Quantcast
Channel: UDAKU SPECIAL
Viewing all 104785 articles
Browse latest View live

Hii Video Mpya ya Sam Misago ‘Ballin And Chillin’ itazame Hapa

$
0
0
Hii video mpya ya Sam Misago ‘Ballin And Chillin’ itazame hapa chini, ENJOY

Kuvaa Nusu Utupu Natangaza Brand- Vanessa Mdee

$
0
0

Msanii wa muziki wa bogno fleva ambaye anafanya poa katika anga za kimataifa Vanesa mdee, amefunguka sababu ya yeye kupenda kuvaa nguo za nusu utupu.

Akiwa kwenye kipindi cha Friday Night Live kinachorushwa na East Africa Radio na EATV, Vanessa Mdee amesema anapenda kuvaa mavazi hayo ambayo hayakubaliki kwa jamii, kwa sababu anatangaza brand yake, na hatimaye impe dili la matangazo kwa wabunifu wa mavazi.

“Ukweli ni huu, wasanii for a long time in the past, wasanii wa kitanzania hawajajua na kutambua brand yao, mi brand yangu mi nataka ndani ya miaka miwili napigiwa simu na Balmain, na Lui V, nataka dersigners wakubwa wa dunia wanitumie kutangaza bidhaa yao kwa sababu wanaamini nina brand yangu kubwa na zinaendana, so nna malengo , na if im gonna offend any body im sory”, alisema Vanessa Mdee.

Vanessa Mdee ambaye kwa sasa ameachia video yake mpya ya Kaniroge, amesema ana mipnago ya kufika na kutambulika dunia nzima katika kazi zake za muziki, kama alivyochora ramani ya dunia kwenye mkono wake.

Pendeza na Kessy Products..Pata Dawa za Asili Zisizo na Madhara Wala Kemikali Yoyote

$
0
0

PENDEZA NA KESSY PRODUCT.
PATA DAWA ZA ASILI ZISIZO NA MADHARA WALA KEMIKALI YOYOTE,
NA MATOKEO KUANZIA WEEK (2) ADI (4) NAKUENDELEA

1) KUTOA MVI SUGU 80,000/
2) KUREFUSH NYWELE NA UKATIKAJI 80,000/
3) TENGENEZA SHEPU YAKO FIGA UMBO (8) KWA DAW...
@ KUPAK 70,000/
@ KUNYWA NA VIDONGE 130,000/
4) TENGENEZA MGUU KAMA CHUP YA BIA 60,000/
5) PUNGUZA KITAMBI NA MANYAMA UZEMBE
@) KUNYWAA 90,000/
@) KUPAKA 70,000/
6) PUNGUZA MWILI MZIMA PAMOJA NA KILO
@) MAJAN 130,000/
@) VIDONGE 150,000/
7) PUNGUZA MAZIWA NA YASIMAME 60,000/
8) ENGEZA MAZIWA NA SAIZ UNAYOPEND 60,000/
9) ONGEZA MWILI MZIMA NA KUKUPA HAMU YAKULA (WEMBAMB) 80,000/
10) TOA MICHIRIZI SUGU PIA NA ILE YAKUJIFUMGUA, 70,000/
11) TOA MAKOVU, CHUNUSI, WEUSI KATIKATI YA MAPAJA 50,000/
12) TOA NGIRI YA AINA ZOTE 70,000/
13) KUWA MWEUP MWILI MZIMA KUPAKA 80,000/PIA VIDONGE VIDONGE.
14) TOA VINYWELEO NA NDEVU 80,000/
15/ ONGEZA NGUVU ZA KIUME
@) JEL KUPAKA 60,000/
@) VIDONGE 80,000/
16) ONGEZA MAUMBIL KWA
@) HANDSM UP MASHIN 170,000/
@) JELI YAKUPAKA 100,000/
17) RUDISHA HAM YA TENDO 60,000/
18) RUDISHA USICHAN(BIKRA) 70,000/

TUPO DAR, K/KOO SINZA, MAPAMBAN, KWA MIKOAN T UTATUMA KWA MABAS, KWA ZENJ PIA KWA BOT ZA AZAM
CHAKUFANYA PIGA CM
0719955528
0756259180.
0785371237.
AMA TU FOLLOW
@dr_kessy_product
@dr_kessy_product

Delivery kwa DAR ipo utaletewa popote ulipo

SOMA Habari Zilizopo Katika Magazeti Ya Leo Jumapili Ya March 27

$
0
0

SOMA Habari Zilizopo Katika Magazeti Ya Leo Jumapili Ya March 27

Tetesi ya Kwamba Ray C Amerudi Kwenye Matumizi ya Madawa ya Kulevya Isipuuzwe

$
0
0
Matumizi ya Madawa ya kulevya hapa nchini yanaongezeka kwa kasi sana. Huku ikionekana wasanii ni moja kati ya waathirika wa kubwa wa janga hili. Tumeona hivi karibuni rapa mkongwe Chidi Benz jinsi alivyothorofika kutokana na matumizi ya Madawa ya kulevya.

Kupitia mitandao ya kijamii kumekuwa na tetesi kwamba Ray C amerudi katika matumizi ya madawa ya kulevya ingawa mara kadhaa amekuwa akikanusha taarifa hizo.

Waswahili wana msemo mashuhuri usemao ‘Lisemwalo lipo’ kwa nini asitajwe msanii wengine, na mara nyingi wasanii wote ambao hutumia Madawa ya kulevya, uanza kwa kukataa hadi pale akapozidiwa ndipo anaweka wazi. Tumeshuhudia kwa Chidi Benz, Ray C, Q Chief na wengine.

Februari mwaka huu, Ray C alikanusha vikali taarifa ya kwamba amerudi kwenye matumizi ya madawa ya kulevya , “Hata siju moja sikawahi pata msaada wowote kutoka kwenu japo kunichangia nauli tu ya kuja kwenye dawa kila siku hakuna hata anaenisaidia huu mwaka wa tatu bado naendelea kunywa dawa na ni kila siku ya mungu siku saba kwa wiki hakuna sikukuu wala msiba na ukikosa mwili unauma vibaya sana yani it’s not easy but am a fucking hard working woman na ni mwanamke jasiri napambana na siogopi kujaribu, napambana na haya madawa na nayapinga na kamwe sintorudi nyuma na hizi nuksi mzipeleke kwenye familia zenu,” aliandika Ray C katika instagram yake.

Lakini kauli hiyo bado haiendani na maisha yake halisi ya sasa, kwani Ray C bado anadaiwa kuoneka katika mitaa ya Mwananyala akiwa katika hali mbaya licha ya kuwa huu ni mwaka (3) akitumia dosi ya Methadone.

Rais mstaafu Jakaya Kikwete tayari alishafanya kazi kubwa ya kumsaidia Ray C na kumfikisha hapa alipo sasa. Huu ni wakati wa wasanii wenzake kupokea kijiti na kumsaidia, Vita ya kupambana na Madawa ya kulevya ni ya wote, kila mmoja amwongoze aliyepotea njia na sio kuiachia serikali.

Nay wa Mitego na Dayna Nyange Aibu Yao...Picha zao Chafu Zanaswa

$
0
0
Hii ni aibu yao! Picha zinazomuonesha staa wa Hip Hop anayetamba na ngoma ya Shika Adabu Yako, Emmanuel Elibariki ‘Nay wa Mitego’ akiwa katika pozi la nusu utupu na msanii wa Bongo Fleva, Aisha Nyange ‘Dayna’ zimevuja pasipo wenyewe kujua.

Katika baadhi ya picha hizo, Nay anaonekana akiwa amemkumbatia Dyna huku wakiwa hawana nguo za juu, yaani Nay hana vesti wala tisheti na hata Dyna akiwa hana nguo yoyote ya kumstiri juu.

Baada ya kuzidaka picha hizo gazeti hili lilivuta waya na kuwatafuta wahusika ambapo baada ya kumpata Nay na kumdadisi kama anabanjuka kimalovee na mwanadada huyo alikuwa na haya ya kusema;

Dah, hapana bwana, hizo picha hatukupanga zitoke. Kuna ambazo zilipitiliza si unajua wakati wa kupiga studio zipo ambazo huwa hamzitumii sasa sijui nani alizivujisha hizo mbaya.”
Baada ya kumalizana na Nay, Dyna naye alitafutwa ili kuifungukia ishu hii, ambapo baada ya kupatikana alidai zilikuwa ni picha za kwenye kava la ngoma yake ya Nitulize aliyomshirikisha Nay lakini alipoulizwa kuhusu zile zilizovuka maadili, alijibu:

“Aah! Hilo ni suala binafsi, lakini naomba iishie kufahamika kuwa Nay ni mtu wangu wa karibu lakini hatuna uhusiano wa kimapenzi, ilikuwa ishu ya kazi tu.”

Baba wa Mwanamuziki Diamond Platnumz Ashinda Njaa Huku Mwanawe Akitumbua Mil 100 Ujerumani....

$
0
0
Wakati mwanaye staa wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond’, mama yake mzazi, Sanura Kassim ‘Sandra’, mzazi mwenzake, Zarinah Hassan ‘Zari The Boss Lady’ na mwanaye Tiffah wakiteketeza kiasi cha fedha kinachokadiriwa kufikia  shilingi Mil.100 barani Ulaya walikokwenda kula bata, baba mzazi wa msanii huyo, Abdul Juma anadaiwa kushinda njaa kutokana na ugumu wa maisha, twende na Risasi Jumamosi.

Baba mzazi wa staa wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond’, Mzee Abdul Juma.
Diamond na familia yake hiyo sambamba na madansa wake, waliondoka nchini mwishoni mwa wiki iliyopita kwenda Frankfurt, Ujerumani ambapo pamoja na kufanya ziara ya kimuziki katika nchi tofauti balani Ulaya, staa huyo aliitumia ziara hiyo kuponda raha.

Staa wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond’, mzazi mwenzake, Zarinah Hassan ‘Zari The Boss Lady’ pamoja na mtoto wao Tiffah wakila ‘bata’ Ulaya.

TUJIUNGE NA CHANZO
Chanzo makini kililiambia gazeti hili mapema wiki hii kuwa, baba Diamond kwa sasa ana maisha magumu na mara nyingi amekuwa akishinda njaa huku baadhi ya majirani wakimpa msaada hali inayowasababisha kushangaa baada ya kusoma kwenye magazeti kwamba mwanaye huyo anatumbua fedha kibao na familia yake, ndugu na marafiki huku mzazi wake huyo akiteseka.


“Jamani baba Diamond anateseka! Muoneeni huruma. Alikuja kwangu kuniomba elfu moja lakini bahati mbaya na mimi sikuwa nayo. Mara nyingi amekuwa akishinda njaa. Mbaya zaidi anasumbuliwa na ugonjwa wa miguu na hana mtu wa kumpeleka hospitali. Njooni mumuone yupo hapa  kwake anatia huruma,” kilisema chanzo hicho na kuongeza:

“Kiukweli baba Diamond anasikitisha sana. Tunashindwa kujua tatizo liko wapi kati yake na mwanaye, maana kuna wakati huwa anamsaidia lakini wakati mwingine anampotezea.”

MAPAPARAZI WAMUIBUKIA
Baada ya kuzipata habari hizo, mapaparazi wetu walifika nyumbani kwa baba Diamond, Magomeni ya Kagera jijini Dar na kumkuta nje ya nyumba yake akiwa ameshika tamaa huku akionesha hali ya kunyong’onyea kama mtu aliyekata tamaa ya maisha.



HALI YAKE NI MBAYA

Akizungumza na gazeti hili baada ya salamu, baba Diamond alieleza kwamba bado hali yake ya miguu ni mbaya kwani anatembea kwa kuburuza laiti angekuwa kama zamani angeweza kufanya shughuli ndogondogo za kujipatia kipato angalau apate fedha kwa ajili ya kula hasa katika kipindi hiki ambacho hana msaada.

“Niko hapa bado mambo siyo mazuri, miguu inanisumbua kama unavyoona. Nasikia mwanangu (Diamond) ana ziara nje ya nchi na juzi niliona mmeandika ameteketeza milioni 100  na familia yake, namsubiri akirudi huko naamini atanisaidia angalau fedha hata ya kwenda kwenye matibabu na kula kama ataamua maana alishawahi kuniahidi, hali yangu siyo shwari nabangaiza tu hapa,” alisema baba Diamond.


DIAMOND ASEMAJE?

Alipotafutwa Diamond aliyeko Ujerumani kwa sasa ili aweze kuzungumzia suala hilo alisema hana cha kuzungumza kwa sasa.
“No comment kwa sasa, subirini nikirudi tutaliongea hilo kwa kirefu,” alisema Diamond.

ALIOKWENDA NAO ULAYA
Katika gazeti lenye udugu wa damu na hili, Ijumaa Wikienda la Jumatatu iliyopita, ukurasa wake wa mbele lilikuwa na kichwa kisemacho; DIAMOND
ATEKETEZA SH. MIL 100 ULAYA.

Katika habari hiyo, Diamond aliandikwa kusafiri na ‘ujumbe’ mrefu wa idadi ya watu 14 ambao wote walikuwa chini yake kwa malazi na chakula. Watu hao ni Zari, mama yake mzazi, Tiffah (mwanaye), Romy Jons (DJ wake), Kifesi (mpigapicha), Salam (meneja), mke wa meneja wake mwingine Batu Tale, madansa wanne na dada mmoja ambaye ni ndugu wa Zari. Hao walikwea pipa na kufikia Frankfurt, Ujerumani.

BABA DIAMOND AMEFIKAJE HAPA?
Baba Diamond anadaiwa akiwa angali kijana, alitengana na mama Diamond akiwa na mtoto huyo mdogo kwa miaka mingi bila kumpa huduma zozote kitu ambacho kimemsukuma Diamond kuwa na chuki na ashindwe kumpa matunzo mzazi wake huyo baada ya kupata mafanikio.
Hata hivyo, mara kadhaa Diamond amekuwa akimsaidia fedha baba yake huyo lakini si kwa asilimia mia moja kama anavyomtunza mama yake ambaye anaonekana kula raha hususan kipindi hiki ambacho bwana mdogo huyo kutoka Tandale, maisha yamemnyookea.

Tazama Video Hapa:

Chanzo:Risasi

Wema Sepetu Aingia Mkenge: Filamu yake Ya Day After Death Aliyocheza Na Van Vicker Kuishia Kabatini Kama Filamu ya Superstar Aliyomleta Omotola

$
0
0
Wema Sepetu ni bingwa wa kutumia gharama kubwa kufanya filamu na kutengeneza kiu kubwa kwa mashabiki wake halafu then mradi unageuka kuwa kama album ya Detox ya Dr Dre, ambayo haijawahi kutoka hadi leo.

June 2012: Muigizaji wa Nigeria, Omotola Jalade akiwa na Wema baada ya kuwasili kutoka Nigeria kuhudhuria uzinduzi wa filamu ya Superstar ambayo hadi leo haijatoka
Miaka minne iliyopita, Wema alidai kutumia mamilioni ya shilingi kufanya filamu aliyoipa jina ‘Superstar.’ Na hata uzinduzi wake uliofanyika Hyatt Regency Hotel (Kilimanjaro) ulikuwa wa kifahari na wa aina yake. Mastaa karibu wote wa Tanzania walialikwa na kuona sehemu ya filamu hiyo.

Alitisha zaidi kwa kumleta msanii nguli wa Nigeria, Omotola Jalade aliyeshuhudia uzinduzi huo. Bahati mbaya hadi leo filamu hiyo haijawahi kutoka sokoni na mrembo huyo aliamua kuifungia kabatini.

Tupeleke mbele. Mwaka jana Wema alienda Ghana na kufanya filamu na staa wa huko, Van Vicker iitwayo ‘Day After Death’. Filamu hiyo ilifanyika December 2014. Kwa mujibu wa ratiba ya mwisho, ilikuwa itoke September mwaka jana.


Meneja wake, Martin Kadinda, alidai ilishindikana kutoka kwasababu ya kampeni za uchaguzi.
“Filamu mpaka sasa ipo tayari, lakini movie hii hatuwezi kuiachia kama anavyoachia movie nyingine.Lazima afanye launch na ilikuwa launch ifanyike toka mwezi wa tisa lakini toka mwezi wa sita mpaka sasa Wema yupo kwenye kampeni,” Kadinda aliiambia Bongo5.
“Kwahiyo tunasubiri mpaka hizo kampeni ziishe na uchaguzi upite Wema atakuwa anazindua products zake mpya halafu baada ya hizo products kuzinduliwa ndio filamu itazinduliwa rasmi,” aliongeza.

Lakini hadi sasa hakuna dalili za filamu hiyo kutokana na haiongelewi tena? Kunani? Tuna wasiwasi kuwa filamu hii inaweza kuungana kabatini na Superstar zikipeana moyo.
Bongo 5

Mtoto wa Siku Moja Aibwa Hospitali ya Rufaa ya Bugando

$
0
0
Mtoto wa siku moja ameibwa katika mazingira ya kutatanisha katika Hospitali ya Rufaa ya Bugando, akiwa pembeni mwa mama yake aliyekuwa amelala, mwenye umri wa miaka 16.

Akizungumzia uporaji huo jana, Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Mwanza, Justus Kamugisha, amesema aliyepora mtoto huyo aliingia ndani ya wodi ya wazazi ya Hospitali ya Rufaa ya Bugando, akiwa amejifunga ushungi.

“Alipoingia wodini alikuta mama wa mtoto amesinzia akiwa peke yake wodini, ndipo akamuiba mtoto wake wa kike mwenye umri wa siku moja na kuondoka naye kwenda kusikojulikana,” alisema.

Kwa mujibu wa Kamanda Kamugisha, Jeshi la Polisi limeanza uchunguzi wa tukio hilo kwa kuhoji wauguzi, walinzi na wazazi waliokuwa wamelazwa wodini hapo.

Katika hatua nyingine, Kamanda Kamugisha amesema Jeshi la Polisi mkoani humo, litaanza kufanya uhakiki wa silaha kuanzia Aprili mosi hadi Juni 30 mwaka huu, katika ofisi za makamanda wa Polisi wa wilaya zote za Mkoa wa Mwanza.

Amesema uhakiki wa silaha ni wa kitaifa na utahusu wamiliki binafsi, kampuni binafsi na taasisi mbalimbali za Serikali na zisizo za kiserikali zinazomiliki silaha.

“Lengo ni kupata kumbukumbu ya uhalali wa umiliki wa silaha. Watu wote wanaomiliki silaha watii agizo hili bila kulazimishwa, ili tufanikishe uhakiki kwa wakati na tuimarishe usalama katika mkoa wetu,” alisema.

Aliwataka watu wanaomiliki silaha isivyo halali, kusalimisha silaha hizo wenyewe kwenye ofisi za Serikali na kwa wakuu wa Polisi wa wilaya (OCD) kabla ya muda wa uhakiki wa silaha kumalizika.

“Baada ya hapo tutafanya msako kabambe wa watu waliokaidi kuhakiki silaha zao,” alisema.

Serikali Ya Tanzania Haina Mpango Kwa Kuteketeza Meno Ya Tembo Yaliyohifadhiwa

$
0
0
Serikali ya Tanzania imetoa tamko kuwa kwa sasa haina mpango wowote wa kuteketeza meno ya tembo yaliyohifadhiwa ambayo yametokana na vitendo vya ujangili na vifo asilia vya tembo.

Tamko hilo limetolewa hivi karibuni na Waziri wa Maliasili na Utalii Prof. Jumanne Maghembe akizungumza na Balozi wa Marekani hapa nchini Bw. Mark Childress alipotembelewa na balozi huyo ofisini kwake kujadili maendeleo ya sekta ya Maliasili mchini.

Prof. Maghembe alisema hayo baada Balozi huyo wa Marekani hapa nchini kutoa pendekezo kwa Serikali ya Tanzania kuchoma sehemu meno ya tembo yaliyohifadhiwa ili kutoa ujumbe mzito duniani juu ya dhamira ya Serikali kukomesha biashara hiyo haramu.

"Naomba niweke wazi kuwa kwa sasa hatupo tayari kuteketeza meno haya, tunaweza kuyatumia kwenye tafiti za kisayansi au vielelezo kwa ajili ya kesi za ujangili ambazo zipo mahakamani na nyingine ambazo bado zinafanyiwa uchunguzi" Alisema Prof. Maghembe.

Zipo nchi mbalimbali duniani ambazo zimechukua hatua ya kuteketeza meno yake ya tembo yaliyohifadhiwa ikiwemo nchi jirani ya Kenya na Malawi ambapo inaaminika kuwa kufanya hivyo ni njia mojawapo ya kushawishi Ulimwengu kukomesha biashara hii haramu ya meno ya tembo.

Nchi nyingine ni Chad, Ubelgiji, Ufaransa, China, India, Marekani na Ureno. Kwa upande wa nchi ambazo zina msimamo sawa na Tanzania katika kuendelea kuhifadhi meno yake ya Tembo ni pamoja na Afrika ya Kusini, Botswana na Zimbabwe.

Akizungumzia kuhusu kuendeleza sekta ya Maliasili nchini, Prof.Maghembe amemuomba Balozi wa Marekani Bw. Mark Childress kushirikiana na Serikali ya Tanzania katika kukuza sekta hiyo kwa kuleta wawekezaji mbalimbali kutoka Marekani kuja kuwekeza Tanzania pamoja na kusaidia kwenye mapambano dhidi ya Ujangili.

Aliongeza kuwa Tanzania ina fursa nyingi ambazo zinahitaji uwekezaji mkubwa ikiwemo hoteli za kitalii, fukwe za kisasa na kuendeleza vivutio mbalimbali vilivyomo hapa nchini.

Prof. Maghembe amemshukuru balozi huyo kwa misaada mbalimbali kutoka Serikali ya Marekani ya kuendeleza sekta ya Maliasili nchini ukiwemo wa hivi karibuni wa mbwa maalum (Snifer Dogs) kwa ajili ya kusaidia utambuzi wa rasilimali za Maliasili zinazoweza kutoroshwa nje ya nchi kupitia bandari na viwanja vya ndege.

Katika taarifa iliyowasilishwa kwenye kikao baina ya Waziri wa Maliasili Prof. Jumanne Maghembe na Balozi wa Marekani hapa nchini Bw. Mark Childress imeonesha kuwa katika kipindi cha miaka mitano iliyopita Serikali ya Marekani imetoa misaada mbalimbali ambayo jumla yake ni dola za kimarekani Milioni 41.35 katika kusaidia eneo la uhifadhi hapa nchini.

Akizungumzia mahusiano baina ya Tanzania na Marekani Balozi Mark Childress alimueleza Prof. maghembe kuwa Serikali ya Marekani itaendeleza mahusiano mazuri yaliyopo baina ya nchi hizi mbili ambapo pia ofisi yake ya ubalozi imeshatafuta wadau mbalimbali ambao wapo tayari kusaidia fedha, vifaa na mafunzo kwa ajili ya kuimarisha uhifadhi na mapambano dhidi ya ujangili.

Majambazi Yaua Wawili Mwanza, Saba Wajeruhiwa

$
0
0
WATU wawili wameuawa Jijini Mwanza kwa kupigwa risasi na Majambazi, huku Wengine saba wakijeruhiwa katika tukio la uvamizi wa duka lililokuwa likitoa huduma mbalimbali za kifedha.
Kamanda wa Polisi Mkoani Mwanza, Justus Kamugisha, amesema kuwa tukio hilo lilitokea jana majira ya saa mbili usiku katika eneo la Bugarika Sokoni, baada ya watu watatu wanaosadikika kuwa ni majambazi waliokuwa na bunduki aina ya SMG kuvamia katika duka la mfanyabiashara na mkazi wa eneo hilo aitwae Daniel Marwa (30).

Kamanda Kamugisha amewataja waliouawa kuwa ni Julius Wankaba (30) ambae ni dereva bodaboda, pamoja na mfanyabiashara mmoja mwenye duka katika eneo hilo aliefahamika kwa jina la Mama Yuni (35).

Amewataka waliojeruhiwa kuwa ni Magesa Mungari (38), Simioni Charles (26) ambao wamelazwa katika Hospitali ya Rufaa Bugando huku wengine wakiwa ni Mwita Ryoba (30), Frank Willium (19), Saumu Said (20), Masumbuko Kanduru (38) pamoja na Emmanuel Francis ambao wanapata matibabu katika Hospital ya Rufaa ya Mkoa wa Mwanza Sekour Toure.

Baadhi ya Mashuhuda wa tukio hilo, akiwemo mmiliki wa duka lililovamiwa, wanasema majambazi hao walipofika eneo la tukio walianza kufyatua risasi ovyo ili kuwatawanya wananchi waliokuwa wamekusanyika katika eneo hilo wakiangalia taarifa ya habari na wengine wakinywa kahawa,  na hivyo kusababisha wananchi kutawanyika jambo lililosababisha vifo na majeruhi hao.

Katika tukio hilo, Majambazi hao walifanikiwa kupora fedha taslimu kiasi cha Shilingi Milioni Mbili, Vocha za simu za mitandao mbalimbali zinazokadiliwa kuwa za shilingi Laki Nane pamoja na simu sita za wateja.
Kamanda Kamugisha amesema Jeshi la polisi Mkoani Mwanza limeanzisha msako mkali ili kuwakamata waliohusika na tukio hilo, huku likiahidi zawadi ya fedha kiasi cha shilingi Milioni Moja kwa yeyote atakaesaidia kufanikiwa kukamatwa kwa watuhumiwa hao.

Wakati huo huo, Jeshi la Polisi Mkoani Mwanza linaendelea kumsaka mtu aliehusika na wizi wa mtoto mwenye umri wa siku moja katika Hospitali ya Wilaya ya Magu, ambapo tukio hilo limetokea Machi 23 mwaka huu, majira ya saa nane mchana baada ya mtu mmoja asiefahamika mwenye jinsia ya kike, kufika katika wodi ya wazazi na kumuiba mtoto huyo wakati mama yake amelala.
Aidha katika katika kusherehekea Sikukuu ya Pasaka, Jeshi hilo limepiga marufuku watoto kwenda kuogelea katika fukweni (Beach) pamoja na uwepo wa disko toto Jijini Mwanza.

Umaarufu wamfanya Harmonize aishi kwa shida

$
0
0
Msanii kutoka lebo ya WCB Harmonize, ametoa siri ya maisha ya wasanii ambao wako chini ya lebo hiyo, ambayo inawafanya kuepuka mambo mengi ikiwemo skendo chafu, huku akidai kuwa wanafuata nyayo za bosi wao Diamond Platnums.

Harmonize ameongea hayo alipokuwa akiongea na mwandishi wa East Africa Radio, na kusema kuwa wao kama WCB hawana kawaida ya kwenda club kutokana na kubanwa na majukumu, na pia hata bosi wao ambao ni mfano mzuri kwao, hana kawaida ya kwenda sehemu kama hizo.

“Labda nizungumze kitu kimoja, WCB sio mimi tu hata wasanii wengine ambao watatoka WCB kuna life style ambayo watafuata, lakini mimi kama mimi sipajui club kabisa, sijawahi kwenda club sitokagi, kwa sababu pale ofisini kuna studio studio mle mle ndani, kuna vyumba ambavyo ukirekodi ukichoka unakaa unarefresh mind, kuna game station mnakaa mnacheza game, alafu pia kuna vyumba vya kuishi mule mule, muda wenyewe wa kutoka unakosa, alafu pia ukizingatia CEO mwenyewe wa WCB hana hizo mambo za kwenda club, so sisi tunajifunza kupitia yeye”, alisema Harmonize.

Pia Harmonize amekiri kuwa umaarufu alionao sasa ndio unamfanya ashindwe kwenda sehemu mbali mbali pamoja na kujichanganya na wasanii wengine, kutokana na kutozoea mazingira hayo, huku akitamani maisha aliyokuwa nayo kabla, lakini pia kuna muepusha na skendo mbaya.

“Juzi kulikuwa na mwaliko Mh Rais alialika wasanii Ikulu, mi sikuenda kwa sababu sijazoea hayo mazingira, kwa hiyo inakuwa ngumu kuhusishwa na skendo huyo mwanamke nakutana nae wapi, sababu muda wa kutoka nakuwa sina, mi sikutanagi na wasanii wenzangu yani, muda naukosa kabisa, na ndo kati ya vitu ambavyo navimisi kabisa”, alisema Harmonize.

Tazama Video Kali ya Msanii Bayo Inayoitwa Kitimtim

$
0
0
"Kitimtim" is a mduara/chakacha/ Afro Pop song produced by Mesen Selekta from De Fatality music in Dar Es Salaam. What makes this song unique is the fact that a mduara/chakacha beat which is purely East African flavour has received some ragga/reggae lyrics and flavour from Bayo the Great who is ambitious to continue this kind of music. Enjoy the vibe!!!!

Tazama Hapa Video:

Nauza Bikira Yangu Kuliko Niitoe Bure Kwa Mwanaume Alafu Baadae Nijute

$
0
0
Watu wamekuwa waongo sana , Utasikia ooohh mi ntakuoa ukinipa, siku akishapa tu anachokitaka anakula kona, mi bora tu niuze yangu, Bei poa kabisaa laki tano za kibongo..hayo ni maneno ya Msichana mmoja kutoka Kenya Alivyoandika kwenye Facebook page yake!! LAANA HII..!!
By Hellen Lwasway

Mambo Ambayo Wanaume Wanakosea Wakati wa Kutongoza Mwanamke

$
0
0

1.PAPARA
wanaume wengi tumekuwa na haraka sana tunapokuwa tukitaka kuaproach hali inayomfanya mwanamke akuwekee ugumu.mfano umekutana na dada mzuri mmesalimiana hapo hapo unamuomba namba yake.mjomba hata akikupa ujue utasumbuka sana kumpata coz atakufikiria sana juu ya uharaka wako.
2.KUJIFAKE
wanaume wengi tumekuwa tukijipandisha au kujionyesha tofauti na hali zetu.ukiwa unaaproach jaribu kuwa real.huwezi kumwambia mdada unafanya kazi benki afu uko na techno
3.KUTOSOMA MOOD YA MWANAMKE
unapomuaproach mwanamke lazma usome mood yake coz sometime unaweza kutoswa coz hujamsoma mwanamke.unamtongozaje mwanamke asubuhi?,,
4.KUMPONDA UR EX LOVER
mwanamke anakuuliza kwanini uko single,unaanza kumponda ex wako kwa maneno ya kashfa hali kama hii inaweza kumtisha kisaikolojia umtongozae.
5.KULALAMIKA
Unamtongoza mwanamke huku unalalamika juu ya mapenzi oooh mara sijawahi kupendwa.mjomba hapo unaonyesha udhaifu wako.UKITULIA NA KUMTONGOZA MWANAMKE BILA KUYATENDA HAYA MBNA UTAMPATA KILA UMTAKAE

Jinsi Mziki wa Tanzania Unavyokuwa Kwa Kasi na Kuelekea Kuipita Nigeria

$
0
0

Na Amin Amali
Muziki wa Tanzania umekua kwa kiasi kikubwa tofauti nazamani, huwezi kukosa kumtaja Diamond katika muziki wa Tanzania haswa katika mafanikio kuaanzia kwake, lakini pia huwezi kukosa kumtaja Alikiba kama asingetaka kupunzika mwaka 2008 nadhani yeye ndiyo angeutoa muziki lakini bado nafasi ya Dimond ni kubwa mno.

WAPI WA NIGERIA WALIPO TUPITA HAPO AWALI?
Waliwahi kuwekeza japo muziki wao unategemea zaidi mdundo, hawakuwa na ‘melody’ nzuri wala tungo nzuri, Nigeria hawatuwezi hata kidogo  kimuziki haswa mashairi ,melody na tungo .

Wenzetu waliwekeza zaidi katika “VIDEO”baada ya kupata mdundo(beat) nzuri japo mashairi ya kawaida waliwekeza katika video na hii ili wanyanyua sana wakati sisi tulikuwa katika “Audio”
Wakati wao wako katika ‘Social media’ sisi tulikuwa bado hatujaingia sawa sawa nahii nathubutu kusema mafanikio makubwa ya Dimond kushinda tuzo mbali mbali social media

Ushirikiano pamoja na yote wenzetu hawakuwa na ubinafsi katika kushirikiana na kusaidiana tangu zamani,mfano mzuri 2face idibia ambapo kwa sasa anaitwa 2baba yeye ndiye ameitambulisha nigeria vizuri lakini hakuwa mgumu kuwapa ushirikiano wenzake.

WAPI TUMEWAPIGA BAO?
Baada ya kugundua kuwa kutoa Audio bila video ni sawa na bure kabisa hivi sasa kila msanii anawekeza katika Video kali siku akitoa audio ana toa na video.
kiswahili kutumika vizuri kimataifa hii pia ni sababu ya muziki wetu kukua na kuanza kupigwa sehemu mbali mbali duniani hii imetuongezea  wigo.

KIPI KIMEBAKI TUWE NAMBAOJA?
kitu kilicho baki ni kimoja tu wa bongo tuna‘figisu figisu’ sana katika kushirikiana , tukitekeleza kupendana na kushirikiana sawa sawa Nigeria itakuwa namba mbili kumbuka hapo awali  Afrika kusini walikuwa namba moja kabla ya Nigeria kuchukua hatamu na kama inavyo endelea kwa sasa tunaenda kuwa namba moja

Breaking News: Timu ya Taifa ya Chad Yajitoa Katika Mashindano ya AFCON

$
0
0

Timu ya taifa ya chad imejitoa katika mashindano ya kugombania nafasi ya kucheza fainali ya michuano ya mataifa ya Africa itakayo pigwa Gabon

Chad imeshindwa kufika Jjini Dar es salaam kwa kile walicho eleza kuwa  nchi yao imeyumba kiuchumi kutokana na mtikisiko wa uchumi duniani kuikumba nchi hiyo

Hivyo mchezo wake na Taifa Stars uliopangwa kufanyika kesho hautokuwepo na kwa mujibu wa sheria  ya Tanzania, huenda Taifa Stars itapewa mogoli 2 na alama tatu hivyo kufikisha alama 7 kujitoa kwa chadi kuna liweka kundi G liwe gumu sana

“Timu yetu haiwezi kusafiru hadi Dar es salaam kwa mechi ya tarehe 28, nchi yetu imeathirika na mgogoro wa uchumi duniani,hivyo ushiriki wetu kwenye mashindano mbali mbali umepata pigo kubwa kutokana na ukosefu wa fedha, tunaomba radhi kwa usumbufu” 
Taarifa  ya chama cha soka nchini Chad imeeleza. Taarifa hii imeripotiwa na mtandao wa Supersports.com mapema leo

Serikali Yaanda Muongozo wa Ajira kwa Vijana

$
0
0
Kutokana na Tanzania kuwa na uchumi wa soko huria vijana wengi wameanza kushiriki katika sekta isiyo rasmi hivyo kunawafanya kuchangia nusu ya uchumi wa Taifa katika shughuli zao za kila siku.

Hayo yamesemwa na mkurugenzi msaidizi wa Taasisi ya Soko la Ajira Ofisi ya Waziri Mkuu Kazi, Vijana, Ajira na Walemavu Ahmed Makbel wakati akizungumza kuhusu mikakati mbalimbali na hatua zilizoanza kuchukuliwa na serikali  ili kuhakikisha inawainua vijana kiuchumi.

Makble amezitaka taasisi zisizo za kiserikali kushirikiana na Serikali ili waweze kutekeleza maagizo ya Rais Dkt. John Pombe Magufuli na kuhakikisha vijana wanafanya kazi zenye staha na kipato kizuri pamoja na mazingira mazuri ya kazi.

Mkurugenzi huyo amesema serikali imeanza kufanyia kazi baadhi ya mapendekezo ya wadau wa maendeleo kuhusu kuwainua vijana kuanzia kwenye vipato vyao vya kila siku sambamba na kuhakikisha fedha mbalimbali zinazotolewa na serikali ziwafikie walengwa wa mifuko hiyo.

Makbel ameongeza kuwa wahusika wakuu wa serikali kuanzia ngazi ya mtaa watoe mazingira rafiki kwa vijana ili waone wao ni sehemu kubwa yakuchangia pato la taifa na serikali kuu wameanza vikao vya pamoja ili waone wanatekeleza vipi mipango ya kukuza uchumi wa vijana.

Rais Magufuli Ahudhuria Ibada Ya Pasaka Kanisa La Kkkt La Azania Front Jijini Dar Es Salaam Leo

$
0
0
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Joseph Magufuli akilakiwa na Askofu Mkuu wa Dayosisi ya Mashariki na Pwani Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania Dkt. Alex Malasusa alipowasili kwa Ibada ya Pasaka katika Kanisa la KKKT la Azania Front jijini Dar es salaam leo Machi 27, 2016

 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Joseph Magufuli na Mkewe Mama Magufuli wakishiriki na waumini wengine Ibada ya Pasaka katika Kanisa la KKKT la Azania Front jijini Dar es salaam leo Machi 27, 2016
 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Joseph Magufuli akisalimia waumini huku akisikilizwa na Askofu Mkuu wa Dayosisi ya Mashariki na Pwani Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania Dkt. Alex Malasusa na Mchungaji Chalres Mzinga baada ya Ibada ya Pasaka katika Kanisa la KKKT la Azania Front jijini Dar es salaam leo Machi 27, 2016
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Joseph Magufuli  na Mkewe Mama Janeth Magufuli pamoja na Mama Rebecca Malasusa na Askofu Mkuu wa Dayosisi ya Mashariki na Pwani Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania Dkt. Alex Malasusa baada ya Ibada ya Pasaka katika Kanisa la KKKT la Azania Front jijini Dar es salaam leo Machi 27, 2016
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Joseph Magufuli  akiwapungia waumini baada ya  Ibada ya Pasaka katika Kanisa la KKKT la Azania Front jijini Dar es salaam leo Machi 27, 2016
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Joseph Magufuli  akisalimiana na mtoto Javiera Lyimo (9) anayesoma darasa la tano shule ya Genesis jijini  baada ya  Ibada ya Pasaka katika Kanisa la KKKT la Azania Front jijini Dar es salaam leo Machi 27, 2016.

VIDEO: TB Joshua alivyozitembelea nyumba za Dr. Magufuli, Edward Lowassa na Ikulu Tanzania

$
0
0
Timu ya Muhubiri TB Joshua kutoka Nigeria imeionyesha video kwa ufupi ya jinsi Muhubiri huyu alivyokuja Tanzania na kuwatembelea Rais Kikwete aliyekua akimaliza muda wake madarakani, Dr. John Pombe Magufuli na Edward Lowassa, ni ziara ambayo aliifanya November 2015 lakini video yake ya tukio hili imewekwa kwenye ukurasa wa kanisa la TB Joshua March 2016

Viewing all 104785 articles
Browse latest View live




Latest Images