Quantcast
Channel: UDAKU SPECIAL
Viewing all 104775 articles
Browse latest View live

Lowassa Apokelewa Kifalme Njombe........Hapa kuna picha 14 za Mafuriko yake

$
0
0


Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungani wa Tanzania katika mwamvuli wa UKAWA kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Mh. Edward Lowassa akiwasili kwenye viwanja vya Shirika la Nyumba (National Housing) Mjini Njombe tayari kwa kuhutubia Mkutano wa Kampeni za Uchaguzi Mkuu, anazoendelea kuzifanya kwa nchi nzima. Picha zote na Othman Michuzi, Njombe.
Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungani wa Tanzania katika mwamvuli wa UKAWA kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Mh. Edward Lowassa, akiwahutubia wananchi wa Mji wa Makambako, waliofurika kwa wingi wenye Polisi Makambako, Mkoani Mkoani Njombe Agosti 31, 2015, kulikofanyika Mkutano wa Kampeni zake.
  
 Katika hotuba yake, Mh. Lowassa amewatoa hofu wana CCM wanaotaka kujiunga na Ukawa kutoogopa kuchukua uamuzi huo kwani huu ni mwaka wa mabadiliko. 
  
Pia amewaomba Watanzania wanaomuunga mkono katika mikutano yake ya hadhara kutoishia hapo na badala yake kujitokeza kwa wingi katika Uchaguzi wa Mwaka huu wa Oktoba 25 mwaka huu.

Sehemu ya wananchi wa Mji wa Makambako, wakishangilia hotuba ya Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungani wa Tanzania katika mwamvuli wa UKAWA kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Mh. Edward Lowassa

Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungani wa Tanzania katika mwamvuli wa UKAWA kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Mh. Edward Lowassa akipongeza na baadhi ya Wagombea Udiwaki wa Kata mbali mbali za Mji wa Makambako, Mkoani Njombe baada ya kuhutubia Mkutano wake wa Kampeni.

Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungani wa Tanzania katika mwamvuli wa UKAWA kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Mh. Edward Lowassa, akimnadi Mgombea Ubunge wa Jimbo la Makambako, Mhema Oraph, wakati wa Mkutano wa Kampeni, uliofanyika kwenye Uwanja wa Polisi Makambako, Mkoani Mkoani Njombe  Agosti 31, 2015.

Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungani wa Tanzania katika mwamvuli wa UKAWA kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Mh. Edward Lowassa, akiwasili kwenye Uwanja wa Polisi Makambako, Mkoani Mkoani Njombe  Agosti 31, 2015, kulikofanyika Mkutano wa Kampeni, na kuhudhuliwa na umati wa wananchi wakazi wa maeneo mbali mbali ya Mji wa Makambako. 


Anasema Hanipendi Nilivyo, Ila Kwasababu Namufikisha Kileleni Basi Ndio Sababu ya Kuwa na Mimi

$
0
0
Wakuu nimekuwa na Mchumba wangu takribani miaka miwili sasa, Nikiwa katika hatua ya kukataa shauri nimuoe kabisa nimweke ndani nikapenyezewa kaumbea kutoka kwa shoga yake kuwa huyu mchumba wangu kamwambia kuwa hanipendi nilivyo ila sababu ya kuwa na mimi muda wote huo ni kwasababu namfikisha kileleni ipasavyo kitu ambacho amekikosa kwa wanaume wote ambao amewahi kuwa na mahusiano nao...

Sasa Je Kweli Mwanamke wa Hivyo Napaswa Kumuoa ? Naombeni Ushauri 

Mr. Nice Reveals His Next Step after His Career Crashed and Burned In Kenya

$
0
0
Mr. Nice was the biggest artiste in East Africa circa 2003, but things went south when he visited South Africa. At Msanzi, Mr. Nice experienced an alarming downward spiral that was attributed to alcoholism and hedonism.

But he managed to get back to East Africa and was soon signed up by Grandpa Recorded before they booted him out in frustrated fury.

Candy N Candy Records came to the rescue and they too could not save the talented singer.

Many bewailed Mr. Nice’s fate but despite all the loud protests, Mr Nice revealed in an interview with Clouds F.M that he has no pressure to perform and will do things at his own paces . He is not trying to keep up with the joneses.

“Unajua mimi kweli ule muziki wa kusema lazima niwe juu, nikahonge magazeti niandikwe huko nilishapita. “Sasa hivi mimi ni mwanaharakati kwa sababu Mr Nice hata ukimuuliza kuku wanamjua, sasa inanibidi nitunze heshima.” (My time to compete with the young ones is long gone. I do not have time to bribe the press in order to gain publicity .I am famous, even the chickens not know me, I have to maintain my legacy)

Siwezi kuhangaika kukwaruzana na wasanii wapya, utaniona mjinga. Hayo mambo kuna watu wa kuwaachia. Kwahiyo mimi najaribu kwenda na wakati na kujielewa pia. Nitaendelea kutoa vitu vingine ili niwaburudishe watanzania. Najua mengi yanasemwa na nini lakini maisha yanaendelea” (I will not stress myself bickering with the new artistes, I will look dim-witted. We have left these habits to some people. So I am going with the trends and understating myself also. I will continue to produce music to entertain Tanzanians. I know a lot has been said but, life goes on” he said.

HATIMAYE DR Slaa Yupo Tayari Kuongea Kilichomsibu Chadema Mpaka Kuacha Siasa..

$
0
0
Katibu mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Mhe. Dkt. Wilibrod Slaa, kesho tarehe 1 Septemba 2015, atavunja ukimya kwa kuongea na wananchi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania katika mkutano wake na waandishi wa habari. 

Mhe. Dkt ameandaa mkutano huo katika hoteli ya Serena jijini Dar es salaam, leo kuanzia saa NANE mchana, mkutano ambao utarushwa moja kwa moja na vituo vya televisheni, radio na mitandao ya kijamii vya hapa nchini.

LOWASSA na ELIMU YA BURE CHUO KIKUU inawezekana Kwa Kufanya Yafuatayo

$
0
0
1.Elimu ya BURE inawezekana kwa kuachana na mbio za MWENGE za kila mwaka zinazogharimu Trillion 1.5 na zaidi

2.Elimu ya bure Inawezekana kwa SERIKALI YA LOWASSA ambayo imepanga kufuta MSAMAHA mirahaba ya KODI YA MADINI inayofikia kiwango cha Trion 4.5 kwa Mwaka ambayo serikali ya CCM imekalia kimya coz ni washirika Wa mikataba hiyo.

3.ELIMU ya bure inawezekana kwa kuongeza suala zima la mawasiliano na uchukuzi ili UTALII uongezeke nchini

4.ELIMU ya bure inawezekana kwa Serikali kuwekeza katka katika VICOBA mijini na vijijin vyenye wastani Wa kuingiza zaid ya trion 1.5 kwa mwaka

5.ELIMU ya bure inawezekana kwa kufuta KODI KAMPUNI KUBWA kama vile Mitandao ya Simu na hotel kubwa like( HOLDAY TAX) ambapo serikali ya CCM hupoteza zaidi ya billion 950 kila mwaka

06.ELIMU bure chini ya LOWASSA inawezekana kwa Kuharakisha kuendesha kesi mahakamani na kutoweka gerezani kwa muda mrefu MAHABUSU ambao hugharimu zaidi ya billion 690 kila mwaka.

7.ELIMU bure inawezekana kwa kupunguza idadi ya BARAZA LA MAWAZIRI NA MASHANGINGI kama LOWASSA alivyosema awali ambao chini ya serial I hii ya CCM hugharimu zaidi ya bilion 896 kwa mwaka chini ya CCM.

8.ELIMU bure inawezekana kwa kupunguza safari za RAIS kwenda kuomba misaada nje ambazo hugharimu zaid ya bilioni 300 kwa mwaka.

09,Elimu ya bure inawezekana kwa kukusanya ushuru Wa FORODHA ipasavyo ambapo serikali hupoteza zaidi ya billion 900 kila mwaka.


10.ELIMU ya BURE inawezekana kwa kumchagua LOWASSA kuwa RAIS WA TANZANIA 2015-2020

Na kuhusu HOTUBA,kama RAIS NI KUONGEA basi kuanzia nyerere hadi JAKAYA TANZANIA ingekuwa kama MAREKANI

LOWASSA...MABADILIKO
MABADILIKO ....NA LOWASSA

Baa ya Baracuda, Tabata na Check Point ya Chanika Washindi wa Wiki Fanyakweli Kiwanjani

$
0
0
Mkazi wa Tabata Proper Maro (wa kwanza kulia) akipokea zawadi yake ya mfuko wenye fulana toka kwa balozi wa bia hiyo Veronica Mbilinyi (kushoto) wakati wa wa hafla ya kuipongeza baa ya Baracuda iliyopo Tabata jijini Dar es salaam ambapo promosheni ya Tusker Fanyakweli Kiwanjani ilifunga kambi eneo hilo mwisho wa wiki iliyopita kuipongeza baa hiyo iliyoibuka mshindi wa wa shindano la Fanyakweli kiwanjani. (Katikati) ni Mshereheshaji wa promosheni hiyo na mtangazaji wa redio E-fm Gadner Habbash.

Mkazi wa Tabata Magengeni, Gerald William (36) akipokea zawadi yake ya fulana toka kwa balozi wa bia ya Tusker Veronica Mbilinyi (Kushoto) katika hafla ya kuipongeza baa ya Baracuda iliyopo Tabata jijini Dar es salaam ambayo iliibuka mshindi wa wiki kwenye kampeni ya Fanyakweli Kiwanjani inayoendeshwa na bia ya Tusker. (Kulia) mshereheshaji wa kampeni hiyo Gadner Habash. Kampeni hii inaendelea mikoani pia ambapo itawafikia wakazi wa; - Arusha, Mbeya, Mwanza, Moshi na Morogoro.

Mpenzi wa bia ya Tusker Salima Ally (katikati) akifurahia zawadi yake ya fulana aliyopokea toka kwa mtangazaji wa redio Efm na mshereheshaji wa kampeni ya Tusker Fanyakweli Kiwanjani Gadner Habash wakati kampeni hiyo ilipofunga kambi katika baa ya Check point Chanika kuipongeza baa hiyo  iliyoibuka mshindi wa wiki kwenye shindano la Fanyakweli Kiwanjani linaloendeshwa na bia ya Tusker. Nia ya kampeni hiyo ni kuhamasiha baa mbalimbali za mitaa inayotuzunguka kufanya kweli wanapotoa huduma kwa wateja wao. 

Mpenzi wa bia ya Tusker Njau Dismas (katikati) akitabasamu mara baada ya meza yake kufikiwa na zawadi ya mfuko wenye fulana na kalamu katika hafla ya kuipongeza baa ya Baracuda iliyopo Tabata jijini Dar es salaam ambayo iliibuka mshindi wa wiki kwenye kampeni ya Fanyakweli Kiwanjani inayoendeshwa na bia ya Tusker. Nia ya kampeni hiyo ni kuhamasiha baa mbalimbali za mitaa inayotuzunguka kufanya kweli wanapotoa huduma kwa wateja wao. (Kulia) ni Mshereheshaji wa kampeni hiyo Gadner Habash na kushoto ni balozi wa bia hiyo Veronica Mbilinyi.

CCM Kwa Sasa inakuwa ni Aibu Kugombania na Ukawa Sera na Zilizowashinda Miaka 53 ya Uhuru.

$
0
0
Unapomuona waziri wa uchukuzi akijibu Sera za UKAWA mtu makini anajiuliza maswali mengi sana. Kama mnampango wa kuboresha reli ya kati iweje isiboreshwe miaka 10 ya awamu ya 4?, Air Tanzania imepitia kipindi kigumu miaka 15 sasa mpaka kufikia kuwa shirika lisilo na tija kwa taifa alafu mnasema mnampango na ni sera yenu chama tawala nadhani pengine hii itakuwa akili ya kizee. UKAWA wana wajibu wa kurekebisha yale mlioshindwa katika awamu zote mlizoshikilia dola na kulala tu, Ukawa wanahaki kutumia udhaifu huo kama Kempeni dhidi yenu. Na kwa sasa inakuwa ni aibu kugombania sera zilizowashinda miaka 53 ya uhuru.

By Phil Mlay/Facebook

Zari Shares First 'Breastfeeding' Picture....Must See

$
0
0
When other mothers post pics breastfeeding their babies, what you see is what you get, but when Zari does that, it's a political statement.

Zari has shared her first breastfeeding pic to dispel rumors that were widely circulating, that, she wasn't breastfeeding baby Latiffah all in the name of keeping her center folds firm. Other sources were citing breast implants as the reason behind Zari's actions, but depending on where the surgery was done, it does not stop new mothers from breastfeeding.

In the pic, Zari is seen feeding her little princess but some mothers have come out to say that the posture is not that of a breastfeeding mom, she is doing that for the camera.
Well, in another pic, which appears more or less at the same time when Zari was breastfeeding, her mom, Latiffah's grand mother is seen feeding the little princess on a bottle. Again, in another pic, Zari is feeding the baby in what looks like a bottle setting tongues wagging.

Three weeks back, socialite Zari gave birth to her fourth child and Diamond Platnumz' first child in Tanzania, but for reasons best known to her, she had declined to show the baby's face and won't do so unless after forty days.

"We now want to see the DNA results since you are going to show us everything," One wrote.
Meanwhile, down in South Africa, Zari's ex-hubby, Ivan Semwanga is busy taking good care of their three soldiers as they prefer to call them. Three days back he was letting whoever cared to know that he sleeps alone in his versace bed.


UKAWA Washinda Rufaa za NEC na Kufanikiwa Kuzuia Wagombea wa Majimbo Matano Kwa Tiketi ya CCM Kupita Bila Kupingwa.

$
0
0
Kufuatia Tume ya Taifa ya Uchaguzi kutangaza baadhi ya majimbo, wagombea wa CCM wamepita bila kupingwa, hali iliyopelekea wagombea wa vyama vya upinzani kukata rufaa NEC.

Baadhi ya rufaa zilizokatwa wagombea wamefanikiwa kushinda, hivyo majimbo hayo hayatapitwa bila kupingwa kama ilivyokuwa imetangazwa awali.

Majimbo hayo ni: 

1. Handeni 
2. Chalinze 
3. Bumbuli 
4. Ukonga 
5. Ludewa



Lowassa: Miaka 50 ya Kuteswa na CCM Imetosha......Watanzania Msiogope Kufanya Mabadiliko

$
0
0
Lowassa Akihojiwa na Waandishi wa Habari
Mgombea urais wa Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Edward Lowassa, amesema mwaka huu ni wa mabadiliko ili kuiokoa nchi na madeni mengi ambayo yanasababisha uchumi kuyumba.

Lowassa ambaye ameambatana na Waziri Mkuu wa mstaafu wa awamu ya tatu, Frederick Sumaye, aliyekuwa Waziri wa Mambo ya Ndani, Laurence Masha, aliyekuwa Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Shinyanga, Khamis Mgeja na viongozi wengine, walianza ziara yao ya kampeni za kuomba kura kwa wananchi Jumatatu wiki hii.

Ziara ya mgombea urais huyo zilianzia Mkoa wa Iringa ambako alizungumza na maelfu ya wananchi kwenye mikutano ya hadhara katika majimbo ya Kilolo, Mufindi na Iringa mjini na jana (Jumanne) aliwasili katika Mkoa wa Njombe na kuzungumza na wananchi wa majimbo ya Makambako na Njombe mjini.

Akizungumzia deni la taifa, Lowassa alisema atakapoingia madarakani atakuwa na kazi ya kulipa madeni yaliyolimbikizwa ambayo hata haijulikani yametokana na nini.

Alisema Rais Benjamini Mkapa alipoingia madarakani alipunguza deni alilolikuta likawa chini ya Sh. trilioni 10 lakini leo zimefikia zaidi ya Sh. trilioni 35.

“Kwa hiyo anayeingia madarakani itabidi aanze kutumia zile fedha ambazo zingetumika kwa ajili ya maendeleo ya Watanzania kulipa madeni. Deni la taifa ni kubwa na hizo fedha tunazodaiwa tujiulize zimefanya nini na ziko wapi,” alisema.

Alisema CCM wameanza kufilisika kutokana na kueneza taarifa zisizokuwa za kweli kwamba Chadema haina ilani wakati ilani hiyo ilizinduliwa mapema mwishoni mwa wiki iliyopita.

“CCM wana macho lakini hawaoni, wana masikio hawasikii, tumetengeneza ilani kiboko ambayo ndani ya miaka mitano nchi itapaa kimaendeleo,”alisema.

Alisema wananchi wasitishwe na propaganda kwamba wakichagua upinzani damu itamwagika na nchi itaingia katika vita kwani hakuna Mtanzania atakayemwaga damu na kwamba nchi itakuwa tulivu labda wao ndio waivuruge.

Kuhusu mgogoro kati ya wafanyabishara na TRA kuhusiana na mashine za EFD, alisema kama atapewa ridhaa na wananchi na kufanikiwa kuingia Ikulu atalishughulikia haraka suala hilo.

Kuhusu michango, michango yote isiyokuwa ya msingi katika shule za sekondari ataifuta hasa ikizingatia kuwa ilani ya uchaguzi ya Chadema imeeleza bayana kwamba elimu itakuwa bure kwa sababu fedha zipo.

Alisema atahakikisha analinda maslahi ya wafanyakazi wakiwamo walimu ambao wamekuwa wakidai madeni yao bila mafanikio.

Aliongeza kuwa miaka 50 ya utawala wa CCM imetosha na kuwataka watu wanaoogopa kuondoka CCM waache uoga waondoke.

“Wapo wafanyabiashara wanaogopa kwa sababu wanatishwa, nawaambia msiogope. Neno usiope limeandikwa mara 360 ndani ya Biblia,”alisema.

Kwa upande wa Sumaye wakati akimnadi Lowassa alisema mawaziri wa serikali hawawezi kupata ujasiri wa kupambana na rushwa kwa sababu mambo machafu yote yanayofanywa ndani ya serikali yao wanayafahamu.

Alisema mawaziri waliopo katika serikali ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), wasiwadanganye Watanzania kwamba wanaweza kupambana na rushwa kwa sababu hawana dhamira ya kweli kwani mambo mengi machafu yanayofanyika ndani ya serikali wanayafahamu. 

“Leo Magufuli (mgombea urais CCM) anasimama na kusema akiingia Ikulu atapambana na rushwa hivi yeye yupo wapi si sehemu ya serikali na ameshindwa kufanya hivyo, amekuwa waziri kwa miaka mingi hakuweza leo hii akiingia Ikulu ataweza wapi,”alisema.

Katika hatua nyingine, umetolewa ufafanuzi kuhusiana na taarifa iliyoeleza kimakosa kuwa mgombea urais wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Edward Lowassa, atafuta Jeshi la Kujenga Taifa (JKT) pindi akiingia madarakani na kuligeuza kuwa la kutoa mafunzo ya ufundi stadi na kufundisha uzalendo kwa vijana.

Usahihi ni kwamba katika mkutano wake wa kampeni mkoani Iringa juzi, Lowassa aliahidi kuingiza mafunzo ya ufundi stadi kwa vijana wanaojiunga JKT ambako pia wataendelea kufundishwa uzalendo ili waje kulitumikia vizuri taifa lao; na siyo kufuta JKT.

OFFER OFFER Kutoka Markson Beauty Products..Dawa Zisizo na Madhara za Kukufanya Uwe Mrembo zaidi na Muonekano wa Kupendeza

$
0
0
OFFER,OFFER,OFFER
         MARKSON BEAUTY PRODUCTS 
Katika kusherehekea miaka kumi na nne ya kampuni hii tumetoa punguzo kubwa la bei kama shukran kwa wateja wetu. Bidhaa zetu zimetengenezwa kwa mimea na matunda na hazina kemikali wala madhara.
    TUNAZO ZA:-
1.Kerefusha nywele na kuzuia kukatika ovyo @80,000/=
2.Kuongeza shepu (hips na makalio) @120,000/=
3.Kuondoa mvi milele zisirudi @100,000/=
4.Kupunguza unene na manyama uzembe
@100,000/=
5.Kuongeza uume pamoja na nguvu za kiume kwa (a)Gely ya kupaka @90,000/=(b)Vidonge maalum @100,000/= (c)Handsome up original (@)170,000/=
6.Kuongeza unene wa mwili mzima na uzito @90,000/=
7.Kupunguza tumbo  (kitambi) na nyama za pembeni kwa :- (a)Dawa ya kunywa au kupaka @80,000/=  (b)Mkanda wa kawaida  @80,000/=  (c)Micro-computer belt @300,000/= 
8.Kuwa mweupe na soft mwili mzima  @90,000/= 
9.Kubust maziwa na kuyasimamisha  @90,000/=
10.Kushepu miguu na kuwa minene @90,000/=
11.Kuondoa mipasuko mwilini (michirizi) @80,000/=
12.Kubana uke na kuongeza hamu ya tend la ndoa kwa mwanamke @80,000/=


      NB...Matokeo ni garantii na hakikisha unapata risiti yake ili kukuhakikishia kufanikiwa kwako. Popote ulipo utapata huduma zetu.
      Wasiliana nasi kwa no (+255) 0767-447444  na 0714-335378

Diamond Platnumz Anakupa Ujumbe Huu Kuhusu Elimu Uliyonayo.....Adai Hata Kama Huna Isikunyime Amani...Soma Hapa

$
0
0
The things that have been Most Valuable to me, i didn't learn in School..... Don't let your Education's level make you give up
( Vitu vingi nlivyowai fanya, kupitia na kunipa uthamani sikufundishwaga shule...hivyo elimu yako isikunyime amani....Ni juhudi na Mipango tu Mungu.....wote tumeumbiwa Kuweza


Haya Hapa Maneno Aliyoyatamka DR SLAA Kutoka Serena Hotel Ambako Amemwaga Ukweli wake na Kuhusu Ufisadi wa Lowassa

$
0
0
1.Napenda  kumshukuru  mwenyezi  mungu  kwa  kutujali  uzima.

2. Nimeamua  kujitokeza  leo  hii  ili  kumesha  upotoshaji  na  kuuweka  wazi  ukweli.

3.Sina  tabia  ya  kuyumbishwa  na  ninasimamia  ninachokiamini.

4.Sina  ugomvi  na  kiongozi  yeyote  maana  siasa  sio  uadai.

5. Siasa  inapoongozwa  kwa  misingi  ya  upotoshaji, matokeo  yake  ni  vurugu.

6. Naweka  wazi  kuwa  mimi  sikuwa  likizo  na  hakuna  aliyenipa  likizo  yoyote.

7.Kilichotokea  ni  kuwa  niliamua  kuachana  na  siasa  tangu  28.7.2015  saa  sita  usiku  baada  ya  kutoridhishwa  na  kilichokuwa  kinaendelea  ndani  ya  chama  changu.

8.Ni  kweli  nilishiriki  kumleta  Lowassa  CHADEMA  Lakini  nilikuwa  na  misimamo  yangu  ambayo  ilitufanya  tusielewane. 

9. Baada  ya  Lowassa  kukatwa  pale  Dodoma, Gwajima  ambaye  ni  mshenga  wa  Lowassa  alinipigia  simu  kutaka  kujua  nii  cha  kufanya.

10. Nilimpigia   Mwenyekiti    Mbowe  kumjulisha  na  tukakubaliana  kupanga  muda  wa  kuwasikiliza.

11. Kabla  ya  kuanza  kuwasikiliza, msimamo  wangu  ulikuwa  ni  kumtaka  Lowassa  kwanza  atangaze  kuhama  chama, aweke  wazi  ni  chama  gani  anaenda  na  ajisafishe  juu  ya  tuhuma  zake

12.Tangu  akatwe  jina, Lowassa  hakutangaza  kujitoa  CCM  na  wala  hakujisafisha  na  tuhuma  zake, kitu  kilichonifanye  nitofautiane  naye.

13. Niliwauliza  wanachadema  wenzangu  kuwa  Lowassa  anakuja  kama  Mtaji  au  Mzigo?

14. Swala  sio  urais  kama  watu  wanavyozusha, mimi  nilikuwa  nataka  mgombea  mwenye  uwezo  na  sifa  ambaye  ataweza  kuitoa  CCM.  Sikuwa  na  tamaa  ya  urais  kama  watu  wanavyosema 

15. Tangu  Gwajima  atupe  taarifa  za  ujio  wa  Lowassa, Swali  langu  la  Lowasssa  kuwa  Mtaji  au  mzigo  halikuwahi  kujibiwa.

16. Nilitaka  kujua  ni  mtaji  gani  lowassa  atakuja  nao  na  ni  viongozi  gan  atakuja  nao.

17. Nilijibiwa  kuwa  anakuja  na  wabunge  50  wa  CCM, wenyeviti  22  wa  mikoa  na  wenyeviti  80  wa  wilaya.

18.Baada  ya  ahadi  hiyo, nilitaka  sasa  nipewe  majina  ya  hawa  watu  lakini  mpaka  tarehe  25  july  sikupewa  hayo  majina 

19. Wenzangu  waliniambia  kuwa  tarehe  27  niitishe  kikao  cha  dharura  ila  niligoma  kwa  sababu  nilikuwa  sijapewa  haya  majina 

20. Ndani  ya  kikao  hicho,  tulianza  kwa  mabishano  makali  kati  yangu  na  Mbowe, Lissu  na  Gwajima, viongozi  wenzangu  ni  shahidi  na  mungu  anajua. Msimamo  wangu  ulikuwa  ni  uleule  kujua  mchango  wa  Lowassa 

21. Kikao  kile  kikavunjika, baadae  tukaingia  kamati  kuu  lakini  bado  msimamo  wangu  ulikuwa  ni  uleule. Baadae  nikaandika  barua  ya  kujiuzulu.

22.Profesa  Safari  aliichana  ile  barua. 

23.Cha  kusikitisha  ni  kuwa  Kesho  yake  picha  zikaanza  kusambaa  mtandaoni  zikimuonyesha  la  lowassa  japo  viongozi  wangu  walizikana  zile  picha.  Kibaya  ni  kuwa  viongozi  waliuficha  ukweli 

24.  Kesho  yake  niliandika  tena  barua  rasmi  ya  kujiuzulu. 

25. Baada  ya  pale  zikaanza  propaganda  za  uongo  zikimuhusisha  hadi  mke  wangu  eti  kanizuia.

26. Naomba  watanzania  wajue  kuwa  mke  wangu  hakuwahi  kunizuia  kwa  lolote, lkn  hata  angefanya  hivyo  sio  mbaya  maana  hata  yeye  ni  mwanaharakati  mwenye  uchungu  na  nchi  hii. 

27. Mke  wangu  aliwahi  hadi  kuumia  wakati  akipigania  ukombozi  wa  nchi  hii.....Lakini  sio  mbaya, familia  yangu  imezoea  propaganda. 

28. Kikubwa  katika  harakati  ni  credibility  ambayo  lazima  uilinde  na  mimi  sitaki  jina  langu  liharibiwe  na  ni  haki  yangu.

29. Maslah  mapana  ya  taifa  ndiyo  yaliyotufikisha  hapa  na  sio  maslahi  binafsi. 

30.Lowassa  na  wapambe  wake  ni  waongo  maana  hakuna  hata  kipengele  kimoja  walichokitekeleza.

31. Tulitaka  hao  wabunge  50  waje  kwanza  kabla  ya  mchato  wa  uteuzi  ccm

32. Napinga  kuchukua  makapi  ya  CCM  kuyaita  MTAJI.

33.Mtu  kama  Sumaye  ni  FISADI  na  nilikuwa  siongei  naye 

34. Sumaye  aliwahi  kusema  CCM  wakimchagua  Lowassa  atahama  chama. Leo  Lowassa  kawaje  msafi?? 

35. Tulitaka  Mtaji  toka  kwa  Lowassa  na  sio  MAKAPI 

36. Wenyeviti  walioletwa  na  Lowassa  ni  MZIGO  na  namjua  vizuri. Akithubutu  kunijibu  ntamwaga  UOZO  wake  wote 

37.Nani  asiyejua  Guninita  pia  ni  mzigo??

38:  Nawataka  viongozi  wangu  wanijibu  ni  mtaji  upi  walioupata  toka  kwa  Lowassa.

39. Mimi  ni  Padri  Mstaafu, sipendi  siasa  za  uongo. 

39. Ukisema  unataka  kuiondoa  CCM  ni  lazima  ujikumbushe  misingi  ya  CHADEMA  ambayo  ilikuwa  ni  uadilifu. Leo  chadema  hii  ina  Uadilifu  gani?? 

40.  Namshangaa  sana  Lowassa  eti  kusimama  mbele  ya  watu  akijinasibu  kuwa  ni  msafi.....kwamba  mwenye  ushahidi  aende  Mahakamani. Ni  dhambi  kupotosha  watu.

41. CCM    hawana  ujasiri, ni  waoga  na  ndiyo  maana  wamewalea  watu  kama  akina  Lowassa 

42. Ukitoa  kinyesi  chooni  na  kukipeleka  Chumbani  maana  yake  hata  chumba  chako  ni  CHOO  na  kitakuwa  kinanuka  zaidi  kulicho  choo  cha  kawaida a

43.Mimi  nilikuwepo  wakati  sakata  la  Richmond  likijadiliwa.Mimi  nina  ugomvi  wa  muda  mrefu  na  Lowassa.

44.  Mwaka  2010  mimi  nilimtaka  Lowassa  atangaze  Richmond  ni  ya  nani.

45. Leo  tena  namtaka  Lowassa  namtaka  Lowassa  atoke  hadharani  atangaze  Richmond  ni  ya  nani.  Unaposema  ni  ya  mkubwa, atuambie  mkubwa  gani

46. Ukitaka  kuijua  Richmond  rejea  Ripoti  ya  Mwakyembe. Nampongeza  Mwakyembe  na  Sitta  kujitokeza  hadharan  kuusema  ukweli.

47. Siku  moja  kabla  ya  ripoti  kusomwa, nililetewa  Rushwa  ya  milioni  500  ili  tukaupindishe  ukweli  bungeni  lakini  nilikataa 

48. Ripoti  ya  mwakyembe  iliamua   mambo  mawili,  moja; Lowassa  ajipime  au  bunge  lijadili  na  lichukue  ripoti.  Lowassa  kuona  hivyo  akaamua  kukimbilia  kujiuzulu  kukwepa  aibu  ya  kung'olewa  na  bunge

49:  Lowassa  haaminiki, ni  muongo  na  hastahili  kuwa  Rais  wa  nchi....

50.  Lowassa  ni  FISADI  na  kama  mimi  ni  muongo  ajitokeze  hadharani  akanushe

51. Anasema  Lowassa  ataleta  maji, mbona  jimbo  lake  la  Monduli  halina  Maji???

52.  Mnasema  Lowassa  kaanzisha  shule  za  kata, iv  mjua  msingi  wa  shule  za  kata?  waandishi  rudini  shule  mkajifunze  upya.

53.Nilifanikiwa  kuijenga  Chadema  na  ikawa  tumaini  jipya  la  watanzania.....Vijana  wangu  wa  Chadema, naomba  niwe  mkweli  propaganda  imekivamia  chama.

54.  Inasikitisha  kuona  CHADEMA  inajaza  mabasi  pale  jangwani  badala  ya  watu.....alafu  mnawadanganya  watu  eti  ni   MAFURIKO

55.  CHADEMA  ya  kipindi  changu  ilikuwa  inakemea  Rushwa. Niambien  leo  chadema  watasema  nini  kwenye  majukwaa? 

56. Mnaomtetea  Lowassa  na  nyie  jitokezen  hadharani...mimi  nasema  kwa  sababu  nina  ushahidi  na  sio  lazima  ushahidi  huu  niupeleke  mahakamani.

57. Wenye  uwezo  wa  kumpeleka  Lowassa  Mahakamani  ni  Serikali, na  mwakyembe  alisema  juzi  kuwa  kesi  ya  jinai  haina  kikomo, mtu  anaweza  kushitakiwa  muda  wowote 

58. Sitaki  kuingila  swala  la  Babu  Seya, lakini  waliolawitiwa  ni  watoto  waliokuwa  chini  ya  umri. kwa  nini  haki  yao  ipotee?

59.  Rais  hana  mamlaka  ya  kumtoa  Babu  Seya. Lowassa  asiwadanganye.

60.  Kuhusu  swala  la  Masheikh, Sumaye  ndiye  aliyeamuru  mapolisi  wavamie  misikiti  wakiwa  na  mbwa......Watanzania  msikubali  kudanganywa. hizo  ni  propaganda  za  wasaka  urais 

61. Masikubali  Rais  Muongo  na  mimi  naapa  ntapiga  kelele  kila  kona  kumpinga  Lowassa.

62.Lowassa  alipokuwa  waziri  mkuu, matatizo  yanayotokea  leo  hayakuwepo?  mapigano  ya  wakulima  na  wafugaji  hayakuwepo?

63.  Lowassa  akiwa  waziri  mkuu  alisababisha  migogoro  mizito  sana  kati  ya  monduli  na  karatu.  Rais  wa  aina  hii  wa  nini?

64.  Naomba  nisiongee  mengi  kwa  sababu  ntakosa  ya  kusema  siku  nyingine.....Nawataka  Lowassa  na  Sumaye  wajitokeze  kunijibu.

65. Siku  nyingine  ntakuja  kuongelea  kuhusu  hisa  za  Lowassa  kwenye  makampuni 

66.  Nahitimisha  kwa  kusema  kuwa  Nimestaafu  siasa  na  sina  chama  lakini  nina  nchi, hivyo  ntaendelea  kuwatumikia  watanzania  kwa  jinsi  mungu  alivyonipa  vipawa

Source:Mpekuzihuru

Soma Hapa Jinsi Watu Mbali Mbali Walivyosema Huko Facebook Baada ya Hotuba ya DR Slaa Leo

$
0
0
'Chadema kama chama kilichokomaa na kinachojiandaa kushika dola hakina haja wala sababu ya kumjibu Dr. Wilbrod Slaa. Machungu yake tunayatambua ila kwasasa hatuna jinsi ni lazima tusonge mbele kuitoa hii nchi kwenye umasikini. Juhudi na kazi zake katika Chadema tunayatambua, tunaziheshimu na tutazienzi. Kwaheri Dr. Wilbrod Slaa' By Renatus Kyakalaba


"Sitashangaaa kuona akili ndogo wakianza kumtukana Dr.Slaa,,,baada ya hii hotuba yake inayoweka Black and White Out,,,,," By Baraka Samson Chipanjilo


'Sikuwahi mpinga Dr huyu toka nianze kumuona kwenye siasa, Leo kwa mara ya kwanza nimelisikia neno rahisi sana LA kuwa ukawa wanabeba watu kwenye malori na mabasi, cheap statement! Hili nakupinga Hakuna aliyefika uwanjani usiku huo uliosema ila kulikuwa na walinzi wa jukwaa na vyombo kulikuwa na daladala mbili zilikodiwa na wafuasi kwa mapenzi yao, Dr please mdomo usiuruhusu useme yote maneno yana kawaida ya kama yakiwa marefu sana huwa baadhi yanakuelezea wewe mwenyewe ni mtu wa namna gani' By Mtonya Mgaya


'Kuuliza sio ujinga lakini. Ni kipimo cha hekima. Wacha niulize.
Zile gharama za press conference pale Serena nani kazibeba?
Nnachojua live coverage ya TV kwa lisaa na nusu si chini ya Shilingi Milioni 20 kwa TV Moja. Na pale zilikua kama TV station 4.
Ukumbi ule kwa muda wote ule si chini ya Milioni 5 mpaka 10 a kitanzania.
Swali langu nani kalipia gharama zote hizo? Nauliza tu' By Alexander Wenceslaus


'Kweli nimeamin kwenye safari ya ukombozi kuna makundi matatu
1.Kundi la waoga wa kupambana na mfumo kandamizi
2.Kundi la mamluki waliopandikizwa na wale wanaokandamiza na hawapendi mabadiliko.
3.Kundi la wapambanaji ambao wanajitolea kupambana na wako radhi kuzimwaga damu zao.
Ok nimeisikia hotuba ya Mh Slaa ila nikireflect na issue ya Lipumba nakuwa na wasiwasi na hawa watu' By Godfrey Muhimil

Wema Sepetu Apewa Zawadi Kutoka kwa Mwanamuziki Dimpoz...Mwenyewe Adai Imemtoa Ushamba

$
0
0
Haya ndiyo maneno aliyoandika staa wa Bongo Movies, Wema Sepetu katika mtandao wake wa Instagram baada ya kupewa zawadi ya simu na msanii mwenzake, Ommy Dimpoz: “Akhsante bwana Omary Nyembo a.k.a Dimpoz kwa poz kwa zawadi ya simu toka US japo imenitoa ushamba hahahahahaha!”

Albino Kids Hunted For Rituals In Tanzania Find Happy New Life In New York

$
0
0
Five albino children who suffered a hellish experience while living in Tanzania have found a new life in New York City.

Emmanuel Rutema, Kabula Masanja, Pendo Noni, Baraka Lusambo and Mwigulu Magesa were hunted for their body parts.

Their homes were broken into, and their limbs cut off by men who hoped to sell them to witch doctors for potions. In various parts of Africa, people with albinism are hunted for their body parts, which can fetch thousands of dollars on the black market for their supposed magical powers.

Now, the kids have been fitted with prosthetic limbs, after the Global Medical Relief Fund, and its founder Elissa Montanti, saved them and took them to the U.S.

They were taken to Staten Island, where the charity is based, and will return to Tanzania, being placed in safe houses, when they are properly able to use their new limbs.

The kids range in age from 5 to 17, and have been in the United States since June this year, experiencing a very different from life the one they had previously endured.

Since arriving in the country, they have been taken swimming, had birthday parties, and most vitally, been safe.

Tundu Lissu Asema Haya Baada ya DR SLAA Kuwalipua Chadema Leo...Adai Dr Slaa ni Mwongo

$
0
0
Akihojiwa na Sauti ya America leo Tundu Lissu kasema kujiuzuru kwa Dr Slaa kumesababishwa na kukosa nafasi ya Urais.Shinikizo limetoka kwa mkewe kwani alikuwa amejiandaa kuwa firstlady.
Kuhusu kuachana na siasa toka July TL kasema Dr Slaa ni Mwongo maana amechukua mshahara wa mwezi August na amekuwa akitumia Ulinzi pamoja na Gari la chama

TCRA MPO: Naomba ufafanuzi kuhusu kipande kilichorushwa na star tv mara tu baada ya habari

$
0
0
Mara baada ya taarifa ya habari ya saa 2 usiku Star Tv wamerusha kipande kidogo cha CCM kilicho na maneno ya Baba wa Taifa akieleza juu ya kununua uongozi huku kikiwa kimeambatana na picha za Mh. Lowasa akikabidhi bahasha kwa watu mbalimbali hususani viongozi wa dini na badae kimemalizia na picha za kampeni za CCM. 

Kwa tafsiri yangu ni kama igizo fulani lenye maudhui ya Mh. Lowassa kununua uongozi, kama ni kweli kwanini wasimpeleke mahakamani ili ikathibitike huko?

Je, hii ni sawa kwa vyombo vya habari kurusha maigizo ya namna hii yenye lengo la kumchafua mtu?
Source:JamiiForms

Tundu Lissu: Dr. Slaa ni Muongo, Watanzania Mpuuzeni! Maneno Yote Tatizo ni Urais...

$
0
0
Akihojiwa na redio station mh.Lissu anasema ameshangaa sana maneno aliyoyasema leo kwenye mkutano wake na waandishi wa habari.

Anasema Dr.Slaa alikwisha kuteuliwa kuwa mgombea urais mwezi January na mwezi April akathibitishwa na kamati kuu,

Anaendelea kusema ameshangaa Dr.Slaa kusema Gwajima ndo alimleta Lowassa jambo ambalo siyo kweli kabisa, yeye Dr. Slaa mwezi wa tano ndo alianza kumtafuta Lowassa kwa kumtumia Gwajima

Anasema wakati Lowassa anapokelewa tarehe 27 July kwenye Kamati Kuu, Dr.Slaa hakulala nyumbani aliporudi nyumbani mchumba wake alimtupia mabegi nje na DR. alilala kwenye gari.

Anasema dr. slaa asiwadanganye watanzania tatizo ni urais na mchumba wake.

Anasema ameacha siasa tangu siku ya kikao cha kamati kuu alipoandika barua ya kujiudhuru kwa nini amepokea mshahara wa mwezi huu?? kwanini anaendelea kutumia gari la chama la katibu mkuu na nyumba aliyonunuliwa na chama muulizeni awaambie kwanini anaendelea kunufaika na hayo yote toka CHADEMA??


Mwanamuziki Kalapina Ashinda Rufaa ya Pingamizi la Kugombea Ubunge Kinondoni iliyowekwa na Iddy Azan

$
0
0
Alhamdululahi namshukuru mwenyezi mungu nimeshinda rufani yangu dhidi ya pingamizi LA azan Idy Mohamed na sasa hivi ni mgombea halali ubunge Jimbo LA kinondoni act_wazalendo
By Kalapina
____________________
Facebook Comment From Mange Kimambi 
Kwa issue hii ya wauza ..... Kuwa wabunge naweka uchama pembeni ....Wow, Kalapina amenigusa, ni mgombea wa Ubunge kupitia Chama cha ACT katika jimbo la Kinondoni. Kalapina ni mwanaharakati wa madawa ya Kulevya Yani Amekuwa mstari wa mbele kabisaaaa kuwasaidia waliothirika na madawa ya Kulevya.... Aisee naomba tuungane kumsuppport Huyu kaka aweze kushinda Ubunge jimbo la Kinondoni...... Yes Kinondoni inahitaji mwanaharakati Kama Huyu...... Jamani kampigieni Kura Huyu kijana... Iddi Azzan alimwekea kipingamizi akatolewa Ila akakata rufaa na kushinda na sasa karudi kwenye kinyang'anyiro .... Jamani hata Kama ulijiandikisha kupiga Kura kituo kingine unaweza still kwenda kupiga Kura kituo cha Kinondoni na ukamchagua Kalapina.Twende na Kalapina...... @rayc1982 @rayc1982 tunaomba support yako tafadhali
Viewing all 104775 articles
Browse latest View live




Latest Images