Quantcast
Channel: UDAKU SPECIAL
Viewing all 104709 articles
Browse latest View live

Hatimaye Jaji AGUSTINO RAMADHAN Atoa ya Moyoni Kuhusu Kuhama CCM

$
0
0
Rais wa Mahakama ya Afrika ya haki za binadamu, Jaji Agustino Ramadhani, amesema hajawahi kupatwa na wazimu wa kufikiria kuhama Chama Cha Mapinduzi (CCM).

Aliyasema kuhusu taarifa zilizoenea kwenye mitandao mbalimbali ya kijamii, kwamba yeye na Makamu wa Rais, Dk. Mohamed Gharib Bilal, wapo katika mipango ya kuhamia kambi ya upinzani. 

Jaji Ramadhani ambaye alikuwa mmoja kati ya makada 42 waliojitokeza kuchukua fomu za kuwania nafasi ya kugombea urais kwa tiketi ya CCM, jina lake lilikatwa na Kamati ya Maadili kabla ya kufikishwa mbele ya Kamati Kuu (CC) ya chama hicho. 

Jaji Ramadhani ambaye alikuwa kimya tangu mchakato huo umalizike, alisema taarifa hizo na yeye ameziona kwenye mitandao. 

Hizo taarifa hata mimi niliziona kwenye mitandao ya kijamii, kwamba mimi na Mh. Bilal tutazungumza na vyombo vya habari kutangaza kuhama chama na kwamba tutasindikizwa na mzee Warioba (Jaji Joseph Warioba), wanaoeneza hayo ni watu wasiyo na adabu, sijawahi kupatwa na wazimu wa kufikiria kuhama CCM, alisema. 
Alisema yanayoenezwa kwenye mitandao dhidi yake, kuhusiana na kuhama chama hayana ukweli wowote.

Masogange: Kwa Taarifa Yenu! Siishi Kwa Makalio Yangu

$
0
0
Agness Masogange

Kumbe! Video Queen wa Kibongo, Agness Gerald ‘Masogange’ amewabwatukia watu wanamsonga na maneno kuwa anaishi mjini kwa kuyanadi makalio yake mtandaoni.

Akizungumza Ijumaa Wikienda hivi karibuni, Masogange alisema kuwa umbo lake amejaliwa na Mungu na halitumii kama vile wengi wanavyodhani kuwa anajinadi kwenye mitandao ili kuwakamata midume.

“Watu wengine sijui wakoje, kila mtu ana mfumo wa maisha yake anavyotaka kuishi, siyo kwamba naishi mjini kwa sababu ya makalio yangu, wanaodhani hivyo wanakosea sana,” alisema Masogange.
Source:Global Publishers

Photos: Mama Zari Visits Diamond And Zari In Dar To See Granddaughter Tiffah Dangote.

$
0
0
Zari
Mama Zari flew from Uganda to Tanzania this weekend to see her granddaughter Tiffah Platnumz Dangote who was born 3 weeks ago, And do you see the stunning home of Diamond and Zari ...!



Mwigizaji Kajala Naye Ajitokeza na Kumtaja Mgombea wa Urais Anaye Mpigia Debe..Huyu Hapa

$
0
0
ALESELEMA! Staa wa sinema za Kibongo, Kajala Masanja ‘Kay’ amefunguka kuwa kutoonekana kwake kwenye ushabiki wa vyama na wagombea kama wasanii wengine si kwamba hana ushabiki lakini moyoni mwake yupo Team ya Dk. John Magufuli wa Chama Cha Mapinduzi (CCM).
Kajala aliliambia Ijumaa Wikienda kuwa pamoja na mbwembwe za watu kujiweka wazi kuhusu chama na wagombea wanaowakubali, yeye mambo yake ni kimyakimya kama alivyo mgombea wake wa urais kupitia chama hicho.
“Nimekuwa kimya kwa muda mrefu kwa sababu hata mgombea wangu wa urais, Magufuli ni mtu wa kimyakimya ila mtendaji mzuri, ndiye anastahili kura yangu,” alisema Kajala.
Source:Global Publishers

Samwel Sitta Aomba Mpambano wa Mdahalo na Lowassa ili Ukweli wa Richmond

$
0
0
Samweli Sita Akisalimiana na Lowassa Bungeni
MJUMBE wa Halmashauri Kuu ya CCM (NEC) na Mbunge wa Urambo aliyemaliza muda wake, Samuel Sitta ametaka uandaliwe mdahalo kwenye vyombo vya habari kati yake na mgombea urais wa Chadema, Edward Lowassa uelezwe ukweli juu ya ukweli wa sakata la Richmond.

Sitta ambaye alikuwa Spika wa Bunge wakati Lowassa alipojiuzulu kutokana na sakata hilo, alisema katika mdahalo huo, ataeleza ukweli juu ya uhusika wa Lowassa katika sakata hilo na atatoa vielelezo kueleza taifa ufisadi uliokuwa ukifanyika.

Alisema hayo jana kwenye ufunguzi wa kampeni za CCM mkoa wa Shinyanga katika mkutano uliofanyika mjini hapa ambao wagombea wa udiwani na ubunge wa majimbo yote ya mkoani hapa walitambulishwa.

Katika mkutano huo, alisema kujiuzulu kwa Lowassa mwaka 2008, kulitokana na Kamati Teule iliyoongozwa na Dk Harrison Mwakyembe, kugundua kwamba fedha za walipa kodi zilikuwa zikipotea bure.

Alisema yuko tayari kusimulia kwa umma utajiri wa mgombea huyo wa Chadema. 
 
Makundi, urafiki
Sitta ambaye ni Waziri wa Afrika Mashariki, ambaye pia alikuwa kwenye kinyang’anyiro cha kutaka kuteuliwa kugombea urais kupitia CCM, alisema wanamwamini Dk John Magufuli katika utendaji wake wa kazi na pia ni kiongozi asiye na makundi au urafiki.

“Kweli lazima uwapime viongozi, kwani anayetaka urais lazima achaguliwe kwa kufuata utaratibu, achambuliwe usiogope moshi kama unapikia kuni…lakini mwenzetu Lowassa hakukubaliana na hayo, akaona kaonewa kwa madai anafaa kuwa rais mbona sisi tulikubali?,” alihoji Sitta.

Aliendelea kusema, “hali hiyo, ilionesha ndani ya CCM kulikuwa na vyama viwili ambavyo ni ‘CCM Katiba’ na ‘CCM Maslahi’ ambayo alikuwa anaongoza Lowassa na mfuasi wake, Mgeja (aliyekuwa Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Shinyanga ambaye pia alihamia Chadema hivi karibuni).”

Wanachama mapandikizi
Sitta alisema CCM ilikuwa imejaa wanachama walio mapandikizi tofauti na sasa ambapo alidai wamekwisha jionesha na kimekuwa chama kizuri kama ilivyokuwa enzi za hayati Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Nyerere.

Alisisitiza kwamba kitazidi kuimarika na waliobaki wataendelea kutetea ilani na kuhakikisha chama kinaendelea kushika dola.
 
Kwa mujibu wa Sitta, wakati wa mchakato, baada ya kumaliza vikao, Lowassa alikuwa akiitisha vikao vya kundi lake alilolibatiza CCM Maslahi na kuwaagiza wapambe wake kuitisha vyombo vya habari kushambulia watu ambao hawako kwenye mlengo wao.

Wakati huo huo mjumbe huyo wa NEC, alikumbusha umati uliohudhuria mkutano huo kwamba, uchaguzi wa mwaka huu unatumia Katiba ya zamani ya mwaka 1977 ambayo inatamka matokeo ya rais hayahojiwi hata kama aliyeshinda, amezidi kura moja.

Sitta ambaye alikuwa Mwenyekiti wa Bunge Maalumu, alisema alishauri wabunge wasitoke nje ya Bunge hilo waweze kutumia katiba hiyo iliyokuwa na kipengele cha kuhoji matokeo ya rais sasa imekula kwao.

Yamoto Band - Cheza Kwa Madoido ( Official New Video )

$
0
0
Cheza Kwa Modoido by Yamoto Band was shot and directed by Godfarther in S.Africa......

Huddah’s Private Chat Exposed: See The CRAZY Things She Discusses With Men

$
0
0
Huddah Monroe
Socialite Huddah Monroe is without a doubt one of the most talked about celebrity in the country. 

Thanks to her care free lifestyle the socialite provides unmatched entertainment for her fans and it’s therefore not a big deal to see her on the trending topics ones she says or does even the most trivial thing.

But what many may not know is that, thanks to her celebrity status, the socialite receives some of the strangest request from some of her fans. 

Just recently, Huddah took to her Instagram page to reveal a strange request she recently received from her fan.

Apparently the unnamed fan was requesting to be her 'feet handler' as apparently he has fallen in love with her feet.

See the strange request: 





Jackline Wolper: Amwambia Chuchu Hansy ''Hakuna Kitu Kibaya Kama Unafiki''

$
0
0
Staa wa filamu nchini Jackline Wolper, ameonesha wazi kuchukizwa na kitendo cha msanii mwenzake Chuchu Hansy ambae alikuwa ameungana nao katika kampeni za kumuunga mkono mgombea Urais kupitia umoja huo Mh. Edward Lowasa na baada ya siku chache Chuchu Hansy ameondoka Ukawa na kuamia Chama cha Mapinduzi CCM... Kupitia ukurasa wake wa Instagram Wolper amepost picha hiyo pamoja na kuandika maneno haya...


I Wish UHURU KENYATTA Would Just Divorce His Wife, He Is The Only Man I Can Love …. RAY C

$
0
0

Ray C is here again just a few months after she revealed her crash on President Uhuru Kenyatta. Ray C says that she can never love any other man apart from Uhuru and wishes he was not married.

Look at what she wrote on social media;

I really admire President Uhuru Kenyatta and I have found myself wishing he was not married. He is a perfect man, my kind of a man. He is the only guy I feel love for,”


RISPER FAITH Needs To Repent, Why is She Doing This to Kenyan Men? (PHOTOs)

$
0
0

RISPER FAITH needs to repent, Why is she doing this to Kenyan men? (PHOTOs)

Kwa Hili Alilolifanya Diamond, Litamgharimu Sana Katika Safari Yake ya Kimuziki

$
0
0
Diamond Platnumz
Diamond platnumz kaonesha wazi msimamo wake katika mgonbea anayemtaka yeye. Sipingani na maamuzi yake, ila naona kama alikurupuka kufanya maamuzi hayo. Diamond angetambua kuwa washabiki wake wengi wanaompa support hawapo katika mrengo anaoushabikia yeye. 

Nimepitia baadhi ya comments za followers wake na kugundua kuwa 90% wamekuwa disappointed sana na alichokionesha.

Halafu ukiangalia ni kama wametumwa hivi baada ya ile hafla yao na mheshimiwa. Maana baada ya pale wasanii kibao wamekurupuka kuonesha support kwa Magufuli.

Kinachoendelea saiv ni kwamba washabiki wameanzisha kampeni ya kutomsapport tena Diamond kwa kuacha kumpigia kura katika tunzo anazoshindania.

Namuonea huruma sana..

Dr. Slaa Silaha ya Maangamizi Kwa Lowassa

$
0
0

Wacha tusemezane kidogo...na leo tusemezane juu ya hii silaha ya maangamizi ya ndugu Lowassa.

Ikiwa Lowassa na Mbowe wataweza kuhakikisha Slaa anaendelea kunyamaza, nini itakuwa athari kwa mbio zao kuelekea Magogoni? Hii itaendelea kuwaaminisha wale walioamua kufa kishujaa na Slaa na wale ambao bado hawajaamua nani wampigie kura waendelee kuamini kuwa Lowassa ni Fisadi na hafai kuwa Amiri Jeshi wa Majeshi yetu.

Ila Mbowe na Lowassa endapo watazichanga karata zao vizuri na kumuangukia Slaa na Slaa hata akaamua kushiriki katika Campaign japo kishingo upande, basi CCM wategemee upinzani mkali ambao hawajawahi kuupata tangu kuzaliwa kwa chama hicho.

Ila endapo Mbowe na Lowassa wakampuuza Slaa kwa kuamini kwamba hana impact yeyote eti kisa tu watu wanataka Mabadiliko, basi endapo Slaa ataamua kuufungua mdomo wake kuongea na Watanzania, Mbowe na Lowassa wategemee anguko kuu ambalo halijawahi kuonekana katika nchi hii.

Tujaribuni kusemezana kistaarabu tu, kama Mbowe na Lowassa wanavyohubiri namna Campaign zitakavyoendeshwa bila ya matusi, basi na hapa tusemezane tu bila Matusi.

Shilole Akaidi Adhabu ya Basata..CCM Yamtumia Kwenye Kampeni Zake....

$
0
0
Shilole Jukwaani kampeni CCM
Msanii Zuwena Mohamed alimaarufu kama Shilole amekaidi adhabu aliyopewa na Baraza la Sanaa Tanzania (Basata) iliyomtaka kutoshiriki masuala ya sanaa ndani na nje ya nchi kwa mwaka mzima.

Shilole amekaidi adhabu hiyo baada ya kuonekana akifanya show katika kampeni za Chama Cha Mapinduzi (CCM) akimnadi Mgombea nafasi ya urais wa chama hicho Dk. John Magufuli wakati wapo jijini Mbeya siku kadha zilizopita.

Kipindi cha Planet Bongo kilitaka kufahamu endapo adhabu ya msanii huyo imefutwa, na kuwatafuta Baraza la Sanaa Tanzania ndipo hapo Mama Sharua ambaye yupo katika Idara ya kukuza Sanaa na Masoko alipokanusha kufutwa kwa adhabu ya msanii huyo na kusema adhabu yake ipo palepale na kama amefanya shoo amekaidi adhabu hiyo.

"Shilole anatambua wazi kuwa anaadhabu hiyo hivyo kama amefanya shoo sisi kama Basata itabidi tukae chini na kufuatilia juu ya suala hilo na tukigundua kuwa kuna ukweli sheria itachukua mkondo wake," alisema Mama Sharua.

Basata imesema kitendo alichofanya msanii huyo ni wazi kuwa ameshindwa kuheshimu adhabu iliyotolewa na hivyo lazima sheria ichukue mkondo wake kwani hakuna mtu ambaye yupo juu ya sheria.

Planet Bongo ilimtafuta msanii Shilole kutaka kufahamu kwanini ameamua kufanya maamuzi hayo ili hali anatambua kuwa anaadhabu ambayo inamkabili ndipo hapo msanii huyo aliposema kuwa tuyaache hayo mambo kwani ni mambo ya kiserikali zaidi.


Polisi Yakamata Majambazi 38 Yakiwa na silaha Nzito pamoja na Milioni 170......Majambazi hayo yanadaiwa na mafunzo ya Kijeshi

$
0
0
Kamanda Kova
Jeshi la Polisi limewakamata watu 38 wanaotuhumiwa kuwa ni majambazi ambao pia wamepatiwa mafunzo ya kigaidi katika mikoa ya Dar es Salaam, Pwani na Lindi.

Sambamba na kukamatwa watu hao, polisi pia imekamata bunduki 10, risasi 300 na bomu moja la mkono.

Kamanda wa Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, Kamishna, Suleiman Kova ametangaza leo alipokuwa akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam.

Kova aliongeza kuwa watuhumiwa hao pia wanajihusisha na kutoa mafunzo ya kigaidi.

‘’ Hawa tumefanikiwa kuwakamata, tunawaita majambazi au magaidi kwa kuwa licha ya kufanya ujambazi pia wanajihusisha na kutoa mafunzo ya kigaidi katika mikoa ya Dar es Salaam, Pwani na Lindi,’’ alisema Kamanda Kova.

Amesema kuwa polisi wamefanikiwa kuwanasa watu hao ikiwa ni operesheni endelevu ya kuwasaka wahalifu wote wanaovunja amani hapa nchini.

Ameeleza kuwa baadhi ya silaha zilikamatwa zikiwa zimefichwa maeneo ya Mkuranga mkoani Pwani ambapo baadhi ya silaha hizo tayari zilikuwa zimeshapata kutu.

Kamanda Kova amesisitiza kuwa polisi wanaendelea na upelelezi na ukishakamilika watuhumiwa hao watachukuliwa hatua za kisheria ikiwa ni pamoja na kufikishwa mahakamani.

EPA: Watuhumiwa wa Sakata la EPA Washinda Kesi (Maranda na Wenzake)

$
0
0
Hukumu hiyo imesomwa leo. Upande wa mashitaka wameshindwa kuthibitishia mahakama juu ya makosa ya watuhumiwa

Chanzo: Jamii Forums

Picha za Lowassa Alivyowasili Mkoani Njombe Leo....Ni Shida Tupu

$
0
0
       Lowassa Amewasili leo Njombe kwa ajili ya Kampeni za Urais kupitia Ukawa.....Angalia Picha jinsi Wananchi walivyofurika Kumlaki...  

Habari Zilizopo Katika Magazeti ya Leo Jumanne ya Septemba 1

$
0
0
Habari Zilizopo Katika Magazeti ya Leo Jumanne ya Septemba 1
















Sitta Awashangaa UKAWA...Awapa Jibu Hili Kuhusu Ahadi Wanazosema Watafanya Wakati Serekali Tayari inazifanya

$
0
0
Waziri wa Uchukuzi, Samwel Sitta amesema serikali italifufua Shirika la Ndege Tanzania (ATC) ili liweze kununua ndege nne na kuanza biashara.

Sitta pia amesema Rais Jakaya Kikwete atazindua ujenzi wa reli ya kati kwa kiwango cha `standard gauge’ itakayogharimu Sh16 trilioni huku akiwataka viongozi wa vyama vya upinzani kuacha kuiba mipango ya serikali ya CCM.

Sitta amesema hayo leo alipokutana na waandishi wa habari jijini Dar ikiwa ni siku chache baada ya mgombea urais kupitia Chadema, Edward Lowassa wakati akifungua kampeni za chama hicho katika uwanja wa Jangwani, alisema akichaguliwa atajenga upya reli ya kati na kufufua ATC.

Waziri Sitta alisema anashangazwa na wapinzani kusema watajenga reli na kufufua ATC wakati hiyo ni ni mipango ya serikali ya CCM ambayo utekelezaji unaanza kabla ya uchaguzi.

Akifafanua, alisema Rais Kikwete Septemba 15 mwaka huu atazindua ujenzi wa reli katika eneo la Soga Mpiji wilayani Kisarawe na fedha hizo zitatoka katika benki ya Rolthschild ya Marekani.

Tanzanian Government Quickly Intervenes To Stop Ray C From Flying To Kenya

$
0
0

Ray C
The Bongo singer was to perform in the 254 this coming weekend but Tanzanian authority has since sprinted to stop her from boarding a plane.

Coast revelers were in high spirits in anticipation of Ray C’s performance but sadly the Tanzanian songbird wouldn’t be making her way to the country.

Ray C has been battling drug addiction and it took the intervention of Tanzanian government to fly her to India for treatment.

The singer has now regained her old self and she was on a mission to perform in Kenya only for Tanzanian authority to halt her visit.

But why would President Kikwete’s government stop Ray C from coming to Kenya? The reason behind that decision was based on the fact that the ‘Moto Moto’ hit maker got addicted to drugs while visiting the Kenyan coast, Mombasa to be precise.

Bongo authority is just playing safe to prevent history from repeating itself. They argue that the drug barons that got Ray C sunk in drugs are still present and could still make a move on the rehabilitated Ray C.

Credit: MondayBlues

Wanawake Wengi Wasomi au Wenye Kipato Kizuri Hawadumu Kwenye Mahusiano

$
0
0
Wadau leo nimeona tujadili hili suala ambalo watu wengi sana mitaani wamekuwa wakiamini hivyo kuwa wanawake wenye kipato kizuri ama wale walio na elimu nzuri, hasa wenye digrii ama zaidi ni vigumu sana kudumu katika ndoa ama mahusiano. 

Na katika mahusiano yao huwa ni yenye migogoro mingi na mivutano sana kwa wenzi wao (Boyfriends ama Waumezao). Humu  wapo kidada wasomi wengi tu ambao wanaweza ”ku-share” uzoefu wao ama kutoa mtazamo wao katika hili. Kina Kaka pia mnaweza kutoa hoja na mitazamo yenu kuhusu hili kwani mahusiano yanahusu pande zote mbili

Ningependa watu tuchangie tukizingatia hasa maswali yafuatayo...

Je, unamaani kuwa huo mtazamo uliojengeka katika jamii una ukweli wowote?

Na kama ni kweli unafikiri nini hasa ndio chanzo?

Na kama unafikiri hii kitu haina ukweli wowote unafikiri ni kwanini basi kuna watu wanaona hivyo?

Mwisho toa ushauri wako kwa kidada wali kwenye kundi hilo ama kina Kaka walio nao katika mahusiano kuhakikisha mambo yanakwenda kama wengine tu.

NB: 
Kumbuka kuwa simaanishi wasichana wote walio katika kundi hilo bali ni walio wengi wao.
Viewing all 104709 articles
Browse latest View live




Latest Images