Quantcast
Channel: UDAKU SPECIAL
Viewing all 104775 articles
Browse latest View live

PIGO KWA MNYIKA:KUKOSA FURSA NONO KISA HANA SHAHADA

$
0
0
Kwa wale tuliokuwa na nia njema na kijana Mnyika tumekuwa tukitumia juhudi sana kumuasa arudi shule akasome lakini ushauri wetu haukuzingatiwa na mhusika.

kufuatia ukaidi wake huo, leo amehadhirika kwa kukosa nafasi na fursa NONO zaidi kisa tu hana hata stashahada (diploma) ukiachilia mbali shahaba ya kwanza.

Kwa ufupi ni kwamba - ndugu Mnyika alikuwa miongoni mwa wajumbe ambao walitakiwa kuwa wenyeviti wa kamati kwenye bunge la katiba kwa mujibu wa maoni ya wajumbe kadhaa.

Lakini kwa bahati mbaya maoni na mapenzi ya wajumbe hao yaliyeyuka ghafla baada ya maamuzi ya kamati ya kanuni kuweka kigezo cha shahada kama hitaji la kuwa mwenyekiti au makamu mwenyekiti kwenye kamati za bunge maalumu la katiba.

Aidha, juhudi kadhaa zilifanywa na wapenzi wa Mnyika kuweza kukipoteza kigezo cha shahada ili kisimzuie Mnyika kuwa mwenyekiti wa kamati mojawapo ya bunge kati ya 12 zitakazo undwa. 

Lakini jitihada hizo za wapenzi wa Mnyika hazikuzaa matunda hivyo kugonga mwamba baada ya mhe Simbachawene kusisitiza kuwa hitaji la kuwa na shahada ili uwe mwenyekiti wa kamati ni la kisheria. 

Rai yangu: Kama Mnyika kweli ni kichwa kama ambavyo anapambwa na baadhi ya mashabiki wake. Hivi kupata shahada kuna ugumu gani kwake? Si arudi shule ili awe asset kwa taifa kuliko huku kudhalilika kwake kwa kukosa shahada.

"UONGOZI HAUTAKI UJANJA UJANJA"
Source:Jamii Forums

ANANIPA MAPENZI MPAKA NAOGOPA-NILIKUA SIMPENDI ILA SASA NIMEOZA BADO KUFA TU

$
0
0
Jamani imenibidi tu nisema huyu jamaa kwenye picha ndio roho yangu kwa sasa nampenda kufa hata akiniambia tuoane leo mimi nipo tayari ...Jamani tulikutana nae kama mwaka umepita akani approach mimi nikawa namringia kwa vile sikumpenda hata kidogo pia marafiki zangu walikuwa wanasema si size yangu eti hatuendani ni mshamba basi na mimi nikamchukulia for granted nikawa na mzungusha, basi siku ya mwaka mpya akanipa offer twende tukaspend bagamoyo for two days sasa huku nilipewa penzi la nguvu ambalo sijawahi pewa na mwanaume hapa dar yaani mpaka niliwasahau masharobaro wangu wote ...jamaaa anajua kunigusa napopataka kwa kifupi anajua si unaona kwenye picha hapo hiyo ni trailler tu....Nampenda sana wale marafiki zangu waliokuwa wanamponda sasa nawaambia hivi hapo ndio nimefika nimeoza....Nimeziba masikio hata akisema leo tuoana hata bila sherehe namkubali...I love u Charles

SHILOLE"NAMPENDA SANA NUHU NA YEYE ANANIPENDA NIPO TAYARI KUFUNGA NAE NDOA"

$
0
0
Wasanii wa muziki Shilole na Nuhu Mziwanda wameamua kuweka wazi uhusiano wao wa kimapenzi na kudai kuwa wapo tayari kufunga Ndoa.

Huu ndio ujumbe wa Nuhu Mziwanda.

'Tunajipanga mambo fulani yakae sawa mimi na mke wangu kila kitu kitakaa sawa,kweli tunakama miezi miwili,mitatu tunamshukuru Mungu tunapendana kiukweli kila mtu yuko real kwa mwenzake'Alisema Nuhu Mziwanda

Naye Shilole alidai kuwa ni kweli wanapenda na Nuhu

Kwa upande wa Shilole huu ndio ujumbe wake

'Sijamkana Nuhu,kwanini nimkane kwa sababu gani? Yeye ananipenda na mimi nampenda'Alisema Shilole huku akisema yupo tayari kufunga nanye Ndoa.

BUNGE LA KATIBA LAWAKA MOTO..VURUGU ZASABABISHA KIKAO KUHAIRISHWA

$
0
0
Mwenyekiti wa Muda wa Bunge maalum La Katiba Mh Pandu Kificho Ameahirisha Semina ya kujadili Kanuni za Bunge Maalum la Katika Kutokana na Vuruguru Kutokana na Hali ya Kutokuelewana Kati ya Mbunge wa Jimbo la Simanjiro Mh Ole Sendeka Kutoleana maneno na Mbunge Mwenzake wakati Mbunge Huyo alipohoji kuhusu Kanuni hizo.

Bunge maalum linaloendelea dom linaweza kujikuta likiisha kwa kuigawa nchi yetu vipande vipade kutokana na misimamo ya baadhi ya wajumbe wake, leo tumeshuhudia bunge likiahirishwa baada ya mjumbe kutoka zanz akimtolea uvivu sindeka na mwenyekiti wa muda aye akiungana na mwenzake wa zanz, hivyo imepnekana dhahiri wabunge wote wa zanz wakiungana na wabunge wote wa upinzani na wale wa ccm bara wakibakia peke yao na msimamo wa chama chao, kazi ipo uwezekano wa kupata katiba mpya kwa kutumia msimamo wa ccm imekua ni vigum sanaaa, kizuri makundi yote hayaungi mkono msimamo wa ccm.

SHILOLE: BABY MADAHA HAJIELEWI

$
0
0
Na Shani Ramadhani
STAA wa Mduara Bongo, Zuwena Mohamed ‘Shilole’ amemfungukia msanii mwenzake, Baby Joseph Madaha kwamba  hajielewi.

Shilole ametoa kauli hiyo siku chache baada ya kuchanwa gazetini na Baby Madaha kwa kuambiwa kuwa yeye ni mcheza vigodoro.

“Sitaki kabisa kumsikia huyo Baby Madaha, hanisaidii chochote kile katika maisha na kazi zangu pia sioni sababu ya kupigizana naye kelele, mtu mwenyewe hajielewi,” alisema Shilole.
GPL

SETH: KANUMBA ANANITOKEA NDOTONI..MWEEEE!

$
0
0
Joseph Shaluwa na Erick Evarist
SETH Bosco aliye mdogo wa marehemu Steven Kanumba, aliyekuwa staa wa filamu za Kibongo, ameibuka na kueleza mambo ya kushangaza, akidai kaka yake huyo amekuwa akimtokea ndotoni.

Seth ndiye msimamizi na mwendeshaji wa Kampuni ya Kanumba The Great Film baada ya kifo cha Kanumba kilichotokea Aprili 07,2012 nyumbani kwake, Sinza – Vatican, jijini Dar es Salaam.

Akizungumza na waandishi wa habari hizi, wikiendi iliyopita jijini Dar es Salaam, kwa sauti ya huzuni, Seth alisema: “Kiukweli sina amani, hii hali inanitesa sana. Kila mara ananitokea ndotoni na kunieleza mambo yanayofanana.”

MAMBO GANI?
“Analalamika kwa nini eti ofisi yake aliyoiacha haina mafanikio. Sasa nashindwa kuelewa, ni mafanikio gani anayozungumzia. Analalamika kwa nini filamu hazitolewi, ni jambo la kweli lakini lipo nje ya uwezo wangu,” alisema Seth.

AMANI: Anakutokea kivipi yaani?
SETH: Nikiwa usingizini, nakuwa kama naota, lakini mazungumzo yanakuwa ya moja kwa moja... ndoto ikikatika, nashtuka na kujikuta nahema kwa kasi.

AMEMTOKEA MARA NGAPI?
“Mara ya tatu sasa, ndiyo maana nimeshindwa kuvumilia. Kinachonishangaza ni kwamba, kila anaponitokea, lazima nishtuke mwishoni na lazima niheme kwa kasi na kutoka jasho jingi.
“Mwanzoni nilichukulia kawaida, lakini alivyonijia mara ya pili na ya tatu nikaona hili suala siyo la kulikalia kimya, ikabidi nimwambie mama.”

MAMA KANUMBA ANASEMAJE?
“Mama alishtuka na ameshangazwa sana na hali hiyo. Ameniuliza imenitokea mara ngapi, nikamwambia tatu, akasema lazima tufanye maombi kuondoa hali hiyo,” alisema Seth huku akionesha uso wa wasiwasi.
Credits:Global Publishers

BAADA YA PNC OSTAZ JUMA AMGEUKIA JOHARI.."JOHARI HATA NISAHAU KATIKA MAISHA YAKE"

$
0
0
 Haya Baada ya lile Saga la PNC kumpigia Magoti Ostaz Juma sasa Amekuja na hii mpya ya Kusema Johari Hawezi hawezi kumsahau Ostaz katika Maisha yake siri anayo yeye ...Mhhh Siri Gani hiyo ? 

HATIMAYE OLE SENDEKA NA ABUBAKAR HAMISI BAKARI WAMALIZA TOFAUTI YAO

$
0
0
Mjumbe wa Bunge Maalum la Katiba,Mhe. Ole Sendeka akizungumza na waandishi wa habari kuhusu tuhuma za baadhi ya wajumbe kuwa Mwenyekiti anampendelea kwa kumpa nafasi nyingi za kuchangia hoja katika semina ya kanuni za bunge maalum.
Mjumbe wa Bunge la Katiba na Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo,Mhe. Freeman Mbowe akiongea na waandishi wa habari nje ya Ukumbi wa Bunge mjini Dodoma leo,mara baada ya kuahirishwa kwa kikao.
Mjumbe wa Bunge la Katiba,Mhe. Kajubi Mkajanga kutoka taasisi ya vyombo vya Habari akizungumza na waandishi wa habari mara baada ya mwemyekiti kulazimika kiuahirisha semina ya kujadili kanuni hadi saa kumi na moja (11:00) jioni. 
Semina ya wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba leo imelazimika kuahairishwa baada ya kuibuka vurugu ndani ya ukumbi wa Bunge. 
Zogo hilo liliumuka baada ya kuibuka kwa mvutano baina ya wajumbe uliosababishwa na kutuhumiana kwamba zipo dalili za upendeleo wanazofanyiwa baadhi ya wajumbe kutokana na sababu za kiitikadi za vyama. 
Hali hiyo ya hewa ilichafuka  baada ya kuibuka kwa mvutano baina ya Mjumbe Mhe. Christopher Ole Sendeka ambaye aliingia katika mvutano na Mjumbe wa Kamati ya Kanuni Mhe Abubakar Hamis Bakari kuhusiana na uwasilishwaji wa majedwali ya marekebisho ya kanuni. 
 Awali Mjumbe Sendeka alipewa ruksa na Mwenyekiti wa muda wa Bunge hilo Mhe Pandu Ameir Kificho,  awasilishe mapendekezo ya mabadiriko katika kifungu cha 58 cha kanuni hizo kilichokuwa kikijadiliwa muda huo. 
 Lakini baada ya Mhe Sendeka kuwasilisha mabadiriko yake, alisimama Mjumbe Bakari ambaye kiutaratibu alipaswa kujibu hoja hiyo hasa kwa kuwa ni mjumbe wa kamati ya kanuni. 
Mhe. Bakari alikataa kupokea hoja ya mabadiriko ya Mhe. Sendeka kwa kusema kuwa hayakuwa yamewasilishwa kwa kufuata taratibu za uwasilishwaji wa mabadiriko ya majedwali, na kwamba Kamati haina mapendekezo hayo hivyo haiwezi kujibu jambo lisilo jadiliwa. 
Katika kukataa huko Bakari alikitupia lawama kiti cha Mwenyekiti huyo kwa madai kuwa kimekuwa kikitaja majina ya wajumbe na kuwapa nafasi ya kuongea wakati hawapo kwenye utaratibu wala hawakuwa wameomba toka awali. 
 Aliongeza kuwa si kwa Mhe. Ole Sendeka pekee, bali pia Mwenyekiti huyo amekuwa akiataja wajumbe wengine wakiwamo Peter Serukamba pamoja na Umy Mwaimu ambao wote hawakuwa wamewasilisha majedwali ya mapendekezo ya marekebisho toka awali. 
 "Mheshimiwa Mwenyekiti, Ole Sendeka hayupo katika orodha ya walioleta mapendekezo, lakini nashangaa wewe unampa nafasi ya kuzungumza wakati hakuwapo kwenye orodha yetu, kamati hatuwezi kumpa nafasi ya kujibu hoja yake hatuitambui. 
"Hata hao wakina Ummy Mwalimu hawapo katika orodha. Mwenyekiti ukiendeleza huu mtindo wa kuruhusu kila anayetaka kuzungumza hapa azungumze hatutofika. tutatumia miezi 6 hapa kutengeza kanuni tu. Lazima uwe na maamuzi kuwa wanaoleta mapendekezo hivi sasa hatupokei"alisema Mhe Bakari 
 Baada ya Mhe Bakari kumaliza kuzungumza, Mhe Kificho aliingilia kati na kusema kuwa jambo hio linaweza kuwa limechanganywa na sekretarieti inayoandaa na kwamba yeye binafsi amepewa majina ya waliopeleka marekebisho hivyo anashangaa kuona kama hayapo kwa wajumbe hao. 
Mhe Kificho alitoa ruksa kwa Ole Sendeka kuongea tena, ambapo katika mazungumzo yake alitoa kaulia akisema kuwa mapendekezo yake aliyawasilisha mapema na kwamba kama Mhe Bakari ana itikadi zake za vyama asimuhusishe humo. 
 Mhe. Ole Sendeka alisema kuwa yeye ana uzoefu wa kanuni na kwamba alifuata taratibu akiwa na wenzakeMhe Serukamba pamoja na Mhe Mwalimu na kwama kama mapigo yao yanawaumiza wajumbe wengine wavumilie tu. 
 "Mheshimiwa mwenyekiti tuliopo hapa ni wajumbe. Nilijua na mimi sio dhaifu kwenye kanuni. Nnajua haki yangu kwa kuwasilisha kwa wakati, nilitimiza wajibu wangu, kama mapigo yetu yanawaumiza. 
 "Kazi yetu si kupeleka majina yetu kwa Abubakari, kama yeye ana chama chake na hoja zetu zinamuuma, asimame na kutuweka wazi kuwa yupo katika msimamo gani. Lakini mimi nimewasiisha kama taratibu zinavyonitaka"alisema Ole Sendeka 
 Kauli ya Mhe Sendeka ilianzisha sintofahamu ndani ya Bunge hilo baada ya baadhi ya wajumbe kuanza kuzomea na wengine wakisiama na kutaka kupewa ruksa ya kuzungumza huku wakiwasha vipaza sauti.
 Hali hiyo ilimuinua Mhe Kificho ambaye aliwasihi wajumbe kuacha kuingiza masuala ya vyama hasa kwakuwa wajumbe walioingia hapo ndani wamewakilisha makundi. 
"Niwaombe wajumbe tujitahidi sana, tusionyeshe misimamo ya vyama, tumepata heshima kubwa ya kuwapo humu ndani hivyo si vyema kuanza kuonesha vidole kwasababu huyu katika CCM, sijui CUF ama Chadema au kokote itaibua hisia ambazo si vyema.
 "Mheshimiwa Ole Sendeka naona ulimi umekwenda mbali kidogo ukamgusa mheshimiwa Bakari. Mimi naona hili jambo limekwenda nje. Kwa hiyo naomba tuwe makini"alisema Kificho Baada ya kauli ya Kificho, wajumbe walianza kupiga kelele wakitaka Mhe Ole Sendeka kumwomba radhi Mjumbe Bakari huku wengine wakimtaka asifanye hivyo. 
Mhe Kificho alitoa nafasi nyingine kwa Mhe Bakari kuzungumza, ambapo katika mazungumzo yake ndipo fujo hizo zilipoibuka. Katika Mazungumo yake, Mhe Bakari alisema kuwa alichosema yeye ni kwa faida ya Bunge na nchi, na kwamba taratibu ni kuwasilisha mapema mapendekezo na kwamba majina ya kina Sendeka hayakuwapo. 
 "Mimi nilizungumza vizuri hili kuweka utaratibu mzuri wa kupokea majedwali haya. Mheshimiwa mwenyeiti kwa bahati mbaya mdogo wangu Ole Sendeka anadai kanuni anazijua vizuri, lakini ninachosema sifikirii..sifikirii kama ana uzoefu wa kujua kanuni kunishinda mimi.
"Mheshimiwa mwenyekiti toka mwaka 1980 nipo katika mabunge haya, kwa hivyo sifikirii kama mtu katoka Simanjiro miaka kumi iliyopita anaweza akaja hapa na kusema anajua kanuni kunizidi. "Mimi sitaki aniombe radhi, ila ninachotaka kumfahamisha ni kwamba kuna watu wana ujuzi zaidi kuliko yeye hivyo awe makini katika mazungumzo yake"alisema Bakari 
Kauli hiyo ilizidisha mgawanyiko katika Bunge hilo, ambapo wajumbe walisimama na kuanza kupiga meza wengine wakizomea.  
Baadhi ya wajumbe walionekana wakirushiana maneno na hata kupeleka kutaka kurushiana makonde. 
 Hali hiyo ilipeleka askari ambao ni wapambe wa Bunge kusogea karibu ikiwa ni njia ya kutuliza vurugu hizo, huku wajumbe hao wakiendelea kurushiana maneno. 
 Vurugu hizo zilionekana kusambaa katika ukumbi mzima ambapo wajumbe wengine walionekana kurushiana maneno, hali iliyopelekea Mhe Kificho kuahirisha Semina hiyo.  NA MICHUZI BLOG

Wabunge wa Bunge Maalum la Katiba wakitoka Bungeni Mjini Dodoma Machi 6, 2014 baada ya Bunge hilo kusitihwa kwa muda kufuatia Sitofahamu iliyotokea. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda na Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar, Balozi Seif Idd (wapili kushoto) wakijadili jambo na wajumbe wa Bunge Maalum la Katiba baada ya Bunge hilo kusitishwa kwa muda Machi 6,2014

UGANDA YAZIDI KUPAKWA MATOPE NA MEDIA ZA ULAYA BAADA YA KUKATAA USHOGA

$
0
0
The stupid western media especially this website www.tolaire.com are out to paint Uganda black by misinforming the world on the situation in Uganda in regards to the ANTI HOMOSEXUALITY BILL.

Last week they wrote this article http://www.tolaire.com/homosexual-burned-alive-uganda-adoption-anti-gay-law/ which is totaly false. That was a thief burnt in Kenya last year. A few days ago the same website claimed Sevo's daughter on some radio station claimed she gay and same website claims our president has a gay lover in S.A.

DONT TRUST WESTERN MEDIA ANYMORE, WE STAND FOR WHO WE ARE. TETUJA KULYA MABINA

I CAUGHT MY WIFE IN BED WITH MY BEST FRIEND…HERE IS THE PHOTO

$
0
0

I caught my wife in bed with my best friend. Instead of causing a fracas, I decided that taking a picture was the coolest thing I could do…Here is the photo for you to see…

WADAU KUWENI MAKINI..... HEBU SOMA HII STORY

$
0
0
WADAU KUWENI MAKINI..... HEBU SOMA HII STORY
Nimetapeliwa Sinza
Ndugu zangu nisaidieni kama naweza kuwapata walionitapel na warejeshe malipo niliyoyatoa.

Siku moja nilienda Sinza kwa Remy nikitafuta nyumba!Nilionyeshwa dalali na nikazunguka naye,nyumba alizonionyesha sikuridhika nazo!Baada ya cku 2 nikapigiwa simu na akasema umepata nyumba?Nilimjibu bado then kanambia njoo kwa Remi kuna nyumba!Ndugu zangu nilitoka Posta Haraka,nilipofika Kwa remi nilimpigia simu akanambia kuwa yeye ameenda kumuonyesha MTU shamba lkn ana kijana wake anaitwa Fred,after 6mins alikuja kijana akatupeleka kuangalia nyumba.Niliona nyumba nikamuuliza mwenye nyumba yupo wapi?Akasema Makongo!Kesho yake huyu Fred(0656389300) akatupeleka makongo kwa Mwenye nyumba tukalipa.

Siku ilifika ya kuhamia kabla ya kuhama tuliwasiliana na yule mwenye nyumba hapatikan kwa simu.Kumbe tumelipa kwa MTU fake.Nilifungua RB na nilienda na police wawili pale nilipolipia geti halikufunguliwa!Siku nyingine niliwachukua ten a police wa upelelezi tukavizia mvua inanyesha tukapiga hon getin geti likafunguliwa na Kijana akatukaribisha sebulen,wale polisi wakiwa na nguo za kiraia walimuuliza yule kijana mzee yupo akasema yupo wakamwambia sisi nin wagen wake.Ile nyumba INA kigorofa na yule kijana alipanda juu dk5 akashuka akasema kwan hamkuwasiliana na Mzee kwa simu?

Mzee hayupo yupo Zanzibar na anakuja Leo jion,.Police walimwabia yule kijana Tupe namba zake yule kijana akatoa namba na polisi alipiga ile no. Jamaa akapokea akasema hayupo Zanzibar na anafanya kazi bank na hataki usumbufu kama police WAPO kwenye nyumba yake basi waichukue au waichome moto,Ila huyu jamaa naamin alikuwa ndan nikawambia polisi wakasema hawana search warrant.Tukarudi.

NDUGU ZANGU NAWAOMBENI MAWAZO YENU AU USHAURI ili tuwakamate hawa matapeli waweze kurudisha hizi hela kwan nilikopa ndugu zangu.

HABARI NJEMA BONGO MOVIES HIZI HAPA

$
0
0
Hapo jana kampuni ya usambazaji na utengenezaji wa filamu nchini – Proin promotions walizindua kitu ambacho sisi kama wadau wa filamu Tanzania tunaona kuwa ni moja ya vitu vikubwa Zaidi kuweza kufanyika katika ukuzaji wa Sanaa yetu hapa nchini

Kupitia Meneja wa Mradi wa Kusaka Vipaji Vya Uigizaji Tanzania - Joshua Moshi kampuni ya Proin Promotions iliweza kuzinduka kampeni yao kubwa inayokuja kufanyika hivi karibuni Tanzania nzima, kampeni waliyoipa jina la Tanzania Movie Talents ambayo lengo lake ni kusaka na kukuza vipaji vya wasanii wachanga ambao hawajawai kuonekana kwenye luninga kwa ajili ya kukuza na keundeleza vipaji vyao, shindano ambalo linalotarajia kuanza tarehe 1 Aprili 2014 kwa kuzungukia kanda mbalimbali za nchi ikiwemo Dar es salaam, mwanza, Dodoma, singida na Arusha. Ambapo mshindi kwa kwanza atajipatitia zawadi nono kabisa ya Tshs. MILLIONI HAMSINI (50) CASH!

Pamoja na uzinduzi huo pia kampuni hiyo kupitia kwa meneja masoko wake ndg. Evans Chandarua walitambulisha rasmi CD zao mpya zenye nembo na stika za TRA zenye lengo la kuwanufaisha wasanii kwani sasa CD zote zitakuwa zinauzwa kutokana na nakala za stika hizo kama inavyoonekana pichani

Kwa ufafanuzi zaid tutawaletea video za mahojiano na meneja masoko huyo wa kampuni ya prion promotion- Evans Chandarua pamoja na Mradi wa Kusaka Vipaji Vya Uigizaji Tanzania - Joshua Moshi uwuasikie mwenyewe wakielezea Zaidi kuhusu shughuli hiyo nzima na shindano hilo jipya.

ZIFAHAMU FAIDA 5 ZA KUNUNIANA NA MPENZI WAKO NDANI YA MAHUSIANO YAWE YA NDANI YA NDOA AMA UCHUMBA

$
0
0
Mapenzi yana wigo mpana mno ambao mtu anapaswa kuuangalia kwa jicho pana na akili pembuzi kabla ya kuingia, namaanisha kwamba ni lazima kuchunguza kina cha maji kabla ya kuzamia. Sasa basi, zifuatazo ni faida tano utakazozipata ukiwa umenuniana na mpenzi wako. 

HUSAIDIA KUPUNGUZA MIGOGORO
Ni ukweli usiopingika kuwa, katika hali ya kawaida, ukiwa mbali na mtu fulani katika jamii unayoishi ni vigumu sana kujikuta umekwaruzana naye. Hii ni kwasababu utakuwa hauingiliani naye katika mizunguko yako, vivyo hivyo kwa wapenzi walionuniana. 

Hali hii hupunguza kabisa migogoro ya hapa na pale, kwani hiki ni kipindi ambacho mtakuwa mbalimbali jambo ambalo huepusha maudhi ya kibinadamu. 

Mfano, yawezakana katika kipindi mlichonuniana na mpenzi wako, uliingia ujumbe wa mapenzi kwenye simu yake kutoka kwa mtu aliyekosea namba. Kwa kuwa hauko naye karibu jambo hili halitakuumiza maana hutaelewa nini kimeendelea tofauti na kama ungelikuwa naye karibu. 

Kwa hiyo kuna baadhi ya maumivu na maudhi ambayo utaepukana nayo kwa kipindi cha kununiana kwenu. Ni kweli kabisa kwamba hupunguza migogoro na mitafaruku ya hapa na pale, umeelewa mpenzi msomaji wangu? Haya twende kwenye faida ya pili. 

KUBAINI TABIA X ZA MWENZAKO
Hiki ni kipindi ambacho sasa kitakusaidia wewe kubaini tabia na mienendo mibaya ya mwenzi wako. Hii ni kwa kuwa utakuwa mbali naye hivyo naye hujiona kuwa yuko huru kufanya jambo lolote analoona kuwa linafaa bila kujali uwepo wako kwani kila mtu hana ‘time’ na mwenzake. 

Kama kuna asili ya maisha yake ambayo aliiacha baada ya kuingia katika uhusiano na wewe, ambayo ni mbaya zaidi sasa hapa ataanza kuirudia kwa kujiona kuwa hana mtu wa kumzuia na kumbana. 

Kama ni mlevi kupindukia, mchafu, muongo na tabia nyingine mbaya za kufanana na hizi basi ataanza kuzionesha katika kipindi ambacho mmenuniana. 

KUPATA MUDA WA KUTAFAKARI ZAIDI
Hapa naomba nieleweke vizuri kabisa kwamba, ninapoongelea suala la kutafakari zaidi katika kipindi ambacho wewe hauna maelewano mazuri na mwenzi wako, namaanisha kuwa utapata muda mzuri zaidi wa kutafakari penzi lenu kwa ujumla. 

Ni kipindi kitachokuongoza wewe kuwa na uelewa wa ni aina gani ya mpenzi uliyenaye. Kivipi? Ni kwamba, katika muda huu mara nyingi utataka kupata suluhu ya kununiana kwenu, lakini pia katika kutafuta suluhu hiyo utapata fursa ya kutafakari kwa kina juu ya penzi lenu huku ukimpima mwezi wako kwa mtazamo chanya. 

KUFAHAMU AINA YA MARAFIKI ZAKE
Si kila rafiki wa mwenza wako ana nia nzuri na uhusiano wenu au anafurahia penzi lenu. Mathalani, labda wewe ni msichana na pengine miongoni mwa rafiki zake kuna mmoja au wawili ambao hutamani sana kupata penzi lako. 

Sasa katika kipindi ambacho utakuwa umenuniana na mpenzi wako basi itakuwa ni nafasi nzuri kwao kuitumia kunyunyizia sumu ya kumponda huku wakikutamkia maneno ya kukushawishi, hivyo utakuwa umeelewa ni aina gani ya marafiki alionao mwenzi wako. 

Hii si kwa msichana tu, hata kwa wanamume kwani huenda kati ya rafiki wa ‘girlfriend’ wako, kuna wanaokutamani, sasa wakiona huna uhusiano mzuri na mpenzi wako, watatumia nafasi hii kukuambia maneno ya uongo juu yake na kukuonesha kila dalili za kukutaka.

Hivyo utakuwa umefahamu ni aina gani ya rafiki ambao mpenzi wako anao. Tambua kwamba, marafiki wengi wana tabia zinazofanana. 

KUBAINI AINA YA PENZI ALILONALO KWAKO
Katika kipindi hiki, utaweza kuelewa ni aina gani ya penzi alilonalo huyo mtu wako juu yako. Kwa mpenzi aliye na hisia za dhati kabisa kwako, katika kipindi hiki atakuwa ni mtu wa kutafuta njia ya kupata suluhu ya tatizo lenu. 

Pamoja na kwamba wewe utakuwa umenuna, bado yeye ataonesha kukujali kama kawaida, atakupigia simu za hapa na pale yaani ilimradi tu asikie angalau sauti yako, lengo lake likiwa ni kutaka kurejesha ukaribu ambao sasa anaona kama akiupoteza itakuwa ni maumivu kwake. 

Kwa mantiki hiyo basi, utagundua ni kwa jinsi gani anathamini penzi lenu na ni aina gani ya penzi alilonalo kwako. Yote haya utabahatika kuyajua kupitia kipindi cha kununiana kwenu. 

Hata hivyo, niwatahadharishe kwamba, kuandika haya isiwe ni tiketi ya wewe sasa kuanza kununiana na mpenzi wako eti kwa kigezo kwamba utapata nafasi ya kumfahamu, la hasha!
Siku zote katika uhusiano wako epuka maudhi na migogoro isiyokuwa ya lazima.

DIAMOND: NAJUTA KUWA STAA

$
0
0
Stori: SHAKOOR JONGO
Exclusive Interview! Staa anayeuza zaidi kwa sasa kwenye muziki wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul Jumaa ‘Diamond Platnumz’ amefungukia skendo ambazo zimekuwa zikimtafuna kila kukicha huku akieleza kuwa, sasa anajuta kuwa staa, Ijumaa lina mzigo kamili.

Akizungumza na paparazzi wetu katika mahojiano maalum wiki hii, Diamond alisema kuwa amekuwa akivumilia mengi ambayo yanaelekezwa kwake lakini sasa imefika wakati yanamuumiza kwani naye ni binadamu, ana moyo wa nyama na siyo chuma.

Ni kweli unatumia ndumba kutafuta mafanikio?
Diamond: “Baadhi ya watu wanakuwa na imani hizo kuwa mimi natumia mambo ya kishirikina kutafuta mafanikio lakini kwa wasiojua ni kwamba kila nifanyalo namtegemea Mungu na muongozo wa mama yangu mzazi (Sanura Kassim a.k.a Sandra).

“Hao ukijumlisha na jitihada zangu mwenyewe na kujituma sana ndiyo wanaonifanya niwe hapa nilipo leo.

“Si kwa sababu ya mambo ya kishirikina. Kwanza siamini katika ushirikina.”

Hili la mama Wema Sepetu kudai umemloga Wema likoje?
“Sijawahi kumsikia mama Wema akisema nimemloga Wema na hata kwenye magazeti sijaona ila siku nikimsikia ndiyo naweza kusema chochote juu ya hilo.”

Unazungumziaje madai ya wizi wa nyimbo za wasanii wenzako?
Diamond: “Kwa hatua niliyofikia mimi si mtu wa kuiba wimbo wa mtu, bali wapo baadhi ya watu wanaopenda kunisukumia skendo kwa sababu wanazozijua wenyewe.

“Wakati mwingine wanaotuponza ni maprodyuza ambao huenda siku za nyuma walitengeneza biti kali kwa ajili ya msanii fulani, msanii huyo akaingia mitini.

“Siku unakwenda studio kwake anakusikilizisha biti hiyo na ukiiona kali anakuambia uilipie utengeneze ngoma.
“Baadaye ndiyo unasikia msanii mwingine anaibuka na kusema kaibiwa biti au wimbo. Sasa hapo kosa ni la nani?

Kwa nini una msururu wa mademu?
Diamond: “Mimi ni Sukari ya Warembo na ni kweli baadhi nilikuwa nao kwenye uhusiano lakini wengine ni maneno ya watu tu, sijawahi kutoka nao.

“Kuna ambao wanajitafutia umaarufu kupitia kwangu kwa kusema nimetembea nao lakini siyo kweli. Si unajua ukizungukwa na uaridi na wewe unanukia uaridi? Ndivyo hivyo, wapo baadhi wanajitangazia tu ili wapate umaarufu.”

Baadhi ya warembo ambao tayari ameshaelezwa kutoka nao kimapenzi ni pamoja na Rehema Fabian, Pendo Maisha Plus, Jacqueline Wolper, Natasha, Najma Shaa, Jokate Mwegelo, Penniel Mungilwa ‘Penny’ na Wema Sepetu.

Unazungumziaje U-freemason wako?
Diamond: “Mimi siamini juu ya imani hiyo kabisa na sijui kama ipo. Huenda mavazi wakati mwingine yanafanya watu wanahisi hivyo. Kama ni mafanikio niliyonayo, yanatokana na kazi zangu za muziki ambazo kila mmoja anaona.

“Naweza kusema napata shoo nyingi ambazo nalipwa pesa nyingi na mimi situmii pesa yangu kwa anasa. Nawekeza ili baadaye mali zinisaidie nitakaposhuka kimuziki. Huwezi kuwa juu muda wote hivyo ni lazima niwe na tahadhari.”

Ni kweli unawapa mademu mimba kisha kuwatosa hivyo wanachoropoa?
Diamond: “Mabinti wanaoibuka na kusema nimewapa mimba ni walewale wanaotafuta umaarufu ‘kick’ kupitia mimi. Ndiyo maana kuna yule aliyeibuka na kuandikwa na magazeti lakini baadaye alikanusha mwenyewe.

“Najiheshimu na namjua Mola, najua kufanya hivyo ni sawa na kuua.”
Kwa mujibu wa Diamond, kumekuwa na baadhi ya wasanii wenzake ambao wamekuwa wakimchonganisha na mastaa wenzake, mfano ukiwa ni hivi karibuni ambapo alizushiwa kumkandia Ali Kiba ili waingie kwenye bifu.
GPL

BABA KANUMBA: NITAMPELEKA MAMA KANUMBA SEGEREA

$
0
0
Stori: Mayasa Mariwata

BABA wa marehemu Steven Kanumba, Charles Kanumba anaonekana kuendelea kuwewesekea mali za mwanaye baada ya kuibuka na kudai kuwa, atampeleka Segerea (jela) mzazi mwenzake, Flora Mtegoa kwa madai kuwa amezifuja mali za marehemu.

Akizungumza na Ijumaa hivi karibuni kwa njia ya simu, baba Kanumba alisema, ameona taarifa kwenye gazeti kuwa mali nyingi za marehemu Kanumba zimeuzwa huku yeye akiwa hajaambulia chochote.

“Huyu mama Kanumba ana laana yangu, amefuja mali za mwanangu kwa kushirikiana na Seth, mimi sijashirikishwa, nisipopata chochote tutafikishana pabaya,” alisema mzee huyo.

Kuhusiana na hilo, mama Kanumba huyu hapa: “Kwa mila za Kisukuma Kanumba siyo mwanaye kwa kuwa hajanioa, hivyo kuhusu suala la mali kama anazijua zinazomhusu aonyeshe moja baada ya nyingine hapo itakuwa sawa.”
Credits:Global Publishers

CCM, CHADEMA NA CUF WANAVURUGA BUNGE LA KATIBA..DEVOTWA

$
0
0
Mjumbe wa Bunge Maalumu la Katiba, Fahmi Dovutwa alichafua hali ya hewa baada ya kuvituhumu vyama vya CCM, Chadema na CUF kuwa ndiyo vinavuruga Bunge kwa sababu ya misimamo yao.

Hali hiyo ilitokea wakati mjumbe huyo akichangia mjadala wa Rasimu ya Kanuni za Uendeshaji wa Bunge Maalumu la Katiba juzi.

Dovutwa alitoa shutuma hizo baada ya mjumbe mwingine, Julius Mtatiro kueleza kuwa amepitia Rasimu ya Kanuni lakini hakuona mahali panapoeleza mpangilio wa ukaaji wakati wa kupiga kura.

Hali hiyo ilimfanya Dovutwa, kusimama na kutoa tuhuma kuwa baadhi ya wajumbe wamehongwa na kwamba kuruhusu mpangilio maalumu ni kukaribisha mgawanyiko.

Alisema kukaa kwa mpangilio huo kutawapa nafasi viongozi mbalimbali kushinikiza wajumbe wao katika maamuzi ya mambo mbalimbali.

“Ukaaji wa sasa umezingatia masilahi ya nchi, utashi na matakwa ya wananchi. Watu wa CCM, CUF na Chadema ndiyo mnaharibu mkutano (Bunge),” alisema Dovutwa.

Dovutwa alisema vyama hivyo vinatofautiana katika masuala mbalimbali na misimamo yao ndiyo imetawala bunge hilo.

“Mnatulazimisha tuwasikilize nyie tu. Kwa hiyo Mwenyekiti usikubali, kikao hiki kizingatie masilahi mapana ya makundi mbalimbali,” aliongeza Dovutwa.

Baada ya kutamka hilo, mmoja wa wajumbe wa Kamati ya Kupitia Kanuni, Amon Mpanju alisimama na kumtaka Kificho kulisaidia Bunge hilo kwenda na utaratibu aliowatangazia juzi wajumbe, ambao wanatakiwa kuwasilisha hoja zao kwenye kamati kisha kutolewa uamuzi.

“Naomba uamuzi ukishafanyika, kiti chako kisiruhusu mtu mwingine kuingilia maana mchakato hautafika mwisho. Nawaomba wajumbe wenzangu tusilete michango inayoweza kuleta hisia za mgawanyiko miongoni mwetu,” alisema Mpanju.

Mtatiro alisema hakupendezwa na mchango wa Dovutwa na kutahadharisha ukweli hauwezi kukwepeka kwa kuwa kuna watu wanaotoka katika makundi mbalimbali.

“Wakati wa kupiga kura tunahitaji theluthi mbili ya wajumbe wa Tanzania Bara na idadi kama hiyo kwa wajumbe kutoka Zanzibar kwa hiyo ili kurahisisha kazi hiyo, wajumbe kutoka Zanzibar wakae upande wao na wale wa Bara wakae upande wao,” alisema Mtatiro.
Hata hivyo, akijibu hoja hiyo mmoja wa wajumbe wa Kamati ya Kupitia Kanuni, George Simbachawene alimtaka mjumbe huyo kusubiri maelezo juu ya kifungu kinachoelezea jinsi ya upigaji wa kura.

“Kikishatolewa uamuzi ndiyo tutafanya uamuzi, lakini nadhani upigaji kura utaongozwa na utaratibu maalumu. Sidhani kama mapendekezo ya Mheshimiwa Mtatiro tunaweza kuyachukua maana hatujui jinsi gani tutapiga kura,” alisema.



DR BENSON BANNA APAZA SAUTI "CCM IMEJIPANGA KUKWAMISHA ZOEZI LA KATIBA MPYA"

$
0
0
Mchambuzi wa masuala ya kisiasa nchini Dr Benson Banna ambaye kwa mara nyingi uchambuzi wake umekuwa ukitiliwa shaka haswa kwa kuonekana kuegemea CCM na kuitetea serikali kwa kila jambo, leo kupitia kipindi cha Nipashe cha redio one asubuhi hii ameilaani CCM kwa yanayoendelea bungeni kwa kusema ndio kikundi pekee ambacho kinaonekana kimejipanga kukwamisha zoezi la kupata katiba mpya.

" CCM ni chama tawala, unapokuwa kiongozi inabidi uonyeshe mfano, lakini ukiangalia yanayoendelea ni wazi ccm ndio wanavuruga mchakato wa kupata katiba, hata kuandaa mwenyekiti sio kitu kilichopaswa kufanywa na ccm. Ukiangalia utaona ccm wanapinga hata mambo yasiyo na maana, kitu kinachotia shaka sana." Alisema Banna.

Banna akiongea kwa masikitiko, amelaani yanayofanywa na ccm, na kusema wana agenda yao ya siri lazima waache ukweli uprevail

TAARIFA ZA HABARI ZA TANZANIA HAZINA MVUTO KABISA JAMANI...BADILIKENI

$
0
0
Nilishaliongelea hilo kwenye post zilizopita nikilinganisha na Habari za TV za Kenya....sasa Bongo5 nao wameliongelea swala hilo kama ifuatavyo:

"Habari nyingi kwenye TV za kibongo hazina mvuto. Unaweza kufurahia kuangalia habari labda kama siku hiyo kuna ajali kubwa imetokea, bungeni kumeumana ama siku Barack Obama akirudi tena Bongo. Kusipokuwa na matukio ya kuvutia yaliyopo tayari, taarifa za habari kwenye TV zetu zinaboa si kidogo.
Watakujazia habari za mikutano, semina, warsha na mikutano na waandishi wa habari ambazo hazivutii hata chembe. Zinaweza kuwa na vigezo vya kuitwa ‘news’ lakini hizi si habari unazoweza kuziona kwenye TV za watu wanaojielewa. Hizi ni habari za kupoteza muda tu na wala hazina ‘impact’ yoyote kwa wananchi.
Nafahamu mazingira ya kufanya kazi kwenye TV za Tanzania na ninalo jibu la uhakika la kwanini habari za semina, warsha au press conference ndizo zinazotawala line-up ya habari kwenye vituo vyetu. Sababu kubwa ni kwamba waandishi wengi wa habari wanalipwa ujira mdogo mno na hivyo ili kujikimu kimaisha inabidi wafanye zaidi story za warsha na mikutano ambazo huwapa posho za hapa na pale.
Hiyo ina maana kuwa waandishi wengi wa habari hawana muda wa kuandika habari za kuvutia zinazohitaji ubunifu zaidi, muda wa kutosha na ‘mnuso wa habari’ (nose for news). Wamiliki wa vyombo vya habari wanahitaji kuwekeza zaidi katika kuwalipa vizuri waandishi wanaokusanya habari zao, kuwa na usafiri wa kuaminika na kuwa na wahariri wabunifu wenye uwezo wa kujua habari zenye mvuto, zenye impact na zilizoandikwa kwa kina.
Taarifa za habari pia zinatakiwa kuhusisha wataalam ama wachambuzi wa masuala mbalimbali kutilia mkazo ripoti husika. Mashirika makubwa ya habari ya kimataifa hupenda kutumiza ‘contributors’ mbalimbali ambao huhusika katika uchambuzi wa masuala ya siasa, biashara na uchumi, masuala ya jamii pamoja na michezo na burudani.
Kwa kutumia watu hawa, habari hupanuliwa zaidi na kuzungumzwa katika mtazamo mpana.
Kwa mfano, weekend hii Rais wa Zimbabwe, Robert Mugabe, amedai kuwa bara la Afrika halimtendei haki Mwalimu Julius Kambarage Nyerere kama mtu muhimu kwenye harakati za ukombozi wa Afrika kutoka kwa wakoloni. Hii ni habari ambayo inaweza kuripotiwa kwenye taarifa za habari katika TV za Tanzania kwa kuichambua zaidi kwa kuhusisha wazee na viongozi wa zamani watakaotoa maoni yao kutokana na kauli hii, viongozi wa juu wa Tanzania na hata wasomi wa vyuo vikuu kuipa wigo zaidi.
Kwa ufupi, matatizo makubwa kwenye taarifa za habari kwenye vituo vyetu vya runinga ni pamoja na:
Habari nyingi hazivutii
Wasomaji wengi wa habari hawana mvuto na hawavalishwi vizuri
Muonekano na uwasilishaji wa habari ni wa kawaida
Hakuna habari za kina na zenye uchambuzi
Habari si za kutafuta, nyingi ni za matukio ya kuandaliwa
Hakuna matumizi ya wataalam katika fani mbalimbali
Uandishi wa script hautumii maneno yenye kuvuta usikivu wa watu au matumizi ya lugha ya macho
Matumizi ya ripota wanaotumia simu za mkononi
Wasomaji wa habari hawategenezwi kuwa ‘TV personalities’ kama ilivyo Kenya ambako wamezaliwa watu maarufu na wenye ushawishi wakiwemo Julie Gichuru, Kanze Dena na Lulu Hassan au Swaleh Mdoe wa Citizen TV au Larry Madowo wa NTV na wengine
Habari zinakuwa serious mno na kusahau upande wa ‘humor’
Uandishi wa habari unachukuliwa kama taaluma kupitiliza na kusahau kuwa uandishi pia ni sanaa inayohitaji ubunifu kama uandishi wa vitabu au utunzi wa mashairi yenye mvuto
Waandishi wa habari na maripota wa TV ambao wako chini ya wahariri, wanatakiwa kuanza kufikiria nje ya box na kutafuta habari za maana na kuondokana na uandishi uliozoeleka wa‘Madiwani wa kata ya ‘Mti Mkavu’ wametakiwa kuwa waadilifu katika kazi yao’ ‘Ama mbunge wa Kilimabubu ameweka jiwe la msingi kwenye shule ya Mnazi Mchungu’.
Watazame aina ya habari wenzetu huziandika ambazo huwa na mvuto, zimechambuliwa vizuri, zimetumia vyanzo vya kutosha na uandishi wa script wenye maneno matamu"
Bongo5

KUJICHUBUA NA KUVAA MLEGEZO KWA MWANAUME KUNA FAIDA NA MAANA GANI?

$
0
0
Waungwana naomba mnijuze faida ya kuvaa mlegezo,kutoboa sikio,na kujichubua rangi ya ngozi kwa mwanaume. Kiukweli hiyo hali inanikera sana ninapomuona kijana wa kiume anafanya vitu hivi lakini inawezekana ni ushamba wangu tu labda kuna faida fulani huwa wanapata .je unazijua faida zake au hasara zake au unamchukuliaje kijana wa kiume anayefanya hivyo.

RIDHIWANI KIKWETE "SIASA NINAZO FANYA HAZINA UHUSIANO NA BABA YANGU"

$
0
0
Chalinze. Mshindi wa kura za maoni za kugombea ubunge wa Jimbo la Chalinze kwa tiketi ya CCM, Ridhiwani Kikwete amesema siasa anazofanya sasa hazina uhusiano wala ubia na baba yake.

Akizungumza na waandishi wa habari muda mfupi baada ya kutangazwa kwa matokeo ya kura za maoni za chama hicho katika jimbo hilo kwenye Uwanja wa Shule ya Msingi Msata alisema anafanya siasa kwa maisha yake na si kwa mgongo wa baba yake kwani aliingia katika siasa akiwa na umri wa miaka mitano na hakuwahi kufanya hivyo kwa sababu ya baba yake.

“Siasa ninayofanya haina uhusiano na baba yangu, nafanya siasa kwa maisha yangu na sina ubia na baba yangu katika hili” alisema mtoto huyo wa Rais Jakaya Kikwete.

Akijibu swali la kwa nini amejiingiza katika siasa tofauti na maneno yake aliyowahi kutamka mwaka 2010 kuwa hawezi kushiriki katika kinyang’anyiro cha ubunge katika jimbo hilo, Ridhiwani alisema wakati huo hakuwa tayari.

“Kwenye siasa usiwe muwazi katika kila kitu, ukiwa hivyo unawapa nafasi maadui kukushambulia, mimi hapa Chalinze ni kwetu, kwa wazazi wangu na kule Bagamoyo tunakwenda tu kikazi na ndiyo maana nikaamua kurudi nyumbani kuomba ridhaa. Nashukuru kuongoza katika kura za maoni ninaona ni kiasi gani ninaungwa mkono,” alisema.

Katika kura hizo za maoni Ridhiwani alibuka mshindi kwa kura 758, akifuatiwa na Imani Madega aliyepata kura 335, Ramadhan Maneno (206) na Mkwazu Changwa (17).

Kamati Kuu ya CCM (CC), inatarajiwa kukutana Machi 8, mwaka huu k
Viewing all 104775 articles
Browse latest View live




Latest Images