Quantcast
Channel: UDAKU SPECIAL
Viewing all 104684 articles
Browse latest View live

LULU MICHAEL"JAMANI WASICHANA TUINUKE TUACHANE NA MAMBO YA KUHONGWA NA MATAJIRI"

$
0
0
ELIZABETH Michael ‘Lulu’ amewaasa wasichana wenzake kujitahidi kujishugulisha na kazi mbalimbali kuingiza ‘chapaa’ na wasiendekeze kuhongwa fedha na mapedeshee kwani ni aibu.

Akistorisha na paparazi wetu pasipo kuweka wazi kama alishawahi kuhongwa au la, Lulu alitiririka:

“Jamani wasichana wote tuinuke tuachane na mambo ya kuhongwa fedha na matajiri kwani hizi zina mwisho wake, siku hizi mambo yote ni kujishughulisha.” 

SIMBA YABANWA KAITABA..ASHANTI WAISHIKA MBEYA CITY

$
0
0
WAKATI klabu ya Mbeya City ikibanwa jijini Dar es salaam na Ashanti United kwa kutoka sare ya kutofungana, mdudu wa sare aliibukia pia uwanja wa Kaitaba wakati kagera Sugar na Simba zilipofungana 1-1.
Mbeya City iliyokuwa ikipewa nafasi ya kuiengua Yanga kwenye nafasi ya pili japo kwa muda, ilishindwa kufurukuta kwa watoto wa mjini na kuambulia pointi moja iliyowafanya wafikishe pointi 46.
Pointi hizo ni sawa na za Yanga ambayo kesho inatarajiwa kushuka dimbani kucheza na JKT Ruvu katika pambano linalosubiriwa kwa hamu litakalochezwa uwanja wa Taifa.
Mjini Bukoba, wenyeji Kagera Sugar  ilishindwa kufurukuta nyumbani baada ya kulazimishwa sare ya bao 1-1, wenyewe wakilazimika kusawazisha bao la Simba lililofungwa na Zahor Pazi katika dakika ya 45.
Bao hilo la kuwasawazisha, liliwekwa kimiani na Themi Felix 'Mnyama' katika kipindi dakika ya 61 na kuifanya timu yake kugawana pointi na Simba na kuendelea kusaliwa katika nafasi ya nne na tano.
Ligi hiyo inatarajiwa kuendelea kesho kwa mechi nne katika viwanja mbalimbali Coastal Union kuumana na Mgambo JKT kwenye uwanja wa Mkwakwani, Yanga kuumana na JKT Ruvu uwanja wa Taifa, Oljoro JKT itapepetana na Prisons ya Mbeya na Rhino Rangers itaikaribisha Mtibwa Sugar mjini Tabora, mecchi ya Azam na Ruvu Shooting imesogezwa mbele hadi Jumatano.

TETESI ZA MJINI:NASIKIA MZIRAY NA MKEWE CHALI...MALI ZOTE KWISHNEY

$
0
0
Tetesi kutoka Jamii Forums....

"Juzi kati niko mitaa ya kati nang'arisha buti nikaambulia hizi story kwa watu wanaodai kuwa wanawafahamu sana hawa jamaa. Nilichoskia ni kuwa walikua wakikaa kwenye nyumba ya kupanga ambayo walikua wanalipa $5000 kwa mwezi, hela ilivyoanza kukata wakajaribu kuwekeza kwenye 'sembe', punda wawili waliowatuma wakang'ang'aniwa hela yote ikapotea. Hadi usawa huu nimeskia kuwa Richard na mkewe super model wamesitiriwa Mwananyamala kwenye servant kota ya nyumba ya mshkaji wao. magari yote hayo ya thamani wameyaweka bond kwa mazungu wa unga magomeni na wamechemsha kuyakomboa. Kingine nilichoskia ni kuwa washkaji sasa hivi ni mwendo wa daladala na bajaji kwa kwenda mbele. 

Nimeileta kwenu kama nilivyosikia, msinihukumu waungwana..."

By Kana-Ka-Nsungu

MAKOSA YA KAKOBE KUMWANDIKIA BARUA RAIS KIKWETE HAYA HAPA

$
0
0

Wewe kama mtumishi wa Mungu hukutakiwa kuandika barua ikulu kwa sababu zifuatazo
kwanza kabisa kama mtumishi wa Mungu mzoefu ulitakiwa kukaa chini na kufikiri kabla ya kuandika
Pili unamuandikia barua mtu Ambae mna Imani tofauti  katika kufanya kazi zake
tatu unajaribu kupigana vita ya kimwili wakati watumishi wa Mungu mnatakiwa kupigana vita ya kiroho

wewe ni Mtumishi wa Mungu wa muda mrefu sana,tangu nakua nasikia jina Kakabe,umekosea sana na imetokana na kiburi chako cha kutomshirikisha Mungu

ulitakiwa kufanya nini?
ulitakiwa kuongea na Mungu kama kweli wewe ni mtumishi wa Mungu
una uwezo mkubwa sana hapa duniani kuliko Kikwete na waliomzunguka
umeshindwa kujitambua kwamba una mamlaka wala huitaji kujiingiza kwenye upuuzi
una uwezo wa kukamata nguvu za giza anazotumia Kikwete wa wajinga wenzake kupitia ulimwengu wa Roho
ukifunga na kuomba na kumweka Kikwete mbele za Mungu ungeona matokeo
UNGEPATA NAFASI YA KWENDA BUNGENI UNGELETA MABADILIKO GANI?

"BABY KAMA HUWEZI KUJA KUNICHUKUA NAKUJA NA TAX, UTALIPA, KAMA HUWEZI BASI MIE SIWEZI PANDA DALADALA"

$
0
0
''Baby,kama huwezi kuja kunichukua nakuja na taxi utalipa,kama hutaki basi,mi siwezi kupanda Daladala Iam a DIVA''
''Okay Baby,gari haina mafuta na sina hela ya taxi,kama huwezi kupanda daladala basi,I am a VADI''
Hivi kuwa Diva ndo hupandi Daladala??BAbako mwenyewe anafanya Shirika la Reli anagombania gari za Tandika deile,eti we mwanawe Diva,Diva my beuatiful legs!

NIMESHINDWA KUELEWA HAWA WANAFANYA NINI

$
0
0
Nimeshindwa kuelewa, hivi hawa wanafanya nini??? Au Wanacheza Ngololo ama Skelewuu....Embu Mdau tusaidiane....

HUYU NDIO MSHIKAJI ANAYE LIFAIDI PENZI LA NICK MINAJ

$
0
0


American rapper Nicki Minaj and her boyfriend Sfree Samuels have been in a relationship for the past 10 years. The boyfriend actually has two tattoos of her face across his chest.
These love birds spend their anniversary in Mexico with matching diamond rings sparking speculations that they secretly got married.
Despite all the fame, she has stick with her old boyfriend.

EMBU MPE ZA USO HILI NJEMBA...NIMESHINDWA KUMWELEWA

$
0
0
Huyu Nadhani atakuwa na Akili za matope ....Mtoto anang'atwa na mbu yeye kajisokomeza kwenye net ya mtoto....mmhh Kubwa jinga....Kamtangazeni..

MZUNGU KICHAA AKANUSHA KUWA NA UHUSIANO WA KIMAPENZI NA SALAMA JABIR

$
0
0
Msanii wa Denmark aliyeishi Tanzania muda mrefu, maarufu kama Mzungu Kichaa amezungumzia uvumi uliowahi kusambaa kuwa ana uhusiano wa kimapenzi na mtangazaji wa kipindi cha ‘Mkasi’, Salama Jabir.

Mzungu Kichaa amekanusha uvumi huo na kusema hajawahi kuwa na uhusiano wa kimapenzi na Salama. “Sio kweli mimi si-date na Salama Jabir” Alisema alipohojiwa na katika kipindi cha TV cha Sporah, “tulifanya kazi pamoja kama majaji katika kipindi cha TV (BSS), so kuna vitu vingi ambavyo tunafanana pia alisoma UK na ni mtu mzuri, so ni marafiki tu kulikuwa na uvumi ulisambaa kwenye media”.

alama Jabir Pamoja na kuwa hakuna ukweli wowote juu ya swala hilo lakini Mzungu Kichaa amedai kuwa kuna mtu aliwahi kumuuliza kama ana uhusiano na Salama na alimjibu ndio lakini hakumaanisha.

Mzungu Kichaa katika Sporah show “kuna mtu aliniuliza nikiwa uwanja wa ndege, Mzungu Kichaa ni kweli una uhusiano nae, ilinibidi niseme ndio kwasababu nilikuwa nacheka sababu ilikuwa ni idea ya kuchekesha kwamba Mzungu Kichaa ana uhusiano na Salama.” Alisema Mzungu Kichaa. Akiuzungumzia uhusiano wake na Salama amesema, “Sisi sio best friends so sio kwamba tunatoka sana pamoja, ninayo namba yake, na yeye lazima atakuwa nayo ya kwangu lakini hatutumiani ujumbe kila wakati.” Katika hali ya utani mzungu Kichaa alisema: “People thought it was really funny and they got excited about it because imagine if these two, the crazy white man and the crazy Salama, coz Salama is crazy imagine if those two have children how crazy they will be.” Aliongeza kuwa baada ya kusikia kinachozungumzwa mitaani aliwasiliana na Salama kumjulisha, “Nilimtumia barua pepe kumwambia kile kinachosemwa na watu ili asije kushtuka akija kusikia”. CREDIT : BONGO5

NI ZAIDI YA LAANA!! MWANAUME AFUMWA AKIMRA URODA MBWA WA JIKE

$
0
0
KATIKA hali ambayo ni ya kushangaza, mkazi wa Kata ya Majengo Manispaa ya Moshi mkoani Kilimanjaro, anadaiwa kukutwa akifanya ngono na mbwa.


Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Kilimanjaro, Robert Boaz, alitaja jina la mtu huyo (jina tunalihifadhi), akisema anadaiwa kukutwa akifanya kitendo hicho usiku wa kuamkia jana kwenye chumba chake.
Kamanda Boaz alisema majirani zake, ndiyo walishuhudia na kutoa taarifa polisi. Mtuhumiwa anadaiwa kukimbia kusikojulikana.
Mbwa huyo anamilikiwa na mtoto wa mtuhumiwa. Kwa mujibu wa kamanda, mtuhumiwa ana familia ya wake watatu.
Polisi inamtafuta mbwa husika kumfanyia uchunguzi.


Akizungumza nasi , Daktari wa Hosptali ya Rufaa ya KCMC, alisema mtu anayefanya kitendo hicho na mnyama, anahitajika kufanyiwa vipimo, kubaini kama yuko sawa.
"Kwa kawaida sio jambo la kawaida, anaweza kuathirika kisaikolojia na jamii kumchukulia mtu wa tofauti kama amelaaniwa au ni kichaa, pengine anahitajika kufanyiwa vipimo kuonekana kama yupo sawa," alisema.

TANZANIA GRABS CHANCE AFTER KENYA TERROR DENT.."NOW ITS A SAFER DESTINATION"

$
0
0
Tanzania grabs chance after Kenya terror dent

In Summary

Tanzania has however grabbed the chance, marketing itself in its neighbour’s strongholds as a safer destination.
The officials are worried that the decline this year might be bigger in percentage terms compared with the 2012 figures if the challenges facing the sector are not addressed soon.

Kenya’s economy is headed for tough times as tourism, a major source of foreign exchange, faces a poor first half of the year, denting the country’s hopes of a six per cent economic growth target.

Tanzania has however grabbed the chance, marketing itself in its neighbour’s strongholds as a safer destination.

Insiders say figures being compiled by the Kenya Tourist Board (KTB) for 2013 and expected to be released in the coming months “do not look good”.


They say the sector registered a poor performance in the second half of last year compared with the first owing to fears over the general election and rising insecurity. The trend would appear to have spilled over to this year.

The officials are worried that the decline this year might be bigger in percentage terms compared with the 2012 figures if the challenges facing the sector are not addressed soon.


Data from the Kenya National Bureau of Statistics (KNBS) show the number of tourist arrivals in 2012 declined by 2.3 per cent to 1.23 million from 1.26 million the previous year.


In 2012, the sector raked in $1.11 billion, a two per cent decline from the $1.12 billion the previous year. The officials expect a reduction in earnings for 2013.


That will complicate the government’s efforts to meet its rising recurrent and development expenditure as the national debt rose to Ksh1.95 trillion ($22.5 billion) as at last July.


The International Monetary Fund has advised the government to go slow on borrowing, warning that it will not only destabilise the economy but also weaken the country’s international status as an investment destination.


The taxman is eyeing Ksh920 billion ($10.6 million) in the current financial year (2013/2014) and, as at January, Ksh427.1 billion ($4.9 million), or 53 per cent of the target, was in the bag


READ: Kenya's Treasury targets income tax, exemptions to fund deficit


Tourism is one of the flagship sectors in the Vision 2030 blueprint which aims to transform Kenya to a middle-income economy in the next 16 years.


But the sector has seen tough times since the Kenyan military took the war on terror to the Al-Shabaab’s doorstep in Somalia. The militants have upped revenge attacks in areas frequented by tourists in Kenya, denting the country’s image as an international tourist destination.


“Attacks in Mombasa will, of course, have an impact on tourism given the coastal region is our tourism hot spot at the moment,” said Muriithi Ndegwa, the KTB managing director, following a gun attack on a church in the coastal city recently. “Although we are not in a position to quantify the cancellations by tourists, industry players have expressed fears of a possible drop in visitors.”


The Likoni attack came days after security officers in Mombasa seized a vehicle laden with explosives capable of bringing down a skyscraper.


The terror attack on Westgate Mall in the capital Nairobi last year, broadcast by international media, portrayed Kenya as an unsafe destination, according to government officials and investors.


Targeted more visitors

The government had targeted higher visitor numbers of about two million this year and a rise in revenue but it now concedes difficulties in achieving the target at it grapples with rising insecurity in tourism attractions, mainly in the Coast and Nairobi.


The protected areas have also recorded a rise in poaching cases, mainly of two of the “Big Five,” elephants and rhinos.


“The insecurity incidents will negatively affect tourism performance as tourists perceive Kenya as an unsafe destination,” said Tourism Cabinet Secretary Phyllis Kandie. “We are carrying out a global campaign to keep the image positive.”


Investors are already calling for a review of the targets so as to present a realistic picture.


“The results this year might be worse than in 2013, even though we cannot say last year was any better,” said Kenya Association of Hotelkeepers and Caterers (KAHC) national chairman, Jaideep Vohra.


International arrivals for the first half of 2013 by air and sea closed at 495,978 compared with 564,261 in the same period in 2012, a 12.1 per cent decline. Jomo Kenyatta International Airport (JKIA) received 409,130 visitors, a 13.5 per cent decline from 473,231 in 2012, as Mombasa’s Moi International Airport received 86,530 visitors, 4.9 per cent down from 91,030 in 2012.


The only cruise ship last year docked in January with a paltry 318 visitors, compared with 1,057 just a month earlier.

The Kenyan coast commands more than 60 per cent of the tourism sector with over 300 hotels, which have 30,000 beds, but some hotels have begun laying off casual workers and are warning permanent workers they might be next.


A spot check by The EastAfrican established that hotels across the coastal strip are operating at an average occupancy of 20 to 40 per cent, compared with 70 and 80 per cent in the same period last year.


According to Mr Vohra, the sector has lost millions of shillings worth of business at the Coast this year after tourist bookings and international conferences were cancelled due to security concerns. Some of the business was diverted to Tanzania, which is gaining in both beach tourism and safaris.


KAHC says Zanzibar has become Kenya’s main competitor in beach tourism due to its quality beaches and hotels and it is also viewed as safer than Mombasa. Tanzania is also selling itself as a safer safari destination compared with its neighbour.


Kenya Association of Tour Operators (KATO) official Monika Solanki said the doubling of park fees by the Kenya Wildlife Service (KWS) had scared away potential international tourists into Tanzania.


— By Mathias Ringa, Scola Kamau and Adam Ihucha

MY TAKE
The good performance on tourism in Tanzania has been on the rise even before KDF went to Somalia! It is demeaning to see the success story of Tanzania´s tourism is pegged on Kenya´s demise attributed to insecurity issues and not the smart moves by Tanzania´s tourism stakeholders! As a matter of fact Tanzania´s tourism product can never be compared to Kenya´s a reson why Kenyans keep crying a river for Bolongoja gate reopening and direct and free access to Tanzania´s parks.


Tanzania grabs chance after Kenya terror dent - News - www.theeastafrican.co.ke

YANGA YAFANYA MAUAJI UWANJA WA TAIFA

$
0
0
TIMU ya Yanga imefanya mauaji baada ya kuishushia kipondo cha bao 5-1 timu ya JKT Ruvu katika mechi ya Ligi Kuu ya Tanzania Bara iliyochezwa Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam hivi punde. Mabao ya Yanga yamewekwa kimiani na Mrisho Ngassa aliyefunga matatu 'hat trick' dakika ya 8, 15 na 49 wakati mengine yakifungwa na Didier Kavumbagu dakika ya 39 na Hussein Javu dakika ya 52 ya mchezo. Bao pekee la JKT Ruvu limewekwa kimiani na Idd Mbaga dakika ya 84.

MAUZAUZA IRINGA: CHUNGU CHA AJABU CHAIBUKA JUU YA KABURI KIKITOKA DAMU

$
0
0

MAUZAUZA yametokea katika kaburi  la mtoto Agnes Mlawa (8) mkazi  wa Ilala  katika Manispaa ya  Iringa aliyezikwa mwaka  jana baada ya baba  wa  mtoto  huyo kukuta chungu cha ajabu chenye damu, maini na kichwa cha ndege kaburini hapo.

Tukio  hilo la aina  yake  limetokea leo majira ya saa mbili asubuhi  katika makaburi ya Makanyagio mjini Iringa wakati  baba mzazi wa mtoto  huyo Bw. Mlawa akichembua kaburi  hilo na mara  baada ya  kumaliza ghafla alishuhudia tukio hilo la chungu cha ajabu kuibuga juu ya kaburi hilo.

"Mimi nilikuja hapa kusembua kaburi la mwanangu ila baada ya kumaliza ghafla nilikuta kama damu  zinaruka juu kutoka kaburini na baada ya kuchunguza ndipo nilipoona chungu hicho kikiibuka juu ya kaburi "

Alisema  kuwa chungu  hicho kilikuwa  kimefunikwa na kitambaa cheusi juu ambacho kililowa dawa na kufungwa kamba ya nguo ya kijani na kutokana na  tukio hilo la ajabu alilazimika  kuacha jembe  juu ya kaburi na kukimbia  kuita watu wanaopita barabarani  ili kuomba msaada.

Mzazi huyo anadai kuwa  mazingira ya kifo cha mtoto wake yalikuwa ni ya kushangaza  baada ya  kuugua kwa  muda wa siku nne pekee na kufariki dunia.

Hata  hivyo alisema  kwa  kuwa kwa upande wake haamini mambo ya kishirikiana hakuona sababu ya  kumwita mganga wa kienyeji kwa ajili ya kushughulikia zoezi la kuchoma chungu hicho na badala  yake  kuamua kuifanya kazi hiyo mwenyewe hasa akiamini katika nguvu ya Mungu.

"Napenda kuwashukuru wananchi waliofika hapa kwa kunitia  nguvu na  pia kuwashukuru madereva  bodaboda akiwemo kijana Ahmed kwa kujitolea mafuta ya petroli kwa ajili ya kukichoma chungu hiki "

Mbali ya mzazi huyo kujitolea kuchoma chungu hicho na kuteketeza vitu vilivyokuwemo ndani, wananchi  waliofika kushuhudia tukio hilo walilazimika kutimua mbio wakihofia zoezi hilo la uchomaji wa chugu.

TIMU YA WATOTO YA TANZANIA IMEINGIA FAINAL KOMBE LA DUNIA LA WATOTO WA MITAANI

$
0
0
Timu ya Taifa ya Watoto wa Mitaani ya Tanzania imefanikiwa kuingia fainali za mashindano ya Kombe la Dunia la Watoto wa Mitaani baada ya kuifunga Marekani goli  6-1 katika mchezo wa kwanza wa nusu fainali uliochezwa jana (Aprili 5 mwaka huu) jijini Rio de Janeiro Brazil.
Mpaka timu zinaenda mapumziko Tanzania ilikuwa mbele kwa goli 4-0,goli pekee la Marekani katika mchezo huo ambayo hadi nusu fainali ilikuwa haijafungwa lilifungwa dakika za mwisho za mchezo huo.
Kwa matokeo haya Tanzania inacheza nusu fainali na Burundi,Mechi hiyo inachezwa leo (Aprili 6 mwaka huu) ambapo Burundi imetinga hatua hiyo baada ya kuifunga Pakistan goli 4-3 katika nusu fainali ya pili.
Mchezo huo wa fainali unachezwa uwanja mkongwe na maarufu wa klabu ya Fluminense katikati ya Jiji la Rio de Janeiro huku mgeni rasmi  akiwa Waziri wa Fedha wa Uingereza George Osborne.
Katika mechi ya kwanza katika kundi B la michuano hiyo,Tanzania ilicheza na Burundi na kutoka sare ya mabao 2-2.

MTU WA AJABU ANAYEKULA MAWE NA MATOFALI KAMA MLO WAKE WA KILA SIKU

$
0
0

Mama yake  huwa anamuandalia kuku kama chakula cha siku lakini anakataa na kutaka apewe vipande vya matofali.
Kwa siku moja anakula vipande kadhaa vya matofali ambapo kwa makadirio huwa anakula kilo 3 kila siku.
Fundi huyo wa kujenga nyumba Pakkirappa Hunagundi anasema kwamba ameanza kula vitu kama hivyo tangu akiwa na miaka 10 na anaweza kukosa chakula lakini hawezi kukosa kula vipande vya matofali.
Akiwa anapata chakula chake hicho akipendacho(matofali) huwa anahitaji kikombe cha maji tu ili kushushia na mwenyewe anasisitiza kwamba hajisikii tofauti kabisa.
Mkazi huyo wa kijiji cha Karnataka nchini India anasema anataka kuzunguka India nzima akionyesha watu uwezo wake huo na kujipatia pesa kwa kuonyesha maajabu hayo.
Angalia hii video uone jinsi jamaa anavyomega matofali:



NILITAKA ANIGONGE TU KISHA ASEPE ZAKE...ILA KANING'ANG'ANIA..MWEE

$
0
0
Hi guys,i got a situation here...
Ila i must say,am not a believer of TRUE LOVE and stuff like that (i used to believe zamani,nkaona ujinga)...
There's this guy i had quite a 'good chemistry' with,and *we did it* a few times,mana i couldn't take the physical tension anymore...ila me nilifanya PURELY FOR FUN,nothing serious...mana the moment i take it seriously am the one getting played na sipendi ijirudie tenaaa...
For some reason now naishi mbali na mhusika na me maisha yangu yako soo okay hata bila yeye...ishu ni kwamba ananiambia habari za kunipenda mimi (alikuwa anasema toka zamani,nkamuambia bora aache mana uongo sipendi,we js hv a good time baas)...
Oh mara nakupenda tangu siku nyingi,oh i want to see u,oh i want to make it right,oh nikija Dar let's what what.....ilimradi tu anasema nnayoyaona usumbufu,mana i have moved on...
My question,kuna chochote hapo au wizi mtupu,,,and mshawahi kutwa na situation kama hii,ulifanyaje au utafanyaje??...
Nawasilisha kama mmenielewa

WE..MWANAUME FANYA HAYA KAMA UNATAKA KUEPUKA KUCHUNWA NA MADEMU

$
0
0
Naongea na wale ambao tayari wamesha jitegemea kimaisha, ambao hawaishi na wazazi wao, wanaokumbana na mkono wa Mama/Baba mwenye nyumba kila baada ya miezi sita mitatu au mwaka..
Wanaoishi ki-bachelor lakini wana wapenzi.
Katika hii movie ya ki-bachelor tunakumbana na mengi sana,,kuna wanaogeuza ma girl friend zao kuwafanya kama mke,,tabia ya aina hii imepelekea na wao kugeuzwa kama waume,,hapa unakuta kila kitu girlfriend anakutegemea wewe akipata kashida kidogo ooohh baby nataka hela..

Mazingira ya kuchunwa tunayatengeneza wenyewe usianze kumhisi binti wawatu ni mchwa,,jichunguze kwanza na wewe kinachofanya akunyoshee mkono.
Ukiweza kuyamudu mambo yaha hakika hautayachukia maisha ya ki-bachelor na kumgeuza girl friend kuwa mke, na yeye pia atashindwa kupata ujasiri wa kukutegemea kiasi fulani labda tu kama nitabia yake..

1. Kujipikia
2. Kufua
3. Usafi wa vyombo.
4. Usafi wa chumba.


Ukiweza kukabiliana na hayo pasipo kutegemea msaada kutoka kwa girl wako utayafurahia sana maisha ya ki-bachelor,,na swala la kuoa kwako utaliamua kwa wakati muafaka, ila sio kwa kuwa unahitaji msaidizi.

Ebu fikiria labda girlfriend wako anakuja kukusalimia siku ya mapumziko, anakuta chumba chako umesafisha vizuri vyombo viko katika mpangilio mzuri,,umefua nguo zako na mashuka,,huku na huku haujachoka kuna akiba ya mchele,,unawasha kajiko kako unapikia wali na unaandaa mboga yani kila kitu unaweka sawa kisha unapakua kwenye hotpot yako, basi akija mnakula kama atapenda,,baada ya chakula mnaendelea na mambo yenu,,kusanya vyombo vyako akiondoka unaviosha.

Kumbuka kufanya hivyo hakuondoi uanaume wako,,jifunze kudhamini vitu vyako girlfriend hajawahi kukununua hata kijiko vyote umenunua kwa pesa yako,,ulio itolea jasho kwa kugombania daladala asubuhi uwahi kazini.

Hapo unajaribu kutengeneza mazingira ya kumfanya asijihisi unamtegemea sana zaidi ya kitu kimoja tu nadhani unakijua kwa wale mabachelor ambao mnamiliki kiwanja cha fundi selemara chumbani kwako.

Kama bachelor mwenye akili zako timamu lazima uishi kwa malengo ukijua kesho na wewe utakuwa na familia itaishi vipi kama ukiendekeza kuhonga katika ubachelor wako.

Ishi na mwanamke kwa kanuni kama unavyo fanya hesabu,,baada ya hayo kinachofuatia hakikisha unatumia kiasi kidogo sana cha pesa kumnunulia vitu vidogo vidogo ambavyo havina gharama,,ili mkusahaulisha kiasi fulani auone uwepo wako.

Ila kama wewe sio muoga kama mimi basi unamkazia kabisa,,maana demu nae akishajua unapenda pochi manyoya yake basi atakubabaishia,,,usiwe mtumwa wa pochi manyoya.

Kwa style hiyo binti unasababu ya kumtegemea boy wako???

Na wewe bachelor mwenzangu hapo bado unayo sababu ya kugeuzwa kitega uchumi?????


Haya karibuni kwa michango yenu.........

CCM KUPITIA KWA MGOMBEA WAKE RIDHIWANI YASHINDA KWA KISHINDO

$
0
0
Imekuwa ni furaha kubwa kwa wana ccm pande zote za tz kwa kuwabwaga chadema vibaya bila kuwaonea huruma even if walianza kutapatapa kwa kusema hawakutaka kushinda nia ilikua ni kukitangaza chama pwani shiiiiiiiiiiiit!!!!!!!!! 
Unafunga banda farasi kashatoka? ni kichapo tu mwaka huu mtamkumbuka zitto mwaka huu
CCM oyeeeeeeeeeeeeeeeeeee!!!!!!!!! !!!!

MILIONI 13 ZAZUSHA TIMBWILI LA HATARII,WEMA NA KAJALA NGUMI NONDO NJE NJE WAPAMBE WAO WAINGILIA KATI.

$
0
0
Stori: Imelda Mtema na Musa Mateja

NI shida! Zile shilingi milioni 13 alizotoa Wema Isaac Sepetu kumlipia msanii maarufu wa sinema Bongo, Kajala Masanja asitupwe gerezani, bado ni tatizo ikidaiwa kuwa sasa ngumi nje nje.
JINA LA MILIONI 13 ZA WEMA
Kwa muda mrefu sasa, Kajala amekuwa akitukanwa kwenye mitandao ya kijamii hasa matusi ambayo hayaandikiki huku akipachikwa jina la ‘Milioni 13 za Wema’ na kuahidiwa kichapo.
Kwa mujibu wa watu wa karibu wa Kajala, staa huyo hana raha wala furaha kwani ishu hiyo inamtesa kila kukicha.

Ilidaiwa kwamba Kajala ana mtoto mkubwa aitwaye Paula aliyezaa na prodyuza wa Bongo Records, Paul Matthysse ‘P Funk’ ambaye anajua kuingia kwenye mitandao hiyo hivyo kufedheheshwa hasa anapokuta mama yake akiitwa fuska wakati yeye anamheshimu.

KUNDI LA TEAMWEMA
Ilisemekana kwamba Wema ana kundi linalojiita TeamWema ambalo memba wake wamekuwa wakianzisha mada mbaya kuhusu Kajala wakimhusisha na uporaji wa aliyekuwa bwana wa Wema, Clement au CK.

Ilifahamika kwamba shinikizo kubwa la kundi hilo la Wema ni kutaka Kajala arejeshe fedha hizo ndipo mambo yakae sawa.

“Anamdharau sana Madam (Wema) wakati ndiye aliyemnusuru, sasa hivi angekuwa jela. Kama ana fedha kama anavyotamba basi arudishe milioni kumi na tatu twende sawa,” ilisomeka sehemu ya maoni ya TeamWema kwenye ukurasa wao wa kijamii wa Instagram.

Kuna madai kwamba kumekuwa na mtafutano kati ya kundi la Wema na lingine jipya linalodaiwa ni la Kajala.

TIMBWILI KLABU
Kwa mujibu wa shushushu wetu ndani ya Ukumbi wa Maisha uliopo Masaki, Dar, wiki iliyopita, usiku wa manane, wawili hao walikutana ndipo kukatokea timbwili huku jina la Milioni 13 za Wema likiendelea kutajwa mara tu Kajala alipoonekana ukumbini hapo.

Habari zilidai kuwa wawili hao walianza kwa kushindana kumtuza Snura Mushi aliyekuwa akifanya shoo jukwaani ndipo wapambe wao wakaingilia kati na ‘kuinunua kesi’.
Ikadadavuliwa kuwa tukio hilo lilichochea kundi la Wema kuanza vurugu huku lile la Kajala nalo likijibu mapigo.

KAJALA NDUKI
Hata hivyo, ilisemekana kwamba baada ya Kajala kuona hali inazidi kuwa mbaya alitumia busara kwa kutoka nduki lakini kundi hilo la Wema lilizidi kumfuata hadi kwenye gari lake wakitaka kumdhuru.
“Kuna watu walimfuata kabisa hadi kwenye gari na wengine walikuwa wanatafuta mawe walipopoe gari lake lakini Mungu mkubwa hawakufanikiwa,” alisema shuhuda wetu.

BOFYA HAPA KUMSIKIA KAJALA
Baada ya kunyaka habari hiyo, gazeti hili lilimtafuta Kajala ambaye alidai kuwa yeye hakushuhudia tukio hilo lakini akakiri kuwa hana uhusiano mzuri na Wema.
“Mimi kwa upande wangu sina tatizo na Wema lakini natukanwa sana bila sababu. Sijui nimemfanyia nini kibaya.

“Narudia tena sina tatizo na Wema halafu siyo yeye anayenitukana au kunisakama, ni kundi linalojiita TeamWema. Sina uhakika kama yeye ndiye anawatuma.

“Kuhusu milioni 13, sasa nitazirudishaje wakati hakunikopesha, alinilipia bure? Hata sijui kama nikizirudisha nitakuwa sahihi? Sielewi lakini kama ni matusi, kweli natukanwa sana hadi mwanangu anaona ninavyoitwa malaya,” alisema Kajala kwa uchungu.

Alipoulizwa kama yupo tayari kupatanishwa na Wema, Kajala alisema yeye hana kipingamizi kwani yupo tayari wakati wowote ili aishi kwa amani.
Gpl

HENRY KILEWO AFYATUKA"RIDHIWANI HATA KAMA BABA YAKO NI RAIS HUWEZI KUKOSA ADABU KIASI HIKI"

$
0
0
Riziwani hata kama Baba yako ni Rais huwezi kukosa Adabu kiasi hiki na kufikia hatua ya kumtukana na kumdhalilisha Mzee Warioba kiasi hiki... Tunakuhakikishia Heshima ya Mzee warioba haiwezi kuvunjwa na wauza sembe milele.... Warioba anaona mbali sana kuliko wewe na kizazi chako kwa miaka 50 ijayo au zaidi... Fuatilia hapo chini.

By Henry Kilewo
Viewing all 104684 articles
Browse latest View live




Latest Images