tanzania) >>> Mshindi.

Big Nuz (South Africa)

Flavour (Nigeria)

Mi Casa (South Africa)

Toofan (Togo)

Video of the Year:

“Nafukwa” – Riky Rick; Director: Adriaan Louw >>> Mshindi.

“Crazy” – Seyi Shay Featuring Wizkid; Director: Meji Alabi

“Doors” – Prime Circle; Director: Ryan Kruger

“Love You Everyday” – Bebe Cool; Director: Clarence Peters

“The Sound” – Davido Featuring Uhuru & DJ Buckz; Director: Sesan

Best Pop & Alternative:

Jeremy Loops (South Africa) >>> Mshindi.

Fuse ODG (Ghana)

Jimmy Nevis (South Africa)

Nneka (Nigeria)

Prime Circle (South Africa)

Best Francophone:

DJ Arafat (Ivory Coast) >>> Mshindi.

Jovi (Cameroon)

Laurette Le Pearle (DRC)

Tour 2 Garde (Ivory Coast)

Toofan (Togo)

Best Lusophone:

Ary (Angola) >>> Mshindi

B4 (Angola)

Nelson Freitas (Cape Verde)

NGA (Angola)

Yuri Da Cunha (Angola)

Personality of the Year: 

Trevor Noah (South Africa) >>> Mshindi.

Basketmouth (Nigeria)

Bonang Matheba (South Africa)

OC Ukeje (Nigeria)

Yaya Toure (Ivory Coast)

MAMA Evolution (Category mpya): D’Banj (Nigeria) >>>> Mshindi.

Best International: Nicki Minaj (Mshindi)

Artist of the Decade: P Square (Washindi)

MTV Base Leadership Award: Saran Kaba Jones & S’Bu Mavundla (Washindi)

Hali ni Mbaya: Madiwa 20 wa CCM, Wenyeviti 6 Wa Vijiji na Viongozi wa Jumuiya za CCM Monduli kwa Lowassa Wahamia CHADEMA

$
0
0
WAKATI wakongwe wa siasa wakimhadharisha aliyekuwa Waziri Mkuu, Edward Lowassa, kutofuata mashabiki wanaomtaka ahame CCM ambako amelelewa na ndiko anakoheshimika, madiwani 20 wa chama hicho katika Jimbo la Monduli, wamejiunga na Chadema.

Madiwani hao wameingia Chadema na kufuatwa na wenyeviti sita wa vijiji pamoja na viongozi wa jumuiya za CCM, huku wakimwomba Lowassa ambaye ni Mbunge wa jimbo hilo, kufanya kinachoitwa ni uamuzi mgumu wa kuwafuata, baada ya CCM kukata jina lake sambamba na wagombea urais wengine 33, wakiwemo waliowahi kuwa mawaziri wakuu kama yeye.

Akizungumza jana katika mkutano wa hadhara, kabla ya kukabidhi kadi yake na za wenzake 19 wa CCM kwa viongozi wa Chadema, kiongozi wa Madiwani hao, Julius Kalanga kutoka Kata ya Lepurko, alisema wamefanya uamuzi aliouita mgumu, ambao Lowassa amekuwa akiuzungumza.

“Sisi tumeamua kujiunga Chadema kutafuta haki na kuondoka CCM ambako wanachakachua Katiba ya Chama kwa kumpitisha kiongozi wanayemtaka, badala ya kufuata Katiba na wananchi wanachotaka.

 “Tunamwomba Mheshimiwa wetu Lowassa, atufuate huku Chadema, afanye uamuzi mgumu aliokuwa akisema kila siku na asiogope kuhama… atakuwa amefanya uamuzi wenye tija kwa Taifa,” alisema Kalanga.

Diwani huyo pia aliwasihi wananchi kufuata madiwani wao wanakokwenda kwa sababu hata huko watachukua fomu na kugombea ili kuing’oa CCM madarakani.

Waliohama
Madiwani waliohama chama ni wa kata ya Engaruka, Engutoto, Esilalei, Loksale, Majengo, Makuyuni, Meserani, Nalalani, Lemooti, Moita, Monduli Juu, Monduli Mjini, Mferejini, Mswakini, Mto wa Mbu, Migungani, Selela, Sepeko na Lashaini.

Madiwani na viongozi hao ni Kalanga mwenyewe, Edward Lenanu, Bazir Siamini, Sigur Olekibinti, Loti Yamat, Goodluck Lerunya, Pashet Sengurumi, Yase Runja, Gidion Kimongishu, Dora Kipuyo, Mary Morindat, Sara Lomayan na Halima Lusinde.

Wengine ni Dotto Mlacha, Hawa Nyambiry, Alex Kamanda, Sion Kapela, Maria Lemta, Onesmo Naikoyo, Shaban Adam, Enditosidai Naikulo na Elifuraha Simon.

Pia yupo Dinna Solomon, Loti Naparana, Jocy Laizer, Edward Mathayo, Piniel Loning’o, Napir Mukare, Inot Leringa, Kalaine Lowassa, Maria Mepukori, Mary Stivin na Edward Kone.

Ushauri wa wakongwe
Mwito huo wa madiwani wa Monduli, unatofautiana na ushauri wa kada mkongwe wa CCM, Steven Mashishanga, aliyekaririwa akimtaka Lowassa atulie na aachane na ushawishi wa watu wanaomtaka ahame chama hicho.

Mashishanga katika mahojiano yake na gazeti moja la kila siku juzi, alimkumbusha Lowassa kuwa bado ni kiongozi anayeheshimiwa na jamii na kumuasa kuwa kama anahisi ameonewa, asamehe.

Akifafanua hoja zake, Mashishanga alisema wanaomshawishi Lowassa ahame CCM na wale wanaohama chama hicho kwa sababu ya kukatwa kwa jina la Lowassa katika kuwania urais, si wana CCM wa uhakika.

Kwa mujibu wa Mashishanga, ndani ya CCM mgombea akiteuliwa, wanachama huachana na yaliyopita na kuwa wamoja kwa ajili ya kukiendeleza chama.

Malaigwanani
Mbali na Mashishanga, pia wazee wa kimila wa jamii ya wafugaji wa Kimasai, maarufu malaigwanani kutoka Wilaya ya Monduli, nao wamemuomba Lowassa kuendelea kuwa kada wa CCM, kwa sababu ndicho chama kilichomlea na anakijua.

Mmoja wa malaigwanani, Mzee Joseph Mesopiro, kutoka Kata ya Sepeko, alikaririwa na vyombo vya habari kwa niaba ya malaigwanani akisema, wanakusudia kutuma ujumbe maalumu kwa Lowassa, utakaomshauri asihame CCM kama baadhi ya watu aliowaita wapambe wanavyomshauri.

Laigwanani mwingine, Julius Laizer kutoka Kata ya Moita, alisema bado anaamini kuwa CCM itaendelea kubaki imara, hata kama baadhi ya watu watakihama.

Lazier alisema viongozi waliolelewa na kukuzwa CCM, wanaamini chama hicho kitaendelea kuwa imara na hawako tayari kukubali ushawishi wowote wa kutaka wahamie upinzani.

Naye Mwenyekiti wa CCM Kata ya Lepurko wilayani Monduli, Njoput Alami, alikaririwa akibeza taarifa za kushawishi watu kuhama CCM kwa kisingizio cha Lowassa kukatwa katika majina ya wawania urais, akiziita ni kelele za wapambe wanaohofia kukosa fursa walizotarajia, iwapo Lowassa angeteuliwa kuwa mgombea urais wa CCM.

Mwenyekiti wa Chadema Mkoa wa Arusha, Amani Golugwa aliwakaribisha na kusema Chadema watu wote wanapendana na hakuna ukubwa wala uongozi, hivyo wanapokuja huko ni kazi moja ya ukamanda kuwatumikia wananchi.

Mange Kimambi 'Nagombea Ubunge Jimbo la Kinondoni kwa Ticket ya CCM ..Sio Viti Maalum' Kinondoni Bila Madawa ya Kulevya Inawezekana

$
0
0
Nagombea ubunge jimbo la Kinondoni kwa ticket ya CCM. Yes jimbo sio Viti Maalum, Kwanini Kinondoni, nitafanya nini Kinondoni ? Zama kwenye blog yangu kwa majibu yote. Misukosuko ni mingi naipata lakini tukumbuke hakuna zuri linalopatikana kirahisi. Kinondoni bila madawa ya kulevya inawezekana. Ukiwa kama rafiki, fan au mzalendo naomba unidhamini kwa mchango wako wa hali na mali, kupitia mpesa 0764 484700 imesajiliwa kwa jina la Mange Kimambi Kama uko nje ya nchi unaweza kutumia www.gofundme.com/ycwfdc . Pia unaweza kutumia pay pal: mybongolicious@gmail.com .
Pia unaweza kutumia western union au money gram kwenda kwa Mange John Kimambi , Dar Es Salaam, Tz. Account ya bank crdb iko kwa blog. Please kasome profile yangu kwenye blog yangu uelewe kwanini nimeamua kugombea jimbo la Kinondoni.....Utanielewa zaidi. www.u-turn.co.tz .

Nini Sababu ya Wanaume Wengi Kutamani Sana Wanawake Mwenye Makalio Makubwa?

$
0
0
Kwa wanaofahamu naomba watujunze; ni sababu ipi ya wanaume kutamani sana wanawake mwenye makalio makubwa? Maana mimi sijaona kitu cha ziada ambacho kinachopatikana kwa mwanamke mwenye makalio makubwa katika mechi zaidi ya kuwa na matatizo yakutokujua kuchekechua.

kwa upande wangu nimefanikiwa kugegeda wanawake wa aina zote; mwenye makalio ya kawaida na ambao wanayo makubwa, lakini sijaona tofauti yoyote au kitu cha ziada ambacho anacho mwanamke mwenye makalio makubwa.

Tofauti kubwa niliyoiona kwa wanawake mwenye makalio makubwa ni mangogo katika mechi yanatenga tu, wengi hawajui kucheka chekechua kama hawa flat screen ambao nimewatafuna vya kutosha!!

Nasema hivyo sababu kumekuwa desturi kwa mwanamke mwenye makalio makubwa akipita kama kuna kundi kubwa la wanaume lazima mutageuka na kuanza kumjadili mwanamke huyo kwamba kajaliwa na Allah.

Naombeni wanaume wenzangu munitoe tongotongo kuhusiana na hili swala; kwamba kipi cha ziada ambacho anacho mwenye makalio makubwa katika maswala ya kimechi.

Hii Dhambi Hata Shetani na Laana zake Sijawahi Kusikia Kaitenda

$
0
0
Jamani swala la ushoga na usagaji na mapenzi kinyume na maumbile limezidi kukua kwa kasi ya ajabu sana. Hata Mbuzi, Kuku, Mbwa na wanyama wengine sijawahi kushuhudia wakipandana wakiwa wote na jinsia moja au kinyume na maumbile.

Ila mwanadamu alie umbwa kwa utashi wa kujua baya na jema anatenda jambo hiloo. Mungu hakukosea kutupa utashi ila ule utashi baadhi ya binadamu wanautumia ovyo.Uwezo wa kufikiri na kujua baya na jema unatumiwa vibaya kwa watu kupenda yale yote maovu na kuyaacha yale mazuri.

Hakuna cha hormones za kike wala nini tatizo ni tamaa ya kujaribu kila jambo hasa yale yaliyopigwa marufuku katika jamii. HORMONES unashindwaje kujizuia ukalale wa mtu wa jinsia yako? Si kuna wanawake na kuna wanaume kwanini uchague wa jinsia yakoo usichague wa jinsia tofauti kukidhi haja zako.

Ina maana una hormones nyingi kushinda mwanamke enyi mashoga au enyi wasagaji mna hormones nyingi za kiume kushinda wanaume? Hizo ni tamaa za kujaribu kila kitu.Umesha ambiwa hilo jambo ni baya kwanini unashindwa kujizuia.

Ushoga na usagaji mtapataje watoto.? Watu wa jinsia moja kamwe hawawezi kuzaa.Ni kunyima haki za viumbe wengine. Hiyo ni laana na mtajua siku ya mwisho. Tatizo ni kuiga kila jambo mnaloliona na kutakakulijaribu. Hili jambo nilakulikemea kwa nguvu sana.

Hata shetani na usaliti na dhambi zake zote hajawahi kuwa shoga. Ila yule binadamu anadiriki ilo jambo. Sio kila la mzungu kujaribu. pia sio mila na desturi zetu hata kumwingilia mwanamke kinyume na maumbile yake ni kosa nani laana pia.

KEMEA MAPENZI YA JINSIA MOJA NA WOTE WANAOPENDA KUTUMIA MLANGO WA MBOLEA NI LAANA

Happy Birthday Mwanalibeneke wa Blogu Krantz Mwantepele

$
0
0
Leo tarehe 19 July ni siku ya kuzaliwa Mwanalibeneke la blogu  Krantz Mwantepele ambaye ni Mkurungezi Mtendaji wa MWANAHARAKATI MZALENDO MEDIA pia Mkurungezi Mtendaji wa KAJO ITECH kwa  niaba ya wasomaji  wetu tunapenda kukutakutakia maisha marefu na yenye baraka na fanaka tele.
Mungu akupe maisha marefu na kukupa mwongozo sahihi kwa ndoto zako za kuweza kutengeneza ajira kwa vijana wenye nia na ari ya kujiajiri .
Mnaweza kutembelea blog zinazomilikiwa na Mwanaharakati Mzalendo Media
Mwanaharakati Mzalendo Blog link www.mwanaharakatimzalendo.blogspot.com
Harakati360 link www.harakati360.blogspot.com
Mzalendo Times link www.mzalendotimes.blogspot.com
Na hivi karibuni kutazinduliwa MZALENDO ONLINE TV
Pia unaweza kumfuata Krantz katika mitandao ya kijamii kama
 Facebook kwa jina la Mwanaharakati mzalendo  https://www.facebook.com/MWANTEPELE 
Instagram/ twitter  @ mzalendo89
 "HAPPY BIRTHDAY KRANTZ "

Mwinyi Avunja Ukimya Kilichotokea Dodoma...... Asema Haikuwa Kazi Rahisi Kumpata Mgombea wa Chama

$
0
0
Rais mstaafu wa Awamu ya Pili, Alhaj Ali Hassan Mwinyi amesema kuwa shughuli ya kupata mgombea urais kwa tiketi ya CCM haikuwa rahisi na akashukuru kwamba imemalizika kwa amani.

Mchakato huo ulihitimishwa Julai 12 mjini Dodoma wakati Mkutano Mkuu wa CCM ulipopitisha jina la Dk John Magufuli kugombea nafasi ya kuongoza Serikali ya Awamu ya Tano baada ya Rais Jakaya Kikwete kumaliza muda wake mwishoni mwa mwaka.

Jumla ya makada 38 walijitokeza kuwania nafasi hiyo, na majina matano ndiyo yaliyopitishwa kwenda Halmashauri Kuu na baadaye matatu kwenda Mkutano Mkuu.

Mchakato wa urais ndani ya CCM ambao kwa kawaida hutawaliwa na msuguano kabla ya kumalizika kwa maridhiano, safari hii ulienda mbali zaidi baada ya wajumbe watatu wa Kamati Kuu kupinga nje ya kikao uamuzi wa chombo hicho na baadaye wajumbe wa Halmashauri Kuu kumwimbia mwenyekiti wao, Jakaya Kikwete wimbo wa kuonyesha wana imani na Edward Lowassa baada ya jina la mbunge huyo wa Monduli kuenguliwa na Kamati Kuu.

Jana, akitoa hotuba fupi baada ya kumalizika kwa sala ya Eid el Fitr kwenye viwanja vya Mnazi Mmoja jijini Dar es Salaam, Mwinyi alizungumza kwa mara ya kwanza hadharani kuhusu mchakato huo, akidokeza hali ilivyokuwa.
 
“Haikuwa kazi rahisi kwenye mchakato huu wa kumtafuta mgombea mmoja atakaye peperusha bendera ya CCM,” alisema Mwinyi lakini akawahi kuipoza kauli hiyo kwa kuelezea amani ilivyotawala mwishoni.

“Kama ni jahazi basi sasa tunashukuru limefika pwani salama.”

“Uchaguzi huu ni kwa ajili ya kuwapata viongozi wetu, tunataka viongozi bora wa kutuletea maendeleo, mapatano na wenye mahaba na wananchi.”

Akizungumza hadharani kwa mara ya kwanza baada ya mchakato huo wa kumtafuta mgombea wa urais kukamilika mjini Dodoma, Mzee Mwinyi alimshukuru Mungu kwa mchakato huo kuisha salama.

“Haikuwa kazi rahisi kwenye mchakato huu wa kumtafuta mgombea mmoja atakaye peperusha bendera ya CCM, kama ni jahazi basi sasa tunashukuru limefika pwani salama.

“Sasa, ninawaomba Watanzania kuwa watulivu katika kipindi hiki cha uchaguzi wa nchi tunaoufanyika kila baada ya miaka mitano,“ alisema Rais Mwinyi ambaye alikuwa mmoja ya wajumbe wa Baraza la Ushauri waliofanya kazi ya kutuliza wajumbe wa Halmashauri Kuu ya CCM hadi kuafikiana kuendelea na mchakato wa kumpata mgombea urais.

Aliwasisitizia Watanzania kuacha tabia ya kupenda mno na kuacha kubaguana, akisema hakuna aliye bora na kuwataka kuzidisha mapenzi miongoni mwao na kusherehekea vyema Sikukuu ya Eid el Fitr.
 
“Hakuna jambo lenye maana kama hili la kumshukuru Mwenyezi Mungu ambaye kutufikisha salama siku kama hii ya leo (jana) ambayo tunasherekea Sikukuu ya Eid,” alisema Mwinyi.

Awali Sheikh wa Mkoa wa Dar es Salaam, Alhad Mussa Salum aliwasisitizia wananchi umuhimu wa kusherekea sikukuu hiyo katika hali ya amani na utulivu.

Pia, aliwashauri wazazi na walezi kuwapeleka watoto wao sehemu zenye maadili ili washerehekee kama ambavyo Mwenyezi Mungu anapenda.

“Leo (jana) ni siku ya furaha, naomba tusherekee maeneo salama pia Waislamu msisahau kufunga sita kwani ina malipo makubwa,” alisema Alhad Salum.

Mkoani Geita ambako ilifanyika sala ya kitaifa ya Eid, Makamu wa Rais, Dk Mohamed Gharib Bilal alihutubia Baraza la Eid na kusema kipindi hiki kinahitaji utulivu, kuelewa na kuheshimiana pamoja na kudumisha uhusiano ili Taifa lipate viongozi bora.

“Tuwe watulivu ili Tanzania ibaki kuwa nchi ya kukimbiliwa na isiwe nchi ya kukimbiwa... sisi tusiwe wakimbizi, tuwe watu wa kupendana, kuvumiliana na kuthaminiana. Tusifikie hatua ya kuchukiana, kuuana na kufanyiana ukatili,” alisema Dk Bilal.

Alisema amani inaweza kuvunjwa na mtu yoyote kwa namna yoyote ile, akaharibu mazuri na heshima ya Taifa na akawaomba wananchi na waumini wote wasifikie hatua hiyo akisema ndiyo wenye uwezo wa kuifanya nchi yao kuwa ya amani.

“Tuishi kwa kuheshimiana, kupendana na kuvumiliana tushikamane katika, hali iliyopo sasa kwa nchi yetu siyo nzuri. Si ajabu hivi sasa tunavyoongea kuna sehemu mabomu yametokea, si ajabu kuna watu wameuawa kikatili. Hii yote ni sababu watu sasa wanapoteza misingi ya kuheshimiana, upendo na kuvumiliana,” alisema Bilal kwenye Viwanja vya Karangara.

Awali Katibu Mkuu wa Baraza la Waislamu Tanzania, Bakwata, Sheikh Suleiman Lolela alisema waumini na wananchi wote waitumie vyema nafasi ya Uchaguzi Mkuu kuhakikisha wanachagua viongozi bora watakaoendeleza amani.

Kisiwani Unguja, Rais wa Zanzibar Dk Ali Mohamed Shein amewataka viongozi wa vyama vya siasa, taasisi za kijamii na madhehebu ya dini kulinda na kuheshimu msingi na malengo ya kuanzishwa Serikali ya Umoja wa Kitaifa (SUK) wakati huu wa kuelekea Uchaguzi Mkuu unaotarajiwa kufanyika Oktoba.

Akiuhutubia kwenye Baraza la Eid el Fitr lililofanyika Ukumbi wa Bwawani na kuhudhuriwa pia na Makamu wa Kwanza wa Rais, Maalim Seif Sharif Hamad jana, Dk Shein alisema viongozi wa kisiasa wanapaswa kufanya siasa kwa kuzingatia misingi ya Katiba na sheria kwa madhumuni ya kuendeleza na kulinda amani na umoja wa kitaifa kwa manufaa ya Zanzibar na wananchi wake.

“Tunaweza kushindana bila ya kulaumiana, kukejeliana na tunaweza kushindana bila ya kudharauliana au kuhasimiana,” alisema Dk Shein kwenye shughuli hiyo iliyotaliwa na hali ya utulivu.

Alieleza kuwa vyama vya siasa vimeanzishwa na vipo kwa ajili ya kushindana kwa sera kwa madhumuni ya kuchochea maendeleo ya Zanzibar na siyo kugombanisha watu na kuvuruga misingi ya amani na umoja wa kitaifa.

Kwenye Uwanja wa Jamhuri Mjini Dodoma, sheikh wa mkoa, Ahmed Zuber aliwataka Watanzania kudumisha amani na umoja.

Zuber alisema dunia sasa imechafuka kutokana na uvunjifu wa amani unaochochewa na siasa chafu hivyo Watanzania bila kujali dini wala itikadi zao wanapaswa kuilinda amani iliyopo sasa.

“Tunahitaji utulivu. Nchi nyingi huharibikiwa kipindi kama hiki cha uchaguzi, amani hupotea kipindi hiki cha uchaguzi. Ndugu zangu Waislamu na msio Waislamu tukiichezea amani hii iliyopo sasa, tujue hakika hatuna kwa kukimbilia,” alisema.Mkoani Tanga, imamu wa Msikiti wa Ibadhi, Sheikh Mohammed Said aliitaka jamii kudumisha amani na utulivu uliopo na kuacha kushabikia vyama vya siasa.

Sheikh huyo alisema ni wajibu wa kila mtu kutambua kuwa amani iliyopo ikitoweka ni vigumu kuirejesha na hivyo kila mmoja ahakikishe anatambua wajibu wake.

Alisema wakati wa uchaguzi, hutokea jamii kuhamasishana kwa mambo ya kisiasa, jambo ambalo alisema ni baya na halifai kutokea na hivyo kutaka kila mmoja kuwa mlinzi wa mwenzake.Mkoani Lindi, Sheikh Salimu Nalinga akitoa salamu za Eid el Fitr aliwataka Waislamu kuchagua viongozi waadilifu ili kuifanya nchi kuendelea kuwa ya amani na utulivu.

Mama Amefungwa Maisha Marekani Kwasababu ya Kuua Watoto Wake Wawili na Kuwaweka Kwenye Freezer kwa Miaka Kadhaa

$
0
0
Mama amefungwa maisha Marekani kwasababu ya kuua watoto wake wawili na kuwaweka kwenye freezer kwa miaka kadhaa.

Kisa cha kuwaua watoto wake ni kwamba watoto hao ambao ni wakubwa walikuwa wakiwabaka na kuwalawiti wadogo zao wawili. Kwa hasira akawaua na kuwaficha humo kwenye freezer. .

Ni mambo ya aibu sana hata kuyazungumzia tunaishi kwenye dunia iliyochanganyikiwa sasahivi...mama kuua watoto wake...watoto kuwabaka wadogo zao.... .

Hivi karibuni huyo mama aliulizwa je watoto wangekuwa hai leo je angefanya kitendo kama alichofanya? Akasema ndiyo bado angewaua... Inasikitisha!! 

Rafiki wa Mume Wangu Ananitaka Kimapenzi....

$
0
0
Jaman, hebu nisaidieni ktk hili, mimi nimeolewa na nnampenda sn mume wangu, sijawahi kumsaliti tokea nimekutana naye.

Hivi keribuni amenitambulisha kwa rafiki yake ambaye alionekana mstaarabu kumbe mnafiki. Rafiki yake huyo ameoa ila cha kushangaza ananitaka mimi wakati mi ni mke wa mtu. Amekuwa akinishawishi kwa kw mme wangu ni mtu wa safari na yeye mke wake anafanya kazi mkoani. Mi nimemgomea kabisaa.

Asa nisaidieni, je nimweleze mume wangu, ila naogopa kuharibu mahusiano yao, na vilevile naogopa siku mume wangu akijua kaam jamaa ananitokea alafu sijamwambia... Naombeni ushauri!

Enyi Wanaume Ishini na Wake Zenu Kwa AKILI" La Sivyo Mwanamke Atakukoroga Maisha Yako Yote

$
0
0
BIBLIA ILIPOSEMA "Enyi Wanaume Ishini na wake zenu kwa AKILI" Mungu alikuwa anajua anachosema.Kama huna akili Mwanamke atakukoroga maisha yako yote na utaishia kusema "Women are so Complicated"
Wanawake huwa wanaongea vitu 'Kirahisi-rahisi tu' lakini huwa vinamaanisha 'Vitu Vigumu Ajabu'
Wanawake wanaweza kukwambia "Mi nataka Mwanaume anipende tu BHAASSS!!Ukidhani kwamba Upendo wako unatosha kwake UTAKUWA UMEFELI
Wanawake wanahitaji vitu 4 na vyote VIENDE KWA PAMOJA(Perpendicularly),vitu hivyo ni

1.HELA 2.GOOD SEX 3.CARING MAN 4.MUDA
Kuna Wanaume wanajua "Kukaza vizuri" mwanamke anatosheka,na wana hela ila WAKO BUSY...Hii factor ya wewe kuwa Busy tu itamfanya mtu mwingine mwenye Muda "Amkaze kiulaini kabisa" halafu wewe utashangaa..."Mke wangu nampa kila kitu,hela za kila kitu nampa..YES,Amekaa muda mrefu uko bize unasaka hela na adui namba 1 wa Mwanamke ni LONELINESS....
A lonely Woman can easily be trapped by anyone..hata Houseboy akimpa ATTENTION endlessly anakula mzigo
Unataka Mwanamke awe wako peke yako???Fuata kanuni ya KIBIBLIA, ishi nae kwa akili....Mpe MUDA..Mpe HELA...Mpe Kisago kitandani...Mpe CARE na ATTENTION
Sikiliza maneno ya Nabii Seth uyatendee kazi,maana TB JOSHUA hatakwambia haya KAMWE!Nimemaliza!

Source:Nabii Seth 
Viewing all 104705 articles
Browse latest View live


Latest Images