Quantcast
Channel: UDAKU SPECIAL
Viewing all 104785 articles
Browse latest View live

BAADA YA DOGO JANJA KUOMBA MSAMAHA ILI ARUDI TIP TOP, HII NDIYO KAULI YA MADEE NA BABU TALE VIONGOZI WA TIP TOP

$
0
0
Dogo Janja kuuomba msamaha kupitia vyombo vya habari uongozi wa Tip Top Connection na Madee aliyemtoa Arusha, Boss wa Tip Top Connection Babu Tale ameiambia tovuti ya Times Fm kuwa anataka rapper huyo aseme ukweli wa yote aliyoyasema awali baada ya kutoka Tip Top.

“Aongee ukweli tu haina shida, nimemsamehe yeye ni Muislamu mwenzangu tumetumwa tusameheane, mimi nimeshamsamehe ila nimezungukwa na mashabiki ambao wakati yeye ananitukana kuna mashabiki ambao walikuwa upande wangu ingawa walikuwa hawajui kama dogo alikuwa anaongea ukweli au uongo.” Amesema Babu Tale.

“Babu Tale ameweka wazi vipengele ambavyo anataka Dogo Janja aviweke sawa.

“Dogo anatakiwa aseme kama kweli aliibiwa, kama kweli alidhurumiwa na kama kweli hajawahi kuishi nyumbani kwa Madee. Anatakiwa aongee dhahiri asifiche, aongee tu ukweli.” Babu Tale ameeleza.

Amegusia pia tukio ambalo lilimsikitisha zaidi wakati Dogo Janja anafanya kazi akiwa chini ya menejimenti ya Mtanashati Entertainment.

“Siku zote kwenye ukweli uongo hujitenga, wakati yuko South Africa alipost picha ‘ningekuwa Tip Top nisingefika huku’. Nilishangaa heeh huyu kutoka huko kijijini kwao alifanyaje hadi kufika hapa!

“Wazazi wake nao wakawa wamekubali uongo wa mtoto wao wakaanza kutuongelea na sisi maneno ambayo ni uongo. Ulikuwa uongo wa watoto halafu bado wao wanakandamiza uongo zaidi ya uongo. Kwa kuwa ni mtoto kuna wazazi ambao walisimama nyuma yake ambao nao walikuwa wanasapoti. Aongee ukweli mimi ntamsaidia.” Babu Tale ameeleza.

Babu Tale ameeleza kuwa Dogo Janja ameshamtafuta kwa njia ya simu lakini amemwambia ujumbe ule ule kuwa awaambie ukweli watanzania.

Kwa upande wa dogo janja, ameongea na Tovuti ya Times Fm na hakutaka kuizungumzia kwa undani kauli ya Babu Tale, zaidi alieleza kuwa alichokifanya kuomba msamaha alimaanisha kuwa alikuwa amekosea na hakuna aliyemsukuma kufanya hivyo.

Ameeleza kuwa endapo atakaribishwa tena Tip Top Connection atajiunga na kundi hilo japo ameeleza kuwa kuomba kwake msamaha hakuwa na maana kuwa alikuwa na lengo la kurudi Tip Top.

“Mimi nimeomba msamaha kwa kuwa nataka kuweka mambo sawa na kumaliza tofauti na uongozi wangu wa zamani. Hivyo tu. Wakinikaribisha Tip Top itakuwa poa tu pia…fresh.”

Times Fm ilimtafuta Madee ambaye alisema kuwa bado hajawa tayari kuongelea suala hilo na kwamba mtu anaeweza kuzungumzia suala hilo kwa sasa ni Babu Tale.

DIAMOND KWENDA NIGERIA KUFANYA VIDEO NYINGINE...WAGHANA WAMGOMBANIA KUFANYA NAE COLLABO

$
0
0
Hakika Diamond si Mwenzetu Sasa hivi Baada ya Video yake ya Number 1 Remix kufanya vizuri na kufikia kukamata namba moja katika kituo kikubwa cha Tv Trace sasa amekuwa kama lulu, Unaambiwa wasanii mbali mbali kutoka Ghana na Nigeria wanamtafuta kufanya nae Collabo ....Diamond Amehabarisha kuwa siku si nyingi ataelekea pande hizo za Nigeria kufanya Video mpya ambayo bado hajasema ni wimbo gani, Pia atapitia Ghana kufanya Collabo Kadhaaa....Big Up
-Regina Iwole

MCHUNGAJI AKAMATA TUNGURI KWENYE KABURI LA MAREHEMU ALBERT MANGWEA

$
0
0
Wakati hati ya kifo cha aliyekuwa rapa bora Bongo, marehemu Albert Keneth Mangweha ‘Ngwea’, ikiendelea kushikiliwa nchini Afrika Kusini alikokutwa na umauti mwaka jana, kwenye kaburi lake kumekutwa tunguli zilizozungushiwa sanda, Risasi Jumamosi linakupa mchapo kamili.

Tunguli hizo zilikutwa Ijumaa ya wiki iliyopita na Padri wa Kanisa la Katoliki Parokia ya Mtakatifu Monica, Kihonda mkoani Morogoro, Octavian Msimbe ambapo ziliibua hofu miongoni mwa waumini wa kanisa hilo lililopo katika eneo hilo la makaburi.

PADRI AKEMEA
Awali, ilielezwa kuwa siku hiyo padri huyo alioteshwa ndoto usiku juu ya uwepo wa vitu vya ajabu katika makaburi hayo ndipo akakemea kabla ya kwenda kuvishuhudia asubuhi yake (Ijumaa iliyopita) huku paparazi wetu akinyetishiwa na kuwahi eneo la tukio.

 PAPARAZI USO KWA USO NA PADRI
Paparazi wetu alipofika eneo la tukio alikutana uso kwa uso na kiongozi huyo wa kiroho akiwa amesimama kwenye kaburi hilo la Ngwea.
 Paparazi wetu alipomfikia Padri huyo alimuuliza kulikoni ndipo alipomsimulia kisa kizima.
“Jana (Alhamisi ya wiki iliyopita) nilioteshwa juu ya kuwepo kwa vitu vibaya kwenye makaburi haya ya waumini wetu ambayo yapo nje ya kanisa letu.
 “Nilishtuka sana na kuona mambo ya ajabu, nikaamua kushusha maombi ya kukemea ambapo nilioteshwa kuwepo kwa vitu kwenye makaburi yetu ambayo yako jirani kabisa na sehemu ninayo lala,” alisema Padri Msimbe na kuongeza:
 “Leo kulipokucha ndipo nikafika kwenye makaburi haya na kuanza kukagua yote likiwemo la Mangweha (Ngwea) nikayakuta yakiwa na tunguli zilizovishwa sanda ambazo pia zina majina ya waumini wangu wa moja ya vigango vya parokia hii.” 
AKATAA KUTAJA MAJINA
Alipoombwa kutaja majina ya waumini hao alisema: “Sitaweza kutaja majina yao wala ya kigango yaliyoandikwa kwani wanajijua wenyewe na mbaya zaidi hata waumini wataona katika ibada Jumapili hii (Jumapili iliyopita), nitaonesha madhabahuni,” alisema padri huyo ambaye tangu alipofika kwenye kanisani hilo limekuwa na maendeleo makubwa.
 Kama alivyoahidi, ilipofika Jumapili iliyopita, padri huyo akiwa madhabahuni alisitisha mahubiri kisha akatoa tunguli hizo na sanda na kuwaonesha waumini.
 Aliwatangazia waumini hao kuwa vitu hivyo alivikuta kwenye kaburi hilo ambapo alisema kuwa sanda hizo zilikuwa zimeandikwa majina ya baadhi ya wafuasi wa kanisa hilo ndipo kukaibuka hofu hivyo ikabidi maombi ya nguvu yafanyike.
 Pamoja na maombi ya nguvu lakini walioona majina ya baadhi waumini wenzao kwenye sanda hizo, walianza kushikwa na mshangao huku wakitazamana usoni. 
Paparazi wetu alifikia kwenye ibada hiyo na kujionea jinsi waumini walivyotaharuki kutokana na vitendo hivyo ambavyo vilitokea katika makaburi hayo.
 “Mimi hata sielewi maana kwa jinsi ninavyoona, itakuwa kuna watu wasio na hofu ya Mungu wanaendekeza mambo ya kishirikina, sasa wanaandika haya majina lakini najua kwa kuwa tumeyabaini, kwa nguvu za Mungu, watashindwa,” alisema muumini mmoja ambaye hakupenda jina lake lichorwe gazetini.
 Paparazi wetu alizidi kutafuta data zaidi juu ya sakata hilo ambapo mwishoni alijiridhisha kuwa tunguli hizo zilipokewa na waumini, zikahifadhiwa katika ofisi ya Padri Msimbe.
Mbali na tunguli hizo zilizokutwa katika kaburi la Ngwea, mwandishi wetu alijionea kiroba cha tunguli hizo zilizozungushiwa  sanda katika ofisi ya padri huyo zilizohifadhiwa chini ya meza.
 Minong’ono zaidi ilizidi kuibuka kuwa huenda watu walioweka tunguli hizo kuwa wameweka katika kaburi la Ngwea ili waweze kung’ara kimuziki kama alivyokuwa marehemu.
 “Watu wanadanganyana, wamesababisha waumini wengi kuingiwa na hofu juu ya nini hatma yao. Wanaamini mtu anaweza kufariki dunia na mwingine akatembelea nyota yake, tunapaswa kuishi katika matakwa ya kumuamini Mungu siku zote,” alisema muumini mwingine wa kanisa hilo ambaye ni kiongozi kanisani hapo.
-Risasi

KWANINI MAMBO HUWAENDEA MRAMA WASANII WANAO JITOA TIP-TOP CONNECTIONS?

$
0
0
Wako wapi MB Dog, Z-Anto, Keisha, Pingu, Spark, Dongo Janja na wengine waliowahi kujitoa Tip Top Connection? Kuna nini Tip Top, kwamba ukijiondoa tu huwezi kufanikiwa mbeleni? Kwanini ni wasanii wachache tu, tena anaweza kuwa Cassim Mganga peke yake ambaye baada ya kujiondoa kwenye himaya hiyo yenye makazi yake Manzese jijini Dar es Salaam, amefanikiwa kuwa na career ya kueleweka? Wengine wote, wamefeli.. big time.

Kinachosikitisha zaidi ni kuwa wengi wakiondoka hutoa maneno ya kashfa na hivyo kujikuta wakinyea kambi.

Hebu tuwaangalia hawa watatu, Dogo Janja, Z-Anto na MB Dog

Dogo Janja

Unakumbuka June 2012, kipindi Dogo Janja ameondoka Tip Top? Habari hiyo ilikuwa kubwa kiasi ambacho simu za Madee na Dogo Janja zilikuwa busy kwa interview. Kila pande ilikuwa ikiutupia lawama upande wa pili.

Kama umesahau wacha tukukumbushe ilivyokuwa.

Sababu zilizotajwa na Tip Top Connection ni kwamba Dogo Janja alilewa sifa na kuwa mtoro shuleni.
Kwa mujibu wa interview aliyofanya na Bongo5, uonevu na dhuluma ndivyo vilivyomchosha Dogo Janja kuishi Dar es Salaam na kujiondoa kwenye himaya hiyo.

Alisema tangu aje Dar es Salaam hakuwahi kusaidiwa chochote na Madee zaidi ya mambo ya muziki pekee huku kula, malazi na ada ya shule vikifanywa na rafiki yake Madee aitwaye Abdallah Doka ambaye (Dogo Janja) alikuwa akiishi kwake.

Alisema kutokana na ngoma zake kujipatia umaarufu alikuwa akipata show nyingi nchini na zote alikuwa halipwi chini ya milioni moja. Kilichokuwa kinamsikitisha anasema ni kulipwa hela kidogo isiyozidi laki mbili na hivyo kumfanya aishi kwa tabu licha ya kuingiza hela nyingi za show. “Nilikuwa navumilia tu bro kwasababu kila nilipolalamika kuhusu mambo ya hela Madee alikuwa mkali sana,” aliiambia Bongo5.

Dogo alidai ilikuwa inafikia wakati akifanya show za ukumbuni hulipwa elfu hamsini au chini ya hapo na wakati mwingine alikuwa halipwi kabisa. Alisema tamaa ilizidi kumwingia Madee kiasi cha kumnyang’anya kadi yake ya benki na kuanza kuchukua hela bila kujua password aliipata wapi. “Kuna wakati nilikuwa nataka kumtumia mama laki moja, Madee akanikataza eti kwakuwa watadhani nina hela sana,” alisema.

Aliongeza kuwa kuna siku Madee alimpigia simu na kumwambia kuwa kaka yake wa Kibaha ameandaa show ya CCM na angemlipa shilingi laki moja. “Hivi kweli bro mimi ni mtu wa kufanya show ya laki moja?” alihoji. Hata hivyo aliamua kukubali ili kuepusha lawama.

Baada ya show kumalizika alisema yeye na back up artist wake walirudishwa saa saba usiku wakati asubuhi yake alitakiwa kwenda shuleni kuchukua namba ya mtihani na kuandaa dawati la kukalia. Dogo Janja alisema kuwa ilimuuma sana kwakuwa muziki haujampa chochote licha ya Madee ambaye huwa hapati hata show kumtumia kimaslahi na hadi kufikia hatua ya kujenga nyumba yake.

“Ni kama vile Madee alinipanda ili anivune,” alisema.

Alifunguka kuwa hadi kufikia Tip Top watangaze kumfukuza alikuwa kwa Tundaman akipiga story na Madee akamuita kisha kuanza kumpiga na kwamba alichukua simu yake akaondoka nayo. “Jamaa alianza kujitumia meseji kutoka kwenye simu yangu kwenda kwake za matusi ama kuwa nataka kumroga. Jana nimemuonesha Milard hizo meseji na amesikitika sana.”

Alisema kitendo cha kumwambia Madee kuwa amechoka na anataka kurudi nyumbani ndicho kilimfanya amfanyie yote hayo hadi kumwambia kuwa watahakikisha wanambania asifanye vizuri tena kwenye muziki. Pia amedai kuwa Madee aliwapigia simu wazazi wake ili wamkataze Dogo Janja asifanye interview na vyombo vya habari.

“Wanajua nikiongea wataabika sana.”

Baada ya drama zote hizo ndipo Ostaz Juma akaingia kwenye picha. Alimtumia nauli ya ndege rapper huyo kutoka Arusha kurejea Dar na akajiunga na Mtanashati Entertainment ambayo wakati huo ilikuwa na heshima kidogo. Dogo Janja alipewa maisha, akalipiwa ada ya shule na kutoa ngoma iitwayo Ya Moyoni aliyomshirikisha PNC. Haikupita muda, mambo yakaanza kutokota.

Kwa mara nyingi Ostaz Juma alimfukuza na kumrejesha tena rapper huyo kwa madai kuwa hakuwa na nidhamu. Hata hivyo, imefika wakati ambapo Mtanashati Entertainment imekosa muelekeo na Dogo Janja anahisi meli inazama. Kuomba msamaha ili mambo yaende ni kitu kisichoepukika kwake kwakuwa ni kweli Dogo Janja wa ‘Mtoto wa Uswazi’ ft Godzilla amepotea kabisa.

Z-Anto

Ni ngumu kuamini ukubwa wa Z-Anto baada ya kutoa hit single yake ‘Binti Kiziwi’ ungekuja kuyeyuka kama barafu ikutanapo na jua kali. Enzi Binti Kiziwi inahit, hakuna msanii aliyekuwa na show nyingi kama Z-Anto. Hata hivyo, meneja wa Tip Top Connection aliwahi kudai kuwa kipindi hiki ndipo msanii huyo alianza kuota ‘majipu’ kwapani na kuanza pozi nyingi. Jambo hilo lilimkera Babu Tale kiasi cha kuamua kuifuta kabisa video mpya ya msanii huyo iliyokuwa inategemewa kumpeleka juu zaidi. Baada ya kuondoka Tip Top mpaka leo hii, Z-Anto si yule tena wa zamani na ukweli hali yake kimuziki ni mbaya.

“Nililazimika kushuka kwa sababu hiyo. Lakini nilipokuja kuzigundua zile njia nikaweza kupenya na ngoma binafsi nilijisimamia mwenyewe kwa kila kitu ambayo ndio hiyo Kisiwa cha Malavidavi,” Z-Anto alikiambia kipindi cha Mseto cha Radio Citizen ya Kenya hivi karibuni japo alidai kuwa hadi leo Babu Tale anamtaka arejee kundini.

“Mpaka kesho (Babu Tale) bado ananipenda. Hata ukimuuliza katika wasanii wake anaowapenda atatajwa wawili asishindwe kunitaja mimi.”

MB Dogg

Unazikumbuza Latifa na Si Uliniambia? Hizo ni miongoni mwa nyimbo bora za Bongo Flava za muda wote lakini yuko wapi MB Dogg? Kama ilivyokuwa kwa Z-Anto, naye baada ya kujitoa Tip Top, mambo yalienda mrama. Ilimchukua miaka mingi MB Dogg kuweka ‘ego’ pembeni na kukubali kuwa kweli amepotea na anaiihitaji Tip Top kiasi cha mwaka huu kuweka mambo sawa na Babutale.

“Lakini kwa sasa nataka tumuangalie Mb Dogg kwa macho mawili,” Tale aliiambia Millaayo.com hivi karibuni. Mb Dogg ana kipaji watu wanaujua uwezo wa Mb Dogg, Mb Dogg sio kama amepotea hapana ila hana uongozi anahitaji promo ya nguvu tu akipata hiyo anarudi kupiga hela kama zamani.”

Hata yeye mwenyewe MB hivi karibuni alikiri kuwa kufanya muziki bila kuwa na uongozi wa kukusimamia ni kazi bure.

“Tip Top nilitoka na ndio kitu ambacho kilinirudisha nyuma sana,” MB Dogg aliiambia Bongo5 March 17 mwaka huu.

“Pale nilikuwa nafanyiwa kila kitu, nilikuwa narekodi tu kazi yangu vitu vingine vyote wanafanya wao so baada ya kutoka na kujisimamia mwenyewe nikaanza kuyumba na kuhangaika huku na kule. Kwahiyo kitu ambacho nimegundua msanii bila management nzuri huwezi fika mbali asikwambie mtu. Msanii anahitaji kuongozwa, kushauriwa na mambo mengine. Sasa hivi nipo Tip Top tumeingia makubaliano mapya ya kazi ndio maana nashukuru Mungu ngoma yetu mpya ‘Umenuna’ inasonga kidogo kidogo mpaka kieleweke.”

Kinachowaumiza zaidi wasanii walioondoka Tip Top ni kwamba wasanii waliosalia mathalani Madee, wameendelea kufanikiwa zaidi. Mwaka jana pekee, Madee anadai kuingiza zaidi ya shilingi milioni 150 kwa single yake moja tu ‘Sio Mimi’. Meneja wa Tip Top, Babu Tale akishirikiana na Said Fela ndio walio nyuma ya mafanikio ya Diamond Platnumz, kwahiyo ni wazi kuwa Babu Tale ni ‘hot cake’ kwa sasa na ndio maana wasanii wa Tip Top waliojiondoa wako radhi kumuomba msamaha ili warejee kundini.

Swali ninalokuacha nalo msomaji ni Je! Haiwezekani msanii aliyejiondoa Tip Top kuwa na career yenye mafanikio?
-Bongo5

B-HITS KUNA SHIDA GANI MBONA WASANII KILA SIKU NI BEEF NA UONGOZI?

$
0
0
Baada ya week iliyopita habari iliyokuwa katika headlines ya Rap Mrap ambaye alikuwa chini ya uongozi wa Record Label ya B-Hits kutangaza kuwa amejitoa/Kufukuzwa B-hits nimejiuliza kuna shida gani kwani  siku si nyingi pia Wasaniii kadhaa walifukuzwa katika Record label hiyo Akiwemo Mabeste na Vanessa Mdee kwa mambo kama hayo hayo ya Mrap na Mambo yakaenda Redioni na Mitandaoni ....Pia nikivuta kumbukumbu nakumbuka Wasanii kama AY na Mwana FA walikuwa katika Studio hiyo lakini Mwisho nao walijitoa....Je kunani B-Hits , Je Tatizo like kwa Wasanii Wenyewe ama Studio? Anayejua Atujuze.....
-John K

MBOWE, LIPUMBA NA MBATIA WAMEFIKIA MWISHO KUONGOZA SIASA ZA UPINZANI"WAMELALA"

$
0
0
Kwa muda sasa nimekuwa nikitafakari namna viongozi hawa wanavyoongoza harakati za kuleta mageuzi nchini na nimegundua kuwa viongozi hawa wameshapoteza ujasiri na uwezo wa kuendesha harakati za kudai mabadiliko.Kwa maneno mengine,viongozi hawa "wamechoka" au tuseme "wamechuja".

Kuna jambo ambalo tunapaswa kulitambua nalo ni kuwa "uwezo wa viongozi wa upinzani kuendesha harakati za mabadiliko is always inversly proportinal to time".Ufafanuzi rahisi wa kauli hii ni kuwa kadiri muda unavyokwenda ndivyo kadiri uwezo wa viongozi hawa kuendesha harakati za mageuzi unavyoshuka.

Viongozi hawa siku hizi wamekuwa "legelege" hata kushindwa kuwa na misimamo "thabiti" kwa mambo ya msingi na matokeo yake wamejikuta wakiburuzwa na chama dola na kuishia kuwa walalamikaji tu.

Kwa mfano,siku hizi hata maandamano yamekufa.Likitokea jambo zito na wakapanga kuandama,wakiitwa na IGP na kufanya kikao utasikia maandamano tumeyasitisha.

Mfano mwingine ni pale panapokuwa na jambo serious kama vile sheria ya mabadilo ya katiba n.k.Siku hizi mivutano juu ya mambo kama hayo yakitokea ndani ya bunge,wanaitwa Ikulu,wanawekwa sawa na baada ya hapo wanabadili misimamo alafu mwisho wa siku wanageukwa wanaishia kulalama bila kuchukua hatua.

Hata kwenye hili Bunge la katiba,nako mambo ni yale yale tu.Walikuwa na msimamo ianze hotuba ya raisi ndio ifuate hotuba ya Warioba lakini walipowekwa sawa na mwenyekiti wa Bunge hilo,bwana Sitta wakabadili msimamo na matokeo yake jana kila mtu ameyaona kwenye hotuba ya Jk.

Lipumba wa leo sio tena yule alieongoza ile CUF ya "jino kwa jino".Halikadhakika,Mbowe wa leo sio yule Mbowe alieongoza CHADEMA iliokuwa na "slogan" ya "opetation sangara","m4c" ya miaka hiyo n.k.Mbatia ndio kabisa amebaki kuwa mzee wa busara zisizo na tija.

Viongozi hawa siku hizi wamegeukia siasa za kistaarabu na maneno matamu huku wenzao(CCM) waki-take advantage ya busara zao kuwaburuza.

Nimakizie kwa kusema tu,baada ya miaka michache,Mbowe,Lipumba na Mbatia watakuwa kama Mrema wa TLP na Cheyo wa UDP.

Mbowe,Lipumba na Mbatia are no longer strong enough to lead "effectively" opposition political parties.

DRAKE NA RIHANNA WAZENGUANA TENA KISA CRISS BROWN

$
0
0
Uwezi amini unaambiwa ule uhusiano wa kimapenzi kati ya Drake na Chriss Brown uliokuwa Gumzo week iliyopita baada ya kutangaza kuwa wameamua kuwa wapenzi kabisa ..eti sasa wameachana tena na inasemekana kuwa kisa ni Chriss Brown , inasemekana kuwa Drake Amemfuma Rihanna Mara Kadhaa Akiwa anawasiliana na Chriss Brown wakichat Massage za Kimapenzi ...Mhhh Wacha Movie iendeleee......
-Regina Iwole

HATA KAMA NI MKAO LAKINI HUU WA HUYU BINTI NI KIBOKO!!! HATA SIJUI ANATUFUNDISHA NINI?

$
0
0

Hivi unakuwa na nia gani unakubali kupigwa picha kama hii kwa mkao huu tena ndani ya Ofisi.na Kuamua kuiweka Mtandaoni huku si kujidhalilisha na kuwafanya wale waliokupa mamlaka ya wadhifa ulionao ndani ya ofisi hiyo kuwafanya walikosea kwakuwa akilizako si timamu na hukupaswa kuwepo hapo

Jamani wanaweke/wakina dada kuweni na mawazo pindi mfanyapo vitu vyenu. Kiukweli kwa sasa Tumewachoka na hii hali.

PETER MSECHU AMTAMBULISHA MAMA WA MTOTO WAKE

$
0
0
The Tanzanian Singer introduced his baby mama in this awww-inspiring message

" Happy birthday to this beautiful girl of mine aka mama lolo, mama yake mtoto wangu ,mother house, mother kitambi, mother misosi ,mother manager ,mother kila kitu... since 2002 till now 2014 we still gandana like super glue.... utatudanganya nini..... I love u so much na I wish u happy birthday uzidi nizalia mitoto mizuri mizuri kama lolo nipige hela mimi za posa.... live long live long live long! "

HATIMAYE MBUNGE WA CCM EAST AFRICA APINGANA NA RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA LAIVU BILA CHENGA

$
0
0
Shy-Rose Bhanji

About an hour ago

As a Citizen & Patriot of my Motherland Tanzania, I give due respect to the opinions of all Tanzanians on the current Constitution review. 

Much as convictions and beliefs of President JK (2govts) and Judge Warioba (3govts) are divergent, I will support the popular decision thru the coming National referendum. 

However, for now, my stand is for 3 Governments because of the following:
1. The life-span and relevance of the two-tier Govts has reached its end.
2. Complaints/grievances on Union issues have not been solved for mutual benefit.
3. A 3tier govt is the ultimate solution given the 2 reasons above. And to me this an evolution of the reality...

Kama Mtanzania na Mzalendo, ninaheshimu mtazamo/mawazo ya Watanzania wote. 

Licha ya kwamba mawazo ya Rais JK (Serikali 2) na Jaji Warioba (Serikali 3) yametofautiana, binafsi nitaunga mkono hoja/msimamo wa wengi kupitia kura za maoni za kitaifa. 

Hata hivyo kwa sasa bado ninaunga mkono muundo wa Serikali 3 kwasababu zifuatazo:

1. Mfumo wa Serikali 2 unaonekana kufikia kikomo na kutokuwa na umuhimu tena baada ya miaka 50 ya uhai wake.
2. Kero za Muungano zimeshindwa kupata suluhisho/muafaka kwa manufaa ya wote.
3. Muundo wa Serikali 3 ndio jawabu pekee kwasababu nilizotoa hapo juu. Na kwangu mimi hatua hii ni muendelezo wa hali halisi...

WAKATI WASANII WAKIMSUJUDIA JIJINI DAR OSTAZ JUMA AIBU MBAYA HUKO KWAO MUSOMA

$
0
0
Mdau wa muziki wa kizazi kipya na bingwa wa kejeli kwa wasanii na waandishin wa habari Juma Ibrahim almaarufu Ostaz Juma na Musoma ameumbuka!
Hiyo inatokana na hivi karibuni timu ya mtandao huu iliamua kufunga safari hadi kijijini Majita Musoma kwa baba mzazi wa Ostaz Juma na Musoma na kushuhudia maisha ya familia yake yalivyo. Safari hiyo ilichangiwa na mambo mawili makuu, moja, mtandao huu ulipokea malalamiko toka kwa wakazi wa kiji cha Majita huko Musoma alikokulia Ostaz Juma kwamba wanashangazwa kusikia Ostaz Juma akiimbwa katika bendi nyingi za muziku huku akitukuzwa kama mfalme au Pedeshee

Pia wakasoma katika magazeti kwamba kuna msanii aliyepigwa picha na Ostaz Juma akimpigia magoti akimbembeleza amsamehe kwa aliyomkosea jambo ambalo kibnadamu liliwakera wengi kutokana na kuwa na hisia za udharilishaji


kutokana na malalamiko hayo mtandao huu ulimfikishia ujumbe Ostaz Juma kwa njia ya simu lakini kutokana na upeo mdogo wa akili wa Ostaz Juma alianza kutukana na kumtishia kumchinja mwandishi aliyempigia simu huku akijigamba kuwa yeye ni mkulya na kuchinja watu ni kawaidia ya kabila hilo


Hapo ndipo ilipoibuka sababu ya pili ya mtandao huu kuamua kupanga safari na kwenda kijiji kwa baba yake na Ostaz juma , haikuwa kazi rahisi kufika lakini kutokana na majukumu ya kazi ilibidi kwenda tu.

Baba wa ostazi Juma akiongea kwa uchungu
Majira ya saa moja na nusu asubuhi siku ya jumanne ya wiki hii waandishi wetu waliondoka Musoma mjini kuelekea kijijini Mjita wakitumia usafiri wa basi unaotumia na wananch wa eneo hilo mpaka kufika home kwa mshua wa Ostaz Juma na Musoma

 baada kuliza watu wachache tulielekezwa mzee huyo anaonekana ni maarufu sana kutokana jina lamwanae kusikika likipaushwa kwenye mabendi na kuandikwa kwenye magazeti aibu ya kwanza kushudiwa ilikuwa ni makazi duni ya familia ya akina ostaz juma ambae jijini anafahamika kama pendeshee nyumba kazaa chakavu zilizojengwa kwa udongo na kuezekwa kwa bati za kuunga unga na nyasizinaonekana kwenye kwenye makazi ya mzee Iblahim nyumba moja tu ndo ilionekana kujngwa kwa tofari kuu kuu ambazo haikujulikana zimetumia mchanga gani huku sehemu pekee ya kifahari katika eneo hilo ikionekana ikionekana ni uzio wa waya (kama ule uwekwao kwenye mabanda ya kuku) ulionunuliwa na ostaz juma na kuzungushiwa katika makaburi kumi ya familia hiyo baada ya kubisha hodi kwa muda alijitokeza mwanadugu mmoja alipoulizwa mahali mzee mwenye mji alipo alijibu mzee hayupo ameenda kwa mganga kutibiwa mguu unamsumbua sana lakini siyo mbali sanaa toka hapa mtandao huu uliamua kumfuata mzee ibrahim  na kuhojiana nae

Baba Mzazi wa Ostaz Juma akielezea mabaya ya mwanae


Mwandishi-shikamoo  mzee Ibrahim pole kwa maradhi 
Mzee Ibrahim -asante sana ningependa kufahamu nyie ni wageni wangu toka wapi 

Mwandishi - sisi tunatoka dar es salaam ni jamaa zake na ostaz juma Mzee Ibrahim - oh karibuni sana wanangu nimefurahi sana  kunitembelea niko hapa na kula dawa maana mguu unanisumbua sanaa 

Mwandishi- pole sana baba mungu atakujalia utapona baada ya kukaribishwa na kuongea machache mzee ibrahim alitutaka twende tukapaone nyumbani kwake tulipofika mazongumzo yaliendelea 

Mwandishi - hivi ostaz juma anataarifa za wewe  kuumwa mguu 

Mzee ibrahim- azipate wapi wanangu Juma amehalibikiwa na mkewe aitwaye Mariam hatujari kabisa wala hatusaidii  kwa chochote zamani alikuwa na mke mwingine alikuwa na roho nzuri sana wadogo zake wamefukuzwa shule kwa kukosa ada nimepiga naye kelele kazi yake ni kutunza mji wa ukweni na kutafuta sifa huko mjini sijui amekuwa je maana sikuzaa watoto wajinga mimi kuna siku alikuja hapa na yule kijana  anaeitwa abubakari sadiki(mtangazaji  wa radio one)nikamuuliza na wewe kwenu pako hivi akainama chini kwa aibu akaondoka na kwenda gest kulala lakini baadae alikuja na kuniambia atazungumza nae akusaidia  kwani hata mimi ananisaidia sana huyu jamaaa 

Mwandishi - kwanini ana kuwa hodari wa kusaidia watu halafu wewe mzazi wake hakujari 

Nyumbani kwa akna Ostaz Juma na musom


Mzee Ibrahim - tena afadhari yangu  mimi mama yake mzazi yuko mwanza huyo ndo hafaidiki na chochote  kutoka kwa Ostaz Juma huyu mama mnaemuona hapa ni mama yake wa kambo ndiye aliyemlea toka mdogo alikuwa akimfulia adi kaptura zake za mkojo mpaka akakuwa ni mama  ni mama mzuri sana kwa sababu alimlea kwa mapenzi ya haliya juu sana 

 Mwandishi-  niujumbe gani ungependa tumfikishie tutakaporudi dar es salaam 

Mzee Ibrahim- mwambieni awakumbuke wadogo zake kwani akishindwa kuwasaidia  hawa nani atakayewasaidia ? itafikia siku mimi ntakufa na yeye atakufa sasa hawa tuliowaacha watajivunia nini ikiwa tumeshindwa  hata kuwasomesha


Source:Williummalecela Blog

MTALII AKWAMA KATIKA KILELE CHA MAWENZI MLIMA KILIMANJARO

$
0
0
Mtalii kutoka nchini Ujerumani anayefahamika kama Bi. Jeanne Traska (32) akiwa na muongoza wageni Athuman Juma leo majira ya saa mbili na nusu asubui wamekwama katika kilele cha Mawenzi Mlimani Kilimanjaro kwa kamba iliyonasa na kuwafanya wasiweze kushuka chini wala kwenda juu.
Bi. Jeanne na Athuman Juma walianza kupanda mlima kupitia Kampuni ya Nordic Tours tarehe 18.3.2014 kwa kutumia njia ya Rongai - Kibo –Marangu safari ambayo ingewachukua siku tano. 

Hadi sasa taarifa za awali zinaonyesha kuwa Bi. Jeanne alitakiwa kwenda kileleni Kibo lakini katika mazingira yasiyofahamika alibadili uamuzi na kuelekea kilele cha Mawenzi ambacho huwa hakitumiwi na watalii isipokuwa kwa kujaza fomu maalum inayoonyesha kuwa mgeni amekubali kwa hiyari yake kupanda kilele hicho.
Shirika la Hifadhi za Taifa kwa kushirikiana na Kampuni ya Nordic Tours wanaendelea na jitihada za uokoaji kwa kutumia askari ambao wanaelekea eneo la tukio pamoja na helikopta itakayosaidia zoezi la uokoaji kwa kutegemea na hali ya hewa itakavyotulia ambapo hivi sasa kuna mawingu mazito katika eneo la mlima.
Umma utaendelea kufahamishwa maendeleo ya jitihada za uokoaji kadri zitakavyopatikana.

Imetolewa na Idara ya Mawasiliano
Hifadhi za Taifa Tanzania

WASANII WAMWOMBA JK AWASAIDIE KUPATA HAKI ZAO NYIMBO/VIDEO ZINAPOCHEZWA KWENYE RADIO/TV

$
0
0
Giza nene bado limetanda kwa wasanii kuhusu hakimiliki ya kazi zao kutokana na Chama  cha Hakimiliki Tanzania (Cosota), kukiri wazi kwamba wameshindwa kukusanya mirahaba ya wasanii kupitia vyombo vya matangazo, zikiwemo redio na televisheni, kutokana na kukosa mitambo ya kisasa ya kufuatilia kazi hizo.

Vyombo hivi vya matangazo vimeshindwa kuwalipa wasanii, lakini hivi sasa vimekuwa vikiongoza kuwatoza wasanii fedha ili kazi zao zipate kusikika redioni au video zao kuonekana hadharani. Hata hivyo, wasanii nao wamekuwa wakilipia fedha nyingi ili  nyimbo zao zipigwe na kufahamika kwa mashabiki, kwa lengo la kupata shoo ambazo ndiyo malipo ya kazi zao.

Kinachowaingizia fedha wasanii wa sasa ni kupitia shoo, mfumo ambao umekuwa ni ‘mama’ katika mataifa mengi duniani. Shoo ndiyo msingi pekee kwa msanii, hii inamaanisha nini?

Iwapo msanii atachuja na nyimbo zake kuendelea kupigwa redioni na hata video zake kuendelea kuchezwa kwenye vituo vya televisheni, inamaanisha kwamba hatakuwa na stahili yoyote anayoipata kupitia jasho lake, ilhali chombo cha habari husika kinaingia fedha kupitia matangazo mbalimbali.

Akizungumza na gazeti hili, Mwanasheria wa Cosota, Maureen Fondo Jandwa anasema mpaka sasa kuna kituo kimoja tu cha redio kilichopo mikoani, ndicho kinacholipa mirabaha kwa wasanii ambapo hata hivyo ni kiasi cha shilingi laki tano tu kwa mwaka.

“Licha ya kwamba Cosota hatuna mitambo ya kurekodi lakini sheria ya leseni kwa vyombo vya utangazaji wa kazi za wasanii ya mwaka 2003, imepitwa na wakati hivyo kwa sasa tunasubiri mchakato wa sheria mpya ili wasanii waweze kunufaika,” anasema Jandwa huku akifafanua kuwa wasanii wanalipwa mirabaha inayotokana na kazi mbalimbali zilizorekodiwa kupitia Juck Box na kwenye kumbi za starehe na bado kuna utata katika maonyesho ya umma na vyombo vya utangazaji.

Anasema kwa muda mrefu sasa kumekuwa na mazungumzo kati ya vyombo vya habari na Cosota ambapo wamiliki wamekuwa wakionyesha nia ya kulipa mirabaha.

“Bado vyombo vya habari havijaanza kulipa mirabaha, hivi sasa tupo kwenye mazungumzo na wamiliki wa vyombo hivi na wengine wameonyesha nia ya kufanya hivyo kwa kutoa mwongozo mbalimbali njia zipi zitumike katika kulipa mirabaha,” anasema Jandwa na kuongeza kuwa wameshakaa vikao mbalimbali kuhakikisha suala hilo linakamilika kwa uharaka zaidi.

Kauli ya Cosota inatofautiana na ile ya wasanii ambapo Rais wa Shirikisho la Muziki Tanzania, Ado Novemba, yeye anasema wasanii hasa wa muziki wanahitaji kuonana na Rais Jakaya Kikwete ili kuweza kukamilisha mchakato wa haki za wasanii hasa kuhusu mirabaha kabla hajaondoka madarakani mwaka 2015.

“Rais JK ndiye aliyetusaidia wasanii mpaka kufika hatua hii tuliyopo sasa, tunamwomba tena kwa mara nyingine akutane na sisi ili tuweze kumweleza mapungufu yaliyopo katika sanaa yetu, kwani kuna watu wanamzunguka, kwa kufanya hivyo ataweza kukamilisha kile alichokianzisha kabla hajaondoka madarakani mwaka 2015, kwani hatujui kama ajaye atakuwa na mapenzi na wasanii,” anasema Novemba. Anasema japokuwa wanapokea mirahaba lakini ni kwa kipindi cha miezi sita huku msanii mmoja akiambulia kiasi cha shilingi 60 elfu licha ya kwamba wimbo wake au filamu yake imeonyeshwa mara nyingi zaidi katika maonyesho ya wazi.

“Kiasi tunacholipwa kama mirabaha ni kidogo bado kuna mabasi ambayo yanatumia kazi hizi za wasanii, lakini hayalipi yaani kuna utamaduni ambao ulianzishwa na bado unaendelezwa mpaka leo. Hata kwa watu wa vyombo vya habari Cosota wanasema hawana mitambo ya kurekodi lakini mbona TCRA waliwaambia warekodi uwezekano upo ila imefanywa kuwa mazoea,” alisema na kusisitiza kuwa bado wizi wa kazi za wasanii unaendelea kufanya na hata kampuni za simu kwani bado zimekuwa zikiwanyonya wasanii kwa kukata asilimia kubwa katika malipo ya miito ya simu.

“Kilio kikubwa zaidi ni kuhusu stika za TRA kwani mpaka sasa bado mchakato huu haueleweki, kazi zilizokuwepo awali walisema kwamba zingeondolewa lakini mpaka sasa bado hazijaondolewa na bado ulipaji wa stika hizi ni wa kiholela sana,” alisema Novemba

MTANGAZAJI MAREKANI ASEMA JAY Z ANA MIAKA 50 NA SIO 43 KAMA ANAVYODAI

$
0
0
Radio legend and culture critic Troi Torain popularly known as Star who became famous for being outrageous on NYC radio, has revealed Jay Z's real age. According to him, Jay Z is his age mate, and Star is almost 50. He made the revelation while speaking with a caller on his live radio show recently
I shouldn't blow this up, maybe because he doesn't promote it publicly, but Jay Z and I are the same exact age. I will be 50 May 3rd. He and I had this conversation so all these, he's 43, 42...that's just media bull shit!" Star, pictured right, said.
If Jay Z is truly 50, then he's the best looking 50 year old I've ever seen! He looks damn good for his age

PICHA ZA HARUSI YA PAUL OKOYE WA P-SQUARE ILIYOFANYIKA JANA

$
0
0
Harusi ilifanyika Jana jionee Picha mbali mbali hapa chini
First photos of the bride and groom: Paul Okoye & Anita Isama


 

2014 LIST OF TOP 10 BILLIONAIRES (Richest People on Earth)

$
0
0
As some of you struggle to put a meal on your table or pay house rent, someone somewhere is filthy rich and has the capability to get all that which money can possibly buy.

According to Forbes Magazine, Bill Gates, Microsoft founder regained his position as the richest person on earth. Estimates show that Bill Gates’ wealth has increased from $67bn to $76bn becoming the richest individual in the whole wide world.

Bill Gates replaced last year’s top billionaire Carlos Slim who is a Mexican telecoms tycoon. Forbes recorded a total of 1,645 billionaires where Bill Gates has been topping the list for 15 years within the 20 years Forbes Magazine has been carrying out the exercise.

Forbes upheld that technology firms featured like never before in the list with Mark Zuckerberg, founder of Facebook being the biggest gainer in net worth.

His rise is directly related to the sharp increase in social network shares. The CEO of social networks Sheryl Sandberg also made it to the list of the richest for the first time ever.

In addition, the WhatsApp founders Jan Koum and Brian Acton joined the league of the most richest in the world at numbers 202 and 551 respectively. Their presence in this list is attributed to the purchase of their message app by Facebook at $19bn.

Region wise, the US continued to dominate the list with most billionaires amounting to 492, Europe coming in second with slight 468 billionaires and Asia with 444 billionaires.

New countries featuring in the list are Uganda, Tanzania, Lithuania and Algeria. Aliko Dangote, Africa’s richest man from Nigeria made it to the top 25 list of world’s richest people with a net worth of $25bn.

Here is the list of the top ten richest people on earth

Name
Wealth

Main business

Bill Gates$76bnMicrosoft, software
Carlos Slim$72bnAmerica Movil, telecoms
Amancio Ortega$64bnZara, fashion
Warren Buffet$58.2bnBerkshire Hathaway, investment
Larry Ellison$48bnOracle, software
Charles Koch/David Koch$40bn/$40bnKoch Industries, various
Sheldon Adelson$38bnLas Vegas Sands, casinos
Christy Walton$36.7bnWal-Mart, retail
Jim Walton$34.7bnWal-Mart, retail
Liliane Bettencourt$34.5bnL’Oreal, retail

GIRL REJECTS MAN BECAUSE HE'S POOR..NOW SHE WANTS HIM AFTER KNOWING HE'S RICH

$
0
0
Ladies, please stop putting money ahead of everything. Here's the story as shared by Ada Okeke: My cousin (male) came home last Christmas looking for a wife, I told him about my girlfriend and we agreed to invite her over so that he can see her. At last he liked her, collected her phone number from me. But here is the deal between me and him, he made it clear to me never to disclose what he does for a living to her now, but rather I should tell her he is a security man living in Mushin. (note: he is a rich business man but he is afraid to disclose his identity now, because according to him, he is looking for a lady that will love him for whom he is and not for what he is). They met, he told her the same thing. After everything she came to me to know whether it's true, I told her yes but that she should give him a chance, and try to know him very well. My girlfriend told me she is not interested, that she is not ready for marriage yet... I tried all my best to convince her but to no avail, I let go! Later he found another lady, paid her bride price last February, they are planning for their traditional marriage soon. Now, I don't know how my girlfriend ran into him and discovered he is a rich business guy. She called me and gave me the insult of my life. Her reason is that I shouldn't have lied to her in the first place, knowing fully well we are friends... that a friend is not supposed to lie to a friend. Her sisters called me and told me the same thing. But when I tried to explain things, they hung the phone on me. I am planning to go over to their place today to explain things to her sisters and apologise too, but my own sisters are still with the opinion that I did nothing wrong.... What do you think? Did I do the right or the wrong thing? 

UTENDAJI KAZI WA LOWASSA Vs WA SUMAYE KAMA WAZIRI MKUU

$
0
0

Mh Lowassa na Mh Sumaye Wote wawili walishakuwa Mawaziri wakuu katika Serekali ya Tanzania kwa vipindi Tofauti na Wote kwa sasa kwa njia moja ama ingine wameonesha nia ya kuwania Nafasi ya Uraisi wa Tanzania 2015.....Je Tukilinganisha Utendaji wao wa Kazi walipokuwa Mawaziri na Kuchukulia hicho ndio kigezo cha kumpa mmoja Uraisi Nani alifanya Vizuri Kati yao....Taja Kitu Kizuri unachokumbuka
-John K

TANZANIA NA MALAWI ZASHINDWA KUFIKIA MUAFAKA MGOGORO WA MPAKA ZIWA NYASA

$
0
0
Tanzania and Malawi on Friday ended negotiations over a border dispute on Lake Malawi (Lake Niassa in Mozambique) without reaching any agreement.

According to the chief mediator of the dispute, former Mozambican president Joaquim Chissano, Malawi and Tanzania differ on how to start solving the dispute with Tanzania insisting on the delimitation of the border line while Malawi more on mineral.

The team of mediators under Chissano also includes the second post-apartheid president of South Africa, Thabo Mbeki, and former president of Botswana Festus Mogae.

The delegations from the two countries met in the Mozambican capital Maputo again after the first negotiation failed in Lilongwe, the capital of Malawi, at the end of last year.

Chissano said the mediators recommended the two countries first use the natural resources in common benefit and then discuss the delimitation.

"There is no agreement on management of the Lake for the benefit of Malawians and Tanzanians," Chissano said.

MWANDISHI ALIYE ALIKWA NA SEREKALI AFUKUA JIPYA (WORLDS BIGGEST STOCKPILE OF ILLEGAL IVORY)

$
0
0
Mail on Sunday's Martin Fletcher goes inside the warehouse in Tanzania
Dar es Salaam holds 34,000 tusks ripped from 17,000 elephants
The tusks would be worth some £150million on China's black market
Biggest is nearly 7ft long, weighs 191lb and takes three people to lift
Last month, MoS asked how Prince of Wales and Cameron could shake the hand of the Tazanian PM who has presided over slaughter
Minister for Natural Resources and Tourism invited MoS to Tanzania
‘We have nothing to hide,’ Lazaro Nyalandu said

It takes your eyes, and your brain, a moment to adjust as you move from the dazzling Tanzanian sun into the dusty, dimly lit warehouse.
Workers stand by a pile of elephant tusks, systematically weighing each one on a large red Avery scale.
Behind them, rows of tall metal shelves recede into the gloom. They are stacked solid with tusks, each pair the sole remnant of a once-magnificent elephant.


More tusks lie in sacks on the concrete floor. It is an appalling, sickening sight.
This is the world’s largest ivory stockpile. More than 34,000 tusks weighing roughly 125 tons are stored in the warehouse behind  the Ministry of Natural Resources and Tourism in Dar es Salaam. They would be worth about £150 million on China’s black market.

Viewing all 104785 articles
Browse latest View live




Latest Images