Quantcast
Channel: UDAKU SPECIAL
Viewing all 104689 articles
Browse latest View live

MKAPA: Wanaosema Wanataka Kuikomboa Tanzania ni Wapumbavu na Malofa....Chama cha Ukombozi ni CCM Tu

$
0
0
Rais  Mstaafu  wa  awamu  ya  tatu  mh. Benjamini  William  Mkapa  amesema  kuwa  wapinzani  wanaodai  vyama  vyao  ni  vya  ukombozi  ni  Wapumbavu  na  malofa  kwa  kuwa  watanzania  walikwisha  kombolewa  na  chama  cha  ASP  na  TANU  na  kwamba  chama  pekee  cha  ukombozi  kilichobaki  hivi  sasa  ni  CCM  pekee.

Mkapa  ametoa  kauli  hiyo  leo  katika  viwanja  vya  Jangwani  wakati  akimnadi  mgombea  urais  wa  CCM, Mh  John Pombe  Magufuli. MTAZAME HAPA:

Hizi ni picha zingine kutoka Jangwani, Wema, Diamond, Mwana Fa wapo pia mtu wangu

$
0
0
Kama kawaida uzinduzi wa kampeni za CCM kuelekea uchaguzi mkuu wa Urais, Ubunge na madiwani, uzinduzi wa CCM ambao ulipambwa na uwepo pia wa makada wa CCMkutoka katika tasnia ya filamu na wasanii wa bongofleva pia walikuwepo licha ya kutokana na ufinyu wa muda waliopata nafasi ya kuperform hadi sasa ni Peter MsechuYamoto Band na Diamond Platnumz sambamba na timu ya watu wake.
Kwa upande wa wasanii wa filamu na baadhi ya wasanii wa muziki wa bongofleva wao walipanda katika stage na kuimba wimbo wa taifa kwa pamoja.
Hizi ni picha zingine kutoka Jangawani
3X6A4083
3X6A4103
3X6A4132
3X6A4143
3X6A4147
3X6A4148
3X6A4151
3X6A4153
3X6A4155
3X6A4157
3X6A4163
3X6A4165
3X6A4168
3X6A4174
3X6A4175
3X6A4177
3X6A4180
3X6A4183
3X6A4186
3X6A4187
3X6A4191
3X6A4197
3X6A4199
Millard Ayo

Ee Mwenyezi Mungu, asante kwa Lowassa na Sumaye, sasa tunaomba utuletee Warioba!

$
0
0
Haya yanayotokea ni mpango wa Mungu kuibadili nchi hii. Hawa waheshimiwa Lowassa na Sumaye ni watu wakubwa sana katika taifa hili.Mungu amewaleta huku, nyuma yao kuna mamilioni ya watu, hakika watatuboost sana. Sasa namuomba Mungu atuletee na Mh. Warioba... Wote tuitikie.....'Twakuomba utusikie'.

By Mdau

One Man Army Lowassa VS Kikwete, Mkapa, Mwinyi, Magufuli, Makongoro, Membe and BongoFleva.

$
0
0
Japo ni Makapi ya CCM ila Kwa sasa Hakika Lowassa ni Tishio kwa CCM, Tena Tishio Hasa kiasi cha kuwanyima usingizi Japo wanajikaza Kisabuni... Leo nimejaribu kusikiliza kwa Makini Ufunguzi wa CCM Jagwani ..Yaani nilichokipata ni Kuwa Wanajihami zaidi kutokana na uwepo wa Lowassa Ukawa...Hotuba za Marais waliopita zote zilikuwa zinamzunguka Lowassa, Namsifu Magufuli kwani yeye Hutuba yake angalau ilikuwa imejikita katika utendaji wa kazi.....
Ni kama One Man Army Lowassa VS Kikwete, Mkapa, Mwinyi, Magufuli, Makongoro, Membe, BongoFleva na Wengine wengi Ndani yake.....

By J.Mdakuz

Diamond Platnumz:Usipokuwa na Ufahamu Mkubwa, Leo Unaweza Dhani eti nna Maslahi Binafsi na CCM...ila.....

$
0
0
Diamond Ameandika Haya Kwenye Ukurasa Wake wa Instagram:

Usipokuwa na Ufahamu mkubwa, leo unaweza dhani eti nna Maslahi Binafsi... ila siku Huu Uchaguzi utapopita ndio mtakumbuka Nilichokuwa napost Hapa... Hebu jiulize kwanini wao wakione Chama Kibovu leo baada ya kukatwa wao????? Mbona siku zote hawakuliona hili??? Kwakuwa Wamekosa ndio Ghafla Chama kibaya..???? Si juzi tu walikuwa wanakisifia???? Tena Masifa kedekede, baada wao kukosa ndio kimekuwa kibaya...???

Kama una FACT nijibu hapo ili mimi na wewe Tuijenge nchi yetu Matusi hayatokusaidia wewe, Mimi wala Mtanzania Mwenzetu ataesoma hapa, Tuelekezane kibusara Ukinipa Point basi naja, Kama Hauna Point nakukaribisha.... Ccm Chama la Wana!!

Rais Kikwete, Mkapa na Makongoro Nyerere Waishambulia UKAWA kwa zamu......Magufuli Aahidi Kuwashughulikia Mafisadi

$
0
0
Rais Jakaya Kikwete, Rais Mstaafu wa Awamu ya Tatu, Benjamin Mkapa na Mtoto wa Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Nyerere, Makongoro Nyerere wameshambulia vyama vinavyounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA).

Wakizungumza kwa zamu katika Uwanja wa Jangwani jijini Dar es Salaam wakati wa kufungua kampeni za chama hicho wamesema, mgombea wa UKAWA hana sera za wapinzani.

Katika mkutano huo uliotawaliwa na vijembe kwa UKAWA Rais Kikwete bila kutaja jina amesema, katika umoja huo kuna mgombea anayesimama kama mgombea binafsi kwa kuwa, sera zake ni tofauti na chama anachosimama kugombea.

Alikwenda mbali na kuonesha kushangazwa kuwa, mmoja vyama viwili ambavyo sio msingi wa chadema ndio vimesimama katika ngazi ya urais na mgombea mwenza wake.

Rais Kikwete aliwalenga Mgombe Urais wa Chadema, Edward Lowassa aliyejiunga na chama hicho akitokea CCM pamoja na Juma Duni Haji aliyejiunga na Chadema akitokea Chama cha Wananchi (CUF).

“Wagombea sio wa Chadema. Mmoja ni CCM na mmoja ni CUF.., Pale kuna mgombea urais ambaye unaweza kusema kama mgombea binafsi maana ana sera zisizofanana na chama,” amesema Rais Kikwete na kuongeza “lakini wameyataka wenyewe.”

Hata hivyo Kikwete hakumwacha Waziri Mkuu Mstaafu wa Awamu ya Tatu, Frederick Sumaye aliyejiunga na chama hichi siku moja iliyopita.

Kikwete amesema, pamoja na Sumaye kujieleza lakini hakumwelewa alichokuwa akikusudia “nimejaribu kusikiliza anasema nini lakini sikuelewa kabisa,” amesema.
.
Hata hivyo amesema, CCM haikubahatisha kumteua Dk John Magufuli kuwa mteule wa chama hicho katika urais na kwamba, “tumemweka kwa sifa zake, tunataka rais anayeipenda nchi na anayependa wananchi wa nchi hii.”

“Magufuli anayo sifa hiyo. Tumesema, hatutaki kuchukua mgombea mwenye makando kando mengi na tukatumia muda wetu mwingi kujitetea sisi na yeye kabla ya kuomba kura. Tunamtaka mgombea mwaminifu, mwadilifu. Safari hii Mungu kamchagua Magufuli.”

Kabla ya Rais Kikwete kuzungumza, alitanguliwa na Mkapa ambaye amesema, kuna vyama vinawadanganya Watanzania kuwa wanawatafutia ukombozi-wapumbavu.

“Kuna chama kimoja tu cha ukombozi hapa Tanzania, ni CCM iliyotokana nas ASP na TANU. Kuna vyama vinawadanganya Watanzania eti wanataka kuwakomboa wananchi-wapumbavu, nenda nchi zote za jirani uliza chama cha ukombizi Tanzania watakwambia CCM. Nina kila sababu ya kusema wapumbavu,” amesema.

Hata hivyo amesema, haitoshi kusema mtu anauchukia umasikini peke yake.

“Haitoshi kusema unauchukia umasiki, lazima useme unauchukiaje umasikini?” amesema Mkapa.

Lowassa katika hotuba zake mbele ya wananchi kwenye safari zake za kutafuta wadhamini alipokuwa CCM na hata baada ya kuhamia Chadema, amekuwa akisema anauchukia umasikini-haupendi.

Hata hivyo Mkapa amesema, timu ya CCM ni madhubuti kwa kuwa Magufuli anapenda kushirikiana na wenzake, yupo mstari wa mbele katika kutekeleza mambo yote ya umma na kwamba, wakati wote ni mfano wa tabia nzuri kwa vitendo vyake.

Makongoro ndio aliyefungua ukurasa wa mashambulizi kwa UKAWA kwa kumvaa Sumaye baada ya kujiengua CCM.

Makongoro amesema, anamshangaa Sumaye aliyejiunga na vyama vinavyounda UKAWA na kwamba, alipaswa kukubali matokeo ya kushidwa

Makongoro alianza kwa kibwagizo “kuna mmoja-au niache?- kuna yule kaka yangu mmoja nasikia afya yake sio kweli. Kuna huyu mwingine wa jana (Sumaye)?

“Sumaye tumpige kanzu au tumuache hivihivi, kwani angetulia tungeshughulika naye, kajileta mwenyewe sasa mimi nifanyeje, nimpige tobo?” amesema na kuongeza;

“Sumaye akiwa Waziri Mkuu na kaka yangu Kikwete (Rais Kikwete) waliingia kwenye tano bora, Sumaye alikuwemo, kura zake hazikutosha zikatosha za Kikwete, kwa kuwa aliingia tano bora akasema, chama kizuri.

“Miaka 10 baadaye tano bora hakuingia- Sumaye akatuambia mkimpa Lowassa kugombea urais hiki chama mimi nitahama, sasa huyo ni mkweli ama muongo. Hii ndio shida ya kusema uongo, kusema rahisi kuukumbuka tabu,” amesema Makongoro.

Katika mkutano huo, mgombea mwenza wa CCM, Samia Suluhu Hassan amesema, atasimamia na kuwawezesha akina mama.

Pia ameahidi kusimamia pesa Sh. Mil 50 zinazotolewa na serikali kwa ajili ya kupelekwa vijijini.

“Nitasimamia kuwawezesha akina mama, pesa za vijijini Sh. Mil 50 zitatoka kwa ajili ya vijijini nitazisimamia. Mimba za utotoni nitasimamia kuhakikisha zinaondoka, pia nitahakikisha maji yanapatikana na kusaida akina mama wote,” amesema.

Akizungumzia uzowefu alioupata amesema, amekuwa karibu na Makamu wa Rais wa sasa, Dk. Mohammed Gharibu Bilal hivyo hakuna wasiwasi katika nafasi hiyo.

“Nilikuwa kwenye mikono mizuri ya Dk. Bilal, najua kazi zilivyo nawahakikishia Ofisi ya Makamu wa Rais itasiamama vyema kutekeleza ilani ya uchaguzi pamoja na muungano,” amesema.

Dk. Magufuli amewaahidi watanzania kujikita katika kutetea maendeleo ya wananchi kwenye Nyanja zote.

Dk. Magufuli amesema utawala wake utajikita katika masuala ya kilimo, afya, uchumi na amani ya nchi.

“Watanzania natambua mnapenda kuona mabadiliko, nitasimama vizuri katika miradi ya uchumi. Watanzania nawahakikishia shida na matarajio yenu nayajua, nayafahamu na natambua ninao uwezo wa kuyashughulikia.

"Mnataka suala la rushwa, wizi serikalini vikomeshwe haraka. Kwa kuwa palipo na rushwa ufisadi hakuna maendeleo, nitasimamia hilo,” amesema.

Amesema, kama atachaguliwa “nitahakikisha naunda mahakama maalumu ya kushughulikia mafisadi na majizi yafungwe haraka.”

Basata Wasema Haya Kuhusu Adhabu ya Kumfungia Shilole..Mwenyewe Ajigamba Kwenda Kufanya Show Marekani....

$
0
0
Baraza la Sanaa Tanzania (BASATA) limetoa kauli kuwa adhabu ya kufungiwa kutojihusishwa na sanaa kwa mwaka mmoja ndani na nje ya nchi msanii Shilole ipo palepale, kauli ya hiyo imekuja baada ya msanii huyo kusema kuwa atakwenda kufanya shoo nchini Marekani pamoja na msanii mwenzake Ommy Dimpozi licha ya kufungiwa kwa mwaka mmoja.

Akiongea na East Afrika Radio Shilole alisema amejiandaa vizuri sana katika shoo ambayo anapaswa kuifanya nchini Marekani siku za karibuni, na alipoulizwa atawezaje kufanya shoo hiyo wakati akiwa amefungiwa na BASATA, Shilole alionekana kupaniki na kubadilika na kumwambia mtangazaji kuwa yeye hataki kuzungumzia suala la adhabu iliyotolewa na BASATA na kusema suala hilo anapaswa kuulizwa mwanasheria wake Albert Msando.

Hata hivyo kwa upande wa BASATA, Afisa Habari wa baraza hilo, Bw. Basyeibya amesema adhabu ya msanii huyo ipo palepale na wao wanaamini kwamba msanii Shilole anaitekeleza adhabu hiyo na

iwapo atakiuka adhabu hiyo watachukua hatua nyingine zaidi mbele.

"Adhabu ya Shilole iko wazi kwa maana ya kuzuiwa kufanya onyesho ndani na nje ya nchi utakumbuka kuwa kosa ambalo lilimfanya kufungiwa alilifanya nchini Ubelgiji kwa hiyo adhabu yake ipo pale pale haijatenguliwa hivyo hatakiwi kufanya onyesho lolote ndani au nje ya nchi, “alisema Bw. Basyeibya na kuongeza kuwa, “Kama anaweza kukiuka adhabu hiyo sisi Basata iwapo atakiuka adhabu hiyo tutachukua hatua zaidi dhidi yake"

Makongoro Nyerere Amchana Lowassa Laivu..Adai ni Mgonjwa Watu Wasijaribu Kumchugua...Kauli yake Yawasikitisha Wengi..

$
0
0
Kwa masikitiko Makubwa sana, nimemsikia mtoto wa rais wa Kwanza wa Tanzania, hayati baba wa taifa, Makongoro Nyerere siku ya leo pale Jangwani wakati wa uzinduzi wa kampeni za urais za CCM akitoa kauli za kejeli, majigambo na vijembe kuhusu Afya ya Edward Lowassa.

Makongoro kwa mbwembwe kabisa na mizaha alikuwa akiwashawishi watu waliokuwa wanamsikiliza pale, wasijaribu kabisa kumchagua Edward Lowassa kwa sababu ni mgonjwa!
Makongoro anadhani ugonjwa wa mtu ni jambo la kufurahia na kushabikia.

Napenda kumkumbusha Makongoro kuwa wakati baba yake(Hayati Mwalimu Nyerere) anampigia kampeni Benjamin Mkapa mwaka 1995 nchi nzima, tayari mwalimu alikuwa ameshagundulika ana ugonjwa wa Kansa ya damu(Leukemia) na wataalamu wake walishamwambia kuhusu Poor Prognosis ya hali hiyo(He was told that, he would die within six years after been diagnosed to have Leukemia). Hakuna mtu alikuwa anajua hilo wakati huo zaidi ya Mwalimu mwenyewe, Daktari wake
binafsi(Professa Mwakyusa) labda na wasaidizi wake wa karibu sana wa Mwalimu. Lakini Mwalimu alionekana kwenye kampeni za CCM 1998 akiwa mwenye Afya njema, Furaha na Uchangamfu mkubwa sana. Kwa kifupi tu, tambua ugonjwa wa mtu ni siri ya mtu binafsi na wala sio jambo la kushabikia au kushangilia.

Makongoro tambua siasa ni hoja, tena hoja zenye nguvu. Utu wa mtu ni jambo la muhimu sana. Chunga sana ulimi wako. Ipo siku mwenyezi Mungu atakufundisha kitu katika hili ulilolisema leo pale Jangwani\

By J Mdakuz

Mambo 20 ya Kushangaza Niliyojifunza Kwenye Mkutano wa CCM Jagwani Haya Hapa....

$
0
0

1. Yamoto Band wameshangiliwa zaidi kuliko Magufuli

2. Wakati Mbowe amewakutanisha Lowasa na Sumaye. Leo Jakaya amewakutanisha Diamond na Ali Kiba Jangwani,

3. CCM wanajua kuwa mikutano ya UKAWA inapata mafuriko, kwa hiyo nao walijitahidi wapate "mafuriko"

4. Watu wengi wameenda kuwashangaa wasanii, sio kumsikiliza Magufuli. Kumuona Diamond bei ghali, leo wamemuona Live bila kiingilio wataacha kwenda?

5. Magufuli anajua lugha nyingi za makabila kuliko anavyojua matatizo ya wananchi,

6. Mkapa anahitaji maombi ya kufunga maana anazeeka vibaya. Amemuita Mpumbavu, Waziri Mkuu aliyemteua mwenyewe na kufanya nae kazi miaka 10,

7. Mwisho wa mikutano ya siasa ni saa 12 kamili lakini CCM wamezidisha dakika hadi 12:40. Ikiwa wameshindwa kutekeleza Sheria waliyoiweka mwenyewe, watawezaje kutekeleza ahadi zao? CCM hawapaswi kuaminiwa,

8. Kitendo cha Magufuli kukiri serikali inanyanyasa Machinga na mama Ntilie ni kukiri kuwa serikali yake imechoka na inahitaji kubadilishwa,

9. Magufuli amemvua nguo Kikwete hadharani. Kusema anashangaa meno ya tembo yamefikaje uarabuni ni kusema kuwa JK anashiriki biashara hiyo. Ikiwa Magufuli amesema atazuia biashara hiyo haramu, nini kimemshinda JK kuzuia kwa sasa?

10. Magufuli anajua kuwa CCM inakaribia kufa. Wakati akimalizia hotuba yake ametoa mfano ambao haukueleweka vizuri, lakini fundisho lake ni kuwa WATANZANIA MSIIUE CCM. Kumbe anajua kuwa CCM itakufa,

11. Ccm wamewadharau sana watanzania kwa kuwapandisha malori ya kubebea vitunguu, nyanya na viazi. Mtanzania aliyepandishwa lori leo akiipigia kura CCM atadhihirisha kuwa yeye ni kiazi,

12. Mzee Warioba ameshindwa kabisa kumnadi Magufuli kwa hoja. Kwa namna alivyojieleza anaweza kuzidiwa na kijana aliyemaliza form four akapata division zero,

13. Mzee Mkapa ana matusi "makali" kuliko wafanyakazi wa bar,

14. Bila msaada wa malori na kujazia bodaboda mafuta, uwanja wa Jangwani leo ungekua mtupu,

15. Warioba anaipenda CCM zaidi ya anavyoipenda Tanzania,

16. Rais Kikwete amekiri kuwa Magufuli alikua chaguo lake, it means hakuwa chaguo la wanaCCM. Kwa lugha rahisi Kikwete amedhihirisha kuwa alienda Dodoma akiwa na majina yake mfukoni kama ilivyodaiwa,

17. Kwa kuwa Polepole alikiri Warioba ni "Role Model" wake, leo tumemjua anayemtuma Polepole kutukana UKAWA,

18. Jeshi la Polisi linatumika kisiasa. Wameshindwa kuzuia maandamano "haramu" ya CCM na kuzuia mkutano ilipofika saa 12 kamili kama sheria inavyotaka,

19. Miongoni mwa watu wanaopaswa kuchunguzwa UKAWA ikishika dola ni pamoja na Jaji Joseph Warioba na Mzee Mkapa,

20. CCM haifai kuendelea kuwa madarakani baada ya October 25.

By G Eng Ole Philemon

Maneno ya Batuli Kuhusiana na Moto Uliyo Teketeza Nyumba yake Jana Akiwa Kwenye Uzinduzi wa Kampeni CCM

$
0
0
Staa wa Bongo movie Batuli, leo amepatwa na ajali ya kuungulia nyumba yake kwa moto wakati akiwa kwenye miangaiko yake ya kila siku katika uzinduzi wa kampeni uliyofanyika Jana Jangwani Dar es salaam.
Watu wengine wamehusisha swala hili na mambo ya chuki za kisiasa lakini me namshukuru Mungu hakuna aliyepoteza maisha wa kujeruhiwa katika ajali hii, ndani kulikuwa na mtoto wa ndugu yangu lakini jirani walivunja vioo na kumnusu lakini mali hakuna nilichookoa zaidi ya magari yangu tu"

Aliongezea kwakusema kwasasa yupo kwenye kikao kwaajili ya mipango ya kupata makazi mengine hapo kesho panapo majariwa.

EDWARD LOWASSA Aja na Mpya Leo..Hapa nimekuweka Picha Nne Akiwa Kapanda Daladala na Kufanya Haya

$
0
0
Baada ya mafuriko ya CCM jana pale jagwani katika uzinduzi wa Kampeni za Urais leo asubuhi Mh Lowassa ameamka na Kick ya kupanda daladala na kusikiliza matatizo ya wananchi laivu laivu...hizi hapa picha nne akiwa katika tukio hilo lililovuta hisia za watu wengi

Ushindi wa Urais Kwa John Magufuli Utaletwa na Ukawa Wenyewe

$
0
0
Kwa muda mrefu nimekua nikifuatilia pilika pilika za vyama vya siasa kuelekea October ambapo utafanyika uchaguzi mkuu, na kupata rais wa awamu ya tano. Kwa mtazamo wangu ukawa watashindwa vibaya na Mh. John Pombe Magufuli. Sababu kubwa ninazoziona ni hizi hapa.

1. Ukawa ikiongozwa na chama kikuu cha upinzani kimekosa sura ya kitaifa
Kwa kiasi kikubwa viongozi wa ukawa hususani chadema kilichotoa mgombea urais kimekosa sura ya kitaifa. Viongozi wengi wa chadema wanatoka kaskazini, hii ni weakness kubwa sana kisiasa,, chama cha siasa kwa mazingira ya Tanzania kama kinataka kuchukua dola ni sharti kiwe chama cha siasa chenye sura ya kitaifa ili kipate support kutoka sehemu mbalimbali ya jamhuri ya muungano.

2. Dhana mfu ya mabadiliko
Kwa mtu mwenye civic competence kubwa na anauwezo mkubwa wa kuchambua mambo atakubaliana na mimi hakuna uhusiano wowote wa maana kati ya kubadili chama ili upate mabadiliko, nakubali kabisa kua na upinzani wenye nguvu ni kitu bora katika kujenga utawala bora lakini uhusiano na mabadiliko ni mdogo au hakuna kabisa. Nitatoa mfano: Japani toka mwaka 1955 kimeongozwa na chama kimoja cha siasa LDP TOKA mwaka 1955 mpaka 1993 kikatolewa madarakani kwa mda wa miezi 11 kikarudi tena madarakani mwaka 1994 mpaka 2009 kikatoka tena madarakani, mwaka 2012 kikarudi tena mpaka leo. LPD ndio chama kilicholeta mabadiliko makubwa ya kiuchumi kutokana na sera nzuri za kujenga uchumi. Chama cha kikomunisti cha China kimekaa mda mrefu sana na CHINA ipo hapo ilipo leo.

Tatizo kubwa la UKAWA ni kudai mabadiliko kwa kuwaaminisha wananchi kwamba CCM ikitoka madarakani maisha yatakua mazuri. Kuna tofauti kubwa ya ahadi, kwa maana ya kuleta mabadiliko na kuja na mikakati mizuri ya kiuchumi na kijamiii ili waaminiwe kuongoza nchi, sera zao hazieleweki na wanatumia matatizo ya vijana kwa kuwadanganya kua maisha yatabadilika CCM ikitoka madarakani.

3. Udhaifu wa Mgombea wa UKAWA
Ukawa nawamgombea urais dhaifu, hana uwezo wa kujenga hoja na haelezi vitu vya msingi ili kujenga uchumi na taifa hili na kuleta hayo “MABADILIKO” Lowassa kwa mda mrefu jukwaani ameshindwa kujieleza vizuri, amekua haelezi nini atafanya zaidi ya kuhamasisha vijana wadai mabadiliko, LOWASSA NI DHAIFU SANA KUJENGA HOJA UKILINGANISHA NA JOHN MAGUFULI, hili litawaletea matatizo makubwa mbele ya safari kampeni zikipamba moto c z magufuli anauwezo mkubwa wa kujenga hoja na kuitetea vizuri.

Naomba kuwasilisha.

Maoni Huru Kutoka Kwa Manelezu

TEMBELEA WEBSITE YA SIASA >>WWW.WAZOHURU.COM

Diva Wajibizana Vibaya Na Diamond Kwenye Kipindi Cha XXL Clouds FM

$
0
0
Diva Na Sauti Yake Ya Kujiamin Ikiambatana Na Nyodo Ajibizan Na Diamond On Air Kisa Mambo Ya Instagram , inasemekana diva Anamongelea vibaya daimond Instagram, Daimond  amemwambia diva kuwa kama ningekuwa nimekukaza usingekuwa unaniongelea......majibizano yaliendelea nusu wapigane BDAZIN akazima maic...




Sikupenda Kuona Nuh Mziwanda Akimtongoza Bosi Wangu Wema – Mirror

$
0
0
Msanii wa Endless Fame Films, Mirror amesema alimrekodi Nuh Mziwanda wakati akimtongoza bosi wake Wema Sepetu sababu hakupendezwa na kitendo hicho alichokiona kama ni utovu wa nidhamu.

Akizungumza kwenye kipindi cha Friday Night Live cha EATV, Mirror alisema hawezi kufurahi kumuona ‘dogo’ tu akimtongoza bosi wake.

Mimi sina matatizo na Nuh cha kwanza na sikurekodi kwa nia ya watu wasikilize,” alisema. “Kwa sababu hata tukiongea ukweli Nuh na madam ni vitu viwili tofauti, [Wema] ni boss, mkubwa hata kwangu. Mimi nilikuwa naangalia movies na sikurekodi kwa nia hata kama akija kusikia girlfriend wake ajue Nuh ndio alikuwa anamsumbua madam,” aliongeza.

Sijawahi kusikia mtu mwingine akimtongoza madam, siwezi kufurahi Nuh akimtongoza bosi wangu kwa sababu yeye ni dogo kama mimi, halafu yeye ana mwanamke wake pia.”

Aliyewahi Kuwa Waziri wa Mambo ya Ndani, Lawrence Masha Ambaye Kwa Sasa ni Mwanachama wa CHADEMA Akamatwa na Jeshi la Polisi

$
0
0
Aliyekuwa waziri wa Mashauri ya Ndani ambae sasa ni mwanachama wa CHADEMA Mh Laurance Masha amekamatwa jioni ya leo na jeshi la polisi nchini.

Tukio la kukamatwa Masha limefuatia kukamatwa kwa wanachama 18 waliokuwa kwenye harakati za kawaida za uenezi wa chama chao katika kampeni ya kawaida ya nyumba kwa nyumba na mtu kwa mtu ambayo haizuiwi na sheria yoyote ile nchini.

Baada ya kukamatwa vijana hao na kufikishwa kituo cha Ostarbay, Mh Masha aliamua kwenda kufuatilia sababu za kukamatwa kwa wanaukombozi hao, ajabu alipofika tu nae akatiwa mbaroni.

Hizi ni Salamu za pongezi kwa Ali Kiba Kwa Kutokutokea Jagwani Uzinduzi wa Kampeni CCM

$
0
0
U hali gani Ali Kiba? Natumai u mzima kabisa na unaendelea vyema na shughuli zako za muziki.
Mimi kama shabiki/mpenzi na mfuasi wako napenda kukupongeza kwa kitendo chako cha kishujaa na chenye hekima cha kutokuhudhuria kwenye mkutano wa kuzindua kampeni na ilani za chama cha CCM uliofanyika leo jijini Dar Es Salaam katika viwanja vya Jangwani.

Leo mchana nilisikia tetesi kuwa utakuwepo jangwani, niliumia sana.
Niliamua kusitisha shughuli zangu zote leo ili niweze kuangalia mkutano huo niweze kuona kwa macho yangu kama utaweza kufanya onesho kwenye mkutano ule au lah!

Lakini hadi mwisho wa mkutano sijakuona kabisa, kwa hili nakupongeza sana Ali Kiba. Umenipa sababu za kukupenda na kuzidi kuupenda muziki wako mara dufu.
Kila mara huwa nasema kuwa siupendi mziki wako tu, bali na mtindo wako wa maisha kiujumla.

Tunapoongelea suala la msanii ni kioo cha jamii, wewe ndiye hasa unayefaa kuitwa kioo cha jamii.
Busara na hekima zako Mungu alizokujalia na kipaji chako ni tunu ya kipekee....hongera sana.

Naomba hekima hizo zisiishie kwenye mkutano wa leo tu, bali mikutano yote inayohusu chama cha CCM. Sitaki kuzungumzia hili zaidi maana hakuna Mtanzania mwenye akili timamu anayeweza kuwaunga mkono viongozi na chama hiki kiujumla.

Naomba usinitie aibu mimi na mashabiki wenzangu kama yule mwenzio alivyowatia aibu na kuwakera mashabiki wake kwa kitendo chake cha kuonesha mahaba yake hadharani juu ya chama dhalimu cha Mapinduzi na mgombea wake Magufuli.

Kwa hili, nasema ASANTE SANA.
NAKUSHUKURU NA KUKUAHIDI KUWA SHABIKI WAKO MILELE!
MUNGU AKUBARIKI.

Tarehe & Eneo Watakalozindulia Kampeni UKAWA Latajwa

$
0
0

Ukawa Tunazindua Kampeni ya Urais na Uchaguzi kwa Ujumla Kitaifa Katika Uwanja wa Jagwani Jumamosi Tarehe 29.08.2015

Habari Zilizopo Katika Magazeti ya Leo Jumanne ya Tarehe 25 Agosti

$
0
0

















Habari Zilizopo Katika Magazeti ya Leo Jumanne ya Tarehe 25 Agosti

Magufuli Akataa Kumia Helikopta.......Asema Atatumia Gari ili Azijue Kero za Wananchi

$
0
0
MGOMBEA urais wa CCM, Dk John Magufuli amesema katika sehemu kubwa ya kampeni yake, atatumia zaidi usafiri wa barabara ili apate fursa ya kuzijua kwa karibu kero za wananchi katika maeneo mengi ya nchi.

Hata hivyo, alifafanua kuwa kwa maeneo mengine yenye ulazima wa kutumia usafiri mbadala, anaweza kufanya hivyo, lakini dhamira yake ni kutumia zaidi barabara. Aidha, amezitaja sifa ya waziri ajaye wa ujenzi, ambaye atarithi wizara aliyoitumikia kwa miaka 15, iwapo atachaguliwa kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Akizungumza katika mkutano wake wa kwanza tangu kuzinduliwa kwa kampeni za chama hicho katika Kijiji cha Mishamo, kilichopo Kilometa 150 kutoka mkoani Katavi, Dk Magufuli alisema amekataa kutumia helikopta katika baadhi ya sehemu atakazofanya ziara, ili kujionea mwenyewe kero ya barabara inayowakabili Watanzania.

Moja ya barabara alizoahidi kujenga ni pamoja na kutoka Tabora mpaka Mpanda, ambayo ina kilometa zaidi ya 356 na ya Mpanda mpaka Uvinza yenye urefu wa karibu kilometa 190.

Kwa mujibu wa Magufuli ambaye amejipatia sifa ya uchapakazi katika wizara hiyo, kazi ya kwanza atakayofanya atakapochaguliwa kuwa rais, ni kuteua Baraza la Mawaziri kwa mujibu wa Katiba.

Amesema kutokana na kazi kubwa ya ujenzi wa barabara iliyopo mbele yake, Waziri ajaye wa Ujenzi ni lazima awe na uwezo wa kuchapa kazi kuliko yeye, na kuongeza kuwa atamsimamia yeye mwenyewe kuhakikisha anatekeleza majukumu hayo.

Akizungumza kijijini Mishamo, Magufuli pia aliwahakikishia wananchi wa maeneo hayo, ambao baadhi yao waliokuwa wakimbizi waliotoka Burundi wakati wa machafuko ya mauaji ya kimbari, lakini wakapewa uraia wa Tanzania, kwamba uongozi wake utaheshimu na utawatambua kuwa wao ni Watanzania.

Huku akizungumza lugha mbalimbali ikiwemo Kiha, Kifipa na Kirundi, Magufuli pia aliahidi kujenga shule katika kata ambazo zimegawanywa na kujikuta zikitegemea shule moja ya sekondari, kutatua kero ya maji na umeme.

Magufuli alisema waziri atakayemteua wa umeme, akishindwa kupeleka umeme Mpanda, atoke mwenyewe huku akisema atakuwa rais wa wanaChadema, wana ACT, wana CUF na wasio na chama kwa kuwa maendeleo hayana chama.

Kuhusu reli, alisema atajenga reli ya kisasa na uwezo wa kufanya hivyo anao, ikiwemo katika kuzuia mafisadi wasitumie fedha za umma kwa kuunda Mahakama ya Maalumu ya Kushughulikia Rushwa.

Takwimu za mtandao wa barabara wakati Tanganyika, sasa Tanzania Bara ikipata Uhuru mwaka 1961, uongozi wa mkoloni uliokaa tangu miaka ya 1884 na 1885 mpaka 1961, uliacha mtandao wa barabara za lami wenye urefu wa kilometa kilometa 1,360.

Lakini katika uongozi wa miaka 10 tu ya Serikali ya Awamu ya Nne, mtandao wa barabara za lami uliojengwa na kukamilika una urefu wa kilometa 5,568 katika barabara kuu na kilometa 535, kwa upande wa barabara za mijini.

Mbali na kumalizika kwa miradi hiyo ya barabara ambayo sehemu kubwa ilisimamiwa na Dk Magufuli, kilometa zingine 3,873 ziko katika hatua mbalimbali za ujenzi, huku barabara zingine za umbali wa kilometa 4,965 zikiwa zimeshafanyiwa upembuzi yakinifu na kilometa nyingine 3,336 zikiendelea kufanyiwa upembuzi yakinifu.

Katika hatua nyingine Waziri Mkuu, Mizengo Pinda, amemsifu Magufuli kwa uchapakazi wake na kusema CCM baada ya kufanya mchakato wake, imempata Magufuli na katika hilo, hakikufanya makosa.

Alisema Magufuli ni mwanamume wa shoka na wengine wanamuita jembe na kuongeza kuwa kwa zaidi ya miaka 20 aliyomfahamu Magufuli, ana hakika akipata urais, kila mtu atafahamu ni jembe kutokana na uwezo wake.

Pinda, ni mmoja wa makada hodari wa CCM waliotia nia kuusaka urais wa Tanzania kwa tiketi ya chama hicho tawala, lakini hata baada ya kukwama kuteuliwa, ameendelea kuwa imara katika chama hicho.

Diamond, Ni Nani Kakwambia Sumaye na Lowassa ni Kabila Moja? Hii Sasa Unaleta Ukabila....

$
0
0
Leo nikiwa napita napita kwenye mitandao ya kijamii nikaingia kidogo kwenye huu mtandao wa instagram..

Nimezoea kuona msanii Diamond aliyejitoa akili akimpost Magufuli na kumsifia kwa mambo mengi(hakuna tatizo hapa,ni ujinga wake na ni lazima uheshimiwe)..

Lakini leo nimeshangaa kwa kitu alichoandika,eti waliohama wote ni wakabila moja(Lowasa,Sumaye)..

Sina shaka alichoandika hakijatoka kichwani mwake bali ameagizwa(hilo sote twalijua)..
Tunajua wasanii wote walikua wana msapoti Lowasa mpaka walipoitwa kwenye dinner na kulainishwa na mwanasiasa bora,kuliko wote Tz,Mh.J.kikwete(kumbuka ni mwanasiasa bora na sio kikngozi bora).

Viewing all 104689 articles
Browse latest View live


Latest Images