Quantcast
Channel: UDAKU SPECIAL
Viewing all 104709 articles
Browse latest View live

SABABU za Wanawake Kulia Baada ya Kufanya Mapenzi!

$
0
0
Kulia baada ya kushiriki ngono au kufanya mapenzi ni kawaida na hushuhudiwa sana kwa wanawake, ijapokuwa imesemekana kuwa wanaume hulia pia.

Kulingana na wataalam, kuna sababu kadhaa ambazo humfanya mwanamke kulia au kujawa na huzuni baada ya kushiriki ngono, na mojawapo ya sababu hizo ni homoni ambazo mwili wa binadamu hutoa wakati huo.

Umewahi kushiriki mapenzi na kugundua kuwa mpenzi wako amelia tu, baada ya kipindi kirefu cha kufurahisha?

Kulingana na wanasayansi, ni kawaida.

Utafiti mwingine umeonyesha kuwa kati ya asilimia saba nukta saba na asilimia thelathini na mbili nukta tisa ya wanawake wamewahi kulia baada ya kushiriki mapenzi.

Mara kwa mara, wanaume hulia pia.

Sababu za wanawake kulia baada ya kufanya mapenzi!

Mtaalam mmoja ameieleza hali hiyo kama 'hali ambayo mwanamke hushindwa kujidhibiti na kulia bila sababu, hasa baada ya kupandwa na raha ya kujamiana, au kufika katika upeo wa raha ya kujamiana (orgasm.)


Umewahi kudhani kuwa 'ustadi' wako ndio uliosababisha kulia kwa mwanamke baada ya kushiriki ngono? Pole sana!

Hata hivyo, mtaalam mwingine amesema kuwa ukweli wa mambo na mawazo yanayokuja punde baada ya kushiriki ngono kama woga, huweza kumfanya mwanamke kulia, ijapokuwa amesisitiza kuwa kulia kwa mwanamke baada ya kushiriki mapenzi ni kawaida!

HASARA 5 za Ushauri wa Rafiki Kimapenzi

$
0
0
Watu wengi wamekuwa wepesi sana kukimbilia kwa rafiki zao ili kuomba msaada wa mawazo ya nini wafanye kwenye mapenzi. Imani iliyojengeka kwa watu wengi katika jamii yetu ni kuwa ushauri ni kitu muhimu sana kwa kila hatua.

Kwa mtazamo wa haraka haraka unaweza kuishia kwenye ukomo huo wa fikra na kuamini juu ya ushauri wa mtu kukufikisha mahali sahihi kwenye mapenzi. Unapokerwa na mpenzi unakimbilia kushauriwa na wakati mwingine hata unapotaka kuoa au kuachana na umpendaye, unamuomba rafiki yako ushauri.
Je, umeshawhi kufikiria hasara za kuomba ushauri wa kimapenzi kwa rafiki yako? Hebu ungana nami wiki hii ili nikumegee kidogo hasara za ushauri.

UTAKUPOTOSHA

Ni wazi kwamba kipimo cha uelewa kinatofautiana kutoka kwa mtu mmoja hadi mwingine. Ifahamike kuwa, uhodari wa mambo nao hutofautiana, mtu anaweza kuwa mahiri katika siasa na akaaminika kwenye jamii, lakini ukimpelekea suala la mapenzi anakuwa hajui kitu, hivyo ni rahisi kukupotosha.

Uchunguzi unaonyesha kuwa, wapenzi wengi sana hupotoshwa na rafiki zao wasiokuwa na uelewa wa kutosha juu ya tatizo au suala husika la kimapenzi. Ni vema kuwa makini unaposhauriwa.


UTARAHISISHA MAMBO

Mara nyingi washauri huwa si wao wanaokabiliana na mambo, hivyo ni rahisi kwao kupima vitu kwa juu juu tu na kushauri kirahisi rahisi. “Vipi kakupiga namna hii, aaa huyu si mwanaume kwa kweli ni bora ukaachana naye.” Anasema ni bora kuachana naye kwa sababu haumizwi na kuachana, unayeachana ni wewe anayekushauri.

“Mkubali tu bwana unalaza damu, hiyo tabia yake ya uhuni atabadilika, shosti unataka kuacha bahati ipite?” Kwa mshauri ni rahisi kusema hivyo lakini kumbuka ukubwa wa tatizo hatimaye utakabiliana nao wewe. Hii ina maana kwamba, unapofikiria kuhusu ushauri ufikirie pia kuhusu kushauriwa jambo kirahisi, ukiuvaa mkenge mwenye kuumia utakuwa ni wewe.

UTAKUGEUZA

Ulimwenguni kuna aina zaidi ya 1000 za mapenzi na kila mmoja anatajwa kupenda kwa staili zake. Mapenzi ni kama chembe hai nyekundu zilizopo kwenye damu ya mwanadamu ambazo zinaelezwa na wataalamu kuwa hazifanani hata kidogo. Uzoefu unaonyesha kuwa, washauri wengi hushauri kwa uzoefu wao, lakini je ni sahihi uzoefu huo uwe msaada kwa mtu mwingine?

Jibu ni hapana, kinachotokea mara nyingi kwenye ushauri ni mtu kumfanya mwenzake awe kama yeye alivyo, yaani apuuze aamue na apende kama staili yake, jambo ambalo haliwezekani kabisa kwenye mapenzi. Vipi Juma ageuke ghafla awe kama Hassan kwenye suala la mapenzi? Ushauri ni muhimu lakini upime kama unalingana na matakwa yako.

UTAKUONDOLEA UJASIRI

“Kwa maelezo hayo mumeo ni malaya sana, naona itakuwa vigumu kumbadilisha, ni bora ukaanza maisha yako kwa sababu kuna siku hali itakuwa mbaya.”
Huu ni ushauri ambao unaweza kumuondolea mtu ujasiri wa kukabiliana na tabia ya mumewe hadi kufikia hatua ya kumsaidia akaachana na tabia zake mbaya.

Ushauri huondoa ujasiri wa kukabili tatizo hasa pale anayekushauri atakapolipeleka suala lako kwenye njia ngumu isiyokuwa na ufumbuzi. Ikumbukwe kuwa anayeamini kushindwa ni mshauri lakini wewe kama mwanamke unaweza kusimama kutetea penzi lako na kuliweka sawa mpaka jamii ikasema: “Jamani huyu dada kamrekebisha kweli mumewe, hakuwa hivi alikuwa mlevi lakini sasa kaacha pombe.

UTAKUNYIMA FURSA

Kwenye mapenzi kuna fursa nyingi za mafanikio ambazo unaweza usizipate ukiwa mtu wa kusikiliza sana ushauri wa watu. Kuna wakati ambao unatakiwa usimame wewe kuamua kumpenda mtu ambaye jamii inaona kama utapotea.

Wala Kitimoto Tahadhari: Akutwa na Mnyoo Kwenye Ubongo Wakizani ni Kansa

$
0
0
Rosemary Alvarez alijikuta akiwa na maumivu ya kichwa na mkono kukosa nguvu. baada ya kufanyiwa scanning ikaoneka kama ni "brain tumor", pindi alipofanyiwa upasuaji alikutwa na "mnyoo (taenia solium)" akiwa hai unakula brain yake. Chanzo hasa cha mnyoo huo ni kula nyama ya nguruwe ambayo kitaalamu anaprotein nyingi kuliko mnyama yoyote na hivyo kuvutia parasite wengi kwa mnyama huyu . Je ni watanzania wangapi wanapata uangalizi wa kugundua afya zao na wanakula nyama hii kila siku tena inayofugwa katika mazingira si salama?. soma zaidi kwenye link hii

FULL STORY:

Late last summer, Rosemary Alvarez of Phoenix thought she had a brain tumor. But on the operating table her doctor discovered something even more unsightly -- a parasitic worm eating her brain.

Alvarez, 37, was first referred to the Barrow Neurological Institute at St. Joseph's Hospital and Medical Center in Phoenix with balance problems, difficulty swallowing and numbness in her left arm.

An MRI scan revealed a foreign growth at her brain stem that looked just like a brain tumor to Dr. Peter Nakaji, a neurosurgeon at the Barrow Neurological Institute.

"Ones like this that are down in the brain stem are hard to pick out," said Nakaji. "And she was deteriorating rather quickly, so she needed it out."

[​IMG]
Playnull

Yet at a key moment during the operation to remove the fingernail-sized tumor, Nakaji, instead, found a parasite living in her brain, a tapeworm called Taenia solium, to be precise.

"I was actually quite pleased," said Nakaji. "As neurosurgeons, we see a lot of bad things and have to deliver a lot of bad news."

When Alvarez awoke, she heard the good news that she was tumor-free and she would make a full recovery. But she also heard the disturbing news of how the worm got there in the first place.

Nakaji said someone, somewhere, had served her food that was tainted with the feces of a person infected with the pork tapeworm parasite.

"It wasn't that she had poor hygiene, she was just a victim," said Nakaji.

Pork Tapeworms a Small, But Growing Trend
"We've got a lot more of cases of this in the United States now," said Raymond Kuhn, professor of biology and an expert on parasites at Wake Forest University in Winston-Salem, N.C. "Upwards of 20 percent of neurology offices in California have seen it."

The pork tapeworm has plagued people for thousands of years. The parasite, known as cysticercosis, lives in pork tissue, and is likely the reason why Jewish and Muslim dietary laws ban pork.

Kuhn said whether you get a tapeworm in the intestine, or a worm burrowing into your brain can depend on how you consumed the parasite.

How Humans Get Worms

Eat the parasite in tainted meat and you'll end up eating the larvae, called cysts. Kuhn said in that case, a person can only end up with a tapeworm.

"You can eat cysts all day long and it won't get into your brain," said Kuhn. Instead, the larvae go through the stomach and mature in the intestine.

"When it gets down into their small intestine, it latches on, and then it starts growing like an alien," said Kuhn.

Once there, the tapeworm starts feeding and gets to work. A single tapeworm will release 50,000 eggs a day, most of which usually end up in the toilet.

"They can see these little packets pass in their feces," said Kuhn. "And ... sometimes people eat the eggs from feces by accident."

Kuhn said it is then feces-tainted food, and not undercooked pork, that leads to worms burrowing into the brain.

Unlike the cysts, the eggs are able to pass from the stomach into the bloodstream. From there, the eggs may travel and lodge in various parts of the body -- including the muscle, the brain or under the skin -- before maturing into cysts themselves.

According to Kuhn, who has traveled to study this parasite, cysticercosis is a big problem in some parts of Latin America and Mexico where health codes are hard to enforce and people may frequently eat undercooked pork.

As people travel across the border with Mexico for vacation and work, Kuhn said so does the tapeworm. One person infected with a parasite, who also has bad hand washing habits, can infect many others with eggs.

"These eggs can live for three months in formaldehyde," said Kuhn. "You got to think, sometimes, a person is slapping lettuce on your sandwich with a few extra add-ons there."

Getitng the Worms Out

Dr. Christopher Madden, an assistant professor in the University of Texas Southwestern department of neurological surgery in Dallas, has operated on a number of these cysts himself. He said not every worm needs to be surgically removed; those whose location is not an immediate threat to the patient's health can be treated with medications that cause the worms to die.

But when the cysts are in problematic locations, as was the case for Alvarez, an operation is necessary. Fortunately, the long-term prognosis for most patients is positive.

"Most patients we see actually do very well with medicines and/or surgery to take out a large cyst," Madden said.

Alvarez is not alone in accidentally eating tainted food, but Nakaji rarely sees cases so severe that people require surgery. Nakaji said he only removed six or seven worms in neurosurgery this year.

"But lodging in the brain stem is bad luck," he said.

Nakaji said other parts of the brain have more "room" or tissue to expand around a growing cyst. However the brain stem, which is crucial to life, is only the width of a finger or two.

"She could have recovered," said Nakaji. "But if the compression lasted for long enough, she could have been left permanently disabled or dead."

Source: ABC News

JE DADA Unahitaji Kuwa na Makalio Mazuri na Rangi Nzuri na Mkaka Kuwa Handsome? African Beauty Inakuletea Dawa Hizi

$
0
0

AFRICAN BEAUTY EXPRESS PRODUCTS ,DAWA ZETU ZIMETHIBITISHWA KIAFYA.
je Dada unahitaji Kuwa Mrembo? na kaka unahitaji Kuwa mtanashati?African beauty imewaletea products nyingi sana zenye ubora WA hali ya juu,hazina madhara wala kemikali,zinamatokeo ya haraka ndani ya wiki mbili tu,products hizi niuhakika sana% tunazo za
(1)kuongeza hipsi,MAKALIO,na mapaja @100000
(2)kunenepesha MIGUU na Kuwa soft(chupa ya Bia)@100000/=
(3)Kupunguza Kitambi(slimming)@100000/=
(4)Kupungua MWILI MZIMA(weight loose)@130000/=
(5)Kuwa Mweupe MWILI MZIMA (njano)@100000/=
(6)kunenepa MWILI mzima@90000/=
(7)Kupunguza MATITI na kuyasimamisha@80000/=
(8)kuongeza matiti@80000
(9)kurefusha NYWELE na kuzuia kukatika@80000/=
(10)kuondoa CHUNUSI,MADOA na makovu@80000/=
(11)kuondoa Michirizi ya uzazi na cream@80000/=
(12)kurefusha na kunenepesha uume kwa size uipendayo@100000/=
(13)kuongeza NGUVU za kiume@100000/=
Ndugu MTEJA bidhaa za African beauty in uhakika sana,ukitumia dose moja hauwezi kurudi tena,MTEJA atakapo nunua bidhaa kwetu ni lazima afuate dose ili aweze kuona matokeo mazuri,MTEJA nilazima afuate maelekezo ya wahusika WA kampuni,MTEJA kama Yupo bize na kazi zake anaweza kupelekewa Huduma Mpaka alipo,kwa Wateja WA mikoani Huduma utatumiwa kwa mabasi kiofisi zaidi,kama MTEJA hayupo bize na kazi anaweza kufika ofisini kwetu zilizopo kariakoo,mnazi mmoja,na Mlimani city kwa maelezo zaidi piga sim(+255)-0756697906,0716805391,0783300397 Whatsapp namba 0756697906 Facebook page AFRICAN BEAUTY unaweza kunifollow instagran
👇👇👇👇👇👇👇👇👇👇👇👇👇
@AFRIC_IS_BEAUTY
@AFRIC_IS_BEAUTY


UJI wa Chuma Uliokuwa Ukichemka Waunguza Wafanyakazi Wanne Arusha

$
0
0

WAFANYAKAZI wanane wa kiwanda cha nondo cha Bansal kilichopo Kisongo wilayani Arumeru, Arusha, wameungua sehemu mbalimbali za miili yao baada ya uji wa chuma uliokuwa ukichemka kuwarukia.

Tukio hilo lilitokea jana kiwandani hapo na kuwasababishia wafanyakazi hao majeraha sehemu mbalimbali za miili yao ambapo walikimbizwa Hospitali ya Selian iliyopo jijini hapa.

Akizungumza jana hospitalini hapo, daktari aliyewahudumia wagonjwa hao, Rose Kaaya alisema aliwapokea majeruhi hao majira ya asubuhi kuanzia saa tatu ambao wameumia sehemu mbalimbali za miili yao huku wengine wakishonwa nyuzi kadhaa kwa sababu ya kuchanwa na vyuma wakati wakikimbia kujiokoa.

Dk Kaaya aliwataja majeruhi hao kuwa ni Hassan Guni (27), Christopher Semkiwa (24), Fred Sungi (21), Andrew Kihundwa (26), Calvin Langu (19), Simon Mkumbo (34), Simon Njuguna (25) na Tilak Tiwakraj (34), Mtanzania mwenye asili ya Asia.

Alisema majeruhi hao walipokewa hospitalini hapo na kutibiwa majeraha yao mbalimbali waliyoyapata kutokana na uji wa moto huo. Aliongeza kuwa, wameumia sehemu mbalimbali ikiwa ni pamoja na nyuma ya shingo, mikononi na sehemu nyingine za miili yao.

Alisema majeruhi hao walitibiwa na kuruhusiwa kurudi nyumbani kisha kushauriwa kurudi leo hospitalini hapo kwa ajili ya kuangaliwa kwa ukaribu maendeleo ya vidonda vyao.

Mmoja wa majeruhi hao, Njuguna alisema awali asubuhi waliingia kazini kama kawaida, lakini baada ya muda waliona uji wa moto ukiruka na kuanza kuwaunguza kisha wao kukimbia ili kujiokoa.

“Hatujui chanzo cha kuruka kwa moto huu ila tumeungua sehemu mbalimbali za miili yetu na tunashukuru tumepata huduma za matibabu ila tumeungua,” alieleza.

PICHA: Machinga Waanza Kurudisha Vibanda Vyao Makoroboi Mwanza

$
0
0

Jana Rais wa Tanzania John Pombe Magufuli alitoa agizo kwa watendaji wa Mkoa wa Mwanza kusitisha mara moja zoezi la kuwaondoa wafanyabiashara wadogo Machinga katikati ya mji.


 Baada ya agizo la Rais tayari kwenye eneo la Makoroboi Mwanza machinga wameanza ujenzi wa vibanda kwenye maeneo yao ya biashara

TAARIFA Kuhusu Habari Zilizoenea Kuwa Mgogoro wa Mpaka Kati ya Tanzania na Malawi Umerudi Tena

$
0
0

Wizara ya Mambo ya Nje na Ushrikiano wa Afrika Mashariki inapenda kufafanua na kuweka sawa taarifa zilizoandikwa kwenye baadhi ya Magazeti ya tarehe 07 Desemba, 2016 kuwa mgogoro wa mpaka kati ya Tanzania na Malawi kwenye Ziwa Nyasa unakaribia kuiva na kwamba Mgogoro huo unatarajiwa kumalizwa na washauri wa kimataifa.


Taarifa hiyo haikuwa sahihi. Ukweli ni kuwa, mgogoro wa mpaka kati ya Tanzania na Malawi kwa sasa upo chini ya Jopo la Viongozi Wastaafu wa Afrika wanaotokea kwenye nchi za Ukanda wa Jumuiya ya Maendeleo  Kusini mwa Afrika (SADC). Jopo hilo linaongozwa na Mhe. Joachim Chissano, Rais Mstaafu wa Msumbiji akisaidiwa na Mhe. Festus Mogae, Rais Mstaafu wa Botswana na Mhe. Thabo Mbeki, Rais Mstaafu wa Afrika Kusini.


Aidha, Jopo hili ambalo liliundwa na Umoja wa Afrika kupitia Jukwaa la Viongozi Wastaafu wa Afrika (Forum for Former African Heads of State and Government) kwa ajili ya kusuluhisha mgogoro huu, linaendelea na kazi hiyo kwa kupitia taarifa mbalimbali na maandiko yaliyowasilishwa kwao na Tanzania na Malawi. Vile vile, Jopo lilikwisha zikutanisha pande zote mbili katika mashauriano ya awali yaliyofanyika nchini Msumbiji


Wizara inapenda kuujulisha umma kuwa licha ya kuwepo kwa mgogoro wa mpaka wa Tanzania na Malawi katika Ziwa Nyasa, mahusiano ya nchi hizi mbili yamezidi kuimarika siku hadi siku katika Nyanja zote za kiuchumi, kisiasa na kijamii. Hata wananchi wa pande zote mbili za Ziwa wameendelea kuishi kwa amani na ushirikiano wa karibu.


Aidha, katika kuimarisha uhusiano huu, Tanzania na Malawi zinatarajia kuwa na mkutano wa Tume ya Pamoja ya Ushirikiano mapema mwakani. Mkutano huu utawaleta watalaam wa nchi hizi mbili kutoka Sekta mbalimbali kwa lengo la kujadili changamoto za ushirikiano katika sekta hizo, kubaini maeneo mapya ya ushirikiano pamoja na kuweka mikakati ya kutekeleza miradi ya pamoja itakayokubaliwa baina ya pande hizi mbili.


Pamoja na mambo mengine, Mkutano huo unatarajiwa kujadili masuala ya ushirikiano katika sekta za biashara na uwekezaji, usafirishaji, fedha, nishati, utalii, ulinzi na usalama uhamiaji, uvuvi na ardhi.


Hivyo, Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki inawaomba Waandishi wa Habari, Wadau mbalimbali na wananchi kwa ujumla inapohitajika kupata taarifa sahihi za suala hili kwenda kwenye Mamlaka husika na kuziandika kwa usahihi kwa ustawi wa nchi.


Imetolewa na:

Kitengo cha Mawasiliano ya Serikali,

Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki


Dar es Salaam, 07 Desemba, 2016.

MATUMAINI Mapya Kwa Farid Mussa Safari Ya Hispania, Aanza Maandalizi Tena

$
0
0

Kiungo kinda wa Azam FC, Farid Mussa ameanza maandalizi yake tena kujiandaa kwenda Hispania kujiunga na timu yake ya Derportivo Tenerife ya Hispania.

Tayari Farid amepata matumaini mapya baada ya leo kutinga kwenye ubalozi wa Hispania na kuanza kushughulikia kibali cha kufanya kazi nchini humo.

Msemaji wa Azam FC, Jaffar Iddi amethibitisha kwamba mambo yanakwenda vizuri.

"Kuna matumaini makubwa kwamba sasa mambo yataenda vizuri na Farid alikuwa ubalozini kwa kuwa tayari klabu ya Tenerife imeishawasiliana na ubalozi wa Hispania hapa nchini," alisema.

Awali kulikuwa na hofu ya kuua kipaji chake kwa kuwa suala la kibali kilionekana kuwa tatizo huku Farid akiendelea kukaa benchi kwa kuwa hawezi tena kuichezea Azam FC.

DIAMOND na Zari Wamtamanisha Vera Sidika Kupata Mtoto

$
0
0
Kuna uwezekano mkubwa hamu ya Vera Sidika kutamani mtoto imekuja baada ya kumuona mtoto wa pili wa Zari aliyejifungua Jumanne hii.

Kupitia mtandao wa Instagram, mrembo huyo wa Kenya ameandika ujumbe wa kumpongeza Zari na kuongeza kuwa inawezekana yeye ndio akafuata.

“Congratulations on your bundle of Joy @zarithebossladyHappy For you doll 🎊😍❤️You just raised my baby fever from 50 to 100 😩 sigh!!! Maybe I’m Next 🤔,” ameandika Vera kwenye mtandao huo.

CHRISTIAN Bella Amfagialia Diamond...Adai Kubali Ukatae Jamaa Anatengeneza Mziki Mzuri

$
0
0
“Kwanini Diamond anapendwa? Diamond hapendwi si sababu ya kubeba vyuma tu, unaweza ukabeba vyuma na usipendwe vilevile. Angalia muziki wa Diamond kwanini unapendwa. Diamond anapendwa si kwaajili ya skendo kwasababu zile skendo pia huwa zinamuumizaga. Jamaa anatengeneza muziki mzuri, kubali ukatae,” alisema Bella kwenye mahojiano na Lake FM ya Mwanza.

“Mimi napenda anayefanya vizuri. Mimi kila nikitaka kutoa ngoma lazima napima ngoma ya Diamond, nitaangalia anaimba nini, kwanini watu wanampenda? Naangalia Alikiba, kwanini watu wanampenda, kaimba nini, naanza kupima ngoma zao. Halafu mimi natafuta, sio niimbe kama Diamond, sio nifanye kama Alikiba, natafuta njia pale katikati. Ukitaka baraka wakubali kwanza wanaokubalika,” alisisitiza Christian Bella

MAITI Sita Zakutwa Zikielea Kwenye Mto Ruvu Bagamoyo Huku Zikiwa Zimeoza Vibaya

$
0
0
Maiti sita ambazo hazijatambulika zimekutwa zikielea katika Mto Ruvu eneo la Bagamoyo, Mkoa wa Pwani zikiwa zimehifadhiwa kwenye mifuko ya Sandarusi maarufu viroba vya uzito wa Kilogramu 200, huku zikiwa zimeharibika vibaya.

Diwani wa Kata ya Makurunge, Paul Kabile alisema maiti hizo ambazo ni za jinsia ya kiume ziligunduliwa na wavuvi

Kabile alisema maiti tano ziligunduliwa Desemba 6 majira ya alfajiri kwenye Kitongoji cha Kitopeni wilayani Bagamoyo, ambako wavuvi hao waligundua miili hiyo wakati wakiendelea na shughuli zao kwenye Mto huo

“Maiti hizo kila moja ilikuwa imehifadhiwa kwenye kiroba huku zikiwa zimewekewa mawe na mifuko hiyo ikiwa imeshonwa juu kama vile yamehifadhiwa mahindi au mchele”.alieleza

Kabile alisema kuwa wavuvi hao baada ya kuziona maiti hizo walizizika kutokana na kuharibika sana na kushindwa kuzipeleka hospitali kuzihifadhi.

“Wavuvi hao walizizika maiti hizo huku kukiwa hakuna taarifa yoyote juu ya kuwa zimetoka wapi na ni watu gani waliofanya tukio hilo”, alisema Kabile na kubainisha kuwa maiti nyingine moja iligunduliwa jana.

Mwandishi wa habari wa jeshi la polisi Mkoa wa Pwani, Hassan Mtengevu, alithibitisha kutokea tukio hilo, na kueleza kuwa wanafanya uchunguzi kwa kushirikiana na daktari ili kufahamu watu hao walikufa kwenye mazingira gani.

Source: Habari Leo

WIMBO Mpya wa Darasa Waweka Rekodi Mpya Kwa Video za Waimbaji wa Kurap Bongo....

$
0
0
Video ya Wimbo Mpya wa Msanii Darasa unaitwa Mziki Mpaka sasa umevunja Rekodi kwa Kutazamwa sana ndani ya Muda Mfupi Kwa Video za Waimbaji wa Rap hapa Bongo, Wimbo huo kwa sasa umefikisha watazamaji Milion Moja wiki mbili toka uwekwe mtandaoni kwenye channel ya Youtube.....Mpaka Muda Huu inaonyesha Una Views 1,056,542 views

MREMBO Kim Kardashian Anajipanga Kuomba Talaka Kwa Kanye West....Adai Hana Furaha Ndani ya Ndoa

$
0
0
Ndoa ya Mwanamuziki Kanye West na Mrembo Kim Kardashian Huenda inaelekea ukingoni baada ya Tovuti ya US Weekly Kutoboa siri kuwa KIM Kardashian inasemekana anajipanga kuomba talaka baada ya Kanye West atakapo pona , Inasemekana Kardashian hana furaha ndani ya ndoa hiyo kwani kwa sasa wanaishi nyumba tofauti .....

MTAZAMO Baada ya Rais Magufuli Kumtengua Lawrence Mafuru Msajali wa Hazina

$
0
0

Miongoni mwa sifa kuu za ziada na za pekee za rais wetu Mhe. Dr John Pombe Joseph Magufuli, ni sifa ya kuwa mkweli daima toka ndani ya nafsi yake. Linapokuja suala la kuusema ukweli, Magufuli yuko very bold, atausema ukweli no matter what.
Taifa hili limefika hapa tulipofika kwa viongozi kuogopa kusema ukweli na badala yake kuuremba remba au hata ikibidi kusema uongo ili tuu kuwafurahisha watu lakini Magufuli kwenye hii falsafa yake ya hapa Kazi tuu, ni mwendo wa mchaka mchaka katika ukweli na uwazi.

Hivyo wanapojitokeza watu wakweli na wawazi kama alivyo rais Magufuli ambao ni watu ma bold wenye guts za kusema ukweli no matter what, watu hawa ni mashujaa wa taifa hili, miongoni mwa mashujaa hawa, ni aliyekuwa Msajili wa Hazina, Lawrence Mafuru, ambaye kutokana na kuwa mkweli too much, amepumzishwa na kusubiri kupangiwa kazi nyingine muhimu zaidi kuliko Msajili wa Hazina.

Ukweli aliousema Mafuru, ni kuwasaidia Watanzania kumwelewa vizuri zaidi rais wao, alipotoa amri ya fedha za umma kutunzwa BOT pekee, watu hawakunwelewa rais, wakadhani rais amepiga marufuku taasisi za umma kutumia mabenki binafsi, kumbe rais alimaanisha ni fedha tuu za makusanyo ndizo zinatunzwa BOT, lakini fedha za matumizi zonaendelea kuwekwa mabenki binafsi na hakuna ubaya wowote kuzifungulia Fixed Deposits.

Kuondolewa kwa Mafuru, kunatafsiriwa na wengi kuwa ni kutumbuliwa, kumbe wengi hawajui, kule sio kutumbuliwa bali ni kuandaliwa kwa majukumu mengine makubwa zaidi.

Haiwezekani mtu ufanye kitendo cha ushujaa kama kuwasaidia wananchi kumwelewa vizuri rais wao badala ya kupongezwa badala yake ukatumbuliwa, nasisitiza Mafuru ni shujaa na anastahili kupangiwa majukumu mengine muhimu zaidi. Swali ni Jee Mafuru atapangiwa jukumu gani muhimu?.

Shujaa mwingine kwenye hili la mambo ya fedha na uchumi ni Gavana wa Benki Kuu, Prof Beno Ndulu ambaye na yeye alilifafanua.

Nampongeza Lawrence Mafuru na kumtakia maandalizi mema ya kusubiri kupangiwa kazi nyingine.

Paskali.

CHADEMA wataka Rais Mkapa anyang’anywe shamba kama Sumaye

$
0
0
Meya wa Manispaa ya Ubungo kwa tiketi ya Chama cha Demokrasia na Mendeleo (CHADEMA), Boniface Jacob amemtaka Rais Dk Magufuli kulichukuwa shamba linalomilikiwa na Rais Mstafuu Mzee Benjamin Mkapa kama alivyofanya kwa Waziri Mkuu Mstaafu, Frederick Sumaye.

Meya huyo alisema kuwa kiongozi huyo wa zamani na familia yake wanamiliki shamba kubwa katika wilaya ya Ubungo ambalo halijaendelezwa kwa muda mrefu sasa.

Meya huyo ambaye amekuwa Diwani wa Ubungo kwa muda mrefu ametaa shamba hilo lililopo Mbezi, Dar es Salaam lirejeshwe kwenye halmashauri ili liweze kufanyiwa shughuli nyingine.

Hoja hiyo ya Meya wa Kinondoni imekuja siku chache tangu aliyekuwa Waziri Mkuu katika serikali ya awamu ya tatu na Mjumbe wa Kamati Kuu ya CHADEMA, Frederick Sumaye aliponyang’anywa shamba lake eneo la Mabwepande ambalo hajaliendeleza kwa muda.

Meya alitoa maelezo hayo alipokuwa akizungumza na gazeti la mwananchi ambapo alisema kuwa watamuandikia Rais Magufuli barua wakimuomba abatilishe umiliki wa shamba hilo aipe Manispaa ya Ubungo ambayo ndiyo kwanza imeanzishwa.

BAADA ya Wema Sepetu Kushambuliwa na Mashabiki wa Zari Kuwa Hazai, Aamua Kujibu Mapigo

$
0
0
Baada ya mwanadada Zari the boss lady kujifungua mtoto wa pili "Riaz junior"

Baadhi ya mashabiki walikuwa wakiingia kwenye page ya instagram ya Wema Sepetu wakimtolea maneno makali kuwa aendelee kupost picha za watoto wa watu wakati wenzake wanazaa.

Baada ya mwanadada Wema Sepetu kukosa uvumilivu, aliamua na yeye kujibu mapigo usiku wa leo katika account yake ya instagram.


DARASA Asema Atamsadia Dereva Aliyekamatwa Kwa Kucheza Nyimbo yake na Kutishia Usalama

$
0
0
Msanii huyo amesema ni kweli dereva huyo alifanya makosa ila anataka amtoe
amedai kuna watu wake wanafuatia atoke na yupo kituo cha polisi Manyoni 
VIDEO:

WEMA Sepetu Afungukia Kuhamia Kenya....Bongo Kumemchosha

$
0
0
Wema Sepetu akiwa Nairobi Kwa Ajili ya Kuhost party ya kula bata inayofanyika katika kiota cha Starehe cha Xsmillionaires amefunguka kuwa na mpango wa kuhamia Nairobi

Ameandika Haya:

“Wow….!!! I cant start to tell you How excited I am for Tomorrow. Finally I get to Chill, Dance & Mingle with my Kenyan darlings. The Only Place to start Our Weekend is at @xsmillionaires @xsmillionaires,” aliandika.
“Oh nd Did I mention I’m thinking of Moving To Nai…🙊🙊🙊…. Well Let me Nat say Much… Cant wait to See you Guys,” ameongeza.

Una Maoni Gani Mdau?

LADY Jay Dee Adai Wasanii Wakubwa Wanaigana Kuanzisha Record Lebo...Adai sio Lazima

$
0
0

Mwimbaji Lady Jay Dee amefungukia kuhusu Wimbi la Wasanii wakubwa Kuanzisha Lebo za Mziki
amefunguka haya:

“Sio lazima kila mtu awe na record label,” alisema Lady Jay Dee. “Kila msanii ana namna ambavyo anafanya kazi. Kwahiyo suala la record label kwa sababu msanii fulani anayo sio lazima,”

BAADA ya Kuvurunda Mechi ya Yanga na Simba, Hawa ni Waamuzi Waliotemwa Ligi Kuu

$
0
0
Waamuzi waliochezesha mchezo namba 49 kati ya Yanga na Simba, Martin Saanya na Samweli Mpenzu wametolewa kwenye ratiba ya Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara, huku suala lao likipelekwa kwenye Kamati ya Waamuzi ili ishughulikie tatizo lao kitaalam.

Maamuzi hayo yamefanyika baada ya Kikao cha Kamati ya Usimamizi na Uendeshaji ya Bodi ya ligi, kuwaita na kuwahoji na kuangalia mkanda wa mchezo husika. Kamati imebaini mapungufu mengi ya kiutendaji yaliyofanywa na waamuzi hao, na hivyo kuitaka kamati ya waamuzi ishughulikie.
Viewing all 104709 articles
Browse latest View live




Latest Images