Quantcast
Channel: UDAKU SPECIAL
Viewing all 104776 articles
Browse latest View live

JE Umeweka Picha ya Mtoto wako Facebook? ....Polisi Waonya Wazazi Wanaoweka Picha za Watoto Facebook

$
0
0
Polisi nchini Ujerumani wameonya wazazi dhidi ya kuweka picha za watoto wao hadharani katika mtandao wa kijamii wa Facebook.
Katika ujumbe kwenye ukurasa wao wa Facebook, polisi wa eneo la Hagen wametahadharisha wazazi kuwa picha hizo zinaweza kunakiliwa au kubadilishwa na kutumiwa vibaya na watu wanaovutiwa kimapenzi na watoto.
Aidha, watoto wahusika huenda wasipendezwe na picha hizo kuwa wazi mitandaoni watakapokomaa na kuwa watu wazima.
Wazazi wameshauriwa kuhakikisha kuwa picha hizo, ikilazimu, zinatazamwa na marafiki zao pekee na si kila mtu mtandaoni.

Ushauri huo wa polisi hao umeenezwa sana mtandaoni na kuvutia hisia mseto.
Afisa msemaji wa Polisi wa Hagen ameiambia BBC kwamba walishangazwa na jinsi ujumbe huo wa tahadhari ulivyopokelewa.
Amesema wanakadiria kuwa umesomwa na watu zaidi ya milioni 12.
"Tunataka kuwaambia watumiaji wote wa mitandao ya kijamii kwamba ni muhimu kuwa makini na kila kitu wanafanya kwenye mtandao," amesema Hanki Ulrich .
"Ni bora kufikiria mara mbili - mtandao hausahau kamwe "

Bw Hanki ameongeza kuwa ujumbe huo haujaongozwa na matukio yoyote mapya ya kesi za uhalifu au watu wanaovutiwa na watoto kimapenzi huko Hagen.
Picha zilizobadilishwa

Shirika la kujitolea linalohusika na ulinzi wa watoto NSPCC katika taarifa yao wamesema: " Wazazi wote wanapaswa kujisikia huru na kufurahia kuchukua picha za watoto wao na kushirikiana nao na marafiki na familia. Hata hivyo, tunapaswa wote kuwa makini wakati wa kuziweka picha hizo mitandaoni.
"Tunajua kwamba wahalifu wa ngono wana uwezo wa kubadilisha picha za watu wasiokuwa na hatia, na maendeleo katika programu za kuhariri picha zimefanya hili kuwa rahisi sana.
" Hivyo kama wazazi watachapisha picha za watoto wao kwenye mitandao, wanapaswa kuchukua hatua ili kuhakikisha kwamba wanachunguza hali yao ya faragha na kuhakikisha wanaridhishwa na watu watakaotazama picha hizo."

Shirika hilo limeongeza kuwa iwapo wazazi wana wasiwasi kuwa picha ya mtoto wao imeanguka mikononi mwa watu wabaya, wanapaswa kuwasiliana na Internet Watch Foundation, Child Exploitation na Online Protection Centre (Ceop) au kuwasililiana na NSPCC kupitia numbari ya msaada ya simu ya 0808 800 5000 ambapo watapokeza usaidizi.

Waziri Mkuu Mizengo Pinda Awapigia Magoti Watanzania..Adai Wamsamehe Kwa Matamshi Aliyoyatoa Wakati Akiwa Kiongozi

$
0
0
Waziri Mkuu Mizengo Pinda, jana alitumia Ibada ya Shukrani iliyofanyika katika Parokia ya Hananasifu, Jimbo Kuu Katoliki la Dar es Salaam, kumshukuru Mungu kwa kumwezesha kulitumikia Taifa kwa zaidi ya miaka 15 na kuwaomba Watanzania wamsamehe kwa matamshi aliyoyatoa akiwa kiongozi, huenda yaliwakwaza baadhi yao.

Pinda ambaye amekuwa Waziri Mkuu kwa miaka minane na miezi tisa, Waziri kwa miaka miwili na nusu na Naibu Waziri kwa miaka mitano, alisema anasikia fahari kumaliza uongozi wake kwa furaha na amani.

Moja ya kauli tata zilizowahi kutolewa na kiongozi huyo iliyozua sintofahamu ni ile ya Juni 29, 2013 katika ukumbi wa Bunge mjini Dodoma alipoviagiza vyombo vya dola kuwashughulikia kwa kuwapiga wale watakaokataa kutii amri wakati wakifanya vitendo vya uvunjifu wa amani.
Kauli nyingine tata ni ile ya mwaka 2009 baada ya kuwaeleza wanaoua watu wenye ulemavu wa ngozi (albino) pamoja na vikongwe hawana budi kuuawa kwa kuwa wakisubiri mahakama kuwahukumu, watakuwa wanakosea.

Katika ibada hii ya shukrani, nimemuomba Mungu anisamehe kwa matamshi niliyoyatoa nikiwa kiongozi yanaweza kuwa yaliwaudhi watu bila mimi kujua. 
“Uwaziri Mkuu ni kazi ngumu yenye changamoto nyingi. Nitakuwa mtu wa ajabu nisipomshukuru Mungu kwa uongozi wake katika kipindi chote hicho tangu nikiwa naibu waziri hadi kuteuliwa kuwa Waziri Mkuu,” alisema.

Pinda alisema katika utumishi wake kwa umma amejifunza mambo mengi lakini kikubwa zaidi ni kujua jinsi ya kuishi na watu.
Katika hatua nyingine, Abate Thadei Mhagama wa Abasia ya Hanga, aliwataka waumini nchini wazidishe maombi kwa kufunga na kuomba kwa siku sita zilizobaki kabla ya kufanyika kwa Uchaguzi Mkuu.

Ninawaomba waumini wote tuzidishe sala ili nchi iendelee kuwa na amani na upendo, tumwombe Mungu pia atuwezeshe kupata viongozi aliowandaa kwa yeye kwa maana ya rais, wabunge na madiwani,” alisema Mhagama.
Alisema uchaguzi wa mwaka huu ni wa aina yake kwani demokrasia imekuwa miongoni mwa Watanzania.

Sote ni mashahidi, tumeona kwenye mikutano kila mgombea akija sote tunajaa huko. Hii ni kwa sababu hatujui yupi ni yupi, ndiyo maana nasisitiza kuwa tumuombe Mungu atuletee yule ambaye amemuandaa yeye,” alisisitiza.
Naye Mwenyekiti wa Halmashauri ya Baraza la Walei katika parokia hiyo, Arbogasti Warioba alisema:

“Sote tunatambua kuwa kazi aliyoifanya Waziri Mkuu Pinda ilikuwa ngumu, misafara ilikuwa ni mingi na wakati mwingine ilikuwa ya mwendo mkali, lakini Mungu alimtetea na kumlinda hadi leo yuko salama.

  "Tunakushukuru pia kwa ushirikiano ulioendelea kutuonyesha wakati ukiwa madarakani na tunakuombea uendelee kuwa na ucha Mungu katika maisha yako ya uraiani.”

Source: Mpekuzi blog

Mama Lowassa Atoa Kichapo Ukumbini baada ya Kushikwa PABAYA na Mlevi

$
0
0

Watu  wanatabia  Mbaya. Mama  wa  watu  kaingia  vizuri  ukumbukini, Njemba  ikampalamia  na  'kumshika  pabaya'

Uvumilivu  ukamshinda  mama Lowassa  na  kujibu  mapigo.

Kuona  video  hiyo:

Mwigulu Nchemba Amshambulia Lowassa Kuhusu Afya Yake.....Adai Mwalimu Nyerere Angekuwepo Angetapika Kwa Hoja Finyu za Chadema

$
0
0
Mjumbe wa kamati ya ushindi ya CCM Ndugu.Mwingulu Nchemba,akizungumza na wananchi katika moja ya mikutano ya kampeni inayoendelea.

Akiwa mkoani Mbeya wilaya ya Ileje amewaasa watanzania kutunza kadi za kupigia kura,na kujitokeza kwenda kupiga kura,na Kumchangua Mgombea Urais kupitia CCM Dr John Magufuli.

Mwigulu  Amemponda  Lowassa  akidai  ni  mtu  mgonjwa  ambaye  hawezi  kushika  hata  Maiki( kipaza  sauti)  huku  akihoji  itakuwaje  siku  akuhudhuria  mikutano  ya  kimataifa?

Msikilize Mwingulu akizungumza.

Masogange Masogange Anaswa Live Na Midume Miwili Hotelini...Wote Awapiga Mabusu Moto Moto

$
0
0
Muuza nyago maarufu Bongo, Agnes Gerald Waya ‘Masogange’.
Hamida Hassan na Gladness Mallya
AIBU jamani! Muuza nyago maarufu Bongo, Agnes Gerald Waya ‘Masogange’ ametia aibu baada ya kunaswa laivu hotelini akifanya yake na wanaume wawili tofauti, Ijumaa Wikienda linaripoti.
Kwa mujibu wa chanzo cha karibu na Masogange, tukio hilo lilijiri katika Hoteli ya Lamada iliyopo Mbezi-Beach jijini Dar hivi karibuni baada ya mrembo huyo kutua Bongo akitokea nchini Afrika Kusini ‘Sauz’ kwenye makao yake yasiyo wazi.
IMG-20151016-WA0024
Akiwa na mmoja kati ya midume hiyo.
Katika picha za tukio hilo, Masogange, akiwa kwenye vazi moja na kwa nyakati tofauti, alikuwa akijiachia kimahaba na wanaume hao, mmoja akitajwa kuwa ni raia wa Uganda.
“Yaani unaambiwa Masogange alikuwa na wanaume hao wawili tofauti bila kujali ataelewekaje… da! Jamani hawa dada zetu nao,” kilisema chanzo hicho.
IMG-20151016-WA0023
Baada ya kubwagiwa ‘ubuyu’ huo na picha kutufikia, wanahabari wetu walimwendea hewani Masogange ili atolee ufafanuzi tukio hilo lakini hakupokea simu.
Hata hivyo, waandishi wetu hawakukata tamaa, walimtumia ujumbe mfupi kwa njia ya simu lakini pia hakujibu.
Source:Global Publishers

Hii Ndio Inaweza Kuwa Sababu kubwa CCM Kushindwa Vibaya Uchaguzi

$
0
0
Alipoulizwa anafikiri kwanini McCain alishindwa na Obama 2008, mshauri wake akajibu, "Our campaign turned tactical rather than strategic. We focused more on why Obama should not be president, but much less on why McCain should be." -Wall Street Journal.

(Najaribu kuwaza kuwa CCM itashindwa vibaya not because Magufuli hafai, bt because wametumia muda mwingi kutuekeza kwa nini Lowassa hafai badala ya kutuambia kwa nini Magufuli anafaa).

The same happened kwa Rais Buhari.... Jonathan na Chama chake walikuwa busy kumsema na kumchimba Buhari (Mara mgonjwa, atakufa, ni Mzee, ni mfadhili wa Boko Haram) badala ya kuwaeleza wananchi ni nini watafanya...

Kwa kuwa zimebaki siku 5. Hakuna miujiza yanayoweza kutokea, CCM ijiandae kupata pigo takatifu..

Wapinzani wajiandae Kisaikolojia Kushindwa…TAKWIMU hazidanganyi.

$
0
0
Kwa namna ya hali ya kampeni inavyoendelea, ni wazi kuwa Mgombea wa Chama Cha Mapinduzi Dr John Pombe Magufuli ni Rais wa awamu ya tano wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania anayesubiri kuapishwa..

TAKWIMU zifuatazo zinaweka bayana ukweli huo;

- Mgombea wa CCM ndugu John Pombe Magufuli ameshatembea Kilometa 44, 467 katika majimbo 241 ndani ya mikoa 30, ambapo ametumia gari na boti wakati Mgombea wa Ukawa ametembea Kilometa zisizodizi 3,000 kwa gari, ametembelea majimbo 137 yaliyo kwenye mikoa 25.

- Jumla ya mikutano rasmi ya hadhara ni 252 na mikutano midogo ya kusalimia njiani zaidi ya 896 ndio ambayo ameshahutubia Dr John Pombe Magufuli, ukilinganisha na Mgombea wa UKAWA ambae amehutubia Mikutano Mikubwa 102 tu tangu kuanza kwa kampeni na idadi ya mikutano isiyo rasmi ambayo haipo kwenye ratiba ya kusalimia wananchi ni michache sana kwa sababu mgombea huyu anatumia Chopa, hivyo kukosa fursa ya kusalimia wananchi vijijini.

- Ndugu John Pombe Magufuli ameshahutubia kwa masaa takriban 306 sawa na wastani wa 45min - 1hour kwa kila mkutano mkubwa wa hadhara wakati mgombea wa UKAWA amehutubia kwa masaa 26 sawa na dakika 8.93 - 12 kwa kila mkutano.

- Dr Magufuli amekadiriwa kuwafikia wananchi zaidi ya milioni 12 ana kwa ana na takriban Milioni 36 kwa njia za Mawasiliano ya Radio, Magazeti, TV na mitandao ya kijamii..wakati mgombea wa UKAWA amewafikia wananchi wasiozidi milioni 5 ana kwa ana katika Mikutano ya hadhara michache aliyoifanya na amewafikia wananchi wasiozidi milioni 11 ktk njia za TV, Magazeti, Radio na mitandao ya kijamii ambapo mara zote mikutano ya UKAWA hairushwi live kwenye TV, wala radio.

- CCM ina wanachama zaidi ya milioni 8 nchi nzima, UKAWA wana wanachama milioni 4 nchi mzima…ikiwa wanachama wa CCM wanaoamini ktk LOWASSA watampigia kura, CCM inakadiriwa kupoteza kura laki nane (ingawa historia inatufundisha kuwa wanaccm huwa wagumu sana kumchagua Kada mwenzao pindi akihama Chama, kumbuka Mrema – 1995)…na ikiwa wanachama wanaoamini katika Lipumba, Makaidi, Mtikila, Dr Slaa na Zitto wataamua kuchagua Uadilifu wa Magufuli, CCM inakadiriwa kupata kura zaidi ya Milioni moja na nusu kutoka kwa wanachama wa Upinzani.

- CHAMA…mtandao wa CCM unaofika ngazi ya nyumba kumi za kila mtaa wa Tanzania na mfumo imara wenye mahusiano mazuri na “system” unamuhakikishia Magufuli ushindi ambapo Mfumo dhaifu uliotokana na Ombwe la uongozi ktk Upinzani unaoamini matusi, vurugu, kashfa na kuimarisha Uadui dhidi ya “system” unaharibu na kufuta kabisa hata yale matumaini kidogo ya kupata hata theluthi ya kura kwa Edward Ngoyai Lowassa.

- Voters Behavior, kwa kawaida CCM inapigiwa kura na wanawake zaidi kuliko jinsia nyingine na makundi rika mengine. Wanawake waliojiandikisha ni Milioni 11,950,200 sawa na asilimia 53 ya watu wote waliojiandikisha, idadi hiyo ni milioni mbili zaidi ya wanaume ambao ni Milioni kumi tu, ambapo kwa kundi rika walio chini ya miaka 30 (yaani Vijana) ni milioni 4 tu.

Mnakaribishwa kwa mjadala hasa kwa wale wenye facts

By Juliana Shonza/JF

Helikopta iliyoanguka (na Filikunjombe) ilikuwa ya Kalonzo Musyoka, Former Vice President of Kenya

$
0
0
THE Eurocopter that crashed in Tanzania last week killing four occupants, including the captain and a general election candidate, belongs to former Vice President Kalonzo Musyoka.


The Eurocopter AS 350B3 Ecureuil’s Registration Number is 5Y-DKK5Y-DKK.


It bore the manufacturer's Serial Number 7027 and had been chartered by Tanzania's ruling Chama Cha Mapinduzi for the ongoing election campaigns.


The Eurocopter can carry loads of up to 1,000kg and has a performance ceiling of 20,000 feet.


The helicopter came down last Thursday afternoon in the middle of the Selous Game Reserve en route to the town of Ludewa, in southwest Tanzania.


The pilot, Capt William Silaa, and outspoken parliamentary aspirant Deo Filikunjombe, died in the crash together with members of his campaign team.


Tanzania police confirmed that four people were on board during the accident. Filikunjombe was a CCM candidate.


A search-and-rescue mission dispatched at first light the next morning only discovered the charred remains of the helicopter but no survivors.


According to the Flight Safety Foundation’s online Aviation Safety Network report under the entry “Airplane damage”, the chopper was,“Written off (damaged beyond repair).”


An air accident investigation is underway and debris from the site is being transported to Dar es Salaam to determine the cause of the crash.


The helicopter was among many chartered Kenyan registered aircraft being used by various Tanzanian presidential and parliamentary candidates for their airborne campaigns ahead of the October 25 general election.


Kalonzo bought the executive helicopter after the 2013 general election and has been leasing it out on chartered flight services in and outside the country.


According to online site aircraftcompare.com, a brand new Eurocopter AS350 B3 costs Sh202.8 million or (US$1.95 million). But if you include the cost of assembling it in Kenya, as helicopters are flown in in broken-down parts, it could cost over Sh350 million.


Kalonzo is just one of a growing list of elite Kenyans who own what has become the ultimate symbol for the rich and famous – a personal chopper or plane.


For business or pleasure, aviation is fast becoming the preferred mode of transport for Kenya’s savvy businessmen and top politicians, including those with an eye on the presidency.


Kenya has about 400 privately registered aircraft, owned by the Who Is Who in the business, large-scale farming, corporate and political sectors.


With the battle for the skies among politicians expected to reach new heights ahead of the 2017 polls, even Kenyans living in the farthest corners of the country are more likely to see a helicopter land in their backyard with a dignitary than have them arrive in the four-wheel-drive vehicles that were the status symbols of yesteryear.

Some VIP travellers combine both, hopping from chopper or plane and into motorcades of SUVs.

Besides Kalonzo, other prominent politicians who own aircraft include Baringo Senator Gideon Moi, who has at least three helicopters – two six-seater Eurocopters AS350B2 and a two-seater Schweizer model 300c.

Former Cabinet minister Simeon Nyachae owns a Eurocopter AS350B2 and a Eurocopter AS350B3.


Mbowe Afichua Njama Za CCM Kuiba Kura Usiku wa Tarehe 24

$
0
0
Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe, amesema wamegundua njama za kuiba kura zitakazofanywa na CCM usiku wa tarehe 24 kwa kupita mitaani na kugawa fedha za kura feki.

Mbowe alitoa  kauli  hiyo  jana kwenye mkutano wa kampeni uliofanyika katika Viwanja vya Ruanda Nzovwe vilivyopo jijini Mbeya.

Alisema ili kudhibiti hali hiyo, siku hiyo Ukawa watafanya doria usiku kucha ili kuhakikisha hakuna fedha zinazogawiwa wala kura feki zitakazosambazwa.

Nia ya Ukawa ya kupigania Katiba ya wananchi iko pale pale kwani Serikali ya awamu ya tano itaipigania kadri itakavyowezekana ili kiu ya wananchi juu ya Katiba hiyo ipatikane,” alisema Mbowe.

Alisema pia kwamba, uchaguzi wa mwaka huu ni wa kihistoria kwa kuwa unahusu maisha ya watu, watoto na utajibu maombi ya Watanzania.

Pamoja na hayo, alisema Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), siyo huru  na kwamba wanachama wa Chadema watahakikisha wanalinda kura zao.

Kwa miaka 25 tumepiga kelele tukidai tume huru ya uchaguzi lakini kilio chetu hakikusikika kwa sababu CCM inajua tukiwa na tume huru, haiwezi kubaki madarakani.

“Kama tume yetu siyo huru, tuna wajibu wa ziada wa kulinda kura zetu. sheria inasema huturuhusiwi kusimama wala kukaa chini ya mita 200 kutoka kituoni. Kwa hiyo, ukihesabu mita 200 kutoka kituoni, una uhuru wa kuwa eneo hilo,

Jambo hili limezua hofu ndani ya tume, ndani  ya Serikali, ndani ya CCM na kwa Rais Jakaya Kikwete kwa sababu anasema tukishapiga kura, tukalale. Sasa namwambia Rais Kikwete ushauri huo akawape CCM, sisi hatuutaki,” alisema Mbowe.

Alisema pia kwamba, wanachama wa Chadema na wapenzi wao, hawatafanya fujo bali watakuwa na ujasiri wa kupiga na kulinda kura zao kwa sababu hakuna anayeweza kuzuia mpango wa Mungu kwa kutumia askari au nguvu.

Source:Mpekuzi blog

Don’t Harass And Discriminate GAYs/ LESBIANs – UHURU Kenyatta Tells Kenyans Through CNN.

$
0
0
President Uhuru Kenyatta told Kenyans on Sunday not to harass gays and lesbians because they have equal rights to protection under the law.

In an exclusive interview with CNN, Uhuru asked Kenyans to respect members of the gay and lesbian community and asked the public not to discriminate against them in any way.

"I will not allow people to persecute any individuals, or beat and torture them,” Uhuru said.

When asked on whether he still maintains that gay rights is a non issue to Kenyans, Uhuru referred to a press briefing at State House with US President Barack Obama, who visited in July, saying to Kenyans it was a non-issue " at that point in time"

"We have to understand that these are processes and they take time,” Uhuru said, restating that it is a non-issue for Kenyans, whom he said have more pressing matters to deal with.

"And this is where I am saying we have to get synergies. You are not going to create the US, Great Britain or Netherlands in Kenya, or in Nigeria or Senegal overnight." he said.

He concluded by saying that although gays have rights, majority of Kenyans do not wish to legalise gay rights ‘for now’.

“Whatever society you come from, the principal aim is that you must give the people you know their right to choose,” Uhuru said.


RAILA is Innocent; The Whole World Knows UHURU Fixed RUTO & Wants Him Jailed By ICC

$
0
0
Mombasa Governor, Ali Hassan Joho, has absolved former Prime Minister Raila Odinga from blame over the alleged fixing of Deputy President William Ruto at the International Criminal Court (ICC).

Speaking at a fundraiser in Suna East Sub-County last Friday, Joho, who is also ODM’s Deputy Party Leader, warned President Uhuru Kenyatta’s Jubilee to stop dragging Raila’s name into Ruto’s fixing debate.

He reiterated ODM’s innocence over the case facing Ruto at the ICC saying ODM did not procure or coach witnesses to lie against the Deputy President and neither did Raila Odinga.

Joho advised Ruto to be careful with Uhuru and his people because they are the ones who fixed him and will not rest until he is jailed by The Hague-based court.

He asserted that Uhuru fixed Ruto for political reasons and should be the one to free him not Raila.

“Jubilee leaders should stop dragging ODM and Raila into their power games, suspicion and mistrust. Our party led by Raila has pronounced itself clearly on this matter. Those who fixed DP have been mentioned and confessed openly and Kenyans know them,” said Joho.


The Kenyan DAILY POST


Magufuli Aponda Ahadi Ya Lowassa Kufuta Umasikini Ndani Ya Siku 100......Asisitiza Kuwa Serikali Yake Haitawavumilia Watu Wavivu

$
0
0
Mgombea urais wa CCM, Dk John Magufuli amewataka wananchi kujipanga kufanya kazi kwa sababu Serikali yake haitavumilia watu wavivu.

Akihutubia mkutano wa kampeni katika Uwanja wa Shule ya Msingi Misungwi jana, Dk Magufuli alisema hata vitabu vya dini vimeelekeza kwamba asiyefanya kazi na asile, hivyo wanaoahidi vitu vya bure wanawadanganya Watanzania.

“Tujipange kufanya kazi, hata maandiko ya vitabu vitakatifu yanasema, asiyefanya kazi asile… Misungwi nitaibeba kwa nguvu zangu zote nikichaguliwa,” alisema.

Pia alisema nyumba za tembe ambazo zinaahidiwa na wagombea wenzake kwamba zitaondolewa ndani ya siku 100 ni uongo hivyo wasisikilizwe, bali atakachofanya ni kuhakikisha bei ya vifaa vya ujenzi inapungua na ameanza na saruji.

Alisema anatambua kuwa wilaya hiyo inakabiliwa na tatizo la maji na kuwaahidi wananchi kulishughulikia na wasimsumbue mbunge wao na kwamba anapoahidi kutoa Sh50 milioni kila kijiji nchini watu wanamshangaa lakini Serikali ina fedha, nyingine zilikuwa zinatafunwa na mafisadi.

“...Ndiyo maana baada ya kusikia nimetangazwa mengine yakakimbia… hivi sasa wanasema Serikali haijafanya chochote wakati wengine wamezeekea humu mpaka wakang’oka meno na kuwekewa ya bandia, mbona hawakuondoka muda wote?” alihoji Dk Magufuli.

Mgombea huyo huku akichomeka lugha ya Kisukuma kila mara, alisema ujenzi wa barabara ya Usagara – Kisema ukikamilika, malori yatakuwa hayaruhusiwi kuingia katikati ya mjini wa Mwanza. Aliahidi kufufua viwanda vya kuchambua pamba ili kuleta mabadiliko ya kweli.

Dk Magufuli aliahidi kufufua kilimo cha pamba kwa kuhakikisha mkulima anapata pembejeo na kunufaika na zao hilo na kwamba, haiwezekani pamba ilimwe Tanzania Ulaya wavae nguo mpya halafu Watanzania waletewe mitumba.

Hata hivyo, mgombea huyo akiendelea kutoa ahadi sauti za wanawake zilisikika zikimtaka kuzungumzia samaki kazi ambayo ndiyo wanayoitegemea kiuchumi, hivyo akalazimika kutamka kuwa atafuta ushuru unaoonekana kuwa kero.

“Nitafufua Chuo cha Kilimo Ukiriguru na kutumia wataalamu wake kuboresha kilimo cha pamba,” alisema.

Mgombea ubunge Jimbo la Misungwi, Charles Kitwanga alisema kuna sifa ya Dk Magufuli ambayo haijatajwa nayo ni ubunifu, kwani alianzisha mfuko wa kujenga barabara kwa fedha za ndani hali iliyowashangaza wafadhili.

“Hizi barabara tunazotaja kama siyo yeye zisingekuwapo, mnakumbuka wafadhili walikuwa wanakataa kutukopesha, akaanzisha mfuko wa kujenga barabara mpaka wafadhili wanauliza fedha zitakapopatikana, akawaambia tunazo,” alisema.

Kitwanga alimwomba mgombea huyo kuwajengea hospitali ya wilaya na kiwanda cha kusindika nyanya, zao linalolimwa kwa wingi.
Mpekuzi blog

NORA: Niliingia Vitani na Johari, Kisa Mapenzi!

$
0
0
KUTOKA moyoni! Bila kumtaja mwanaume husika, mwigizaji wa kitambo Bongo, Nuru Nassoro ‘Nora’amekiri kuwahi kuingia vitani na staa mwenzake, Blandina Chagula ‘Johari’ kisa kikiwa ni kugombeapenzi la mwanaume mmoja maarufu jijini Dar (jina ni siri yake).

Katika mahojiano maalum na gazeti hili, Nora alifunguka kuwa hali hiyo ilitokana na maisha ya usichana yaliyochangiwa na umaarufu na umri.

“Huyo mwanaume alikuja kwa lengo la kunitaka lakini nikawa nahisi kama Johari na baadhi ya rafiki zake walitaka kuninyang’anya, nikaamua kumvaa Johari,” alisema Nora ambaye kwa muda mrefu alikuwa haivi na Johari.

Chanzo:GPL

Mke wangu Kapewa Nini na CCM? Mbona Hataki Kumsikia Lowassa na Ukawa?

$
0
0
Nimetumia mpaka vitisho vya talaka lakini yeye ni Magufuli na Mama Bona wa Segerea.
Nimejaribu kuchunguza lakini cha ajabu ata kwenye mikutano ya kampeni haendi, yeye ni dukani kwake asbh Mpaka jioni. Ata TV na habari hana mpango nayo.
Mbaya zaidi kawabadirisha mpaka wadogo zangu wamehamia ccm.
Kura 7za ukawa nyumbani kwangu zimepeperuka kama vumbi na ninaziona hizo zinaenda ccm.
Kikatio chake na vya wadogo zangu wamevificha ukweni.
Swali ni jee.
CCM imempa nini mke wangu jamani.

Mke Wangu Kawa Mtaalam Kitandani Ghafla, Ina Maana Gani?

$
0
0
Wapendwa shalom,

Napenda kuwauliza kuwa kama siku zote wakati wa unyumba mke hakua akijua kukata mauno, kama tunafanya anakua amelala tu haangaiki, sasa ghafla anaanza kuonyesha ujuzi, kuna usalama hapo kweli?

Mfano haya mambo ya kunyonya nyeti, anabinuka ktk namna ambayo unashindwa hata kuelewa amefaham vipi

Pia hii mikao ya kidunia hatukua tunafanya, anataka moja tu ya mama chini, baba juu, sasa ndie ananielekeza mm hizo za kishetani ambazo tulishazikataa kitambo kwa ushauri wa mama mchungaji.

Nilikua na wasi wasi isije ikawa ameamua kunilipizia kisasi ameenda amefundishwa na jitu lingine huko nje!

Kuna pahala mtu anaweza kujifunza haya matendo bila kufanya?

CCM Kuzuia Wanafunzi Wa Vyuo Wanaosafirishwa Kupiga Kura

$
0
0
Chama cha Mapinduzi (CCM) mkoa wa Dodoma kimesema kuwa kimejipanga kuhakikisha wananchi ambao sio wakazi wa maeneo husika mkoani humo hawashiriki kuwachagua viongozi wasiowahusu.
Katibu Msaidizi wa CCM Mkoa wa Dodoma, Othman Dunga aliyasema hayo hivi karibuni alipoongea na waandishi wa habari mkoani humo, ambapo alieleza kuwa wanafunzi wa vyuo vikuu mbalimbali waliojiandikisha katika mkoa huo lakini hawaishi maeneo hayo hawataruhusiwa kupiga kura kuwachagua wabunge na madiwani.

“Zipo taarifa kwenye mitandao ya kijamii kwamba Ukawa wameanzisha utaratibu wa kukodi magari kwa ajili ya kuwaleta wanafunzi ambao wamejiandisha hapa kwa ajili ya kupiga kura. Huu ni ushahidi tosha kwamba sio wakazi wa Dodoma,” alisema Dunga.

“CCM tumejipanga kuhakikisha hawapigi kura za kiongozi asiyewahusu, mawakala wetu watakabidhiwa orodha ya wakazi na wataisimamia hiyo,” Dunga ananukuliwa.
Kulikuwepo na taarifa zisizo rasmi kuwa kuna ‘wasamalia wema’ ambao wamejitolea kuhakikisha wanafunzi wa vyuo vikuu waliojiandikisha katika daftari la wapiga kura wakati wakiwa vyuoni na sasa wako majumbani, wanarudi katika maeneo waliyoandikishwa ili wapige kura. Kwa mujibu wa Dunga, huenda wanafunzi hao wakaambulia kupiga kura kumchagua rais pekee katika eneo walilojiandikishia walipokuwa wanasoma vyuoni hapo.

CHANZO: DAR 24

LOWASSA: Najisikia Kudeka Ninapoyaona MAFURIKO Haya.........Nipeni Kura Za Kutosha Niwatumikie ila Msisahau Kulinda Kura Zenu

$
0
0
Mgombea urais wa Chadema, Edward Lowassa amesema amejiandaa na yupo tayari kuwaongoza Watanzania akiwa rais wa awamu ya tano.
 
Akizungumza kwenye Uwanja wa Ruanda Nzovwe- Mbeya Mjini, Lowassa alisema: “Ninatosha, nitumeni kwa kura zenu… nipeni kura za kutosha niwatumikie.”
 
Lowassa ambaye alisema anasikia deko kutokana na wingi wa watu, alisema misamaha ya kodi kwa sasa ni Sh1.6 trilioni na kwamba atahitaji Sh1.3 trilioni kati ya hizo kwa ajili ya elimu itakayolipiwa na serikali kuanzia chekechea hadi chuo kikuu.

Pia, aliendelea kuwasisitizia wananchi, umuhimu wa kulinda kura zao baada ya kupiga hadi kitakapoeleweka.

Wana Mbeya, kuna rafiki yangu aliniambia umeshinda, mwingine akasema huwezi kushinda kwa sababu wataiba kura. Mimi nasema nipeni kura nyingi hata wakiiba zitoshe, kaeni kituoni mpaka kieleweke, huu  ni mwaka wa kuitoa CCM madarakani,” alisema Lowassa.

Lowassa aliueleza umma huo, kwamba kuna watu wanapita mitaani kutoa rushwa na kununua shahada za kura, lakini wasiwe na hofu nao.

Wakikupa hizo hela, kula, akikupa laki tano, mwambie akupe milioni moja, akishakupa na akaendelea kukusumbua, mwambie asikusumbue hizo ni pesa za Lowassa.

Mimi nataka mnitume nikawafanyie kazi, sina mchezo, nitaunda Serikali itakayofanya kazi kwa spidi ya 120 kwa saa,” alisema Lowassa.

Here’s The LADY Who Burnt Her Hubby’s Car After Catching Him Having S3X With His Mchepuko (PICs)

$
0
0

There was drama over the weekend after a woman caught her husband cheating on her with his mpango wa kando in Rongai.

Apparently, the woman had been trailing her cheating husband the whole day after getting a tip off from friends that her hubby had been spotted at 1824 Club along Lang’ata Road with his clandestine lover.

After learning that her husband had decided to sleep over at his clande’s house in Rongai, she stormed the place breathing fire and burnt her husband’s car to ashes.

See what remained of the Toyota Allion (new shape) after it was burnt;



Imagine This is Someone’s Daughter, Only God Will Save The Youth (PHOTO)

Rais PAUL KAGAME Atoa Dongo Kwa Jakaya Kikwete Kuhusu Uchaguzi Ujao Oct 25 Oct

$
0
0
Nimependa maneno ya Paul Kagame ameongea ukweli na siyeye tu bali ni jamii yote ya kimataifa wanasubiria huu uchaguzi kwa hamu maana sisi tumekuwa wakwanza kuwanyoshea wenzetu vidole utadhani sisi ni makaika!Haya sasa mpira huko kwetu kupiga penati je tutapaisha au tutalenga goli???

Viewing all 104776 articles
Browse latest View live




Latest Images