Quantcast
Channel: UDAKU SPECIAL
Viewing all 104771 articles
Browse latest View live

MREMBO Tunda Atangaza Kuwa Ndani ya Mapenzi na Mwanamuziki Young D...Adai Ndoa Soon

$
0
0
Video Queen Tunda Sabasita hivi karibuni ameweka wazi uhusiano wake wa kimapenzi na mwanamuziki David Genze ‘Young D’ ambapo amesema Mungu akipenda ndoa yao itafungwa soon.

Akiongea na Ijumaa, Tunda alisema kuwa ni kweli yuko katika kisiwa cha mapenzi na mwanamuziki huyo na kuweka wazi hisia zake kuwa anampenda sana na kumthamini tofauti na watu wanavyo muongelea.

Ni kweli niko na D na ninampenda sana, Mungu akipenda tutakuwa mwili mmoja soon kwa sababu nimempima na kuona ndio mwanaume mwenye nafasi kubwa kwenye moyo wangu,”alisema Tunda.
GPL

Kaburi la Balali Kufukuliwa Baada ya Mabishano Kuhusu Kifo Chake

$
0
0
HII mpya! Kuna madai kwamba, kaburi la aliyekuwa Gavana wa Benki Kuu ya Tanzania (BoT), marehemu Daudi Timoth Ballali lililopo Makaburi ya Gate of Haeven (Geti la Mbinguni) Eneo Na. 6, Ploti Na. 241, Safu Na. 17 huko Maryland nchini Marekani lipo mbioni kufukuliwa ili kuwezesha vipimo vya vinasaba (DNA) kutumika kwa lengo la kubaini ukweli wa kifo chake, Ijumaa limeelezwa.
Aliyekuwa Gavana wa Benki Kuu ya Tanzania (BoT), marehemu Daudi Timoth Ballali
Gharama ya jumla ya kuwepo kwa kaburi hilo ambalo safu yake imepewa jina la Jesus In The Temple (Yesu Hekaluni) ni Dola za Marekani 4,800 (zaidi ya Sh. milioni 9 za Tanzania).
Kwa mujibu wa ndugu mmoja wa Ballali aishiye Bongo, familia inaona ni vema kutimizwa kwa ombi hilo kwa vile manenomaneno kuhusu ‘Ballali kafa au hajafa?’ hayajawahi kufunga breki tangu tangazo la kifo chake, Mei, mwaka 2008.

TWENDE PAMOJA
“Nadhani sisi familia hatuna umoja. Wengine waoga, wengine majasiri. Lakini kwa sababu hata sisi hatukuwahi kwenda Marekani kumzika ndugu yetu (Ballali), hivyo ili na sisi tuwe na amani na kujua moja, tumetoa wito kwa serikali ya Tanzania kuwasiliana na Marekani kwa lengo la kulifukua kaburi lake na kuutoa mwili.
Edward Lowassa.
“Hilo ni moja. Pili, mwili huo upimwe DNA ili kubaini kama aliyezikwa ni Ballali? Hili zoezi halitatusaidia sisi tu kama familia, lakini hata serikali yenyewe itakuwa na faida maana maneno yamekuwa mengi sana. Tumeshaandaa utaratibu wa kuonana na serikali kwa ajili ya kupanga hili,” alisema ndugu huyo akisisitiza kusitiriwa kwa jina lake.
BALLALI FEKI AUMIZA KICHWA
Ndugu huyo aliendelea kusema kuwa, tangu kifo cha Ballali, Mei, mwaka huo, Desemba posti ya kwanza ya mtu aliyejiita Ballali ilitupiwa kwenye mitandao ya kijamii akisema amekumbuka nyumbani Tanzania.
“Tangu wakati huo, mtu huyo amekuwa akitupia maneno ya kushutumu kwamba yeye amefariki dunia. Hata vyombo vya habari vya Tanzania vilipotembelea Marekani mwaka jana na kuthibitisha kifo cha mchumi huyo kwa kuliona kaburi lake, mtu huyo alisema anavishangaa vyombo hivyo kwa vile yeye yu hai.“Ndiyo maana tunataka kaburi kufukuliwa, mwili utolewe na kufanyiwa vipimo mara moja ili kuondoa utata huu,” alidai ndugu huyo.
WATOTO WA BALLALI KUTUA BONGO
Benard Membe.
Ndugu huyo alizidi kuweka bayana kuwa, habari alizonazo ni kwamba, watoto wawili wa marehemu ambao alizaa na mwanamke, raia wa Marekani wapo kwenye mchakato wa kutua Bongo wakati wowote kwa mambo mawili makuu.
“Nasikia wanakuja. Lakini lengo la ujio wao ni kusema wanachokifahamu kuhusu kifo cha baba yao. Sasa sijajua watasema alifariki dunia au hajafariki dunia! Hiyo ni siri yao nzito, ipo mioyoni mwao.

“Lakini nijuavyo mimi kilio kikubwa cha hawa watoto mwaka ule wa tangazo la kifo kilikuwa ni kukosa kuiona sura ya baba yao wakati wa kuuaga mwili mpaka unaingizwa kaburini kwa mazishi.
“Kingine wanafuatilia hisa. Baba yao aliweka hisa kiasi cha shilingi bilioni 3 kwenye kampuni moja ya bia Tanzania. Sasa kutokana na kusuasua kwa maelezo yasiyonyooka kuhusu faida na hasara za hisa zile, ndiyo maana wanakuja. Nasikia tayari wana mwanasheria kwa ajili ya kupata haki yao hiyo,” kilimalizia chanzo hicho.
LOWASSA AOMBWA KUMLETA BALLALI

Katika Kampeni za Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 25, mwaka huu, mgombea wa urais kwa ‘leseni’ ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kupitia mwavuli wa Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), Edward Lowassa amekuwa akiombwa na wapiga kura wake kumleta Ballali mara tu atakapoingia ikulu, jambo ambalo alikubaliana nalo.
Lakini naye Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Bernard Membe ameibuka na kuonesha kushangazwa na suala hilo kwani anachokijua kama waziri mwenye dhamana ni kwamba Ballali alifariki dunia mwaka 2008
Source:Global Publishers

LUNGI Amlipua Agness Masogange..Adai Ana Umbo Zuri Lakini Ameshindwa Kulitumia Kiasi cha Kumtelekeza Mtoto Wake na Hata Gari Zuri Hana

$
0
0
MSANII wa siku nyingi kwenye anga la filamu Bongo, Lungi Maulanga amemlipua Video Queen, Agnes Gerald ‘Masogange’ kwamba hajui kutumia umbo lake vizuri ndiyo maana amemtelekeza mwanaye.Akipiga stori na Ijumaa, Lungi alidai Masogange amemwacha mwanaye kwa shangazi yake huku malezi yake yakiwa duni wakati yeye akijiachia kimjini.

Masogange ananichefua kwa kuwa amemtelekeza mwanaye, mimi nina watoto watatu na ninahakikisha wanasoma shule nzuri sasa yeye huyo mtoto mmoja tu anamshinda, anamsomesha shule za kayumba, inakuja kweli hiyo?
“Halafu Mungu amemjalia kuwa na umbo zuri, sasa angekuwa analitumia vizuri angeshindwa kumlea mwanaye katika mazingira mazuri mpaka akamwache kwa shangazi wake. Mbaya zaidi hata gari zuri hana, sasa umbo lake linamsaidia nini?” alisema Lungi.

Baada ya paparazi wetu kumsomea mashtaka Masogange, mrembo huyo alisema: “Mwanangu nilimpeleka kwa baba yake, kama ingekuwa nimemwacha kwa marafiki au sehemu nyingine hapo ningeambiwa nimemtelekeza, kuhusu mafanikio yangu siwezi kutangaza kwamba nina hiki au kile.

Gari ni kitu cha kawaida sana, kitu cha maana ni nyumba sasa siwezi kuanika mambo yangu. Kuhusu umbo zuri huyo dada alitaka nijiuze? Siwezi kufanya biashara chafu mimi.”

By Gladness Mallya na Hamida Hassan/Globla Publishers

KULINDA KURA: Wakili Peter Kibatala Afungua Kesi Mahakama Kuu

$
0
0
Tayari wakili jembe na nguli Peter Kibatala akiambatana na wanasheria nguli wa Ukawa Prof Safari, Mallya na Tundu Lissu asubuhi ya leo amefungua kesi mahakama kuu kuishitaki NEC kwa ukiukwaji wa sheria juu ya wananchi kukaa mita mia mbili na kulinda kura.

Kesi imefunguliwa under certificate of urgency nadhani kama sijakosea kwa kiswahili ni 'hati ya dharura' ili isikilizwe na tafsiri itoke kabla ya uchaguzi.Tayari jalada lishapelekwa kwa pilato na wanasheria nguli wa Ukawa wamejipanga kwa hoja za nguvu na ushahidi wa kutosha.

Pia jopo la wanasheria nguli wa UKAWA wameiomba mahakama kuu ya Tanzania kutoa tafsiri ya kisheria juu ya matamshi ya rais wa nchi kuwa alitumia mamlaka gani kuvaa kazi za tume.

By Amilyroley/Jamii Forums

Dr. John Pombe Magufuli na Dr. Ali Mohamed Shein wapokelewa kwa kishindo Pemba

$
0
0



Mgombea Urais wa Tanzania kutoka Chama cha Mapinduzi CCM Dr. John Pombe Magufuli pamoja na Mgombea Urais wa Zanzibar Kutoka Chama Cha Mapinduzi CCM Dr. Ali Mohamed Shein wakiwa.

This Is Where PROSTITUT3S Sell S3X In Broad-Daylight, You May Be Shocked (VIDEO)

$
0
0

Prostitution is mostly done in darkness when night falls but in Zimbabwe’s Capital, Harare, prost!tut3s sell their flesh in broad-daylight without fear of being arrested or photographed.

While Nairobi and Dar es Salaam prostitutes are busy advertising their goodies to men at night in dark corners, these girls in Zimbabwe do it in broad-daylight.

Just watch the video below and see prostitutes negotiating with clients’ along busy roads.

Jerry Silaa Athibitisha Kifo cha Baba yake Capt Silaa na Mhe.Deo Filikunjombe Kwenye Ajali ya Helkopta ya CCM iliyoanguka Jana

$
0
0
Jerrysilaa:
"Kwa masikitiko makubwa nimepokea taarifa rasmi kutoka kwa timu ya uokoaji imefanikiwa kufika eneo la ajiali na kukuta abiria wote na rubani wamepoteza maisha.
Nimepoteza Baba na rubani mzuri wa nchi yetu Capt.William Silaa,nimepoteza rafiki na kiongozi wangu Mhe.Deo Filikunjombe. Nawapa pole wote waliopoteza ndugu zao. Nawaombea marehemu mapumziko ya Amani.
Nawashukuru wote walioshirikiana na familia kusaidia uokozi.
Namshukuru Mhe.Rais Jakaya M Kikwete, Dr.John Pombe Magufuli, IGP Ernest Mangu, Katibu Mkuu MU Dr.Meru, Kampuni ya Everest Aviation ,Wabunge, MaDC, Maafisa wa TCAA na wote walioshiriki kuwatafuta wahanga wa tukio hili.
Tutajuzana taarifa na mipango mingine"

January Makamba Asema Haya Baada ya Taarifa Rasmi za Kifo cha Rafiki yake Filikunjombe Kwa Ajali ya Helkopta Kutolewa

$
0
0
Mjumbe wa kamati ya kampeni ya CCM, ambaye pia ni Naibu Waziri wa Wizara ya Sayansi, Teknolojia na Mawasiliano, January Makamba ametweet kuhusu taarifa hizo.

"Nimetoka kupokea taarifa inayothibitisha kwamba chopa aliyokuwa amekodi Ndugu yetu Filikunjombe imeanguka na watu wote wamefariki"

"Siku mbili zilizopita niliongea kwa kirefu na Deo kuhusu mikakati. Nimepoteza rafiki na ndugu. Mungu amrehemu na pole kwa familia za wafiwa"


Picha: ''Kufuru'' ya Magufuli katika uwanja wa Mnazi Mmoja, Zanzibar

$
0
0

Hii imetokea jioni ya leo katika viwanja vya Mnazi mmoja,Zanzibar katika safari yake ya kuwaomba Watanzania wamchague kuwa Rais wa Tanzania.

Magufuli amewakikishia wananchi wa Zanzibar atahakikisha anaulinda Muungano bila kutetereka.

Magufuli amesema yeye ni mpole sana lakini hana mchezo katika kusimamia sheria na taratibu za nchi.

''Mimi siyo mwanasiasa mzuri sana lakini vilevile sipendi mwananchi yoyote kuonewa au kupuuzwa''. alisema.

Dk. Magufuli amemalizia kwa kusema ‘’Natoa pole kwa Mh.Jerry Silaa kwa kuondokewa na baba yake mzazi Capt.William Silaa. Mungu awape familia moyo wa subira na uvumilivu’’

‘’Mungu pia awape ndugu, marafiki na jamaa moyo wenye subira na heri kwa kuondokewa na Deo Filikujom

Maneno Ya Lowassa Namna Alivyopokea Kifo Cha Filikunjombe

$
0
0
Ni taarifa ya kushtusha sana ya msiba wa mwanasiasa chipukizi na jasiri, Deo Filikonjombe kutokana na ajali ya Helikopta jana jioni maeneo ya mbunga ya Selous mkoani Morogoro.
Ni pigo lingine kubwa ambalo katika kipindi kifupi Taifa limepata, huku bado likiwa na kidonda cha kuondokewa na wana siasa wengine mahiri,Marehemu Celina Kombani, Dr Abdallah Kigoda na Dr Emanuel Makaidi aliyefariki jana
Filikonjombe alikuwa Mbunge mahiri aliyesimama imara kutetea maslahi ya wananchi wa jimbo lake la Ludewa na watanzania kwa ujumla.

Alikuwa mwiba kwa serikali ya Chama chake CCM kutetea maslahi ya nchi, mfano ni katika kashfa ya Escrow ambapo alikuwa Makamu Mwenyekiti wa kamati iliyochunguza kashfa hiyo.
Mwenyezimungu awape moyo wa subira, familia, jamaa, marafiki na wananchi wa Ludewa, katika kipindi hiki kigumu cha kuondokewa na mpendwa wao.
BWANA AMETOA, BWANA AMETWAA JINA LAKE LIHIMIDIWE.
-Edward Ngoyai Lowassa

Picha za Awali Toka Nyumbani kwa Mbunge Deo Filikunjombe, Pia Huu Ndio Mjengo Aliouacha

$
0
0

Mke wa marehemu Deogratias Filikunjombe, Sarah Filikunjombe (kushoto) akilia kwa uchungu baada ya kupata tarifa za kifo cha mumewe.filikunjombe
Ndugu, jamaa na marafiki wakionekana wenye huzuni nyumbani kwa Deogratias Filikunjombe.filikunjombe (3)
Nyumbani kwa Deogratias Filikunjombe Mbagala Kijichi, Dar es Salaam.silaa
Capt. William Silaa enzi za uhai wake.chopa
Filikunjombe akiwaaga wananchi wake.

Mbunge wa Ludewa Mhe. Deogratias Haule Filikunjombe amefariki dunia katia ajali ya Chopa katika hifadhi ya wanyama ya Selous, pamoja na rubani Kepteni William Silaa mfanyakazi wa Halmashauri ya Wilaya ya Ludewa.

Wengine waliofariki kwenye ajali hiyo ni Vitalis Blanka haule na Ofisa Tawala wa Wilaya ya Tarime, Bw. Egdi Mkwera ambaye alikuwa mtaalam wa mifugo.

Picha hapo chini ni Chopa iliyosababsha kifo cha Filikunjombe, Capt. William Silaa na watu wengine wawili.
  chopa 2

P-Square na Fally Ipupa Walitamani Kuwachukua Dancers wa Diamond

$
0
0
Dancers wa P-Square pamoja na msanii mkubwa wa nchini Congo, Fally Ipupa walijaribu kumshawishi Diamond ili wafanye kazi ya pamoja na dancers wake.

Akizungumza na Bongo5 jana mmoja wa dancers hao, Imma Platnumz, alisema hali hiyo ya kufuatwa na dancers wa P-Square inaonyesha kazi wanayoifanya inakubalika.

Tulikuwa tupo Nigeria tunafanya show, dancers wa P-Square wakataka kufanya kazi na sisi,” amesema. “Wakamfuta Diamond lakini Diamond akakataa kwa sababu walikuwa wanataka tujoin halafu tufanye show pamoja kitu ambacho hakiwezekani,” ameongeza.

“Pia tulikutana na Fally Ipupa, aliomba kufanya show na sisi lakini management imeshindwa kutuachia kwa sababu tuna kazi zetu binafsi.”

Huyu Ndo Mke wa Marehemu Mbunge Deo Filikunjombe Aliyefariki Kwenye Ajali ya Helkopta ya CCM

$
0
0

Huyu Ndo Mke wa Marehemu Mbunge Deo Filikunjombe Aliyefariki Kwenye Ajali ya Helkopta ya CCM


Mwanamuziki ALI KIBA Atoa Wimbo Mpya..Usikilize Hapa Unaitwa Maumivu..

$
0
0
Huu ni wimbo mpya wa msanii Ali Kiba ambao umevuja unaitwa “Maumivu” Producer: Manecky Usikilize Hapa Chini:

Habari Zilizopo Katika Magazeti ya leo Jumamosi ya Oktoba 17

$
0
0
Habari Zilizopo Katika Magazeti ya leo Jumamosi ya Oktoba 17


Picha Za Mabaki Ya Chopa Iliyopoteza Uhai wa Mbunge Deo Filikunjombe

$
0
0
Mwili wa Deo Filikunjombe ukitolewa Eneo la tukio baada ya kuteketea kwa Moto kufuatia ajali ya helkopta.

Waliofariki mbali ya Filikunjombe wengine ni Mwenyekiti wa TLP Mkoa wa Iringa Blanka Francis Haule ,Egdi Francis Nkwela na rubani wa helkopta hiyo Wiliam  Slaa.

Miili yote imepelekwa jijini Dar esalaa kutoka katikati ya mbuga ya Selou kitalu R3 .

Mwili wa Filikunjombe utaagwa leo jumamosi jijini  Dar na kusafirishwa kwenda Ludewa kwa mazishi yatakayofanyika jumapili .

Mkuu wa Majeshi Jenaral Davis Mwamunyange Arejea Nchini Mzima wa Afya..Baada ya Tetesi za Kulishwa Sumu

$
0
0
Sakata la Mkuu wa majeshi lililotikisa Mitandao Mbalimbali hapa nchini kuhusu afya yake hatimaye Mkuu huyo wa Majeshi amerejea Nchini kutoka kwenye ziara ya Kikazi nje ya Nchi,Mkuu huyo wa Majeshi hakuoneka Hadharani kwa Muda mrefu ndipo zikaanza taarifa za kulishwa chakula chenye Sumu.Taarifa kuhusu kurejuea kwake nimekuwekea hapa

Tunduma: Watu wakesha uwanjani wakimsubiri Rais wao, Hata baada ya kupigwa Mabomu wamegoma kuondoka

$
0
0
Hii ndiyo Tunduma bwana, Baada ya kusikia kwamba Lowassa, kipenzi na kiongozi wa Mabadiriko hapa Nchini atakuwepo hapa Tunduma leo hii mnamo kuanzia saa tisa alasiri, Wananchi wamekesha uwanja wa MAGEUZI (Zamani uwanja wa Dr Slaa) Shule ya Msingi Tunduma.

Polisi baada ya kusikia kwamba kunawatu wanakesha uwanjani, wakaenda kuwatawanya kwa Mabomu bila mafanikio, baadaye Viongozi wa Chadema wakaenda kuongea na Polisi na hatimaye wakafikia muafaka. hivyo kuwaruhusu watu kuendelea kukesha mpaka leo Asubuhi.

Kipande cha Barabara toka Kisimani mpaka Kanisani Roma, Kimepigwa Deki kinang'aa na kumeremeta kanakwamba ni Almasi mpya toka Dukani. Wafanyabiashara wanajiandaa kufunga Maduka yao ili kuhudhuria Mkutano huu wa Kihistoria ambao haujawahi kufanyika tangu Nchi yetu ipate Uhuru.

Uwanja wa Mageuzi unaonekana ni Mdogo, Kamati ya siasa ya Chadema inatakiwa kufika mapema ili kuwapanga watu ili kuzuia yale ya Tanga na Mwanza (Mungu Epushia mbali)

Kiufupi mji wa Tunduma Umezizima.

BACK TANGANYIKA

Lowassa Asababisha Timua Timua ITV, Baada ya Video Akiwa Dhaifu Wakati wa Kufanya Tangazo Kuvuja

$
0
0
Hali ni tete ndani ya kituo cha ITV kufuatia kuvuja kwa video zinazomuonyesha mgombea wa Chadema Edward Lowassa akiwa kwenye hali ya udhoofu.

Mtoa taarifa ambaye ni mtangazaji wa ITV anasema, mmiliki wa kituo hicho Reginald Mengi baada ya kulalamikiwa na Lowassa juu ya video hizo ambazo zimesambaa kwenye mitandao ya kijamii, alitaka wote waliohusika kwenye utayarishaji wake wawajibike.

Anasema uandaaji wa matangazo hayo ya Lowassa ambayo yameanza kurushwa na ITV, yalichukua muda mrefu kuyaandaa ambapo Lowassa kutokana na hali yake ilimlazimu kurudia kila mara na wakati mwingine alionekana kushindwa kuongea na kukohoa sana.

Video hizo ambazo alishindwa kuongea ndo zimesambazwa na kumkera Lowassa na kukosa imani na ITV kituo ambacho inaelezwa alianza kukilalamikia kwa kupunguza habari za mikutano yake.

Mtoa taarifa anasema tayari baadhi ya watendaji wamesimamishwa kazi kwa kitendo cha kusambaza video zinazomdhalilisha Lowassa na kuonyesha udhaifu wake ambao Chadema wanajitahidi kuuficha.

Chanzo: By Naface Kutoka : Jamii Forums

Tunduma ni Noma Haijawahi Kutokea..Wafanya Biashara Wafunga Maduka yao na Kukimbilia Kumuona Lowassa

$
0
0

Tunduma ni Noma Haijawahi Kutokea..Wafanya Biashara Wafunga Maduka yao na Kukimbilia Kumuona Lowassa
Viewing all 104771 articles
Browse latest View live




Latest Images