Quantcast
Channel: UDAKU SPECIAL
Viewing all 104428 articles
Browse latest View live

Mange Kimambi Amshukia Hoyce Temu..Adai Anafanya Mipango ya Chini Chini Mange Arudishwe (Deported) Tanzania Kwa Kumtukana

0
0
Hoyce Temu Akiwa Kazini...
Wakati tukifikiria kuwa mambo yameisha na kutulia beef la Mange na mdogo wake Hoyce Temu, Mange siku ya jana ameibuka na shutuma zingine kwa Hoyce Tema...Ameandika Haya Kwenye ukurasa wake wa Instagram..

From Mangekimambi_

Siku zote omba ugombane na Mtu ambae atakujibu, wanaokaa kimya ni wabayaaaaaa hujapata kuona. Kama vile ile issue yangu Na Shamim Mwasha watu walimsifia anakaa kimya sijui anajiheshimu Kilichotokea nini? Akanijia na bastola Na mume wake! Sasa si bora mtu anaetukana kuliko hawa ambao wako tayari kutoa Mtu roho. Ndo issue yangu Na Hoyce Temu unapokwenda

Jamani Hoyce anataka niwe deported , yes anataka nirudishwe Tanzania sabbau nimemtukana. Kaenda Polisi kaona haitoshi unaambiwa kaacha Kazi zoooote now Kazi yake Ni kumake sure napandishwa ndege narudishqa Tanzania eti sabbau nimemtukana yeye boss lady .

Hoyce kaenda Kwa Waziri wa mambo ya ndani,personally anamuomba afanye anavyoweza nirudishwe. Ikashindikana bidada akaenda Mpaka ubalozi wa marekani anaomba nirudishwe. Duh, Yani ningekuwa sina makaratasi Ndo angekuwa kanichomea Yani. .

Imagine kakaa kimya kumbe anapigana vita ya kufa Mtu Yani yuko tayari niwe deported. .

We Hoyce Temu, mdogo wako anavyotukana watu 24/7 Mbona humpeleki Polisi? Mdogo wako akitukana familia za watu it's okay Ila wewe ukitukanwa unataka kufa. .

Una haraka ya nini Mimi kuwa deported? Na siwezi kuwa deported kwa kesi ya kijinga hivyo! I'm on American soil nimevunjaje sheria za Tanzania??? . Tanzania is my country unadhani ntaikimbia Nchi yangu sababu ya ujinga wa insta? I will come back na tutakutana kizimbani! Kuna kitu kinaitwa provocation kwenye sheria. Mtu katukana familia yangu na mimi nikatukana familia yake. Period.

Hoyce all I can tell you is Achana Na Mimi. I have nothing against you. Unataka nirudishwe na Mimi nikisema nataka ufukuzwe Kazi huko UN? Unataka nitoe criminal records zako za marekani publicly? Unadhani nilikuwa nimemaliza siku zile? Sema SU niweke records zako za Marekani, hao UN nao sijui hawafanyagi background checks! So pls achana na Mimi, kufanya Kazi UN ndo you think unaweza kuwafanya wamarekani wanirudishe Tanzania. Tanzania ntarudi mwenyewe. .

Umekaa una deal Na Mange badala udeal na ndugu yako. Yeye asingeanza kutukana familia za watu Nani angetukana familia yenu?

Hakunirudisha Lowassa utanirudisha wewe? Mfyuuu!"Mange Kimambi

Nafasi za Kazi The Tanzania Electric Supply Company (TANESCO), Application Deadline 10th March, 2016

0
0

TANZANIA ELECTRIC SUPPLY COMPANY LIMITED
EMPLOYMENT OPPORTUNITY

INTERNAL AND EXTERNAL ADVERTISEMENT

The Tanzania Electric Supply Company (TANESCO) is focusing on increasing the outreach and service quality of its Energy products for Tanzanian people. Next to its current passion as a leading provider of electricity, is to be more efficient customer focused utility for Tanzania and beyond. The Company has the largest electricity generation, transmission and distribution network in Tanzania. In order to reach its goals, the Company will, in the coming years invest heavily in its generation, transmission and distribution network, its business systems and human capital. TANESCO now invites applicants who are self-motivated, honest, hardworking and committed individuals to fill top management positions in the Company. Women are encouraged to apply.

Specific attributes for the Position to be filled:

The required candidate must:


  • Demonstrate impeccable performance track record;
  • Demonstrate highest degree of integrity;
  • Possess good communication and interpersonal skills;
  • Possess leadership, project management, problem solving, negotiation, research and analytical skills.
  • Be capable of delivering excellent results while working under pressure with tight deadlines;
  • Possess knowledge and competency in Information and Communication Technology (ICT) application.



POSITION: CHIEF LEGAL COUNSEL & COMPANY SECRETARY

REPORTING TO: Managing Director
Division: Company Secretariat


JOB PURPOSE

Responsible for the efficient administration of the company particularly with regard to compliance with statutory and regulatory requirements and ensuring that decisions of the Board of Directors are implemented.

Principal Accountabilities


  • Perform a strategic role to the executive management and the board as a secretary to all meetings and ensure proper and accurate records of the proceedings are kept.\
  • Manage and supervise the secretariat function to ensure that it contributes to the strategic effectiveness and operational efficiency of the organization and that it achieves its objectives as planned.
  • Manage the secretariat functions (litigation, contracts, legal and regulatory compliance) and processes.
  • Monitor changes in relevant legislations and the regulatory environment, and take appropriate actions to communicate and adopt them in TANESCO to ensure compliance.
  • Promote proactive and constructive management of secretariat business unit by developing appropriate strategic objectives for secretarial, contract and legal sections for the purpose of supporting all business units of the Company.
  • Assist in execution of contracts on behalf of the Company by contributing effectively in the business processes redesign and policies review.
  • Custodian of the Company Seal and Legal documents.
  • Manage, develop and ensure proper utilization of resources (human capital, financial and other Company assets) within the department in order to support Corporate Business sustainability.


Minimum Education and Experience


  • Bachelor Degree in Law (LLB)
  • Master’s Degree in Law/Business Administration
  • Advocate of the High Court of Tanzania.
  • 8 years working experience (3 years in Senior Managerial Position)


========




POSITION: SENIOR MANAGER PROCUREMENT

Reporting to: Managing Director
Division: Procurement

JOB PURPOSE

Lead and manage the implementation of the approved Company’s procurement and disposal plans.

Principal Accountabilities


  • Prepare and manage the annual procurement plan of the Company taking into account the needs and resources.
  • Manage and facilitate the entire procurement process as well as and disposal by tender activities of the Company.
  • Act as a secretary to the Tender Board, and ensure proper functioning of the Tender Board and coordinate the implementation of its decisions.
  • Keep records on all procurement and disposal by tender processes including maintaining a register of all contracts awarded.
  • Manage key supplier relationship to deliver performance in cost saving and quality including technical input for negotiation on strategically significant contracts.
  • Manage and maintain good business relationship with Service providers, contractors and other procurement stakeholders within procurement legal frame work of the country to ensure optimal performance including provision of technical inputs to negotiation in strategic contracts.
  • Ensure compliance with the Public Procurement Act and its regulations.
  • Advice the Management on all issues related to procurement and disposal by tender activities of the company in compliance with the requirements prescribed under the Public Procurement Act and its regulations including any guidelines issued by PPRA from time to time.


Minimum Education and Experience


  • Bachelor’s Degree in Procurement/ Commerce /Finance / Engineering
  • Master’s Degree in related field
  • Holder of a recognized professional certification by PSPTB
  • 8 years of working experience (3 years in a senior position)


Employment Terms

Contract of three (3) years – renewable based on performance.

Attractive remuneration package will be offered to the successful candidate.

Mode of Application

Applicants should submit a detailed application letter, clearly stating why you should be considered for the position, and how you will add value, a detailed curriculum vitae, and copies of certificates you wish to use in supporting your applications, three referees and two (2) passport size photographs to the address shown below. Deadline for receiving applications is 10th March, 2016

Applicants must clearly show their complete address including mobile telephone numbers and email addresses. Only shortlisted candidates will be contacted.


MANAGING DIRECTOR
TANESCO LTD UMEME PARK
UBUNGO P. O BOX 9024
DAR ES SALAAM

Source: The Guardian 26th February, 2016

Nay wa Mitego Avunjiwa Kioo Cha Gari yake..Alikuwa Anaenda Kutambulisha Video ya Shika Adabu yako

0
0
Rapper Nay wa Mitego amekutwa na misukosuko ya kuvunjiwa kioo cha gari lake na watu wasiofahamika wakati anaenda kutambulisha video yake mpya ya shika adabu yako kwenye kipindi cha FNL cha EATV.

Kupitia akaunti yake ya instagram @NayTrueboy rapper huyo ameweka picha ya gari hiyo ikiwa imevunja kioo na kuandika maneno yafuatayo..

”Nimevunjiwa kio Cha gari nikiwa njia naenda kwenye Intrvw Chanel5 EaTv kwa ajili ya kutambulisha my New Video #ShikaAdabuYako sorry Watu wangu mliokua mkisubiri kuona Video Na Interview yote nimeshindwa kufika naweka sawa ili. Video itaenda YouTube kesho itakua kwenye Tv yako Pendwa. Muziki sio vita….. I will never stop doing what i do.!!“

Maskini Jamaa Auawa Baada ya Mpenzi Wake Kumwita Mwizi Chuo cha SAUT Mwanza..Alikuta Message za Mwanaume Mwingine Kwenye Simu ya Mpenzi wake

0
0
Kwa masikitiko makubwa tukio tajwa hapo chini limetokea Chuo cha SAUT Mwanza ambapo Jamaa wa jinsia ya kiume ,alienda kumtembelea mpenzi wake chuoni SAUT bweni la RUGAMBWA,

Ukweli ni kwamba huyo jamaa na huyo demu ni wapenzi wa muda mrefu na pia jamaa sio mwanafunzi ni raia wa kawaida anayehusika na mambo hasa ya modeling na amekuwa akiandaa event mbalimbali kama mtakuwa na kumbukumbu vizuri kuna kipindi kulitokeaga shindano la MISS ALBINISM lililofanyika Mwanza huyu jamaa alikuwa miongoni mwa wahusika wa hilo shindano,na siku tatu zilizopita huyu jamaa alitoka kumzika baba yake mzazi.

Kilichotokea hapo ni baada ya jamaa kwenda hosteli za wanawake ambazo zipo ndani ya chuo ambapo ndipo alipokuwa akiishi huyo demu wake, katika kukagua simu ndipo akakuta sms za utata, ukatokea ugomvi katika mabishano demu akasema atamwita mwizi kama utani kweli demu akaita mwizi.

Jamaa kwa kuogopa na sababu hakuwa na kitambulisho ndipo akatoka mbio, hapo ndipo alipoharibu wananzengo na wanachuo bila kujali wakaanza kupiga na mpaka wanafika polisi alikuwa kapigwa sana, alipelekwa kituoni kutoa maelezo. Baada ya hapo ndipo tukapata taarifa kafariki na hiyo ni sababu ya kipigo.

Hatimaye ZEC Yatoa Ushahidi Jinsi Uchaguzi Ulivyoharibiwa Kwa Hujuma Mpaka Kupelekea Kutangazwa Kufutwa

0
0
Baada ya maneno ya muda mrefu na shutuma kwenda kwa tume kuwa "imeufuta" uchaguzi bila kufuata taratibu,hatimaye Tume imekuja na ushahidi wa nyaraka za form namba MUR.12A zinazoonyesha jinsi hujuma ilivyofanywa kuuvuruga uchaguzi na hivyo kupelekea uchaguzi kuwa "batili" na hatimaye kuipa ZEC mamlaka ya kisheria ya kuufutilia mbali uchaguzi huo.Mwenyekiti wa ZEC ndugu Jecha S Jecha aliuthibitishia umma kuwa uchaguzi wa mwaka 2015 uligubikwa na ukiukwaji mkubwa wa kanuni,taratibu na sheria za uchaguzi na hivyo kuufanya kuwa batili.

Ubatili wa uchaguzi huo unaopaswa kurudiwa 20/03/2016 umezidi kuanikwa kwa ushahidi wa nyaraka za form za uchaguzi.Kwa mfano katika kituo cha Skuli ya Mabaoni #23801 Jimbo la Chonga namba 2909 form ya matokeo ya uchaguzi haina muhuli wa tume,hii ni sababu ya kufanya matokeo haya kuwa batili na haramu.Pia katika kituo cha Gamba #2008 form ya matokeo ya uchaguzi imefutwafutwa kwa juu na hivyo kusababisha majina na tarakimu kutoonekana kwa uzuri,hali hii pia inaleta ubatili na uharamu wa matokeo na hatimaye kutia doa uchaguzi wenyewe.

Katika kituo cha Mwembe Makumbi #21618 Jimbo la Chumbuni form ya matokeo imefutwafutwa na kupandikiza majina ya mawakala wengine ambao hawakuwepo wala kuhudhuria ktk eneo(kituo) cha uchaguzi,hii ni sbb nyingine amabayo inaipa ZEC nguvu za kubatilisha uchaguzi huu na kuamuru urudiwe 20/03/'16.Kiwanja cha Mpira Masumbani katika Jimbo la Chumbuni,kituo hicho matokeo yake ni batili sababu yameandikwa tena kwa kalamu juu ya maandishi ya kivuli na saini imewekwa zaidi ya mara moja,katika Jimbo la Chake Chake Pemba,form katika kituo cha kupigia kura jina la kituo halionekani na namba haisomeki na form imepigwa muhuli wa Serikali ya Mapinduzi ya Z'bar badala ya muhuli wa ZEC.Eneo kubwa katika vituo vya uchaguzi kisiwa cha Pemba,mihuli na majina mengi yameghushiwa kama yanavyoonekana katika form hizi zilizoambatanishwa.

Kwa sababu hizo,na nyinginezo nyingi kama za wajumbe wa tume kupigana,uchaguzi huu ulikuwa batili na wala ZEC isingeweza kutangaza matokeo sababu kungezuka vurugu zisizokuwa na maana.Hivyo kwa ushahidi huu wa nyaraka za form za uchaguzi Z'bar kuwa na mapungufu,Tume ya uchaguzi Zanzibar iliona hujuma hii na kuamuru uchaguzi huo kurudiwa

Picha ya Roma na Mdogo wa Kike wa Ali Kiba ilivyozua Utata..Imekuaje?

0
0
Ikiwa zimesalia wiki kadhaa ili msanii wa Hip Hop Tanzania,Roma kufunga ndoa na mpenzi wake anayejulikana kama Nancy au Mama Ivan kumeibuka na utata baada ya kusambaa kwa picha ya msanii huyo akiwa kwenye pozi linaloonekana ni la kimahaba na zabibu Kiba,mdogo wa kike wa Ali Kiba na watu kuhisi huenda wawili hao wakawa wana mahusiano ya kimapenzi

Kituo cha redio kimoja kilimtafuta mke mtarajiwa wa Roma na kumuuliza kuhusiana na picha hiyo ambapo bibie huyo alidai kuwa hajui chochote na wala hajali kwani inaweza ikawa picha tu na shabiki na kuongeza kuwa Roma hawezi kufanya upuuzi.

Kwa upande wake Roma alipotafutwa alionekana mwenye kusita sita na kutaka kujua kama mazungumzo hayo yapo On air au Off Air,baadaye Roma alikiri kuwepo kwa picha hiyo na kudai ni ya kitambo na hakumbuki ilikuaje kwenye picha hiyo na kuomba aulizwe zaidi kuhusiana na kazi za muziki kuliko mambo mengine ya nje.

Utani Wageuka Kuwa Deal....Kampuni za Maji zajipanga Kuwekeza kwa Ray Kigosi Baada ya Kusema Amekuwa Mweupe Kwasababu ya Kunywa Maji Mengi

0
0
Staa wa filamu Vicent Kigosi ‘Ray’ baada ya kudai kuwa weupe wake unatokana na kunywa maji mengi na kufanya mazoezi na siyo mkorogo, makampuni manne yanayojishughulisha na masuala ya maji yamemtaka awe balozi wao.
Ray

Akizungumza na gazeti la Mtanzania jana, Ray alisema kubadilika kwake kwa ngozi kumeleta gumzo kubwa kwake na pia kumempatia neema kutokana na makampuni hayo kutaka awe balozi wao.

“Kunywa kwangu maji kwa wingi na kushiriki mazoezi ipasavyo ndiyo kumepekekea ngozi yangu kuwa nyororo na makampuni yaliyojitokeza kwa sasa nimewaambia wasubiri kwanza hadi nitakapokuwa tayari kuwa balozi wao,’’ alieleza Ray.

Vurugu Kubwa Zaibuka Wakati wa Uchaguzi wa Meya wa Jiji la Dar es Salaam

0
0

VURUGU kubwa zimetokea wakati wa Uchaguzi wa meya wa Jiji la Dar es Salaam mara baada ya uchaguzi huo kuhairishwa  tena kwa mara ya nne leo,huku Jeshi la Polisi likivamia ukumbi wa Karimjee na kuanza kupambana na Madiwani na wabunge wa Muunganiko wa umoja wa Vyama vinavyounda  UKAWA.

Tukio hilo la aina yake limetokea leo katika ukumbi wa Karimjee  jijini Dar es salaam mara baada ya mkurugenzi wa Jiji kutangaza kuahirisha uchaguzi huo kwa madai ya uchaguzi  kuwekewa pingamizi na CCM mahakamani. 

Jambo hilo liliwachukiza   madiwani wa UKAWA ambao walidai kuwa hawajapata barua ya pingamizi hilo, hivyo wakataka waruhusiwe kufanya uchaguzi peke yao kwa kuwa akidi ya madiwani kufanya uchaguzi ilikuwa imetimia. 

Wakati UKAWA  wakijiiandaa kufanya uchaguzi huo  wenyewe ,Polisi zaidi ya 15 walivamia ukumbi huo na kuwataka madiwan hao waondoke ukumbini,jambo lilowachukiza tena na kuibua patashika ndani ya ukumbi.

William Lukuvi Amekabidhi Ramani za Maeneo Yote ya Mitaa ya Jiji la Dar kwa Wenyeviti wa Mitaa. Asema Bomoabomoa Inakuja.

0
0

William Lukuvi amekabidhi ramani za maeneo yote ya mitaa ya Jiji la Dar kwa Wenyeviti wa Mitaa. Asema bomoabomoa inakuja.

Amesema ametoa ramani hizo ili kila mwananchi atambue eneo alilojenga kama hakustahili kuwepo aanze kujipanga.

Baadhi ya mameya waliohudhuria makabidhiano hayo mbali na kuelezea mipango ya manispaa zao juu ya suala la mipango miji wamesema baada ya wizara kutoa ramani hizo tatizo sugu la migogoro ya ardhi litapungua kwani kila mmoja atafuata taratibu na sheria zilizopo.

Kisiwa Binafsi cha Utalii Kuzinduliwa Hapa Tanzania Hivi Karibu..Gharama zake Kutembelea Zashtua Watu

0
0

UTALII: Kisiwa kipya binafsi hapa Tanzania kitazinduliwa rasmi mwezi Aprili.
zakeWadau wapongeza hatua lakini gharama zashtua wengi.
Gharama za usiku mmoja ni Dola za Marekani 10,000
Utaweza hizo gharama??

----------


Tanzania will see the opening of a new private island destination, Thanda Island, in April. The island is located in southern Tanzania’s Shungi Mbili Island Marine Reserve.

Off the grid and solar-powered, Thanda Island will feature an expansive, five-bedroom villa with a swimming pool and a huge indoor aquarium.

The island itself is 20 acres in size, nearly three-quarters of a mile around and almost 400 yards wide. It is surrounded by its own private coral reef, with an exclusive-use zone extending over a half-mile that can be explored with a snorkel and mask straight from the beach.

[​IMG]
Thanda Island is surrounded by its own private coral reef, with an exclusive-use zone extending over a half-mile that can be explored with a snorkel and mask straight from the beach.

Sailboats, stand-up paddleboards and single and double kayaks are all available for use. The more adventurous can catch sight of whale sharks that congregate just south of the island from October to February or spot endangered dugong, which are similar to manatees, while scuba diving with qualified instructors. A powerboat zone outside the Marine Park to the south of the island is perfect for water skiing, Jet-Skiing, wakeboarding and tubing. Game fishing on a 28-foot reef runner cat off nearby Mafia Island is another available activity.

Depending on the season, guests can watch turtles nesting and their eggs hatching. Five species of marine turtles inhabit Tanzania’s waters, two of which — endangered green and hawksbill — have recently returned to nest on Thanda. Guests can also experience Swahili sea-faring culture on Mafia Island and picnic on a neighboring atoll.

Exclusive use of Thanda Island is offered at $10,000 per night, with a minimum stay of three to seven nights, depending on the season. The all-inclusive rate includes a team of dedicated staff, boat transfers from Mafia Island and all activities offered on the island along with all meals and drinks, including a hand-picked selection of wines and Champagnes. Spa treatments, diving and exclusive wines and Champagnes are extra.


Thanda Island is the sister property of the Thanda Safari private game reserve in Zululand South Africa, a Leading Hotel of the World.

Kamanda Kova Ambwaga Tena Nzowa Mahakamani

0
0
Mahakama ya Rufaa Tanzania, imetupilia mbali kesi ya kugombea nyumba namba 140 iliyopo eneo la Sekei Arusha baina ya makamishna wawili wa Jeshi la Polisi, Godfrey Nzowa, ambaye ni Mkuu wa Kikosi cha Kupambana na Dawa za Kulevya na aliyekuwa Kamanda wa Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, Suleiman Kova.

Aidha, mahakama hiyo imeamuru Nzowa kulipa gharama.

Akisoma jana maamuzi ya Mahakama yaliyotolewa na majaji watatu wa vikao vya mahakama ya rufaa vinavyoendelea Jijini Arusha, ambao ni Mwenyekiti wa jopo la kikao cha mahakama ya rufaa, Jaji Mbarouk Salum Mbarouk, Mussa Kipenga na Bernad Luanda, Naibu Msajili wa Mahakama ya Rufaa Tanzania, Elizabeth Mkwizu, alisema kesi hiyo imeondolewa katika usikilizwaji wa vikao vya mahakama hiyo kwa sababu za kiufundi.

“Sababu ya kuondoa kesi hii ni mkata rufaa Nzowa… alichelewa kukata rufaa ndani ya siku 60 na hivyo kuwa nje ya sheria kama inavyotakiwa, ukitaka kukata rufaa, ukate rufaa ndani ya siku 60 tangu kesi ya msingi kutolewa hukumu,” alisema.

Mkwizu alisema mbali na kesi hiyo kuondolewa mahakamani, Mahakama ya Rufaa pia imeamuru Nzowa kulipa gharama za wajibu rufaa ambao ni Kova na Wakala wa Majengo (TBA).

Katika kesi hiyo, makamishna hao wanagombea nyumba ya serikali iliyopo maeneo ya Sekei ijini Arusha, ambapo Nzowa anapinga kuuziwa Kova nyumba hiyo ambayo wakati ikiuzwa kwa watumishi wa serikali yeye ndiye alikuwa akiishi humo.

Wakati huo Nzowa alikuwa Mkuu wa Upelelezi wa makosa ya jinai Mkoa wa Arusha (RCO), wakati Kova alikuwa ameshahamishwa kikazi mkoani Arusha.

Nyumba hiyo ni moja ya zile walizouziwa watumishi wa serikali wakati wa serikali ya awamu ya tatu, chini ya Rais Benjamin Mkapa na kusimamiwa na aliyekuwa Waziri wa Ujenzi, Rais John Magufuli.

Awali, akizungumza mahakamani hapo mbele ya majaji hao, wakili wa serikali, Sylvester Mwakitalu kwa niaba ya mjibu maombi wa pili, TBA, waliomba mahakama hiyo kutupilia mbali kesi hiyo kutokana na Nzowa kuchelewa kutoa kusudio la kukata rufaa.

Alisema upande huo wa waleta maombi, umekiuka utaratibu wa kisheria wa kukata rufaa ndani ya siku 60, ambapo wao walitoa kusudio la kukata rufaa Oktoba 3 mwaka 2014 na kwamba, Januari 2, 2015, ndipo rufaa yao iliwasilishwa kwa Msajili wa Mahakama.

Hoja hiyo iliungwa mkono na wakili Dilip Kesaria, anayemtetea Kamishana Suleiman Kova.

Hata hivyo, mawakili wa Nzowa, Neema Mtayangulwa na Mpaya Kamara, walipinga pingamizi hilo na kuomba mahakama hiyo iendelee usikilizwaji wa kesi kwani upande huo unachelewesha kesi pasipo sababu za msingi.

Alisema kuwa kimsingi, kusudio la kukata rufaa lilitolewa kabla ya kuanza uwasilishaji wa kesi na hivyo kesi hiyo inapaswa kusikilizwa.

Katika kesi hiyo, Kamanda Kova alijaza fomu namba 27 Mei mwaka 2002 ya kuomba kununua nyumba hiyo iliyokuwa namba 203, kabla ya kubadilishwa kuwa namba 149, akidai ni makazi yake. Aliyekuwa akiishi katika nyumba hiyo kwa muda huo ni Nzowa.

Pamoja na kujaza fomu hizo, pia Kova alitoa fedha za kununua nyumba hiyo wakati Nzowa akiishi humo.

Kwa Kinachoendelea Dar es Salaam Uchaguzi wa Meya na Figisu za Zanzibar Yanasikitisha...CCM Kunani?

0
0
Kwa kinachoendelea Dar Es Salaam na Zanzibar, ni wazi CCM kamwe haiko tayari kuachia chama chochote kiongoze nchi hii nasema hivyo kwasababu sehemu zote vyama vya upinzani vilikoshinda imekuwa ni kazi kubwa ccm kuruhu uchaguzi wa mameya ufanyike mbaya zaidi ni uchaguzi wa Zanzibar hovy hovyo eti hivyo ni ndoto kudhani ccm tutaitoa kwa sanduku la kura wapinzani tunze kufikili tofauti...jiji la Dar es salaam lina wajumbe 163 kati ya hao ccm ina 76 tu na ukawa 87 yaani watu 11 zaidi lakini CCM haitaki kukubali je? watakubali kuachia nchi bila damu kumwagika?...

TANZIA: Mmiliki wa Mabasi ya Ngorika, Stephen Mberesero Afariki Dunia..Agongwa na Gari Akiongea na Simu Segerea

0
0
Mkurugenzi mkuu wa kampuni ya Ngorika Bus service, yenye makao yake makuu Kisangara mkoani Kilimanjaro, bw. STEPHEN Mberesero amefariki dunia mjini hapa baada ya kugongwa na gari aina ya Land cruiser wakati akizungumza na simu.

Kamanda wa polisi wa MKOA wa Tanga Mihayo msikhera alisema Jana kuwa ajali iyo ilitokea juzi SAA 2;30 usiku katika Barbara kuu ya segera-njiapanda ya himo mjini Korogwe.

Alisema Mberesero ambae mabasi yake hufanya safari Kati ya mikoa ya Arusha,tanga,Daresalaam na singida,marehemu alikuwa amesimama pembeni ya kituo cha mafuta cha Lake oil na kugongwa na gari hilo.

Mfanyakazi wa kampuni hiyo ,Adam Miraji alisema bosi wake huyo alikwenda Korogwe kuangalia Kiwanja kwajili ya kununua kujenga kituo cha mafuta.

Kama unavyojua bosi wetu pamoja na kufanya biashara ya Mabasi,alikuwa anamiliki vituo mbalimbali vya mafuta mkoani Kilimanjaro,Dar es Salaam na Arusha,hivyo alipokuja Tanga alituambia anakwenda Korogwe kuangalia Kiwanja cha kujenga kituo kipya cha mafuta,alisema Adam.

Alisema bosi wake huyo alikuwa ameliweka gari lake katika kituo cha mafuta cha Lake oil na kwamba alishuka kwajili yakuelekea katika Kiwanja hicho.

Wengi waliokuwepo eneo la ajali hawakujua kama ni yeye hadi tulipokwenda kuchukua mwili wake ndipo wakashtuka,Alisema.

Kamanda Mihayo alisema wanamsaka Dereva aliyesababisha ajali hiyo kwa uzembe na kusababisha kifo.

Jack Wolper na Dk. Fadhili Siri Yao Yavuja..Mkongo Afunguka

0
0
Siri imevuja! Daktari wa Kitengo cha Sayansi na Tiba Asili kilichopo Mbezi-Afrikana, Dar, Dk. Fadhili Emily amedaiwa kumponza mwigizaji Jacqueline Wolper kwa mpenzi wake wa sasa, Mkongo baada ya picha yake kukutwa kwenye simu ya mwigizaji huyo.

Chanzo kilicho karibu na Wolper kimepenyeza habari kuwa Wolper ambaye yupo nchini Afrika Kusini akijivinjari na Mkongo wake, simu yake ilinaswa na Mkongo ikiwa na picha za zamani za msanii huyo akiwa na Dk. Fadhili walizopiga wakiwa mkoani Mwanza, sambamba na kuona mawasiliano yanayotia shaka kati yao.

“Huwezi amini, Wolper kamaindiwa kinoma na Mkongo. Amegundua wana mawasiliano ya siri na mbaya zaidi amekuta picha tata za Wolper na Dk. Fadhili walizopiga miaka ya nyuma ndipo Mkongo akaja juu na kumtuhumu kwamba  kama amehifadhi picha hizo, basi huenda wawili hao wana uhusiano wa kimapenzi wa muda mrefu,” kilisema chanzo hicho huku kikimtumia mwandishi wetu picha hizo zilizozua ugomvi.

Baada ya kunyaka habari hizo, mwanahabari wetu alimtafuta Wolper bila mafanikio baada ya simu yake kuita bila kupokelewa. Alipotafutwa Dk. Fadhili, alisema yeye haoni shida kuwa na Wolper hivyo kama Mkongo amemshindwa, amuachie.

“Wolper nilimpenda na nitaendelea kumpenda. Nilishamwambia kwamba atazunguka kote lakini mume wake wa halali ni mimi,” alisema Dk. Fadhili.

Chanzo:GPL

Baada ya Rich Mavoko Kukana Kutoka Kimapenzi na Gigy Money, Gigy Aanika Chat zao

0
0
Baada ya video queen Gigy Money kudai kuwa aliwahi kutoka kimapenzi na Rich Mavoko na baadae staa huyo wa wimbo ‘Pacha Wangu’ kukanusha, Gigy Money aweka wazi chati zao za WhatsApp.

Gigy Money, alipost instagram chat hizo na kila moja kuiandika ujumbe wake. Hata hivyo baade alizifuta post hizo.


“Mimi mwenyewe sikujui vilevile” aliandika Gigy.


“Ahahhahaha unajua mavoko ntakudhalilishaaa ….mm ni mkimyaaa tu sio Mpole ata kidogo …unajikuta umenisahau bwege ww” aliandika Gigy.


“Banduguuuuuu kujichubua kwako ndio nkuogope weeee Richard wewe umeombaaa watu wanipigie nisikutie aibu sasa unaletaaa utoto sina nachokipoteza kumbukaaa I don’t care😂😂😂😂” aliandika Gigy

UKAWA Watoa Tamko Baada Ya Uchaguzi Wa Umeya Jijini Dar Kuhairishwa Leo

0
0
Uchaguzi Mkuu ulifanyika tarehe 25.10.2015 na wananchi wa Jiji la DSM Waliamua kuongozwa na UKAWA na ndio maana walichagua Madiwani na Wabunge wengi kutoka UKAWA. Kati ya Majimbo 10 ya Uchaguzi katika Jiji la DSM CCM ilipata Majimbo 3 tu baada ya kuchakachua na UKAWA ilipata yaliyosalia.

Hali ni hiyo hiyo kwenye kata. Wananchi waliamua kuipumzisha CCM kwa kuwa walikua wamechoshwa na uendeshaji mbaya wa Jiji la Dar es Salaam . Tangu Uchaguzi umalizike mpaka leo wananchi wanakosa huduma za Jiji kwa sababu CCM ilitaka kushinda Umeya wa Jiji kwa staili ileile waliyozoea ya goli la mkono. 

Mara wakaletwa wapiga kura feki kutoka Zanzibar huku Wakijua wazi kuwa TAMISEMI sio jambo la Muungano. Waziri mwenye dhamana na TAMISEMI hajawahi kutoa kauli wala kukemea hali hiyo hata siku moja huku akijua wazi kuwa vitendo hivyo vilikua ni kinyume Cha sheria za Nchi.

Leo tarehe 27.02.2016 tumeshuhudia Uchaguzi ukiitishwa na baada ya wajumbe Kuwasili wakakutana na kilichoitwa zuio la Mahakama la Tangu tarehe 05.02.2016 .

 Jambo hili limetokea baada ya Taarifa kusambaa jana tarehe 26.02.2016 kuwa CCM walipeleka shauri mahakamani la kuweka zuio na kuwa shauri hilo lilitupiliwa Mbali. 

Nini kinafichwa Jiji la DSM ? Tuna taarifa kuwa ni Ufisadi mkubwa uliofanywa na viongozi wa Jiji waliopita na wakishirikiana na Viongozi wa CCM kupora Mali za Jiji kama vile UDA, Mali za soko la Kariakoo, Viwanja na majengo ya Jiji. 

Pili tuna Taarifa kuwa hawataki majipu ya Jiji yatumbuliwe kwani kuna vigogo wakubwa wa CCM watatumbuliwa kutokana na kushiriki kwenye Ufisadi mkubwa ndani ya Jiji la Dar es Salaam . Mipango iliyopo.

Mkutano wa Uchaguzi Leo uliitishwa pamoja na kuwepo hicho kinachoitwa zuio la Mahakama kwa lengo la kuwaudhi Madiwani wa UKAWA ili waonekane kuwa wanafanya fujo . 

Hii ni kutokana na ukweli kuwa kama zuio lipo Tangu siku CCM wanaadhimisha miaka39 ya kuzaliwa kwake ni kwanini Mkurugenzi aliitisha mkutano wakati akijua Mahakama imeweka zuio?. 

Mpango huu umesukwa ili kuhakikisha kuwa Waziri mwenye dhamana na TAMISEMI anatengenezewa sababu za kuweza kuvunja Halimashauri ya Jiji la Dar es Salaam na kuunda Tume ya kuongoza Jiji. 

Ni vyema tukaweka angalizo mapema kuwa Mafisadi wana mikakati mingi sana ya kuhakikisha kuwa hawatumbuliwi Majipu. Kama Rais ambaye ndio Waziri mwenye dhamana na TAMISEMI hakubaliani na mbinu hizi za Mafisadi, aingilie Kati Mara moja na kuhakikisha kuwa Uchaguzi wa Meya unafanyika na kazi ya kutumbua majipu ya Jiji inaendelea kama ambavyo imeshaanza katika Manispaa za Ilala na Kinondoni zinazoongozwa na UKAWA .

Imetolewa na John Mrema.
Mkurugenzi wa Bunge na Halimashauri CHADEMA.

Waziri wa Elimu Profesa Joyce Ndalichako Awasimamisha Kazi vigogo watatu taasisi ya elimu

0
0
JOYCE Ndalichako, Waziri wa Elimu, Sayansi, Teknolojia na Ufundi, amewasimamisha kazi watumishi watatu wa Bodi ya Taasisi ya Elimu nchini (TET) kwa kushindwa kusimamia   sheria ya manunuzi na kazi ya uchapaji wa vitabu ili kupisha uchunguzi

Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam leo kwa niaba ya Waziri wa Elimu, Maimuna Tarishi ambaye ni Katibu Mkuu wa Wizara hiyo, amesema watumishi hao hawakutekeleza majukumu yao ipasavyo na kuruhusu vitabu hivyo kuchapishwa vikiwa na mapungufu.

“Mnamo tarehe 22 Januari mwaka 2016 bodi hiyo ilishauriwa kusitisha uchapaji wa vitabu uliokuwa ukifanywa na kampuni ya Yukos Enterprises Ltd baada ya kubainika kuwa na mapungufu, lakini haikusitisha,” amesema Tarishi na kuongeza.

“Serikali iliamua kusitisha uchapishaji wa vitabu hivyo ili isiendelee kupokea vitabu vyenye mapungufu, hata hivyo taasisi ya elimu haikusitisha uchapishaji wa vitabu hivyo, badala yake kampuni hiyo ilichapisha vitabu vyote ilivyopangiwa,” amesema Tarishi.

Tarishi amesema ufuatiliaji uliofanywa na wizara katika bohari ambayo ilikuwa inapokea vitabu hivyo, ulibaini kuwa vitabu vilivyowasilishwa na kampuni ya Yukos vilikuwa na kasoro.

“Kutokana na kasoro hizo, Taasisi haikutekeleza wajibu wake wa kusimamia uchapaji wa vitabu na uzingatiaji wa sheria ya manunuzi kikamilifu,” amesema.

Kutokana na mapungufu hayo, Wizara imetoa maagizo ya kuondolewa kwa baadhi ya vitabu vilivyowasilishwa kwenye bohari ya serikali ifikapo tarehe 29 Februari mwaka huu.

“ Taasisi ya Elimu iwasimamishe kazi mara moja watumishi wafuatao ambao walikuwa na jukumu la kusimamia sheria ya manunuzi na kazi ya uchapaji wa vitabu ili kupisha uchunguzi,” amesema.

Amewataja watumishi hao kuwa ni  Peter Bandio, aliyekuwa Kaimu Mkurugenzi wa Idara ya Vifaa vya Kielimu, Pili Magongo Mwanasheria wa TET na Jackson Mwaigonela Mkuu wa Kitengo cha Manunuzi na Ugavi.

Mapungufu yaliyoonekana kwenye vitabu hivyo ni  upungu wa mwingiliano wa rangi, upungufu wa kurasa katika vitabu, ukataji usiozingatia vipimo,vitabu kuchakaa kabla ya matumizi na mpangilo mbaya wa kurasa.

Ni Wapi Alipo Comrade Kinana? Je Magufuli Amemsahau....Namkubali Sana Jamaa Katika Makada CCM Waliopambana Kujenga Chama

0
0
Sijamsikia kwa kipindi kirefu kidogo na sio kawaida yake, na hata zile safari za ujenzi wa chama zilizoandaliwa hivi majuzi sizisikii tena kama wamekwenda au lah, mwenye taarifa atupatie maana alisaidia sana "kukijenga chama" huko mikoani kiasi kwamba kura za Chama "ziliongezeka" kwa kiasi kikubwa..Je Magufuli Kamsahau ama Vipi?

Habari Zilizopo Katika Magazeti Ya TANZANIA Jumapili Ya Leo Februari 28..Ikiwemo ya Ukawa Kuitesa CCM Dar es Salaam

0
0

Habari Zilizopo Katika Magazeti Ya TANZANIA Jumapili Ya Leo Februari 28

Tazama VIDEO ya Dakika 11 za Vurugu Zilivyotokea Katika Uchaguzi wa Meya Dar

0
0
Leo February 27 2016 ilitangazwa kufanyika kwa uchaguzi wa kumpata Meya wa jiji la Dar es salaam ambao ulipangwa kufanyika Karimjee hall Dar lakini wakati watu wakiwa wamekusanyika tayari kwa uchaguzi huu, mzozo ukazuka baada ya kaimu mkurugenzi wa Jiji kutangaza kuahirishwa kwa uchaguzi huu hadi tarehe nyingine itakapotajwa tena.

Imeelezwa kwamba kesi ya msingi iliyofunguliwa February 2016 na watu ambao hawajatajwa ndio imeifanya Mahakama kuzuia uchaguzi huu wa Meya kwa muda.

Yote unaweza kujionea kwenye hii Video hapa chini….
Viewing all 104428 articles
Browse latest View live




Latest Images