Quantcast
Channel: UDAKU SPECIAL
Viewing all 104431 articles
Browse latest View live

KAMPUNI YA GOOGLE YAKANUSHA PICHA YA GOOGLE MAP INAYOONESHA NDEGE YA MALAYSIA ILIYOPOTEA

0
0
Kampuni ya google imekanusha habari zilizotapakaa kwenye mitandao mbalimbali duniani kwa kuweka picha ya Google Map ambayo inaonesha ndege ya Malaysia Airline ikiwa imedondondoka ndani ya maji. Msemaji wa google nchini Malaysia amesema
"Yes, the images may be there, but it is not real time satellite images as the images may have provided to us several weeks or months ago," he said when contacted.
Hii imetokana na kutapakaa kwa picha inayoonesha ndege ya Malaysia Airline imedondoka kwenye maji.
Mpaka sasa meli zipatazo 40 na ndege 34 zinazunguka bahari inayizunguka maeneo ya Vietnam na Malysia wakitafuta ndege ya Malaysia Airline iliyopotea toka jumamosi.
Nchi zinazoshiriki kuitafuta ndege hiyo ni Australia, China, Thailand, Indonesia, Singapore, Vietnam, Philippines, New Zealand na Marekani.

WEBSITE MPYA YA AJIRA IMEINGIA MTAANI IJULIKANAYO KAMA " JOBS ONLINE TZ"

0
0
Website mpya ya Ajira ijulikanoyo kwa jina la Jobs Online Tanzania,Imeingia Online Sasa Kwakishindo , hususani kwa wale wanaotafuta Ajira Kila kukicha hii ndo Msaada kwao,Haina Haja ya Kujinunulia Magazeti lundooooooooo..Wakati umerahisishiwa Kila kitu unakikuta Online Mwanzo Mwisho

Waweza Kutembelea Website Yao BOFYA HAPA

SAMWELI SITA AULA BUNGE LA KATIBA...WENYE WIVU WALIE TU

0
0

Hatimaye Samweli Ameukwaa Uspika na Uwenyekiti wa Bunge la katiba leo hii jioni kwa kwa kupata kura nyingi ....Mie Binafsi nimefurahi nahuhakika na Mzee huyo ...Kwani aliongoza Bunge Vizuri sana Enzi zake......Unasemaje kuhusu Sitta ? Toa maoni yako hapo chini

HAWA NDIO WATU WAWILI WANAO HISIWA KUITEKA NDEGE YA MALAYSIA AMBAYO HAIJAONEKANA MPAKA SASA

0
0
The two men who travelled on the doomed Malaysian Airlines flight from Kuala Lumpur to Beijing on stolen passports. The younger man (left) was identified as Pouiria Nur Mohammad Mehrdad, 19, said by police in Malaysia to be an Iranian asylum seeker on his way to Germany to meet his mother. The older man (right) remains unknow

SEXY PICHA YA HAMISA MOBETO....SHE IS SO FINE

JOKATE AMECHUKUA NAFASI YA VENESSA MDEE SHOW MPYA YA KITUO CHA TV1

0
0

Jokate Mwegelo amechukua nafasi ya Vanessa Mdee kama mtangazaji wa show mpya ya kituo cha TV1 kilichozinduliwa leo jijini Dar es Salaam. Awali Vanessa ndiye aliyekuwa amechukuliwa kuendesha kipindi hicho na tayari alikuwa ameanza kurekodi vipindi. Haijulikani mabadiliko hayo yamesababishwa na nini.
Vanessa
Jokate Mwegelo atakuwa akiendesha kipindi hicho akishirikiana na mtangazaji wa zamani wa Kiss FM na Times FM, Ezden Jumanne aka The Rocker.
MMG28728
Ezden Jumanne akiongea na waandishi wa habari leo kwenye uzinduzi wa kituo hicho uliofanyika jijini Dar. Pembeni yake ni Jokate Mwegelo
MMG28706
Jokate Mwegelo akiongea na waandishi wa habari
Show hiyo ni version ya Tanzania ya show kama hiyo inayorushwa kwenye kituo cha TV cha Viasat cha Ghana ambacho nacho kinamilikiwa na kampuni moja inayoimiliki TV1, MTG ya nchini Sweden.

Picha: Othman Michuzi

Z-ANTO "NILIMKANYA SANA BINTI KIZIWI KUHUSU ISSUE YA MADAWA YA KULEVYA ILA HAKUNISIKIA"

0
0
Muimbaji wa muziki aliyewahi kuhit na wimbo wake ‘Binti Kiziwi’ Z-Anto amesema aliwahi kumkanya aliyekuwa mke wake, Sandra (msichana aliyeigiza kwenye video ya wimbo wake Binti Kiziwi), kuachana na makundi hatarishi aliyoanza kuwa nayo baada kupata umaarufu ambayo yalimfelisha kimaisha ikiwemo kufungwa jela nchini China baada ya kukamatwa na madawa ya kulevya.
Z-Anto na Sandra siku ya ndoa yao

“Alishindwa kujicontrol na maisha ya ustaa hiyo ndio ikawa shida, akapata kampani za ajabu ajabu,” Z-Anto alimwambia jana mtangazaji wa kipindi cha Mseto cha Radio Citizen ya Kenya, Willy M Tuva.

Muimbaji huyo amekumbushia kuwa wiki moja kabla ya msichana huyo kusafiri kwenda China, ndio kipindi ilipotokea ajali ya Sharo Milionea, na kulikuwa na tetesi pia kuwa Sandra naye alipata ajali na kupoteza maisha na hivyo kumlazimu kufuatilia undani wake.

“Mwisho wa siku kama siku tatu nikampata, akaniambia ‘mbona mimi niko fresh’, nikamuuliza ‘mbona nimesikia umepata ajali’ akasema ‘hapana mimi niko sawa tu ila natarajia kusafiri kuna sehemu naenda kibiashara’. Nikasema ikiwa kama inafika hatua watu wanakuzushia kitu kama hiki hapa, yawezekana kuna kitu ambacho kinakuja. Lakini ilikuwa ni kweli kwamba kuna tatizo lilikuwa linakuja mbele yake na aliposafiri kwenye hiyo safari ndio alienda zake huko China kwa issue ya madawa, kufika zake kule kweli matatizo yamemkuta. Kwahiyo nikasema ni kweli ilikuwa ni ishara ya ajali kwake.”
Z-Anto amesema mke wake huyo wa zamani alihukumiwa kifungo cha miaka sita jela.

Bongo5

DIVA"KABLA YA KUWA NA GK NILIKUWA NA DATE NA MWANASIASA"

0
0
Diva alikuwa akihojiwa na mtandao wa Makorokocho.

Swali : Je ni kweli Unatoka na GK?

Diva : ofcoz doe …. Gk is my Angel, My Husband, My Forever Favorite Man. My sugar My sweetie…My heart .. my better and half, My life….My Boifriend..i call him dat, My Boyfriend.

Swali : Unampenda Crazy GK?

Diva: with all my heart …like never before…… never knew kama kuna Penzi kama hili before. holding it so close..dearly.

Swali : Kabla ya kuwa na GK ulikua na nani?

Diva : Gosh ..but well ermmm …… dated this Politician kwa muda mrefu sana, miaka nearly 4 years … he was the only one., don’t wanna put his name on Public tho….until i met My King..

Swali : Kwanini Mliaachana na huyo Mwanasiasa?

Diva : misunderstanding zilizidi, i don’t really wanna talk about it My focus is My king now….My baby, My lover ..My Gk.

Swali : Uliwahi kuwa katika mahusiano na Brother from 254 Kenya Prezoo, mahusiano yenu yaliishia vipi?

Diva : Prezoo na mimi tulikutana wakati ana interview, so baada ya hapo tukawa tuna chat kwa simu, sikupenda alivyofanya interview kwenye XXL ya Clouds fm You heard…akasema eti anataka kunioa, nilikasirika sana nakumbuka nilimuuliza akajibu eti ameongelea feeling zake, lakini tuliishia kuwa na long distance relationship, aliingia kwenye moyo wangu kwasababu nilikua nimegombana na boy friend wangu mwanasiasa, lakini badae nikaona niachane na Prezoo, ila hatujawahi kufanya any sex . we touched, we kissed, we had our love story and ikaisha, to me dats normal, …. hakukuwa na mahusiano ya mahitaji ya kimwili baina yetu, sikuwa ready for dat… it was just a fling. ila Prezzo such a nice guy. No regrets, gladly i met him in real life, and we good tunaongea tunawasiliana, sio ugomvi kuachana. i still love his music, such a fan of him.

Swali: Mara ya kwanza kukutana Na GK na ilikuaje?

Diva : Well Mara ya kwanza kukutana na Gk ilikua ni mwaka 2013, siku ambayo GK alikuja kwenye kipindi changu kwa ajili ya Interview, kabla ya hapo nilikua namwona kwenye Music Videos only but hakunivutia at the first place, i was happy met The Music Mesiah tho. music veteran, gladly met the Legendary,The King.

Swali : Ulijiskiaje baada ya kumwona?

Diva : Nilifurahi, tulisalimiana, kama navyokutana na wasanii wengine, alikua anaonekana kama nilivyokua namwona kwenye TV, na yeye anakaniambia Jinsi anavyoniona ni tofauti na nilivyokua anafikiria, alidhani mimi ni mdada mtu mzima, na alifikiria mimi ni msichana mwenye kuringa sanaaa, na Sister Du Sanaaa, baadae aliniambia eti siku hiyo hiyo ya kwanza akanipenda (Love at First Sight lol)

Swali : Interview Uliionaje?
Nilikua na mhoji Legendary, ni kama Kufanya Interview na Jay Z, na baada ya mahojiano hayo nilipata my credits as usual. it was BOOM..Kick ass show.

Swali : Ulimuuliza maswali juu ya mahusiano yake yaliyopita?

Diva : Ndio nilimuuliza Una Girlfriend? Akajibu ninae, nikamuuliza ndo huyo mzungu ninaemskia? Akanijibu umejuaje? Then akasema kweli ana girlfriend Mzungu na vingine nini nini ……………..

Swali : baada ya Siku hiyo mawasiliano yenu yalikuaje?

Diva : tulikua tuna chat kama watanzania wa kawaida, Good morning My Diva. how are you…hizo yaan…ila kuna siku nilienda kula kwa Aunt yangu Upanga, kwenye Chatting nikamwambia nipo Upanga akaniuliza upo maeneo gani, nikamjibu akaja na baadae nikatembelea Kwao the same day we Kissed lakini, it was a good kiss, a kiss to remember… btw i needed dat kiss..when he kissed me man…. it was like magic. kwasababu nilikua na Boy friend mtu mzima kidogo, just experienced the difference with the finest… hehee…

Swali : Crazy GK Aliwezaje kuzibamba hisia zako?

Diva : Aliniletea Vannila Ice cream ,gosh i so love Vanilla Ice cream, My favorite you know…(cinderela life Story) that means kuna vitu mimi napenda ambavyo wanaume wengi hawawezi kufikiria, wanaume wengi wakinifata wanahisi napenda vitu expensive lakini mimi napenda vitu vya watoto, I need a man ambae atani treat kama mtoto, even on valentines..had valentines to remember. dats my baby.

Swali : Chemistry yenu iko vp, mnaiva sana ama?

Diva : He is nice and we connect….. enjoying the moment with My Special Man, My king, My Gk


Swali: Any Future Plans?
Diva : Mipango ni kuwa na furaha zaidi maishani, I love him, we love each Other, we just wanna be happy and yes tunataka kuzaa mtoto… coz i need kuwa na mtoto this 2014 yaani. we agreed tutamuita Hailey Presley Montana Kaihula. a baby boy pliz lol, thanks
Bongo5

NDEGE WAAJABU WAVAMIA MAKAZI YA WANANCHI BUKOBA

0
0
Ndege wa ajabu wanaosadikiwa kutoa kinyesi chenye sumu kali, wamevamia Kisiwa cha Musira kilichopo Manispaa ya Bukoba na kusababisha vifo vya mifugo na ndege wafugwao, huku ukali wa sumu hiyo ukisababisha kutoboka mabati ya nyumba zilizopo kisiwani humo.

Ndege hao wanaoaminika kuvamia kisiwa hicho mwezi mmoja uliopita tayari wameshasababisha vifo vya kuku 516 na mbuzi 12 wanaodaiwa kugusa au kula kinyesi chao. Hata hivyo, bado haijafahamika ndege hao wanatokea nchi gani.

Akithibitisha habari hizo, Mkuu wa Mkoa wa Kagera, Kanali Mstaafu, Fabian Massawe alisema Serikali ilipata taarifa hizo kupitia Kamati ya Ulinzi na Usalama ya Wilaya na baadaye kuundwa timu ya kutafuta taarifa za awali za tatizo hilo.

Massawe alisema ndege hao, pamoja na kusababisha vifo vya mifugo na ndege wafugwao pia baadhi ya miti katika kisiwa hicho imekauka na mabati kutoboka inapotokea kinyesi chao kitaangukia kwenye paa za nyumba zao.

Pia Massawe alisema kuwa, taarifa ya kuwapo kwa ndege hao katika Kisiwa cha Musira, ilifikishwa kwa Naibu Waziri wa Afya, Dk. Kebwe Stephene Kebwe aliyekuwa mkoani humo wiki iliyopita na kuwa suala la kuwapo kwa ndege hao siyo la ghafla kwa kuwa walikuwapo hapo awali.

Dk. Kebwe alisema wizara imetuma wataalamu kuchunguza tatizo hilo na kuwa wizara hiyo itaangalia ukubwa wa tatizo hilo linavyoweza kuwaathiri wananchi.

Hata hivyo, alisema suala hilo pia linahitaji ufuatiliaji kutoka Wizara ya Mifugo na Uvuvi na Dk. Munda Elias alikwishawasili kwa ajili ya uchunguzi na kuthibitisha kuwa tayari kinyesi cha ndege hao kimepelekwa maabara kwa ajili ya uchunguzi na Mkoa unasubiri matokeo ya utafiti huo.

Naye Ofisa Tarafa wa Rwamishenye, Abdon Kahwa akizungumza kwa niaba ya Mkuu wa Wilaya hiyo, Ziporah Pangani alisema tayari Serikali imechukua hatua za kupiga marufuku kupeleka au kusafirisha mifugo kutoka kisiwani humo kwenda maeneo mengine kwa hofu ya kusambaa kwa sumu hiyo.

Pia alisema ndege hao wameleta hofu kwa wakazi wa kisiwa hicho, kwani kinyesi chao kinapodondoka kwenye bati hupata kutu na kutoboka, huku kukiwa na hofu nyingine kwamba huenda mifugo nayo imeathiriwa.

KENYAN POLITICIAN WANTS TO BAN MIN SKIRTS AND TIGHT TROUSERS

0
0
Kilifi County’s Marafa ward representative Renson Kambi is working on a bill that will bar women from wearing short skirts and men from wearing tight trousers. Kambi says the motion, to be tabled before Kilifi County Assembly soon, is aimed at restoring decency. “Moral standards have gone down in Kilifi” due to “improper dressing,” he stated. “Most ladies are dressing skimpily and that cannot be tolerated.”

The bill, still in its initial stages, proposes among other things, to ban garments that “expose the flesh” in public. He said undue dressing continues to cultivate prostitution, and that the situation must be put under control before it deteriorates further. The bill, however, will not only centre around women’s dress, but also aims at barring men from wearing tight trousers.


Kambi said that it has become difficult to stroll around markets in Kilifi county, especially in the company of in-laws and children, because of the way young men and women have decided to dress. He claims young girls are now putting on micro miniskirts in schools, making it difficult for their male colleagues and male teachers to concentrate. “The girls are putting on ‘very short miniskirts’ to an extent that they cannot even pick up a pen when it falls down without exposing their flesh,” he said.

Kilifi County Deputy Speaker Teddy Mwambire is among a host of leaders who have come out strongly in support of the bill. He says it aspires to ensure that the people of Kilifi county go back to the traditional mode of dressing, bringing to an end what he labelled borrowed cultures.

Mwambire says youths have adopted a way of dressing that has to be dealt with, before immorality makes huge strides in the community. “We cannot just sit still as young people – both male and female continue roaming our streets half naked.”

But former Kilifi Town Council Chairman Anthony Kingi has admonished Kambi for planning to introduce a bill he believes will have no impact on people’s lives, saying he should come up with bills that will improve the state of education in the county. Kingi rubbished claims that improper dress is the main cause of dwindling education standards.

If the bill reaches a majority in the county assembly, it will be passed to Governor Amason Jeffa Kingi who may sign it into law or reject it. For now, debates for or against continue to gain momentum in Kilifi county and across Kenya.

MWANAUME ANGATWA UUME NA NYOKA AKIJISAIDIA CHOONI..CHOO CHA KUKAA

0
0
A MAN was rushed to a hospital after a snake bit his penis while he was relieving himself in a toilet, according to hospital officials in Israel.

The man, 35, of northern Israel was bitten on Friday after the snake suddenly appeared from inside the toilet.

The man suffered minor injuries from the bite; fortunately the snake was not venomous.

Rescue workers responded to the scene and took the man to Rambam Medical Center in Haifa, where he received medical treatment, reports Your Jewish News.

An examination revealed the snake was not poisonous.

The man told emergency workers it happened after he went to the toilet to relieve himself and suddenly felt a strong burning sensation in his penis.

One of the paramedics said the man told him he has seen the snake and it was very small.

According to the paramedic, despite the location of the injury, the man managed to stay calm and even had a laugh with workers at his own expense.

'This is the first time I've seen a snake bite like this,' the paramedic said.

'Luckily, all tests seem fine and the man is feeling well,' the paramedic added.

'There will undoubtedly be bite marks on the area in question,' the hospital said.

'The snake was not poisonous. The man is currently under observation pending additional test results and as soon as we get the results, he will be able to go home,' the hospital said.

The man was lucky the snake was not venomous since there are many deadly species commonly found in Israel. Snakes are very territorial and will strike out to protect their space, be it a rocky crevice or a domestic toilet.

It is 'snake season' currently in the Middle East and among the most dangerous are the black snake or desert cobra, the horned desert viper, the Palestinian viper which is the most common poisonous snake in Israel, the saw-scaled viper, or the false horned viper.

To prevent meeting a snake in the home, it is recommended to keep the house clear of rats, mice and other snake prey, fix leaky taps (snakes are drawn to water), and try to minimise plants and maximise grass in the garden since plants provide the perfect cover for snakes.

Fix windows on the house and windscreens on cars, to avoid any unwelcome surprises.

Keeping a cat is also a great way to scare off snakes since they are one of their biggest enemies

WEMA, AUNT WALA KICHAPO

0
0
Na Imelda Mtema na Gladness Mallya
KIMEWAKA! Habari zilizothibitishwa zinaeleza kuwa, sura mbili za mauzo kwenye sinema za Kibongo, Wema Isaac Sepetu na Aunt Ezekiel Grayson wanadaiwa kula kichapo kutoka kwa msanii mwenzao, Adam Kuambiana, Amani limeinyaka.

Tukio hilo lililoshuhudiwa na ‘shushushu’ wetu lilijiri mchana kweupe maeneo ya Mikocheni, Dar, hivi karibuni baada ya kuibuka timbwili lenye ujazo wa kilo kadhaa baina ya mastaa hao.

ALIANZA WEMA
Kwa mujibu wa chanzo, Wema ndiye aliyeanza kummwagia Kuambiana maneno ya shombo akimwambia kuwa ahakikishe siku hiyo haipiti bila kukata kucha za miguuni kwani ni ndefu na zinatisha.
“Mwanzoni ilikuwa kama utani tu. Wema alimwambia Kuambiana akate kucha, tena itabidi atumie mkasi wa kukatia michongoma maana kwa wembe hazikatiki.

“Pia Wema alimwambia yeye hawezi kumwacha mpenzi wake na kucha ndefu kama hizo za Kuambiana,” kilisema chanzo chetu.
Ilizidi kudaiwa kwamba wakati Wema akiendelea ‘kumpaka’ Kuambiana, Aunt aliyekuwa amejilaza chini alidakia na kusikika akisema kuwa ni kweli msanii huyo mwenye uwezo wa juu katika fani anatakiwa kukata kucha hizo huku akizungumza maneno ya shombo kwa jamaa huyo.

HASIRA
“Baada ya kuona imekuwa ‘too much’, Kuambiana alipandwa na hasira, akanyanyuka kwenye kochi na kumfuata Wema kwa lengo la kumpa kipigo,” kilisema chanzo hicho.


MARTIN KADINDA AMUOKOA
Habari zilidai kwamba, Kuambiana alipomfikia Wema alianza kumpiga vibao hadi meneja wake, Martin Kadinda akaingilia kati kumuokoa mwanadada huyo ambaye pia ni meneja wake.

KIBAO CHAMGEUKIA AUNT
Chanzo kilieleza kwamba baada ya kuachana na Wema, msaanii huyo ambaye pia ni ‘dairekta’ wa sinema mbalimbali za Bongo alimfuata Aunt na kuanza kumlamba makofi ya kutosha.
Tukio hilo lilizua tafrani na kuwafanya wasanii wengine waliokuwa eneo hilo wakimbie na kushindwa kuwatetea Aunt na Wema kwa kuogopa kugeuziwa kibao.
KUAMBIANA ANASEMAJE?
Baada ya kuinyaka ishu hiyo, mapaparazi wetu walimtafuta Kuambiana na kumuuliza kulikoni kugeuka bondia na kuwapiga warembo hao ambapo alikiri kutokea kwa ishu huyo.
Alisema kuwa, Wema na Aunt ni kama wadogo zake, tena yeye kama dairekta wao walipaswa kumheshimu na siyo kumvunjia heshima.

“Akina Wema ni wadogo zangu, wanahitaji kuniheshimu na mimi ndiye mwongozaji wa filamu yao, kwa nini wanikosee heshima? Hata kama wamekasirika lakini nimewashikisha adabu,” alisema Kuambiana kwa ile sauti yake nzito.

WEMA & AUNT
Kwa upande wao, walipoulizwa Aunt na Wema kuhusiana na kichapo walichopewa walisema walishamzoea jamaa huyo, lakini kwa alilolifanya la kuwapiga makofi  aliwakwaza kwa sababu hata kama ni mwongozaji wa filamu yao lakini alikuwa pale kwa ajili yao.

HISTORIA YA KUAMBIANA
Ukiachana na tuki hilo, Kuambiana anadaiwa kuwa na mkono mwepesi hasa anapokuwa ‘lokesheni’ ambapo mwaka jana, aliwahi kumtia mikononi staa mwingine wa filamu za Bongo, Rose Ndauka walipokuwa wakirekodi filamu visiwani Zanzibar.

Siku ya tukio hilo, Kuambiana alikuwa akidairekti Filamu ya Distress in Zanzibar. Alimshutumu Rose kuvaa mavazi tofauti na maagizo yake, katika kujibishana akamuwasha makofi.

HATA MITAANI!
Juni, mwaka jana, Kuambiana alimshushia kipigo Fadhili Joseph ambaye alimdai fedha za bia alizokunywa kwenye baa yake, Sinza, Dar es Salaam.
Kuambiana aliposhindwa kulipa aliacha laptop (kompyuta mpakato), siku iliyofuata alirudi na kushusha kichapo huku akiitaka laptop hiyo.

Kuambiana alikamatwa na Polisi Kawe, Dar kwa faili la malalamiko KW/RB/5761/2012 SHAMBULIO. Kesi hiyo ikahamishiwa Kituo cha Polisi Kijitonyama ‘Mabatini’ kwa vile ndiyo kituo cha karibu na eneo la tukio.

MADAIREKTA WAKOJE?
Mbali na Kuambiana, staa mwingine ambaye pia ni dairekta wa muvi za Bongo, Issa Musa ‘Cloud’ naye aliwahi kutoa kipigo cha bakora kwa msanii Blandina Chagula ‘Johari’ kwa kosa la kuchelewa kufika sehemu ya kurekodia filamu.

GPL

ALI KIBA KUTISHIWA KUUAWA, DIAMOND KUHOJIWA POLISI

0
0
Andrew Carlos na Shakoor Jongo
SAKATA la staa wa Bongo Fleva, Ally Saleh ‘Ali Kiba’ kunusurika kuuawa na watu wasiojulikana kwa kutumia bastola limechukua sura mpya, safari hii, Nasibu Abdul ‘Diamond’ amefunguka kuwa amejiandaa kuhojiwa na polisi.
Ally Saleh ‘Ali Kiba’.
Kwa mujibu wa chanzo chetu katika jeshi hilo jijini Dar, Diamond ambaye amekuwa akitajwa sana katika sakata hilo kupitia mitandao ya kijamii ataitwa kuhojiwa.
“Unajua ile kesi ipo hapa Central, awali ilitokea Polisi Msimbazi, sasa mpelelezi wake amekuwa akifikiria kumwita Diamond ili amhoji maana anatajwa sana,” kilisema chanzo hicho.
Hivi karibuni, Ali Kiba alivamiwa usiku na watu zaidi ya watano nyumbani kwao, Kariakoo jijini Dar ambapo waliruka ukuta na kuingia ndani huku kila mmoja akiwa na bastola.
Nasibu Abdul ‘Diamond’.
Ilidaiwa kuwa, mmoja kati ya watu hao ambao ilisemekana walitumwa kumuua msanii huyo, aliibua mzozo wa makusudi kwa wenzake ili kumpa mwanya Kiba kutoroka kwa vile hakufurahishwa na kitendo hicho.
Habari zinasema walipoingia ndani huku kelele za mbwa zikasaidia kumshtua staa huyo, ule mzozo ulioanzishwa na wavamizi hao ulimsaidia Kiba kutoroka ingawa walimkosakosa risasi.
Ikasemekana baada ya msanii huyo kukimbia, jamaa ambaye alimkingia kifua alimpigia simu na kumfungukia watu waliohusika huku ikidaiwa kuwa baadhi yao ni mastaa wenzake.
“Alinitajia tu majina lakini nilishindwa kuthibitisha moja kwa moja hivyo nikayafikisha Kituo Kikuu cha  Polisi (Central) kwa ajili ya uchunguzi,” alisema Ali Kiba huku akikataa kutaja hata jina moja.
Hata hivyo, mengine yaliibuka hasa kwenye mitandao ya kijamii kuwa, miongoni mwa wasanii waliohusika katika tukio hilo eti ni na Diamond.
Amani lilimsaka afande mmoja ambaye anajua mwenendo wa kesi hiyo ambaye alikiri kesi hiyo kuwepo Central lakini alisema mambo yote ni siri ya kazi.
“Nani atahojiwa, nani hatahojiwa ni siri ya kazi yetu,” alisema.
Juzi, paparazi wetu walimtafuta staa huyo wa Wimbo wa Number One ili kusikia anazungumziaje manenomaneno hayo ya kwenye mitandao na vinywa vya watu.
“Nimeshasikia nikitajwa katika hilo, kimsingi ni madai mazito lakini mimi nipo tayari kuhojiwa ili sheria ichukue mkondo wake kwani najua si kweli na sijui lolote,” alisema Diamond.
Akandelea: “Mimi na Kiba kuna ugomvi gani hadi nifikie hatua hiyo. Kwanza sina moyo wala uwezo wa kufanya hivyo.”
GPL

HOW TO CHEAT AND NEVER GET CAUGHT

0
0
Although I do not advocate for cheating at any one point of anyone’s life, I would like to present to you a number of ways in which you can actually cheat on your partner and get away with it; and I mean without getting caught literally.

In this contemporary world, everything is changing and the sooner we accept that change the better off we will be. Instead of waiting and watch your relationship become unhealthy for both of you, just try to avoid anything that will corrupt your mind and force you to cheat.

However, if you find yourself cheating, here are just a few tips on how to cheat on your partner and never get caught.

Use online dating sites

As of today, there are numerous dating sites in this country and are all appealing for privacy. Thus, you can find a partner in one of them while at the comfort of the office or your home.  And remember to delete any cookies and history from your computer.

Instill concrete trust unto your partner

Try your level best to make your partner have great confidence in you. Once this is done, you can easily make her forgive you but always keep your lies to the minimum.

Act suspicious at some point

It’s always healthy to somewhat instill some effective suspicion occasionally by making it look as if your partner is the one cheating. However, you should be careful because such a tactic is considered to be used by cheaters.

Take her somewhere else

Just the other day we saw a man said to be a servant of God extend his services to one of his congregants but his scheme was instantly revealed and shamed country wide. In order to avoid such situations, you can take your partner in cheating to a safe location but do not raise any suspicion and be attentive as well.

Note that, cheating is bad and can land you into deep trouble so you can always try and avoid it at all cost.

WAKUTWA WATUPU KWENYE GARI MARA BAADA YA KUVUNJA AMRI YA SITA KUPITILIZA

0
0
Mwanaume Mmoja na Dada Mmoja walikutwa Ndani ya Gari wakiwa wamenzia fofo huku wakiwa uchi ndani ya Gari ikimaanisha walikuwa wanafanya yao walipomaliza wakasinzia hivyo hivyo ...Inaelekea Walikuwa wamelewa Chakari ..Inakuwaje hiii Jamani..Aibu Tupu 

NGUVU YA POMBE YAMUADHILISHA MISS HUYU "REHEMA FABIAN"

0
0

 Pombe huwa si chai , Ukinywa zaidi ya kiwango mambo ndio huwa hivi ....Huyu yalimzidi na wajanja wakaanza kumchezea kwa kumpiga picha kwenye mikao ya kihasara hasara kama unavyoona hizo picha.....Pombe nomaaa

MWALIMU MKUU AKUTWA AKIWA NA NGUO YA NDANI MAJIRA YA ASUBUHI KATIKA KIBAO CHA SHULE

0
0
MWALIMU Mkuu wa Shule ya Msingi Rutamba, Wilaya ya Lindi amekutwa akiwa na nguo za ndani pekee katika usingizi mzito kwenye kibao cha shule hiyo huku akiwa hajitambui kwa madai ya kilichomkutana kinahusishwa na imani za kishirikina.
Tukio hilo limetokea juzi usiku baada ya mkazi mmoja wa kijiji hicho, Juma Mbilemoto kumkuta mwalimu huyo akiwa kwenye kibao hicho wakati alipokuwa anamsindikiza nduguye,Aisha Mbilimoto aliyekuwa anasafiri kuelekea Dar es Salaam.
Akizungumzia tukio hilo, shuhuda huyo alisema alimkuta mwalimu huyo akiwa amelala chini ya kibao cha shule akiwa na nguo ya ndani tu (chupi)huku akikoroma kutokana na kuwa na usingizi mzito.Alisema awali hakumtambua mtu huyo lakini baada ya kumkaribia alimtambua kuwa alikuwa mwalimu mkuu wa shule hiyo na ndipo alipochukua jukumu la kumwamsha  ili amvalishe kanga, lakini aliikataa na kuondoka kwenda nyumbani kwake akiwa kama alivyokutwa
Kwa upande wao walimu wa shule hiyo walisema kuwa, wamekosa molari wa kufanya kazi kutokana  na kitendo alichofanyiwa mwalimu mwenzao.
Akizungumza kwa niaba ya walimu wenzake mwalimu wa taaluma wa shule hiyo, Francis Milanzi alisema  walimu shuleni hapo wamekosa amani na kuwasababishia kuzihama nyumba zao  kwa muda na badala yake kwenda kukesha  kwenye ofisi za walimu tangu tukio hilo litokee.
Ofisa elimu wa Wilaya ya Lindi, Cosmas Magigi alisema amepokea taarifa za tukio hilo kwa huzuni na amewaomba walimu kuwa na subira wakati utaratibu wanalishughulikia suala hilo.
Magigi aliongeza kuwa ofisi yake itafanya utaratibu wakumhamisha  mwalimu huyo na kumtafutia shule nyingine huku akiwataka wakazi wa eneo hilo kujenga ushirikiano na watumishi ili waweze kutekeleza majukumu yao.
Hili ni tukio la pili kutokea katika halmashauri hiyo mwaka huu ambapo la kwanza lilitokea April katika Shule ya Sekondari Ruhokwe, mwalimu wa shule hiyo alilazwa kwenye kibao cha shule  akiwa uchi wa mnyama.

SAKATA LA MADAWA YA KULEVYA KWA AGNESS MASOGANGE LAIBUKA UPYAAA.. WAZIRI ATAKA AKAMATWE NA AHUKUMIWE KWA KOSA HILO

0
0
WAZIRI Kivuli wa Mambo ya Ndani, Vincent Nyerere ameibuka na kutoa kauli ya kutaka Video Queen Agnes Gerald ‘Masogange’ akamatwe na kuswekwa ndani akidai kitendo cha kuachiwa huru Afrika Kusini kwa kesi ya madawa ya kulevya si sahihi kwa Bongo.
 
Waziri Kivuli wa Mambo ya Ndani, Vincent Nyerere.
Akizungumza na Kipindi cha Dakika 45 kilichorushwa hewani Jumatatu usiku na Runinga ya ITV, Nyerere alisema baada ya uchunguzi kufanyika ilibainika kuwa yale madawa kwa nchini Afrika Kusini si ya kulevya lakini kwa Tanzania ni ya kulevya.
Alisema kutokana na kubainika kwamba yalitokea nchini,  baadhi ya wafanyakazi wa Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere jijini Dar walitimuliwa kazi, akasema basi ilikuwa lazima Masogange baada ya kutua Bongo akamatwe.


“Mimi nimeshangaa sana jamani, ilikuwaje watu watimuliwe kazini pale uwanja wa ndege kwa kuwatuhumu kuruhusu madawa ya kulevya kupita, kwa nini walimuachia huru yule binti (Masogange), basi waliofukuzwa nao warudishwe kazini,” alisema Nyerere.
Paparazi wetu, juzi alifanya jitihada za kuzungumza na Waziri wa Uchukuzi, Mheshimiwa Harrison Mwakyembe lakini simu yake ilikuwa ikiita tu.
Kwa upande wake, Kamanda wa Kikosi Maalum cha Kuzuia na Kupambana na Madawa ya Kulevya Tanzania, Afande Godfrey Nzowa alipopigiwa simu alisema kule Afrika Kusini Masogange alipatikana na hatia na kuhumumiwa, kwa hiyo hakuna sheria ya kumkamata tena hapa nchini.
“Kule alihukumiwa kwenda jela au kulipa faini, ina maana alipatikana na hatia, akalipa faini na kuachiwa,  sasa kwa nini tumkamate huku?” alihoji Nzowa.
Simu ya Masogenge juzi ilikuwa ikiita mara kadhaa bila kupokelewa.
Julai 5, mwaka jana, Masogange na Melisa Edward walikamatwa Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Oliver Tambo jijini Johannesburg na madawa ya kulevya aina ya crystal methamphetamine yenye thamani ya shilingi bilioni 6.8.
Kesi yao iliendeshwa na Mahakama Kuu ya Gauteng iliyopo Kempton Park nchini humo ambapo Masogange alikutwa na hatia na kuhukumiwa kwenda jela miezi 32 au faini ya randi 30,000 (shilingi milioni 4.8). Masogange alilipa huku mwenzake, Melisa akiachiwa huru baada ya kuonekana hakuwa na hatia.


GPL

JAMAA ANAYEMFANYA SIMBA KAMA NDUGU YAKE PICHA ZIKO HAPA.

0
0


Jamaaa Anaishi na Simba kama Familia, Simba amemzoea kinoma yaaaani hakuna noma kabisaaaaaa.......

RIHANA NA DRAKE SI SIRI TENA ..MABUSU NJE NJE...

0
0
Kwa muda mrefu sasa kumekuwepo na tetesi za wanamuziki Drake na Rihanna kwamba wamerudisha mahusiano yao ya kimapenzi.
Ingawa wawili hao waliopachikwa jina la ‘AubRih’ (Kwa maana ya Aubrey na Rihanna) mpaka sasa wamekuwa wakisisitiza na marafiki lakini vitendo vya hivi karibuni vinaonyesha kuna kitu zaidi ya urafiki kati yao. Rihanna na amekuwa akionekana na Drake wakiongozana kwenye ziara ya kimuziki ya Drake barani ulaya.
Mara ya kwanza walionekana pamoja nchini Ufaransa, kisha Ujerumani na jana usiku walionekana pamoja jijini Manchester – England.
Na hizi ni picha za ushahidi wa wawili hao walivyokuwa wakijiachia kwenye mitaa ya jiji la Manchester usiku jana.

Viewing all 104431 articles
Browse latest View live




Latest Images