Quantcast
Channel: UDAKU SPECIAL
Viewing all 104712 articles
Browse latest View live

MACHANGU:WABUNGE WAKATIBA WANALIPA VIZURI

$
0
0
Wasichana wanaofanya biashara ya kujiuza katika maeneo mbalimbali mjini hapa wameelezea neema iliyowafikia kufuatia kujikusanyia pesa ndefu kutoka kwa baadhi ya wabunge wa Bunge la Katiba ambao wanadaiwa kuwalipa vizuri.

Wakizungumza na Ijumaa kwa nyakati tofauti, wadada hao ambao baadhi wanatokea Mikoa ya Dar, Arusha, Mbeya na kwingineko walisema kipindi hiki wanakiita ni cha mavuno kwao kwani waheshimiwa hao si watu wa kulipa pesa ndogo wanapowaopoa.

“Yaani sasa hivi ni kipindi cha mavuno, wateja ni wengi na wanalipa vizuri tofauti na kipindi cha nyuma. Kwa mfano ukibahatika kumpata mjumbe wa bunge hili linaloendelea sasa, mbona utafurahi na roho yako! Wanalipa vizuri ile mbaya.

“Kipindi cha nyuma unaweza kulala na mtu akakulipa shilingi 30,000 au 20,000 lakini sasa hivi ni 50,000 kwenda juu, hakuna longolongo, tusipojenga safari hii basi tena,” alisema msichana mmoja aliyejitambulisha kwa jina la Husna ambaye kiwanja chake kikuu cha biashara ni eneo Chako ni Chako.

Mwingine ambaye aliomba jina lake lisiandikwe gazetini akidai yuko Dodoma bila ndugu zake walioko Dar kujua alisema: “Unajua hii biashara inakuwaga na usumbufu sana, unaweza kuchukuliwa na mtu asikulipe lakini sasa hivi wateja wetu wakuu ni hawa wabunge, wengine wametugeuza nyumba ndogo zao kabisa.”

Hata hivyo, uchunguzi wa gazeti hili umebaini kuwa, biashara hiyo sasa imeshika kasi kiasi kwamba baadhi ya waheshimiwa humalizia posho zao za siku kwa kuzitumbua na madadapoa hao.

Mwandishi wetu alifanya doria siku za wikiendi maeneo ya Chako ni Chako, Mwenga Bar na zaidi katika kumbi za starehe kama vile Club 84 na Maisha na kushuhudia magari yakipaki na kupakiza wasichana kisha kuondoka.

Gazeti hili linatumia nafasi hii kuwaasa waheshimiwa kufanya walichokifuata bungeni na kuacha michepuko isiyokuwa na maana na wale wasichana walioona njia sahihi ya kutafuta maisha bora ni kwa kujiuza, wajue kufanya hivyo ni kuhatarisha maisha yao.

HAYA NDIO MAPENZI BORA

$
0
0
Nguli wa fasihi Tanzania alishawahi kuongelea mapenzi bora katika kitabu chake kiitwacho Mapenzi bora.

Nguli huyu SHABAN ROBERT alihimiza sana swala la mapenzi bora hii ni kwa sababu mapenzi bora huleta afya, mapenzi bora huleta amani ushilikiano na upendo,mapenzi bora hujenga familia bora mno, mapenzi bora pia huwa kinga ya magojwa, na mapenzi bora ni dawa na tiba.
Yapi ni mapenzi bora: 
  • 1 Kupeana ushauri mwema wa mahusiano yenu, 
  • 2 Kuulizana kipi mwenza wako anapenda na kipi hapendi, 
  • 3 Kuliwazana pale kunapokuwa na huzuni (kuwa mfariji mwema), 
  • 4 Kuepuka ugomvi usokuwa wa lazima, 
  • 5 Kushilikiana katika kuleta maendeleo mema ya kifamilia na kijamii, 
  • 6 Kuonesha upendo kwa dugu,jamaa,marafiki na watu wote wa karibu yenu, 
  • 7 Ucha Mungu

MUME WA AUNT EZEKIEL ATIWA NDANI HUKO DUBAI

$
0
0
Habari ambazo zimetufikia hivi punde ni kwamba yule shemeji wa wana Bongo Movie na walimbwende hapa nchini Papaa Sunday Demonte ambaye alimuoa Aunt Ezekiel yupo sero hivi sasa katika moja ya viunga vya dola vya Dubai. Taarifa hii kutoka chanzo chetu cha uhakika cha karibu na Pendeshee huyu wa magari kutoka huko Dubai zinasema Pendeshee huyu amekamatwa kwa madai mbalimbali likiwemo la kuto kuishi kihalali katika Nchi hiyo kwa kipindi kirefu ambayo ni maarufu kwa biashara duniani.

Kwa mujibu wa chanzo chetu Papaa huyu alikuwa akisakwa muda mrefu sana, ata wakati anafunga ndoa na Aunt Ezekiel alikuwa akiishi kimashaka mashaka kwa kuogopa kuingia katika mikono ya dola ya waarabu hao. Mtandao huu umejitahidi kumtafuta Aunt Ezekiel ili kumuuliza kama taarifa hizi anazo, ila simu yake haikupatikana mpaka tunaingia mitamboni, vile vile mtandao wako unajaribu kuwasiliana na mwakilishi wetu wa serikali nchini humo Bwana Omary Mjenga ili kuweza kujua kama wana taarifa yoyote ya kukamatwa kwa mtanzania huyu na nini wanatakiwa kufanya ili kuweza kujua chanzo kikuu na nini hatua ambazo zinatakiwa kufuatwa za kuweza kumsaidia.

Taarifa zaidi tutawajulisha pindi tutakapowapata watu wengine ambao tunawatafuta ili kuweza kujua ni nini cha kufanya ili kumuwezesha atoke na kuweza kuishi salama salmin.

Source:Niaje Tanzania

NAPE: CCM ITASHINDA KWA ZAIDI YA ASILIMIA 94 UCHAGUZI CHALINZE‏

$
0
0
Nape amesema kampeni zinaenda vizuri lakini wamekumbana na Changamoto za miundombinu ya barabara kutokana na mvua ambazo zinaendelea kunyesha nchini kote, jambo ambalo linaweza kuchangia wagombea kushindwa kuwafikia baadhi ya wananchi katika baadhi ya maeneo ya jimbo hilo, Nape ameongeza kwamba hata hivyo chama hicho kitashinda kwa asilimia 94 katika uchaguzi huo unaotarajiwa kufanyika Aprili 6 Jumapili ijayo.

YOU HEARD : WARAKA WA MTANZANIA ALIYEGEUZWA MTUMWA WA NGONO CHINA

$
0
0
Mwanadada mmoja wa Kitanzania anayetambulika kwa jina moja la Candy ambaye sasa hivi yuko nchini China akitumikishwa kwenye biashara ya Ngono yeye na wadada wenzake wa kitanzania wametuma waraka wa wazi wa sauti kwa Wizara ya mambo ya Nje na Watanzania kwa Ujumla akilalamikia kitendo cha baadhi ya kina mama wa kitanzania waishio China kwa vitendo vya kuwauza wakinadada wa Kitanzania ambao huwachukua bongo kwa kuwalaghai kuwa China kuna dili nyingi baada ya kuwachukua wakiwafikisha China wanawageuka kwa kuwanyang'anya Passport na kuwalazimisha wauze miili na malipo ya Biashara hiyo inaenda kwa wa mama hao, Waraka wa Candy na wenzake alioutuma nchini Tanzania kwa njia ya sauti unasome hivi

WARAKA

Ndugu Waziri Membe, Tunasikitika sana kwa haya yaliyotokea kwa sababu tumepoteza muda wetu mrefu sana kwa kuwafaidisha watu ambao wanatumia unyama kutufanyisha kazi ndugu zao ambao wengine ni dada zao wengine wadogo zao lakini wana force waitwe mama kwa ajili ya pesa zao na kutuuzisha miili kwa nguvu ili wapate wao pesa, na kutupokonya Haki zetu za msingi kama Passport ambayo hatakiwi kushika mtu ambae hausiki na Passport lakini wao wanatupokonya Passport zetu kinguvu na kuzishika wao, na mpaka sasa hivi tunasikitika hadi kuomba msaada ni kwamba tunahitaji mtusaidie kutukamatia hawa ambao wamepokonya Passport zetu na wamekimbia mpaka sasa hivi hatujui wapo wapi, kwa kuwa nyie ni mtandao wa serikali ni mkubwa tunahitaji kurudishiwa Passport zetu kwani tumepoteza muda tuna watoto wetu tumewaacha Tanzania tuna familia zetu tumekuja kutafuta maisha lakini tulichotegemea  sicho tulichokikuta ila tunaomba msaada tupate Passport zetu zirudi mikononi mwetu, kwasababu ajira zipo nyingi China hata kama tutaendelea kufanya kazi huku basi iwe rahisi kwa kuwa tutakua na Passport, China kuna kazi nyingi kama za kuuza Mama Ntilie za waghana au kuhudumia za wachinalakini wao wametulazimisha kufanya kazi yao ya Kujiuza, sisi hatupo tayari kufanya kazi hii ya Uharamu tutatafuta ajira nyingine kwa kutumia mikono yetu sisi tunapingana na umaskini na tunatambua ya kwamba vijana ndio nguvu ya taifa, tunaomba msaada mheshimiwa waziri Membe, hatukuja kwa lengo la biashara ya Ngono labda hao wa mama waliotutangulia hiyo ndio kazi yao kama huyo Mama anayeitwa Havintishi anayeuza mama ntilie katika mji wa Ghuang Zhou jengo moja linaitwa Tinshuu ghorofa ya Tisa wapo wengi sana ukienda katika ile ofisi utakuta wadada wengi sana. MWISHOOOOO

Mwanadada Candy kwa huku Tanzania yeye ni mkazi wa jijini Mbeya kwa Kina ndaga fijooooo, mwezi wa December mwaka jana 2013 alikutana na Dada mmoja huko Mbeya akamwambia kama yuko tayari amchukue waende China kwani kuna Mchongo wa Kazi za Umama Ntilie basi Candy pasi na kujua kuwa anaingia chaka akajikusanya na kuwaaga nduguze safari Ikaanza, kufika China Candy akafanyiwa bonge la shopping mwanadada akapendeza sanaaaaaaaaaaaaaaa
Ila baada ya Ile shopping ni maumivu mpaka leo kwani amenyang'anywa Passport na anauzwa mwili wake kwa kulala na wanaume na pesa ikiingia anaichukua tajiri yake.
Skiza Sauti ya Mwanadada huyo kama alivyotiririka kwenye You Heard ya XXL/Cloudsfm
MSIKILIZE HAPA:

UJAUZITO WA DIVA NA CRAZY GK WACHOROPOKA

$
0
0
Ujauzito wa Star Diva Loveness Love mtangazaji wa Ala za Roho ya Clouds fm aliopewa na Rapper kutoka East Coast Team Crazy GK umechoropoka wakati ulikua umefikia miezi mitano, Diva ameandika kwenye mtandao wake wa http://divabawse.wordpress.com/ na akaongeza kuwa atatoa kitabu cha maisha yake na kufunguka vitu kibao, soma maneni ya Diva hapo chini
 at Dk. Haroon!s for Ultra sound… checkin at them babies.
i was so nerv and i cried dat day.. i was like OMG… baby in .. baby’s comin. and #twins.
My doctor said i shuld be happy and be open about it. dats the only way nita let go of the tears…. Guys!. its a beautiful feeling asikwambie mtu. i was 5months preg and ilikuwa like hell… ikno i lost My babies and i talk to em like forever and ikno mpaka wangezaliwa lini. I Miss them.. i was with My doctor today and he told me to share dis with the world .. he said let it out it heals….. lia uwezavyo it heals and had the whole day ..
missing the heatbeat. My twins .. my life.. my everything. i love you so much. Penzi lenu ni la ajabu.. Penzi lenu ni Kubwa Kushinda yote…love you more than love ya papiii…. sadly i hated him Kipindi kile but it was love and hate at the same time….but he was always there for you guys.. always there for me too…. He was always there kila asubuhi akisikiliza the heartbeat too….. he was kinda nerv too….. named you guys Hailey Presley and Georgia Montana .. both Gk’s babies… ikno he wanted a diff names .. some Mujuni kinda name and i wanted My names too.. hollywood kinda like .. but at the end of the day. it was just a dream.. mkaondoka mkaniacha (tears) why?! but loved you guys with all my heart.. niliwakosea nini kwani wanangu? ila its life .. what mo can i say? with all respect #RIP ….. ❤️❤️❤️
i save de names for the next babies. Inshaallah!.
thanks to my doctor too… thank you for spending a day in ya office. sorry for the tears. and yes i feel so much better now!. one day i’ll share the happiness.. and the sad ending… will put this in 10chapters…. in my book, My life story… The Book is coming … abit sad yes .. but will share how Preg sucks … yes it sucks!. i can’t lie … but this is another story dat wuld really love to share. get a new babies soon. I Pray for dat….maana operation zimenianza mapema. another babies will fix up My happiness.. atleast i got a man who loves me and my friends who cares for me. Thank you all on ma pages.. ig i see you..
i really appreciate. bleas ya'll , mwanadada akaambatanisha na picha ya Ultra Sound ikionyesha kitoto kikiwa tayari kichwa na tumbo kimejiumba.
 Source:Makorokocho blog

KAJALA APEWA MAKAVU NA TEAM WEMA INSTAGRAM BAADA YA KUPIGA PICHA NA PENNY NA WOLPER.

$
0
0
Hehehe kweli ushoga wa mujini kazi jamani sasa huyu bibie na BFF wa madame Wema alipiga picha na hawa wadada wawili wanaodaiwa kuwa maadui wa Wema. Yeye binafsi hakuipost picha hiyo Instagram bali alipost picha hiyo hapo chini akiwa na Profesa Jay lakini wajuaji wameisaka hadi kuipata na ndipo kasheshe ikaanza kama ifuatavyo mpaka kumtukania mwane:
usipojipangantakupanga:
KIUKWELI NAJUA HUWEZI KULAZIMISHA MTU AWE NA USHOGA NA FULANI, LAKINI USTAARABU UNAPOACHA USHOGA NA MTU YAACHE NA MAMBO YAKE!SIO WEWE KAJALA UMEAMUA KUJITOA KWA WEMA SASA HABARI ZAKE UNAZIONGEA ZA NINI KWA WATU?KWA WEWE WEMA HANA SIRI ZAKO??SO ULICHOKIFUATA KWA WEMA NI HICHO TU KUDAKA MAKOMBO ANAYOYAACHA?UNADHANI HUYO CLEMENT ATAKUPA UTAJIRI WA MILELE?WATU MATAJIRI WA KUZITAFUTA NA WANAFILISIKA UTAKUWA WEWE MTEGEMEA VYA KUHONGWA NA MABWANA ZA WENZIO??HUKO ULIKOENDA KUKUTANA NA PENNY NA WOLPER ULIDHANI WATU HAWATOJUA?BUHAHAHA WOLPER KAPOST PICS NYINGI SANA LKN HII HAKUPOST KWA NINI?WHY?BUHAHAHA!NA WAKATI UNAPIGWA PICHA YA GAFLA KWANINI ULIKUWA UNAZIBA SURA?HAHAHA TUSHAKUELEWA ANA WAIT FOR YOUR TURN!DHIKI INAKUPONZA SANA WEWE!UMEITIA AIBU FAMILIA YAKO KWA ULICHOMFANYIA WEMA!HAO WANAOJIFANYA MARAFIKI ZAKO NOW WALIKUWA WAPI ULIPOTAKA KUFUNGWA MPK WEMA AKAKUTOLEA HIZO PESA?WOLPER ALIWAHI KUJA KUKUONA HUKO JELA WKT UNAFIRWA NA MAASKARI ?NA HUYO PENNY ALIKUJA??YAANI SOON KIBAO KINAKUGEUKIA JUST WAIT!!
LEO UMEUMBUKA MPK UNAONA AIBU!UMEPOST PIC ULOPIGA NA PROFESA JAY MBONA ULOPIGA NA PENNY NA WOLPER HUKUPOST?ULIJUA ITAKUWA SIRI EEH??HAKUNA SIRI HAPA UMEUMBUKA NA BADO TUTAKUUMBUA SANA!!!POST NA HIYO ULOPIGA NA PENNY BASI USIOGOPE TUSHAKUJUA WEWE MNAFKI!! SASA HIVI TUNAKUWEKA PENDING!TUNAANZA KUDEAL NA MWANAO PAULA NAE KAWA MA**** KM WEWE MAMA AKE ANAT*****A NA KUF****A NA DOGO JANJA NA EEWE AHAAA UNAFURAHIA TU!! HESABU MASAA TU SOON TUNAANZA KUPOSI UCHI NA MKUNDU WA MWANAO PAULA SI UBAMFUNDISHA AJIBINUE UPOST PIC APATE WANAUME!MWAKA WAKO HUU MAMAE!MSHAMBA MKUBWA EEWE! TANGU HUONGWE HILO GARI KILA PICHA UNAPIGIA KWENYE GARI BUHAHAHA MAGARI WATU TUMEKUA NAYO ACHA USHAMBA!NA M**** UKISHAEXPIRE CLEMENT ANAKUNYANGANYA HILO GARI!!MUUZA M**** WE NDIO MAANA PFUNK ALIKUTEMA KWA TAMAA ZAKO HIZO!

SIKILIZA NA DOWNLOAD WIMBO MPYA WA PROFESA JAY NA DIAMOND-KIPI SIJASIKIA

$
0
0
Mzee mzima legendary Prof Jaz amesoma alama za nyakati na kuamua kuingia studio na Diamond Platnumz ambaye ndio kinara wa Bongo Flava kwa wakati huu ...Embu sikiliza kitu walichopika studio kwa P Funk......


IKULU YAMJIBU WARIOBA

$
0
0
Ofisi ya Rais (Ikulu) imesema haikuwatupia virago wajumbe wa iliyokuwa Tume ya Mabadiliko ya Katiba.

Kurugenzi ya Mawasiliano ya Rais, Ikulu ilitoa taarifa hiyo jana ikirejea taarifa zilizomnukuu aliyekuwa Mwenyekiti wa Tume hiyo, Jaji Joseph Warioba akisema: “Ikulu imetutupia virago.”

Jaji Warioba alikaririwa akilalamikia jinsi yeye na makamishna wa tume, walivyoondolewa ofisini na kunyang’anywa magari kwa haraka bila kusubiri siku waliyokuwa wamepanga kufanya makabidhiano.

Taarifa ya Ikulu ilisema kifungu cha 31 (1) cha Sheria ya Mabadiliko ya Katiba kinasema shughuli za tume zinakoma baada ya Mwenyekiti wake kuwasilisha Rasimu ya Katiba kwenye Bunge Maalumu la Katiba.

Ilifafanua kuwa Jaji Warioba aliwasilisha Rasimu ya Katiba bungeni Machi 18, 2014 na siku iliyofuata Machi 19, 2014 na kwa mujibu wa Sheria Rais alitia saini tangazo la Serikali kuvunja tume hiyo.

Ilisema tangu mwanzo wajumbe, mwenyekiti, Sekretarieti ya Tume na Watanzania wote waliijua siku ya mwisho ya Tume kukamilisha shughuli zake, hivyo kwa mtu “kujitia ameisahau siku hiyo ni kiwango cha juu sana cha unafiki.”

“Siku hiyo ya mwisho iliwekwa kwa mujibu wa Sheria ya Mabadiliko ya Katiba, na Ikulu haikuwa na madaraka wala mamlaka yoyote kubadilisha tarehe hiyo.

Hivyo, madai ya Ikulu kuitupia virago Tume ya Mabadiliko ya Katiba hayana msingi wowote na ni jambo la kutunga tu,” ilisema taarifa hiyo.

Ilisema tangu Tume ilipovunjwa, haikuwa tena na kazi ya kuandaa ripoti au Rasimu kwa sababu kazi hiyo ilikuwa imekwisha.

Kuhusu muda wa kuandika ripoti ya makabidhiano, taarifa hiyo ilihoji kuwa tangu Desemba 30, mwaka jana sekretariati ilikuwa na muda wa siku 77, ilishindwa nini kuiandaa wakati maofisa wake walikuwa wanaendelea kulipwa mshahara na Serikali.

Kurudisha magari

Kuhusu wajumbe kutakiwa kurudisha magari Ikulu, taarifa hiyo imekiri ikitoa sababu kuwa kazi ya tume ilikuwa imemalizika na kwamba magari hayo yanatakiwa kupelekwa kwenye Bunge la Katiba mjini Dodoma.

Hata hivyo Makamu Mwenyekiti wa Tume hiyo, Jaji Mkuu Mstaafu Augustino Ramadhani na mmoja wa wajumbe, Profesa Mwesiga Baregu wameungana na Jaji Warioba wakieleza kutofurahishwa na jinsi Serikali ilivyowatendea.

Jaji Ramadhani alisema wenzake walipokutana Jumatano iliyopita, yeye alikuwa Arusha na dereva aliyekuwa akimwendesha kwenye gari la tume alimwarifu kuwa gari hilo linatakiwa kurejeshwa, hivyo akamruhusu atekeleze alivyoagizwa.

“Nimeingia Dar es Salaam Jumamosi saa 11:00 jioni, gari nililokuwa natumia lilichukuliwa nikiwa Arusha na niliporejea sasa natumia gari langu mwenyewe,” alisema Jaji Ramadhan.

Kwa upande wake Profesa Baregu alisema hatua zilizochukuliwa na Serikali katika kuvunja tume hiyo zimewafanya wajihisi kama wahaini.

Profesa Baregu alisema, “Heri yetu wengine lakini kwa mzee wetu (Warioba) kutokana na kuwa Waziri Mkuu mstaafu, analindwa na walinzi wanaopata maelekezo kutoka kwa Serikali ambayo imetuondoa kwenye kazi iliyotukabidhi kisheria kama wahalifu, sifahamu hatima yake.”

Alisema Jumatano iliyopita wajumbe wote wa tume walikutana wakakubaliana Ijumaa wakabidhi vifaa mbalimbali yakiwamo magari lakini alipoingia kwenye gari lake kurudi nyumbani, dereva akamfahamisha kuwa wameelekezwa siku inayofuata asubuhi magari yote yapelekwe Ikulu.

Alisema hali ilikuwa mbaya kwa waliokuwa wakiishi na familia zao kwenye nyumba walizokuwa wamepangiwa kwa ajili ya kazi za tume, kwani walitakiwa wazirejeshe mara moja lakini kwa kuwa zilikuwa zimelipiwa mpaka Machi 31 wakaachwa wakabaki mpaka siku hiyo.

Alipoulizwa kama ameitwa Dodoma kutoa ufafanuzi wa Rasimu yao, Profesa Baregu alisema: “Tuliyotendewa tunahisi tunachukuliwa kama wahaini, leo niitwe Dodoma niende kwa imani gani? Sijaitwa na hata ningeitwa nisingeenda.”

Kukabidhi ofisi

Naibu Katibu wa Tume, Kashmir Kyuki alithibitisha jana kuwa makabidhiano kati ya Tume na Serikali yamekamilika.

Kyuki ambaye pia ni Mwandishi Mkuu wa Sheria Tanzania, alisema hata madeni ya Tume yamekabidhiwa kwa Serikali na wameafikiana na Wizara ya Katiba na Sheria itangaze kuwa yapo chini yake, ili kuwaondolea hofu wadai.


Alizungumzia suala la aliyekuwa mjumbe, John Nkolo aliyeugua wakati tume ikiendelea na kazi, alisema pia limekabidhiwa kwa Katiba Mkuu wa Wizara ya Katiba na Sheria.

“Tumewaeleza kuwa tuna mgonjwa tuliyekuwa tukimuhudumia, ataendelea kuhudumiwa kwa mujibu wa sheria na kanuni za ajira serikalini kwa sababu aliugua akitumikia Serikali, watamuhudumia tu,” alisema Kyuki.

ZARI THE BOSS LADY AONYESHA WATOTO WAKE WATATU...(SEE PHOTOS)

$
0
0
Zari is one of the most public figure in Uganda. She’s a singer socialite and real entrepreneur as she is said to e one of the richest people in her country.  She loves the fame and the high life. Her father is half Burundian and half Somali and her mother is half Indian and half Mutooro. Perhaps the reason for her stunning looks.

The name Zari is the short form of her full name Zarinah. Her real name is Zarinah Zaitun Hussein and she is quite learned too, having studied at the Cosmetology School of Girls in Woodgreen, United Kingdom.

Though the controversial singer grew up in a Muslim family of six girls and two boys, that didn’t stop her from pursuing her dream of being a musician. She has always said that her role models were Arethal Franklin and Whitney Houston when she was still in secondary school.

Zari’s music is basically driven by her beauty and money. She started her music journey way back in 1998 with karaoke at Kampala Pubs which she did for fun. Her first single called ‘Oli Wange’ was released back in 2007 and the catchy tune and video was nominated for channel O awards in the Best East African Video category. She did not get the award but somehow this boosted her ego. She went on to become a force.

Despite her ratchet behavior and controversies, Uganda’s top money girl, socialite and singer is married and a mother of three. Check out her 3 sons in below

SHEIKH ABUBAKAR MAKABURI AUWA KWA RISASI MOMBASA..ALIKUWA AKIHUSISWA NA MATUKIO YA KIGAIDI

$
0
0
Sheikh Abubakar Shariff ‘Makaburi’ anayehusishwa na matukio ya kigaidi nchini Kenya ameuawa jana na watu wasiojulikana mjini Mombasa.

Sheikh huyo alimiminiwa risasi wakati akiwa katika Gereza la Shimo La Tewa mjini Mombasa jana jioni wakati akisubiri uamuzi wa mahakama kuhusu dhamana kabla ya kuahirishwa kesi yake katika Mahakama ya Shanzu.

Katika tukio hilo, pia mwanafunzi wa chuo aliyetambuliwa kwa jina la Hassih Bayeko aliuawa na wengine kadhaa kujeruhiwa.

Walioshuhudia tukio hilo walisema mauaji hayo yalifanywa na watu waliokuwa katika gari jeusi kabla ya kutoweka. Sheikh Makaburi alikuwa akikabiliwa na mashtaka ya kuwa mwanachama wa kundi ugaidi la Al Shabaab, lakini alikana madai hayo.

Pia Sheikh Makaburi alikuwa akikabiliwa na mashtaka ya kuwaajiri vijana na kuwaingiza katika Kundi la Al Shabaab madai ambayo nayo aliyakana.

Sheikh Makaburi anakuwa muhubiri mkubwa wa tatu kuuawa kwa risasi nchini Kenya ndani ya miaka miwili . Oktoba mwaka jana, mhubiri mwingine Ibrahim Omar aliuawa kwa kupigwa risasi na watu wasiojulikana wakati akitokea kuhubiri.

Pia Julai 2012, Sheikh Aboud Rogo aliuawa kwa kupigwa risasi akiwa kwenye gari. Polisi wameimarisha ulinzi katika maeneo yote ya mjini Mombasa, huku kukiwa na wasiwasi wa kuzuka kwa vurugu kutokana na mauaji ya Sheikh Kaburi.

Hata hivyo, hadi jana jioni hakukuwa na taarifa zozote za kuzuka vurugu licha ya kwamba hali ya jumla ya mji huo ilikuwa tete.

Taarifa nyingine zilisema kuwa polisi ililazimika kufyatua risasi hewani nje ya kituo cha polisi ambacho mwili wa Makaburi ulipelekwa.

Askari zaidi wametumwa katika mji huo kuimarisha usalama na Ofisi ya Ubalozi wa Uingereza ilitahadharisha kuwa hali ni tete mjini humo.

WEMA KWELI CHIZI..ANGALIA VIDEO JINSI ALIVYOZUA TIMBWILI LA NGUVU GLOBAL PUBLISHERS

$
0
0
Wema Isaac Sepetu aliye pia Miss Tanzania 2006, amejitoa fahamu kwa kupandisha mzuka na kutinga makao makuu ya Kampuni ya Global Publishers, Bamaga-Mwenge, Dar na kuzua timbwili la aina yake kisa kikiwa ni kuandikwa kwa habari zake na mpenziwe, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’. ANGALIA VIDEO HAPA CHINI:
GPL

AMMY NANDO WA BIG BROTHER AWA MPAMBE WA WEMA SEPETU

$
0
0
Siku Wema Alipoenda kufanya Timbwili kwenye Ofisi za Magazeti Maarufu Bongo Global Publishers Aliongozana na Baadhi ya Wapambe wake Ambao mmoja wapo alikuwa ni Mshiriki wa Big Brother Africa Aliyeiwakilisha Bongo Mwaka Jana anayejulikana kama Ammy Nando ...Kama anavyoonekana kwenye picha hapo alikuwa anajificha asipigwe picha na waandishi habari nje za ofisi za Global Publishers....Najiuliza na yeye Amefuata mkumbo wa Kina Petit na Martin Kadinda ?

SANDRA "USAGAJI NA USHOGA WAZUAI MASTAA WENGI KUOLEWA NA KUOA"

$
0
0
Msanii Mkongwe wa Bongo Movies anayejulikana kama Sandra Amewaasa wasanii wenzake kuachana na mambo ya Usagaji na Ushoga kwani vitendo ambavyo vinawazuia kuingia katika ndoa na pia kupata watoto...Amesema Swala hilo limekuwa sugu kwa Wanawake Mastaa Kupenda kusagana wenyewe kwa wenyewe kiasi wamenogewa pia wavulana na wanachukuana wenyewe kwa wenyewe so hapo kuoa ni ndoto....

AMERICAN EMBASSY WATOA KAZI ..APPLY HAPA

$
0
0
From The Guardian of 2nd April The US Mission in Tanzania provides equal opportunity and fair and equitable treatment in employment to all people without regard to race, color religion, sex, national origin, age, disability, political affiliation, marital status; or sexual orientation. The Department of State also strives to achieve equal employment opportunity in all personnel operations through continuing diversity enhancement programs.

ALL ORDINARILY RESIDENT (OR) APPLICANTS MUST HAVE THE REQUIRED WORK AND/OR RESIDENCY PERMITS TO BE ELIGIBLE FOR CONSIDERATION.

The US Embassy is seeking an individual for the position of Mail Clerk in Information Program Section.
BASIC FUNCTION OF POSITION
Responsible for daily runs to the airport to pick up and deliver incoming and outgoing mail, process incoming and outgoing mail for delivery, processes calls on the Embassy Switchboard, and performs basic media reproductions jobs. This position is a labor intensive position that requires the ability to lift mailbags up to 70 pounds several times a day.
A copy of the complete position description listing all duties, responsibilities and qualifications required is available at: http://tanzania.usembassy.gov/job_opportunities.html

Note: Hard copies of the Universal Application for Employment (UAE) DS-174 form is available at gate 3 at the American Embassy or at the above link.

Click here to download application form (DS-174) (PDF 59 KB)

APPLICATION INSTRUCTIONS:

Interested candidates for this position must submit the following for consideration of the application: 1) Universal Application for Employment (UAE) DS-174 form is available at above link; or 2) A combination of both; i.e. Sections 1 -24 of the UAE along with a listing of the applicant's work experience attached as a separate sheet; or 3) A current resume or curriculum vitae that provides the same information found on the UAE 4) Any other documentation (e.g., essays, certificates, awards) that addresses the qualification requirements of the position as listed above. Failure to do so will result in an incomplete application.

SUBMIT APPLICATION TO


American Embassy Human Resources Office
P.O. Box 9123
Dar es Salaam

HEMEDY "KINA DADA MNIACHE SITAKI KUFUATWA FATWA MMENISUMBUA KWA KIPINDI KIREFU"

$
0
0
STAA wa filamu za Bongo, Hemed Suleiman ‘PHD’, amewataka kina dada wanaomtaka mahusiano ya kimapenzi kukaa mbali naye, kwani kwa sasa ameamua kutulia na mpenzi wake, na anatarajia kufunga ndoa.
Kupitia ukurasa wake wa facebook, PHD aliandika kuwa kwa sasa yupo tayari kumweka hadharani mpenzi wake, ambaye anatarajia kufunga naye ndoa hivi karibuni, hivyo hataki kufuatwa na wasichana ambao hawapendi maendeleo yake.

“Nimekuwa nikisumbuliwa sana kwa kipindi kirefu, hata mimi pia nimewachezea sana watoto wa watu, sasa nimeamua kutulia na kuwa mwanaume bora, maana nimegundua nilikuwa nafanya ujinga, umri ushaenda, natakiwa niwe na familia yangu,” aliandika.
Mbali na hilo, PHD alisema yupo katika hatua za mwisho za maandalizi ya video ya ngoma yake mpya anayotarajia kuisambaza mwezi huu inayojulikana kwa jina la ‘On My Wedding Day’.
Alisema katika wimbo huo, amezungumzia mambo mengi ambayo anatarajia yatakuwepo siku yake ya harusi, hivyo anaomba sapoti kwa mashabiki ili iweze kufanya vizuri.
PHD ni kati ya nyota wa Bongo wanaofanya vizuri katika tasnia ya filamu na muziki, kutokana na ubora wa kazi zake na anavyoweza kucheza uhalisia mbele ya kamera.

MWIMBAJI MKUBWA WA NIGERIA AMSIFIA DIAMOND KUWA ANA NIZAMU KUBWA YA KAZI YAKE

$
0
0
Baada ya kutua Nigeria Diamond amedakwa na kufanya Collabo na Mwimbaji wa Kike Anayejulikana kwa Jina la WAJE Ambae inasemakana ndio Mwenye Mafanikio Makubwa nchini humo kimuziki kwa Waimbaji wa Kike.....Kama haitoshi Mwimbaji huyu baada ya kufanya kazi na Diamond Studio Moja Ametoa ya Moyoni na Kumsifu kuwa Diamond ni kijana mwenye nidhamu kubwa ya Kazi yake .....Hii ndio Message aliyo andika Waje
Met this amazing brother yesterday, humble nd such an inspiration,his work ethic is super. #africanlegendsmakingmusic @diamondplatnumz the talent eh. Thanks so much for this honour,” ameandika Waje kwenye Instagram.
-John K

MCHEZAJI OKWI AGOMA KUCHEZA YANGA..KISA HICHI HAPA

$
0
0
HALI ya hewa baina ya mshambuliaji wa Yanga, Emmanuel Okwi na uongozi wa timu hiyo, si nzuri na Mganda huyo ameamua kugomea mazoezi akishinikiza kumaliziwa chake.
Picha lilianza hivi; Okwi alisajiliwa na Yanga kwa usajili uliogharimu Dola 100,000 (Sh162 milioni) katika usajili wa dirisha dogo, lakini uongozi wa timu hiyo haukumpatia fedha zote na walikuwa na makubaliano maalum. Walimkatia dola 60,000 tu kwa kuanzia.
Okwi ameshaichezea Yanga mechi sita za Ligi Kuu Bara na juzi Jumanne aligoma kufanya mazoezi yaliyofanyika katika viwanja vya Tanganyika Packers, Kawe jijini Dar es Salaam akitaka kulipwa fedha zake zilizosalia, jambo ambalo limewakera mabosi wa Yanga ingawa wanafanya siri kubwa.
Katika mazoezi hayo, Okwi alifika mapema na kukaa nje jambo ambalo si kawaida huku wenzake wakijifua chini ya kocha, Hans Pluijm, ambaye jana Jumatano aliliambia Mwanaspoti kuwa sababu za Okwi kushindwa kufanya mazoezi zipo nje ya uwezo wake.
“Siwezi kuzungumzia hilo tatizo la kutofanya mazoezi kwa Okwi, nadhani lipo juu ya uwezo wangu, lakini ninachoweza kusema ni kwamba tangu nilipofika Yanga nimekuwa na uhusiano mzuri na Okwi, nafikiri hicho ndicho ninachoweza kukwambia,” alisisitiza kocha huyo.
Lakini Okwi alipotakiwa kutoa ufafanuzi hakuzungumza lolote mazoezini hapo.
Katibu Mkuu wa Yanga, Benno Njovu, alikiri Okwi kutofanya mazoezi, lakini akadai kwamba anahitaji muda kukaa na mchezaji huyo kujua tatizo ila akasisitiza hawadai.
“Nimepata taarifa kwamba Okwi hakufanya mazoezi, lakini nitaongea naye kujua tatizo lake. Ila si kweli kwamba anadai fedha zozote,” alisema Njovu.
Mmoja wa viongozi wazito na mwenye ushawishi mkubwa ndani ya Yanga, alizungumza na Mwanaspoti jana Jumatano na kuonekana kukerwa na tukio hilo, lakini akakiri kwamba mchezaji huyo anawadai.
Bosi huyo aliyeonekana kuwa mkali, alisema mpaka sasa Okwi ameshafunga mabao mawili pekee katika mechi za ligi alizocheza ambapo ukiacha hata wachezaji wenzake kwa ujumla wameshindwa kucheza kwa kujituma wakielekeza akili zao katika kupata fedha pekee.
“Hapa Yanga hakuna tatizo la fedha lakini tunawezaje kutoa fedha wakati wenyewe hawajitumi? Fedha tunazowapa hazilingani na mchango wao kwenye timu, imefikia hatua wanakubali kufungwa na wachezaji 10 wa Mgambo ambao mishahara yao ni sawa na posho tu kwa Yanga,” alisema bosi huyo kwa hasira.
“Hivi tumpe dola 40,000 Okwi kwa kipi cha kutufariji alichotufanyia? Nataka nikwambie kama Okwi anataka fedha zake jibu ni rahisi sana, aonyeshe kwenye mechi aone kama atazikosa tena zitakuja bila ya kuomba na hilo si kwa Okwi pekee, bali ni kwa wachezaji wote, fedha tunazo lakini hawatutendei haki.
“Tunatumia fedha nyingi kuwalipa mishahara mikubwa, lakini angalia mchezo wetu uliopita wanakubali kufungwa kirahisi na hata haiwaumi, tena kwa timu ambayo wanalipwa malipo madogo na tatu wakiwa pungufu, sasa wanakuja wachezaji hao hao eti wanadai fedha, hatuendi hivyo.”
Alidai kwamba Okwi hajafanya kile walichokitegemea wakati wanamsajili na kwamba anapaswa kuwa muungwana pia kwa vile uongozi uligharamia fedha nyingi kukamilisha usajili wake kuliko walivyotarajia.
SOURCE: MWANASPOTI

KWANINI PENZI LA MBALI LINANOGA KULIKO PENZI LA KARIBU

$
0
0
Wadau nimeona niwashirikishe hili jambo ili wale wataalam wa malavidav watupe utaalamu wao
kwanini Penzi la Mbali huwa linanöga kuliko penzi la karibu nikiwa na maana kwamba; 

kama una mpenzi wako mnaishi umbali wa kuweza kusitisha shughuli zako japo kwa siku mfano arusha-dar ili muonane, hisia zake ni kubwa na kuheshimiana kunakuwepo sana kuliko yule wa pale mtaani?

Wanandoa ambao hawakai pamoja wengi wao wanaheshimiana zaidi kuliko wale wanaoishi pamoja?

Mkianzisha mahusiano katika hali yoyote kabla ya kuonana au kufahamiana mnaonyeshana lv sana, ila mkikutana tu hata kama ni sms mlikuwa mnatumiana zinapungua?

Ni Theory gani inafaa kutumika hapa?

GARI INAUZWA...TOYOTA CELICA SPORT NEW MODEL

$
0
0


Vehicle Type: Sports Car
Price: TZS 8,000,000
Negotiable: Yes
Kilometers: 130,000
Transmission: Automatic
Four Wheel Drive: No
Vehicle Current Location: In Tanzania
Import Duty is Paid: Yes


Its a Toyota Celica, Sport Car , Engine capacity 1800, Its in Dar es Salaam,
CONTACTS:
Location: Dar Es Salaam 
Tel: +255 (0) 714 604 974



Viewing all 104712 articles
Browse latest View live




Latest Images