Quantcast
Channel: UDAKU SPECIAL
Viewing all 104705 articles
Browse latest View live

Anne Makinda Atoa ya Moyoni..Awataja Wabunge Wanane Waliomchachafya Bunge Lililopita Mpaka Kulazimika Azijue Kanuni za Bunge Kwa Nguvu

$
0
0
Spika wa Bunge Anne Makinda ametangaza rasmi kutogombea tena nafasi hiyo, huku akisema kulikuwa na wabunge watundu wanane waliomchangamsha na kumlazimisha ajifunze kwa haraka baadhi vifungu vya kanuni za Bunge.

Makinda amekuwa mbunge tangu mwaka 1975 na alikuwa Spika kwa kipindi cha mitano, wakati Samuel Sitta akiwa Spika yeye (Makinda) alikuwa naibu wake.

Akizungumza na waandishi wa habari jana kwenye ofisi za Bunge jijini Dar es Salaam, alisema atawakumbuka wabunge hao waliomchangamsha kwenye Bunge la 10, kwa kuibua hoja za nguvu.

Aliwataja wabunge hao kuwa ni Halima Mdee, Tundu Lissu, Ezekiah Wenje, John Mnyika wote wa Chadema, Ester Bulaya (wakati huo alikuwa CCM), Felix Mkosamali na Moses Machali wote waliwa NCCR-Mageuzi na Deo Filikunjombe wa CCM (kwa sasa ni marehemu).

“Nitawakumbuka sana rafiki zangu, walikuwa wachangamfu kiasi cha kufanya nizijue kanuni kwa nguvu, mara ya kwanza kuanza kazi nilishituka, lakini baadaye nikajifunza kumbe hivi ndivyo ilivyo, kwa kweli lilikuwa bunge zuri,” alisema.

Alidai kusikitishwa na baadhi ya wabunge kushindwa kwenye majimbo yao akiwamo Wenje katika Jimbo la Nyamagana na kumsihi asikate tamaa badala yake ajipange kwa wakati mwingine.

Makinda alisema fujo za baadhi ya wabunge zililifanya Bunge aliloliongoza kuwa na mvuto wa aina yake, kwa madai kuwa likipoa haliwezi kuleta maana ya kuwapo kwa chombo hicho.

Alikiri kujifunza mambo mengi kwenye Bunge aliloliongoza kutokana na kuwapo kwa wabunge wengine vijana.

“Kuna mabunge ya nchi nyingine ambayo tumeshuhudia watu wakitwangana, Bunge halitakiwi kupoa lazima wawepo watundu wa kulichangamsha, vinginevyo litalala na kukosa mvuto,”alisema Makinda.

Alisema jambo alilojifunza kwenye Bunge hilo, ni kutokuwa na hasira, kuwa mvumilivu, huku akijitahidi kupokea hoja za wabunge wote bila kubagua wala kuwapo upendeleo kwa wabunge wa chama chake (CCM).

Makinda alisema ubunge ni uwakilishi wa wananchi na kwamba, baadhi ya wabunge ambao hawakufanya kazi zao ipasavyo kwenye Bunge lililoisha, walichangia kukwamisha kura za chama chake.

Aliwataka wabunge kuwatumikia wananchi waliowachagua kwenye majimbo yao badala ya kutumia muda mwingi, kutengeneza hoja za uongo bungeni.

Makinda (pichani) ambaye alikuwa mbunge wa jimbo la Njombe Kusini (CCM), alisema amelazimika kustaafu nafasi hiyo ili awaachie wengine waongoze, baada ya kuwapo bungeni kwa miaka 40.

“Maisha yangu yote nimekuwa mwanasiasa, nimeshakuwa kiongozi wa nafasi zote bungeni kwa hivyo nimeamua kustaafu uongozi, nafikiri ni jambo zuri kuachia wengine waendelee kuongoza,” alisema.

Sifa za Spika ajaye

Alisema Spika anayetakiwa ni lazima akubali kujifunza tabia za wabunge wake na kuwa na uwezo wa kukabiliana na hali halisi ya bungeni.

Alisema ni lazima spika huyo awe mvumilivu na asiwe mwepesi wa hasira badala yake atumie muda wake kujifunza kanuni za Bunge na kuwa mwepesi wa kupokea hoja za wabunge bila kubagua ili azifanyie kazi.

“Akubali kuwa rafiki wa wabunge wote ili baada ya Bunge, maisha mengine yaendelee. Nilikuwa rafiki wa wabunge wote na sikuwa mwepesi wa kukasirika,” alisema.

Wabunge watua Dodoma

Wakati Makinda akisema hayo, Mjini Dodoma, baadhi ya wabunge wateule wamesema Spika wa Bunge la 11 anatakiwa kuwa mtu mwenye hekima, uvumilivu na mwenye kuhimili mikiki mikiki ya wabunge ambao wengi wao ni vijana na wapya.

Mbunge wa Buyungu (Chadema), Kasuku Bilago alisema Spika anayetakiwa ni mtu makini na mwenye kuhimili mikiki mikiki ya wabunge hao. “Siyo shughuli ndogo katika Bunge hili. Spika anayekuja anatakiwa kuepuka upande,” alisema Bilago.

Daniel Mtaka wa Manyoni Mashariki- (CCM), alisema: “Spika aendane na wakati. Tunahitaji asiwe mtu wa kukariri, achukue mawazo mazuri ya kujenga nchi hata kama yanatoka kwenye upinzani.”

Mbunge wa Konde (CUF), Khatibu Said Haji alisema Spika anayetakiwa ni yule atakayetoa uhuru wa wabunge kuisimamia Serikali na kutozima hoja za wabunge.

Vita ya Uspika

Kampeni za uspika zilikuwa zikiendelea jana katika Viwanja vya Bunge, huku baadhi ya wabunge wateule wanaomuunga mkono Naibu Spika wa Bunge la 10, Job Ndugai wakitafuta kura kutoka kwa wabunge wenzao wa CCM.

Mbunge wa Mtera (CCM), Livingstone Lusinde alisema kampeni za kumpata spika na naibu wake ndani ya CCM zimeshamalizika, kutokana na wabunge wengi kumuunga mkono Ndugai ambaye ni mbunge mteule wa Kongwa, .

Kwa upande wa naibu spika wanayemtaka ni Mbunge mteule wa Ilala, Azan Zungu ambaye alikuwa Mwenyekiti wa Bunge katika Bunge la 10.

Zungu jana alikuwa mwanachama wa kwanza wa CCM kuchukua fomu akiwania nafasi ya naibu spika, tofauti na matarajio ya wengi kuwa angewania uspika.

Alisema asingetaka uspika kwa sasa, kwani bado anaendelea kujifunza uongozi wa chombo hicho na sehemu sahihi kwa sasa ni nafasi ya unaibu spika.

Mbunge mteule wa Kasulu Mjini, Daniel Nsanzugwanko, jana alikuwa kada wa CCM wa 23 kuchukua fomu kuwania uspika.

Akizungumza wakati wa kurudisha fomu Nsanzugwanko alisema amejitokeza kuwania nafasi hiyo kuliwezesha Bunge kuisaidia Serikali ya awamu ya tano iweze kukidhi kiu ya Watanzania.

Mbali na usajili wa Bunge, maofisa kutoka benki za CRDB na NMB walikuwa wakitoa huduma kwenye viwanja hivyo zikiwamo za mikopo katika mahema kadhaa yaliyofungwa hapo.

Kwa upande wa mavazi, wabunge wengi walionekana kutomudu mavazi yanayohitajika katika kupiga picha.

“Mimi imenibidi kurudi nyumbani kuvaa koti maana wamesema siwezi kupiga picha bila kuvaa koti,” alisema mmoja wa wabunge kutoka kanda ya kusini. Mavazi mafupi yalionekana kutawala kwa wabunge wengi wa kike vijana katika viwanja hivyo.

Imeandikwa na: Sharon Sauwa, Habel Chidawali, Tumaini Msowoya na Elizabeth Edward.

 0.7k 17    0  


'Baba Mzazi wa Mume Wangu Amenipachika Mimba'...Stori Nzima Ipo Hapa Mwanzo Mwisho

$
0
0

Are there times we ask questions and don’t deserve to be answered? Maybe this is one of such times as I thought I was having fun and I’m now in a fix.
I am a mother of three, presently pregnant with my fourth child. My husband thinks he is the father of my unborn child but in the real sense of it, the child is his father’s.
As you read, please I want a fair advice on how to go about this. My first daughter is also not my husband’s child. His friend who was his best man at our wedding is the father.

It all started when I and my husband had some marital issues and I went to his father, who is a widower to complain. One thing led to another and his father got me laid.
My sex life took a new turn since then as I always went to him when I was down emotionally. We would make sweet love and I go back home like nothing happened.
In the course of that, I got pregnant and I wanted to abort it but my father-in-law threatened to kill me if I did. Now I am 8 months gone and I am devastated. My husband has even gone shopping for our unborn baby and whenever I look at him, I feel so ashamed of myself.
Do I break the news to him before the baby is born or do I wait till I put to birth? On the contrary, his father wants me to keep it a top secret between us but as the days goes by, I lose my strength to hold on to it.
I have been happily married to my husband for 12 years.
What do I do now? In my dreams, I see my father-in-law trying to kill my husband and I can’t take it anymore.
Please advice me on how to get out of this mess.

Hili la Mwenyekiti wa Chadema Geita Kuuawa Kinyama Namna ile Kisa Uchaguzi wa Kata.. Linauma Sana....Je na Lenyewe Litapita Hivi Hivi?

$
0
0
Si wakati wa kuonyesha tofauti zetu za kiitikadi, ni wakati wa kuona lipi ni sahihi na lipi si sahihi. Kama Mtanzania ninapoona Mtanzania mwenzangu amekatishwa maisha yake kwa mtindo wa kinyama namna ile ninaumia. Wahusika wa tukio hili hawana budi kuchukuliwa hatua bila kujali walitenda hili kwa lengo gani. Sheria ionyeshe kua yenyewe ni msumeno na kweli ukata huku na huku. Kuna mambo tukiyafungia macho matokeo yake yatakuja kutuathiri baadae.
By Glory Tausi

Halima Mdee Atoa Kauli Nzito Kuhusu Mauaji wa Mwenyekiti wa Chadema Geita Aliye Uawa Kwa Ajili ya Siasa

$
0
0
Watu Mbali mbali Wameguswa na Kifo cha Kamanda wa Chadema Mawazo Ambaye alikuwa Mwenyekiti wa Chadema Mkoa wa Geita...
Hapa chini Nimekuwekea ujumbe kutoka kwa Halima Mdee aliondika mtandaoni:

"Ameuwawa Kwa Sababu tu ya Uchaguzi wa Kata!!! Damu yake Haitapotea BURE!!! Ipo siku, Wanyonge Watanyanyuka" Halima James Mdee

Lowassa Kuzungumza na Watanzania Kuhusu Uchaguzi Zanzibar na Msimamo wake Baada ya Magufuli Kutangazwa Mshindi

$
0
0
Lowassa
Aliyekuwa mgombea urais wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Edward Lowassa, ameibuka na mambo mengi mazito kuhusiana na kile kilichotokea katika uchaguzi mkuu uliofanyika Oktoba 25 na kumuweka madarakani Rais wa Awamu ya Tano, Dk. John Magufuli.

Taarifa kutoka ndani ya muungano wa vyama vinavyounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) ambavyo Lowassa alikuwa akiviwakilisha kwa nafasi ya urais vya Chadema, Chama cha Wananchi (CUF), NCCR-Mageuzi na NLD, inaeleza kuwa Lowassa atafichua kila kitu kuhusiana na uchaguzi huo wakati atakapozungumza jijini Dar es Salaam leo na vyombo vya habari  vya ndani na vya kimataifa.

Kadhalika, taarifa hiyo inaeleza kuwa mbali na kufichua mazito kuhusiana na uchaguzi mkuu ambao yeye alitangazwa kuwa mshindi wa pili bada ya kupata asilimia 39.97 ya kura halali zilizopigwa na kuachwa na Dk. Magufuli wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) aliyepata asilimia 58.46, Lowassa pia atashirikiana na viongozi wa Ukawa kuelezea msimamo wao kuhusu uchaguzi uliofutwa wa Zanzibar ambao mgombea urais wa CUF na Ukawa, Maalim Seif Sharif Hamad, anadaiwa alikuwa akielekea kushinda.

Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC), Jecha Salim Jecha, ndiye aliyeufuta uchaguzi wa Zanzibar siku tatu baada ya kufanyika kwake kutokana na kile alichoeleza kuwa ni kuwapo kwa kasoro nyingi zilizoufanya uchaguzi huo usiwe ‘huru na wa haki’.

Akizungumza na mtandao huu kwa njia ya simu jana, Msemaji wa Lowassa, Aboubakar Liongo, alisema Lowassa atazungumza leo jijini Dar es Salaam na kueleza mengi kuhusiana na kilichotokea katika uchaguzi mkuu, akiwa pamoja na viongozi wengine wa Ukawa akiwamo Maalim Seif.

“Lowassa atazungumza katika mkutano huo… pia Maalim Seif anatarajiwa kuwapo. Atazungumzia msimamo wa Ukawa juu ya hali ya Zanzibar na kutoa kauli nini kinafuata baada ya kuporwa ushindi,” ilisema sehemu ya taarifa iliyotolewa na Liongo jana.

Aidha, akizungumza jana, Makamu Mwenyekiti wa Chadema, Profesa Abdallah Safari, aliwaambia wananchi kwenye mkutano wa kampeni wa kumnadi mgombea ubunge wa chama chao jijini Arusha, Godbless Lema, kuwa Lowassa ana mengi mazito kuhusiana na uchaguzi mkuu ambayo atayatoa leo mbele ya waandishi wa habari wa ndani na wa kimataifa.
 
Aliyasema hayo kwenye viwanja vya Shule ya Msingi Ngarenaro.

Alisema tofauti na walivyopanga awali kuwa Lowassa ahudhuhurie mkutano huo wa kampeni kwa ajili ya uchaguzi wa Jimbo la Arusha Mjini, sasa atafanya hivyo wakati wa kufunga kampeni kwani jana hiyo alikuwa katika maandalizi ya kuzungumza na waandishi, hasa kuhusiana na hujuma zilizofanyika katika uchaguzi mkuu uliopita.

“Mnaelewa jinsi kura zake zilivyoibiwa… sasa kesho (leo) atazungumza na waandishi wa habari wa ndani na nje kuhusu kadhia hiyo,” alisema Profesa Safari na kuongeza: “Sasa atakuja siku ya mwisho ya kufunga kampeni kumnadi Lema.”

Kuhusu Zanzibar
Kwa upande wake, Kaimu Mwenyekiti wa CUF, Twaha Taslima, ambaye pia ni Mbunge wa Bunge la Afrika Mashariki, alisema kufutwa kwa uchaguzi wa Zanzibar ni suala ambalo limewashitua wengi wengi nchini na duniani kwani ni kukiukwa wazi wazi kwa misingi ya demokrasia.

“Uchaguzi mpya Zanzibar siyo sawa… na kila mtu anaona hiyo si sawa, lakini tunashangaa kuona uchaguzi unarudiwa. Viongozi wetu wapo na watawaambia cha kufanya,” alisema Taslima.

“Hali inayoendelea Zanzibar inatia doa sura ya Tanzania katika uso wa Dunia. Mimi ni mmoja wa viongozi hao, tunajiandaa kutoa tamko kesho (leo),” aliongeza Taslima, akikumbushia uchaguzi uliofutwa Zanzibar ambao mgombea wa CUF na Ukawa, Maalim Seif, aliwaambia waandishi wa habari kabla ya kufutwa kwa uchaguzi huo kwamba alikuwa akiongoza kwa asilimia 52.87 kutokana na karatasi za matokeo walizokusanya kutoka katika vituo vyote vya uchaguzi visiwani Zanzibar.

Mwenyekiti wa NCCR-Mageuzi, James Mbatia, alisema ukimya wa Watanzania usiwafanye watwala kuamini kuwa wao (Ukawa) ni ‘wapumbavu na malofa’ kama alivyowatuhumus Rais mstaafu wa awamu ya tatu, Benjamin Mkapa, wakati wa kampeni za uchaguzi na badala yake wanatakiwa kuzingtia sheria na kutenda haki.

Speed ya Wadada Kuwa Weupe Inakua Kwa Kasi Sana.....Kuna Siri Gani ?

$
0
0
WANAWAKE NA UREMBO ....Kwanini wanawake wengi hupenda kuwa weupe au kujichubua? Au niwaulize akina kaka mnavutiwa na Rangi gani kwa wanawake?? Maana speed ya watu kuwa weupe inakua kwa kasi sana. Watu wanakimbia Rangi zao...

Mkwasa Afunguka: Tulifanya Kosa Kubwa Sana Kufanya Mabadiliko Wakati Timu ilikuwa Vizuri na Stable......

$
0
0
Baada ya timu ya taifa ya Tanzania ‘Taifa Star’ kulazimishwa sare ya kufungana magoli 2-2 na Algeria kwenye uwanja wa taifa, kocha mkuu wa kikosi hicho Charles Boniface Mkwasa amesema, mabadiliko yaliyofanywa na benchi la ufundi kumtoa Elius Maguli na kumingiza Mrisho Ngassa hayakuzaa matunda kama walivyotarajia.

Mkwasa amesema, walimuanziasha Maguli kwasababu ni mchezaji ambaye anatumia nguvu na anaweza kupambana kwa kutumia mwili wake lakini baadaye walimpumzisha wakiamini kuingia kwa Ngassa kungeifanya timu kutengeneza  nafasi nyingi zaidi za kufunga kwasanbabu Ngassa anaspidi na uwezo wa kutengeneza nafasi.

“Niseme tu kwamba leo (jana) ilikuwa ni game yetu 100%  tumetengeneza nafasi nyingi sana lakini tumeshindwa kuzitumia tumepata goli mbili lakini kuna muda tumepoteza concentration wakaweza kurudisha goli zote mbili lakini vijana wamepambana wamehangaika kutafuta magoli kutokana na nafaisi zilizopatikana na wakati mwingine tunasema mpira unabahati na Algeria wanabahati sana”, alisema Mkwasa.

“Vijana wamejitahidi lakini niseme tulifanya makosa pengine wakati wa kufanya mabadiliko kwasababu timu ilishakuwa stable lakini ni matokeo ya mchezo na nafikiri bado tunamlima mrefu kwasababu ninavyowatazama hawa nyumbani kwao watabadilika. Lakini uwezo wa kuwafunga tunao timu yao sio nzuri sana kiasi kwamba haifungiki”.

“Niwashukuru watanzania na waandishi wa habari kwa kuhamasisha na watanzania wameweza kuitikia na tumeona jinsi gani wameishangilia timu yao lakini wasife moyo kwa matokeo haya, tupo katika mchakato wa kujenga timu naamini katika muda mfupi tutakuwa na timu nzuri kama wenzetu ambavyo wanatimu zao”.

“Niwashukuru pia wachezaji na wengine wote ambao tumeshirikiana, kamati pamoja na TFF kwa kuweza kuonesha kiwango ambacho kwa muda mrefu hakijaonekana”.

Kikosi cha Stars kimeondoka jana usiku kuelekea nchini Algeria kwa ajili ya mchezo wa marudiano utakaopigwa Jumanne November 17.

Breaking News:CCM Yapitisha Majina Matatu ya Wagombea Uspika......Samwel Siita, Emmanuel Nchimbi Out!!!

$
0
0
Kamati Kuu CCM imewapitisha Job Ndugai, Abdullah Ali Mwinyi na Dr. Tulia Ackson Mwansasu kugombea nafasi ya Uspika wa Bunge la 11.

Majina hayo yamepenya kutoka katika orodha ya majina 21, miongoni mwao akiwemo Spika wa Bunge la 9, Samuel Sitta, Dkt. Didas Masaburi ambaye alitangaza kujitoa katika dakika za mwisho, Dkt Kalokola na wengineo.

Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa jioni ya leo baada ya kikao cha Kamati Kuu kilichoongozwa na mwenyekiti wake Dkt Jakaya Kikwete mjini Dodoma, jina moja kati ya hayo matatu litatangazwa kesho Jumatatu ikiwa ni pamoja na jina la mgombea wa nafasi ya Naibu Spika.

Katika waliopitishwa:
Job Ndugai ni mbunge mteule jimbo la Kongwa Dodoma na pia alikuwa Naibu Spika wa Bunge lililopita.

Dkt Tulia Ackson ni Naibu Mwanasheria mkuu wa serikali, pia alikuwa ni mjumbe wa Bunge Maalum la Katiba akitokea taasisi za elimu ya juu. Amekuwa mhadhiri wa sheria katika kitivo (sasa shule) cha sheria chuo kikuu cha Dar es salaam.

Abdullah Mwinyi ni mtoto wa Rais mstaafu Al Hajj Aly Hassan Mwinyi na ni mbunge wa Bunge la Afrika Mashariki.

Edward Lowassa Aongea na Vyombo vya Habari....Atoa Tamko Zitto

$
0
0
Ndugu Watanzania wenzangu
Kama nilivyo waambia Viongozi Wakuu wa UKAWA walikaa juzi kutafakari hali ya kisiasa nchini na hususan Zanzibar na matukio yaliyoandamana na Uchaguzi Mkuu wa tarehe 25 Oktober mwaka huu.

Wakuu wa UKAWA kwa kauli moja walikariri tamko lao la kumuunga mkono kwa dhati, Mh. Maalim Seif Sharif Hamad kwa ushindi wake dhahiri na kuitaka Tume ya Uchaguzi Zanzibar imtangaza kuwa Rais wa Zanzibar mara moja.

Viongozi wa UKAWA walilaani vikali uamuzi wa ZEC kufuta uchaguzi halali na wakaonya kuwa mbinu mpya za kutaka uchaguzi urudiwe hazikubaliki na zitahatarisha amani na utilivu Zanzibar. Viongozi wa UKAWA walimpongeza Maalim Seif na viongozi wote wa CUF Zanzibar kwa busara na ustahimili wao mkubwa na jitihada zao zinazoendelea kulinda amani na utulivu nchini humo.

Kinyume na Tanzania bara, uchaguzi wa Zanzibar ulikuwa wa wazi na wa amani. Vyama vyote vya siasa na hata wawakilishi wa Kimataifa walikiri hivyo mpaka pale ilipobainika kuwa CCM inashindwa. Wakuu wa UKAWA walikataa dhana kuwa uchaguzi ule ule unaodaiwa kufutwa kwa kuwa ulikuwa na mizengwe, ulizaa matokeo halali wa Wawakilishi wa Bunge la Jamuhuri ya Muungano na ya Urais wa Tanzania lakini batili kwa wajumbe la Baraza la Wawakilishi na Rais wa Zanzibar. Dhana hii haina mantiki yoyote bali ni ubabe wa kisiasa tu.

Haiwezekani chungu kimoja kikapika halali na haramu kwa pamoja. Kwa kigezo cha ZEC kuwa uchaguzi wa Zanzibar ulikuwa batili basi matokeo yake yote ikiwa ni pamoja na yale ya Rais wa Jamuhuri ya Muungano pia ni batili. Hii ina maana kuwa hata ushindi unao-daiwa na Bwana Magufuli, mbali ya kuwa ni matokeo haramu ya wizi kwa kura za Tanzania bara, pia ni batili kisheria kwani hana ridhaa ya watu wa pande zote mbili za Muungano.

Aidha kwa kauli moja Wakuu wa UKAWA walikubaliana kuwa hali si shwari nchini licha ya ukimya wa Wananchi. Wananchi wanaelewa fika kuwa CCM na Serikali yake wamepora ushindi wao na sasa inaendelea kushinikiza kwa vitisho vya majeshi yenye silaha yanayoranda mitaani ili matokeo ya wizi huo wa waziwazi yakubalike. CCM na serikali yake wanajua kuwa haikubaliki na hata ifanye vipi haiwezi kushinikiza nafsi za Watanzania.

Kama CCM inadai kuwa imeshinda kwa nini ihitaji majeshi, magari ya washa washa na silaha za vita ili wakubalike? CCM ilitayarisha mkakati wa kuhujumu uchaguzi na ndiyo maana ikanunua magari, na vifaa vya vita kwa mabilioni ya fedha ili kuutisha Umma wakati wananchi wanakufa kwa kukosa dawa na huduma hospitalini. Kama CCM inadai imeshinda kwa nini wana hofu kubwa mpaka kuhujumu uhuru wa vyombo yva habari, kupiga marufuku mikutano ya kisiasa na kutunyima viongozi wa UKAWA hata fursa ya kuwashukuru Wananchi kwa kutuunga mkono katika safari yetu ya kuleta mabadiliko?
Hii ni aibu kwa taifa letu.

Tuna ushahidi wa kutosha kuonyesha jinsi matokeoa ya Uchaguzi wa Rais wa Jamuhuri ya Muungano yalivyochakachuliwa na kiasi cha kura zilizoibiwa. Wakati muafaka tutaweka bayana ushahidi huo ili Watanzania wajue kwa nini UKAWA inasema kwa dhati kuwa haitambui matokeo yaliyotangazwa na Tume ya Uchaguzi na kwa nini haitashirikiana na serikali ya sasa ambayo ni batili kisheria. Kama sheria ingeturuhusu tungekuwa mahakamani kupinga uamuzi wa Tume ya Uchaguzi. Uamuzi huo umetekelezwa tu kwa sababu ya fitna ya sheria mbovu zilizotungwa kuhakikisha kuwa CCM inabaki madarakani milele. Hii lazma tuendelee kuikataa na kuipinga kwa nguvu zetu zote.

UKAWA itaendelea kuwataka Watanzania wakatae matokeo batili ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania Bara na waendelee kuwa watulivu. UKWAWA itaendeleza harakati za kisiasa katika nyanja mbalimbali ili kutekeleza azma ya kuleta mabadiliko ya kweli nchini.

Aidha UKAWA itaendelea kudai Katiba ya Wananchi itakayohakikisha kuwa Tanzania inakuwa na Tume Huru ya Uchaguzi na Serikali inayowajibika kwa Umma. Ni wazi kuwa uchaguzi mwingine katika mazingira ya sasa na chini ya Katiba ya sasa hauwezi kuzaa matunda tofauti. Bila Katiba mpya ya Wananchi, Tanzania haitakuwa na demokrasia na itaendelea kuwa nchi inayotawaliwa kwa mizengwe na udikteta wa CCM.

Asanteni sana.

Godbless Lema Akizungumza na Umati Bugando Hospital Baada ya Kuhifadhi Mwili wa Alphonse Mawazo Aliyeuawa Kinyama.

$
0
0


Godbless Lema akizungumza na umati Bugando hospital baada ya kuhifadhi mwili wa Alphonse Mawazo aliyeuawa Kinyama..
Posted by Urassa Urassa on Sunday, November 15, 2015

Lowassa Abadili Msimamo Wake wa Kwenda Kuchunga Ng'ombe Asema 'Nimepoteza Pambano Siyo Vita'

$
0
0
Aliyekuwa mgombea wa urais kupitia Chadema na Ukawa, Edward Lowassa amesema ataendelea kushiriki kikamilifu katika siasa na kubainisha kuwa utaendeleza mapambano ya mabadiliko kwa kudai Katiba Mpya.

Lowassa aliwaambia wanahabari leo kuwa kasi ya ufanyaji wa siasa itaongezeka kuliko ilivyokuwa awali na kwamba kwa sasa anaweza akawa “amepoteza pambano lakini siyo vita.”

Kauli hiyo ya Lowassa inabadilisha msimamo wake wa awali aliokuwa wameutangaza kupitia mahojiano na Shirila la Habari la Uingereza (BBC) kuwa iwapo angeshindwa kinyang’anyiro hicho cha urais angeenda kuchunga ng’ombe kijijini kwake Monduli mkoani Arusha.

Mwanasiasa huyo, ambaye pia ni waziri mkuu wa zamani, alisema Ukawa itaendelea kudai Katiba Mpya ya wananchi itakayohakikisha kuwa Tanzania inakuwa na tume huru ya uchaguzi na serikali inayowajibika kwa umma.

Ni wazi kuwa uchaguzi mwingine katika mazingira ya sasa na chini ya katiba ya sasa hauwezi kuzaa matunda tofauti. Bila katiba mpya ya wananchi, Tanzania haitakuwa na demokrasia na itaendelea kuwa nchi  inayotawaliwa kwa mizengwe na udikteta wa CCM,” alisema Lowassa.




Wapinzani Wamsimamishe Kafulila Nafasi ya Uspika wa Bunge

$
0
0
Inawalazimu wapinzani wamtafute mtu makini atakayeweza kupambana na mgombea wa CCM katika nafasi ya uspika, mimi nashauri wampe David Kafulila na Wenje awe naibu spika.

Samwel Sitta Akatwa Uspika

$
0
0
MKONGWE wa siasa ambaye aliyekuwa Spika wa bunge la tisa, Samuel Sitta ambaye alikuwa wakiwania nafasi ya uspika katika Bunge la 11, Kamati Kuu ya (CCM) imelikata rasmi jina lake licha ya kufanya kampeni mapema juzi kwenye viwanja vya Bunge.

Akitangaza majina yaliyopitishwa na kamati kuu Katibu wa Itikadi na Uenezi, Nape Nnauye amesema katika halmashauri hiyo imeyapitisha majina matatu ambayo ni Job Ndugai, Abdullah Ally Mwinyi na Tulia Akson.
Nape amesema kesho saa nne asubuhi majina hayo yatapelekwa yawasilishwa kwa wabunge wa CCM kwa ajili ya kupitisha jina la mgombea mmoja ambaye atagombea nafasi hiyo na wakambi ya upinzani.

Habari Zilizopo Katika Magazeti ya Leo Jumatatu ya Novemba 16..Ikiwemo ya Siri ya Uchaguzi Zanzibar Yafichuka

$
0
0
Habari Zilizopo Katika Magazeti ya Leo Jumatatu ya Novemba 16..Ikiwemo ya Siri ya Uchaguzi Zanzibar Yafichuka

Daaaamn!! AMBER ROSE breaks the internet with this bikini PHOTO ……. Her friend though

$
0
0

Daaaamn!! AMBER ROSE breaks the internet with this bikini PHOTO ……. Her friend though


“I Don’t Do Women Anymore” – Vanessa Chettle

$
0
0

Socialite turned singer Vanessa Chettle has revealed that she is no longer into girls.

The revelation comes after her nude photos were leaked on the interwebs last week. She disclosed to The Nairobian, that the lady in the explicit photos was her lover but she has since changed.

“I have seen the photos and that really hurts. They were not made for public. They were photos I only wanted for private use.”

“I used to date Loisa then but I don’t do women anymore. A lot has changed in my life,” She said.

According to the 20 year old, the photos were leaked by her photographer.

“It is so unprofessional and illegal that a photographer could let them out even after we agreed they were confidential and not meant for public use. After the shoot, I paid for the pictures and asked the photographer to delete them from his system since I had already picked them,” She said.

Vanessa, who is now with Tanzanian music producer Sappy, added that she fears that the photographer might ruin her music career by releasing more telling images.

“There are some worse photos from the same shoot and I am scared as I don’t know what he (the photographer) is planning to do with them. That was me back then and this could ruin my career,” she lamented.


Meet The Cutest Police Officer In Tanzania | Photos

$
0
0
She's receiving a lot of compliments from guys on social media - because of her good looks. Some even say they wouldn't mind committing crime just to get arrested by her. Read some of their comments below:

"wow mrembo 10000 likes... so cutieee!!"

"Hmmm..... hmmm.... (clearing throat..)........"

"I would purposely commit a crime to get arrested by u."

"She's so beautiful, can't believe she is a police officer."

"Madam, please keep uploading more pics.. u truly r an inspiration for all of us.."



Mwakyembe Azungumzia Tetesi za Yeye Kuwa Waziri Mkuu

$
0
0
Mbunge Mteule wa Jimbo la Kyela,  Dkt. Harrison Mwakyembe (pichani) amesema Waziri Mkuu wa Serikali ya Awamu ya Tano ya Tanzania atatokana  na uteuzi utakaoidhinishwa na  Bunge na si taarifa zilizopo sasa katika mitandao ya kijamii.

Dkt. Mwakyembe ambaye amewahi kuwa Waziri wa Uchukuzi katika Serikali ya Awamu ya Nne, alisema kwa mujibu wa sheria na katiba ya nchi,  Waziri Mkuu anateuliwa na Rais ambaye huwasilisha jina hilo kwa Spika wa Bunge na baadaye kupigiwa kura na Wabunge.

 Mbunge huyo aliyasema hayo jana Jumapili  (Novemba  15, 2015) Mjini Dodoma wakati alipokuwa akihojiwa na vyombo vya habari kuhusu tetesi zilizopo katika vyombo mbalimbali vya habari ikiwemo mitandao ya kijamii kuhusiana na jina lake kutajwa kuwa ndiye Waziri Mkuu wa Serikali ya Awamu ya Tano.

Mimi siwezi kuwasemea wananchi na siwezi  kusema kuna watu wengi wanasema hivi,  kwani nafasi ya Uwaziri Mkuu haiji kwa njia ya kura ya maoni, wala kwa  njia ya mitandao ya kijamii ni nafasi ya uteuzi inayoidhinishwa na bunge na ni mamlaka ya Rais wa nchi” alisema Dkt. Mwakyembe.

Aidha, Mhe. Mwakyembe aliwataka Watanzania bila kujali itikadi za dini na vyama vyao wamuombee Rais Dkt. John Pombe Magufuli ili aweze kuchague viongozi watakao wajibika na ambao wataendana na kasi ya Mhe. Rais.

Wabunge wengine waliotajwa kuwepo kwa uwezekano wa kuteuliwa nafasi ya Uwaziri Mkuu wa Awamu ya Tano ya Mhe. Rais John Pombe Joseph Magufuli ni pamoja na Mhe. William Lukuvi, Mhe.  Prof. Sospeter Muhongo na Mhe. January Makamba.

Marehemu Mawazo Apigwa Mabomu Bugando

$
0
0
HALI isiyokuwa ya kawaida Jeshi la Polisi Mkoa wa Mwanza, limekiuka sheria na kuanza kupiga mabomu ya macho katika Hospitali ya Rufaa ya Bugando (BMC), kuwatawanya wafuasi wa Chadema. Anaandika Moses Mseti, Mwanza … (endelea).


Tukio hilo limetokeaza leo jioni, baada ya wafuasi hao kuanza mvutano na askari Polisi mmoja na ndipo vurugu zilizodumu kwa saa moja na nusu.
Hata hivyo wafuasi hao kabla ya kuanza vurugu hizo, walizima kuruka kuta za hospitali na kufungua geti kwa mabavu.

MwanaHALISI Online ilishuhudia Polisi huyo na wafuasi wa Chadema wakivutana nje ya mlango wa vyumba vya kuhifadhi maiti.
Baada ya mvutano huo wafuasi hao wa Chadema walianza kumuangushia kichapo askari huyo ambaye anatuhumiwa kufanya njama za kurudisha mwili wa marehemu mkoani Geita kwa madai kwamba tukio lilitokea huko.

Hali hiyo ya askari kuangushiwa kichapo, lilikuja gari la polisi ambalo lilikuwa na polisi ambao walikuwa na mabomu ya machozi na silaha za moto na kuanza kipiga mabomu.
Aidha Mwandishi wa habari hizi, alishuhudia Polisi mmoja akimpiga mjane wa marehemu, katika vurugu hizo ambazo zilianzishwa na polisi wenyewe ambao walilazimisha kuingia kwenye chumba hicho.

Katika vurugu hizo, polisi walimtia mbaroni Mwenyekiti wa Bavicha Taifa, Pastrobas Katambi na baadhi ya wafuasi zaidi ya wanne.
Awali wakati wafuasi wa Chadema wakiupokea mwili wa marehemu, walikuwa walisikika wakiimba, “Kama sio wewe Mkapa na mauaji yangetoka wapi.”
Hata hivyo wafuasi hao ambao waliupokea mwili wa marehemu katika kivuko cha Busisi ambapo walipofika kati kati ya Jiji la mwanza walitokea wafuasi wengine ambao walikuwa nao walisikika wakiimba,” CCM wameua CCM wameua… Hadi katika BMC.

Kifo cha Mawazo kinahusishwa na mmoja wa viongozi wakubwa wa CCM Mkoa wa Geita, ambaye ni mmiliki wa mabasi yanayofanya safari zake Mwanza – Geita.
Kuhusishwa kwa kigogo huyo wa CCM na kifo hicho, inadaiwa kuwa gari lake lilionekana likiwabeba vijana wanaotajwa kuhusika na mauaji hayo na kuwaleta mjini hapa.
Pia kigogo huyo ambaye ni Mbunge mteule wa kati ya majimbo ya mkoa huo, anahusishwa kuandaa mtandao wa wauaji hao ambao mmoja wao anadaiwa kutoka jijini hapa.

Pia Mawazo ambaye alikuwa ni mgombea ugunge jimbo la Busanda akichukuana na Lolencia Bukwimba (CCM) inadaiwa alikuwa anatarajiwa kwenda mahakamani kupinga ushindi wa Bukwimba.
Hata hivyo inaelezwa kuwa endapo kama marehemu angefungua mashtaka polisi angeshinda kesi kutokana na ushahidi wa video zinazowaonesha polisi kuwatisha mawakala wa Chadema kusaini matokeo kwa lazima.
Akizungumza na wafuasi wa Chadema, Godbless Lema, amesema kifo cha Mawazo ni mpango wa Chama cha Mapinduzi na kuitaka Jeshi la Polisi kuwakamata watu wanaohusishwa na kifo hicho.

Source:Mwanahalisi

Hatari: Nyangumi Akutwa Amekufa Ufukwe wa Coco, Wananchi Wachangamkia Kitoweo na Mafuta

$
0
0
Watanzania nadhani tuna matatizo sana, mtu mwenye akili timamu katika hali ya kawaida huwezi kuta mnyama amekufa ukakimbilia kumfanya kitoweo bila ruksa ya daktari wa mifugo au mamlaka husika. Hata kwenye machinjio yetu lazima daktari athibitishe kuwa kitoweo ni salama kwa matumizi ya binadamu.
Viewing all 104705 articles
Browse latest View live




Latest Images