Quantcast
Channel: UDAKU SPECIAL
Viewing all 104684 articles
Browse latest View live

Video: How Prophet TB Joshua Predicted The 2015 Paris Terror Attacks

$
0
0

On Sunday 19th January 2013, during a Sunday Live Service at The Synagogue, Church Of All Nations (SCOAN), Prophet T.B. Joshua gave a word of prophecy concerning the nation, France. This is what he said:

"France as a nation, there is a strange thing they have to pray about which is in their country now. There are some strange people; they have strategic places in France. They should pray against suicide bombers or an attack of any kind that will affect many. Take care of your homeland security. This is France, this time."

We pray for the families and loved ones of all those affected by this tragedy in the nation of France. May God strengthen them that their hearts may rise and seek the things above that they may be comforted under the present sorrow.


Zitto Kabwe Atoa Kauli Nzito Kuhusu Uchaguzi wa Spika wa Bunge.....

$
0
0

Ameandika Maneno haya Kwenye Ukurasa wake wa Facebook:

|Hata Nyerere hakuwahi kujaribu kuleta Spika wake au Naibu Spika wake mfukoni. Alipomteua Chief Adam Sapi Mkwawa kuwa Waziri alifanyiwa rebellion na wabunge ( wakati wa chama kimoja) akamrudisha mpaka alipostaafu tena kwa kumtungia sheria ya ustaafu ( wakati wa Mwinyi) . Unapoona Rais anajaribu ku impose Kiongozi wa Bunge anayemtaka mjue huko mbele Bunge litafanywa kibogoyo. Kwa mfano, hakuna Naibu Spika yeyote katika nchi hii ambaye hakuwahi kuwa Mbunge wa Jimbo. Nawakumbusha tu kwamba; Bunge huendeshwa kwa kutumia Katiba, Sheria, Kanuni na DESTURI au maamuzi yaliyokwishafanywa. Underline DESTURI"Zitto Kabwe

Breaking News:CCM Wamteua Job Ndugai Kuwania Nafasi ya Spika wa Bunge

$
0
0
 Kamati Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) leo imemteua aliyekuwa naibu Spika wa Bunge la 10 Job Ndugai, kuwa mwakilishi wa chama hicho atakayegombea nafasi ya uspika wa bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, ambaye atapigiwa kura na wabunge wa hapo kesho kuwania nafasi hiyo.

Kwa mujibu wa taarifa ya chama hicho iliyotolewa na Dodoma kupitia Katibu wa Itikadi na Unezi, Nape Nauye, amesema Dkt. Tulia Mwansasu na Mbunge wa Afrika Mashariki, Abdulla Ally Mwinyi  waliamua kujitoa katika nafasi hiyo hivyo kumpa nafasi Job Ndugai kupita bila kupingwa.

Breaking News:UKAWA Wamtangaza Ole Medeye kuwa Mgombea Uspika..Sasa Kuchuana na Job Ndugai

$
0
0
Vyama vinavyounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) umemteua, Goodluck Ole Medeye (Chadema) kusimama katika nafasi ya uspika,huku katika nafasi ya unaibu Spika akiteuliwa,Magdalena Sakaya wa Chama Cha Wananchi (CUF).

Tangu kuanza kwa mchakato wa kumpata mwakilishi aliyekuwa anatazamiwa kuwakilisha vyama vinavyounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) katika kinyang’anyiro cha nafasi ya uspika Mpekuzi ilibaini kuwa jina la Goodluck Ole Medeye, ndilo lililokuwa likitajwa kuwa litasimamishwa katika nafasi hiyo.

Ole Medeye, aliwahi kuwa Mbunge wa Arumeru Magharibi kupitia CCM,aliwahi pia kuwa Naibu Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi katika utawala wa awamu ya nne wa Rais mstaafu Jakaya Kikwete (CCM).

Umoja wa Vyama unaofahamika kama Ukawa unaundwa na vyama vya Chadema, Chama cha Wananchi (CUF), NCCR-Mageuzi na NLD.

Kushindwa Urais Kwa Lowassa Kwazua Jambo...Vijana Wasusa Kupiga Kura Jimbo la Lulindi Mtwara

$
0
0
Kushindwa kwa mgombea wa urais wa Chadema kupitia Ukawa, Edward Lowassa kumesababisha vijana wengi katika Jimbo la Lulindi mkoani Mtwara kususia uchaguzi mdogo wa mbunge jana.

Wakizungumza kwa nyakati tofauti baadhi ya vijana wa jimbo hilo, Jafari Hamisi, Nurudini Majaliwa na Saidi Mohamed walisema sababu kubwa ya kususia kuchagua mbunge ni kutoridhishwa na mfumo wa siasa ambao walidai hauzingatii demokrasia ya vyama vingi, bali umeegemea chama kimoja pekee.

Mkazi wa Kata ya Lulindi, Anasa Hussein alisema watu wengi wamekatishwa tamaa kutokana na kuahirishwa kwa uchaguzi huo Oktoba 25.

Mimi kwa upande wangu sikujua leo kama unafanyika uchaguzi wa mbunge, nilikuwa najiandaa kwenda shambani, nikasikia watu wanasema leo ni siku ya uchaguzi, " alisema Anasa.

Msimamizi wa uchaguzi wa Jimbo hilo, Beatrice Dominic amekiri kuwapo mwitikio mdogo wa wapiga kura licha ya kufanya uhamasishaji mkubwa.

Msimamizi wa Kituo cha Zahanati ya Chiungutwa, Romanusi Charles alisema mwamko wa kupiga kura ulikuwa mkubwa kwa vijana katika uchaguzi wa Oktoba 25 kwani wengi walijitokeza tofauti na jana.

Mgombea ubunge wa NLD, Modester Makaidi alisema katika vituo ambavyo alitembelea, vijana walishindwa kujitokeza kutumia haki yao ya msingi ya kupiga kura.

Mgombea wa CCM, Jerome Bwanausi jana asubuhi aliendelea kusisitiza wananchi kujitokeza kupiga kura katika vituo vyao.

YAFICHUKA HII NDIO SABABU YA Sitta, Nchimbi kukatwa uspika.

$
0
0
Hatimaye mchuano wa uspika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) umechukua sura mpya baada ya vigogo kadhaa kutemwa wakiwamo spika wa zamani, Samwel Sitta na aliyewahi kuwa Waziri wa Mambo ya Ndani, Dk. Emmanuel Nchimbi.
Naibu Spika wa Bunge la 11, Job Ndugai, Naibu Mwanasheria Mkuu, Dk. Tulia Ackson na Mbunge wa Afrika Mashariki, Abdullah Ali Mwinyi ambaye ni mtoto wa Rais Mstaafu Ali Hassan Mwinyi ‘Mzee Ruksa’ ndiyo waliopenya katika mchujo uliofanywa na Kamati Kuu ya CCM jana, huku vyanzo mbalimbali vikitaja suala la umri na makundi kuwa ni miongoni mwa sababu zilizowaponza waombaji wengine 20 waliojitosa katika mbio hizo. Makada 23 wa CCM ndiyo waliokuwa wakiwania uspika kumrtihi Anna Makinda aliyetangaza kustaafu.
Katika Uchaguzi Mkuu uliofanyika Oktoba 25, mbali na kushinda nafasi ya urais iliyotwaliwa na Dk. John Magufuli, CCM pia ilifanya vizuri ubunge baada ya kutwaa majimbo 186 na hivyo mgombea yeyote atakayepitishwa na chama hicho kuwania uspika atakuwa na nafasi kubwa ya kushinda dhidi ya wapinzani ambao kwa ujumla walitwaa majimbo 74.
Bunge la 11 linatarajiwa kuanza kesho na Rais Magufuli anatarajiwa kulizindua Ijumaa.

MCHUJO ULIVYOKUWA 
Akizungumza na waandishi wa habari mjini Dodoma jana, Katibu wa CCM wa Halmashauri Kuu ya Taifa, Itikadi na Uenezi, Nape Nnauye, alisema Kamati Kuu (CC) ya chama chao ilikuwa na kikao maalum chenye ajenda moja tu ya kuwapitisha wagombea wa nafasi ya spika.
Aliwataja Ndugai, Dk. Tulia na Abdulla Mwinyi kuwa ndiyo waliopitishwa kuwania nafasi hiyo na mchakato wa kumpata mgombea mmoja utaanza leo.
“Kamati Kuu imewateua wanachama wa CCM watatu ambao wanapelekwa katika kamati ya wabunge wa CCM kesho (leo) kwenda kuchaguliwa mmoja ili awe mgombea wa uspika wa bunge,”alisema Nape.
Nape alisema majina ya watatu hao yatawasilishwa kwenye kamati ya wabunge wa CCM leo saa 4:00 asubuhi makao makuu ya chama hicho mjini Dodoma na kupigiwa kura huku mmoja atakayeshinda kati yao ndiye atakayepelekwa bungeni kuchuana na mgombea wa upinzani kuwania kiti hicho.
Kuhusu nafasi ya Naibu Spika, Nape alisema ratiba iliyotolewa juzi na chama hicho ilikosewa kwa bahati mbaya kwani nafasi hiyo itashughulikiwa na kamati ya wabunge wenyewe wa CCM.
“Sasa kwa mujibu wa kanuni za Chama Cha Mapinduzi, suala la Naibu Spika halishughulikiwi na kamati kuu bali na kamati ya wabunge wa CCM,”alisema Katibu huyo.
Alifafanua kuwa kanuni za CCM, toleo la nne la mwaka 2011, ibara ya 57, inasema mwanachama wa CCM anayetaka kugombea nafasi ya Naibu Spika wa Bunge atajaza fomu maalum ya maombi na kuiwakilisha kwa katibu wa kamati ya wabunge wote wa CCM katika muda ambao umewekwa.

“Ada ya fomu hiyo ni shilingi laki moja ambazo zitatolewa wakati akirudisha fomu kwa katibu wa kamati. Kwa hiyo suala la Naibu Spika kutoka CCM litamalizwa na kamati ya wabunge wa CCM,” alisema Nape.

Kadhalika, alisema kwa mujibu wa ratiba, wabunge wa CCM wanaotaka kugombea nafasi hiyo watachukua fomu kuanzia leo (Novemba 16) na kuzirudisha kesho kabla ya saa 10:00 jioni.

Aliongeza:”Uchaguzi utafanywa na wabunge wa CCM na unategemewa kufanyika tarehe 17 (kesho) kumpata mgombea mmoja wa nafasi ya unaibu spika.


KILICHOWAPONZA

Vyanzo mbalimbali viliiambia Nipashe jana kuwa miongoni sababu zilizowapa nafasi Ndugai, Mwinyi na Dk. Tulia ni kutokuwa na makundi, ujuzi wa masuala ya sheria na pia umri.

Kadhalika, imeelezwa kuwa mbali na sababu hizo, vigezo vingine vinavyodaiwa kuzingatiwa ijapokuwa havikutajwa wazi ni pamoja na jinsia na pia umuhimu wa kuwa na sura ya muungano walau katika nafasi tatu za wagombea.

Ndugai ana uzoefu wa kutosha kwani ndiye aliyekuwa Naibu Spika wa Bunge la 10, Abdullah ni kijana ambaye pia ana uzoefu na masuala ya Bunge kwani hadi sasa ni Mbunge wa Afrika Mashariki na pia anatokea Zanzibar. Kwa upande wa Dk. Tulia, yeye ni msomi kijana aliyezaliwa mwaka 1976 na aliwahi kufanya vizuri wakati alipokuwa Mjumbe katika Bunge Maalum la Katiba.

Chanzo kimoja kimeiambia Nipashe kuwa kwa kuzingatia mambo hayo na mengine kadhaa yanayohusiana na sifa za kawaida walizokuwa nazo makada wote waliojitosa kuwania uspika, huenda ndiyo maana Sitta na Nchimbi wakawa miongoni mwa wale walioachwa katika orodha ya wagombea watatu wa mwisho.

“Sitta ana uzoefu mkubwa kuhusiana na masuala ya Bunge. Ni wazi kwamba umri wake wa takriban miaka 70 unaweza kuwa sababu mojawapo ya kukosa nafasi hii kwani vinginevyo, ni wazi kwamba naye asingekosekana katika orodha ya wagombea watatu wa mwisho,” chanzo kimoja kiliiambia Nipashe kuhusiana na kuenguliwa kwa Sitta ambaye inaelezwa kuwa alizaliwa mwaka 1942, zaidi ya miaka 70 iliyopita.

Kadhalika, kuhusiana na kukatwa kwa Nchimbi, chanzo kingine kiliiambia Nipashe kuwa waziri huyo wa zamani atakuwa ameponzwa na makundi ndani ya chama, hasa kutokana na ukweli kuwa kwa muda mrefu iliaminika kuwa yeye alikuwa katika kambi ya Edward Lowassa ambaye alienguliwa katika mbio za urais ndani ya CCM kabla ya kuhamia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema).

Imeelezwa kuwa Nchimbi ambaye ni miongoni mwa wajumbe wa Kamati Kuu (CC) ni msomi na tena hana umri mkubwa kama Sitta, lakini kitendo chake cha kukana maamuzi ya CC wakati alipoenguliwa Lowassa wakati wa mbio za urais ndicho kilichomponza.

“Ni wazi kwamba Nchimbi ameponzwa na hisia za baadhi ya watu kwamba bado yeye ni mtu wa karibu wa Lowassa… vinginevyo, ni wazi kwamba naye asingekatwa kirahisi,” chanzo kiliiambia Nipashe.

Mbali na Sitta na Nchimbi, makada wengine wa CCM waliokuwa wakiwania nafasi ya uspika ni pamoja na Gasbert Blandes na mawaziri wa zamani , Balozi Philip Marmo na Ritta Mlaki.
Akizungumza kwa njia ya simu, Sitta alisema bado hafahamu chochote juu ya kukatwa kwake.
“Sijaarifiwa. Siwezi kuzungumza chochote kwa kitu nisichokijua, sijasikia na kawaida ninavyojua huwa tunaitwa na kuambiwa kasoro… hivyo sijui sababu za kuondolewa kwangu. Inabidi tusubiri kwanza,” alisema Sitta.

Miongoni mwa wagombea wa nafasi hiyo walioenguliwa, Banda Sonoko, alisema yeye binafsi anapongeza mfumo uliotumika kupata majina hayo matatu na hivyo anamuunga mkono yeyote atakeyepitishwa na Kamati ya Wabunge wa CCM kuwa mgombea.
Mbunge mteule wa Chunya (CCM), Victor Mwambalaswa, alisema ni kanuni na taratibu za chama zilizotumika kuwachuja na kuwapitisha wagombea watatu na kwamba, uamuzi huo unadhihirisha kuwa ndani ya CCM hakuna kiongozi mkubwa wala mdogo bali wanachama wote wana hadhi sawa.

Mbunge mteule wa Viti Maalum (CCM), Mkoa wa Mbeya, Dk. Mary Mwanjelwa, alisema CCM inaongozwa kwa sheria na kanuni na hivyo maamuzi yaliyotolewa na kikao cha kamati kuu yanapaswa kuheshimiwa, bila kuangalia ni kina nani wameenguliwa.

Mbunge mteule wa Nkasi Kaskazini, Ally Kessy, alisema majina yaliyopitishwa na kamati kuu yamezingatia jinsia, muungano na sifa za kila mmoja.

“Hakuna mtu maarufu. Wote ni maarufu, mfano Mwinyi ni Mbunge wa Afrika Mashariki, Dk. Tulia ni Naibu Mwanasheria Mkuu na Ndugai alikuwa Naibu Spika katika Bunge la 10. Wote waliopitishwa wana sifa zinazostahili,” alisema Kessy.

Mbunge mteule wa Singida Mashariki (Chadema), Tundu Lissu, alisema mchakato huo utakuwa umetumia vigezo ambavyo yeye havifahamu lakini, kama ni Ndugai atapitishwa, basi ni janga kwani alikuwa Naibu Spika wa Bunge la 10 ambaye alishindwa kuendana na kasi ya bunge.

Kuhusiana na Dk. Tulia, alisema inasitikisha ,kwani ameshindwa kutimiza kiapo cha utumishi wa umma na kujiingiza kwenye siasa. Kuhusu Abdullah, alisema anaamini kuwa umarufu wa baba yake, Rais mstaafu Mwinyi, umemsaidia kupata nafasi hiyo.

Akizungumza na Nipashe jana, Mwenyekiti wa Umoja wa Wanataaluma katika Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOMASA), Nashoni Maisori, alisema kwa maoni yake, Sitta hakupaswa kupewa nafasi ya kugombea tena uspika kwani kuongoza kwake Bunge Maalum la Katiba kulitosha kumuondolea sifa.

Mkuu wa Chuo cha Biashara (Aseki), Omary Kiputiputi, alisema kukatwa kwa Sitta, Nchimbi na vigogo wengine CCM ni jambo la kawaida kwani ndivyo demokrasia ilivyo na kwamba, wengine walishatumikia serikali kwa muda mrefu na sasa ni wakati muafaka kwao kupumzika na kulijenga taifa kupitia maeneo mengine.

Mkazi wa Area C mkoani Dodoma, Gerald Simon, alisema kwa upande wake, anaamini Sitta ndiye mtu sahihi aliyepaswa kupitishwa na CCM na hivyo anashangaa kusikia ameenguliwa.


CHANZO:NIPASHE

Wakutwa Hai Baada ya Kufukiwa na Kifusi Mgodini Kwa Siku 41, Walikuwa Wakila Magome ya Miti na Chura

$
0
0
WATU watano waliokuwa wakichimba madini katika mgodi wa Nyangarata uliopo Wilaya ya Kahama mkoani Shinyanga wamepatikana wakiwa hai baada ya kufukiwa na vifusi kwenye mashimo ya mgodi huo kwa siku 41.

Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam leo, Ofisa Habari wa Wizara ya Nishati na Madini, Badra Masoud amesema kuwa wachimbaji hao wanaodaiwa kuwa sita, walifukiwa na vifusi mnamo Oktoba 5, mwaka huu na kuendelea kuishi kwenye mashimo hayo huku wakila magome ya miti, vyura na udongo baada ya kushiwa chakula walichokuwa nancho, hadi jana Novemba 5, walipookolewa umbali wa kilomita 10 ndani ardhini na watano kati yao kukutwa hai huku mwenzao mmoja akidaiwa kufariki dunia.

Baada ya kupatikana wakiwa hai, manusra hao walikimbizwa kwenye Hospitali ya Wilaya ya Kahama ambako wanaendelea kupata matibabu.

Badra amewataja waliopatikana hai kuwa ni; Joseph Bulule, Chacha Wambura, Unyiwa Aindo, Msafiri Gerald na Muhangwa Amos. Wakati aliyefariki akimtaja kwa jina la Mussa Supana.

CCM Yaanza Kuwashughulikia Viongozi Wasaliti...Hawa Hapa Kutoka Tabora Wamesimamishwa

$
0
0
CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) wilaya ya Tabora Mjini, kimewasimamisha viongozi wanne wa Kata ya Chemchem kwa kukisaliti chama hicho katika mchakato uliopita wa kura za maoni hadi Uchaguzi Mkuu uliofanyika Oktoba 25 Mwaka huu.

Akizungumza na waandishi wa habari jana, Katibu wa chama hicho, Kanuth Ndaghine alisema sababu za kuwasimamisha viongozi hao ni kukisaliti chama na kutosimamia kikamilifu uchaguzi katika ngazi za udiwani wa kata hiyo.

Ndaghine alisema viongozi hao walikuwa hawakisaidii chama kupata ushindi bali waliegemea chama pinzani ambacho kiliweza kuchukua nafasi ya udiwani kupitia Chama cha Wananchi (CUF) katika kata ya Chemchem mkoani Tabora.

Aidha alisema wanachama na wananchi hawana imani na viongozi hao tangu kipindi cha mchakato wa kura za maoni mpaka kufikia uchaguzi mkuu.
 
Hata hivyo, alieleza kusikitikia kitendo kilichofanywa na viongozi hao cha kukisaliti chama kwa kuwa walikuwa na wagombea wao katika mchakato wa kura za maoni ambao kura hazikutosha.

Aliyeshinda ni Elizabert Shoki aliyepata kura nyingi zilizopigwa na wanachama wa CCM katika kata hiyo. Viongozi hao walishindwa kumuunga mkono aliyekuwa mgombea wa chama hicho na kukipigia kura CUF, kitu ambacho hakikubaliki katika chama kwa kuwa wao ni viongozi wa kata hiyo.

Pamoja na CCM kukosa kata hiyo, alisema katibu huyo kuwa viongozi hao hawafai katika chama kwa sababu wanaonekana dhahiri kukisaliti chama hicho na kuwatia aibu wanachama na wananchi kwa ujumla.

Aliwataja viongozi waliosimamishwa uongozi kuwa ni Mwenyekiti wa Kata Juma Mapunda, Katibu Kata Mwajuma Boko, Katibu wa siasa na Uenezi kata hiyo Issa Water na Katibu uchumi na fedha, John Muhando.

Kwa upande wake Katibu wa Siasa na Itikadi, Uenezi Wilaya ya Tabora Mjini, Rashidi Tollu alisema waliwateua viongozi wengine ili kukaimu nafasi hizo za viongozi waliosimamishwa na kuweka wengine.

Waliowekwa ni Kisuzi Mswanyama Mwenyekiti, Tatu Balola Katibu kata, Hussenu Sengo katibu wa Siasa na Uenezi wa kata Selemani Mzee Kaimu katibu wa Uchumi na fedha. Tollu amewataka viongozi hao waliokaimishwa nafasi hizo wafanye kazi kwa uadilifu mkubwa kwa wanachama na wananchi wote kwa ujumla, kwani wananchi wana imani na chama hicho ambacho kinasimamia misingi Imara ya amani,umoja na upendo.

Akizungumzia kusimamishwa kwao, Juma Mapunda alisema hawawezi kuzungumza chochote juu ya kusimamishwa kwao isipokuwa wanaandika barua ili waipeleke kwa Mwenyekiti wa chama hicho, Abdulrahman Nkonkota.

Jide Jeuri Kwisha....Mgahawa na Bendi Vimesimama..Gardner G. Habashi Ahusishwa

$
0
0
MAISHA bwana! Kuna madai kwamba, nyota wa muziki wa Bongo Fleva, Judith Wambura Mbibo ‘Jide’ ambaye ni ‘mtalaka’ wa Mtangazaji Gardner G. Habashi ‘Kapteni’  kwa sasa si kama yule wa zamani akisemekana kuishiwa ‘mpunga’ kiasi cha mambo yake kwenda halijojo lakini kisa kikuu kikitajwa ni kitendo cha ndoa yao kuparanganyika.
Kwa mujibu wa chanzo chetu makini, Jide kwa sasa hana zile mbwembwe zake za kuonekana mjini akitanua na gari la kifahari kwenye maeneo mbalimbali ya kujidai kwa vile miradi yake mingi imefunga breki.

MGAHAWA, BENDI VYATAJWA
“Ninachowaambia ni kweli kabisa jamani! Jide wa sasa si yule wa enzi zile. Nikishibisha maneno yangu, Jide ameshindwa kuuendeleza Mgahawa wa Nyumbani Lounge uliopo Kinondoni mpaka ukafulia, hilo mnalijua na kwa sasa mgahawa unamilikiwa na mfanyabiashara mwingine na ameupa jina lingine.

“Lakini ukiachana na mgahawa, wewe jiulize, mara ya mwisho kuisikia bendi ya Jide ya Machozi ikiwa jukwaani ni lini? Pia bendi imesimama! Yaani mambo yake hayaendi sawasawa kama awali,” kilisema chanzo hicho.

GARDNER KACHANGIA?
Chanzo hicho kiliendelea kuweka wazi kuwa, baadhi ya marafiki wa zamani wa familia ya Jide na Gardner wamekuwa wakidai kwamba, kitendo cha wawili hao kutengana kiliondoa sehemu kubwa ya nguvu iliyokuwa ikisaidia kwenye biashara.
 “Unajua Gardner licha ya kuwa mumewe, lakini pia alikuwa meneja wake. Ndiye aliyekuwa akisimamia Bendi ya Machozi na pia alikuwa akisimamia mradi ule wa mgahawa. Si unajua kwa mambo kama haya, mchango wa Gardner ulikuwa mkubwa.
“Sasa kuachana kwao, automatiki Gardner akawa si meneja wa Jide tena, matokeo yake Jide akashindwa kusimamia miradi yake mwenyewe, ndiyo haya unayoyaona sasa,” kilisema chanzo.

ATHARI ZA GARDNER ZIMEJIFICHA
Kwa upande wake, Gardner anatajwa kuendelea na maisha yake vizuri kwani mpaka sasa ni Mtangazaji wa Kituo cha Redio cha E FM cha jijini Dar akionekana kutopigika sana na athari za kutengana kwao.

JIDE ALIVYOTAFUTWA
Risasi Jumatano lilimsaka Jide kwa nguvu zake zote ili kumpa nafasi ya kufafanua madai hayo lakini kwa simu yake ya mkononi hakuwa hewani.

Risasi Jumatano lilifunga safari mpaka kwenye makazi anayodaiwa kuishi hivi sasa maeneo ya Masaki, Dar lakini nyumba hiyo ilionekana kuwa kimya sana.
Baadhi ya majirani walisema hawajamuona kwa siku kadhaa sasa huku wengine wakisema wanaamini amesafiri nje ya nchi.

“Mh! Jideee… Jideee! Kwa kweli sijui kama yupo hapa nchini. Inawezekana yupo lakini pia inawezekana hayupo. Mi binafsi sijamwona siku nyingi,” alisema jirani mmoja bila kujitambulisha jina.

GARDNER AOMBA UDHURU
Kwa upande wake, Gardner alipopigiwa simu na kuulizwa kuhusu madai hayo aliomba udhuru wa dakika kadhaa akisema atapiga yeye ingawa hakufanya hivyo.
Kumbukumbu zinaonesha kuwa, mara zote ambazo Gardner amekuwa akipigiwa simu na waandishi wetu na kuombwa kufafanua kuhusu tuhuma kadhaa, amekuwa akijibu atapiga yeye baadaye au kusema hana la kuchangia!!

MTABIRI ATIA NENO ZITO
Hata hivyo, katika moja ya elimu zake za nyota, mtabiri maarufu nchini ambaye pia ni mtoto wa aliyekuwa mnajimu maarufu Afrika Mashariki, marehemu Shehe Yahya Hussein, Maalim Hassan alipoulizwa kuhusu maendeleo ya Jide alisema kuwa, kufifia kwake kunatokana na kutembelea nyota ya Gardner.

“Yule alikuwa juu kwa sababu alikuwa akitembelea nyota ya yule aliyekuwa mume wake. Sasa kwa kuwa waliachana, lazima afifie kwa vile nyota ya yule ilikuwa kali kuliko yeye,” alisema Maalim Hassan katika mahojiano maalum nyumbani kwake, jijini Dar es Salaam.

Source:Globalpublishers

After she Forgot To Hang The Phone... I Heard Sound Of Another Guy Bánging My Lover Seriously

$
0
0


I am in a relationship 4yrs on. My girl has cheated on me more than once before she told me about it, promising not to repeat it again. I love her so much desiring to settle down with her, this i told her many times. I assisted her through school inspite of the fact she doesn’t allow me touch her as much i wanted to, claiming it’s a sin.

Now, she went serving last year in the north, initially everything was fine, later on she started misbehaving. One night in july last year i called her and she told me she needed some sleep, only for her to drop the phone without ending the call, something in me told me not to end the call. After like 5mins, i heard funny sounds and listened the more and it turned out that a guy was bánging her seriously all through the night, i even recórded it to make sure i wasn’t dreaming. I later confronted her, but she denied it.


When she came back from service in October, she finally told me it was true what i heard the other night, that a fellow corper actually slépt with her that night. It really broke my heart as i really loved her and she has cheated many times before and she starves me of s*x, saying it’s a sin. Now, she says she has changed and won’t do it again.


I need some candid advice, will such a woman make a good wife cos am planning on settling down with her this year. Would she do it again if given the opportunity??

pls i need urgent response. thanks.

U.S. says Rwanda's Kagame Should Step Down At End of Term in 2017

$
0
0

Rwanda's Senate on Tuesday unanimously approved a draft constitution to allow President Paul Kagame to seek a third term in office, the head of the Senate said, clearing the path for a referendum that is not expected to face much opposition.

Kagame, in power since 2000, won widespread praise for rebuilding the landlocked Central African country since a 1994 genocide killed about 800,000 people, most of them ethnic Tutsis and moderate Hutus.

While praising Rwanda's economic and social development since then, rights groups say the government severely restricts freedom of expression and does not tolerate dissent, charges the government has denied.

Kagame, 58, is the latest long-serving ruler in Africa to attempt to extend his hold on power. Similar moves have already sparked violence and instability in Burundi, Burkina Faso and Congo Republic.

So far there has been no political unrest in Rwanda.

Senate head Bernard Makuza said he expected the changes to be approved in a referendum, adding Kagame, whose current term ends in 2017, could run for another seven-year term and then two five-year terms, possibly keeping him in power until 2034.

"But it all depends on his will," he told reporters after the Senate's unanimous vote.

Kagame has not said whether he would run again, but has said he was open to persuasion.

In Washington, the U.S. State Department expressed "great concern" with the Senate's decision and said Kagame should step down at the end of his term in 2017.

"We expect President Kagame to follow through on the commitments he has made previously to foster a new generation of leaders in Rwanda and to step down at the end of his current term in 2017," State Department spokesman Mark Toner said.

Asked later if the United States, a major donor to Rwanda, was considering suspending or reducing U.S. assistance to Kigali, Toner replied: "Not at this time."

He said, however, that if Kagame does decide to stay beyond his current term, it could impact U.S.-Rwanda relations.

The draft amendments to the constitution have already been approved by Rwanda's lower house of parliament.

The Democratic Green Party, Rwanda's only genuine opposition party, which is tiny and has no seats in parliament, tried to block the amendments through legal action, but the Supreme Court rejected its bid, saying it was up to citizens to decide.

Frank Habineza, Democratic Green Party's leader, told Reuters by telephone, that the Senate approval would not deter his party from opposing the amendments. "We will continue with our no-change campaign."

Critics accuse Kagame, 57, of trampling on media and political freedoms, a charge officials deny. The government says it cannot be blamed if opponents fail to win at the ballot box.

Parliament, dominated by Kagame's allies and supporters, debated the issue after a petition calling for changes was signed by 3.7 million supporters of the rebel-turned-president.

A date for a referendum has yet to be decided.

In Burundi, President Pierre Nkurunziza's decision in April to run for a third term triggered protests, killings and a failed coup. Opponents said the move violated a deal that ended a civil war there.

In Congo Republic, voters backed a change to allow President Denis Sassou Nguesso to run for a third consecutive term. The opposition had called for a boycott of that vote and numerous protests have ended in violence.

Sugu Aongoza Orodha Wabunge Waliovuna Kura Nyingi Majimboni

$
0
0
 Mbunge wa Mbeya Mjini (Chadema), Joseph Mbilinyi ndiye aliongoza kwa kuchaguliwa na wapigakura wengi kuliko mbunge yeyote kati ya wabunge 257 waliochaguliwa katika Uchaguzi Mkuu mwaka huu.

Kwa mujibu wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), wabunge waliochaguliwa majimboni hadi sasa ni 257 kati ya 264. Majimbo saba hayajafanya uchaguzi kutokana na sababu mbalimbali, ikiwamo vifo vya wagombea na uhaba wa vifaa.

Mbilinyi ambaye pia anafahamika kwa jina la Sugu, alichaguliwa kwa kura zaidi ya 100,000 kati ya 166,256 zilizopigwa.

Taarifa ya NEC inaonyesha orodha ya wabunge waliochaguliwa na idadi ya kura zao, kati ya 10 walioongoza, saba wametoka vyama vinavyounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) na waliosalia ni wa CCM.

Katika uchaguzi huo, Sugu alifanikiwa kupata kura 108,566 akiwaachia mbali wapinzani wakigawana kura 57,690.

Katika uchaguzi wa mwaka huu, Abdallah Chikota wa Jimbo la Nanyamba (CCM) ndiye pekee aliyepita bila kupingwa.

Kati ya wabunge waliopigiwa kura nyingi, wamo wanawake wawili na wanaume wanane.

Wanawake walioingia 10 bora ni Halima Mdee wa Kawe (Chadema) na Bonnah Kaluwa wa Segerea (CCM) wote kutoka Dar es Salaam.

Licha ya wanawake hao, jiji hilo linaongoza kutoa wabunge wengi waliopigiwa kura nyingi likiwa na majimbo sita likifuatiwa na Arusha lenye majimbo mawili, Mbeya na Morogoro yenye jimbo moja kila mkoa.

Wabunge wengine waliovuna kura nyingi ni Ally Abdallah wa CUF (Temeke) aliyepata kura 103,231; Abdul-Aziz Abood wa CCM (Morogoro Mjini) 99,748; Mdee 96,432 na Kaluwa kura 94,640.

Wengine ni Gibson Olemeiseyeki wa Arumeru Magharibi (Chadema) 94,354 na Mwita Waitara wa Ukonga (Chadema) kura 90,478.

Pia, wamo Saed Kubenea wa Ubungo (Chadema) 87,666; Ali Mangungu wa Mbagala (CCM) 87,249 na Joshua Nassari wa Arumeru Mashariki (Chadema) 86,694.

Waliopata kura chache ambazo hazikufika hata 20,000 katika uchaguzi huo wa Oktoba 25 mwaka huu ni Mwita Boniface wa Bunda Chadema) 12,512; Hamidu Jumaa wa Pangani (CCM) 12,551 na Kizito Joseph wa Madaba (CCM) 12,736. Pia, wamo Edwin Sannda wa Kondoa Mjini (CCM) 13,333 na Hamidu Bobali wa Mchinga (CUF) kura 14,776.

Wengine ni Mary Chatanda wa Korogwe Mjini (CCM) 16,690; Vedasto Ngombale wa Kilwa Kaskazini (CUF) 16,724 na Jerome Bwanausi wa Lulindi (CCM) 17,715.

Pia, wamo Abuu Hamoud wa Kibaha Vijijini (CCM) 18,521 na Cosato Chumi wa Mafinga Mjini (CCM)aliyepata kura 18,594.

Katika uchaguzi huo wapigakura 15,589,639 waliwapigia kura wabunge hao.    


Raha ya Kufanya Mapenzi Sehemu Hatarishi zisizo Sahihi..

$
0
0

Wimbi la Watu Kufanya Mapenzi kwenye Magari hapa Mjini mchana kweupe limeongezeka kwa kasi...Hapa namaanisha kufanya mapenzi katika maeneo hatarishi na siyo mapenzi hatarishi,yan kufanyia mapenzi maeneo ambayo hayakupi utulivu wa asilimia mia,na maeneo hayo ni kama vile kufanyia mapenzi ofisini au choo cha ofisi, Beach disco,kwenye siti ya nyuma ya bus la public,vichochoroni, Kwenye Gari  nk,hivi wapendwa huwa ujasili unatoka wapi?
Na je kufanya mapenzi sehemu hizi kuna raha zaidi ya kufanya kwenye chumba? 
Tupe Maoni yako

The Geography of a Woman..Haha

$
0
0

THE GEOGRAPHY OF A Woman. 

1.         Between 18 and 20, a woman is like Africa, half discovered, half wild, naturally
beautiful with fertile deltas..

2.         Between 21 and 30, a woman is like America, well developed and open to trade especially for someone with cash.

3.         Between 31 and 35, she is like India, very hot, relaxed and convinced of her own beauty.

4.         Between 36 and 40, a woman is like France. Gently aging but still a warm and desirable place to visit.

5.         Between 41 and 50, she is like Yugoslavia, lost the war – haunted by past mistakes. Massive reconstruction is now necessary.

6.         Between 51 and 60, she is like Russia, very wide and borders are un patrolled. The frigid climate keeps people away.

7.         Between 61 and 70, a woman is like Mongolia , with a glorious and all conquering past but alas, no future.

8.         After 70, they become Afghanistan. Most everyone knows where it is, but no one wants to go there.

9.         (I’ve alsoafter 70 heard “, she’s like Australia; everyone knows it’s down there, but nobody really care…”)


THE GEOGRAPHY OF A MAN

1. Between 15 and 70, a man is like Iraq – ruled by a dick

Blessed weekend

Kampuni ya Bia ya Serengeti Yadhamini Mashindano ya Gofu ya Waitara

$
0
0
Meneja chapa (vileo kali) wa Serengeti Breweries Limited, Shomari Shija, akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari (hawapo pichani) jijini Dar es Salaam kuhusiana na mashindano ya siku moja ya gofu ya kumuenzi Mkuu wa Majeshi Mstaafu Jenerali George Waitara yatakayofanyika katika klabu ya Gofu ya Lugalo jumamosi. Kushoto ni katibu wa klabu ya Gofu ya Lugalo Kanali Mstaafu John Nyalusi. Kampuni ya bia ya Serengeti kupitia kinywaji chake kikali cha Johnnie Walker kitadhamini mashindano na kutoa zawadi mbalimbali kwa washindi wa mchuano huo.

Katibu wa klabu ya Gofu ya Lugalo Kanali Mstaafu John Nyalusi akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari (hawapo pichani) jijini Dar es Salaam juu ya mashindano ya siku moja ya gofu ya kumuenzi Mkuu wa Majeshi Mstaafu Jenerali George Waitara yatakayofanyika katika klabu ya Gofu ya Lugalo jumamosi hii. Kulia ni Meneja chapa (vileo vikali) wa Serengeti Breweries Limited, Shomari Shija ambao wanahusika na udhamini wa utoaji tuzo, vinywaji na burudani katika kipindi chote cha mashindano.


Mabalozi wa pombe kali ya Scotch Whisky “Johnnie Walker” wakionyesha aina mbalimbali za chapa za pombe hiyo wakati wa mkutano na waandishi wa habari juu ya mashindano ya gofu ya waitara ambayo yanatarajiwa kuanza rasmi siku ya jumamosi katika viwanja vya Lugalo jijini Dar es salaam. Kampuni ya bia ya Serengeti kupitia pombe hiyo kali ndio wadhamini wa mashindano hayo ambapo pia watahusika na utoaji tuzo, vinywaji na burudani katika kipindi chote cha mashindano.
18th Novemba 2015, Dar es salaam: Kampuni ya Bia ya Serengeti (SBL) kupitia pombe yake kali ya Johnnie Walker imetangaza rasmi udhamini wa mashindano ya gofu ya Waitara ambayo yanatarajiwa kuanza siku ya jumamosi katika viwanja vya jeshi Lugalo jijini Dar es Salaam.

Akizungumza na waandishi wa habari katika viwanja hivyo, Meneja Chapa wa pombe wa Kampuni ya bia ya Serengeti (SBL) Bw. Shomari Shija alisema kuwa udhamini wa mchezo huu wa gofu ni kuhakikisha kuwa unaweza kuendelea na kusifika kama michezo mingine ikiwa pia kama moja ya sehemu ya kurudisha fadhila kwa jamii inayotuzunguka.

“SBL inadhamini michuano hii kwa kipindi cha miaka mitano sasa na itajikita hasa katika udhamini wa utoaji wa tuzo, vinywaji na burudani katika kipindi chote cha mashindano”…alisema Bw. Shomari.

Naye katibu wa michuano hiyo ya gofu Kanali mstaafu John Nyalusi aliishukuru SBL kwa kuendelea kusaidia maendeleo ya mchezo huo na kuyaomba makampuni mengine kujitokeza na kuunga mkono jitihada hizo za kuinua mchezo wa gofu nchini.

“SBL imekuwa katika mstari wa mbele katika kuuendeleza mchezo wa gofu nchini. Ni moja kati ya wadhamini wetu wa kudumu kwa sasa…hivyo tunawashukuru sana… tunaomba makampuni mengine zaidi yajitokeze kuunga mkono jitihada hizi,” alisema Kanali Nyalusi.

Aliongeza kuwa mashindano hayo yanatarajiwa kufunguliwa na jaji mstaafu Ndugu Mark Bomani siku ya jumamosi saa nne asubuhi na kuwa mpaka sasa mwitikio umekua mkubwa na tayari wachezaji 150 wameahidi kushiriki mashindano hayo kutoka vilabu mbalimbali ikiwa ni pamoja na wenyeji wa Lugalo Golf club, Dar es salaam Gymkhana club, Morogoro Gymkhana club, Arusha n.k.

Mashindano ya gofu ya Mkuu wa Majeshi mstaafu Jenerali George Waitara huandaliwa na kufanyika kila mwaka kwa madhumuni ya kuenzi mchango wake wa kimichezo nchini kwa kuasisi uwanja wa gofu wa Lugalo golf club. Uwanja wa gofu wa Lugalo ulianzishwa mwaka 2006 kwa mchango mkubwa uliotolewa na Generali mstaafu George Waitara kipindi alichokuwapo madarakani, pia kuendelezwa na Mkuu wa Majeshi aliyefuata na aliyeko madarakani kwa sasa Generali Davis Mwamunyange.

I will Sacrifice My Mother for Sh. 20 Million and to Join Freemanson! Listen to This Foolish JALUO

$
0
0
Friday, September 11, 2015 – There is this clip of a young man who says he is ready to sacrifice his mother and father just to be rich.


The man has been desperate to join Freemanson for years with no luck until he got this call;

Listen to it below


Dr.Tulia: Nina Sifa Zote Za Kuwa Mbunge.....Sijapandikizwa ili Niibebe Serikali

$
0
0
Mgombea unaibu spika kutoka Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk. Tulia Ackson Mwansasu, amekanusha madai kwamba amepewa nafasi hiyo kama pandikizi ili aibebe Serikali.

Amesema madai kuwa ataibeba Serikali kwa kuwa ni mbunge wa kuteuliwa hayana msingi kwa kuwa haendi bungeni kumtumikia rais bali kuwatumikia Watanzania.

Rais John Magufuli Jumatatu wiki hii alimteua Dk. Ackson kuwa mbunge wa kuteuliwa na kutengua nafasi yake ya naibu Mwanasheria Mkuu wa serikali aliyoteuliwa hivi karibuni na Rais mstaafu, Jakaya Kikwete.

Ni kweli nimeteuliwa na rais, lakini nakwenda kufanya kazi za Watanzania, nikipata nafasi ya kuwa naibu Spika madai kuwa nitaibeba serikali hayapo kwa kuwa nitafanya kazi za Bunge ambazo ni kuisimamia, kuishauri na kuiwajibisha serikali,” alisema Dk. Ackson ambaye juzi usiku alipitishwa kwa kauli moja na wabunge wa CCM kuwa mgombea wake wa unaibu spika.

Alisema ni vyema wabunge wakawa na imani naye na kumpa ushirikiano wa dhati ili atekeleze majukumu yake ipasavyo.
Katika hatua nyingine, vita ya unaibu Spika wa Bunge la 11, imemalizika, baada ya, Dk. Ackson, kupitishwa kwa kauli moja na wabunge wa CCM kugombea nafasi hiyo.

Awali kulikuwa na mvutano wa ndani kwa ndani baina ya wabunge wa chama hicho, ambao waligawanyika kwa baadhi kumtaka Mbunge wa Ilala, Mussa Azzan Zungu.

BREAKING NEWS: Rais Magufuli amemteua mbunge wa Ruangwa, Majaliwa Kassim Majaliwa kuwa Waziri Mkuu

$
0
0
Hatimaye Kile kitendawili cha Nani Atakuwa Waziri Mkuu wa Awamu ya Tano Kimepata jibu asubuhi hii..
Rais Amemteua Mh Majaliwa Kassim kuwa Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Tanzania

Jina hilo limetangazwa leo na Spika wa bunge Mh. Ndugai.

Tusubiri kama ataendana na kauli mbiu ya #Hapakazi tu.

Je Kwa Maoni yako Anafaa kuwa Waziri Mkuu?

Hii Hapa Ndio Historia Fupi ya Waziri Mkuu Majaliwa Kassim Aliyeteuliwa na Rais John Pombe Magufuli Leo

$
0
0
Majaliwa Kassim Majaliwa is a Tanzanian CCM politician and Member of Parliament for Ruangwa constituency since 2010. He is the current Deputy Minister of State in the Prime Minister's Office for Regional Administration and Local Government.

Born: December 22, 1960 (age 54), Tanganyika
Education: University of Dar es Salaam
Party: Chama Cha Mapinduzi
Service/branch: Tanzania People's Defence Force
Profession:Teacher

John Maguful Names Kassim Majaliwa Prime Minister

$
0
0

 President John Magufuli has today presented Parliament with the new MP of the 5th phase government, Kassim Majaliwa .

Newly assigned Assembly Speaker, Job Ndugai received a hand written  letter from President Magufuli and named the politician and Member of Parliament for Ruangwa constituency since 2010 and the new premiere to the assembled Parliament Members and the citizens countrywide.

After the announcement which was received with enthusiasm by many MPs, Speaker Ndugai announced that Parliament will adjourn after forty-five minutes to give the appointees time to  reflect on their  legislative positions.

The prime minister-elect was born December 22, 1960 and joined Kigonsera High School  between 1977- 1980.

In 1991-1993 he joined the Mtwara Teachers Training College before joining the University of Dar es Salaam in 1994 and graduating in 1998. He then went on to joing  the University of Stockholm in Sweden for higher studies.

He has served in various capacities since 1984 when he joined the civil service as a teacher in Lindi, Secretary of the District Administration, Regional Administrative Secretary and Head of the District.

In 2010 he was elected MP for Lindi Ruangwa before former President Jakaya Kikwete appointed him  Deputy Minister in 2012 in Prime Minister's Office Regional Administration and Local Government (Local Government) in charge of education.



Viewing all 104684 articles
Browse latest View live




Latest Images