Quantcast
Channel: UDAKU SPECIAL
Viewing all 104698 articles
Browse latest View live

HUDDAH MONROE Breaks The Heart of a Wealthy Kenyan Politician Who Wanted To Marry Her.

$
0
0

On Monday, a major daily published a story alleging that a wealthy Senator confessed his love for Huddah Monroe and wanted to marry her as his second wife.

The controversial Senator, who is known for his flashy lifestyle and soft spot for women, had promised to spend any amount of money so as to sweep the heart of Huddah.

However, the petite socialite has broken the heart of the randy Senator by putting it clear that she is not ready to be a second wife or anybody's side-chick.

This is how she responded to the story published in the major daily;

Niggas like this one can get you killed LOL! No married men in this ZONE! I'm too demanding to be anyone's Second wife or side chick.




Habari Zilizopo Katika Magazeti ya leo Jumatano ya Septemba 2

$
0
0
Habari Zilizopo Katika Magazeti ya leo Jumatano ya Septemba 2















Jack Wolper Amchana Laivu Chuchu Hans..Kisa Siasa

$
0
0
SIASA katika ubora wake! Nyota wa filamu nchini, Jacqueline Walper Massawe ‘Wolper’ amemchana staa mwenzake, Chuchu Hans kufuatia kutofautiana kiitikadi kisiasa kati ya chama tawala (CCM) na Ukawa.


Awali, Chuchu Hans alitangaza kuhamia Ukawa (Umoja wa Katiba ya Wananchi) na kushiriki kikamilifu kwenye uzinduzi wa kampeni zao uliofanyika katika Viwanja vya Jangwani, Dar wiki iliyopita.

Lakini ghafla, Chuchu alionekana akiwa amevaa sare za Chama Cha Mapinduzi (CCM) na kutangaza kwamba ameamua kurudi nyumbani, kitendo kilichoonekana kumkera mno Wolper, ambaye amejipambanua kuwa ni mfuasi namba moja wa mgombea urais wa Chadema, Edward Lowassa.

“Sijui huu uzalendo wa Tanzania utakuja lini, yaani wewe juzi tuwe wote na sare uvae, leo umetusaliti kisa vijisenti sasa aliyekwambia Ukawa tunapewa hela ukaja na mbwembwe zote nani? Sikuwa na lengo la kukuweka hapa ila nataka niseme kitu kimoja, jamani hamna kitu kibaya kama unafiki, tamaa na njaa, hii ni nchi yetu sasa tukihongwa wote ili tuwe chama kimoja ukombozi utakuwa wapi,” ilisomeka sehemu ya waraka ambao msanii huyo aliuweka katika mtandao wake wa Instagram.


Gazeti hili lilimtafuta muigizaji huyo ambaye ni mpenzi wa Vincent Kigosi ‘Ray’ na alipotakiwa kuzungumzia jambo hilo, alifunguka:

“Sikutaka kujibu, lakini nimwambie Wolper ingawa mimi nimewahi kuzaa, lakini yeye ni dada yangu, kanizidi umri, kwenye siasa kila mtu ana haki ya kupenda kule anakotaka mwenyewe. Ni kweli nilienda Ukawa, lakini baadaye nikagundua hawana ‘ishu’ nimerudi zangu CCM.”
Source:Globalpublishers

James Bond Author Slammed After Saying Idris Elba Is Too Street To Play as James Bond

$
0
0

James Bond author Anthony Horowitz is being slammed on the social media for saying Idris Elba is too street to play the popular British spy
"For me, Idris Elba is a bit too rough to play the part. It’s not a color issue. I think he is probably a bit too ‘street’ for Bond" he said while doing promotional interviews for his new James Bond novel,                             Trigger Mortis




Maaskofu Wamjibu Dr. Slaa Baada ya Kuwatuhumu Kuhongwa na Lowassa......Gwajima Naye Ampa Makavu, Asema Slaa Ametumwa na CCM

$
0
0
Gwajima
Baadhi ya viongozi wa dini na wananchi wamesema shutuma za aliyekuwa Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Dk. Willibrod Slaa kuwa baadhi yao walihongwa na Mgombea Urais wa Ukawa kupitia Chadema, Edward Lowassa, ni upuuzi mtupu.

Wamemtaka atoe ushahidi wa madai hayo kwa kutaja majina ya viongozi na kiasi walichohongwa, wakisisitiza kuwa hizo ni siasa za majitaka na kwamba anaifanyia kazi CCM ili apate njia ya kurudi katika chama hicho.

Rais wa TEC azungumza
Akizungumzia shutuma hizo, Makamu wa Rais wa Baraza la Maaskofu wa Kanisa Katoliki Tanzania (TEC), Askofu Severin Niwemugizi, amemtaka Dk. Slaa kutoa ushahidi wa madai yake kuwa maaskofu wa kanisa hilo wamehongwa na Edward Lowassa.

“Hizo taarifa ndiyo nazisikia kwako, lakini kama kweli amesema hivyo kwa nini hakuweka ushahidi kuanzia majina ya maaskofu hao waliopewa fedha, kiasi na zilikopokelewa. Lakini kwa upande wangu binafsi sijapokea kiasi chochote kutoka kwa mtu yeyote." Amsema  askofu  huyo

Askofu Niwemugizi alimtaka Dk. Slaa kutoa uthibitisho wa maaskofu wa kanisa hilo kupokea fedha kutoka kwa Lowassa waweze kutoa uamuzi.

“Lowassa nimewahi kukutana naye nilimwalika kwenye shule yangu ya seminari kule Biharamulo… shule yenyewe inaitwa Katoke na nilimuweka wazi sababu za kumwalika na sikupokea kiasi chochote cha fedha kutoka kwake,”alisema askofu huyo na kuongeza:

“Athibitishe hilo aonyeshe kiasi cha fedha na majina ya maaskofu, mimi sijapata kiasi chochote labda kama nimetupiwa kwenye akaunti yangu bila mimi kujua lakini nasisitiza atoe ushahidi.”

Wakati huo huo, Mwenyekiti wa Kamati ya Maadili, Amani na Haki za Binadamu kwa Jamii ya Madhehebu ya Dini nchini, Askofu wa Kanisa la Kiinjili la Kipentekosti, William Mwamalanga alisema kauli za Dk. Slaa zina dalili ya kuleta kisasi fulani.

“Angekuja mapema kabla ya taratibu hizi kuanza tungemwelewa lakini kwa sasa yupo nyuma ya wakati. Kwanza ameonekana amesukumwa afanye aliyofanya na hilo haliwezi kuwabadilisha Watanzania walioamua kutaka mabadiliko,”alisema na kuongeza:

“Hotuba yake haina mashiko na taifa halihitaji watu wabinafsi,”alisema Mchungaji Mwamalanga.

Askofu Gwajima azungumza
Naye Askofu wa Kanisa la Ufufuo na Uzima, Josephat Gwajima amekana kuwa mshenga wa Edward Lowassa kujiunga na Chama cha Demokrasia na Maendelea (Chadema) .

Pia amekana kuhusika kuwarubuni kwa fedha maaskofu 30 wa Kanisa Katoliki ambao wanadaiwa kumuunga mkono Lowassa katika mbio zake za urais baada ya kuhongwa fedha.

 Askofu Gwajima amesema Dk. Slaa ndiyo risasi ya mwisho iliyokuwa imebakia ndani kati ya bunduki ya CCM ili kuwaokoa.

Amesema yote yaliyosemwa na Dk. Slaa ni tuhuma za uongo hivyo wananchi wazipuuze kwa kuwa mwanasiasa huyo anatafuta uungwaji mkono kwa wananchi aelekee CCM.

“Yaani ni uongo kabisa tena uongo mweupe, imedhihirisha wazi kuwa huyu mtu asingefaa kuwa rais. Ni dhahiri ameona akiwasema wanasiasa wenzake watamjibu kwenye majukwaa yao ya siasa, lakini sasa amewasema maaskofu kwa kuwa wao hawana majukwaa.

“Kwa hiyo namshauri hayo mambo ya kuwahusisha maaskofu na uchaguzi aache uongo wa namna hiyo. Nafikiri awaseme wanasiasa wenzake kuzungumzia mambo ya siasa ila kuwahusisha maaskofu si mambo ya busara,” alisema.

Akizungumzia suala la kuwa mshenga wa Lowassa na Chadema, Askofu huyo amesema anafikiri Dk. Slaa ametumwa na waliomtuma, hivyo anawafanyia kazi watu.

“Kwa kawaida inashangaza kwamba kama watu wawili wanagombana, inatakiwa awepo mtu wa kuwaunganisha, ila anaposema maaskofu 34 haileti maana, haiingii akilini… ameingiza Gwajima, Rostam (Aziz) na maaskofu, haeleweki anachozungumza. Lakini ninachosema kuna waliomtuma ni watu ambao anawafanyia kazi.

“Kikubwa ni kwamba baada ya Lowasaa kuchaguliwa kugombea urais kwa Chadema alichukia, alifikiri Lowassa hataendelea kuwa na umaarufu, sasa anaona Lowassa anakwenda, hiyo imemtia hasira anataka kumchafulia Lowassa, ndiyo maana anaongelea Lowassa Lowassa tu.

“Kwa mfano alisema Lowasa angekuja na wabunge wenyeviti wa CCM, ina maana angemkubali Lowassa aje nao, sasa angekuja nao asingekuwa fisadi? Ni swali zuri ila amekwepa kulijibu.

“Nafikiri Dk. Slaa ndiyo risasi ya mwisho iliyobakia ndani ya bunduki ya CCM. Natoa wito kwa waumini wangu wafahamu kuwa hizi tuhuma ni za uongo na namsihi huyo daktari asihusishe maaskofu na uongo wake abaki nao mwenyewe,” alisema Askofu Gwajima.

Serikali Yaruka Kimanga na Kulikana Deni la Walimu

$
0
0
Baadhi ya viongozi wa dini na wananchi wamesema shutuma za aliyekuwa Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Dk. Willibrod Slaa kuwa baadhi yao walihongwa na Mgombea Urais wa Ukawa kupitia Chadema, Edward Lowassa, ni upuuzi mtupu.

Wamemtaka atoe ushahidi wa madai hayo kwa kutaja majina ya viongozi na kiasi walichohongwa, wakisisitiza kuwa hizo ni siasa za majitaka na kwamba anaifanyia kazi CCM ili apate njia ya kurudi katika chama hicho.

Rais wa TEC azungumza
Akizungumzia shutuma hizo, Makamu wa Rais wa Baraza la Maaskofu wa Kanisa Katoliki Tanzania (TEC), Askofu Severin Niwemugizi, amemtaka Dk. Slaa kutoa ushahidi wa madai yake kuwa maaskofu wa kanisa hilo wamehongwa na Edward Lowassa.

“Hizo taarifa ndiyo nazisikia kwako, lakini kama kweli amesema hivyo kwa nini hakuweka ushahidi kuanzia majina ya maaskofu hao waliopewa fedha, kiasi na zilikopokelewa. Lakini kwa upande wangu binafsi sijapokea kiasi chochote kutoka kwa mtu yeyote." Amsema  askofu  huyo

Askofu Niwemugizi alimtaka Dk. Slaa kutoa uthibitisho wa maaskofu wa kanisa hilo kupokea fedha kutoka kwa Lowassa waweze kutoa uamuzi.

“Lowassa nimewahi kukutana naye nilimwalika kwenye shule yangu ya seminari kule Biharamulo… shule yenyewe inaitwa Katoke na nilimuweka wazi sababu za kumwalika na sikupokea kiasi chochote cha fedha kutoka kwake,”alisema askofu huyo na kuongeza:

“Athibitishe hilo aonyeshe kiasi cha fedha na majina ya maaskofu, mimi sijapata kiasi chochote labda kama nimetupiwa kwenye akaunti yangu bila mimi kujua lakini nasisitiza atoe ushahidi.”

Wakati huo huo, Mwenyekiti wa Kamati ya Maadili, Amani na Haki za Binadamu kwa Jamii ya Madhehebu ya Dini nchini, Askofu wa Kanisa la Kiinjili la Kipentekosti, William Mwamalanga alisema kauli za Dk. Slaa zina dalili ya kuleta kisasi fulani.

“Angekuja mapema kabla ya taratibu hizi kuanza tungemwelewa lakini kwa sasa yupo nyuma ya wakati. Kwanza ameonekana amesukumwa afanye aliyofanya na hilo haliwezi kuwabadilisha Watanzania walioamua kutaka mabadiliko,”alisema na kuongeza:

“Hotuba yake haina mashiko na taifa halihitaji watu wabinafsi,”alisema Mchungaji Mwamalanga.

Askofu Gwajima azungumza
Naye Askofu wa Kanisa la Ufufuo na Uzima, Josephat Gwajima amekana kuwa mshenga wa Edward Lowassa kujiunga na Chama cha Demokrasia na Maendelea (Chadema) .

Pia amekana kuhusika kuwarubuni kwa fedha maaskofu 30 wa Kanisa Katoliki ambao wanadaiwa kumuunga mkono Lowassa katika mbio zake za urais baada ya kuhongwa fedha.

 Askofu Gwajima amesema Dk. Slaa ndiyo risasi ya mwisho iliyokuwa imebakia ndani kati ya bunduki ya CCM ili kuwaokoa.

Amesema yote yaliyosemwa na Dk. Slaa ni tuhuma za uongo hivyo wananchi wazipuuze kwa kuwa mwanasiasa huyo anatafuta uungwaji mkono kwa wananchi aelekee CCM.

“Yaani ni uongo kabisa tena uongo mweupe, imedhihirisha wazi kuwa huyu mtu asingefaa kuwa rais. Ni dhahiri ameona akiwasema wanasiasa wenzake watamjibu kwenye majukwaa yao ya siasa, lakini sasa amewasema maaskofu kwa kuwa wao hawana majukwaa.

“Kwa hiyo namshauri hayo mambo ya kuwahusisha maaskofu na uchaguzi aache uongo wa namna hiyo. Nafikiri awaseme wanasiasa wenzake kuzungumzia mambo ya siasa ila kuwahusisha maaskofu si mambo ya busara,” alisema.

Akizungumzia suala la kuwa mshenga wa Lowassa na Chadema, Askofu huyo amesema anafikiri Dk. Slaa ametumwa na waliomtuma, hivyo anawafanyia kazi watu.

“Kwa kawaida inashangaza kwamba kama watu wawili wanagombana, inatakiwa awepo mtu wa kuwaunganisha, ila anaposema maaskofu 34 haileti maana, haiingii akilini… ameingiza Gwajima, Rostam (Aziz) na maaskofu, haeleweki anachozungumza. Lakini ninachosema kuna waliomtuma ni watu ambao anawafanyia kazi.

“Kikubwa ni kwamba baada ya Lowasaa kuchaguliwa kugombea urais kwa Chadema alichukia, alifikiri Lowassa hataendelea kuwa na umaarufu, sasa anaona Lowassa anakwenda, hiyo imemtia hasira anataka kumchafulia Lowassa, ndiyo maana anaongelea Lowassa Lowassa tu.

“Kwa mfano alisema Lowasa angekuja na wabunge wenyeviti wa CCM, ina maana angemkubali Lowassa aje nao, sasa angekuja nao asingekuwa fisadi? Ni swali zuri ila amekwepa kulijibu.

“Nafikiri Dk. Slaa ndiyo risasi ya mwisho iliyobakia ndani ya bunduki ya CCM. Natoa wito kwa waumini wangu wafahamu kuwa hizi tuhuma ni za uongo na namsihi huyo daktari asihusishe maaskofu na uongo wake abaki nao mwenyewe,” alisema Askofu Gwajima.

LOWASSA Apeleka Mafuriko ya Sunani Ruvuma..Palikuwa Hapatoshi Mpaka Watu Wakapanda Juu ya Nyumba zao

$
0
0
LOWASSA Apeleka Mafuriko ya Sunani Ruvuma..Palikuwa Hapatoshi Mpaka Watu Wakapanda Juu ya Nyumba zao..Angalia Picha Hapa Chini Ujionee

Magufuli Kushusha Bei ya Saruji na Mabati Akishika Urais...Adai Viwanda Viwanda Vikubwa Vimeshaanza Kujengwa Nchini

$
0
0
Magufuli
Mgombea wa urais kwa tiketi ya CCM, Dk John Magufuli amesema endapo atachaguliwa, atashusha bei ya vifaa vya ujenzi vikiwamo saruji na mabati kuanzia mwakani akisema tayari kuna viwanda vikubwa ambavyo vimeshaanza kujengwa nchini.

Akiwahutubia wananchi wa Namtumbo, Ruvuma jana, Dk Magufuli alisema kuongezeka kwa viwanda hivyo akitolea mfano wa Kiwanda cha Saruji cha Dangote ambacho kitakuwa kikubwa zaidi Afrika Mashariki na kuimarika kwa Barabara ya Songea – Masasi ambayo makandarasi wapo kazini, kutasaidia kuvutia wawekezaji na kusisimua biashara katika mikoa ya Kusini.

Akiwa Tunduru, Dk Magufuli aliahidi kuendeleza uchimbaji wa madini ya urani ili yaweze kuchochea maendeleo nchini.

Akiwahutubia wakazi wa Namtumbo wilayani Tunduru, Dk Magufuli alisema anafahamu bayana kuwa eneo hilo lina madini hayo hivyo akiingia madarakani, Serikali yake itaendeleza urani ili kuwasaidia kukuza uchumi wa wananchi hao.

Katika mkutano huo uliofanyika katika Uwanja wa CCM mjini hapa, mgombea huyo alisema iwapo atapatiwa ridhaa hiyo Oktoba 25, ataimarisha uhusiano mzuri na nchi zote jirani na wafadhili wa maendeleo.

“Tutaendelea kuuenzi uhusiano mzuri na majirani zetu wanaotuzunguka wa Kenya, Malawi, Zambia, Msumbiji, Uganda, Rwanda, Burundi, Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC) hadi Sudan Kusini. Pia, kuimarisha uhusiano na nchi nyingine za Afrika na mabara mengine na wafadhili wetu ambao wanatuamini sana na kutusaidia,” alisema Dk Magufuli.

Alisema wafadhili wengi wanachangia katika miradi ya maendeleo ya barabara kwa sababu wanaiamini Serikali na kuwa fedha hazitaliwa na mafisadi.

Alitokea mifano ya Barabara za Namtumbo – Tunduru-Mtambaswala zinazojengwa kwa ushirika na Shirika la Maendeleo la Japan (Jica) na Benki ya Maendeleo ya Afrika (AfDB), kuwa ni matokeo ya uaminifu katika matumizi ya fedha za miradi.

“Wafadhili wanamwamini Magufuli kwa kuwa fedha zikitolewa hazichukuliwi. Hivyo msilete mtu ambaye haaminiki hata kwa wafadhili, akipatiwa fedha anakula, halafu akachukiwa na wafadhili baadaye wakasusia kutoa fedha za kumalizia miradi ya barabara tuliyoianza,” alisema.

Msafara wasimamishwa
Msafara wa mgombea huyo ulilazimika kusimamia mara nyingi baada ya wananchi kukaa barabarani kumtaka ajibu kero zinazowakabili, nyingi zikiwa ni za maji, barabara, umeme na afya.

Tangu alipoanza safari Songea Mjini, Dk Magufuli alisimama kwenye maeneo yasiyopungua 12, safari hii akitumia dakika chache tofauti na alivyofanya katika safari ya Vwawa-Tunduma mkoani Mbeya.

Dk Magufuli alivuta hisia za wafanyakazi wa kampuni ya ujenzi wa Barabara ya Matemanga-Liuli aliposimama katika Kijiji cha Huria wilayani Tunduru kusikiliza kero zao zikiwamo za mishahara na kumuomba aendeshe mtambo wa kusawazisha udongo barabarani.

Baada ya kuujaribu mtambo huo kwa takriban dakika tano, aliwahakikishia kuwa mkandarasi SRBG atawalipa malipo yao yote kwa kuwa Serikali imeshamlipa fedha zote za mradi.

Akiwa Matemanga, aliwaahidi wananchi kujenga kiwanda cha kuongeza thamani za korosho kwa kuwa utawala wake utakuwa ni wa viwanda.

Huku akitumia historia ya utendaji wake katika Wizara ya Ujenzi, Dk Magufuli aliahidi kuwa Barabara ya Namtumbo-Masasi itakamilika mwakani na kuwa kuna makandarasi wanane wanaoendelea na kazi za ujenzi.

Katika mkutano wake Mjini Tunduru, Dk Magufuli ambaye pia ni Mwenyekiti mtarajiwa wa CCM, aliwapokea makada wapya 16 waliodai kuitosa Chadema.

Kutokana na kusimama mara kwa mara njiani kuzungumza na wananchi, Dk Magufuli alilazimika kufanya mikutano mifupi zaidi mjini Masasi huku akiwaomba radhi wakazi wa mji huo kwa kuchelewa.

“Ninafahamu wananchi wa Masasi mna masikitiko makubwa ya mazao, korosho, stakabadhi ghalani, ninataka niwaahidi hili nitalighulikia,” aliuambia umati mkubwa wa wananchi katika Uwanja wa Boma na kuongeza:

“Waziri wangu nitakayemteua wa kilimo hili lazima alifanyie kazi.”

Aliwaahidi wakazi wa mji huo kuwa atajenga kwa kiwango cha lami barabara ya Masasi hadi Mtwara kupitia Newala yenye urefu wa kilomita 200.

Alisema tayari upembuzi yakinifu na usanifu wa barabara hiyo vimeshafanyika na kilichobaki ni kuanza tu kujengwa kwa kuwa tenda ilishatangazwa.

Alisema kujengwa kwa barabara hiyo na nyinginezo kuiwezesha Tanzania kuwa ya kisasa.

Aliendelea kutoa ahadi ikiwamo ya mikopo ya Sh50 milioni kwa vikundi vya vijana na wanawake katika kila kijiji, kujenga reli ya kisasa ya Mtwara-Mbamba Bay na kuwasomesha bure, watoto kutoka darasa la kwanza hadi kidato cha nne.

Kutokana na ufupi wa muda, Dk Magufuli aliahidi kurejea Masasi endapo atachaguliwa ili kufanyia kazi masuala mbalimbali yakiwamo ya maji na mengineyo.

“Ni bahati mbaya ndugu zangu nimefika jioni nisameheni sana nitakuja tena na Mungu awabariki sana,” alimaliza kwa salamu ya Masasi “hoyee”, “Masasi kucheleeee.”

Nipashe: Tuhuma za Slaa kwa Lowassa hazina ushahidi?

$
0
0
Dr Slaa
Kwa mujibu wa gazeti la Nipashe, mlolongo wa tuhuma dhidi ya Ngoyai alizomwaga babu jana pale Serena Hotel hazina ushahidi.

My take:
Kulikuwa na haja gani kwa babu kukaa kimya muda wote huu afu anakuja kumwaga tuhuma zisizo na ushahidi? Kwa nini asingetumia muda huo ambao kasema hakuwa likizo, kutafuta ushahidi wa hizo tuhuma?

Kwa nini tusimpuuze? Tumpuuze!

LOWASSA: Ujinga, umasikini na maradhi vitakuwa historia kwenye serikali yangu

$
0
0
Edward Lowassa
Mgombea urais wa Chadema kwa mwamvuli wa vyama vinavyounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), Edward Lowassa amesema akiwa rais wa Awamu ya Tano atafuta maadui watatu ambao ni ujinga, maradhi na umasikini waliodumu tangu nchi ipate uhuru mwaka 1961.

Akizungumza katika mkutano wa kampeni uliofanyika katika Uwanja wa Lembuka katika Kijiji cha Madaba mkoani Ruvuma, Lowassa aliyekuwa akitumia staili ya kuwauliza wananchi matatizo yanayowakibili na kisha kuwajibu atakavyoyatatua, alisema tangu nchi ipate uhuru maisha ya Watanzania ni duni na kuahidi kuwaondoa katika umasikini.

Wakati Lowassa akisema hayo, Waziri Mkuu mstaafu Frederick Sumaye aliwataka wananchi kuipa Chadema na Ukawa miaka mitano tu ili iweze kuwaletea maedeleo na kama wakishindwa, warudi tena CCM.

“Jambo kubwa ni kupiga kura na kuzilinda na ikiwezekana akina mama mpike chakula kabisa nyumbani ili waume zenu wakifika nyumbani wajipakulie wenyewe. Tusipoitoa CCM madarakani hatutaweza kuwatoa tena na lazima wang’oke safari hii. Hata wana-CCM wenzangu nawashauri waondoke huko na kujiunga na sisi. Ondokeni huko nyumba inawaka moto,” alisema Lowassa.

Katika mkutano huo, wananchi walieleza kuwa wanakabiliwa na ukosefu wa maji na umeme, migogoro ya ardhi, ada na michango iliyokithiri katika shule pamoja na ushuru katika mazao.

“Tutamaliza tatizo la umeme ndani ya mwaka mmoja, tutamaliza suala la kuporwa ardhi,” alisema Lowassa huku akiwahoji wananchi wa kijiji hicho kwanini wakubali kuporwa ardhi.

Wananchi hao walisema katika vituo vya afya wagonjwa wanaruhusiwa kurudi majumbani kutokana na vituo hivyo kukosa maji sambamba na kutozwa ushuru wa mazao usiokuwa na kichwa wala miguu.

Akizungumza katika mkutaano huo, Waziri Mkuu mstaafu Frederick Sumaye alisema maendeleo ya Tanzania hayafanani na rasilimali zilizopo nchini, akiwataka wananchi kuyakubali mabadiliko ili kuepuka matatizo mengine.

“Nilikuwa waziri mkuu kwa miaka 10 lakini nchi haikuwa na vita. Mkichagua upinzani kutakuwa na amani kama kawaida,” alisema Sumaye huku akitolea mfano yaliyotokea Masasi ambapo wananchi walichoma moto vituo vya polisi na Halmashauri baada ya bodaboda kugongana na gari la polisi.
  
 “Hali hiyo inatokana na wananchi kuchoka kuona viongozi waliowachagua wananeema na wao wanaendelea kuwa masikini.”

ROSTAM AZIZ Amjibu DR SLAA ...Baada ya Slaa Kumhusisha na Tumaha Nzito

$
0
0
Rostam Aziz
Wakati huo huo, Mfanyabiashara maarufu Rostam Aziz ametoa taarifa kujibu madai yaliyotolewa na aliyekuwa Katibu Mkuu ya Chama Cha Demokrasia na Maendeleo Dk Wilbroad Slaa ambaye katika mkutano wake jana na waandashi wa habari alidai kupata vitisho dhidi ya maisha yake kutoka kwa Bwana Rostam wakati alipotoa orodha ya watuhumiwa wa ufisadi Mwembeyanga

Katika taarifa yake kwa vyombo vya habari Bwana Rostam Azizi amekanusha tuhuma hizo ambapo amedai kuwa zinadhihirisha wazi hulka aliyodai kuwa ni ya upotoshaji ambao umekuwa ukifanywa mara nyingi na Dk Slaa, na kuongeza kuwa kama kweli angalikuwa ametoa visitisho hivyo inashangaza kwa nini mlalamikaji hkufikisha taarifa hizo polisi.

Bwana Rostam amemtaka Dk Slaa kujitokeza hadharani na kutoa ushahidi wake dhidi yake kuhusiana na tuhuma hizo na kutaka wananchi wapuuze kile alichokiita uzushi.

Aidha katika taarifa yake, Bwana Rostam amekanusha kauli ya Dk Slaa kwamba anaisadia Chadema ambapo pia amemtaka Dk Slaa kutoa ushahidi kuhusiana na suala hilo huku akikumbusha kwamba mwaka 2010 Dk Slaa alimtuhumu kwamba akiwa yeye, Rais Jakaya Kikwete na Edward Lowassa walikutana katika hoteli ya La Kairo Mwanza kupanga njamaza kumuibia kura zake za urais. madai ambayo hayakuwa na ukweli kwani aliweza kudhibitisha kuwa wakati huo alikuwa nchini Afrika Kusini, huku Rais Kikwete akiwa mkoani Lindi na Bwana Lowassa akiwa Arusha.

Bwana Rostam amehitisisha taarifa yake kwa kumtaka Dk Slaa kama mtu aliyekula kiapo cha upadri kuwa mtumishi wa Mungu kuepuka taarifa alizodai kuwa za upotoshaji zisizo na ukweli.

Aunty Ezekiel: Ningetaka Mtoto Mweupe Ningezaa na Mzungu

$
0
0
Aunty Ezekiel na Moses Iyobo
MSANII wa Bongo Movie anayetambulika kwa jina la Aunty Ezekiel amewajia juu mashabiki wake wanaomuongelea vibaya mtoto aliyezaa na mnenguaji wa Diamond Platnumz, Mozee Iyobo.

Aunty Ezekiel aliandika katika mtandao wa jamii kwamba amesikitishwa na namna baadhi ya mashabiki wake wanavyong’ang’ania aweke picha ya mtoto wake anayetambulika kwa jina la Cookie.

“Kuweka uso wa mwanangu mtandaoni ni hiari yangu, msilazimishe, mwanangu ni mweusi sana au ana chongo siwezi kumuanika hadharani, mimi ndiye najua utamu na uchungu wake, ningetaka kuzaa mtoto mweupe ningezaa na mzungu,’’ aliandika Aunty Ezekiel.

Mtanzania

Picha za DR Slaa Akiwa Ndani ya Ndege Akielekea Ughaibuni Baada ya Mkutano wake na Waandishi wa Habari zanaswa

$
0
0
Dr Slaa akiwa ndani ya Ndege akielekea ughaibuni asubuhi ya leo.
Nayakumbuka sana maneno ya Mwenyekiti Mbowe, aliwahi kusema "...Safari ya ukombozi ni sawa na safari ya treni linanalo kwenda Kigoma, wapo watakao shukia na kupandia Pugu, Morogoro, Dodoma, Tabora nk, lakini mwisho wa siku lazima safari indelee mpaka Kigoma... "
Akasema sema tena "... Ikitokea mmoja kati yetu akafa msilie, wekeni maiti yake pembeni kwa heshima kisha msonge mbele... "
Wish you well Dear Dr. Nitaendelea kukuheshimu lakini mapambano yanaendelea.


Watoto Watatu Waula na Bima ya Elimu ya Bayport Biharamulo

$
0
0
Watoto watatu wafutwa machozi na bima ya elimu ya Bayport Biharamulo

Na Mwandishi Wetu, KageraTAASISI ya kifedha ya Bayport Financial Services inayojihusisha na mambo ya mikopo, jana imewakabidhi hundi ya Sh Milioni tatu watoto watatu wilayani Biharamulo, mkoani Kagera, kwa ajili ya kunufaika na huduma ya Bima ya Elimu iliyoachwa na mzee wao Karume Ochieng aliyefariki Dunia, huku akiwa amejiunga na huduma ya bima kwa ajili ya watoto wake hao.

Mratibu Mauzo wa Bima ya Elimu wa Taasisi ya Kifedha inayotoa Mikopo(Bayport Financial Services, Ruth Bura akikabidhi mfano wa hundi kwa familia ya marehemu Karume ambaye alikuwa amejiunga na bima hiyo katika shule ya msingi Nyamuhuna iliyopo wilayani Biharamulo mkoani Kagera, kushoto ni Meneja Mauzo wa Bayport Kanda ya Ziwa, Lugano Kasambala. Taasisi hiyo imeanzisha bima ya elimu ili kusaidia kiasi cha ada kwa watu wa karibu walioainishwa na mteja wao endapo atakumbwa na umauti.


Watoto hao ambao wamepewa hundi hiyo itakayowawezesha kila mwaka katika vipindi vya miaka mitatu mfululizo kupewa Sh Milioni moja kwa ajili ya kuwalipia ada katika shule wanazosoma ni pamoja na Athieno Karume, Chacha Karume na Aaptalius Karume.

Makabidhiano ya hundi kwa familia ya marehemu Karume yakiendelea wilayani Biharamulo, mkoani Kagera.

Akizungumza katika makabidhiano ya hundi hiyo kwa watoto hao, Mratibu wa Bima ya Elimu ya Bayport Financial Services, Ruth Bura, alisema kwamba kukabidhi hundi hiyo kutawafanya watoto hao wasome kwa raha, baada ya kuwekewa bima hiyo na marehemu baba yao kutokana na mapenzi mema na vijana hao wanaoendelea na masomo.




Meneja Mauzo Kanda ya Ziwa kutoka Bayaport Financial Services, Lugano Kasambala, akitayarisha mfano wa hundi ya Sh Milioni Tatu kwa ajili ya kukabidhi familia ya marehemu Karume. Mwenye miwani ni Mratibu wa Bima ya Elimu wa Bayport, Ruth Bura.

Alisema Bayport imekuwa ikilipa watu waliotajwa katika huduma ya bima kwenye taasisi yao, wakiamini kuwa huduma hiyo itakuwa na manufaa makubwa na Watanzania wote wenye ndoto za kuona watoto wao wanasoma kwa bidii.



Gari linalomilikiwa na Bayport Financial Services, likiingia katika shule ya Msingi Nyamuhuna, iliyopo wilayani Biharamulo, mkoani Kagera kwa ajili ya kukabidhi hundi ya Sh Milioni Tatu.

"Bayport ni taasisi ya Watanzania wote, hivyo tunaamini kukabidhi hundi hii kwa wanafunzi hawa ni jambo jema litakalowapatia mwangaza zaidi, ukizingatia kwamba kila mwaka tutawapa sh Milioni Milioni moja kwa kipindi cha miaka mitastu mfululizo

.
"Tunaomba watoto hawa watumie fursa hii vizuri na iwe njia moja wapo ya kuwafanya Watanzania wote waendelee kuiunga mkono taasisi hii yenye kutoa huduma bora za mikopo ya fedha, viwanja na, bima ya magari na huduma nyingine muhimu zinazokuza uchumi na kuwakwamua Watanzania wote,” alisema Ruth. Naye Chacha Karume, aliishukuru Bayport kwakuwapatia fedha hizo huku akisitiza kwamba zimekuja wakati muafaka kwa ajili ya kuwakwamua katika kipindi hiki cha kuelekea mwisho wa mwaka.


“Tunashukuru kuona tumepewa fedha hizi bila usumbufu wowote na tunaamini tutasoma vizuri, maana changamoto za ada na huduma nyingine za kijamii zitakuwa zimekombolewa katika kipindi cha miaka mitatu mfululizo tutakapopewa fedha hizo,” Alisema.
Bayport ni taasisi ya kifedha inayotoa huduma bora za kifedha, ambapo imekuwa ikizindua huduma mbalimbali kama vile mikopo ya bidhaa, viwanja vya mradi wa Vikuruti, wilayani Kibaha, mkoani Pwani, mikopo ya fedha na nyinginezo zinazowakwamua kiuchumia wateja wao ambao ni watumishi wa umma na wafanyakazi wa kampuni zilizoidhinishwa na Bayport, huku huduma hizo zikitolewa pia kwa njia ya mtandao wa www.kopabayport.co.tz.




James Mbatia Naye Afunguka Kuhusu Tuhuma za Dr. Slaa..Angalia Video Hapa Akimwaga Cheche...Adai Hajui Alitendalo

$
0
0
James Mbatia
James Mbatia Naye Afunguka Kuhusu Tuhuma za Dr. Slaa..Angalia Video Hapa Akimwaga Cheche...Adai Hajui Alitendalo....
Nimekuwekea Video Hapa:


Millen Magese apoteza fahamu mara mbili katikati ya jiji la New York

$
0
0
Mwanamitindo na Miss Tanzania wa zamani, Happiness Millen Magese alipoteza fahamu mara mbili katikati ya jiji la New York nchini Marekani.

Kupitia Instagram, Millen amesema ni msamaria mwema ndiye aliyemsaidia.

Something happened this afternoon right after I posted my last video,which reminded me a very important thing we always forget,” aliandika.

Every one of us will go and it’s just a matter of time ,be ready all the times ,I passed out twice on 42 street in New York today ,and strangers helped me. #Lesson -Help somebody anywhere they need. [pray] #I wish to meet these two guys who helped me. Especially the one who carried me a cross to my building. God bless you.”

Iam Alive . Am Ok . Thankful #Thank you @funminewyork and #mimabuilding #ItIsWell. All in Control. [pray].”

Hatimae Jacqueline Wolper Avishwa Pete ya Uchumba (Picha)

$
0
0
Mwezi mmoja toka Jacqueline wolper atamke kuwa ni mjamzito (ambao bado haujapata uthibitisho-Ingia hapa), mrembo huyo wa Bongo movie amevishwa pete ya uchumba.
wolper-5
Kwa mujibu wa picha na maelezo aliyopost kwenye akaunti yake ya Instagram, Wolper sasa ni mchumba wa mtu.
wolper-2
wolper-3
wolper-4
Wolper alipost picha kadhaa akiwa na mchumba wake, na kuelezea picha kamili ilivyokuwa hadi kupata surprise hiyo ambayo hakuitarajia.
wolper insta
Baada ya maelezo hayo yaliyofatiwa na picha za tukio lenyewe, pongezi nyingi zimemwagika kutoka kwa followers wake. Hizi ni baadhi ya comments;
annietzdu: Nakupongeza kwa kutochukua mtu maarufu mungu awatangulie sana mtimize lengo lenu mmeendana sana
new_isha: Usiishie Pete ndoa fastaaa my nduguuuu love uuuu na unialike
mwezimbili: Hongera kaka kwan umembadilisha tabia Dada Jack.hususanani ktk mavazi Mungu amibariki.Dada Jack jitambue kuna ile SKU moja utakua mama hivyo basi heshima ndio nguzo pekee ktk masha hebu onyesha mfano.
beibycso: Aya akuoe ss mn asije akw bongo movie na yy. Me nshakataaga mambo ya pete n nini stak we njoo toa mahar nioe ful stop stak aibu mjn wanaume hawatabirikiiiii

hotkipepeo: All the best sina shaka na wewe hata ukifunga ndoa una vielement vya umama bora ukawe hvyo hvyo ruwa nakutarame

Askofu Gwajima Amjibu DR Slaa..Baada ya Kumtuhuma Makubwa na Kumwita Mshenga

$
0
0
Askofu Josephat Gwajima amejibu tuhuma zilizoelekezwa kwake na aliyekuwa Katibu Mkuu wa Chadema, Dk. Wilbroad Slaa kuwa alishiriki kama ‘mshenga’ kumshawishi mwanasiasa huyo kumpokea Edward Lowassa katika chama hicho.
Jana, Dk. Slaa alimtaja Askofu Gwajima kama mshenga na kwamba alimshawishi ampokee Lowassa huku akidai kuwa askofu huyo alimtamkia kuwa maaskofu 30 wa Kanisa Katoliki walihongwa na timu ya Lowassa.
Askofu Gwajima amekanusha taarifa zilizotolewa na Dk. Slaa ambaye alikuwa rafiki yake kwa muda mrefu akidai kuwa ni muongo mkubwa. Alisema kuwa Dk. Slaa ameamua kuwashambulia maaskofu hao kwa kuwa anafahamu hawana majukwaa ya kumjibu kama ilivyo kwa wanasiasa.
Gwajima alidai kuwa yeye aliitwa kama msuluhishi ndani ya Chadema na sio mshenga wa kumleta Edward Lowassa.
“Kwa kawaida inashangaza kwamba kama watu wawili wanagombana inatakiwa awepo mtu wa kuwaunganisha, ila anaposema maaskofu 34 haileti maana, haiingii akili, ameingiza Gwajima, Rostam Aziz na maaskfu,” Gwajima ameliambia gazeti la Mtanzania na kuongeza kuwa Dk. Slaa ametumwa na watu anaowafanyia kazi.

Askofu huyo alidai kuwa alichokisema jana Dk. Slaa kilikuwa silaha pekee ya CCM iliyokuwa imebaki na kuwataka waumini wake na watanzania kutoamini alichosema mwanasiasa huyo.

“Nafikiri Slaa ndio risasi ya mwisho ya mwisho iliyokuwa imebaki kwenye bunduki ya CCM,” alisema.

Juzi Dk. Slaa alitangaza kustaafu siasa za vyama akieleza kutokana na kutoridhishwa na mwenendo wa siasa nchini hususani Chadema aliyoijenga kwa ajenda ya kupinga ufisadi na badala yake wamemkumbatia Lowassa waliyekuwa wanamtuhumu kuwa fisadi mkubwa.

K-Lyn Jacqueline Ntuyabaliwe And Reginald Mengi Stunning In New Photos With Their Twins.

$
0
0
 Jacqueline Ntuyabaliwe and her billionaire husband Reginald Mengi looking awesome with their twins.........



Aunt Ezekiel: CCM Siyo Baba Yangu Wala Mama Yangu

$
0
0
STAA wa Bongo Movies, Aunt Ezekiel ‘mama Cookie’ amewajia juu wanaomsema kuwa amekikacha Chama Cha Mapinduzi (CCM) na kukimbilia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kuwa hajazaliwa na chama hicho bali amezaliwa Kisarawe.

Aunt amesema kuwa hata kama huko alipo wakishindwa atakubali matokeo kwa kuwa lazima katika mchezo kuna upande utashinda na mwingine utashindwa hivyo atakubali yote.

“Ninachojua mwisho wa siku lazima kuna mshindi na mshindwa hivyo nakubali yote kwa sababu nampenda Lowassa na sijawahi kutamka kuwa mimi ni CCM kwa kuwa sijazaliwa kwenye chama hicho, nimezaliwa kijijini kwetu Kisarawe  "alisema Aunt kwa jazba.
Viewing all 104698 articles
Browse latest View live




Latest Images