Quantcast
Channel: UDAKU SPECIAL
Viewing all 104684 articles
Browse latest View live

CCM WAJIPANGA KUMJIBU WARIOBA KUHUSU MUUNGANO WA SEREKALI TATU

$
0
0
Wajumbe wa ccm baada ya kumaliza kikao chao jana usiku saa nane baada ya kutoka bungeni kupokea hotuba ya uwasilishaji wa rasimu ya pili ya katiba, ccm wameazimia kujiandaa kumjibu na kumsulubu dhidi ya hoja zake juu ya muungano ambao ccm inahitaji kuendelea kuwa na muungano wa serikali mbili.
Tutaendelea kuona vioja dhidi ya warioba mana ukweli umewekwa wazio tayari na warioba na sasa tusubiri huo mbadala wa hoja za warioba na majibu dhidi ya ukweli huo.

AL-SHABAAB PLANNING MAJOR UGANDA ATTACK

$
0
0
Kampala, Tuesday. Uganda warned today that Somalia’s Al-Qaeda linked Al-Shabaab insurgents were planning to use fuel tankers as bombs, one day after Kenya thwarted a “massive” car bomb attack. Both Uganda and Kenya are key contributors of troops to the African Union force fighting the Al-Shabaab in Somalia, and the Islamists have carried out major attacks in both countries in retaliation in the past.

“We have received credible information to the effect that Al-Shabaab are planning to blow up fuel trucks in Kampala to cause extensive damage to people and property,” Ugandan police chief Kale Kayihura said in a statement.

“The public is asked to be very vigilant and help the police and report any suspicious movement or activity”.

Al-Shabaab bombers killed at least 76 people in Uganda’s capital Kampala in 2010.

On Monday, Kenyan police arrested two men driving a vehicle packed with explosives in the Indian Ocean port city of Mombasa.

The gunmen

Top Kenyan coastal government official Nelson Marwa said Tuesday the two men arrested had been preparing a “massive attack”.

Foreign special forces were part of the operation to stop them, he said.

“The two were tracked from Somalia by both Kenyan and foreign forces,” Mr Marwa said today.

Kenya has suffered a string of attacks blamed on the Islamist insurgents, including the September massacre in Nairobi’s Westgate mall in which at least 67 people were killed.

The group said the carnage was retribution for Kenya’s invasion of southern Somalia two years ago.

The UN-backed African Union force in Somalia this month launched a fresh offensive against Al-Shabaab bases, with the gunmen largely fleeing ahead of the assault, only to later stage guerrilla attacks. (AFP)

WARIOBA AWAKUNA WASOMI NA WACHAMBUZI WA SIASA

$
0
0
Baadhi ya wasomi na wachambuzi wa masuala ya kisiasa hapa nchini wamesema hotuba ya Mwenyekiti wa Tume ya Mabadilko ya Katiba, Jaji  Joseph Warioba itasaidia kubadilisha msimamo wa wajumbe wengi wa Bunge Maalumu la Katiba.

Kauli hiyo imekuja muda mfupi baada ya Jaji Warioba kuwasilisha Rasimu ya Pili ya Katiba katika Bunge hilo tayari kwa kuijadili, kuiboresha na hatimaye kutoka na Rasimu ya Tatu itakayopigiwa kura ya ama kuikubali kuwa Katiba Mpya au la.

Mwanasiasa mkongwe, Njelu Kasaka alisema hotuba hiyo imesaidia kutoa uelewa wa mambo kwa kuwa idadi kubwa ya wajumbe ndani ya Bunge hilo hawakuwa na uelewa juu ya hoja mbalimbali zilizopendekezwa kwenye rasimu hiyo.

“Kutokana na ufafanuzi huo, wengi watakuwa wameelewa kwa nini Tume iliamua kupendekeza muundo wa Serikali Tatu na wala siyo mbili. Itasaidia pia kuwajengea uwezo wa kuhoji katika mijadala ya Kamati itakapoanza kukaa rasmi,” alisema Kasaka ambaye alikuwa miongoni mwa Wabunge 55 walioasisi Kundi la G55 lililotaka kuundwa Serikali ya Tanganyika mwaka 1993.

“Lakini jambo jingine hotuba hii imeondoa ni unafiki na imewaaibisha kwa unafiki wao baadhi ya watu, kwa sababu pamoja na kuongoza Serikali moja ya Jamhuri ya Muungano, imefahamika wazi kwamba Waziri Mkuu kumbe hana mamlaka yoyote yale katika upande wa Zanzibar.”

Kwa upande wake, Profesa Boniventure Rutinwa wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM), aliunga mkono hoja hiyo akisema kinachotakiwa kwa wajumbe hao ni kujenga imani, kuondoa tofauti zao na kutokubaliana na hoja zenye masilahi ya vyama na  makundi yao badala ya Taifa.

“Kinachotakiwa kwa sasa ni kupima uwezekano kwa kuhoji, je, pamoja na ufafanuzi huo, Serikali Tatu inaweza kuwa mwarobaini wa kumaliza changamoto zote? Lakini pia wanatakiwa kufahamu kwamba inawezekana kuna changamoto nyingine ambazo zinaweza kujitokeza katika muundo huo,” alisema Profesa Rutinwa.

Kwa upande wake, Profesa Penina Mlama aliwataka wajumbe wa Bunge hilo kuchukua hoja hizo na kufikiri kwa mapana zaidi wakati wa majadiliano ili kuondoa athari zinazoweza kujitokeza baadaye.

“Wamerahisishiwa, na kazi imebakia kwao kupima na kufikiria zaidi hotuba hii. Wajumbe watambue kwamba si mawazo ya Jaji Warioba yaliyowasilishwa pale, bali ni mawazo ya Watanzania, ambayo yanatakiwa kupokewa kwa mtazamo chanya ili wasije kuaibika baadaye iwapo watashindwa kufanya uamuzi sahihi,” alisema.

Mjumbe wa Bunge, James Mapalala alisema Jaji Warioba amemaliza kazi ya kuelimisha juu ya  umuhimu  wa Serikali Tatu na anaamini watakaosimama kumpinga wataona haya.

TYLER PERRY:"SIWEZI KUMSAMEHE MAMA YANGU JAPO KWA SASA AMESHAFARIKI"

$
0
0
American film director Tyler Perry is known in the movie industry as a man who can easily bring laughter, sorrow and positivity, all to one movie. Perhaps his most popular film ever was last year’s ‘Temptations: Confessions Of A Marriage Counsellor.” His TV show, ‘The Haves and Have Nots is also popular with Kenyan viewers.The actor has been renowned in directing movies with moral lessons. As a result of the success f his movies, he is now one of the richest directors in Hollywood.

However, the successful filmmaker hasn’t had an easy life at all as he has gone through abuse, melancholy and depression, especially in his childhood.

Tyler recently revealed his permanent anger after he discovered that the man his mother introduced to him many years ago as his biological father was truly not his father but his step father.

While addressing an audience during his recent appearance at the Women’s Empowerment 2014 event in Raleigh, North Carolina, the 44-year-old Hollywood star revealed that he will never forgive his late mother for lying to him about his father’s identity.

According to him, he had always believed that the violent Emmitt Perry Snr, a man that regularly, severely beat him up to a point Tyler attempted suicide at the age of 10, was his biological father. That turned out not t be the case as years later, Tyler took a DNA test with his brother and found out the truth.

A disappointed Perry cried while telling the audience to be honest with their children:

“I love my mother to death, but she lied to me. Some of you have secrets that your kids need to know. Let the chips fall where they may. For the peace of that person, let them know.”

Unfortunately, his mum is now late and Tyler has to now search for his real dad alone. But Tyler says he doesn’t understand why a mother would do this to her own grownup child.

JELA:CHRIS BROWN KURUHUSIWA KUOGA MARA MOJA NDANI YA SIKU MBILI

$
0
0
Chris Brown anadaiwa kuwa ataruhusiwa kuoga mara moja tu ndani ya siku mbili akiwa jela. Staa huyo wa R&B alitupwa jela wiki hii ambako atakaa kwa mwezi mzima baada ya kufukuzwa rehab.

Brown atakuwa amefungiwa kwenye chumba chake mwenyewe kwa saa 23 kila siku, kwa mujibu wa TMZ. Hata hivyo ataweza kusoma vitabu na kufanya mazoezi na atakuwemo humo hadi tarehe 23 April.

Brown, 24 alifukuzwa rehab baada ya kumsogelea na kumshika mwanamke kinyume na masharti ya humo, kukataa kuchukua vipimo vya madawa ya kulevya na kwa kutoa kauli za vitisho wakati wa therapy ya kundi kwa kudaiwa kusema “I am good at using guns and knives.”

UTABIRI WA TB JOSHUA KUHUSU KUPATIKANA KWA NDEGE YA MALAYSIA WAANZA TIMIA

$
0
0
Kama week sasa imepita Muhubiri na Mtabiri mkubwa wa Nchini Nigeria alitabiri kuwa Ndege ya Malaysia iliyopotea muda si mrefu wataipata ikiwa chini ya maji na wataanza kuona mabaki ya ndege yakielea juu ya maji ..Sasa leo habari mpya kuhusu ndege hiyo ni kuwa Huku Nchini Australia yameonekana mabaki ya ndege kwa njia ya Setelite ambayo bado yanafanyiwa uchunguzi kama ni ya ndege hiyo ..Habari kamali soma hapa chini:

"The Malaysian prime minister has confirmed that there is a new lead in the investigation into the missing Malaysia Airlines flight MH370.
Australian search aircraft are investigating two objects spotted by satellite floating in the southern Indian Ocean that could be debris from a Malaysian jetliner missing with 239 people on board, Prime Minister Tony Abbott said on Thursday.

"I can confirm we have a new lead," Malaysian Transport Minister Hishammuddin Hussein told reporters in Kuala Lumpur, where the investigation into the missing airliner is based.

"I am meeting the Australian delegation now," he added. we are waiting for some information."

Another official in Malaysia said investigators were "hopeful but cautious" about the Australian discovery. The satellite images were being reviewed and they were awaiting visual confirmation, the source said.

No confirmed wreckage from Malaysia Airlines Flight MH370 has been found since it vanished from air traffic control screens off Malaysia's east coast early on March 8, less than an hour after taking off from Kuala Lumpur for Beijing.

"New and credible information has come to light in relation to the search for Malaysia Airlines Flight MH370 in the southern Indian Ocean," Abbott told the Australian parliament.

"The Australian Maritime Safety Authority (AMSA) has received information based on satellite imagery of objects possibly related to the search."

"Following specialist analysis of this satellite imagery, two possible objects related to the search have been identified," he said.

Abbott said he had already spoken with his Malaysian counterpart Najib Razak and cautioned that the objects had yet to be identified.

"The task of locating these objects will be extremely difficult and it may turn out they are not related to the search for MH370," Abbott said"

JK AKAMIWA BUNGENI POLISI WAONGEZWA KUKABILI KUNDI LILILOPANGA KUMZOMEA

$
0
0
SERIKALI imeongeza idadi ya askari bungeni baada ya kubainika kuwa kuna njama zimepangwa na kundi la baadhi ya wajumbe kutaka kumzomea Rais Jakaya Kikwete, Tanzania Daima limedokezwa.

Habari ambazo gazeti hili limezipata, zilidai kuwa kundi hilo litamzomea Rais Kikwete wakati wa kulihutubia Bunge endapo tu atazungumzia msimamo wa Chama chake Cha Mapinduzi (CCM) wa kutaka serikali mbili na kupingana na maoni ya wananchi waliyoyatoa kupitia Tume ya Mabadiliko ya Katiba, chini ya Jaji Joseph Warioba, wanaopendekeza muundo wa serikali tatu.

Ingawa haijajulikana ni kundi gani la wajumbe wanaopanga njama hizo, lakini wajumbe wa Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), unanyoshewa kidole kwamba ndio wanaohusika na mkakati huo

MAPENZI YA RIHANA NA DRAKE YAZIDI KUPAMBA MOTO..CRISS BROWN AZIDI KUCHANGANYIKIWA

$
0
0
HATIMAYE mwanamuziki wa kike nchini Marekania Rihanna amethibitisha kutokuwa na mpango wa kurudiana tena na aliyekuwa mpenzi wake wa zamani Chris Brown baada ya kuweka wazi mahusiano yake mapya aliyokuwa akiyaficha kwa muda mrefu sasa.
Rihanna amethibitisha kuwa na mahusiano na mwanamuziki mwenzake Drake, ambapo wameamua kuyaweka wazi mahusiano hayo na siyo ya kificho tena mara baada ya kuwepo na tetesi nyingi juu ya mahusiano ya watu hao wawili.
Vyanzo mbalimbali vimeuambia mtandao wa TMZ, kuwa Rihanna na Drake wameamua kuweka wazi uhusiano huo kwa kuwa karibu zaidi huku mwanadada huyo kuamua kuvaa nguo za Drake.
Kama hiyo haitoshi tuu mwanadada huyo ameamua kuonesha mapenzi hayo hadaharani kwa kumfuata hadi chooni huku akiwa amevaa nguo ya mwanaume wake.
Vyanzo hivyo vimedai kuwa Rihanna hutumia muda mwingi kwa kuwa na Drake kwa madai kuwa anamjali kuliko aliyekuwa mpenzi wake wa awali..Wakati huo huo Chriss Brown anazidi kuchanganyikiwa kwa kuona wawili hao wakiwa Ng'are Ng'are inadaiwa kuwa amefanya vurugu Kule rehab hadi amefukuzwa na amehukumiwa kwenda jela Mwezi mmoja

NJEMBA MOJA YAKAMATWA LIVE IKILA URODA NA MWANAFUNZI KWENYE GARI LAKE

$
0
0


Jamani haya Magari yetu yamegeuka kuwa Gesti House siku hizi, Maana haka kamchezo kameshamiri hapa jijini Dar ...Hiki ndicho kilichomkuta njemba huyu Baada ya kunaswa akila Uroda na mwanafunzi kwenye gari yake.

MAINDA: BORA NIZAE

$
0
0
Na  Shakoor Jongo
MUIGIZAJI wa ‘longtime’ katika tasnia ya filamu Bongo, Ruth Suka ‘Mainda’ amefunguka kuwa bora azae kwani kutozaa kwake kunamfanya aumwe mara kwa mara.

Akizungumza na papazi wetu, Mainda alisema amegundua kuwa ili apone ugonjwa wa chango unaomsumbua mara kwa mara ameshauriwa na madaktari azae ndiyo itakuwa suluhu.
“Ugonjwa huu wa chango unanitesa sana, nimevumilia sasa nimechoka, nahitaji kupumzika na ili nipumzike inanibidi nizae tu kwani haya mateso nimeshayachoka,” alisema Mainda.

PICHA YA SHABIKI WA SHILOLE AKISHIKA MAKLIO YAKE

$
0
0
Nooma sana mwanadada Shilole akiwa ametawala jukwaa kwasanatu bila woga wowote ule huku mashabiki wake kamakawa wakifanya yao kwanyuma


IDADI YA WANAUME WAVIVU YAONGEZEAKA YASABABISHA NDOA NYINGI KUVUNJIKA

$
0
0
Na pengine ndilo hasa linalochangia ndoa nyingi kuvunjika na pengine imewafanya wanawake wengi kubakia ma single. Katika tamaduni zetu, mwanaume siku zote ndiye provider wa familia. Anafanya matumizi ya kila kitu kinachofanya familia iendelee kuishi vyema, Chakula na kulipa mahitaji. Mwanamke yeye kazi yake ni kuakikisha nyumba inakuwa safi na familia siku zote inapata chakula. 

Lakini sasa mwanaume wa kiafrika amekuwa na mawazo ya kimasikini, kwamba mwanamke naye alete chakula na kulipa mahitaji. Hii inawapelekea baadhi ya wanawake kubaki masigle kuliko kuolewa. Kama anaweza kulipa mahitaji, kutafuta chakula kama mwanaume. Anakuwa na uwezo wa kuishi peke yake labda atampata mmoja temporarily wa kumzalisha. 

Wanawake pia wamegundua kwamba, ni vyema kuchukuwa jukumu la Mama na Baba katika kulea watoto wao kuliko kuteseka na ndoa ya mwanaume mvivu kisa tu kuwa na figure ya mume. Ambaye yuko pale kwa ajili ya watoto.

Ni changamoto tu, wanaume tufanye kazi. Za mikono na akili

WE ANGALIA TU HII PICHA URUHUSIWI KU COMMENT WALA KU LIKE

$
0
0
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiwa na Binti wa Mfalme wa Sweden HRH Crown Princess Victoria Lugrid Alice Desiree.

WEZI WAMLIZA FLORA MVUNGI...WAIBA NA NYIMBO MPYA YA H-BABA

$
0
0
Mwanadada Florah Mvungi amekumbwa na dhahama ya aina yake baada ya wezi ambao hawajapatikana mpaka sasa kuvunja kioo cha gari yake na kumuibia laptop yake na flash yake iliyokuwa na wimbo mpya wa mumewe H-Baba na kisha kuamua kuuvujisha wimbo huo kama alivyoelezea mwanadada huyo akionesha picha ya gari yake hiyo ilivyunjwa kioo hapo juu.



‘’…My car jamani ndo kwanza ina about a month since iingie mume wangu katoka nayo wamevunja wameiba laptop yake.flash yenye nyumbo zake yaani these thieves i hate youuuuuuuu..sasa mmeiba sawa haya na inakuwaje mvujishe wimbo wa hbaba?sasa mapigo mawili kutengeneza gari na wimbo mnavujisha TUBEBANE SONG haikuwa itoke sasa ndo nini?? Why kariakoooooo lumumba jamaniiiiii my new car..’’

Pole sana dada Florah

TAZAMA PICHA ZA LULU JINSI KALIVYOTOKLEZEA..WALAHI KATOTO KATAMU HAKA

$
0
0




SHE IS SO FINE..................................WAONAJE?

SHULE ZA SIKU HIZO VIMINI RUKSA FULL MITEGO.

$
0
0
Ni shule gani hapa Dar wanafunzi huvaa namna hii?

POMBE ZA MCHANA MCHANA NI SHIDAAA......ONA HAWA JAMAAAA

$
0
0
Hawa jamaaa walikutwa mchana kweupe wamezima kwa kunywa Pombe nyingi na kuzidiwa..Muda huo wa mchana walitakiwa wawe kazini wakijenga Taifa lakini wao mi mitungi kwenda mbele ....Je unafikiri kuna haja ya Serekali kupiga marufuku unywaji wa Pombe mchana kama walivyofanya wenzetu Kenya?

MABESTE AWAPA MAKAVU LIVE B-HITS" B-HITS MNATAKA TU KUMWAIBISHA DOGO M-RAP HAMNA LOLOTE"

$
0
0
Mabeste Venance ex-member wa B hits music group kuna vitu hajavifurahia kwa upande wake kuhusu B hits na uongozi wake na kuamua kuandika status ndefu kwenye facebook.
Kumbuka kwamba Mabeste hakuhama vizuri kwenye hii lebo na hivi sasa amehama msanii M Rap.
Kwenye hiyo status Mabeste ameandika hivi  ,”Nasikitika Pancho Latino na Uongozi wa Bhits kwa kulalamika kua M-Rap ametumia mistari yao katika track yake aliyoifanya AM Records (usiende mbali) kuwa ametumia Verse alizowahi kuandika kipindi yuko Bhits na kuamua kutoa hiyo Track yenye hiyo Verse ambayo ni (only you remix).

Sasa mbona (only you remix) waliyoitoa Bhits ile chorus aliyoifanya Jux niliandika mimi wakati niko Bhits!! Je, mbona wao wametumia mistari yangu wakati mimi siko Bhits?
Na kama issue ni Copy and Paste au kuishiwa na idea mbona beat iliyotumika kwenye track yangu ya “SIRUDI TENA” Pancho amei-copy kwenye track ya (cheap monkey ft chriss brown – champion)?? Je ni haki wanachofanya??
Ama wanataka kumuaibisha tuu dogo(M-rap) bona wao pia wanazingua nao???
#MabesteArmy!”

UNAAMBIWA KUPOTEA KWA NDEGE TANZANIA SI JAMBO GENI ..ZILISHAWAHI KUPOTEA NDEGE NNE

$
0
0
Wakati tukio la kupotea kwa ndege ya Shirika la Ndege la Malaysia, MH370, linaendelea kuitikisa dunia, imebainika kuwa Tanzania si jambo jipya kutokana na kuwapo kwa kumbukumbu ya matukio manne tofauti kama hayo katika miongo minane iliyopita.

Ndege hiyo ya Malaysia ilipotea wiki mbili zilizopita ikiwa na abiria 227 na wafanyakazi 12 huku juhudi za kuitafuta zinazofanywa na nchi 26 zenye uwezo mkubwa wa kiuchunguzi zikiwa hazijazaa matunda.

Kwa matukio ya Tanzania, Mkaguzi Mkuu wa Ajali za Ndege kutoka Wizara ya Uchukuzi, John Nyamwihura amesema katika mahojiano maalumu na mwandishi wetu kuwa Tanzania imewahi kuingia katika kumbukumbu za ndege ndogo kupotea na  baadhi hazikuonekana kabisa na nyingine zilionekana baada ya miaka kadhaa kupita. Ndege ya kwanza kupotea ilikuwa mwaka 1937 iliyokuwa ikitoka Tanzania kwenda Madagascar. Ilikuwa na abiria wanane na haijaonekana hadi leo.

Mbali na tukio hilo ambalo limedumu kwa miaka 77 sasa, Nyamwihura alisema tukio la pili ni la mwaka 2003 wakati ndege iliyokuwa ikitoka Tanzania kwenda Zambia ilipopotea ikiwa na raia wawili wa Afrika Kusini, nayo pia haijaonekana hadi sasa.

Mkaguzi huyo alisema katika matukio mengine mawili, ndege zilizopotea zilionekana baadaye. Mwaka 1997, ndege ndogo iliyokuwa na abiria mmoja ilipotea katika bonde kwenye kilele cha Kibo, Mlima Kilimanjaro baada ya kutumbukia kwenye korongo na kuganda kwenye barafu bila kuonekana hadi baada ya miaka sita. Hata ilipoonekana haikuwezekana kutolewa.

“Ndege ile ilikuwa ikitoka Nairobi kwenda Zanzibar ikiwa na rubani wa Kitanzania peke yake,” alisema Nyamwihura.

Ndege nyingine iliyoingia katika orodha hiyo ni ile iliyoanguka katika Ziwa Victoria mwaka 1976 ikiwa na abiria 12 ambayo ilionekana miaka miwili baadaye.

Kwa nini ndege zinapotea?

Swali hili linajibiwa na Nyamwihura akisema sababu kubwa ya matukio hayo ni mabadiliko ya hali ya hewa na kuharibika kwa miundombinu, mambo ambayo husababisha kukatika kwa mawasiliano kati ya waongoza ndege na marubani.

“Matukio mengi kama haya ni kuwa ndege hugonga milima na kuanguka. Zikianguka sehemu za milima ni vigumu kupatikana kwa sababu wakati mwingine huganda katika barafu au kuzama kwenye makorongo,” alisema.

Alisema hata ndege zinazoanguka kwenye maji, pia ni vigumu kuonekana kutokana na kina kirefu au barafu.

Mtaalamu huyo alisema kuna baadhi ya ndege ambazo hupotea kutokana na rubani kukata mawasiliano kwa makusudi kwa sababu ama za kigaidi au magendo.

Alitoa mfano wa tukio la mwaka 1945, wakati ndege iliyokuwa ikitoka Malawi kwenda Nairobi, ilipopoteza mawasiliano ikiwa katika anga la Tanzania. Baadaye ilibainika kuwa rubani alifanya hivyo kwa makusudi ili ashushe bidhaa za magendo alizokuwa amepakia.

Sheria za anga za Tanzania zinakataza rubani kukata mawasiliano kwa makusudi na adhabu yake ni kufungiwa kabisa shughuli za urubani.

Mkurugenzi wa Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNIA), Dar es Salaam, Moses Malaki alisema kwa kawaida ndege zinapokuwa angani hufuata ‘barabara’ ambazo zipo kama miduara inayoonyesha mpaka wa eneo moja kuingia jingine. “Katika hali ya kawaida, rubani huwasiliana kwa njia ya nukushi (fax) ili vituo vya eneo husika ambalo ndege hupita vipate taarifa,” alisema Malaki.

“Endapo rubani atashindwa kuunganisha mawasiliano kutoka eneo moja na jingine na ikitokea kuna miundombinu mibovu katika eneo hilo, basi ndege inaweza isionekane na kupotea,” alisema.

Malaki alisema asilimia 95 ya ndege huanguka au kupotea kwa sababu ya makosa ya kibinadamu na wala si makosa ya kimitambo akisisitiza kuwa ndege ndiyo usafiri ulio salama zaidi duniani.

Chanzo ajali za ndege

Rubani Mtanzania anayeishi Marekani, Brian Meena alisema katika mahojiano kuwa chanzo cha ajali nyingi za ndege nchini ni makosa ya kibinadamu na wala si mitambo.

Alisema takwimu zinaonyesha kuwa wengi wanaopata ajali hizo ni marubani wazoefu na wala si wanafunzi.

 “Kwa mfano, unapokuwa na saa nyingi za kuendesha ndege lazima uchoke, watu wengi wanaoangusha ndege ni wale wanaotumia muda mrefu hewani,” alisema. Meena alitaja sababu nyingine kuwa ni miundombinu chakavu ya viwanja vya ndege na mara chache ndege zenyewe.

“Inawezekana kabisa kuwa mamlaka ya ndege inafanya kazi kwa mazoea au kienyeji. Wanatumia njia za kizamani za usimamizi wa usafiri huu na hawaendi na wakati kwa kununua vifaa vya kisasa,” alisema.

Alisema usafiri wa ndege ni salama kwa asilimia 99 kutokana na mafunzo ya kina marubani wanayopewa.

“Ndege ni kama mtoto, unamlea, unampa anachotaka na ukifanya hivyo ajali labda itokee kwa miujiza,” alisema.

CCM YAKIRI INA MASLAHI NA SEREKALI MBILI

$
0
0
Chama Cha Mapinduzi (CCM), kimesisitiza msimamo wake wa kutaka kuendelea na muundo wa Serikali mbili huku kikiweka wazi kuwa kina masilahi makubwa na mfumo huo.

Kimesema suluhisho la kumaliza changamoto za Muungano siyo kubadili muundo wake na kuwa na Serikali tatu, bali ni kuufanyia maboresho.

Akizungumza na waandishi wa habari jana, Katibu wa Itikadi na Uenezi wa chama hicho, Nape Nnauye alisema: “Kimsingi CCM ndiyo waasisi wa Muungano na ina masilahi makubwa na mapana na Muungano huu kama waasisi pengine kuliko taasisi nyingi ndani na nje ya nchi yetu.”

Alisema licha ya Mwenyekiti wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Jaji Joseph Warioba kueleza bungeni sababu za Tume hiyo kupendekeza mfumo wa Serikali Tatu, chama hicho kinaamini kuwa suluhisho la kero za Muungano haziwezi kumalizwa kwa kubadili muundo wake.

“Kazi ya Warioba na Tume yake sasa imekwisha rasmi. Kwisha kwa kazi yao ni mwanzo wa awamu nyingine ya mchakato huu. Mwisho wa kazi ya tume hiyo siyo mwisho wa mjadala juu ya Katiba tuitakayo, bali ni mwanzo wa awamu nyingine mbili za mjadala mpana na maboresho kama siyo marekebisho ya kuondoa upungufu kwenye rasimu iliyowasilishwa. Awamu hizo mbili ni Bunge la Katiba na Kura ya Maoni.”

Alisema katika Bunge la Katiba kutakuwa na fursa nzuri ya kupima kama yaliyomo katika Rasimu ya Katiba na maelezo ya ziada yaliyotolewa na Jaji Warioba yanaakisi maoni ya Watanzania walio wengi.

“Tuna imani na awamu mbili zilizobaki kwa kuwa zinahusisha wawakilishi wa wananchi kupitia Bunge Maalumu la Katiba na nyingine kuwahusisha wananchi moja kwa moja, zitatumika vizuri kutupa jibu la nini matakwa ya Watanzania juu ya Katiba waitakayo,” alisema Nape.

Alisema chama hicho kinatambua umuhimu wa kuimarisha Muungano na kwamba njia pekee ya kuudumisha ni kufanya maboresho kwenye muundo wa Serikali mbili.

Akitolea mfano kero za Muungano, Nape alisema: “Hivi sasa tuna Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa ambayo ni ya Muungano. Moja ya malalamiko ya Zanzibar ni kwamba katika Serikali ya Muungano kuna baadhi ya mambo siyo ya Muungano ni ya Zanzibar.” Aliongeza: “Lakini unapozungumzia misaada na mikopo kutoka nje lazima ipitie kwenye dhana inayoitwa uhusiano wa kimataifa. Wao wanasema wizara ambazo siyo za Muungano zinakosa fursa ya kupata misaada na mikopo kutoka nje kwa sababu hazipo katika Muungano na hazifanyi kazi na wizara za Muungano.”

Alisema suluhisho la jambo hilo siyo Serikali tatu, bali ni kutenganisha uhusiano wa kimataifa na mambo ya nje, “Mambo ya nje mnaweza kulifanya kuwa la Muungano. Uhusiano wa kimataifa mkalitenga. Kila upande utakuwa na uhuru wa kuwa na uhusiano wake, hilo linaweza kufanyika hata kukiwa na Serikali mbili.”
-Mwananchi
Viewing all 104684 articles
Browse latest View live




Latest Images