Quantcast
Channel: UDAKU SPECIAL
Viewing all 104417 articles
Browse latest View live

Masanja: Uchungaji Si Mzaha, Afunguka Haya

0
0
MCHEKESHAJI wa kundi la Orijino Komedi, Emmanuel Mgaya ‘Masanja Mkandamizaji’, amewataka wanaomtuhumu kwamba anatumia tiketi ya uchungaji kama njia ya kujiingizia kipato wajaribu kazi hiyo wataona malipo yake.

Aliongeza kuwa uchungaji ni wito na siyo kazi, pia uchekeshaji ni ajira yake, hivyo hawezi kuacha uchekeshaji kwa sababu ya uchungaji kwa kuwa hakiuki miiko ya uchungaji.

“Eti wanasema uchungaji na siasa wapi na wapi, mbona kuna chama cha siasa kimojawapo mgombea wao wa urais ameletwa na mchungaji lakini kwangu ndiyo siyo sawa? Anayedhani uchungaji ni dili, ajaribu aone kama hajatoka majipu kama Ayubu,” alieleza Masanja, alipokuwa katika moja ya mikutano ya kampeni ya kisiasa alipoalikwa na Chama Cha Mapinduzi.

Chanzo: Mtanzania

Baada ya Twaweza Kutoa Utafiti Wao..Wengine Waamua Kuingia Mtaani Kufanya Utafiti kwa Kutumia Box

0
0
Wameona isiwe tabu, twaweza twaweza Kitu gani, bora wapige kura za maoni laivu bila chenga wenyewe, ENL vs JPM. Kariakoo hiyo.

Kajala Ammwagia Zari Minoti!

0
0
KIMENUKA tena! Katika kile kinachoonekana kama ni kejeli kwa shosti wake wa zamani, ambaye sasa picha hazipandi, staa wa filamu Kajala Masanja, mwishoni mwa wiki iliyopita alimmwagia ‘minoti’ mingi Zarinah Hassan ‘Zari’ wakati wa hafla ya kutimiza siku 40 tangu kuzaliwa kwa mtoto wake Tiffah.

Hafla hiyo ilifanyika nyumbani kwa Diamond, mitaa ya Madale-Tegeta nje kidogo ya Jiji la Dar es Salaam na kuhudhuriwa na watu mbalimbali maarufu.

Ilikuwa ni wakati Zari, alipokuwa akicheza muziki huku akipokea zawadi kutoka kwa waalikwa, ndipo muigizaji huyo, alipotumia zaidi ya dakika 20 kummwagia minoti ya shilingi elfu kumikumi. Baadhi ya watu waliohudhuria shughuli hiyo waliweka kipande cha video ya Kajala akifanya mambo yake kwenye mitandao ya intaneti na mara moja, Wema akakiona.

Inadaiwa kuwa kitendo hicho kilimkera na alipowasiliana na gazeti hili alisema. “Hata kama ni kweli tumegombana, bado yeye hakutakiwa kufanya vile, ilionekana anataka kunisanifu tu, kama kweli Kajala anasema kwa watu kila siku kuwa mimi ni rafiki yake na hawezi kuifuta tattoo yangu aliyojichora, asingeweza kufanya kitu kama hicho.

Sasa mwambieni kabisa kama ni hivyo, aifute mara moja ile tattoo,” alisema kwa kifupi, akionekana kukasirika. Risasi Mchanganyiko lilipomtafuta Kajala na kummegea ‘ubuyu’ huo, naye bila kupepesa macho alitiririka; “Mimi nilienda kumtunza Zari kama waalikwa wengine walivyofanya, kama yeye anaona sikufanya vizuri mimi hainihusu, na kama anaweza kuifuta hii tattoo aje tu aifute, haina shida.

Chanzo: GPL

LOWASSA Aeleza Kama Atakubali au Atakataa Matokeo Akitangazwa AMESHINDWA

0
0
ZIKIWA  zimebakia  siku 30  kabla  watanzania  hawajapiga  kura  ya  kumchagua  Rais,mgombea  urais  kwa  tiketi  ya  CHADEMA, Edward  Lowassa  ambaye  amekuwa  akieleza  imani  yake  kuwa  atashinda  kwa  kishindo, ameeleza  msimamo  wake  endapo  tume  ya  Taifa  ya  Uchaguzi  itatangaza  matokeo  tofauti  na  ya  matarajio  yake.

Akiongea  na  kituo  cha  Runinga  cha  Citizen  cha  nchini  Kenya, Lowassa  amesema  hawezi  kusema  kama  atakubali  au  atakataa  hadi  itakapothibitika  kuwa  matokeo  hayo  hayajahujumiwa.

"Siwezi  sema  nitakuchukulia  kama  nimeshindwa  hadi  nitakapothibitishiwa  kuwa  kila  kitu  kimeenda  sawa  na kwamba  hakuna  hujuma." Alisema  Lowassa  na  kuongeza;

"Tunaogopa  sana  kuhusu  hujuma.Kila  mtu  unayeongea  naye  unapokutana  naye, anakwambia  utashinda, lakini  je, watakubali  kushindwa?"

Katika  hatua  nyingine,Lowassa  alijibu  swali  la  mwandishi  lililomtaka  kueleza  kama  angeweza  kusema  anachokisema  hivi  sasa  kuhusu  CCM  endapo  angechaguliwa  kuwa  mgombea  Urais  kwa  tiketi  ya  CCM.

"Ninasema  vitu  vingi  ambavyo  vingeweza  kufanywa  vizuri  zaidi  na  CCM,na  ninasema  vitu  vingi  ambavyo    ninaweza  kuvifanya  vizuri  zaidi  nikiwa  Upinzani." alisema  Lowassa.


Here Is Why Every Lady Is Talking About DIAMOND and Saying aaaaaaawwww!!

0
0

Diamond is every lady’s lips after he wrote a lovely message to his wife and baby mama, Zari Hassan, on her birthday.

Here is the message


Picha: Mahujaji 717 Wapoteza Maisha Mecca Baada ya Kukanyagana

0
0
Takriban mahujaji 717 wamepoteza maisha baada ya kukanyagana karibu na mji mtakatifu wa kiislam, Mecca nchini Saudi Arabia.
2CB55A5B00000578-3247269-image-m-48_1443093895904
Watu wengine 863 wamejeruhiwa kwenye tukio hilo lililotokea kwenye eneo la Mina, wakati ambapo mahujaji milioni mbili kutoka nchi mbalimbali duniani walikuwa kwenye siku ya mwisho ya Hijja.
2CB7FEC600000578-3247269-image-a-34_1443106902688
Hilo ni tukio baya zaidi kuwahi kutokea katika kipindi cha Hijja katika kipindi cha miaka 25.
2CB615B800000578-3247269-image-m-84_1443102599905
Wakati wa Hijja, mahujaji walisafiri kwenda Mina, bonde kubwa lililopo kilomita tano kutoka Mecca, ili kwenda kurusha mawe saba kwenye nguzo za Jamarat.
2CB67BC400000578-3247269-image-a-39_1443107078688
Nguzo hizo zinaaminika kuwa sehemu ambayo shetani alimrubuni Nabii Ibrahiym.
2CB61F7300000578-3247269-image-a-93_1443103462347
Tukio hilo limetokea wiki chache tuu baada ya watu 109 kupoteza maisha baada ya kuanguliwa na cranes kwenye msikiti mkuu wa Mecca.

Those Asking, Here’s The Perfect Wife Material (PHOTO)

0
0

Those asking, here’s the perfect wife material (PHOTO)

Picha: Tiffah ni Photocopy ya Baba yake Diamond Platnumz

0
0
Tiffah, mtoto wa Diamond Platnumz aliyezaa na mpenzi wake wa Uganda, Zari the Bosslady ni kama photocopy ya sura ya baba yake.
12027776_10208053453079086_5375850434238692853_n
Diamond na Zari Hassan wamemuonesha mtoto wao Latiffah kwa mara ya kwanza Jumapili hii.
Tiffah1
Tiffah
Mastaa hao wamesherehekea siku 40 tangu kuzaliwa kwa mtoto huyo maarufu kwa kualika marafiki na watu wa karibu kwenye hafla iliyofanyika kwenye makazi yao, wanayoyaita State House..
Tiffah2
Mastaa mbalimbali wamehudhuria hafla hiyo ya kumtoa hadharani kwa mara ya kwanza mtoto huyo maarufu.
Akiongea kwenye kipindi cha EFM Uhondo kinachoendeshwa na mtangazaji wa zamani wa Clouds FM, Dina Marious, hivi karibuni Diamond alisema hana shaka kuwa Tiffah ni damu yake kukanusha tetesi zilizokuwa zimeenea kuwa huenda akawa si mwanae. Picha za mtoto huyo zimethibitisha ukweli huo.
11909997_902048153218567_667540784_n
Kaka wa Zari, Williams Bugeme akiwa na Tiffa
“Unajua mtoto kama si wako ni rahisi tu kujua. Na unajua mzazi anakuwa mtu wa kwanza kugundua kama mtoto si wako,” alisema Diamond. “Tena wazazi wetu wa Kiswahili wanakuaga sijui na machale gani akiona kama anasema ‘baba copy sio yako.’
“Yaani Latti ukimuona kabisa utasema ‘huyo Platnumz’.
Hizi ni comments za baadhi ya watu walioandika kwenye picha nyingine ya Tiffah aliyoiweka Zari kwenye ukurasa wake wa Facebook:
Vero James: Copy and paste of Diamond Platnumz Fans ‘ face. Congrats bro.
Haulah HK: This kid resembles Diamond Platnumz for real..awuchhii. eyes fr zari tho
babyshop
Melvo Precious: She really resembles Diamond wah!!
Ampeire Mercy: Confirmed. Looks of DP.
Betty Stella Mwende: That’s diamond’s photocopy right there…cutest
Norah Nkutu Kimbowa: Photo copy of her dad eeee!!!
Acronius Rweyendera: Hahahaaaa Photocopy diamond pure no comment nimekubali diamond umejizaa kbisa
Rahmahh Bugembe Kyeyune: Bby tiffa resembles his dad diamond thanks auntie zarieh
Namubiru Frank Firebase: Dis is Diamond for real,,,,, eeeh omwana afanana kitaawe
Jackline Muloki: Wow!! Like dad like daughter!! Shame on you all heater’s
Kiconco Judyth: Diamondz lips photocopy
Wanja Mishka: diamonds photocopy so haters please zip your mouths and throw the key to the deept of the sea
Barbara Mubiru: She is the carbon copy of her father. God bless her.
Kenzy B Ellie’s: Mum Papa’s carbon copy. Cute
Rena Ray Wandy: Photocopy of diamond kabisa,She took his lips ka sweet
Diamond aliwahi kudai kuwa anapenda kuongeza mtoto wa pili. “Mimi natamani kuwa na watoto wawili,” alisema. “Na yeye pia [Zari] akasema ‘Latti akishakua kidogo tutafute mtoto mwingine, tumalize shughuli’, nikamwambia basi yaani hapo utakuwa umeniteka mazima mazima.”
Kuhusu ndoa, Diamond alisema ni kitu kinachoweza kufanyika mapema. “Sijaona bado kuna kitu gani ambacho kitanifanya nichelewe.”

Utafiti Mpya Waonesha Lowassa Kushinda Kwa Asilimia 74 Dhidi ya Magufuli

0
0
Siku mbili baada ya tahasisi ya TWAWEZA kutoa matokeo ya utafiti ukionesha kama ucaguzi ungefanyika kati ya august 19/2015 na septemba 7,2015 mgombea urais kupitia CCM angeshinda kwa aslimia 65 dhidi ya 25 za mgombea wa CHADEMA Edward Lowassa,leo vigogo wa chadema wamejitokeza mbele ya waandishi wa habari na kutoa matokeo ya utafiti wanaodai kufanywa na tahasisi za kimataifa unaonesha lowassa kushinda kwa aslimia 74.Mbali na matokeo hayo wamepinga utafiti wa TWAWEZA kuwa yalipikwa kuisaidia CCM.Hapa chini ndiyo waliyosemaMbatia: Taarifa ya Twaweza imeidhalilisha CCM na Twaweza yenyewe!
Mbatia: Twaweza imejidhalilisha kwa kubagua wagombea Urais wa vyama vingine mbali na CCM na CHADEMA!
Mbatia: Twaweza haifahamu hata idadi ya wagombea ubunge wala udiwani
Mbatia: utafiti wa Twaweza imetoa ripoti inayokinzana angalia ukurasa wa 7, huu ni utafiti wa uongo!
Mbatia: katika taarifa ya Twaweza haijaweza kuhakiki taarifa yake kitakwimu!
Mbatia: CCM imekubaliana na idadi ya watu walioshiriki utafiti wa Twaweza kwa kigezo cha idadi ya watu 1848!
Mbatia: CCM ilikataa kukubali maoni ya wananchi zaidi ya laki 3 kwenye rasimu ya Katiba ya Warioba, lakini leo wamekubali 1848
Mbatia: Taarifa ya Twaweza inalidhalilisha Taifa letu mbele ya dunia
Mbatia: kama taarifa ya Twaweza ingetolewa kabla ya Uchaguzi Mkuu ingevisaidia vyama.
Mbatia: simu za mkononi na chaja zilizogawiwa ilikuwa ni rushwa iliyotolewa na Twaweza kwa washiriki wa utafiti wao!
Mbatia: Twaweza imebatiza tafsiri ya UKAWA kuwa ni Walinzi wa Katiba ya Wananchi. Soma taarifa yao utaona ndivyo walivyoandika!
Mbatia: Twaweza wanajua CUF, NCCR-Mageuzi, na NLD hawajatoa Mgombea wao wa Urais isipokuwa CHADEMA, ila wameweka swali hilo
Mbatia: kwa kuwa Twaweza ni taasisi inayothamini midahalo, tunawaalika kwenye midahalo wa kuitetea taarifa ya utafiti wao
Mbatia: tunawaomba wapiga kura wote wasiitilie maanani taarifa hii ya Twaweza
Mbatia: hakuna taasisi yoyote iliyoleta mwaliko kwa Mgombea wetu Edward Lowassa kushiriki midahalo mpaka sasa!
Mbatia:Utafiti wa ndani wa UKAWA uliofanywa na watafiti huru kutoka nje ya nchi zinaonesha Edward Lowassa atapata asilimia 74 ya kura zote
Mbatia: utafiti wetu wa ndani uliofanywa na wataalamu kutoka nje ya nchi umeonesha Edward Lowassa atapata kura 74%
Prof. Baregu amezungumzia 'contamination of data' ya utafiti wa Twaweza
Prof.Baregu anazungumzia decay of data katika utafiti wa Twaweza
Prof.Baregu utafiti huu wa Twaweza sio wa kwanza. Mara ya kwanza utafiti wao wakati Edward Lowassa akiwa CCM ilionesha anaongoza
Prof.Baregu:Kama Dr.Slaa alizidiwa kura na Edward Lowassa miezi michache iliyopita, imekuwa leo Edward Lowassaazidiwe kura na Magufuli?
Prof.Baregu: Sampuli ya data za utafiti wa Twaweza imechafuliwa kwa makusudi ili kupotosha Watanzania.
Prof.Baregu: Mtafiti kutoka Oxford University niliyeongea naye aliona kuwa UKAWA inaweza kushinda ila sio kwa gap kubwa.


TANZIA: WAZIRI wa Nchi, Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma, Celina Ompeshi Kombani amefariki dunia

0
0
Waziri wa Nchi,Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma Mh.Celina Kombani amefariki dunia nchini India  alikokuwa akipatiwa matibabu

Taarifa tulizozipata usiku huu  zimesema  kuwa Waziri Kombani ambaye pia alikuwa mgombea ubunge jimbo la Ulanga Mashariki kupitia chama cha Mapinduzi, mwili wake utawasili nchini Jumamosi ya Septemba 26 mwaka huu

Mtandao huu unatoa pole kwa familia ya marehemu na taifa kwa ujumla kwa msiba huu.

OFFER OFFER Kutoka Markson Beauty Products..Dawa Zisizo na Madhara za Kukufanya Uwe Mrembo zaidi na Muonekano wa Kupendeza

0
0
OFFER,OFFER,OFFER
         MARKSON BEAUTY PRODUCTS 
Katika kusherehekea miaka kumi na nne ya kampuni hii tumetoa punguzo kubwa la bei kama shukran kwa wateja wetu. Bidhaa zetu zimetengenezwa kwa mimea na matunda na hazina kemikali wala madhara.
    TUNAZO ZA:-
1.Kerefusha nywele na kuzuia kukatika ovyo @80,000/=
2.Kuongeza shepu (hips na makalio) @120,000/=
3.Kuondoa mvi milele zisirudi @100,000/=
4.Kupunguza unene na manyama uzembe
@100,000/=
5.Kuongeza uume pamoja na nguvu za kiume kwa (a)Gely ya kupaka @90,000/=(b)Vidonge maalum @100,000/= (c)Handsome up original (@)170,000/=
6.Kuongeza unene wa mwili mzima na uzito @90,000/=
7.Kupunguza tumbo  (kitambi) na nyama za pembeni kwa :- (a)Dawa ya kunywa au kupaka @80,000/=  (b)Mkanda wa kawaida  @80,000/=  (c)Micro-computer belt @300,000/= 
8.Kuwa mweupe na soft mwili mzima  @90,000/= 
9.Kubust maziwa na kuyasimamisha  @90,000/=
10.Kushepu miguu na kuwa minene @90,000/=
11.Kuondoa mipasuko mwilini (michirizi) @80,000/=
12.Kubana uke na kuongeza hamu ya tend la ndoa kwa mwanamke @80,000/=


      NB...Matokeo ni garantii na hakikisha unapata risiti yake ili kukuhakikishia kufanikiwa kwako. Popote ulipo utapata huduma zetu.
      Wasiliana nasi kwa no (+255) 0767-447444  na 0714-335378

Jamaa Aliyefanya Zoezi la Kura za Maoni Kwenye Box Kariakoo na Lowassa Kushinda Akamatwa na Polisi

0
0
Mtu mmoja huko Kariakoo  jijini Dar amekamatwa na Polisi kwa kuendesha zoezi lisilo rasmi wala lisilofuata kanuni, sheria na taratibu za nchi, kwa kupiga kura za 'chap chap' ili alinganishe matokeo atakayopata na yale yaliyotolewa na Twaweza hivi juzi .

Sentesi 11 Ngumu MBOWE alizozitoa mbele ya Waislam Jana Siku ya Idd

0
0
Viongozi wakuu wa umoja wa katiba ya wananachi UKAWA wakiongozwa na mwenyekiti wa chama cha Democrasia na maendeleo CHADEMA Mh FREMAN MBOWE pamoja na makamu mwenyekiti wa CHADEMA Profesa SAFARI na kaimu mwenyekiti wa chama cha wananchi CUF ambaye pia ni mbunge wa bunge la Africa mashariki Mh TWALHA TASLIMA leo jioni wamehudhuria Baraza la kuu la idd lililoamndaliwa na Taasisi za kiislam Tanzania shughuli iliyofanyika katika hotel ya LAMADA Jijini Dar es salaam.


Katika shughuli hiyo ambayo iliambatana na dua mbalimbali pamoja na hotuba za viongozi mbalimbali pia walialikwa wagombea urais wa vyama vyote Tanzania lakini hakuna hata mmoja aliyeweza kufika huku mgombea wa UKAWA akiwakilishwa na Mh FREMAN MBOWE.
Mh mbowe alipata nafasi ya kutoa Hotuba fupi ambayo iliwagusa mamia ya waislam ambao walikuwa katika shughuli hiyo na hapa nimekunukulia baadhi ya mambo ambayo mbowe aliyazungumza na kushtua wengi

1-Nashukuru sana kwa ukaribisho wa shughuli hi,mgombea wetu ndugu EDWARD LOWASA alitamani kuwa nasi jioni hii lakini kutokana na ratiba ya kampeni kubana imebidi aunganishe kwenda kwenye kampeni za kesho huko manyara--MH MBOWE  

2-Swala la mashekh ambao wapo jela bila hukumu yoyote,tulisema siku ya ufunguzi wa kampeni na tunaendelea kusema kuwa tumewaagiza wanasheria wa chama chetu kufwatilia kwa makini na kuona nini hasa kimetokea kwao kama kuna mahali kunahitajika msaada wa kisheria tupo tayari kulishuhulikia hilo kwani sisi lengo letu ni kurudisha umoja na mshikamano Tanzania. --MH MBOWE

3-Zimebaki siku takribani 30 sasa kabla ya watanzania kufanya maamuzi halisi,ni muda wa maamuzi ndugu watanzania. --MH MBOWE

4-TANESCO imefilisika na watanzania wengi hawajui hili,sasa shirika la umeme halina hata sent na wameamua kufanya mgao wa kimya kimya lakini ukweli ni kwamba huu mgao ni mkubwa sana huko tuendako kwa sababu hawana hela na wanaficha ukweli,kuna mgao mkali sana sasa wa kimya kimya na utaendelea kuwa mkali kadiri siku zinavyokwenda. --MH MBOWE

5-Kuna wizi mkubwa sana wa mafuta Tanzania na kuna baadhi ya watu wakubwa wanauratibu wizi huo,Tanzania ina akiba ya mafuta hadi mwezi wa 11 lakini serikali imetoa hati ya kuingiza mafuta nchini ambapo baadhi ya wahusika ni familia ya Rais KIKWETE. --MH MBOWE

6-Serikali yetu ya awamu ya tano sio serikali ya visasi kama inavyodhaniwa,ila ni serikali ya kuwarudisha watanzania pamoja kwa maridhiano,na maelewano,ila kuna watu itabidi washughulikiwe kwa mijibu wa sheria kutokana na kuligharimu taifa hao tutafanya hivyo. --MH MBOWE

7-Tume ya uchaguzi ya miezi miwili iliyopita sio tume ya sasa,mwenyekiti yupo ila watendaji wengi wameondolewa bila sababu za msingi. --MH MBOWE

8-Mtendaji mmoja mkuu wa tume juzi tumepata taarifa kuwa ameondolewa na kupelekwa kusikojulikana na amerudhishwa na kutakiwa kukabidhi ofisi mara moja. --MH MBOWE

9-Tume ya sasa inaongozwa na wanajeshi na usalama wa taifa,mimi mbowe ndio nasema kama kuna mtu anabisha waje wanikamate leo,hatuwezi kuvumiliana kiasi hiki ni wakati wa kuwekana wazi ili watanzania wafanye jambo wanalolitaka. --MH MBOWE

10-Nasema hivi hatutakubai hujuma hizi ambazo zinaendelea sasa tutasema hadi mwisho. --MH MBOWE

11-Mwisho kabisa nasema hivi ni wajibu wetu kutafuta kura,kupiga kura na kulinda kura hivyo ndugu zangu waislam nawaomba tushirikiane katika hili,ASANTENI KWA KUNISIKILIZA--MH MBOWE

Corazon Kwamboka Gets Naughty In Bathroom (Video)

0
0

Bathroom is a place where we do our own private stuff without interference. But socialites are now opening the doors of their lavatories to give everyone a glimpse of what they door.

Corazon Kwamboka’s gigantic bam bam is always itching her. And that’s when she reacts and decides to kill Team Mafisi.

Now that twerking is no longer fashionable, socialites have to be a little innovative with their booty in order to please their customers.

The learned socialite opted to take her mammoth behind to bathroom where she made them wiggle as she recording the movement.

Corazon was donning a TIGHT dress that brought out every feature of her two projecting rounded mound.

It cannot immediately be established whether she was doing this in a public toilet but the room looks like a refurbished public bathroom in Vietnam.

Watch the clip below to see what I mean;

Licha ya Mainda Kudaiwa Kuokoka, Nguo Fupi zaendelea Kumtesa

0
0
RUTH Suka ‘Mainda’ aliye msanii wa filamu Bongo ambaye kwa sasa amejikita katika kumtumikia Mungu, amesema mtihani mkubwa ambao bado unampa wakati mgumu katika maisha ya ulokole ni uvaaji wa nguo fupi!

‘Akibadilishana sentensi’ na Amani, Mainda alisema amejitahidi kuruka na kuvuka viunzi vingi tangu kuokoka kwake, lakini ameshindwa kukabiliana na mtihani wa kuachana na uvaaji wa nguo fupi, jambo ambalo anapigana nalo kwa nguvu zote.

“Maisha ya wokovu ni mtihani mno, hakuna ulokole unaopatikana kwa njia rahisi, majaribu ni mengi, kwa mfano mimi uvaaji wa nguo fupi umekuwa mtihani mgumu kuachana nao ingawa kwa sasa najitahidi sana tofauti na zamani, namuomba Mungu anisaidie juu ya hili,” alisema Mainda.

VIDEO: Magufuli aeleza maana ya vidole vya CHADEMA ........Ataka "People's Power" Imwangukie Yeye

0
0
VIDEO: Magufuli aeleza maana ya vidole vya CHADEMA ........Ataka "People's Power" Imwangukie Yeye

Wanawake wa Haya makabila Kitandani ni Wabovu Sana

0
0
Hiyoooooooooooooo ndo habari kwani kuna baadhi ya makabila ukiwa una mgegeda hata hatingishiki yeye ni kutulia kama gogo tu wala hawezi hata kukukuruka kwanza wachaga, wapare, waha, wasukuma, wangoni, wakikuyu, wakurya, waluguru, wagogo, wamasai na mengine kibao yani ni shida hadi wanafanya papuchi zao kua za baridi sana jaman badilikeni, haya toeni uzoefu wenu na ninyi

Je Umeshawahi Kujiuliza Kama Kuna Ugomvi Wowote Kati ya Lulu Michael na Wema Sepetu...? Lulu Afunguka Haya

0
0
KAMA unafikiri kuna ugonvi kati ya waigizaji maarufu nchini, Elizabeth Michael, ‘Lulu’ na Wema Sepetu, utakuwa umekosea, kwani hakuna ugomvi kati yao.

Lulu alieleza kwamba wamekuwa wakishirikiana na Wema Sepetu katika mambo mbalimbali, ikiwemo sherehe, misiba na mijumuiko mbalimbali.

“Nampenda Wema kama dada yangu na yeye ananipenda vile vile, nimekuwa nikihudhuria kwenye shughuli mbali mbali ambazo zinamhusu, nilishiriki vema katika msiba wa baba yake na sherehe zake mbalimbali,” alisema.

Lulu na Wema ni wasanii waliokumbwa na changamoto nyingi katika maisha yao ya sanaa, lakini wameweza kuendeleza umaarufu wao hadi sasa na wamejizolea idadi kubwa ya mashabiki.

Wakenya na Watanzania ni Kati Mahujaji Waliofariki Huko Mecca Baada ya Kukanyagana Wakati Wakirusha Mawe Kumpiga Shetani

0
0
Mahujaji watatu kutoka Kenya ni miongoni mwa watu 717 waliofariki baada ya mkanyagano kutokea karibu na mji wa Mecca, Saudi Arabia, afisa wa serikali ya Kenya amesema.
Bw Washington Oloo, afisa wa wizara ya mashauri ya kigeni anayehusika na masuala ya Wakenya wanaoishi ng’ambo amesema Mkenya mwingine mmoja aliumia na amelazwa hospitalini. Mahujaji wanane bado hawajulikani waliko.

Nchini Tanzania kiongozi mmoja wa Kiislamu nchini humo amesema wamethibitisha kuwa raia wanne wa Tanzania walifariki katika mkasa huo uliotokea Alhamisi.
"Nimepokea taarifa za majeruhi miongoni mwa mahujaji wetu wa Tanzania na baadhi ya majeruhi nimeonana nao mara baada yao kuruhusiwa kuondoka hospitalini,” amesema mufti wa Tanzania Sheikh Abu Bakari Zuberi aliye Mecca, kupitia taarifa aliyoituma kwa vyombo vya habari.
"Katika kipindi hiki cha taharuki kubwa, tunafanya mawasiliano na wizara husika hapa Saudi Arabia."
Alisema maafisa wa Saudia bado wanaendelea kutambua uraia wa waliofariki.
Mkanyagano ulitokea eneo la Mina mahujaji walipokuwa wakielekea kwenye nguzo za Jamaraat.

Mahujaji husafiri kila mwaka hadi Mina wakati wa kuhiji kurusha mawe saba kwenye nguzo saba zijulikanazo kama Jamarat, ambazo huwakilisha shetani.
Nguzo hizo zimo katika eneo ambalo inaaminika Nabii Ibrahim alijaribiwa na shetani.
Idara ya ulinzi wa raia Saudi Arabia imesema mkanyagano huo ulitokea pale kulipotokea "ongezeko la ghafla" la watu waliokuwa wakielekea kwenye kwenye nguzo hizo.
Waziri wa afya wa Saudi Arabia Khaled al-Falih amesema mkanyagano huo ulitokea kwa sababu mahujaji walikosa kufuata maagizo.
"Wengi wa mahujaji huenda bila kufuata ratiba iliyowekwa," amesema.

Mtikila Ampa Makavu Lowassa.....Asema ni Mgonjwa na Tapeli. Adai Watanzania Wanaugonjwa wa Unyani na Viongozi wa CHADEMA ni Wavuta Bangi

0
0
Mwenyekiti  wa  Chama  cha DP,Mchungaji Christopher Mtikila ,leo  asubuhi  alikuwa Live  Star Tv  katika  kipindi  cha Tuongee  Asubuhi  ambapo  ameongelea  mambo  mbalimbali  kama;
  1. Dhana ya ufisadi na aina za viongozi tunaohitaji kuwapatia Ikulu
  2. Umuhimu wa afya bora kwa wagombea uraisi
  3. Ahadi  za  CCM  na  CHADEMA  Kutoa  elimu  ya  bure
  4. Mapungufu  Ya  Edward Lowassa.
  5. Tafiti zilizofanywa na SYNOVATE  pamoja na TWAWEZA juu ya nani ana nafasi ya kushinda uraisi
Hapo  chini  kuna  video  za  maongezi  yake  ambazo  utapata  nafasi  ya  kuzisikiliza, lakini  kabla  ya  video  hizo, haya  ni  baadhi  ya  mambo  aliyoyaongea  Mtikila.

1-Sababu iliyofanya ngombea mwenza wake kutotokea ni dharura ya ugonjwa iliyompata mkewe huko Zanzibar na amesema Jumaatatu yake alienda ofisi za tume kufuatilia akaambiwa mwenyekiti Jaji Lubuva hajafika ofisini anaumwa hivyo akawaambia naye jaji Lubuva kwa kushindwa kuhudhuria ofisini kwa sababu ileile naye akatwe.

Amesema amepeleka kesi mahakama kuu na wiki ijayo ndio inatolewa uamuzi.

2. Mtikila amesema kafungua mashtaka kuzuia Lowasa kuendelea kugombea urais kwa hoja ya afya yake akijenga hoja kwamba muajiriwa yoyote lazima apime afya yake hivyo lowasa anakosa sifa hiyo ya kupewa nchi.

3. Amesema watanzania tunaumwa epidomia, mwenyewe kauita  niunyani, yaani tukipewa kanga kofia viroba tunashabikia tu.
 
4. Amesema wanachama na viongozi wa chadema bangi na gongo kwao ni kama sakrament.

5.Amesema Lowasa ni tapeli kwa  kuwa  alitudanganya anaenda kutununulia mvua.

6. Alipoulizwa nani anamuona anaweza kuibadili Tanzania kati ya Lowasa na Magufuli alijibu magufuli ndio sahihi japo ana mapungufu yake lkn zaidi yake yeye ndio anafaa.

Hapo  chini  kuna Video za Maongezi Yake

Video  ya  kwanza: Mchungaji Christopher Mtikila akinadi sera za chama chake


Video ya Pili: Mchungaji Christopher Mtikila akizungumzia tafiti zilizofanywa na SYNOVATE pamoja na TWAWEZA juu ya nani ana nafasi ya kushinda uraisi katika uchaguzi mkuu.


Video ya Tatu: Mchungaji Christopher Mtikila akimkataa Lowassa kwa madai kuwa ana mapungufu mengi yaliyowazi hivyo hamuungi mkono.


Video ya Nne:Mchungaji Mtikila awachambua wagombea uraisi wa CCM na Chadema na ahadi zao za kutoa elimu bure kama vipaumbele vyao. 

Video ya 5: Mchungaji Mtikila Azungumzia Afya kwa Mgombea Uraisi 



Video ya 6:Mwenyekiti wa DP Mchungaji Christopher Mtikila akizungumzia dhana ya ufisadi na aina za viongozi tunaohitaji kuwapatia Ikulu.
Viewing all 104417 articles
Browse latest View live




Latest Images