Quantcast
Channel: UDAKU SPECIAL
Viewing all 104689 articles
Browse latest View live

GUESS WHO SHE IS MISSING.....


NCHA KALI AMWANDIKIA DINA MARIOS UJUMBE MZITO BAADA YA KUMZALIA MTOTO

$
0
0
Wow Nice Message to Dina I like it

DIVA WA CLOUDS APEWA MAKAVU LIVE KUHUSU "MATAKO YA BANDIA".

$
0
0
Diva Loveness Love apewa maneno mazito na matusi kutoka kwa mashabiki wanaomfatilia katika kazi zake za hapa na pale. katika kauli hiyo shabiki huyo alifunguka na kumjadili Diva vya kutosha...Embu jisomee mwenyewe hapo chini maana kafungukajeeeee!!!

BORA NIUZE BIKRA YANGU KULIKO NIITOE BURE HALAFU BAADAE NI JUTE

$
0
0
Watu wamekuwa waongo sana , Utasikia ooohh mi ntakuoa ukinipa, siku akishapa tu anachokitaka anakula kona, Marafiki zangu wote zao zimeshatolewa ukiwauliza walio watoa hata hawajulikani walipo..Wamewatenda na kusepa ...Mie bora tu niuze yangu Bei poa kabisaa laki tano za kibongo..hayo ni maneno ya Msichana mmoja kutoka Kenya Alivyoandika kwenye Facebook page yake!! 
Je Wewe Unaonaje Yupo Sawa kwa Hilo?

LUPITA NYONG’O HAS FINALLY FOUND LOVE IN HOLLYWOOD

$
0
0
According to international news outlets, Kenya’s Hollywood actress, Lupita Nyong’o, seems to have found love in actor, Jared Leto. After posing for photos on the red carpet recently, the couple was caught by paparazzi having intimate moments in New York.

Check them out;

AINA 10 ZA WANAUME KATIKA MAHUSIANO YA MAPENZI AU NDOA

$
0
0
TUCHATI KIDOGO HAPA: Jibu kutokana na jinsia yako

WANAUME: Wewe upo namba ngapi kati ya hizi 10?
WANAWAKE: Ungependa mme/mpenzi wako awe namba ngapi?

MB DOG"NILIWAHI KULIPWA MIL 10 KWA KUFANYA SHOW MOJA YA MUZIKI MSIFIKIRI DIAMOND NDIO WA KWANZA:

$
0
0
Kama ulifikiri bongo fleva ilianza kulipa mamilioni miaka ya akina Diamond Platinumz, Ommy Dimpoz na wengine, nikimaanisha kuanzia mwaka ya 2010, kwa leo inabidi ubadili mawazo yako.

“Lakini uzuri wakati mimi naanza kufanya, kazi zilifanyika na misingi za ile kazi zilikuwa zimekaa tofauti na watu wanavyosikia. Kwa hiyo uoga hata wa mapromota ulikuwepo wakati wanatusogelea. Kwa hiyo hatukuwa tunalipwa laki tatu viiile.” Mbwana Mohammed aka MB Dog ameiambia tovuti ya Times Fm.

Huenda inawezekana ulikuwa hujui kwa sababu wakongwe waliokuwa wanahit enzi hizo hawakuwa na tabia ya kuweka wazi kiasi wanacholipwa kama wanavyofanya wakali wa bongo flava wa kizazi hiki cha dijiti.

Mkali huyo wa ‘Latifa’ ameiambia tovuti ya Times Fm kuwa alikuwa anakutana na milioni kadhaa kwenye show zake, na kwamba kiasi kikubwa zaidi alichowahi kulipwa kilikuwa shilingi milioni kumi nchini Burundi.

“Yaani mimi show ya kwanza nimeanza kuifanya nimelipwa milioni tatu, show ya mwisho mimi kuifanya nimelipwa milioni kumi...ambayo ndiyo ilikuwa show ya maajabu yaani...kwa ubongo wangu  nawaza naweza kufanya show tena ya watu wengi kama wale!! Nadhani ilikuwa mwaka 2006.” Amesema MB Dog na kusisitiza, “milioni kumi za kitanzania”.

Kumbe Bongo Flava ilianza kulipa zamani japo kwa wachache! Na huenda ni kwa sababu tu watu walikuwa hawaweki wazi wanachoingiza.

Hapa tumpigie picha Mr. Nice wa enzi hizo kwa kutumia mfano wa MB Dog.

Kama kweli mambo yalikuwa hivi, inaweza kuwa moja kati ya sababu zilizozaa wazo kati ya wakongwe Juma Nature na Lady Jay Dee kutaka Leo iwe ‘Kama Jana’.

MBOWE ALIVYO ZIMA VURUGU BUNGE LA KATIBA, KURA ZARUDIWA KUHESABIWA

$
0
0
MWENYEKITI wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema),Freeman Mbowe ameonyesha ukomavu mkubwa katika uongozi na masuala ya siasa baada ya kufanikiwa kumwongoza Mwenyekiti wa Bunge maalum la kumtafuta Mwenyekiti wa muda wa Bunge hilo.
Mwenyekiti wa Bunge hilo Oliva Luena alikubwa na wakati mgumu wa kuliongoza bunge hilo, lenye wajumbe zaidi ya 548,katika mchakato wa kumtafuta mwenyekiti wa muda,hali ilikuwa tete ndani ya ukumbi huo wa bunge baada ya kura kuharibika kutokana wajumbe zaidi 45 kuongezeka, badala ya wajumbe 548 waliokuwepo wakati wa zoezi la kupiga kura.

Hatua hiyo ilimlazimu Mwenyekiti huyo kuamuru zoezi la upigaji kura urudiwe,huku baadhi ya wajumbe wa bunge hilo maalum wakipinga hatua hiyo kwa madai kwamba itapoteza muda na pengine wakaja kurudia tena zoezi hilo.

Wajumbe hao waliokuwa wakizungumza bila kufuata utaratibu, huku wakishindwa kumsikiliza Mwenyekiti wao Luena kutokana na kile walichodai kwamba kura zilizozidi ziondolewe,huku wengine wakidai kwamba kila mjumbe ahesabiwe kwa mtindo wa namba moja hadi mwisho yaani kila mmoja asema namba moja hadi wa mwisho.

Hata hivyo hali hiyo ilimfanya Mbowe asimame na kuzungumza kwa hekma na busara huku akimtaka Mwenyekiti huyo kufuata ushauri wake, ambapo alisema kwamba,  "Mwenyekiti naomba utumie hekma kurudia zoezi la kura kupigwa upya", kauli ambayo ilipingwa na baadhi ya wajumbe.

Mbali na kupingwa vikali na baadhi ya wajumbe waliokuwa ndani ya ukumbi huo wa bunge, huku mjumbe mmoja akizungumza ovyo na kusema kwamba kila mmoja asimame nyuma ya mgombea anayempenda ndipo wahesabiwe.

Wajumbe hao pia hawakuzingatia hata heshma ya kiti aliyokalia mwenyekiti Oliva Luena kuwapa nafasi, Mbowe bado hakutaka kutumia jazba badala yake akaendelea kusisitiza kwa kauli ya upole,hekma na busara kumuomba mwenyekiti huyo kukubali ushauri wake wa kura kudiwa.

Mbowe alisema,"Mwenyekiti mimi nina mambo matatu ya kukushauri katika zoezi hili, moja milango yote ifungwe ili watu wasiokuwepo huku ndani wasiingie kuvuruga uchaguzi huu,pili wajumbe wote wakae chini,tatu karatasi za kupigia kura,zigawiwe kwa kila mjumbe kwa kupelekewa kwenye kiti chache, kwani kwakufanya hivi tutakuwa tumekwepa historia mbaya ya kura kurudiwa ndani ya nchi hii".Hatimaye Mwenyekiti wa bunge la mpito Oliva Luena alikubaliana na ushauri huo na kuamuru zoezi la upigaji kura urudiwe. Wagombea waliokuwa wakipigiwa kura ni pamoja na Pandu Ameir Kificho ,Magdalena Lubangila,Professa Coaster Rick 

MH KIFICHO MWENYEKITI WA BUNGE LA KATIBA

$
0
0
Mheshimiwa Pandu Amir Kificho ameshinda nafasi ya Mwenyekiti wa muda wa Bunge la Katiba baada ya kupata kura 393 sawa na 69.19% ya kura 558 zilizopigwa na kuwaacha kwa mbali Costa Mahalu na Magdalena Rwebangira ambao wamepata kura 84 kila mmoja ambazo ni sawa na 14.79%


Kura saba ziliharibika

VICK KAMATA:UTAJIRI HUU UNAHITAJI MAELEZO YA ZIADA

$
0
0
WANAWAKE na maendeleo, tufanye kazi, tusonge mbele, yelele…yelele… Hii sehemu ya mashairi ya wimbo wa staa wa muziki wa kizazi kipya na Mbunge wa Viti Maalum (UVCCM), Geita, Vicky Kamata anayetajwa kuwa na utajiri balaa. Vicky amepata mafanikio makubwa ambayo kila mwanamke Tanzania angependa kuyapata.

KABLA YA SIASA, KABLA YA BONGO FLEVA Kabla ya siasa aliishi maisha ya dhiki ambayo hakutegemea kama angekuja kupata mafanikio makubwa. Ni miongoni mwa Watanzania waliozaliwa katika familia duni. Katika kutafuta ‘kutoka’ kimaisha, Vicky amewahi kuwa mwanamuziki wa Bongo Fleva na kutunga nyimbo mbalimbali, wimbo wa Wanawake na Maendeleo ndiyo uliomtambulisha zaidi katika jamii. “Nimezaliwa kwenye familia duni, nimeishi maisha ya dhiki sana, mbali na muziki, nimewahi kuwa mwalimu wa shule ya msingi kule Moshi (Kilimanjaro) katika harakati za kusaka maisha, baadaye nilikwenda Morogoro. “Kila kitu kinabadilika kama ukimwamini Mungu,” alisema Vicky mwenye watoto wawili, Revocatus na Glory (jina la baba halikutajwa).

MAFANIKIO YAANZA Mwaka 2006, Vicky alifanikiwa kuajiriwa na Benki Kuu ya Tanzania (BoT) akiwa ni afisa uhusiano. Mwaka 2010, Vicky alifanikiwa kuwa mbunge wa viti maalum akiuwakilisha Mkoa wa Geita. 

MJENGO WA GHOROFA MBILI Akiwa mbunge, Mheshimiwa Vicky ameingia kwenye orodha ya wanawake mabilionea nchini kwa kuangusha mjengo wa kifahari wa ghorofa mbili Sinza jijini Dar es Salaam wenye thamani ya shilingi bilioni moja na milioni mia nne. Ndani ya ghorofa hilo kuna bwawa la kisasa la kuogelea ‘swimming pool’ ambalo linatumiwa na familia yake. 

MAGARI YAKE SASA Kama walivyo matajiri wengine, mheshimiwa huyo anamiliki magari manne ya kifahari, yote yakiwa na thamani ya shilingi milioni 261. Ana Toyota Voxy- Noah ambalo alilitoa sokoni kwa shilingi milioni 16. Kamata pia anamiliki BMW X5 likiwa na thamani ya shilingi milioni 130. Mara nyingi anapokwenda bungeni, Vicky hutembelea gari linalomudu mikiki ya barabarani, Toyota Land Cruiser ‘VX’ ambalo lina thamani ya shilingi milioni 90. Pia mwanamama huyo ana gari aina ya Toyota Altezza alilolinunua kwa shilingi milioni 25. 

ANAMILIKI MGODI WA DHAHABU Wakati hayo yakiwa wazi, chanzo makini kilidai kuwa, mheshimiwa huyo amenunua mgodi wa dhahabu Geita, jambo ambalo ni sehemu kubwa ya mafanikio yake. “Vicky amenunua mgodi wa dhahabu Geita, mimi ni mtu wangu wa karibu, hapendi kusema mafanikio yake wala watu wajue lakini ukweli ndiyo huo. Eneo ni kubwa, muda si mrefu uchimbaji utaanza,” kilisema chanzo cha habari.

ANA SHAMBA LA EKARI 157 Utajiri wa mheshimiwa huyo unaendelea kuanikwa kuwa, ni pamoja na shamba lenye ekari 150, Kisarawe, Mkoa wa Pwani. Pia ana shamba la miti Kibamba, Dar lenye ekari 7. NI MFUGAJI Mbali na mambo mengine, Vicky ni mfugaji kama ilivyo asili ya Wasukuma. Anafuga ndege aina ya kanga, kuku wa kisasa na mbuzi.

ANASOMESHA WATOTO WASIOJIWEZA Katika mambo ambayo huenda yanachangia kuchota baraka, mheshimiwa Vicky anawalipia ada ya sekondari watoto yatima, walemavu na wasiojiweza kimaisha, idadi yao ikifikia 75.

KIPATO CHAKE KIKOJE?

Dodoso zinaonesha kwamba, kwa kazi ya uheshimiwa, kwa mwezi anaingiza shilingi milioni 15 ukijumlisha posho zote za ubunge, ujumbe wa kamati ya bunge na mshahara. 

AMFUNIKA ANNE MAKINDA Uchunguzi uliofanywa na gazeti hili umebaini kuwa, jumba la kifahari la Vicky Kamata linalifunika lile la bosi wake ambaye ni spika wa bunge, mheshimiwa Anne Makinda. Yeye nyumba yake ipo Kijitonyama.

ULINZI NYUMBANI KWAKE USIPIME Uwazi lilipata bahati ya kufika nyumbani kwa Vicky na kukumbana na ulinzi wa mitambo ya kisasa ya kuzuia wezi na majambazi kwa saa 24. Ili mgeni aingie ndani ya geti huhojiwa na walinzi kwa dakika zisizopungua kumi.

HI NDIYO CCM INAYOWATETEA MASIKINI NA WAKULIMA NAWANYONGE.

LOWASSA NA WENZAKE SITA WAPEWA ONYO KALI NA CCM

$
0
0
Press Conference ya CCM imefanywa na Nape saa 8.... Issue ni kwamba wale vigogo 6 wa CCM wamepewa onyo kali, karipio na kwa maana hiyo watakuwa chini ya uangalizi maalumu kwa miezi 12 kuanzia jana kutogombea nafasi yoyote ya uongozi ndani ya CCM... Lowassa, Ngeleja, Membe, Wasira, Januari, Sumaye... Uwezekano wa kugombea nafasi ya urais yaota mbawa?

MAFISADI SABA WALIOFICHA FEDHA NCHI ZAA NJE WATAJWA

$
0
0
Seven Tanzanians have about $40 million (TSh64 billion) stashed in offshore accounts in British Virgin Islands and Jersey, The Citizen can reveal today.

The revelation comes in the wake of reports that the committee set up by the Tanzanian government to trace the owners of the $196.87 million allegedly kept in Swiss banks has failed to come up with adequate evidence.

According to leaked offshore data obtained by the UK’s Guardian newspaper in collaboration with the International Consortium for Investigative Journalists (ICJ) and analysed by over 110 journalists worldwide, seven Tanzanians operate offshore accounts.

The ICIJ’s exploration of offshore secrets began when a computer hard drive packed with corporate data arrived in the post. Gerard Ryle, the ICIJ’s director, obtained the small black box as a result of his three-year investigation of Australia’s Firepower scandal, a case involving offshore havens and corporate fraud.

The hard drive contained more than 260 gigabytes, the equivalent of half a million books. Its files included two million emails and four large databases. There were details of more than 122,000 offshore companies or trusts, and nearly 12,000 intermediaries (agents or “introducers”).

Unlike the smaller cache of US cables and war logs passed in 2010 to WikiLeaks, the offshore data was not structured or clean, but an unsorted collation of internal memos and instructions, official documents, emails, databases and spreadsheets, scanned passports and accounting ledgers.

The leaked data, also seen by [private daily] The Citizen, could shed light on how the offshore account holders operate to avoid being detected by relevant authorities.

The Citizen understands that there are legitimate uses for offshore companies and trusts. This being the case, the revelation of Tanzanians operating offshore accounts does not intend to suggest or imply that the individuals have broken the law or obtained their billions illegally.

According to the leaked data the seven individuals, listed as officers and master clients, all have addresses in Dar es Salaam.

They are Mr Andre Schmid, Mr Kaniz Mehbub Manji, Mr Mehbub Yusufali Manji, Mr Rameshchandra Chotalal Somani, Mr Stuart Hugh Macdonald and Mr C Rameshchandra Somani.

It is not clear whether these Tanzanians acted as underlying officers in offshore banking or are the real owners of the billions wired into their accounts in Virgin Islands.

CHADEMA WATOA SIKU TATU KWA RAIS KIKWETE KUFUTA KAULI YAKE

$
0
0
Rais Jakaya Kikwete ametakiwa kufuta kauli yake ya kuwataka wana CCM kuacha unyonge na kujibu mapigo dhidi ya upinzani na ametakiwa kuomba radhi ndani ya siku tatu, vinginevyo suala hilo litafikishwa jumuiya za kimataifa.

Rais Kikwete alitoa kauli hiyo wakati wa kufunga Mkutano wa Halmashauri Kuu ya chama hicho Mjini Dodoma mwishoni mwa wiki iliyopita, ambapo Chadema wanaitafsiri kama kielelezo cha kuvuruga amani ndani ya nchi.

Kwa majibu CCM kupitia Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM, Nape Nnauye alisema kamwe hawatafanya hivyo.

“Kauli aliyoitoa Rais Kikwete ni ndogo na kutokana na vitendo vinavyofanywa na viongozi na wanachama wa Chadema kuvuruga amani nchini,” alisema na kuongeza kuwa dawa ya moto ni moto.

Mkurugenzi wa Mafunzo na Operesheni wa Chadema, Benson Kigaila alisema kuwa Rais Kikwete anatakiwa kufuta alichokizungumza ndani ya siku tatu kuanzia jana, vinginevyo watalifikisha suala hilo mbele ya jumuiya ya kimataifa kama sehemu ya malalamiko yao.

Alisema kuwa Rais Kikwete ni Amiri Jeshi Mkuu, na alihoji kwanini awatake WanaCCM kujibu mapigo dhidi ya wapinzani badala ya kuacha hatua za kisheria zikafuatwa kwa kutumia vyombo husika ambavyo ni polisi na majeshi na mahakama.

BABY MADAHA AAMUA KUACHA MZIKI NA FILAMU..SKENDO NA PRESHA ZIMEMCHOSHA

$
0
0


Baby Madaha Amehabrisha kuwa Ameamua kuacha fani ya mziki na ya Uigizaji kwa kila anachosema kuwa kuna maisha ya Presha , kila unalofanya linaandikwa mitandaoni na magazetini , Amesema kuwa kibao chake cha mwishi kinachoitwa MR DJ ndio kitakuwa cha mwisho yeye kufanya katika music...Amesema anatarajia kurudi katika fani aliyosomea Darasani....
Mweee Utaweza?
Udaku Specially Blog

LINAH SANGA NA SKENDO YA UJA UZITO WA MUHINDI AKA MDOSI

$
0
0
Habari ya Mjini leo kutoka katika Gazeti Moja Linasema Linah Sanga Amedungwa Ujauzito na Mdosi mmoja Ajulikanae kwa Jina Nagar Aneye Ishi Mbezi , amekuwa karibu na Mhindi huyo anayedaiwa kuishi Mbezi jijini Dar es Salaam kwa muda mrefu sasa na kwamba mimba hiyo imeonekana kumfurahisha sana msanii huyo.

“Huyu Nagar ni mpenzi wake wa muda mrefu na inaonekana hii mimba ameipenda sana. Kila siku anamsifu huyo mpenzi wake,” kilisema chanzo hicho kilichodai kuwa wawili hao wamekuwa wakiambatana pamoja katika sehemu mbalimbali za starehe...

Linah Alitafutwa ili Kujibu Habari Njema Hiyo lakini Alikataa kutoa Ufafanuzi zaidi kuhusu Hilo...
Udaku Specially Blog


JUMA NATURE AKANUSHA UVUMI KUWA KAMPONDA DIAMOND KWENYE WIMBO WAKE MPYA

$
0
0
Hatimaye Juma Nature, amezungumzia utata ulioibuka kwenye wimbo wake mpya Kama Jana, unaohusiana na kama kweli amemdiss Diamond.
Akiongea na kipindi cha Showtime Next Chapter, Juma Nature aka Kiroboto amesema jina la ‘Dada Mondi’ lililofanya wengi waamini kuwa ni version yake ya Diamond, ni jina la msanii mwingine kabisa. “Hamna diss ya kumdiss Diamond, Diamond hajadisiwa,” amesema Nature. “Pale katajwa mtu mwingine kabisa anaitwa Dada Mondi na anakaa mitaa ya kwetu. Bado hajatoka halafu anataka sifa.”

OMMY DIMPOZ AMPIGA KIJEMBE KIKALI DIAMOND KUPITIA TWITTER

$
0
0
Diamond Platnumz ali-tweet kupitia ukurasa wake wa Twitter kuhusu mambo ya mapenzi na mahusiano …
In between, Ommy Dimpoz jumped in… This is too far hilarious … Ha ha ha …
Ni kweli haya yanatokea??!!
Check them tweets hapa chini : 


LINDA BEZUIDENHOUT MASHALAAAH MTOTO GUU GUU (PHOTOS)

HUDDAH MONROE ATUPIA PICHA ZENYE UTATA KWENYE MTANDAO...MMHH JIONEE

$
0
0
Jamani huyu Dada Noma Jionee Hapa ...


NANI WAMEIBA BILION SH 480 BILIONI HAZINA?

$
0
0
Tangu gazeti dada la The Citizen lichapishe mwishoni mwa wiki habari za upotevu wa Sh480 bilioni katika Wizara ya Fedha, Serikali imekaa kimya kama vile wizi huo ni tukio la kawaida, hivyo halihitaji maelezo ya kina wala ya haraka. Wananchi walitegemea kwamba Serikali ingetoa kauli haraka iwezekanavyo kuhusu mazingira ya upotevu huo na hatua inazochukua kuwawajibisha wahusika.

Tunasema kiasi hicho cha fedha zilizoibwa ni kikubwa kwa sababu ni zaidi ya bajeti ya mwaka kwa baadhi ya wizara, zikiwamo wizara kubwa kama ya Uchukuzi ambayo katika mwaka wa fedha wa 2013/14, kwa mfano ilitengewa Sh491 bilioni.

Tunaambiwa Sh480 bilioni zilizopotea katika Wizara ya Fedha zinaweza kujenga kilomita 375 za barabara kwa kiwango cha lami ikiwa ni urefu wa kutoka Dar es Salaam hadi Gairo, kilomita chache kutoka Dodoma. Tujiulize kiasi hicho cha fedha kingeweza kugharamia madawati, zahanati na madarasa mangapi kwa ajili ya wagonjwa na wanafunzi wetu.

Pamoja na ukimya wa Serikali kuhusu wizi huo, tumetiwa moyo na hatua ya Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Fedha za Serikali (PAC), ambayo imemtaka Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Fedha za Serikali (CAG), Ludovick Utouh kuchunguza upotevu huo wa kiasi hicho kikubwa cha fedha ambacho kilitumika pasipo maelezo katika kipindi cha miaka miwili ya fedha cha 2012/13 na 2013/14.

Wasiwasi wa kamati hiyo ni kwamba kuna uwezekano mkubwa wa kuwapo kwa mtandao mkubwa wa wizi wa fedha za Serikali katika Wizara ya Fedha. Jambo hilo limethibitishwa na vitendo vya wizi wa kimtandao ambavyo vimekuwa vikifanywa na baadhi ya watumishi wake wakishirikiana na baadhi ya watendaji wa Tamisemi.

Ugumu uliopo hapa ni kwamba haijulikani kama fedha hizo zilizopotea zilitokana na kodi za wananchi au wafadhili ambao walichangia Sh842 bilioni katika bajeti ya mwaka wa fedha wa 2012/13. Ni sahihi kabisa kwa Kamati hiyo ya Bunge kushangazwa na kuendelea kuwapo kwa vitendo vya ufisadi serikalini, hasa kwa kuzingatia ukweli kwamba ripoti za CAG kila mwaka zimekuwa zikifichua wizi wa mabilioni ya fedha katika Serikali Kuu na Serikali za Mitaa. Kujirudia kwa vitendo hivyo kila mwaka ni ishara kwamba Serikali haina dhamira ya kupambana na vitendo hivyo.

Mwenendo huo wa Serikali unashangaza, hasa kutokana na ukweli kwamba mwaka 2013/14 ilikuwa na nakisi ya Sh847 bilioni katika bajeti yake. Hivyo, utekelezaji wa mipango yake ya maendeleo ingekwama kama siyo kukopa mabilioni ya fedha kutoka vyanzo vya nje na ndani ya nchi.

Matokeo yake ni kuzidi kuongeza mzigo wa Deni la Taifa ambalo limefikia Sh27 trilioni sasa, huku ikishindwa kukusanya kodi na kupanua wigo wa vyanzo vya kodi. Ndiyo maana iko hoi kifedha na karibu shughuli zake zote zimesimama, huku ikisuasua kulipa mishahara ya watumishi wake.

Pamoja na hali hiyo mbaya kifedha, bado vitendo vya wizi na ufisadi serikalini vinaendelea kama tunavyoshuhudia vikishamiri katika Wizara ya Fedha. Ni jukumu la Serikali kudhibiti ubadhirifu na ufisadi miongoni mwa watumishi wake, vinginevyo uchumi wetu utazidi kudidimia. Kwa kuanzia iwasake na kuwawajibisha wote walioiba Sh480 bilioni kutoka Hazina.

MCL.
Viewing all 104689 articles
Browse latest View live




Latest Images