Quantcast
Channel: UDAKU SPECIAL
Viewing all 104785 articles
Browse latest View live

Habari Zilizopo Katika Magazeti ya Leo Ijumaa ya Nov 6

$
0
0
Habari Zilizopo Katika Magazeti ya Leo Ijumaa ya Nov 6


TB Joshua ni Mgeni wa Nani Nchini Tanzania? Maswali Yazidi Baada ya Kutoonekana Uwanja wa Taifa Katika Sherehe za Kuapishwa

$
0
0
Kinyume na ilivyoripotiwa na baadhi ya vyombo vya habari Hajaonekana kwenye sherehe za kupishwa kwa Mh. Rais na wala jina Lake halikuwemo kwenye orodha ya wageni.

Hivi majuzi muhubiri maarufu kutoka nchini Nigeria TB Joshua aliwasili nchini kwa kile kilichoripotiwa na baadhi ya vyombo vya habari ikiwemo gazeti la Mwananchi kwamba muhubiri huyo amekuja nchini kushuhudia kupishwa kwa Rais Dr. John Pombe Magufuli.

Alipowasili uwanja wa ndege hapa Tanzania alipokelewa na baadhi ya viongozi walioongozwa na Dr. John Pombe Magufuli na akaenda moja kwa moja kumsalimia Rais Kikwete Ikulu magogoni Dar es Salaam.

Baada ya kutoka Ikulu muhubiri huyo alielekea nyumbani kwa aliyekuwa mgombea urais wa UKAWA na waziri mkuu mstaafu Mh. Edward Lowassa eneo ambalo ameonekana kuwepo kwa Muda mrefu akizungumza na Lowassa na viongozi wengine wa UKAWA.

MASWALI

1. Je, ujio wa Muhubiri huyo ilikuwa ni msafara binafsi Kinyume na ilivyoripotiwa na vyombo vya habari?

2. Vyombo vyetu vya habari havikupewa taarifa sahihi kuhusu sababu za ujio wa kiongozi huyo?

3. Kama ni msafara binafsi kwanini apokelewe na rais mteule na kutembelea Ikulu?

4. Je ni viongozi wa UKAWA wamemzuwia kuhudhuria sherehe hizo za kupishwa Rais kutokana na wao kugomea kusaini matokeo?

5. Je, bado yupo nchini? Maana kama tulijulishwa kuhusu ujio wake si vibaya tukajuzwa kuhusu kuondoka kwake.

Nawasilisha:

Forget About Zari ! .....Lulu And Diamond In Love !.....His Family Wants Him To Marry Lulu ?

$
0
0

Hot gossip is that, Lulu Elizabeth Michael and Diamond Platnumz are in love secretly and Diamond's family has no problem about it. This comes after reports broke Diamond and his baby mama Zari The Boss Lady are in bad terms. Reports further say that Zari frequently saw Lulu's messages to Diamond ones of them being so romantic, and when Zari questioned Diamonds sisters kept telling Lulu and Diamond's are close friends for a long time.

Recently gossip and entertainment newspapers and blogs have been reporting Lulu and Diamond's so sudden closeness, even during Romy Jonesi birhday(Diamond's cousin) Lulu spent most of her time with Diamond and weeks later which was Diamond's birthday the two were together most of the time too.

When Diamond's sister Esma Platnumz approached by GPL paparazzi to give a comment on Lulu and Diamond's friendship she had this to say "yeah, you guys we have told you our brother(Diamond) has no problem with anyone, to Lulu he has no problem their relationship is open, first of all Lulu is beautiful, she is cool and she has what it takes to be someone's wife, we have no problem with her, if she and Diamond agree to one another we will welcome her warmly" said Esma

When Diamond asked he replied "please these are family issues, sometimes it is better to let somethings pass as they are, I have been close to Lulu for a long time, let it be that and end there"

After Diamond, paparazzi started looking for Lulu and finally the talented actress was spotted at Wema Sepetu's birthday over the weekend. When Lulu asked about being in love with Diamond she denied it claiming she can't do it because Diamond used to date Wema Sepetu "to date Diamond ! where can I start ?, and how could I have come here at Wema's birthday while Diamond is Wema's ex ?, nothing like that, he is my close friend"

 Leave that alone, Recently it was reported Lulu and Wema were in cold war because Wema was unhappy the way Lulu supports Diamond in every move let alone their closeness which frightened Wema who used to date Diamond and rumors suggest Wema still loves Diamond despite their separation. However Lulu attended Wema's Royal birthday over the weekend and they were snapped together.

Do you believe Lulu and Diamond are new couple in town ?

TB Joshua Ayeyuka Ghafla...... Aacha Maswali Mazito Hapa Nchini

$
0
0
Muhubiri wa kimataifa nabii maarufu duniani Temipote Balogun maarufu kama TB  Joshua ameacha maswali baada ya kushindwa kuhudhuria sherehe za kuapishwa kwa rais mpya wa awamu ya tano Dk.John Magufuli.

TB Joshua aliwasili nchini November 03 kwa ndege binafsi na kupokewa na Dk.MAGUFULI pamoja na Mbunge mteule Mwigulu Nchemba katika uwanja wa kimataifa wa Mwalimu JK Nyerere,Dar es salaam.

Baada ya kuwasili alifanya mazungumzo ya faragha na Dk.MAGUFULI pamoja na rais mstaafu Jakaya Kikwete kisha kufanya mazungumzo zaidi ya saa tatu na Edward Lowassa.

Ujio wa nabii huyo ulionekana kama amekuja kwa ajili ya kuapishwa kwa Dk.Magufuli lakini huku baadhi ya wananchi wakifurahishwa na ujio wake na kuamini ni fursa pekee ya kukutana naye na kufanya maombi akiwa hapa nchini.

Baadhi ya watu walisema waliamua kwenda uwanja wa Uhuru kwa ajili ya kumuona nabii huyo lakini haikuwa hivyo na hawakufahamu kwa nini hakuhudhuria sherehe hizo

Zari Blasts Haters For Accusing Her Of Applying Make Up On Her Kid

$
0
0

Yesterday, there was trending photo of Princess Tiffa, Zari’s 2 month old baby wearing  make up that spawned a sh-t load of wild accusations against the  boss lady’s parenting skills through social media.  (See photo Below)

First it was the accusations that Zari allows her kid to wear makeup that includes lipstick and blush which is particularly inaccurate because Tiffah is only 2 months old she literally can’t feed herself.

 Next came the criticism that Ivan Ssemwanga’s EX has turned her kid into a whore;
Zari is the stupid** woman I have ever seen in my life, yah its your baby this doesn't mean they are ok with the father sleeping with them or marrying them because it's what you want...  I don't care what you gonna' say but look what you've done to your baby and a child turns into a who** while grown we ask why? Huh.-- Dave Dash




The Boss lady calmly replied to all these accusations that the make up on her kid wasn’t actual make up, it was a smart phone application (APP) that did all facial modifications and that her haters lack of sophistication: She wrote;
Thanks for tagging me in these beautiful edits. And for my neighbors this is an APP not actual make up. provincialism eases.-- Zari
For those who need the facial make up APP, it’s called You CAM

Hapa Kazi Tu: Rais John Pombe Magufuli Afanya Ziara Ya Ghafla Wizara Ya Fedha

$
0
0

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,  Dk.John Pombe Magufuli akisani kitabu cha wageni baada ya kufika Wizara ya Fedha.
...Akikagua utendaji kazi wa wafanyakazi mbali mbali wizarani hapo. 
 Akitembea kwa miguu na maofisa usalama kuelekea  Wizara ya Fedha.
  ****
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk.John Pombe Magufuli amefanya ziara ya kushtukiza kwa kutembea kwa miguu kutoka Ikulu hadi katika Wizara ya Fedha na kukagua utendaji kazi wa wafanyakazi wa  ofisi hizo, hata hivyo alikuta baadhi ya maofisa  wakiwa nje ya ofisi zao.

CHADEMA Wamzawadia Mke wa Lowassa Ubunge wa Viti Maalumu..Mwenyewe Aibuka na Kutoa Maamuzi Magumu na Kusema Haya

$
0
0
Mke wa aliyekuwa mgombea urais kwa tiketi ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Edward Lowassa, Regina Lowassa, ameikataa nafasi ya ubunge wa viti maalum aliyopewa na kamati Kuu ya chama hicho cha upinzani.

Kwa mujibu taarifa wa kutoka familia ya Lowassa iliyotufikia, Regina anaichukulia kwa heshima kubwa nafasi hiyo, lakini anaamini ataweza kushughulikia matatizo ya akina mama na watoto akiwa nje ya bunge.

"Naishukuru kamati Kuu ya chama changu kwa heshima hii kubwa waliyonipa na ninaithamini sana, lakini naamini nitaendeleza mapambano ya kuwaletea akina mama mabadiliko kwa ufanisi zaidi nikiwa nje ya bunge," amesisitiza mke huyo wa waziri mkuu wa zamani katika taarifa hiyo.

Kamati Kuu ya Chadema ilifikia uamuzi wa kumpa Regina nafasi ubunge viti maalum kutokana na mchango mkubwa aliyoutoa wakati wa kampeni ambao kwa kiasi kikubwa ulisaidia upatikanaji wa majimbo mengi tofauti na uchaguzi wa mwaka 2010.

Angalia Video Jinsi Rais John Magufuli Alivyowatembelea Wizara ya Fedha Kwa Kushtukiza na Kukuta Wafanyakazi Wengi Hawapo

$
0
0
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk.John Pombe Magufuli amefanya ziara ya kushtukiza kwa kutembea kwa miguu kutoka Ikulu hadi katika Wizara ya Fedha na kukagua utendaji kazi wa wafanyakazi wa  ofisi hizo, hata hivyo alikuta baadhi ya maofisa  wakiwa nje ya ofisi zao.

Jokate wa Ali Kiba Anasa Ujauzito!

$
0
0
Wakati Beautiful Onyinye wa Bongo, Wema Sepetu akihaha kuhakikisha anaitwa mama, habari ‘exclusive’ iliyotua kwenye meza ya gazeti hili inadai kuwa, mwanamitindo anayefanya pia muziki na filamu, Jokate Mwegelo amenasa ujauzito huku muhusika mkuu wa mzigo huo akidaiwa kuwa ni mpenzi wake wa sasa, Ali Saleh Kiba ‘Ali Kiba’.

Habari hizo njema zimekuja ikiwa zimepita siku chache tangu kuwepo na taarifa kuwa mwanadada huyo yuko katika harakati za kumzalia fasta Kiba ili kukata ngebe za waliokuwa wakimsema vibaya.

Akizungumza na Ijumaa hivi karibuni, mmoja wa watu wa karibu wa Kiba aliyeomba jina lake lisiandikwe gazetini alisema, siku za hivi karibuni Jokate amekuwa na kila dalili za kuwa mjamzito kwani maembe mabichi kwa sana na tumbo limekuwa likimsumbua.

“Hilo la mimba ndilo linaloonekana kumsumbua kutokana na uumwaji wake na inasemekana ina miezi miwili, so kama mnaweza kufuatilia zaidi, fanyeni hivyo,” kilidai chanzo hicho.

Baada ya mtoa habari huyo kunena hayo, mmoja wa waandishi wetu aliyehudhuria ‘bethidei’ pati ya Wema iliyofanyika juzi ndani ya Ukumbi wa Wema Sepetu kwenye Jengo la Millennium Towers, Kijitonyama jijini Dar alisema, akiwa eneo hilo alipata tetesi za Jokate kuwa na mimba na kwamba ndicho kilichomfanya ashindwe kutinga.

“Hizi habari za kwamba Jokate ni mjamzito nimezisikia kwenye bethidei ya Wema, imedaiwa alialikwa lakini kutokana na hali hiyo hakufika, kwa hiyo inaonekana zina ukweli,” alishadadia mwandishi wetu.

Ijumaa lamsaka Jokate
Jitihada za kumsaka Jokate kupitia simu yake ya mkononi zilifanyika ambapo awali alitumiwa sms na majibizano yakawa hivi:
Ijumaa: Mambo vipi shosti?
Jokate: Poa wangu, mzima?
Ijumaa: Salama, nasikia unaumwa, ni kweli?
Jokate: Nani amekuambia?

Ijumaa: Kuna mtu ameniambia unaumwa.
Jokate: Yeah, ni kweli.
Ijumaa: Lakini nasikia ni ugonjwa wa heri, hili likoje?
Jokate: (hakujibu).

Baada ya kupita saa kadhaa bila Jokate kujibu sms hiyo, mwandishi alianza kukata tamaa lakini juzi Jumanne usiku alimtafuta tena mwanadada huyo kwa kumpigia simu na kutoa ufafanuzi ulioshabihiana na kilichokuwa kikisemwa.
“Jamani na hilo nalo limewafikia, haya bwana ila kiukweli mimi siyo msemaji wa hayo mambo kwani ni jambo linalohusisha watu wawili,” alisema Jokate kisha akakata simu.

Kufuatia habari hizo, mashabiki wa mastaa hao kwanza wamempongeza Kiba huku wengine wakisema kuwa, kama kweli yeye ndiye kafanya kweli, basi ni kidume.
Pia wakamshauri Jokate kuamua kuzaa kutokana na umri kumruhusu, anajimudu na itamjengea heshima ya kuwa mwanamke.

Chanzo: GPL

Uhuru Kenyatta Asifia Demokrasia ya Tanzania

$
0
0
Rais wa Kenya, Uhuru Kenyatta ameipongeza Tanzania kwa namna ilivyoonesha ukomavu katika demokrasia baada ya uchaguzi.

Kenya alikuwa mmoja wa viongozi wa Afrika waliohudhuria kuapishwa kwa Rais wa awamu ya tano wa Tanzania, Dokta John Magufuli.

I joined other Heads of State and Government for a state luncheon at State House gardens in Dar es Salaam following a colourful swearing-in ceremony of Dr. John Pombe Magufuli as the fifth President of Tanzania. I commended the people of Tanzania for the manner in which the country has distinguished herself over the years as a leading beacon of democracy in Africa.

The election of Dr. Magufuli is a re-confirmation of the desire for continuity with the policies of the ruling party which is credited with the national cohesion and development that the country has enjoyed since independence. I assured President Magufuli of my full support and desire to forge even closer bonds of friendship, entrenching further our integration agenda and indeed, uplifting the welfare of our people.

Tafsiri:

Niliungana na Viongozi Wakuu wengine wa ki-Serikali kwenye bustani za Ikulu jijini Dar es Salaam baada ya kuapishwa kwa Rais Dk John Magufuli ambaye anakuwa kiongozi wa tano kushika wadhifa huo nchini Tanzania.

Ninawapongeza watu wa Tanzania kwa namna ambavyo wamejidhihirisha kwa miaka mingi kuwa vinara wa demokrasia barani Afrika. Kuchaguliwa kwa Dk Magufuli ni uthibitisho wa shauku ya kuendeleza sera za chama kinachotawala ambacho kinasifiwa kusimamia umoja wa kitaifa na maendeleo tangu uhuru.

Nilimhakikishia Rais Magufuli kuwa nitamuunga mkono na nina nia ya kuendeleza ukaribu wetu wa kirafiki na kuhimiza mshikamano wetu wa kuendeleza ajenda ya ushirikiano wa karibu kwa malengo ya kuinua ustawi wa watu wetu.

Dr. Kikwete na Mkewe, Waondoka Rasmi Ikulu na Kuelekea Msoga

$
0
0

Rais Mstaafu Jakaya Mrisho Kikwete na Mama Salma Kikwete waondoka Rasmi Ikulu na Kuelekea Kijijini Msoga Leo


Picha: Ikulu

Soma Majina Yote ya Wabunge wa Viti Maalumu Kutoka Vyama Vyote Kama Yalivyotolewa na NEC

$
0
0
 Soma Majina Yote ya Wabunge wa Viti Maalumu Kutoka Vyama Vyote Kama Yalivyotolewa na NEC




Jeshi la Polisi limepiga Marufuku Mikutano ya Kisiasa na Maandamano

$
0
0
Jeshi la Polisi nchini hapa limepiga marufuku mikutano ya hadhara na maandamano ya vyama vya siasa kwa kile ilichoeleza tathimini iliyofanywa na jeshi hilo inaonyesha bado kuna mihemko ya kisiasa ambayo inaweza sababisha uvunjifu wa amani endapo itaruhusiwa kufanyika.

Msemaji wa Jeshi la Polisi nchini ssp Advera Bulimba, amewaeleza waandishi wa habari jijini Dar es salaam kuwa, maombi yote ya kufanya mikutano na maandamano yaliyotolewa na vyama vya siasa vya CCM na Chadema yamezuiliwa mpaka hapo hali itakapotengamaa baadae.

chanzo. Chanel 10


NIONAVYO:Hii inamaanisha nini kuhusu kampeni za uchaguzi mdogo,kuwa kampeni hazitatumia mikutano ya kisiasa?

Hao watu wenye mihemko wapo kiasi gani? Na kwa nini wanamihemko? Kwa sababu wameshinda au kushindwa au kudhulumiwa?

Ningeshauri polisi wetu waendeleze weledi waliouonesha kwenye kulinda mikutano ya kampeni kwa kuwaruhusu watu waandamane au hata kufanya mikutano ili kuwaondolea msongo na kuanza maisha mapya kwa #HapaKaziTu.

Lowassa Alivyoipaisha CHADEMA Katika Uchaguzi Huu, Ni Asset na Ataendelea Kuwa Asset

$
0
0
LOWASSA ni "Asset au Liability.

-Kabla ya ujio wa Lowassa ndani ya chadema, chadema ilikuwa na majimbo 23 tu na viti maalumu 26 na kuwa na wabunge 49 ktk bunge la 10 la 2010-2015, ujio wa Lowassa umeongeza wabunge kutoka majimbo 23 mwaka 2010 hadi majimbo 35 mwaka 2015 na viti maalumu kutoka 26 hadi 43 na kufanya jumla ya wabunge wa chadema 78 ktk bunge la 11 la Jamhuri ya muungano wa Tanzania, ni rekodi ambayo haijawahi kufikiwa na chama cha upinzani tangu Tanzania ipate uhuru, Je Lowassa ni "Asset" au "Liability"

-Kabla kuondoka kwa Lowassa ndani ya ccm, ccm ilikuwa na wabunge wa viti maalumu 79 mwaka 2010, sasa ccm itakuwa viti maalumu 62 tu kwa maana hiyo nguvu ya Lowassa imeondoka na viti maalum 17 ambao wote imebidi wapewe chadema, na ndiyo maana sasa chadema itakuwa na viti maalumu 43, which means, chukua viti 26 vya cdm 2010 + viti 17 alivyokuja navyo Lowassa = 43, Je Lowassa ni "Asset" au "Liability"

-Mwaka 2010-2015, ccm ilikuwa inapokea ruzuku zaidi ya 78% ya ruzuku yote ya vyama vya siasa kutokana na kura za urais alizopata JK, mwaka huu ccm itapokea ruzuku isiyozidi 59% ya ruzuku yote ya vyama ni sawa pungufu ya 20% waliyopoteza ccm, Na kwa mara ya kwanza chama cha upinzani chadema kitapokea 40% ya ruzuku yote ya vya siasa, hii ni kutokana na kura mil 6=39% alizopata Mhe. Lowassa. Je Lowassa ni "Asset" au "Liability"

-Kabla ya ujio wa Lowassa, katika majiji matano (5), Mbeya, Dar, Tanga, Mwanza & Arusha, cdm ilikuwa haiongozi hata jiji moja kati ya hayo kwa mwaka 2010-2015, yote yalikuwa chini ya ccm, Ujio wa Lowassa umeifanya chadema kuongoza majiji 4 (Mbeya, Dar, Arusha & Tanga japo Tanga itakuwa chini ya UKAWA) kutokana na ushindi wa madiwani wake ktk majiji hayo na ccm imebaki na jiji la Mwanza pekee, which means ccm imepoteza majiji 4 kutokana na kuondoka kwa Lowassa. Je Lowasa ni "Asset" au "Liability"


-Mwaka 2010-2015 chadema ilikuwa inaongoza halimashauri 5 nchi nzima mfano: Moshi & Karatu, mwaka 2015 kwa mara ya kwanza chadema itakuwa inaongoza halimashauri 30 Tanzania hii ni kutokana na Ushindi wa madiwani na wabunge ktk halimashauri husika. Je Lowassa ni "Asset" au "Liability"



NB: Kwa mtu wa kawaida na anayefikiria ya leo bila kujua kesho itakuwaje alibeza ujio wa Lowassa ndani ya chadema, lakini kwa anayefikiria leo na kesho na kuangalia kwa jicho la tatu atakuwa amegundua umuhimu wa ujio wa Mhe. EDWARD LOWASSA.

Ahsante...!!!

MASKINI..Wastara Juma Kukatwa Mguu Tena

$
0
0
MASKINI wa Mungu! Baada ya kupata faraja kwa miaka kadhaa kwa kuwekewa mguu wa bandia, mwigizaji wa sinema za Kibongo, Wastara Juma, amepatwa na masaibu mengine ya kutakiwa kukatwa tena sehemu ya mguu uliokuwa umewekewa mguu wa bandia, Risasi Jumamosi lina stori nzima ya kusikitisha.

TATIZO LILIPOANZIA
Kwa mujibu wa ndugu wa karibu na Wastara ambaye hakupenda jina lake liandikwe gazetini, tatizo linalosababisha mwigizaji kutakiwa kukatwa mguu huo wa kushoto lilimuanza alipokuwa kwenye kampeni za Chama Cha Mapinduzi (CCM) zilizomalizika Oktoba 24, mwaka huu.

“Tatizo lilimuanzia akiwa kwenye kampeni za CCM. Nafikiri kwenye mishemishe zile za kupanda majukwaani aliushtua, sasa ukawa unamuuma na yeye hakuweza kubaini mara moja tatizo ni nini. Kumbe mguu wake wa bandia pia ulikuwa umekatika vidole na kulika kwa chini ya unyayo.

 Mwigizaji wa sinema za Kibongo, Wastara Juma.

ATESEKA USIKU

“Alikuwa hapati usingizi usiku, ilibidi awe anakunywa dawa za kutuliza maumivu kila siku ndiyo aendelee na safari za kampeni kesho yake,” alisema ndugu huyo wa karibu wa Wastara.

AWASAKA MADAKTARI WAKE
Ndugu huyo alizidi kueleza kuwa, baada ya Wastara kumaliza kampeni, aliwasiliana na madaktari wake waliomtibu awali nchini Kenya ambao walimshauri awatumie picha ya eneo alilokuwa akisikia maumivu pamoja na mguu mzima wa baindia.

Madaktari hao baada ya kubaini mguu huo wa bandia umechoka na kusababisha tatizo la uvimbe, walimwambia anahitajika kukatwa sehemu ya mguu wake na kuwekewa mguu mwingine wa bandia.
“Aliwatafuta madaktari wake Kenya, wakamwambia hakuna ujanja kwa sehemu hiyo ilikuwa imevimba inatakiwa kukatwa ili aweze kuwekewa mguu mwingine,” alisema ndugu huyo.

WASTARA MWENYEWE

Baada ya kuzungumza na ndugu huyo, mwanahabari wetu alimtafuta Wastara mwenyewe ambaye alieleza kwa kirefu kuhusiana na tatizo hilo.“Unajua nilipokuwa kwenye kampeni, nilianza kusikia maumivu makali mno, nafikiri ni kutokana na kule kukimbiakimbia hivyo ilikuwa lazima ninywe dawa ya kupunguza maumivu kila wakati.

“Niliporudi ilibidi niombe ushauri kwa madaktari wangu ambao walinishauri niuchunguze vizuri mguu na niwatumie picha wao, nilipofanya hivyo niligundua mguu wangu wa bandia umekatika vidole viwili pia kwenye nyayo umeharibika sana,” alisema Wastara.

Mwigizaji huyo aliendelea kueleza kuwa tatizo hilo la kukatika vidole na nyayo kuharibika ndilo lililosababisha apate uvimbe ambao baadaye ulimfanya ashauriwe kukatwa kidogo ili kuwekewa mguu mpya wa bandia.

MILIONI TATU ZAHITAJIKA
“Hapa ninapokuambia mimi natakiwa milioni tatu kwa ajili ya kuweka mguu mwingine na nina maumivu makali sana yasiyopungua kila siku mpaka najiuliza hatma yangu jamani naumia.“Nipo katika mawazo sana, nikifikiria kukatwa tena mguu wangu yaani ni mateso juu ya mateso Mungu anisaidie kwa kweli maana mitihani hii kila siku mimi jamani,” alisema Wastara.

TUJIKUMBUSHE

Machi 12, 2009 wakati huo wakiwa wachumba tu, Wastara na marehemu Sajuki Juma, walipata ajali mbaya ya pikipiki maeneo ya karibu na walipokuwa wanaishi, Tabata, Dar es Salaam ambapo mwanadada huyo alivunjika mguu na kuharibika vibaya.

Baada ya hapo, Wastara alilazimika kukatwa mguu nchini Kenya na kuwekewa wa bandia kisha baadaye akafunga ndoa na marehemu mumewe, Sajuki.

Source:Global Publishers

Diamond Platnumz Amjibu Wema Sepetu Baada ya Wema Kusema Anajikweza na Gari za Elfu Thelathin

$
0
0
Musa mateja
BAADA ya muigizaji nyota Wema Sepetu ‘kumtusi’ mpenziwe wa zamani, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’, kwa kudhihaki zawadi ya bei chee ya gari aliyowahi kumnunulia, rais huyo wa lebo ya Wasafi Classic Baby (WCB), juzikati aliibuka na kumjibu kuwa amefanya mambo ya ‘Kiswahili’.
Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz.
Akizungumza ofisini kwake Sinza Mori jijini Dar es Salaam, Diamond alisema katika maisha kila mmoja ana ndoto zake, hivyo ni jambo jema kwamba amefanikisha, lakini hata hivyo, akasema hatua aliyofikia yeye siyo ya kufanya mashindano na mtu, badala yake ni kuchapa kazi kusaka mafanikio zaidi ya maisha yake.
“Kiukweli kabisa nampongeza Wema kwa kununua gari maana hiyo ndiyo ilikuwa mipango ya maisha yake, maneno anayosema kwamba mimi nilimnunulia gari la elfu thelathini ndipo nilipomuona wa ajabu. Sikuona umuhimu wa kunizungumzia pale.
“Hayo ndiyo mambo ya Kiswahili. Mimi siyo mtu wa kushindana kununua gari tena, maana hatua hiyo tayari nimeshapita, zaidi nawaza kupiga kazi na kujitengenezea maisha yangu mapya yatakayoweza kuifanya familia yangu iishi kwa raha na amani kipindi chote cha uhai wangu, najua kuna watu bado wanafikiria mimi ni limbukeni wa vitu kama zamani, kwa sasa sifikirii mashindano, ninaangalia kazi zinazoweza kuniingizia kipato tu,” alisema Diamond.
 Muigizaji nyota Wema Sepetu.
Katika pati aliyoiandaa hivi karibuni kusherehekea siku yake ya kuzaliwa, Wema pamoja na mambo mengine, aliwaonyesha waalikwa zawadi ya gari aina ya Range Rover aliyojinunulia, akitoa maneno yaliyoonyesha kumponda Diamond, kwamba ameinunua kwa kiasi cha dola za Marekani 90,000 (karibu shilingi milioni 200 za Kitanzania), tofauti na watu wanaojikweza kwa ‘vigari vyao vya elfu thelathini’.
Source:GPL

Vyama vya Upinzani Zanzibar Vyagawanyika...Vimetofautiana Kuhusu Uamuzi wa Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Zanzibar (ZEC)

$
0
0
Vyama vya upinzania kisiwani Zanzibar vimetofautiana kuhusu uamuzi wa mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Zanzibar (ZEC), Jecha Salim Jecha kufuta matokeo ya uchaguzi mkuu wa mwaka huu kwa maelezo kuwa haukuwa huru na haki.

Jana Chama Cha ACT-Wazalendo kiliunga mkono chama cha CUF, kupinga uamuzi huo wa Mwenyekiti wa ZEC.

Akiongea na waandishi wa habari visiwani humo, Makamu mwenyekiti wa ACT-Wazalendo, Ramadhani Suleiman alisema kuwa uchaguzi huo ulikuwa huru na haki kama ulivyoshuhudiwa na waangalizi wote wa ndani na nje ya nchi na kuitaka Tume hiyo kuendelea na zoezi la kuhakiki matokeo na kumtangaza mshindi.

Wakati huohuo, vyama vya CCK, TLP na SAU wao kwa pamoja walijitokeza na kuunga mkono uamuzi uliofanywa na mwenyekiti huyo wa ZEC wakidai kuwa uchaguzi huo ulikuwa na ukiukwaji mkubwa wa taratibu na kasoro nyingi zilibainika hasa katika visiwa vya Pemba.

“Tunaunga mkono kauli iliyotolewa na mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi Zanzibar, ya kufuta matokeo ya uchaguzi huo kutokana na vikwazo ambavyo Tume hiyo ilikabiliana navyo katika uendesha uchaguzi huo,” alisema mmoja kati ya wawakilishi wa vyama hivyo.

Mwenyekiti wa ZEC alitangaza kufuta matokeo ya uchaguzi huo muda mfupi baada ya mgombea wa CUF, Maalim Seif Sharif Hamad kutangaza kuwa amekusanya matokeo ya vituo vyote na kubaini kuwa yeye ndiye mshindi huku akiitaka Tume hiyo kumtangaza.

Uchaguzi huo ulishuhudiwa kuwa na wagombea wa urais 14 lakini wagombea wawili, Maalim Seif Sharif Hamad (CUF) na Rais wa sasa, Dkt. Ali Shein (CCM) ndio waliokuwa na ushindani mkubwa zaidi.

BREAKING NEWS: TB Joshua Avunja Ukimya.. Aandika Meseji Hiii Hapa Kuhusu Edward Lowassa

$
0
0
T.B. Joshua has broken his silence on the several meetings he has held with Tanzania’s Former Prime Minister Edward Lowassa since his arrival in the country this week.


Using the social media platforms of Facebook, Twitter and Instagram, the respected Nigerian cleric said,

Many times, God speaks blessing and breakthrough through pain and disappointment. My dear Former Prime Minister, what happened is to prepare you for the future. We learn obedience by the things we face. I mean, by what we suffer.”

 This comes as another picture was shared on social media showing Lowassa and the Nigerian pastor eating together at a restaurant in Dar es Salaam.


Joshua caused a surprise with his failure to show up at the presidential inauguration of his friend Dr John Magufuli, especially after his high-profile arrival in the country.



Lowassa has announced he will address the nation of Tanzania on Sunday 8th November 2015.

Rais Magufuli afanya kikao na Makatibu Ikulu jijini Dar

$
0
0


Rais Dkt. John Pombe Joseph Magufuli akizungumza na Makatibu Wakuu, Manaibu Katibu Wakuu, Watendaji Wakuu serikalini leo Ikulu jijini Dar es salaam kupanga mikakati ya kuendesha serikali kwa weledi, nidhamu na moyo wa kupenda kazi.

Rais Dkt. John Pombe Joseph Magufuli akipeana mikono  Makatibu Wakuu, Manaibu Katibu Wakuu, Watendaji Wakuu serikalini leo Ikulu jijini Dar es salaam baada ya kukutana nao na  kupanga mikakati ya kuendesha serikali kwa weledi, nidhamu na moyo wa kupenda kazi.
 Rais Dkt. John Pombe Joseph Magufuli akipeana mikono  Makatibu Wakuu, Manaibu Katibu Wakuu, Watendaji Wakuu serikalini leo Ikulu jijini Dar es salaam baada ya kukutana nao na  kupanga mikakati ya kuendesha serikali kwa weledi, nidhamu na moyo wa kupenda kazi.
 Rais Dkt. John Pombe Joseph Magufuli akipeana mikono na Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), Bwana Rished Bade na  Makatibu Wakuu, Manaibu Katibu Wakuu, Watendaji Wakuu serikalini leo Ikulu jijini Dar es salaam baada ya kukutana nao na  kupanga mikakati ya kuendesha serikali kwa weledi, nidhamu na moyo wa kupenda kazi.
 Rais Dkt. John Pombe Joseph Magufuli akipeana mikono na Katibu Mkuu Utumishi Mhe HAB Mkwizu  na  Makatibu Wakuu, Manaibu Katibu Wakuu, Watendaji Wakuu serikalini leo Ikulu jijini Dar es salaam baada ya kukutana nao na  kupanga mikakati ya kuendesha serikali kwa weledi, nidhamu na moyo wa kupenda kazi.
 Rais Dkt. John Pombe Joseph Magufuli akipeana mikono  Makatibu Wakuu, Manaibu Katibu Wakuu, Watendaji Wakuu serikalini leo Ikulu jijini Dar es salaam baada ya kukutana nao na  kupanga mikakati ya kuendesha serikali kwa weledi, nidhamu na moyo wa kupenda kazi.
 Rais Dkt. John Pombe Joseph Magufuli akipeana mikono  Makatibu Wakuu, Manaibu Katibu Wakuu, Watendaji Wakuu serikalini leo Ikulu jijini Dar es salaam baada ya kukutana nao na  kupanga mikakati ya kuendesha serikali kwa weledi, nidhamu na moyo wa kupenda kazi.
 Rais Dkt. John Pombe Joseph Magufuli akipeana mikono  Makatibu Wakuu, Manaibu Katibu Wakuu, Watendaji Wakuu serikalini leo Ikulu jijini Dar es salaam baada ya kukutana nao na  kupanga mikakati ya kuendesha serikali kwa weledi, nidhamu na moyo wa kupenda kazi.
 Rais Dkt. John Pombe Joseph Magufuli akipeana mikono  Makatibu Wakuu, Manaibu Katibu Wakuu, Watendaji Wakuu serikalini leo Ikulu jijini Dar es salaam baada ya kukutana nao na  kupanga mikakati ya kuendesha serikali kwa weledi, nidhamu na moyo wa kupenda kazi.
 Rais Dkt. John Pombe Joseph Magufuli akipeana mikono na Mwanasheria Mkuu wa Serikali Mhe. George Mcheche Masaju na  Makatibu Wakuu, Manaibu Katibu Wakuu, Watendaji Wakuu serikalini leo Ikulu jijini Dar es salaam baada ya kukutana nao na  kupanga mikakati ya kuendesha serikali kwa weledi, nidhamu na moyo wa kupenda kazi.Kushoto ni Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Ombeni Sefue.
Rais Dkt. John Pombe Joseph Magufuli  katika picha ya pamoja Makatibu Wakuu, Manaibu Katibu Wakuu, Watendaji Wakuu serikalini leo Ikulu jijini Dar es salaam baada ya kukutana nao na  kupanga mikakati ya kuendesha serikali kwa weledi, nidhamu na moyo wa kupenda kazi.

ZARI Proves She is The Hottest Woman in East Africa Even After Giving birth (PICs)

$
0
0

Although some haters compare her to an old grand-mother, popular Ugandan socialite, Zari Hassan, has often showed that she is the s3xiest woman in East Africa.


Just see how she has been able to maintain her hot figure even after giving birth.






Viewing all 104785 articles
Browse latest View live




Latest Images